Jumla ya watu 160 kati ya watu hamsini na moja elfu na mia tisa themanini na wawili (51982) waliojitokeza kupima virusi vya ukimwi katika tarafa za Heru chini, Manyovu na Makere wilayani Kasulu mkoani Kigoma walikutwa wameambukizwa virusi vya ugonjwa huo.
KAMATI ya Maendeleo ya Jamii ya Bunge, imesema hairidhishwi na kasi ya serikali katika kushughulikia suala la ujenzi wa daraja la Kigamboni, ambao umeasisiwa na Shirika la Taifa la Hifadhi ya Jamii (NSSF).