Kitaifa
   Siasa
   Jamii
   Uchumi
   Makala

 

 »  Home  »  Authors  »  Manyerere Jackton
Manyerere Jackton

Articles by this Author
(Page 1 of 2)   « Back | 1 | 2 | Next »
» Leo ni Siku ya Bajeti
By Manyerere Jackton | Published 06/15/2006 | Habari za Kitaifa | Rating:
MASIKIO ya Watanzania leo yanaelekezwa mjini hapa ambako Serikali ya Awamu ya Nne, kwa mara ya kwanza, inasoma bajeti yake ya mwaka 2006/2007.
» Walimu wapya kuula
By Manyerere Jackton | Published 06/21/2006 | Habari za Kitaifa | Unrated
SERIKALI, kupitia Wizara ya Elimu na Mafunzo ya Ufundi, imetangaza vivutio vingi kwa vijana watakaojitokeza kujaza nafasi 3,500 za ualimu. Waziri wa Elimu na Mafunzo ya Ufundi, Margaret Sitta, amesema hii ni nafasi pekee kwa vijana wenye sifa, kujitokeza kwa wingi kufaidika na fursa hiyo.
» Polisi wachongeana kwa Kikwete
By Manyerere Jackton | Published 06/24/2006 | Habari za Kitaifa | Unrated
KUNDI la polisi waliojitambulisha kuwa ni wakuu wa vituo (OCS) nchini, limempelekea Rais Jakaya Kikwete, waraka unaofichua maovu yanayofanywa na baadhi ya makamanda wa polisi wa mikoa na viongozi wengine waandamizi katika Jeshi la Polisi.
» Kikwete akabidhiwa chama leo
By Manyerere Jackton | Published 06/25/2006 | Habari za Kitaifa | Unrated
CHAMA Cha Mapinduzi (CCM, leo kinafaya mabadiliko ya uongozi wake wa juu kwa Mwenyekiti wa sasa Benjamin Mkapa, kung'atuka, na nafasi yake kushikwa na Rais Jakaya Kikwete
» Dk. Slaa aibana mbavu serikali
By Manyerere Jackton | Published 06/27/2006 | Habari za Kitaifa | Rating:
KAMBI ya Upinzani, imetoa hoja nzito, kiasi cha kumfanya Spika wa Bunge, Samuel Sitta, kumshauri Waziri Mkuu, ajiandae kuwajibu Watanzania wajue ukweli wa mambo. Hoja hizo zimesheheni katika Hotuba ya Msemaji Mkuu wa Kambi hiyo, Dk. Wilbroad Slaa, kuhusu Hotuba ya Bajeti ya Waziri Mkuu kwa mwaka wa fedha wa 2006/2007, aliyoiwasilisha bungeni jana mchana.
» Lowassa ageukia kilimo
By Manyerere Jackton | Published 06/27/2006 | Habari za Kitaifa | Unrated
WAZIRI Mkuu, Edward Lowassa, amesema ukuaji wa sekta ya kilimo nchini si wa kuridhisha, hivyo ameagiza kuanzia mwaka huu wa 2006/2007, halmashauri za wilaya zianze kuweka shughuli za kilimo cha umwagiliaji katika mipango ya maendeleo ya kilimo ya wilaya.
» Ubungo na sifa za kinafiki
By Manyerere Jackton | Published 08/18/2006 | Uchumi | Unrated
KWA muda sasa, uongozi wa Kituo cha Mabasi Ubungo, umekuwa ukijitahidi kukipamba kituo hicho kwa namna inayoshangaza.
» Umeme Jumapili kwa faida gani?
By Manyerere Jackton | Published 09/10/2006 | Habari za Kitaifa | Unrated
TAIFA letu linakabiliwa na mgawo wa umeme. Athari zake zimeanza kuonekana.
» Chavez, Ahmadinejad waishambulia Marekani
By Manyerere Jackton | Published 09/20/2006 | Habari za Kimataifa | Unrated
VIONGOZI wanachama wa Umoja wa Nchi Zisizofungamana na Upande Wowote (NAM), waliokutana mjini hapa, walizishambulia sera mbaya za Marekani dhidi ya mataifa yanayoendelea.
» Wazidi kuwakataa Warundi, Wanyarwanda EAC
By Manyerere Jackton | Published 10/9/2006 | Habari za Kitaifa | Rating:
WANANCHI wa kada mbalimbali wilayani Kibondo, wameungana na wenzao kadhaa katika mikoa ya Mara, Mwanza na Kagera, kupinga maombi ya nchi za Rwanda na Burundi kupewa uanachama katika Jumuiya ya Afrika Mashariki (EAC).
(Page 1 of 2)   « Back | 1 | 2 | Next »