KAMPUNI ya utalii ya Nomad Tanzania, yenye makao yake makuu Usa-River wilayani Arumeru, mkoani Arusha, imepongezwa kwa kuwa mstari wa mbele kutangaza nje ya nchi vivutio vya utalii nchini.
WAKAZI wa Arusha wametakiwa kutumia mbwa wa kisasa katika masuala ya ulinzi wa majumbani na kuondoa dhana kuwa kumiliki silaha kuwa ndiyo suluhisho la kukabiliana na vitendo vya ujambazi.
ENEO la ufukwe wa Bahari ya Hindi, kisiwani Mafia, limevamiwa na raia wa kigeni wanaodaiwa kupora mazao ya baharini na kuharibu mazingira kwa kiwango kikubwa.
TANGU kuanza ubinafsishaji wa viwanda na mashirika mbali mbali hapa nchini, mafanikio makubwa yamepatikana kwa wakulima, wafanyakazi, wananchi na wenye viwanda mbalimbali pamoja na serikali inayopata faida kwa upande wa kodi mbalimbali zinazolipwa na wawekezaji.