Kitaifa
   Siasa
   Jamii
   Uchumi
   Makala

 

Search


Advanced Search

 »  Home  »  Habari za Kitaifa  »  Waliokufa ajali ya Mohamed Trans wajulikana
Waliokufa ajali ya Mohamed Trans wajulikana
By Habari Tanzania | Published  06/17/2007 | Habari za Kitaifa | Unrated
na Mwandishi Wetu


WATU 16 waliokufa katika ajali ya basi la Mohamed Trans iliyotokea juzi mkoani hapa, wametambuliwa.

Kaimu Kamanda wa Polisi wa Mkoa wa Singida, Luwrance Tarimo aliwataja marehemu hao kuwa ni Mohamed Jafu, Ayubu Kiwanuka, Lucy Maluba, Chris Biseko, Khadala Mayumba, Kimalo Sichumwi, Haruna Siperi na Andrew Mahunde.

Wengine ni Mwanaila Hassan, Martina Mboya, George Winzangi, Monica Mwaputwa, Eaos Bibios, Laitoni Mlokozi, Mutalamila M. na Innocent Beberwa.

Kamanda Tarimo aliwataja baadhi ya majeruhi waliotambuliwa majina yao na ambao wanaendelea na matibabu ni Modi Omari, Gabriel Kaiza Mzirai, Mangera Marwa, Emmanuel Mwiza, Musa Agostino, Laurent Rweyemamu, Bakuna Pagrey, Nickson Ludovick na Paschal Kitengita.

Wengine ni Andrew John, Medrad Eliufoo, George Mabula, Chagu Mapianjo, Musaa Saidi, Paul Joseph, Dk. Adonia Makunja na David Katunga.

Kamanda Tarimo alisema polisi wamegudua kuwa baadhi ya abiria walitumia majina ya watu ambao awali walikata tiketi, lakini baadaye wakaahirisha safari hiyo.


How would you rate the quality of this article?
1 2 3 4 5
Poor Excellent
Add comment
Comments


Article Options
Your Favorite Articles
View All Favorites
Articles to Read
You Recently Viewed...
Popular Articles
  1. Unaifahamu Jambo Forums?
  2. Barua ya Wazi kwa Rais Jakaya Kikwete
  3. Ghorofa Jijini lanusurika kuungua moto
  4. Is Tanzania a safe place to invest?
  5. Britsh M.P. calls for the suspension of aid to Tanzania.
No popular articles found.
Popular Authors
  1. Habari Tanzania
  2. Mzee Mwanakijiji
  3. Marshy Abdu
  4. Linda Garner
  5. Nthelezi Nesaa
  6. Prosper Kwigize
  7. Ramadhan Semtawa
  8. Salehe Mmoro
  9. Manyerere Jackton
  10. Ndesanjo Macha
No popular authors found.