<?xml version="1.0" encoding="utf-8"?><?xml-stylesheet href="http://www.habaritanzania.com/templates/Default/RssDisplay.xslt" type="text/xsl"?>
		<rss version="2.0">
		  <channel>
				<title>Habari Tanzania - Articles - Michezo</title>
				<link>http://www.habaritanzania.com</link>
				<description />
				<language>en-us</language>
				<copyright>http://www.habaritanzania.com</copyright>
				<generator>N/A</generator>
				<webMaster>info@habaritanzania.com</webMaster>
				<lastBuildDate>Sun, 05 Feb 2012 13:55:47 -0600</lastBuildDate>
				<ttl>20</ttl>

					<item>
					  <title>BARUA KWA WASOMAJI WA HABARI TANZANIA</title>
					  <link>http://www.habaritanzania.com/articles/4293/1/BARUA-KWA-WASOMAJI-WA-HABARI-TANZANIA</link>
					  <description>UFUATAO NI TAMKO TOKA UONGOZI WA TOVUTI YA HABARI TANZANIA</description>
					  <author>info@habaritanzania.com (Habari Tanzania)</author>
					  <pubDate>Sat, 22 Nov 2008 00:00:00 -0600</pubDate>
					 
					</item>

				

					<item>
					  <title>Prisons yazitimulia vumbi Simba, Yanga</title>
					  <link>http://www.habaritanzania.com/articles/4199/1/Prisons-yazitimulia-vumbi-Simba%2C-Yanga</link>
					  <description>MAAFANDE wa Prisons ya Mbeya jana waliendelea 'kutembeza buti' katika Ligi Kuu ya Bara kwa kuwapigisha kwata maafande wenzao wa JKT Ruvu. Hilo lilidhihirika jana katika mechi iliyokuwa ya ushindani mkubwa kwa dakika zote 90</description>
					  <author>washawashaupupu@yahoo.com (Marshy Abdu)</author>
					  <pubDate>Fri, 05 Oct 2007 00:00:00 -0500</pubDate>
					 
					</item>

				

					<item>
					  <title>Miss Tanzania 2007 anafaa</title>
					  <link>http://www.habaritanzania.com/articles/4186/1/Miss-Tanzania-2007-anafaa</link>
					  <description>AMANI ya Mwenyezi Mungu iwe juu yenu wasomaji wa safu hii ya Busati la Wikiendi, ambapo katika hali ya kawaida huwa inakujia kila ifikapo Ijumaa</description>
					  <author>info@habaritanzania.com (Habari Tanzania)</author>
					  <pubDate>Fri, 21 Sep 2007 00:00:00 -0500</pubDate>
					 
					</item>

				

					<item>
					  <title>Haruna Moshi, Kaniki kutimkia 'Sauzi'</title>
					  <link>http://www.habaritanzania.com/articles/4178/1/Haruna-Moshi%2C-Kaniki-kutimkia-%91Sauzi%92</link>
					  <description>WAKATI Ligi Kuu ya Bara ikianza Jumamosi, washambuliaji wa kutumainiwa katika kikosi cha Simba, Haruna Moshi 'Boban' na Joseph Kaniki, wako mbioni kutimkia nchini Afrika Kusini siku yoyote kuanzia leo.</description>
					  <author>washawashaupupu@yahoo.com (Marshy Abdu)</author>
					  <pubDate>Tue, 18 Sep 2007 00:00:00 -0500</pubDate>
					 
					</item>

				

					<item>
					  <title>Stars, Msumbiji zaingiza mil 605/-</title>
					  <link>http://www.habaritanzania.com/articles/4172/1/Stars%2C-Msumbiji-zaingiza-mil-605%7B47%7D-</link>
					  <description>MECHI ya kusaka tiketi ya fainali za Kombe la Mataifa ya Afrika kati ya Tanzania, Taifa Stars na Msumbiji iliyopigwa Jumamosi, kwenye uwanja mpya, jijini Dar es Salam, imeingiza sh mil 605.02.</description>
					  <author>washawashaupupu@yahoo.com (Marshy Abdu)</author>
					  <pubDate>Thu, 13 Sep 2007 00:00:00 -0500</pubDate>
					 
					</item>

				

					<item>
					  <title>Taifa Stars hakuna kulala - Dk. Msolla</title>
					  <link>http://www.habaritanzania.com/articles/4169/1/Taifa-Stars-hakuna-kulala---Dk.-Msolla</link>
					  <description>KOCHA wa zamani wa timu ya soka ya Tanzania, Taifa Stars, Dk. Mshindo Msolla, amesema baada ya kushindwa kupata tiketi ya fainali za Kombe la Mataifa ya Afrika zitakazopigwa mwakani nchini Ghana, hakuna kupoteza muda, isipokuwa ni kujipanga upya kwa fainali za Kombe la Dunia mwaka 2010.</description>
					  <author>washawashaupupu@yahoo.com (Marshy Abdu)</author>
					  <pubDate>Mon, 10 Sep 2007 00:00:00 -0500</pubDate>
					 
					</item>

				

					<item>
					  <title>Waliofukuzwa Mtibwa wamwandikia Kikwete</title>
					  <link>http://www.habaritanzania.com/articles/4155/1/Waliofukuzwa-Mtibwa-wamwandikia-Kikwete</link>
					  <description>WALIOKUWA wafanyakazi wa kiwanda cha Sukari cha Mtibwa, wamemwandikia barua Rais Jakaya Kikwete, wakimlalamikia mwajiri wao kwa kutowalipa mafao kwa muda wa miaka minane sasa.</description>
					  <author>info@habaritanzania.com (Habari Tanzania)</author>
					  <pubDate>Sun, 02 Sep 2007 00:00:00 -0500</pubDate>
					 
					</item>

				

					<item>
					  <title>TFF yazidi kuhangaika na Kaduguda</title>
					  <link>http://www.habaritanzania.com/articles/4146/1/TFF-yazidi-kuhangaika-na-Kaduguda</link>
					  <description>HUKU Katibu Mkuu wa Simba, Mwina Kaduguda 'Simba wa Yuda', akiipuuza adhabu ya Shirikisho la Soka Tanzania (TFF), Katibu Mkuu, Frederick Mwakalebela, amemtaka Kaduguda akate rufaa.</description>
					  <author>washawashaupupu@yahoo.com (Marshy Abdu)</author>
					  <pubDate>Tue, 28 Aug 2007 00:00:00 -0500</pubDate>
					 
					</item>

				

					<item>
					  <title>Simba wapitisha rasimu mpya</title>
					  <link>http://www.habaritanzania.com/articles/4143/1/Simba-wapitisha-rasimu-mpya</link>
					  <description>WANACHAMA 275 wa klabu ya Simba, waliokutana kwenye Ukumbi wa Al Muntazil, jijini Dar es Salaam, jana waliipitisha rasimu ya katiba mpya ya klabu hiyo ili kuiwezesha klabu hiyo kwenda na wakati.</description>
					  <author>washawashaupupu@yahoo.com (Marshy Abdu)</author>
					  <pubDate>Mon, 27 Aug 2007 00:00:00 -0500</pubDate>
					 
					</item>

				

					<item>
					  <title>Zakhem Pub Mbagala yadaiwa kulea uhalifu</title>
					  <link>http://www.habaritanzania.com/articles/4142/1/Zakhem-Pub-Mbagala-yadaiwa-kulea-uhalifu</link>
					  <description>BAADHI ya wakazi wa Jiji la Dar es Salaam hususan kitongoji cha Mbagala, wanaoutumia Ukumbi wa Zakheem Pub kwa shughuli mbalimbali za burudani, wamelalamikia kushamiri kwa vitendo vya kutiliwa dawa za kulevya kwenye vinywaji vyao na kufanyiwa vitendo vya uhalifu ikiwemo kuibiwa fedha na simu zao.</description>
					  <author>info@habaritanzania.com (Habari Tanzania)</author>
					  <pubDate>Sun, 26 Aug 2007 00:00:00 -0500</pubDate>
					 
					</item>

				

					<item>
					  <title>Simba yavuna mil. 576/- Adidas</title>
					  <link>http://www.habaritanzania.com/articles/4118/1/Simba-yavuna-mil.-576%7B47%7D--Adidas</link>
					  <description>&#160; KLABU ya Simba, leo itasaini mkataba wa udhamini wa kihistoria wa miaka minne na kampuni ya kimataifa ya vifaa vya michezo ya Adidas, wenye thamani ya sh mil 576.</description>
					  <author>washawashaupupu@yahoo.com (Marshy Abdu)</author>
					  <pubDate>Fri, 17 Aug 2007 00:00:00 -0500</pubDate>
					 
					</item>

				

					<item>
					  <title>Talib kuinoa Simba mwaka mmoja</title>
					  <link>http://www.habaritanzania.com/articles/4117/1/Talib-kuinoa-Simba-mwaka-mmoja</link>
					  <description>HATIMAYE mabingwa wa soka Tanzania bara, Simba, wameingia mkataba wa mwaka mmoja na kocha aliyeibebesha ubingwa timu hiyo, Talib Hilal.</description>
					  <author>info@habaritanzania.com (Habari Tanzania)</author>
					  <pubDate>Thu, 16 Aug 2007 00:00:00 -0500</pubDate>
					 
					</item>

				

					<item>
					  <title>Stars wengine kuondoka leo</title>
					  <link>http://www.habaritanzania.com/articles/4112/1/Stars-wengine-kuondoka-leo</link>
					  <description>MCHEZAJI Erasto Nyoni, anayekipiga katika klabu ya Vital'o ya Burundi, ni miongoni mwa nyota wa timu ya soka ya Tanzania, Taifa Stars, watakaoondoka leo kwenda nchini Denmark.</description>
					  <author>info@habaritanzania.com (Habari Tanzania)</author>
					  <pubDate>Wed, 15 Aug 2007 00:00:00 -0500</pubDate>
					 
					</item>

				

					<item>
					  <title>Baloon lawachanganya malikia Ngwasuma</title>
					  <link>http://www.habaritanzania.com/articles/4087/1/Baloon-lawachanganya-malikia-Ngwasuma</link>
					  <description>VIMWANA wanowania kunyakua gari aina ya Toyota Baloon katika shindano la malikia wa Ngwasuma 2007 wamepagwa na gari hilo kila mmoja akisema kwamba litakuwa mali yake. </description>
					  <author>info@habaritanzania.com (Habari Tanzania)</author>
					  <pubDate>Sun, 05 Aug 2007 00:00:00 -0500</pubDate>
					 
					</item>

				

					<item>
					  <title>Soka kuiingizia TUT mil. 895/-</title>
					  <link>http://www.habaritanzania.com/articles/4080/1/Soka-kuiingizia-TUT-mil.-895%7B47%7D-</link>
					  <description>TAASISI ya Utangazaji Tanzania (TUT), imefanikiwa kutengeneza zaidi ya sh mil. 800 kwa kurusha na kutangaza mechi ya timu ya Tanzania, Taifa Stars na Msumbiji na Ligi Kuu ya England.</description>
					  <author>info@habaritanzania.com (Habari Tanzania)</author>
					  <pubDate>Sat, 04 Aug 2007 00:00:00 -0500</pubDate>
					 
					</item>

				

					<item>
					  <title>Soka kuiingizia TUT mil. 895/-</title>
					  <link>http://www.habaritanzania.com/articles/4074/1/Soka-kuiingizia-TUT-mil.-895%7B47%7D-</link>
					  <description>TAASISI ya Utangazaji Tanzania (TUT), imefanikiwa kutengeneza zaidi ya sh mil. 800 kwa kurusha na kutangaza mechi ya timu ya Tanzania, Taifa Stars na Msumbiji na Ligi Kuu ya England.</description>
					  <author>washawashaupupu@yahoo.com (Marshy Abdu)</author>
					  <pubDate>Sat, 04 Aug 2007 00:00:00 -0500</pubDate>
					 
					</item>

				

					<item>
					  <title>Simba yaizulia jambo TFF</title>
					  <link>http://www.habaritanzania.com/articles/4071/1/Simba-yaizulia-jambo-TFF</link>
					  <description>HATUA ya Shirikisho la Soka Tanzania (TFF) kutaka kumwadhibu Katibu Mkuu wa klabu ya Simba, Mwina Seif Kaduguda, imeibua hisia tofauti kwani sasa inadaiwa ni mkakati wa TFF 'kummaliza' mhusika kabla ya uchaguzi mdogo wa kujaza nafasi ya Makamu wa Rais wa shirikisho hilo.</description>
					  <author>washawashaupupu@yahoo.com (Marshy Abdu)</author>
					  <pubDate>Fri, 03 Aug 2007 00:00:00 -0500</pubDate>
					 
					</item>

				

					<item>
					  <title>Kaduguda aipasua kichwa TFF</title>
					  <link>http://www.habaritanzania.com/articles/4063/1/Kaduguda-aipasua-kichwa-TFF</link>
					  <description>SHIRIKISHO la Soka Tanzania (TFF), limetoa siku saba kwa Katibu Mkuu wa klabu ya Simba, Mwina Kaduguda, kuthibitisha madai kuwa shirikisho hilo linapata mgawo wa sh mil. 40 kutoka kwa waandaaji wa michuano ya Tusker.</description>
					  <author>info@habaritanzania.com (Habari Tanzania)</author>
					  <pubDate>Tue, 31 Jul 2007 00:00:00 -0500</pubDate>
					 
					</item>

				

					<item>
					  <title>Bongo Star sasa kurindima Arusha</title>
					  <link>http://www.habaritanzania.com/articles/4039/1/Bongo-Star-sasa-kurindima-Arusha</link>
					  <description>WASHINDI walioshika nafasi za juu katika shindano la kumsaka nyota wa bongo 'Bongo Stars Search' (BSS) baada ya kung'ara katika shoo yao ya mjini Dodoma sasa wanaelekeza makali yao jijini Arusha.</description>
					  <author>info@habaritanzania.com (Habari Tanzania)</author>
					  <pubDate>Tue, 24 Jul 2007 00:00:00 -0500</pubDate>
					 
					</item>

				

					<item>
					  <title>Miss Kanda ya Mashariki waanza kujinoa</title>
					  <link>http://www.habaritanzania.com/articles/4038/1/Miss-Kanda-ya-Mashariki-waanza-kujinoa</link>
					  <description>WAREMBO 12 wanaotarajiwa kushiriki kinyang'anyiro cha kumsaka Mrembo wa Kanda ya Mashariki 'Miss Kanda ya Mashariki 2007' jana walianza kambi kujiwinda na kinyang'anyiro hicho kitakachorindima Julai 28, Landmark, Ubungo jijini Dar es Salaam.</description>
					  <author>info@habaritanzania.com (Habari Tanzania)</author>
					  <pubDate>Tue, 24 Jul 2007 00:00:00 -0500</pubDate>
					 
					</item>

				

					<item>
					  <title>Miss Ilala kuwania mataji matano</title>
					  <link>http://www.habaritanzania.com/articles/4017/1/Miss-Ilala-kuwania-mataji-matano</link>
					  <description>WASHIRIKI wanaowania taji la mrembo wa Ilala, 'Miss Ilala 2007' mbali ya taji hilo pia watawania mataji mengine matano katika shoo hiyo itakayorindima kesho kwenye Ukumbi wa Karimjee jijini.</description>
					  <author>info@habaritanzania.com (Habari Tanzania)</author>
					  <pubDate>Thu, 19 Jul 2007 00:00:00 -0500</pubDate>
					 
					</item>

				

					<item>
					  <title>Udhamini Ligi Kuu bado kitendawili</title>
					  <link>http://www.habaritanzania.com/articles/3997/1/Udhamini-Ligi-Kuu-bado-kitendawili</link>
					  <description>WAKATI Ligi Kuu Tanzania Bara ikipangwa kuanza Septemba 15, suala la udhamini wa ligi hiyo bado kitendawili kwani Shirikisho la Soka la Tanzania (TFF) na Kampuni ya Vodacom, zingali katika mazungumzo.</description>
					  <author>washawashaupupu@yahoo.com (Marshy Abdu)</author>
					  <pubDate>Mon, 16 Jul 2007 00:00:00 -0500</pubDate>
					 
					</item>

				

					<item>
					  <title>Kawawa kuibariki filamu Dar</title>
					  <link>http://www.habaritanzania.com/articles/3995/1/Kawawa-kuibariki-filamu-Dar</link>
					  <description>WAZIRI Mkuu wa zamani wa Tanzania, Rashid Mfaume Kawawa, anatarajiwa kuwa mgeni rasmi katika uzindunzi wa filamu ya 'Operesheni Saranda' utakaofanyika Julai 27, mwaka huu kwenye Ukumbi wa Msasani Club jijini Dar es Salaam.</description>
					  <author>info@habaritanzania.com (Habari Tanzania)</author>
					  <pubDate>Sat, 14 Jul 2007 00:00:00 -0500</pubDate>
					 
					</item>

				

					<item>
					  <title>Coca waanza kumsaka Dj bora</title>
					  <link>http://www.habaritanzania.com/articles/3994/1/Coca-waanza-kumsaka-Dj-bora</link>
					  <description>KAMPUNI ya vinywaji baridi ya Coca Cola kwa kushirikiana na kituo cha utangazaji cha MTV Africa, wamezindua tamasha la kutafuta kipaji halisi kwa vijana kutoka Afrika Mashariki, linalolenga kuwapatia ajira ya kuchezesha muziki 'u-Dj'.</description>
					  <author>info@habaritanzania.com (Habari Tanzania)</author>
					  <pubDate>Sat, 14 Jul 2007 00:00:00 -0500</pubDate>
					 
					</item>

				

					<item>
					  <title>Kaduguda afichua uozo Simba</title>
					  <link>http://www.habaritanzania.com/articles/3976/1/Kaduguda-afichua-uozo-Simba</link>
					  <description>HALI ndani ya uongozi wa Simba kwa sasa si shwari baada ya Katibu Mkuu wake, Mwina Kaduguda kusigana na wenzake kuhusu matumizi na udhibiti wa fedha za klabu hiyo.</description>
					  <author>washawashaupupu@yahoo.com (Marshy Abdu)</author>
					  <pubDate>Thu, 12 Jul 2007 00:00:00 -0500</pubDate>
					 
					</item>

				

					<item>
					  <title>Khatib: Mkatuletee medali Algeria</title>
					  <link>http://www.habaritanzania.com/articles/3961/1/Khatib%3A-Mkatuletee-medali-Algeria</link>
					  <description>MWANARIADHA Josephine Deemay ameondolewa katika orodha ya wanamichezo watakaoshiriki michezo ya Afrika itakayoanza Julai 11 hadi 13 nchini Algeria kutokana na kuwa mjamzito.</description>
					  <author>info@habaritanzania.com (Habari Tanzania)</author>
					  <pubDate>Mon, 09 Jul 2007 00:00:00 -0500</pubDate>
					 
					</item>

				

					<item>
					  <title> Miss Ilala waenda kunoa bongo Arusha</title>
					  <link>http://www.habaritanzania.com/articles/3949/1/-Miss-Ilala-waenda-kunoa-bongo-Arusha</link>
					  <description>WAREMBO 18 wanaoshiriki kinyang'anyiro cha kumsaka mrembo wa Ilala, 'Miss Ilala 2007' waliondoka jana jijini Dar es Salaam kwenda Arusha kwa ziara ya siku tatu kimafunzo.</description>
					  <author>info@habaritanzania.com (Habari Tanzania)</author>
					  <pubDate>Fri, 06 Jul 2007 00:00:00 -0500</pubDate>
					 
					</item>

				

					<item>
					  <title>Yanga yahama kambi, Simba yakuna kichwa</title>
					  <link>http://www.habaritanzania.com/articles/3947/1/Yanga-yahama-kambi%2C-Simba-yakuna-kichwa</link>
					  <description>ZIKIWA zimebaki siku mbili watani wa jadi katika soka hapa nchini, Simba na Yanga kukutana, homa ya pambano hilo imepanda baada ya mabingwa watetezi Yanga kuondoka jijini Arusha alfajiri ya jana kwa ulinzi mkali wa msafara wa magari matatu kuelekea mafichoni.</description>
					  <author>washawashaupupu@yahoo.com (Marshy Abdu)</author>
					  <pubDate>Fri, 06 Jul 2007 00:00:00 -0500</pubDate>
					 
					</item>

				

					<item>
					  <title>Hofu tupu kambi ya Yanga Arusha</title>
					  <link>http://www.habaritanzania.com/articles/3927/1/Hofu-tupu-kambi-ya-Yanga-Arusha</link>
					  <description>HALI ya kambi ya timu ya Yanga, imezidi kuwa tete baada ya wachezaji wanaougua kuongezeka na kufikia 12 hadi kufikia jana achilia mbali, Kocha Mkuu wao, Mserbia, Sredejovic Millutin Micho.</description>
					  <author>info@habaritanzania.com (Habari Tanzania)</author>
					  <pubDate>Tue, 03 Jul 2007 00:00:00 -0500</pubDate>
					 
					</item>

				

					<item>
					  <title>Franco the Great aahidi kurejea Tanzania</title>
					  <link>http://www.habaritanzania.com/articles/3926/1/Franco-the-Great-aahidi-kurejea-Tanzania</link>
					  <description>MSANII mahiri wa uchoraji wa kimataifa, Franco the Great, kutoka Marekani amesema amefurahishwa na vivutio na utamaduni wa Kitanzania na kuahidi kurejea nchini haraka iwezekanavyo kuandaa michoro mbalimbali kuonyesha vivutio vya utalii vya Tanzania.</description>
					  <author>info@habaritanzania.com (Habari Tanzania)</author>
					  <pubDate>Tue, 03 Jul 2007 00:00:00 -0500</pubDate>
					 
					</item>

				

					<item>
					  <title>Serikali isikie kilio cha TOC, vyama</title>
					  <link>http://www.habaritanzania.com/articles/3916/1/Serikali-isikie-kilio-cha-TOC%2C-vyama</link>
					  <description>WIKI iliyopita, Kamati ya Olimpiki nchini (TOC) na vyama vya michezo kwa ujumla, vililalamikia hatua ya serikali kuamua kupeleka wachezaji wasiozidi 10 katika michuano ya All African Games, iliyopangwa kuanza Julai 11 nchini Algeria.</description>
					  <author>info@habaritanzania.com (Habari Tanzania)</author>
					  <pubDate>Mon, 02 Jul 2007 00:00:00 -0500</pubDate>
					 
					</item>

				

					<item>
					  <title>Wasanii wamuenzi Amina Chifupa, watunga wimbo</title>
					  <link>http://www.habaritanzania.com/articles/3898/1/Wasanii-wamuenzi-Amina-Chifupa%2C-watunga-wimbo</link>
					  <description>JUMLA ya wasanii tisa wa muziki wa kizazi kipya wametunga wimbo maalumu kwa ajili ya kumuenzi marehemu Amina Chifupa unaokwenda kwa jina la 'Pumzika kwa amani', imefahamika.</description>
					  <author>info@habaritanzania.com (Habari Tanzania)</author>
					  <pubDate>Fri, 29 Jun 2007 00:00:00 -0500</pubDate>
					 
					</item>

				

					<item>
					  <title>Jaydee asifiwa kuvaa mavazi ya heshima</title>
					  <link>http://www.habaritanzania.com/articles/3897/1/Jaydee-asifiwa-kuvaa-mavazi-ya-heshima</link>
					  <description>BAADHI ya wananchi wamepongeza mabadiliko ya mavazi aliyonayo mwanamuziki Judith Wambura, maarufu kama Lady Jaydee.</description>
					  <author>info@habaritanzania.com (Habari Tanzania)</author>
					  <pubDate>Fri, 29 Jun 2007 00:00:00 -0500</pubDate>
					 
					</item>

				

					<item>
					  <title>Sita Bora yafikia penyewe</title>
					  <link>http://www.habaritanzania.com/articles/3896/1/Sita-Bora-yafikia-penyewe</link>
					  <description>VITA ya kusaka ubingwa wa Ligi Ndogo ya Tanzania Bara, imezidi kuwa kali kwani hadi sasa, timu nne zikiwamo Simba na Yanga, ndizo zilizo katika nafasi nzuri.</description>
					  <author>info@habaritanzania.com (Habari Tanzania)</author>
					  <pubDate>Fri, 29 Jun 2007 00:00:00 -0500</pubDate>
					 
					</item>

				

					<item>
					  <title>Kumekucha bonanza la 'Ma-Camp'</title>
					  <link>http://www.habaritanzania.com/articles/3889/1/Kumekucha-bonanza-la-%91Ma-Camp%92</link>
					  <description>KAMPUNI ya Mpo Afrika Entertainment ya Dar es Salaam, imesema kwamba maandalizi ya bonanza kubwa la burudani litakalofanyika Jumamosi Juni 30, mwaka huu katika viwanja vya wazi vya Mtoni Mashine ya maji, jijini Dar es Salaam, yamekamilika.</description>
					  <author>info@habaritanzania.com (Habari Tanzania)</author>
					  <pubDate>Thu, 28 Jun 2007 00:00:00 -0500</pubDate>
					 
					</item>

				

					<item>
					  <title>Zanzibar Stars kutambulisha mpya</title>
					  <link>http://www.habaritanzania.com/articles/3888/1/Zanzibar-Stars-kutambulisha-mpya</link>
					  <description>KUNDI mahiri la muziki wa mipasho, Jahazi Modern Taarab, limeanza maandalizi ya albamu mpya na tayari limeporomosha nyimbo mbili, imefahamika juzi jijini Dar es Salaam.</description>
					  <author>info@habaritanzania.com (Habari Tanzania)</author>
					  <pubDate>Thu, 28 Jun 2007 00:00:00 -0500</pubDate>
					 
					</item>

				

					<item>
					  <title>TFF yavunja kambi ya Stars</title>
					  <link>http://www.habaritanzania.com/articles/3850/1/TFF-yavunja-kambi-ya-Stars</link>
					  <description>WACHEZAJI wa timu ya soka ya Tanzania, Taifa Stars, jana waliruhusiwa kurejea makwao kwa mapumziko na kujiunga na timu zao kabla ya kuitwa tena. Akithibitisha hilo jana, Katibu Mkuu wa Shirikisho la Soka Tanzania (TFF), Frederick Mwakalebela, alisema kuwa, wachezaji hao wataitwa tena Agosti.</description>
					  <author>washawashaupupu@yahoo.com (Marshy Abdu)</author>
					  <pubDate>Thu, 21 Jun 2007 00:00:00 -0500</pubDate>
					 
					</item>

				

					<item>
					  <title>Neema yazidi kuiangukia Stars</title>
					  <link>http://www.habaritanzania.com/articles/3838/1/Neema-yazidi-kuiangukia-Stars</link>
					  <description>NEEMA imezidi kuwashukia wachezaji wa timu ya soka ya Tanzania, Taifa Stars, baada ya Benki ya National Microfinance (NMB), nayo jana kuwamwagia sh mil. 17. Huu ni mwendelezo wa neema kwa timu hiyo iliyowasili jijini Mwanza Jumapili usiku ikitokea Burkina Faso na kutua Dar es Salaam juzi jioni.</description>
					  <author>washawashaupupu@yahoo.com (Marshy Abdu)</author>
					  <pubDate>Wed, 20 Jun 2007 00:00:00 -0500</pubDate>
					 
					</item>

				

					<item>
					  <title>Stars haijapata kutokea</title>
					  <link>http://www.habaritanzania.com/articles/3834/1/Stars-haijapata-kutokea</link>
					  <description>HAKIKA, haijapata kutokea, wachezaji wa timu ya soka ya Tanzania, Taifa Stars, jana walichangiwa jumla ya sh mil. 322.5 katika harambee iliyosimamiwa na Waziri Mkuu, Edward Lowassa, mjini Dodoma.</description>
					  <author>washawashaupupu@yahoo.com (Marshy Abdu)</author>
					  <pubDate>Tue, 19 Jun 2007 00:00:00 -0500</pubDate>
					 
					</item>

				

					<item>
					  <title>Hongera Stars, hakuna kulala!</title>
					  <link>http://www.habaritanzania.com/articles/3824/1/Hongera-Stars%2C-hakuna-kulala%21</link>
					  <description>JUZI usiku, timu ya soka ya Tanzania, Taifa Stars, iliwapa faraja Watanzania kwa ushindi wa bao 1-0 dhidi ya Burkina Faso katika mechi iliyopigwa nchini humo.</description>
					  <author>info@habaritanzania.com (Habari Tanzania)</author>
					  <pubDate>Mon, 18 Jun 2007 00:00:00 -0500</pubDate>
					 
					</item>

				

					<item>
					  <title>Simba kuanza na Ashanti, Yanga na Mtibwa Sugar</title>
					  <link>http://www.habaritanzania.com/articles/3811/1/Simba-kuanza-na-Ashanti%2C-Yanga-na-Mtibwa-Sugar</link>
					  <description>SHIRIKISHO la Soka Tanzania (TFF), limetoa ratiba ya hatua ya Sita Bora ya Ligi Ndogo iliyopangwa kuanza Juni 23 huku mabingwa watetezi Yanga wakifungua na Mtibwa Sugar huku Simba wakianza na Ashanti United.</description>
					  <author>info@habaritanzania.com (Habari Tanzania)</author>
					  <pubDate>Sat, 16 Jun 2007 00:00:00 -0500</pubDate>
					 
					</item>

				

					<item>
					  <title>Msafara wa Stars wakwama Gabon</title>
					  <link>http://www.habaritanzania.com/articles/3810/1/Msafara-wa-Stars-wakwama-Gabon</link>
					  <description>MSAFARA wa timu ya soka ya Tanzania, Taifa Stars, juzi ulizuiwa kwa saa tatu katika Uwanja wa Ndege wa Gabon kutokana na kutua bila kibali rasmi cha kuwaruhusu kutua katika nchi hiyo.</description>
					  <author>info@habaritanzania.com (Habari Tanzania)</author>
					  <pubDate>Sat, 16 Jun 2007 00:00:00 -0500</pubDate>
					 
					</item>

				

					<item>
					  <title>Twanga kutambulisha mpya Tanga</title>
					  <link>http://www.habaritanzania.com/articles/3809/1/Twanga-kutambulisha-mpya-Tanga</link>
					  <description>BENDI ya muziki wa dansi ya Twanga Pepeta International ya jijini Dar es Salaam, inatarajiwa kufanya onyesho la aina yake Juni 29 katika ukumbi wa Harbours jijini Tanga.</description>
					  <author>info@habaritanzania.com (Habari Tanzania)</author>
					  <pubDate>Sat, 16 Jun 2007 00:00:00 -0500</pubDate>
					 
					</item>

				

					<item>
					  <title>Costa benchi wiki sita</title>
					  <link>http://www.habaritanzania.com/articles/3772/1/Costa-benchi-wiki-sita</link>
					  <description>KIKOSI cha timu ya soka ya Tanzania, Taifa Stars, kimepata pigo baada ya sentahafu wake, Victor Costa Nampoka Nyumba, kuwa nje ya dimba kwa wiki sita.</description>
					  <author>info@habaritanzania.com (Habari Tanzania)</author>
					  <pubDate>Sat, 09 Jun 2007 00:00:00 -0500</pubDate>
					 
					</item>

				

					<item>
					  <title>Stars imeonyesha inaweza</title>
					  <link>http://www.habaritanzania.com/articles/3736/1/Stars-imeonyesha-inaweza</link>
					  <description>JUZI katika Uwanja wa CCM Kirumba, jijini Mwanza, timu ya soka ya Tanzania 'Taifa Stars', ilishuka dimbani kukipiga na Senegal maarufu kama 'Simba wa Teranga' ikiwa ni mfululizo wa michuano ya kuwania kucheza fainali za Kombe la Mataifa ya Afrika, mwakani, nchini Ghana.</description>
					  <author>info@habaritanzania.com (Habari Tanzania)</author>
					  <pubDate>Mon, 04 Jun 2007 00:00:00 -0500</pubDate>
					 
					</item>

				

					<item>
					  <title>Senegal chupuchupu Kirumba</title>
					  <link>http://www.habaritanzania.com/articles/3726/1/Senegal-chupuchupu-Kirumba</link>
					  <description>IKICHEZA mbele ya Rais, Jakaya Kikwete, timu ya soka ya Tanzania, Taifa Stars, jana ilitoka sare ya 1-1 katika mechi kali iliyopigwa kwenye Uwanja wa CCM-Kirumba, jijini hapa.</description>
					  <author>washawashaupupu@yahoo.com (Marshy Abdu)</author>
					  <pubDate>Sun, 03 Jun 2007 00:00:00 -0500</pubDate>
					 
					</item>

				

					<item>
					  <title>Stars katika mechi ya kisasi leo</title>
					  <link>http://www.habaritanzania.com/articles/3725/1/Stars-katika-mechi-ya-kisasi-leo</link>
					  <description>MACHO, masikio na dua za Watanzania, leo zitakuwa kwa timu ya soka ya Tanzania, Taifa Stars, itakayokumbana na Senegal 'Simba wa Teranga' katika Uwanja wa CCM-Kirumba jijini hapa.</description>
					  <author>info@habaritanzania.com (Habari Tanzania)</author>
					  <pubDate>Sat, 02 Jun 2007 00:00:00 -0500</pubDate>
					 
					</item>

				

					<item>
					  <title>Stars yatua Mwanza kwa kishindo</title>
					  <link>http://www.habaritanzania.com/articles/3713/1/Stars-yatua-Mwanza-kwa-kishindo</link>
					  <description>KIKOSI cha timu ya soka ya Tanzania, Taifa Stars, kiliwasili jana asubuhi na kulakiwa kwa shangwe na nderemo za wakazi wa jiji hili na vitongoji vyake. Baada ya timu hiyo kuwasili majira ya 2:30 asubuhi, ilipokewa na vikundi vya burudani vilivyo chini ya uratibu wa Ofisi ya Utamaduni mkoani hapa, hivyo kuwa burudani ya pekee.</description>
					  <author>washawashaupupu@yahoo.com (Marshy Abdu)</author>
					  <pubDate>Thu, 31 May 2007 00:00:00 -0500</pubDate>
					 
					</item>

				

					<item>
					  <title>Wadhamini wamiminika Miss Temeke South 2007</title>
					  <link>http://www.habaritanzania.com/articles/3695/1/Wadhamini-wamiminika-Miss-Temeke-South-2007</link>
					  <description>KAMPUNI ya kutengeneza rangi za magari kwa kutumia kompyuta ya Ajim Enterprises ya Tabata na Fleet &#38; Fuel Technologies za jijini Dar es Salaam, zimejitosa kudhamini shindano la kumsaka mrembo wa Temeke South, imefahamika.</description>
					  <author>info@habaritanzania.com (Habari Tanzania)</author>
					  <pubDate>Sun, 27 May 2007 00:00:00 -0500</pubDate>
					 
					</item>

				

					<item>
					  <title>Ngoma za asili zapigwa tafu Mwanza</title>
					  <link>http://www.habaritanzania.com/articles/3694/1/Ngoma-za-asili-zapigwa-tafu-Mwanza</link>
					  <description>MASHINDANO ya vikundi vya za asili, Kanda ya Ziwa yamepigwa tafu ya sh milioni 13 na Kampuni ya Bia Tanzania (TBL) Tawi la Mwanza.</description>
					  <author>info@habaritanzania.com (Habari Tanzania)</author>
					  <pubDate>Sun, 27 May 2007 00:00:00 -0500</pubDate>
					 
					</item>

				

					<item>
					  <title>Katibu Simba afungwa &#39;gavana&#39;</title>
					  <link>http://www.habaritanzania.com/articles/3678/1/Katibu-Simba-afungwa-%26%2339%3Bgavana%26%2339%3B</link>
					  <description>UONGOZI wa Klabu ya Simba ya Dar es Salaam umemuengua kuwa msemaji wa masuala ya klabu hiyo Katibu Mkuu Msaidizi Mohammed Mjenga. </description>
					  <author>info@habaritanzania.com (Habari Tanzania)</author>
					  <pubDate>Thu, 24 May 2007 00:00:00 -0500</pubDate>
					 
					</item>

				

					<item>
					  <title>Manji afanya kufuru uchaguzi Yanga</title>
					  <link>http://www.habaritanzania.com/articles/3677/1/Manji-afanya-kufuru-uchaguzi-Yanga</link>
					  <description>MFADHILI Mkuu wa Yanga, Yusuf Manji leo anatarajia kumwaga fedha kwa wanachama wa klabu hiyo, ambapo kila mmoja atawezeshwa sh. 20,000, ili wazitumie kwa nauli za kuwafikisha katika Uchaguzi Mkuu unaotarajiwa kufanyika keshokuwa ukumbi wa Karimjee, Dar es Salaam. </description>
					  <author>info@habaritanzania.com (Habari Tanzania)</author>
					  <pubDate>Thu, 24 May 2007 00:00:00 -0500</pubDate>
					 
					</item>

				

