<?xml version="1.0" encoding="utf-8"?><?xml-stylesheet href="http://www.habaritanzania.com/templates/Default/RssDisplay.xslt" type="text/xsl"?>
		<rss version="2.0">
		  <channel>
				<title>Habari Tanzania - Articles - Habari za Kimataifa</title>
				<link>http://www.habaritanzania.com</link>
				<description />
				<language>en-us</language>
				<copyright>http://www.habaritanzania.com</copyright>
				<generator>N/A</generator>
				<webMaster>info@habaritanzania.com</webMaster>
				<lastBuildDate>Sat, 22 Nov 2008 08:24:55 +0300</lastBuildDate>
				<ttl>20</ttl>

					<item>
					  <title>Obama atishiwa maisha</title>
					  <link>http://www.habaritanzania.com/articles/4292/1/Obama-atishiwa-maisha</link>
					  <description>KAMPENI za kuwania kiti cha urais wa Marekani katika uchaguzi unaotarajiwa kufanyika Novemba mwaka huu, zimepata sura mpya, baada ya mmoja wa wagombea wa nafasi hiyo kutishiwa kuuawa. </description>
					  <author>washawashaupupu@yahoo.com (Marshy Abdu)</author>
					  <pubDate>Sun, 10 Aug 2008 00:00:00 +0300</pubDate>
					 
					</item>

				

					<item>
					  <title> Mbeki amjulia hali Balozi Mwambulukutu</title>
					  <link>http://www.habaritanzania.com/articles/4275/1/-Mbeki-amjulia-hali-Balozi-Mwambulukutu</link>
					  <description>RAIS Thabo Mbeki wa Afrika Kusini, juzi alimtembelea hospitali na kumjulia hali Balozi wa Tanzania nchini humo, Emmanuel Mwambulukutu.</description>
					  <author>info@habaritanzania.com (Habari Tanzania)</author>
					  <pubDate>Sat, 05 Jan 2008 00:00:00 +0300</pubDate>
					 
					</item>

				

					<item>
					  <title>Lucky Dube auawa</title>
					  <link>http://www.habaritanzania.com/articles/4214/1/Lucky-Dube-auawa</link>
					  <description>MAISHA ya mwanamuziki maarufu wa reggae, Lucky Philip Dube, yalikatishwa ghafla juzi kwa kuuawa kwa risasi na watu wasiojulikana.</description>
					  <author>washawashaupupu@yahoo.com (Marshy Abdu)</author>
					  <pubDate>Sat, 20 Oct 2007 00:00:00 +0300</pubDate>
					 
					</item>

				

					<item>
					  <title>Askari wa Iraq kortini kwa ubakaji</title>
					  <link>http://www.habaritanzania.com/articles/3261/1/Askari-wa-Iraq-kortini-kwa-ubakaji</link>
					  <description>ASKARI wanne wa Iraq wameshtakiwa kwa kumbaka mwanamke wa Kabila la Kisunni katika eneo la Talafar Kaskazini mwa Iraq, maafisa wamesema.</description>
					  <author>info@habaritanzania.com (Habari Tanzania)</author>
					  <pubDate>Sat, 10 Mar 2007 00:00:00 +0300</pubDate>
					 
					</item>

				

					<item>
					  <title>Waandamanaji 600 wakamatwa Sweden</title>
					  <link>http://www.habaritanzania.com/articles/3260/1/Waandamanaji-600-wakamatwa-Sweden</link>
					  <description>WATU zaidi ya 600 wamekamatwa na polisi nchini Sweden katika mfulilizo wa maadamano ya vurugu ya siku tatu ya kupinga kuondolewa kwa nguvu katika jengo linalotumika kwa biashara mjini Copenhagen, Sweden.</description>
					  <author>info@habaritanzania.com (Habari Tanzania)</author>
					  <pubDate>Sat, 10 Mar 2007 00:00:00 +0300</pubDate>
					 
					</item>

				

					<item>
					  <title>Jeshi la Israel latumia watoto kujihami</title>
					  <link>http://www.habaritanzania.com/articles/3259/1/Jeshi-la-Israel-latumia-watoto-kujihami</link>
					  <description>MAKUNDI ya haki za binadamu nchini Israel, yamelishitumu jeshi la Israel kwa kuwatumia watoto wadogo wawili wa Kipalestina kama ngao ili kujizuia na mashambulizi yalitokea katika eneo la Ukingo wa Magharibi.</description>
					  <author>info@habaritanzania.com (Habari Tanzania)</author>
					  <pubDate>Sat, 10 Mar 2007 00:00:00 +0300</pubDate>
					 
					</item>

				

					<item>
					  <title>Bush apokelewa kwa maandamano Brazil</title>
					  <link>http://www.habaritanzania.com/articles/3258/1/Bush-apokelewa-kwa-maandamano-Brazil</link>
					  <description>RAIS wa Marekani George W. Bush amepokelewa kwa maandamano&#160; yalioambatana na vurugu nchini Brazil kutokana na Marekani kuivamia Iraq na kusababisha vita nchini humo.</description>
					  <author>info@habaritanzania.com (Habari Tanzania)</author>
					  <pubDate>Sat, 10 Mar 2007 00:00:00 +0300</pubDate>
					 
					</item>

				

					<item>
					  <title>Mawaziri Iraq matumbo joto, wahofia mabadiliko</title>
					  <link>http://www.habaritanzania.com/articles/3242/1/Mawaziri-Iraq-matumbo-joto%2C-wahofia-mabadiliko</link>
					  <description>WAZIRI MKUU wa Iraq, Nouri al-Maliki amesema wiki mbili zijazo atafanya mabadiliko ya baraza lake la mawaziri ili kumaliza mgawanyiko wa makundi ya kikabila katika Serikali yake na kuleta umoja wa kitaifa.</description>
					  <author>info@habaritanzania.com (Habari Tanzania)</author>
					  <pubDate>Thu, 08 Mar 2007 00:00:00 +0300</pubDate>
					 
					</item>

				

					<item>
					  <title>Ghana: Yasherehekea miaka 50 ya uhuru leo gizani</title>
					  <link>http://www.habaritanzania.com/articles/3224/1/Ghana%3A-Yasherehekea-miaka-50-ya-uhuru-leo-gizani</link>
					  <description>LEO wananchi wa Ghana duniani kote pamoja na wapenda amani duniani wanasherehekea miaka 50 ya uhuru wa taifa hilo na kuweka rekodi ya kuwa taifa la kwanza la weusi barani Afrika kujipatia uhuru kutoka kwa dola ya Kiingereza, iliyokuwa inaporomoka baada ya kuwa kinara wa dunia kabla ya kuibuka kwa Marekani na Urusi.</description>
					  <author>info@habaritanzania.com (Habari Tanzania)</author>
					  <pubDate>Tue, 06 Mar 2007 00:00:00 +0300</pubDate>
					 
					</item>

				

					<item>
					  <title>Wakamatwa kwa mlipuko wa treni India</title>
					  <link>http://www.habaritanzania.com/articles/3134/1/Wakamatwa-kwa-mlipuko-wa-treni-India</link>
					  <description>POLISI nchini India imesema inawashikilia watu watatu wanaodaiwa kuhusika na ulipuaji wa treni ya abiria ya Samjhauta (Friendship) Express) iliyokuwa ikitokea India kuelekea Pakistan.</description>
					  <author>info@habaritanzania.com (Habari Tanzania)</author>
					  <pubDate>Sun, 25 Feb 2007 00:00:00 +0300</pubDate>
					 
					</item>

				

					<item>
					  <title>Wakutana London kuiwekea vikwazo Iran</title>
					  <link>http://www.habaritanzania.com/articles/3133/1/Wakutana-London-kuiwekea-vikwazo-Iran</link>
					  <description>WANACHAMA wa kudumu wa baraza la usalama la Umoja wa Mataifa (UNSC) wanatarajiwa kukutana London jumatatu ijayo kujadili kuiwekea viwakwazo zaidi Iran. </description>
					  <author>info@habaritanzania.com (Habari Tanzania)</author>
					  <pubDate>Sun, 25 Feb 2007 00:00:00 +0300</pubDate>
					 
					</item>

				

					<item>
					  <title>Marekani yaponda na kuisifia China</title>
					  <link>http://www.habaritanzania.com/articles/3132/1/Marekani-yaponda-na-kuisifia-China</link>
					  <description>MAKAMU wa Rais wa Marekani Dick Cheney amekemea sera za kijeshi za China na kuipongeza kwa kuunga mkono vita vya ugaidi Duniani.</description>
					  <author>info@habaritanzania.com (Habari Tanzania)</author>
					  <pubDate>Sun, 25 Feb 2007 00:00:00 +0300</pubDate>
					 
					</item>

				

					<item>
					  <title>Kimbunga chajeruhi 20 Msumbiji</title>
					  <link>http://www.habaritanzania.com/articles/3131/1/Kimbunga-chajeruhi-20-Msumbiji</link>
					  <description>KIMBUNGA kilichoambatana,mvua kubwa na upepo mkali kimearibu makazi ya watu nchini Msumbiji na kujeruhi watu wasiopungua 20, maafisa wameeleza.</description>
					  <author>info@habaritanzania.com (Habari Tanzania)</author>
					  <pubDate>Sun, 25 Feb 2007 00:00:00 +0300</pubDate>
					 
					</item>

				

					<item>
					  <title>Wakamatwa kwa mlipuko wa treni India</title>
					  <link>http://www.habaritanzania.com/articles/3117/1/Wakamatwa-kwa-mlipuko-wa-treni-India</link>
					  <description>POLISI nchini India imesema inawashikilia watu watatu wanaodaiwa kuhusika na ulipuaji wa treni ya abiria ya Samjhauta (Friendship) Express) iliyokuwa ikitokea India kuelekea Pakistan.</description>
					  <author>info@habaritanzania.com (Habari Tanzania)</author>
					  <pubDate>Sat, 24 Feb 2007 00:00:00 +0300</pubDate>
					 
					</item>

				

					<item>
					  <title>Wakutana London kuiwekea vikwazo Iran</title>
					  <link>http://www.habaritanzania.com/articles/3116/1/Wakutana-London-kuiwekea-vikwazo-Iran</link>
					  <description>WANACHAMA wa kudumu wa baraza la usalama la Umoja wa Mataifa (UNSC) wanatarajiwa kukutana London jumatatu ijayo kujadili kuiwekea viwakwazo zaidi Iran. </description>
					  <author>info@habaritanzania.com (Habari Tanzania)</author>
					  <pubDate>Sat, 24 Feb 2007 00:00:00 +0300</pubDate>
					 
					</item>

				

					<item>
					  <title>Marekani yaponda na kuisifia China</title>
					  <link>http://www.habaritanzania.com/articles/3115/1/Marekani-yaponda-na-kuisifia-China</link>
					  <description>MAKAMU wa Rais wa Marekani Dick Cheney amekemea sera za kijeshi za China na kuipongeza kwa kuunga mkono vita vya ugaidi Duniani.</description>
					  <author>info@habaritanzania.com (Habari Tanzania)</author>
					  <pubDate>Sat, 24 Feb 2007 00:00:00 +0300</pubDate>
					 
					</item>

				

					<item>
					  <title>Kimbunga chajeruhi 20 Msumbiji</title>
					  <link>http://www.habaritanzania.com/articles/3114/1/Kimbunga-chajeruhi-20-Msumbiji</link>
					  <description>KIMBUNGA kilichoambatana,mvua kubwa na upepo mkali kimearibu makazi ya watu nchini Msumbiji na kujeruhi watu wasiopungua 20, maafisa wameeleza.</description>
					  <author>info@habaritanzania.com (Habari Tanzania)</author>
					  <pubDate>Sat, 24 Feb 2007 00:00:00 +0300</pubDate>
					 
					</item>

				

					<item>
					  <title>Mateka waachiwa huru Nigeria</title>
					  <link>http://www.habaritanzania.com/articles/3081/1/Mateka-waachiwa-huru-Nigeria</link>
					  <description>MUHANDISI mmoja na Mnigeria ambao walikuwa wametekwa na mateka katika mkoa wa Delta, wameachiwa huru. </description>
					  <author>info@habaritanzania.com (Habari Tanzania)</author>
					  <pubDate>Wed, 21 Feb 2007 00:00:00 +0300</pubDate>
					 
					</item>

				

					<item>
					  <title>Rwanda yaachia wafungwa 9000</title>
					  <link>http://www.habaritanzania.com/articles/3080/1/Rwanda-yaachia-wafungwa-9000</link>
					  <description>WATU zaidi 9,000 waliokuwa wamefungwa gerezani kwa kuhusika na mauaji ya kimbari mwaka 1994 nchini Rwanda wameachiliwa huru na Serikali ya nchi hiyo. </description>
					  <author>info@habaritanzania.com (Habari Tanzania)</author>
					  <pubDate>Wed, 21 Feb 2007 00:00:00 +0300</pubDate>
					 
					</item>

				

					<item>
					  <title>Iran yamyonga mshambuliaji kwa mabomu</title>
					  <link>http://www.habaritanzania.com/articles/3079/1/Iran-yamyonga-mshambuliaji-kwa-mabomu</link>
					  <description>IRAN imemnyonga mtu mmoja aliyehusika katika shambulio la bomu na kuwaua watu 11 wiki iliyopita.</description>
					  <author>info@habaritanzania.com (Habari Tanzania)</author>
					  <pubDate>Wed, 21 Feb 2007 00:00:00 +0300</pubDate>
					 
					</item>

				

					<item>
					  <title>Kichanga aruhusiwa kutoka hospitali</title>
					  <link>http://www.habaritanzania.com/articles/3078/1/Kichanga-aruhusiwa-kutoka-hospitali</link>
					  <description>IMEFAHAMIKA kichanga kilichozaliwa Marekani na kutumia muda mfupi tumboni mwa mama yake kuliko vichanga wengine ataruhusiwa kutoka hospitali muda wowote kuanzia sasa.</description>
					  <author>info@habaritanzania.com (Habari Tanzania)</author>
					  <pubDate>Wed, 21 Feb 2007 00:00:00 +0300</pubDate>
					 
					</item>

				

					<item>
					  <title>Condoleezza awasili Israel</title>
					  <link>http://www.habaritanzania.com/articles/3049/1/Condoleezza-awasili-Israel</link>
					  <description>WAZIRI wa mambo ya nje wa Marekani Condoleezza Rice amewasili Israel kwa ajili ya mazungumzo ya kuweka amani katika ukanda huo.</description>
					  <author>info@habaritanzania.com (Habari Tanzania)</author>
					  <pubDate>Mon, 19 Feb 2007 00:00:00 +0300</pubDate>
					 
					</item>

				

					<item>
					  <title>Wafanyakazi Guinea wagomea mazungumzo</title>
					  <link>http://www.habaritanzania.com/articles/3048/1/Wafanyakazi-Guinea-wagomea-mazungumzo</link>
					  <description>VYAMA vya wafanyakazi nchini Guinea vimesema havitafanya mazungumzo na serikali hadi ungozi wa muda utakapowekwa kuingoza nchi hiyo.</description>
					  <author>info@habaritanzania.com (Habari Tanzania)</author>
					  <pubDate>Mon, 19 Feb 2007 00:00:00 +0300</pubDate>
					 
					</item>

				

					<item>
					  <title>Mmarekani afungwa miaka nane kwa mauaji</title>
					  <link>http://www.habaritanzania.com/articles/3047/1/Mmarekani-afungwa-miaka-nane-kwa-mauaji</link>
					  <description>MWANAJESHI mwingine wa jeshi la wanamaji wa Marekani amehukumiwa kifungo cha miaka nane baada ya kubainika kuhusika kwenye mauaji ya raia wa Iraq.</description>
					  <author>info@habaritanzania.com (Habari Tanzania)</author>
					  <pubDate>Mon, 19 Feb 2007 00:00:00 +0300</pubDate>
					 
					</item>

				

					<item>
					  <title>Wamarekani nane wauawa Afghanistan</title>
					  <link>http://www.habaritanzania.com/articles/3046/1/Wamarekani-nane-wauawa-Afghanistan</link>
					  <description>WANAJESHI nane wa Marekani wamefariki na wengine 14 wamejeruhiwa baada ya helikopta kuanguka kusini mwa mashariki mwa Afghanistan, kiongozi wa majeshi ya muungano wa Marekani.</description>
					  <author>info@habaritanzania.com (Habari Tanzania)</author>
					  <pubDate>Mon, 19 Feb 2007 00:00:00 +0300</pubDate>
					 
					</item>

				

					<item>
					  <title>Inanov ateuliwa kuwa Waziri Mkuu Urusi</title>
					  <link>http://www.habaritanzania.com/articles/3032/1/Inanov-ateuliwa-kuwa-Waziri-Mkuu-Urusi</link>
					  <description>Rais wa Urusi Vladimir Putin amempandisha cheo waziri wake wa Ulinzi, Sergei Ivanov kuwa Waziri Mkuu wa nchi hiyo.</description>
					  <author>info@habaritanzania.com (Habari Tanzania)</author>
					  <pubDate>Sun, 18 Feb 2007 00:00:00 +0300</pubDate>
					 
					</item>

				

					<item>
					  <title>Mabenki, maduka, maofisi yafungwa Guinea</title>
					  <link>http://www.habaritanzania.com/articles/3031/1/Mabenki%2C-maduka%2C-maofisi-yafungwa-Guinea</link>
					  <description>MADUKA, benki na maofisi yamefungwa katika mji mkuu wa Conakry, Guinea baada ya muungano wa vyama vya wafanyakazi katika nchi hiyo, kuanzisha tena mgomo ili kushinikiza Rais Lansana Conte kujiuzulu. </description>
					  <author>info@habaritanzania.com (Habari Tanzania)</author>
					  <pubDate>Sun, 18 Feb 2007 00:00:00 +0300</pubDate>
					 
					</item>

				

					<item>
					  <title>Waziri Mkuu wa Palestina ajiuzulu</title>
					  <link>http://www.habaritanzania.com/articles/3030/1/Waziri-Mkuu-wa-Palestina-ajiuzulu</link>
					  <description>WAZIRI Mkuu wa Mamlaka ya Palestina, Ismail Haniya amejiuzulu na kumuomba Rais Mahmoud Abbas kujenga umoja mpya wa kitaifa katika serikali yake.</description>
					  <author>info@habaritanzania.com (Habari Tanzania)</author>
					  <pubDate>Sun, 18 Feb 2007 00:00:00 +0300</pubDate>
					 
					</item>

				

					<item>
					  <title>Nigeria kupitisha sheria kuzuia ushoga</title>
					  <link>http://www.habaritanzania.com/articles/3000/1/Nigeria-kupitisha-sheria-kuzuia-ushoga</link>
					  <description>WAWAKILISHI wa bunge la Nigeria wako katika majadaliano ya msuwada mpya wa kuzuia kufanyika kwa vitendo vya ushoga nchini humo. </description>
					  <author>info@habaritanzania.com (Habari Tanzania)</author>
					  <pubDate>Fri, 16 Feb 2007 00:00:00 +0300</pubDate>
					 
					</item>

				

					<item>
					  <title>Watu 120,000 wakimbia machafuko Chad</title>
					  <link>http://www.habaritanzania.com/articles/2999/1/Watu-120%2C000-wakimbia-machafuko-Chad</link>
					  <description>SHIRIKA la Oxfam la Uingereza limeonya kutokea kwa janga la njaa nchini Chad kama Darfur endapo mgogoro baina ya makabila hautakomeshwa mara moja nchini humo.</description>
					  <author>info@habaritanzania.com (Habari Tanzania)</author>
					  <pubDate>Fri, 16 Feb 2007 00:00:00 +0300</pubDate>
					 
					</item>

				

					<item>
					  <title>Wakimbizi 7000 wa Iraq kuishi Marekani</title>
					  <link>http://www.habaritanzania.com/articles/2998/1/Wakimbizi-7000-wa-Iraq-kuishi-Marekani</link>
					  <description>UMOJA wa Mataifa (UN) umepongeza mpango wa Marekani wa kuwachukua na kuwafadhili wakimbizi 7,000 wa Iraq.</description>
					  <author>info@habaritanzania.com (Habari Tanzania)</author>
					  <pubDate>Fri, 16 Feb 2007 00:00:00 +0300</pubDate>
					 
