<?xml version="1.0" encoding="utf-8"?><?xml-stylesheet href="http://www.habaritanzania.com/templates/Default/RssDisplay.xslt" type="text/xsl"?>
		<rss version="2.0">
		  <channel>
				<title>Habari Tanzania - Articles - Uchumi</title>
				<link>http://www.habaritanzania.com</link>
				<description />
				<language>en-us</language>
				<copyright>http://www.habaritanzania.com</copyright>
				<generator>N/A</generator>
				<webMaster>info@habaritanzania.com</webMaster>
				<lastBuildDate>Sat, 22 Nov 2008 06:09:26 +0300</lastBuildDate>
				<ttl>20</ttl>

					<item>
					  <title> Wasomi wamtaka JK kukaza buti kwa mafisadi</title>
					  <link>http://www.habaritanzania.com/articles/4281/1/-Wasomi-wamtaka-JK-kukaza-buti-kwa-mafisadi</link>
					  <description>WASOMI wamemtaka Rais Jakaya Kikwete kusimamia kwa ukali na umakini mkubwa ili kuhakikisha watu walioshiriki katika ufisadi uliokithiri katika Benki Kuu ya Tanzania (BoT), wanarudisha fedha zote zilizoibwa na wahusika kuchukuliwa hatua.</description>
					  <author>info@habaritanzania.com (Habari Tanzania)</author>
					  <pubDate>Sat, 12 Jan 2008 00:00:00 +0300</pubDate>
					 
					</item>

				

					<item>
					  <title> Mwinyi akemea rushwa vyombo vya habari</title>
					  <link>http://www.habaritanzania.com/articles/4269/1/-Mwinyi-akemea-rushwa-vyombo-vya-habari</link>
					  <description>RAIS mstaafu wa awamu ya pili, Ali Hassan Mwinyi, amekemea rushwa kwenye vyombo vya habari, na kuwataka wanahabari wote kuungana na kupinga rushwa kwa nguvu zote.</description>
					  <author>info@habaritanzania.com (Habari Tanzania)</author>
					  <pubDate>Sat, 22 Dec 2007 00:00:00 +0300</pubDate>
					 
					</item>

				

					<item>
					  <title>Tume ya Mwakyusa yakiri kutohoji wazazi wa marehemu</title>
					  <link>http://www.habaritanzania.com/articles/4253/1/Tume-ya-Mwakyusa-yakiri-kutohoji-wazazi-wa-marehemu</link>
					  <description>TUME ya pili iliyokuwa inachunguza upasuaji tata katika Taasisi ya Mifupa na Tiba Muhimbili (MOI) iliyoundwa na serikali, jana ilikabidhi kwa Waziri wa Afya na Ustawi wa Jamii, Profesa David Mwakyusa, huku ikiwa na upungufu kwa kutowahoji wazazi wa Emmanuel Mgaya ambaye kwa sasa ni marehemu.</description>
					  <author>info@habaritanzania.com (Habari Tanzania)</author>
					  <pubDate>Wed, 12 Dec 2007 00:00:00 +0300</pubDate>
					 
					</item>

				

					<item>
					  <title>Watuhumiwa wizi NMB Mwanga kizimbani</title>
					  <link>http://www.habaritanzania.com/articles/4116/1/Watuhumiwa-wizi-NMB-Mwanga-kizimbani</link>
					  <description>WAHUTUMIWA 13 wa kesi ya kuvamia na kupora fedha zaidi ya sh milioni 234 katika benki ya NMB tawi la Mwanga, mkoani Kilimanjaro, wamefikishwa katika Mahakama ya Hakimu Mkazi mjini Moshi.</description>
					  <author>info@habaritanzania.com (Habari Tanzania)</author>
					  <pubDate>Thu, 16 Aug 2007 00:00:00 +0300</pubDate>
					 
					</item>

				

					<item>
					  <title>Balali hajajibu tuhuma, uzalendo ni kujiuzulu</title>
					  <link>http://www.habaritanzania.com/articles/4037/1/Balali-hajajibu-tuhuma%2C-uzalendo-ni-kujiuzulu</link>
					  <description>KWA mtu ambaye anafuatilia tuhuma zinazomkabili Gavana wa Benki Kuu ya Tanzania (BoT), Daudi Balali, licha ya kushtuka, kusikitika na hata kubaki kinywa wazi kwa majibu aliyotoa, atakubaliana nami kuwa Balali hata kama ameonyesha kujiamini kwa sababu anazozijua, hajajibu tuhuma zinazomkabili.</description>
					  <author>info@habaritanzania.com (Habari Tanzania)</author>
					  <pubDate>Tue, 24 Jul 2007 00:00:00 +0300</pubDate>
					 
					</item>

				

					<item>
					  <title>Kombani atoa agizo kwa halmashauri</title>
					  <link>http://www.habaritanzania.com/articles/3944/1/Kombani-atoa-agizo-kwa-halmashauri</link>
					  <description>NAIBU Waziri katika Ofisi ya Waziri Mkuu (TAMISEMI), Celina Kombani, ameziagiza halmashauri ambazo bado hazijatekeleza agizo la kutoa asilimia 10 ya mapato yake kwa ajili ya mifuko ya mikopo kwa vijana na wanawake zifanye hivyo mara moja na kumpelekea taarifa za utekelezaji ofisini kwake kila baada ya miezi mitatu.</description>
					  <author>info@habaritanzania.com (Habari Tanzania)</author>
					  <pubDate>Fri, 06 Jul 2007 00:00:00 +0300</pubDate>
					 
					</item>

				

					<item>
					  <title>Uchumi hauwezi kukua bila kupambana na ufisadi</title>
					  <link>http://www.habaritanzania.com/articles/3925/1/Uchumi-hauwezi-kukua-bila-kupambana-na-ufisadi</link>
					  <description>JUZI nilifarijika kidogo kusikia kuwa mfumko wa bei nchini umeshuka. Bila shaka wengi walifurahia 'Injili' hii.</description>
					  <author>info@habaritanzania.com (Habari Tanzania)</author>
					  <pubDate>Tue, 03 Jul 2007 00:00:00 +0300</pubDate>
					 
					</item>

				

					<item>
					  <title>Kwanini iendelee kuwa Quality Plaza hata baada ya kuuzwa?</title>
					  <link>http://www.habaritanzania.com/articles/3922/1/Kwanini-iendelee-kuwa-Quality-Plaza-hata-baada-ya-kuuzwa%3F</link>
					  <description>NIMESUBIRI kwa muda wa kutosha kuona kama yatafanyika mabadiliko ya jina la jengo la Quality Plaza ambalo miaka kama miwili hivi lilinunuliwa na taasisi ya umma katika mikataba ambayo wengi walihoji kuwa ilikuwa na utata au kugubikwa na rushwa.</description>
					  <author>info@habaritanzania.com (Habari Tanzania)</author>
					  <pubDate>Tue, 03 Jul 2007 00:00:00 +0300</pubDate>
					 
					</item>

				

