<?xml version="1.0" encoding="utf-8"?><?xml-stylesheet href="http://www.habaritanzania.com/templates/Default/RssDisplay.xslt" type="text/xsl"?>
		<rss version="2.0">
		  <channel>
				<title>Habari Tanzania - Articles - Michezo</title>
				<link>http://www.habaritanzania.com</link>
				<description />
				<language>en-us</language>
				<copyright>http://www.habaritanzania.com</copyright>
				<generator>N/A</generator>
				<webMaster>info@habaritanzania.com</webMaster>
				<lastBuildDate>Sat, 22 Nov 2008 05:21:36 +0300</lastBuildDate>
				<ttl>20</ttl>

					<item>
					  <title>Prisons yazitimulia vumbi Simba, Yanga</title>
					  <link>http://www.habaritanzania.com/articles/4199/1/Prisons-yazitimulia-vumbi-Simba%2C-Yanga</link>
					  <description>MAAFANDE wa Prisons ya Mbeya jana waliendelea 'kutembeza buti' katika Ligi Kuu ya Bara kwa kuwapigisha kwata maafande wenzao wa JKT Ruvu. Hilo lilidhihirika jana katika mechi iliyokuwa ya ushindani mkubwa kwa dakika zote 90</description>
					  <author>washawashaupupu@yahoo.com (Marshy Abdu)</author>
					  <pubDate>Fri, 05 Oct 2007 00:00:00 +0300</pubDate>
					 
					</item>

				

					<item>
					  <title>Miss Tanzania 2007 anafaa</title>
					  <link>http://www.habaritanzania.com/articles/4186/1/Miss-Tanzania-2007-anafaa</link>
					  <description>AMANI ya Mwenyezi Mungu iwe juu yenu wasomaji wa safu hii ya Busati la Wikiendi, ambapo katika hali ya kawaida huwa inakujia kila ifikapo Ijumaa</description>
					  <author>info@habaritanzania.com (Habari Tanzania)</author>
					  <pubDate>Fri, 21 Sep 2007 00:00:00 +0300</pubDate>
					 
					</item>

				

					<item>
					  <title>Haruna Moshi, Kaniki kutimkia 'Sauzi'</title>
					  <link>http://www.habaritanzania.com/articles/4178/1/Haruna-Moshi%2C-Kaniki-kutimkia-%91Sauzi%92</link>
					  <description>WAKATI Ligi Kuu ya Bara ikianza Jumamosi, washambuliaji wa kutumainiwa katika kikosi cha Simba, Haruna Moshi 'Boban' na Joseph Kaniki, wako mbioni kutimkia nchini Afrika Kusini siku yoyote kuanzia leo.</description>
					  <author>washawashaupupu@yahoo.com (Marshy Abdu)</author>
					  <pubDate>Tue, 18 Sep 2007 00:00:00 +0300</pubDate>
					 
					</item>

				

					<item>
					  <title>Stars, Msumbiji zaingiza mil 605/-</title>
					  <link>http://www.habaritanzania.com/articles/4172/1/Stars%2C-Msumbiji-zaingiza-mil-605%7B47%7D-</link>
					  <description>MECHI ya kusaka tiketi ya fainali za Kombe la Mataifa ya Afrika kati ya Tanzania, Taifa Stars na Msumbiji iliyopigwa Jumamosi, kwenye uwanja mpya, jijini Dar es Salam, imeingiza sh mil 605.02.</description>
					  <author>washawashaupupu@yahoo.com (Marshy Abdu)</author>
					  <pubDate>Thu, 13 Sep 2007 00:00:00 +0300</pubDate>
					 
					</item>

				

					<item>
					  <title>Taifa Stars hakuna kulala - Dk. Msolla</title>
					  <link>http://www.habaritanzania.com/articles/4169/1/Taifa-Stars-hakuna-kulala---Dk.-Msolla</link>
					  <description>KOCHA wa zamani wa timu ya soka ya Tanzania, Taifa Stars, Dk. Mshindo Msolla, amesema baada ya kushindwa kupata tiketi ya fainali za Kombe la Mataifa ya Afrika zitakazopigwa mwakani nchini Ghana, hakuna kupoteza muda, isipokuwa ni kujipanga upya kwa fainali za Kombe la Dunia mwaka 2010.</description>
					  <author>washawashaupupu@yahoo.com (Marshy Abdu)</author>
					  <pubDate>Mon, 10 Sep 2007 00:00:00 +0300</pubDate>
					 
					</item>

				

					<item>
					  <title>Waliofukuzwa Mtibwa wamwandikia Kikwete</title>
					  <link>http://www.habaritanzania.com/articles/4155/1/Waliofukuzwa-Mtibwa-wamwandikia-Kikwete</link>
					  <description>WALIOKUWA wafanyakazi wa kiwanda cha Sukari cha Mtibwa, wamemwandikia barua Rais Jakaya Kikwete, wakimlalamikia mwajiri wao kwa kutowalipa mafao kwa muda wa miaka minane sasa.</description>
					  <author>info@habaritanzania.com (Habari Tanzania)</author>
					  <pubDate>Sun, 02 Sep 2007 00:00:00 +0300</pubDate>
					 
					</item>

				

					<item>
					  <title>TFF yazidi kuhangaika na Kaduguda</title>
					  <link>http://www.habaritanzania.com/articles/4146/1/TFF-yazidi-kuhangaika-na-Kaduguda</link>
					  <description>HUKU Katibu Mkuu wa Simba, Mwina Kaduguda 'Simba wa Yuda', akiipuuza adhabu ya Shirikisho la Soka Tanzania (TFF), Katibu Mkuu, Frederick Mwakalebela, amemtaka Kaduguda akate rufaa.</description>
					  <author>washawashaupupu@yahoo.com (Marshy Abdu)</author>
					  <pubDate>Tue, 28 Aug 2007 00:00:00 +0300</pubDate>
					 
					</item>

				

					<item>
					  <title>Simba wapitisha rasimu mpya</title>
					  <link>http://www.habaritanzania.com/articles/4143/1/Simba-wapitisha-rasimu-mpya</link>
					  <description>WANACHAMA 275 wa klabu ya Simba, waliokutana kwenye Ukumbi wa Al Muntazil, jijini Dar es Salaam, jana waliipitisha rasimu ya katiba mpya ya klabu hiyo ili kuiwezesha klabu hiyo kwenda na wakati.</description>
					  <author>washawashaupupu@yahoo.com (Marshy Abdu)</author>
					  <pubDate>Mon, 27 Aug 2007 00:00:00 +0300</pubDate>
					 
					</item>

				

					<item>
					  <title>Zakhem Pub Mbagala yadaiwa kulea uhalifu</title>
					  <link>http://www.habaritanzania.com/articles/4142/1/Zakhem-Pub-Mbagala-yadaiwa-kulea-uhalifu</link>
					  <description>BAADHI ya wakazi wa Jiji la Dar es Salaam hususan kitongoji cha Mbagala, wanaoutumia Ukumbi wa Zakheem Pub kwa shughuli mbalimbali za burudani, wamelalamikia kushamiri kwa vitendo vya kutiliwa dawa za kulevya kwenye vinywaji vyao na kufanyiwa vitendo vya uhalifu ikiwemo kuibiwa fedha na simu zao.</description>
					  <author>info@habaritanzania.com (Habari Tanzania)</author>
					  <pubDate>Sun, 26 Aug 2007 00:00:00 +0300</pubDate>
					 
					</item>

				

					<item>
					  <title>Simba yavuna mil. 576/- Adidas</title>
					  <link>http://www.habaritanzania.com/articles/4118/1/Simba-yavuna-mil.-576%7B47%7D--Adidas</link>
					  <description>&#160; KLABU ya Simba, leo itasaini mkataba wa udhamini wa kihistoria wa miaka minne na kampuni ya kimataifa ya vifaa vya michezo ya Adidas, wenye thamani ya sh mil 576.</description>
					  <author>washawashaupupu@yahoo.com (Marshy Abdu)</author>
					  <pubDate>Fri, 17 Aug 2007 00:00:00 +0300</pubDate>
					 
					</item>

				

					<item>
					  <title>Talib kuinoa Simba mwaka mmoja</title>
					  <link>http://www.habaritanzania.com/articles/4117/1/Talib-kuinoa-Simba-mwaka-mmoja</link>
					  <description>HATIMAYE mabingwa wa soka Tanzania bara, Simba, wameingia mkataba wa mwaka mmoja na kocha aliyeibebesha ubingwa timu hiyo, Talib Hilal.</description>
					  <author>info@habaritanzania.com (Habari Tanzania)</author>
					  <pubDate>Thu, 16 Aug 2007 00:00:00 +0300</pubDate>
					 
					</item>

				

					<item>
					  <title>Stars wengine kuondoka leo</title>
					  <link>http://www.habaritanzania.com/articles/4112/1/Stars-wengine-kuondoka-leo</link>
					  <description>MCHEZAJI Erasto Nyoni, anayekipiga katika klabu ya Vital'o ya Burundi, ni miongoni mwa nyota wa timu ya soka ya Tanzania, Taifa Stars, watakaoondoka leo kwenda nchini Denmark.</description>
					  <author>info@habaritanzania.com (Habari Tanzania)</author>
					  <pubDate>Wed, 15 Aug 2007 00:00:00 +0300</pubDate>
					 
					</item>

				

					<item>
					  <title>Baloon lawachanganya malikia Ngwasuma</title>
					  <link>http://www.habaritanzania.com/articles/4087/1/Baloon-lawachanganya-malikia-Ngwasuma</link>
					  <description>VIMWANA wanowania kunyakua gari aina ya Toyota Baloon katika shindano la malikia wa Ngwasuma 2007 wamepagwa na gari hilo kila mmoja akisema kwamba litakuwa mali yake. </description>
					  <author>info@habaritanzania.com (Habari Tanzania)</author>
					  <pubDate>Sun, 05 Aug 2007 00:00:00 +0300</pubDate>
					 
					</item>

				

					<item>
					  <title>Soka kuiingizia TUT mil. 895/-</title>
					  <link>http://www.habaritanzania.com/articles/4080/1/Soka-kuiingizia-TUT-mil.-895%7B47%7D-</link>
					  <description>TAASISI ya Utangazaji Tanzania (TUT), imefanikiwa kutengeneza zaidi ya sh mil. 800 kwa kurusha na kutangaza mechi ya timu ya Tanzania, Taifa Stars na Msumbiji na Ligi Kuu ya England.</description>
					  <author>info@habaritanzania.com (Habari Tanzania)</author>
					  <pubDate>Sat, 04 Aug 2007 00:00:00 +0300</pubDate>
					 
					</item>

				

					<item>
					  <title>Soka kuiingizia TUT mil. 895/-</title>
					  <link>http://www.habaritanzania.com/articles/4074/1/Soka-kuiingizia-TUT-mil.-895%7B47%7D-</link>
					  <description>TAASISI ya Utangazaji Tanzania (TUT), imefanikiwa kutengeneza zaidi ya sh mil. 800 kwa kurusha na kutangaza mechi ya timu ya Tanzania, Taifa Stars na Msumbiji na Ligi Kuu ya England.</description>
					  <author>washawashaupupu@yahoo.com (Marshy Abdu)</author>
					  <pubDate>Sat, 04 Aug 2007 00:00:00 +0300</pubDate>
					 
					</item>

				

					<item>
					  <title>Simba yaizulia jambo TFF</title>
					  <link>http://www.habaritanzania.com/articles/4071/1/Simba-yaizulia-jambo-TFF</link>
					  <description>HATUA ya Shirikisho la Soka Tanzania (TFF) kutaka kumwadhibu Katibu Mkuu wa klabu ya Simba, Mwina Seif Kaduguda, imeibua hisia tofauti kwani sasa inadaiwa ni mkakati wa TFF 'kummaliza' mhusika kabla ya uchaguzi mdogo wa kujaza nafasi ya Makamu wa Rais wa shirikisho hilo.</description>
					  <author>washawashaupupu@yahoo.com (Marshy Abdu)</author>
					  <pubDate>Fri, 03 Aug 2007 00:00:00 +0300</pubDate>
					 
					</item>

				

					<item>
					  <title>Kaduguda aipasua kichwa TFF</title>
					  <link>http://www.habaritanzania.com/articles/4063/1/Kaduguda-aipasua-kichwa-TFF</link>
					  <description>SHIRIKISHO la Soka Tanzania (TFF), limetoa siku saba kwa Katibu Mkuu wa klabu ya Simba, Mwina Kaduguda, kuthibitisha madai kuwa shirikisho hilo linapata mgawo wa sh mil. 40 kutoka kwa waandaaji wa michuano ya Tusker.</description>
					  <author>info@habaritanzania.com (Habari Tanzania)</author>
					  <pubDate>Tue, 31 Jul 2007 00:00:00 +0300</pubDate>
					 
					</item>

				

					<item>
					  <title>Bongo Star sasa kurindima Arusha</title>
					  <link>http://www.habaritanzania.com/articles/4039/1/Bongo-Star-sasa-kurindima-Arusha</link>
					  <description>WASHINDI walioshika nafasi za juu katika shindano la kumsaka nyota wa bongo 'Bongo Stars Search' (BSS) baada ya kung'ara katika shoo yao ya mjini Dodoma sasa wanaelekeza makali yao jijini Arusha.</description>
					  <author>info@habaritanzania.com (Habari Tanzania)</author>
					  <pubDate>Tue, 24 Jul 2007 00:00:00 +0300</pubDate>
					 
					</item>

				

					<item>
					  <title>Miss Kanda ya Mashariki waanza kujinoa</title>
					  <link>http://www.habaritanzania.com/articles/4038/1/Miss-Kanda-ya-Mashariki-waanza-kujinoa</link>
					  <description>WAREMBO 12 wanaotarajiwa kushiriki kinyang'anyiro cha kumsaka Mrembo wa Kanda ya Mashariki 'Miss Kanda ya Mashariki 2007' jana walianza kambi kujiwinda na kinyang'anyiro hicho kitakachorindima Julai 28, Landmark, Ubungo jijini Dar es Salaam.</description>
					  <author>info@habaritanzania.com (Habari Tanzania)</author>
					  <pubDate>Tue, 24 Jul 2007 00:00:00 +0300</pubDate>
					 
					</item>

				

					<item>
					  <title>Miss Ilala kuwania mataji matano</title>
					  <link>http://www.habaritanzania.com/articles/4017/1/Miss-Ilala-kuwania-mataji-matano</link>
					  <description>WASHIRIKI wanaowania taji la mrembo wa Ilala, 'Miss Ilala 2007' mbali ya taji hilo pia watawania mataji mengine matano katika shoo hiyo itakayorindima kesho kwenye Ukumbi wa Karimjee jijini.</description>
					  <author>info@habaritanzania.com (Habari Tanzania)</author>
					  <pubDate>Thu, 19 Jul 2007 00:00:00 +0300</pubDate>
					 
					</item>

				

					<item>
					  <title>Udhamini Ligi Kuu bado kitendawili</title>
					  <link>http://www.habaritanzania.com/articles/3997/1/Udhamini-Ligi-Kuu-bado-kitendawili</link>
					  <description>WAKATI Ligi Kuu Tanzania Bara ikipangwa kuanza Septemba 15, suala la udhamini wa ligi hiyo bado kitendawili kwani Shirikisho la Soka la Tanzania (TFF) na Kampuni ya Vodacom, zingali katika mazungumzo.</description>
					  <author>washawashaupupu@yahoo.com (Marshy Abdu)</author>
					  <pubDate>Mon, 16 Jul 2007 00:00:00 +0300</pubDate>
					 
					</item>

				

					<item>
					  <title>Kawawa kuibariki filamu Dar</title>
					  <link>http://www.habaritanzania.com/articles/3995/1/Kawawa-kuibariki-filamu-Dar</link>
					  <description>WAZIRI Mkuu wa zamani wa Tanzania, Rashid Mfaume Kawawa, anatarajiwa kuwa mgeni rasmi katika uzindunzi wa filamu ya 'Operesheni Saranda' utakaofanyika Julai 27, mwaka huu kwenye Ukumbi wa Msasani Club jijini Dar es Salaam.</description>
					  <author>info@habaritanzania.com (Habari Tanzania)</author>
					  <pubDate>Sat, 14 Jul 2007 00:00:00 +0300</pubDate>
					 
					</item>

				

					<item>
					  <title>Coca waanza kumsaka Dj bora</title>
					  <link>http://www.habaritanzania.com/articles/3994/1/Coca-waanza-kumsaka-Dj-bora</link>
					  <description>KAMPUNI ya vinywaji baridi ya Coca Cola kwa kushirikiana na kituo cha utangazaji cha MTV Africa, wamezindua tamasha la kutafuta kipaji halisi kwa vijana kutoka Afrika Mashariki, linalolenga kuwapatia ajira ya kuchezesha muziki 'u-Dj'.</description>
					  <author>info@habaritanzania.com (Habari Tanzania)</author>
					  <pubDate>Sat, 14 Jul 2007 00:00:00 +0300</pubDate>
					 
					</item>

				

					<item>
					  <title>Kaduguda afichua uozo Simba</title>
					  <link>http://www.habaritanzania.com/articles/3976/1/Kaduguda-afichua-uozo-Simba</link>
					  <description>HALI ndani ya uongozi wa Simba kwa sasa si shwari baada ya Katibu Mkuu wake, Mwina Kaduguda kusigana na wenzake kuhusu matumizi na udhibiti wa fedha za klabu hiyo.</description>
					  <author>washawashaupupu@yahoo.com (Marshy Abdu)</author>
					  <pubDate>Thu, 12 Jul 2007 00:00:00 +0300</pubDate>
					 
					</item>

				

					<item>
					  <title>Khatib: Mkatuletee medali Algeria</title>
					  <link>http://www.habaritanzania.com/articles/3961/1/Khatib%3A-Mkatuletee-medali-Algeria</link>
					  <description>MWANARIADHA Josephine Deemay ameondolewa katika orodha ya wanamichezo watakaoshiriki michezo ya Afrika itakayoanza Julai 11 hadi 13 nchini Algeria kutokana na kuwa mjamzito.</description>
					  <author>info@habaritanzania.com (Habari Tanzania)</author>
					  <pubDate>Mon, 09 Jul 2007 00:00:00 +0300</pubDate>
					 
					</item>

				

					<item>
					  <title> Miss Ilala waenda kunoa bongo Arusha</title>
					  <link>http://www.habaritanzania.com/articles/3949/1/-Miss-Ilala-waenda-kunoa-bongo-Arusha</link>
					  <description>WAREMBO 18 wanaoshiriki kinyang'anyiro cha kumsaka mrembo wa Ilala, 'Miss Ilala 2007' waliondoka jana jijini Dar es Salaam kwenda Arusha kwa ziara ya siku tatu kimafunzo.</description>
					  <author>info@habaritanzania.com (Habari Tanzania)</author>
					  <pubDate>Fri, 06 Jul 2007 00:00:00 +0300</pubDate>
					 
					</item>

				

					<item>
					  <title>Yanga yahama kambi, Simba yakuna kichwa</title>
					  <link>http://www.habaritanzania.com/articles/3947/1/Yanga-yahama-kambi%2C-Simba-yakuna-kichwa</link>
					  <description>ZIKIWA zimebaki siku mbili watani wa jadi katika soka hapa nchini, Simba na Yanga kukutana, homa ya pambano hilo imepanda baada ya mabingwa watetezi Yanga kuondoka jijini Arusha alfajiri ya jana kwa ulinzi mkali wa msafara wa magari matatu kuelekea mafichoni.</description>
					  <author>washawashaupupu@yahoo.com (Marshy Abdu)</author>
					  <pubDate>Fri, 06 Jul 2007 00:00:00 +0300</pubDate>
					 
					</item>

				

					<item>
					  <title>Hofu tupu kambi ya Yanga Arusha</title>
					  <link>http://www.habaritanzania.com/articles/3927/1/Hofu-tupu-kambi-ya-Yanga-Arusha</link>
					  <description>HALI ya kambi ya timu ya Yanga, imezidi kuwa tete baada ya wachezaji wanaougua kuongezeka na kufikia 12 hadi kufikia jana achilia mbali, Kocha Mkuu wao, Mserbia, Sredejovic Millutin Micho.</description>
					  <author>info@habaritanzania.com (Habari Tanzania)</author>
					  <pubDate>Tue, 03 Jul 2007 00:00:00 +0300</pubDate>
					 
					</item>

				

