Kitaifa
   Siasa
   Jamii
   Uchumi
   Makala

 

Search


Advanced Search

 »  Home  »  Habari za Kitaifa  »  Bunge kuendelea leo
Bunge kuendelea leo
By Habari Tanzania | Published  07/10/2006 | Habari za Kitaifa | Unrated
Na Dunstan Bahai, Dodoma
 
BUNGE linaendelea na kikao chake leo ambapo Waziri wa Maji, Stephen Wassira, atasoma hotuba ya makadirio na matumizi ya wizara yake.
 
Hotuba hiyo ambayo itasomwa mara baada ya kipindi cha maswali na majibu, mjadala wake utaanza na kuhitimishwa kesho jioni.
 
Wiki iliyopita, Bunge lilipitisha makadirio na matumizi ya wizara ya Miundombinu na ile ya Kilimo, Chakula na Ushirika.
 
Bunge liliahirishwa Alhamisi kutokana na Ijumaa kuwa siku ya Sikukuu ya Sabasaba ambapo baadhi ya wabunge walishiriki kwenye maonyesho hayo mjini Dar es Salaam.

How would you rate the quality of this article?
1 2 3 4 5
Poor Excellent
Add comment
Comments


Article Options
Your Favorite Articles
View All Favorites
Articles to Read
You Recently Viewed...
Popular Articles
  1. Unaifahamu Jambo Forums?
  2. Barua ya Wazi kwa Rais Jakaya Kikwete
  3. Ghorofa Jijini lanusurika kuungua moto
  4. Is Tanzania a safe place to invest?
  5. Britsh M.P. calls for the suspension of aid to Tanzania.
No popular articles found.
Popular Authors
  1. Habari Tanzania
  2. Mzee Mwanakijiji
  3. Marshy Abdu
  4. Linda Garner
  5. Nthelezi Nesaa
  6. Prosper Kwigize
  7. Ramadhan Semtawa
  8. Salehe Mmoro
  9. Manyerere Jackton
  10. Ndesanjo Macha
No popular authors found.