Kitaifa
   Siasa
   Jamii
   Uchumi
   Makala

 

Search


Advanced Search

 »  Home  »  Habari za Kitaifa  »  Giza lamzuia Waziri wa Sayansi kuhutubia
Giza lamzuia Waziri wa Sayansi kuhutubia
By Habari Tanzania | Published  02/26/2007 | Habari za Kitaifa | Rating:
na Mustafa Leu, Arusha

WAZIRI wa Sayansi, Teknolojia na Elimu ya Juu, Profesa Peter Msolla, juzi alishindwa kuwahutubia wanachuo wa Chuo Kikuu Huria (OUT) kituo cha Arusha kutokana na giza.

Prof. Msolla, ambaye alitarajiwa kufika chuoni hapo saa 9.30 alasiri, alichelewa, na badala yake alifika saa 12.00 jioni na kuanza kutembezwa katika maeneo mbalimbali ya chuo.

Baada ya kukagua eneo la chuo, alikwenda jukwaani kwa ajili ya kutoa hotuba kwa jumuiya ya wanachuo, ambayo hata hivyo alilazimika kuikatisha baada ya kushindwa kusoma kutokana na giza, licha ya kuwashwa kwa taa za gari dogo aina yaToyota, Land Cruiser ili aweze kuona vizuri..

Prof. Msolla pia hakupata muda wa kuulizwa maswali na wanajumuiya hao kama ilivyokuwa imepangwa.


How would you rate the quality of this article?
1 2 3 4 5
Poor Excellent
Add comment
Comments


Article Options
Your Favorite Articles
View All Favorites
Articles to Read
You Recently Viewed...
Popular Articles
  1. Unaifahamu Jambo Forums?
  2. Barua ya Wazi kwa Rais Jakaya Kikwete
  3. Ghorofa Jijini lanusurika kuungua moto
  4. Is Tanzania a safe place to invest?
  5. Britsh M.P. calls for the suspension of aid to Tanzania.
No popular articles found.
Popular Authors
  1. Habari Tanzania
  2. Mzee Mwanakijiji
  3. Marshy Abdu
  4. Linda Garner
  5. Nthelezi Nesaa
  6. Prosper Kwigize
  7. Ramadhan Semtawa
  8. Salehe Mmoro
  9. Manyerere Jackton
  10. Ndesanjo Macha
No popular authors found.