					<item>
					  <title>Serikali kufuatilia wamiliki wa migodi</title>
					  <link>http://www.habaritanzania.com/articles/3917/1/Serikali-kufuatilia-wamiliki-wa-migodi</link>
					  <description>SERIKALI itaanza kuwafuatilia wamiliki wa migodi na wachimba madini nchini ili kubaini kama wamekuwa wakilipa fedha kwa ajili ya mchango wa uhifadhi wa mazingira katika maeneo yenye madini.</description>
					  <author>info@habaritanzania.com (Habari Tanzania)</author>
					  <pubDate>Mon, 02 Jul 2007 00:00:00 +0300</pubDate>
					 
					</item>

				

					<item>
					  <title>TAPI yalalama dawa kuongezwa ushuru</title>
					  <link>http://www.habaritanzania.com/articles/3887/1/TAPI-yalalama-dawa-kuongezwa-ushuru</link>
					  <description>CHAMA cha Wauza Dawa za jumla Tanzania (TAPI), kimesema vifo vingi vya Watanzania vinategemewa kuongezeka kutokana na soko la dawa za binadamu (antiobitics) duniani kuongeza ushuru wa asilimia 40 kwenye bidhaa hizo.</description>
					  <author>info@habaritanzania.com (Habari Tanzania)</author>
					  <pubDate>Thu, 28 Jun 2007 00:00:00 +0300</pubDate>
					 
					</item>

				

					<item>
					  <title>Bajeti; tulipe kodi kupunguza mzigo</title>
					  <link>http://www.habaritanzania.com/articles/3842/1/Bajeti%3B-tulipe-kodi-kupunguza-mzigo</link>
					  <description>NAKUMBUKA sana miaka ya 80, siku ambazo wananchi walikuwa hawatoi maoni au kuipinga serikali wazi wazi.</description>
					  <author>info@habaritanzania.com (Habari Tanzania)</author>
					  <pubDate>Wed, 20 Jun 2007 00:00:00 +0300</pubDate>
					 
					</item>

				

					<item>
					  <title>Wafanyabiashara wadanganyifu Kahama wabainika</title>
					  <link>http://www.habaritanzania.com/articles/3828/1/Wafanyabiashara-wadanganyifu-Kahama-wabainika</link>
					  <description>IMEDAIWA kuwa, wafanyabiashara na mawakala wa usambazaji wa bidhaa za mahitaji ya kila siku Wilaya ya Kahama, Shinyanga, wamekuwa wakifanya udanganyifu kwa kuanzisha viwanda bubu wanavyotumia kupunguzia ujazo wa bidhaa hizo na kuwaibia wananchi.</description>
					  <author>info@habaritanzania.com (Habari Tanzania)</author>
					  <pubDate>Mon, 18 Jun 2007 00:00:00 +0300</pubDate>
					 
					</item>

				

					<item>
					  <title>VETA kuzalisha ajira zenye ushindani</title>
					  <link>http://www.habaritanzania.com/articles/3827/1/VETA-kuzalisha-ajira-zenye-ushindani</link>
					  <description>CHUO cha VETA Mikumi, kimeahidi kuzalisha ajira zenye ushindani katika soko la ajira Afrika Mashariki na Kati zaidi ya robo ya ajira 1,000,000 zinazokusudiwa kutolewa na serikali ya awamu ya nne ifikapo mwaka 2010.</description>
					  <author>info@habaritanzania.com (Habari Tanzania)</author>
					  <pubDate>Mon, 18 Jun 2007 00:00:00 +0300</pubDate>
					 
					</item>

				

					<item>
					  <title>Bakwata yafunga maduka Kariakoo</title>
					  <link>http://www.habaritanzania.com/articles/3812/1/Bakwata-yafunga-maduka-Kariakoo</link>
					  <description>BARAZA Kuu la Waislamu wa Tanzania (BAKWATA), limeanza kwa kasi kukusanya mali zake, ambako jana lilifunga maduka yaliyozunguka jengo lake lililoko Kariakoo, jijini Dar es Salaam.</description>
					  <author>info@habaritanzania.com (Habari Tanzania)</author>
					  <pubDate>Sat, 16 Jun 2007 00:00:00 +0300</pubDate>
					 
					</item>

				

					<item>
					  <title>Makadirio ya Chenge yakwama</title>
					  <link>http://www.habaritanzania.com/articles/3769/1/Makadirio-ya-Chenge-yakwama</link>
					  <description>WIZARA ya Miundombinu, ndiyo pekee ambayo bajeti yake imekwama kupitishwa katika ngazi ya kamati husika kabla ya kuanza kwa kikao cha Bunge la Bajeti, wiki ijayo.</description>
					  <author>info@habaritanzania.com (Habari Tanzania)</author>
					  <pubDate>Sat, 09 Jun 2007 00:00:00 +0300</pubDate>
					 
					</item>

				

					<item>
					  <title>Utegemezi wa maliasili na ufanisi wa uchumi</title>
					  <link>http://www.habaritanzania.com/articles/3747/1/Utegemezi-wa-maliasili-na-ufanisi-wa-uchumi</link>
					  <description>UTEGEMEZI wa maliasili huweza kuziingiza nchi kwenye vita ya wenyewe kwa wenyewe na kuathiri uchumi kwa kupunguza kasi ya kukua kwake na kuongezeka kwa umasikini.</description>
					  <author>info@habaritanzania.com (Habari Tanzania)</author>
					  <pubDate>Tue, 05 Jun 2007 00:00:00 +0300</pubDate>
					 
					</item>

				

					<item>
					  <title>Uchunguzi ajali ya Akukweti bado - Serikali</title>
					  <link>http://www.habaritanzania.com/articles/3717/1/Uchunguzi-ajali-ya-Akukweti-bado---Serikali</link>
					  <description>SERIKALI imesema kuwa ripoti kamili kuhusiana na chanzo cha ajali ya ndege iliyosababisha kifo cha aliyekuwa waziri wa Nchi katika Ofisi ya Waziri Mkuu, Juma Akukweti, na watu wengine kadhaa, bado haijatolewa.</description>
					  <author>info@habaritanzania.com (Habari Tanzania)</author>
					  <pubDate>Thu, 31 May 2007 00:00:00 +0300</pubDate>
					 
					</item>

				

					<item>
					  <title>Karibu Jukwaa la Wahariri</title>
					  <link>http://www.habaritanzania.com/articles/3674/1/Karibu-Jukwaa-la-Wahariri</link>
					  <description>JANA Wahariri wakuu wa vyombo vya habari nchini, walizindua rasmi chombo cha kujenga umoja wao na kushirikiana katika masuala mbalimbali yanayohusu taaluma ya habari nchini kwa lengo la kukuza taaluma hiyo lakini pia kuisaidia Serikali kupambana na matatizo ya kimaendeleo hususan umaskini na rushwa.</description>
					  <author>info@habaritanzania.com (Habari Tanzania)</author>
					  <pubDate>Thu, 24 May 2007 00:00:00 +0300</pubDate>
					 
					</item>

				

					<item>
					  <title>Wizi wa magari waibuka Z'bar</title>
					  <link>http://www.habaritanzania.com/articles/3659/1/Wizi-wa-magari-waibuka-Z%92bar</link>
					  <description>LIMEIBUKA wimbi la wizi wa magari visiwani humu, hasa katika kumbi za starehe na kuibua hofu miongoni mwa watu wanaomiliki vyombo hivyo vya usafiri.</description>
					  <author>info@habaritanzania.com (Habari Tanzania)</author>
					  <pubDate>Mon, 21 May 2007 00:00:00 +0300</pubDate>
					 
