Kitaifa
   Siasa
   Jamii
   Uchumi
   Makala

 

Search


Advanced Search

 »  Home  »  Habari za Kitaifa  »  Magari yaanza kupita Lugoba
Magari yaanza kupita Lugoba
By Habari Tanzania | Published  01/5/2007 | Habari za Kitaifa | Unrated

Na Julieth Ngarabali, Kibaha

MAWALIANO kati ya Dar es Salaam na mikoa ya Kaskazini na nchi jirani yaliyokatika katika daraja la Lugoba yamerejea katika hali ya kawaida baada ya kujazwa kifusi katika sehemu ya juu ya daraja jipya.

Magari yaliyokuwa yamekwama katika yalianza kupita juzi jioni kwa kutumia upande mmoja wa daraja kuruhusu kazi ya kutengeneza daraja iendelee.

Mhandisi wa Ujenzi Mkoa wa Pwani, Happyness Mgalula, alisema matengenezo yalifanyika juzi jioni kwa kutengeneza daraja la muda ili magari yaweze kupita.

Meneja huyo amewaondoa wasiwasi wananchi wanaotumia barabara ya Chalinze-Segera kuwa inapitika bila matatizo yoyote baada ya muda mfupi.


How would you rate the quality of this article?
1 2 3 4 5
Poor Excellent
Add comment
Comments


Article Options
Your Favorite Articles
View All Favorites
Articles to Read
You Recently Viewed...
Popular Articles
  1. Unaifahamu Jambo Forums?
  2. Barua ya Wazi kwa Rais Jakaya Kikwete
  3. Ghorofa Jijini lanusurika kuungua moto
  4. Is Tanzania a safe place to invest?
  5. Britsh M.P. calls for the suspension of aid to Tanzania.
No popular articles found.
Popular Authors
  1. Habari Tanzania
  2. Mzee Mwanakijiji
  3. Marshy Abdu
  4. Linda Garner
  5. Nthelezi Nesaa
  6. Prosper Kwigize
  7. Ramadhan Semtawa
  8. Salehe Mmoro
  9. Manyerere Jackton
  10. Ndesanjo Macha
No popular authors found.