					<item>
					  <title>Nani Mkali CC.com (Wapoteaji) vs LP (Moto wa Gas)?</title>
					  <link>http://www.habaritanzania.com/articles/3676/1/Nani-Mkali-CC.com-%28Wapoteaji%29-vs-LP-%28Moto-wa-Gas%29%3F</link>
					  <description>Ndugu mpenzi wa muziki nadhani utakubaliana nami kwamba muziki huu wa kizazi kipya umeshika nafasi katika sanaa za muziki hapa nchini kiasi kuwa kimbilio la vijana wengi katika fani hii na miongoni mwao ni hawa vijana wa CC.com (Wapoteaji) na wenzao wa LP (Moto wa Gas)</description>
					  <author>washawashaupupu@yahoo.com (Marshy Abdu)</author>
					  <pubDate>Thu, 24 May 2007 00:00:00 -0500</pubDate>
					 
					</item>

				

					<item>
					  <title>Martina Narvatilova; Mkongwe wa tenisi aliyeushangaza ulimwengu</title>
					  <link>http://www.habaritanzania.com/articles/3661/1/Martina-Narvatilova%3B-Mkongwe-wa-tenisi-aliyeushangaza-ulimwengu</link>
					  <description>KWA kawaida unapozungumzia mchezo wowote ule, wapo watu ambao wamekuwa sehemu ya mchezo huo. Kwa mfano, huwezi kuzumgumzia historia ya soka ukaeleweka bila kutaja mfalme wa mchezo huo duniani, Pele wa Brazil.</description>
					  <author>info@habaritanzania.com (Habari Tanzania)</author>
					  <pubDate>Mon, 21 May 2007 00:00:00 -0500</pubDate>
					 
					</item>

				

					<item>
					  <title>Mazingaombwe ya Takuru na goli la Maradona!</title>
					  <link>http://www.habaritanzania.com/articles/3638/1/Mazingaombwe-ya-Takuru-na-goli-la-Maradona%21</link>
					  <description>TULIPOKUWA watoto wadogo, wakubwa zetu walikuwa wakitumia mbinu mbalimbali kutuhadaa.</description>
					  <author>info@habaritanzania.com (Habari Tanzania)</author>
					  <pubDate>Wed, 16 May 2007 00:00:00 -0500</pubDate>
					 
					</item>

				

					<item>
					  <title>Vimwana wa Twanga kupinda mugongo Billz leo</title>
					  <link>http://www.habaritanzania.com/articles/3610/1/Vimwana-wa-Twanga-kupinda-mugongo-Billz-leo</link>
					  <description>VIMWANA 15, wanaoshiriki shindano la kumsaka kimwana wa Twanga Pepeta 2007, litakalofanyika keshokutwa kwenye Ukumbi wa Blue Pearl, uliopo katika jengo la Ubungo Plaza, leo watatambulishwa rasmi katika onyesho la usiku wa Mwafrika ndani ya Ukumbi wa Club Bilicanas jijini.</description>
					  <author>info@habaritanzania.com (Habari Tanzania)</author>
					  <pubDate>Wed, 09 May 2007 00:00:00 -0500</pubDate>
					 
					</item>

				

					<item>
					  <title>Wapya Akudo waanza kutesa</title>
					  <link>http://www.habaritanzania.com/articles/3595/1/Wapya-Akudo-waanza-kutesa</link>
					  <description>WANENGUAJI wapya wa bendi ya muziki wa dansi ya Akudo Impact 'Wanapekecha pekecha', ambao walitambulishwa kwa mashabiki wa bendi hiyo siku ya sikukuu ya wafanyakazi 'Mei Mosi', leo wanatarajiwa kuanza rasmi kufanya vitu vyao katika Ukumbi wa Msasani Beach, jijini Dar es Salaam.</description>
					  <author>info@habaritanzania.com (Habari Tanzania)</author>
					  <pubDate>Sun, 06 May 2007 00:00:00 -0500</pubDate>
					 
					</item>

				

					<item>
					  <title>Kesi ya Wanaume Halisi yapigwa kalenda tena</title>
					  <link>http://www.habaritanzania.com/articles/3581/1/Kesi-ya-Wanaume-Halisi-yapigwa-kalenda-tena</link>
					  <description>MAHAKAMA ya Wilaya ya Temeke, Dar es Salaam, jana kwa mara nyingine iliahirisha kesi ya kujeruhi inayowakabili wasanii wa muziki wa kizazi kipya wa kundi la TMK Wanaume Halisi, kutokana na jalada la kesi kutofikishwa mahakamani hapo.</description>
					  <author>info@habaritanzania.com (Habari Tanzania)</author>
					  <pubDate>Fri, 04 May 2007 00:00:00 -0500</pubDate>
					 
					</item>

				

					<item>
					  <title>Lundenga awaonya mawakala feki Mwanza</title>
					  <link>http://www.habaritanzania.com/articles/3531/1/Lundenga-awaonya-mawakala-feki-Mwanza</link>
					  <description>MKURUGENZI wa Lino International Agency, waandaaji wa shindano la Vodacom Miss Tanzania, Hashim Lundenga, jana alitoa karipio kali kwa mawakala wa urembo walioendesha bila ya kuwa vibali mashindano ya vitongoji Mwanza.</description>
					  <author>info@habaritanzania.com (Habari Tanzania)</author>
					  <pubDate>Tue, 24 Apr 2007 00:00:00 -0500</pubDate>
					 
					</item>

				

					<item>
					  <title>Wachezaji Yanga wafichwa Mwanza</title>
					  <link>http://www.habaritanzania.com/articles/3507/1/Wachezaji-Yanga-wafichwa-Mwanza</link>
					  <description>SIKU moja kabla ya mechi ya marudiano ya raundi ya tatu ya Ligi ya Mabingwa Afrika dhidi ya Esperance ya Tunisia, timu ya Yanga jana iliwasili jijini Mwanza na kufichwa eneo la Igoma, nje kidogo ya mji.</description>
					  <author>info@habaritanzania.com (Habari Tanzania)</author>
					  <pubDate>Fri, 20 Apr 2007 00:00:00 -0500</pubDate>
					 
					</item>

				

					<item>
					  <title>Wasomi Tanga kuwania tiketi Miss Tanga</title>
					  <link>http://www.habaritanzania.com/articles/3501/1/Wasomi-Tanga-kuwania-tiketi-Miss-Tanga</link>
					  <description>SHINDANO la kumsaka mrembo wa Vyuo Mkoa wa Tanga - Miss Collage Tanga City Centre - atakayeshiriki katika shindano la Miss Tanga, linatarajiwa kufanyika Mei 18 katika Ukumbi wa Bandari jijini hapa.</description>
					  <author>info@habaritanzania.com (Habari Tanzania)</author>
					  <pubDate>Thu, 19 Apr 2007 00:00:00 -0500</pubDate>
					 
					</item>

				

					<item>
					  <title>Washiriki Miss Tanzania nao wapewa meno</title>
					  <link>http://www.habaritanzania.com/articles/3500/1/Washiriki-Miss-Tanzania-nao-wapewa-meno</link>
					  <description>LINO International Agency, waandaaji wa shindano la Miss Tanzania, imeweka hadharani namna washiriki watakavyoweza kudai haki zao kutoka kwa mawakala na waandaaji wa mashindano hayo wa ngazi mbalimbali.</description>
					  <author>info@habaritanzania.com (Habari Tanzania)</author>
					  <pubDate>Thu, 19 Apr 2007 00:00:00 -0500</pubDate>
					 
					</item>

				

					<item>
					  <title>Mashabiki Ngwasuma wamlilia Totoo Ze Bingwa</title>
					  <link>http://www.habaritanzania.com/articles/3497/1/Mashabiki-Ngwasuma-wamlilia-Totoo-Ze-Bingwa</link>
					  <description>MAMIA ya mashabiki wa bendi ya FM Academia 'Wazee wa njiwa njiwa', Jumamosi iliyopita walisitisha kwa muda utambulisho wa marapa watatu, uliokuwa ukifanywa na rais wa bendi hiyo, Nyoshi El Saadat, wakitaka bendi hiyo imrejeshe kundini rapa wake mahiri, Totoo Ze Bingwa.</description>
					  <author>info@habaritanzania.com (Habari Tanzania)</author>
					  <pubDate>Wed, 18 Apr 2007 00:00:00 -0500</pubDate>
					 
					</item>

				

					<item>
					  <title>Miss Kiswahili wavurugana</title>
					  <link>http://www.habaritanzania.com/articles/3496/1/Miss-Kiswahili-wavurugana</link>
					  <description>HATIMAYE hali si shwari katika Kamati ya kuratibu shindano la Mrembo wa Kiswahili 'Miss Kiswahili' na tafsiri sahihi ni kwamba viongozi wake hawaelewani.</description>
					  <author>info@habaritanzania.com (Habari Tanzania)</author>
					  <pubDate>Wed, 18 Apr 2007 00:00:00 -0500</pubDate>
					 
					</item>

				

					<item>
					  <title>Yatima wa Mapito Yangu watia fora</title>
					  <link>http://www.habaritanzania.com/articles/3489/1/Yatima-wa-Mapito-Yangu-watia-fora</link>
					  <description>WIMBO 'Yatima' uliomo kwenye albamu ya 'Mapito Yangu', ya mwimbaji wa nyimbo za Injili, Joseph Oola, juzi ulitia fora katika onyesho la uzinduzi wa albamu hiyo, katika Ukumbi wa Sabasaba, Barabara ya Kilwa, Dar es Salaam.</description>
					  <author>info@habaritanzania.com (Habari Tanzania)</author>
					  <pubDate>Tue, 17 Apr 2007 00:00:00 -0500</pubDate>
					 
					</item>

				

					<item>
					  <title>Miss Tanzania atakayemwaga radhi kuvuliwa taji</title>
					  <link>http://www.habaritanzania.com/articles/3488/1/Miss-Tanzania-atakayemwaga-radhi-kuvuliwa-taji</link>
					  <description>WAREMBO wa mataji ya Miss Tanzania, ngazi ya mikoa na taifa watakaojihusisha na vitendo vya utovu wa nidhamu, ikiwamo kujidhalilisha, kuanzia sasa watavuliwa mataji wanayoyashikilia, imefahamika.</description>
					  <author>info@habaritanzania.com (Habari Tanzania)</author>
					  <pubDate>Tue, 17 Apr 2007 00:00:00 -0500</pubDate>
					 
					</item>

				

					<item>
					  <title>Mwaikimba, Mukenya warejeshwa kundini</title>
					  <link>http://www.habaritanzania.com/articles/3473/1/Mwaikimba%2C-Mukenya-warejeshwa-kundini</link>
					  <description>KIKAO cha uongozi wa klabu ya Yanga kilichoketi juzi na jana, pia kuhudhuriwa na Kocha Mkuu wa timu hiyo, Sredejovic Milutin 'Micho', kimeamua kuwarejesha kundini wachezaji Gaudence Mwaikimba na Edwin Mukenya.</description>
					  <author>info@habaritanzania.com (Habari Tanzania)</author>
					  <pubDate>Fri, 13 Apr 2007 00:00:00 -0500</pubDate>
					 
					</item>

				

					<item>
					  <title>Msondo yaipua sita zilipendwa</title>
					  <link>http://www.habaritanzania.com/articles/3472/1/Msondo-yaipua-sita-zilipendwa</link>
					  <description>BENDI ya muziki wa dansi ya Msondo Ngoma 'Mambo Hadharani', imerekodi upya nyimbo zake sita zilizotamba miaka ya nyuma.</description>
					  <author>info@habaritanzania.com (Habari Tanzania)</author>
					  <pubDate>Fri, 13 Apr 2007 00:00:00 -0500</pubDate>
					 
					</item>

				

					<item>
					  <title>Kesi Wanaume Halisi yapigwa tena kalenda</title>
					  <link>http://www.habaritanzania.com/articles/3471/1/Kesi-Wanaume-Halisi-yapigwa-tena-kalenda</link>
					  <description>MAHAKAMA ya Wilaya ya Temeke, Dar es Salaam, jana iliahirisha kesi ya kujeruhi inayowakabili wasanii wa muziki wa kizazi kipya wa kundi la TMK Wanaume Halisi kwa sababu upelelezi haujakamilika.</description>
					  <author>info@habaritanzania.com (Habari Tanzania)</author>
					  <pubDate>Fri, 13 Apr 2007 00:00:00 -0500</pubDate>
					 
					</item>

				

					<item>
					  <title>Nguvumpya wamuondolea adhabu Jenifa</title>
					  <link>http://www.habaritanzania.com/articles/3443/1/Nguvumpya-wamuondolea-adhabu-Jenifa</link>
					  <description>UONGOZI wa kikundi cha sanaa za maonyesho cha Nguvumpya Sanaa Group cha Mbagala Charambe jijini Dar es Salaam, kimemfutia adhabu ya kumsimamisha kushiriki ndani ya kikundi hicho kwa muda wa miezi sita msanii wake Mwanahamisi Karume 'Jenifa'.</description>
					  <author>info@habaritanzania.com (Habari Tanzania)</author>
					  <pubDate>Mon, 09 Apr 2007 00:00:00 -0500</pubDate>
					 
					</item>

				

					<item>
					  <title>Tunataka umoja - Watu Pori</title>
					  <link>http://www.habaritanzania.com/articles/3442/1/Tunataka-umoja---Watu-Pori</link>
					  <description>KUNDI la muziki wa kizazi kipya la Watu Pori 'Washamba', kutoka mjini Morogoro, limesema sababu ya kuwashirikisha wasanii wengi katika albamu yao mpya, 'Fanya Kazi', ni kukuza umoja na ushirikiano miongoni mwa wasanii wa muziki wa kizazi kipya nchini.</description>
					  <author>info@habaritanzania.com (Habari Tanzania)</author>
					  <pubDate>Mon, 09 Apr 2007 00:00:00 -0500</pubDate>
					 
					</item>

				

					<item>
					  <title>Kipigo kisiikatishe tamaa Yanga</title>
					  <link>http://www.habaritanzania.com/articles/3438/1/Kipigo-kisiikatishe-tamaa-Yanga</link>
					  <description>IJUMAA iliyopita, wawakilishi pekee wa Tanzania waliobaki katika michuano ya kimataifa, Yanga ya jijini Dar es Salaam, ilicheza mechi yake ya awali ya hatua ya tatu ya michuano ya Ligi ya Mabingwa Afrika.</description>
					  <author>info@habaritanzania.com (Habari Tanzania)</author>
					  <pubDate>Mon, 09 Apr 2007 00:00:00 -0500</pubDate>
					 
					</item>

				

					<item>
					  <title>TMK Wanaume Family na Pasaka</title>
					  <link>http://www.habaritanzania.com/articles/3432/1/TMK-Wanaume-Family-na-Pasaka</link>
					  <description>BAADA ya ukimya wa muda, kundi mahiri la muziki wa kizazi kipya la TMK Wanaume Family, lenye makazi yake Temeke jijini Dar es Salaam, limeibuka kwa kishindo, likiwa na mtindo mpya wa uchezaji.</description>
					  <author>info@habaritanzania.com (Habari Tanzania)</author>
					  <pubDate>Fri, 06 Apr 2007 00:00:00 -0500</pubDate>
					 
					</item>

				

					<item>
					  <title>Watatu kufuzu Kimwana wa Twanga leo</title>
					  <link>http://www.habaritanzania.com/articles/3399/1/Watatu-kufuzu-Kimwana-wa-Twanga-leo</link>
					  <description>SHINDANO la kumsaka Kimwana wa Twanga Pepeta linatarajiwa kuendelea tena leo katika shoo ya bendi ya African Stars International itakayofanyika kwenye Ukumbi wa Maisha Club, Oysterbay, jijini Dar es Salaam .</description>
					  <author>info@habaritanzania.com (Habari Tanzania)</author>
					  <pubDate>Thu, 29 Mar 2007 00:00:00 -0500</pubDate>
					 
					</item>

				

					<item>
					  <title>Brazil yaitandika Ghana 1-0</title>
					  <link>http://www.habaritanzania.com/articles/3398/1/Brazil-yaitandika-Ghana-1-0</link>
					  <description>BAO pekee lililofungwa katika dakika ya 17 ya mchezo na Vagner Love, juzi usiku lilitosha kuizamisha timu ya taifa ya Ghana, 'The Black Stars' dhidi ya Brazil, katika mechi ya kirafiki iliyopigwa mjini hapa.</description>
					  <author>info@habaritanzania.com (Habari Tanzania)</author>
					  <pubDate>Thu, 29 Mar 2007 00:00:00 -0500</pubDate>
					 
					</item>

				

					<item>
					  <title>George Owino atua Msimbazi</title>
					  <link>http://www.habaritanzania.com/articles/3397/1/George-Owino-atua-Msimbazi</link>
					  <description>BEKI wa kimataiafa wa timu ya Simba kutoka Tusker FC ya Kenya, George Owino, juzi alitua nchini kwa ajili ya kujiunga na Simba, kwa ajili ya Ligi Ndogo iliyopangwa kuanza Aprili 14.</description>
					  <author>info@habaritanzania.com (Habari Tanzania)</author>
					  <pubDate>Thu, 29 Mar 2007 00:00:00 -0500</pubDate>
					 
					</item>

				

					<item>
					  <title>Yanga kuifuata Esperance J'Pili</title>
					  <link>http://www.habaritanzania.com/articles/3396/1/Yanga-kuifuata-Esperance-J%92Pili</link>
					  <description>KIKOSI cha wachezaji 20 na viongozi kadhaa wa klabu bingwa ya soka Tanzania Bara, Yanga, kinatarajiwa kuondoka Jumapili kuelekea nchini Tunisia tayari kwa mechi ya kwanza ya raundi ya tatu ya Ligi ya Mabingwa Afrika.</description>
					  <author>info@habaritanzania.com (Habari Tanzania)</author>
					  <pubDate>Thu, 29 Mar 2007 00:00:00 -0500</pubDate>
					 
					</item>

				

					<item>
					  <title>Stars imepita kwenye tanuru la moto - Maximo</title>
					  <link>http://www.habaritanzania.com/articles/3378/1/Stars-imepita-kwenye-tanuru-la-moto---Maximo</link>
					  <description>MSAFARA wa timu ya soka ya Tanzania, Taifa Stars, ulirejea jana asubuhi kutoka Senegal huku Kocha Mkuu, Mbrazil, Marcio Maximo, akisema timu hiyo imepita kwenye tanuru la moto.</description>
					  <author>info@habaritanzania.com (Habari Tanzania)</author>
					  <pubDate>Tue, 27 Mar 2007 00:00:00 -0500</pubDate>
					 
					</item>

				

					<item>
					  <title>Twanga kusaka ngome Afrika Kusini</title>
					  <link>http://www.habaritanzania.com/articles/3377/1/Twanga-kusaka-ngome-Afrika-Kusini</link>
					  <description>SHABIKI mmoja wa bendi ya The African Stars 'Twanga Pepeta Intetnational' mwenye asili ya Afrika Kusini, Steven Khumalo, amesema kuwa ana mpango wa kuitafutia ziara bendi hiyo nchini humo.</description>
					  <author>info@habaritanzania.com (Habari Tanzania)</author>
					  <pubDate>Tue, 27 Mar 2007 00:00:00 -0500</pubDate>
					 
					</item>

				

					<item>
					  <title>Mbuta Likasu achengua mashabiki wa Ngwasuma</title>
					  <link>http://www.habaritanzania.com/articles/3376/1/Mbuta-Likasu-achengua-mashabiki-wa-Ngwasuma</link>
					  <description>MWANAMUZIKI maarufu raia wa Kongo, Mbuta Likasu, Jumamosi iliyopita aliteka mamia ya mashabiki baada ya kuvamia jukwaa la bendi ya FM Academia 'Wazee wa Ngwasuma', na kuonyesha kipaji cha hali ya juu cha kuimba sambamba na kulishambulia jukwaa.</description>
					  <author>info@habaritanzania.com (Habari Tanzania)</author>
					  <pubDate>Tue, 27 Mar 2007 00:00:00 -0500</pubDate>
					 
					</item>

				

					<item>
					  <title>Yanga yang&#39;ara Afrika, sasa na Esperance</title>
					  <link>http://www.habaritanzania.com/articles/3336/1/Yanga-yang%26%2339%3Bara-Afrika%2C-sasa-na-Esperance</link>
					  <description>MABINGWA wa Soka Tanzania, Yanga jana walitoka sare ya 1-1 na Petro de Luanda katika mchezo mkali wa Ligi ya Mabingwa Afrika, mchezo uliopigwa kwenye Uwanja wa Taifa wa Angola.</description>
					  <author>info@habaritanzania.com (Habari Tanzania)</author>
					  <pubDate>Mon, 19 Mar 2007 00:00:00 -0500</pubDate>
					 
					</item>

				

					<item>
					  <title>Sikinde nayo kama Msondo</title>
					  <link>http://www.habaritanzania.com/articles/3315/1/Sikinde-nayo-kama-Msondo</link>
					  <description>BENDI ya muziki wa dansi ya DDC Mlimani Park 'Sikinde', nayo imeamua kutumia wanenguaji katika maoneysho yake, kama walivyoamua kufanya watani zao Msondo Ngoma 'Mambo Hadharani', hivi karibuni hivyo kufanya bendi hizo kongwe nchini kwenda sambamba na bendi zinazochipukia.</description>
					  <author>info@habaritanzania.com (Habari Tanzania)</author>
					  <pubDate>Fri, 16 Mar 2007 00:00:00 -0500</pubDate>
					 
					</item>

				

					<item>
					  <title>Wasanii chipukizi acheni kuimba mapenzi - AY</title>
					  <link>http://www.habaritanzania.com/articles/3314/1/Wasanii-chipukizi-acheni-kuimba-mapenzi---AY</link>
					  <description>MSANII mkongwe wa muziki wa kizazi kipya 'Bongo Fleva', Ambwene Yesaya (AY), amewashauri wanamuziki chipukizi kuacha kuelemea katika kuimba nyimbo za mapenzi na kusahau nyimbo nyingine ambazo zingeisaidia jamii kwa namna moja ama nyingine.</description>
					  <author>info@habaritanzania.com (Habari Tanzania)</author>
					  <pubDate>Fri, 16 Mar 2007 00:00:00 -0500</pubDate>
					 
					</item>

				

					<item>
					  <title>Nature huyoo London</title>
					  <link>http://www.habaritanzania.com/articles/3313/1/Nature-huyoo-London</link>
					  <description>BAADA ya kubaniwa safari ya kwenda Copenhagen, Denmark mwaka jana sasa nyota wa kundi la Wanaume Halisi, Juma Kassin 'Sir Nature', sasa aula kapata mwaliko wa kwenda kushuhudia tuzo za wanamuziki zitakazotolewa nchini Uingereza.</description>
					  <author>info@habaritanzania.com (Habari Tanzania)</author>
					  <pubDate>Fri, 16 Mar 2007 00:00:00 -0500</pubDate>
					 
					</item>

				

					<item>
					  <title>Haya ni maisha ya Asha Baraka katika muziki</title>
					  <link>http://www.habaritanzania.com/articles/3307/1/Haya-ni-maisha-ya-Asha-Baraka-katika-muziki</link>
					  <description>KILA utakapouzungumzia muziki wa dansi nchini, kamwe hautakuwa umekamilika bila ya kumtaja Asha Baraka 'Iron Lady', mwanamke pekee Tanzania ambaye amekuwa mstari wa mbele katika kuendeleza vipaji vya wasanii mbalimbali sambamba na uwezo wa kuziendesha bendi.</description>
					  <author>info@habaritanzania.com (Habari Tanzania)</author>
					  <pubDate>Fri, 16 Mar 2007 00:00:00 -0500</pubDate>
					 
					</item>

				

					<item>
					  <title>Polisi wadai TFF ndiyo  mchawi wa Athuman Iddi</title>
					  <link>http://www.habaritanzania.com/articles/3298/1/Polisi-wadai-TFF-ndiyo--mchawi-wa-Athuman-Iddi</link>
					  <description>SHIRIKISHO la Soka Tanzania (TFF), limedaiwa kuwa ndilo linalokwamisha kukamilika kwa upelelezi wa tuhuma za kughushi saini ya kiungo wa Taifa Stars, Athumani Iddi.</description>
					  <author>info@habaritanzania.com (Habari Tanzania)</author>
					  <pubDate>Wed, 14 Mar 2007 00:00:00 -0500</pubDate>
					 
					</item>

				

					<item>
					  <title>Taifa Stars Tanzania yatengewa Sh80m kuimaliza Senegal</title>
					  <link>http://www.habaritanzania.com/articles/3297/1/Taifa-Stars-Tanzania-yatengewa-Sh80m-kuimaliza-Senegal</link>
					  <description>KAMATI ya Operesheni Ushindi imetenga Sh80milioni&#160; kwa ajili ya kuhakikisha timu ya taifa ya soka, Taifa Stars inafanya vizuri katika mechi ngumu ya Mataifa ya Afrika dhidi ya Senegal itakayofanyika mwishoni mwa wiki ijayo.</description>
					  <author>info@habaritanzania.com (Habari Tanzania)</author>
					  <pubDate>Wed, 14 Mar 2007 00:00:00 -0500</pubDate>
					 
					</item>

				

					<item>
					  <title>Big Family waipua Taifa Stars</title>
					  <link>http://www.habaritanzania.com/articles/3289/1/Big-Family-waipua-Taifa-Stars</link>
					  <description> </description>
					  <author>info@habaritanzania.com (Habari Tanzania)</author>
					  <pubDate>Tue, 13 Mar 2007 00:00:00 -0500</pubDate>
					 
					</item>

				

					<item>
					  <title>The President of Tanzanias Views on Sports Development</title>
					  <link>http://www.habaritanzania.com/articles/3275/1/The-President-of-Tanzanias-Views-on-Sports-Development</link>
					  <description>&#160;I recently had the rare opportunity to meet His Excellency, the Hon. J.M. Kikwete, during his recent trip to London who is obviously well informed of sports issues, nationally and internationally.</description>
					  <author>saria@tanzaniasports.com (Saria Israel)</author>
					  <pubDate>Mon, 12 Mar 2007 00:00:00 -0500</pubDate>
					 
					</item>

				

					<item>
					  <title>Viongozi Simba wahofia vivuli vyao</title>
					  <link>http://www.habaritanzania.com/articles/3269/1/Viongozi-Simba-wahofia-vivuli-vyao</link>
					  <description>KATIKA kile kinachoonekana viongozi wa klabu ya Simba kuogopa vivuli vyao, wamesema wanashindwa kutaja kocha mkuu wa timu hiyo wakihofia kuhujumiwa na maadui zao.</description>
					  <author>info@habaritanzania.com (Habari Tanzania)</author>
					  <pubDate>Sat, 10 Mar 2007 00:00:00 -0600</pubDate>
					 
					</item>

				

					<item>
					  <title>Man Utd kuivaa AS Roma</title>
					  <link>http://www.habaritanzania.com/articles/3268/1/Man-Utd-kuivaa-AS-Roma</link>
					  <description>SHIRIKISHO la Soka Ulaya (UEFA), jana limetoa ratiba ya robo fainali ya michuano ya Ligi ya Mabingwa, huku wakali watatu wa England; Chelsea, Manchester United na Liverpool, wakikwepana.</description>
					  <author>info@habaritanzania.com (Habari Tanzania)</author>
					  <pubDate>Sat, 10 Mar 2007 00:00:00 -0600</pubDate>
					 
					</item>

				

					<item>
					  <title>Hesabu zangu Ghana si Senegal - Maximo</title>
					  <link>http://www.habaritanzania.com/articles/3234/1/Hesabu-zangu-Ghana-si-Senegal---Maximo</link>
					  <description>KOCHA Mkuu wa timu ya Taifa ya Tanzania, Taifa Stars, Mbrazil Marcio, amesema, maandalizi yaliyoko kwa timu hiyo si kuishinda Senegal Machi 24, bali ni Tanzania kupata tiketi ya kucheza fainali za Mataifa ya Afrika mwakani.</description>
					  <author>info@habaritanzania.com (Habari Tanzania)</author>
					  <pubDate>Wed, 07 Mar 2007 00:00:00 -0600</pubDate>
					 
					</item>

				

					<item>
					  <title>Serikali yaupiga 'kufuli' Uwanja wa Taifa</title>
					  <link>http://www.habaritanzania.com/articles/3227/1/Serikali-yaupiga-%91kufuli%92-Uwanja-wa-Taifa</link>
					  <description>SERIKALI imeamua kuufunga kwa muda Uwanja wa Taifa wa Dar es Salaam ili kuufanyia ukarabati, ikiwamo kupanda nyasi za kisasa katika kuurejesha uwanja huo katika hadhi yake kabla ya kuanza kutumika tena.</description>
					  <author>info@habaritanzania.com (Habari Tanzania)</author>
					  <pubDate>Tue, 06 Mar 2007 00:00:00 -0600</pubDate>
					 
					</item>

				

					<item>
					  <title>Ukata waitesa Msimbazi</title>
					  <link>http://www.habaritanzania.com/articles/3226/1/Ukata-waitesa-Msimbazi</link>
					  <description>WAKATI Yanga wakivuna mamiloni ya fedha, upande wa watani wao Simba, hali ya kifedha si nzuri kikasi cha uongozi wa klabu hiyo kuahirisha mazoezi ya timu hiyo yaliyokuwa yaanze Jumatatu iliyopita kujiandaa na Ligi Ndogo.</description>
					  <author>info@habaritanzania.com (Habari Tanzania)</author>
					  <pubDate>Tue, 06 Mar 2007 00:00:00 -0600</pubDate>
					 
					</item>

				

					<item>
					  <title>Yanga, Petro waingiza mil. 88/-</title>
					  <link>http://www.habaritanzania.com/articles/3225/1/Yanga%2C-Petro-waingiza-mil.-88%7B47%7D-</link>
					  <description>MECHI ya Ligi ya Klabu Bingwa Afrika iliyopigwa juzi kwenye Uwanja wa Taifa, Dar es Salaam kati ya mabingwa wa soka Tanzania Bara na Petro de Luanda (Petro Atletico ya Angola), imeingiza jumla ya sh mil. 88.</description>
					  <author>info@habaritanzania.com (Habari Tanzania)</author>
					  <pubDate>Tue, 06 Mar 2007 00:00:00 -0600</pubDate>
					 
					</item>

				

					<item>
					  <title>Yanga yafanya kweli</title>
					  <link>http://www.habaritanzania.com/articles/3213/1/Yanga-yafanya-kweli</link>
					  <description>&#34;MICHO... Micho... Micho!&#34; Hizi zilikuwa ni nderemo na vifijo vya wapenzi na mashabiki wa Yanga waliokuwa wamefurika Uwanja wa Taifa, Dar es Salaam kushuhudia timu yao ikiitandika 3-0 Petro Atletico ya Angola katika mechi ya kwanza ya hatua ya kwanza ya Ligi ya Mabingwa Afrika.</description>
					  <author>info@habaritanzania.com (Habari Tanzania)</author>
					  <pubDate>Mon, 05 Mar 2007 00:00:00 -0600</pubDate>
					 
					</item>

				

					<item>
					  <title>Twigas bingwa wa taifa magongo</title>
					  <link>http://www.habaritanzania.com/articles/3193/1/Twigas-bingwa-wa-taifa-magongo</link>
					  <description>TIMU ya Arusha Twigas imeibuka bingwa wa taifa wa michuano ya Mapinduzi baada ya kuifunga Moshi Khalsa kwa magoli 3 - 2 katika mchezo wa fainali uliopigwa hivi karibuni kwenye viwanja vya Twiga, jijini Arusha.</description>
					  <author>info@habaritanzania.com (Habari Tanzania)</author>
					  <pubDate>Fri, 02 Mar 2007 00:00:00 -0600</pubDate>
					 
					</item>

				

					<item>
					  <title>Stars kurejea leo Dar</title>
					  <link>http://www.habaritanzania.com/articles/3192/1/Stars-kurejea-leo-Dar</link>
					  <description>WAKATI timu ya soka ya Tanzania, Taifa Stars, ikitarajiwa kurejea leo mchana, inatarajiwa kupimana nguvu na Sudan, Machi 10, Uwanja wa Taifa, Dar es Salaam.</description>
					  <author>info@habaritanzania.com (Habari Tanzania)</author>
					  <pubDate>Fri, 02 Mar 2007 00:00:00 -0600</pubDate>
					 
					</item>

				

					<item>
					  <title>Gasabile aitaka TFF isimtishie nyau</title>
					  <link>http://www.habaritanzania.com/articles/3191/1/Gasabile-aitaka-TFF-isimtishie-nyau</link>
					  <description>KATIBU Mkuu wa zamani wa Shirikisho la Soka Tanzania (TFF), Ashery Gasabile, amesema kitendo cha shirikisho hilo kutaka kumfikisha mahakamani kwa kutokabidhi ofisi, ni sawa na mtu mzima kutishiwa nyau. </description>
					  <author>info@habaritanzania.com (Habari Tanzania)</author>
					  <pubDate>Fri, 02 Mar 2007 00:00:00 -0600</pubDate>
					 
					</item>

				

					<item>
					  <title>Watanzania jivunieni utamaduni wenu - Mama Mkapa</title>
					  <link>http://www.habaritanzania.com/articles/3180/1/Watanzania-jivunieni-utamaduni-wenu---Mama-Mkapa</link>
					  <description>MKE wa Rais mstaafu wa Awamu ya Tatu, Anna Mkapa, amewataka Watanzania kuthamini utamaduni na sanaa zao ili zitambulike zaidi duniani. </description>
					  <author>info@habaritanzania.com (Habari Tanzania)</author>
					  <pubDate>Thu, 01 Mar 2007 00:00:00 -0600</pubDate>
					 
					</item>

				

					<item>
					  <title>TBF yalia na wadhamini</title>
					  <link>http://www.habaritanzania.com/articles/3179/1/TBF-yalia-na-wadhamini</link>
					  <description>TIMU wa mpira wa Kikapu ya Oilers ya jijini Dar es Salaam imeanza kwa kishindo Ligi ya Taifa (NBL) baada ya kuisambaratisha Chuo cha Mipango kwa pointi 60-21 katika mchezo uliopigwa kwenye dimba la Jamhuri mjini hapa.</description>
					  <author>info@habaritanzania.com (Habari Tanzania)</author>
					  <pubDate>Thu, 01 Mar 2007 00:00:00 -0600</pubDate>
					 
					</item>

				

					<item>
					  <title>Shamuhuna kumleta kocha wa Netiboli kutoka Afrika Kusini</title>
					  <link>http://www.habaritanzania.com/articles/3178/1/Shamuhuna-kumleta-kocha-wa-Netiboli-kutoka-Afrika-Kusini</link>
					  <description>NAIBU Waziri Kiongozi na Waziri wa Habari, Utamaduni na Michezo visiwani hapa, Ali Juma Shamuhuna amesema serikali imeridhishwa na maendeleo ya mchezo wa Netiboli visiwani hapa na watauimarisha zaidi kwa kumleta kocha wa kudumu wa timu ya taifa.</description>
					  <author>info@habaritanzania.com (Habari Tanzania)</author>
					  <pubDate>Thu, 01 Mar 2007 00:00:00 -0600</pubDate>
					 
					</item>

				

					<item>
					  <title>Ndolanga aibuka shujaa TFF</title>
					  <link>http://www.habaritanzania.com/articles/3169/1/Ndolanga-aibuka-shujaa-TFF</link>
					  <description>SHIRIKISHO la Soka Tanzania (TFF), limesema ingawa kipindi cha mwaka 2002 hadi 2004 kilikuwa chini ya uongozi wa Muhidin Ahmad Ndolanga, aliyeguswa na utata ni Michael Richard Wambura.</description>
					  <author>info@habaritanzania.com (Habari Tanzania)</author>
					  <pubDate>Wed, 28 Feb 2007 00:00:00 -0600</pubDate>
					 
					</item>

				

					<item>
					  <title>Wakali wa Yanga kutua Dar leo</title>
					  <link>http://www.habaritanzania.com/articles/3168/1/Wakali-wa-Yanga-kutua-Dar-leo</link>
					  <description>HATIMAYE wachezaji wanane wa Yanga walioko kwenye kikosi cha timu ya soka ya Tanzania, Taifa Stars, nchini Brazil, wanatarajiwa kuwasili leo alasiri.</description>
					  <author>info@habaritanzania.com (Habari Tanzania)</author>
					  <pubDate>Wed, 28 Feb 2007 00:00:00 -0600</pubDate>
					 
					</item>

				

					<item>
					  <title>Ray mbaroni Dar</title>
					  <link>http://www.habaritanzania.com/articles/3167/1/Ray-mbaroni-Dar</link>
					  <description>MSANII wa maigizo nchini, Vincent Kigosi, maarufu kama Ray, juzi jioni alikamatwa na polisi kwa tuhuma za utapeli wa filamu ya 'Revenge'.</description>
					  <author>info@habaritanzania.com (Habari Tanzania)</author>
					  <pubDate>Wed, 28 Feb 2007 00:00:00 -0600</pubDate>
					 