					<item>
					  <title>Franco the Great aahidi kurejea Tanzania</title>
					  <link>http://www.habaritanzania.com/articles/3926/1/Franco-the-Great-aahidi-kurejea-Tanzania</link>
					  <description>MSANII mahiri wa uchoraji wa kimataifa, Franco the Great, kutoka Marekani amesema amefurahishwa na vivutio na utamaduni wa Kitanzania na kuahidi kurejea nchini haraka iwezekanavyo kuandaa michoro mbalimbali kuonyesha vivutio vya utalii vya Tanzania.</description>
					  <author>info@habaritanzania.com (Habari Tanzania)</author>
					  <pubDate>Tue, 03 Jul 2007 00:00:00 +0300</pubDate>
					 
					</item>

				

					<item>
					  <title>Serikali isikie kilio cha TOC, vyama</title>
					  <link>http://www.habaritanzania.com/articles/3916/1/Serikali-isikie-kilio-cha-TOC%2C-vyama</link>
					  <description>WIKI iliyopita, Kamati ya Olimpiki nchini (TOC) na vyama vya michezo kwa ujumla, vililalamikia hatua ya serikali kuamua kupeleka wachezaji wasiozidi 10 katika michuano ya All African Games, iliyopangwa kuanza Julai 11 nchini Algeria.</description>
					  <author>info@habaritanzania.com (Habari Tanzania)</author>
					  <pubDate>Mon, 02 Jul 2007 00:00:00 +0300</pubDate>
					 
					</item>

				

					<item>
					  <title>Wasanii wamuenzi Amina Chifupa, watunga wimbo</title>
					  <link>http://www.habaritanzania.com/articles/3898/1/Wasanii-wamuenzi-Amina-Chifupa%2C-watunga-wimbo</link>
					  <description>JUMLA ya wasanii tisa wa muziki wa kizazi kipya wametunga wimbo maalumu kwa ajili ya kumuenzi marehemu Amina Chifupa unaokwenda kwa jina la 'Pumzika kwa amani', imefahamika.</description>
					  <author>info@habaritanzania.com (Habari Tanzania)</author>
					  <pubDate>Fri, 29 Jun 2007 00:00:00 +0300</pubDate>
					 
					</item>

				

					<item>
					  <title>Jaydee asifiwa kuvaa mavazi ya heshima</title>
					  <link>http://www.habaritanzania.com/articles/3897/1/Jaydee-asifiwa-kuvaa-mavazi-ya-heshima</link>
					  <description>BAADHI ya wananchi wamepongeza mabadiliko ya mavazi aliyonayo mwanamuziki Judith Wambura, maarufu kama Lady Jaydee.</description>
					  <author>info@habaritanzania.com (Habari Tanzania)</author>
					  <pubDate>Fri, 29 Jun 2007 00:00:00 +0300</pubDate>
					 
					</item>

				

					<item>
					  <title>Sita Bora yafikia penyewe</title>
					  <link>http://www.habaritanzania.com/articles/3896/1/Sita-Bora-yafikia-penyewe</link>
					  <description>VITA ya kusaka ubingwa wa Ligi Ndogo ya Tanzania Bara, imezidi kuwa kali kwani hadi sasa, timu nne zikiwamo Simba na Yanga, ndizo zilizo katika nafasi nzuri.</description>
					  <author>info@habaritanzania.com (Habari Tanzania)</author>
					  <pubDate>Fri, 29 Jun 2007 00:00:00 +0300</pubDate>
					 
					</item>

				

					<item>
					  <title>Kumekucha bonanza la 'Ma-Camp'</title>
					  <link>http://www.habaritanzania.com/articles/3889/1/Kumekucha-bonanza-la-%91Ma-Camp%92</link>
					  <description>KAMPUNI ya Mpo Afrika Entertainment ya Dar es Salaam, imesema kwamba maandalizi ya bonanza kubwa la burudani litakalofanyika Jumamosi Juni 30, mwaka huu katika viwanja vya wazi vya Mtoni Mashine ya maji, jijini Dar es Salaam, yamekamilika.</description>
					  <author>info@habaritanzania.com (Habari Tanzania)</author>
					  <pubDate>Thu, 28 Jun 2007 00:00:00 +0300</pubDate>
					 
					</item>

				

					<item>
					  <title>Zanzibar Stars kutambulisha mpya</title>
					  <link>http://www.habaritanzania.com/articles/3888/1/Zanzibar-Stars-kutambulisha-mpya</link>
					  <description>KUNDI mahiri la muziki wa mipasho, Jahazi Modern Taarab, limeanza maandalizi ya albamu mpya na tayari limeporomosha nyimbo mbili, imefahamika juzi jijini Dar es Salaam.</description>
					  <author>info@habaritanzania.com (Habari Tanzania)</author>
					  <pubDate>Thu, 28 Jun 2007 00:00:00 +0300</pubDate>
					 
					</item>

				

					<item>
					  <title>TFF yavunja kambi ya Stars</title>
					  <link>http://www.habaritanzania.com/articles/3850/1/TFF-yavunja-kambi-ya-Stars</link>
					  <description>WACHEZAJI wa timu ya soka ya Tanzania, Taifa Stars, jana waliruhusiwa kurejea makwao kwa mapumziko na kujiunga na timu zao kabla ya kuitwa tena. Akithibitisha hilo jana, Katibu Mkuu wa Shirikisho la Soka Tanzania (TFF), Frederick Mwakalebela, alisema kuwa, wachezaji hao wataitwa tena Agosti.</description>
					  <author>washawashaupupu@yahoo.com (Marshy Abdu)</author>
					  <pubDate>Thu, 21 Jun 2007 00:00:00 +0300</pubDate>
					 
					</item>

				

					<item>
					  <title>Neema yazidi kuiangukia Stars</title>
					  <link>http://www.habaritanzania.com/articles/3838/1/Neema-yazidi-kuiangukia-Stars</link>
					  <description>NEEMA imezidi kuwashukia wachezaji wa timu ya soka ya Tanzania, Taifa Stars, baada ya Benki ya National Microfinance (NMB), nayo jana kuwamwagia sh mil. 17. Huu ni mwendelezo wa neema kwa timu hiyo iliyowasili jijini Mwanza Jumapili usiku ikitokea Burkina Faso na kutua Dar es Salaam juzi jioni.</description>
					  <author>washawashaupupu@yahoo.com (Marshy Abdu)</author>
					  <pubDate>Wed, 20 Jun 2007 00:00:00 +0300</pubDate>
					 
					</item>

				

					<item>
					  <title>Stars haijapata kutokea</title>
					  <link>http://www.habaritanzania.com/articles/3834/1/Stars-haijapata-kutokea</link>
					  <description>HAKIKA, haijapata kutokea, wachezaji wa timu ya soka ya Tanzania, Taifa Stars, jana walichangiwa jumla ya sh mil. 322.5 katika harambee iliyosimamiwa na Waziri Mkuu, Edward Lowassa, mjini Dodoma.</description>
					  <author>washawashaupupu@yahoo.com (Marshy Abdu)</author>
					  <pubDate>Tue, 19 Jun 2007 00:00:00 +0300</pubDate>
					 
					</item>

				

					<item>
					  <title>Hongera Stars, hakuna kulala!</title>
					  <link>http://www.habaritanzania.com/articles/3824/1/Hongera-Stars%2C-hakuna-kulala%21</link>
					  <description>JUZI usiku, timu ya soka ya Tanzania, Taifa Stars, iliwapa faraja Watanzania kwa ushindi wa bao 1-0 dhidi ya Burkina Faso katika mechi iliyopigwa nchini humo.</description>
					  <author>info@habaritanzania.com (Habari Tanzania)</author>
					  <pubDate>Mon, 18 Jun 2007 00:00:00 +0300</pubDate>
					 
					</item>

				

					<item>
					  <title>Simba kuanza na Ashanti, Yanga na Mtibwa Sugar</title>
					  <link>http://www.habaritanzania.com/articles/3811/1/Simba-kuanza-na-Ashanti%2C-Yanga-na-Mtibwa-Sugar</link>
					  <description>SHIRIKISHO la Soka Tanzania (TFF), limetoa ratiba ya hatua ya Sita Bora ya Ligi Ndogo iliyopangwa kuanza Juni 23 huku mabingwa watetezi Yanga wakifungua na Mtibwa Sugar huku Simba wakianza na Ashanti United.</description>
					  <author>info@habaritanzania.com (Habari Tanzania)</author>
					  <pubDate>Sat, 16 Jun 2007 00:00:00 +0300</pubDate>
					 
					</item>

				

					<item>
					  <title>Msafara wa Stars wakwama Gabon</title>
					  <link>http://www.habaritanzania.com/articles/3810/1/Msafara-wa-Stars-wakwama-Gabon</link>
					  <description>MSAFARA wa timu ya soka ya Tanzania, Taifa Stars, juzi ulizuiwa kwa saa tatu katika Uwanja wa Ndege wa Gabon kutokana na kutua bila kibali rasmi cha kuwaruhusu kutua katika nchi hiyo.</description>
					  <author>info@habaritanzania.com (Habari Tanzania)</author>
					  <pubDate>Sat, 16 Jun 2007 00:00:00 +0300</pubDate>
					 
					</item>

				

					<item>
					  <title>Twanga kutambulisha mpya Tanga</title>
					  <link>http://www.habaritanzania.com/articles/3809/1/Twanga-kutambulisha-mpya-Tanga</link>
					  <description>BENDI ya muziki wa dansi ya Twanga Pepeta International ya jijini Dar es Salaam, inatarajiwa kufanya onyesho la aina yake Juni 29 katika ukumbi wa Harbours jijini Tanga.</description>
					  <author>info@habaritanzania.com (Habari Tanzania)</author>
					  <pubDate>Sat, 16 Jun 2007 00:00:00 +0300</pubDate>
					 
					</item>

				

					<item>
					  <title>Costa benchi wiki sita</title>
					  <link>http://www.habaritanzania.com/articles/3772/1/Costa-benchi-wiki-sita</link>
					  <description>KIKOSI cha timu ya soka ya Tanzania, Taifa Stars, kimepata pigo baada ya sentahafu wake, Victor Costa Nampoka Nyumba, kuwa nje ya dimba kwa wiki sita.</description>
					  <author>info@habaritanzania.com (Habari Tanzania)</author>
					  <pubDate>Sat, 09 Jun 2007 00:00:00 +0300</pubDate>
					 
					</item>

				

					<item>
					  <title>Stars imeonyesha inaweza</title>
					  <link>http://www.habaritanzania.com/articles/3736/1/Stars-imeonyesha-inaweza</link>
					  <description>JUZI katika Uwanja wa CCM Kirumba, jijini Mwanza, timu ya soka ya Tanzania 'Taifa Stars', ilishuka dimbani kukipiga na Senegal maarufu kama 'Simba wa Teranga' ikiwa ni mfululizo wa michuano ya kuwania kucheza fainali za Kombe la Mataifa ya Afrika, mwakani, nchini Ghana.</description>
					  <author>info@habaritanzania.com (Habari Tanzania)</author>
					  <pubDate>Mon, 04 Jun 2007 00:00:00 +0300</pubDate>
					 
					</item>

				

					<item>
					  <title>Senegal chupuchupu Kirumba</title>
					  <link>http://www.habaritanzania.com/articles/3726/1/Senegal-chupuchupu-Kirumba</link>
					  <description>IKICHEZA mbele ya Rais, Jakaya Kikwete, timu ya soka ya Tanzania, Taifa Stars, jana ilitoka sare ya 1-1 katika mechi kali iliyopigwa kwenye Uwanja wa CCM-Kirumba, jijini hapa.</description>
					  <author>washawashaupupu@yahoo.com (Marshy Abdu)</author>
					  <pubDate>Sun, 03 Jun 2007 00:00:00 +0300</pubDate>
					 
					</item>

				

					<item>
					  <title>Stars katika mechi ya kisasi leo</title>
					  <link>http://www.habaritanzania.com/articles/3725/1/Stars-katika-mechi-ya-kisasi-leo</link>
					  <description>MACHO, masikio na dua za Watanzania, leo zitakuwa kwa timu ya soka ya Tanzania, Taifa Stars, itakayokumbana na Senegal 'Simba wa Teranga' katika Uwanja wa CCM-Kirumba jijini hapa.</description>
					  <author>info@habaritanzania.com (Habari Tanzania)</author>
					  <pubDate>Sat, 02 Jun 2007 00:00:00 +0300</pubDate>
					 
					</item>

				

					<item>
					  <title>Stars yatua Mwanza kwa kishindo</title>
					  <link>http://www.habaritanzania.com/articles/3713/1/Stars-yatua-Mwanza-kwa-kishindo</link>
					  <description>KIKOSI cha timu ya soka ya Tanzania, Taifa Stars, kiliwasili jana asubuhi na kulakiwa kwa shangwe na nderemo za wakazi wa jiji hili na vitongoji vyake. Baada ya timu hiyo kuwasili majira ya 2:30 asubuhi, ilipokewa na vikundi vya burudani vilivyo chini ya uratibu wa Ofisi ya Utamaduni mkoani hapa, hivyo kuwa burudani ya pekee.</description>
					  <author>washawashaupupu@yahoo.com (Marshy Abdu)</author>
					  <pubDate>Thu, 31 May 2007 00:00:00 +0300</pubDate>
					 
					</item>

				

					<item>
					  <title>Wadhamini wamiminika Miss Temeke South 2007</title>
					  <link>http://www.habaritanzania.com/articles/3695/1/Wadhamini-wamiminika-Miss-Temeke-South-2007</link>
					  <description>KAMPUNI ya kutengeneza rangi za magari kwa kutumia kompyuta ya Ajim Enterprises ya Tabata na Fleet &#38; Fuel Technologies za jijini Dar es Salaam, zimejitosa kudhamini shindano la kumsaka mrembo wa Temeke South, imefahamika.</description>
					  <author>info@habaritanzania.com (Habari Tanzania)</author>
					  <pubDate>Sun, 27 May 2007 00:00:00 +0300</pubDate>
					 
					</item>

				

					<item>
					  <title>Ngoma za asili zapigwa tafu Mwanza</title>
					  <link>http://www.habaritanzania.com/articles/3694/1/Ngoma-za-asili-zapigwa-tafu-Mwanza</link>
					  <description>MASHINDANO ya vikundi vya za asili, Kanda ya Ziwa yamepigwa tafu ya sh milioni 13 na Kampuni ya Bia Tanzania (TBL) Tawi la Mwanza.</description>
					  <author>info@habaritanzania.com (Habari Tanzania)</author>
					  <pubDate>Sun, 27 May 2007 00:00:00 +0300</pubDate>
					 
					</item>

				

					<item>
					  <title>Katibu Simba afungwa &#39;gavana&#39;</title>
					  <link>http://www.habaritanzania.com/articles/3678/1/Katibu-Simba-afungwa-%26%2339%3Bgavana%26%2339%3B</link>
					  <description>UONGOZI wa Klabu ya Simba ya Dar es Salaam umemuengua kuwa msemaji wa masuala ya klabu hiyo Katibu Mkuu Msaidizi Mohammed Mjenga. </description>
					  <author>info@habaritanzania.com (Habari Tanzania)</author>
					  <pubDate>Thu, 24 May 2007 00:00:00 +0300</pubDate>
					 
					</item>

				

					<item>
					  <title>Manji afanya kufuru uchaguzi Yanga</title>
					  <link>http://www.habaritanzania.com/articles/3677/1/Manji-afanya-kufuru-uchaguzi-Yanga</link>
					  <description>MFADHILI Mkuu wa Yanga, Yusuf Manji leo anatarajia kumwaga fedha kwa wanachama wa klabu hiyo, ambapo kila mmoja atawezeshwa sh. 20,000, ili wazitumie kwa nauli za kuwafikisha katika Uchaguzi Mkuu unaotarajiwa kufanyika keshokuwa ukumbi wa Karimjee, Dar es Salaam. </description>
					  <author>info@habaritanzania.com (Habari Tanzania)</author>
					  <pubDate>Thu, 24 May 2007 00:00:00 +0300</pubDate>
					 
					</item>

				

					<item>
					  <title>Nani Mkali CC.com (Wapoteaji) vs LP (Moto wa Gas)?</title>
					  <link>http://www.habaritanzania.com/articles/3676/1/Nani-Mkali-CC.com-%28Wapoteaji%29-vs-LP-%28Moto-wa-Gas%29%3F</link>
					  <description>Ndugu mpenzi wa muziki nadhani utakubaliana nami kwamba muziki huu wa kizazi kipya umeshika nafasi katika sanaa za muziki hapa nchini kiasi kuwa kimbilio la vijana wengi katika fani hii na miongoni mwao ni hawa vijana wa CC.com (Wapoteaji) na wenzao wa LP (Moto wa Gas)</description>
					  <author>washawashaupupu@yahoo.com (Marshy Abdu)</author>
					  <pubDate>Thu, 24 May 2007 00:00:00 +0300</pubDate>
					 
					</item>

				

					<item>
					  <title>Martina Narvatilova; Mkongwe wa tenisi aliyeushangaza ulimwengu</title>
					  <link>http://www.habaritanzania.com/articles/3661/1/Martina-Narvatilova%3B-Mkongwe-wa-tenisi-aliyeushangaza-ulimwengu</link>
					  <description>KWA kawaida unapozungumzia mchezo wowote ule, wapo watu ambao wamekuwa sehemu ya mchezo huo. Kwa mfano, huwezi kuzumgumzia historia ya soka ukaeleweka bila kutaja mfalme wa mchezo huo duniani, Pele wa Brazil.</description>
					  <author>info@habaritanzania.com (Habari Tanzania)</author>
					  <pubDate>Mon, 21 May 2007 00:00:00 +0300</pubDate>
					 
					</item>

				

					<item>
					  <title>Mazingaombwe ya Takuru na goli la Maradona!</title>
					  <link>http://www.habaritanzania.com/articles/3638/1/Mazingaombwe-ya-Takuru-na-goli-la-Maradona%21</link>
					  <description>TULIPOKUWA watoto wadogo, wakubwa zetu walikuwa wakitumia mbinu mbalimbali kutuhadaa.</description>
					  <author>info@habaritanzania.com (Habari Tanzania)</author>
					  <pubDate>Wed, 16 May 2007 00:00:00 +0300</pubDate>
					 
					</item>

				

					<item>
					  <title>Vimwana wa Twanga kupinda mugongo Billz leo</title>
					  <link>http://www.habaritanzania.com/articles/3610/1/Vimwana-wa-Twanga-kupinda-mugongo-Billz-leo</link>
					  <description>VIMWANA 15, wanaoshiriki shindano la kumsaka kimwana wa Twanga Pepeta 2007, litakalofanyika keshokutwa kwenye Ukumbi wa Blue Pearl, uliopo katika jengo la Ubungo Plaza, leo watatambulishwa rasmi katika onyesho la usiku wa Mwafrika ndani ya Ukumbi wa Club Bilicanas jijini.</description>
					  <author>info@habaritanzania.com (Habari Tanzania)</author>
					  <pubDate>Wed, 09 May 2007 00:00:00 +0300</pubDate>
					 
					</item>

				

					<item>
					  <title>Wapya Akudo waanza kutesa</title>
					  <link>http://www.habaritanzania.com/articles/3595/1/Wapya-Akudo-waanza-kutesa</link>
					  <description>WANENGUAJI wapya wa bendi ya muziki wa dansi ya Akudo Impact 'Wanapekecha pekecha', ambao walitambulishwa kwa mashabiki wa bendi hiyo siku ya sikukuu ya wafanyakazi 'Mei Mosi', leo wanatarajiwa kuanza rasmi kufanya vitu vyao katika Ukumbi wa Msasani Beach, jijini Dar es Salaam.</description>
					  <author>info@habaritanzania.com (Habari Tanzania)</author>
					  <pubDate>Sun, 06 May 2007 00:00:00 +0300</pubDate>
					 
					</item>

				

					<item>
					  <title>Kesi ya Wanaume Halisi yapigwa kalenda tena</title>
					  <link>http://www.habaritanzania.com/articles/3581/1/Kesi-ya-Wanaume-Halisi-yapigwa-kalenda-tena</link>
					  <description>MAHAKAMA ya Wilaya ya Temeke, Dar es Salaam, jana kwa mara nyingine iliahirisha kesi ya kujeruhi inayowakabili wasanii wa muziki wa kizazi kipya wa kundi la TMK Wanaume Halisi, kutokana na jalada la kesi kutofikishwa mahakamani hapo.</description>
					  <author>info@habaritanzania.com (Habari Tanzania)</author>
					  <pubDate>Fri, 04 May 2007 00:00:00 +0300</pubDate>
					 