					</item>

				

					<item>
					  <title>Lowassa ahudhuria mkutano wa Afrika na Ufaransa</title>
					  <link>http://www.habaritanzania.com/articles/2996/1/Lowassa-ahudhuria-mkutano-wa-Afrika-na-Ufaransa</link>
					  <description>WAZIRI Mkuu Edward Lowassa amekuwa miongoni mwa viongozi na wakuu wa nchi za Afrika wanaohudhuria mkutano wa siku mbili mjini hapa ulioanza leo kujadili hali ya baadaye ya Afrika.</description>
					  <author>info@habaritanzania.com (Habari Tanzania)</author>
					  <pubDate>Fri, 16 Feb 2007 00:00:00 +0300</pubDate>
					 
					</item>

				

					<item>
					  <title>Rwanda kuanzisha uzazi wa mpango</title>
					  <link>http://www.habaritanzania.com/articles/2987/1/Rwanda-kuanzisha-uzazi-wa-mpango</link>
					  <description>RWANDA inatarajia kuanzisha sheria ya uzazi wa mpango kuzuia familia kuzaa zaidi ya watoto watatu kwa ajili ya kupunguza umaskini nchini humo. </description>
					  <author>info@habaritanzania.com (Habari Tanzania)</author>
					  <pubDate>Thu, 15 Feb 2007 00:00:00 +0300</pubDate>
					 
					</item>

				

					<item>
					  <title>Mahakama yaongeza muda kuchunguza kesi ya mauaji</title>
					  <link>http://www.habaritanzania.com/articles/2986/1/Mahakama-yaongeza-muda-kuchunguza-kesi-ya-mauaji</link>
					  <description>MAHAKAMA mjini London imewapa polisi muda wa ziada kuchunguza tukio la mauaji ya mtoto wa miaka miwili aliyekutwa amekufa chumbani eneo la Oak Tree Crescent, Leeds.</description>
					  <author>info@habaritanzania.com (Habari Tanzania)</author>
					  <pubDate>Thu, 15 Feb 2007 00:00:00 +0300</pubDate>
					 
					</item>

				

					<item>
					  <title>Watatu wauawa Lebanon 20 wajeruhiwa</title>
					  <link>http://www.habaritanzania.com/articles/2985/1/Watatu-wauawa-Lebanon-20-wajeruhiwa</link>
					  <description>BOMU lililolipuka katika basi la abiria limeuwa watu watatu na kujeruhi wengine 20 na Syria imelalamikiwa kuhusika katika tukio hilo.</description>
					  <author>info@habaritanzania.com (Habari Tanzania)</author>
					  <pubDate>Thu, 15 Feb 2007 00:00:00 +0300</pubDate>
					 
					</item>

				

					<item>
					  <title>Guinea: Rais Conte aagiza jeshi lake kutuliza ghasia</title>
					  <link>http://www.habaritanzania.com/articles/2970/1/Guinea%3A-Rais-Conte-aagiza-jeshi-lake-kutuliza-ghasia</link>
					  <description>RAIS wa Guinea Lansana Conte amelitaka jeshi la nchi hiyo kuthibiti mgomo na vurugu zilizoanzishwa na muungano wa vyama vya wafanyakazi ili kumshinikiza ajiuzulu.</description>
					  <author>info@habaritanzania.com (Habari Tanzania)</author>
					  <pubDate>Wed, 14 Feb 2007 00:00:00 +0300</pubDate>
					 
					</item>

				

					<item>
					  <title>Democratic wataka utawala wa Bush uhojiwe</title>
					  <link>http://www.habaritanzania.com/articles/2969/1/Democratic-wataka-utawala-wa-Bush-uhojiwe</link>
					  <description>KIONGOZI wa juu wa chama cha Democratic nchini Marekani ametaka utawala wa Rais George Bush kuhojiwa kutokana na kuituhumu Iran kuhusika na vurugu zinazoendelea nchini Iraq.</description>
					  <author>info@habaritanzania.com (Habari Tanzania)</author>
					  <pubDate>Wed, 14 Feb 2007 00:00:00 +0300</pubDate>
					 
					</item>

				

					<item>
					  <title>Democratic wataka utawala wa Bush uhojiwe</title>
					  <link>http://www.habaritanzania.com/articles/2968/1/Democratic-wataka-utawala-wa-Bush-uhojiwe</link>
					  <description>KIONGOZI wa juu wa chama cha Democratic nchini Marekani ametaka utawala wa Rais George Bush kuhojiwa kutokana na kuituhumu Iran kuhusika na vurugu zinazoendelea nchini Iraq.</description>
					  <author>info@habaritanzania.com (Habari Tanzania)</author>
					  <pubDate>Wed, 14 Feb 2007 00:00:00 +0300</pubDate>
					 
					</item>

				

					<item>
					  <title>Watu watano wauawa baada ya kupigwa risasi</title>
					  <link>http://www.habaritanzania.com/articles/2967/1/Watu-watano-wauawa-baada-ya-kupigwa-risasi</link>
					  <description>MTU mwenye bunduki aliingia katika duka moja mjini Salt Lake na kufyatua risasi usiku wa Jumatatu na kuua watu watano na kujeruhi wengine wasiopungua wanne kabla ya kuawa, polisi walieleza.</description>
					  <author>info@habaritanzania.com (Habari Tanzania)</author>
					  <pubDate>Wed, 14 Feb 2007 00:00:00 +0300</pubDate>
					 
					</item>

				

					<item>
					  <title>Waandamanaji wapigwa risasi</title>
					  <link>http://www.habaritanzania.com/articles/2938/1/Waandamanaji-wapigwa-risasi</link>
					  <description>WATU wanane wameuawa kwa kupigwa risasi na vikosi vya usalama nchini Guinea wakati wa maandamano ya kupinga uteuzi wa waziri mkuu mpya.</description>
					  <author>info@habaritanzania.com (Habari Tanzania)</author>
					  <pubDate>Mon, 12 Feb 2007 00:00:00 +0300</pubDate>
					 
					</item>

				

					<item>
					  <title>Obama azindua kampeni</title>
					  <link>http://www.habaritanzania.com/articles/2937/1/Obama-azindua-kampeni</link>
					  <description>SENETA wa Chama cha Democratic nchini Marekani, Barack Obama amezindua kampeni zake za urais kwa kutoa hotuba ambayo aliahidi kujenga matumaini zaidi kwa Marekani.</description>
					  <author>info@habaritanzania.com (Habari Tanzania)</author>
					  <pubDate>Mon, 12 Feb 2007 00:00:00 +0300</pubDate>
					 
					</item>

				

					<item>
					  <title>Mlipuko waua polisi, raia 15 Iraq</title>
					  <link>http://www.habaritanzania.com/articles/2936/1/Mlipuko-waua-polisi%2C-raia-15-Iraq</link>
					  <description>MASHAMBULIAJI wa kujitoa mhanga aliyekuwa anaendesha amesababisha mlipuki katika kituo cha polisi karibu na mji wa Tikrit, nchini Iraq na kusababisha vifo vya watu 15, polisi wamesema.</description>
					  <author>info@habaritanzania.com (Habari Tanzania)</author>
					  <pubDate>Mon, 12 Feb 2007 00:00:00 +0300</pubDate>
					 
					</item>

				

					<item>
					  <title>Iran yasisitiza kuendelea na nyuklia</title>
					  <link>http://www.habaritanzania.com/articles/2935/1/Iran-yasisitiza-kuendelea-na-nyuklia</link>
					  <description>RAIS wa Iran, Mahmoud Ahmadinejad amesisitiza kuwa Iran ina haki ya kuendelea na mpango wake wa kuzalisha nishati ya nyuklia licha ya kubanwa na jumuiya ya kiataifa kwa kukiuka taratibu zake.</description>
					  <author>info@habaritanzania.com (Habari Tanzania)</author>
					  <pubDate>Mon, 12 Feb 2007 00:00:00 +0300</pubDate>
					 
					</item>

				

					<item>
					  <title>Serikali yataka Mengistu ahukumiwe kifo</title>
					  <link>http://www.habaritanzania.com/articles/2904/1/Serikali-yataka-Mengistu-ahukumiwe-kifo</link>
					  <description>ETHIOPIA imekata rufani kutaka mtawala wa zamani wa nchi hiyo, Luteni Kanali Mengistu Haile Mariam na waliokuwa wasaidizi wake wahukumiwe kifo.</description>
					  <author>info@habaritanzania.com (Habari Tanzania)</author>
					  <pubDate>Sat, 10 Feb 2007 00:00:00 +0300</pubDate>
					 
					</item>

				

					<item>
					  <title>Serikali yataka Mengistu ahukumiwe kifo</title>
					  <link>http://www.habaritanzania.com/articles/2903/1/Serikali-yataka-Mengistu-ahukumiwe-kifo</link>
					  <description>ETHIOPIA imekata rufani kutaka mtawala wa zamani wa nchi hiyo, Luteni Kanali Mengistu Haile Mariam na waliokuwa wasaidizi wake wahukumiwe kifo.</description>
					  <author>info@habaritanzania.com (Habari Tanzania)</author>
					  <pubDate>Sat, 10 Feb 2007 00:00:00 +0300</pubDate>
					 
					</item>

				

					<item>
					  <title>Jeshi laitwa kushughulikia mafuriko</title>
					  <link>http://www.habaritanzania.com/articles/2902/1/Jeshi-laitwa-kushughulikia-mafuriko</link>
					  <description>JESHI la Msumbiji limeamuriwa kuwaondoa watu 2,500 ambao walegoma kuondoka katika makazi yao licha ya kukumbwa na mafuriko.</description>
					  <author>info@habaritanzania.com (Habari Tanzania)</author>
					  <pubDate>Sat, 10 Feb 2007 00:00:00 +0300</pubDate>
					 
					</item>

				

					<item>
					  <title>Fatah, Hamas wakubali serikali ya umoja</title>
					  <link>http://www.habaritanzania.com/articles/2901/1/Fatah%2C-Hamas-wakubali-serikali-ya-umoja</link>
					  <description>MAKUNDI ynayohasimiana katika Mamlaka ya Palestina ya Fatah na Hamas yamesaini makubaliano ya kuunda serikali ya umoja.</description>
					  <author>info@habaritanzania.com (Habari Tanzania)</author>
					  <pubDate>Sat, 10 Feb 2007 00:00:00 +0300</pubDate>
					 
					</item>

				

					<item>
					  <title>Uundwaji serikali mpya Kongo wakosolewa</title>
					  <link>http://www.habaritanzania.com/articles/2873/1/Uundwaji-serikali-mpya-Kongo-wakosolewa</link>
					  <description>BAADHI ya wanasiasa na magazeti katika Jamhuri ya Kidemokrasi ya Kongo (DRC) wamelalamika kuwa serikali mpya iliyoundwa nchini humo inampendelea zaidi Rais Joseph Kabila.</description>
					  <author>info@habaritanzania.com (Habari Tanzania)</author>
					  <pubDate>Thu, 08 Feb 2007 00:00:00 +0300</pubDate>
					 
					</item>

				

					<item>
					  <title>Mwakilishi wa EU auawa</title>
					  <link>http://www.habaritanzania.com/articles/2872/1/Mwakilishi-wa-EU-auawa</link>
					  <description>MWANADIPLOMASIA wa Ufaransa anayewakilish Umoja wa Ulaya (EU) nchini Ivory Coast ameuawa kwa kupigwa risasi.</description>
					  <author>info@habaritanzania.com (Habari Tanzania)</author>
					  <pubDate>Thu, 08 Feb 2007 00:00:00 +0300</pubDate>
					 
					</item>

				

					<item>
					  <title>Zimbabwe yaufyata kwa Wazungu</title>
					  <link>http://www.habaritanzania.com/articles/2871/1/Zimbabwe-yaufyata-kwa-Wazungu</link>
					  <description>WAZIRI wa Ardhi wa Zimbabwe, Didymus Mutasa, amesema wakulima wa mwisho wa Kizungu wanaweza kuendelea kukaa katika mashamba waliyonyang'anywa na serikali kwa ajili ya kuvuna mazao yao licha ya muda waliopewa kuwa wameondoka kupita.</description>
					  <author>info@habaritanzania.com (Habari Tanzania)</author>
					  <pubDate>Thu, 08 Feb 2007 00:00:00 +0300</pubDate>
					 
					</item>

				

					<item>
					  <title>Marekani kuweka kituo cha kijeshi Afrika</title>
					  <link>http://www.habaritanzania.com/articles/2870/1/Marekani-kuweka-kituo-cha-kijeshi-Afrika</link>
					  <description>RAIS George W Bush wa Marekani ameupitisha mpango wa Wizara ya Ulinzi wa kuanzishwa kwa kituo cha kijeshi cha nchi hiyo barani Afrika kwa ajili ya kuangalia shughuli za kijeshi za Marekani katika bara hilo.</description>
					  <author>info@habaritanzania.com (Habari Tanzania)</author>
					  <pubDate>Thu, 08 Feb 2007 00:00:00 +0300</pubDate>
					 
					</item>

				

					<item>
					  <title>Mauritania yaikatalia boti ya wazamiaji</title>
					  <link>http://www.habaritanzania.com/articles/2856/1/Mauritania-yaikatalia-boti-ya-wazamiaji</link>
					  <description>         BOTI iliyoharibika ikiwa imebeba mamia ya wahamiaji haramu imenyimwa ruhusa          kutia nanga na kuwashusha abiria katika mwambao wa Mauritania.</description>
					  <author>info@habaritanzania.com (Habari Tanzania)</author>
					  <pubDate>Wed, 07 Feb 2007 00:00:00 +0300</pubDate>
					 
					</item>

				

					<item>
					  <title> Waziri Mkuu DRC atangaza mawaziri</title>
					  <link>http://www.habaritanzania.com/articles/2855/1/-Waziri-Mkuu-DRC-atangaza-mawaziri</link>
					  <description>         SERIKALI mpya imeundwa katika Jamhuri ya Kidemokrasi ya Kongo (DRC), kufuatia          kufanyika kwa uchaguzi mkuu mwaka jana.</description>
					  <author>info@habaritanzania.com (Habari Tanzania)</author>
					  <pubDate>Wed, 07 Feb 2007 00:00:00 +0300</pubDate>
					 
					</item>

				

					<item>
					  <title>Hu Jintao aanza ziara Afrika Kusini</title>
					  <link>http://www.habaritanzania.com/articles/2854/1/Hu-Jintao-aanza-ziara-Afrika-Kusini</link>
					  <description>         RAIS wa China, Hu Jintao jana aliwasili Afrika South, ambayo ni mshirika          wake mkubwa wa biashara katika Afrika.         Biashara kati ya China na afrika Kusini imekua kwa kasi kubwa tangu uhusiano          wa kidiplomasia ulipoanzishwa miaka tisa iliyopita.</description>
					  <author>info@habaritanzania.com (Habari Tanzania)</author>
					  <pubDate>Wed, 07 Feb 2007 00:00:00 +0300</pubDate>
					 
					</item>

				

					<item>
					  <title>Liberia yanufaika kwa misaada ya China</title>
					  <link>http://www.habaritanzania.com/articles/2829/1/Liberia-yanufaika-kwa-misaada-ya-China</link>
					  <description>RAIS wa China, Hu Jintao amesaini mikataba kadhaa mjini Monrovia, Liberia na kuahidi misaada na vitega uchumi zaidi kwa nchi hiyo ya Afrika Magharibi.</description>
					  <author>info@habaritanzania.com (Habari Tanzania)</author>
					  <pubDate>Sun, 04 Feb 2007 00:00:00 +0300</pubDate>
					 
					</item>

				

					<item>
					  <title>Watu 58 wauawa katika ghasia DRC</title>
					  <link>http://www.habaritanzania.com/articles/2828/1/Watu-58-wauawa-katika-ghasia-DRC</link>
					  <description>WATU 58wameuawa katika mapigano baina ya vikundi vinavyoipinga serikali magharibi mwa Jamhuri ya Kidemokrasi ya Kongo (DRC) na polisi. </description>
					  <author>info@habaritanzania.com (Habari Tanzania)</author>
					  <pubDate>Sun, 04 Feb 2007 00:00:00 +0300</pubDate>
					 
					</item>

				

					<item>
					  <title>Mhariri atishiwa maisha Zimbabwe</title>
					  <link>http://www.habaritanzania.com/articles/2816/1/Mhariri-atishiwa-maisha-Zimbabwe</link>
					  <description>MHARIRI wa gazeti moja nchini Zimbabwe, Bill Saidi ametumiwa risasi ikiwa na ujumbe wa onyo kuwa: 'Chunga nyendo zako&#34;. </description>
					  <author>info@habaritanzania.com (Habari Tanzania)</author>
					  <pubDate>Sat, 03 Feb 2007 00:00:00 +0300</pubDate>
					 
					</item>

				

					<item>
					  <title>Liberia yanufaika kwa misaada ya China</title>
					  <link>http://www.habaritanzania.com/articles/2815/1/Liberia-yanufaika-kwa-misaada-ya-China</link>
					  <description>RAIS wa China, Hu Jintao amesaini mikataba kadhaa mjini Monrovia, Liberia na kuahidi misaada na vitega uchumi zaidi kwa nchi hiyo ya Afrika Magharibi.</description>
					  <author>info@habaritanzania.com (Habari Tanzania)</author>
					  <pubDate>Sat, 03 Feb 2007 00:00:00 +0300</pubDate>
					 
					</item>

				

					<item>
					  <title>Chavez atangaza sera zake mpya</title>
					  <link>http://www.habaritanzania.com/articles/2814/1/Chavez-atangaza-sera-zake-mpya</link>
					  <description>RAIS wa Venezuela, VHugo Chavez amesema anakusudia kutaifisha miradi mbalimbali ya mafuta katika ukanda wa mto Orinoco miezi michache ijayo. </description>
					  <author>info@habaritanzania.com (Habari Tanzania)</author>
					  <pubDate>Sat, 03 Feb 2007 00:00:00 +0300</pubDate>
					 
					</item>

				

					<item>
					  <title>Watu 58 wauawa katika ghasia DRC</title>
					  <link>http://www.habaritanzania.com/articles/2813/1/Watu-58-wauawa-katika-ghasia-DRC</link>
					  <description>WATU 58wameuawa katika mapigano baina ya vikundi vinavyoipinga serikali magharibi mwa Jamhuri ya Kidemokrasi ya Kongo (DRC) na polisi. </description>
					  <author>info@habaritanzania.com (Habari Tanzania)</author>
					  <pubDate>Sat, 03 Feb 2007 00:00:00 +0300</pubDate>
					 
					</item>

				

					<item>
					  <title> Saudi Arabia yaitisha mkutano wa Wapalestina</title>
					  <link>http://www.habaritanzania.com/articles/2798/1/-Saudi-Arabia-yaitisha-mkutano-wa-Wapalestina</link>
					  <description>MFALME Abdullah wa Saudi Arabia imewaalika viongozi wa Mamlaka ya Palestina          wenye uhasana katika mkutano utakaofanyika Mecca kwa lengo la kukomesha          wimbi la mapigano.</description>
					  <author>info@habaritanzania.com (Habari Tanzania)</author>
					  <pubDate>Fri, 02 Feb 2007 00:00:00 +0300</pubDate>
					 
					</item>

				

					<item>
					  <title>Mbabe wa zamani wa vita awa spika</title>
					  <link>http://www.habaritanzania.com/articles/2797/1/Mbabe-wa-zamani-wa-vita-awa-spika</link>
					  <description>BUNGE la Somalia limemchagua mbabe wa zamani wa vita, Sheikh Adan Mohamed          Nur kuwa spika wake mpya, nafasi ambayo ni moja ya nafasi za juu tatu          katika serikali ya mpito.</description>
					  <author>info@habaritanzania.com (Habari Tanzania)</author>
					  <pubDate>Fri, 02 Feb 2007 00:00:00 +0300</pubDate>
					 
					</item>

				

