MAZUNGUMZO ya kusaka muafaka wa kisiasa visiwani Zanzibar, baina ya Chama Cha Mapinzuzi (CCM) na Chama cha Wananchi (CUF) yanakaribia kufikia mwisho, Rais Jakaya Kikwete amesema.
MAREKANI imeanza kuchukua hatua katika jaribio la kusuluhisha mgogoro ulioikumba Kenya kutokana na kutokubalika kwa matokeo ya uchaguzi mkuu uliofanyika mwishoni mwa mwaka jana.
CHAMA cha Demokrasia na Maendeleo (CHADEMA), kimehoji ukimya wa serikali kuhusu kuwashughulikia watuhumiwa wa ufisadi walioanikwa hadharani na wapinzani miezi michache iliyopita.
Mara kadhaa sasa Rais Kikwete na viongozi wenzake wa ngazi za juu wamekuwa wakishikilia picha ya kuchora ya simba wakiwatishia wahalifu. Kwanini wahalifu hawatatishiki?