					</item>

				

					<item>
					  <title>Lundenga awaonya mawakala feki Mwanza</title>
					  <link>http://www.habaritanzania.com/articles/3531/1/Lundenga-awaonya-mawakala-feki-Mwanza</link>
					  <description>MKURUGENZI wa Lino International Agency, waandaaji wa shindano la Vodacom Miss Tanzania, Hashim Lundenga, jana alitoa karipio kali kwa mawakala wa urembo walioendesha bila ya kuwa vibali mashindano ya vitongoji Mwanza.</description>
					  <author>info@habaritanzania.com (Habari Tanzania)</author>
					  <pubDate>Tue, 24 Apr 2007 00:00:00 +0300</pubDate>
					 
					</item>

				

					<item>
					  <title>Wachezaji Yanga wafichwa Mwanza</title>
					  <link>http://www.habaritanzania.com/articles/3507/1/Wachezaji-Yanga-wafichwa-Mwanza</link>
					  <description>SIKU moja kabla ya mechi ya marudiano ya raundi ya tatu ya Ligi ya Mabingwa Afrika dhidi ya Esperance ya Tunisia, timu ya Yanga jana iliwasili jijini Mwanza na kufichwa eneo la Igoma, nje kidogo ya mji.</description>
					  <author>info@habaritanzania.com (Habari Tanzania)</author>
					  <pubDate>Fri, 20 Apr 2007 00:00:00 +0300</pubDate>
					 
					</item>

				

					<item>
					  <title>Wasomi Tanga kuwania tiketi Miss Tanga</title>
					  <link>http://www.habaritanzania.com/articles/3501/1/Wasomi-Tanga-kuwania-tiketi-Miss-Tanga</link>
					  <description>SHINDANO la kumsaka mrembo wa Vyuo Mkoa wa Tanga - Miss Collage Tanga City Centre - atakayeshiriki katika shindano la Miss Tanga, linatarajiwa kufanyika Mei 18 katika Ukumbi wa Bandari jijini hapa.</description>
					  <author>info@habaritanzania.com (Habari Tanzania)</author>
					  <pubDate>Thu, 19 Apr 2007 00:00:00 +0300</pubDate>
					 
					</item>

				

					<item>
					  <title>Washiriki Miss Tanzania nao wapewa meno</title>
					  <link>http://www.habaritanzania.com/articles/3500/1/Washiriki-Miss-Tanzania-nao-wapewa-meno</link>
					  <description>LINO International Agency, waandaaji wa shindano la Miss Tanzania, imeweka hadharani namna washiriki watakavyoweza kudai haki zao kutoka kwa mawakala na waandaaji wa mashindano hayo wa ngazi mbalimbali.</description>
					  <author>info@habaritanzania.com (Habari Tanzania)</author>
					  <pubDate>Thu, 19 Apr 2007 00:00:00 +0300</pubDate>
					 
					</item>

				

					<item>
					  <title>Mashabiki Ngwasuma wamlilia Totoo Ze Bingwa</title>
					  <link>http://www.habaritanzania.com/articles/3497/1/Mashabiki-Ngwasuma-wamlilia-Totoo-Ze-Bingwa</link>
					  <description>MAMIA ya mashabiki wa bendi ya FM Academia 'Wazee wa njiwa njiwa', Jumamosi iliyopita walisitisha kwa muda utambulisho wa marapa watatu, uliokuwa ukifanywa na rais wa bendi hiyo, Nyoshi El Saadat, wakitaka bendi hiyo imrejeshe kundini rapa wake mahiri, Totoo Ze Bingwa.</description>
					  <author>info@habaritanzania.com (Habari Tanzania)</author>
					  <pubDate>Wed, 18 Apr 2007 00:00:00 +0300</pubDate>
					 
					</item>

				

					<item>
					  <title>Miss Kiswahili wavurugana</title>
					  <link>http://www.habaritanzania.com/articles/3496/1/Miss-Kiswahili-wavurugana</link>
					  <description>HATIMAYE hali si shwari katika Kamati ya kuratibu shindano la Mrembo wa Kiswahili 'Miss Kiswahili' na tafsiri sahihi ni kwamba viongozi wake hawaelewani.</description>
					  <author>info@habaritanzania.com (Habari Tanzania)</author>
					  <pubDate>Wed, 18 Apr 2007 00:00:00 +0300</pubDate>
					 
					</item>

				

					<item>
					  <title>Yatima wa Mapito Yangu watia fora</title>
					  <link>http://www.habaritanzania.com/articles/3489/1/Yatima-wa-Mapito-Yangu-watia-fora</link>
					  <description>WIMBO 'Yatima' uliomo kwenye albamu ya 'Mapito Yangu', ya mwimbaji wa nyimbo za Injili, Joseph Oola, juzi ulitia fora katika onyesho la uzinduzi wa albamu hiyo, katika Ukumbi wa Sabasaba, Barabara ya Kilwa, Dar es Salaam.</description>
					  <author>info@habaritanzania.com (Habari Tanzania)</author>
					  <pubDate>Tue, 17 Apr 2007 00:00:00 +0300</pubDate>
					 
					</item>

				

					<item>
					  <title>Miss Tanzania atakayemwaga radhi kuvuliwa taji</title>
					  <link>http://www.habaritanzania.com/articles/3488/1/Miss-Tanzania-atakayemwaga-radhi-kuvuliwa-taji</link>
					  <description>WAREMBO wa mataji ya Miss Tanzania, ngazi ya mikoa na taifa watakaojihusisha na vitendo vya utovu wa nidhamu, ikiwamo kujidhalilisha, kuanzia sasa watavuliwa mataji wanayoyashikilia, imefahamika.</description>
					  <author>info@habaritanzania.com (Habari Tanzania)</author>
					  <pubDate>Tue, 17 Apr 2007 00:00:00 +0300</pubDate>
					 
					</item>

				

					<item>
					  <title>Mwaikimba, Mukenya warejeshwa kundini</title>
					  <link>http://www.habaritanzania.com/articles/3473/1/Mwaikimba%2C-Mukenya-warejeshwa-kundini</link>
					  <description>KIKAO cha uongozi wa klabu ya Yanga kilichoketi juzi na jana, pia kuhudhuriwa na Kocha Mkuu wa timu hiyo, Sredejovic Milutin 'Micho', kimeamua kuwarejesha kundini wachezaji Gaudence Mwaikimba na Edwin Mukenya.</description>
					  <author>info@habaritanzania.com (Habari Tanzania)</author>
					  <pubDate>Fri, 13 Apr 2007 00:00:00 +0300</pubDate>
					 
					</item>

				

					<item>
					  <title>Msondo yaipua sita zilipendwa</title>
					  <link>http://www.habaritanzania.com/articles/3472/1/Msondo-yaipua-sita-zilipendwa</link>
					  <description>BENDI ya muziki wa dansi ya Msondo Ngoma 'Mambo Hadharani', imerekodi upya nyimbo zake sita zilizotamba miaka ya nyuma.</description>
					  <author>info@habaritanzania.com (Habari Tanzania)</author>
					  <pubDate>Fri, 13 Apr 2007 00:00:00 +0300</pubDate>
					 
					</item>

				

					<item>
					  <title>Kesi Wanaume Halisi yapigwa tena kalenda</title>
					  <link>http://www.habaritanzania.com/articles/3471/1/Kesi-Wanaume-Halisi-yapigwa-tena-kalenda</link>
					  <description>MAHAKAMA ya Wilaya ya Temeke, Dar es Salaam, jana iliahirisha kesi ya kujeruhi inayowakabili wasanii wa muziki wa kizazi kipya wa kundi la TMK Wanaume Halisi kwa sababu upelelezi haujakamilika.</description>
					  <author>info@habaritanzania.com (Habari Tanzania)</author>
					  <pubDate>Fri, 13 Apr 2007 00:00:00 +0300</pubDate>
					 
					</item>

				

					<item>
					  <title>Nguvumpya wamuondolea adhabu Jenifa</title>
					  <link>http://www.habaritanzania.com/articles/3443/1/Nguvumpya-wamuondolea-adhabu-Jenifa</link>
					  <description>UONGOZI wa kikundi cha sanaa za maonyesho cha Nguvumpya Sanaa Group cha Mbagala Charambe jijini Dar es Salaam, kimemfutia adhabu ya kumsimamisha kushiriki ndani ya kikundi hicho kwa muda wa miezi sita msanii wake Mwanahamisi Karume 'Jenifa'.</description>
					  <author>info@habaritanzania.com (Habari Tanzania)</author>
					  <pubDate>Mon, 09 Apr 2007 00:00:00 +0300</pubDate>
					 
					</item>

				

					<item>
					  <title>Tunataka umoja - Watu Pori</title>
					  <link>http://www.habaritanzania.com/articles/3442/1/Tunataka-umoja---Watu-Pori</link>
					  <description>KUNDI la muziki wa kizazi kipya la Watu Pori 'Washamba', kutoka mjini Morogoro, limesema sababu ya kuwashirikisha wasanii wengi katika albamu yao mpya, 'Fanya Kazi', ni kukuza umoja na ushirikiano miongoni mwa wasanii wa muziki wa kizazi kipya nchini.</description>
					  <author>info@habaritanzania.com (Habari Tanzania)</author>
					  <pubDate>Mon, 09 Apr 2007 00:00:00 +0300</pubDate>
					 
					</item>

				

					<item>
					  <title>Kipigo kisiikatishe tamaa Yanga</title>
					  <link>http://www.habaritanzania.com/articles/3438/1/Kipigo-kisiikatishe-tamaa-Yanga</link>
					  <description>IJUMAA iliyopita, wawakilishi pekee wa Tanzania waliobaki katika michuano ya kimataifa, Yanga ya jijini Dar es Salaam, ilicheza mechi yake ya awali ya hatua ya tatu ya michuano ya Ligi ya Mabingwa Afrika.</description>
					  <author>info@habaritanzania.com (Habari Tanzania)</author>
					  <pubDate>Mon, 09 Apr 2007 00:00:00 +0300</pubDate>
					 
					</item>

				

					<item>
					  <title>TMK Wanaume Family na Pasaka</title>
					  <link>http://www.habaritanzania.com/articles/3432/1/TMK-Wanaume-Family-na-Pasaka</link>
					  <description>BAADA ya ukimya wa muda, kundi mahiri la muziki wa kizazi kipya la TMK Wanaume Family, lenye makazi yake Temeke jijini Dar es Salaam, limeibuka kwa kishindo, likiwa na mtindo mpya wa uchezaji.</description>
					  <author>info@habaritanzania.com (Habari Tanzania)</author>
					  <pubDate>Fri, 06 Apr 2007 00:00:00 +0300</pubDate>
					 
					</item>

				

					<item>
					  <title>Watatu kufuzu Kimwana wa Twanga leo</title>
					  <link>http://www.habaritanzania.com/articles/3399/1/Watatu-kufuzu-Kimwana-wa-Twanga-leo</link>
					  <description>SHINDANO la kumsaka Kimwana wa Twanga Pepeta linatarajiwa kuendelea tena leo katika shoo ya bendi ya African Stars International itakayofanyika kwenye Ukumbi wa Maisha Club, Oysterbay, jijini Dar es Salaam .</description>
					  <author>info@habaritanzania.com (Habari Tanzania)</author>
					  <pubDate>Thu, 29 Mar 2007 00:00:00 +0300</pubDate>
					 
					</item>

				

					<item>
					  <title>Brazil yaitandika Ghana 1-0</title>
					  <link>http://www.habaritanzania.com/articles/3398/1/Brazil-yaitandika-Ghana-1-0</link>
					  <description>BAO pekee lililofungwa katika dakika ya 17 ya mchezo na Vagner Love, juzi usiku lilitosha kuizamisha timu ya taifa ya Ghana, 'The Black Stars' dhidi ya Brazil, katika mechi ya kirafiki iliyopigwa mjini hapa.</description>
					  <author>info@habaritanzania.com (Habari Tanzania)</author>
					  <pubDate>Thu, 29 Mar 2007 00:00:00 +0300</pubDate>
					 
					</item>

				

					<item>
					  <title>George Owino atua Msimbazi</title>
					  <link>http://www.habaritanzania.com/articles/3397/1/George-Owino-atua-Msimbazi</link>
					  <description>BEKI wa kimataiafa wa timu ya Simba kutoka Tusker FC ya Kenya, George Owino, juzi alitua nchini kwa ajili ya kujiunga na Simba, kwa ajili ya Ligi Ndogo iliyopangwa kuanza Aprili 14.</description>
					  <author>info@habaritanzania.com (Habari Tanzania)</author>
					  <pubDate>Thu, 29 Mar 2007 00:00:00 +0300</pubDate>
					 
					</item>

				

					<item>
					  <title>Yanga kuifuata Esperance J'Pili</title>
					  <link>http://www.habaritanzania.com/articles/3396/1/Yanga-kuifuata-Esperance-J%92Pili</link>
					  <description>KIKOSI cha wachezaji 20 na viongozi kadhaa wa klabu bingwa ya soka Tanzania Bara, Yanga, kinatarajiwa kuondoka Jumapili kuelekea nchini Tunisia tayari kwa mechi ya kwanza ya raundi ya tatu ya Ligi ya Mabingwa Afrika.</description>
					  <author>info@habaritanzania.com (Habari Tanzania)</author>
					  <pubDate>Thu, 29 Mar 2007 00:00:00 +0300</pubDate>
					 
					</item>

				

					<item>
					  <title>Stars imepita kwenye tanuru la moto - Maximo</title>
					  <link>http://www.habaritanzania.com/articles/3378/1/Stars-imepita-kwenye-tanuru-la-moto---Maximo</link>
					  <description>MSAFARA wa timu ya soka ya Tanzania, Taifa Stars, ulirejea jana asubuhi kutoka Senegal huku Kocha Mkuu, Mbrazil, Marcio Maximo, akisema timu hiyo imepita kwenye tanuru la moto.</description>
					  <author>info@habaritanzania.com (Habari Tanzania)</author>
					  <pubDate>Tue, 27 Mar 2007 00:00:00 +0300</pubDate>
					 
					</item>

				

					<item>
					  <title>Twanga kusaka ngome Afrika Kusini</title>
					  <link>http://www.habaritanzania.com/articles/3377/1/Twanga-kusaka-ngome-Afrika-Kusini</link>
					  <description>SHABIKI mmoja wa bendi ya The African Stars 'Twanga Pepeta Intetnational' mwenye asili ya Afrika Kusini, Steven Khumalo, amesema kuwa ana mpango wa kuitafutia ziara bendi hiyo nchini humo.</description>
					  <author>info@habaritanzania.com (Habari Tanzania)</author>
					  <pubDate>Tue, 27 Mar 2007 00:00:00 +0300</pubDate>
					 
					</item>

				

					<item>
					  <title>Mbuta Likasu achengua mashabiki wa Ngwasuma</title>
					  <link>http://www.habaritanzania.com/articles/3376/1/Mbuta-Likasu-achengua-mashabiki-wa-Ngwasuma</link>
					  <description>MWANAMUZIKI maarufu raia wa Kongo, Mbuta Likasu, Jumamosi iliyopita aliteka mamia ya mashabiki baada ya kuvamia jukwaa la bendi ya FM Academia 'Wazee wa Ngwasuma', na kuonyesha kipaji cha hali ya juu cha kuimba sambamba na kulishambulia jukwaa.</description>
					  <author>info@habaritanzania.com (Habari Tanzania)</author>
					  <pubDate>Tue, 27 Mar 2007 00:00:00 +0300</pubDate>
					 
					</item>

				

					<item>
					  <title>Yanga yang&#39;ara Afrika, sasa na Esperance</title>
					  <link>http://www.habaritanzania.com/articles/3336/1/Yanga-yang%26%2339%3Bara-Afrika%2C-sasa-na-Esperance</link>
					  <description>MABINGWA wa Soka Tanzania, Yanga jana walitoka sare ya 1-1 na Petro de Luanda katika mchezo mkali wa Ligi ya Mabingwa Afrika, mchezo uliopigwa kwenye Uwanja wa Taifa wa Angola.</description>
					  <author>info@habaritanzania.com (Habari Tanzania)</author>
					  <pubDate>Mon, 19 Mar 2007 00:00:00 +0300</pubDate>
					 
					</item>

				

					<item>
					  <title>Sikinde nayo kama Msondo</title>
					  <link>http://www.habaritanzania.com/articles/3315/1/Sikinde-nayo-kama-Msondo</link>
					  <description>BENDI ya muziki wa dansi ya DDC Mlimani Park 'Sikinde', nayo imeamua kutumia wanenguaji katika maoneysho yake, kama walivyoamua kufanya watani zao Msondo Ngoma 'Mambo Hadharani', hivi karibuni hivyo kufanya bendi hizo kongwe nchini kwenda sambamba na bendi zinazochipukia.</description>
					  <author>info@habaritanzania.com (Habari Tanzania)</author>
					  <pubDate>Fri, 16 Mar 2007 00:00:00 +0300</pubDate>
					 
					</item>

				

					<item>
					  <title>Wasanii chipukizi acheni kuimba mapenzi - AY</title>
					  <link>http://www.habaritanzania.com/articles/3314/1/Wasanii-chipukizi-acheni-kuimba-mapenzi---AY</link>
					  <description>MSANII mkongwe wa muziki wa kizazi kipya 'Bongo Fleva', Ambwene Yesaya (AY), amewashauri wanamuziki chipukizi kuacha kuelemea katika kuimba nyimbo za mapenzi na kusahau nyimbo nyingine ambazo zingeisaidia jamii kwa namna moja ama nyingine.</description>
					  <author>info@habaritanzania.com (Habari Tanzania)</author>
					  <pubDate>Fri, 16 Mar 2007 00:00:00 +0300</pubDate>
					 
					</item>

				

					<item>
					  <title>Nature huyoo London</title>
					  <link>http://www.habaritanzania.com/articles/3313/1/Nature-huyoo-London</link>
					  <description>BAADA ya kubaniwa safari ya kwenda Copenhagen, Denmark mwaka jana sasa nyota wa kundi la Wanaume Halisi, Juma Kassin 'Sir Nature', sasa aula kapata mwaliko wa kwenda kushuhudia tuzo za wanamuziki zitakazotolewa nchini Uingereza.</description>
					  <author>info@habaritanzania.com (Habari Tanzania)</author>
					  <pubDate>Fri, 16 Mar 2007 00:00:00 +0300</pubDate>
					 
					</item>

				

					<item>
					  <title>Haya ni maisha ya Asha Baraka katika muziki</title>
					  <link>http://www.habaritanzania.com/articles/3307/1/Haya-ni-maisha-ya-Asha-Baraka-katika-muziki</link>
					  <description>KILA utakapouzungumzia muziki wa dansi nchini, kamwe hautakuwa umekamilika bila ya kumtaja Asha Baraka 'Iron Lady', mwanamke pekee Tanzania ambaye amekuwa mstari wa mbele katika kuendeleza vipaji vya wasanii mbalimbali sambamba na uwezo wa kuziendesha bendi.</description>
					  <author>info@habaritanzania.com (Habari Tanzania)</author>
					  <pubDate>Fri, 16 Mar 2007 00:00:00 +0300</pubDate>
					 
					</item>

				

					<item>
					  <title>Polisi wadai TFF ndiyo  mchawi wa Athuman Iddi</title>
					  <link>http://www.habaritanzania.com/articles/3298/1/Polisi-wadai-TFF-ndiyo--mchawi-wa-Athuman-Iddi</link>
					  <description>SHIRIKISHO la Soka Tanzania (TFF), limedaiwa kuwa ndilo linalokwamisha kukamilika kwa upelelezi wa tuhuma za kughushi saini ya kiungo wa Taifa Stars, Athumani Iddi.</description>
					  <author>info@habaritanzania.com (Habari Tanzania)</author>
					  <pubDate>Wed, 14 Mar 2007 00:00:00 +0300</pubDate>
					 
					</item>

				

					<item>
					  <title>Taifa Stars Tanzania yatengewa Sh80m kuimaliza Senegal</title>
					  <link>http://www.habaritanzania.com/articles/3297/1/Taifa-Stars-Tanzania-yatengewa-Sh80m-kuimaliza-Senegal</link>
					  <description>KAMATI ya Operesheni Ushindi imetenga Sh80milioni&#160; kwa ajili ya kuhakikisha timu ya taifa ya soka, Taifa Stars inafanya vizuri katika mechi ngumu ya Mataifa ya Afrika dhidi ya Senegal itakayofanyika mwishoni mwa wiki ijayo.</description>
					  <author>info@habaritanzania.com (Habari Tanzania)</author>
					  <pubDate>Wed, 14 Mar 2007 00:00:00 +0300</pubDate>
					 
