KAMPENI za kuwania kiti cha urais wa Marekani katika uchaguzi unaotarajiwa kufanyika Novemba mwaka huu, zimepata sura mpya, baada ya mmoja wa wagombea wa nafasi hiyo kutishiwa kuuawa.
WATU zaidi ya 600 wamekamatwa na polisi nchini Sweden katika mfulilizo wa maadamano ya vurugu ya siku tatu ya kupinga kuondolewa kwa nguvu katika jengo linalotumika kwa biashara mjini Copenhagen, Sweden.