IMEELEZWA kwamba kiwango duni cha elimu kuhusu teknolojia ya mawasiliano ya kisasa (TEKNOHAMA), ni moja ya sababu kubwa zinazofanya vita dhidi ya umaskini na ujinga isifanikwe nchini.
MAOFISA afya wa Manispaa ya Dodoma, wameteketeza nyama zilizokuwa zinauzwa katika mabucha mawili, katika eneo la Chang'ombe mjini hapa, baada ya wamiliki wa maduka hayo kuyafungua na kuanza kufanya biashara pasipo kukidhi kanuni za afya.
AKIWA Nansio, Ukerewe katika ziara yake inayoendelea mkoani Mwanza, miongoni mwa mambo aliyozungumza Rais Jakaya Kikwete, ni juu ya mikakati ya kuisaidia Ukerewe kupiga kasi kiuchumi.
WAKATI Serikali ya Awamu ya Nne ikisisitiza viongozi wafanye kazi kwa bidii kuwatumikia wananchi, watendaji wengi katika Wizara ya Afya na Ustawi wa Jamii, jana waliziacha ofisi zao na kuhamia katika ukumbi wa mikutano wa Jengo la NSSF-Water Front.
MATUKIO ya kukamatwa kwa raia wa kigeni wanaoingia nchini, kinyume cha sheria za uhamiaji, ambayo katika siku za karibuni yameibuka kwa kasi, yametushitua na kutufikisha mbali.