					</item>

				

					<item>
					  <title>Big Family waipua Taifa Stars</title>
					  <link>http://www.habaritanzania.com/articles/3289/1/Big-Family-waipua-Taifa-Stars</link>
					  <description> </description>
					  <author>info@habaritanzania.com (Habari Tanzania)</author>
					  <pubDate>Tue, 13 Mar 2007 00:00:00 +0300</pubDate>
					 
					</item>

				

					<item>
					  <title>The President of Tanzanias Views on Sports Development</title>
					  <link>http://www.habaritanzania.com/articles/3275/1/The-President-of-Tanzanias-Views-on-Sports-Development</link>
					  <description>&#160;I recently had the rare opportunity to meet His Excellency, the Hon. J.M. Kikwete, during his recent trip to London who is obviously well informed of sports issues, nationally and internationally.</description>
					  <author>saria@tanzaniasports.com (Saria Israel)</author>
					  <pubDate>Mon, 12 Mar 2007 00:00:00 +0300</pubDate>
					 
					</item>

				

					<item>
					  <title>Viongozi Simba wahofia vivuli vyao</title>
					  <link>http://www.habaritanzania.com/articles/3269/1/Viongozi-Simba-wahofia-vivuli-vyao</link>
					  <description>KATIKA kile kinachoonekana viongozi wa klabu ya Simba kuogopa vivuli vyao, wamesema wanashindwa kutaja kocha mkuu wa timu hiyo wakihofia kuhujumiwa na maadui zao.</description>
					  <author>info@habaritanzania.com (Habari Tanzania)</author>
					  <pubDate>Sat, 10 Mar 2007 00:00:00 +0300</pubDate>
					 
					</item>

				

					<item>
					  <title>Man Utd kuivaa AS Roma</title>
					  <link>http://www.habaritanzania.com/articles/3268/1/Man-Utd-kuivaa-AS-Roma</link>
					  <description>SHIRIKISHO la Soka Ulaya (UEFA), jana limetoa ratiba ya robo fainali ya michuano ya Ligi ya Mabingwa, huku wakali watatu wa England; Chelsea, Manchester United na Liverpool, wakikwepana.</description>
					  <author>info@habaritanzania.com (Habari Tanzania)</author>
					  <pubDate>Sat, 10 Mar 2007 00:00:00 +0300</pubDate>
					 
					</item>

				

					<item>
					  <title>Hesabu zangu Ghana si Senegal - Maximo</title>
					  <link>http://www.habaritanzania.com/articles/3234/1/Hesabu-zangu-Ghana-si-Senegal---Maximo</link>
					  <description>KOCHA Mkuu wa timu ya Taifa ya Tanzania, Taifa Stars, Mbrazil Marcio, amesema, maandalizi yaliyoko kwa timu hiyo si kuishinda Senegal Machi 24, bali ni Tanzania kupata tiketi ya kucheza fainali za Mataifa ya Afrika mwakani.</description>
					  <author>info@habaritanzania.com (Habari Tanzania)</author>
					  <pubDate>Wed, 07 Mar 2007 00:00:00 +0300</pubDate>
					 
					</item>

				

					<item>
					  <title>Serikali yaupiga 'kufuli' Uwanja wa Taifa</title>
					  <link>http://www.habaritanzania.com/articles/3227/1/Serikali-yaupiga-%91kufuli%92-Uwanja-wa-Taifa</link>
					  <description>SERIKALI imeamua kuufunga kwa muda Uwanja wa Taifa wa Dar es Salaam ili kuufanyia ukarabati, ikiwamo kupanda nyasi za kisasa katika kuurejesha uwanja huo katika hadhi yake kabla ya kuanza kutumika tena.</description>
					  <author>info@habaritanzania.com (Habari Tanzania)</author>
					  <pubDate>Tue, 06 Mar 2007 00:00:00 +0300</pubDate>
					 
					</item>

				

					<item>
					  <title>Ukata waitesa Msimbazi</title>
					  <link>http://www.habaritanzania.com/articles/3226/1/Ukata-waitesa-Msimbazi</link>
					  <description>WAKATI Yanga wakivuna mamiloni ya fedha, upande wa watani wao Simba, hali ya kifedha si nzuri kikasi cha uongozi wa klabu hiyo kuahirisha mazoezi ya timu hiyo yaliyokuwa yaanze Jumatatu iliyopita kujiandaa na Ligi Ndogo.</description>
					  <author>info@habaritanzania.com (Habari Tanzania)</author>
					  <pubDate>Tue, 06 Mar 2007 00:00:00 +0300</pubDate>
					 
					</item>

				

					<item>
					  <title>Yanga, Petro waingiza mil. 88/-</title>
					  <link>http://www.habaritanzania.com/articles/3225/1/Yanga%2C-Petro-waingiza-mil.-88%7B47%7D-</link>
					  <description>MECHI ya Ligi ya Klabu Bingwa Afrika iliyopigwa juzi kwenye Uwanja wa Taifa, Dar es Salaam kati ya mabingwa wa soka Tanzania Bara na Petro de Luanda (Petro Atletico ya Angola), imeingiza jumla ya sh mil. 88.</description>
					  <author>info@habaritanzania.com (Habari Tanzania)</author>
					  <pubDate>Tue, 06 Mar 2007 00:00:00 +0300</pubDate>
					 
					</item>

				

					<item>
					  <title>Yanga yafanya kweli</title>
					  <link>http://www.habaritanzania.com/articles/3213/1/Yanga-yafanya-kweli</link>
					  <description>&#34;MICHO... Micho... Micho!&#34; Hizi zilikuwa ni nderemo na vifijo vya wapenzi na mashabiki wa Yanga waliokuwa wamefurika Uwanja wa Taifa, Dar es Salaam kushuhudia timu yao ikiitandika 3-0 Petro Atletico ya Angola katika mechi ya kwanza ya hatua ya kwanza ya Ligi ya Mabingwa Afrika.</description>
					  <author>info@habaritanzania.com (Habari Tanzania)</author>
					  <pubDate>Mon, 05 Mar 2007 00:00:00 +0300</pubDate>
					 
					</item>

				

					<item>
					  <title>Twigas bingwa wa taifa magongo</title>
					  <link>http://www.habaritanzania.com/articles/3193/1/Twigas-bingwa-wa-taifa-magongo</link>
					  <description>TIMU ya Arusha Twigas imeibuka bingwa wa taifa wa michuano ya Mapinduzi baada ya kuifunga Moshi Khalsa kwa magoli 3 - 2 katika mchezo wa fainali uliopigwa hivi karibuni kwenye viwanja vya Twiga, jijini Arusha.</description>
					  <author>info@habaritanzania.com (Habari Tanzania)</author>
					  <pubDate>Fri, 02 Mar 2007 00:00:00 +0300</pubDate>
					 
					</item>

				

					<item>
					  <title>Stars kurejea leo Dar</title>
					  <link>http://www.habaritanzania.com/articles/3192/1/Stars-kurejea-leo-Dar</link>
					  <description>WAKATI timu ya soka ya Tanzania, Taifa Stars, ikitarajiwa kurejea leo mchana, inatarajiwa kupimana nguvu na Sudan, Machi 10, Uwanja wa Taifa, Dar es Salaam.</description>
					  <author>info@habaritanzania.com (Habari Tanzania)</author>
					  <pubDate>Fri, 02 Mar 2007 00:00:00 +0300</pubDate>
					 
					</item>

				

					<item>
					  <title>Gasabile aitaka TFF isimtishie nyau</title>
					  <link>http://www.habaritanzania.com/articles/3191/1/Gasabile-aitaka-TFF-isimtishie-nyau</link>
					  <description>KATIBU Mkuu wa zamani wa Shirikisho la Soka Tanzania (TFF), Ashery Gasabile, amesema kitendo cha shirikisho hilo kutaka kumfikisha mahakamani kwa kutokabidhi ofisi, ni sawa na mtu mzima kutishiwa nyau. </description>
					  <author>info@habaritanzania.com (Habari Tanzania)</author>
					  <pubDate>Fri, 02 Mar 2007 00:00:00 +0300</pubDate>
					 
					</item>

				

					<item>
					  <title>Watanzania jivunieni utamaduni wenu - Mama Mkapa</title>
					  <link>http://www.habaritanzania.com/articles/3180/1/Watanzania-jivunieni-utamaduni-wenu---Mama-Mkapa</link>
					  <description>MKE wa Rais mstaafu wa Awamu ya Tatu, Anna Mkapa, amewataka Watanzania kuthamini utamaduni na sanaa zao ili zitambulike zaidi duniani. </description>
					  <author>info@habaritanzania.com (Habari Tanzania)</author>
					  <pubDate>Thu, 01 Mar 2007 00:00:00 +0300</pubDate>
					 
					</item>

				

					<item>
					  <title>TBF yalia na wadhamini</title>
					  <link>http://www.habaritanzania.com/articles/3179/1/TBF-yalia-na-wadhamini</link>
					  <description>TIMU wa mpira wa Kikapu ya Oilers ya jijini Dar es Salaam imeanza kwa kishindo Ligi ya Taifa (NBL) baada ya kuisambaratisha Chuo cha Mipango kwa pointi 60-21 katika mchezo uliopigwa kwenye dimba la Jamhuri mjini hapa.</description>
					  <author>info@habaritanzania.com (Habari Tanzania)</author>
					  <pubDate>Thu, 01 Mar 2007 00:00:00 +0300</pubDate>
					 
					</item>

				

					<item>
					  <title>Shamuhuna kumleta kocha wa Netiboli kutoka Afrika Kusini</title>
					  <link>http://www.habaritanzania.com/articles/3178/1/Shamuhuna-kumleta-kocha-wa-Netiboli-kutoka-Afrika-Kusini</link>
					  <description>NAIBU Waziri Kiongozi na Waziri wa Habari, Utamaduni na Michezo visiwani hapa, Ali Juma Shamuhuna amesema serikali imeridhishwa na maendeleo ya mchezo wa Netiboli visiwani hapa na watauimarisha zaidi kwa kumleta kocha wa kudumu wa timu ya taifa.</description>
					  <author>info@habaritanzania.com (Habari Tanzania)</author>
					  <pubDate>Thu, 01 Mar 2007 00:00:00 +0300</pubDate>
					 
					</item>

				

					<item>
					  <title>Ndolanga aibuka shujaa TFF</title>
					  <link>http://www.habaritanzania.com/articles/3169/1/Ndolanga-aibuka-shujaa-TFF</link>
					  <description>SHIRIKISHO la Soka Tanzania (TFF), limesema ingawa kipindi cha mwaka 2002 hadi 2004 kilikuwa chini ya uongozi wa Muhidin Ahmad Ndolanga, aliyeguswa na utata ni Michael Richard Wambura.</description>
					  <author>info@habaritanzania.com (Habari Tanzania)</author>
					  <pubDate>Wed, 28 Feb 2007 00:00:00 +0300</pubDate>
					 
					</item>

				

					<item>
					  <title>Wakali wa Yanga kutua Dar leo</title>
					  <link>http://www.habaritanzania.com/articles/3168/1/Wakali-wa-Yanga-kutua-Dar-leo</link>
					  <description>HATIMAYE wachezaji wanane wa Yanga walioko kwenye kikosi cha timu ya soka ya Tanzania, Taifa Stars, nchini Brazil, wanatarajiwa kuwasili leo alasiri.</description>
					  <author>info@habaritanzania.com (Habari Tanzania)</author>
					  <pubDate>Wed, 28 Feb 2007 00:00:00 +0300</pubDate>
					 
					</item>

				

					<item>
					  <title>Ray mbaroni Dar</title>
					  <link>http://www.habaritanzania.com/articles/3167/1/Ray-mbaroni-Dar</link>
					  <description>MSANII wa maigizo nchini, Vincent Kigosi, maarufu kama Ray, juzi jioni alikamatwa na polisi kwa tuhuma za utapeli wa filamu ya 'Revenge'.</description>
					  <author>info@habaritanzania.com (Habari Tanzania)</author>
					  <pubDate>Wed, 28 Feb 2007 00:00:00 +0300</pubDate>
					 
					</item>

				

					<item>
					  <title>Uwezo wa kwenda Ghana tunao</title>
					  <link>http://www.habaritanzania.com/articles/3148/1/Uwezo-wa-kwenda-Ghana-tunao</link>
					  <description>TIMU yetu ya soka ya anzania (Taifa Stars) iko kwenye kampeni ya kusaka tiketi ya kucheza fainali za Kombe la Mataifa ya Afrika zitakazofanyika mwakani nchini Ghana.</description>
					  <author>info@habaritanzania.com (Habari Tanzania)</author>
					  <pubDate>Mon, 26 Feb 2007 00:00:00 +0300</pubDate>
					 
					</item>

				

					<item>
					  <title>Wakenya kushambulia Diamond Jubilee</title>
					  <link>http://www.habaritanzania.com/articles/3138/1/Wakenya-kushambulia-Diamond-Jubilee</link>
					  <description>WAIMBAJI wa kimataifa wa muziki wa Injili, Angela Chibalonza na Anastazia Mukabwa, kutoka Kenya wanatarajiwa kupamba tamasha la Pasaka linalotarajiwa kufanyika Aprili 8, kwenye Ukumbi wa Diamond Jubilee, Dar es Salaam.</description>
					  <author>info@habaritanzania.com (Habari Tanzania)</author>
					  <pubDate>Sun, 25 Feb 2007 00:00:00 +0300</pubDate>
					 
					</item>

				

					<item>
					  <title>Wanaume Halisi albamu yote ndani ya video</title>
					  <link>http://www.habaritanzania.com/articles/3137/1/Wanaume-Halisi-albamu-yote-ndani-ya-video</link>
					  <description>KUNDI la muziki wa kizazi kipya la TMK Wanaume Halisi, limekamilisha video yake ya pili baada ya kuuweka wimbo wake wa 'Tunaungaunga' nao kwenye video.</description>
					  <author>info@habaritanzania.com (Habari Tanzania)</author>
					  <pubDate>Sun, 25 Feb 2007 00:00:00 +0300</pubDate>
					 
					</item>

				

					<item>
					  <title>Mwanakatwe kumrithi Aden Rage TFF leo?</title>
					  <link>http://www.habaritanzania.com/articles/3136/1/Mwanakatwe-kumrithi-Aden-Rage-TFF-leo%3F</link>
					  <description>UCHAGUZI mdogo wa kuziba nafasi ya Makamu wa Pili ya Rais wa Shirikisho la Soka nchini (TFF), Ismail Aden Rage unafanyika leo kwenye ukumbi wa Mfuko wa Taifa wa Hifadhi ya Jamii (NSSF water Front) huku kukiwa na mgombea mmoja wa nafasi hiyo.</description>
					  <author>info@habaritanzania.com (Habari Tanzania)</author>
					  <pubDate>Sun, 25 Feb 2007 00:00:00 +0300</pubDate>
					 
					</item>

				

					<item>
					  <title>Benki yamwaga mamilioni kwa soka</title>
					  <link>http://www.habaritanzania.com/articles/3135/1/Benki-yamwaga-mamilioni-kwa-soka</link>
					  <description>BENKI ya NMB imedhamini kwa Sh60m Mkutano Mkuu wa Shirikisho la Soka la Tanzania (TFF) unaoanza leo jijini Dar es Salaam.</description>
					  <author>info@habaritanzania.com (Habari Tanzania)</author>
					  <pubDate>Sun, 25 Feb 2007 00:00:00 +0300</pubDate>
					 
					</item>

				

					<item>
					  <title>Taifa Stars, Fluminanse wapimana leo</title>
					  <link>http://www.habaritanzania.com/articles/3121/1/Taifa-Stars%2C-Fluminanse-wapimana-leo</link>
					  <description>BAADA ya kulazimisha sare ya bao 1-1 na Vasco da Gama na kuzua gumzo miongoni mwa mashabiki nchini Brazil, kikosi cha Taifa Stars leo kitapambana na timu ya Fluminense katika mchezo mwingine wa kirafiki.</description>
					  <author>info@habaritanzania.com (Habari Tanzania)</author>
					  <pubDate>Sat, 24 Feb 2007 00:00:00 +0300</pubDate>
					 
					</item>

				

					<item>
					  <title>Aomba kura kwa picha za Beckham</title>
					  <link>http://www.habaritanzania.com/articles/3120/1/Aomba-kura-kwa-picha-za-Beckham</link>
					  <description>KIUNGO wa Real Madrid, David Beckham amekuwa akitumika katika kampeni za kisiasa za Uswisi baada ya picha yake kutumiwa na mwamuzi wa kimataifa wa zamani aliyeamua kujitosa katika uchaguzi.</description>
					  <author>info@habaritanzania.com (Habari Tanzania)</author>
					  <pubDate>Sat, 24 Feb 2007 00:00:00 +0300</pubDate>
					 
					</item>

				

					<item>
					  <title>Mwalala kurejea wiki ijayo</title>
					  <link>http://www.habaritanzania.com/articles/3119/1/Mwalala-kurejea-wiki-ijayo</link>
					  <description>MSHAMBULIAJI mahiri wa Yanga, Ben Mwalala anatarajia kutua nchini wiki ijayo akitokea Sweden ambako alikwenda kufanya majaribio ya kucheza soka ya kulipwa.</description>
					  <author>info@habaritanzania.com (Habari Tanzania)</author>
					  <pubDate>Sat, 24 Feb 2007 00:00:00 +0300</pubDate>
					 
					</item>

				

					<item>
					  <title>Benki yamwaga mamilioni kwa soka</title>
					  <link>http://www.habaritanzania.com/articles/3118/1/Benki-yamwaga-mamilioni-kwa-soka</link>
					  <description>BENKI ya NMB imedhamini kwa Sh60m Mkutano Mkuu wa Shirikisho la Soka la Tanzania (TFF) unaoanza leo jijini Dar es Salaam.</description>
					  <author>info@habaritanzania.com (Habari Tanzania)</author>
					  <pubDate>Sat, 24 Feb 2007 00:00:00 +0300</pubDate>
					 
					</item>

				

					<item>
					  <title>RT yaomba kupigwa tafu</title>
					  <link>http://www.habaritanzania.com/articles/3098/1/RT-yaomba-kupigwa-tafu</link>
					  <description>BAADA ya kusota kwa muda mrefu, Kamati ya Kilimanjaro Marathon imekipiga tafu Chama cha Riadha Tanzania (RT) kwa kukipa sh milioni 2.5 ikiwa ni gharama za kuendesha mashindano ya Nyika ya Taifa yanayotarajiwa kufanyika Februari 24 mwaka huu mkoani Kilimanjaro.</description>
					  <author>info@habaritanzania.com (Habari Tanzania)</author>
					  <pubDate>Thu, 22 Feb 2007 00:00:00 +0300</pubDate>
					 
					</item>

				

					<item>
					  <title>Majaji kupewa meno zaidi Bongo Star Search</title>
					  <link>http://www.habaritanzania.com/articles/3097/1/Majaji-kupewa-meno-zaidi-Bongo-Star-Search</link>
					  <description>UTARATIBU wa kumpata mshindi wa shindano la Bongo Star Search unatarajiwa kubadilika katika shindano la mwakani.</description>
					  <author>info@habaritanzania.com (Habari Tanzania)</author>
					  <pubDate>Thu, 22 Feb 2007 00:00:00 +0300</pubDate>
					 
					</item>

				

					<item>
					  <title>Yanga yaishindwa Miembeni</title>
					  <link>http://www.habaritanzania.com/articles/3096/1/Yanga-yaishindwa-Miembeni</link>
					  <description>KLABU bingwa ya soka Tanzania Bara, Yanga ya jijini Dar es Salaam juzi ilishindwa kulipa kisasi baada kwa Miembeni kwa kuishia kutoka sare ya 1-1.</description>
					  <author>info@habaritanzania.com (Habari Tanzania)</author>
					  <pubDate>Thu, 22 Feb 2007 00:00:00 +0300</pubDate>
					 
					</item>

				

					<item>
					  <title>Simba yapitisha fagio</title>
					  <link>http://www.habaritanzania.com/articles/3095/1/Simba-yapitisha-fagio</link>
					  <description>KAMATI ya Utendaji ya klabu ya Simba, imeamua kuvunja Kamati ya Usajili iliyokuwa chini ya Godfrey Nyange na kufumua benchi la ufundi kwa kuwapiga chini baadhi ya wahusika.</description>
					  <author>info@habaritanzania.com (Habari Tanzania)</author>
					  <pubDate>Thu, 22 Feb 2007 00:00:00 +0300</pubDate>
					 
