Kitaifa
   Siasa
   Jamii
   Uchumi
   Makala

 

Search


Advanced Search

 »  Home  »  Habari za Kitaifa  »  USHIRIKA WA AKIBA NA MIKOPO KIBONDO UMEJIPATIA SHILINGI MILIONI MOJA NA LAKI NNE
USHIRIKA WA AKIBA NA MIKOPO KIBONDO UMEJIPATIA SHILINGI MILIONI MOJA NA LAKI NNE
By Habari Tanzania | Published  08/24/2006 | Habari za Kitaifa | Rating:
Na. Prosper Kwigize
Kibondo
 
Ushirika wa akiba na mikopo SACCOS wilayani Kibondo mkoani Kigoma umefanikiwa kukusanya kiasi cha zaidi ya shilingi milioni moja baad aya kufungua milango kwa wananchi kujiunga na ushirika huo.
 
Zaidi ya hisa 217 zenye thamani ya shilingi milioni moja na laki nane zimeuzwa na ushirika wa kuweka na kukopa Saccos wilayani Kibondo katika kipindi cha miezi mitatu iliyopita.
 
Hayo yamebainishwa na katibu wa muda wa Ushirika huo Bw Robert Ntendeli wakati akitoa taarifa katika mkutano wa uchanguzi wa viongozi wa Ushirika huo uliofanyika katika ukumbi wa kituo cha vijana wilayani Humo.
 
Bw Ntendeli amesema Ushirika Kibondo hadi sasa una hisa elfu themanini zenye thamani ya shilingi milioni mia nne.
 
Aidha amebainisha kuwa ili kuepukana na tatizo la Soccos kuhodhiwa na wanachama wachache wameweka kiwango ambacho kila mwanachama anauwezo wa kununua hisa na haruhusiwi kuzidisha hisa mia nne.
 
Wananchama wa ushirika huo ili weweze kupata mikopo kutoka katika ushirika,    anatakiwa awe na hisa isiyopungua mia moja na hamsini ambapo hisa moja inauzwa kwa shiringi elfu tano tu.
 
Uahirika wa Kibondo ulianzishwa   mwezi machi mwaka huo na kupewa usajiri  juni 19�mwaka kufuatia kauli mbiu ya serikali kuwahimiza wananchi kuunda na kujiunga katika vyama vya ushirika wa akiba na mikopo ili kupata uwezeshaji toka serikalini na katika mashirika ya fedha.

How would you rate the quality of this article?
1 2 3 4 5
Poor Excellent
Add comment
Comments


Article Options
Your Favorite Articles
View All Favorites
Articles to Read
You Recently Viewed...
Popular Articles
  1. Unaifahamu Jambo Forums?
  2. Barua ya Wazi kwa Rais Jakaya Kikwete
  3. Ghorofa Jijini lanusurika kuungua moto
  4. Is Tanzania a safe place to invest?
  5. Britsh M.P. calls for the suspension of aid to Tanzania.
No popular articles found.
Popular Authors
  1. Habari Tanzania
  2. Mzee Mwanakijiji
  3. Marshy Abdu
  4. Linda Garner
  5. Nthelezi Nesaa
  6. Prosper Kwigize
  7. Ramadhan Semtawa
  8. Salehe Mmoro
  9. Manyerere Jackton
  10. Ndesanjo Macha
No popular authors found.