					</item>

				

					<item>
					  <title>Washauri mradi wa maji wachunguzwa kwa rushwa</title>
					  <link>http://www.habaritanzania.com/articles/3655/1/Washauri-mradi-wa-maji-wachunguzwa-kwa-rushwa</link>
					  <description>KAMPUNI ya ushauri iliyokuwa imehusika katika mradi wa kuwapatia mamilioni ya wakazi wa Dar es Salaam maji, inahusishwa na rushwa na upotevu wa kiasi kikubwa cha fedha.</description>
					  <author>info@habaritanzania.com (Habari Tanzania)</author>
					  <pubDate>Mon, 21 May 2007 00:00:00 +0300</pubDate>
					 
					</item>

				

					<item>
					  <title>Kampuni yajizolea sifa kwa kuitangaza Tanzania</title>
					  <link>http://www.habaritanzania.com/articles/3609/1/Kampuni-yajizolea-sifa-kwa-kuitangaza-Tanzania</link>
					  <description>KAMPUNI ya utalii ya Nomad Tanzania, yenye makao yake makuu Usa-River wilayani Arumeru, mkoani Arusha, imepongezwa kwa kuwa mstari wa mbele kutangaza nje ya nchi vivutio vya utalii nchini.</description>
					  <author>info@habaritanzania.com (Habari Tanzania)</author>
					  <pubDate>Wed, 09 May 2007 00:00:00 +0300</pubDate>
					 
					</item>

				

					<item>
					  <title>'Acheni kutafuta silaha, tumieni mbwa kwa ulinzi'</title>
					  <link>http://www.habaritanzania.com/articles/3584/1/%91Acheni-kutafuta-silaha%2C-tumieni-mbwa-kwa-ulinzi%92</link>
					  <description>WAKAZI wa Arusha wametakiwa kutumia mbwa wa kisasa katika masuala ya ulinzi wa majumbani na kuondoa dhana kuwa kumiliki silaha kuwa ndiyo suluhisho la kukabiliana na vitendo vya ujambazi.</description>
					  <author>info@habaritanzania.com (Habari Tanzania)</author>
					  <pubDate>Fri, 04 May 2007 00:00:00 +0300</pubDate>
					 
					</item>

				

					<item>
					  <title>Wageni wavamia Pwani ya Mafia</title>
					  <link>http://www.habaritanzania.com/articles/3480/1/Wageni-wavamia-Pwani-ya-Mafia</link>
					  <description>ENEO la ufukwe wa Bahari ya Hindi, kisiwani Mafia, limevamiwa na raia wa kigeni wanaodaiwa kupora mazao ya baharini na kuharibu mazingira kwa kiwango kikubwa.</description>
					  <author>info@habaritanzania.com (Habari Tanzania)</author>
					  <pubDate>Sun, 15 Apr 2007 00:00:00 +0300</pubDate>
					 
					</item>

				

					<item>
					  <title>Ubinafsishaji wakuza uzalishaji wa mazao ya biashara</title>
					  <link>http://www.habaritanzania.com/articles/3468/1/Ubinafsishaji-wakuza-uzalishaji-wa-mazao-ya-biashara</link>
					  <description>TANGU kuanza ubinafsishaji wa viwanda na mashirika mbali mbali hapa nchini, mafanikio makubwa yamepatikana kwa wakulima, wafanyakazi, wananchi na wenye viwanda mbalimbali pamoja na serikali inayopata faida kwa upande wa kodi mbalimbali zinazolipwa na wawekezaji.</description>
					  <author>info@habaritanzania.com (Habari Tanzania)</author>
					  <pubDate>Fri, 13 Apr 2007 00:00:00 +0300</pubDate>
					 
					</item>

				

					<item>
					  <title>Wasomi wahofu uraia wa nchi mbili</title>
					  <link>http://www.habaritanzania.com/articles/3452/1/Wasomi-wahofu-uraia-wa-nchi-mbili</link>
					  <description>WASOMI wa Chuo Kikuu cha Dar es Salaam, wanaochukua shahada ya Uzamili ya Taaluma ya Maendeleo, wamepinga kuanzishwa kwa sheria mpya ya uraia wa nchi mbili, inayotarajiwa kuwasilishwa bungeni wakati wowote.</description>
					  <author>info@habaritanzania.com (Habari Tanzania)</author>
					  <pubDate>Wed, 11 Apr 2007 00:00:00 +0300</pubDate>
					 
					</item>

				

					<item>
					  <title>Michango ya Mwenge wa Uhuru iwe ya hiari</title>
					  <link>http://www.habaritanzania.com/articles/3426/1/Michango-ya-Mwenge-wa-Uhuru-iwe-ya-hiari</link>
					  <description>SERIKALI ya Mapinduzi Zanzibar (SMZ), inadaiwa kusambaza waraka, ikitaka kila mfanyakazi akatwe sh 3,000 kutoka katika mshahara wake kwa ajili ya kuchangia mbio za mwenge.</description>
					  <author>info@habaritanzania.com (Habari Tanzania)</author>
					  <pubDate>Thu, 05 Apr 2007 00:00:00 +0300</pubDate>
					 
					</item>

				

					<item>
					  <title>Misuguano TPRI inatokana na mabadiliko ya sayansi na teknolojia.</title>
					  <link>http://www.habaritanzania.com/articles/3394/1/Misuguano-TPRI-inatokana-na-mabadiliko-ya-sayansi-na-teknolojia.</link>
					  <description>NI muda mrefu sasa tunasikia&#160; kwenye vyombo vya habari, hususan magazeti, vikituhumu Taasisi ya Utafiti wa Viuatilifu (pesticides) katika nchi za kitropki ijulikanayo kama "Tropical Pesticides Research Institute (TPRI)" ya mjini Arusha kwamba ina migogoro ya kiuongozi.&#160;</description>
					  <author>info@habaritanzania.com (Habari Tanzania)</author>
					  <pubDate>Thu, 29 Mar 2007 00:00:00 +0300</pubDate>
					 
					</item>

				

					<item>
					  <title>Mabilioni ya Kikwete si muarobaini wa umaskini</title>
					  <link>http://www.habaritanzania.com/articles/3375/1/Mabilioni-ya-Kikwete-si-muarobaini-wa-umaskini</link>
					  <description>SERIKALI ya Tanzania, chini ya Rais Jakaya Kikwete, imetoa shilingi bilioni 21 ili kuhakikisha wananchi wa Tanzania hususan wa hali ya chini wanaondokana na umaskini kwa kuanzisha biashara.</description>
					  <author>info@habaritanzania.com (Habari Tanzania)</author>
					  <pubDate>Tue, 27 Mar 2007 00:00:00 +0300</pubDate>
					 
					</item>

				

					<item>
					  <title>Tatizo letu si uchumi bali vipaumbele</title>
					  <link>http://www.habaritanzania.com/articles/3374/1/Tatizo-letu-si-uchumi-bali-vipaumbele</link>
					  <description>"Distract not thyself"; maneno haya aliyasema na kuandikwa na mfalme Aurelius Marcus Antoninus, alipoulizwa nini kilikuwa kipaumbele chake kati ya ufalme wake na watu wake na mataifa mengine.</description>
					  <author>info@habaritanzania.com (Habari Tanzania)</author>
					  <pubDate>Tue, 27 Mar 2007 00:00:00 +0300</pubDate>
					 
