MPANGO wa serikali kukata rufaa kupinga hukumu ya kesi ya kikatiba ya kuruhusu wagombea binafsi katika uchaguzi umeiva na sasa itawasilisha hati yake ya rufaa ndani ya siku 60 kuanzia mwezi huu.
WAKATI timu ya wachunguzi wakifuatilia meli ya Mv Mnazi Bay iliyopotea katika Bahari ya Hindi tangu Januari 23, mmoja wa mabaharia aliyeondokao Dar es Salaam na meli hiyo amejitokeza na kuelezea mlolongo wa safari kabla ya kupotea.