MAAFANDE wa Prisons ya Mbeya jana waliendelea ‘kutembeza buti’ katika Ligi Kuu ya Bara kwa kuwapigisha kwata maafande wenzao wa JKT Ruvu. Hilo lilidhihirika jana katika mechi iliyokuwa ya ushindani mkubwa kwa dakika zote 90
WAKATI Ligi Kuu ya Bara ikianza Jumamosi, washambuliaji wa kutumainiwa katika kikosi cha Simba, Haruna Moshi ‘Boban’ na Joseph Kaniki, wako mbioni kutimkia nchini Afrika Kusini siku yoyote kuanzia leo.
MECHI ya kusaka tiketi ya fainali za Kombe la Mataifa ya Afrika kati ya Tanzania, Taifa Stars na Msumbiji iliyopigwa Jumamosi, kwenye uwanja mpya, jijini Dar es Salam, imeingiza sh mil 605.02.
KOCHA wa zamani wa timu ya soka ya Tanzania, Taifa Stars, Dk. Mshindo Msolla, amesema baada ya kushindwa kupata tiketi ya fainali za Kombe la Mataifa ya Afrika zitakazopigwa mwakani nchini Ghana, hakuna kupoteza muda, isipokuwa ni kujipanga upya kwa fainali za Kombe la Dunia mwaka 2010.
WALIOKUWA wafanyakazi wa kiwanda cha Sukari cha Mtibwa, wamemwandikia barua Rais Jakaya Kikwete, wakimlalamikia mwajiri wao kwa kutowalipa mafao kwa muda wa miaka minane sasa.