					</item>

				

					<item>
					  <title>Mabilioni ya JK yazua tafrani Tanga</title>
					  <link>http://www.habaritanzania.com/articles/3354/1/Mabilioni-ya-JK-yazua-tafrani-Tanga</link>
					  <description>MKUTANO wa viongozi wa chama na serikali ulioitishwa na Ofisi ya Mkuu wa Mkoa wa Tanga jana, kujadili mwenendo wa utoaji wa fedha za mikopo kutokana na sh bilioni moja zilizotolewa na serikali kwa kila mkoa, ulivunjika muda mfupi baada ya kuanza, baada ya wajumbe kutofautiana.</description>
					  <author>info@habaritanzania.com (Habari Tanzania)</author>
					  <pubDate>Thu, 22 Mar 2007 00:00:00 +0300</pubDate>
					 
					</item>

				

					<item>
					  <title>Malima akaribia urais Chuo Kikuu Dar</title>
					  <link>http://www.habaritanzania.com/articles/3353/1/Malima-akaribia-urais-Chuo-Kikuu-Dar</link>
					  <description>WAKATI wanafunzi wa Chuo Kikuu cha Dar es Salaam sehemu ya Mlimani wanajiandaa kupata viongozi wa serikali ya wanafunzi (DARUSO) kesho, nyota ya urais inaelekea kung'ara kwa mgombea, Malima Emmanuel.</description>
					  <author>info@habaritanzania.com (Habari Tanzania)</author>
					  <pubDate>Thu, 22 Mar 2007 00:00:00 +0300</pubDate>
					 
					</item>

				

					<item>
					  <title>SACCOS zashauriwa kushirikiana na serikali</title>
					  <link>http://www.habaritanzania.com/articles/3311/1/SACCOS-zashauriwa-kushirikiana-na-serikali</link>
					  <description>NAIBU Waziri wa Kilimo Chakula na Ushirika, David Mathayo, amevitaka vyama vya akiba na mikopo (SACCOS) kushirikiana na serikali kupitia wataalamu wake katika kuviimarisha, ili viendeshwe kwa ufanisi.</description>
					  <author>info@habaritanzania.com (Habari Tanzania)</author>
					  <pubDate>Fri, 16 Mar 2007 00:00:00 +0300</pubDate>
					 
					</item>

				

					<item>
					  <title>MISA-TAN yaandaa tuzo ya habari za rushwa</title>
					  <link>http://www.habaritanzania.com/articles/3308/1/MISA-TAN-yaandaa-tuzo-ya-habari-za-rushwa</link>
					  <description>TAASISI ya Vyombo vya Habari Kusini mwa Afrika Tawi la Tanzania (MISA - TAN), imeandaa tuzo kwa waandishi wa habari watakaoandika habari zenye ubora na ubunifu katika eneo la kuzuia rushwa.</description>
					  <author>info@habaritanzania.com (Habari Tanzania)</author>
					  <pubDate>Fri, 16 Mar 2007 00:00:00 +0300</pubDate>
					 
					</item>

				

					<item>
					  <title>Waliomuua Kapinga kunyongwa</title>
					  <link>http://www.habaritanzania.com/articles/3300/1/Waliomuua-Kapinga-kunyongwa</link>
					  <description>MAHAKAMA Kuu jana iliwahukumu adhabu ya kifo washitakiwa wanne, baada ya kuwakuta na hatia ya kosa la mauaji ya aliyekuwa wakili wa kujitegemea, marehemu Eleuther Kapinga (62).</description>
					  <author>info@habaritanzania.com (Habari Tanzania)</author>
					  <pubDate>Wed, 14 Mar 2007 00:00:00 +0300</pubDate>
					 
					</item>

				

					<item>
					  <title>Utendaji huu unaipeleka nchi pabaya</title>
					  <link>http://www.habaritanzania.com/articles/3285/1/Utendaji-huu-unaipeleka-nchi-pabaya</link>
					  <description>WIKI moja baada ya kuachiwa kwa dhamana kwa aliyekuwa Mkuu wa Mkoa wa Tabora, Ukiwaona Ditopile Mzuzuri, anayetuhumiwa kwa kosa la kuua bila kukusudia, mambo kadhaa yametokea na kutoa ishara ambazo tafsiri yake inaonyesha kuwa nchi inaelekea pabaya.</description>
					  <author>info@habaritanzania.com (Habari Tanzania)</author>
					  <pubDate>Tue, 13 Mar 2007 00:00:00 +0300</pubDate>
					 
					</item>

				

					<item>
					  <title>Utendaji huu unaipeleka nchi pabaya</title>
					  <link>http://www.habaritanzania.com/articles/3284/1/Utendaji-huu-unaipeleka-nchi-pabaya</link>
					  <description>WIKI moja baada ya kuachiwa kwa dhamana kwa aliyekuwa Mkuu wa Mkoa wa Tabora, Ukiwaona Ditopile Mzuzuri, anayetuhumiwa kwa kosa la kuua bila kukusudia, mambo kadhaa yametokea na kutoa ishara ambazo tafsiri yake inaonyesha kuwa nchi inaelekea pabaya.</description>
					  <author>info@habaritanzania.com (Habari Tanzania)</author>
					  <pubDate>Tue, 13 Mar 2007 00:00:00 +0300</pubDate>
					 
					</item>

				

					<item>
					  <title>Rushwa Afrika inakwaza mafanikio ya kiuchumi</title>
					  <link>http://www.habaritanzania.com/articles/3222/1/Rushwa-Afrika-inakwaza-mafanikio-ya-kiuchumi</link>
					  <description>NCHI nyingi za Afrika zimegubikwa na rushwa ambayo ni kikwazo cha maendeleo na imejikita katika ngazi ya uchumi na siasa, na inaonekana kuwa ni sehemu ya maisha ya kila siku. </description>
					  <author>info@habaritanzania.com (Habari Tanzania)</author>
					  <pubDate>Tue, 06 Mar 2007 00:00:00 +0300</pubDate>
					 
					</item>

				

					<item>
					  <title>Kikwete sasa asema mabilioni yana masharti</title>
					  <link>http://www.habaritanzania.com/articles/3208/1/Kikwete-sasa-asema-mabilioni-yana-masharti</link>
					  <description>RAIS Jakaya Kikwete amesema kuwa mabilioni aliyoyatoa kusaidia kupambana na umaskini hayawezi kutolewa bila masharti kama baadhi ya watu wanavyodhani.</description>
					  <author>info@habaritanzania.com (Habari Tanzania)</author>
					  <pubDate>Mon, 05 Mar 2007 00:00:00 +0300</pubDate>
					 
					</item>

				

					<item>
					  <title>PDA: Teknolojia mpya ya ukusanyaji wa tafiti za afya vijijini</title>
					  <link>http://www.habaritanzania.com/articles/3174/1/PDA%3A-Teknolojia-mpya-ya-ukusanyaji-wa-tafiti-za-afya-vijijini</link>
					  <description>TANZANIA inafanana na nchi nyingi zinazoendelea, hususan za Afrika, ambazo zinakabiliwa na matatizo ya uduni wa miundombinu na huduma hafifu katika sekta za afya ya jamii.</description>
					  <author>info@habaritanzania.com (Habari Tanzania)</author>
					  <pubDate>Thu, 01 Mar 2007 00:00:00 +0300</pubDate>
					 
