Kitaifa
   Siasa
   Jamii
   Uchumi
   Makala

 

 »  Home  »  Authors  »  Salehe Mmoro
Salehe Mmoro

Articles by this Author
» Pamba Hulimwa na Wenye Njaa, Huchumwa na Walioshiba
By Salehe Mmoro | Published 09/29/2006 | Uchumi | Rating:
WAKATI uzalishaji wa zao la pamba nchini ukiongezeka kutoka marobota 196,000 msimu wa 1999\2000 hadi takriban marobota 700,000 mwaka jana, wakulima walichuma hasara ya shilingi Bilioni 31.4 kufuatia wanunuzi matajiri kupeleka pamba chafu katika soko.
» Sakata la Darwin’s Nightmare, Acheni Unafiki, Muwe Wakweli
By Salehe Mmoro | Published 10/4/2006 | Jamii | Rating:
Kauli kwamba sangara wa Ziwa Victoria huuzwa Ulaya na kuacha mifupa, kwa kuwa siyo chaguo la kwanza la wakazi wa eneo hilo, ni uongo mtupu, upuuzi na unafiki uliopea.
» Heri Kulamba Miguu ya Kikwete Kuliko ya Mabeberu
By Salehe Mmoro | Published 10/7/2006 | Salehe Mmoro | Rating:
JUMAPILI, Oktoba Mosi mwaka huu, Gazeti la Sunday Nation la Kenya liliwakejeli waandishi wa habari wa Tanzania kwamba walikuwa wakikalia ‘kumlamba miguu’ Rais Jakaya Kikwete, na kukariri kila akisemacho, kama kasuku!
» CCM Kwa Kuwajengea Vibanda vya Udongo Wawekezaji wa Madini, Haina Akili?
By Salehe Mmoro | Published 10/7/2006 | Salehe Mmoro | Rating:
SEPTEMBA 22, mwaka 2004, Rais Mstaafu, Benjamin William Mkapa ,alipokuwa akihojiwa na Mtayarishaji wa kipindi maarufu cha Straight Talk Africa (VoA), Dk. Shaka Ssali, aliwatetea wawekezaji wa madini kwamba wamekuwa na manufaa makubwa kwa kuleta tija katika sekta hiyo na kusadia huduma za jamii nchini.
» ‘Sitaki-Nataka’ Raila Odinga Awe Rais Kenya.
By Salehe Mmoro | Published 10/7/2006 | Salehe Mmoro | Rating:
KAMA kuna Mwanasiasa ambaye harakati na mienendo yake ya kisiasa ni utata mtupu, mafumbo na kiini macho hapa Afrika Mashariki, si mwingine bali Waziri wa zamani wa Barabara, Ujenzi na Nyumba, Raila Odinga.
» Ni Kweli, Katika msafara wa Mamba na Kenge wamo.
By Salehe Mmoro | Published 10/14/2006 | Salehe Mmoro | Rating:
MWAKA 1831, Seneta wa New York , William L. Marcy aliwahi kusema wakati wa majadiliano katika Bunge la Congress kwamba mshindi (wa uchaguzi) huja na majahili na mafisadi!
» Bush ni pacha wa Baba yake
By Salehe Mmoro | Published 10/14/2006 | Salehe Mmoro | Rating:
KATUNI ya gazeti la Newsweek la Septemba 12 mwaka jana, ilimwonyesha George W. Bush (Namba 43 White House) akipiga simu kutaka maafa ya janga la katrina, New Orleans , yakabiliwe kijeshi.
» Wenye Vichwa vikubwa na matumbo membamba wapewe keki watunze
By Salehe Mmoro | Published 10/20/2006 | Salehe Mmoro | Rating:
KATUNI iliyochorwa na King Kinya, katika gazeti, The Citizen la Oktoba 16 mwaka huu, juu ya mabadiliko ya Baraza la Mawaziri aliyofanya Rais Jakaya Kikwete, imeniacha hoi!