|
KWA mtu ambaye anafuatilia tuhuma zinazomkabili Gavana wa Benki Kuu ya Tanzania (BoT), Daudi Balali, licha ya kushtuka, kusikitika na hata kubaki kinywa wazi kwa majibu aliyotoa, atakubaliana nami kuwa Balali hata kama ameonyesha kujiamini kwa sababu anazozijua, hajajibu tuhuma zinazomkabili.
|