					<item>
					  <title> Muathirika wa kwanza wa mafua ya ndege afariki</title>
					  <link>http://www.habaritanzania.com/articles/2796/1/-Muathirika-wa-kwanza-wa-mafua-ya-ndege-afariki</link>
					  <description>MWANAMKE mmoja nchini Nigeria ambaye amekufa kutokana na dalili za kuugua          mafua, amegundulika kuwa na virusi vya mafua ya ndege.</description>
					  <author>info@habaritanzania.com (Habari Tanzania)</author>
					  <pubDate>Fri, 02 Feb 2007 00:00:00 +0300</pubDate>
					 
					</item>

				

					<item>
					  <title>Watu 50 wauawa katika mapigano ya ardhi</title>
					  <link>http://www.habaritanzania.com/articles/2795/1/Watu-50-wauawa-katika-mapigano-ya-ardhi</link>
					  <description>         WATU 50 waliuawa mwezi uliopita katika mapigano ya kugombea ardhi katika          mkoa wa magharibi nchini Kenya, maofisa wa serikali za mitaa wamesema.</description>
					  <author>info@habaritanzania.com (Habari Tanzania)</author>
					  <pubDate>Fri, 02 Feb 2007 00:00:00 +0300</pubDate>
					 
					</item>

				

					<item>
					  <title>Ki-moon atembelea makazi maskini Kenya</title>
					  <link>http://www.habaritanzania.com/articles/2786/1/Ki-moon-atembelea-makazi-maskini-Kenya</link>
					  <description>KATIBU Mkuu wa Umoja wa Mataifa (UN), Ban Ki-moon, alitembelea makazi maskini ya Kibera na kuwataka wakazi wake wawe na imani na matumaini mapya.</description>
					  <author>info@habaritanzania.com (Habari Tanzania)</author>
					  <pubDate>Thu, 01 Feb 2007 00:00:00 +0300</pubDate>
					 
					</item>

				

					<item>
					  <title>Wapinzani wasusia kikao cha Bunge Uganda</title>
					  <link>http://www.habaritanzania.com/articles/2784/1/Wapinzani-wasusia-kikao-cha-Bunge-Uganda</link>
					  <description>UVURUMISHIAJI mabomu ya machozi wafuasi wa upinzani pamoja na viongozi wao kuendelea kushikiliwa kinyume cha sheria kwa watu wanaotuhumiwa kuwa waasi wa kundi la People's Redemption Army (PRA), kuliwafanya wabunge 73 kuondoka bungeni.</description>
					  <author>info@habaritanzania.com (Habari Tanzania)</author>
					  <pubDate>Thu, 01 Feb 2007 00:00:00 +0300</pubDate>
					 
					</item>

				

					<item>
					  <title>Saudi Arabia yaitisha mkutano wa Wapalestina</title>
					  <link>http://www.habaritanzania.com/articles/2775/1/Saudi-Arabia-yaitisha-mkutano-wa-Wapalestina</link>
					  <description>MFALME Abdullah wa Saudi Arabia imewaalika viongozi wa Mamlaka ya Palestina wenye uhasana katika mkutano utakaofanyika Mecca kwa lengo la kukomesha wimbi la mapigano.</description>
					  <author>info@habaritanzania.com (Habari Tanzania)</author>
					  <pubDate>Wed, 31 Jan 2007 00:00:00 +0300</pubDate>
					 
					</item>

				

					<item>
					  <title>Lubanga sasa kushitakiwa ICC</title>
					  <link>http://www.habaritanzania.com/articles/2774/1/Lubanga-sasa-kushitakiwa-ICC</link>
					  <description>MAHAKAMA ya kudumu ya Kimataifa ya makosa ya Uhalifu wa Vita (ICC) imeamua kuwa kuna ushahidi wa kutosha wa kumshitaki mmoja wa viongozi wa waasi katika Jamhuri ya Kidemokrasi ya Kongo (DRC), Thomas Lubanga.</description>
					  <author>info@habaritanzania.com (Habari Tanzania)</author>
					  <pubDate>Wed, 31 Jan 2007 00:00:00 +0300</pubDate>
					 
					</item>

				

					<item>
					  <title>Polisi wauawa katika shambulizi Mogadishu</title>
					  <link>http://www.habaritanzania.com/articles/2773/1/Polisi-wauawa-katika-shambulizi-Mogadishu</link>
					  <description>WATU wawili wameuawa, akiwemo ofisa wa polisi, wakati wa mapambano ya bunduki yaliyodumu kwa saa nzima katika mji mkuu wa somalia, Mogadishu. </description>
					  <author>info@habaritanzania.com (Habari Tanzania)</author>
					  <pubDate>Wed, 31 Jan 2007 00:00:00 +0300</pubDate>
					 
					</item>

				

					<item>
					  <title>Hu Jintao kuitembelea tena Afrika</title>
					  <link>http://www.habaritanzania.com/articles/2772/1/Hu-Jintao-kuitembelea-tena-Afrika</link>
					  <description>RAIS wa China, Hu Jintao anaanza ziara ya kuyatembela mataifa nane ya Afrika ambayo pia itazihusisha Sudan na Afrika Kusini.</description>
					  <author>info@habaritanzania.com (Habari Tanzania)</author>
					  <pubDate>Wed, 31 Jan 2007 00:00:00 +0300</pubDate>
					 
					</item>

				

					<item>
					  <title>Sudan yatoswa tena AU, Ghana mwenyekiti mpya</title>
					  <link>http://www.habaritanzania.com/articles/2760/1/Sudan-yatoswa-tena-AU%2C-Ghana-mwenyekiti-mpya</link>
					  <description>UMOJA wa Afrika (AU), jana uliichagua Ghana kuongoza chombo hicho chenye wanachama 53, na kuitosa Sudan kwa mwaka wa pili mfululizo kutokana na kuwapo kwa hali mbaya ya Darfur na uhusiano mbovu na nchi jirani za Chad na Afrika ya Kati.</description>
					  <author>info@habaritanzania.com (Habari Tanzania)</author>
					  <pubDate>Tue, 30 Jan 2007 00:00:00 +0300</pubDate>
					 
					</item>

				

					<item>
					  <title>Museveni akata mshahara kuchangia chama</title>
					  <link>http://www.habaritanzania.com/articles/2759/1/Museveni-akata-mshahara-kuchangia-chama</link>
					  <description>RAIS Yoweri Museveni ametoa ofa ya kukata asilimia 20 ya mshahara wake wa mwezi kwa ajili ya kukichangia chama chake tawala cha NRM katika uendeshaji wa shughuli zake. </description>
					  <author>info@habaritanzania.com (Habari Tanzania)</author>
					  <pubDate>Tue, 30 Jan 2007 00:00:00 +0300</pubDate>
					 
					</item>

				

					<item>
					  <title>Mimi mgombea mwenza wa Kibaki - Awori</title>
					  <link>http://www.habaritanzania.com/articles/2758/1/Mimi-mgombea-mwenza-wa-Kibaki---Awori</link>
					  <description>SIKU mbili tu baada ya Rais Mwai Kibaki kutangaza kwamba atajitosa tena katika uchaguzi wa urais, makamu wake, Moody Awori, naye amesema atakuwa mgombea mwenza katika uchaguzi huo.</description>
					  <author>info@habaritanzania.com (Habari Tanzania)</author>
					  <pubDate>Tue, 30 Jan 2007 00:00:00 +0300</pubDate>
					 
					</item>

				

					<item>
					  <title>Au yaombwa kuchangia jeshi la Somalia</title>
					  <link>http://www.habaritanzania.com/articles/2739/1/Au-yaombwa-kuchangia-jeshi-la-Somalia</link>
					  <description>RAIS wa Muungano wa Afrika (AU), Alpha Oumar Konareameziomba nchi za Afrika kuchangia wanajeshi katika kikosi cha kulinda amani kitakachopelekwa nchini Somalia.</description>
					  <author>info@habaritanzania.com (Habari Tanzania)</author>
					  <pubDate>Sun, 28 Jan 2007 00:00:00 +0300</pubDate>
					 
					</item>

				

					<item>
					  <title>Watanzania wahusishwa kuua Wanyarwanda</title>
					  <link>http://www.habaritanzania.com/articles/2724/1/Watanzania-wahusishwa-kuua-Wanyarwanda</link>
					  <description>WAKIMBIZI watatu wa Rwanda wanasemekana kuuawa nchini Tanzania baada ya watu wanaoaminika kuwa wapiganaji wa kundi la zamani la FAR/Interahamwe kwa kushirikiana na Watanzania kuendesha mashambulizi hayo.</description>
					  <author>info@habaritanzania.com (Habari Tanzania)</author>
					  <pubDate>Sat, 27 Jan 2007 00:00:00 +0300</pubDate>
					 
					</item>

				

					<item>
					  <title>Atiku amlimpulia mabomu Obasanjo</title>
					  <link>http://www.habaritanzania.com/articles/2723/1/Atiku-amlimpulia-mabomu-Obasanjo</link>
					  <description>KAMBI ya Makamu wa Rais, Atiku Abubakar, imeorodhesha mlolongo wa tuhuma na kuitaka Ikulu iwaeleze Wanigeria jinsi Rais Olusegun Obasanjo alivyoweza kubadilika kutoka kuwa mfanyabiashara mdogo mwenye Naira 20,000 tu mwaka 1998 baada ya kuachiwa kutoka jela na kugeuka kuwa na msururu wa biashara kubwa kubwa nchi nzima.</description>
					  <author>info@habaritanzania.com (Habari Tanzania)</author>
					  <pubDate>Sat, 27 Jan 2007 00:00:00 +0300</pubDate>
					 
					</item>

				

					<item>
					  <title>Al Bashir kushambulia Darfur</title>
					  <link>http://www.habaritanzania.com/articles/2713/1/Al-Bashir-kushambulia-Darfur</link>
					  <description>RAIS Omar al-Bashir wa Sudan amethibitisha kuwa, vikosi vya serikali vilifanya mashambulizi ya anga dhidi ya maeneo ya Kaskazini mwa jimbo lenye mgogoro la Darfur. </description>
					  <author>info@habaritanzania.com (Habari Tanzania)</author>
					  <pubDate>Fri, 26 Jan 2007 00:00:00 +0300</pubDate>
					 
					</item>

				

					<item>
					  <title>OLmert amtaka Rais Katsav kujiuzulu</title>
					  <link>http://www.habaritanzania.com/articles/2712/1/OLmert-amtaka-Rais-Katsav-kujiuzulu</link>
					  <description>WAZIRI Mkuu wa Israel, Ehud Olmert amemtaka Rais Moshe Katsav kujiuzulu kutokana na tuhuma za ubakaji na matumizi mabaya ya madaraka yake.</description>
					  <author>info@habaritanzania.com (Habari Tanzania)</author>
					  <pubDate>Fri, 26 Jan 2007 00:00:00 +0300</pubDate>
					 
					</item>

				

					<item>
					  <title>Rais akwepa mazungumzo, amtuma mkewe Guinea</title>
					  <link>http://www.habaritanzania.com/articles/2704/1/Rais-akwepa-mazungumzo%2C-amtuma-mkewe-Guinea</link>
					  <description>RAIS Lansana Conte, juzi alishindwa kujitokeza katika mazungumzo ya dharura ya kutafuta ufumbuzi wa matatizo yanayoikabili nchi na viongozi wa vyama vya wafanyakazi, badala yake alimtuma mkewe.</description>
					  <author>info@habaritanzania.com (Habari Tanzania)</author>
					  <pubDate>Thu, 25 Jan 2007 00:00:00 +0300</pubDate>
					 
					</item>

				

					<item>
					  <title>Hujuma zaikumba NSSF Uganda</title>
					  <link>http://www.habaritanzania.com/articles/2703/1/Hujuma-zaikumba-NSSF-Uganda</link>
					  <description>POLISI wa hapa wanachunguza tukio ambalo zaidi ya kompyuta 36 za Mfuko wa Hifadhi ya Jamii (NSSF) zilihujumiwa huku 'diski ngumu' (hard disks) zake zikiibiwa na kuzua hofu ya kupotezwa kwa taarifa muhimu. </description>
					  <author>info@habaritanzania.com (Habari Tanzania)</author>
					  <pubDate>Thu, 25 Jan 2007 00:00:00 +0300</pubDate>
					 
					</item>

				

					<item>
					  <title>Kibaki atajwa katika kashfa Kenya</title>
					  <link>http://www.habaritanzania.com/articles/2702/1/Kibaki-atajwa-katika-kashfa-Kenya</link>
					  <description>RAIS Mwai Kibaki ametajwa katika mazungumzo yaliyoko katika kinasa sauti kilichotolewa juzi katika blogu ya Katibu Mkuu wa zamani wa Maadili na Utawala Bora, John Githongo.</description>
					  <author>info@habaritanzania.com (Habari Tanzania)</author>
					  <pubDate>Thu, 25 Jan 2007 00:00:00 +0300</pubDate>
					 
					</item>

				

					<item>
					  <title>'Mubarak anataka nifie jela'</title>
					  <link>http://www.habaritanzania.com/articles/2695/1/%91Mubarak-anataka-nifie-jela%92</link>
					  <description>KIONGOZI wa upinzani nchini hapa, Ayman Nur, ambaye harakati zake za kisiasa zimeishia pabaya baada ya kupambana na Rais Hosni Mubarak katika uchaguzi mkuu wa urais, amesema kwamba hasimu wake huyo anataka afie jela. </description>
					  <author>info@habaritanzania.com (Habari Tanzania)</author>
					  <pubDate>Wed, 24 Jan 2007 00:00:00 +0300</pubDate>
					 
					</item>

				

					<item>
					  <title>Uislamu kutumika kumbomoa Obama Marekani</title>
					  <link>http://www.habaritanzania.com/articles/2694/1/Uislamu-kutumika-kumbomoa-Obama-Marekani</link>
					  <description>WAPINZANI wa Seneta Barrack Obama ndani ya Chama cha Democrats wameanza kumchambua seneta huyo kuhakikisha hatimizi azima yake ya kukiwakilisha chama hicho katika uchaguzi wa rais wa Marekani.</description>
					  <author>info@habaritanzania.com (Habari Tanzania)</author>
					  <pubDate>Wed, 24 Jan 2007 00:00:00 +0300</pubDate>
					 
					</item>

				

					<item>
					  <title>Makamu wa Rais kuchunguzwa kwa ufisadi Kenya</title>
					  <link>http://www.habaritanzania.com/articles/2693/1/Makamu-wa-Rais-kuchunguzwa-kwa-ufisadi-Kenya</link>
					  <description>MWANASHERIA Mkuu wa Serikali, Amos Wako, juzi amesema Makamu wa Rais, Moody Awori na Mbunge, David Mwiraria, bado hawajasafishwa na tuhuma za rushwa katika kashfa ya Anglo Leasing.</description>
					  <author>info@habaritanzania.com (Habari Tanzania)</author>
					  <pubDate>Wed, 24 Jan 2007 00:00:00 +0300</pubDate>
					 
					</item>

				

					<item>
					  <title>'Ndege za Sudan zaitwanga Darfur'</title>
					  <link>http://www.habaritanzania.com/articles/2685/1/%91Ndege-za-Sudan-zaitwanga-Darfur%92</link>
					  <description>MAKAMANDA wa waasi wa Darfur wamesema kwamba ndege za serikali ya hapa zimeyapiga mabomu maeneo ya kaskazini mwa Darfur na hivyo kukiuka makubaliano ya kusitisha mapigano. </description>
					  <author>info@habaritanzania.com (Habari Tanzania)</author>
					  <pubDate>Tue, 23 Jan 2007 00:00:00 +0300</pubDate>
					 
					</item>

				

					<item>
					  <title>Atiku arudi Nigeria chini ya ulinzi mkali</title>
					  <link>http://www.habaritanzania.com/articles/2684/1/Atiku-arudi-Nigeria-chini-ya-ulinzi-mkali</link>
					  <description>BAADA ya kutumia siku 32 nje ya nchi, Makamu wa Rais, Atiku Abubakar, alirudi nyumbani huku kukiwa na ulinzi mkali ambao nusura upiku wingi wa watu waliokuja kumpokea, mapokezi yaliyofanywa na Chama chake cha Action Congress (AC), kwenye Uwanja wa Ndege wa Nnamdi Azikiwe mjini hapa juzi.</description>
					  <author>info@habaritanzania.com (Habari Tanzania)</author>
					  <pubDate>Tue, 23 Jan 2007 00:00:00 +0300</pubDate>
					 
					</item>

				

					<item>
					  <title>Maelfu ya wanafunzi kutofanya mitihani ya sekondari Kenya</title>
					  <link>http://www.habaritanzania.com/articles/2683/1/Maelfu-ya-wanafunzi-kutofanya-mitihani-ya-sekondari-Kenya</link>
					  <description>MAELFU ya wanafunzi wenye vipaji wako hatarini kukosa nafasi ya kufanya mtihani wa kumaliza elimu ya sekondari (KCSE), iwapo serikali ya hapa itachelewesha kuwalipa fedha za udhamini.</description>
					  <author>info@habaritanzania.com (Habari Tanzania)</author>
					  <pubDate>Tue, 23 Jan 2007 00:00:00 +0300</pubDate>
					 
					</item>

				

					<item>
					  <title>Mganda kusimamia kesi ya Taylor</title>
					  <link>http://www.habaritanzania.com/articles/2682/1/Mganda-kusimamia-kesi-ya-Taylor</link>
					  <description>JAJI wa Mahakama Kuu ya Uganda, Julia Sebutinde, amekabidhiwa jukumu la kuongoza jopo la majaji watakaoendesha kesi inayomkabili mbabe wa zamani wa vita na Rais wa zamani wa Liberia, Charles Taylor. </description>
					  <author>info@habaritanzania.com (Habari Tanzania)</author>
					  <pubDate>Tue, 23 Jan 2007 00:00:00 +0300</pubDate>
					 
					</item>

				

					<item>
					  <title>Wanaopinga utandawazi waanza mkutano Kenya</title>
					  <link>http://www.habaritanzania.com/articles/2674/1/Wanaopinga-utandawazi-waanza-mkutano-Kenya</link>
					  <description>MKUTANO mkubwa wa mwaka wa Jukwaa la Kijamii, umeanza jijini hapa kwa maandamano ya maelfu ya watu wanaopinga utandawazi.</description>
					  <author>info@habaritanzania.com (Habari Tanzania)</author>
					  <pubDate>Mon, 22 Jan 2007 00:00:00 +0300</pubDate>
					 
					</item>

				

					<item>
					  <title>Mbabe wa vita Somalia ajisalimisha</title>
					  <link>http://www.habaritanzania.com/articles/2673/1/Mbabe-wa-vita-Somalia-ajisalimisha</link>
					  <description>MBABE wa vita, Mohamed Dheere, anayeogopwa zaidi, aliyekataa kutoa ushirikiano kwa Serikali ya Somalia, amesalimisha silaha zake na askari wake.</description>
					  <author>info@habaritanzania.com (Habari Tanzania)</author>
					  <pubDate>Mon, 22 Jan 2007 00:00:00 +0300</pubDate>
					 
					</item>

				

					<item>
					  <title>Rwanda kufuta hukumu ya kifo</title>
					  <link>http://www.habaritanzania.com/articles/2672/1/Rwanda-kufuta-hukumu-ya-kifo</link>
					  <description>WAZIRI wa Mambo ya Sheria wa Rwanda, Tharcisse Karugarama, amesema Baraza la Mawaziri limepiga kura ya kuondoa hukumu ya kifo kwenye sheria za nchi hiyo.</description>
					  <author>info@habaritanzania.com (Habari Tanzania)</author>
					  <pubDate>Mon, 22 Jan 2007 00:00:00 +0300</pubDate>
					 
					</item>

				

					<item>
					  <title>Bunge la mpito lamtimua spika Somalia</title>
					  <link>http://www.habaritanzania.com/articles/2648/1/Bunge-la-mpito-lamtimua-spika-Somalia</link>
					  <description>BUNGE la mpito la Somalia limemtimua spika wake, Sharif Hassan Sheikh Adan, baada ya kupiga kura ya kutokuwa na imani naye. </description>
					  <author>info@habaritanzania.com (Habari Tanzania)</author>
					  <pubDate>Fri, 19 Jan 2007 00:00:00 +0300</pubDate>
					 
					</item>

				

