Kitaifa
   Siasa
   Jamii
   Uchumi
   Makala

 

 »  Home  »  Authors  »  Prosper Kwigize
Prosper Kwigize

Ni mwandishi wa habari za Kikanda, Kitaifa na Kimataifa. Ni mtangazaji wa Radio Kwizera mkoa wa Kagera na Kigomaa, (Kigoma Press Club) napatikana kwa anuani hii, pkwigize@habaritanzania.com, au pkwigize@yahoo.com, mpigie simu na. 0784676888 au 0754077478. Tuijenge dunia yenye mawasiliano makini,na Tanzania inayoheshimu vipaji.
Articles by this Author
(Page 1 of 6)   « Back | 1 | 2 | 3 | 4 | 5 | Next »
» REDESO lamjengea nyumba mzee aliyetelekezwa
By Prosper Kwigize | Published 01/1/1970 | Habari za Kitaifa | Rating:

Shirika la mazingira na haki za binadamu la REDESO wilayani Kibondo limetoa msaada wa ujenzi wa nyumba kwa mzee mmoja aliyetelekezwa na mwanae na kumwacha bila makazi.

» TCRS kibondo lafungua ofisi nchini Burundi.
By Prosper Kwigize | Published 01/1/1970 | Habari za Kitaifa | Rating:

Shirika la kidini nchini linalohudumia wakimbizi TCRS limeanzisha ofisi zake nchini Burundi ili kuwasaidia warundi na wakimbizi watakaorejea nchini mwao kutoka nchini Tanzania.

» Migogoro 62 ya ardhi imewasilishwa kwa kamati ya uchunguzi
By Prosper Kwigize | Published 01/1/1970 | Habari za Kitaifa | Unrated
Jumla ya migogoro 62 imewasilishwa kwa kamati maalumu ya uchunguzi wa migogoro ya ardhi wilayani Kibondo mkoani Kigoma katika kipindi cha mwezi mmoja tangu kuanza kazi kwa kamati hiyo.
» Mwanafunzi mwenye kipaji cha ajabu aunda mitambo ya kurusha matangazo ya redio
By Prosper Kwigize | Published 06/29/2006 | Habari za Kitaifa | Rating:
Mwananfunzi mmoja wa shule ya sekondari Maragalasi wilayani Kibondo amefanikiwa kuunganisha mitambo na kurusha matangazo ya radio katika eneo la Kibondo mjini.
» Milioni 1 kutolewa na serikali kwa wahanga wa ajali ya gari kibondo
By Prosper Kwigize | Published 06/29/2006 | Habari za Kitaifa | Unrated

Serikali imeahidi kutoa kiasi cha shilingi elfu hamsini kwa wahanga wa ajali ya gari la mizigo iliyotokea wilayani Biharamlo na kupelekea vifo vya watu 29 wakiwemo wakazi 12 wa wilaya ya Kibondo.

» Anasakwa kwa kutekelekeza familia
By Prosper Kwigize | Published 06/29/2006 | Habari za Kitaifa | Unrated
Kijana mmoja Mtondo Gabriel mkazi wa kijiji cha Rusohoko wilayani Kibondo anasakwa na shirika la REDESO kitendo cha utetezi na uzuiaji wa unyanyasaji wa kijinsia kwa kosa la kuwatelekeza baba yake na mkewe mwenye watoto wane.
» Mwanafunzi Aliyefanikiwa Kurusha Matangazo Ya FM Ajitokeza Hadharani
By Prosper Kwigize | Published 07/3/2006 | Habari za Kitaifa | Rating:

Mwanafunzi wa shule ya sekondari ya Maragalasi wilayani Kibondo ambaye mtandao huu ulitangaza kufanikisha kwake kuunganisha mitambo ya redio na kurusha matangazo amejitokeza hadharani kuomba misaada.

» Majambazi Wavamia Kambi Ya Wakimbizi Na Kupora Mali Na Fedha
By Prosper Kwigize | Published 07/3/2006 | Habari za Kitaifa | Unrated

Watu wanaodhaniwa kuwa majambazi wamevamia na kupora fedha tasilimu shilingi laki tatu na nusu pamoja na vitu mbalimbali katika kambi ya Kanemba wilayani Kibondo.

» Bei Zapanda kibondo
By Prosper Kwigize | Published 07/4/2006 | Habari za Kitaifa | Unrated
Wakazi wa wilaya ya Kibondo mkoani Kigoma wamelalamikia kupanda kwa bei ya Nyama pamoja na sigara.
» Serikali kuu yaitaka halmashauri kibondo kushirikiana na jeshi la mgambo
By Prosper Kwigize | Published 07/14/2006 | Habari za Kitaifa | Unrated
Serikali kuu wilayani Kibondo imeitaka halmashauri ya wilaya hiyo kuwaenzi na kuwatumia wanamgambo katika kuhamasisha maendeleo vijijini.
(Page 1 of 6)   « Back | 1 | 2 | 3 | 4 | 5 | Next »