Kitaifa
   Siasa
   Jamii
   Uchumi
   Makala

 

Search


Advanced Search

 »  Home  »  Habari za Kitaifa  »  Angalia Maziwa yako ewe mwanamke
Angalia Maziwa yako ewe mwanamke
By Marshy Abdu | Published  10/6/2006 | Habari za Kitaifa | Unrated
Angalia Maziwa yako ewe Mwanamke

Kansa ya maziwa ni kansa anayoipata mwanamke yeyote wakiwemo watanzania,

Kansa inamuathiri mwanamke mmoja kati ya wanane Duniani kwa maana hiyo hiyo hu ni mwezi wako wewe mwanamama wa kuwa makini na kuyatathimini maziwa yako kwa kipindi na siku zote za uhai wako,

Mgonjwa wa kansa anaweza kuishi vizuri na kwa muda mrefu kwa kufuata masharti ya kula vizuri na kuwa na uzito wa kawaida

Mmoja kati ya waathirika wa ugonjwa huo bibie Vanesa Pillay kutoka Durban Afrika ya Kusini anchokifanya yeye sasa hivi ni kuwa makini na maziwa yake na anaishi kama mtu wa kawaida tu,

Dalili za ugonjwa huu ni mabadiliko ya maziwa kutoka katika hali ya kawaida na kuwa na uvimbe ndani yake na inakuwa vigumu kuutambua mwazoni kwa macho na unapochukua muda mrefu pia huwa ni vigumu kutibika

Habari Tanzania.com inawatakiwa kina mama wote duniani kuwa makini katika mwezi huu  wa ugonjwa huu na kila mara


How would you rate the quality of this article?
1 2 3 4 5
Poor Excellent
Add comment
Comments


Article Options
Popular Articles
  1. Unaifahamu Jambo Forums?
  2. Ghorofa Jijini lanusurika kuungua moto
  3. Britsh M.P. calls for the suspension of aid to Tanzania.
  4. Is Tanzania a safe place to invest?
  5. Nitaendelea kugombea nafasi za kisiasa- Balozi Karume
No popular articles found.
Popular Authors
  1. Habari Tanzania
  2. Mzee Mwanakijiji
  3. Nthelezi Nesaa
  4. Linda Garner
  5. Marshy Abdu
  6. Prosper Kwigize
  7. Salehe Mmoro
  8. Ramadhan Semtawa
  9. Manyerere Jackton
  10. Ndesanjo Macha
No popular authors found.