Kitaifa
   Siasa
   Jamii
   Uchumi
   Makala

 

Search


Advanced Search

 »  Home  »  Habari za Kitaifa  »  Machinga wachekelea ’ulaji’ soko la Mchikichini
Machinga wachekelea ’ulaji’ soko la Mchikichini
By Habari Tanzania | Published  10/7/2006 | Habari za Kitaifa | Rating:
Machinga waliohamishiwa soko la Mchikichini wakitokea mitaa ya Kongo na kwingineko Kariakoo wamedai kufurahishwa na namna biashara zao zilivyochanganya mapema katika soko hilo.

Hali hiyo ni tofauti na hofu ya wengi ambao hapo awali waliamini kuwa soko hilo halilipi na biashara zao zitadoda.

Japhet Kaaya, mmoja wa machinga hao amiambia Alasiri kuwa ’ulaji’ unaotokana na kasi nzuri ya biashara zao pale Mchikichini umewapa matumaini mapya ya kufanikiwa zaidi na kujikwamua kiuchumi.

”Awali biashara ilikuwa ngumu katika soko hili... lakini baada ya operesheni iliyowafanya wengi wahamie Mchikichini, mambo sasa yamekuwa mazuri kuliko hata tulivyotarajia. Wateja wanamiminika kwa wingi na hili linatupa matumaini,” amesema Bw. Kaaya.

Naye Bi. Susan amesema kuwa kufuatia biashara zao kuchanganya, hivi sasa kuna dalili ya kuzuka zogo la kuwania nafasi za kuendesha baishara hizo hasa baada ya wengine kujikuta wakikosa nafasi huku baadhi wakimiliki viwanja zaidi ya viwili.

Zoezi la kuwahamisha wamachinga toka katika maeneo yasiyoruhusiwa ni utekelezaji wa agizo la Serikali chini ya usimamizi wa Mkuu wa Mkoa wa Dar Bw. Abbas Kandoro.

How would you rate the quality of this article?
1 2 3 4 5
Poor Excellent
Add comment
Comments


Article Options
Your Favorite Articles
View All Favorites
Articles to Read
You Recently Viewed...
Popular Articles
  1. Unaifahamu Jambo Forums?
  2. Barua ya Wazi kwa Rais Jakaya Kikwete
  3. Ghorofa Jijini lanusurika kuungua moto
  4. Is Tanzania a safe place to invest?
  5. Britsh M.P. calls for the suspension of aid to Tanzania.
No popular articles found.
Popular Authors
  1. Habari Tanzania
  2. Mzee Mwanakijiji
  3. Marshy Abdu
  4. Linda Garner
  5. Nthelezi Nesaa
  6. Prosper Kwigize
  7. Ramadhan Semtawa
  8. Salehe Mmoro
  9. Manyerere Jackton
  10. Ndesanjo Macha
No popular authors found.