					</item>

				

					<item>
					  <title>RC amvua madaraka mwalimu mkuu</title>
					  <link>http://www.habaritanzania.com/articles/3153/1/RC-amvua-madaraka-mwalimu-mkuu</link>
					  <description>MKUU wa Mkoa (RC) wa Ruvuma, Monica Mbega, amemvua madaraka Mwalimu Mkuu wa Shule ya Msingi Matemanga, iliyopo wilayani Tunduru, baada ya kubainika kutoitisha vikao vya wazazi shuleni hapo kujadili maendeleo ya shule. </description>
					  <author>info@habaritanzania.com (Habari Tanzania)</author>
					  <pubDate>Mon, 26 Feb 2007 00:00:00 +0300</pubDate>
					 
					</item>

				

					<item>
					  <title>Bilioni za Kikwete na SACCOS za wageni</title>
					  <link>http://www.habaritanzania.com/articles/3140/1/Bilioni-za-Kikwete-na-SACCOS-za-wageni</link>
					  <description>HII sasa ni mpya, na pengine ni mpya kuliko kitu chochote hasa ikizingatiwa kwamba nchi tatu za Afrika mashariki zipo kwenye mchakato mzito wa kupokea maoni kutoka kwa wananchi wao kwa ajili ya kuharakisha uundwaji wa shirikisho.</description>
					  <author>info@habaritanzania.com (Habari Tanzania)</author>
					  <pubDate>Sun, 25 Feb 2007 00:00:00 +0300</pubDate>
					 
					</item>

				

					<item>
					  <title>Tunaridhika kuwalinda wahujumu uchumi wetu</title>
					  <link>http://www.habaritanzania.com/articles/3139/1/Tunaridhika-kuwalinda-wahujumu-uchumi-wetu</link>
					  <description>MOJA ya habari kubwa zilizoandikwa ukurasa wa mbele wa gazeti hili leo, ni mbinu zinazofanywa na raia wa nchi jirani kuzipata fedha za mkopo, shilingi bilioni moja, zilizotolewa na serikali kwa kila mkoa.</description>
					  <author>info@habaritanzania.com (Habari Tanzania)</author>
					  <pubDate>Sun, 25 Feb 2007 00:00:00 +0300</pubDate>
					 
					</item>

				

					<item>
					  <title>Nchi za SADC zaapongezwa kwa uchaguzi wa amani</title>
					  <link>http://www.habaritanzania.com/articles/3112/1/Nchi-za-SADC-zaapongezwa-kwa-uchaguzi-wa-amani</link>
					  <description>NAIBU Waziri wa Mambo ya Nje na Ushirikiano wa Kimataifa, Balozi Sefu Idd, amesema nchi za Jumuiya ya Maendeleo ya Kusini mwa Afrika (SADC) zimeaonyesha mafanikio makubwa katika kutunza amani na utulivu katika nchi zao.</description>
					  <author>info@habaritanzania.com (Habari Tanzania)</author>
					  <pubDate>Sat, 24 Feb 2007 00:00:00 +0300</pubDate>
					 
					</item>

				

					<item>
					  <title>Mikopo ya wanafunzi si kwa ajili ya watoto wa vigogo</title>
					  <link>http://www.habaritanzania.com/articles/3090/1/Mikopo-ya-wanafunzi-si-kwa-ajili-ya-watoto-wa-vigogo</link>
					  <description>HIVI karibuni Waziri wa Elimu Elimu ya Juu, Sayansi na Teknolojia Prof. Peter Msolla, alitangaza kuwa watoto wa vigogo, wabunge, maprofessa na mawaziri wasipewe mikopo.</description>
					  <author>info@habaritanzania.com (Habari Tanzania)</author>
					  <pubDate>Thu, 22 Feb 2007 00:00:00 +0300</pubDate>
					 
					</item>

				

					<item>
					  <title>Angalau Msolla kaamua kusema kweli</title>
					  <link>http://www.habaritanzania.com/articles/3004/1/Angalau-Msolla-kaamua-kusema-kweli</link>
					  <description>HATIMAYE serikali imetoa kauli ya kwanza nzito na ya msingi kuhusu mwenendo na mwelekeo wa mikopo inayotolewa kwa ajili ya wanafunzi wa elimu ya juu nchini.</description>
					  <author>info@habaritanzania.com (Habari Tanzania)</author>
					  <pubDate>Fri, 16 Feb 2007 00:00:00 +0300</pubDate>
					 
					</item>

				

					<item>
					  <title>Tanga katika mpango wa miji salama Afrika</title>
					  <link>http://www.habaritanzania.com/articles/2983/1/Tanga-katika-mpango-wa-miji-salama-Afrika</link>
					  <description>MJI wa Tanga umeingizwa rasmi katika orodha ya miji nane ya nchi za Afrika Mashariki iliyofanikiwa kujiunga kwenye Mpango wa Kimataifa wa Miji Salama Duniani.</description>
					  <author>info@habaritanzania.com (Habari Tanzania)</author>
					  <pubDate>Thu, 15 Feb 2007 00:00:00 +0300</pubDate>
					 
					</item>

				

					<item>
					  <title>Mwalimu afichua siri ya ubora St Francis</title>
					  <link>http://www.habaritanzania.com/articles/2965/1/Mwalimu-afichua-siri-ya-ubora-St-Francis</link>
					  <description>UONGOZI wa Shule ya Sekondari ya Wasichana ya St Fransis, umesema ushirikiano kati ya wanafunzi na walimu ndio kiini cha shule hiyo kuongoza katika mitihani ya kitaifa.</description>
					  <author>info@habaritanzania.com (Habari Tanzania)</author>
					  <pubDate>Wed, 14 Feb 2007 00:00:00 +0300</pubDate>
					 
					</item>

				

					<item>
					  <title>Mkapa azungumzie rada</title>
					  <link>http://www.habaritanzania.com/articles/2920/1/Mkapa-azungumzie-rada</link>
					  <description>LEO nimeamua niandike juu ya sakata la ununuzi wa rada. Nakumbuka niliandika makala nyingi na habari juu ya suala hii miaka ya 2003/2004. Nakumbuka pia, uamuzi wa kununua rada uliwasilishwa bungeni na serikali ya awamu ya tatu kwa ajili ya kupiga muhuri na kubariki uamuzi uliokwishachukuliwa.</description>
					  <author>info@habaritanzania.com (Habari Tanzania)</author>
					  <pubDate>Sun, 11 Feb 2007 00:00:00 +0300</pubDate>
					 
					</item>

				

					<item>
					  <title>TANESCO na siri wizi wa mafuta ya transfoma!</title>
					  <link>http://www.habaritanzania.com/articles/2917/1/TANESCO-na-siri-wizi-wa-mafuta-ya-transfoma%21</link>
					  <description>TANESCO, au kwa kirefu Tanzania Electric Supply Company, ni shirika muhimu sana katika maisha yetu ya kila siku. Hili ndilo shirika lililo na dhamana yote ya uzalishaji na ugavi wa umeme nchini kote. Ingawaje limekuwa likitutesa sana kwa mgawo usiokuwa na ratiba kamili.</description>
					  <author>info@habaritanzania.com (Habari Tanzania)</author>
					  <pubDate>Sun, 11 Feb 2007 00:00:00 +0300</pubDate>
					 