					<item>
					  <title>Wabunge wapinga Bush kuhusu Iraq</title>
					  <link>http://www.habaritanzania.com/articles/2647/1/Wabunge-wapinga-Bush-kuhusu-Iraq</link>
					  <description>WAJUMBE kadhaa wa Baraza la Seneti la Marekani kutoka vyama vya Republican na Democrat wameupinga mpango wa Rais George W Bush wa kupelekwa kwa wanajeshi zaidi wa nchi hiyo nchini Iraq.</description>
					  <author>info@habaritanzania.com (Habari Tanzania)</author>
					  <pubDate>Fri, 19 Jan 2007 00:00:00 +0300</pubDate>
					 
					</item>

				

					<item>
					  <title>Mkuu wa majeshi Israel ajiuzulu</title>
					  <link>http://www.habaritanzania.com/articles/2630/1/Mkuu-wa-majeshi-Israel-ajiuzulu</link>
					  <description>MKUU wa majeshi ya Israel, Luteni Jenerali Dan Halutz, amejiuzulu huku ukifanyika uchunguzi kuhusiana na mapigano ya mwaka jana kati ya Israel na kikundi cha wanamgambo cha Hizbollah kusini mwa Lebanon. </description>
					  <author>info@habaritanzania.com (Habari Tanzania)</author>
					  <pubDate>Thu, 18 Jan 2007 00:00:00 +0300</pubDate>
					 
					</item>

				

					<item>
					  <title>Merkel aandaa mipango ya EU</title>
					  <link>http://www.habaritanzania.com/articles/2629/1/Merkel-aandaa-mipango-ya-EU</link>
					  <description>KANSELA wa Ujerumani, Angela Merkel ameanza kuweka mipango ya Ujerumani kuchukua kiti cha urais wa Muungamo wa Ulaya (EU) katika bunge la Ulaya. </description>
					  <author>info@habaritanzania.com (Habari Tanzania)</author>
					  <pubDate>Thu, 18 Jan 2007 00:00:00 +0300</pubDate>
					 
					</item>

				

					<item>
					  <title>Nchi tano kupeleka wanajeshi Somalia</title>
					  <link>http://www.habaritanzania.com/articles/2628/1/Nchi-tano-kupeleka-wanajeshi-Somalia</link>
					  <description>MATAIFA kadhaa ya Afrika yamekubali kuchangia wanajeshi wa kupelekwa kulinda amani nchini Somalia, marais wa Kenya na Ethiopia wamesema.</description>
					  <author>info@habaritanzania.com (Habari Tanzania)</author>
					  <pubDate>Thu, 18 Jan 2007 00:00:00 +0300</pubDate>
					 
					</item>

				

					<item>
					  <title>Sheria ya jeshi yakutumika Somalia</title>
					  <link>http://www.habaritanzania.com/articles/2614/1/Sheria-ya-jeshi-yakutumika-Somalia</link>
					  <description>BUNGE la Somalia limepitisha uamuzi wa kutangazwa kutumika kwa sheria ya jeshi baada ya kutimuliwa kwa vikosi vya wanamgambo wa Kiislamu.</description>
					  <author>info@habaritanzania.com (Habari Tanzania)</author>
					  <pubDate>Wed, 17 Jan 2007 00:00:00 +0300</pubDate>
					 
					</item>

				

					<item>
					  <title>Korti yamwachia Domitien Ndayizeye</title>
					  <link>http://www.habaritanzania.com/articles/2613/1/Korti-yamwachia-Domitien-Ndayizeye</link>
					  <description>RAIS wa zamani wa Burundi, Domitien Ndayizeye na watu wengine wanne wameachiwa huru kutokana na tuhuma za kupanga mapinduzi na kumuua Rais Pierre Nkurunziza.</description>
					  <author>info@habaritanzania.com (Habari Tanzania)</author>
					  <pubDate>Wed, 17 Jan 2007 00:00:00 +0300</pubDate>
					 
					</item>

				

					<item>
					  <title>Marekani yaomba msaada wa Saudia</title>
					  <link>http://www.habaritanzania.com/articles/2612/1/Marekani-yaomba-msaada-wa-Saudia</link>
					  <description>WAZIRI wa Mambo ya Nje wa Marekani, Condoleezza Rice amefanya mazungumzo na wakuu wa Saudi Arabia kujaribu kuungwa mkono na nchi hiyo katika mipango yake ya kurejesha utulivu nchini Iraq.</description>
					  <author>info@habaritanzania.com (Habari Tanzania)</author>
					  <pubDate>Wed, 17 Jan 2007 00:00:00 +0300</pubDate>
					 
					</item>

				

					<item>
					  <title>Dunia yalaani kunyongwa washirika wa Saddam</title>
					  <link>http://www.habaritanzania.com/articles/2611/1/Dunia-yalaani-kunyongwa-washirika-wa-Saddam</link>
					  <description>VIONGOZI wa Umoja wa Mataifa (UN) na Muungano wa Ulaya (EU) wamelaani kunyongwa kwa waliokuwa wasaidizi waandamizi wa mtawala wa zamani wa Iraq, marehemu Saddam Hussein.</description>
					  <author>info@habaritanzania.com (Habari Tanzania)</author>
					  <pubDate>Wed, 17 Jan 2007 00:00:00 +0300</pubDate>
					 
					</item>

				

					<item>
					  <title>Polisi auawa, wanajeshi washambuliwa</title>
					  <link>http://www.habaritanzania.com/articles/2591/1/Polisi-auawa%2C-wanajeshi-washambuliwa</link>
					  <description>POLISI ameuawa, na msafara wa wanajeshi wa serikali ya mpito ya Somalia pamoja na washirika wao askari wa Ethiopia wameshambuliwa katika kile kinachoweza kuelezewa kuwa ni mashambulizi mapya katika jiji la Mogadishu.</description>
					  <author>info@habaritanzania.com (Habari Tanzania)</author>
					  <pubDate>Tue, 16 Jan 2007 00:00:00 +0300</pubDate>
					 
					</item>

				

					<item>
					  <title>Kiongozi wa wabunge atoka jela</title>
					  <link>http://www.habaritanzania.com/articles/2590/1/Kiongozi-wa-wabunge-atoka-jela</link>
					  <description>KIONGOZI wa zamani wa wabunge wa chama cha ANC Tony Yengeni, ametoka gerezani jana kwa masharti, baada ya kutumikia kifungo jela kwa miezi mitano.</description>
					  <author>info@habaritanzania.com (Habari Tanzania)</author>
					  <pubDate>Tue, 16 Jan 2007 00:00:00 +0300</pubDate>
					 
					</item>

				

					<item>
					  <title>Condoleezza aonya maadui wa Marekani</title>
					  <link>http://www.habaritanzania.com/articles/2569/1/Condoleezza-aonya-maadui-wa-Marekani</link>
					  <description>WAZIRI wa Mambo ya Nje wa Marekani, Condoleezza Rice ameonya kuwa Marekani itachukua hatua dhidi ya mataifa yanayodhoofisha amani nchini Iraq.</description>
					  <author>info@habaritanzania.com (Habari Tanzania)</author>
					  <pubDate>Sat, 13 Jan 2007 00:00:00 +0300</pubDate>
					 
					</item>

				

					<item>
					  <title>Chissano aanza upatanishi Uganda</title>
					  <link>http://www.habaritanzania.com/articles/2568/1/Chissano-aanza-upatanishi-Uganda</link>
					  <description>MJUMBE mpya aliyeteuliwa na Umoja wa Matafa kuipatanisha Uganda na waasi wa Lord's Resistance Army (LRA) amefanya ziara yake ya kwanza ambayo inaaminika kuwezesha kufanyika kwa mazungumzo kati ya pande hizo.</description>
					  <author>info@habaritanzania.com (Habari Tanzania)</author>
					  <pubDate>Sat, 13 Jan 2007 00:00:00 +0300</pubDate>
					 
					</item>

				

					<item>
					  <title>Mchungaji kunyongwa kwa kuchoma waumini wake</title>
					  <link>http://www.habaritanzania.com/articles/2567/1/Mchungaji-kunyongwa-kwa-kuchoma-waumini-wake</link>
					  <description>MAHAKAMA Kuu nchini Nigeria imemhukumu mhubiri wa dini mjini Lagos adhabu ya kunyongwa hadi kufa kwa kuwachoma moto wafuasi wa kanisa lake, na kuua mwanamke mmoja. </description>
					  <author>info@habaritanzania.com (Habari Tanzania)</author>
					  <pubDate>Sat, 13 Jan 2007 00:00:00 +0300</pubDate>
					 
					</item>

				

					<item>
					  <title>Did Hitler Use Jesus To Justify His Actions?</title>
					  <link>http://www.habaritanzania.com/articles/2560/1/Did-Hitler-Use-Jesus-To-Justify-His-Actions%3F</link>
					  <description>Did Hitler Use Jesus To Justify His Actions? Muslim: And of course, you forgot to mention the actions of Adolf Hitler, who killed 6 million innocent Jews and used the Bible to justify his actions. Read his book &#34;MIEN KEMPF&#34; and see for yourself how Hitler used his belief in Jesus (as) to justify this. - I.A.K.T. </description>
					  <author>mwanahabari@gmail.com (Mwana Habari)</author>
					  <pubDate>Fri, 12 Jan 2007 00:00:00 +0300</pubDate>
					 
					</item>

				

					<item>
					  <title>Guinea wagoma kumpinga rais mgonjwa</title>
					  <link>http://www.habaritanzania.com/articles/2557/1/Guinea-wagoma-kumpinga-rais-mgonjwa</link>
					  <description>MJI mkuu nchini hapa, umebakia kimya katika siku ya kwanza ya mgomo kupinga gharama kubwa za maisha na mwenendo wa Rais Lansana Conte, aliye mgonjwa. </description>
					  <author>info@habaritanzania.com (Habari Tanzania)</author>
					  <pubDate>Fri, 12 Jan 2007 00:00:00 +0300</pubDate>
					 
					</item>

				

					<item>
					  <title>Makamu wa Rais ahofia kurejea Nigeria</title>
					  <link>http://www.habaritanzania.com/articles/2556/1/Makamu-wa-Rais-ahofia-kurejea-Nigeria</link>
					  <description>MAKAMU wa Rais wa Nigeria, Atiku Abubakar, ambaye yuko katika mapumziko nyumbani kwake katika moja ya vitongoji vya hapa, anahofia maisha yake wakati atakaporudi nyumbani mwezi huu.</description>
					  <author>info@habaritanzania.com (Habari Tanzania)</author>
					  <pubDate>Fri, 12 Jan 2007 00:00:00 +0300</pubDate>
					 
					</item>

				

					<item>
					  <title>Bush kuongeza askari 20,000 Iraq</title>
					  <link>http://www.habaritanzania.com/articles/2555/1/Bush-kuongeza-askari-20%2C000-Iraq</link>
					  <description>RAIS George W. Bush wa hapa ameagiza kuongezwa askari zaidi ya 20,000 nchini Iraq, ikiwa ni sehemu ya mkakati wake mpya wa kutafuta ufumbuzi wa machafuko yanayoendelea nchini humo.</description>
					  <author>info@habaritanzania.com (Habari Tanzania)</author>
					  <pubDate>Fri, 12 Jan 2007 00:00:00 +0300</pubDate>
					 
					</item>

				

					<item>
					  <title>Mkutano wa wapinzani wavunjwa</title>
					  <link>http://www.habaritanzania.com/articles/2518/1/Mkutano-wa-wapinzani-wavunjwa</link>
					  <description>POLISI nchini Uganda wametumia gesi ya kutoa machozi kuuvunja mkutano wa hadhara ulioandaliwa na chama cha siasa mjini Kampala.</description>
					  <author>info@habaritanzania.com (Habari Tanzania)</author>
					  <pubDate>Mon, 08 Jan 2007 00:00:00 +0300</pubDate>
					 
					</item>

				

					<item>
					  <title>Ki-moon aiomba Iraq kuacha unyongaji</title>
					  <link>http://www.habaritanzania.com/articles/2517/1/Ki-moon-aiomba-Iraq-kuacha-unyongaji</link>
					  <description>KATIBU Mkuu mpya wa Umoja wa Mataifa (UN), Ban Ki-moon ameitaka Iraq kusitisha kuhumu ya kifo dhidi ya watu wawili wakiohukumiwa adhabu hiyo pamoja na mtawala wa zamani wa Iraq, Saddam Hussein. </description>
					  <author>info@habaritanzania.com (Habari Tanzania)</author>
					  <pubDate>Mon, 08 Jan 2007 00:00:00 +0300</pubDate>
					 
					</item>

				

					<item>
					  <title>Waandamana kupinga majeshi ya Ethiopia</title>
					  <link>http://www.habaritanzania.com/articles/2516/1/Waandamana-kupinga-majeshi-ya-Ethiopia</link>
					  <description>MAMIA ya watu wameingia katika mitaa ya mji mkuu wa Somalia, Mogadishu kupinga kuwepo kwa wanajeshi ya Ethiopia wanaoiunga mkono serikali ya mpito. </description>
					  <author>info@habaritanzania.com (Habari Tanzania)</author>
					  <pubDate>Mon, 08 Jan 2007 00:00:00 +0300</pubDate>
					 
					</item>

				

					<item>
					  <title>Uingereza yatetea ubomoaji kituo cha polisi Basra</title>
					  <link>http://www.habaritanzania.com/articles/2469/1/Uingereza-yatetea-ubomoaji-kituo-cha-polisi-Basra</link>
					  <description>JESHI la Uingereza mjini hapa limetetea uamuzi wake wa kubomoa kituo cha polisi cha Jamiat, huku baraza la Jiji la Basra likilaani hatua hiyo. </description>
					  <author>info@habaritanzania.com (Habari Tanzania)</author>
					  <pubDate>Wed, 27 Dec 2006 00:00:00 +0300</pubDate>
					 
					</item>

				

					<item>
					  <title>Atiku kumshitaki Obasanjo</title>
					  <link>http://www.habaritanzania.com/articles/2468/1/Atiku-kumshitaki-Obasanjo</link>
					  <description>MAKAMU wa Rais wa hapa, Atiku Abubakar, jana alitarajia kufungua kesi katika Mahakama Kuu ya Abuja kupinga uamuzi wa Rais Olusegun Obasanjo kumnyang'anya haki na stahili zake kama makamu wa rais.</description>
					  <author>info@habaritanzania.com (Habari Tanzania)</author>
					  <pubDate>Wed, 27 Dec 2006 00:00:00 +0300</pubDate>
					 
					</item>

				

					<item>
					  <title>Jaji ataka Ndayizeye afungwe maisha</title>
					  <link>http://www.habaritanzania.com/articles/2436/1/Jaji-ataka-Ndayizeye-afungwe-maisha</link>
					  <description>MWENDESHA mashitaka wa Mahakama Kuu ya Rufaa ya Burundi juzi ameitaka mahakama hiyo itoe adhabu ya kifungo cha maisha jela kwa rais wa zamani wa nchi hii, Domitien Ndayizeye, kwa tuhuma za kushirikiana na wenzake sita kutaka kuipindua serikali. </description>
					  <author>info@habaritanzania.com (Habari Tanzania)</author>
					  <pubDate>Sun, 24 Dec 2006 00:00:00 +0300</pubDate>
					 
					</item>

				

					<item>
					  <title>Wakati umefika mweusi kuongoza Marekani - Rice</title>
					  <link>http://www.habaritanzania.com/articles/2435/1/Wakati-umefika-mweusi-kuongoza-Marekani---Rice</link>
					  <description>WAZIRI wa Mambo ya Nje wa Marekani, Condoleezza Rice, amesema kwamba wakati umefika Marekani kuongozwa na rais mweusi. </description>
					  <author>info@habaritanzania.com (Habari Tanzania)</author>
					  <pubDate>Sun, 24 Dec 2006 00:00:00 +0300</pubDate>
					 
					</item>

				

					<item>
					  <title>Mafua kuua watu milioni 62 mwakani</title>
					  <link>http://www.habaritanzania.com/articles/2430/1/Mafua-kuua-watu-milioni-62-mwakani</link>
					  <description>WATAALAMU wa afya wameonya kwamba maradhi ya mafua huenda yakaua watu milioni 62 mwaka 2007.</description>
					  <author>info@habaritanzania.com (Habari Tanzania)</author>
					  <pubDate>Sat, 23 Dec 2006 00:00:00 +0300</pubDate>
					 
					</item>

				

					<item>
					  <title>Fedha zavunja mazungumzo ya nyuklia Korea</title>
					  <link>http://www.habaritanzania.com/articles/2429/1/Fedha-zavunja-mazungumzo-ya-nyuklia-Korea</link>
					  <description>MAZUNGUMZO ya pande sita yenye lengo la kuishawishi Korea Kaskazini iachane na mpango wake wa nyuklia, yalimalizika bila kufikiwa kwa maridhiano yoyote baada ya Marekani kutokubaliana na msisitizo wa Korea kutaka fedha zake zinazoshikiliwa ziachiwe. </description>
					  <author>info@habaritanzania.com (Habari Tanzania)</author>
					  <pubDate>Sat, 23 Dec 2006 00:00:00 +0300</pubDate>
					 
					</item>

				

					<item>
					  <title>Obasanjo ampokonya ndege makamu wake</title>
					  <link>http://www.habaritanzania.com/articles/2428/1/Obasanjo-ampokonya-ndege-makamu-wake</link>
					  <description>RAIS wa Nigeria, Olusegun Obasanjo, alizuia ndege ya kikazi ya makamu wake na kumvurugia likizo yake katika kile kinachoonekana kuwa mwendelezo wa kuonyeshana umwamba kati ya washirika hawa wawili wa zamani. </description>
					  <author>info@habaritanzania.com (Habari Tanzania)</author>
					  <pubDate>Sat, 23 Dec 2006 00:00:00 +0300</pubDate>
					 
					</item>

				

					<item>
					  <title>Tumeua mamia ya Waislamu - Somalia</title>
					  <link>http://www.habaritanzania.com/articles/2415/1/Tumeua-mamia-ya-Waislamu---Somalia</link>
					  <description>SERIKALI ya muda ya Somalia, imesema kwamba, jeshi lake linaloungwa mkono na Ethiopia, limewasababishia hasara kubwa wapiganaji wa Kiislamu katika mapigano yanayotishia kufumuka kwa vita eneo zima. </description>
					  <author>info@habaritanzania.com (Habari Tanzania)</author>
					  <pubDate>Fri, 22 Dec 2006 00:00:00 +0300</pubDate>
					 
					</item>

				

					<item>
					  <title>Sitawavumilia wanaonipinga - Mugabe</title>
					  <link>http://www.habaritanzania.com/articles/2414/1/Sitawavumilia-wanaonipinga---Mugabe</link>
					  <description>RAIS Robert Mugabe, ameonya kwamba atakula sahani moja na wote wanaopinga pendekezo lake la kusogeza uchaguzi wa rais hadi 2010. </description>
					  <author>info@habaritanzania.com (Habari Tanzania)</author>
					  <pubDate>Fri, 22 Dec 2006 00:00:00 +0300</pubDate>
					 
					</item>

				

					<item>
					  <title>Kony ataka ashitakiwe Uganda</title>
					  <link>http://www.habaritanzania.com/articles/2413/1/Kony-ataka-ashitakiwe-Uganda</link>
					  <description>KIONGOZI wa waasi wa Lord's Resistance Army (LRA), Joseph Kony, aliyefunguliwa kesi ya uhalifu wa kivita na Mahakama ya Kimataifa ya Jinai (ICC), amesema kwamba yuko tayari kufikishwa mahakamani nchini hapa. </description>
					  <author>info@habaritanzania.com (Habari Tanzania)</author>
					  <pubDate>Fri, 22 Dec 2006 00:00:00 +0300</pubDate>
					 
					</item>

				

					<item>
					  <title>Serikali Libya yaziba masikio</title>
					  <link>http://www.habaritanzania.com/articles/2406/1/Serikali-Libya-yaziba-masikio</link>
					  <description>SERIKLALI ya Libya imesema haitasikiliza 'kilio' na shinikizo la kimataifa baada ya kuwahukumu adhabu ya kifo, wauguzi watano raia wa Bulgaria na daktari mmoja wa Kipalestina kwa kuwaambukiza kwa makusudi watoto kadhaa virusi vya ukimwi.</description>
					  <author>info@habaritanzania.com (Habari Tanzania)</author>
					  <pubDate>Thu, 21 Dec 2006 00:00:00 +0300</pubDate>
					 