					</item>

				

					<item>
					  <title>Uwezo wa kwenda Ghana tunao</title>
					  <link>http://www.habaritanzania.com/articles/3148/1/Uwezo-wa-kwenda-Ghana-tunao</link>
					  <description>TIMU yetu ya soka ya anzania (Taifa Stars) iko kwenye kampeni ya kusaka tiketi ya kucheza fainali za Kombe la Mataifa ya Afrika zitakazofanyika mwakani nchini Ghana.</description>
					  <author>info@habaritanzania.com (Habari Tanzania)</author>
					  <pubDate>Mon, 26 Feb 2007 00:00:00 -0600</pubDate>
					 
					</item>

				

					<item>
					  <title>Wakenya kushambulia Diamond Jubilee</title>
					  <link>http://www.habaritanzania.com/articles/3138/1/Wakenya-kushambulia-Diamond-Jubilee</link>
					  <description>WAIMBAJI wa kimataifa wa muziki wa Injili, Angela Chibalonza na Anastazia Mukabwa, kutoka Kenya wanatarajiwa kupamba tamasha la Pasaka linalotarajiwa kufanyika Aprili 8, kwenye Ukumbi wa Diamond Jubilee, Dar es Salaam.</description>
					  <author>info@habaritanzania.com (Habari Tanzania)</author>
					  <pubDate>Sun, 25 Feb 2007 00:00:00 -0600</pubDate>
					 
					</item>

				

					<item>
					  <title>Wanaume Halisi albamu yote ndani ya video</title>
					  <link>http://www.habaritanzania.com/articles/3137/1/Wanaume-Halisi-albamu-yote-ndani-ya-video</link>
					  <description>KUNDI la muziki wa kizazi kipya la TMK Wanaume Halisi, limekamilisha video yake ya pili baada ya kuuweka wimbo wake wa 'Tunaungaunga' nao kwenye video.</description>
					  <author>info@habaritanzania.com (Habari Tanzania)</author>
					  <pubDate>Sun, 25 Feb 2007 00:00:00 -0600</pubDate>
					 
					</item>

				

					<item>
					  <title>Mwanakatwe kumrithi Aden Rage TFF leo?</title>
					  <link>http://www.habaritanzania.com/articles/3136/1/Mwanakatwe-kumrithi-Aden-Rage-TFF-leo%3F</link>
					  <description>UCHAGUZI mdogo wa kuziba nafasi ya Makamu wa Pili ya Rais wa Shirikisho la Soka nchini (TFF), Ismail Aden Rage unafanyika leo kwenye ukumbi wa Mfuko wa Taifa wa Hifadhi ya Jamii (NSSF water Front) huku kukiwa na mgombea mmoja wa nafasi hiyo.</description>
					  <author>info@habaritanzania.com (Habari Tanzania)</author>
					  <pubDate>Sun, 25 Feb 2007 00:00:00 -0600</pubDate>
					 
					</item>

				

					<item>
					  <title>Benki yamwaga mamilioni kwa soka</title>
					  <link>http://www.habaritanzania.com/articles/3135/1/Benki-yamwaga-mamilioni-kwa-soka</link>
					  <description>BENKI ya NMB imedhamini kwa Sh60m Mkutano Mkuu wa Shirikisho la Soka la Tanzania (TFF) unaoanza leo jijini Dar es Salaam.</description>
					  <author>info@habaritanzania.com (Habari Tanzania)</author>
					  <pubDate>Sun, 25 Feb 2007 00:00:00 -0600</pubDate>
					 
					</item>

				

					<item>
					  <title>Taifa Stars, Fluminanse wapimana leo</title>
					  <link>http://www.habaritanzania.com/articles/3121/1/Taifa-Stars%2C-Fluminanse-wapimana-leo</link>
					  <description>BAADA ya kulazimisha sare ya bao 1-1 na Vasco da Gama na kuzua gumzo miongoni mwa mashabiki nchini Brazil, kikosi cha Taifa Stars leo kitapambana na timu ya Fluminense katika mchezo mwingine wa kirafiki.</description>
					  <author>info@habaritanzania.com (Habari Tanzania)</author>
					  <pubDate>Sat, 24 Feb 2007 00:00:00 -0600</pubDate>
					 
					</item>

				

					<item>
					  <title>Aomba kura kwa picha za Beckham</title>
					  <link>http://www.habaritanzania.com/articles/3120/1/Aomba-kura-kwa-picha-za-Beckham</link>
					  <description>KIUNGO wa Real Madrid, David Beckham amekuwa akitumika katika kampeni za kisiasa za Uswisi baada ya picha yake kutumiwa na mwamuzi wa kimataifa wa zamani aliyeamua kujitosa katika uchaguzi.</description>
					  <author>info@habaritanzania.com (Habari Tanzania)</author>
					  <pubDate>Sat, 24 Feb 2007 00:00:00 -0600</pubDate>
					 
					</item>

				

					<item>
					  <title>Mwalala kurejea wiki ijayo</title>
					  <link>http://www.habaritanzania.com/articles/3119/1/Mwalala-kurejea-wiki-ijayo</link>
					  <description>MSHAMBULIAJI mahiri wa Yanga, Ben Mwalala anatarajia kutua nchini wiki ijayo akitokea Sweden ambako alikwenda kufanya majaribio ya kucheza soka ya kulipwa.</description>
					  <author>info@habaritanzania.com (Habari Tanzania)</author>
					  <pubDate>Sat, 24 Feb 2007 00:00:00 -0600</pubDate>
					 
					</item>

				

					<item>
					  <title>Benki yamwaga mamilioni kwa soka</title>
					  <link>http://www.habaritanzania.com/articles/3118/1/Benki-yamwaga-mamilioni-kwa-soka</link>
					  <description>BENKI ya NMB imedhamini kwa Sh60m Mkutano Mkuu wa Shirikisho la Soka la Tanzania (TFF) unaoanza leo jijini Dar es Salaam.</description>
					  <author>info@habaritanzania.com (Habari Tanzania)</author>
					  <pubDate>Sat, 24 Feb 2007 00:00:00 -0600</pubDate>
					 
					</item>

				

					<item>
					  <title>RT yaomba kupigwa tafu</title>
					  <link>http://www.habaritanzania.com/articles/3098/1/RT-yaomba-kupigwa-tafu</link>
					  <description>BAADA ya kusota kwa muda mrefu, Kamati ya Kilimanjaro Marathon imekipiga tafu Chama cha Riadha Tanzania (RT) kwa kukipa sh milioni 2.5 ikiwa ni gharama za kuendesha mashindano ya Nyika ya Taifa yanayotarajiwa kufanyika Februari 24 mwaka huu mkoani Kilimanjaro.</description>
					  <author>info@habaritanzania.com (Habari Tanzania)</author>
					  <pubDate>Thu, 22 Feb 2007 00:00:00 -0600</pubDate>
					 
					</item>

				

					<item>
					  <title>Majaji kupewa meno zaidi Bongo Star Search</title>
					  <link>http://www.habaritanzania.com/articles/3097/1/Majaji-kupewa-meno-zaidi-Bongo-Star-Search</link>
					  <description>UTARATIBU wa kumpata mshindi wa shindano la Bongo Star Search unatarajiwa kubadilika katika shindano la mwakani.</description>
					  <author>info@habaritanzania.com (Habari Tanzania)</author>
					  <pubDate>Thu, 22 Feb 2007 00:00:00 -0600</pubDate>
					 
					</item>

				

					<item>
					  <title>Yanga yaishindwa Miembeni</title>
					  <link>http://www.habaritanzania.com/articles/3096/1/Yanga-yaishindwa-Miembeni</link>
					  <description>KLABU bingwa ya soka Tanzania Bara, Yanga ya jijini Dar es Salaam juzi ilishindwa kulipa kisasi baada kwa Miembeni kwa kuishia kutoka sare ya 1-1.</description>
					  <author>info@habaritanzania.com (Habari Tanzania)</author>
					  <pubDate>Thu, 22 Feb 2007 00:00:00 -0600</pubDate>
					 
					</item>

				

					<item>
					  <title>Simba yapitisha fagio</title>
					  <link>http://www.habaritanzania.com/articles/3095/1/Simba-yapitisha-fagio</link>
					  <description>KAMATI ya Utendaji ya klabu ya Simba, imeamua kuvunja Kamati ya Usajili iliyokuwa chini ya Godfrey Nyange na kufumua benchi la ufundi kwa kuwapiga chini baadhi ya wahusika.</description>
					  <author>info@habaritanzania.com (Habari Tanzania)</author>
					  <pubDate>Thu, 22 Feb 2007 00:00:00 -0600</pubDate>
					 
					</item>

				

					<item>
					  <title>Alex Kajumlo kudhamini FRAT</title>
					  <link>http://www.habaritanzania.com/articles/3084/1/Alex-Kajumlo-kudhamini-FRAT</link>
					  <description>MDAU wa michezo nchini Alex Kajumlo aishiye Marekani anatalajia kuingia mkataba wa udhamini wa miaka mitano na Chama cha Waamuzi Tanzania (FRAT).</description>
					  <author>info@habaritanzania.com (Habari Tanzania)</author>
					  <pubDate>Wed, 21 Feb 2007 00:00:00 -0600</pubDate>
					 
					</item>

				

					<item>
					  <title>Phiri aikacha Taifa Stars, pia hana mpango Simba</title>
					  <link>http://www.habaritanzania.com/articles/3083/1/Phiri-aikacha-Taifa-Stars%2C-pia-hana-mpango-Simba</link>
					  <description>KOCHA wa timu ya taifa ya Zambia, Patrick Phiri amekanusha uvumi wa kurejea Simba huku akikwepa kucheza mechi ya kirafiki dhidi ya Taifa Stars.</description>
					  <author>info@habaritanzania.com (Habari Tanzania)</author>
					  <pubDate>Wed, 21 Feb 2007 00:00:00 -0600</pubDate>
					 
					</item>

				

					<item>
					  <title>Mourinho: Nasubiri kuzomewa</title>
					  <link>http://www.habaritanzania.com/articles/3082/1/Mourinho%3A-Nasubiri-kuzomewa</link>
					  <description>KOCHA wa Chelsea, Jose Mourinho amekiri kuwa atakuwa kwenye wakati mgumu wataka atakapoiongoza timu yake kuiondosha Porto kesho.</description>
					  <author>info@habaritanzania.com (Habari Tanzania)</author>
					  <pubDate>Wed, 21 Feb 2007 00:00:00 -0600</pubDate>
					 
					</item>

				

					<item>
					  <title>Wadau wajadili ujio wa Real Madrid</title>
					  <link>http://www.habaritanzania.com/articles/3053/1/Wadau-wajadili-ujio-wa-Real-Madrid</link>
					  <description>WADAU wa soka nchini, wamepokea kwa hisia tofauti taarifa za ujio wa Real Madrid ya Hispania, ambayo imepanga kuja nchini Julai iwapo masharti yao yatatekelezwa.</description>
					  <author>info@habaritanzania.com (Habari Tanzania)</author>
					  <pubDate>Mon, 19 Feb 2007 00:00:00 -0600</pubDate>
					 
					</item>

				

					<item>
					  <title>Katibu Mkuu Simba aikosoa katiba ya klabu</title>
					  <link>http://www.habaritanzania.com/articles/3052/1/Katibu-Mkuu-Simba-aikosoa-katiba-ya-klabu</link>
					  <description>KATIBU Mkuu wa klabu ya soka ya Simba Mwina Kaduguda, amedai kuwa makatibu wakuu waliopita hawakuwepo kwa ajili ya maendeleo ya klabu hiyo kwa sababu waliyafumbia macho mapungufu yaliopo katika Katiba ya Simba.</description>
					  <author>info@habaritanzania.com (Habari Tanzania)</author>
					  <pubDate>Mon, 19 Feb 2007 00:00:00 -0600</pubDate>
					 
					</item>

				

					<item>
					  <title>Waimbaji toka Kenya kutumbuiza injili Dar es Salaam</title>
					  <link>http://www.habaritanzania.com/articles/3051/1/Waimbaji-toka-Kenya-kutumbuiza-injili-Dar-es-Salaam</link>
					  <description>WAIMBAJI mahiri wa nyimbo za injili kutoka katika miji ya Mombasa na Nairobi, Kenya wamekubali kushiriki katika Tamasha la Pasaka ambalo litaendana na uzinduzi wa albamu ya Haleluya Collection.</description>
					  <author>info@habaritanzania.com (Habari Tanzania)</author>
					  <pubDate>Mon, 19 Feb 2007 00:00:00 -0600</pubDate>
					 
					</item>

				

					<item>
					  <title>Reading yaiwekea ngumu Man United</title>
					  <link>http://www.habaritanzania.com/articles/3050/1/Reading-yaiwekea-ngumu-Man-United</link>
					  <description>MANCHESTER United juzi ililazimishwa sare ya 1-1 na Reading katika mechi kali iliyopigwa kwenye Uwanja wa Old Trafford.</description>
					  <author>info@habaritanzania.com (Habari Tanzania)</author>
					  <pubDate>Mon, 19 Feb 2007 00:00:00 -0600</pubDate>
					 
					</item>

				

					<item>
					  <title>Wadau wajadili ujio wa Real Madrid</title>
					  <link>http://www.habaritanzania.com/articles/3036/1/Wadau-wajadili-ujio-wa-Real-Madrid</link>
					  <description>WADAU wa soka nchini, wamepokea kwa hisia tofauti taarifa za ujio wa Real Madrid ya Hispania, ambayo imepanga kuja nchini Julai iwapo masharti yao yatatekelezwa.</description>
					  <author>info@habaritanzania.com (Habari Tanzania)</author>
					  <pubDate>Sun, 18 Feb 2007 00:00:00 -0600</pubDate>
					 
					</item>

				

					<item>
					  <title>Katibu Mkuu Simba aikosoa katiba ya klabu</title>
					  <link>http://www.habaritanzania.com/articles/3035/1/Katibu-Mkuu-Simba-aikosoa-katiba-ya-klabu</link>
					  <description>KATIBU Mkuu wa klabu ya soka ya Simba Mwina Kaduguda, amedai kuwa makatibu wakuu waliopita hawakuwepo kwa ajili ya maendeleo ya klabu hiyo kwa sababu waliyafumbia macho mapungufu yaliopo katika Katiba ya Simba.</description>
					  <author>info@habaritanzania.com (Habari Tanzania)</author>
					  <pubDate>Sun, 18 Feb 2007 00:00:00 -0600</pubDate>
					 
					</item>

				

					<item>
					  <title>Hatimaye wachezaji wa Simba wapaa kwenda Brazil</title>
					  <link>http://www.habaritanzania.com/articles/3034/1/Hatimaye-wachezaji-wa-Simba-wapaa-kwenda-Brazil</link>
					  <description>WACHEZAJI saba wa timu ya Simba, wameondoka nchini jana kuelekea Rio de Janeiro, Brazil kujiunga na wenzao katika kambi ya timu ya Taifa.</description>
					  <author>info@habaritanzania.com (Habari Tanzania)</author>
					  <pubDate>Sun, 18 Feb 2007 00:00:00 -0600</pubDate>
					 
					</item>

				

					<item>
					  <title>Angel Kileo: Mashindano ya Miss International yamenifumbua macho</title>
					  <link>http://www.habaritanzania.com/articles/3033/1/Angel-Kileo%3A-Mashindano-ya-Miss-International-yamenifumbua-macho</link>
					  <description>JINA la Angel Delight Kileo siyo geni kwa wafuatiliaji wa mashindano ya urembo nchini. Hii inatokana na majukumu makubwa aliyopewa Angel kuiwakilisha Tanzania katika mashindano ya Miss International, yaliyofanyika mwaka jana nchini Japan. Mrembo huyo alipata nafasi hiyo baada ya kushinda katika mashindano yaliyofanyika kwenye hotel ya Holiday Inn jijini Dar es Salaam.</description>
					  <author>info@habaritanzania.com (Habari Tanzania)</author>
					  <pubDate>Sun, 18 Feb 2007 00:00:00 -0600</pubDate>
					 
					</item>

				

					<item>
					  <title>Pazia la Sauti za Busara lafungwa</title>
					  <link>http://www.habaritanzania.com/articles/3003/1/Pazia-la-Sauti-za-Busara-lafungwa</link>
					  <description>WAKATI Tamasha la Sauti za Busara linafungwa leo, msanii mashuhuri kutoka Senegal, Didie Awadi ametangaza kuzindua albam yake mpya mwanzoni mwa mwezi Septemba.</description>
					  <author>info@habaritanzania.com (Habari Tanzania)</author>
					  <pubDate>Fri, 16 Feb 2007 00:00:00 -0600</pubDate>
					 
					</item>

				

					<item>
					  <title>Mbrazil mwingine aja kunoa timu ya taifa stars vijana</title>
					  <link>http://www.habaritanzania.com/articles/3002/1/Mbrazil-mwingine-aja-kunoa-timu-ya-taifa-stars-vijana</link>
					  <description>HATIMAYE Marcos Tinoso kutoka Brazil ameteuliwa kuwa kocha wa timu ya taifa ya vijana na anatarajiwa kuwasili nchini wakati wowote kuanza kazi.</description>
					  <author>info@habaritanzania.com (Habari Tanzania)</author>
					  <pubDate>Fri, 16 Feb 2007 00:00:00 -0600</pubDate>
					 
					</item>

				

					<item>
					  <title>Taifa Stars yapata kipigo cha kwanza Brazil</title>
					  <link>http://www.habaritanzania.com/articles/3001/1/Taifa-Stars-yapata-kipigo-cha-kwanza-Brazil</link>
					  <description>TAIFA Stars juzi ilionja kipigo cha kwanza katika ziara yake nchini Brazil na tangu ianze kufundishwa na Marcio Maximo ilipofungwa na timu ya daraja la chini ya Tiger of Brazil kwa bao 1-0.</description>
					  <author>info@habaritanzania.com (Habari Tanzania)</author>
					  <pubDate>Fri, 16 Feb 2007 00:00:00 -0600</pubDate>
					 
					</item>

				

					<item>
					  <title>Serikali Brazil kugawa kondomu bure tamasha la samba</title>
					  <link>http://www.habaritanzania.com/articles/2990/1/Serikali-Brazil-kugawa-kondomu-bure-tamasha-la-samba</link>
					  <description>WIZARA ya Afya ya Brazil inapanga kugawa bure mipira milioni 10 ya kiume kabla ya Tamasha la Samba la mwaka huu, ikiwa ni sehemu ya mpango wa kudhibiti kuenea kwa ugonjwa wa ukimwi na mengine yatokanayo na ngono isiyo salama.</description>
					  <author>info@habaritanzania.com (Habari Tanzania)</author>
					  <pubDate>Thu, 15 Feb 2007 00:00:00 -0600</pubDate>
					 
					</item>

				

					<item>
					  <title>Mvua zaiangusha Taifa Stars Brazil</title>
					  <link>http://www.habaritanzania.com/articles/2989/1/Mvua-zaiangusha-Taifa-Stars-Brazil</link>
					  <description>ZIARA ya mazoezi ya timu ya soka ya taifa, Taifa Stars nchini Brazil imeanza kuingia dosari kutokana na mvua zilizoanza wikiendi iliyopita.</description>
					  <author>info@habaritanzania.com (Habari Tanzania)</author>
					  <pubDate>Thu, 15 Feb 2007 00:00:00 -0600</pubDate>
					 
					</item>

				

					<item>
					  <title>Ben Mwalala aondoka Yanga, atimkia Sweden</title>
					  <link>http://www.habaritanzania.com/articles/2988/1/Ben-Mwalala-aondoka-Yanga%2C-atimkia-Sweden</link>
					  <description>MSHAMBULIAJI hatari wa Yanga, Bernard Mwalala,raia wa Kenya ambaye kwa muda mrefu amekuwa akishindwa kucheza mechi kwa dakika zote tisini, ametimkia Sweden kwenda kufanya majaribio ya kucheza soka la kulipwa.</description>
					  <author>info@habaritanzania.com (Habari Tanzania)</author>
					  <pubDate>Thu, 15 Feb 2007 00:00:00 -0600</pubDate>
					 
					</item>

				

					<item>
					  <title>Mr ll, Awadi kuzindua albamu yao Septemba</title>
					  <link>http://www.habaritanzania.com/articles/2973/1/Mr-ll%2C-Awadi-kuzindua-albamu-yao-Septemba</link>
					  <description>MSANII mashuhuri kutoka nchini Senegal Didie Awadi, anatarajia kuzindua albam yake mpya mwanzoni mwa Mwezi Septemba.</description>
					  <author>info@habaritanzania.com (Habari Tanzania)</author>
					  <pubDate>Wed, 14 Feb 2007 00:00:00 -0600</pubDate>
					 
					</item>

				

					<item>
					  <title>Siwa mkufunzi msaidizi wa Micho-Kifukwe</title>
					  <link>http://www.habaritanzania.com/articles/2972/1/Siwa-mkufunzi-msaidizi-wa-Micho-Kifukwe</link>
					  <description>RAIS wa klabu ya Yanga, Francis Kifukwe amesema kuwa timu hiyo haina haja ya kuwa na kocha msaidizi na kwamba mwalimu wa makipa, Razak Siwa ndiye atakayebeba jukumu hilo.</description>
					  <author>info@habaritanzania.com (Habari Tanzania)</author>
					  <pubDate>Wed, 14 Feb 2007 00:00:00 -0600</pubDate>
					 
					</item>

				

					<item>
					  <title>Mgogoro wa viongozi ulituathiri-Simba</title>
					  <link>http://www.habaritanzania.com/articles/2971/1/Mgogoro-wa-viongozi-ulituathiri-Simba</link>
					  <description>KUTOELEWANA kwa viongozi, hali ngumu ya kambi na baadhi ya tabia zisizo za kuridhisha za viongozi ni miongoni mwa mambo yaliyochangia kuchanganya wachezaji kiasi cha kucheza kwa kiwango cha chini walipokutana na Pungue Textile ya Msumbiji Jumapili.</description>
					  <author>info@habaritanzania.com (Habari Tanzania)</author>
					  <pubDate>Wed, 14 Feb 2007 00:00:00 -0600</pubDate>
					 
					</item>

				

					<item>
					  <title>Majungu yamkimbiza Kalimauganga Simba</title>
					  <link>http://www.habaritanzania.com/articles/2957/1/Majungu-yamkimbiza-Kalimauganga-Simba</link>
					  <description>MWENYEKITI wa Friends of Simba tawi la Tabora, ambaye pia ni Mwenyekiti wa Kamati ya Ushindi ya Simba, Dk Sadick Kalimauganga, jana alitangaza kuachia ngazi katika nyadhifa hizo na kubaki mwanachama wa kawaida wa klabu hiyo.</description>
					  <author>info@habaritanzania.com (Habari Tanzania)</author>
					  <pubDate>Tue, 13 Feb 2007 00:00:00 -0600</pubDate>
					 
					</item>

				

					<item>
					  <title>Stars dimbani tena leo Brazil</title>
					  <link>http://www.habaritanzania.com/articles/2956/1/Stars-dimbani-tena-leo-Brazil</link>
					  <description>Stars dimbani tena leo Brazil kucheza mechi yake ya pili ya kujipima nguvu dhidi ya timu ya Nova-Ituacu katika mchezo utakaopigwa katika jiji la Rio de Jeneiro.</description>
					  <author>info@habaritanzania.com (Habari Tanzania)</author>
					  <pubDate>Tue, 13 Feb 2007 00:00:00 -0600</pubDate>
					 
					</item>

				

					<item>
					  <title>Kizota afariki, azikwa Dar</title>
					  <link>http://www.habaritanzania.com/articles/2954/1/Kizota-afariki%2C-azikwa-Dar</link>
					  <description>MSHAMBULIAJI wa zamani wa klabu ya soka ya Yanga na timu ya taifa, Taifa Stars, Said Nassoro Mwamba 'Kizota' (42), amefariki dunia juzi jioni baada ya kugongwa na daladala kwenye kituo cha mafuta cha Oil Com, kilichopo Barabara ya Mandela maeneo ya Vetenari, Temeke, Dar es Salaam.</description>
					  <author>info@habaritanzania.com (Habari Tanzania)</author>
					  <pubDate>Tue, 13 Feb 2007 00:00:00 -0600</pubDate>
					 
					</item>

				

					<item>
					  <title>Texitile de Pungue yaingusha Simba Tanzania</title>
					  <link>http://www.habaritanzania.com/articles/2940/1/Texitile-de-Pungue-yaingusha-Simba-Tanzania</link>
					  <description>SIMANZI, huzuni na majonzi vilitawala jana kwenye Uwanja wa Taifa Dar es Salaam baada ya Simba kutupwa nje ya michuano ya Kombe la Shirikisho la Soka Afrika kwa mikwaju ya penalti.</description>
					  <author>info@habaritanzania.com (Habari Tanzania)</author>
					  <pubDate>Mon, 12 Feb 2007 00:00:00 -0600</pubDate>
					 
					</item>

				

					<item>
					  <title>Taifa Stars gumzo mkutano wa CAF Sudan</title>
					  <link>http://www.habaritanzania.com/articles/2939/1/Taifa-Stars-gumzo-mkutano-wa-CAF-Sudan</link>
					  <description>TIMU ya Taifa ya Tanzania, Taifa Stars imepongezwa kwa kufanya vyema katika michuano ya kuwania nafasi ya kushiriki katika Fainali za Mataifa ya Afrika Yaliyopangwa kufanyika nchini Ghana mwakani.</description>
					  <author>info@habaritanzania.com (Habari Tanzania)</author>
					  <pubDate>Mon, 12 Feb 2007 00:00:00 -0600</pubDate>
					 
					</item>

				

					<item>
					  <title>ZFA wazidi kuvurugana</title>
					  <link>http://www.habaritanzania.com/articles/2924/1/ZFA-wazidi-kuvurugana</link>
					  <description>CHAMA cha Soka ZFA - Kisiwani Pemba, kimesema hakiutambui waraka wa maombi ya kutaka kukutana na Rais wa Zanzibar, Amani Abeid Karume, kujadili mgogoro kati ya ZFA na Naibu Waziri Kiongozi, Ali Juma Shamuhuna.</description>
					  <author>info@habaritanzania.com (Habari Tanzania)</author>
					  <pubDate>Sun, 11 Feb 2007 00:00:00 -0600</pubDate>
					 
					</item>

				

					<item>
					  <title>Simba kuwatafuna Textile du Pungue</title>
					  <link>http://www.habaritanzania.com/articles/2923/1/Simba-kuwatafuna-Textile-du-Pungue</link>
					  <description>WAWAKILISHI wa Tanzania kwenye michuano ya Kombe la Shirikisho, Simba, leo wanatupa karata muhimu itakayoamua hatma yao kwenye michuano hiyo ya pili kwa ukubwa Afrika kwa ngazi ya klabu.</description>
					  <author>info@habaritanzania.com (Habari Tanzania)</author>
					  <pubDate>Sun, 11 Feb 2007 00:00:00 -0600</pubDate>
					 
					</item>

				

					<item>
					  <title>MBIKI MSUMI: Miss Tanzania aliyejitosa kwenye siasa</title>
					  <link>http://www.habaritanzania.com/articles/2919/1/MBIKI-MSUMI%3A-Miss-Tanzania-aliyejitosa-kwenye-siasa</link>
					  <description>MARA baada ya Jaji Ramesh Shah kumtangaza mshindi wa shindano la Miss Tanzania kwa mwaka 2002, wengi walishangazwa kusikia Mbiki Msumi ameshika namba mbili!</description>
					  <author>info@habaritanzania.com (Habari Tanzania)</author>
					  <pubDate>Sun, 11 Feb 2007 00:00:00 -0600</pubDate>
					 
					</item>

				

					<item>
					  <title>Simba wakwama kwenda Brazil</title>
					  <link>http://www.habaritanzania.com/articles/2907/1/Simba-wakwama-kwenda-Brazil</link>
					  <description>SHIRIKISHO la soka nchini TFF limesema kuwa wachezaji wa Simba waliomo kwenye kikosi cha Stars, wataondoka Februari 17 badala ya Februari 12 ya awali.</description>
					  <author>info@habaritanzania.com (Habari Tanzania)</author>
					  <pubDate>Sat, 10 Feb 2007 00:00:00 -0600</pubDate>
					 
					</item>

				

					<item>
					  <title>Simba watamba kuifunga Msumbiji bila Kisiga, Gabriel</title>
					  <link>http://www.habaritanzania.com/articles/2906/1/Simba-watamba-kuifunga-Msumbiji-bila-Kisiga%2C-Gabriel</link>
					  <description>KOCHA wa timu ya Simba ya Dar es Salaam, Madaraka Bendera, amesema timu yake imetimia na ina uwezo wa kuitupa nje ya michuano ya Kombe la Shirikisho la Soka Afrika, Texitile de Pungue ya Msumbiji.</description>
					  <author>info@habaritanzania.com (Habari Tanzania)</author>
					  <pubDate>Sat, 10 Feb 2007 00:00:00 -0600</pubDate>
					 
					</item>

				

					<item>
					  <title>Polisi Zanzibar kibarua kigumu leo</title>
					  <link>http://www.habaritanzania.com/articles/2905/1/Polisi-Zanzibar-kibarua-kigumu-leo</link>
					  <description>WAWAKILISHI wa Zanzibar kwenye Ligi ya Mabingwa Afrika, Polisi ya Zanzibar imekiri kuwa leo ina kazi ngumu kwenye Uwanja wa Amaan itakapoivaa El Hilal ya Sudan.</description>
					  <author>info@habaritanzania.com (Habari Tanzania)</author>
					  <pubDate>Sat, 10 Feb 2007 00:00:00 -0600</pubDate>
					 
					</item>

				

					<item>
					  <title>Yanga waendelea kumbana Malinzi</title>
					  <link>http://www.habaritanzania.com/articles/2889/1/Yanga-waendelea-kumbana-Malinzi</link>
					  <description>VIONGOZI wa matawi ya klabu ya Yanga, wamepinga shutuma zilizotolewa na Katibu Mkuu wa zamani wa klabu hiyo, Jamal Malinzi, dhidi ya Rais wao, wakimtaka aache kuivuruga klabu hiyo. </description>
					  <author>info@habaritanzania.com (Habari Tanzania)</author>
					  <pubDate>Fri, 09 Feb 2007 00:00:00 -0600</pubDate>
					 
					</item>

				

					<item>
					  <title>Kocha apewa mkataba Simba SC</title>
					  <link>http://www.habaritanzania.com/articles/2888/1/Kocha-apewa-mkataba-Simba-SC</link>
					  <description>SIKU moja baada ya kutishia kufungasha virago vyake, Kocha Madaraka Bendera, ameingia mkataba wa mwaka mmoja wa kuifundisha Simba. Bendera aliwasili Dar es Salaam, mwanzoni mwa Januari akitokea kwao Arusha, kwa ajili ya kuifundisha Simba kama Kocha Msaidizi, lakini alikuwa akipigwa 'danadana' kuhusu kusaini mkataba mpaka alipotishia kuitosa timu hiyo juzi. </description>
					  <author>info@habaritanzania.com (Habari Tanzania)</author>
					  <pubDate>Fri, 09 Feb 2007 00:00:00 -0600</pubDate>
					 
					</item>

				

					<item>
					  <title>Mawakala 30 wakataliwa kuandaa Miss Utalii Tanzania</title>
					  <link>http://www.habaritanzania.com/articles/2876/1/Mawakala-30-wakataliwa-kuandaa-Miss-Utalii-Tanzania</link>
					  <description>BODI ya wakurugenzi ya Miss Tourism Tanzania Beauty Pageant imeyakataa maombi 30 ya Kampuni za watu binafsi ya kuandaa Mashindano ya ngazi za Mikoa ya Miss Utalii Tanzania 2007 kwa kushindwa kufikia viwango.</description>
					  <author>info@habaritanzania.com (Habari Tanzania)</author>
					  <pubDate>Thu, 08 Feb 2007 00:00:00 -0600</pubDate>
					 
					</item>

				

					<item>
					  <title>Aliyemuigiza Idi Amin atamba</title>
					  <link>http://www.habaritanzania.com/articles/2875/1/Aliyemuigiza-Idi-Amin-atamba</link>
					  <description>INAWEZA kuishia kuwa nafasi ya maisha yake yote kwa mcheza sinema Forest Whitaker, na kama ni hivyo, msanii huyo anasema imemchukua umri wake wote na uzoefu kufanikisha hilo.</description>
					  <author>info@habaritanzania.com (Habari Tanzania)</author>
					  <pubDate>Thu, 08 Feb 2007 00:00:00 -0600</pubDate>
					 
					</item>

				

					<item>
					  <title>Ghana yainyanyasa Nigeria</title>
					  <link>http://www.habaritanzania.com/articles/2874/1/Ghana-yainyanyasa-Nigeria</link>
					  <description>TIMU ya taifa ya Ghana juzi ilipata ushindi mnono wa mabao 4-1 dhidi ya jirani zao wa Nigeria katika mchezo wa kirafiki, ukiwa ni ushindi wao wa kwanza katika kipindi cha miaka 15 iliyopita.</description>
					  <author>info@habaritanzania.com (Habari Tanzania)</author>
					  <pubDate>Thu, 08 Feb 2007 00:00:00 -0600</pubDate>
					 
					</item>

				

					<item>
					  <title> Malinzi aibuka asema chonde chonde Kifukwe</title>
					  <link>http://www.habaritanzania.com/articles/2860/1/-Malinzi-aibuka-asema-chonde-chonde-Kifukwe</link>
					  <description>KATIBU mkuu wa zamani wa Yanga, Jamal Malinzi, aliyekuwa amepotea kwenye          siasa za Yanga, jana aliibuka na kumwandikia rais wa klabu hiyo, Francis          Kifukwe akimuonya asithubutu kuitisha uchaguzi utakaoshiriki makundi matatu          yaliyokuwa yakipingana.</description>
					  <author>info@habaritanzania.com (Habari Tanzania)</author>
					  <pubDate>Wed, 07 Feb 2007 00:00:00 -0600</pubDate>
					 
					</item>

				

					<item>
					  <title> Tanzania imepeleka majeruhi kujifunza soka Brazil</title>
					  <link>http://www.habaritanzania.com/articles/2857/1/-Tanzania-imepeleka-majeruhi-kujifunza-soka-Brazil</link>
					  <description>KATIKA hali isiyo ya kawaida, Shirikisho la Soka (TFF) limesema lilipeleka          wachezaji watatu majeruhi kwenye ziara ya mwezi mmoja ya timu ya taifa          nchini Brazil.</description>
					  <author>info@habaritanzania.com (Habari Tanzania)</author>
					  <pubDate>Wed, 07 Feb 2007 00:00:00 -0600</pubDate>
					 
					</item>

				

					<item>
					  <title>Wenger ahofia Lehmann kutimka</title>
					  <link>http://www.habaritanzania.com/articles/2831/1/Wenger-ahofia-Lehmann-kutimka</link>
					  <description>KOCHA wa Arsenal, Arsene Wenger amekiri kuwa kipa wa kimataifa wa Ujerumani, Jens Lehmann anaweza kuikacha klabu hiyo.</description>
					  <author>info@habaritanzania.com (Habari Tanzania)</author>
					  <pubDate>Sun, 04 Feb 2007 00:00:00 -0600</pubDate>
					 
					</item>

				

					<item>
					  <title>Chamangwana kuendelea kuula Yanga</title>
					  <link>http://www.habaritanzania.com/articles/2830/1/Chamangwana-kuendelea-kuula-Yanga</link>
					  <description>ALIYEKUWA kocha mkuu wa mabingwa wa soka Tanzania Bara, Yanga, Mmalawi Jack Chamangwana anatarajia kusaini mktaba mpya na klabu hiyo mwezi ujao.</description>
					  <author>info@habaritanzania.com (Habari Tanzania)</author>
					  <pubDate>Sun, 04 Feb 2007 00:00:00 -0600</pubDate>
					 
					</item>

				

					<item>
					  <title>Madereva 19 wathibitisha &#39;Africa Rally&#39; Dar</title>
					  <link>http://www.habaritanzania.com/articles/2820/1/Madereva-19-wathibitisha-%26%2339%3BAfrica-Rally%26%2339%3B-Dar</link>
					  <description>BINGWA mtetezi wa mashindano ya mbio za magari Afrika, Muna Sighn kutoka Zambia, ni miongoni mwa madereva 19 waliothibitisha kushiriki shindano la ubingwa wa Afrika, litakalofanyika Februari 9 hadi 11jijini Dar es Salaam.</description>
					  <author>info@habaritanzania.com (Habari Tanzania)</author>
					  <pubDate>Sat, 03 Feb 2007 00:00:00 -0600</pubDate>
					 
