Kitaifa
   Siasa
   Jamii
   Uchumi
   Makala

 

Search


Advanced Search

 »  Home  »  Habari za Kitaifa
Habari za Kitaifa


(Page 1 of 398)   « Back | 1 | 2 | 3 | 4 | 5 | Next »
» Ban Ki-Moon atishwa Dar
By Marshy Abdu | Published 02/25/2009 | Habari za Kitaifa | Rating:
WAKATI Katibu Mkuu wa Umoja wa Mataifa (UN), Ban Ki-Moon akitarajia kutua nchini kesho kwa ziara ya kikazi ya siku tatu, serikali imefichua mpango wa baadhi ya Watanzania kuihujumu ziara hiyo.
» Maskini Liyumba
By Marshy Abdu | Published 02/25/2009 | Habari za Kitaifa | Unrated

MAHAKAMA ya Hakimu Mkazi Kisutu Dar es Salaam, jana ilimfutia dhamana aliyekuwa Mkurugenzi wa Utumishi na Utawala wa Benki Kuu (BoT), Amatus Liyumba, ambaye ni mshitakiwa wa kwanza katika kesi ya matumizi mabaya ya ofisi za umma na kusababisha hasara ya sh bilioni 221, baada ya kubaini kuwa aliidanganya mahakama.

 
» Kama Zanzibar si nchi, Tanganyika ilijiunga na wilaya?
By Marshy Abdu | Published 08/10/2008 | Habari za Kitaifa | Rating:
BABA wa Taifa, Mwalimu Julius Nyerere, alikuwa mtu mwenye kanuni ya kujikosoa. Nadhani ni kanuni hiyo iliyomfanya afe akiwa kipenzi cha wote wakiwamo hata wale ambao kwa namna moja au nyingine walibanwa na wadhifa wake.
» Kiteto kumekucha
By Marshy Abdu | Published 02/22/2008 | Habari za Kitaifa | Rating:
MCHUANO wa kisiasa katika kampeni za uchaguzi mdogo wa Jimbo la Kiteto, mkoani Manyara kati ya vyama viwili vinavyoshindana vikali, Chama Cha Mapinduzi (CCM) na Chama cha Demokrasia na Maendeleo (CHADEMA) umezidi kuwa mkali.
» Richmond yaivua nguo serikali
By Marshy Abdu | Published 02/7/2008 | Habari za Kitaifa | Rating:
KAMATI Teule ya Bunge iliyochunguza mchakato wa upatikanaji wa zabuni ya uzalishaji umeme wa dharura, iliyopewa Kampuni ya Richmond Development LLC, ya Hauston Marekani, imemtaja Waziri Mkuu, Edward Lowassa, kuwa alihusika kuibeba kampuni hiyo kupata zabuni hiyo.


(Page 1 of 398)   « Back | 1 | 2 | 3 | 4 | 5 | Next »
You Recently Viewed...
Popular Articles
  1. Unaifahamu Jambo Forums?
  2. Barua ya Wazi kwa Rais Jakaya Kikwete
  3. Ghorofa Jijini lanusurika kuungua moto
  4. Is Tanzania a safe place to invest?
  5. Britsh M.P. calls for the suspension of aid to Tanzania.
No popular articles found.
Popular Authors
  1. Habari Tanzania
  2. Mzee Mwanakijiji
  3. Marshy Abdu
  4. Linda Garner
  5. Nthelezi Nesaa
No popular authors found.