Kitaifa
   Siasa
   Jamii
   Uchumi
   Makala

 

Search


Advanced Search

 »  Home  »  Habari za Kitaifa  »  Balozi wa Amani kuwatetea wa Korea ya Kusini
Balozi wa Amani kuwatetea wa Korea ya Kusini
By Habari Tanzania | Published  02/14/2007 | Habari za Kitaifa | Unrated

Na Mwasu Sware

BALOZI wa Amani nchini, Paul Kimiti amesema atatumia fursa ya kushiriki kikao cha cha Kamati ya Shirikisho la Amani duniani (IFWP), kinatarajia kufanyika Korea ya Kusini wiki ijayo kujadiliana na wawekezaji wa nchini humo kwa ajili ya mradi wa mashamba makubwa ya kibiashara nchini.

Kimiti aliyasema hayo jijini Dar es Salaam juzi wakati akizungumza na Mwananchi kuhusiana na kikao hicho kinachoratarajiwa kuanza februari 20 hadi 24.

Kwa mujibu wa Kimiti, lengo ni kutaka mradi wa mashamba hayo unaotarajiwa kuwekwa Namtumbo uwe kama mfano wa kuwafundishia wakulima.

Vilevile alisema atazungumzia uboreshaji wa miundombinu, sekta za elimu, kilimo na viwanda vya usindikaji nchini.

Wengine wanaotarajiwa kuhudhuriwa mkutano huo ni marais wastaafu, maspika wa bunge na viongozi mbalimbali na kwamba hapa nchini ni pamoja na Spika wa Bunge, Samwel Sitta na mjane wa Baba wa Taifa, Mama Maria Nyerere.


How would you rate the quality of this article?
1 2 3 4 5
Poor Excellent
Add comment
Comments


Article Options
Your Favorite Articles
View All Favorites
Articles to Read
You Recently Viewed...
Popular Articles
  1. Unaifahamu Jambo Forums?
  2. Barua ya Wazi kwa Rais Jakaya Kikwete
  3. Ghorofa Jijini lanusurika kuungua moto
  4. Is Tanzania a safe place to invest?
  5. Britsh M.P. calls for the suspension of aid to Tanzania.
No popular articles found.
Popular Authors
  1. Habari Tanzania
  2. Mzee Mwanakijiji
  3. Marshy Abdu
  4. Linda Garner
  5. Nthelezi Nesaa
  6. Prosper Kwigize
  7. Ramadhan Semtawa
  8. Salehe Mmoro
  9. Manyerere Jackton
  10. Ndesanjo Macha
No popular authors found.