Kitaifa
   Siasa
   Jamii
   Uchumi
   Makala

 

 »  Home  »  Authors  »  Nthelezi Nesaa
Nthelezi Nesaa

Articles by this Author
(Page 1 of 10)   « Back | 1 | 2 | 3 | 4 | 5 | Next »
» The Darwin's Nightmare
By Nthelezi Nesaa | Published 09/12/2006 | Nthelezi Nesaa | Rating:
Katika kuangalia namna Rais Jakaya Kikwete alivyoshupalia suala la filamu ya Darwin's nightmare, mtu yeyote mwenye akili anashangaa ni kwanini Rais anapoteze muda wake na wa taifa,heshima na mengine kama hayo kujiingiza kwenye kutafuta majibu ya maswali ambayo yaliishajibiwa.
» Documentary ya Sept 11
By Nthelezi Nesaa | Published 09/13/2006 | Nthelezi Nesaa | Rating:

Tarehe 11 Septemba ni siku ya wamarekani pamoja na dunia nzima kuwakumbuka wahanga wa mashambulizi maarufu kama 9/11. Dunia nzima hasa marafiki wa Marekani wanaungana na wamarekani kwa hali na mali.

» Serikali inamaanisha nini?
By Nthelezi Nesaa | Published 09/14/2006 | Nthelezi Nesaa | Rating:
Safu hii inaandika ikiwa na majanzi na simanzi ikishangaa hata kukerwa ni kwanini wananchi wanapata mateso na serikali ikiikalia kimya TANESCO.
» Je msalaba siyo alama ya upagani?
By Nthelezi Nesaa | Published 09/15/2006 | Nthelezi Nesaa | Rating:
Safu hii mara nyingi hujadili mambo mbali mbali bila kuacha nyuma suala zima la dini na mila zetu. Leo pasina kupitwa na wakati tumejikita kwenye kuijadili alama mojawapo kuu na kongwe ya mojawapo ya dini mojawapo kongwe. Tutajitahidi kuonyesha chanzo hata upogo urongo unaozunguka uwepo,ujio,utumizi na maana nzima ya alama hii ya msalaba.
» Ndugu Kikwete. Who is fooling whom is power rationing, an eye opener?
By Nthelezi Nesaa | Published 09/15/2006 | Nthelezi Nesaa | Rating:
What is going on in Tanzania with regards to power rationing annoys and sickens. If anything, what TANESCO is maliciously doing to our people begs more questions than answers.
» Mambo yazidi kuwa magumu kwa Bush.
By Nthelezi Nesaa | Published 09/15/2006 | Habari za Kimataifa , Nthelezi Nesaa | Unrated
Rais wa Marekani bwana George W. Bush anakabiliwa na mtihani mgumu baada ya chama chake cha Republican kuanza kumgeuka na kumpinga wazi wazi.
» Maskini Papa Bendicto XVI!
By Nthelezi Nesaa | Published 09/17/2006 | Nthelezi Nesaa | Rating:
Tarehe 15 Septemba dunia ilizizima hasa ile ya kiislamu. Ilizizima kwa hasira na jazba baada ya kiongozi wa kanisa la kikatoliki la Roma.
» Daudi Ahamdnajad na Goliati Bush mbele ya umoja wa mataifa.
By Nthelezi Nesaa | Published 09/20/2006 | Habari za Kimataifa , Nthelezi Nesaa | Rating:
Jana tarehe 19 Septemba, marais wa Marekani George W. Bush na mwenzake wa Iran, Mahamoud Ahamadnajad, walihutubia mkutano wa baraza la umoja wa mataifa jijini New York.
» Wapania kuwapunguzia mateso walimbwende.
By Nthelezi Nesaa | Published 09/21/2006 | Habari za Kimataifa , Nthelezi Nesaa | Unrated
Hivi karibuni mameya wa majiji ya Madrid nchini Hispania na Milano nchini Italia wamepania kuangalia upya suala zima la ushiriki na viwango katika mashindano ya mitindo na mavazi kwenye majiji yao.
» Saddam, Bush mahasimu wanaoshabihiana.
By Nthelezi Nesaa | Published 09/22/2006 | Habari za Kimataifa , Nthelezi Nesaa | Rating:
Katika kutafakari mambo na hali inavyoendelea nchini Irak,safu hii imeonelea ijaribu kutoa mpambano wa kimatukio  baina ya wababe wawili waliosababisha  mauaji makubwa na udhalilishaji wa kutisha katika  kitatange kinachoendelea nchini humo.
(Page 1 of 10)   « Back | 1 | 2 | 3 | 4 | 5 | Next »