              
|
|
Articles by this Author
(Page 1 of 3) « Back | 1 | 2 | 3 | Next »
»
Waziri asema ndege za serikali Tanzania zimezeeka
|
WAZIRI wa Miundombinu, Basil Mramba, amesema karibu ndege zote za serikali zimezeeka na zinapaswa kununuliwa nyingine mpya.
|
»
Kikwete: Vigogo wa dawa za kulevya jisamilisheni
|
SIKU chache baada ya Rais Jakaya Kikwete kutangaza kuwa ana majina ya vigogo wa dawa za kulevya nchini, amewataka wanaojihusisha na biashara hiyo kujisamilisha vinginevyo watanaswa na msako mkali utakaoanzishwa dhidi yao.
|
»
PSRC yajiosha mikono kuhusu Saskatel International
|
TUME ya Rais ya Kurekebisha Mashirika ya Umma (PSRC) imeutua mzigo kwa kueleza kwamba imemaliza jukumu lake katika mchakato wa kuipata menejimenti mpya ya Kampuni ya Simu Tanzania (TTCL) na kuwasilisha ripoti yake Wizara ya Miundombinu.
|
»
Tido Mhando aiacha BBC , kurejea Tanzania
|
MWAFRIKA wa kwanza kuongoza Idhaa ya Kiswahili ya Radio ya Shirika la Utangazaji la Uingereza (BBC), Danstan Tido Mhando, ambaye ni Mtanzania amestaafu kazi na anategemea kurejea nchini hivi karibuni.
|
»
Waziri akataa wananchi kushawishiwa kuhusu Shirikisho
NAIBU Waziri wa Ushirikiano wa Afrika Mashariki, Dk Diodarus Kamala amekemea baadhi ya watu kutoka nje ya nchi ambao wanafanya ushawishi wa kutaka kuwaamulia watanzania kuingia katika shirikisho la Afrika Mashariki.
|
»
Viongozi Afrika wanastahili lawama
|
MJUMBE wa Halmashauri Kuu ya chama cha NCCR-Mageuzi, Dk Sengodo Mvungi amewashutumu viongozi wa mataifa ya Afrika kwa uchu wao wa madaraka ambao umekuwa chanzo cha vita na machafuko yanayosababisha wakimbizi.
|
»
Dar hatarini kuzama baharini
|
MAENEO ya fukwe za Bahari ya Hindi katika jiji la Dar es Salaam, yako hatarini kumezwa na maji baada ya maji ya bahari kuongezeka kutokana na ongezeko la joto duniani.
|
»
Tume ya Mawasiliano kujenga kitega uchumi
|
MAMALAKA ya Mawasiliano Tanzania (TCRA), imeanza kujijengea uwezo wa kiuchumi baada ya kuanzisha mradi mkubwa wa ujenzi wa nyumba ya ghorofa 14 ambao unatarajiwa kugharimu zaidi ya Sh25 bilioni.
|
»
Saddam Hussein 'Rais' wa Iraq anayekabiliwa na adhabu ya kifo
|
HADI sasa hujiita Rais wa Iraq akizingatia madaraka yake aliyoyapata baada ya kufanya mapinduzi mwaka 1979.
|
»
Ushindani waitisha TPDC
|
USHINDANI wa kibiashara katika soko la mafuta umelitisha Shirika la Maendeleo ya Petroli nchini (TPDC) na sasa limedai linafanya mambo yake chini kwa chini kwa kuogopa washindani.
|
(Page 1 of 3) « Back | 1 | 2 | 3 | Next »
|
|