					</item>

				

					<item>
					  <title>Alex Kajumlo kudhamini FRAT</title>
					  <link>http://www.habaritanzania.com/articles/3084/1/Alex-Kajumlo-kudhamini-FRAT</link>
					  <description>MDAU wa michezo nchini Alex Kajumlo aishiye Marekani anatalajia kuingia mkataba wa udhamini wa miaka mitano na Chama cha Waamuzi Tanzania (FRAT).</description>
					  <author>info@habaritanzania.com (Habari Tanzania)</author>
					  <pubDate>Wed, 21 Feb 2007 00:00:00 +0300</pubDate>
					 
					</item>

				

					<item>
					  <title>Phiri aikacha Taifa Stars, pia hana mpango Simba</title>
					  <link>http://www.habaritanzania.com/articles/3083/1/Phiri-aikacha-Taifa-Stars%2C-pia-hana-mpango-Simba</link>
					  <description>KOCHA wa timu ya taifa ya Zambia, Patrick Phiri amekanusha uvumi wa kurejea Simba huku akikwepa kucheza mechi ya kirafiki dhidi ya Taifa Stars.</description>
					  <author>info@habaritanzania.com (Habari Tanzania)</author>
					  <pubDate>Wed, 21 Feb 2007 00:00:00 +0300</pubDate>
					 
					</item>

				

					<item>
					  <title>Mourinho: Nasubiri kuzomewa</title>
					  <link>http://www.habaritanzania.com/articles/3082/1/Mourinho%3A-Nasubiri-kuzomewa</link>
					  <description>KOCHA wa Chelsea, Jose Mourinho amekiri kuwa atakuwa kwenye wakati mgumu wataka atakapoiongoza timu yake kuiondosha Porto kesho.</description>
					  <author>info@habaritanzania.com (Habari Tanzania)</author>
					  <pubDate>Wed, 21 Feb 2007 00:00:00 +0300</pubDate>
					 
					</item>

				

					<item>
					  <title>Wadau wajadili ujio wa Real Madrid</title>
					  <link>http://www.habaritanzania.com/articles/3053/1/Wadau-wajadili-ujio-wa-Real-Madrid</link>
					  <description>WADAU wa soka nchini, wamepokea kwa hisia tofauti taarifa za ujio wa Real Madrid ya Hispania, ambayo imepanga kuja nchini Julai iwapo masharti yao yatatekelezwa.</description>
					  <author>info@habaritanzania.com (Habari Tanzania)</author>
					  <pubDate>Mon, 19 Feb 2007 00:00:00 +0300</pubDate>
					 
					</item>

				

					<item>
					  <title>Katibu Mkuu Simba aikosoa katiba ya klabu</title>
					  <link>http://www.habaritanzania.com/articles/3052/1/Katibu-Mkuu-Simba-aikosoa-katiba-ya-klabu</link>
					  <description>KATIBU Mkuu wa klabu ya soka ya Simba Mwina Kaduguda, amedai kuwa makatibu wakuu waliopita hawakuwepo kwa ajili ya maendeleo ya klabu hiyo kwa sababu waliyafumbia macho mapungufu yaliopo katika Katiba ya Simba.</description>
					  <author>info@habaritanzania.com (Habari Tanzania)</author>
					  <pubDate>Mon, 19 Feb 2007 00:00:00 +0300</pubDate>
					 
					</item>

				

					<item>
					  <title>Waimbaji toka Kenya kutumbuiza injili Dar es Salaam</title>
					  <link>http://www.habaritanzania.com/articles/3051/1/Waimbaji-toka-Kenya-kutumbuiza-injili-Dar-es-Salaam</link>
					  <description>WAIMBAJI mahiri wa nyimbo za injili kutoka katika miji ya Mombasa na Nairobi, Kenya wamekubali kushiriki katika Tamasha la Pasaka ambalo litaendana na uzinduzi wa albamu ya Haleluya Collection.</description>
					  <author>info@habaritanzania.com (Habari Tanzania)</author>
					  <pubDate>Mon, 19 Feb 2007 00:00:00 +0300</pubDate>
					 
					</item>

				

					<item>
					  <title>Reading yaiwekea ngumu Man United</title>
					  <link>http://www.habaritanzania.com/articles/3050/1/Reading-yaiwekea-ngumu-Man-United</link>
					  <description>MANCHESTER United juzi ililazimishwa sare ya 1-1 na Reading katika mechi kali iliyopigwa kwenye Uwanja wa Old Trafford.</description>
					  <author>info@habaritanzania.com (Habari Tanzania)</author>
					  <pubDate>Mon, 19 Feb 2007 00:00:00 +0300</pubDate>
					 
					</item>

				

					<item>
					  <title>Wadau wajadili ujio wa Real Madrid</title>
					  <link>http://www.habaritanzania.com/articles/3036/1/Wadau-wajadili-ujio-wa-Real-Madrid</link>
					  <description>WADAU wa soka nchini, wamepokea kwa hisia tofauti taarifa za ujio wa Real Madrid ya Hispania, ambayo imepanga kuja nchini Julai iwapo masharti yao yatatekelezwa.</description>
					  <author>info@habaritanzania.com (Habari Tanzania)</author>
					  <pubDate>Sun, 18 Feb 2007 00:00:00 +0300</pubDate>
					 
					</item>

				

					<item>
					  <title>Katibu Mkuu Simba aikosoa katiba ya klabu</title>
					  <link>http://www.habaritanzania.com/articles/3035/1/Katibu-Mkuu-Simba-aikosoa-katiba-ya-klabu</link>
					  <description>KATIBU Mkuu wa klabu ya soka ya Simba Mwina Kaduguda, amedai kuwa makatibu wakuu waliopita hawakuwepo kwa ajili ya maendeleo ya klabu hiyo kwa sababu waliyafumbia macho mapungufu yaliopo katika Katiba ya Simba.</description>
					  <author>info@habaritanzania.com (Habari Tanzania)</author>
					  <pubDate>Sun, 18 Feb 2007 00:00:00 +0300</pubDate>
					 
					</item>

				

					<item>
					  <title>Hatimaye wachezaji wa Simba wapaa kwenda Brazil</title>
					  <link>http://www.habaritanzania.com/articles/3034/1/Hatimaye-wachezaji-wa-Simba-wapaa-kwenda-Brazil</link>
					  <description>WACHEZAJI saba wa timu ya Simba, wameondoka nchini jana kuelekea Rio de Janeiro, Brazil kujiunga na wenzao katika kambi ya timu ya Taifa.</description>
					  <author>info@habaritanzania.com (Habari Tanzania)</author>
					  <pubDate>Sun, 18 Feb 2007 00:00:00 +0300</pubDate>
					 
					</item>

				

					<item>
					  <title>Angel Kileo: Mashindano ya Miss International yamenifumbua macho</title>
					  <link>http://www.habaritanzania.com/articles/3033/1/Angel-Kileo%3A-Mashindano-ya-Miss-International-yamenifumbua-macho</link>
					  <description>JINA la Angel Delight Kileo siyo geni kwa wafuatiliaji wa mashindano ya urembo nchini. Hii inatokana na majukumu makubwa aliyopewa Angel kuiwakilisha Tanzania katika mashindano ya Miss International, yaliyofanyika mwaka jana nchini Japan. Mrembo huyo alipata nafasi hiyo baada ya kushinda katika mashindano yaliyofanyika kwenye hotel ya Holiday Inn jijini Dar es Salaam.</description>
					  <author>info@habaritanzania.com (Habari Tanzania)</author>
					  <pubDate>Sun, 18 Feb 2007 00:00:00 +0300</pubDate>
					 
					</item>

				

					<item>
					  <title>Pazia la Sauti za Busara lafungwa</title>
					  <link>http://www.habaritanzania.com/articles/3003/1/Pazia-la-Sauti-za-Busara-lafungwa</link>
					  <description>WAKATI Tamasha la Sauti za Busara linafungwa leo, msanii mashuhuri kutoka Senegal, Didie Awadi ametangaza kuzindua albam yake mpya mwanzoni mwa mwezi Septemba.</description>
					  <author>info@habaritanzania.com (Habari Tanzania)</author>
					  <pubDate>Fri, 16 Feb 2007 00:00:00 +0300</pubDate>
					 
					</item>

				

					<item>
					  <title>Mbrazil mwingine aja kunoa timu ya taifa stars vijana</title>
					  <link>http://www.habaritanzania.com/articles/3002/1/Mbrazil-mwingine-aja-kunoa-timu-ya-taifa-stars-vijana</link>
					  <description>HATIMAYE Marcos Tinoso kutoka Brazil ameteuliwa kuwa kocha wa timu ya taifa ya vijana na anatarajiwa kuwasili nchini wakati wowote kuanza kazi.</description>
					  <author>info@habaritanzania.com (Habari Tanzania)</author>
					  <pubDate>Fri, 16 Feb 2007 00:00:00 +0300</pubDate>
					 
					</item>

				

					<item>
					  <title>Taifa Stars yapata kipigo cha kwanza Brazil</title>
					  <link>http://www.habaritanzania.com/articles/3001/1/Taifa-Stars-yapata-kipigo-cha-kwanza-Brazil</link>
					  <description>TAIFA Stars juzi ilionja kipigo cha kwanza katika ziara yake nchini Brazil na tangu ianze kufundishwa na Marcio Maximo ilipofungwa na timu ya daraja la chini ya Tiger of Brazil kwa bao 1-0.</description>
					  <author>info@habaritanzania.com (Habari Tanzania)</author>
					  <pubDate>Fri, 16 Feb 2007 00:00:00 +0300</pubDate>
					 
					</item>

				

					<item>
					  <title>Serikali Brazil kugawa kondomu bure tamasha la samba</title>
					  <link>http://www.habaritanzania.com/articles/2990/1/Serikali-Brazil-kugawa-kondomu-bure-tamasha-la-samba</link>
					  <description>WIZARA ya Afya ya Brazil inapanga kugawa bure mipira milioni 10 ya kiume kabla ya Tamasha la Samba la mwaka huu, ikiwa ni sehemu ya mpango wa kudhibiti kuenea kwa ugonjwa wa ukimwi na mengine yatokanayo na ngono isiyo salama.</description>
					  <author>info@habaritanzania.com (Habari Tanzania)</author>
					  <pubDate>Thu, 15 Feb 2007 00:00:00 +0300</pubDate>
					 
					</item>

				

					<item>
					  <title>Mvua zaiangusha Taifa Stars Brazil</title>
					  <link>http://www.habaritanzania.com/articles/2989/1/Mvua-zaiangusha-Taifa-Stars-Brazil</link>
					  <description>ZIARA ya mazoezi ya timu ya soka ya taifa, Taifa Stars nchini Brazil imeanza kuingia dosari kutokana na mvua zilizoanza wikiendi iliyopita.</description>
					  <author>info@habaritanzania.com (Habari Tanzania)</author>
					  <pubDate>Thu, 15 Feb 2007 00:00:00 +0300</pubDate>
					 
					</item>

				

					<item>
					  <title>Ben Mwalala aondoka Yanga, atimkia Sweden</title>
					  <link>http://www.habaritanzania.com/articles/2988/1/Ben-Mwalala-aondoka-Yanga%2C-atimkia-Sweden</link>
					  <description>MSHAMBULIAJI hatari wa Yanga, Bernard Mwalala,raia wa Kenya ambaye kwa muda mrefu amekuwa akishindwa kucheza mechi kwa dakika zote tisini, ametimkia Sweden kwenda kufanya majaribio ya kucheza soka la kulipwa.</description>
					  <author>info@habaritanzania.com (Habari Tanzania)</author>
					  <pubDate>Thu, 15 Feb 2007 00:00:00 +0300</pubDate>
					 
					</item>

				

					<item>
					  <title>Mr ll, Awadi kuzindua albamu yao Septemba</title>
					  <link>http://www.habaritanzania.com/articles/2973/1/Mr-ll%2C-Awadi-kuzindua-albamu-yao-Septemba</link>
					  <description>MSANII mashuhuri kutoka nchini Senegal Didie Awadi, anatarajia kuzindua albam yake mpya mwanzoni mwa Mwezi Septemba.</description>
					  <author>info@habaritanzania.com (Habari Tanzania)</author>
					  <pubDate>Wed, 14 Feb 2007 00:00:00 +0300</pubDate>
					 
					</item>

				

					<item>
					  <title>Siwa mkufunzi msaidizi wa Micho-Kifukwe</title>
					  <link>http://www.habaritanzania.com/articles/2972/1/Siwa-mkufunzi-msaidizi-wa-Micho-Kifukwe</link>
					  <description>RAIS wa klabu ya Yanga, Francis Kifukwe amesema kuwa timu hiyo haina haja ya kuwa na kocha msaidizi na kwamba mwalimu wa makipa, Razak Siwa ndiye atakayebeba jukumu hilo.</description>
					  <author>info@habaritanzania.com (Habari Tanzania)</author>
					  <pubDate>Wed, 14 Feb 2007 00:00:00 +0300</pubDate>
					 
					</item>

				

					<item>
					  <title>Mgogoro wa viongozi ulituathiri-Simba</title>
					  <link>http://www.habaritanzania.com/articles/2971/1/Mgogoro-wa-viongozi-ulituathiri-Simba</link>
					  <description>KUTOELEWANA kwa viongozi, hali ngumu ya kambi na baadhi ya tabia zisizo za kuridhisha za viongozi ni miongoni mwa mambo yaliyochangia kuchanganya wachezaji kiasi cha kucheza kwa kiwango cha chini walipokutana na Pungue Textile ya Msumbiji Jumapili.</description>
					  <author>info@habaritanzania.com (Habari Tanzania)</author>
					  <pubDate>Wed, 14 Feb 2007 00:00:00 +0300</pubDate>
					 
					</item>

				

					<item>
					  <title>Majungu yamkimbiza Kalimauganga Simba</title>
					  <link>http://www.habaritanzania.com/articles/2957/1/Majungu-yamkimbiza-Kalimauganga-Simba</link>
					  <description>MWENYEKITI wa Friends of Simba tawi la Tabora, ambaye pia ni Mwenyekiti wa Kamati ya Ushindi ya Simba, Dk Sadick Kalimauganga, jana alitangaza kuachia ngazi katika nyadhifa hizo na kubaki mwanachama wa kawaida wa klabu hiyo.</description>
					  <author>info@habaritanzania.com (Habari Tanzania)</author>
					  <pubDate>Tue, 13 Feb 2007 00:00:00 +0300</pubDate>
					 
					</item>

				

					<item>
					  <title>Stars dimbani tena leo Brazil</title>
					  <link>http://www.habaritanzania.com/articles/2956/1/Stars-dimbani-tena-leo-Brazil</link>
					  <description>Stars dimbani tena leo Brazil kucheza mechi yake ya pili ya kujipima nguvu dhidi ya timu ya Nova-Ituacu katika mchezo utakaopigwa katika jiji la Rio de Jeneiro.</description>
					  <author>info@habaritanzania.com (Habari Tanzania)</author>
					  <pubDate>Tue, 13 Feb 2007 00:00:00 +0300</pubDate>
					 
					</item>

				

					<item>
					  <title>Kizota afariki, azikwa Dar</title>
					  <link>http://www.habaritanzania.com/articles/2954/1/Kizota-afariki%2C-azikwa-Dar</link>
					  <description>MSHAMBULIAJI wa zamani wa klabu ya soka ya Yanga na timu ya taifa, Taifa Stars, Said Nassoro Mwamba 'Kizota' (42), amefariki dunia juzi jioni baada ya kugongwa na daladala kwenye kituo cha mafuta cha Oil Com, kilichopo Barabara ya Mandela maeneo ya Vetenari, Temeke, Dar es Salaam.</description>
					  <author>info@habaritanzania.com (Habari Tanzania)</author>
					  <pubDate>Tue, 13 Feb 2007 00:00:00 +0300</pubDate>
					 
					</item>

				

					<item>
					  <title>Texitile de Pungue yaingusha Simba Tanzania</title>
					  <link>http://www.habaritanzania.com/articles/2940/1/Texitile-de-Pungue-yaingusha-Simba-Tanzania</link>
					  <description>SIMANZI, huzuni na majonzi vilitawala jana kwenye Uwanja wa Taifa Dar es Salaam baada ya Simba kutupwa nje ya michuano ya Kombe la Shirikisho la Soka Afrika kwa mikwaju ya penalti.</description>
					  <author>info@habaritanzania.com (Habari Tanzania)</author>
					  <pubDate>Mon, 12 Feb 2007 00:00:00 +0300</pubDate>
					 
					</item>

				

					<item>
					  <title>Taifa Stars gumzo mkutano wa CAF Sudan</title>
					  <link>http://www.habaritanzania.com/articles/2939/1/Taifa-Stars-gumzo-mkutano-wa-CAF-Sudan</link>
					  <description>TIMU ya Taifa ya Tanzania, Taifa Stars imepongezwa kwa kufanya vyema katika michuano ya kuwania nafasi ya kushiriki katika Fainali za Mataifa ya Afrika Yaliyopangwa kufanyika nchini Ghana mwakani.</description>
					  <author>info@habaritanzania.com (Habari Tanzania)</author>
					  <pubDate>Mon, 12 Feb 2007 00:00:00 +0300</pubDate>
					 
					</item>

				

					<item>
					  <title>ZFA wazidi kuvurugana</title>
					  <link>http://www.habaritanzania.com/articles/2924/1/ZFA-wazidi-kuvurugana</link>
					  <description>CHAMA cha Soka ZFA - Kisiwani Pemba, kimesema hakiutambui waraka wa maombi ya kutaka kukutana na Rais wa Zanzibar, Amani Abeid Karume, kujadili mgogoro kati ya ZFA na Naibu Waziri Kiongozi, Ali Juma Shamuhuna.</description>
					  <author>info@habaritanzania.com (Habari Tanzania)</author>
					  <pubDate>Sun, 11 Feb 2007 00:00:00 +0300</pubDate>
					 
					</item>

				

					<item>
					  <title>Simba kuwatafuna Textile du Pungue</title>
					  <link>http://www.habaritanzania.com/articles/2923/1/Simba-kuwatafuna-Textile-du-Pungue</link>
					  <description>WAWAKILISHI wa Tanzania kwenye michuano ya Kombe la Shirikisho, Simba, leo wanatupa karata muhimu itakayoamua hatma yao kwenye michuano hiyo ya pili kwa ukubwa Afrika kwa ngazi ya klabu.</description>
					  <author>info@habaritanzania.com (Habari Tanzania)</author>
					  <pubDate>Sun, 11 Feb 2007 00:00:00 +0300</pubDate>
					 
					</item>

				

					<item>
					  <title>MBIKI MSUMI: Miss Tanzania aliyejitosa kwenye siasa</title>
					  <link>http://www.habaritanzania.com/articles/2919/1/MBIKI-MSUMI%3A-Miss-Tanzania-aliyejitosa-kwenye-siasa</link>
					  <description>MARA baada ya Jaji Ramesh Shah kumtangaza mshindi wa shindano la Miss Tanzania kwa mwaka 2002, wengi walishangazwa kusikia Mbiki Msumi ameshika namba mbili!</description>
					  <author>info@habaritanzania.com (Habari Tanzania)</author>
					  <pubDate>Sun, 11 Feb 2007 00:00:00 +0300</pubDate>
					 
					</item>

				

					<item>
					  <title>Simba wakwama kwenda Brazil</title>
					  <link>http://www.habaritanzania.com/articles/2907/1/Simba-wakwama-kwenda-Brazil</link>
					  <description>SHIRIKISHO la soka nchini TFF limesema kuwa wachezaji wa Simba waliomo kwenye kikosi cha Stars, wataondoka Februari 17 badala ya Februari 12 ya awali.</description>
					  <author>info@habaritanzania.com (Habari Tanzania)</author>
					  <pubDate>Sat, 10 Feb 2007 00:00:00 +0300</pubDate>
					 
					</item>

				

					<item>
					  <title>Simba watamba kuifunga Msumbiji bila Kisiga, Gabriel</title>
					  <link>http://www.habaritanzania.com/articles/2906/1/Simba-watamba-kuifunga-Msumbiji-bila-Kisiga%2C-Gabriel</link>
					  <description>KOCHA wa timu ya Simba ya Dar es Salaam, Madaraka Bendera, amesema timu yake imetimia na ina uwezo wa kuitupa nje ya michuano ya Kombe la Shirikisho la Soka Afrika, Texitile de Pungue ya Msumbiji.</description>
					  <author>info@habaritanzania.com (Habari Tanzania)</author>
					  <pubDate>Sat, 10 Feb 2007 00:00:00 +0300</pubDate>
					 
