Kitaifa
   Siasa
   Jamii
   Uchumi
   Makala

 

Search


Advanced Search

 »  Home  »  Habari za Kimataifa  »  Jeshi la Israel latumia watoto kujihami
Jeshi la Israel latumia watoto kujihami
By Habari Tanzania | Published  03/10/2007 | Habari za Kimataifa | Rating:

NABLUS, Jerusalem

MAKUNDI ya haki za binadamu nchini Israel, yamelishitumu jeshi la Israel kwa kuwatumia watoto wadogo wawili wa Kipalestina kama ngao ili kujizuia na mashambulizi yalitokea katika eneo la Ukingo wa Magharibi.

Makundi hayo, yalisema kuwatumia watoto hao kama ngao ni kinyume na sheria za Israel na zile za kimataifa. Jeshi la Israeli, limesema litachunguza madai hayo.

Jeshi la Israel, limeushikilia mji wa Nablus kwa muda wa siku tano sasa kwa ajili ya kuyasaka makundi ya wanamgambo na kukusanya silaha.

Wanajeshi hao, wanafanya upekuzi wa nyumba hadi nyumba na wametangaza amri ya hatari ambayo itadumu kwa muda wasiku mbili.

Vijana hao, cousin Samah (24) na  Amid Omeira (15), walisema wanajeshi hao, waliwalazimisha kuingia katika nyumba moja iliyokuwa mbele yao ili waweze kujikinga na mashambulizi yaliokuwa yakifanywa na wanamgambo.


How would you rate the quality of this article?
1 2 3 4 5
Poor Excellent
Add comment
Comments


Article Options
This article has been added to your 'Articles to Read' list.
Your Favorite Articles
View All Favorites
Articles to Read
You Recently Viewed...
Popular Articles
  1. Unaifahamu Jambo Forums?
  2. Barua ya Wazi kwa Rais Jakaya Kikwete
  3. Ghorofa Jijini lanusurika kuungua moto
  4. Is Tanzania a safe place to invest?
  5. Britsh M.P. calls for the suspension of aid to Tanzania.
No popular articles found.
Popular Authors
  1. Habari Tanzania
  2. Mzee Mwanakijiji
  3. Marshy Abdu
  4. Linda Garner
  5. Nthelezi Nesaa
  6. Prosper Kwigize
  7. Ramadhan Semtawa
  8. Salehe Mmoro
  9. Manyerere Jackton
  10. Ndesanjo Macha
No popular authors found.