Kitaifa
   Siasa
   Jamii
   Uchumi
   Makala

 

 »  Home  »  Authors  »  Habari Tanzania
Habari Tanzania

Articles by this Author
(Page 3 of 319)   « Back  | 1 | 2 | 3 | 4 | 5 | Next »
» Lindi na vivutio vyake vya kitalii visivyotumika ipasavyo
By Habari Tanzania | Published 05/11/2006 | Uchumi | Unrated
Watalii wengi hufika nchini kwa ajili ya kujionea vivutio mbalimbali wakiwemo wanyama, na kuchangia pato la taifa.
» CRDB Benki kusherehekea kutimiza miaka kumi kwa kusaidia jamii
By Habari Tanzania | Published 05/12/2006 | Jamii | Unrated
Lengo la utoaji wa misaada hiyo kwa taasisi mbalimbali hususani zile za kielimu ni kama njia ya shukurani kwa Watanzania ambao ndio wanamiliki asilimia sabini ya hisa za benki ya CRDB.
» Majambazi yateka machimbo
By Habari Tanzania | Published 05/14/2006 | Habari za Kitaifa | Unrated
Watu wanane wanaosadikiwa kuwa majambazi yakiwa na silaha yameyateka kwa muda wa saa saba, machimbo ya dhahabu ya Nyakahula, wilayani Biharamulo mkoani Kagera.
» Waliomteka mtoto wazidisha vituko
By Habari Tanzania | Published 05/14/2006 | Habari za Kitaifa | Unrated
Wateka nyara wa mtoto Humudy Aboubakary (3) pichani mkazi wa Magomeni Makurumla na Uweje, jijini Dar es Salaam ambao bado wanaendelea kumshikilia mtoto huyo, sasa wamempiga picha ..
» Hakuna atakayekufa njaa K’njaro-Dk.Shein
By Habari Tanzania | Published 05/14/2006 | Habari za Kitaifa | Unrated
Makamu wa Rais, Dk. Ali Mohammed Shein, amesema kuwa Serikali itahakikisha kwamba hakuna mtu atakayekufa njaa kwenye maeneo yote yaliyokumbwa na mafuriko mkoani Kilimanjaro
» Yanga yajibip yenyewe Kombe la Kagame
By Habari Tanzania | Published 05/14/2006 | Michezo | Unrated
Yanga ya Dar es Salaam ambayo ni moja ya timu tatu za Bara na yenye jukumu la kwanza kubakisha nyumbani Kombe la Kagame la klabu bingwa ya soka ya Afrika Mashariki na Kati kutokana na kuwa mshindi wa ligi kuu ya Bara mwaka jana, jana ilianza kwa kwa wasiwasi michuano hiyo na kuambulia sare ya 0-0 mbele ya St. George ya Ethiopia
» Khatib aishauri TFF kuzifuta Simba, Yanga
By Habari Tanzania | Published 05/14/2006 | Michezo | Unrated
Serikali imeliagiza Shirikisho la Soka, TFF, kuziondoa kwenye orodha ya wanachama wake klabu za Simba na Yanga endapo hazifanya marekebisho ya katiba zake ili zifanane na ya shirikisho hilo.
» Moro United watakiwa kukaza buti waitwe Stars
By Habari Tanzania | Published 05/14/2006 | Michezo | Rating:
Wachezaji wa timu ya Moro United ya Morogoro wametakiwa kujituma zaidi kwenye mazoezi na uwanjani na hatimaye kuongeza kiwango cha uchezaji ili wachaguliwe kwa wingi katika timu ya taifa, Taifa Stars.
» Zanzibar zawapa kisogo Wabara
By Habari Tanzania | Published 05/14/2006 | Michezo | Unrated
Timu za netiboli za Zanzibar mwaka huu hazikusajili wachezaji kutoka Tanzania Bara kwa ajili ya ligi kuu itakayoanza Juni kwenye uwanja wa Gymkhana, imeelezwa.
» Stars kuongezwa kipa kambi ijayo
By Habari Tanzania | Published 05/14/2006 | Michezo | Unrated
Ili kuleta ushindani wa kuwania nafasi, kambi ijayo ya timu ya taifa, Taifa Stars, itaongezewa mlinda mlango mmoja, imeelezwa.
(Page 3 of 319)   « Back  | 1 | 2 | 3 | 4 | 5 | Next »
Blogs by this Author
05/14/2006
Mahari kwa wanawake imekuwa ikitolewa kwa miaka kwa dhamira ya kuunganisha familia mbili za waoaji na waolewaji.