					</item>

				

					<item>
					  <title>Liverpool kiboko ya Chelsea, Man U, Arsenal</title>
					  <link>http://www.habaritanzania.com/articles/2819/1/Liverpool-kiboko-ya-Chelsea%2C-Man-U%2C-Arsenal</link>
					  <description>LIVERPOOL ni klabu iliyofanya usajili wa maana kabla ya kumalizika kwa kipindi kidogo cha uhamisho cha Januari, huku Arsenal, Chelsea na Manchester United zote zikimaliza bila sura mpya kwenye mazoezi yao.</description>
					  <author>info@habaritanzania.com (Habari Tanzania)</author>
					  <pubDate>Sat, 03 Feb 2007 00:00:00 -0600</pubDate>
					 
					</item>

				

					<item>
					  <title>TFF kuujadili uongozi wa Ndolanga, Wambura</title>
					  <link>http://www.habaritanzania.com/articles/2818/1/TFF-kuujadili-uongozi-wa-Ndolanga%2C-Wambura</link>
					  <description>UBADHIRIFU mkubwa unaotuhumiwa kufanywa wakati wa uongozi uliopita wa Shirikisho la Soka (TFF), uliokuwa chini ya Mwenyekiti wa Muhidin Ndolanga na Katibu Mkuu Michael Wambura utajadiliwa kwenye mkutano mkuu uliopangwa kufanyika Februari 24, kwenye ukumbi wa NSSF Waterfront jijini Dar es Salaam.</description>
					  <author>info@habaritanzania.com (Habari Tanzania)</author>
					  <pubDate>Sat, 03 Feb 2007 00:00:00 -0600</pubDate>
					 
					</item>

				

					<item>
					  <title>Kuondoka kwa Iddi Simba yakimbilia kwa waziri</title>
					  <link>http://www.habaritanzania.com/articles/2817/1/Kuondoka-kwa-Iddi-Simba-yakimbilia-kwa-waziri</link>
					  <description>UONGOZI wa Simba umemwandikia barua Waziri wa Habari, Utamaduni na Michezo ukidai kuwa umedhalilishwa kutokana na kitendo cha Shirikisho la Soka (TFF) kumsafirisha kiungo Athuman Iddi kwenda Brazil na timu ya taifa bila ya ridhaa ya klabu yake.</description>
					  <author>info@habaritanzania.com (Habari Tanzania)</author>
					  <pubDate>Sat, 03 Feb 2007 00:00:00 -0600</pubDate>
					 
					</item>

				

					<item>
					  <title>Athuman Idd aomba radhi Simba, aenda Brazil</title>
					  <link>http://www.habaritanzania.com/articles/2799/1/Athuman-Idd-aomba-radhi-Simba%2C-aenda-Brazil</link>
					  <description>KIUNGO wa Simba, Athuman Idd ameuomba radhi uongozi wa klabu ya Simba          na kuutaka umpe ruhusa ya kujiunga na watani wake wa jadi Yanga kwa ajili          ya msimu wa mwaka 2007/2008.</description>
					  <author>info@habaritanzania.com (Habari Tanzania)</author>
					  <pubDate>Fri, 02 Feb 2007 00:00:00 -0600</pubDate>
					 
					</item>

				

					<item>
					  <title>Watoto wa Bob Marley kufanya tamasha</title>
					  <link>http://www.habaritanzania.com/articles/2800/1/Watoto-wa-Bob-Marley-kufanya-tamasha</link>
					  <description>WATOTO wanne wa kiume wa Bob Marley watafanya onyesho kwa ajili ya kumbukumbu          ya mwaka 62 tangu kuzaliwa ya mwanamuziki huyo aliyekuwa nyota wa miondoko          ya reggae, msemaji wa familia yake alisema juzi.</description>
					  <author>info@habaritanzania.com (Habari Tanzania)</author>
					  <pubDate>Thu, 01 Feb 2007 00:00:00 -0600</pubDate>
					 
					</item>

				

					<item>
					  <title>Materazzi hudondoka kwa urahisi - Domenech</title>
					  <link>http://www.habaritanzania.com/articles/2777/1/Materazzi-hudondoka-kwa-urahisi---Domenech</link>
					  <description>KOCHA wa Ufaransa, Raymond Domenech &#34;amepiga teke&#34; dhidi ya mchezaji wa kimataifa wa Italia, Marco Materazzi baada ya beki huyo wa kati kupigwa tena kichwa katika mechi ya ligi.</description>
					  <author>info@habaritanzania.com (Habari Tanzania)</author>
					  <pubDate>Wed, 31 Jan 2007 00:00:00 -0600</pubDate>
					 
					</item>

				

					<item>
					  <title>Simba wakiri kuwa wana kazi ngumu kwa timu ya Msumbiji</title>
					  <link>http://www.habaritanzania.com/articles/2776/1/Simba-wakiri-kuwa-wana-kazi-ngumu-kwa-timu-ya-Msumbiji</link>
					  <description>WAWAKILISHI wa Tanzania kwenye mashindano ya Kombe la Shirikisho, Simba walirejea nchini jana kutoka Msumbiji na kutahadharisha kuwa mechi ya marudiano dhidi ya Pungue Textile ya itakuwa ngumu.</description>
					  <author>info@habaritanzania.com (Habari Tanzania)</author>
					  <pubDate>Wed, 31 Jan 2007 00:00:00 -0600</pubDate>
					 
					</item>

				

					<item>
					  <title>Maximo ataja 24 wa Brazil, Mnyanuru, Barnabas watemwa</title>
					  <link>http://www.habaritanzania.com/articles/2761/1/Maximo-ataja-24-wa-Brazil%2C-Mnyanuru%2C-Barnabas-watemwa</link>
					  <description>KOCHA Mkuu wa timu ya soka ya Tanzania (Taifa Stars), Marcio Maximo, jana alitangaza nyota 24 watakaokuwamo kwenye ziara ya Brazil, huku Alvis Mnyanuru, anayekipiga DC ya Marekani, akitemwa.</description>
					  <author>info@habaritanzania.com (Habari Tanzania)</author>
					  <pubDate>Tue, 30 Jan 2007 00:00:00 -0600</pubDate>
					 
					</item>

				

					<item>
					  <title>Kaniki aiokoa Simba Msumbiji</title>
					  <link>http://www.habaritanzania.com/articles/2750/1/Kaniki-aiokoa-Simba-Msumbiji</link>
					  <description>TIMU ya Simba ya Dar es Salaam, jana ililazimisha sare ya ugenini baada ya kufungana 1-1 na Textile de Pongue ya Msumbiji kwenye mechi iliyopigwa mjini hapa.</description>
					  <author>info@habaritanzania.com (Habari Tanzania)</author>
					  <pubDate>Mon, 29 Jan 2007 00:00:00 -0600</pubDate>
					 
					</item>

				

					<item>
					  <title>Waziri Khatib ajitetea kuibeba soka</title>
					  <link>http://www.habaritanzania.com/articles/2715/1/Waziri-Khatib-ajitetea-kuibeba-soka</link>
					  <description>WAZIRI wa Habari, Utamaduni na Michezo, Muhammad Seif Khatib, ametetea kauli yake kusema kuwa serikali itatolea macho soka kwa kuwa ni mchezo unaopendwa na wengi.</description>
					  <author>info@habaritanzania.com (Habari Tanzania)</author>
					  <pubDate>Fri, 26 Jan 2007 00:00:00 -0600</pubDate>
					 
					</item>

				

					<item>
					  <title>Tuko wawazi na fedha za watu - Tenga</title>
					  <link>http://www.habaritanzania.com/articles/2714/1/Tuko-wawazi-na-fedha-za-watu---Tenga</link>
					  <description>RAIS wa Shirikisho la Soka Tanzania, TFF amesema shirikisho lake litakuwa wazi kwa kila senti inayoyotolewa kwa wafadhili mbalimbali kwenye timu ya taifa na mambo mengine.</description>
					  <author>info@habaritanzania.com (Habari Tanzania)</author>
					  <pubDate>Fri, 26 Jan 2007 00:00:00 -0600</pubDate>
					 
					</item>

				

					<item>
					  <title>Yanga yambana Micho</title>
					  <link>http://www.habaritanzania.com/articles/2706/1/Yanga-yambana-Micho</link>
					  <description>SIKU moja baada ya Kocha Sredojevic Milutin 'Micho', wa Serbia kusaini mkataba wa miaka miwili ya kuinoa Yanga, jana jioni alikabidhiwa mikoba kwa ajili ya kuiandaa timu kwa mechi ya kimataifa dhidi ya AGSM ya Comoro.</description>
					  <author>info@habaritanzania.com (Habari Tanzania)</author>
					  <pubDate>Thu, 25 Jan 2007 00:00:00 -0600</pubDate>
					 
					</item>

				

					<item>
					  <title>CAF yaitia kiwewe Simba</title>
					  <link>http://www.habaritanzania.com/articles/2705/1/CAF-yaitia-kiwewe-Simba</link>
					  <description>HATUA ya Shirikisho la Soka Afrika (CAF), kuzuia leseni ya kiungo wake Athumani Idd, imeichanganya klabu ya Simba ambayo sasa imeamua kuhoji kulikoni.</description>
					  <author>info@habaritanzania.com (Habari Tanzania)</author>
					  <pubDate>Thu, 25 Jan 2007 00:00:00 -0600</pubDate>
					 
					</item>

				

					<item>
					  <title>Simba bado yamuota Santos</title>
					  <link>http://www.habaritanzania.com/articles/2687/1/Simba-bado-yamuota-Santos</link>
					  <description>LICHA ya Kocha mkuu wa Simba, Mbrazil Neider dos Santos, kushindwa kurejea kwa wakati, uongozi wa klabu hiyo ungali na matumaini kuwa atarejea na kuinoa timu hiyo.</description>
					  <author>info@habaritanzania.com (Habari Tanzania)</author>
					  <pubDate>Tue, 23 Jan 2007 00:00:00 -0600</pubDate>
					 
					</item>

				

					<item>
					  <title>Dau la Micho laishinda Yanga</title>
					  <link>http://www.habaritanzania.com/articles/2686/1/Dau-la-Micho-laishinda-Yanga</link>
					  <description>VIONGOZI wa klabu ya Yanga wameshindwa kufikia muafaka na Kocha Sredojevic Milutin 'Micho', kuhusu maslahi.</description>
					  <author>info@habaritanzania.com (Habari Tanzania)</author>
					  <pubDate>Tue, 23 Jan 2007 00:00:00 -0600</pubDate>
					 
					</item>

				

					<item>
					  <title>'Micho' atua kwa kishindo Dar</title>
					  <link>http://www.habaritanzania.com/articles/2675/1/%91Micho%92-atua-kwa-kishindo-Dar</link>
					  <description>HATIMAYE Kocha Sredojevic Milutin 'Micho', raia wa Serbia, jana alitua nchini kwa mazungumzo na uongozi wa klabu ya Yanga huku akisema ana uwezo wa kuipaisha timu hiyo kimataifa.</description>
					  <author>info@habaritanzania.com (Habari Tanzania)</author>
					  <pubDate>Mon, 22 Jan 2007 00:00:00 -0600</pubDate>
					 
					</item>

				

					<item>
					  <title>Sudan pekee wajitokeza kuandaa Kombe la Kagame mwakani</title>
					  <link>http://www.habaritanzania.com/articles/2616/1/Sudan-pekee-wajitokeza-kuandaa-Kombe-la-Kagame-mwakani</link>
					  <description>SUDAN ndiyo nchi pekee ambayo hadi sasa imeomba kuandaa mashindano ya Kombe la Kagame yaliyopangwa kufanyika Januari mwakani.</description>
					  <author>info@habaritanzania.com (Habari Tanzania)</author>
					  <pubDate>Wed, 17 Jan 2007 00:00:00 -0600</pubDate>
					 
					</item>

				

					<item>
					  <title>Viongozi washangazwa na kauli ya Waziri wa Michezo</title>
					  <link>http://www.habaritanzania.com/articles/2615/1/Viongozi-washangazwa-na-kauli-ya-Waziri-wa-Michezo</link>
					  <description>VIONGOZI wa vyama mbalimbali vya michezo wameelezwa kushtushwa kwao na kauli ya Waziri wa Habari, Utamaduni na Michezo, Seif Muhammed Khatib kuwa ni &#34;wendawazimu&#34; kwa serikali kusaidia vyama ambavyo michezo yake haina mashabiki wengi, wakisema kauli hiyo inatia aibu.</description>
					  <author>info@habaritanzania.com (Habari Tanzania)</author>
					  <pubDate>Wed, 17 Jan 2007 00:00:00 -0600</pubDate>
					 
					</item>

				

					<item>
					  <title>Mali za Whitney Houston zanadiwa</title>
					  <link>http://www.habaritanzania.com/articles/2580/1/Mali-za-Whitney-Houston-zanadiwa</link>
					  <description>MAMIA ya mali za mwanamuziki maarufu duniani, Whitney Houston yameuzwa katika mnada katika bohari lililopo Irvington, jimboni humu, baada ya mwanamuziki huyo kushindwa kulipia ada ya matuzo.</description>
					  <author>info@habaritanzania.com (Habari Tanzania)</author>
					  <pubDate>Sun, 14 Jan 2007 00:00:00 -0600</pubDate>
					 
					</item>

				

					<item>
					  <title>Tanzania kuiondoa tena Ethiopia leo?</title>
					  <link>http://www.habaritanzania.com/articles/2579/1/Tanzania-kuiondoa-tena-Ethiopia-leo%3F</link>
					  <description>TIMU ya vijana chini ya umri wa miaka 23 itashuka dimbani leo kumenyana na Ethiopia kwenye mchezo wa marudiano kuwania nafasi ya kushiriki ktika michuano ya Mataifa ya Afrika.</description>
					  <author>info@habaritanzania.com (Habari Tanzania)</author>
					  <pubDate>Sun, 14 Jan 2007 00:00:00 -0600</pubDate>
					 
					</item>

				

					<item>
					  <title>Askari 250 wanalinda mechi moja Kigali</title>
					  <link>http://www.habaritanzania.com/articles/2578/1/Askari-250-wanalinda-mechi-moja-Kigali</link>
					  <description>MASHINDANO ya kombe ya Kagame yanayoendelea jijini hapa yamekuwa chini ulinzi mkali na na kila siku askari zaidi ya 250 wamekuwa wakilinda uwanja wa Amahoro wakati wa mechi.</description>
					  <author>info@habaritanzania.com (Habari Tanzania)</author>
					  <pubDate>Sun, 14 Jan 2007 00:00:00 -0600</pubDate>
					 
					</item>

				

					<item>
					  <title>Mourinho: Chelsea sasa basi</title>
					  <link>http://www.habaritanzania.com/articles/2570/1/Mourinho%3A-Chelsea-sasa-basi</link>
					  <description>KOCHA mkuu wa Chelsea, Jose Mourinho, ametangaza kuondoka katika klabu yake ya Chelsea ifikapo Mei mwaka huu</description>
					  <author>info@habaritanzania.com (Habari Tanzania)</author>
					  <pubDate>Sat, 13 Jan 2007 00:00:00 -0600</pubDate>
					 
					</item>

				

					<item>
					  <title>Mbio za Maulid kivutio Kigali, Ngassa awa kero</title>
					  <link>http://www.habaritanzania.com/articles/2534/1/Mbio-za-Maulid-kivutio-Kigali%2C-Ngassa-awa-kero</link>
					  <description>WINGA wa Yanga, Said Maulid amekuwa kivutio kikubwa kwa mashabiki wa soka na ndiye gumzo zaidi hapa katika michuano ya Kombe la Kagame inayoendelea mjini hapa.</description>
					  <author>info@habaritanzania.com (Habari Tanzania)</author>
					  <pubDate>Tue, 09 Jan 2007 00:00:00 -0600</pubDate>
					 
					</item>

				

					<item>
					  <title>Mwalala hawezi kucheza dakika 90</title>
					  <link>http://www.habaritanzania.com/articles/2533/1/Mwalala-hawezi-kucheza-dakika-90</link>
					  <description>MSHAMBULIAJI wa kimataifa wa Yanga, Bernard Mwalala amesema hawezi kucheza dakika 90 kwa vile anahisi maumivu katika mbavu za kushoto. Akizungumza na Mwananchi jana asubuhi, Mwalala alisema kuwa hali hiyo inatokana na ajali aliyoipata jijini Nairobi siku chache kabla ya kujiunga na kikosi cha Yanga kwa ajili ya michuano ya Kombe la Kagame.</description>
					  <author>info@habaritanzania.com (Habari Tanzania)</author>
					  <pubDate>Tue, 09 Jan 2007 00:00:00 -0600</pubDate>
					 
					</item>

				

					<item>
					  <title>Cecafa: Tumeridhishwa na mashindano</title>
					  <link>http://www.habaritanzania.com/articles/2532/1/Cecafa%3A-Tumeridhishwa-na-mashindano</link>
					  <description>KATIBU Mkuu wa Baraza la Vyama vya Soka la Afrika Mashariki na Kati (Cecafa), Nicholaus Musonye amesema wameridhishwa na jinsi michuano ya Kombe la Kagame inavyoendeshwa jijini hapa.</description>
					  <author>info@habaritanzania.com (Habari Tanzania)</author>
					  <pubDate>Tue, 09 Jan 2007 00:00:00 -0600</pubDate>
					 
					</item>

				

					<item>
					  <title>APR yainyemelea Yanga Rwanda</title>
					  <link>http://www.habaritanzania.com/articles/2521/1/APR-yainyemelea-Yanga-Rwanda</link>
					  <description>LICHA ya timu zote kucheza soka safi na la kuvutia, wenyeji APR juzi walianza vyema mashindano ya Kombe la Kagame walipoilaza Vital'O ya Burundi kwa mabao 3-0 katika mechi ya pili ya siku ya fungua dimba iliyofanyika kwenye Uwanja wa Amahoro.</description>
					  <author>info@habaritanzania.com (Habari Tanzania)</author>
					  <pubDate>Mon, 08 Jan 2007 00:00:00 -0600</pubDate>
					 
					</item>

				

					<item>
					  <title>Alsenal yawavua ubingwa Liverpool</title>
					  <link>http://www.habaritanzania.com/articles/2520/1/Alsenal-yawavua-ubingwa-Liverpool</link>
					  <description>ARSENAL juzi iliwavua Liverpool ubingwa wa Kombe la FA baada ya kuwachapa magoli 3-1, mawili yakiwa yamefungwa na Tomas Rosicky na jingine na nahodha Thierry Henry katika shambulizi la kushtukiza la mwisho kwenye mechi hiyo iliyofanyika Uwanja wa Anfield.</description>
					  <author>info@habaritanzania.com (Habari Tanzania)</author>
					  <pubDate>Mon, 08 Jan 2007 00:00:00 -0600</pubDate>
					 
					</item>

				

					<item>
					  <title>Umaarufu waiponza Yanga Rwanda, Mwalala aonja joto ya jiwe</title>
					  <link>http://www.habaritanzania.com/articles/2519/1/Umaarufu-waiponza-Yanga-Rwanda%2C-Mwalala-aonja-joto-ya-jiwe</link>
					  <description>KUFAHAMIKA sana mjini hapa kumewaponza mabingwa wa soka wa Tanzania Bara, Yanga na sasa wanalazimika kustahimili hali ya kukosa mashabiki na kuzomewa wanapocheza mechi.</description>
					  <author>info@habaritanzania.com (Habari Tanzania)</author>
					  <pubDate>Mon, 08 Jan 2007 00:00:00 -0600</pubDate>
					 
					</item>

				

					<item>
					  <title>Viongozi TEFA wapigwa chini</title>
					  <link>http://www.habaritanzania.com/articles/2459/1/Viongozi-TEFA-wapigwa-chini</link>
					  <description>KAMATI ya Utendaji ya Chama cha Soka Wilaya ya Temeke (TEFA), leo imetakiwa kukabidhi ofisi za chama hicho kwa Kamati ya Ligi ya Taifa wilayani humo baada ya muda wa siku 90 kumalizika rasmi leo.</description>
					  <author>info@habaritanzania.com (Habari Tanzania)</author>
					  <pubDate>Mon, 25 Dec 2006 00:00:00 -0600</pubDate>
					 
					</item>

				

					<item>
					  <title>Mgosi kwaheri Simba SC</title>
					  <link>http://www.habaritanzania.com/articles/2458/1/Mgosi-kwaheri-Simba-SC</link>
					  <description>KIUNGO mshambuliaji wa kimataifa wa Tanzania anayechezea klabu ya Simba ya Dar es Salaam, Mussa Hassan Mgosi, anatarajia kuondoka nchini mapema mwakani, kwenda Dubai kucheza soka ya kulipwa.</description>
					  <author>info@habaritanzania.com (Habari Tanzania)</author>
					  <pubDate>Mon, 25 Dec 2006 00:00:00 -0600</pubDate>
					 
					</item>

				

					<item>
					  <title>Mambo sasa yaiva Jangwani</title>
					  <link>http://www.habaritanzania.com/articles/2457/1/Mambo-sasa-yaiva-Jangwani</link>
					  <description>KLABU ya Yanga ya Dar es Salaam, imeliomba Shirikisho la Soka Tanzania (TFF), iutumie Uwanja wa Karume kwa ajili ya mazoezi ya kujiandaa kwa michuano ya Klabu Bingwa Afrika Mashariki na Kati (Kombe la Kagame).</description>
					  <author>info@habaritanzania.com (Habari Tanzania)</author>
					  <pubDate>Mon, 25 Dec 2006 00:00:00 -0600</pubDate>
					 
					</item>

				

					<item>
					  <title>Uchaguzi TEFA vurugu tupu</title>
					  <link>http://www.habaritanzania.com/articles/2420/1/Uchaguzi-TEFA-vurugu-tupu</link>
					  <description>UNAWEZA kusema ni vurugu tupu inayoendelea ndani ya Chama Cha Soka Temeke (TEFA), kwani wakati viongozi walioko madarakani wakipiga hodi kwa waziri, Kamati ya Michezo imeagiza uchaguzi mkuu ufanyike Januari 13, mwakani.</description>
					  <author>info@habaritanzania.com (Habari Tanzania)</author>
					  <pubDate>Fri, 22 Dec 2006 00:00:00 -0600</pubDate>
					 
					</item>

				

					<item>
					  <title>Ronaldinho aomba uraia Hispania</title>
					  <link>http://www.habaritanzania.com/articles/2419/1/Ronaldinho-aomba-uraia-Hispania</link>
					  <description>RONALDINHO Gaucho, mshambuliaji wa klabu bingwa ya Ulaya, Barcelona na timu ya taifa ya Brazil, amewasilisha nyaraka katika mahakama ya Gava nchini hapa kuomba uraia.</description>
					  <author>info@habaritanzania.com (Habari Tanzania)</author>
					  <pubDate>Fri, 22 Dec 2006 00:00:00 -0600</pubDate>
					 
					</item>

				

					<item>
					  <title>BMZ yamrudisha Bushiri Stars</title>
					  <link>http://www.habaritanzania.com/articles/2418/1/BMZ-yamrudisha-Bushiri-Stars</link>
					  <description>BARAZA la Michezo la Zanzibar (BMZ), limepinga hatua ya Chama cha Soka Zanzibar (ZFA), kumvua madaraka ya ukocha msaidizi wa timu ya taifa ya Tanzania, Taifa Stars, Ali Bushiri.</description>
					  <author>info@habaritanzania.com (Habari Tanzania)</author>
					  <pubDate>Fri, 22 Dec 2006 00:00:00 -0600</pubDate>
					 
					</item>

				

					<item>
					  <title>Mexime akubali kusomea ukocha</title>
					  <link>http://www.habaritanzania.com/articles/2390/1/Mexime-akubali-kusomea-ukocha</link>
					  <description>NAHODHA wa timu ya taifa ya Tanzania 'Taifa Stars', Mecky Mexime, amekubali ushauri wa Kocha Mkuu wa timu hiyo, Mbrazil Marcio Maximo, wa kutaka aachane na soka ili asomee ukocha, ingawa atafanya hivyo miaka mitatu ijayo.</description>
					  <author>info@habaritanzania.com (Habari Tanzania)</author>
					  <pubDate>Tue, 19 Dec 2006 00:00:00 -0600</pubDate>
					 
					</item>

				

					<item>
					  <title>Athumani Idd aiburuza Simba Polisi</title>
					  <link>http://www.habaritanzania.com/articles/2389/1/Athumani-Idd-aiburuza-Simba-Polisi</link>
					  <description>SAKATA la kiungo wa klabu ya Simba na timu ya taifa 'Taifa Stars', Athumani Idd, limechukua sura mpya baada mchezaji huyo, jana, kulifikisha Kituo Kikuu cha Polisi Mkoa wa Dar es Salaam, akidai viongozi wa Simba, wameghushi saini yake katika fomu za usajili zilizotumwa Shirikisho la Soka Afrika (CAF).</description>
					  <author>info@habaritanzania.com (Habari Tanzania)</author>
					  <pubDate>Tue, 19 Dec 2006 00:00:00 -0600</pubDate>
					 
					</item>

				

					<item>
					  <title>Viwanja 9 kuwaka moto leo</title>
					  <link>http://www.habaritanzania.com/articles/2370/1/Viwanja-9-kuwaka-moto-leo</link>
					  <description>WAKATI mabingwa watetezi wa Kombe la Taifa, Mapinduzi Stars ya Mbeya ikisonga mbele hadi hatua ya pili, leo viwanja tisa vinatarajiwa kuwaka moto katika michezo ya ufunguzi kabla ya kesho kuendelea kwa mchezo mmoja.</description>
					  <author>info@habaritanzania.com (Habari Tanzania)</author>
					  <pubDate>Sat, 16 Dec 2006 00:00:00 -0600</pubDate>
					 
					</item>

				

					<item>
					  <title>Yanga yalia na TFF</title>
					  <link>http://www.habaritanzania.com/articles/2369/1/Yanga-yalia-na-TFF</link>
					  <description>UONGOZI wa Klabu ya Yanga umeshitushwa na Shirikisho la Soka Tanzania (TFF) kutounga mkono hoja yao ya kutaka kusogezwa mbele kwa michuano ya Baraza la Soka la Afrika Mashariki na Kati (CECAFA).</description>
					  <author>info@habaritanzania.com (Habari Tanzania)</author>
					  <pubDate>Sat, 16 Dec 2006 00:00:00 -0600</pubDate>
					 
					</item>

				

					<item>
					  <title>Simba warusha kombora Yanga</title>
					  <link>http://www.habaritanzania.com/articles/2368/1/Simba-warusha-kombora-Yanga</link>
					  <description>KLABU ya Simba ya jijini Dar es Salaam, imefunga mjadala juu ya mchezaji Athumani Idd, ikiwataka watani wao wa jadi, Yanga kutumia dau la usajili kwa kukarabati jengo lao la Makao Makuu</description>
					  <author>info@habaritanzania.com (Habari Tanzania)</author>
					  <pubDate>Sat, 16 Dec 2006 00:00:00 -0600</pubDate>
					 
					</item>

				

					<item>
					  <title>Mgosi, Mrwanda waikosa Ethiopia leo</title>
					  <link>http://www.habaritanzania.com/articles/2367/1/Mgosi%2C-Mrwanda-waikosa-Ethiopia-leo</link>
					  <description>WAKATI timu ya soka ya Tanzania ya vijana wenye umri chini ya miaka 23, leo inashuka Uwanja wa Taifa, Dar es Salaam kukipiga na Ethiopia, Kocha Mkuu wa timu hiyo, John Simkoko, amewatema nyota wake wanane, wakiwamo Mussa Hassan 'Mgosi', Danny Mrwanda wa Simba na Abuu Ramadhani wa Yanga.</description>
					  <author>info@habaritanzania.com (Habari Tanzania)</author>
					  <pubDate>Sat, 16 Dec 2006 00:00:00 -0600</pubDate>
					 
					</item>

				

					<item>
					  <title>Maximo kuinadi Tz Brazil</title>
					  <link>http://www.habaritanzania.com/articles/2350/1/Maximo-kuinadi-Tz-Brazil</link>
					  <description>KOCHA mkuu wa Taifa Stars Marcio Maximo amesema anakwenda Brazil kuitangaza Taifa Stars na kwamba atazungumza na kocha wa Afrika Kusini, Carlos Alberto Perreira ili aongeze mahusiano baina na wenyeji hao wa fainali za Kombe la Dunia za mwaka 2010.</description>
					  <author>info@habaritanzania.com (Habari Tanzania)</author>
					  <pubDate>Fri, 15 Dec 2006 00:00:00 -0600</pubDate>
					 
					</item>

				

					<item>
					  <title>Yanga yataka Kagame iwe Machi</title>
					  <link>http://www.habaritanzania.com/articles/2349/1/Yanga-yataka-Kagame-iwe-Machi</link>
					  <description>UONGOZI wa mabingwa wa soka Tanzania, Yanga umeliandikia Shirikisho la Soka (TFF) na Baraza la Soka la Afrika Mashariki na Kati (Cecafa) kushauri mashindano ya Kombe la Kagame, yanayoshirikisha mabingwa wa nchi wanachama wa baraza hilo, yasogezwe mbele hadi Februari.</description>
					  <author>info@habaritanzania.com (Habari Tanzania)</author>
					  <pubDate>Fri, 15 Dec 2006 00:00:00 -0600</pubDate>
					 
					</item>

				

					<item>
					  <title>Yanga yamkosa Athuman Idd, CAF yatuma jina lake CAF</title>
					  <link>http://www.habaritanzania.com/articles/2348/1/Yanga-yamkosa-Athuman-Idd%2C-CAF-yatuma-jina-lake-CAF</link>
					  <description>SHIRIKISHO la Soka (TFF) jana lilituma CAF jina la kiungo Athuman Idd kwa ajili ya kuichezea Simba kwenye michuano ya Kombe la Shirikisho la Afrika, hatua inayomaanisha kuwa kiungo huyo wa kimataifa hataweza kuichezea Yanga msimu ujao.</description>
					  <author>info@habaritanzania.com (Habari Tanzania)</author>
					  <pubDate>Fri, 15 Dec 2006 00:00:00 -0600</pubDate>
					 
					</item>

				

					<item>
					  <title>32 wapitishwa TOC</title>
					  <link>http://www.habaritanzania.com/articles/2322/1/32-wapitishwa-TOC</link>
					  <description>WAGOMBEA 32 wamepitishwa kuwania nafasi mbalimbali za uongozi katika uchaguzi mkuu wa Kamati ya Olimpiki ya Tanzania (TOC).</description>
					  <author>info@habaritanzania.com (Habari Tanzania)</author>
					  <pubDate>Wed, 13 Dec 2006 00:00:00 -0600</pubDate>
					 
					</item>

				

					<item>
					  <title>Yanga imempa Athuman Idd zawadi ya Krismasi-Kaduguda</title>
					  <link>http://www.habaritanzania.com/articles/2303/1/Yanga-imempa-Athuman-Idd-zawadi-ya-Krismasi-Kaduguda</link>
					  <description>KATIBU mkuu wa Klabu ya Simba, Mwina Kaduguda amelitaka Shirikisho la Soka (TFF) kutoshughulikia kisiasa suala la Athumani Idd, akitamba kuwa kama Yanga imempa fedha basi itakuwa ni zawadi ya Krismasi, vinginevyo kiungo huyo ni mchezaji halali wa Simba hadi mwaka 2008.</description>
					  <author>info@habaritanzania.com (Habari Tanzania)</author>
					  <pubDate>Tue, 12 Dec 2006 00:00:00 -0600</pubDate>
					 
					</item>

				

					<item>
					  <title>13 kushiriki ligi ndogo Bara</title>
					  <link>http://www.habaritanzania.com/articles/2302/1/13-kushiriki-ligi-ndogo-Bara</link>
					  <description>SHIRIKISHO la Soka (TFF) litaendesha ligi ndogo ya taifa itakayoshirikisha timu 13 kwa ajili ya kupata wawakilishi wa Tanzania Bara kwenye michuano ya klabu ya Afrika kwa mwaka 2008 na pia kujiandaa kwa msimu mpya utakaokuwa ukianza Juni na kumalizika Mei mwaka unaofuata.</description>
					  <author>info@habaritanzania.com (Habari Tanzania)</author>
					  <pubDate>Tue, 12 Dec 2006 00:00:00 -0600</pubDate>
					 
					</item>

				

					<item>
					  <title>Ujinga wa Abramovich, hapana- Mmiliki Liverpool</title>
					  <link>http://www.habaritanzania.com/articles/2287/1/Ujinga-wa-Abramovich%2C-hapana--Mmiliki-Liverpool</link>
					  <description>SIKU chache baada ya kuanza rasmi kwa mazungumzo ya kuchukua umiliki wa klabu ya Liverpool, wamiliki wapya wameeleza kuwa hawako tayari kuiga mfumo wa Chelsea na tajiri wake, Roman Abramovich wa kuchezea fedha ovyo.</description>
					  <author>info@habaritanzania.com (Habari Tanzania)</author>
					  <pubDate>Mon, 11 Dec 2006 00:00:00 -0600</pubDate>
					 
					</item>

				

					<item>
					  <title>Moro Star kufanyiwa kongamano</title>
					  <link>http://www.habaritanzania.com/articles/2286/1/Moro-Star-kufanyiwa-kongamano</link>
					  <description>WADAU wa soka mkoani Morogoro, wakiwemo makocha, waamuzi na Waandishi wa Habari za Michezo watafanya kongamano la namna ya kuiboresha timu ya Mkoa wa Morogoro, Moro Star, ili iweze kufanya vizuri katika michuano ya Kombe la Taifa .</description>
					  <author>info@habaritanzania.com (Habari Tanzania)</author>
					  <pubDate>Mon, 11 Dec 2006 00:00:00 -0600</pubDate>
					 
					</item>

				

					<item>
					  <title>Materazzi amsamehe Zidane</title>
					  <link>http://www.habaritanzania.com/articles/2285/1/Materazzi-amsamehe-Zidane</link>
					  <description>BEKI wa Italia, Marco Materazzi ametangaza kumsamehe kiungo mstaafu wa Ufaransa, Zinedine Zidane aliyemtwanga kichwa cha kifua wakati wa fainali za Kombe la Dunia, Juni mwaka huu.</description>
					  <author>info@habaritanzania.com (Habari Tanzania)</author>
					  <pubDate>Mon, 11 Dec 2006 00:00:00 -0600</pubDate>
					 
					</item>

				

					<item>
					  <title>Dodoma Spurs mabingwa Kili RBA</title>
					  <link>http://www.habaritanzania.com/articles/2284/1/Dodoma-Spurs-mabingwa-Kili-RBA</link>
					  <description>MASHINDANO ya Kili RBA ya Mkoa wa Dodoma, yamemalizika kwa timu ya Dodoma Spurs kunyakua kikombe na kitita cha sh500,000.</description>
					  <author>info@habaritanzania.com (Habari Tanzania)</author>
					  <pubDate>Mon, 11 Dec 2006 00:00:00 -0600</pubDate>
					 
					</item>

				

					<item>
					  <title>Sudan yawa &#39;bingwa&#39; wa Chalenji 2006</title>
					  <link>http://www.habaritanzania.com/articles/2266/1/Sudan-yawa-%26%2339%3Bbingwa%26%2339%3B-wa-Chalenji-2006</link>
					  <description>Na Frank Sanga, Addis Ababa SUDAN tayari imetwaa ubingwa wa michuano ya 30 ya Kombe laChalenji baada ya kuifunga Uganda kwa penalti 6-5 katika mchezo wa nusu fainali uliofanyika jijini hapa juzi usiku.</description>
					  <author>info@habaritanzania.com (Habari Tanzania)</author>
					  <pubDate>Sun, 10 Dec 2006 00:00:00 -0600</pubDate>
					 
					</item>

				

					<item>
					  <title>Athumani Idd: Simba walishavunja mkataba</title>
					  <link>http://www.habaritanzania.com/articles/2255/1/Athumani-Idd%3A-Simba-walishavunja-mkataba</link>
					  <description>KATIBU Mkuu wa Shirikisho la Soka Tanzania, TFF, Frederick Mwakalebela amedhibitisha kupokea barua ya Athuman Idd inayosema kuwa Simba hawakaumtimizia mashariti yote kwenye mkataba wake na anataka atambulikje ni mchezaji wa Yanga.</description>
					  <author>info@habaritanzania.com (Habari Tanzania)</author>
					  <pubDate>Sat, 09 Dec 2006 00:00:00 -0600</pubDate>
					 
					</item>

				

					<item>
					  <title>Zambia yatinga fainali Chalenji</title>
					  <link>http://www.habaritanzania.com/articles/2254/1/Zambia-yatinga-fainali-Chalenji</link>
					  <description>KOCHA wa zamani wa Simba, Patrick Phiri anaelekea kutwaa ubingwa wa pili wa michuano ya kanda barani Afrika baada ya kuiongoza Zambia kuishinda Rwanda kwa bao 1-0 jana na kufuzu kucheza fainali ya michuano ya Kombe la Chalenji.</description>
					  <author>info@habaritanzania.com (Habari Tanzania)</author>
					  <pubDate>Sat, 09 Dec 2006 00:00:00 -0600</pubDate>
					 
