Kitaifa
   Siasa
   Jamii
   Uchumi
   Makala

 

Search


Advanced Search

 »  Home  »  Habari za Kitaifa  »  Magari mazito yazuiwa mbugani Serengeti
Magari mazito yazuiwa mbugani Serengeti
By Habari Tanzania | Published  02/15/2007 | Habari za Kitaifa | Unrated
Na Abeid Poyo

HIFADHI ya Wanyama ya Serengeti mkoani Mara, imepiga marufuku magari yenye uzito zaidi ya tani tatu, kutumia barabara ya Naabi mpaka Fort Ikoma inayopita ndani ya hifadhi hiyo.

Kwa mujibu wa taarifa za uongozi wa hifadhi hiyo, amri ya kuzuia magari yenye uzito mkubwa kutumia njia hiyo, inatokana na uharibifu wa barabara hiyo unaosababishwa na mvua kubwa zinazoendelea kunyesha katika hifadhi hizo na maeneo ya mkoa wa Mara.

" Tunashauri magari hayo yapite barabara mbadala.....JItihada zitafanyika kurekebisha barabara hiyo mara halimya hewa itakaporuhusu ili huduma zirejeshwe tena" inasema taarifa hiyo.

Hata hivyo, taarifa inasema amri hiyo haitoyahusu magari yanayotumika kusafirisha watalii katika mbuga hiyo kubwa nchini. Uzito wa magari hayo, haukutajwa.


How would you rate the quality of this article?
1 2 3 4 5
Poor Excellent
Add comment
Comments


Article Options
Your Favorite Articles
View All Favorites
Articles to Read
You Recently Viewed...
Popular Articles
  1. Unaifahamu Jambo Forums?
  2. Barua ya Wazi kwa Rais Jakaya Kikwete
  3. Ghorofa Jijini lanusurika kuungua moto
  4. Is Tanzania a safe place to invest?
  5. Britsh M.P. calls for the suspension of aid to Tanzania.
No popular articles found.
Popular Authors
  1. Habari Tanzania
  2. Mzee Mwanakijiji
  3. Marshy Abdu
  4. Linda Garner
  5. Nthelezi Nesaa
  6. Prosper Kwigize
  7. Ramadhan Semtawa
  8. Salehe Mmoro
  9. Manyerere Jackton
  10. Ndesanjo Macha
No popular authors found.