					</item>

				

					<item>
					  <title>Romeo Kumalo aongezewa ulaji</title>
					  <link>http://www.habaritanzania.com/articles/2887/1/Romeo-Kumalo-aongezewa-ulaji</link>
					  <description>Mkurugenzi Mtendaji wa Kampuni ya Simu ya Vodacom Tanzania, Romeo Kumalo ameteuliwa kushika wadhifa mwingine Afrika Kusini kufuatia mabadiliko yaliyofanywa na kampuni Mama ya Vodacom Group hivi karibuni. </description>
					  <author>info@habaritanzania.com (Habari Tanzania)</author>
					  <pubDate>Fri, 09 Feb 2007 00:00:00 +0300</pubDate>
					 
					</item>

				

					<item>
					  <title>Mauzo ya hisa DSE yapungua</title>
					  <link>http://www.habaritanzania.com/articles/2886/1/Mauzo-ya-hisa-DSE-yapungua</link>
					  <description>Mauzo ya hisa katika Soko la Hisa la Dar es Salaam (DSE), yalipungua kutoka hisa 166,977 zilizofanywa kwa mikupuo 51 siku ya Jumanne hadi 107,034 juzi katika biashara iliyofanywa kwa mikupuo 55. </description>
					  <author>info@habaritanzania.com (Habari Tanzania)</author>
					  <pubDate>Fri, 09 Feb 2007 00:00:00 +0300</pubDate>
					 
					</item>

				

					<item>
					  <title>Mbinga wapata kiwanda kipya cha kukoboa kahawa</title>
					  <link>http://www.habaritanzania.com/articles/2885/1/Mbinga-wapata-kiwanda-kipya-cha-kukoboa-kahawa</link>
					  <description>KIWANDA cha kisasa cha kukoboa kahawa kilichojengwa kwa thamani ya zaidi ya shilingi bilioni 4 kimefunguliwa mkoani Ruvuma. Kiwanda hicho mali ya mwekezaji wa Kitanzania, Dastan Komba kinaitwa Dae Limited. </description>
					  <author>info@habaritanzania.com (Habari Tanzania)</author>
					  <pubDate>Fri, 09 Feb 2007 00:00:00 +0300</pubDate>
					 
					</item>

				

					<item>
					  <title>Migiro aahidi kuibadili UN</title>
					  <link>http://www.habaritanzania.com/articles/2853/1/Migiro-aahidi-kuibadili-UN</link>
					  <description>NAIBU Katibu Mkuu wa Umoja wa Mataifa, Dk Asha-Rose Migiro jana amekula          kiapo na kuanza majukumu yake hayo mapya huku akiahidi kufanya mabadiliko          ndani ya umoja huo.</description>
					  <author>info@habaritanzania.com (Habari Tanzania)</author>
					  <pubDate>Wed, 07 Feb 2007 00:00:00 +0300</pubDate>
					 
					</item>

				

					<item>
					  <title>Dawasco ilishapandisha gharama zake'</title>
					  <link>http://www.habaritanzania.com/articles/2850/1/Dawasco-ilishapandisha-gharama-zake%92</link>
					  <description>BARAZA la Watumiaji wa Huduma zinazotolewa na Mamlaka ya Kudhibiti Matumizi ya Huduma za Umeme na Maji (EWURA), limesema maombi ya kupandisha gharama za huduma zinazotolewa na Kampuni ya Ugavi wa Maji Dar es Salaam (Dawasco) yalikwisha kufanyiwa kazi tangu mwaka jana. </description>
					  <author>info@habaritanzania.com (Habari Tanzania)</author>
					  <pubDate>Wed, 07 Feb 2007 00:00:00 +0300</pubDate>
					 
					</item>

				

					<item>
					  <title>Mabilioni ya JK hayakupaswa kwenda benki</title>
					  <link>http://www.habaritanzania.com/articles/2827/1/Mabilioni-ya-JK-hayakupaswa-kwenda-benki</link>
					  <description>HAPANA shaka walalahoi wenzangu mtakuwa katika majonzi makubwa hasa baada ya kubaini kuwa kile mlichoahidiwa, ni dhahiri kuwa ni ndoto ya mchana na katu haiwezi kuwakomboa hata iweje.</description>
					  <author>info@habaritanzania.com (Habari Tanzania)</author>
					  <pubDate>Sun, 04 Feb 2007 00:00:00 +0300</pubDate>
					 
					</item>

				

					<item>
					  <title>Trinadad na Tobaga yaahidi kuisaidia Tanzania</title>
					  <link>http://www.habaritanzania.com/articles/2811/1/Trinadad-na-Tobaga-yaahidi-kuisaidia-Tanzania</link>
					  <description>TANZANIA na visiwa vya Trinidad na Tobago wamekubaliana kushirikiana katika kutafiti na kuendeleza gesi hapa nchini.</description>
					  <author>info@habaritanzania.com (Habari Tanzania)</author>
					  <pubDate>Sat, 03 Feb 2007 00:00:00 +0300</pubDate>
					 
					</item>

				

					<item>
					  <title>Ushahidi wa elektroniki kutumika kortini</title>
					  <link>http://www.habaritanzania.com/articles/2793/1/Ushahidi-wa-elektroniki-kutumika-kortini</link>
					  <description>         BUNGE limepitisha muswada wa sheria ya marekebisho ya sheria mbalimbali,          ikiwamo inayotoa ruhusa kwa ushahidi wa elektroniki kutumika mahakamani.</description>
					  <author>info@habaritanzania.com (Habari Tanzania)</author>
					  <pubDate>Fri, 02 Feb 2007 00:00:00 +0300</pubDate>
					 
					</item>

				

					<item>
					  <title>TPC yarejesha tena uzalishaji</title>
					  <link>http://www.habaritanzania.com/articles/2769/1/TPC-yarejesha-tena-uzalishaji</link>
					  <description>KAMPUNI ya Tanganyika Plant (TPC) inayomiliki Kiwanda cha Sukari na mashamba ya miwa mkoani kilimanjaro, iliyokuwa imesimamisha uzalishaji kwa muda usiojulikana, imeanza tena kuzalishaji baada ya Serikali kuingilia kati.</description>
					  <author>info@habaritanzania.com (Habari Tanzania)</author>
					  <pubDate>Wed, 31 Jan 2007 00:00:00 +0300</pubDate>
					 
					</item>

				

					<item>
					  <title>Mahakimu wanakwamisha maendeleo Hanang</title>
					  <link>http://www.habaritanzania.com/articles/2748/1/Mahakimu-wanakwamisha-maendeleo-Hanang</link>
					  <description>IDARA ya Mahakama wilayani Hanang, Manyara, inachangia kukwamisha maendeleo ya jamii ikiwamo ujenzi wa shule za sekondari kwa kutotambua sheria ndogo inayopendekeza adhabu kwa watu wasiochangia maendeleo yao.</description>
					  <author>info@habaritanzania.com (Habari Tanzania)</author>
					  <pubDate>Mon, 29 Jan 2007 00:00:00 +0300</pubDate>
					 
