Kitaifa
   Siasa
   Jamii
   Uchumi
   Makala

 

Search


Advanced Search

 »  Home  »  Jamii
Jamii


(Page 5 of 56)   « Back  | 3 | 4 | 5 | 6 | 7 | Next »
» ‘Teknohama kikwazo cha maendeleo’
By Habari Tanzania | Published 05/21/2007 | Jamii | Unrated
IMEELEZWA kwamba kiwango duni cha elimu kuhusu teknolojia ya mawasiliano ya kisasa (TEKNOHAMA), ni moja ya sababu kubwa zinazofanya vita dhidi ya umaskini na ujinga isifanikwe nchini.
» Maofisa afya wateketeza nyama
By Habari Tanzania | Published 05/9/2007 | Jamii | Unrated
MAOFISA afya wa Manispaa ya Dodoma, wameteketeza nyama zilizokuwa zinauzwa katika mabucha mawili, katika eneo la Chang'ombe mjini hapa, baada ya wamiliki wa maduka hayo kuyafungua na kuanza kufanya biashara pasipo kukidhi kanuni za afya.
» JK, ya Ukerewe sawa, lakini…
By Habari Tanzania | Published 05/6/2007 | Jamii | Unrated
AKIWA Nansio, Ukerewe katika ziara yake inayoendelea mkoani Mwanza, miongoni mwa mambo aliyozungumza Rais Jakaya Kikwete, ni juu ya mikakati ya kuisaidia Ukerewe kupiga kasi kiuchumi.
» Wizara ya Afya ‘yafungwa’
By Habari Tanzania | Published 05/5/2007 | Jamii | Unrated
WAKATI Serikali ya Awamu ya Nne ikisisitiza viongozi wafanye kazi kwa bidii kuwatumikia wananchi, watendaji wengi katika Wizara ya Afya na Ustawi wa Jamii, jana waliziacha ofisi zao na kuhamia katika ukumbi wa mikutano wa Jengo la NSSF-Water Front.
» Tuna wasiwasi na hali ya usalama wa taifa
By Habari Tanzania | Published 05/4/2007 | Jamii | Unrated
MATUKIO ya kukamatwa kwa raia wa kigeni wanaoingia nchini, kinyume cha sheria za uhamiaji, ambayo katika siku za karibuni yameibuka kwa kasi, yametushitua na kutufikisha mbali.


(Page 5 of 56)   « Back  | 3 | 4 | 5 | 6 | 7 | Next »
Articles to Read
You Recently Viewed...
Popular Articles
  1. Unaifahamu Jambo Forums?
  2. Barua ya Wazi kwa Rais Jakaya Kikwete
  3. Ghorofa Jijini lanusurika kuungua moto
  4. Is Tanzania a safe place to invest?
  5. Britsh M.P. calls for the suspension of aid to Tanzania.
No popular articles found.
Popular Authors
  1. Habari Tanzania
  2. Mzee Mwanakijiji
  3. Marshy Abdu
  4. Linda Garner
  5. Nthelezi Nesaa
No popular authors found.