|
RUSHWA ni tatizo kubwa nchini Tanzania na nchi nyingine Duniani, katika kuhakikisha tatizo hilo linapungua, Rais Kikwete ameahidi kuwa bega kwa bega na kuwapa ushirikiano Taasisi ya Kuzuia Rushwa (PCB) katika harakati za kupambana na maovu hayo katika jamii. Mwandishi Gladness Mboma anaelezea zaidi katika makala haya.
|