					</item>

				

					<item>
					  <title>Polisi Zanzibar kibarua kigumu leo</title>
					  <link>http://www.habaritanzania.com/articles/2905/1/Polisi-Zanzibar-kibarua-kigumu-leo</link>
					  <description>WAWAKILISHI wa Zanzibar kwenye Ligi ya Mabingwa Afrika, Polisi ya Zanzibar imekiri kuwa leo ina kazi ngumu kwenye Uwanja wa Amaan itakapoivaa El Hilal ya Sudan.</description>
					  <author>info@habaritanzania.com (Habari Tanzania)</author>
					  <pubDate>Sat, 10 Feb 2007 00:00:00 +0300</pubDate>
					 
					</item>

				

					<item>
					  <title>Yanga waendelea kumbana Malinzi</title>
					  <link>http://www.habaritanzania.com/articles/2889/1/Yanga-waendelea-kumbana-Malinzi</link>
					  <description>VIONGOZI wa matawi ya klabu ya Yanga, wamepinga shutuma zilizotolewa na Katibu Mkuu wa zamani wa klabu hiyo, Jamal Malinzi, dhidi ya Rais wao, wakimtaka aache kuivuruga klabu hiyo. </description>
					  <author>info@habaritanzania.com (Habari Tanzania)</author>
					  <pubDate>Fri, 09 Feb 2007 00:00:00 +0300</pubDate>
					 
					</item>

				

					<item>
					  <title>Kocha apewa mkataba Simba SC</title>
					  <link>http://www.habaritanzania.com/articles/2888/1/Kocha-apewa-mkataba-Simba-SC</link>
					  <description>SIKU moja baada ya kutishia kufungasha virago vyake, Kocha Madaraka Bendera, ameingia mkataba wa mwaka mmoja wa kuifundisha Simba. Bendera aliwasili Dar es Salaam, mwanzoni mwa Januari akitokea kwao Arusha, kwa ajili ya kuifundisha Simba kama Kocha Msaidizi, lakini alikuwa akipigwa 'danadana' kuhusu kusaini mkataba mpaka alipotishia kuitosa timu hiyo juzi. </description>
					  <author>info@habaritanzania.com (Habari Tanzania)</author>
					  <pubDate>Fri, 09 Feb 2007 00:00:00 +0300</pubDate>
					 
					</item>

				

					<item>
					  <title>Mawakala 30 wakataliwa kuandaa Miss Utalii Tanzania</title>
					  <link>http://www.habaritanzania.com/articles/2876/1/Mawakala-30-wakataliwa-kuandaa-Miss-Utalii-Tanzania</link>
					  <description>BODI ya wakurugenzi ya Miss Tourism Tanzania Beauty Pageant imeyakataa maombi 30 ya Kampuni za watu binafsi ya kuandaa Mashindano ya ngazi za Mikoa ya Miss Utalii Tanzania 2007 kwa kushindwa kufikia viwango.</description>
					  <author>info@habaritanzania.com (Habari Tanzania)</author>
					  <pubDate>Thu, 08 Feb 2007 00:00:00 +0300</pubDate>
					 
					</item>

				

					<item>
					  <title>Aliyemuigiza Idi Amin atamba</title>
					  <link>http://www.habaritanzania.com/articles/2875/1/Aliyemuigiza-Idi-Amin-atamba</link>
					  <description>INAWEZA kuishia kuwa nafasi ya maisha yake yote kwa mcheza sinema Forest Whitaker, na kama ni hivyo, msanii huyo anasema imemchukua umri wake wote na uzoefu kufanikisha hilo.</description>
					  <author>info@habaritanzania.com (Habari Tanzania)</author>
					  <pubDate>Thu, 08 Feb 2007 00:00:00 +0300</pubDate>
					 
					</item>

				

					<item>
					  <title>Ghana yainyanyasa Nigeria</title>
					  <link>http://www.habaritanzania.com/articles/2874/1/Ghana-yainyanyasa-Nigeria</link>
					  <description>TIMU ya taifa ya Ghana juzi ilipata ushindi mnono wa mabao 4-1 dhidi ya jirani zao wa Nigeria katika mchezo wa kirafiki, ukiwa ni ushindi wao wa kwanza katika kipindi cha miaka 15 iliyopita.</description>
					  <author>info@habaritanzania.com (Habari Tanzania)</author>
					  <pubDate>Thu, 08 Feb 2007 00:00:00 +0300</pubDate>
					 
					</item>

				

					<item>
					  <title> Malinzi aibuka asema chonde chonde Kifukwe</title>
					  <link>http://www.habaritanzania.com/articles/2860/1/-Malinzi-aibuka-asema-chonde-chonde-Kifukwe</link>
					  <description>KATIBU mkuu wa zamani wa Yanga, Jamal Malinzi, aliyekuwa amepotea kwenye          siasa za Yanga, jana aliibuka na kumwandikia rais wa klabu hiyo, Francis          Kifukwe akimuonya asithubutu kuitisha uchaguzi utakaoshiriki makundi matatu          yaliyokuwa yakipingana.</description>
					  <author>info@habaritanzania.com (Habari Tanzania)</author>
					  <pubDate>Wed, 07 Feb 2007 00:00:00 +0300</pubDate>
					 
					</item>

				

					<item>
					  <title> Tanzania imepeleka majeruhi kujifunza soka Brazil</title>
					  <link>http://www.habaritanzania.com/articles/2857/1/-Tanzania-imepeleka-majeruhi-kujifunza-soka-Brazil</link>
					  <description>KATIKA hali isiyo ya kawaida, Shirikisho la Soka (TFF) limesema lilipeleka          wachezaji watatu majeruhi kwenye ziara ya mwezi mmoja ya timu ya taifa          nchini Brazil.</description>
					  <author>info@habaritanzania.com (Habari Tanzania)</author>
					  <pubDate>Wed, 07 Feb 2007 00:00:00 +0300</pubDate>
					 
					</item>

				

					<item>
					  <title>Wenger ahofia Lehmann kutimka</title>
					  <link>http://www.habaritanzania.com/articles/2831/1/Wenger-ahofia-Lehmann-kutimka</link>
					  <description>KOCHA wa Arsenal, Arsene Wenger amekiri kuwa kipa wa kimataifa wa Ujerumani, Jens Lehmann anaweza kuikacha klabu hiyo.</description>
					  <author>info@habaritanzania.com (Habari Tanzania)</author>
					  <pubDate>Sun, 04 Feb 2007 00:00:00 +0300</pubDate>
					 
					</item>

				

					<item>
					  <title>Chamangwana kuendelea kuula Yanga</title>
					  <link>http://www.habaritanzania.com/articles/2830/1/Chamangwana-kuendelea-kuula-Yanga</link>
					  <description>ALIYEKUWA kocha mkuu wa mabingwa wa soka Tanzania Bara, Yanga, Mmalawi Jack Chamangwana anatarajia kusaini mktaba mpya na klabu hiyo mwezi ujao.</description>
					  <author>info@habaritanzania.com (Habari Tanzania)</author>
					  <pubDate>Sun, 04 Feb 2007 00:00:00 +0300</pubDate>
					 
					</item>

				

					<item>
					  <title>Madereva 19 wathibitisha &#39;Africa Rally&#39; Dar</title>
					  <link>http://www.habaritanzania.com/articles/2820/1/Madereva-19-wathibitisha-%26%2339%3BAfrica-Rally%26%2339%3B-Dar</link>
					  <description>BINGWA mtetezi wa mashindano ya mbio za magari Afrika, Muna Sighn kutoka Zambia, ni miongoni mwa madereva 19 waliothibitisha kushiriki shindano la ubingwa wa Afrika, litakalofanyika Februari 9 hadi 11jijini Dar es Salaam.</description>
					  <author>info@habaritanzania.com (Habari Tanzania)</author>
					  <pubDate>Sat, 03 Feb 2007 00:00:00 +0300</pubDate>
					 
					</item>

				

					<item>
					  <title>Liverpool kiboko ya Chelsea, Man U, Arsenal</title>
					  <link>http://www.habaritanzania.com/articles/2819/1/Liverpool-kiboko-ya-Chelsea%2C-Man-U%2C-Arsenal</link>
					  <description>LIVERPOOL ni klabu iliyofanya usajili wa maana kabla ya kumalizika kwa kipindi kidogo cha uhamisho cha Januari, huku Arsenal, Chelsea na Manchester United zote zikimaliza bila sura mpya kwenye mazoezi yao.</description>
					  <author>info@habaritanzania.com (Habari Tanzania)</author>
					  <pubDate>Sat, 03 Feb 2007 00:00:00 +0300</pubDate>
					 
					</item>

				

					<item>
					  <title>TFF kuujadili uongozi wa Ndolanga, Wambura</title>
					  <link>http://www.habaritanzania.com/articles/2818/1/TFF-kuujadili-uongozi-wa-Ndolanga%2C-Wambura</link>
					  <description>UBADHIRIFU mkubwa unaotuhumiwa kufanywa wakati wa uongozi uliopita wa Shirikisho la Soka (TFF), uliokuwa chini ya Mwenyekiti wa Muhidin Ndolanga na Katibu Mkuu Michael Wambura utajadiliwa kwenye mkutano mkuu uliopangwa kufanyika Februari 24, kwenye ukumbi wa NSSF Waterfront jijini Dar es Salaam.</description>
					  <author>info@habaritanzania.com (Habari Tanzania)</author>
					  <pubDate>Sat, 03 Feb 2007 00:00:00 +0300</pubDate>
					 
					</item>

				

					<item>
					  <title>Kuondoka kwa Iddi Simba yakimbilia kwa waziri</title>
					  <link>http://www.habaritanzania.com/articles/2817/1/Kuondoka-kwa-Iddi-Simba-yakimbilia-kwa-waziri</link>
					  <description>UONGOZI wa Simba umemwandikia barua Waziri wa Habari, Utamaduni na Michezo ukidai kuwa umedhalilishwa kutokana na kitendo cha Shirikisho la Soka (TFF) kumsafirisha kiungo Athuman Iddi kwenda Brazil na timu ya taifa bila ya ridhaa ya klabu yake.</description>
					  <author>info@habaritanzania.com (Habari Tanzania)</author>
					  <pubDate>Sat, 03 Feb 2007 00:00:00 +0300</pubDate>
					 
					</item>

				

					<item>
					  <title>Athuman Idd aomba radhi Simba, aenda Brazil</title>
					  <link>http://www.habaritanzania.com/articles/2799/1/Athuman-Idd-aomba-radhi-Simba%2C-aenda-Brazil</link>
					  <description>KIUNGO wa Simba, Athuman Idd ameuomba radhi uongozi wa klabu ya Simba          na kuutaka umpe ruhusa ya kujiunga na watani wake wa jadi Yanga kwa ajili          ya msimu wa mwaka 2007/2008.</description>
					  <author>info@habaritanzania.com (Habari Tanzania)</author>
					  <pubDate>Fri, 02 Feb 2007 00:00:00 +0300</pubDate>
					 
					</item>

				

					<item>
					  <title>Watoto wa Bob Marley kufanya tamasha</title>
					  <link>http://www.habaritanzania.com/articles/2800/1/Watoto-wa-Bob-Marley-kufanya-tamasha</link>
					  <description>WATOTO wanne wa kiume wa Bob Marley watafanya onyesho kwa ajili ya kumbukumbu          ya mwaka 62 tangu kuzaliwa ya mwanamuziki huyo aliyekuwa nyota wa miondoko          ya reggae, msemaji wa familia yake alisema juzi.</description>
					  <author>info@habaritanzania.com (Habari Tanzania)</author>
					  <pubDate>Thu, 01 Feb 2007 00:00:00 +0300</pubDate>
					 
					</item>

				

					<item>
					  <title>Materazzi hudondoka kwa urahisi - Domenech</title>
					  <link>http://www.habaritanzania.com/articles/2777/1/Materazzi-hudondoka-kwa-urahisi---Domenech</link>
					  <description>KOCHA wa Ufaransa, Raymond Domenech &#34;amepiga teke&#34; dhidi ya mchezaji wa kimataifa wa Italia, Marco Materazzi baada ya beki huyo wa kati kupigwa tena kichwa katika mechi ya ligi.</description>
					  <author>info@habaritanzania.com (Habari Tanzania)</author>
					  <pubDate>Wed, 31 Jan 2007 00:00:00 +0300</pubDate>
					 
					</item>

				

					<item>
					  <title>Simba wakiri kuwa wana kazi ngumu kwa timu ya Msumbiji</title>
					  <link>http://www.habaritanzania.com/articles/2776/1/Simba-wakiri-kuwa-wana-kazi-ngumu-kwa-timu-ya-Msumbiji</link>
					  <description>WAWAKILISHI wa Tanzania kwenye mashindano ya Kombe la Shirikisho, Simba walirejea nchini jana kutoka Msumbiji na kutahadharisha kuwa mechi ya marudiano dhidi ya Pungue Textile ya itakuwa ngumu.</description>
					  <author>info@habaritanzania.com (Habari Tanzania)</author>
					  <pubDate>Wed, 31 Jan 2007 00:00:00 +0300</pubDate>
					 
					</item>

				

					<item>
					  <title>Maximo ataja 24 wa Brazil, Mnyanuru, Barnabas watemwa</title>
					  <link>http://www.habaritanzania.com/articles/2761/1/Maximo-ataja-24-wa-Brazil%2C-Mnyanuru%2C-Barnabas-watemwa</link>
					  <description>KOCHA Mkuu wa timu ya soka ya Tanzania (Taifa Stars), Marcio Maximo, jana alitangaza nyota 24 watakaokuwamo kwenye ziara ya Brazil, huku Alvis Mnyanuru, anayekipiga DC ya Marekani, akitemwa.</description>
					  <author>info@habaritanzania.com (Habari Tanzania)</author>
					  <pubDate>Tue, 30 Jan 2007 00:00:00 +0300</pubDate>
					 
					</item>

				

					<item>
					  <title>Kaniki aiokoa Simba Msumbiji</title>
					  <link>http://www.habaritanzania.com/articles/2750/1/Kaniki-aiokoa-Simba-Msumbiji</link>
					  <description>TIMU ya Simba ya Dar es Salaam, jana ililazimisha sare ya ugenini baada ya kufungana 1-1 na Textile de Pongue ya Msumbiji kwenye mechi iliyopigwa mjini hapa.</description>
					  <author>info@habaritanzania.com (Habari Tanzania)</author>
					  <pubDate>Mon, 29 Jan 2007 00:00:00 +0300</pubDate>
					 
					</item>

				

					<item>
					  <title>Waziri Khatib ajitetea kuibeba soka</title>
					  <link>http://www.habaritanzania.com/articles/2715/1/Waziri-Khatib-ajitetea-kuibeba-soka</link>
					  <description>WAZIRI wa Habari, Utamaduni na Michezo, Muhammad Seif Khatib, ametetea kauli yake kusema kuwa serikali itatolea macho soka kwa kuwa ni mchezo unaopendwa na wengi.</description>
					  <author>info@habaritanzania.com (Habari Tanzania)</author>
					  <pubDate>Fri, 26 Jan 2007 00:00:00 +0300</pubDate>
					 
					</item>

				

					<item>
					  <title>Tuko wawazi na fedha za watu - Tenga</title>
					  <link>http://www.habaritanzania.com/articles/2714/1/Tuko-wawazi-na-fedha-za-watu---Tenga</link>
					  <description>RAIS wa Shirikisho la Soka Tanzania, TFF amesema shirikisho lake litakuwa wazi kwa kila senti inayoyotolewa kwa wafadhili mbalimbali kwenye timu ya taifa na mambo mengine.</description>
					  <author>info@habaritanzania.com (Habari Tanzania)</author>
					  <pubDate>Fri, 26 Jan 2007 00:00:00 +0300</pubDate>
					 
					</item>

				

					<item>
					  <title>Yanga yambana Micho</title>
					  <link>http://www.habaritanzania.com/articles/2706/1/Yanga-yambana-Micho</link>
					  <description>SIKU moja baada ya Kocha Sredojevic Milutin 'Micho', wa Serbia kusaini mkataba wa miaka miwili ya kuinoa Yanga, jana jioni alikabidhiwa mikoba kwa ajili ya kuiandaa timu kwa mechi ya kimataifa dhidi ya AGSM ya Comoro.</description>
					  <author>info@habaritanzania.com (Habari Tanzania)</author>
					  <pubDate>Thu, 25 Jan 2007 00:00:00 +0300</pubDate>
					 
					</item>

				

					<item>
					  <title>CAF yaitia kiwewe Simba</title>
					  <link>http://www.habaritanzania.com/articles/2705/1/CAF-yaitia-kiwewe-Simba</link>
					  <description>HATUA ya Shirikisho la Soka Afrika (CAF), kuzuia leseni ya kiungo wake Athumani Idd, imeichanganya klabu ya Simba ambayo sasa imeamua kuhoji kulikoni.</description>
					  <author>info@habaritanzania.com (Habari Tanzania)</author>
					  <pubDate>Thu, 25 Jan 2007 00:00:00 +0300</pubDate>
					 
					</item>

				

					<item>
					  <title>Simba bado yamuota Santos</title>
					  <link>http://www.habaritanzania.com/articles/2687/1/Simba-bado-yamuota-Santos</link>
					  <description>LICHA ya Kocha mkuu wa Simba, Mbrazil Neider dos Santos, kushindwa kurejea kwa wakati, uongozi wa klabu hiyo ungali na matumaini kuwa atarejea na kuinoa timu hiyo.</description>
					  <author>info@habaritanzania.com (Habari Tanzania)</author>
					  <pubDate>Tue, 23 Jan 2007 00:00:00 +0300</pubDate>
					 
					</item>

				

					<item>
					  <title>Dau la Micho laishinda Yanga</title>
					  <link>http://www.habaritanzania.com/articles/2686/1/Dau-la-Micho-laishinda-Yanga</link>
					  <description>VIONGOZI wa klabu ya Yanga wameshindwa kufikia muafaka na Kocha Sredojevic Milutin 'Micho', kuhusu maslahi.</description>
					  <author>info@habaritanzania.com (Habari Tanzania)</author>
					  <pubDate>Tue, 23 Jan 2007 00:00:00 +0300</pubDate>
					 
					</item>

				

					<item>
					  <title>'Micho' atua kwa kishindo Dar</title>
					  <link>http://www.habaritanzania.com/articles/2675/1/%91Micho%92-atua-kwa-kishindo-Dar</link>
					  <description>HATIMAYE Kocha Sredojevic Milutin 'Micho', raia wa Serbia, jana alitua nchini kwa mazungumzo na uongozi wa klabu ya Yanga huku akisema ana uwezo wa kuipaisha timu hiyo kimataifa.</description>
					  <author>info@habaritanzania.com (Habari Tanzania)</author>
					  <pubDate>Mon, 22 Jan 2007 00:00:00 +0300</pubDate>
					 
					</item>

				

					<item>
					  <title>Sudan pekee wajitokeza kuandaa Kombe la Kagame mwakani</title>
					  <link>http://www.habaritanzania.com/articles/2616/1/Sudan-pekee-wajitokeza-kuandaa-Kombe-la-Kagame-mwakani</link>
					  <description>SUDAN ndiyo nchi pekee ambayo hadi sasa imeomba kuandaa mashindano ya Kombe la Kagame yaliyopangwa kufanyika Januari mwakani.</description>
					  <author>info@habaritanzania.com (Habari Tanzania)</author>
					  <pubDate>Wed, 17 Jan 2007 00:00:00 +0300</pubDate>
					 
					</item>

				

					<item>
					  <title>Viongozi washangazwa na kauli ya Waziri wa Michezo</title>
					  <link>http://www.habaritanzania.com/articles/2615/1/Viongozi-washangazwa-na-kauli-ya-Waziri-wa-Michezo</link>
					  <description>VIONGOZI wa vyama mbalimbali vya michezo wameelezwa kushtushwa kwao na kauli ya Waziri wa Habari, Utamaduni na Michezo, Seif Muhammed Khatib kuwa ni &#34;wendawazimu&#34; kwa serikali kusaidia vyama ambavyo michezo yake haina mashabiki wengi, wakisema kauli hiyo inatia aibu.</description>
					  <author>info@habaritanzania.com (Habari Tanzania)</author>
					  <pubDate>Wed, 17 Jan 2007 00:00:00 +0300</pubDate>
					 