					</item>

				

					<item>
					  <title>Gbagbo atoa mapendekezo</title>
					  <link>http://www.habaritanzania.com/articles/2405/1/Gbagbo-atoa-mapendekezo</link>
					  <description>RAIS Laurent Gbagbo wa Ivory Coast ametoa mapendekezo yatakayosaidia kumaliza vita vya wenyewe kwa wenyewe vilivyodumu kwa muda mrefu sasa ndani ya nchi hiyo.</description>
					  <author>info@habaritanzania.com (Habari Tanzania)</author>
					  <pubDate>Thu, 21 Dec 2006 00:00:00 +0300</pubDate>
					 
					</item>

				

					<item>
					  <title>Wengi wa wasichana wadogo ni makahaba</title>
					  <link>http://www.habaritanzania.com/articles/2404/1/Wengi-wa-wasichana-wadogo-ni-makahaba</link>
					  <description>RIPOTI ya Shirika la Umoja wa Mataifa la Kuhudumia Watoto (UNICEF) imesema zaidi ya asilimia 30 ya wasichana wadogo wanajihusisha na vitendo vya ukahaba katika hoteli za kitalii nchini Kenya.</description>
					  <author>info@habaritanzania.com (Habari Tanzania)</author>
					  <pubDate>Wed, 20 Dec 2006 00:00:00 +0300</pubDate>
					 
					</item>

				

					<item>
					  <title>Uganda yatimua maofisa wa polisi 350</title>
					  <link>http://www.habaritanzania.com/articles/2396/1/Uganda-yatimua-maofisa-wa-polisi-350</link>
					  <description>Gazeti la Daily Monitor limegundua kwamba maofisa waliotimuliwa wameamriwa kuondoka kambini ndani ya kipindi cha siku 10 na kutakiwa kurudi wilayani mwao.</description>
					  <author>info@habaritanzania.com (Habari Tanzania)</author>
					  <pubDate>Wed, 20 Dec 2006 00:00:00 +0300</pubDate>
					 
					</item>

				

					<item>
					  <title>Uganda yatimua maofisa wa polisi 350</title>
					  <link>http://www.habaritanzania.com/articles/2395/1/Uganda-yatimua-maofisa-wa-polisi-350</link>
					  <description>Gazeti la Daily Monitor limegundua kwamba maofisa waliotimuliwa wameamriwa kuondoka kambini ndani ya kipindi cha siku 10 na kutakiwa kurudi wilayani mwao.</description>
					  <author>info@habaritanzania.com (Habari Tanzania)</author>
					  <pubDate>Wed, 20 Dec 2006 00:00:00 +0300</pubDate>
					 
					</item>

				

					<item>
					  <title>Obasanjo atuhumiwa kwa ulaji rushwa</title>
					  <link>http://www.habaritanzania.com/articles/2394/1/Obasanjo-atuhumiwa-kwa-ulaji-rushwa</link>
					  <description>MAKAMU wa Rais wa Nigeria, Atiku Abubakar, anayeshitakiwa kwa mashitaka ya ulaji rushwa, juzi alijibu mapigo kwa kumshambulia Rais Olusegun Obasanjo kwamba ana ushahidi wa kumhusisha na ulaji rushwa. </description>
					  <author>info@habaritanzania.com (Habari Tanzania)</author>
					  <pubDate>Wed, 20 Dec 2006 00:00:00 +0300</pubDate>
					 
					</item>

				

					<item>
					  <title>Waziri anusurika kifungo India</title>
					  <link>http://www.habaritanzania.com/articles/2388/1/Waziri-anusurika-kifungo-India</link>
					  <description>MAHAKAMA ya hapa imemfutia mashitaka Waziri wa Reli, Laloo Prasad Yadav, katika kesi ya ulaji rushwa ambayo imechukua muda mrefu. </description>
					  <author>info@habaritanzania.com (Habari Tanzania)</author>
					  <pubDate>Tue, 19 Dec 2006 00:00:00 +0300</pubDate>
					 
					</item>

				

					<item>
					  <title>Vurugu za kisiasa zaua Kenya</title>
					  <link>http://www.habaritanzania.com/articles/2387/1/Vurugu-za-kisiasa-zaua-Kenya</link>
					  <description>WATU watatu waliuawa na wengine kadhaa kujeruhiwa juzi baada ya polisi wa hapa kupambana na watu waliokuwa wamejitokeza katika maandamano ya kisiasa yaliyopigwa marufuku. </description>
					  <author>info@habaritanzania.com (Habari Tanzania)</author>
					  <pubDate>Tue, 19 Dec 2006 00:00:00 +0300</pubDate>
					 
					</item>

				

					<item>
					  <title>Lesotho yamtimua balozi wa Libya</title>
					  <link>http://www.habaritanzania.com/articles/2362/1/Lesotho-yamtimua-balozi-wa-Libya</link>
					  <description>SERIKALI ya Lesotho, imemfukuza balozi wa Libya nchini hapa, Mahumud El Gamudi.</description>
					  <author>info@habaritanzania.com (Habari Tanzania)</author>
					  <pubDate>Sat, 16 Dec 2006 00:00:00 +0300</pubDate>
					 
					</item>

				

					<item>
					  <title>Rais Ahmadinejad majaribuni Iran</title>
					  <link>http://www.habaritanzania.com/articles/2361/1/Rais-Ahmadinejad-majaribuni-Iran</link>
					  <description>WAIRAN wameanza kupiga kura katika chaguzi mbili zinazotazamwa kama mtihani wa kwanza kwa Rais Mahmoud Ahmadinejad, tangu alipoingia madarakani. </description>
					  <author>info@habaritanzania.com (Habari Tanzania)</author>
					  <pubDate>Sat, 16 Dec 2006 00:00:00 +0300</pubDate>
					 
					</item>

				

					<item>
					  <title>Mugabe awakoromea wanaonyemelea urais</title>
					  <link>http://www.habaritanzania.com/articles/2360/1/Mugabe-awakoromea-wanaonyemelea-urais</link>
					  <description>RAIS mkongwe wa hapa, Robert Mugabe amewashambulia vikali wanasiasa wa chama tawala wanaopigana vikumbo kutaka kurithi nafasi yake, akisema kwamba suala la kupokezana madaraka, linaweza kukisambaratisha chama hicho cha Zimbabwe African National Union - Patriotic Front (ZANU-PF). </description>
					  <author>info@habaritanzania.com (Habari Tanzania)</author>
					  <pubDate>Sat, 16 Dec 2006 00:00:00 +0300</pubDate>
					 
					</item>

				

					<item>
					  <title>Waziri Mkuu Palestina anusurika kifo</title>
					  <link>http://www.habaritanzania.com/articles/2359/1/Waziri-Mkuu-Palestina-anusurika-kifo</link>
					  <description>KUNDI la wanaharakati wa Kiislamu la Palestina, Hamas limesema kwamba wapinzani wao walijaribu kumuua Waziri Mkuu, Ismail Haniya wakati akirudi mjini hapa kutoka Misri. </description>
					  <author>info@habaritanzania.com (Habari Tanzania)</author>
					  <pubDate>Sat, 16 Dec 2006 00:00:00 +0300</pubDate>
					 
					</item>

				

					<item>
					  <title>Padri afungwa jela miaka 15 kwa mauaji ya Rwanda</title>
					  <link>http://www.habaritanzania.com/articles/2347/1/Padri-afungwa-jela-miaka-15-kwa-mauaji-ya-Rwanda</link>
					  <description>PADRI wa Kanisa Katoliki amehukumiwa kwenda jela miaka 15 baada ya mahakama kumkuta na hatia ya kuhusika katika mauaji ya kimbari nchini Rwanda mwaka 1994.</description>
					  <author>info@habaritanzania.com (Habari Tanzania)</author>
					  <pubDate>Fri, 15 Dec 2006 00:00:00 +0300</pubDate>
					 
					</item>

				

					<item>
					  <title>Bushmen waishinda kesi ya kuhamishwa</title>
					  <link>http://www.habaritanzania.com/articles/2346/1/Bushmen-waishinda-kesi-ya-kuhamishwa</link>
					  <description>JAMII ya watu wanaoishi porini katika Jangwa la Kalahari wameshinda kesi mahakamani ambapo walikuwa waliishitaki serikali ya Botswana kwa kuwahamisha kinyume cha sheria kutoka katika ardhi yao.</description>
					  <author>info@habaritanzania.com (Habari Tanzania)</author>
					  <pubDate>Fri, 15 Dec 2006 00:00:00 +0300</pubDate>
					 
					</item>

				

					<item>
					  <title>China kuwafutia ada wanafunzi 150milioni</title>
					  <link>http://www.habaritanzania.com/articles/2345/1/China-kuwafutia-ada-wanafunzi-150milioni</link>
					  <description>CHINA inakusudia kufuta michango na ada nyingine kwa wanafunzi 150milioni wa maeneo ya vijijini, zikiwa ni jitihada za kupunguza kiwango cha tofauti kati ya maeneo ya majimbo ya pwani yenye utajiri na majimbo masikini.</description>
					  <author>info@habaritanzania.com (Habari Tanzania)</author>
					  <pubDate>Fri, 15 Dec 2006 00:00:00 +0300</pubDate>
					 
					</item>

				

					<item>
					  <title>Mugabe akubali kuongeza muda wa urais</title>
					  <link>http://www.habaritanzania.com/articles/2344/1/Mugabe-akubali-kuongeza-muda-wa-urais</link>
					  <description>RAIS wa Zimbabwe, Robert Mugabe (81), ameunga mkono mpango wa kutaka aongezewe muda wa kukaa madarakani hadi mwaka 2010, vyombo vya habari vya Zimbabwe vimeripoti.</description>
					  <author>info@habaritanzania.com (Habari Tanzania)</author>
					  <pubDate>Fri, 15 Dec 2006 00:00:00 +0300</pubDate>
					 
					</item>

				

					<item>
					  <title>Saudi Arabia yaonya kuingia vitani Iraq</title>
					  <link>http://www.habaritanzania.com/articles/2334/1/Saudi-Arabia-yaonya-kuingia-vitani-Iraq</link>
					  <description>SERIKALI ya Saudi Arabia imeonya kwamba itachukua uamuzi wa kuwasaidia kifedha Wairaqi wa madhehebu ya Sunni, iwapo Marekani itaondoa askari wake nchini humo, ambamo machafuko ya kidini kati ya Wasunni walio wachache na Wairaqi wa madhehebu ya Shia walio wengi, yanatishia kuichanachana nchi. </description>
					  <author>info@habaritanzania.com (Habari Tanzania)</author>
					  <pubDate>Thu, 14 Dec 2006 00:00:00 +0300</pubDate>
					 
					</item>

				

					<item>
					  <title>Dikteta Mengistu atiwa hatiani Ethiopia</title>
					  <link>http://www.habaritanzania.com/articles/2333/1/Dikteta-Mengistu-atiwa-hatiani-Ethiopia</link>
					  <description>DIKTETA wa zamani wa hapa, Mengistu Haile Mariam, anayeishi uhamishoni kwa miaka 15 sasa, amepatikana na hatia ya mauaji ya kimbari katika kesi iliyochukua miaka 12.</description>
					  <author>info@habaritanzania.com (Habari Tanzania)</author>
					  <pubDate>Thu, 14 Dec 2006 00:00:00 +0300</pubDate>
					 
					</item>

				

					<item>
					  <title>Dikiteta Pinochet azikwa</title>
					  <link>http://www.habaritanzania.com/articles/2320/1/Dikiteta-Pinochet-azikwa</link>
					  <description>MTAWALA wa zamani wa Chile, Augusto Pinochet, aliyefariki Jumapili, alizikwa jana mjini hapa.Kabla ya mazishi yake, wafuasi wake walitoa heshima zao katika jeneza lililokuwa na mwili wake mjini Santiago. </description>
					  <author>info@habaritanzania.com (Habari Tanzania)</author>
					  <pubDate>Wed, 13 Dec 2006 00:00:00 +0300</pubDate>
					 
					</item>

				

					<item>
					  <title>Baraza lajadili hali ya Darfur</title>
					  <link>http://www.habaritanzania.com/articles/2319/1/Baraza-lajadili-hali-ya-Darfur</link>
					  <description>BARAZA la Haki za Binadamu Human la Umoja wa Mataifa jana lilianza kikao cha dharura kujadili hali ya sasa ya mgogoro katika Jimbo la Darfur nchini Sudan. </description>
					  <author>info@habaritanzania.com (Habari Tanzania)</author>
					  <pubDate>Wed, 13 Dec 2006 00:00:00 +0300</pubDate>
					 
					</item>

				

					<item>
					  <title>Rais Deby atembelea wanajeshi wake</title>
					  <link>http://www.habaritanzania.com/articles/2318/1/Rais-Deby-atembelea-wanajeshi-wake</link>
					  <description>RAIS wa Chad, Idriss Deby amewatembelea wanajeshi wa serikali katika mji wa mashariki wa Biltine baada ya mapigano makali ya Jumamosi, ambayo yalisababisha vifo vya mamia ya watu na majeruhi.</description>
					  <author>info@habaritanzania.com (Habari Tanzania)</author>
					  <pubDate>Wed, 13 Dec 2006 00:00:00 +0300</pubDate>
					 
					</item>

				

					<item>
					  <title>Jenerali Babangida ajitoa kugombea urais</title>
					  <link>http://www.habaritanzania.com/articles/2317/1/Jenerali-Babangida-ajitoa-kugombea-urais</link>
					  <description>MTAWALA wa zamani wa kijeshi nchini Nigeria, Ibrahim Babangida amejitoa katika mbio za kuwania urais katika uchaguzi mkuu wa mwakani kupitia chama tawala.</description>
					  <author>info@habaritanzania.com (Habari Tanzania)</author>
					  <pubDate>Wed, 13 Dec 2006 00:00:00 +0300</pubDate>
					 
					</item>

				

					<item>
					  <title>Raia wauawa katika shambulizi Darfur</title>
					  <link>http://www.habaritanzania.com/articles/2301/1/Raia-wauawa-katika-shambulizi-Darfur</link>
					  <description>RAIA wapatao 30 wameuawa katika shambulizi lililofanywa na watu wenye silaha dhidi ya msafara wa magari yaliyokuwa yamebeba dawa na misaada katika Jimbo la Darfur Magharibi mwa Sudan. </description>
					  <author>info@habaritanzania.com (Habari Tanzania)</author>
					  <pubDate>Tue, 12 Dec 2006 00:00:00 +0300</pubDate>
					 
					</item>

				

					<item>
					  <title>Upendeleo wa jinsia chanzo cha umaskini</title>
					  <link>http://www.habaritanzania.com/articles/2300/1/Upendeleo-wa-jinsia-chanzo-cha-umaskini</link>
					  <description>KUTOKUWEPO na usawa katika familia kati ya wanaume na wanawake nichanzo cha afya duni za watoto na kiwango kikubwa cha umaskini katika familia, utafiti umebainisha.</description>
					  <author>info@habaritanzania.com (Habari Tanzania)</author>
					  <pubDate>Tue, 12 Dec 2006 00:00:00 +0300</pubDate>
					 
					</item>

				

					<item>
					  <title>Wafanyakazi wa mafuta washambuliwa</title>
					  <link>http://www.habaritanzania.com/articles/2299/1/Wafanyakazi-wa-mafuta-washambuliwa</link>
					  <description>MTU mmoja amekufa na wengine tisa kujeruhiwa baada ya kulipuka kwa bomu la kutegwa barabarani kuyalipukia mabasi mawili yaliyokuwa yamebebea wafanyakazi wa kampuni ya mafuta nchini Algeria. </description>
					  <author>info@habaritanzania.com (Habari Tanzania)</author>
					  <pubDate>Tue, 12 Dec 2006 00:00:00 +0300</pubDate>
					 
					</item>

				

					<item>
					  <title>Pinochet afariki, ghasia zazuka</title>
					  <link>http://www.habaritanzania.com/articles/2298/1/Pinochet-afariki%2C-ghasia-zazuka</link>
					  <description>MAELFU ya wananchi wa Chile wameandamana katika mitaa kufuatia kifo cha mtawala wa kijeshi wa nchi hiyo, Augusto Pinochet, akiwa na umri wa miaka 91. </description>
					  <author>info@habaritanzania.com (Habari Tanzania)</author>
					  <pubDate>Tue, 12 Dec 2006 00:00:00 +0300</pubDate>
					 
					</item>

				

					<item>
					  <title>Yanga yaanza na Polisi Uganda Jan. 8</title>
					  <link>http://www.habaritanzania.com/articles/2283/1/Yanga-yaanza-na-Polisi-Uganda-Jan.-8</link>
					  <description>YANGA itaanza kampeni za kuwania ubingwa wa Kombe la Kagame kwa kupambana na Polisi Uganda katika mechi ya Kundi C Januari 8, kwenye Uwanja wa Amahoro mjini Kigali, Rwanda.</description>
					  <author>info@habaritanzania.com (Habari Tanzania)</author>
					  <pubDate>Mon, 11 Dec 2006 00:00:00 +0300</pubDate>
					 
					</item>

				

					<item>
					  <title>Marekani sasa kuipatia India nyuklia</title>
					  <link>http://www.habaritanzania.com/articles/2282/1/Marekani-sasa-kuipatia-India-nyuklia</link>
					  <description>BARAZA la Congress nchini Marekani limepitisha uamuzi wa kusafirisha nishati ya nyuklia nchini India kwa ajili ya matumizi ya kawaida na teknolojia kwa mara ya kwanza katika kipindi cha miaka 30.</description>
					  <author>info@habaritanzania.com (Habari Tanzania)</author>
					  <pubDate>Mon, 11 Dec 2006 00:00:00 +0300</pubDate>
					 
					</item>

				

					<item>
					  <title>Waathirika wa mafuriko wadondoshewa misaada</title>
					  <link>http://www.habaritanzania.com/articles/2281/1/Waathirika-wa-mafuriko-wadondoshewa-misaada</link>
					  <description>NDEGE zinadondosha misaada, kikiwemo chakula kwa zaidi ya wakimbizi 100,000 katika kambi tatu zilizoathiriwa na mafuriko kutoka kaskazini mashariki mwa Kenya. Ndege ya jeshi la Marekani imesambaza tani kadhaa za misaada yakiwemo mabati ya plastiki, vyandarua na mablanketi.</description>
					  <author>info@habaritanzania.com (Habari Tanzania)</author>
					  <pubDate>Mon, 11 Dec 2006 00:00:00 +0300</pubDate>
					 
					</item>

				

					<item>
					  <title>Mapigano makali yalipuka Chad</title>
					  <link>http://www.habaritanzania.com/articles/2280/1/Mapigano-makali-yalipuka-Chad</link>
					  <description>MAPIGANO makali yamezuka kati ya vikosi vya serikali ya Chad na waasi mashariki mwa nchi hiyo. Pande zote mbili kila mmoja umedai kupata ushindi katika mapigano hayo, ambayo yameripotiwa kuanza wakati wanajeshi wa serikali waliposhambulia eneo ambalo waasi walikuwa wamejificha karibu na mji wa Biltine. </description>
					  <author>info@habaritanzania.com (Habari Tanzania)</author>
					  <pubDate>Mon, 11 Dec 2006 00:00:00 +0300</pubDate>
					 
					</item>

				

					<item>
					  <title>Wanawake wataka ubakaji ukomeshwe Darfur</title>
					  <link>http://www.habaritanzania.com/articles/2279/1/Wanawake-wataka-ubakaji-ukomeshwe-Darfur</link>
					  <description>KUNDI la viongozi wanawake mashuhuri duniani wametoa wito wa pamoja wa kukomeshwa kwa unyanyasaji wa kijinsia katika jimbo linalokabiliwa na vita la Darfur nchini nchini Sudan. </description>
					  <author>info@habaritanzania.com (Habari Tanzania)</author>
					  <pubDate>Mon, 11 Dec 2006 00:00:00 +0300</pubDate>
					 
					</item>

				