					</item>

				

					<item>
					  <title>Chamangwana: Nataka kupumzika</title>
					  <link>http://www.habaritanzania.com/articles/2253/1/Chamangwana%3A-Nataka-kupumzika</link>
					  <description>KOCHA mkuu wa Yanga, Jack Chamangwana amesema baada ya mwezi mmoja atakaa pembeni na kupumzika kuifundisha timu hiyo aliyoiongoza kutwaa ubingwa wa Tanzania Bara kwa misimu miwili mfululizo.</description>
					  <author>info@habaritanzania.com (Habari Tanzania)</author>
					  <pubDate>Sat, 09 Dec 2006 00:00:00 -0600</pubDate>
					 
					</item>

				

					<item>
					  <title>Maximo: Tutaishinda Congo</title>
					  <link>http://www.habaritanzania.com/articles/2252/1/Maximo%3A-Tutaishinda-Congo</link>
					  <description>KOCHA wa Taifa Stars, Marcio Maximo ana uhakika kuwa vijana wake wataibuka na ushindi dhidi ya Jamhuri ya Kidemokrasia ya Congo, ambayo imekuja na wachezaji wanne walio barani Ulaya, katika mechi ya kirafiki ya kimataifa itakayoshuhudiwa na Waziri Mkuu, Edward Lowasa.</description>
					  <author>info@habaritanzania.com (Habari Tanzania)</author>
					  <pubDate>Sat, 09 Dec 2006 00:00:00 -0600</pubDate>
					 
					</item>

				

					<item>
					  <title>Watatu wakabana koo nafasi ya pili</title>
					  <link>http://www.habaritanzania.com/articles/2199/1/Watatu-wakabana-koo-nafasi-ya-pili</link>
					  <description>SOCHAUX na Lille juzi ziliungana na Lens kushika nafasi ya pili katika msimamo wa ligi kuu ya Ufaransa, baada ya kuibuka na ushindi dhidi ya Marseille na Nancy.</description>
					  <author>info@habaritanzania.com (Habari Tanzania)</author>
					  <pubDate>Tue, 05 Dec 2006 00:00:00 -0600</pubDate>
					 
					</item>

				

					<item>
					  <title>AC Milan haina jipya</title>
					  <link>http://www.habaritanzania.com/articles/2198/1/AC-Milan-haina-jipya</link>
					  <description>AC Milan juzi ililazimishwa kutoka sare ya mabao 2-2 na Cagliari katika mechi ya michuano ya soka ya ligi ya Serie A ya Italia iliyochezwa mjini Sardinia.</description>
					  <author>info@habaritanzania.com (Habari Tanzania)</author>
					  <pubDate>Tue, 05 Dec 2006 00:00:00 -0600</pubDate>
					 
					</item>

				

					<item>
					  <title>Ronaldo, Carlos waibeba Real Madrid</title>
					  <link>http://www.habaritanzania.com/articles/2197/1/Ronaldo%2C-Carlos-waibeba-Real-Madrid</link>
					  <description>MSHAMBULIAJI Ronaldo de Lima na beki Roberto Carlos, juzi waliibeba Real Madrid kwa kuifungia mabao mawili, ilipoichapa Athletic Bilbao mabao 2-1 katika mechi ya michuano ya soka ya ligi kuu ya Hispania iliyochezwa mjini hapa.</description>
					  <author>info@habaritanzania.com (Habari Tanzania)</author>
					  <pubDate>Tue, 05 Dec 2006 00:00:00 -0600</pubDate>
					 
					</item>

				

					<item>
					  <title>Kocha wake aigwaya Ethiopia</title>
					  <link>http://www.habaritanzania.com/articles/2196/1/%85Kocha-wake-aigwaya-Ethiopia</link>
					  <description>KOCHA Mkuu wa timu ya soka ya taifa ya Uganda, Laszlo Csaba ameielezea Ethiopia kuwa ndiyo pekee tishio kwa timu yake katika michuano ya Kombe la Chalenji inayoendelea mjini hapa.</description>
					  <author>info@habaritanzania.com (Habari Tanzania)</author>
					  <pubDate>Tue, 05 Dec 2006 00:00:00 -0600</pubDate>
					 
					</item>

				

					<item>
					  <title>Uganda yaikamia Rwanda Chalenji</title>
					  <link>http://www.habaritanzania.com/articles/2195/1/Uganda-yaikamia-Rwanda-Chalenji</link>
					  <description>KOCHA Mkuu wa timu ya soka ya taifa ya Uganda, Laszlo Csaba amejigamba kuwa ataiongoza timu yake kufanya vizuri zaidi itakapomenyana na Rwanda.</description>
					  <author>info@habaritanzania.com (Habari Tanzania)</author>
					  <pubDate>Tue, 05 Dec 2006 00:00:00 -0600</pubDate>
					 
					</item>

				

					<item>
					  <title>Mawakala wa Miss Tanzania watajwa</title>
					  <link>http://www.habaritanzania.com/articles/2194/1/Mawakala-wa-Miss-Tanzania-watajwa</link>
					  <description>KAMATI ya Mashindano ya 'Miss Tanzania' imetangaza majina ya mawakala wapya na wa zamani watakaoandaa mashindano hayo kwa mwaka 2007.</description>
					  <author>info@habaritanzania.com (Habari Tanzania)</author>
					  <pubDate>Tue, 05 Dec 2006 00:00:00 -0600</pubDate>
					 
					</item>

				

					<item>
					  <title>Hassanat Taiwo: Malkia wa Nollywood aaibika</title>
					  <link>http://www.habaritanzania.com/articles/2160/1/Hassanat-Taiwo%3A-Malkia-wa-Nollywood-aaibika</link>
					  <description>WASWAHILI wanasema ivumayo haidumu. Hivi ndivyo inavyoweza kuelezwa kwa msanii huyo wa fani ya uigizaji kutoka Nigeria, Hassanat Taiwo Akinwande.</description>
					  <author>info@habaritanzania.com (Habari Tanzania)</author>
					  <pubDate>Sun, 03 Dec 2006 00:00:00 -0600</pubDate>
					 
					</item>

				

					<item>
					  <title>Ulinzi mkali uchaguzi wa Simba</title>
					  <link>http://www.habaritanzania.com/articles/2159/1/Ulinzi-mkali-uchaguzi-wa-Simba</link>
					  <description>WAKATI uchaguzi mkuu wa klabu ya Simba unafanyika leo, ulinzi umeimarishwa ili kudhibiti vurugu zitakazojitokeza kwa nia ya kuvuruga uchaguzi utakaofanyika kwenye Ukumbi wa Al Muntazil Dar es Salaam.</description>
					  <author>info@habaritanzania.com (Habari Tanzania)</author>
					  <pubDate>Sun, 03 Dec 2006 00:00:00 -0600</pubDate>
					 
					</item>

				

					<item>
					  <title>Uganda yatinga robo fainali</title>
					  <link>http://www.habaritanzania.com/articles/2144/1/Uganda-yatinga-robo-fainali</link>
					  <description>UGANDA, ikicheza mchezo wa kuvutia juzi, iliishinda Rwanda kwa bao 1-0 katika moja ya mechi ngumu za michuano ya 30 ya Kombe la Chalenji iliyofanyika kwenye Uwanja wa Taifa wa Addis Ababa.</description>
					  <author>info@habaritanzania.com (Habari Tanzania)</author>
					  <pubDate>Sat, 02 Dec 2006 00:00:00 -0600</pubDate>
					 
					</item>

				

					<item>
					  <title>Uganda yatinga robo fainali</title>
					  <link>http://www.habaritanzania.com/articles/2143/1/Uganda-yatinga-robo-fainali</link>
					  <description>UGANDA, ikicheza mchezo wa kuvutia juzi, iliishinda Rwanda kwa bao 1-0 katika moja ya mechi ngumu za michuano ya 30 ya Kombe la Chalenji iliyofanyika kwenye Uwanja wa Taifa wa Addis Ababa.</description>
					  <author>info@habaritanzania.com (Habari Tanzania)</author>
					  <pubDate>Sat, 02 Dec 2006 00:00:00 -0600</pubDate>
					 
					</item>

				

					<item>
					  <title>Zanzibar yahitaji pointi kwa Phiri leo</title>
					  <link>http://www.habaritanzania.com/articles/2142/1/Zanzibar-yahitaji-pointi-kwa-Phiri-leo</link>
					  <description>ZANZIBAR leo itakuwa inahitaji pointi moja ili iweze kufuzu kucheza raundi ya pili ya michuano ya Kombe la Kagame, lakini ikabiliwa na kibarua kigumu kwani inakutana na Zambia, inayofundishwa na Patrick Phiri anayelijua vizuri soka la Tanzania</description>
					  <author>info@habaritanzania.com (Habari Tanzania)</author>
					  <pubDate>Sat, 02 Dec 2006 00:00:00 -0600</pubDate>
					 
					</item>

				

					<item>
					  <title>Wakwama tena kuzuia uchaguzi Simba</title>
					  <link>http://www.habaritanzania.com/articles/2141/1/Wakwama-tena-kuzuia-uchaguzi-Simba</link>
					  <description>HALI bado tete kwenye klabu ya Simba baada ya wanachama wanne walioshindwa kuzuia uchaguzi wa viongozi wa klabu ya Simba, kukata rufaa Mahakama Kuu wakipinga hukumu hiyo na kuendelea kudai uchaguzi usimamishwe, lakini ombi lao limegonga mwamba. </description>
					  <author>info@habaritanzania.com (Habari Tanzania)</author>
					  <pubDate>Sat, 02 Dec 2006 00:00:00 -0600</pubDate>
					 
					</item>

				

					<item>
					  <title>Kilimanjaro yamaliza kwa kishindo</title>
					  <link>http://www.habaritanzania.com/articles/2140/1/Kilimanjaro-yamaliza-kwa-kishindo</link>
					  <description>TIMU ya taifa ya Tanzania Bara 'Kilimanjaro Stars' jana ilimaliza kwa kushinda mechi zote tatu za Kundi A la michuano ya Kombe la Chalenji ilipoilowesha Djibout kwa mabao 3-0 kwenye Uwanja wa Taifa.</description>
					  <author>info@habaritanzania.com (Habari Tanzania)</author>
					  <pubDate>Sat, 02 Dec 2006 00:00:00 -0600</pubDate>
					 
					</item>

				

					<item>
					  <title>Bingwa Cecafa kucheza na bingwa Cosafa</title>
					  <link>http://www.habaritanzania.com/articles/2122/1/Bingwa-Cecafa-kucheza-na-bingwa-Cosafa</link>
					  <description>MIPANGO inafanywa ili kuanzia mwakani bingwa wa Kombe la Chalenji awe anacheza na bingwa wa Kombe la Cosafa.Nicholas Musonye, katibu mkuu wa Baraza la Vyama vya Soka vya Afrika Mashariki na Kati (Cecafa), linaloandaa mashindano ya Kombe la Chalenji, alisema ameandika barua kwa katibu mkuu wa Cosafa (shirikisho la vyama vya soka vya kusini mwa Afrika), Ashford Mamelodi na anachosubiri ni majibu.</description>
					  <author>info@habaritanzania.com (Habari Tanzania)</author>
					  <pubDate>Fri, 01 Dec 2006 00:00:00 -0600</pubDate>
					 
					</item>

				

					<item>
					  <title>Hagila kuwabana waliozuia uchaguzi Simba</title>
					  <link>http://www.habaritanzania.com/articles/2121/1/Hagila-kuwabana-waliozuia-uchaguzi-Simba</link>
					  <description>MKURUGENZI wa Simba, Evarist Hagila amedai kuwa ameimuagiza wakili Evord Mmanda kufungua kesi ya madai kudai fidia ya Sh milioni 20 kwa wanachama wanne waliofungua kesi kuzuia uchaguzi uliokuwa ufanyike Novemba 26 kwenye ukumbi wa Al Mutazir jijini Dar es Salaam.</description>
					  <author>info@habaritanzania.com (Habari Tanzania)</author>
					  <pubDate>Fri, 01 Dec 2006 00:00:00 -0600</pubDate>
					 
					</item>

				

					<item>
					  <title>Matola asita kujiunga Stars</title>
					  <link>http://www.habaritanzania.com/articles/2120/1/Matola-asita-kujiunga-Stars</link>
					  <description>KIUNGO wa Super Sport United ya Afrika Kusini, Selemani Matola amesema hawezi kujiunga na timu ya soka ya taifa (Taifa Stars) kwa ajili ya mechi ya kirafiki ya kimataifa dhidi ya Jamhuri ya Kidemokrasia ya Congo itakayochezwa Desemba 9 kwenye Uwanja wa Taifa, Dar es Salaam.</description>
					  <author>info@habaritanzania.com (Habari Tanzania)</author>
					  <pubDate>Fri, 01 Dec 2006 00:00:00 -0600</pubDate>
					 
					</item>

				

					<item>
					  <title>Yanga watinga Ethiopia kusajili waliopo Kili Stars</title>
					  <link>http://www.habaritanzania.com/articles/2119/1/Yanga-watinga-Ethiopia-kusajili-waliopo-Kili-Stars</link>
					  <description>HARAKATI za usajili zimechukua sura mpya baada ya uongozi wa Yanga kumtuka mjumbe wake mjini hapa katika kile kinachoonekana kuwa ni kukamilisha usajili wa wachezaji walio Kilimanjaro Stars, Burundi na Malawi, huku beki wao Edwin Mukenya akitangaza rasmi kuamua kubakia Jangwani.</description>
					  <author>info@habaritanzania.com (Habari Tanzania)</author>
					  <pubDate>Fri, 01 Dec 2006 00:00:00 -0600</pubDate>
					 
					</item>

				

					<item>
					  <title>Bingwa Cecafa kucheza na bingwa Cosafa</title>
					  <link>http://www.habaritanzania.com/articles/2101/1/Bingwa-Cecafa-kucheza-na-bingwa-Cosafa</link>
					  <description>MIPANGO inafanywa ili kuanzia mwakani bingwa wa Kombe la Chalenji awe anacheza na bingwa wa Kombe la Cosafa.Nicholas Musonye, katibu mkuu wa Baraza la Vyama vya Soka vya Afrika Mashariki na Kati (Cecafa), linaloandaa mashindano ya Kombe la Chalenji, alisema ameandika barua kwa katibu mkuu wa Cosafa (shirikisho la vyama vya soka vya kusini mwa Afrika), Ashford Mamelodi na anachosubiri ni majibu.</description>
					  <author>info@habaritanzania.com (Habari Tanzania)</author>
					  <pubDate>Thu, 30 Nov 2006 00:00:00 -0600</pubDate>
					 
					</item>

				

					<item>
					  <title>Zanzibar, Burundi suluhu</title>
					  <link>http://www.habaritanzania.com/articles/2100/1/Zanzibar%2C-Burundi-suluhu</link>
					  <description>BURUNDI imetinga robo fainali kutoka Kundi B baada ya jana kutoka suluhu na Zanzibar katika mechi ambayo haikuwa na msisimko kwenye Uwanja wa Addis Ababa.</description>
					  <author>info@habaritanzania.com (Habari Tanzania)</author>
					  <pubDate>Thu, 30 Nov 2006 00:00:00 -0600</pubDate>
					 
					</item>

				

					<item>
					  <title>Hagila:Uchaguzi lazima Jumapili</title>
					  <link>http://www.habaritanzania.com/articles/2099/1/Hagila%3AUchaguzi-lazima-Jumapili</link>
					  <description>WAKATI msajili anasisitiza kuwa hataweza kusimamia uchaguzi wa viongozi wa Simba hadi atakapopata hukumu ya Mahakama ya Kisutu, mkurugenzi wa klabu hiyo, Evarist Hagila amesisitiza kuwa uchaguzi lazima ufanyike Jumapili.</description>
					  <author>info@habaritanzania.com (Habari Tanzania)</author>
					  <pubDate>Thu, 30 Nov 2006 00:00:00 -0600</pubDate>
					 
					</item>

				

					<item>
					  <title>Matola, Kaniki waitwa Stars</title>
					  <link>http://www.habaritanzania.com/articles/2098/1/Matola%2C-Kaniki-waitwa-Stars</link>
					  <description>KOCHA wa Taifa Stars, Marcio Maximo amewaita Joseph Kaniki, anayechezea klabu ya Majees ya Oman, na Suleiman Matola, anayecheza Super Sport ya Afrika Kusini, kwenye kikosi chake kitakachovaana na Jamhuri ya Kidemokrasia ya Congo katika mechi ya kirafiki ya kimataifa itakayofanyika Desemba 9.</description>
					  <author>info@habaritanzania.com (Habari Tanzania)</author>
					  <pubDate>Thu, 30 Nov 2006 00:00:00 -0600</pubDate>
					 
					</item>

				

					<item>
					  <title>Miss Tanzania atoweka nyumbani</title>
					  <link>http://www.habaritanzania.com/articles/2097/1/Miss-Tanzania-atoweka-nyumbani</link>
					  <description>VODACOM Miss Tanzania 2006, Wema Abraham Sepetu ametoweka nyumbani kwao tangu juzi asubuhi na juhudi za familia yake kumpata zilikuwa zimeshindikana hadi jana jioni.</description>
					  <author>info@habaritanzania.com (Habari Tanzania)</author>
					  <pubDate>Thu, 30 Nov 2006 00:00:00 -0600</pubDate>
					 
					</item>

				

					<item>
					  <title>Bingwa Cecafa kucheza na bingwa Cosafa</title>
					  <link>http://www.habaritanzania.com/articles/2080/1/Bingwa-Cecafa-kucheza-na-bingwa-Cosafa</link>
					  <description>MIPANGO inafanywa ili kuanzia mwakani bingwa wa Kombe la Chalenji awe anacheza na bingwa wa Kombe la Cosafa.</description>
					  <author>info@habaritanzania.com (Habari Tanzania)</author>
					  <pubDate>Wed, 29 Nov 2006 00:00:00 -0600</pubDate>
					 
					</item>

				

					<item>
					  <title>TFF: Athuman Idd Simba, Mukenya Yanga</title>
					  <link>http://www.habaritanzania.com/articles/2079/1/TFF%3A-Athuman-Idd-Simba%2C-Mukenya-Yanga</link>
					  <description>HATIMAYE Shirikisho la Soka (TFF) jana liliweka hadharani mikataba ya wachezaji wa klabu za Yanga, Simba, Mtibwa na Kagera Sugar inayoonyesha kuwa kiungo Athuman Iddi bado ana mwaka mmoja na Simba, hali kadhalika beki Edwin Mukenya kwenye klabu yake ya Yanga.</description>
					  <author>info@habaritanzania.com (Habari Tanzania)</author>
					  <pubDate>Wed, 29 Nov 2006 00:00:00 -0600</pubDate>
					 
					</item>

				

					<item>
					  <title>Piga Ua ya Msondo mali Ulaya</title>
					  <link>http://www.habaritanzania.com/articles/2078/1/Piga-Ua-ya-Msondo-mali-Ulaya</link>
					  <description>ALBAMU &#34;Piga Ua Talaka Utatoa&#34; ya bendi ya Msondo Ngoma Music, ni miongoni mwa albamu bora kumi za Afrika, kwa mujibu wa gazeti la News Africa.</description>
					  <author>info@habaritanzania.com (Habari Tanzania)</author>
					  <pubDate>Wed, 29 Nov 2006 00:00:00 -0600</pubDate>
					 
					</item>

				

					<item>
					  <title>Uchaguzi Klabu ya Simba ruksa J&#39;pili</title>
					  <link>http://www.habaritanzania.com/articles/2077/1/Uchaguzi-Klabu-ya-Simba-ruksa-J%26%2339%3Bpili</link>
					  <description>UCHAGUZI mkuu wa klabu ya Simba ya Dar es Salaam, sasa utafanyika Jumapili baada ya Mahakama ya Hakimu Mkazi wa Kisutu kutupilia mbali kesi iliyofunguliwa na wanachama </description>
					  <author>info@habaritanzania.com (Habari Tanzania)</author>
					  <pubDate>Wed, 29 Nov 2006 00:00:00 -0600</pubDate>
					 
					</item>

				

					<item>
					  <title>Kilimanjaro Stars waifunga Malawi watinga robo fainali</title>
					  <link>http://www.habaritanzania.com/articles/2076/1/Kilimanjaro-Stars-waifunga-Malawi-watinga-robo-fainali</link>
					  <description>MABAO mawili yaliyofungwa na Danny |Mrwanda na Admin Bantu jana yalitosha kuipeleka robo fainali timu ya taifa ya Tanzania Bara, Kilimanajro Stars, baada ya kuipa ushindi wa mabao 2-1 dhidi ya Malawi, ambayo ni timu ngumu na yenye wachezaji wazoefu.</description>
					  <author>info@habaritanzania.com (Habari Tanzania)</author>
					  <pubDate>Wed, 29 Nov 2006 00:00:00 -0600</pubDate>
					 
					</item>

				

					<item>
					  <title>Maximo kuongeza wanne Stars</title>
					  <link>http://www.habaritanzania.com/articles/2061/1/Maximo-kuongeza-wanne-Stars</link>
					  <description>KOCHA wa timu ya Taifa Stars, Marcio Maximo ataongeza wachezaji wanne katika kikosi kitakachovaana na Jamhuri ya Kidemokrasia ya Congo katika mechi ya kirafiki ya kimataifa itakayofanyika jijini Dar es salaam Desemba 9.</description>
					  <author>info@habaritanzania.com (Habari Tanzania)</author>
					  <pubDate>Tue, 28 Nov 2006 00:00:00 -0600</pubDate>
					 
					</item>

				

					<item>
					  <title>Kilimanjaro Stars walalamikia hoteli</title>
					  <link>http://www.habaritanzania.com/articles/2060/1/Kilimanjaro-Stars-walalamikia-hoteli</link>
					  <description>WACHEZAJI wa timu ya taifa ya Tanzania Bara, Kilimnjaro Stars, wamelalamikia hoteli waliyofikia jijini hapa kuwa ni mbovu na haistahili kutumiwa na timu ya taifa.</description>
					  <author>info@habaritanzania.com (Habari Tanzania)</author>
					  <pubDate>Tue, 28 Nov 2006 00:00:00 -0600</pubDate>
					 
					</item>

				

					<item>
					  <title>Wamalawi wahidi makubwa Yanga</title>
					  <link>http://www.habaritanzania.com/articles/2059/1/Wamalawi-wahidi-makubwa-Yanga</link>
					  <description>WACHEZAJI wawili wapya kutoka Malawi wameahidi makubwa watakapochezea Yanga mwakani kwenye ligi na michuano ya kimataifa baada ya kumaliza na mabingwa hao wa soka wa Tanzania Bara.</description>
					  <author>info@habaritanzania.com (Habari Tanzania)</author>
					  <pubDate>Tue, 28 Nov 2006 00:00:00 -0600</pubDate>
					 
					</item>

				

					<item>
					  <title>Yanga wamchanganya Chamangwana</title>
					  <link>http://www.habaritanzania.com/articles/2058/1/Yanga-wamchanganya-Chamangwana</link>
					  <description>KOCHA Mkuu wa Yanga Jacky Chamangwana ameanza kuingia hofu ya juu ya hatma yake ndani ya klabu hiyo ya Jangwani. Akizungumza na Mwananchi mwishoni mwa wiki, Chamangwana alisema kuwa mpaka sasa hajafanya maandalizi ya klabu bingwa Afrika Mashariki na Kati na Klabu Bingwa Afrika kwa vile hajui hatma ya ajira yake. </description>
					  <author>info@habaritanzania.com (Habari Tanzania)</author>
					  <pubDate>Tue, 28 Nov 2006 00:00:00 -0600</pubDate>
					 
					</item>

				

					<item>
					  <title>K&#39;njaro Stars yatikisa Addis Ababa</title>
					  <link>http://www.habaritanzania.com/articles/2040/1/K%26%2339%3Bnjaro-Stars-yatikisa-Addis-Ababa</link>
					  <description>KIWANGO cha soka cha timu ya taifa ya Tanzania Bara'Kilimanjaro Stars' kimekuwa gumzo katika Jiji la Addis Ababa.</description>
					  <author>info@habaritanzania.com (Habari Tanzania)</author>
					  <pubDate>Mon, 27 Nov 2006 00:00:00 -0600</pubDate>
					 
					</item>

				

					<item>
					  <title>Yanga, yapangwa na Polisi Uganda Kombe la Kagame</title>
					  <link>http://www.habaritanzania.com/articles/2039/1/Yanga%2C-yapangwa-na-Polisi-Uganda-Kombe-la-Kagame</link>
					  <description>BARAZA la Vyama vya Soka Afrika Mashariki na Kati (Cecafa) limezipanga pamoja, Yanga ya Tanzania na Polisi Uganda katika michuano ya Kombe la Kagame itakayofanyika Januari, mwakani.</description>
					  <author>info@habaritanzania.com (Habari Tanzania)</author>
					  <pubDate>Mon, 27 Nov 2006 00:00:00 -0600</pubDate>
					 
					</item>

				

					<item>
					  <title>Chamangwana: Sikuja Yanga kwa kuiangalia Simba</title>
					  <link>http://www.habaritanzania.com/articles/2038/1/Chamangwana%3A-Sikuja-Yanga-kwa-kuiangalia-Simba</link>
					  <description>KOCHA wa Yanga, Jack Chamangwana, amesema kuja kwake Yanga amekuja kufundisha mpira, na si kuangalia ushindi wa timu moja tu, dhidi ya Simba.</description>
					  <author>info@habaritanzania.com (Habari Tanzania)</author>
					  <pubDate>Mon, 27 Nov 2006 00:00:00 -0600</pubDate>
					 
					</item>

				

					<item>
					  <title>Chalenji kufanyikia uwanja mpya Dar mwakani</title>
					  <link>http://www.habaritanzania.com/articles/2037/1/Chalenji-kufanyikia-uwanja-mpya-Dar-mwakani</link>
					  <description>BARAZA la Vyama vya Soka Afrika Mashariki na Kati (Cecafa), limeichagua Tanzania Bara kuandaa mashindano ya Kombe la Chalenji mwakani.</description>
					  <author>info@habaritanzania.com (Habari Tanzania)</author>
					  <pubDate>Mon, 27 Nov 2006 00:00:00 -0600</pubDate>
					 
					</item>

				

					<item>
					  <title>Ency Mwalukasa: Tuwajali wasio na uwezo, tuwasaidie</title>
					  <link>http://www.habaritanzania.com/articles/2024/1/Ency-Mwalukasa%3A-Tuwajali-wasio-na-uwezo%2C-tuwasaidie</link>
					  <description>&#34;NYIMBO na muziki wa Injili ni wito na si biashara kama watu wanavyofikiria.</description>
					  <author>info@habaritanzania.com (Habari Tanzania)</author>
					  <pubDate>Sun, 26 Nov 2006 00:00:00 -0600</pubDate>
					 
					</item>

				

					<item>
					  <title>Malkia Elizabeth II awakebehi wanasoka Uingereza</title>
					  <link>http://www.habaritanzania.com/articles/2023/1/Malkia-Elizabeth-II-awakebehi-wanasoka-Uingereza</link>
					  <description>MALKIA Elizabeth II amewakebehi wachezaji wa soka wa kulipwa akidai kuwa wamegeuka wasanii wakubwa.</description>
					  <author>info@habaritanzania.com (Habari Tanzania)</author>
					  <pubDate>Sun, 26 Nov 2006 00:00:00 -0600</pubDate>
					 
					</item>

				

					<item>
					  <title>Jaydee kusherekea miaka 45 ya Uhuru Marekani</title>
					  <link>http://www.habaritanzania.com/articles/2022/1/Jaydee-kusherekea-miaka-45-ya-Uhuru-Marekani</link>
					  <description>MSANII anayeng'ara katika muziki wa kizazi kipya, Lady Jaydee anatarajia kusherekea siku kuu ya miaka 45 ya Uhuru wa Tanzania nchini Marekani.</description>
					  <author>info@habaritanzania.com (Habari Tanzania)</author>
					  <pubDate>Sun, 26 Nov 2006 00:00:00 -0600</pubDate>
					 
					</item>

				

					<item>
					  <title>Kili Stars, Wahabeshi kufungua dimba</title>
					  <link>http://www.habaritanzania.com/articles/2007/1/Kili-Stars%2C-Wahabeshi-kufungua-dimba</link>
					  <description>TIMU ya soka ya Taifa ya Bara ' Kilimanjaro Stars' leo inaanza harakati zake za kuwania ubingwa wa Kombe la Chalenji kwa kuchezaji na timu ya taifa ya Ethiopia katika mechi ya fungua dimba.</description>
					  <author>info@habaritanzania.com (Habari Tanzania)</author>
					  <pubDate>Sat, 25 Nov 2006 00:00:00 -0600</pubDate>
					 
					</item>

				

					<item>
					  <title>Bayi avunja ukimya TOC</title>
					  <link>http://www.habaritanzania.com/articles/2006/1/Bayi-avunja-ukimya-TOC</link>
					  <description>HATIMAYE Katibu Mkuu wa Kamati ya Olimpiki Tanzania (TOC) anayemaliza muda wake, Meja msaafu, Filbert Bayi, jana mchana alivunja ukimya baada ya kujitosa kuchukua fomu za kutetea kiti hicho katika uchaguzi unaotarajiwa kufanyika Desemba 16 mjini Zanzibar.</description>
					  <author>info@habaritanzania.com (Habari Tanzania)</author>
					  <pubDate>Sat, 25 Nov 2006 00:00:00 -0600</pubDate>
					 
					</item>

				

					<item>
					  <title>Sauko azuga usajili Yanga</title>
					  <link>http://www.habaritanzania.com/articles/2005/1/Sauko-azuga-usajili-Yanga</link>
					  <description>UONGOZI wa klabu ya Yanga umesema kwamba utatangaza usajili wake rasmi mara baada ya kurejea kwa Rais wa klabu hiyo, Francis Mponjoli Kifukwe aliyeko safarini Ulaya.</description>
					  <author>info@habaritanzania.com (Habari Tanzania)</author>
					  <pubDate>Sat, 25 Nov 2006 00:00:00 -0600</pubDate>
					 
					</item>

				

					<item>
					  <title>Uchaguzi Simba wavutiwa siku</title>
					  <link>http://www.habaritanzania.com/articles/2004/1/Uchaguzi-Simba-wavutiwa-siku</link>
					  <description>UCHAGUZI Mkuu wa klabu ya Simba ya jijini Dar es Salaam uliokuwa ufanyike kesho sasa umeota mbawa hadi Novemba 28, mwaka huu mara baada ya Mahakama ya hakimu Mkazi Kisutu, itakapotoa uamuzi juu ya mapingamizi yaliyowasilishwa na upande wa walalamikiwa.</description>
					  <author>info@habaritanzania.com (Habari Tanzania)</author>
					  <pubDate>Sat, 25 Nov 2006 00:00:00 -0600</pubDate>
					 
					</item>

				

					<item>
					  <title>Taifa Stars kupasha Bulyanhulu</title>
					  <link>http://www.habaritanzania.com/articles/1988/1/Taifa-Stars-kupasha-Bulyanhulu</link>
					  <description>TIMU ya Taifa ya Tazania, Taifa Stars, leo inakwenda Bulyanhulu kwa ajili ya kucheza mechi ya kirafiki na timu ya Buly Old Stars, itakayofanyika kesho kwenye uwanja wa mgodi huo.</description>
					  <author>info@habaritanzania.com (Habari Tanzania)</author>
					  <pubDate>Fri, 24 Nov 2006 00:00:00 -0600</pubDate>
					 
					</item>

				

					<item>
					  <title>Athumani Idd ni Msimbazi hadi '08</title>
					  <link>http://www.habaritanzania.com/articles/1987/1/Athumani-Idd-ni-Msimbazi-hadi-%9208</link>
					  <description>HATIMAYE uongozi wa klabu ya Simba umeweka hadharani mkataba wa kiungo wake mahiri, Athumani Idd Athumani, unaomuonyesha kuwa atakipiga katika klabu hiyo hadi Agosti 30, 2008.</description>
					  <author>info@habaritanzania.com (Habari Tanzania)</author>
					  <pubDate>Fri, 24 Nov 2006 00:00:00 -0600</pubDate>
					 
					</item>

				

					<item>
					  <title>Hatima ya uchaguzi Simba leo</title>
					  <link>http://www.habaritanzania.com/articles/1986/1/Hatima-ya-uchaguzi-Simba-leo</link>
					  <description>HATIMA ya ama kufanyika au kutofanyika uchaguzi mkuu wa klabu ya Simba itajulikana leo, wakati Mahakama ya Hakimu Mkazi ya Kisutu itakapotoa uamuzi baada ya jana kusikiliza hoja za pande zote mbili, katika kesi ya kupinga kufanyika uchaguzi huo iliyofunguliwa mahakamani hapo na wanachama wawili wa klabu hiyo.</description>
					  <author>info@habaritanzania.com (Habari Tanzania)</author>
					  <pubDate>Fri, 24 Nov 2006 00:00:00 -0600</pubDate>
					 
					</item>

				

					<item>
					  <title>Tunataka kombe, Kili Stars waambiwa</title>
					  <link>http://www.habaritanzania.com/articles/1985/1/Tunataka-kombe%2C-Kili-Stars-waambiwa</link>
					  <description>TIMU ya Tanzania Bara, Kilimanjaro Stars, wametakiwa kuhakikisha wanarudi na kombe kama walivyofanya vijana wa enzi za mwaka 1974.</description>
					  <author>info@habaritanzania.com (Habari Tanzania)</author>
					  <pubDate>Fri, 24 Nov 2006 00:00:00 -0600</pubDate>
					 
					</item>

				

					<item>
					  <title>Mtoto wa Makamba kupiga jeki michezo</title>
					  <link>http://www.habaritanzania.com/articles/1966/1/Mtoto-wa-Makamba-kupiga-jeki-michezo</link>
					  <description>MLEZI wa timu ya soka ya Veteran ya Mlandizi, Sophia Makamba, amesema kwamba ataungana na wadau wa soka mkoani hapa kukuza na kuendeleza mchezo wa soka.</description>
					  <author>info@habaritanzania.com (Habari Tanzania)</author>
					  <pubDate>Thu, 23 Nov 2006 00:00:00 -0600</pubDate>
					 
					</item>

				

					<item>
					  <title>Mawakala Miss Tz wiki ijayo</title>
					  <link>http://www.habaritanzania.com/articles/1965/1/Mawakala-Miss-Tz-wiki-ijayo</link>
					  <description>MKURUGENZI wa Kampuni ya Lino International Agency, Hashim Lundenga, amesema kwamba watatangaza majina ya mawakala wiki ijayo mara baada ya kuwahakiki.</description>
					  <author>info@habaritanzania.com (Habari Tanzania)</author>
					  <pubDate>Thu, 23 Nov 2006 00:00:00 -0600</pubDate>
					 
					</item>

				

					<item>
					  <title>Bayi ajiuliza TOC</title>
					  <link>http://www.habaritanzania.com/articles/1964/1/Bayi-ajiuliza-TOC</link>
					  <description>WAKATI Rais wa Kamati ya Olimpiki (TOC), Gulam Rashid, jana alijitosa kuchukua fomu kuwania kutetea nafasi hiyo, Katibu Mkuu, Meja mstaafu wa JWTZ, Filbert Bayi, amesema bado anajiuliza kuwania uongozi katika Uchaguzi Mkuu ujao utakaofanyika Zanzibar.</description>
					  <author>info@habaritanzania.com (Habari Tanzania)</author>
					  <pubDate>Thu, 23 Nov 2006 00:00:00 -0600</pubDate>
					 
					</item>

				

					<item>
					  <title>Kipindupindu chavuruga shamrashamra Jangwani</title>
					  <link>http://www.habaritanzania.com/articles/1963/1/Kipindupindu-chavuruga-shamrashamra-Jangwani</link>
					  <description>MASHABIKI na wanachama wachache wa timu ya Yanga, walijitokeza jana makao makuu ya klabu hiyo mitaa ya Twiga na Jangwani, Dar es Salaam, kuilaki timu yao ikitokea Morogoro ilikokabidhiwa taji la Ligi Kuu Bara msimu huu.</description>
					  <author>info@habaritanzania.com (Habari Tanzania)</author>
					  <pubDate>Thu, 23 Nov 2006 00:00:00 -0600</pubDate>
					 
					</item>

				