					</item>

				

					<item>
					  <title>Mali za Whitney Houston zanadiwa</title>
					  <link>http://www.habaritanzania.com/articles/2580/1/Mali-za-Whitney-Houston-zanadiwa</link>
					  <description>MAMIA ya mali za mwanamuziki maarufu duniani, Whitney Houston yameuzwa katika mnada katika bohari lililopo Irvington, jimboni humu, baada ya mwanamuziki huyo kushindwa kulipia ada ya matuzo.</description>
					  <author>info@habaritanzania.com (Habari Tanzania)</author>
					  <pubDate>Sun, 14 Jan 2007 00:00:00 +0300</pubDate>
					 
					</item>

				

					<item>
					  <title>Tanzania kuiondoa tena Ethiopia leo?</title>
					  <link>http://www.habaritanzania.com/articles/2579/1/Tanzania-kuiondoa-tena-Ethiopia-leo%3F</link>
					  <description>TIMU ya vijana chini ya umri wa miaka 23 itashuka dimbani leo kumenyana na Ethiopia kwenye mchezo wa marudiano kuwania nafasi ya kushiriki ktika michuano ya Mataifa ya Afrika.</description>
					  <author>info@habaritanzania.com (Habari Tanzania)</author>
					  <pubDate>Sun, 14 Jan 2007 00:00:00 +0300</pubDate>
					 
					</item>

				

					<item>
					  <title>Askari 250 wanalinda mechi moja Kigali</title>
					  <link>http://www.habaritanzania.com/articles/2578/1/Askari-250-wanalinda-mechi-moja-Kigali</link>
					  <description>MASHINDANO ya kombe ya Kagame yanayoendelea jijini hapa yamekuwa chini ulinzi mkali na na kila siku askari zaidi ya 250 wamekuwa wakilinda uwanja wa Amahoro wakati wa mechi.</description>
					  <author>info@habaritanzania.com (Habari Tanzania)</author>
					  <pubDate>Sun, 14 Jan 2007 00:00:00 +0300</pubDate>
					 
					</item>

				

					<item>
					  <title>Mourinho: Chelsea sasa basi</title>
					  <link>http://www.habaritanzania.com/articles/2570/1/Mourinho%3A-Chelsea-sasa-basi</link>
					  <description>KOCHA mkuu wa Chelsea, Jose Mourinho, ametangaza kuondoka katika klabu yake ya Chelsea ifikapo Mei mwaka huu</description>
					  <author>info@habaritanzania.com (Habari Tanzania)</author>
					  <pubDate>Sat, 13 Jan 2007 00:00:00 +0300</pubDate>
					 
					</item>

				

					<item>
					  <title>Mbio za Maulid kivutio Kigali, Ngassa awa kero</title>
					  <link>http://www.habaritanzania.com/articles/2534/1/Mbio-za-Maulid-kivutio-Kigali%2C-Ngassa-awa-kero</link>
					  <description>WINGA wa Yanga, Said Maulid amekuwa kivutio kikubwa kwa mashabiki wa soka na ndiye gumzo zaidi hapa katika michuano ya Kombe la Kagame inayoendelea mjini hapa.</description>
					  <author>info@habaritanzania.com (Habari Tanzania)</author>
					  <pubDate>Tue, 09 Jan 2007 00:00:00 +0300</pubDate>
					 
					</item>

				

					<item>
					  <title>Mwalala hawezi kucheza dakika 90</title>
					  <link>http://www.habaritanzania.com/articles/2533/1/Mwalala-hawezi-kucheza-dakika-90</link>
					  <description>MSHAMBULIAJI wa kimataifa wa Yanga, Bernard Mwalala amesema hawezi kucheza dakika 90 kwa vile anahisi maumivu katika mbavu za kushoto. Akizungumza na Mwananchi jana asubuhi, Mwalala alisema kuwa hali hiyo inatokana na ajali aliyoipata jijini Nairobi siku chache kabla ya kujiunga na kikosi cha Yanga kwa ajili ya michuano ya Kombe la Kagame.</description>
					  <author>info@habaritanzania.com (Habari Tanzania)</author>
					  <pubDate>Tue, 09 Jan 2007 00:00:00 +0300</pubDate>
					 
					</item>

				

					<item>
					  <title>Cecafa: Tumeridhishwa na mashindano</title>
					  <link>http://www.habaritanzania.com/articles/2532/1/Cecafa%3A-Tumeridhishwa-na-mashindano</link>
					  <description>KATIBU Mkuu wa Baraza la Vyama vya Soka la Afrika Mashariki na Kati (Cecafa), Nicholaus Musonye amesema wameridhishwa na jinsi michuano ya Kombe la Kagame inavyoendeshwa jijini hapa.</description>
					  <author>info@habaritanzania.com (Habari Tanzania)</author>
					  <pubDate>Tue, 09 Jan 2007 00:00:00 +0300</pubDate>
					 
					</item>

				

					<item>
					  <title>APR yainyemelea Yanga Rwanda</title>
					  <link>http://www.habaritanzania.com/articles/2521/1/APR-yainyemelea-Yanga-Rwanda</link>
					  <description>LICHA ya timu zote kucheza soka safi na la kuvutia, wenyeji APR juzi walianza vyema mashindano ya Kombe la Kagame walipoilaza Vital'O ya Burundi kwa mabao 3-0 katika mechi ya pili ya siku ya fungua dimba iliyofanyika kwenye Uwanja wa Amahoro.</description>
					  <author>info@habaritanzania.com (Habari Tanzania)</author>
					  <pubDate>Mon, 08 Jan 2007 00:00:00 +0300</pubDate>
					 
					</item>

				

					<item>
					  <title>Alsenal yawavua ubingwa Liverpool</title>
					  <link>http://www.habaritanzania.com/articles/2520/1/Alsenal-yawavua-ubingwa-Liverpool</link>
					  <description>ARSENAL juzi iliwavua Liverpool ubingwa wa Kombe la FA baada ya kuwachapa magoli 3-1, mawili yakiwa yamefungwa na Tomas Rosicky na jingine na nahodha Thierry Henry katika shambulizi la kushtukiza la mwisho kwenye mechi hiyo iliyofanyika Uwanja wa Anfield.</description>
					  <author>info@habaritanzania.com (Habari Tanzania)</author>
					  <pubDate>Mon, 08 Jan 2007 00:00:00 +0300</pubDate>
					 
					</item>

				

					<item>
					  <title>Umaarufu waiponza Yanga Rwanda, Mwalala aonja joto ya jiwe</title>
					  <link>http://www.habaritanzania.com/articles/2519/1/Umaarufu-waiponza-Yanga-Rwanda%2C-Mwalala-aonja-joto-ya-jiwe</link>
					  <description>KUFAHAMIKA sana mjini hapa kumewaponza mabingwa wa soka wa Tanzania Bara, Yanga na sasa wanalazimika kustahimili hali ya kukosa mashabiki na kuzomewa wanapocheza mechi.</description>
					  <author>info@habaritanzania.com (Habari Tanzania)</author>
					  <pubDate>Mon, 08 Jan 2007 00:00:00 +0300</pubDate>
					 
					</item>

				

					<item>
					  <title>Viongozi TEFA wapigwa chini</title>
					  <link>http://www.habaritanzania.com/articles/2459/1/Viongozi-TEFA-wapigwa-chini</link>
					  <description>KAMATI ya Utendaji ya Chama cha Soka Wilaya ya Temeke (TEFA), leo imetakiwa kukabidhi ofisi za chama hicho kwa Kamati ya Ligi ya Taifa wilayani humo baada ya muda wa siku 90 kumalizika rasmi leo.</description>
					  <author>info@habaritanzania.com (Habari Tanzania)</author>
					  <pubDate>Mon, 25 Dec 2006 00:00:00 +0300</pubDate>
					 
					</item>

				

					<item>
					  <title>Mgosi kwaheri Simba SC</title>
					  <link>http://www.habaritanzania.com/articles/2458/1/Mgosi-kwaheri-Simba-SC</link>
					  <description>KIUNGO mshambuliaji wa kimataifa wa Tanzania anayechezea klabu ya Simba ya Dar es Salaam, Mussa Hassan Mgosi, anatarajia kuondoka nchini mapema mwakani, kwenda Dubai kucheza soka ya kulipwa.</description>
					  <author>info@habaritanzania.com (Habari Tanzania)</author>
					  <pubDate>Mon, 25 Dec 2006 00:00:00 +0300</pubDate>
					 
					</item>

				

					<item>
					  <title>Mambo sasa yaiva Jangwani</title>
					  <link>http://www.habaritanzania.com/articles/2457/1/Mambo-sasa-yaiva-Jangwani</link>
					  <description>KLABU ya Yanga ya Dar es Salaam, imeliomba Shirikisho la Soka Tanzania (TFF), iutumie Uwanja wa Karume kwa ajili ya mazoezi ya kujiandaa kwa michuano ya Klabu Bingwa Afrika Mashariki na Kati (Kombe la Kagame).</description>
					  <author>info@habaritanzania.com (Habari Tanzania)</author>
					  <pubDate>Mon, 25 Dec 2006 00:00:00 +0300</pubDate>
					 
					</item>

				

					<item>
					  <title>Uchaguzi TEFA vurugu tupu</title>
					  <link>http://www.habaritanzania.com/articles/2420/1/Uchaguzi-TEFA-vurugu-tupu</link>
					  <description>UNAWEZA kusema ni vurugu tupu inayoendelea ndani ya Chama Cha Soka Temeke (TEFA), kwani wakati viongozi walioko madarakani wakipiga hodi kwa waziri, Kamati ya Michezo imeagiza uchaguzi mkuu ufanyike Januari 13, mwakani.</description>
					  <author>info@habaritanzania.com (Habari Tanzania)</author>
					  <pubDate>Fri, 22 Dec 2006 00:00:00 +0300</pubDate>
					 
					</item>

				

					<item>
					  <title>Ronaldinho aomba uraia Hispania</title>
					  <link>http://www.habaritanzania.com/articles/2419/1/Ronaldinho-aomba-uraia-Hispania</link>
					  <description>RONALDINHO Gaucho, mshambuliaji wa klabu bingwa ya Ulaya, Barcelona na timu ya taifa ya Brazil, amewasilisha nyaraka katika mahakama ya Gava nchini hapa kuomba uraia.</description>
					  <author>info@habaritanzania.com (Habari Tanzania)</author>
					  <pubDate>Fri, 22 Dec 2006 00:00:00 +0300</pubDate>
					 
					</item>

				

					<item>
					  <title>BMZ yamrudisha Bushiri Stars</title>
					  <link>http://www.habaritanzania.com/articles/2418/1/BMZ-yamrudisha-Bushiri-Stars</link>
					  <description>BARAZA la Michezo la Zanzibar (BMZ), limepinga hatua ya Chama cha Soka Zanzibar (ZFA), kumvua madaraka ya ukocha msaidizi wa timu ya taifa ya Tanzania, Taifa Stars, Ali Bushiri.</description>
					  <author>info@habaritanzania.com (Habari Tanzania)</author>
					  <pubDate>Fri, 22 Dec 2006 00:00:00 +0300</pubDate>
					 
					</item>

				

					<item>
					  <title>Mexime akubali kusomea ukocha</title>
					  <link>http://www.habaritanzania.com/articles/2390/1/Mexime-akubali-kusomea-ukocha</link>
					  <description>NAHODHA wa timu ya taifa ya Tanzania 'Taifa Stars', Mecky Mexime, amekubali ushauri wa Kocha Mkuu wa timu hiyo, Mbrazil Marcio Maximo, wa kutaka aachane na soka ili asomee ukocha, ingawa atafanya hivyo miaka mitatu ijayo.</description>
					  <author>info@habaritanzania.com (Habari Tanzania)</author>
					  <pubDate>Tue, 19 Dec 2006 00:00:00 +0300</pubDate>
					 
					</item>

				

					<item>
					  <title>Athumani Idd aiburuza Simba Polisi</title>
					  <link>http://www.habaritanzania.com/articles/2389/1/Athumani-Idd-aiburuza-Simba-Polisi</link>
					  <description>SAKATA la kiungo wa klabu ya Simba na timu ya taifa 'Taifa Stars', Athumani Idd, limechukua sura mpya baada mchezaji huyo, jana, kulifikisha Kituo Kikuu cha Polisi Mkoa wa Dar es Salaam, akidai viongozi wa Simba, wameghushi saini yake katika fomu za usajili zilizotumwa Shirikisho la Soka Afrika (CAF).</description>
					  <author>info@habaritanzania.com (Habari Tanzania)</author>
					  <pubDate>Tue, 19 Dec 2006 00:00:00 +0300</pubDate>
					 
					</item>

				

					<item>
					  <title>Viwanja 9 kuwaka moto leo</title>
					  <link>http://www.habaritanzania.com/articles/2370/1/Viwanja-9-kuwaka-moto-leo</link>
					  <description>WAKATI mabingwa watetezi wa Kombe la Taifa, Mapinduzi Stars ya Mbeya ikisonga mbele hadi hatua ya pili, leo viwanja tisa vinatarajiwa kuwaka moto katika michezo ya ufunguzi kabla ya kesho kuendelea kwa mchezo mmoja.</description>
					  <author>info@habaritanzania.com (Habari Tanzania)</author>
					  <pubDate>Sat, 16 Dec 2006 00:00:00 +0300</pubDate>
					 
					</item>

				

					<item>
					  <title>Yanga yalia na TFF</title>
					  <link>http://www.habaritanzania.com/articles/2369/1/Yanga-yalia-na-TFF</link>
					  <description>UONGOZI wa Klabu ya Yanga umeshitushwa na Shirikisho la Soka Tanzania (TFF) kutounga mkono hoja yao ya kutaka kusogezwa mbele kwa michuano ya Baraza la Soka la Afrika Mashariki na Kati (CECAFA).</description>
					  <author>info@habaritanzania.com (Habari Tanzania)</author>
					  <pubDate>Sat, 16 Dec 2006 00:00:00 +0300</pubDate>
					 
					</item>

				

					<item>
					  <title>Simba warusha kombora Yanga</title>
					  <link>http://www.habaritanzania.com/articles/2368/1/Simba-warusha-kombora-Yanga</link>
					  <description>KLABU ya Simba ya jijini Dar es Salaam, imefunga mjadala juu ya mchezaji Athumani Idd, ikiwataka watani wao wa jadi, Yanga kutumia dau la usajili kwa kukarabati jengo lao la Makao Makuu</description>
					  <author>info@habaritanzania.com (Habari Tanzania)</author>
					  <pubDate>Sat, 16 Dec 2006 00:00:00 +0300</pubDate>
					 
					</item>

				

					<item>
					  <title>Mgosi, Mrwanda waikosa Ethiopia leo</title>
					  <link>http://www.habaritanzania.com/articles/2367/1/Mgosi%2C-Mrwanda-waikosa-Ethiopia-leo</link>
					  <description>WAKATI timu ya soka ya Tanzania ya vijana wenye umri chini ya miaka 23, leo inashuka Uwanja wa Taifa, Dar es Salaam kukipiga na Ethiopia, Kocha Mkuu wa timu hiyo, John Simkoko, amewatema nyota wake wanane, wakiwamo Mussa Hassan 'Mgosi', Danny Mrwanda wa Simba na Abuu Ramadhani wa Yanga.</description>
					  <author>info@habaritanzania.com (Habari Tanzania)</author>
					  <pubDate>Sat, 16 Dec 2006 00:00:00 +0300</pubDate>
					 
					</item>

				

					<item>
					  <title>Maximo kuinadi Tz Brazil</title>
					  <link>http://www.habaritanzania.com/articles/2350/1/Maximo-kuinadi-Tz-Brazil</link>
					  <description>KOCHA mkuu wa Taifa Stars Marcio Maximo amesema anakwenda Brazil kuitangaza Taifa Stars na kwamba atazungumza na kocha wa Afrika Kusini, Carlos Alberto Perreira ili aongeze mahusiano baina na wenyeji hao wa fainali za Kombe la Dunia za mwaka 2010.</description>
					  <author>info@habaritanzania.com (Habari Tanzania)</author>
					  <pubDate>Fri, 15 Dec 2006 00:00:00 +0300</pubDate>
					 
					</item>

				

					<item>
					  <title>Yanga yataka Kagame iwe Machi</title>
					  <link>http://www.habaritanzania.com/articles/2349/1/Yanga-yataka-Kagame-iwe-Machi</link>
					  <description>UONGOZI wa mabingwa wa soka Tanzania, Yanga umeliandikia Shirikisho la Soka (TFF) na Baraza la Soka la Afrika Mashariki na Kati (Cecafa) kushauri mashindano ya Kombe la Kagame, yanayoshirikisha mabingwa wa nchi wanachama wa baraza hilo, yasogezwe mbele hadi Februari.</description>
					  <author>info@habaritanzania.com (Habari Tanzania)</author>
					  <pubDate>Fri, 15 Dec 2006 00:00:00 +0300</pubDate>
					 
					</item>

				

					<item>
					  <title>Yanga yamkosa Athuman Idd, CAF yatuma jina lake CAF</title>
					  <link>http://www.habaritanzania.com/articles/2348/1/Yanga-yamkosa-Athuman-Idd%2C-CAF-yatuma-jina-lake-CAF</link>
					  <description>SHIRIKISHO la Soka (TFF) jana lilituma CAF jina la kiungo Athuman Idd kwa ajili ya kuichezea Simba kwenye michuano ya Kombe la Shirikisho la Afrika, hatua inayomaanisha kuwa kiungo huyo wa kimataifa hataweza kuichezea Yanga msimu ujao.</description>
					  <author>info@habaritanzania.com (Habari Tanzania)</author>
					  <pubDate>Fri, 15 Dec 2006 00:00:00 +0300</pubDate>
					 
					</item>

				

					<item>
					  <title>32 wapitishwa TOC</title>
					  <link>http://www.habaritanzania.com/articles/2322/1/32-wapitishwa-TOC</link>
					  <description>WAGOMBEA 32 wamepitishwa kuwania nafasi mbalimbali za uongozi katika uchaguzi mkuu wa Kamati ya Olimpiki ya Tanzania (TOC).</description>
					  <author>info@habaritanzania.com (Habari Tanzania)</author>
					  <pubDate>Wed, 13 Dec 2006 00:00:00 +0300</pubDate>
					 
					</item>

				

					<item>
					  <title>Yanga imempa Athuman Idd zawadi ya Krismasi-Kaduguda</title>
					  <link>http://www.habaritanzania.com/articles/2303/1/Yanga-imempa-Athuman-Idd-zawadi-ya-Krismasi-Kaduguda</link>
					  <description>KATIBU mkuu wa Klabu ya Simba, Mwina Kaduguda amelitaka Shirikisho la Soka (TFF) kutoshughulikia kisiasa suala la Athumani Idd, akitamba kuwa kama Yanga imempa fedha basi itakuwa ni zawadi ya Krismasi, vinginevyo kiungo huyo ni mchezaji halali wa Simba hadi mwaka 2008.</description>
					  <author>info@habaritanzania.com (Habari Tanzania)</author>
					  <pubDate>Tue, 12 Dec 2006 00:00:00 +0300</pubDate>
					 
					</item>

				

					<item>
					  <title>13 kushiriki ligi ndogo Bara</title>
					  <link>http://www.habaritanzania.com/articles/2302/1/13-kushiriki-ligi-ndogo-Bara</link>
					  <description>SHIRIKISHO la Soka (TFF) litaendesha ligi ndogo ya taifa itakayoshirikisha timu 13 kwa ajili ya kupata wawakilishi wa Tanzania Bara kwenye michuano ya klabu ya Afrika kwa mwaka 2008 na pia kujiandaa kwa msimu mpya utakaokuwa ukianza Juni na kumalizika Mei mwaka unaofuata.</description>
					  <author>info@habaritanzania.com (Habari Tanzania)</author>
					  <pubDate>Tue, 12 Dec 2006 00:00:00 +0300</pubDate>
					 
					</item>

				

					<item>
					  <title>Ujinga wa Abramovich, hapana- Mmiliki Liverpool</title>
					  <link>http://www.habaritanzania.com/articles/2287/1/Ujinga-wa-Abramovich%2C-hapana--Mmiliki-Liverpool</link>
					  <description>SIKU chache baada ya kuanza rasmi kwa mazungumzo ya kuchukua umiliki wa klabu ya Liverpool, wamiliki wapya wameeleza kuwa hawako tayari kuiga mfumo wa Chelsea na tajiri wake, Roman Abramovich wa kuchezea fedha ovyo.</description>
					  <author>info@habaritanzania.com (Habari Tanzania)</author>
					  <pubDate>Mon, 11 Dec 2006 00:00:00 +0300</pubDate>
					 