					<item>
					  <title>Bush: Sera ya Marekani kwa Iraq kubadilishwa</title>
					  <link>http://www.habaritanzania.com/articles/2248/1/Bush%3A-Sera-ya-Marekani-kwa-Iraq-kubadilishwa</link>
					  <description>MAREKANI na Uingereza zinapaswa kukubali sera mpya kwa Iraq, Rais wa Marekani, George Bush na Waziri Mkuu wa Uingereza, Tony Blair wamesema. </description>
					  <author>info@habaritanzania.com (Habari Tanzania)</author>
					  <pubDate>Sat, 09 Dec 2006 00:00:00 +0300</pubDate>
					 
					</item>

				

					<item>
					  <title>Mtoto wa Taylor akana mashitaka</title>
					  <link>http://www.habaritanzania.com/articles/2247/1/Mtoto-wa-Taylor-akana-mashitaka</link>
					  <description>MTOTO wa mtawala wa zamani wa Liberia, Charles Taylor amekana tuhuma za kuhusika na vitendo vya utesaji wakati wa utawala wa baba yake.</description>
					  <author>info@habaritanzania.com (Habari Tanzania)</author>
					  <pubDate>Sat, 09 Dec 2006 00:00:00 +0300</pubDate>
					 
					</item>

				

					<item>
					  <title>Ongezeko la watu lakwaza malengo ya Millenia</title>
					  <link>http://www.habaritanzania.com/articles/2246/1/Ongezeko-la-watu-lakwaza-malengo-ya-Millenia</link>
					  <description>MALENGO ya Umoja wa Mataifa ya Maendeleo ya Millennia (MDGs) ni vigumu kufikiwa bila kudhibiti ongezeko la idadi ya watu, kundi la wabunge wa Uingereza limesema.</description>
					  <author>info@habaritanzania.com (Habari Tanzania)</author>
					  <pubDate>Sat, 09 Dec 2006 00:00:00 +0300</pubDate>
					 
					</item>

				

					<item>
					  <title>Atiku Abubakar kugombea kupitia upinzani?</title>
					  <link>http://www.habaritanzania.com/articles/2245/1/Atiku-Abubakar-kugombea-kupitia-upinzani%3F</link>
					  <description>CHAMA tawala nchini Nigeria cha Democratic Party (PDP) kimesema kuwa Makamu wa Rais, Atiku Abubakar hatagombea urais Aprili mwakani kupitia tiketi yake.</description>
					  <author>info@habaritanzania.com (Habari Tanzania)</author>
					  <pubDate>Sat, 09 Dec 2006 00:00:00 +0300</pubDate>
					 
					</item>

				

					<item>
					  <title>Kiongozi wa upinzani akamatwa</title>
					  <link>http://www.habaritanzania.com/articles/2228/1/Kiongozi-wa-upinzani-akamatwa</link>
					  <description>KIONGOZI wa upinzani nchini Zambia, Michael Sata amekamatwa kwa kile kilichodaiwa kuwa alitoa taarifa za uongo wakati wa kutangaza mali zake kabla ya uchaguzi mkuu wa Septemba mwaka huu.</description>
					  <author>info@habaritanzania.com (Habari Tanzania)</author>
					  <pubDate>Thu, 07 Dec 2006 00:00:00 +0300</pubDate>
					 
					</item>

				

					<item>
					  <title>Kina Uhuru Kenyatta wapigwa mabomu</title>
					  <link>http://www.habaritanzania.com/articles/2227/1/Kina-Uhuru-Kenyatta-wapigwa-mabomu</link>
					  <description>POLISI mjini Nairobi, Kenya wametumia mabomu ya machozi kuwatawanya mamia ya wafuasi wa upinzani ambao walikuwa wanajiandaa kufanya maandamano.</description>
					  <author>info@habaritanzania.com (Habari Tanzania)</author>
					  <pubDate>Thu, 07 Dec 2006 00:00:00 +0300</pubDate>
					 
					</item>

				

					<item>
					  <title>Shahidi wa Rwanda amkana jaji Mfaransa</title>
					  <link>http://www.habaritanzania.com/articles/2215/1/Shahidi-wa-Rwanda-amkana-jaji-Mfaransa</link>
					  <description>SHAHIDI mmoja amesema kuwa ushahidi wake ulipotoshwa na tume ya uchunguzi ya Ufaransa ambayo ilimtuhumu Rais wa Rwanda, Paul Kagame kwa kuhusika na mauaji ya mtangulizi wake, Juvenal Habyarimana.Sahidi huyo, Emmanuel Ruzigana, ambaye ni mwanajeshi wa zamani anakiri kuwa na uhusiano na kundi linalodaiwa kumuua Habyarimana, gazeti moja la Ufaransa limeripoti.</description>
					  <author>info@habaritanzania.com (Habari Tanzania)</author>
					  <pubDate>Thu, 07 Dec 2006 00:00:00 +0300</pubDate>
					 
					</item>

				

					<item>
					  <title>Kiongozi wa Shia atetea msimamo Iraq</title>
					  <link>http://www.habaritanzania.com/articles/2217/1/Kiongozi-wa-Shia-atetea-msimamo-Iraq</link>
					  <description>MMOJA wa viongozi wenye nguvu kutoka madhehebu ya Shia nchini Iraq amesema anapinga hatua yoyote ya mataifa ya nje kutatua matatizo ya Iraq bila kuihusisha serikali ya Iraq.</description>
					  <author>info@habaritanzania.com (Habari Tanzania)</author>
					  <pubDate>Wed, 06 Dec 2006 00:00:00 +0300</pubDate>
					 
					</item>

				

					<item>
					  <title>Somalia yadhibiti walipuaji</title>
					  <link>http://www.habaritanzania.com/articles/2216/1/Somalia-yadhibiti-walipuaji</link>
					  <description>SERIKALI dhaifu ya mpito ya Somalia yenye makao yake makuu katika mji wa Baidoa imepiga marufuku magari madogo yanayoingia kutokea mjini Mogadishu kufuatia matukio mawili ya milipuko.</description>
					  <author>info@habaritanzania.com (Habari Tanzania)</author>
					  <pubDate>Wed, 06 Dec 2006 00:00:00 +0300</pubDate>
					 
					</item>

				

					<item>
					  <title>Jeshi latwaa madaraka nchini Fiji</title>
					  <link>http://www.habaritanzania.com/articles/2214/1/Jeshi-latwaa-madaraka-nchini-Fiji</link>
					  <description>JESHI la Fiji limetangaza kuwa limetwaa madaraka ya kuiongoza nchi hiyo, kufuatia siku kadhaa za mvutano na Waziri Mkuu wa nchi hiyo, Laisenia Qarase.</description>
					  <author>info@habaritanzania.com (Habari Tanzania)</author>
					  <pubDate>Wed, 06 Dec 2006 00:00:00 +0300</pubDate>
					 
					</item>

				

					<item>
					  <title>Rais kupunguza mshahara</title>
					  <link>http://www.habaritanzania.com/articles/2193/1/Rais-kupunguza-mshahara</link>
					  <description>RAIS mpya wa Mexico, Felipe Calderon, ametangaza kwamba atakata mshahara wake kwa asilimia 10 na vivyo hivyo kwa mawaziri wake na maofisa waandamizi wa serikali.</description>
					  <author>info@habaritanzania.com (Habari Tanzania)</author>
					  <pubDate>Tue, 05 Dec 2006 00:00:00 +0300</pubDate>
					 
					</item>

				

					<item>
					  <title>Kagame azidi kukerwa na kauli ya kumkamata</title>
					  <link>http://www.habaritanzania.com/articles/2192/1/Kagame-azidi-kukerwa-na-kauli-ya-kumkamata</link>
					  <description>RAIS Paul Kagame ameibuka kwa mara nyingine na kusema kwamba kitendo cha jaji wa Kifaransa kutoa hati ya kukamatwa kwake kuhusiana na mauaji ya halaiki ya mwaka 1994, ni ya kutaka kuibabaisha Rwanda.</description>
					  <author>info@habaritanzania.com (Habari Tanzania)</author>
					  <pubDate>Tue, 05 Dec 2006 00:00:00 +0300</pubDate>
					 
					</item>

				

					<item>
					  <title>Mmarekani jela miaka 40</title>
					  <link>http://www.habaritanzania.com/articles/2191/1/Mmarekani-jela-miaka-40</link>
					  <description>MAHAKAMA mjini hapa imemhukumu kwenda jela miaka 40 askari wa kikosi cha wanamaji cha jeshi la Marekani, baada ya kutiwa hatiani kwa kosa la kubaka. </description>
					  <author>info@habaritanzania.com (Habari Tanzania)</author>
					  <pubDate>Tue, 05 Dec 2006 00:00:00 +0300</pubDate>
					 
					</item>

				

					<item>
					  <title>Viongozi 15 kuhudhuria kuapishwa kwa Kabila</title>
					  <link>http://www.habaritanzania.com/articles/2190/1/Viongozi-15-kuhudhuria-kuapishwa-kwa-Kabila</link>
					  <description>VIONGOZI 15 kutoka nchi mbalimbali watahudhuria sherehe za kuapishwa kwa Rais mteule wa Jamhuri ya Kidemokrasi ya Congo (DRC), Joseph Kabila, mjini Kinshasa kesho.</description>
					  <author>info@habaritanzania.com (Habari Tanzania)</author>
					  <pubDate>Tue, 05 Dec 2006 00:00:00 +0300</pubDate>
					 
					</item>

				

					<item>
					  <title>Wavamia kituo cha polisi</title>
					  <link>http://www.habaritanzania.com/articles/2179/1/Wavamia-kituo-cha-polisi</link>
					  <description>Johannesburg-Jamaa watatu inaoaminika wamepinda mpaka basi wamevamia kituo cha polisi karibu na mji wa Pietermaritzburg, huko Kwazulu-Natal&#160; na wamemjeruhi polisi mmoja na kutokomea na bunduki pamoja na bullet proof,polisi wameyasema hayo leo hii.</description>
					  <author>washawashaupupu@yahoo.com (Marshy Abdu)</author>
					  <pubDate>Mon, 04 Dec 2006 00:00:00 +0300</pubDate>
					 
					</item>

				

					<item>
					  <title>Mbinu za kukataa wageni</title>
					  <link>http://www.habaritanzania.com/articles/2178/1/Mbinu-za-kukataa-wageni</link>
					  <description>SERIKALI nchini hapa, imebuni mtindo wa kuasaili wanaoomba uraia kwa kutumia maswali yenye vigezo vya dhana ya demokrasi na historia ya nchi hii. </description>
					  <author>info@habaritanzania.com (Habari Tanzania)</author>
					  <pubDate>Mon, 04 Dec 2006 00:00:00 +0300</pubDate>
					 
					</item>

				

					<item>
					  <title>Mwana mama ajitoa mhanga ofisi za serikali</title>
					  <link>http://www.habaritanzania.com/articles/2177/1/Mwana-mama-ajitoa-mhanga-ofisi-za-serikali</link>
					  <description>MAJESHI yanayoungwa mkono na Mahakama ya Kiislamu, yanayoshikilia maeneo ya kusini mwa nchi hii, yamepinga katakata kuhusika na mauaji ya kujitoa muhanga yaliyofanywa na mwanamke kwenye ofisi za serikali, katikati ya wiki hii.</description>
					  <author>info@habaritanzania.com (Habari Tanzania)</author>
					  <pubDate>Mon, 04 Dec 2006 00:00:00 +0300</pubDate>
					 
					</item>

				

					<item>
					  <title>Polisi Liberia waruhusiwa kubeba silaha</title>
					  <link>http://www.habaritanzania.com/articles/2176/1/Polisi-Liberia-waruhusiwa-kubeba-silaha</link>
					  <description>POLISI nchini hapa wameruhusiwa kumiliki silaha baada ya kuzuiwa na Umoja wa Mataifa kufanya hivyo kwa kipindi cha miaka mitatu iliyopita tangu kukoma kwa uasi wa miaka 14.</description>
					  <author>info@habaritanzania.com (Habari Tanzania)</author>
					  <pubDate>Mon, 04 Dec 2006 00:00:00 +0300</pubDate>
					 
					</item>

				

					<item>
					  <title>Hukumu dhidi ya asiyeona machachari yapigwa &#39;stop&#39;</title>
					  <link>http://www.habaritanzania.com/articles/2174/1/Hukumu-dhidi-ya-asiyeona-machachari-yapigwa-%26%2339%3Bstop%26%2339%3B</link>
					  <description>MAHAKAMA imesimamisha hukumu dhidi ya mwanaharakati wa haki za binadamu ambaye ni kipofu, Chen Guangcheng, aliyehukumiwa kwenda jela miaka minne iliyopita kwa kuharibu mali na kuleta usumbufu barabarani.</description>
					  <author>info@habaritanzania.com (Habari Tanzania)</author>
					  <pubDate>Mon, 04 Dec 2006 00:00:00 +0300</pubDate>
					 
					</item>

				

					<item>
					  <title>AU yakubali dhamana Darfur</title>
					  <link>http://www.habaritanzania.com/articles/2157/1/AU-yakubali-dhamana-Darfur</link>
					  <description>MUUNGANO wa Afrika (AU) umekubali kuendelea na jukumu la kulinda amani katika jimbo la magharibi la Darfur nchini Sudan kwa miezi sita zaidi kuanzia Januari.</description>
					  <author>info@habaritanzania.com (Habari Tanzania)</author>
					  <pubDate>Sun, 03 Dec 2006 00:00:00 +0300</pubDate>
					 
					</item>

				

					<item>
					  <title>Mamia wauawa katika mapigano</title>
					  <link>http://www.habaritanzania.com/articles/2156/1/Mamia-wauawa-katika-mapigano</link>
					  <description>WATU wapatao 300 wameuawa katika mapigano kati ya jeshi la Sudan na waasi wa zamani wa kusini mwa nchi hiyo mapema wiki hii, wafanyakazi wa mashirika ya misaada wamesema.</description>
					  <author>info@habaritanzania.com (Habari Tanzania)</author>
					  <pubDate>Sun, 03 Dec 2006 00:00:00 +0300</pubDate>
					 
					</item>

				

					<item>
					  <title>Mlipuko wa bomu waua watu Somalia</title>
					  <link>http://www.habaritanzania.com/articles/2155/1/Mlipuko-wa-bomu-waua-watu-Somalia</link>
					  <description>UMETOKEA mlipuko ulioteketeza gari katika mji wa Baidoa, ambao ni makao makuu ya serikali dhaifu ya mpito ya Somalia, na kusababisha vifo vya watu wapatao sita.</description>
					  <author>info@habaritanzania.com (Habari Tanzania)</author>
					  <pubDate>Sun, 03 Dec 2006 00:00:00 +0300</pubDate>
					 
					</item>

				

					<item>
					  <title>Ndoa za jinsia moja sasa ruksa</title>
					  <link>http://www.habaritanzania.com/articles/2139/1/Ndoa-za-jinsia-moja-sasa-ruksa</link>
					  <description>NAIBU Rais wa Afrika Kusini, Phumzile Mlambo-Ngcuka amesaini sheria ambayo inaruhusu watu wa jinsia moja kuoana nchini humo.</description>
					  <author>info@habaritanzania.com (Habari Tanzania)</author>
					  <pubDate>Sat, 02 Dec 2006 00:00:00 +0300</pubDate>
					 
					</item>

				

					<item>
					  <title>AU yakubali dhamana Darfur</title>
					  <link>http://www.habaritanzania.com/articles/2138/1/AU-yakubali-dhamana-Darfur</link>
					  <description>MUUNGANO wa Afrika (AU) umekubali kuendelea na jukumu la kulinda amani katika jimbo la magharibi la Darfur nchini Sudan kwa miezi sita zaidi kuanzia Januari.</description>
					  <author>info@habaritanzania.com (Habari Tanzania)</author>
					  <pubDate>Sat, 02 Dec 2006 00:00:00 +0300</pubDate>
					 
					</item>

				

					<item>
					  <title>Mamia wauawa katika mapigano</title>
					  <link>http://www.habaritanzania.com/articles/2137/1/Mamia-wauawa-katika-mapigano</link>
					  <description>WATU wapatao 300 wameuawa katika mapigano kati ya jeshi la Sudan na waasi wa zamani wa kusini mwa nchi hiyo mapema wiki hii, wafanyakazi wa mashirika ya misaada wamesema.</description>
					  <author>info@habaritanzania.com (Habari Tanzania)</author>
					  <pubDate>Sat, 02 Dec 2006 00:00:00 +0300</pubDate>
					 
					</item>

				

					<item>
					  <title>Mlipuko wa bomu waua watu Somalia</title>
					  <link>http://www.habaritanzania.com/articles/2136/1/Mlipuko-wa-bomu-waua-watu-Somalia</link>
					  <description>UMETOKEA mlipuko ulioteketeza gari katika mji wa Baidoa, ambao ni makao makuu ya serikali dhaifu ya mpito ya Somalia, na kusababisha vifo vya watu wapatao sita.</description>
					  <author>info@habaritanzania.com (Habari Tanzania)</author>
					  <pubDate>Sat, 02 Dec 2006 00:00:00 +0300</pubDate>
					 
					</item>

				

					<item>
					  <title>Kashfa ya ubakaji yawakumba wanajeshi wa UN</title>
					  <link>http://www.habaritanzania.com/articles/2118/1/Kashfa-ya-ubakaji-yawakumba-wanajeshi-wa-UN</link>
					  <description>JESHI la Umoja wa Mataifa la kulinda amani katika nchi za Haiti na Liberia limekumbwa na kashifa ya kuwabaka watoto na kuwalazimisha kufanya ukahaba.</description>
					  <author>info@habaritanzania.com (Habari Tanzania)</author>
					  <pubDate>Fri, 01 Dec 2006 00:00:00 +0300</pubDate>
					 
					</item>

				

					<item>
					  <title>Mapigano yazuka Sudan Kusini</title>
					  <link>http://www.habaritanzania.com/articles/2117/1/Mapigano-yazuka-Sudan-Kusini</link>
					  <description>MAPIGANO yamezuka kati ya jeshi la Sudan na waasi wa kusini mwa nchi hiyo wa kundi la Sudan People&#39;s Liberation Army (SPLA), Umoja wa Mataifa (UN) umesema.</description>
					  <author>info@habaritanzania.com (Habari Tanzania)</author>
					  <pubDate>Fri, 01 Dec 2006 00:00:00 +0300</pubDate>
					 
					</item>

				

					<item>
					  <title>Mahakama yamsafisha Makamu wa Rais</title>
					  <link>http://www.habaritanzania.com/articles/2116/1/Mahakama-yamsafisha-Makamu-wa-Rais</link>
					  <description>HATUA za kisheria za uchunguzi wa tuhuma za rushwa dhidi ya Makamu wa Rais wa Nigeria, Atiku Abubakar zimetupiliwa mbali na Mahakama Kuu ya Nigeria mjini Lagos.</description>
					  <author>info@habaritanzania.com (Habari Tanzania)</author>
					  <pubDate>Fri, 01 Dec 2006 00:00:00 +0300</pubDate>
					 
					</item>

				

					<item>
					  <title>LRA wajitoa katika mazungumzo</title>
					  <link>http://www.habaritanzania.com/articles/2115/1/LRA-wajitoa-katika-mazungumzo</link>
					  <description>KIKUNDI cha waasi nchini Uganda cha Lord's Resistance Army (LRA) kimejitoa katika mazungumzo ya amani na serikali ya Uganda.</description>
					  <author>info@habaritanzania.com (Habari Tanzania)</author>
					  <pubDate>Fri, 01 Dec 2006 00:00:00 +0300</pubDate>
					 
					</item>

				

					<item>
					  <title>Charles awasili Nigeria</title>
					  <link>http://www.habaritanzania.com/articles/2096/1/Charles-awasili-Nigeria</link>
					  <description>MRITHI wa kiti cha ufalme nchini Uingereza, Prince Charles amewasili nchini Nigeria na kupokelewa na Rais Olusegun Obasanjo. </description>
					  <author>info@habaritanzania.com (Habari Tanzania)</author>
					  <pubDate>Thu, 30 Nov 2006 00:00:00 +0300</pubDate>
					 
					</item>

				