					<item>
					  <title>Sitajali kuondolewa Yanga - Jack</title>
					  <link>http://www.habaritanzania.com/articles/1962/1/Sitajali-kuondolewa-Yanga---Jack</link>
					  <description>KOCHA Mkuu wa mabingwa wa soka Tanzania Bara, Mmalawi Jack Lloyd Chamangwana, amesema kwamba hatajali hata kama atatimuliwa katika klabu hiyo.</description>
					  <author>info@habaritanzania.com (Habari Tanzania)</author>
					  <pubDate>Thu, 23 Nov 2006 00:00:00 -0600</pubDate>
					 
					</item>

				

					<item>
					  <title>Ngassa asaini Yanga kwa Sh milioni 4</title>
					  <link>http://www.habaritanzania.com/articles/1926/1/Ngassa-asaini-Yanga-kwa-Sh-milioni-4</link>
					  <description>MABINGWA wa Tanzania Bara, Yanga wamemsajili kiungo wa Kagera Sugar, Mrisho Ngassa ambaye yupo kambini na kikosi cha timu ya taifa ya Bara 'Kilimanjaro Stars'.</description>
					  <author>info@habaritanzania.com (Habari Tanzania)</author>
					  <pubDate>Mon, 20 Nov 2006 00:00:00 -0600</pubDate>
					 
					</item>

				

					<item>
					  <title>Timu ya Taifa Tanzania yaonyesha kupiga hatua mepiga kubwa</title>
					  <link>http://www.habaritanzania.com/articles/1925/1/Timu-ya-Taifa-Tanzania-yaonyesha-kupiga-hatua-mepiga-kubwa</link>
					  <description>KATIKA moja ya ahadi za nadra sana, kocha Marcio Maximo Jumamosi iliyopita aliahidi kuwa timu ya taifa ya soka, Taifa Stars ingeibuka na ushindi dhidi ya Angola katika mechi ya kirafiki ya kimataifa</description>
					  <author>info@habaritanzania.com (Habari Tanzania)</author>
					  <pubDate>Mon, 20 Nov 2006 00:00:00 -0600</pubDate>
					 
					</item>

				

					<item>
					  <title>Mustafa Yakub ajitosa Simba</title>
					  <link>http://www.habaritanzania.com/articles/1914/1/Mustafa-Yakub-ajitosa-Simba</link>
					  <description>MBIO za kuwania uongozi katika klabu ya Simba, jana zilizidi kushika kasi baada ya aliyekuwa Meya wa Manispaa ya Temeke katika Awamu ya Tatu, Mustafa Yakub, kutwaa fomu kuwania nafasi ya mwenyekiti.</description>
					  <author>info@habaritanzania.com (Habari Tanzania)</author>
					  <pubDate>Sun, 19 Nov 2006 00:00:00 -0600</pubDate>
					 
					</item>

				

					<item>
					  <title>Mwamuzi Zahra aiponza Stars</title>
					  <link>http://www.habaritanzania.com/articles/1913/1/Mwamuzi-Zahra-aiponza-Stars</link>
					  <description>UZEMBE wa mwamuzi wa akiba, Zahra Mohammed, kushindwa kufanya mabadiliko kwa wakati, kuliwawezesha Angola kusawazisha katika dakika ya 87 na kufanya matokeo ya mechi hiyo ya kirafiki ya kimataifa iliyopigwa kwenye Uwanja wa Taifa, Dar es Salaam, kumalizika kwa sare ya 1-1.</description>
					  <author>info@habaritanzania.com (Habari Tanzania)</author>
					  <pubDate>Sun, 19 Nov 2006 00:00:00 -0600</pubDate>
					 
					</item>

				

					<item>
					  <title>Kilomoni anyang&#39;anywa fomu za wagombea kiti Simba</title>
					  <link>http://www.habaritanzania.com/articles/1895/1/Kilomoni-anyang%26%2339%3Banywa-fomu-za-wagombea-kiti-Simba</link>
					  <description>KATIBU mkuu wa Baraza la Wazee, Khamis Kilomoni amenyang'anywa fomu za wagombea uongozi wa klabu hiyo ambazo sasa zitaanza kutolewa na Msajili wa Vyama vya Michezo wa Ilala.</description>
					  <author>info@habaritanzania.com (Habari Tanzania)</author>
					  <pubDate>Sat, 18 Nov 2006 00:00:00 -0600</pubDate>
					 
					</item>

				

					<item>
					  <title>Mkufunzi Maximo aisifia Kilimanjaro Stars</title>
					  <link>http://www.habaritanzania.com/articles/1894/1/Mkufunzi-Maximo-aisifia-Kilimanjaro-Stars</link>
					  <description>KOCHA wa timu ya Taifa Stars, Mbrazili Marcio Maximo jana alilisifu benchi la ufundi la Kilimanjaro Stars akisema kuwa linaendesha mambo kwa kadri inavyotakiwa kuiandaa timu kwa michuano ya kimataifa.</description>
					  <author>info@habaritanzania.com (Habari Tanzania)</author>
					  <pubDate>Sat, 18 Nov 2006 00:00:00 -0600</pubDate>
					 
					</item>

				

					<item>
					  <title>Mr Tanzania yasuasua</title>
					  <link>http://www.habaritanzania.com/articles/1848/1/Mr-Tanzania-yasuasua</link>
					  <description>ZOEZI la kuchukuwa fomu za kuwania taji la Mr Tanzania linaonekana kudoda baada ya kutojitokeza kwa mtu hata mmoja, siku kumi baada ya tarehe ya kuanza kutolewa kwa fomu hizo.</description>
					  <author>info@habaritanzania.com (Habari Tanzania)</author>
					  <pubDate>Wed, 15 Nov 2006 00:00:00 -0600</pubDate>
					 
					</item>

				

					<item>
					  <title>Yanga &#38; Simba: Gold Mine Underneath?</title>
					  <link>http://www.habaritanzania.com/articles/1825/1/Yanga-%26amp%3B-Simba%3A-Gold-Mine-Underneath%3F</link>
					  <description>Simba SC and Dar Young Africans are undboubtedly the best soccer clubs in Tanzania. Despite their position, these clubs have failed to capitalize on their economic potential.</description>
					  <author>mettyn@hotmail.com (Metty Nyang'oro)</author>
					  <pubDate>Mon, 13 Nov 2006 00:00:00 -0600</pubDate>
					 
					</item>

				

					<item>
					  <title>Nchi saba zaidi kuongezwa EATI</title>
					  <link>http://www.habaritanzania.com/articles/1824/1/Nchi-saba-zaidi-kuongezwa-EATI</link>
					  <description>TAASISI ya Sanaa za Maonyesho Mashariki mwa Afrika 'EATI', inatarajia kuongeza nchi saba kuwa miongoni mwa wanachama wa taasisi hiyo.</description>
					  <author>info@habaritanzania.com (Habari Tanzania)</author>
					  <pubDate>Mon, 13 Nov 2006 00:00:00 -0600</pubDate>
					 
					</item>

				

					<item>
					  <title>Ahly: Mabingwa mara tano Afrika</title>
					  <link>http://www.habaritanzania.com/articles/1823/1/Ahly%3A-Mabingwa-mara-tano-Afrika</link>
					  <description>Ahli ya Misri ikicheza kwa kwa kujiamini zaidi kuliko wenyeji, imeweza kutwaa ubingwa wa soka Afrika kwa kuichapa CS Sfaxien katika mchezo wa fainali mbele ya msshabiki 52,000.</description>
					  <author>info@habaritanzania.com (Habari Tanzania)</author>
					  <pubDate>Mon, 13 Nov 2006 00:00:00 -0600</pubDate>
					 
					</item>

				

					<item>
					  <title>Drogba apongezwa Ulaya, Aboutrika, Didier Ya Konan wang&#39;ara Afrika</title>
					  <link>http://www.habaritanzania.com/articles/1822/1/Drogba-apongezwa-Ulaya%2C-Aboutrika%2C-Didier-Ya-Konan-wang%26%2339%3Bara-Afrika</link>
					  <description>KOCHA Jose Mourinho amempongeza mshambuliaji wake Didier Drogba na kusema ni mshambuliaji bora duniani, baada ya kufunga mabao matatu kati ya manne ambayo timu yake ilishinda juzi.</description>
					  <author>info@habaritanzania.com (Habari Tanzania)</author>
					  <pubDate>Mon, 13 Nov 2006 00:00:00 -0600</pubDate>
					 
					</item>

				

					<item>
					  <title>Mwamuzi afa akichezesha mechi</title>
					  <link>http://www.habaritanzania.com/articles/1802/1/Mwamuzi-afa-akichezesha-mechi</link>
					  <description>MWAMUZI wa soka mkoani Rukwa, King Lubega (55) amefariki dunia akiwa anachezesha mechi ya Ligi ya Taifa, ngazi ya wilaya kati ya Lake Rukwa ya wilayani Sumbwanga Vijijini na Katavi ya Mpanda.</description>
					  <author>info@habaritanzania.com (Habari Tanzania)</author>
					  <pubDate>Sat, 11 Nov 2006 00:00:00 -0600</pubDate>
					 
					</item>

				

					<item>
					  <title>Kaseja kinara Kilimanjaro Stars</title>
					  <link>http://www.habaritanzania.com/articles/1801/1/Kaseja-kinara-Kilimanjaro-Stars</link>
					  <description>KIPA Juma Kaseja ndiye mchezaji pekee mkongwe kwenye kikosi cha wachezaji 18 watakaokwenda Ethiopia na timu ya taifa ya Tanzania Bara, Kilimanjaro Stars, kushiriki michuano ya Kombe la Chalenji iliyopangwa kuanza Novemba 25.</description>
					  <author>info@habaritanzania.com (Habari Tanzania)</author>
					  <pubDate>Sat, 11 Nov 2006 00:00:00 -0600</pubDate>
					 
					</item>

				

					<item>
					  <title>Timu ya taifa Angola yaja kwa nguvu zote</title>
					  <link>http://www.habaritanzania.com/articles/1800/1/Timu-ya-taifa-Angola-yaja-kwa-nguvu-zote</link>
					  <description>ANGOLA imeamua kutuma kikosi chake kamili kitakachovaana na Tanzania katika mechi ya kirafiki ya kimataifa, ikiwa ni maandalizi ya kuvaana na Misri katika mechi ya Mataifa ya Afrika.</description>
					  <author>info@habaritanzania.com (Habari Tanzania)</author>
					  <pubDate>Sat, 11 Nov 2006 00:00:00 -0600</pubDate>
					 
					</item>

				

					<item>
					  <title>Arsenal yataka kujifariji kwa Liverpool</title>
					  <link>http://www.habaritanzania.com/articles/1780/1/Arsenal-yataka-kujifariji-kwa-Liverpool</link>
					  <description>ARSENE Wenger atakuwa akitegemea alasiri nzuri ya Jumapili tofauti na ilivyokuwa wiki iliyopita wakati timu yake itakapokuwa ikiikaribisha Liverpool katika mechi ya Ligi Kuu.</description>
					  <author>info@habaritanzania.com (Habari Tanzania)</author>
					  <pubDate>Fri, 10 Nov 2006 00:00:00 -0600</pubDate>
					 
					</item>

				

					<item>
					  <title>Mshambuliaji afunga bao kutoka katikati ya uwanja</title>
					  <link>http://www.habaritanzania.com/articles/1779/1/Mshambuliaji-afunga-bao-kutoka-katikati-ya-uwanja</link>
					  <description>MSHAMBULIAJI wa Sao Caetano, Martin Garcia alifunga bao la ajabu kutoka kwenye mduara wa katikati ya uwanja katika mechi ambayo ilijaa kadi nyekundu juzi.</description>
					  <author>info@habaritanzania.com (Habari Tanzania)</author>
					  <pubDate>Fri, 10 Nov 2006 00:00:00 -0600</pubDate>
					 
					</item>

				

					<item>
					  <title>Shabiki atumia Sh27milioni kumshauri kocha</title>
					  <link>http://www.habaritanzania.com/articles/1778/1/Shabiki-atumia-Sh27milioni-kumshauri-kocha</link>
					  <description>SHABIKI wa klabu iliyo hatarini kushuka daraja nchini Brazil, Fluminense alitumia Dola 25,000 za Marekani (sawa na zaidi ya Sh milioni 27 za Tanzania) kutoa ushauri kwa kocha Paulo Cesar Gusmao juu ya upangaji timu.</description>
					  <author>info@habaritanzania.com (Habari Tanzania)</author>
					  <pubDate>Fri, 10 Nov 2006 00:00:00 -0600</pubDate>
					 
					</item>

				

					<item>
					  <title>Nizar Khalfan, wengine 12 waanza mazoezi Stars</title>
					  <link>http://www.habaritanzania.com/articles/1777/1/Nizar-Khalfan%2C-wengine-12-waanza-mazoezi-Stars</link>
					  <description>KIUNGO Nizar Khalfan jana alikuwa mmoja wa wachezaji wa timu ya taifa, Taifa Stars, walioanza mazoezi jana licha ya Shirikisho la Soka (TFF) kutangaza kuwa hangekuwemo kwenye kikosi kitakachovaana na Angola kutokana na kutokuwa fiti</description>
					  <author>info@habaritanzania.com (Habari Tanzania)</author>
					  <pubDate>Fri, 10 Nov 2006 00:00:00 -0600</pubDate>
					 
					</item>

				

					<item>
					  <title>Sokoine bado wababe SHIMMUTA</title>
					  <link>http://www.habaritanzania.com/articles/1758/1/Sokoine-bado-wababe-SHIMMUTA</link>
					  <description>TIMU ya Chuo Kikuu cha Sokone SUA mkoani Morogoro jana iliendeleza ubabe katika michuano ya Shirikisho la Michezo ya Mashirika ya Umma na Makampuni binafsi SHIMMUTA inayoendelea Jijini hapa baada ya kuichapa Chama cha Uhifadhi wa Mazingira, NEMC mabao 4-3.</description>
					  <author>info@habaritanzania.com (Habari Tanzania)</author>
					  <pubDate>Thu, 09 Nov 2006 00:00:00 -0600</pubDate>
					 
					</item>

				

					<item>
					  <title>Hakuna wa kuinoea Chelsea - O&#39;neill</title>
					  <link>http://www.habaritanzania.com/articles/1757/1/Hakuna-wa-kuinoea-Chelsea---O%26%2339%3Bneill</link>
					  <description>KOCHA wa Aston Villa, Martin O'Neill amepuuza wazo kwamba Chelsea inaonewa na marefa.</description>
					  <author>info@habaritanzania.com (Habari Tanzania)</author>
					  <pubDate>Thu, 09 Nov 2006 00:00:00 -0600</pubDate>
					 
					</item>

				

					<item>
					  <title>Nees: Rwanda itakwenda Ghana 2008</title>
					  <link>http://www.habaritanzania.com/articles/1756/1/Nees%3A-Rwanda-itakwenda-Ghana-2008</link>
					  <description>KOCHA mpya Mjerumani wa Rwanda, Michael Nees, bado anadhani kuwa nchi hiyo ndogo ya Afrika ya Kati inayo nafasi ya kufuzu kucheza fainali zza mwaka 2008 za Mataifa ya Afrika</description>
					  <author>info@habaritanzania.com (Habari Tanzania)</author>
					  <pubDate>Thu, 09 Nov 2006 00:00:00 -0600</pubDate>
					 
					</item>

				

					<item>
					  <title>Al Ahly kumkosa Barakat fainali</title>
					  <link>http://www.habaritanzania.com/articles/1755/1/Al-Ahly-kumkosa-Barakat-fainali</link>
					  <description>WACHEZAJI wawili wa Al Ahly, Mohamed Barakat na Tarek El Said watakosa mechi ya marudiano ya fainali ya Ligi ya Mabingwa wa Afrika dhidi ya CS Sfaxien baada ya kuumia.</description>
					  <author>info@habaritanzania.com (Habari Tanzania)</author>
					  <pubDate>Thu, 09 Nov 2006 00:00:00 -0600</pubDate>
					 
					</item>

				

					<item>
					  <title>BMT yasikitishwa wawekezaji kupuuza michezo</title>
					  <link>http://www.habaritanzania.com/articles/1720/1/BMT-yasikitishwa-wawekezaji-kupuuza-michezo</link>
					  <description>BARAZA la Michezo la Taifa (BMT) limeeleza kusikitishwa kwake na kitendo cha Makampuni yaliyobinafishwa kwa wawekezaji kushindwa kushiriki mashindano ya Shirikisho la Michezo ya Mashirika ya Umma na Makampuni binafsi SHIMMUTA yanayoendelea Jijini hapa.</description>
					  <author>info@habaritanzania.com (Habari Tanzania)</author>
					  <pubDate>Tue, 07 Nov 2006 00:00:00 -0600</pubDate>
					 
					</item>

				

					<item>
					  <title>Serikali yawapongeza akina Matumla</title>
					  <link>http://www.habaritanzania.com/articles/1719/1/Serikali-yawapongeza-akina-Matumla</link>
					  <description>SERIKALI imetoa pongezi kwa mabondia, Mbwana Mtumla na ndugu yake, Hassan Matumla kwa ushindi wao mnono walioupata katika mashindano ya kimataifa ya mchezo wa ndondi.</description>
					  <author>info@habaritanzania.com (Habari Tanzania)</author>
					  <pubDate>Tue, 07 Nov 2006 00:00:00 -0600</pubDate>
					 
					</item>

				

					<item>
					  <title>Roho imeniuma sana-Juma Nature</title>
					  <link>http://www.habaritanzania.com/articles/1700/1/Roho-imeniuma-sana-Juma-Nature</link>
					  <description>MSANII nyota wa muziki wa kizazi kipya, Juma Kassim 'Nature' amesema ingawa hakupata tuzo ya MTV lakini changamoto aliyoipata ni kubwa.</description>
					  <author>info@habaritanzania.com (Habari Tanzania)</author>
					  <pubDate>Mon, 06 Nov 2006 00:00:00 -0600</pubDate>
					 
					</item>

				

					<item>
					  <title>Barcelona yaendelea kuboronga</title>
					  <link>http://www.habaritanzania.com/articles/1699/1/Barcelona-yaendelea-kuboronga</link>
					  <description>WIKI ya mikosi kwa Barcelona iliendelea juzi wakati ilipolazimishwa sare ya bao 1-1 na Deportivo La Coruna katika mechi ya ligi ya soka daraja la kwanza, Primera Liga, iliyofanyika kwenye Riazor.</description>
					  <author>info@habaritanzania.com (Habari Tanzania)</author>
					  <pubDate>Mon, 06 Nov 2006 00:00:00 -0600</pubDate>
					 
					</item>

				

					<item>
					  <title>Klabu bingwa netiboli Afrika Mashariki ilikosa msisimko</title>
					  <link>http://www.habaritanzania.com/articles/1698/1/Klabu-bingwa-netiboli-Afrika-Mashariki-ilikosa-msisimko</link>
					  <description>MASHINDANO ya Netboli ya Afrika Mashariki yalimalizika wiki iliyopita katika Viwanja vya Klabu ya Sigara vilivyopo Chang'ombe jijini Dar es Salaam.</description>
					  <author>info@habaritanzania.com (Habari Tanzania)</author>
					  <pubDate>Mon, 06 Nov 2006 00:00:00 -0600</pubDate>
					 
					</item>

				

					<item>
					  <title>Walioitwa Taifa Stars wembe ni ule ule</title>
					  <link>http://www.habaritanzania.com/articles/1672/1/Walioitwa-Taifa-Stars-wembe-ni-ule-ule</link>
					  <description>Mkufunzi mkuu wa timu ya taifa ya Tanzania, Taifa Stars, Marcio Maximo, ametangaza kikosi cha wachezaji 24 atakaowaandaa kwa ajili ya mechi ya kimataifa ya kujipima nguvu dhidi ya Angola.</description>
					  <author>info@habaritanzania.com (Habari Tanzania)</author>
					  <pubDate>Sat, 04 Nov 2006 00:00:00 -0600</pubDate>
					 
					</item>

				

					<item>
					  <title>TBL kuendelea kudhamini kikapu</title>
					  <link>http://www.habaritanzania.com/articles/1662/1/TBL-kuendelea-kudhamini-kikapu</link>
					  <description>KAMPUNI ya Bia Tanzania (TBL), kupitia bia aina ya Kilimanjaro, imetangaza udhamini wa ligi ya mpira wa kikapu 'Kill Basketball' kwa mikoa mitano zaidi.</description>
					  <author>info@habaritanzania.com (Habari Tanzania)</author>
					  <pubDate>Fri, 03 Nov 2006 00:00:00 -0600</pubDate>
					 
					</item>

				

					<item>
					  <title>Ghana yatinga nusu fainali</title>
					  <link>http://www.habaritanzania.com/articles/1661/1/Ghana-yatinga-nusu-fainali</link>
					  <description>MABAO mawili yaliyofungwa na mshambuliaji Anita Amankwa, juzi yaliiwezesha Ghana kufuzu kucheza nusu fainali ya michuano ya soka ya kuwania ubingwa wa Afrika kwa wanawake, baada ya kuichapa Cameroun mabao 2-1.</description>
					  <author>info@habaritanzania.com (Habari Tanzania)</author>
					  <pubDate>Fri, 03 Nov 2006 00:00:00 -0600</pubDate>
					 
					</item>

				

					<item>
					  <title>Mengi atoa vikombe 26 kushindaniwa</title>
					  <link>http://www.habaritanzania.com/articles/1660/1/Mengi-atoa-vikombe-26-kushindaniwa</link>
					  <description>MWENYEKITI Mtendaji wa Kampuni ya IPP Ltd, Reginald Mengi, ametoa vikombe 26 vya mashindano ya mpira ikiwa ni sehemu ya sherehe za maadhimisho ya miaka 45 ya Uhuru wa Tanzania Bara mwaka huu.</description>
					  <author>info@habaritanzania.com (Habari Tanzania)</author>
					  <pubDate>Fri, 03 Nov 2006 00:00:00 -0600</pubDate>
					 
					</item>

				

					<item>
					  <title>Kipa wa zamani Yanga afariki dunia</title>
					  <link>http://www.habaritanzania.com/articles/1646/1/Kipa-wa-zamani-Yanga-afariki-dunia</link>
					  <description>KIPA wa zamani wa timu ya soka ya Yanga, Godwin Mashoto, amefariki dunia baada ya kuugua ugonjwa wa kifua kikuu kwa muda mfupi.</description>
					  <author>info@habaritanzania.com (Habari Tanzania)</author>
					  <pubDate>Thu, 02 Nov 2006 00:00:00 -0600</pubDate>
					 
					</item>

				

					<item>
					  <title>DIT, SUA kufungua dimba SHIMMUTA</title>
					  <link>http://www.habaritanzania.com/articles/1645/1/DIT%2C-SUA-kufungua-dimba-SHIMMUTA</link>
					  <description>MABINGWA watetezi wa soka, Taasisi ya Teknolojia ya Dar es Salaama (DIT), wamepangwa kufungua dimba na Chuo Kikuu cha Kilimo cha Sokoine (SUA), katika mechi ya michuano ya Shirikisho la Michezo la Mashirika ya Umma na Kampuni Binafsi (SHIMMUTA), inayotarajiwa kuanza Jumamosi mjini Tanga.</description>
					  <author>info@habaritanzania.com (Habari Tanzania)</author>
					  <pubDate>Thu, 02 Nov 2006 00:00:00 -0600</pubDate>
					 
					</item>

				

					<item>
					  <title>JayDee, Bushoke watunukiwa Uganda</title>
					  <link>http://www.habaritanzania.com/articles/1644/1/JayDee%2C-Bushoke-watunukiwa-Uganda</link>
					  <description>WASANII Judith Wambura 'Lady JayDee', Ruta Bushoke na kundi la TMK Wanaume, wameshinda tuzo mbalimbali za wasanii bora wa kigeni zilizotolewa nchini Uganda, mwishoni mwa wiki iliyopita.</description>
					  <author>info@habaritanzania.com (Habari Tanzania)</author>
					  <pubDate>Thu, 02 Nov 2006 00:00:00 -0600</pubDate>
					 
					</item>

				

					<item>
					  <title>Matumla afyatua Mtambo wa Gongo</title>
					  <link>http://www.habaritanzania.com/articles/1599/1/Matumla-afyatua-Mtambo-wa-Gongo</link>
					  <description>BONDIA mahiri aliyetamba kwenye ngumi za kulipwa, Rashid 'Snake Boy' Matumla, juzi alidhihirisha kuwa bado wamo baada ya kuibuka na ushindi wa pointi katika pambano la kirafiki dhidi ya Maneno Oswald 'Mtambo wa Gongo'.</description>
					  <author>info@habaritanzania.com (Habari Tanzania)</author>
					  <pubDate>Mon, 30 Oct 2006 00:00:00 -0600</pubDate>
					 
					</item>

				

					<item>
					  <title>Jeshi Stars malikia A. Mashariki</title>
					  <link>http://www.habaritanzania.com/articles/1598/1/Jeshi-Stars-malikia-A.-Mashariki</link>
					  <description>TIMU ya netiboli ya Jeshi Stars wanawake, imefanikiwa kuivua ubingwa wa Afrika Mashariki, NIC ya Uganda baada ya kuizamisha kwa magoli 37 - 31.</description>
					  <author>info@habaritanzania.com (Habari Tanzania)</author>
					  <pubDate>Mon, 30 Oct 2006 00:00:00 -0600</pubDate>
					 
					</item>

				

					<item>
					  <title>Simba, Yanga uchawi 100%</title>
					  <link>http://www.habaritanzania.com/articles/1597/1/Simba%2C-Yanga-uchawi-100%25</link>
					  <description>WACHEZAJI kuruka ukuta, jopo la wazee kuingia uwanjani na njiwa kabla ya mechi, vyote hivi jana havikuweza kuzisadia Simba wala Yanga kupata ushindi.</description>
					  <author>info@habaritanzania.com (Habari Tanzania)</author>
					  <pubDate>Mon, 30 Oct 2006 00:00:00 -0600</pubDate>
					 
					</item>

				

					<item>
					  <title>Golikipa wa Yanga awekewa doria kali</title>
					  <link>http://www.habaritanzania.com/articles/1583/1/Golikipa-wa-Yanga-awekewa-doria-kali</link>
					  <description>Zikiwa zimesalia saa 24 kabla ya watani wa jadi Simba na Yanga kukutana katika pambano la mzunguko wa pili wa Ligi Kuu litakalochezwa Uwanja wa Taifa, Dar es salaam, uongozi wa timu ya Yanga umemuweka chini ya ulinzi mkali mlinda mlango wake namba moja Ivo Mapunda,ili kumuepusha na zahama la kununuliwa,imeelezwa. </description>
					  <author>info@habaritanzania.com (Habari Tanzania)</author>
					  <pubDate>Sun, 29 Oct 2006 00:00:00 -0500</pubDate>
					 
					</item>

				

					<item>
					  <title>Ni mpambano wa mwisho kwenye uwanja wa Taifa</title>
					  <link>http://www.habaritanzania.com/articles/1582/1/Ni-mpambano-wa-mwisho-kwenye-uwanja-wa-Taifa</link>
					  <description>Simba na Yanga zinakutana leo kwenye mchezo wa marudiano wa ligi kuu ya Bara ambao utakuwa mpambano wa mwisho baina ya vigogo hivyo kwenye Uwanja wa Taifa endapo uwanja wa kisasa uliopo mita chache pembeni utakamilika Februari mwakani kama ilivyopangwa. </description>
					  <author>info@habaritanzania.com (Habari Tanzania)</author>
					  <pubDate>Sun, 29 Oct 2006 00:00:00 -0500</pubDate>
					 
					</item>

				

					<item>
					  <title>TAMTHILIA: Carlos aweka hadharani uhusiano wake na Luisa</title>
					  <link>http://www.habaritanzania.com/articles/1559/1/TAMTHILIA%3A-Carlos-aweka-hadharani-uhusiano-wake-na-Luisa</link>
					  <description>Carlos Eduardo anatangaza kwamba Luisa Fernanda ni mpenzi wake. Binti anafurahi, lakini ana hofu huenda mama yake Carlos Eduardo hawezi kumkubali.</description>
					  <author>info@habaritanzania.com (Habari Tanzania)</author>
					  <pubDate>Fri, 27 Oct 2006 00:00:00 -0500</pubDate>
					 
					</item>

				

					<item>
					  <title>Kiingilio Yanga, Simba Sh3,000 hadi Sh15,000</title>
					  <link>http://www.habaritanzania.com/articles/1558/1/Kiingilio-Yanga%2C-Simba-Sh3%2C000-hadi-Sh15%2C000</link>
					  <description>KLABU za Simba na Yanga zimetaka kiingilio cha juu kwa pambano lao la watani wa jadi kutotofautiana na cha pambano lao la kwanza lililoisha kwa sare ya bila kufungana, lakini zikakubaliana kuondoa kiingilio cha Sh 20,000 kwa watu maalum (V.I.P), Shirikisho la Soka (TFF) lilitangaza jana.</description>
					  <author>info@habaritanzania.com (Habari Tanzania)</author>
					  <pubDate>Fri, 27 Oct 2006 00:00:00 -0500</pubDate>
					 
					</item>

				

					<item>
					  <title>Wanamichezo watakiwa kushiriki mafunzo</title>
					  <link>http://www.habaritanzania.com/articles/1538/1/Wanamichezo-watakiwa-kushiriki-mafunzo</link>
					  <description>MKUU wa Mkoa wa Pwani Dk. Christine Ishengoma, amewataka wanamichezo mkoani humo kuwa na utamaduni wa kupata mafunzo ya mara kwa mara kwa faida ya mkoa na taifa kwa ujumla.</description>
					  <author>info@habaritanzania.com (Habari Tanzania)</author>
					  <pubDate>Thu, 26 Oct 2006 00:00:00 -0500</pubDate>
					 
					</item>

				

					<item>
					  <title>Klabu Bingwa Afrika Mashariki: CHANETA yaongeza muda timu kuthibitisha ushiriki</title>
					  <link>http://www.habaritanzania.com/articles/1537/1/Klabu-Bingwa-Afrika-Mashariki%3A-CHANETA-yaongeza-muda-timu-kuthibitisha-ushiriki</link>
					  <description>CHAMA cha Netiboli Tanzania (CHANETA) kimeongeza muda wa timu kuthibitisha kushiriki katika michuano ya klabu bingwa Afrika Mashariki, inayotarajiwa kufanyika mwishoni mwa mwezi huu.</description>
					  <author>info@habaritanzania.com (Habari Tanzania)</author>
					  <pubDate>Thu, 26 Oct 2006 00:00:00 -0500</pubDate>
					 
					</item>

				

					<item>
					  <title>Ubingwa chekwa Yanga</title>
					  <link>http://www.habaritanzania.com/articles/1521/1/Ubingwa-chekwa-Yanga</link>
					  <description>SIMBA imepigwa mchanga wa macho, Tanzania Daima imegundua, baada ya kuona Msimbazi kumejaa chereko kutokana na uamuzi wa Kamati ya Rufaa bila kufahamu maana ya uamuzi huo.</description>
					  <author>info@habaritanzania.com (Habari Tanzania)</author>
					  <pubDate>Wed, 25 Oct 2006 00:00:00 -0500</pubDate>
					 
					</item>

				

					<item>
					  <title>2 try to steal Terry&#39;s boots</title>
					  <link>http://www.habaritanzania.com/articles/1505/1/2-try-to-steal-Terry%26%2339%3Bs-boots</link>
					  <description>London - Two men have been arrested on suspicion of trying to steal the boots of England soccer captain John Terry last week, police said on Tuesday. </description>
					  <author>washawashaupupu@yahoo.com (Marshy Abdu)</author>
					  <pubDate>Tue, 24 Oct 2006 00:00:00 -0500</pubDate>
					 
					</item>

				

					<item>
					  <title>Dos Santos asuta wachezaji Simba</title>
					  <link>http://www.habaritanzania.com/articles/1500/1/Dos-Santos-asuta-wachezaji-Simba</link>
					  <description>KOCHA wa Simba, Mbrazil Neider Dos Santos, mwishoni mwa wiki aliwasuta wachezaji wake, akitaka wamfahamishe sababu za kucheza chini ya kiwango katika mchezo wa Ligi Kuu ya Vodacom dhidi ya Ashanti United ya Ilala ambako ilishinda bao 1-0 Uwanja wa Taifa, Dar es Salaam.</description>
					  <author>info@habaritanzania.com (Habari Tanzania)</author>
					  <pubDate>Tue, 24 Oct 2006 00:00:00 -0500</pubDate>
					 
					</item>

				

					<item>
					  <title>Tanzania Olympic Games 2012 Preparation</title>
					  <link>http://www.habaritanzania.com/articles/1490/1/Tanzania-Olympic-Games-2012-Preparation</link>
					  <description>While the holding of the Olympic Games is still six years away, it is  important that the right preparation starts now to encourage new and existing  talent to be able to develop into international competitors and to guarantee  Tanzania success at the games. </description>
					  <author>saria@tanzaniasports.com (Saria Israel)</author>
					  <pubDate>Tue, 24 Oct 2006 00:00:00 -0500</pubDate>
					 
					</item>

				

					<item>
					  <title>Yanga yazidi kupaa</title>
					  <link>http://www.habaritanzania.com/articles/1479/1/Yanga-yazidi-kupaa</link>
					  <description>BAO la kujifunga katika dakika ya nane, jana lilitosha kuipa Yanga pointi tatu muhimu na kuzidi kukalia kiti cha uongozi kwa kufikisha pointi 59, huku Simba ikiwa na pointi 53.</description>
					  <author>info@habaritanzania.com (Habari Tanzania)</author>
					  <pubDate>Mon, 23 Oct 2006 00:00:00 -0500</pubDate>
					 
					</item>

				

					<item>
					  <title>Mwimbaji Kyambiki kuunguruma leo Dar</title>
					  <link>http://www.habaritanzania.com/articles/1469/1/Mwimbaji-Kyambiki-kuunguruma-leo-Dar</link>
					  <description>MWANAMUZIKI mahiri wa Injili Catherine Kyambiki leo anatarajia kuzindua rasmi video ya &#34;Yesu anaweza yote&#34; na audio ya &#34;Kyala Nnunu&#34; katika tamasha litakalofanyika kwenye ukumbi wa hoteli ya Land Mark jijini Dar es Salaam.</description>
					  <author>info@habaritanzania.com (Habari Tanzania)</author>
					  <pubDate>Sun, 22 Oct 2006 00:00:00 -0500</pubDate>
					 
					</item>

				

					<item>
					  <title>Safari Tusker Project Fame yaiva</title>
					  <link>http://www.habaritanzania.com/articles/1468/1/Safari-Tusker-Project-Fame-yaiva</link>
					  <description>WASHIRI wanne kutoka Tanzania watakaoshiriki katika shindano la Tusker Project Fame wanatarajiwa kuondoka mapema wiki ijayo kwa ajili ya kwenda kuanza kambi yao rasmi nchini Kenya.</description>
					  <author>info@habaritanzania.com (Habari Tanzania)</author>
					  <pubDate>Sun, 22 Oct 2006 00:00:00 -0500</pubDate>
					 
					</item>

				

					<item>
					  <title>Serikali yaamua kuibeba Taifa Queens ya mpira wa wavu</title>
					  <link>http://www.habaritanzania.com/articles/1467/1/Serikali-yaamua-kuibeba-Taifa-Queens-ya-mpira-wa-wavu</link>
					  <description>SERIKALI imesema itaibeba timu ya taifa ya netiboli, Taifa Queens na ile ya wanaume zitakazoshiriki michuano ya Afrika, itakayofanyika nchini Namibia baadaye mwezi ujao.</description>
					  <author>info@habaritanzania.com (Habari Tanzania)</author>
					  <pubDate>Sun, 22 Oct 2006 00:00:00 -0500</pubDate>
					 
					</item>

				

					<item>
					  <title>Thadeo atuliza mizuka Simba</title>
					  <link>http://www.habaritanzania.com/articles/1436/1/Thadeo-atuliza-mizuka-Simba</link>
					  <description>MSAJILI wa Vyama na Klabu za Michezo nchini, Leonard Thadeo, ametoa wito kwa Baraza la Wazee wa klabu ya Simba kukamilisha kupata nakala ya hukumu, na kwamba baada ya hapo mambo mengine yatashughulikiwa bila matatizo.</description>
					  <author>info@habaritanzania.com (Habari Tanzania)</author>
					  <pubDate>Fri, 20 Oct 2006 00:00:00 -0500</pubDate>
					 
					</item>

				

					<item>
					  <title>Tyson set for Robben Island?</title>
					  <link>http://www.habaritanzania.com/articles/1430/1/Tyson-set-for-Robben-Island%3F</link>
					  <description>Ohio - He kicked off his sneakers, stepped on the scale in his white socks and smiled.</description>
					  <author>washawashaupupu@yahoo.com (Marshy Abdu)</author>
					  <pubDate>Fri, 20 Oct 2006 00:00:00 -0500</pubDate>
					 
					</item>

				

