Kitaifa
   Siasa
   Jamii
   Uchumi
   Makala

 

Search


Advanced Search

 »  Home  »  Habari za Kitaifa  »  Wahitaji Shilingi milioni 500
Wahitaji Shilingi milioni 500
By Habari Tanzania | Published  02/7/2007 | Habari za Kitaifa | Rating:
TAASISI ya kulea watoto yatima na wanaoishi katika mazingira magumu ya J.C Foundation for Needy, inatafuta shilingi milioni 500 ili kujenga kituo cha kulelea watoto.

Akizungunza na waandishi wa habari jijini Dar es Salaam jana,Mwenyekiti wa Taasisi hiyo, Julius Makombe, alisema wameshakamilisha michoro wanachohitaji ni ufadhili.

“…katika akaunti yetu tunafedha taslimu Sh millioni 1.6 tu ambazo hazitoshelezi chochote,” alisema Makombe na kuongeza kuwa bado hawajajua walijenge wapi. Jengo hilo linatarajiwa kuwa na uwezo wa kuchukua watoto 500 au zaidi .

How would you rate the quality of this article?
1 2 3 4 5
Poor Excellent
Add comment
Comments


Article Options
Your Favorite Articles
View All Favorites
Articles to Read
You Recently Viewed...
Popular Articles
  1. Unaifahamu Jambo Forums?
  2. Barua ya Wazi kwa Rais Jakaya Kikwete
  3. Ghorofa Jijini lanusurika kuungua moto
  4. Is Tanzania a safe place to invest?
  5. Britsh M.P. calls for the suspension of aid to Tanzania.
No popular articles found.
Popular Authors
  1. Habari Tanzania
  2. Mzee Mwanakijiji
  3. Marshy Abdu
  4. Linda Garner
  5. Nthelezi Nesaa
  6. Prosper Kwigize
  7. Ramadhan Semtawa
  8. Salehe Mmoro
  9. Manyerere Jackton
  10. Ndesanjo Macha
No popular authors found.