Comment #1
(Posted by Nyundo) Rating
Kwanza ni kwanini benki ya dunia ndiyo iseme? tanesco ni shirika la umma, inaendeshwa si kwa madhumuniya kupata faida kubwa, bali ni kujiendesha kwa ufanisi. kama mtazamo huo wa mashirika ya umma umebadilika, nivizuri basi hata syllubus zibadiliswe juu ya kufundisha mashirika ya umma yako kwa sababu zipi.
pia, shirika lenyewe linatumia pesa nyingi kulipa wataalamu wa kuangalia ama uendeshaji mzima wa shirika hilo. hao wanasemaje?
hao wanatubeep, tukizubaa tutakubaliana na mawazo yao.