					</item>

				

					<item>
					  <title>TRA na TISCAN kuboresha mfumo wa utoaji mizigo</title>
					  <link>http://www.habaritanzania.com/articles/2671/1/TRA-na-TISCAN-kuboresha-mfumo-wa-utoaji-mizigo</link>
					  <description>TISCAN, Kampuni tanzu ya COTECNA, inayojishughulisha na ukaguzi wa mizigo, imeandaa warsha maalumu kwa wakala wa kutoa mizigo itakayofanyika leo katika Ukumbi wa Karimjee, jijini Dar es Salaam.</description>
					  <author>info@habaritanzania.com (Habari Tanzania)</author>
					  <pubDate>Mon, 22 Jan 2007 00:00:00 +0300</pubDate>
					 
					</item>

				

					<item>
					  <title>Rais Kikwete ataka wawekezaji kutumia malighafi za nchini</title>
					  <link>http://www.habaritanzania.com/articles/2665/1/Rais-Kikwete-ataka-wawekezaji-kutumia-malighafi-za-nchini</link>
					  <description>RAIS Jakaya Mrisho Kikwete ameyataka makampuni na wawekezaji nchini, kutumia bidhaa na malighafi toka humu nchini ili kusaidia kuinua uchumi.</description>
					  <author>info@habaritanzania.com (Habari Tanzania)</author>
					  <pubDate>Mon, 22 Jan 2007 00:00:00 +0300</pubDate>
					 
					</item>

				

					<item>
					  <title>Mji wa Mbeya sasa kujengwa soko kubwa</title>
					  <link>http://www.habaritanzania.com/articles/2644/1/Mji-wa-Mbeya-sasa-kujengwa-soko-kubwa</link>
					  <description>SOKO kubwa la kimataifa linatarajiwa kujengwa katika eneo la Soko la Mwanjelwa lililoteketea kwa moto Desemba 12 mwaka jana kutokana na hitilafu ya umeme.</description>
					  <author>info@habaritanzania.com (Habari Tanzania)</author>
					  <pubDate>Fri, 19 Jan 2007 00:00:00 +0300</pubDate>
					 
					</item>

				

					<item>
					  <title>Mtandao wa wizi wa magari wagundulika</title>
					  <link>http://www.habaritanzania.com/articles/2595/1/Mtandao-wa-wizi-wa-magari-wagundulika</link>
					  <description>MTANDAO wa kundi la watu wanaojihusisha na wizi wa magari na pikipiki katika nchi za Tanzania na Zambia umegunduliwa na polisi katika mpaka wa Tunduma mkoani Mbeya.</description>
					  <author>info@habaritanzania.com (Habari Tanzania)</author>
					  <pubDate>Tue, 16 Jan 2007 00:00:00 +0300</pubDate>
					 
					</item>

				

					<item>
					  <title>Kikwete apaa Uingereza kusaka wawekezaji</title>
					  <link>http://www.habaritanzania.com/articles/2577/1/Kikwete-apaa-Uingereza-kusaka-wawekezaji</link>
					  <description>WAKATI shirika la umeme nchini likitangaza kupanda kwa gharama za umeme kwa asilimia sita, ikiwa ni hatua itakayoathiri sekta ya viwanda na hali ya uchumi kwa wananchi, Rais Jakaya Kikwete amesafiri tena jana kuelekea Uingereza katika ziara inayosaka pia wawekezaji kuja nchini.</description>
					  <author>info@habaritanzania.com (Habari Tanzania)</author>
					  <pubDate>Sun, 14 Jan 2007 00:00:00 +0300</pubDate>
					 
					</item>

				

					<item>
					  <title>Mfumo wa kuuza kahawa nje wajadiliwa</title>
					  <link>http://www.habaritanzania.com/articles/2565/1/Mfumo-wa-kuuza-kahawa-nje-wajadiliwa</link>
					  <description>SERIKALI imeanza kujadili mfumo wa uuzaji wa zao la kahawa na kueleza kuwa kwa nini hivi sasa zao hilo linauzwa zaidi katika soko la nje.</description>
					  <author>info@habaritanzania.com (Habari Tanzania)</author>
					  <pubDate>Sat, 13 Jan 2007 00:00:00 +0300</pubDate>
					 
					</item>

				

					<item>
					  <title>Mkapa afurahia umeme Mtwara, Lindi</title>
					  <link>http://www.habaritanzania.com/articles/2511/1/Mkapa-afurahia-umeme-Mtwara%2C-Lindi</link>
					  <description>RAIS mstaafu, Bejamin Mkapa amesema upatikanaji wa umeme wa uhakika na kuaminika katika mikoa wa Mtwara na Lindi utasaidia kusukuma maendeleo na vita ya kupambana na umasikini.</description>
					  <author>info@habaritanzania.com (Habari Tanzania)</author>
					  <pubDate>Mon, 08 Jan 2007 00:00:00 +0300</pubDate>
					 
					</item>

				

					<item>
					  <title>Sccult waomba mabilioni ya Kikwete</title>
					  <link>http://www.habaritanzania.com/articles/2499/1/Sccult-waomba-mabilioni-ya-Kikwete</link>
					  <description>SHIRIKISHO la Vyama vya Kuweka na Kukopa nchini (Sccult) limeitaka serikali kuipatia jukumu la kutoa mkopo wa Sh21 bilioni kwa ajili ya kuwawezesha wananchi kuondokana na umasikini.</description>
					  <author>info@habaritanzania.com (Habari Tanzania)</author>
					  <pubDate>Fri, 05 Jan 2007 00:00:00 +0300</pubDate>
					 
					</item>

				

					<item>
					  <title>Precision Air yaacha kutumia Uwanja wa Ndege Shinyanga</title>
					  <link>http://www.habaritanzania.com/articles/2500/1/Precision-Air-yaacha-kutumia-Uwanja-wa-Ndege-Shinyanga</link>
					  <description>UWANJA wa Ndege wa Ibadakuli mkoani Shinyanga umeanza kukosa mapato ya ushuru ya Sh76,000 kila siku, baada ya shirika moja la ndege la Precision Air kusitisha huduma zake kutokana na ubovu wa uwanja huo. </description>
					  <author>info@habaritanzania.com (Habari Tanzania)</author>
					  <pubDate>Thu, 04 Jan 2007 00:00:00 +0300</pubDate>
					 
					</item>

				

					<item>
					  <title>Polisi Dar kukabiliana na msongamano wa magari</title>
					  <link>http://www.habaritanzania.com/articles/2473/1/Polisi-Dar-kukabiliana-na-msongamano-wa-magari</link>
					  <description>JESHI la Polisi mkoani Dar es Salaam limesema tatizo la msongamo wa watu na magari katika barabara za jiji, linasababishwa na miundombinu duni.</description>
					  <author>info@habaritanzania.com (Habari Tanzania)</author>
					  <pubDate>Wed, 27 Dec 2006 00:00:00 +0300</pubDate>
					 
					</item>

				

