Kitaifa
   Siasa
   Jamii
   Uchumi
   Makala

 

 »  Home  »  Blogs  »  Mahari kwa wanawake ni kitegauchumi au zawadi kwa wazazi?
Mahari kwa wanawake ni kitegauchumi au zawadi kwa wazazi?
By Habari Tanzania | Published  05/14/2006
Mahari kwa wanawake imekuwa ikitolewa kwa miaka kwa dhamira ya kuunganisha familia mbili za waoaji na waolewaji.
Post a comment about this blog
Add comment
Comments

  • Comment #1 (Posted by ag)

    Mahari ni kwa wazazi wa bibie, na kamwe haiendi kwa muolewaji, NO! NO!
     
  • Comment #2 (Posted by Godfrey Michael)

    kawaida imekuwa mara nyingi ikisababisha athari kubwa katika jamii zetu tunamoishi.
    Hii ni kutokana na tabia iliyozoeleka miongoni mwetu kuwa kawaida ni moja na sehemu muhimu katika kufikia maamuzi ya kutekeleza wajibu fulani.
    Katika suala la mahari kuna aina mbili ya sababu zinazojenga dhana hasi dhidi ya jukumu hilo la waunganao.
    Ni dhahiri kuwa katika jukumu la mahari, kuna malipo yatokanayo na desturi/mila za kikabila sambamba na uhali wa kifamilia.
    Maoni yangu katika hili ni kwamba heri kufikia muafaka wa kuoana bila gharama za upande a binti kwani kwa gharama hizo kumekuwepo na vitendo vya unyanyasaji kwa wanawake mara baada ya kuolewa na waume zao kwa kigezo na kisingizio cha gharama kubwa ya mahari.

    Imani yangu ni kuwa wapo vijana wa kiume ambao wao hukerwa na malipo hayo ya mahari na kuona kama ni adhabu au malipo ya manunuzi ya mke, fikara ambazo ni potofu.
    La msingi kwa jimii ni kubadilika na kufikia uamuzi wa kuachana na desturi/mila zinazokandamiza haki za kila mmoja katika suala la wawili kujenga familia moja(MkeMme).
    Mwisho
     
  • Submit Comment

Popular Articles
  1. Unaifahamu Jambo Forums?
  2. Ghorofa Jijini lanusurika kuungua moto
  3. Is Tanzania a safe place to invest?
  4. Britsh M.P. calls for the suspension of aid to Tanzania.
  5. Nitaendelea kugombea nafasi za kisiasa- Balozi Karume
No popular articles found.
Popular Authors
  1. Habari Tanzania
  2. Mzee Mwanakijiji
  3. Linda Garner
  4. Nthelezi Nesaa
  5. Marshy Abdu
No popular authors found.