Kitaifa
   Siasa
   Jamii
   Uchumi
   Makala

 

Search


Advanced Search

 »  Home  »  Habari za Kitaifa  »   Govt kula sahani moja Darwins. Nightmare
Govt kula sahani moja Darwins. Nightmare
By Habari Tanzania | Published  09/17/2006 | Habari za Kitaifa | Rating:
Serikali inadai imempiga bao mwandishi na mtunzi wa documentary ya Darwin’s Nightmare. Kilichofanyika na ambacho walitakiwa wafanye hata kabla ya longolongo lililotinga hadi Bungeni ni kuweka taarifa kupinga yale yote yaliyorushwa na kuonyeshwa ndani ya filamu hiyo.

 http://www.darwinsnightmare.net/ 

Kwa kusaka documentary hiyo ndani ya search engine ya google.com, link ya kwanza utakayopata ni tamko la serikali linaloelezea msimamo wake juu ya kila kilichoko ndani ya documentary hiyo iliyojadiliwa Bungeni na mikakati ya kukabiliana nayo kupangwa.

Filamu hiyo ya Hubert Sauper imeitikisa Bongo kwa kuihusisha na ulaji mapanki (si yaliyooza), biashara ya silaha, njaa, watoto wa mitaani na ukahaba uliokithiri unaofanyika katika jiji la Mwanza nchini Tanzania.

Hata hivyo maelezo ya Hubert Sauper yanadai kuwa alifanya hivyo ili kuisadia Bongo ijulikane zaidi na iweze kupatiwa misaada ya kukabiliana na hali hiyo.

Ili kupata tamko la serikali fungua link hii

http://www.darwinsnightmare.net/  

SOURCE: DARHOTWIRE.COM

http://www.darhotwire.com/dar/Biashara/2006/08/22/23099.html

How would you rate the quality of this article?
1 2 3 4 5
Poor Excellent
Add comment
Comments
  • Comment #1 (Posted by kingodi)
    Rating
    Serikali inajisumbua tu.Sasa mbona bunge na rais wetu haikemei na kuisema ile ya madini ya tanzanite kule mererani iliyotengenezwa kwa msaada wa 100% na watanzania wazalendo?tena ni waheshimiwa? au hawayajui?au hilo wao wanalipenda? Acheni uzushi ndiyo maana hatuendelei.
     
Submit Comment


Article Options
This article has been added to your 'Articles to Read' list.
Your Favorite Articles
View All Favorites
Articles to Read
You Recently Viewed...
Popular Articles
  1. Unaifahamu Jambo Forums?
  2. Barua ya Wazi kwa Rais Jakaya Kikwete
  3. Ghorofa Jijini lanusurika kuungua moto
  4. Is Tanzania a safe place to invest?
  5. Britsh M.P. calls for the suspension of aid to Tanzania.
No popular articles found.
Popular Authors
  1. Habari Tanzania
  2. Mzee Mwanakijiji
  3. Marshy Abdu
  4. Linda Garner
  5. Nthelezi Nesaa
  6. Prosper Kwigize
  7. Ramadhan Semtawa
  8. Salehe Mmoro
  9. Manyerere Jackton
  10. Ndesanjo Macha
No popular authors found.