					<item>
					  <title>Sasa kuna Miss Kiswahili</title>
					  <link>http://www.habaritanzania.com/articles/1417/1/Sasa-kuna-Miss-Kiswahili</link>
					  <description>BARAZA la Sanaa la Taifa (BASATA) limeibariki Kampuni ya Care Arts Promotion ya jijini Dar es Salaam kuandaa shindano la kumsaka mrembo wa Kiswahili.</description>
					  <author>info@habaritanzania.com (Habari Tanzania)</author>
					  <pubDate>Thu, 19 Oct 2006 00:00:00 -0500</pubDate>
					 
					</item>

				

					<item>
					  <title>Yanga yang'ang'ania juu, Simba yazidi kuipumulia</title>
					  <link>http://www.habaritanzania.com/articles/1415/1/Yanga-yang%92ang%92ania-juu%2C-Simba-yazidi-kuipumulia</link>
					  <description>LIGI Kuu ya Vodacom Tanzania Bara imefika patamu, baada ya vigogo vya soka nchini, Simba na Yanga, kuonyesha dalili za ugumu wa ubingwa huo msimu huu katika matokeo ya mechi za jana.</description>
					  <author>info@habaritanzania.com (Habari Tanzania)</author>
					  <pubDate>Thu, 19 Oct 2006 00:00:00 -0500</pubDate>
					 
					</item>

				

					<item>
					  <title>FIFA committee recommends Kenya&#39;s suspension</title>
					  <link>http://www.habaritanzania.com/articles/1404/1/FIFA-committee-recommends-Kenya%26%2339%3Bs-suspension</link>
					  <description>FIFA proposed suspending Kenya from international competitions and may discipline its officials over what it called Kenya&#39;s failure to respect agreements and recurrent problems in its football association.</description>
					  <author>washawashaupupu@yahoo.com (Marshy Abdu)</author>
					  <pubDate>Thu, 19 Oct 2006 00:00:00 -0500</pubDate>
					 
					</item>

				

					<item>
					  <title>Mzee Kisa atunukiwa tuzo</title>
					  <link>http://www.habaritanzania.com/articles/1396/1/Mzee-Kisa-atunukiwa-tuzo</link>
					  <description>BAADA ya kusota kwa takriban miaka miwili, mwanamichezo bora wa karne wa Shirikisho la Soka Duniani (FIFA), wa Tanzania, Mathias Kisa, jana alikabidhiwa rasmi tuzo yake.</description>
					  <author>info@habaritanzania.com (Habari Tanzania)</author>
					  <pubDate>Wed, 18 Oct 2006 00:00:00 -0500</pubDate>
					 
					</item>

				

					<item>
					  <title>2010 World Cup projected bill up to R12 billion</title>
					  <link>http://www.habaritanzania.com/articles/1393/1/2010-World-Cup-projected-bill-up-to-R12-billion</link>
					  <description>South Africa&#39;s projected bill for hosting the 2010 Soccer World Cup has ballooned to more than R12 billion. Figures released by the organising committee this week put the cost of stadiums at R8.3 billion, transport at R3.7 billion and broadcasting at R400 million.</description>
					  <author>washawashaupupu@yahoo.com (Marshy Abdu)</author>
					  <pubDate>Wed, 18 Oct 2006 00:00:00 -0500</pubDate>
					 
					</item>

				

					<item>
					  <title>Mabondia Dar kuondoka leo</title>
					  <link>http://www.habaritanzania.com/articles/1383/1/Mabondia-Dar-kuondoka-leo</link>
					  <description>TIMU ya ngumi za ridhaa Mkoa wa Dar es Salaam (DABA), inatarajiwa kuondoka leo jijini kwenda Nairobi, Kenya, kushiriki mashindano ya Miji Mikuu ya Afrika Mashariki na Kati yanayotarajiwa kuanza leo.</description>
					  <author>info@habaritanzania.com (Habari Tanzania)</author>
					  <pubDate>Tue, 17 Oct 2006 00:00:00 -0500</pubDate>
					 
					</item>

				

					<item>
					  <title>Zanzibar Stars kufyatua mbili</title>
					  <link>http://www.habaritanzania.com/articles/1382/1/Zanzibar-Stars-kufyatua-mbili</link>
					  <description>KUNDI la muziki la Zanzibar Stars, linatarajiwa kutambulisha nyimbo mbili mpya siku ya pili ya Sikukuu ya Idd el Fitr, hafla itakayofanyika katika Ukumbi wa Hoteli ya Travertine iliyoko Magomeni, Dar es Salaam.</description>
					  <author>info@habaritanzania.com (Habari Tanzania)</author>
					  <pubDate>Tue, 17 Oct 2006 00:00:00 -0500</pubDate>
					 
					</item>

				

					<item>
					  <title>Kumekucha Miss Utalii vyuo vikuu</title>
					  <link>http://www.habaritanzania.com/articles/1381/1/Kumekucha-Miss-Utalii-vyuo-vikuu</link>
					  <description>MSANII wa kizazi kipya, Juma Kassim 'Nature', anatarajiwa kutumbuiza kwenye shindano la kumsaka mrembo wa Utalii wa vyuo vikuu Tanzania katika onyesho litakalofanyika kwenye Ukumbi wa Nkrumah, Chuo Kikuu cha Mlimani, Dar es Salaam Oktoba 28, mwaka huu.</description>
					  <author>info@habaritanzania.com (Habari Tanzania)</author>
					  <pubDate>Tue, 17 Oct 2006 00:00:00 -0500</pubDate>
					 
					</item>

				

					<item>
					  <title>CRDB mabingwa wa Kombe la Nyerere</title>
					  <link>http://www.habaritanzania.com/articles/1380/1/CRDB-mabingwa-wa-Kombe-la-Nyerere</link>
					  <description>TIMU ya soka ya Benki ya CRDB, mwishoni mwa wiki iliyopita, ilitwaa ubingwa wa michuano maalumu ya kumbukumbu ya kifo cha Baba wa Taifa, Mwalimu Julius Kambarage Nyerere, kwa kuichapa Simba Net kwa penalti 4-3.</description>
					  <author>info@habaritanzania.com (Habari Tanzania)</author>
					  <pubDate>Tue, 17 Oct 2006 00:00:00 -0500</pubDate>
					 
					</item>

				

					<item>
					  <title>Kampuni yaipiga jeki Bandari</title>
					  <link>http://www.habaritanzania.com/articles/1379/1/Kampuni-yaipiga-jeki-Bandari</link>
					  <description>KAMPUNI ya Artumas ya Canada juzi iliipiga jeki timu ya soka ya Bandari ya mjini hapa fedha taslimu sh milioni tano pamoja na vifaa vyenye thamani ya sh milioni tano, katika hafla iliyofanyika kwenye ofisi ya Ikulu ndogo ya mjini hapa.</description>
					  <author>info@habaritanzania.com (Habari Tanzania)</author>
					  <pubDate>Tue, 17 Oct 2006 00:00:00 -0500</pubDate>
					 
					</item>

				

					<item>
					  <title>Wazee Simba wamgeukia msajili</title>
					  <link>http://www.habaritanzania.com/articles/1378/1/Wazee-Simba-wamgeukia-msajili</link>
					  <description>BARAZA la Wazee la Klabu ya Simba ya Dar es Salaam, limesema kwamba linashindwa kuratibu suala zima la Uchaguzi Mkuu kwa sababu ya kutokamilika mamabo kadhaa, ikiwamo leja inayoelezwa iko kwa msajili.</description>
					  <author>info@habaritanzania.com (Habari Tanzania)</author>
					  <pubDate>Tue, 17 Oct 2006 00:00:00 -0500</pubDate>
					 
					</item>

				

					<item>
					  <title>Miss World kubadili mfumo</title>
					  <link>http://www.habaritanzania.com/articles/1377/1/Miss-World-kubadili-mfumo</link>
					  <description>UTARATIBU wa kumpata Malkia Dunia 'Miss World', utabadilishwa kuanzia mwakani kutokana na mawakala wengi kulalamikia namna ya kuchagua mrembo kwa kutumia 'Credit Card' na 'Visa Card' kwamba ni utaratibu mbovu. </description>
					  <author>info@habaritanzania.com (Habari Tanzania)</author>
					  <pubDate>Tue, 17 Oct 2006 00:00:00 -0500</pubDate>
					 
					</item>

				

					<item>
					  <title>Uteuzi wa Maximo safi</title>
					  <link>http://www.habaritanzania.com/articles/1359/1/Uteuzi-wa-Maximo-safi</link>
					  <description>SHIRIKISHO la Soka Tanzania, katikati ya wiki iliyopita lilimtangaza kocha mkuu wa Taifa Stars, timu ya soka ya Tanzania, Marcio Bastellos Maximo, kuwa pia kocha mkuu wa Kilimanjaro Stars, timu ya taifa ya Tanzania Bara.</description>
					  <author>info@habaritanzania.com (Habari Tanzania)</author>
					  <pubDate>Mon, 16 Oct 2006 00:00:00 -0500</pubDate>
					 
					</item>

				

					<item>
					  <title>Maximo ameisahau Moro Utd-Kibadeni</title>
					  <link>http://www.habaritanzania.com/articles/1322/1/Maximo-ameisahau-Moro-Utd-Kibadeni</link>
					  <description>KOCHA Mkuu wa Moro United ya Morogoro, Abdallah 'King Mputa' Kibadeni, amesikitishwa kutokuwa na mchezaji kwenye kikosi cha tomu ya soka ya Tanzania, Taifa Stars kinachoshiriki michuano ya kuwania kucheza fainali za Kombe la Mataifa ya Afrika (CAN).</description>
					  <author>info@habaritanzania.com (Habari Tanzania)</author>
					  <pubDate>Fri, 13 Oct 2006 00:00:00 -0500</pubDate>
					 
					</item>

				

					<item>
					  <title>Tanzania haina wapachika mabao</title>
					  <link>http://www.habaritanzania.com/articles/1321/1/Tanzania-haina-wapachika-mabao</link>
					  <description>NILIONDOKA jijini Dar es Salaam, Oktoba 7, saa 10:50 jioni, kwa saa za Afrika Mashariki kwenda Maputo kwa ndege ya Shirika la Ndege la Msumbiji, maarufu kama LAM</description>
					  <author>info@habaritanzania.com (Habari Tanzania)</author>
					  <pubDate>Fri, 13 Oct 2006 00:00:00 -0500</pubDate>
					 
					</item>

				

					<item>
					  <title>SA fears hotel room shortage at 2010 World Cup</title>
					  <link>http://www.habaritanzania.com/articles/1310/1/SA-fears-hotel-room-shortage-at-2010-World-Cup</link>
					  <description>Organisers of the 2010 World Cup say many soccer fans will have to stay in guesthouses and game lodges in South Africa because rooms in the best hotels will be booked years in advance.</description>
					  <author>washawashaupupu@yahoo.com (Marshy Abdu)</author>
					  <pubDate>Fri, 13 Oct 2006 00:00:00 -0500</pubDate>
					 
					</item>

				

					<item>
					  <title>Upendo apaa kwenda Bahamas</title>
					  <link>http://www.habaritanzania.com/articles/1285/1/Upendo-apaa-kwenda-Bahamas</link>
					  <description>MISS Intercontinental Tanzania 2006, Upendo Mpanda, ameondoka nchini juzi kwenda Bahamas, kuiwakilisha nchi katika mashindano mengine makubwa ya urembo duniani.</description>
					  <author>info@habaritanzania.com (Habari Tanzania)</author>
					  <pubDate>Wed, 11 Oct 2006 00:00:00 -0500</pubDate>
					 
					</item>

				

					<item>
					  <title>Kocha Twiga ahofia kushuka</title>
					  <link>http://www.habaritanzania.com/articles/1262/1/Kocha-Twiga-ahofia-kushuka</link>
					  <description>KOCHA wa timu ya soka ya Twiga SC 'Pan African', Adolph Mohammed Rishard, ameeleza wasiwasi wake juu ya timu yake kukumbana na janga la kushuka daraja kwa kile alichodai haina maandalizi ya kutosha.</description>
					  <author>info@habaritanzania.com (Habari Tanzania)</author>
					  <pubDate>Mon, 09 Oct 2006 00:00:00 -0500</pubDate>
					 
					</item>

				

					<item>
					  <title>Watanzania roho kwatu Maputo</title>
					  <link>http://www.habaritanzania.com/articles/1261/1/Watanzania-roho-kwatu-Maputo</link>
					  <description>MJI wa Maputo jana usiku uligeuka kuwa makao makuu ya muda ya Watanzania baada ya shamra shamra kubwa zilizofanywa na Watanzania wanaoishi hapa na wanaotoka nje ya Msumbiji baada ya timu ya Tanzania 'Taifa Stars' kuilazimisha sare ya kutofungana Msumbiji.</description>
					  <author>info@habaritanzania.com (Habari Tanzania)</author>
					  <pubDate>Mon, 09 Oct 2006 00:00:00 -0500</pubDate>
					 
					</item>

				

					<item>
					  <title>Stars yajenga matumaini</title>
					  <link>http://www.habaritanzania.com/articles/1260/1/Stars-yajenga-matumaini</link>
					  <description>TIMU ya soka ya Tanzania, Taifa Stars, jana ilifanikiwa kuiengua Senegal kileleni mwa Kundi la Saba baada ya kutoka suluhu na Msumbiji.</description>
					  <author>info@habaritanzania.com (Habari Tanzania)</author>
					  <pubDate>Mon, 09 Oct 2006 00:00:00 -0500</pubDate>
					 
					</item>

				

					<item>
					  <title>JK asaka umaarufu michezoni - Mbunge</title>
					  <link>http://www.habaritanzania.com/articles/1252/1/JK-asaka-umaarufu-michezoni---Mbunge</link>
					  <description>MBUNGE wa Viti Maalumu wa Chama cha Demokrasia na Maendeleo (CHADEMA), Halima Mdee, amesema Rais Jakaya Kikwete, anajaribu kutafuta umaarufu kupitia jukwaa la michezo.</description>
					  <author>info@habaritanzania.com (Habari Tanzania)</author>
					  <pubDate>Sun, 08 Oct 2006 00:00:00 -0500</pubDate>
					 
					</item>

				

					<item>
					  <title>Stars yaiva kuifumua Mambaz leo</title>
					  <link>http://www.habaritanzania.com/articles/1251/1/Stars-yaiva-kuifumua-Mambaz-leo</link>
					  <description>TIMU ya soka ya Tanzania, 'Taifa Stars', leo inashuka katika dimba la Machava mjini Maputo, Msumbiji kukwaana na Mamba ya huko katika moja ya mechi za kusaka tiketi ya fainali za Mataifa ya Afrika.</description>
					  <author>info@habaritanzania.com (Habari Tanzania)</author>
					  <pubDate>Sun, 08 Oct 2006 00:00:00 -0500</pubDate>
					 
					</item>

				

					<item>
					  <title>Tanzania vs Mozambique</title>
					  <link>http://www.habaritanzania.com/articles/1214/1/Tanzania-vs-Mozambique</link>
					  <description>Timu ya soka ya Taifa, Taifa Stars imeingia kambini kujiandaa na mechi yake ya pili dhidi ya kikosi cha Msumbiji. (Mozambique/Mocambique)
</description>
					  <author>washawashaupupu@yahoo.com (Marshy Abdu)</author>
					  <pubDate>Fri, 06 Oct 2006 00:00:00 -0500</pubDate>
					 
					</item>

				

					<item>
					  <title>Wema arejea Dar kimyakimya</title>
					  <link>http://www.habaritanzania.com/articles/1190/1/Wema-arejea-Dar-kimyakimya</link>
					  <description>MISS Tanzania 2006, Wema Sepetu, juzi usiku, alirejea nchini kimyakimya kwa ndege ya Shirika la Ndege la Swiss International akitokea Poland alikokwenda kushiriki shindano la urembo la dunia, Miss World.</description>
					  <author>info@habaritanzania.com (Habari Tanzania)</author>
					  <pubDate>Wed, 04 Oct 2006 00:00:00 -0500</pubDate>
					 
					</item>

				

					<item>
					  <title>Wema arejea Dar kimyakimya</title>
					  <link>http://www.habaritanzania.com/articles/1189/1/Wema-arejea-Dar-kimyakimya</link>
					  <description>MISS Tanzania 2006, Wema Sepetu, juzi usiku, alirejea nchini kimyakimya kwa ndege ya Shirika la Ndege la Swiss International akitokea Poland alikokwenda kushiriki shindano la urembo la dunia, Miss World.</description>
					  <author>info@habaritanzania.com (Habari Tanzania)</author>
					  <pubDate>Wed, 04 Oct 2006 00:00:00 -0500</pubDate>
					 
					</item>

				

					<item>
					  <title>Beyonce, Jay-Z watua Dar</title>
					  <link>http://www.habaritanzania.com/articles/1188/1/Beyonce%2C-Jay-Z-watua-Dar</link>
					  <description>MKALI wa muziki wa Hip hop Marekani, Shawn Carter 'Jay Z', anatarajiwa kutua nchini leo akiwa ameongozana na mkewe mtarajiwa, nyota wa R&#38;B, Beyonce Knowles na usiku atatoa burudani kwenye Ukumbi wa Diamond Jubilee, Upanga jijini Dar es Salaam.</description>
					  <author>info@habaritanzania.com (Habari Tanzania)</author>
					  <pubDate>Wed, 04 Oct 2006 00:00:00 -0500</pubDate>
					 
					</item>

				

					<item>
					  <title>Leicester City yamwaga vifaa kwa timu ya wazee wa Dar</title>
					  <link>http://www.habaritanzania.com/articles/1159/1/Leicester-City-yamwaga-vifaa-kwa-timu-ya-wazee-wa-Dar</link>
					  <description>KLABU maarufu ya Leicester City ya Uingereza imetoa msaada wa vifaa vya michezo vya mamilioni ya shilingi kwa timu ya Mburahati Veterans ya jijini Dar es Salaam.</description>
					  <author>info@habaritanzania.com (Habari Tanzania)</author>
					  <pubDate>Sat, 30 Sep 2006 00:00:00 -0500</pubDate>
					 
					</item>

				

					<item>
					  <title>Yanga yapewa somo</title>
					  <link>http://www.habaritanzania.com/articles/1107/1/Yanga-yapewa-somo</link>
					  <description>BAADA ya Mkurugenzi wa Kampuni ya Gaming Management Limited, Yussuf Manji kufanikiwa kumaliza msuguano uliokuwa unaota mizizi kati ya makundi ya wanachama ndani ya Yanga, mkurugenzi huyo sasa ameshauriwa kusimamia suala la kufuta kesi za baadhi ya wanachama zilizopo mahakamani.</description>
					  <author>info@habaritanzania.com (Habari Tanzania)</author>
					  <pubDate>Mon, 25 Sep 2006 00:00:00 -0500</pubDate>
					 
					</item>

				

					<item>
					  <title>Malinzi anguruma Yanga</title>
					  <link>http://www.habaritanzania.com/articles/1106/1/Malinzi-anguruma-Yanga</link>
					  <description>KATIBU Mkuu wa zamani wa klabu ya Yanga, Jamal Malinzi, amesema kama wanachama wa klabu hiyo watashindwa kutulia na kuuheshimu mchango wa mdhamini wa klabu hiyo, Yussuf Manji, watajuta.</description>
					  <author>info@habaritanzania.com (Habari Tanzania)</author>
					  <pubDate>Mon, 25 Sep 2006 00:00:00 -0500</pubDate>
					 
					</item>

				

					<item>
					  <title>Ngorongoro yarejea</title>
					  <link>http://www.habaritanzania.com/articles/1105/1/Ngorongoro-yarejea</link>
					  <description>KOCHA Msaidizi wa timu ya taifa ya vijana wa chini ya miaka 17, Serengeti Boys, Sylvestre Marsh amesema, kikosi cha timu hiyo ndicho kilichobeba matumaini ya soka la Tanzania kwa siku za usoni.</description>
					  <author>info@habaritanzania.com (Habari Tanzania)</author>
					  <pubDate>Mon, 25 Sep 2006 00:00:00 -0500</pubDate>
					 
					</item>

				

					<item>
					  <title>Tiger Woods aimbishwa kwa lazima</title>
					  <link>http://www.habaritanzania.com/articles/1092/1/Tiger-Woods-aimbishwa-kwa-lazima</link>
					  <description>BINGWA wa dunia wa mchezo wa gofu, Tiger Woods alilazimika kuimba wimbo wa taifa wa Marekani ikiwa ni sehemu ya kujenga mshikamano katika kikosi hicho.</description>
					  <author>info@habaritanzania.com (Habari Tanzania)</author>
					  <pubDate>Sun, 24 Sep 2006 00:00:00 -0500</pubDate>
					 
					</item>

				

					<item>
					  <title>Liverpool sasa kuishtaki BBC</title>
					  <link>http://www.habaritanzania.com/articles/1091/1/Liverpool-sasa-kuishtaki-BBC</link>
					  <description>KLABU ya Liverpool imesema itaangalia uwezekano wa kuchukua hatua za kisheria dhidi ya Shirika la Utangazaji la Uingereza, BBC baada ya kuituhumu timu hiyo kufanya 'ujanjaujanja' kumchukua chipukizi wa Middlesbrough.</description>
					  <author>info@habaritanzania.com (Habari Tanzania)</author>
					  <pubDate>Sun, 24 Sep 2006 00:00:00 -0500</pubDate>
					 
					</item>

				

					<item>
					  <title>Simba yaivutia kasi Yanga</title>
					  <link>http://www.habaritanzania.com/articles/1080/1/Simba-yaivutia-kasi-Yanga</link>
					  <description>WAKATI vinara wa Ligi ya Vodacom, Yanga, wakivuta pumzi, Simba na Mtibwa Sugar ya Morogoro, leo zitakuwa katika vita kali ya kuifukuza Yanga.</description>
					  <author>info@habaritanzania.com (Habari Tanzania)</author>
					  <pubDate>Sat, 23 Sep 2006 00:00:00 -0500</pubDate>
					 
					</item>

				

					<item>
					  <title>Lowassa kuongoza hafla ya yatima leo Dar</title>
					  <link>http://www.habaritanzania.com/articles/1079/1/Lowassa-kuongoza-hafla-ya-yatima-leo-Dar</link>
					  <description>WAZIRI Mkuu, Edward Lowassa, leo anatarajiwa kuwa mgeni rasmi katika hafla ya kuchangia kituo cha michezo kwa yatima itakayofanyika Hoteli ya Kilimanjaro Kempisk, Dar es Salaam.</description>
					  <author>info@habaritanzania.com (Habari Tanzania)</author>
					  <pubDate>Sat, 23 Sep 2006 00:00:00 -0500</pubDate>
					 
					</item>

				

					<item>
					  <title>Jack Pemba ageukia urembo</title>
					  <link>http://www.habaritanzania.com/articles/1042/1/Jack-Pemba-ageukia-urembo</link>
					  <description>KAMPUNI ya Global Scouting Bureau (GSB), imetoa tiketi nne kwa Kamati ya Miss Tanzania kwenda na kurudi Poland kumshangilia mwakilishi wa Tanzania katika shindano la Miss World, Wema Sepetu.</description>
					  <author>info@habaritanzania.com (Habari Tanzania)</author>
					  <pubDate>Tue, 19 Sep 2006 00:00:00 -0500</pubDate>
					 
					</item>

				

					<item>
					  <title>Kaseja asalimu amri Simba</title>
					  <link>http://www.habaritanzania.com/articles/1041/1/Kaseja-asalimu-amri-Simba</link>
					  <description>KIPA namba moja wa timu ya soka ya Simba, Juma Kaseja, amesalimu amri kwa uongozi wa Kamati ya muda ya Simba baada ya kukubali kuandika barua ya kueleza sababu za kushindwa kuambata na timu mkoani Shinyanga.</description>
					  <author>info@habaritanzania.com (Habari Tanzania)</author>
					  <pubDate>Tue, 19 Sep 2006 00:00:00 -0500</pubDate>
					 
					</item>

				

					<item>
					  <title>Kikosi kitakachoivaa Msumbiji</title>
					  <link>http://www.habaritanzania.com/articles/1040/1/Kikosi-kitakachoivaa-Msumbiji</link>
					  <description>KOCHA Marcio Maximo, jana ametaja kikosi cha timu ya soka ya Tanzania (Taifa Stars) kitakachovaana na Msumbiji mjini Maputo, Oktoba 7, mwaka huu kuwania tiketi ya kucheza fainali za Kombe la Mataifa ya Afrika, Ghana 2008.</description>
					  <author>info@habaritanzania.com (Habari Tanzania)</author>
					  <pubDate>Tue, 19 Sep 2006 00:00:00 -0500</pubDate>
					 
					</item>

				

					<item>
					  <title>Eriksson awania klabu England</title>
					  <link>http://www.habaritanzania.com/articles/1016/1/Eriksson-awania-klabu-England</link>
					  <description>KOCHA wa zamani wa timu ya taifa ya England, Sven-Goran Eriksson kwa sasa ameamua kugeukia klabu za nchi hiyo akitaka kuinoa mojawapo, imefahamika jana jijini hapa.</description>
					  <author>info@habaritanzania.com (Habari Tanzania)</author>
					  <pubDate>Sun, 17 Sep 2006 00:00:00 -0500</pubDate>
					 
					</item>

				

					<item>
					  <title>Simba yaivaa Transit Camp</title>
					  <link>http://www.habaritanzania.com/articles/1015/1/Simba-yaivaa-Transit-Camp</link>
					  <description>BAADA ya kulazimishwa sare na Mtibwa Sugar katika mechi iliyopita, Simba leo itakuwa ikijiuliza kwa maafande wa Transit Camp katika mechi itakayofanyika kwenye Uwanja wa Taifa, Dar es Salaam.</description>
					  <author>info@habaritanzania.com (Habari Tanzania)</author>
					  <pubDate>Sun, 17 Sep 2006 00:00:00 -0500</pubDate>
					 
					</item>

				

					<item>
					  <title>JATA wapata viongozi</title>
					  <link>http://www.habaritanzania.com/articles/1014/1/JATA-wapata-viongozi</link>
					  <description>BAADA ya kushindikana kwa muda mrefu, hatimaye Chama cha Judo Tanzania (JATA), kimepata viongozi watakaokiendesha kwa muda wa miaka mitatu.</description>
					  <author>info@habaritanzania.com (Habari Tanzania)</author>
					  <pubDate>Sun, 17 Sep 2006 00:00:00 -0500</pubDate>
					 
					</item>

				

					<item>
					  <title>Yanga yafikisha pointi 50</title>
					  <link>http://www.habaritanzania.com/articles/1012/1/Yanga-yafikisha-pointi-50</link>
					  <description>MABINGWA watetezi wa Ligi Kuu ya Vodacom, Yanga, sasa wamefikisha pointi  50 baada ya jana kuichapa Ruvu Shooting ya Pwani mabao 2-0 katika mchezo wa Ligi  Kuu ya Vodacom Tanzania Bara.</description>
					  <author>info@habaritanzania.com (Habari Tanzania)</author>
					  <pubDate>Sun, 17 Sep 2006 00:00:00 -0500</pubDate>
					 
					</item>

				

					<item>
					  <title>Simba yaivaa Transit Camp</title>
					  <link>http://www.habaritanzania.com/articles/1011/1/Simba-yaivaa-Transit-Camp</link>
					  <description>BAADA ya kulazimishwa sare na Mtibwa Sugar katika mechi iliyopita, Simba  leo itakuwa ikijiuliza kwa maafande wa Transit Camp katika mechi itakayofanyika  kwenye Uwanja wa Taifa, Dar es Salaam.</description>
					  <author>info@habaritanzania.com (Habari Tanzania)</author>
					  <pubDate>Sun, 17 Sep 2006 00:00:00 -0500</pubDate>
					 
					</item>

				

					<item>
					  <title>Yanga kanyaga twende</title>
					  <link>http://www.habaritanzania.com/articles/1006/1/Yanga-kanyaga-twende</link>
					  <description>Mabingwa wa soka Tanzania Bara Yanga, jana waliendelea kutesa kileleni mwa msimamo wa Ligi Kuu ya Vodacom baada ya kuikandika Ruvu shooting mabao 2-0, katika mchezo uliofanyika kwenye Uwanja wa Taifa jijini Dar es Salaam. </description>
					  <author>info@habaritanzania.com (Habari Tanzania)</author>
					  <pubDate>Sun, 17 Sep 2006 00:00:00 -0500</pubDate>
					 
					</item>

				

					<item>
					  <title>Maximo amenena, utaifa kwanza</title>
					  <link>http://www.habaritanzania.com/articles/955/1/Maximo-amenena%2C-utaifa-kwanza</link>
					  <description>BAADA ya kuifyatua Burkina Faso, matumaini ya Watanzania yameanza kuwa juu kwa Taifa Stars, timu ya soka ya Tanzania iliyotumbukiza kwa mbwembwe kete yake katika michuano ya awali ya Kombe la Mataifa ya Afrika ikiwania kufuzu kwa fainali za mwaka 2008, nchini Ghana.</description>
					  <author>info@habaritanzania.com (Habari Tanzania)</author>
					  <pubDate>Mon, 11 Sep 2006 00:00:00 -0500</pubDate>
					 
					</item>

				

					<item>
					  <title>Mbunge Wa Muhambwe &#34;Catapilar&#34; Afadhili Michezo Kibondo</title>
					  <link>http://www.habaritanzania.com/articles/920/1/Mbunge-Wa-Muhambwe-%26quot%3BCatapilar%26quot%3B-Afadhili-Michezo-Kibondo</link>
					  <description>Mbunge wa jimbo la Muhambwe wilayani Kibondo Felix Kijiko ametoa vifaa vya michezo kwa timu kadhaa wilayani hapa ili kuinua kiwango cha mchezo wa mpira wa miguu kwa vijana</description>
					  <author>pkwigize@yahoo.com (Prosper Kwigize)</author>
					  <pubDate>Wed, 06 Sep 2006 00:00:00 -0500</pubDate>
					 
					</item>

				

					<item>
					  <title>Mfanyabiashara Ajitolea Shilingi Milioni Moja Kuinua Soka Kibondo</title>
					  <link>http://www.habaritanzania.com/articles/913/1/Mfanyabiashara-Ajitolea-Shilingi-Milioni-Moja-Kuinua-Soka-Kibondo</link>
					  <description>Mfanyabiashara mmoja mkazi wa Tarafa ya Mabamba wilayani hapa ameahidi kutoa kiasi cha shilingi milioni moja kwa ajili ya ligi ya soka kwa lengo la kuboresha mchezo huo wilayani.</description>
					  <author>pkwigize@yahoo.com (Prosper Kwigize)</author>
					  <pubDate>Tue, 05 Sep 2006 00:00:00 -0500</pubDate>
					 
					</item>

				

					<item>
					  <title>Stars, hakuna kulala!</title>
					  <link>http://www.habaritanzania.com/articles/900/1/Stars%2C-hakuna-kulala%21</link>
					  <description>TANZANIA, juzi ilizianza vyema kampeni za kuwania kufuzu kwa fainali za Kombe la Mataifa ya Afrika za mwaka 2008 huko Ghana, baada ya kuizima kabisa Burkina Faso kwa mabao 2-1 kwenye Uwanja wa Taifa, Dar es Salaam</description>
					  <author>info@habaritanzania.com (Habari Tanzania)</author>
					  <pubDate>Mon, 04 Sep 2006 00:00:00 -0500</pubDate>
					 
					</item>

				

					<item>
					  <title>Stars isaidiwe sasa</title>
					  <link>http://www.habaritanzania.com/articles/888/1/Stars-isaidiwe-sasa</link>
					  <description>JANA Watanzania wamefurahia ushindi wa timu yetu ya taifa ya soka dhidi ya timu ya Burkina Faso.</description>
					  <author>info@habaritanzania.com (Habari Tanzania)</author>
					  <pubDate>Sun, 03 Sep 2006 00:00:00 -0500</pubDate>
					 
					</item>

				

					<item>
					  <title>Hotuba Ya Mhe. Jakaya Mrisho Kikwete</title>
					  <link>http://www.habaritanzania.com/articles/879/1/Hotuba-Ya-Mhe.-Jakaya-Mrisho-Kikwete</link>
					  <description>HOTUBA YA MHE. JAKAYA MRISHO KIKWETE, RAIS WA JAMHURI YA MUUNGANO WA TANZANIA, KWA WANANCHI NA VIONGOZI WA MKOA WA DODOMA 31 AGOSTI, 2006</description>
					  <author>info@habaritanzania.com (Habari Tanzania)</author>
					  <pubDate>Sat, 02 Sep 2006 00:00:00 -0500</pubDate>
					 
					</item>

				

					<item>
					  <title>Stars, unyonge una mwisho</title>
					  <link>http://www.habaritanzania.com/articles/876/1/Stars%2C-unyonge-una-mwisho</link>
					  <description>MACHO na masikio ya Watanzania leo vimeelekezwa kwenye mechi ya kuwania nafasi ya kushiriki Kombe la Mataifa ya Afrika, kati ya Tanzania (Taifa Stars) na Burkina Faso.</description>
					  <author>info@habaritanzania.com (Habari Tanzania)</author>
					  <pubDate>Sat, 02 Sep 2006 00:00:00 -0500</pubDate>
					 
					</item>

				

					<item>
					  <title>CHANETA nao wamtaka Kikwete</title>
					  <link>http://www.habaritanzania.com/articles/865/1/CHANETA-nao-wamtaka-Kikwete</link>
					  <description>CHAMA cha Netiboli Tanzania (CHANETA) kimemwagia sifa Rais Jakaya Kikwete kwa ziara yake ya kutembelea kambi ya timu ya soka ya Tanzania, Taifa Stars juzi jijini Dar es Salaam.</description>
					  <author>info@habaritanzania.com (Habari Tanzania)</author>
					  <pubDate>Thu, 31 Aug 2006 00:00:00 -0500</pubDate>
					 
					</item>

				

					<item>
					  <title>Chips tuliza ball - Lundenga</title>
					  <link>http://www.habaritanzania.com/articles/854/1/Chips-tuliza-ball---Lundenga</link>
					  <description>MKURUGENZI wa Kampuni ya Lino International Agency, Hashim Lundenga, amemtaka Rais wa shindano la Miss Utalii Tanzania, Gideon Chipungahelo, kuboresha shindano lake kwanza badala ya kuingilia programu za wadau wengine.</description>
					  <author>info@habaritanzania.com (Habari Tanzania)</author>
					  <pubDate>Wed, 30 Aug 2006 00:00:00 -0500</pubDate>
					 
					</item>

				

					<item>
					  <title>Kigoma wapinga Nyamagana 'kuuzwa'</title>
					  <link>http://www.habaritanzania.com/articles/853/1/Kigoma-wapinga-Nyamagana-%91kuuzwa%92</link>
					  <description>CHAMA cha Soka Mkoa wa Kigoma - Ujiji (KUFA), kimepinga uamuzi wa Halmashauri ya Jiji la Mwanza kutoa uwanja wa mpira wa Nyamagana kwa mwekezaji aliyepanga kujenga hoteli.</description>
					  <author>info@habaritanzania.com (Habari Tanzania)</author>
					  <pubDate>Wed, 30 Aug 2006 00:00:00 -0500</pubDate>
					 
					</item>

				

					<item>
					  <title>Tanzania yaliota Kombe la Dunia</title>
					  <link>http://www.habaritanzania.com/articles/852/1/Tanzania-yaliota-Kombe-la-Dunia</link>
					  <description>WACHEZAJI wa timu ya soka ya taifa (Taifa Stars), wametakiwa kucheza kwa juhudi zote ili kuhakikisha Tanzania inafanya vizuri katika medani ya soka, hivyo serikali kupata nguvu ya kujenga hoja ya kuandaa Kombe la Dunia.</description>
					  <author>info@habaritanzania.com (Habari Tanzania)</author>
					  <pubDate>Wed, 30 Aug 2006 00:00:00 -0500</pubDate>
					 
					</item>

				

					<item>
					  <title>Rais Kikwete atia ubani Taifa Stars</title>
					  <link>http://www.habaritanzania.com/articles/851/1/Rais-Kikwete-atia-ubani-Taifa-Stars</link>
					  <description>RAIS Jakaya Kikwete, jana jioni alijumuika na viongozi mbalimbali, wapenzi na mashabiki wa soka kushuhudia mazoezi ya timu ya soka ya Tanzania, Taifa Stars yaliyokuwa yakifanyika kwenye Uwanja wa Karume, Ilala jijini Dar es Salaam.</description>
					  <author>info@habaritanzania.com (Habari Tanzania)</author>
					  <pubDate>Wed, 30 Aug 2006 00:00:00 -0500</pubDate>
					 
					</item>

				