					</item>

				

					<item>
					  <title>Moro Star kufanyiwa kongamano</title>
					  <link>http://www.habaritanzania.com/articles/2286/1/Moro-Star-kufanyiwa-kongamano</link>
					  <description>WADAU wa soka mkoani Morogoro, wakiwemo makocha, waamuzi na Waandishi wa Habari za Michezo watafanya kongamano la namna ya kuiboresha timu ya Mkoa wa Morogoro, Moro Star, ili iweze kufanya vizuri katika michuano ya Kombe la Taifa .</description>
					  <author>info@habaritanzania.com (Habari Tanzania)</author>
					  <pubDate>Mon, 11 Dec 2006 00:00:00 +0300</pubDate>
					 
					</item>

				

					<item>
					  <title>Materazzi amsamehe Zidane</title>
					  <link>http://www.habaritanzania.com/articles/2285/1/Materazzi-amsamehe-Zidane</link>
					  <description>BEKI wa Italia, Marco Materazzi ametangaza kumsamehe kiungo mstaafu wa Ufaransa, Zinedine Zidane aliyemtwanga kichwa cha kifua wakati wa fainali za Kombe la Dunia, Juni mwaka huu.</description>
					  <author>info@habaritanzania.com (Habari Tanzania)</author>
					  <pubDate>Mon, 11 Dec 2006 00:00:00 +0300</pubDate>
					 
					</item>

				

					<item>
					  <title>Dodoma Spurs mabingwa Kili RBA</title>
					  <link>http://www.habaritanzania.com/articles/2284/1/Dodoma-Spurs-mabingwa-Kili-RBA</link>
					  <description>MASHINDANO ya Kili RBA ya Mkoa wa Dodoma, yamemalizika kwa timu ya Dodoma Spurs kunyakua kikombe na kitita cha sh500,000.</description>
					  <author>info@habaritanzania.com (Habari Tanzania)</author>
					  <pubDate>Mon, 11 Dec 2006 00:00:00 +0300</pubDate>
					 
					</item>

				

					<item>
					  <title>Sudan yawa &#39;bingwa&#39; wa Chalenji 2006</title>
					  <link>http://www.habaritanzania.com/articles/2266/1/Sudan-yawa-%26%2339%3Bbingwa%26%2339%3B-wa-Chalenji-2006</link>
					  <description>Na Frank Sanga, Addis Ababa SUDAN tayari imetwaa ubingwa wa michuano ya 30 ya Kombe laChalenji baada ya kuifunga Uganda kwa penalti 6-5 katika mchezo wa nusu fainali uliofanyika jijini hapa juzi usiku.</description>
					  <author>info@habaritanzania.com (Habari Tanzania)</author>
					  <pubDate>Sun, 10 Dec 2006 00:00:00 +0300</pubDate>
					 
					</item>

				

					<item>
					  <title>Athumani Idd: Simba walishavunja mkataba</title>
					  <link>http://www.habaritanzania.com/articles/2255/1/Athumani-Idd%3A-Simba-walishavunja-mkataba</link>
					  <description>KATIBU Mkuu wa Shirikisho la Soka Tanzania, TFF, Frederick Mwakalebela amedhibitisha kupokea barua ya Athuman Idd inayosema kuwa Simba hawakaumtimizia mashariti yote kwenye mkataba wake na anataka atambulikje ni mchezaji wa Yanga.</description>
					  <author>info@habaritanzania.com (Habari Tanzania)</author>
					  <pubDate>Sat, 09 Dec 2006 00:00:00 +0300</pubDate>
					 
					</item>

				

					<item>
					  <title>Zambia yatinga fainali Chalenji</title>
					  <link>http://www.habaritanzania.com/articles/2254/1/Zambia-yatinga-fainali-Chalenji</link>
					  <description>KOCHA wa zamani wa Simba, Patrick Phiri anaelekea kutwaa ubingwa wa pili wa michuano ya kanda barani Afrika baada ya kuiongoza Zambia kuishinda Rwanda kwa bao 1-0 jana na kufuzu kucheza fainali ya michuano ya Kombe la Chalenji.</description>
					  <author>info@habaritanzania.com (Habari Tanzania)</author>
					  <pubDate>Sat, 09 Dec 2006 00:00:00 +0300</pubDate>
					 
					</item>

				

					<item>
					  <title>Chamangwana: Nataka kupumzika</title>
					  <link>http://www.habaritanzania.com/articles/2253/1/Chamangwana%3A-Nataka-kupumzika</link>
					  <description>KOCHA mkuu wa Yanga, Jack Chamangwana amesema baada ya mwezi mmoja atakaa pembeni na kupumzika kuifundisha timu hiyo aliyoiongoza kutwaa ubingwa wa Tanzania Bara kwa misimu miwili mfululizo.</description>
					  <author>info@habaritanzania.com (Habari Tanzania)</author>
					  <pubDate>Sat, 09 Dec 2006 00:00:00 +0300</pubDate>
					 
					</item>

				

					<item>
					  <title>Maximo: Tutaishinda Congo</title>
					  <link>http://www.habaritanzania.com/articles/2252/1/Maximo%3A-Tutaishinda-Congo</link>
					  <description>KOCHA wa Taifa Stars, Marcio Maximo ana uhakika kuwa vijana wake wataibuka na ushindi dhidi ya Jamhuri ya Kidemokrasia ya Congo, ambayo imekuja na wachezaji wanne walio barani Ulaya, katika mechi ya kirafiki ya kimataifa itakayoshuhudiwa na Waziri Mkuu, Edward Lowasa.</description>
					  <author>info@habaritanzania.com (Habari Tanzania)</author>
					  <pubDate>Sat, 09 Dec 2006 00:00:00 +0300</pubDate>
					 
					</item>

				

					<item>
					  <title>Watatu wakabana koo nafasi ya pili</title>
					  <link>http://www.habaritanzania.com/articles/2199/1/Watatu-wakabana-koo-nafasi-ya-pili</link>
					  <description>SOCHAUX na Lille juzi ziliungana na Lens kushika nafasi ya pili katika msimamo wa ligi kuu ya Ufaransa, baada ya kuibuka na ushindi dhidi ya Marseille na Nancy.</description>
					  <author>info@habaritanzania.com (Habari Tanzania)</author>
					  <pubDate>Tue, 05 Dec 2006 00:00:00 +0300</pubDate>
					 
					</item>

				

					<item>
					  <title>AC Milan haina jipya</title>
					  <link>http://www.habaritanzania.com/articles/2198/1/AC-Milan-haina-jipya</link>
					  <description>AC Milan juzi ililazimishwa kutoka sare ya mabao 2-2 na Cagliari katika mechi ya michuano ya soka ya ligi ya Serie A ya Italia iliyochezwa mjini Sardinia.</description>
					  <author>info@habaritanzania.com (Habari Tanzania)</author>
					  <pubDate>Tue, 05 Dec 2006 00:00:00 +0300</pubDate>
					 
					</item>

				

					<item>
					  <title>Ronaldo, Carlos waibeba Real Madrid</title>
					  <link>http://www.habaritanzania.com/articles/2197/1/Ronaldo%2C-Carlos-waibeba-Real-Madrid</link>
					  <description>MSHAMBULIAJI Ronaldo de Lima na beki Roberto Carlos, juzi waliibeba Real Madrid kwa kuifungia mabao mawili, ilipoichapa Athletic Bilbao mabao 2-1 katika mechi ya michuano ya soka ya ligi kuu ya Hispania iliyochezwa mjini hapa.</description>
					  <author>info@habaritanzania.com (Habari Tanzania)</author>
					  <pubDate>Tue, 05 Dec 2006 00:00:00 +0300</pubDate>
					 
					</item>

				

					<item>
					  <title>Kocha wake aigwaya Ethiopia</title>
					  <link>http://www.habaritanzania.com/articles/2196/1/%85Kocha-wake-aigwaya-Ethiopia</link>
					  <description>KOCHA Mkuu wa timu ya soka ya taifa ya Uganda, Laszlo Csaba ameielezea Ethiopia kuwa ndiyo pekee tishio kwa timu yake katika michuano ya Kombe la Chalenji inayoendelea mjini hapa.</description>
					  <author>info@habaritanzania.com (Habari Tanzania)</author>
					  <pubDate>Tue, 05 Dec 2006 00:00:00 +0300</pubDate>
					 
					</item>

				

					<item>
					  <title>Uganda yaikamia Rwanda Chalenji</title>
					  <link>http://www.habaritanzania.com/articles/2195/1/Uganda-yaikamia-Rwanda-Chalenji</link>
					  <description>KOCHA Mkuu wa timu ya soka ya taifa ya Uganda, Laszlo Csaba amejigamba kuwa ataiongoza timu yake kufanya vizuri zaidi itakapomenyana na Rwanda.</description>
					  <author>info@habaritanzania.com (Habari Tanzania)</author>
					  <pubDate>Tue, 05 Dec 2006 00:00:00 +0300</pubDate>
					 
					</item>

				

					<item>
					  <title>Mawakala wa Miss Tanzania watajwa</title>
					  <link>http://www.habaritanzania.com/articles/2194/1/Mawakala-wa-Miss-Tanzania-watajwa</link>
					  <description>KAMATI ya Mashindano ya 'Miss Tanzania' imetangaza majina ya mawakala wapya na wa zamani watakaoandaa mashindano hayo kwa mwaka 2007.</description>
					  <author>info@habaritanzania.com (Habari Tanzania)</author>
					  <pubDate>Tue, 05 Dec 2006 00:00:00 +0300</pubDate>
					 
					</item>

				

					<item>
					  <title>Hassanat Taiwo: Malkia wa Nollywood aaibika</title>
					  <link>http://www.habaritanzania.com/articles/2160/1/Hassanat-Taiwo%3A-Malkia-wa-Nollywood-aaibika</link>
					  <description>WASWAHILI wanasema ivumayo haidumu. Hivi ndivyo inavyoweza kuelezwa kwa msanii huyo wa fani ya uigizaji kutoka Nigeria, Hassanat Taiwo Akinwande.</description>
					  <author>info@habaritanzania.com (Habari Tanzania)</author>
					  <pubDate>Sun, 03 Dec 2006 00:00:00 +0300</pubDate>
					 
					</item>

				

					<item>
					  <title>Ulinzi mkali uchaguzi wa Simba</title>
					  <link>http://www.habaritanzania.com/articles/2159/1/Ulinzi-mkali-uchaguzi-wa-Simba</link>
					  <description>WAKATI uchaguzi mkuu wa klabu ya Simba unafanyika leo, ulinzi umeimarishwa ili kudhibiti vurugu zitakazojitokeza kwa nia ya kuvuruga uchaguzi utakaofanyika kwenye Ukumbi wa Al Muntazil Dar es Salaam.</description>
					  <author>info@habaritanzania.com (Habari Tanzania)</author>
					  <pubDate>Sun, 03 Dec 2006 00:00:00 +0300</pubDate>
					 
					</item>

				

					<item>
					  <title>Uganda yatinga robo fainali</title>
					  <link>http://www.habaritanzania.com/articles/2144/1/Uganda-yatinga-robo-fainali</link>
					  <description>UGANDA, ikicheza mchezo wa kuvutia juzi, iliishinda Rwanda kwa bao 1-0 katika moja ya mechi ngumu za michuano ya 30 ya Kombe la Chalenji iliyofanyika kwenye Uwanja wa Taifa wa Addis Ababa.</description>
					  <author>info@habaritanzania.com (Habari Tanzania)</author>
					  <pubDate>Sat, 02 Dec 2006 00:00:00 +0300</pubDate>
					 
					</item>

				

					<item>
					  <title>Uganda yatinga robo fainali</title>
					  <link>http://www.habaritanzania.com/articles/2143/1/Uganda-yatinga-robo-fainali</link>
					  <description>UGANDA, ikicheza mchezo wa kuvutia juzi, iliishinda Rwanda kwa bao 1-0 katika moja ya mechi ngumu za michuano ya 30 ya Kombe la Chalenji iliyofanyika kwenye Uwanja wa Taifa wa Addis Ababa.</description>
					  <author>info@habaritanzania.com (Habari Tanzania)</author>
					  <pubDate>Sat, 02 Dec 2006 00:00:00 +0300</pubDate>
					 
					</item>

				

					<item>
					  <title>Zanzibar yahitaji pointi kwa Phiri leo</title>
					  <link>http://www.habaritanzania.com/articles/2142/1/Zanzibar-yahitaji-pointi-kwa-Phiri-leo</link>
					  <description>ZANZIBAR leo itakuwa inahitaji pointi moja ili iweze kufuzu kucheza raundi ya pili ya michuano ya Kombe la Kagame, lakini ikabiliwa na kibarua kigumu kwani inakutana na Zambia, inayofundishwa na Patrick Phiri anayelijua vizuri soka la Tanzania</description>
					  <author>info@habaritanzania.com (Habari Tanzania)</author>
					  <pubDate>Sat, 02 Dec 2006 00:00:00 +0300</pubDate>
					 
					</item>

				

					<item>
					  <title>Wakwama tena kuzuia uchaguzi Simba</title>
					  <link>http://www.habaritanzania.com/articles/2141/1/Wakwama-tena-kuzuia-uchaguzi-Simba</link>
					  <description>HALI bado tete kwenye klabu ya Simba baada ya wanachama wanne walioshindwa kuzuia uchaguzi wa viongozi wa klabu ya Simba, kukata rufaa Mahakama Kuu wakipinga hukumu hiyo na kuendelea kudai uchaguzi usimamishwe, lakini ombi lao limegonga mwamba. </description>
					  <author>info@habaritanzania.com (Habari Tanzania)</author>
					  <pubDate>Sat, 02 Dec 2006 00:00:00 +0300</pubDate>
					 
					</item>

				

					<item>
					  <title>Kilimanjaro yamaliza kwa kishindo</title>
					  <link>http://www.habaritanzania.com/articles/2140/1/Kilimanjaro-yamaliza-kwa-kishindo</link>
					  <description>TIMU ya taifa ya Tanzania Bara 'Kilimanjaro Stars' jana ilimaliza kwa kushinda mechi zote tatu za Kundi A la michuano ya Kombe la Chalenji ilipoilowesha Djibout kwa mabao 3-0 kwenye Uwanja wa Taifa.</description>
					  <author>info@habaritanzania.com (Habari Tanzania)</author>
					  <pubDate>Sat, 02 Dec 2006 00:00:00 +0300</pubDate>
					 
					</item>

				

					<item>
					  <title>Bingwa Cecafa kucheza na bingwa Cosafa</title>
					  <link>http://www.habaritanzania.com/articles/2122/1/Bingwa-Cecafa-kucheza-na-bingwa-Cosafa</link>
					  <description>MIPANGO inafanywa ili kuanzia mwakani bingwa wa Kombe la Chalenji awe anacheza na bingwa wa Kombe la Cosafa.Nicholas Musonye, katibu mkuu wa Baraza la Vyama vya Soka vya Afrika Mashariki na Kati (Cecafa), linaloandaa mashindano ya Kombe la Chalenji, alisema ameandika barua kwa katibu mkuu wa Cosafa (shirikisho la vyama vya soka vya kusini mwa Afrika), Ashford Mamelodi na anachosubiri ni majibu.</description>
					  <author>info@habaritanzania.com (Habari Tanzania)</author>
					  <pubDate>Fri, 01 Dec 2006 00:00:00 +0300</pubDate>
					 
					</item>

				

					<item>
					  <title>Hagila kuwabana waliozuia uchaguzi Simba</title>
					  <link>http://www.habaritanzania.com/articles/2121/1/Hagila-kuwabana-waliozuia-uchaguzi-Simba</link>
					  <description>MKURUGENZI wa Simba, Evarist Hagila amedai kuwa ameimuagiza wakili Evord Mmanda kufungua kesi ya madai kudai fidia ya Sh milioni 20 kwa wanachama wanne waliofungua kesi kuzuia uchaguzi uliokuwa ufanyike Novemba 26 kwenye ukumbi wa Al Mutazir jijini Dar es Salaam.</description>
					  <author>info@habaritanzania.com (Habari Tanzania)</author>
					  <pubDate>Fri, 01 Dec 2006 00:00:00 +0300</pubDate>
					 
					</item>

				

					<item>
					  <title>Matola asita kujiunga Stars</title>
					  <link>http://www.habaritanzania.com/articles/2120/1/Matola-asita-kujiunga-Stars</link>
					  <description>KIUNGO wa Super Sport United ya Afrika Kusini, Selemani Matola amesema hawezi kujiunga na timu ya soka ya taifa (Taifa Stars) kwa ajili ya mechi ya kirafiki ya kimataifa dhidi ya Jamhuri ya Kidemokrasia ya Congo itakayochezwa Desemba 9 kwenye Uwanja wa Taifa, Dar es Salaam.</description>
					  <author>info@habaritanzania.com (Habari Tanzania)</author>
					  <pubDate>Fri, 01 Dec 2006 00:00:00 +0300</pubDate>
					 
					</item>

				

					<item>
					  <title>Yanga watinga Ethiopia kusajili waliopo Kili Stars</title>
					  <link>http://www.habaritanzania.com/articles/2119/1/Yanga-watinga-Ethiopia-kusajili-waliopo-Kili-Stars</link>
					  <description>HARAKATI za usajili zimechukua sura mpya baada ya uongozi wa Yanga kumtuka mjumbe wake mjini hapa katika kile kinachoonekana kuwa ni kukamilisha usajili wa wachezaji walio Kilimanjaro Stars, Burundi na Malawi, huku beki wao Edwin Mukenya akitangaza rasmi kuamua kubakia Jangwani.</description>
					  <author>info@habaritanzania.com (Habari Tanzania)</author>
					  <pubDate>Fri, 01 Dec 2006 00:00:00 +0300</pubDate>
					 
					</item>

				

					<item>
					  <title>Bingwa Cecafa kucheza na bingwa Cosafa</title>
					  <link>http://www.habaritanzania.com/articles/2101/1/Bingwa-Cecafa-kucheza-na-bingwa-Cosafa</link>
					  <description>MIPANGO inafanywa ili kuanzia mwakani bingwa wa Kombe la Chalenji awe anacheza na bingwa wa Kombe la Cosafa.Nicholas Musonye, katibu mkuu wa Baraza la Vyama vya Soka vya Afrika Mashariki na Kati (Cecafa), linaloandaa mashindano ya Kombe la Chalenji, alisema ameandika barua kwa katibu mkuu wa Cosafa (shirikisho la vyama vya soka vya kusini mwa Afrika), Ashford Mamelodi na anachosubiri ni majibu.</description>
					  <author>info@habaritanzania.com (Habari Tanzania)</author>
					  <pubDate>Thu, 30 Nov 2006 00:00:00 +0300</pubDate>
					 
					</item>

				

					<item>
					  <title>Zanzibar, Burundi suluhu</title>
					  <link>http://www.habaritanzania.com/articles/2100/1/Zanzibar%2C-Burundi-suluhu</link>
					  <description>BURUNDI imetinga robo fainali kutoka Kundi B baada ya jana kutoka suluhu na Zanzibar katika mechi ambayo haikuwa na msisimko kwenye Uwanja wa Addis Ababa.</description>
					  <author>info@habaritanzania.com (Habari Tanzania)</author>
					  <pubDate>Thu, 30 Nov 2006 00:00:00 +0300</pubDate>
					 
					</item>

				

					<item>
					  <title>Hagila:Uchaguzi lazima Jumapili</title>
					  <link>http://www.habaritanzania.com/articles/2099/1/Hagila%3AUchaguzi-lazima-Jumapili</link>
					  <description>WAKATI msajili anasisitiza kuwa hataweza kusimamia uchaguzi wa viongozi wa Simba hadi atakapopata hukumu ya Mahakama ya Kisutu, mkurugenzi wa klabu hiyo, Evarist Hagila amesisitiza kuwa uchaguzi lazima ufanyike Jumapili.</description>
					  <author>info@habaritanzania.com (Habari Tanzania)</author>
					  <pubDate>Thu, 30 Nov 2006 00:00:00 +0300</pubDate>
					 
					</item>

				

					<item>
					  <title>Matola, Kaniki waitwa Stars</title>
					  <link>http