					<item>
					  <title>Gbagbo ashutumu waziri mkuu</title>
					  <link>http://www.habaritanzania.com/articles/2095/1/Gbagbo-ashutumu-waziri-mkuu</link>
					  <description>WAZIRI MKUU wa Ivory Coast, Charles Konan Banny ameshutumiwa na Rais Laurent Gbagbo kutokana na kumpinga hadharani. Rais Gbagbo amesema kuwa amemtimua kazi mkuu wa televisheni ya taifa kwa kuruhusu kutangazwa kwa taarifa ya Banny.</description>
					  <author>info@habaritanzania.com (Habari Tanzania)</author>
					  <pubDate>Thu, 30 Nov 2006 00:00:00 +0300</pubDate>
					 
					</item>

				

					<item>
					  <title>Bemba sasa akubali yaishe</title>
					  <link>http://www.habaritanzania.com/articles/2094/1/Bemba-sasa-akubali-yaishe</link>
					  <description>KIONGOZI wa zamani wa waasi, Jean-Pierre Bemba amekubali kushindwa katika uchaguzi wa marudio ya urais katika Jamhuri ya Kidemokrasi ya Kongo (DRC). </description>
					  <author>info@habaritanzania.com (Habari Tanzania)</author>
					  <pubDate>Thu, 30 Nov 2006 00:00:00 +0300</pubDate>
					 
					</item>

				

					<item>
					  <title>Walinzi wa Gaddafi wazua tafrani</title>
					  <link>http://www.habaritanzania.com/articles/2093/1/Walinzi-wa-Gaddafi-wazua-tafrani</link>
					  <description>WALINZI wa kiongozi wa Libya, Kanali Muammar Gaddafi jana walizua tafrani kubwa wakati kiongozi huyo alipowasili kwenye uwanja wa ndege wa mjini Abuja, kuhudhuria mkutano wa wakuu wa nchi za Afrika na Amerika Kusini. Maofisa wa Nigeria wamesema Kanali Gaddafi alikuwa amefuatana na ulinzi mkali wa walinzi wake zaidi ya zaidi 200 waliokuwa na kila aina ya silaha.</description>
					  <author>info@habaritanzania.com (Habari Tanzania)</author>
					  <pubDate>Thu, 30 Nov 2006 00:00:00 +0300</pubDate>
					 
					</item>

				

					<item>
					  <title>Kabila athibitishwa mshindi</title>
					  <link>http://www.habaritanzania.com/articles/2075/1/Kabila-athibitishwa-mshindi</link>
					  <description>MAHAKAMA Kuu katika Jamhuri ya Kidemokrasi ya Kongo (DRC) imethibitisha ushindi wa Joseph Kabila katika uchaguzi mkuu wa rais wa marudio uliofayika Oktoba 29.</description>
					  <author>info@habaritanzania.com (Habari Tanzania)</author>
					  <pubDate>Wed, 29 Nov 2006 00:00:00 +0300</pubDate>
					 
					</item>

				

					<item>
					  <title>Al-Bashir akataa jeshi la UN</title>
					  <link>http://www.habaritanzania.com/articles/2074/1/Al-Bashir-akataa-jeshi-la-UN</link>
					  <description>RAIS wa Sudan, Omar al-Bashir amekataa mipango ya kupelekwa kwa vikosi vya pamoja vya kulinda amani katika Jimbo la Darfur ambavyo vitajumuisha Umoja wa Mataifa (UN) na Muungano wa Afrika (AU).</description>
					  <author>info@habaritanzania.com (Habari Tanzania)</author>
					  <pubDate>Wed, 29 Nov 2006 00:00:00 +0300</pubDate>
					 
					</item>

				

					<item>
					  <title>Rwanda yafunga taasisi za Ufaransa</title>
					  <link>http://www.habaritanzania.com/articles/2073/1/Rwanda-yafunga-taasisi-za-Ufaransa</link>
					  <description>SERIKALI ya Rwanda imeamuru kufungwa taasisi za Ufaransa yakiwemo matangazo Radio France International, kutokana na kulegea kwa uhusiano baina ya nchi hizo kuhusiana na matukio yaliyosababisha mauaji ya kimbari nchini Rwanda mwaka 1994.</description>
					  <author>info@habaritanzania.com (Habari Tanzania)</author>
					  <pubDate>Wed, 29 Nov 2006 00:00:00 +0300</pubDate>
					 
					</item>

				

					<item>
					  <title>Saddam arejea kortini</title>
					  <link>http://www.habaritanzania.com/articles/2057/1/Saddam-arejea-kortini</link>
					  <description>KESI ya mauaji ya kimbari dhidi ya mtawala wa zamani wa Iraq, Saddam Hussein, imeanza tena katika mji mkuu wa nchi hiyo, Baghdad. </description>
					  <author>info@habaritanzania.com (Habari Tanzania)</author>
					  <pubDate>Tue, 28 Nov 2006 00:00:00 +0300</pubDate>
					 
					</item>

				

					<item>
					  <title>Mfalme atabiri vita Mashariki ya Kati</title>
					  <link>http://www.habaritanzania.com/articles/2056/1/Mfalme-atabiri-vita-Mashariki-ya-Kati</link>
					  <description>AMMAN, Jordan MFALME Abdullah wa Jordan ameonya kuwa ikiwa jumuiya ya kimataifa haitachukua hatua za haraka, kuna uwezekano wa kutokea vita tatu katika eneo la Mashariki ya Kati.</description>
					  <author>info@habaritanzania.com (Habari Tanzania)</author>
					  <pubDate>Tue, 28 Nov 2006 00:00:00 +0300</pubDate>
					 
					</item>

				

					<item>
					  <title>Berlusconi azimia mkutanoni</title>
					  <link>http://www.habaritanzania.com/articles/2054/1/Berlusconi-azimia-mkutanoni</link>
					  <description>WAZIRI Mkuu wa zamani wa Italia, Silvio Berlusconi amefanyiwa uchunguzi wa moyo baada ya kufikishwa hospitalini kufuatia kuzimia wakati akihutubia mkutano wa hadhara kaskazini mwa Italia. Berlusconi, (70), alizimia wakati akihutubia mkutano huo wa hadhara mjini Tuscany na kuangukia mikononi mwa wasaidizi wake. Amelazwa kwa ajili ya uchunguzi zaidi katika hospitali moja mjini Milan, lakini amesema anaendelea vizuri. </description>
					  <author>info@habaritanzania.com (Habari Tanzania)</author>
					  <pubDate>Tue, 28 Nov 2006 00:00:00 +0300</pubDate>
					 
					</item>

				

					<item>
					  <title>UN yashambulia waasi DRC</title>
					  <link>http://www.habaritanzania.com/articles/2053/1/UN-yashambulia-waasi-DRC</link>
					  <description>HELIKOPTA za Umoja wa Mataifa (UN) zimeshambulia vikosi vya waasi wanaomtii Jenerali Laurent Nkunda kuwazuia kuuteka mji wa Goma mashariki mwa Jamhuri ya Kidemokrasi ya Kongo (DRC). </description>
					  <author>info@habaritanzania.com (Habari Tanzania)</author>
					  <pubDate>Tue, 28 Nov 2006 00:00:00 +0300</pubDate>
					 
					</item>

				

					<item>
					  <title>Lebanon yaruhusu uchunguzi wa Hariri</title>
					  <link>http://www.habaritanzania.com/articles/2034/1/Lebanon-yaruhusu-uchunguzi-wa-Hariri</link>
					  <description>BARAZA la mawaziri la Lebanon limetoa kibali cha mwisho kuhusiana na mpango wa kuanzisha kwa uchunguzi wa kimataifa kuhusu watuhumiwa wa mauaji ya Waziri Mkuu wa Lebanon, Rafik Hariri. </description>
					  <author>info@habaritanzania.com (Habari Tanzania)</author>
					  <pubDate>Tue, 28 Nov 2006 00:00:00 +0300</pubDate>
					 
					</item>

				

					<item>
					  <title>Makamu wa Rais asisitiza kugombea</title>
					  <link>http://www.habaritanzania.com/articles/2036/1/Makamu-wa-Rais-asisitiza-kugombea</link>
					  <description>MAKAMU wa Rais wa Nigeria, Atiku Abubakar amevunja ukimya kwa kusisitiza kuwa atasimama kugombea kiti cha urais nchini Nigeria mwakani. Abubakar ameweka wazi msimamo wake kufuatia taarifa za uvumi zilizodumu kwa mwezi mmoja uliopita kuhusiana na suala hilo. </description>
					  <author>info@habaritanzania.com (Habari Tanzania)</author>
					  <pubDate>Mon, 27 Nov 2006 00:00:00 +0300</pubDate>
					 
					</item>

				

					<item>
					  <title>Hali ya mapigano Chad yatatanisha</title>
					  <link>http://www.habaritanzania.com/articles/2035/1/Hali-ya-mapigano-Chad-yatatanisha</link>
					  <description>HALI ya mapigano nchini Chad kati ya waasi wa jeshi la serikali ni ya kutatanisha kutokana na waasi kudai kuteka miji miwili iliyoko mashariki wakati jeshi la serikali likidai kuikomboa. Vikosi vya waasi nchini </description>
					  <author>info@habaritanzania.com (Habari Tanzania)</author>
					  <pubDate>Mon, 27 Nov 2006 00:00:00 +0300</pubDate>
					 
					</item>

				

					<item>
					  <title>Rais Putin lawamani kwa kifo cha jasusi</title>
					  <link>http://www.habaritanzania.com/articles/2021/1/Rais-Putin-lawamani-kwa-kifo-cha-jasusi</link>
					  <description>Mpelelezi wa Kirusi Alexander Litvinenko (43) aliyefariki juzi kwa kudhaniwa amelishwa sumu, anadaiwa kuacha ujumbe mzito wa kumhisisha Rais Vladimir Putin wa Urusi na kifo chake.</description>
					  <author>info@habaritanzania.com (Habari Tanzania)</author>
					  <pubDate>Sun, 26 Nov 2006 00:00:00 +0300</pubDate>
					 
					</item>

				

					<item>
					  <title>Mahakama Afrika Kusini yabariki mashoga kurithi Mali</title>
					  <link>http://www.habaritanzania.com/articles/2020/1/Mahakama-Afrika-Kusini-yabariki-mashoga-kurithi-Mali</link>
					  <description>Siku chache baada ya Bunge la Afrika Kusini kubariki ndoa za jinsia moja, Mahakama ya Kikatiba nchini humo imesema sheria ya mirathi nchini humo inawabagua wapenzi wa jinsia moja na kutaka irekebishwe. </description>
					  <author>info@habaritanzania.com (Habari Tanzania)</author>
					  <pubDate>Sun, 26 Nov 2006 00:00:00 +0300</pubDate>
					 
					</item>

				

					<item>
					  <title>Rwanda yafunga ubalozi wake Ufaransa</title>
					  <link>http://www.habaritanzania.com/articles/2019/1/Rwanda-yafunga-ubalozi-wake-Ufaransa</link>
					  <description>SERIKALI ya Rwanda imefunga Ubalozi wake nchini Ufaransa kufuatia tuhuma zilizoelekezwa na Jaji wa nchi hiyo Jaji Jean-Louis Bruguiere wa nchi hiyo kumtaka Rais Kagame akamatwe na kushtakiwa kwenye mahakama ya Kimataifa ya ICTR.Hatua hiyo inafuatia taarifa ya Jaji huyo wa Ufaransa iliyopelekea zaidi ya wananchi 25,000 wa Rwanda kuandamana katika mji mkuu wa nchi hiyo Kigali kupiga kauli hiyo ya Ufaransa.</description>
					  <author>info@habaritanzania.com (Habari Tanzania)</author>
					  <pubDate>Sun, 26 Nov 2006 00:00:00 +0300</pubDate>
					 
					</item>

				

					<item>
					  <title>Kaburi la pamoja lagunduliwa DRC</title>
					  <link>http://www.habaritanzania.com/articles/1999/1/Kaburi-la-pamoja-lagunduliwa-DRC</link>
					  <description>WAPELELEZI wa Umoja wa Mataifa wamegundua kaburi la pamoja kwenye kambi ya jeshi mashariki mwa Jamhuri ya Kidemokrasia ya Congo katika Wilaya ya Ituri, likiwa na miili 30, wakiwamo wanawake na watoto ambao wanaonekana kuchinjwa. </description>
					  <author>info@habaritanzania.com (Habari Tanzania)</author>
					  <pubDate>Sat, 25 Nov 2006 00:00:00 +0300</pubDate>
					 
					</item>

				

					<item>
					  <title>Majeshi ya Ethiopia yamiminika Somalia</title>
					  <link>http://www.habaritanzania.com/articles/1998/1/Majeshi-ya-Ethiopia-yamiminika-Somalia</link>
					  <description>MAMIA ya askari wa Ethiopia wanaoshirikiana na Serikali ya mpito ya Somalia waliwasili nchini hapa mapema jana saa chache tu baada ya Waziri Mkuu wa Ethiopia, Meles Zenawi, kutangaza kwamba nchi yake iko tayari kwa vita na Waislamu wenye msimamo mkali ambao wamejiimarisha nchini hapa. </description>
					  <author>info@habaritanzania.com (Habari Tanzania)</author>
					  <pubDate>Sat, 25 Nov 2006 00:00:00 +0300</pubDate>
					 
					</item>

				

					<item>
					  <title>Ukeketaji wanawake si Uislamu</title>
					  <link>http://www.habaritanzania.com/articles/1997/1/Ukeketaji-wanawake-si-Uislamu</link>
					  <description>MKUTANO wa wahadhiri wa Kiislamu kutoka duniani kote ulitangaza kwa kauli moja kwamba ukeketaji wanawake ni kinyume cha Uislamu na udhalilishaji, na walitoa wito kwa wanaoendekeza mila hizo kuadhibiwa. </description>
					  <author>info@habaritanzania.com (Habari Tanzania)</author>
					  <pubDate>Sat, 25 Nov 2006 00:00:00 +0300</pubDate>
					 
					</item>

				

					<item>
					  <title>Hati ya kuwakamata wasaidizi wa Kagame yatolewa</title>
					  <link>http://www.habaritanzania.com/articles/1996/1/Hati-ya-kuwakamata-wasaidizi-wa-Kagame-yatolewa</link>
					  <description>SERIKALI ya Rwanda, imemrudisha nyumbani balozi wake nchini Ufaransa, katika hatua mpya inayokuza mzozo kati ya nchi hizi hasa baada ya Ufaransa kutoa hati ya kuwakamata baadhi ya maofisa wa serikali kuhusiana na mauaji ya kimbari ya mwaka 1994. </description>
					  <author>info@habaritanzania.com (Habari Tanzania)</author>
					  <pubDate>Sat, 25 Nov 2006 00:00:00 +0300</pubDate>
					 
					</item>

				

					<item>
					  <title>Sudan yahitimisha ndoa na jeshi la Uganda</title>
					  <link>http://www.habaritanzania.com/articles/1995/1/Sudan-yahitimisha-ndoa-na-jeshi-la-Uganda</link>
					  <description>BUNGE la Sudan, limetaka kuhitimishwa kwa makubaliano yanayoruhusu Jeshi la Ulinzi la Wananchi wa Uganda (UPDF), kuwasaka waasi wa Lord's Resistance Army (LRA) kusini mwa Sudan.</description>
					  <author>info@habaritanzania.com (Habari Tanzania)</author>
					  <pubDate>Sat, 25 Nov 2006 00:00:00 +0300</pubDate>
					 
					</item>

				

					<item>
					  <title>Zimbabwe hatarini kufukuzwa IMF</title>
					  <link>http://www.habaritanzania.com/articles/1984/1/Zimbabwe-hatarini-kufukuzwa-IMF</link>
					  <description>JOPO la Shirika la Kimataifa la Fedha (IMF), litaitembelea Zimbabwe mwezi ujao kufanya tathmini ambayo iwapo haitakuwa nzuri litaiondoa nchi hii iliyokumbwa na mlolongo wa madeni kutoka uanachama wa shirika hilo. </description>
					  <author>info@habaritanzania.com (Habari Tanzania)</author>
					  <pubDate>Fri, 24 Nov 2006 00:00:00 +0300</pubDate>
					 
					</item>

				

					<item>
					  <title>UN yakubali kuchunguza mauaji ya waziri Lebanon</title>
					  <link>http://www.habaritanzania.com/articles/1983/1/UN-yakubali-kuchunguza-mauaji-ya-waziri-Lebanon</link>
					  <description>BARAZA la Usalama la Umoja wa Mataifa, limekubali ombi kutoka Serikali ya Lebanon kusaidia uchunguzi wa mauaji ya mwanasiasa mpinzani mkubwa wa Syria, Pierre Gemayel</description>
					  <author>info@habaritanzania.com (Habari Tanzania)</author>
					  <pubDate>Fri, 24 Nov 2006 00:00:00 +0300</pubDate>
					 
					</item>

				

					<item>
					  <title>16 mbaroni kwa wizi wa mitihani Uganda</title>
					  <link>http://www.habaritanzania.com/articles/1982/1/16-mbaroni-kwa-wizi-wa-mitihani-Uganda</link>
					  <description>WATU 16 wamekamatwa na polisi hadi sasa kutokana na wizi wa mitihani ya sekondari ambayo iko chini ya Bodi ya Taifa ya Mitihani ya Uganda (UNEB).</description>
					  <author>info@habaritanzania.com (Habari Tanzania)</author>
					  <pubDate>Fri, 24 Nov 2006 00:00:00 +0300</pubDate>
					 
					</item>

				

					<item>
					  <title>Serikali Zambia yakwamisha matibabu ya Chiluba</title>
					  <link>http://www.habaritanzania.com/articles/1961/1/Serikali-Zambia-yakwamisha-matibabu-ya-Chiluba</link>
					  <description>SERIKALI nchini hapa imeshutumiwa kwa kuhatarisha maisha ya Rais wa zamani, Frederick Chiluba, kutokana na kushindwa kumfanyia utaratibu wa kwenda kutibiwa Afrika Kusini. </description>
					  <author>info@habaritanzania.com (Habari Tanzania)</author>
					  <pubDate>Thu, 23 Nov 2006 00:00:00 +0300</pubDate>
					 
					</item>

				

					<item>
					  <title>Kagame acharuka kuhusishwa katika mauaji</title>
					  <link>http://www.habaritanzania.com/articles/1960/1/Kagame-acharuka-kuhusishwa-katika-mauaji</link>
					  <description>SERIKALI nchini hapa imeishukia Ufaransa juu ya pendekezo lililotolewa na jaji wake, kutaka Rais Paul Kagame asimame kizimbani kujibu mashitaka ya mauaji ya rais wa zamani wa nchi hii, yaliyochochea mauaji ya kimbari. </description>
					  <author>info@habaritanzania.com (Habari Tanzania)</author>
					  <pubDate>Thu, 23 Nov 2006 00:00:00 +0300</pubDate>
					 
					</item>

				

					<item>
					  <title>Waziri Mkristo auawa Lebanon</title>
					  <link>http://www.habaritanzania.com/articles/1958/1/Waziri-Mkristo-auawa-Lebanon</link>
					  <description>WALEBANON jana walianza siku tatu za maombolezo ya kifo cha Waziri wa Viwanda, Pierre Gemayel, anayetoka katika familia ya Kikristo ya wanasiasa maarufu, aliyeuawa kwa kupigwa risasi na wanamgambo wasiojulikana juzi. </description>
					  <author>info@habaritanzania.com (Habari Tanzania)</author>
					  <pubDate>Thu, 23 Nov 2006 00:00:00 +0300</pubDate>
					 
					</item>

				

					<item>
					  <title>Binti wa Bush aporwa pochi</title>
					  <link>http://www.habaritanzania.com/articles/1957/1/Binti-wa-Bush-aporwa-pochi</link>
					  <description>ULINZI mkali inaowekewa familia ya Rais George W. Bush wa Marekani, haukuweza kufuadafu mbele ya vibaka wa Argentina baada ya mmoja wa binti mapacha wa mbabe huyo wa dunia, kuporwa pochi.</description>
					  <author>info@habaritanzania.com (Habari Tanzania)</author>
					  <pubDate>Thu, 23 Nov 2006 00:00:00 +0300</pubDate>
					 
					</item>

				

