Kitaifa
   Siasa
   Jamii
   Uchumi
   Makala

 

Search


Advanced Search

 »  Home  »  Habari za Kimataifa  »  Askari wa Iraq kortini kwa ubakaji
Askari wa Iraq kortini kwa ubakaji
By Habari Tanzania | Published  03/10/2007 | Habari za Kimataifa | Rating:

BAGHDAD, Iraq

ASKARI wanne wa Iraq wameshtakiwa kwa kumbaka mwanamke wa Kabila la Kisunni katika eneo la Talafar Kaskazini mwa Iraq, maafisa wamesema.

Washtakiwa hao wamekiri kubaka na hii ni mara ya pili kwa askari wa Iraq kuwabaka wanawake wa Kabila la Kisunni.

Generali Abdullah alisema amepokea malalamiko ya Wasunni kuhusiana na kundi la askari hao kuwa waliingia kwenye nyumba ya mwanamke huyo na kumbaka.

"Mmoja wa askari jina lake Mushtaq Taleb kutoka Basra. Alitaka kuwatisha kwa silaha waache nia yao lakini walimbaka ...," alisema Generali Abdullah.


How would you rate the quality of this article?
1 2 3 4 5
Poor Excellent
Add comment
Comments


Article Options
Popular Articles
  1. Unaifahamu Jambo Forums?
  2. Ghorofa Jijini lanusurika kuungua moto
  3. Britsh M.P. calls for the suspension of aid to Tanzania.
  4. Is Tanzania a safe place to invest?
  5. Nitaendelea kugombea nafasi za kisiasa- Balozi Karume
No popular articles found.
Popular Authors
  1. Habari Tanzania
  2. Mzee Mwanakijiji
  3. Nthelezi Nesaa
  4. Linda Garner
  5. Marshy Abdu
  6. Prosper Kwigize
  7. Salehe Mmoro
  8. Ramadhan Semtawa
  9. Manyerere Jackton
  10. Ndesanjo Macha
No popular authors found.