              
|
|
Articles by this Author
»
Pamba Hulimwa na Wenye Njaa, Huchumwa na Walioshiba
|
WAKATI uzalishaji wa zao la pamba nchini ukiongezeka kutoka marobota 196,000 msimu wa 1999\2000 hadi takriban marobota 700,000 mwaka jana, wakulima walichuma hasara ya shilingi Bilioni 31.4 kufuatia wanunuzi matajiri kupeleka pamba chafu katika soko.
|
»
Sakata la Darwin’s Nightmare, Acheni Unafiki, Muwe Wakweli
|
Kauli kwamba sangara wa Ziwa Victoria huuzwa Ulaya na kuacha mifupa, kwa kuwa siyo chaguo la kwanza la wakazi wa eneo hilo, ni uongo mtupu, upuuzi na unafiki uliopea.
|
»
Heri Kulamba Miguu ya Kikwete Kuliko ya Mabeberu
|
JUMAPILI, Oktoba Mosi mwaka huu, Gazeti la Sunday Nation la Kenya liliwakejeli waandishi wa habari wa Tanzania kwamba walikuwa wakikalia ‘kumlamba miguu’ Rais Jakaya Kikwete, na kukariri kila akisemacho, kama kasuku!
|
»
CCM Kwa Kuwajengea Vibanda vya Udongo Wawekezaji wa Madini, Haina Akili?
|
SEPTEMBA 22, mwaka 2004, Rais Mstaafu, Benjamin William Mkapa ,alipokuwa akihojiwa na Mtayarishaji wa kipindi maarufu cha Straight Talk Africa (VoA), Dk. Shaka Ssali, aliwatetea wawekezaji wa madini kwamba wamekuwa na manufaa makubwa kwa kuleta tija katika sekta hiyo na kusadia huduma za jamii nchini.
|
»
‘Sitaki-Nataka’ Raila Odinga Awe Rais Kenya.
|
KAMA kuna Mwanasiasa ambaye harakati na mienendo yake ya kisiasa ni utata mtupu, mafumbo na kiini macho hapa Afrika Mashariki, si mwingine bali Waziri wa zamani wa Barabara, Ujenzi na Nyumba, Raila Odinga.
|
»
Ni Kweli, Katika msafara wa Mamba na Kenge wamo.
|
MWAKA 1831, Seneta wa New York , William L. Marcy aliwahi kusema wakati wa majadiliano katika Bunge la Congress kwamba mshindi (wa uchaguzi) huja na majahili na mafisadi!
|
»
Bush ni pacha wa Baba yake
|
KATUNI ya gazeti la Newsweek la Septemba 12 mwaka jana, ilimwonyesha George W. Bush (Namba 43 White House) akipiga simu kutaka maafa ya janga la katrina, New Orleans , yakabiliwe kijeshi.
|
»
Wenye Vichwa vikubwa na matumbo membamba wapewe keki watunze
|
KATUNI iliyochorwa na King Kinya, katika gazeti, The Citizen la Oktoba 16 mwaka huu, juu ya mabadiliko ya Baraza la Mawaziri aliyofanya Rais Jakaya Kikwete, imeniacha hoi!
|
|
|