					<item>
					  <title>Kagame anahusika katika mauaji ya Habyarimana - Jaji</title>
					  <link>http://www.habaritanzania.com/articles/1952/1/Kagame-anahusika-katika-mauaji-ya-Habyarimana---Jaji</link>
					  <description>JAJI wa Ufaransa, Jean-Louis Bruiguiere, amesema kwamba Rais wa Rwanda, Paul Kagame, anapaswa asimame kizimbani kujibu mashitaka ya mauaji ya Rais wa zamani wa nchi hiyo, Juvenal Habyarimana, mauaji ambayo yaliibua wimbi la mauaji ya kimbari. </description>
					  <author>info@habaritanzania.com (Habari Tanzania)</author>
					  <pubDate>Wed, 22 Nov 2006 00:00:00 +0300</pubDate>
					 
					</item>

				

					<item>
					  <title>UN yaanza kupeleka chakula Kenya, Somalia</title>
					  <link>http://www.habaritanzania.com/articles/1949/1/UN-yaanza-kupeleka-chakula-Kenya%2C-Somalia</link>
					  <description>UMOJA wa Mataifa umezindua misafara ya ndege za kupeleka chakula kwa ajili ya watu milioni moja, waliokumbwa na mafuriko nchini Somalia na Kenya.</description>
					  <author>info@habaritanzania.com (Habari Tanzania)</author>
					  <pubDate>Wed, 22 Nov 2006 00:00:00 +0300</pubDate>
					 
					</item>

				

					<item>
					  <title>Blair: Ubabe pekee si suluhisho la ugaidi</title>
					  <link>http://www.habaritanzania.com/articles/1935/1/Blair%3A-Ubabe-pekee-si-suluhisho-la-ugaidi</link>
					  <description>WAZIRI Mkuu wa Uingereza, Tony Blair, amekiri kwamba matumizi ya nguvu za kijeshi pekee hayawezi kuushinda ugaidi, alisema kwamba usuluhishaji wa migogoro ya Mashariki ya Kati ni muhimu katika kupambana na udhalimu. </description>
					  <author>info@habaritanzania.com (Habari Tanzania)</author>
					  <pubDate>Tue, 21 Nov 2006 00:00:00 +0300</pubDate>
					 
					</item>

				

					<item>
					  <title>Waziri wa Afya Iraq atekwa nyumbani</title>
					  <link>http://www.habaritanzania.com/articles/1934/1/Waziri-wa-Afya-Iraq-atekwa-nyumbani</link>
					  <description>WANAMGAMBO 24, baadhi yao wakiwa wamevalia mavazi ya polisi walivamia nyumba ya Waziri wa Afya wa Iraq, Ammar al-Saffar, juzi na kumteka nyara.</description>
					  <author>info@habaritanzania.com (Habari Tanzania)</author>
					  <pubDate>Tue, 21 Nov 2006 00:00:00 +0300</pubDate>
					 
					</item>

				

					<item>
					  <title>Kuna njama za kupora utajiri wa Sudan - Gaddaf</title>
					  <link>http://www.habaritanzania.com/articles/1933/1/Kuna-njama-za-kupora-utajiri-wa-Sudan---Gaddaf</link>
					  <description>KIONGOZI wa Libya, Muammar Gaddafi, juzi alizituhumu nchi za Magharibi kwa kujaribu kupora utajiri wa mafuta wa Sudan kwa kivuli cha utumaji wa jeshi la Umoja wa Mataifa kulinda amani Darfur na ameitaka Serikali ya Sudan kutokubaliana na mpango huo.</description>
					  <author>info@habaritanzania.com (Habari Tanzania)</author>
					  <pubDate>Tue, 21 Nov 2006 00:00:00 +0300</pubDate>
					 
					</item>

				

					<item>
					  <title>Iran, Syria zaombwa kusaidia kuimarisha usalama</title>
					  <link>http://www.habaritanzania.com/articles/1924/1/Iran%2C-Syria-zaombwa-kusaidia-kuimarisha-usalama</link>
					  <description>Serikali za Marekani na Uingereza zimesema hazitalegeza msimamo dhidi ya Iran na Syria licha ya wito wa kuzitaka nchi hizo mbili za kiarabu kusaidia kuimarisha hali ya usalama nchini Irak.</description>
					  <author>info@habaritanzania.com (Habari Tanzania)</author>
					  <pubDate>Mon, 20 Nov 2006 00:00:00 +0300</pubDate>
					 
					</item>

				

					<item>
					  <title>Sudan yashambulia Darfur 70 wauawa</title>
					  <link>http://www.habaritanzania.com/articles/1923/1/Sudan-yashambulia-Darfur-70-wauawa</link>
					  <description>Serikali ya Sudan na wanamgambo wa Janjaweed wamefanya mashambulio mapya katika eneo la kaskazini mwa jimbo la Darfur lililoko magharibi mwa Sudan, Umoja wa Afrika (AU) umeeleza.</description>
					  <author>info@habaritanzania.com (Habari Tanzania)</author>
					  <pubDate>Mon, 20 Nov 2006 00:00:00 +0300</pubDate>
					 
					</item>

				

					<item>
					  <title>Jaribio la mapinduzi lafanyika Madagascar</title>
					  <link>http://www.habaritanzania.com/articles/1922/1/Jaribio-la-mapinduzi-lafanyika-Madagascar</link>
					  <description>Jenerali mmoja wa jeshi la Madagascar amelitaka jeshi la nchi hiyo kumpindua Rais Marc Ravalomanana, majuma mawili kabla ya uchaguzi wa rais kufanyika.</description>
					  <author>info@habaritanzania.com (Habari Tanzania)</author>
					  <pubDate>Mon, 20 Nov 2006 00:00:00 +0300</pubDate>
					 
					</item>

				

					<item>
					  <title>Wahindu India wataka kuisafisha dunia kwa moto</title>
					  <link>http://www.habaritanzania.com/articles/1907/1/Wahindu-India-wataka-kuisafisha-dunia-kwa-moto</link>
					  <description>WAHINDU katika Jimbo la Bengal nchini hapa juzi walianza kuchoma moto mbao na mitishamba katika mashimo marefu zaidi ya 1,000 katika sherehe ya kidini waliyosema kwamba itasaidia kuokoa tabaka za ozoni na kuponya magonjwa duniani katika hatua iliyoibua hasira kwa wanaharakati wa mazingira.</description>
					  <author>info@habaritanzania.com (Habari Tanzania)</author>
					  <pubDate>Sun, 19 Nov 2006 00:00:00 +0300</pubDate>
					 
					</item>

				

					<item>
					  <title>Rais wa zamani Uruguay akamatwa</title>
					  <link>http://www.habaritanzania.com/articles/1906/1/Rais-wa-zamani-Uruguay-akamatwa</link>
					  <description>RAIS wa zamani wa Uruguay, Juan Maria Bordaberry, amekamatwa akihusishwa na mauaji ya wanasiasa wanne wakati wa utawala wake wa kijeshi katika miaka ya 1970. </description>
					  <author>info@habaritanzania.com (Habari Tanzania)</author>
					  <pubDate>Sun, 19 Nov 2006 00:00:00 +0300</pubDate>
					 
					</item>

				

					<item>
					  <title>Waangalizi wa uchaguzi wamshushua Bemba DRC</title>
					  <link>http://www.habaritanzania.com/articles/1905/1/Waangalizi-wa-uchaguzi-wamshushua-Bemba-DRC</link>
					  <description>JOPO la pamoja la waangalizi wa uchaguzi kutoka hapa na Ulaya juzi walitangaza kwamba mchakato wa kuhesabu kura ulikuwa huru na wa haki, kinyume cha malalamiko ya mgombea aliyeshindwa, Jean-Pierre Bemba, ambaye amesema kwamba atapinga matokeo. </description>
					  <author>info@habaritanzania.com (Habari Tanzania)</author>
					  <pubDate>Sun, 19 Nov 2006 00:00:00 +0300</pubDate>
					 
					</item>

				

					<item>
					  <title>Mpakani wakaa tayari</title>
					  <link>http://www.habaritanzania.com/articles/1898/1/Mpakani-wakaa-tayari</link>
					  <description>Pretoria-Afrika kusini,jeshi la nchi hiyo limewataka walinzi wote wa mipakani,hasa ule wa Afrika Kusini na Mozambique kuwa tayari kwa lolote&#160;baada ya&#160; mfungwa anayeogopeka&#160;Ananias Mathe kutoroka,katika gereza lenye ulinzi mkali la C Max mjini Pretoria,</description>
					  <author>washawashaupupu@yahoo.com (Marshy Abdu)</author>
					  <pubDate>Sun, 19 Nov 2006 00:00:00 +0300</pubDate>
					 
					</item>

				

					<item>
					  <title>Raia watano wa kigeni watekwa Iraq</title>
					  <link>http://www.habaritanzania.com/articles/1893/1/Raia-watano-wa-kigeni-watekwa-Iraq</link>
					  <description>RAIA watano wa kigeni wakiwamo Wamarekani wanne na mwingine kutoka Austria wametekwa nyara kutokana msafara wa kiraia kusini mwa Iraq.</description>
					  <author>info@habaritanzania.com (Habari Tanzania)</author>
					  <pubDate>Sat, 18 Nov 2006 00:00:00 +0300</pubDate>
					 
					</item>

				

					<item>
					  <title>Suala la hali ya hewa lawa gumu</title>
					  <link>http://www.habaritanzania.com/articles/1892/1/Suala-la-hali-ya-hewa-lawa-gumu</link>
					  <description>WAKATI mkutano wa kimataifa kuhusu hali ya hewa ukiingia siku ya mwisho, bado haujafikiwa muafaka kuhusu majaliwa ya mustakabali wa hali ya hewa duniani.</description>
					  <author>info@habaritanzania.com (Habari Tanzania)</author>
					  <pubDate>Sat, 18 Nov 2006 00:00:00 +0300</pubDate>
					 
					</item>

				

					<item>
					  <title>Mwanamke apitishwa kugombea urais Ufaransa</title>
					  <link>http://www.habaritanzania.com/articles/1891/1/Mwanamke-apitishwa-kugombea-urais-Ufaransa</link>
					  <description>CHAMA cha Kisoshalisti cha Ufaransa kimempitisha Segolene Royal kuwa mgombea wake wa urais katika uchaguzi mkuu ujao.</description>
					  <author>info@habaritanzania.com (Habari Tanzania)</author>
					  <pubDate>Sat, 18 Nov 2006 00:00:00 +0300</pubDate>
					 
					</item>

				

					<item>
					  <title>Sudan yaunga mkono mpango wa kuweka majeshi Darfur</title>
					  <link>http://www.habaritanzania.com/articles/1890/1/Sudan-yaunga-mkono-mpango-wa-kuweka-majeshi-Darfur</link>
					  <description>BAADA ya ukaidi wa muda mrefu Sudan imekubaliana kimsingi na mpango wa kuweka jeshi la pamoja la Umoja wa Mataifa (UN) na lile la Umoja wa Afrika (AU) katika Jimbo la Darfur.</description>
					  <author>info@habaritanzania.com (Habari Tanzania)</author>
					  <pubDate>Sat, 18 Nov 2006 00:00:00 +0300</pubDate>
					 
					</item>

				

					<item>
					  <title>Uturuki yavunja uhusiano na Ufaransa</title>
					  <link>http://www.habaritanzania.com/articles/1878/1/Uturuki-yavunja-uhusiano-na-Ufaransa</link>
					  <description>KAMANDA wa Jeshi la Uturuki amesema kuwa nchi yake imevunja uhusiano wa kijeshi na Ufaransa. </description>
					  <author>info@habaritanzania.com (Habari Tanzania)</author>
					  <pubDate>Fri, 17 Nov 2006 00:00:00 +0300</pubDate>
					 
					</item>

				

					<item>
					  <title>Israel yashambulizi makazi Palestina</title>
					  <link>http://www.habaritanzania.com/articles/1876/1/Israel-yashambulizi-makazi-Palestina</link>
					  <description>VIKOSI vya Israel vimeshambulia makazi ya baadhi ya wanaharakati waandamizi wa Kipalestina mjini Gaza na kujeruhi mtu mmoja.</description>
					  <author>info@habaritanzania.com (Habari Tanzania)</author>
					  <pubDate>Fri, 17 Nov 2006 00:00:00 +0300</pubDate>
					 
					</item>

				

					<item>
					  <title>Kabila aomba wananchi wawe na utulivu DRC</title>
					  <link>http://www.habaritanzania.com/articles/1875/1/Kabila-aomba-wananchi-wawe-na-utulivu-DRC</link>
					  <description>TUME Huru ya Uchaguzi katika Jamhuri ya Kidemokrasi ya Congo (DRC), imemtangaza Joseph Kabila kuwa mshindi wa uchaguzi wa marudio huku kiongozi huyo akitaka wananchi wawe watulivu.</description>
					  <author>info@habaritanzania.com (Habari Tanzania)</author>
					  <pubDate>Fri, 17 Nov 2006 00:00:00 +0300</pubDate>
					 
					</item>

				

					<item>
					  <title>Rais Bush ajaribu kujipoza Asia</title>
					  <link>http://www.habaritanzania.com/articles/1861/1/Rais-Bush-ajaribu-kujipoza-Asia</link>
					  <description>BAADA ya kubwagwa katika uchaguzi wa Seneti na Baraza la Congress wiki iliyopita, Rais George W. Bush ameanza ziara ya barani Asia akijaribu 'kufunika kombe'.</description>
					  <author>info@habaritanzania.com (Habari Tanzania)</author>
					  <pubDate>Thu, 16 Nov 2006 00:00:00 +0300</pubDate>
					 
					</item>

				

					<item>
					  <title>Bunge la Kenya kuwa na wanawake zaidi</title>
					  <link>http://www.habaritanzania.com/articles/1860/1/Bunge-la-Kenya-kuwa-na-wanawake-zaidi</link>
					  <description>KAMATI iliyoundwa na serikali ya Kenya kupendekeza mabadiliko ya katiba mpya ya nchi hiyo imependekeza kuongezwa kwa idadi ya wabunge wa bunge la nchi hiyo kutoka 222 hadi kufikia 316.</description>
					  <author>info@habaritanzania.com (Habari Tanzania)</author>
					  <pubDate>Thu, 16 Nov 2006 00:00:00 +0300</pubDate>
					 
					</item>

				

					<item>
					  <title>Bush, Blair waweka msimamo mkali juu ya Iran</title>
					  <link>http://www.habaritanzania.com/articles/1847/1/Bush%2C-Blair-waweka-msimamo-mkali-juu-ya-Iran</link>
					  <description>Wakati serikali ya Marekani ikikabiliwa na mtihani mgumu wa kutakiwa kubadilisha sera zake juu ya Iraq, Rais George Bush na Waziri Mkuu, Tony Blair jana waliweka wazi msimamo wao juu ya Iran.</description>
					  <author>info@habaritanzania.com (Habari Tanzania)</author>
					  <pubDate>Wed, 15 Nov 2006 00:00:00 +0300</pubDate>
					 
					</item>

				

					<item>
					  <title>Wapiganaji Darfur wazidi kushutumiwa</title>
					  <link>http://www.habaritanzania.com/articles/1846/1/Wapiganaji-Darfur-wazidi-kushutumiwa</link>
					  <description>Wakati zaidi ya watu milioni mbili wanadaiwa kulikimbia jimbo la Darfur nchini Sudan kufuatia mgogoro uliokuwa unafukuta, imeripotiwa kuwa watu 30 waliuawa hivi karibuni wakati kikundi cha wapiganaji kinachodaiwa kuungwa mkono na serikali ya nchi hiyo kilipovamia kijiji cha Sirba nchini humo.</description>
					  <author>info@habaritanzania.com (Habari Tanzania)</author>
					  <pubDate>Wed, 15 Nov 2006 00:00:00 +0300</pubDate>
					 
					</item>

				

					<item>
					  <title>Kabila akaribia kushinda urais</title>
					  <link>http://www.habaritanzania.com/articles/1845/1/Kabila-akaribia-kushinda-urais</link>
					  <description>Rais Joseph Kabila anaongoza katika marudio ya matokeo ya uchaguzi wa urais wa Jamhuri ya Kidemokrasi ya watu wa Congo dhidi ya mpinzani wake Jean-Pierre Bemba. </description>
					  <author>info@habaritanzania.com (Habari Tanzania)</author>
					  <pubDate>Wed, 15 Nov 2006 00:00:00 +0300</pubDate>
					 
					</item>

				

					<item>
					  <title>Egeland akutana na Uganda, LRA</title>
					  <link>http://www.habaritanzania.com/articles/1819/1/Egeland-akutana-na-Uganda%2C-LRA</link>
					  <description>OFISA Mkuu wa kitengo cha misaada cha Umoja wa Mataifa (UN), Jan Egeland amekutana na serikali ya Uganda na viongozi wa waasi wa Lord's Resistance Army (LRA), katika kuyapa nguvu mazungumzo ya amani yanalokusudia kumaliza vita iliyodumu kwa zaidi ya miaka 20 kaskazini mwa Uganda.</description>
					  <author>info@habaritanzania.com (Habari Tanzania)</author>
					  <pubDate>Mon, 13 Nov 2006 00:00:00 +0300</pubDate>
					 
					</item>

				

					<item>
					  <title>Mawaziri watano wajiuzulu</title>
					  <link>http://www.habaritanzania.com/articles/1818/1/Mawaziri-watano-wajiuzulu</link>
					  <description>MAWAZIRI wote wa madhehebu ya Kiislamu ya Shia katika serikali ya Lebanon, ambao wanaiunga mkono Syria wamejiuzulu, kikundi cha Hizbollah kimesema</description>
					  <author>info@habaritanzania.com (Habari Tanzania)</author>
					  <pubDate>Mon, 13 Nov 2006 00:00:00 +0300</pubDate>
					 
					</item>

				

					<item>
					  <title>Mapigano yazuka Kinshasa, raia wawili wauawa</title>
					  <link>http://www.habaritanzania.com/articles/1817/1/Mapigano-yazuka-Kinshasa%2C-raia-wawili-wauawa</link>
					  <description>MAPIGANO yamezuka baina ya vikosi vya usalama na wafuasi wa mgombea wa urais kutoka upinzani, Jean Pierre Bemba mjini Kinshasa juzi.</description>
					  <author>info@habaritanzania.com (Habari Tanzania)</author>
					  <pubDate>Mon, 13 Nov 2006 00:00:00 +0300</pubDate>
					 
					</item>

				

					<item>
					  <title>Seneti nayo yaenda Democrat</title>
					  <link>http://www.habaritanzania.com/articles/1799/1/Seneti-nayo-yaenda-Democrat</link>
					  <description>CHAMA cha Democrat kinasherehekea baada kuthibitishwa kupata ushindi mkubwa katika Baraza la Seneti la Marekani pamoja na Baraza la Wawakilishi.</description>
					  <author>info@habaritanzania.com (Habari Tanzania)</author>
					  <pubDate>Sat, 11 Nov 2006 00:00:00 +0300</pubDate>
					 
					</item>

				

					<item>
					  <title>Mateka watoroka wanamgambo</title>
					  <link>http://www.habaritanzania.com/articles/1798/1/Mateka-watoroka-wanamgambo</link>
					  <description>WAFANYAKAZI tisa wa kampuni ya mafuta wamefanikiwa kutoroka kutoka kituo cha kusambaza umeme kinachoshikiliwa na wanamgambo kusini mwa Nigeria. </description>
					  <author>info@habaritanzania.com (Habari Tanzania)</author>
					  <pubDate>Sat, 11 Nov 2006 00:00:00 +0300</pubDate>
					 
					</item>

				

					<item>
					  <title>UN yataka kukutana na Kony</title>
					  <link>http://www.habaritanzania.com/articles/1797/1/UN-yataka-kukutana-na-Kony</link>
					  <description>OFISA Mkuu wa Umoja wa Mataifa anayeshughulikia kitengo cha misaada, Jan Egeland amesema atakutana na kiongozi wa kikundi cha waasi nchini Uganda cha Loard's Resistance Army (LRA) Joseph Kony, kwa sharti kwamba wanawake na wanawake na watoto waliowateka wanachiwa kwanza.</description>
					  <author>info@habaritanzania.com (Habari Tanzania)</author>
					  <pubD