Kitaifa
   Siasa
   Jamii
   Uchumi
   Makala

 

Search


Advanced Search

 »  Home  »  Habari za Kitaifa  »  Amina Chifupa: Maisha, Misukosuko hadi kifo
Amina Chifupa: Maisha, Misukosuko hadi kifo
By Habari Tanzania | Published  07/1/2007 | Habari za Kitaifa | Rating:

SAFARI ya maisha na hatimaye kifo cha Mbunge kijana, Amina Chifupa, kinaelezwa kujumuisha misukosuko, harakati zilizoanza tangu kuzaliwa kwake hadi mauti yalipomfika mwanzoni mwa wiki hii.

Uchunguzi wa gazeti hili umebaini kuwepo maswali kadhaa kwa wananchi wa Tanzania, wanaohitaji kufahamu hasa kiini cha kifo chake huku familia yake ikiwa imeshatoa taarifa kuwa, Amina alifariki kifo cha kawaida kisichohusisha na matukio yoyote yasiyokuwa ya kawaida.

Mmoja wa wanafamilia ya Amina alikaririwa na vyombo vya habari akisema; �mwacheni Amina akapumzike kwa amani. Kifo chake ni kama vifo vya watu wengine, hivyo hakuna haja ya kuzua maswali kuhusu nini kilimsibu kabla ya kufa.�

Maswali yanayotokea katika jamii ni kutokana na tukio la ugonjwa wake kugubikwa na usiri tofauti na yalivyokuwa maisha ya Amina, ambapo jambo dogo alilofanya lilipata nafasi ya kuandikwa ama kwa yeye kulipeleka katika vyombo vya habari au kwa waandishi kulisaka.


How would you rate the quality of this article?
1 2 3 4 5
Poor Excellent
Add comment
Comments


Article Options
Your Favorite Articles
View All Favorites
Articles to Read
You Recently Viewed...
Popular Articles
  1. Unaifahamu Jambo Forums?
  2. Barua ya Wazi kwa Rais Jakaya Kikwete
  3. Ghorofa Jijini lanusurika kuungua moto
  4. Is Tanzania a safe place to invest?
  5. Britsh M.P. calls for the suspension of aid to Tanzania.
No popular articles found.
Popular Authors
  1. Habari Tanzania
  2. Mzee Mwanakijiji
  3. Marshy Abdu
  4. Linda Garner
  5. Nthelezi Nesaa
  6. Prosper Kwigize
  7. Ramadhan Semtawa
  8. Salehe Mmoro
  9. Manyerere Jackton
  10. Ndesanjo Macha
No popular authors found.