|
Kwa muda mrefu sasa nimekuwa nikiandika sana masuala ya kujisomea,kupenda kuhoji masuala mbalimbali yanayotuzunguka,kujipenda sisi wenyewe kama watu,kunyanyuana wenyewe kiuchumi,kudumisha umoja, kujenga moyo wa kizalendo kwa nchi yetu,kupiga vita rushwa kwa kuanzia na sisi wenyewe nk
|