					<item>
					  <title>Rais Kikwete atia ubani Taifa Stars</title>
					  <link>http://www.habaritanzania.com/articles/844/1/Rais-Kikwete-atia-ubani-Taifa-Stars</link>
					  <description>RAIS Jakaya Kikwete, jana jioni alijumuika na viongozi mbalimbali, wapenzi na mashabiki wa soka kushuhudia mazoezi ya timu ya soka ya Tanzania, Taifa Stars yaliyokuwa yakifanyika kwenye Uwanja wa Karume, Ilala jijini Dar es Salaam.</description>
					  <author>info@habaritanzania.com (Habari Tanzania)</author>
					  <pubDate>Wed, 30 Aug 2006 00:00:00 -0500</pubDate>
					 
					</item>

				

					<item>
					  <title>Msondo Ngoma yakwama</title>
					  <link>http://www.habaritanzania.com/articles/764/1/Msondo-Ngoma-yakwama</link>
					  <description>BENDI kongwe ya muziki wa dansi, Msondo Ngoma 'Baba ya Muziki' imeshindwa kuanza kazi ya kuzirudia upya nyimbo zake kutokana na kutofautiana na waandaaji pamoja na waliokuwa wasambazaji wa zamani.</description>
					  <author>info@habaritanzania.com (Habari Tanzania)</author>
					  <pubDate>Fri, 18 Aug 2006 00:00:00 -0500</pubDate>
					 
					</item>

				

					<item>
					  <title>Chibe ana imani na Bandari</title>
					  <link>http://www.habaritanzania.com/articles/760/1/Chibe-ana-imani-na-Bandari</link>
					  <description>MLINZI wa kushoto wa timu ya soka ya Bandari Mtwara, Chibe Chibindu, amesema licha ya timu hiyo kuwa kwenye nafasi za chini katika msimamo wa Ligi Kuu ya Vodacom, kamwe haitashuka daraja, na akawataka wapenzi wa timu hiyo kusubiri kuona vitu vyao katika mechi zijazo.</description>
					  <author>info@habaritanzania.com (Habari Tanzania)</author>
					  <pubDate>Fri, 18 Aug 2006 00:00:00 -0500</pubDate>
					 
					</item>

				

					<item>
					  <title>Yanga yaigeukia Polisi Uganda</title>
					  <link>http://www.habaritanzania.com/articles/757/1/Yanga-yaigeukia-Polisi-Uganda</link>
					  <description>KLABU ya soka ya Yanga ya Dar es Salaam imesema baada ya kupoteza mchezo wa nusu fainali wa Kombe la Tusker dhidi ya mtani wake wa jadi, Simba, sasa akili na nguvu zao wanazielekeza kwenye mechi ya kesho wa kusaka nafasi ya tatu.</description>
					  <author>info@habaritanzania.com (Habari Tanzania)</author>
					  <pubDate>Fri, 18 Aug 2006 00:00:00 -0500</pubDate>
					 
					</item>

				

					<item>
					  <title>Lowassa akerwa na vitambi bungeni</title>
					  <link>http://www.habaritanzania.com/articles/759/1/Lowassa-akerwa-na-vitambi-bungeni</link>
					  <description>WAZIRI Mkuu, Edward Lowassa, ameeleza kukerwa na vitambi vya wabunge na kuwataka wafanye mazoezi na kuacha kutumia usafiri wa magari kwenda mahala penye mwendo mfupi.</description>
					  <author>info@habaritanzania.com (Habari Tanzania)</author>
					  <pubDate>Thu, 17 Aug 2006 00:00:00 -0500</pubDate>
					 
					</item>

				

					<item>
					  <title>Chipolopolo kuipamba The Security</title>
					  <link>http://www.habaritanzania.com/articles/761/1/Chipolopolo-kuipamba-The-Security</link>
					  <description>BENDI ya muziki wa dansi ya African Stars 'Twanga Pepeta Chipolopolo' inatatarajia kutumbuiza katika uzinduzi wa filamu mpya ya Kitanzania, The Security, utakaofanyika Agosti 25, mwaka huu kwenye Hoteli ya Landmark, ulioko Ubungo, Dar es Salaam.</description>
					  <author>info@habaritanzania.com (Habari Tanzania)</author>
					  <pubDate>Wed, 16 Aug 2006 00:00:00 -0500</pubDate>
					 
					</item>

				

					<item>
					  <title>Michezo ya upatu yafutwa</title>
					  <link>http://www.habaritanzania.com/articles/727/1/Michezo-ya-upatu-yafutwa</link>
					  <description>Waziri wa Fedha, Zakia Meghji alitangaza hatua hiyo jana, wakati akisoma hotuba ya makadirio ya matumizi na mapato ya wizara yake kwa kipindi cha mwaka wa fedha wa 2006/2007.</description>
					  <author>info@habaritanzania.com (Habari Tanzania)</author>
					  <pubDate>Tue, 15 Aug 2006 00:00:00 -0500</pubDate>
					 
					</item>

				

					<item>
					  <title>Vijana Stars in UK</title>
					  <link>http://www.habaritanzania.com/articles/681/1/Vijana-Stars-in-UK</link>
					  <description>TAASISI inayojishughulisha na kutafuta vipaji vya wachezaji ya GBS inayoialika timu ya Taifa ya Vijana hapa Uingereza imetoa vifaa mbalimbali vya kisasa kwa wachezaji na viongozi wa timu hiyo watakaokuja kucheza mechi mbili za kirafiki vikiwa na thamani ya sh.milioni 10.5 za kitanzania.</description>
					  <author>info@habaritanzania.com (Habari Tanzania)</author>
					  <pubDate>Thu, 03 Aug 2006 00:00:00 -0500</pubDate>
					 
					</item>

				

					<item>
					  <title>Amavubi yataka marudio na Stars</title>
					  <link>http://www.habaritanzania.com/articles/675/1/Amavubi-yataka-marudio-na-Stars</link>
					  <description>UONGOZI wa timu ya soka ya taifa ya Rwanda 'Amavubi', umeomba mechi ya marudiano na Tanzania 'Taifa Stars' kwa maelezo kwamba imepata changamoto mpya baada ya kufungwa juzi jijini Dar es Salaam.</description>
					  <author>info@habaritanzania.com (Habari Tanzania)</author>
					  <pubDate>Tue, 01 Aug 2006 00:00:00 -0500</pubDate>
					 
					</item>

				

					<item>
					  <title> Management of football clubs in Tanzania</title>
					  <link>http://www.habaritanzania.com/articles/665/1/-Management-of-football-clubs-in-Tanzania</link>
					  <description>&#160;In international football there are various different ways in which clubs are owned and managed. These range from power being in the hands of one individual to power being with the members. </description>
					  <author>saria@tanzaniasports.com (Saria Israel)</author>
					  <pubDate>Mon, 31 Jul 2006 00:00:00 -0500</pubDate>
					 
					</item>

				

					<item>
					  <title>Iko wapi thamani ya makocha wazalendo?</title>
					  <link>http://www.habaritanzania.com/articles/620/1/Iko-wapi-thamani-ya-makocha-wazalendo%3F</link>
					  <description>MMOJA wa wadau wa soka alizungumza na gazeti moja la michezo akitoa somo kwa klabu mbalimbali za Ligi Kuu ya Vidacom Tanzania Bara kuacha ulimbukeni wa kuthamini makocha kutoka nje ya nchi.</description>
					  <author>info@habaritanzania.com (Habari Tanzania)</author>
					  <pubDate>Mon, 24 Jul 2006 00:00:00 -0500</pubDate>
					 
					</item>

				

					<item>
					  <title>Sembuli alivyowazulia balaa Chogo, Kajole</title>
					  <link>http://www.habaritanzania.com/articles/613/1/Sembuli-alivyowazulia-balaa-Chogo%2C-Kajole</link>
					  <description>SOKA ni kati ya michezo maarufu na wenye wapenzi na mashabiki wengi zaidi kuliko michezo mingine duniani. </description>
					  <author>info@habaritanzania.com (Habari Tanzania)</author>
					  <pubDate>Sun, 23 Jul 2006 00:00:00 -0500</pubDate>
					 
					</item>

				

					<item>
					  <title>Nani miss Utali?</title>
					  <link>http://www.habaritanzania.com/articles/596/1/Nani-miss-Utali%3F</link>
					  <description>Na,Mussa Juma.&#160;SHINDANO la kumsaka Miss Utalii jijini Arusha, linatarajiwa kufanyika leo(IJUMAA)&#160; katika ukumbi wa triple A na kuhudhuliwa na mamia ya watu.&#160;</description>
					  <author>info@habaritanzania.com (Habari Tanzania)</author>
					  <pubDate>Fri, 21 Jul 2006 00:00:00 -0500</pubDate>
					 
					</item>

				

					<item>
					  <title>Msitapeli, Lundenga awaambia warembo</title>
					  <link>http://www.habaritanzania.com/articles/541/1/Msitapeli%2C-Lundenga-awaambia-warembo</link>
					  <description>WAANDAAJI wa shindano la Miss Tanzania, Kampuni ya Lino International Agency wamepiga mkwara kwa warembo wenye tabia ya kukimbia na zawadi mara baada ya kushinda hatua za awali, kwamba kuna sheria kali zitakazowabana.</description>
					  <author>info@habaritanzania.com (Habari Tanzania)</author>
					  <pubDate>Fri, 14 Jul 2006 00:00:00 -0500</pubDate>
					 
					</item>

				

					<item>
					  <title>Barasa, SMG, Gulla majeruhi Yanga</title>
					  <link>http://www.habaritanzania.com/articles/540/1/Barasa%2C-SMG%2C-Gulla-majeruhi-Yanga</link>
					  <description>WAKATI inajiandaa kutoa dozi kwa Prisons ya Mbeya kwa mbiu ya 'Mabao Kitita', klabu ya Yanga imekumbwa na majerihi wawili watakaokaa benchi kwa siku kadhaa, Meneja wa timu hiyo, Robert Ekerege alisema jana jijini Dar es Salaam.</description>
					  <author>info@habaritanzania.com (Habari Tanzania)</author>
					  <pubDate>Fri, 14 Jul 2006 00:00:00 -0500</pubDate>
					 
					</item>

				

					<item>
					  <title>Vijana wa Tanzania kukipiga England</title>
					  <link>http://www.habaritanzania.com/articles/539/1/Vijana-wa-Tanzania-kukipiga-England</link>
					  <description>KAMPUNI ya Global Scouting Bureau ya England (GSB), jana ilikabidhi hundi ya sh mil. 50 kwa Shirikisho la Soka Tanzania (TFF), kwa ajili ya safari ya timu ya taifa ya vijana wa chini ya miaka 17 na 20.</description>
					  <author>info@habaritanzania.com (Habari Tanzania)</author>
					  <pubDate>Fri, 14 Jul 2006 00:00:00 -0500</pubDate>
					 
					</item>

				

					<item>
					  <title>Miamba ya soka Ulaya yamwania Nistelrooy</title>
					  <link>http://www.habaritanzania.com/articles/518/1/Miamba-ya-soka-Ulaya-yamwania-Nistelrooy</link>
					  <description>KLABU ya Real Madrid ya Hispania imeungana na klabu ya Bayern Munich ya Ujerumani katika kinyang'anyiro cha kumsajili mshambuliaji Ruud Van Nistelrooy wa Manchester United. </description>
					  <author>info@habaritanzania.com (Habari Tanzania)</author>
					  <pubDate>Wed, 12 Jul 2006 00:00:00 -0500</pubDate>
					 
					</item>

				

					<item>
					  <title>Zidane akumbukwe kwa utaalamu - Trezeguet</title>
					  <link>http://www.habaritanzania.com/articles/517/1/Zidane-akumbukwe-kwa-utaalamu---Trezeguet</link>
					  <description>MSHAMBULIAJI wa kimataifa wa Ufaransa, David Trezeguet amesema kuwa mkongwe Zinedine Zidane anapaswa kukumbukwa kutokana na utaalam aliouonyesha katika soka.</description>
					  <author>info@habaritanzania.com (Habari Tanzania)</author>
					  <pubDate>Wed, 12 Jul 2006 00:00:00 -0500</pubDate>
					 
					</item>

				

					<item>
					  <title>Italia yapokelewa kishujaa</title>
					  <link>http://www.habaritanzania.com/articles/516/1/Italia-yapokelewa-kishujaa</link>
					  <description>TIMU ya soka ya taifa ya Italia juzi ilipata mapokezi makubwa na ya aina yake ilipowasili mjini hapa ikitokea nchini Ujerumani.</description>
					  <author>info@habaritanzania.com (Habari Tanzania)</author>
					  <pubDate>Wed, 12 Jul 2006 00:00:00 -0500</pubDate>
					 
					</item>

				

					<item>
					  <title>Wadau iungeni mkono netiboli</title>
					  <link>http://www.habaritanzania.com/articles/505/1/Wadau-iungeni-mkono-netiboli</link>
					  <description>PAZIA la michuano ya mchezo wa netiboli Daraja la Kwanza, ilifunguliwa juzi mchana kwenye Uwanja wa Reli Gerezani kwa kushirikisha timu 14.</description>
					  <author>info@habaritanzania.com (Habari Tanzania)</author>
					  <pubDate>Mon, 10 Jul 2006 00:00:00 -0500</pubDate>
					 
					</item>

				

					<item>
					  <title>Kahn na Figo watangaza kustaafu soka ya kimataifa</title>
					  <link>http://www.habaritanzania.com/articles/502/1/Kahn-na-Figo-watangaza-kustaafu-soka-ya-kimataifa</link>
					  <description>KIPA wa kimataifa wa Ujerumani, Oliver Kahn na washambuliaji wa kimataifa wa Ureno, Luis Figo na Pedro Pauleta wametangaza kustaafu kucheza soka ya kimataifa.</description>
					  <author>info@habaritanzania.com (Habari Tanzania)</author>
					  <pubDate>Mon, 10 Jul 2006 00:00:00 -0500</pubDate>
					 
					</item>

				

					<item>
					  <title>Ulimboka si mtovu Stars, auguliwa na mama</title>
					  <link>http://www.habaritanzania.com/articles/494/1/Ulimboka-si-mtovu-Stars%2C-auguliwa-na-mama</link>
					  <description>Mshambuliaji nyota wa timu ya Taifa ya Tanzania, Taifa Stars, Ulimboka Mwakingwe amesikitishwa na taarifa za kocha mkuu wa timu hiyo, Mshindo Msolla za kudai amemuondoa katika kikosi hicho kwa utovu wa nidhamu. </description>
					  <author>info@habaritanzania.com (Habari Tanzania)</author>
					  <pubDate>Sun, 09 Jul 2006 00:00:00 -0500</pubDate>
					 
					</item>

				

					<item>
					  <title>Yanga yabanwa mbavu Mtibwa</title>
					  <link>http://www.habaritanzania.com/articles/493/1/Yanga-yabanwa-mbavu-Mtibwa</link>
					  <description>Mabingwa wa soka Tanzania Bara, Yanga jana walipunguzwa kasi katika kampeni zao za kutwaa tena ubingwa wa Ligi Kuu ya Vodacom, baada ya kutoka suluhu na Mtibwa Sugar katika mchezo wa ligi hiyo uliofanyika kwenye uwanja wa Jamhuri mjini hapa. </description>
					  <author>info@habaritanzania.com (Habari Tanzania)</author>
					  <pubDate>Sun, 09 Jul 2006 00:00:00 -0500</pubDate>
					 
					</item>

				

					<item>
					  <title>Ufaransa yatamba kutwaa ubingwa</title>
					  <link>http://www.habaritanzania.com/articles/480/1/Ufaransa-yatamba-kutwaa-ubingwa</link>
					  <description>WACHEZAJI wa timu ya taifa ya Ufaransa, wanaamini watashinda katika mechi ya kesho ya fainali ya Kombe la Dunia dhidi ya Italia na kuweka rekodi ya kutwaa taji hilo kwa mara ya pili. Mara ya kwanza walitwaa mwaka 1998.</description>
					  <author>info@habaritanzania.com (Habari Tanzania)</author>
					  <pubDate>Sat, 08 Jul 2006 00:00:00 -0500</pubDate>
					 
					</item>

				

					<item>
					  <title>Maji yalizidi unga - Scolari</title>
					  <link>http://www.habaritanzania.com/articles/470/1/Maji-yalizidi-unga---Scolari</link>
					  <description>KOCHA wa timu ya taifa ya Ureno, Luiz Felipe Scolari 'Big Phil', amesema kufungwa kwa timu yake na Ufaransa kulisababishwa na ubutu wa safu ya ushambuliaji.</description>
					  <author>info@habaritanzania.com (Habari Tanzania)</author>
					  <pubDate>Fri, 07 Jul 2006 00:00:00 -0500</pubDate>
					 
					</item>

				

					<item>
					  <title>Simba yapanga, kupangua</title>
					  <link>http://www.habaritanzania.com/articles/463/1/Simba-yapanga%2C-kupangua</link>
					  <description>MWENYEKITI wa Kamati ya Muda ya Simba, Michael Richard Wambura, amewaomba wanachama wa klabu hiyo kuondoa tofauti zao na kuweka mshikamano wa hali ya juu ili kushinda michezo ya mzunguko wa pili wa Ligi Kuu ya Bara.</description>
					  <author>info@habaritanzania.com (Habari Tanzania)</author>
					  <pubDate>Thu, 06 Jul 2006 00:00:00 -0500</pubDate>
					 
					</item>

				

					<item>
					  <title>Nimetimiza ndoto, atamba Lippi</title>
					  <link>http://www.habaritanzania.com/articles/462/1/Nimetimiza-ndoto%2C-atamba-Lippi</link>
					  <description>KOCHA Mkuu wa timu ya taifa ya Italia, Marcello Lippi, amesema ushindi wa timu yake dhidi ya Ujerumani ambao ni wenyeji wa michuano ya Kombe la Dunia umetimiza ndoto yake ya ukocha.</description>
					  <author>info@habaritanzania.com (Habari Tanzania)</author>
					  <pubDate>Thu, 06 Jul 2006 00:00:00 -0500</pubDate>
					 
					</item>

				

					<item>
					  <title>Veterani Simba, Yanga dimbani Julai 15</title>
					  <link>http://www.habaritanzania.com/articles/450/1/Veterani-Simba%2C-Yanga-dimbani-Julai-15</link>
					  <description>VETERANI wa timu za soka zenye utani wa jadi tangu enzi, Simba na Yanga, zinatarajiwa kuonyeshana umwamba Julai 15, mwaka huu katika mchezo wa kirafiki utakaofanyika Uwanja wa JKT Mlandizi, mkoani, Pwani.</description>
					  <author>info@habaritanzania.com (Habari Tanzania)</author>
					  <pubDate>Tue, 04 Jul 2006 00:00:00 -0500</pubDate>
					 
					</item>

				

					<item>
					  <title>Twalib aipa somo TFF</title>
					  <link>http://www.habaritanzania.com/articles/440/1/Twalib-aipa-somo-TFF</link>
					  <description>OFISA Michezo wa Jeshi la Magereza, Twalib Twalib, amelishauri Shirikisho la Soka Tanzania (TFF) kutumia busara na kuanza utaratibu wa kuzikumbusha klabu juu ya wachezaji ambao hawastahili kucheza katika kila mchezo.</description>
					  <author>info@habaritanzania.com (Habari Tanzania)</author>
					  <pubDate>Mon, 03 Jul 2006 00:00:00 -0500</pubDate>
					 
					</item>

				

					<item>
					  <title>Riadha Tanzania kupata viongozi leo</title>
					  <link>http://www.habaritanzania.com/articles/439/1/Riadha-Tanzania-kupata-viongozi-leo</link>
					  <description>CHAMA cha Riadha Tanzania (RT) leo kinatarajiwa kupata viongozi wake wapya katika uchaguzi utakaofanyika kwenye Ukumbi wa Chuo cha Benki jijini hapa, huku wagombea wawili wa nafasi ya ujumbe waliochujwa awali, wakiongezwa baada kushinda rufaa zao, huku suala la hatma ya wapiga kura likiwa kitendawili.</description>
					  <author>info@habaritanzania.com (Habari Tanzania)</author>
					  <pubDate>Mon, 03 Jul 2006 00:00:00 -0500</pubDate>
					 
					</item>

				

					<item>
					  <title>Ni Ujerumani, Argentina</title>
					  <link>http://www.habaritanzania.com/articles/414/1/Ni-Ujerumani%2C-Argentina</link>
					  <description>KOCHA wa timu ya taifa ya Ujerumani, Jurgen Klinsmann, anajipa moyo kwamba timu yake itaibwaga Argentina na kutinga nusu fainali ya Kombe la Dunia. </description>
					  <author>info@habaritanzania.com (Habari Tanzania)</author>
					  <pubDate>Fri, 30 Jun 2006 00:00:00 -0500</pubDate>
					 
					</item>

				

					<item>
					  <title>Mwaikimba aitwa Taifa Stars</title>
					  <link>http://www.habaritanzania.com/articles/346/1/Mwaikimba-aitwa-Taifa-Stars</link>
					  <description>MSHAMBULIAJI wa Yanga, Gaudence Mwaikimba 'Crouch', ameitwa katika kikosi cha timu ya taifa, Taifa Stars kinachojiandaa kwa michuano ya awali ya kusaka tiketi ya kucheza fainali za Kombe la Mataifa Afrika mwaka 2008 huko Ghana . </description>
					  <author>info@habaritanzania.com (Habari Tanzania)</author>
					  <pubDate>Wed, 21 Jun 2006 00:00:00 -0500</pubDate>
					 
					</item>

				

					<item>
					  <title>Klose aipaisha Ujerumani</title>
					  <link>http://www.habaritanzania.com/articles/345/1/Klose-aipaisha-Ujerumani</link>
					  <description>UJERUMANI, jana ilikamata usukani wa Kundi A wa michuano inayoendelea ya Kombe la Dunia, baada ya kuichapa Ecuador kwa mabao 3-0 katika mchezo ulioonekana kuwa wa maandalizi ya raundi ya pili, kwani zote zilikwisha kuvuka hatua ya makundi kabla ya kushuka dimbani jana.</description>
					  <author>info@habaritanzania.com (Habari Tanzania)</author>
					  <pubDate>Wed, 21 Jun 2006 00:00:00 -0500</pubDate>
					 
					</item>

				

					<item>
					  <title>Mbrazil apangua kikosi Simba</title>
					  <link>http://www.habaritanzania.com/articles/344/1/Mbrazil-apangua-kikosi-Simba</link>
					  <description>KIUNGO mahiri wa timu ya Simba, Christopher Alex Masawe, ni mmoja kati ya wachezaji wanaotarajiwa kupunguzwa kwenye kikosi cha timu hiyo ambacho kitashiriki mzunguko wa pili wa Ligi Kuu ya Vodacom inayotarajia kuanza Julai 5. </description>
					  <author>info@habaritanzania.com (Habari Tanzania)</author>
					  <pubDate>Wed, 21 Jun 2006 00:00:00 -0500</pubDate>
					 
					</item>

				

					<item>
					  <title>Kamati za TFF ziwe makini duru la pili</title>
					  <link>http://www.habaritanzania.com/articles/303/1/Kamati-za-TFF-ziwe-makini-duru-la-pili</link>
					  <description>Duru la kwanza la Ligi Kuu ya Soka ya Vodacom Tanzania Bara linakaribia kabisa kumalizika huku baadhi ya timu zikiwa tayari zimekwishacheza mechi 14 kati ya 15 wanazotakiwa kucheza katika mzunguko huo wa kwanza. </description>
					  <author>info@habaritanzania.com (Habari Tanzania)</author>
					  <pubDate>Sat, 17 Jun 2006 00:00:00 -0500</pubDate>
					 
					</item>

				

					<item>
					  <title>Kagera Sugar sasa yazidi kuporomoka</title>
					  <link>http://www.habaritanzania.com/articles/290/1/Kagera-Sugar-sasa-yazidi-kuporomoka</link>
					  <description>Kagera Sugar iliyotamba katika usukani wa Ligi ya Bara mwanzoni mwa msimu, imeendelea kuandamwa na vipigo baada ya jana kuchapwa mabao 2-1 ugenini na Twiga, Uwanja wa Taifa, jijini, Dar es Salaam. </description>
					  <author>info@habaritanzania.com (Habari Tanzania)</author>
					  <pubDate>Fri, 16 Jun 2006 00:00:00 -0500</pubDate>
					 
					</item>

				

					<item>
					  <title>Waganda na Wakenya wawapania Watanzania usiku wa Akon</title>
					  <link>http://www.habaritanzania.com/articles/247/1/Waganda-na-Wakenya-wawapania-Watanzania-usiku-wa-Akon</link>
					  <description>Ujio wa wanamuziki kutoka Uganda na Kenya katika tamasha la Akon la Ijumaa umeelezewa kuwa kama vita ya kimuziki kati ya Waganda, Wakenya na Watanzania. </description>
					  <author>info@habaritanzania.com (Habari Tanzania)</author>
					  <pubDate>Mon, 12 Jun 2006 00:00:00 -0500</pubDate>
					 
					</item>

				

					<item>
					  <title>Simba yatafunwa</title>
					  <link>http://www.habaritanzania.com/articles/246/1/Simba-yatafunwa</link>
					  <description>Licha ya juhudi za beki Henry Joseph kuushika mpira makusudi, Simba jana ilishindwa kuepuka kipigo ugenini cha bao 1-0 toka kwa Prisons, katika mechi ya Ligi Kuu ya Bara jijini hapa. </description>
					  <author>info@habaritanzania.com (Habari Tanzania)</author>
					  <pubDate>Mon, 12 Jun 2006 00:00:00 -0500</pubDate>
					 
					</item>

				

					<item>
					  <title>Simba, Yanga kusukumana kileleni</title>
					  <link>http://www.habaritanzania.com/articles/214/1/Simba%2C-Yanga-kusukumana-kileleni</link>
					  <description>Vigogo vya soka nchini, Simba na Yanga, vinaendelea kufukuzana kileleni mwa Ligi Kuu ya Bara, ambapo leo vitashuka kwenye viwanja tofauti katika mbio za ligi hiyo. </description>
					  <author>info@habaritanzania.com (Habari Tanzania)</author>
					  <pubDate>Wed, 07 Jun 2006 00:00:00 -0500</pubDate>
					 
					</item>

				

					<item>
					  <title>Miss Tanzania kuwahi</title>
					  <link>http://www.habaritanzania.com/articles/203/1/Miss-Tanzania-kuwahi</link>
					  <description>Shindano la taifa la Miss Tanzania 2006, litafanyika Agosti 5 kwenye ukumbi wa Diamond Jubilee, jijini, Dar es Salaam. </description>
					  <author>info@habaritanzania.com (Habari Tanzania)</author>
					  <pubDate>Tue, 06 Jun 2006 00:00:00 -0500</pubDate>
					 
					</item>

				

					<item>
					  <title>Wanafunzi vyuo vikuu wamsubiri kwa hamu Akon</title>
					  <link>http://www.habaritanzania.com/articles/202/1/Wanafunzi-vyuo-vikuu-wamsubiri-kwa-hamu-Akon</link>
					  <description>Wanafunzi vyuo vikuu na vya elimu ya juu vya miji mbalimbali nchini, wanasubiri kwa hamu ujio wa mwanamuziki Akon ambaye atawasili nchini Juni 15 kwa maonyesho kadhaa. </description>
					  <author>info@habaritanzania.com (Habari Tanzania)</author>
					  <pubDate>Tue, 06 Jun 2006 00:00:00 -0500</pubDate>
					 
					</item>

				

					<item>
					  <title>Simba wapinga adhabu</title>
					  <link>http://www.habaritanzania.com/articles/201/1/Simba-wapinga-adhabu</link>
					  <description>Uongozi wa Simba unatarajia kukata rufaa kupinga adhabu ya kifungo cha soka cha miezi sita aliyopewa mshambuliaji Haruna Moshi. </description>
					  <author>info@habaritanzania.com (Habari Tanzania)</author>
					  <pubDate>Tue, 06 Jun 2006 00:00:00 -0500</pubDate>
					 
					</item>

				

					<item>
					  <title>Chamangwana azoza Yanga</title>
					  <link>http://www.habaritanzania.com/articles/200/1/Chamangwana-azoza-Yanga</link>
					  <description>Kocha wa Yanga, Jack Chamangwana, ameujia juu uongozi wa klabu hiyo kwa 'kuwadekeza' wachezaji Edwin Mukenya, John Barasa na Ben Mwalala</description>
					  <author>info@habaritanzania.com (Habari Tanzania)</author>
					  <pubDate>Tue, 06 Jun 2006 00:00:00 -0500</pubDate>
					 
					</item>

				

					<item>
					  <title>Kikwete asikitika kombe kwenda Uganda</title>
					  <link>http://www.habaritanzania.com/articles/156/1/Kikwete-asikitika-kombe-kwenda-Uganda</link>
					  <description>Rais Jakaya Kikwete akiwa na tabasamu tofauti na aliloingia nalo kwenye mechi ya fainali kombe la Kagame, alikubali matokeo baada ya kuiona Moro United ikiangukia Pua mbele yake dhidi ya Polisi. </description>
					  <author>info@habaritanzania.com (Habari Tanzania)</author>
					  <pubDate>Mon, 29 May 2006 00:00:00 -0500</pubDate>
					 
					</item>

				

					<item>
					  <title>Husna Masanja ndiye mrembo wa Mpanda</title>
					  <link>http://www.habaritanzania.com/articles/107/1/Husna-Masanja-ndiye-mrembo-wa-Mpanda</link>
					  <description>HUSNA Masanja (22) mwishoni mwa wiki iliyopita aliibuka kuwa mrembo wa wilaya ya Mpanda baada ya kuwabwaga warembo wenzake watatu.</description>
					  <author>info@habaritanzania.com (Habari Tanzania)</author>
					  <pubDate>Wed, 24 May 2006 00:00:00 -0500</pubDate>
					 
					</item>

				

					<item>
					  <title>Rasimu ya katiba ya TABF kupitishwa Mei 27</title>
					  <link>http://www.habaritanzania.com/articles/106/1/Rasimu-ya-katiba-ya-TABF-kupitishwa-Mei-27</link>
					  <description>SHIRIKISHO la Ngumi za Ridhaa Tanzania (TABF) limesema kuwa kikao cha kupitisha rasimu mpya ya katiba ya shirikisho hilo kitafanyika Mei 27 mwaka huu kwenye ukumbi wa JKT Mgulani, Dar es Salaam.</description>
					  <author>info@habaritanzania.com (Habari Tanzania)</author>
					  <pubDate>Wed, 24 May 2006 00:00:00 -0500</pubDate>
					 
					</item>

				

					<item>
					  <title>Twanga Pepeta kumtoa Miss Ubungo Ijumaa</title>
					  <link>http://www.habaritanzania.com/articles/105/1/Twanga-Pepeta-kumtoa-Miss-Ubungo-Ijumaa</link>
					  <description>BENDI ya muziki wa dansi ya Twanga Pepeta inatarajiwa kutoa burudani wakati wa shindano la kumsaka mrembo wa kitongoji cha Ubungo 'Korno Gold Miss Ubungo 2006' litakalofanyika Ijumaa kwenye ukumbi wa hoteli ya Land Mark, Dar es Salaam. &#160;</description>
					  <author>info@habaritanzania.com (Habari Tanzania)</author>
					  <pubDate>Wed, 24 May 2006 00:00:00 -0500</pubDate>
					 
					</item>

				

					<item>
					  <title>CECAFA: Wachezaji kupimwa dawa za kuongeza nguvu</title>
					  <link>http://www.habaritanzania.com/articles/104/1/CECAFA%3A-Wachezaji-kupimwa-dawa-za-kuongeza-nguvu</link>
					  <description>BARAZA la Vyama vya Soka Afrika Mashariki na Kati (CECAFA) limesema kuwa litaanzisha utaratibu wa kuwapima wachezaji ili kubaini iwapo wanatumia dawa za kuongeza nguvu.</description>
					  <author>info@habaritanzania.com (Habari Tanzania)</author>
					  <pubDate>Wed, 24 May 2006 00:00:00 -0500</pubDate>
					 
					</item>

				

					<item>
					  <title>Talking Tanzania Sport with Mzee Rashid Kawawa</title>
					  <link>http://www.habaritanzania.com/articles/84/1/Talking-Tanzania-Sport-with-Mzee-Rashid-Kawawa</link>
					  <description>I recently had the rare opportunity of meeting Mzee Rashid Kawawa, former Vice-President of Tanzania, during his visit to London. I talked to him about sports development in Tanzania, an issue I am very interested in. </description>
					  <author>saria@tanzaniasports.com (Saria Israel)</author>
					  <pubDate>Sun, 21 May 2006 00:00:00 -0500</pubDate>
					 
					</item>

				

					<item>
					  <title>Utendaji uende sambamba na kasi ya serikali ya awamu ya nne, Korogwe waambiwa</title>
					  <link>http://www.habaritanzania.com/articles/66/1/Utendaji-uende-sambamba-na-kasi-ya-serikali-ya-awamu-ya-nne%2C-Korogwe-waambiwa</link>
					  <description>NAIBU Waziri wa Habari, Utamaduni na Michezo, Joel Bendera amewataka watendaji wa Halmashauri za wilaya ya Korogwe na Halmashauri ya Mji wa Korogwe kubadilika katika utendaji kazi ili waweze kwenda sambamba na kasi ya serikali ya awamu ya nne.</description>
					  <author>info@habaritanzania.com (Habari Tanzania)</author>
					  <pubDate>Fri, 19 May 2006 00:00:00 -0500</pubDate>
					 
					</item>

				

					<item>
					  <title>Stars kuongezwa kipa kambi ijayo</title>
					  <link>http://www.habaritanzania.com/articles/29/1/Stars-kuongezwa-kipa-kambi-ijayo</link>
					  <description>Ili kuleta ushindani wa kuwania nafasi, kambi ijayo ya timu ya taifa, Taifa Stars, itaongezewa mlinda mlango mmoja, imeelezwa. </description>
					  <author>info@habaritanzania.com (Habari Tanzania)</author>
					  <pubDate>Sun, 14 May 2006 00:00:00 -0500</pubDate>
					 
					</item>

				

					<item>
					  <title>Zanzibar zawapa kisogo Wabara</title>
					  <link>http://www.habaritanzania.com/articles/28/1/Zanzibar-zawapa-kisogo-Wabara</link>
					  <description>Timu za netiboli za Zanzibar mwaka huu hazikusajili wachezaji kutoka Tanzania Bara kwa ajili ya ligi kuu itakayoanza Juni kwenye uwanja wa Gymkhana, imeelezwa. </description>
					  <author>info@habaritanzania.com (Habari Tanzania)</author>
					  <pubDate>Sun, 14 May 2006 00:00:00 -0500</pubDate>
					 
					</item>

				

					<item>
					  <title>Moro United watakiwa kukaza buti waitwe Stars</title>
					  <link>http://www.habaritanzania.com/articles/27/1/Moro-United-watakiwa-kukaza-buti-waitwe-Stars</link>
					  <description>Wachezaji wa timu ya Moro United ya Morogoro wametakiwa kujituma zaidi kwenye mazoezi na uwanjani na hatimaye kuongeza kiwango cha uchezaji ili wachaguliwe kwa wingi katika timu ya taifa, Taifa Stars. </description>
					  <author>info@habaritanzania.com (Habari Tanzania)</author>
					  <pubDate>Sun, 14 May 2006 00:00:00 -0500</pubDate>
					 
					</item>

				

					<item>
					  <title>Khatib aishauri TFF kuzifuta Simba, Yanga</title>
					  <link>http://www.habaritanzania.com/articles/26/1/Khatib-aishauri-TFF-kuzifuta-Simba%2C-Yanga</link>
					  <description>Serikali imeliagiza Shirikisho la Soka, TFF, kuziondoa kwenye orodha ya wanachama wake klabu za Simba na Yanga endapo hazifanya marekebisho ya katiba zake ili zifanane na ya shirikisho hilo. </description>
					  <author>info@habaritanzania.com (Habari Tanzania)</author>
					  <pubDate>Sun, 14 May 2006 00:00:00 -0500</pubDate>
					 
					</item>

				

					<item>
					  <title>Yanga yajibip yenyewe Kombe la Kagame</title>
					  <link>http://www.habaritanzania.com/articles/25/1/Yanga-yajibip-yenyewe-Kombe-la-Kagame</link>
					  <description>Yanga ya Dar es Salaam ambayo ni moja ya timu tatu za Bara na yenye jukumu la kwanza kubakisha nyumbani Kombe la Kagame la klabu bingwa ya soka ya Afrika Mashariki na Kati kutokana na kuwa mshindi wa ligi kuu ya Bara mwaka jana, jana ilianza kwa kwa wasiwasi michuano hiyo na kuambulia sare ya 0-0 mbele ya St. George ya Ethiopia</description>
					  <author>info@habaritanzania.com (Habari Tanzania)</author>
					  <pubDate>Sun, 14 May 2006 00:00:00 -0500</pubDate>
					 
					</item>

				
				  </channel>
				</rss>
			
