Kitaifa
   Siasa
   Jamii
   Uchumi
   Makala

 

Search


Advanced Search

 »  Home  »  Habari za Kitaifa  »  Waziri mkuu kwenda Ufaransa kesho
Waziri mkuu kwenda Ufaransa kesho
By Habari Tanzania | Published  02/12/2007 | Habari za Kitaifa | Rating:
Shirika la umoja wa mataifa linalohudumia wakimbizi UNHCR limetoa ufadhili wa shilingi milioni kumi na sita kusaidia ujenzi wa shule ya sekondari ya kata ya Nkundutsi wilayani Kasulu.
 
Afisa mtendaji wa kata ya Muzye wilayani humo Bw. Ezekiel Ndayeza amebainisha hayo leo wakati akitoa taarifa kwa mkuu wa wilaya ya Kasulu Said Bwanamdogo aliyekuwa katika ukaguzi wa shule hiyo.
 
Bw. Ndayeza amebainisha kuwa ufadhili huo kutoka UNHCR umetokana na juhudi za wananchi kuchangia nguvu zao pamoja na kutoa pesa zilizofanikisha ujenzi wa madarasa mawili.
 
Amesema wananchi wameonesha moyo wa hali ya juu katika ujenzi huo baada ya kusukumwa na serikali pamoja na kuwepo kwa hamasa kubwa ya kielimu katika kata yao .
 
Aidha wananchi waliokuwa katika eneo la ujenzi wa shule hiyo wamempongeza mkuu wa wilaya ya Kasulu kwa juhudi zake katika kuhimiza masuala ya elimu na wameahidi kumpa ushirikiano zaidi.                             
 
Kwa upande wake mkuu wa wilaya ya Kasulu Said Bwanamdogo amewahimiza wananchi kuandaa zana za ujenzi zisizo za dukani ili kurahisisha ujenzi huo hususani nyakati za kiangazi.
 
Wilaya ya Kasulu inatarajia kuwa na shule za sekondari 35 kutoka 24 zilizopo, ifikapo mwishoni mwa mwaka huu

How would you rate the quality of this article?
1 2 3 4 5
Poor Excellent
Add comment
Comments
  • Comment #1 (Posted by Jered)
    Rating
    Anaenda wapi huyu mlarushwa? Kwani waziri wa mambo ya nchi za nje hawezi kumuwakilisha rais. Inaelekea ameiomba hii safari ati nae aende ufaransa. Kaa nyumbani ufanye kazi mzee au unatafuta umaarufu?
     
Submit Comment


Article Options
Your Favorite Articles
View All Favorites
Articles to Read
You Recently Viewed...
Popular Articles
  1. Unaifahamu Jambo Forums?
  2. Barua ya Wazi kwa Rais Jakaya Kikwete
  3. Ghorofa Jijini lanusurika kuungua moto
  4. Is Tanzania a safe place to invest?
  5. Britsh M.P. calls for the suspension of aid to Tanzania.
No popular articles found.
Popular Authors
  1. Habari Tanzania
  2. Mzee Mwanakijiji
  3. Marshy Abdu
  4. Linda Garner
  5. Nthelezi Nesaa
  6. Prosper Kwigize
  7. Ramadhan Semtawa
  8. Salehe Mmoro
  9. Manyerere Jackton
  10. Ndesanjo Macha
No popular authors found.