Mfungo mtukufu wa Ramadhani umeisha leo hii na kesho watanzania wataungana na waislamu wenzao dunia nzima katika kusheherekea sikukuu ya IDD-EL-FITR ni sikukuu kubwa katika dini ya kiislamu
Enyi mlioamini mmefaradhishiwa kufunga saumu kama walivyofaradhishiwa kabla yenu ili mpate kumcha Mwenyezi mungu,na waislamu walilitekeleza amrisho hilo la muumba na kulimaliza salama tunamshukuru Mwenyezi mungu.kesho hata kama unaijua vipi dini ni sikukuu na haitakiwi kufunga ni kharam,tusherekee kwa pamoja bla kufanya mambo yoyote ambayo ni kinyume na sheria za mwenyezi mungu
Habaritanzania.com inawatakia waislamu wote na watanzania kwa ujumla
IDD-EL-FITR njema
Comments
Comment #1
(Posted by mkojoaji) Rating
Mpenzi mi nal aidina,
Mpenzi wangu minal faidhina,
Kwa mapenzi na furaha,
Mpenzi wangu ninakupa
Mkono wa IDD
Mi nakupa
Mkono wa IDD
Ea ndugu tupeane
Mkono wa Idd
IDD MUBARAK
Comment #2
(Posted by Floriana) Rating
Today is great day for those who were fasting the holly month in islamic calender(RAMADAAN)is a day of happiness and joy.
Enjoy your hollyday
EDD MUBARAK
BOA FESTA
Comment #3
(Posted by mkojoaji) Rating
mpenzi wangu minal aidina
mpenzi wangu minal faidhina
kwa mapenzi na furaha
mpenzi wangu ninakupa
mkono wa idd
watanzania tupeane
mkono wa idd
idd njema
IDD MUBARAK