					<item>
					  <title>Dawa TANESCO ivunjwe</title>
					  <link>http://www.habaritanzania.com/articles/2445/1/Dawa-TANESCO-ivunjwe</link>
					  <description>KWA muda mrefu sasa nimekuwa nikifuatilia mjadala wa tatizo la umeme Tanzania. </description>
					  <author>info@habaritanzania.com (Habari Tanzania)</author>
					  <pubDate>Sun, 24 Dec 2006 00:00:00 +0300</pubDate>
					 
					</item>

				

					<item>
					  <title>Uwanja wa Ndege Mbeya ugeuzwe soko la kisasa</title>
					  <link>http://www.habaritanzania.com/articles/2443/1/Uwanja-wa-Ndege-Mbeya-ugeuzwe-soko-la-kisasa</link>
					  <description>KWANZA napenda kuwapa pole wafanyabiashara wote wa Soko Kuu la Mwanjelwa, katika Manispaa ya Mbeya, waliopata harasa kubwa ya mamilioni ya fedha kutokana na ajali mbaya ya moto ulioteketeza mali zao na kuua mitaji waliyokuwa wakiitegemea. </description>
					  <author>info@habaritanzania.com (Habari Tanzania)</author>
					  <pubDate>Sun, 24 Dec 2006 00:00:00 +0300</pubDate>
					 
					</item>

				

					<item>
					  <title>Wanachuo Ustawi wa Jamii wavamia ofisi ya mhasibu</title>
					  <link>http://www.habaritanzania.com/articles/2365/1/Wanachuo-Ustawi-wa-Jamii-wavamia-ofisi-ya-mhasibu</link>
					  <description>WANAFUNZI wa mwaka wa kwanza katika Chuo cha Ustawi wa Jamii cha Kijitonyama Dar es Salaam, jana walivamia katika ofisi ya mhasibu ndani ya chuo hicho, wakidai fedha za mikopo walizoahidiwa tangu Novemba 6, mwaka huu.</description>
					  <author>info@habaritanzania.com (Habari Tanzania)</author>
					  <pubDate>Sat, 16 Dec 2006 00:00:00 +0300</pubDate>
					 
					</item>

				

					<item>
					  <title>Tatizo la maji Dar haliwezi kuisha-RC</title>
					  <link>http://www.habaritanzania.com/articles/2330/1/Tatizo-la-maji-Dar-haliwezi-kuisha-RC</link>
					  <description>MKUU wa Mkoa wa Dar es Salaam, Abas Kandoro amesema kuwa tatizo la maji katika mkoa wake haliwezi kuisha kwa sababu ya idadi ya watu kuongezeka siku hadi siku.</description>
					  <author>info@habaritanzania.com (Habari Tanzania)</author>
					  <pubDate>Thu, 14 Dec 2006 00:00:00 +0300</pubDate>
					 
					</item>

				

					<item>
					  <title>Kijana matatani kwa kuhujumu uchumi</title>
					  <link>http://www.habaritanzania.com/articles/2314/1/Kijana-matatani-kwa-kuhujumu-uchumi</link>
					  <description>MKAZI wa Igoma mjini hapa, Ally Tasiani (28) amefikishwa kizimbani kujibu mashtaka ya kupatikana na nyaya zenye thamani ya shilingi 38 milioni mali ya Kampuni ya Simu Tanzania (TTCL) .</description>
					  <author>info@habaritanzania.com (Habari Tanzania)</author>
					  <pubDate>Wed, 13 Dec 2006 00:00:00 +0300</pubDate>
					 
					</item>

				

					<item>
					  <title>Hukumu ya uporaji wa Sh5.3bn kusomwa leo</title>
					  <link>http://www.habaritanzania.com/articles/2313/1/Hukumu-ya-uporaji-wa-Sh5.3bn-kusomwa-leo</link>
					  <description>MAHAKAMA ya Hakimu Mkazi mkoani Kilimanjaro, leo inatazamiwa kutoa hukumu ya tukio la kihistoria la uporaji wa Sh5.3 bilioni mali ya Benki ya NBC Tawi la Moshi ambalo lilifanyika mithili ya sinema. </description>
					  <author>info@habaritanzania.com (Habari Tanzania)</author>
					  <pubDate>Wed, 13 Dec 2006 00:00:00 +0300</pubDate>
					 
					</item>

				

					<item>
					  <title>Mafuriko yasomba daraja, Mkullo alia na Tanroads</title>
					  <link>http://www.habaritanzania.com/articles/2297/1/Mafuriko-yasomba-daraja%2C-Mkullo-alia-na-Tanroads</link>
					  <description>MVUA kubwa zilizonyesha usiku wa kuamkia jumamosi iliyopita, imesababisha mafuriko yaliyosamba daraja la Mto Mkata lililopo Kilosa mkoani hapa.</description>
					  <author>info@habaritanzania.com (Habari Tanzania)</author>
					  <pubDate>Tue, 12 Dec 2006 00:00:00 +0300</pubDate>
					 
					</item>

				

					<item>
					  <title>Mwenyekiti akanusha Soko kubinafsishwa</title>
					  <link>http://www.habaritanzania.com/articles/2275/1/Mwenyekiti-akanusha-Soko-kubinafsishwa</link>
					  <description>MWENYEKITI wa Soko la Shekilango jijini Dar es Salaam, Sued Chemchemi, amesema madai ya kubinafsishwa kwa soko hilo yamezushwa na baadhi ya viongozi na wafanyabiashara wa soko kutokana na chuki binafsi.</description>
					  <author>info@habaritanzania.com (Habari Tanzania)</author>
					  <pubDate>Mon, 11 Dec 2006 00:00:00 +0300</pubDate>
					 
					</item>

				

					<item>
					  <title>Annan aelekeza matumaini kwa nchi za Maziwa Makuu</title>
					  <link>http://www.habaritanzania.com/articles/2263/1/Annan-aelekeza-matumaini-kwa-nchi-za-Maziwa-Makuu</link>
					  <description>KATIBU Mkuu wa Umoja wa Mataifa anayemaliza muda wake, Kofi Annan amesema kuwa ana matarajio makubwa kwamba mkutano wa viongozi wa nchi za Maziwa Makuu utakaofanyika wiki ijayo jijini Nairobi utakuwa ni wenye mafanikio makubwa.</description>
					  <author>info@habaritanzania.com (Habari Tanzania)</author>
					  <pubDate>Sun, 10 Dec 2006 00:00:00 +0300</pubDate>
					 
					</item>

				

					<item>
					  <title>Afa akijaribu kupora kwenye gari la mizigo</title>
					  <link>http://www.habaritanzania.com/articles/2244/1/Afa-akijaribu-kupora-kwenye-gari-la-mizigo</link>
					  <description>JESHI la polisi mkoani Manyara limethibitisha kuuawa kwa mtuhumiwa wa sugu wa ujambazi aliyekuwa akiteka magari usiku katika barabara ya Arusha-Manyara.</description>
					  <author>info@habaritanzania.com (Habari Tanzania)</author>
					  <pubDate>Sat, 09 Dec 2006 00:00:00 +0300</pubDate>
					 
					</item>

				

					<item>
					  <title>Bodi ya Mikopo kukopa fedha za wanafunzi</title>
					  <link>http://www.habaritanzania.com/articles/2237/1/Bodi-ya-Mikopo-kukopa-fedha-za-wanafunzi</link>
					  <description>BODI ya mikopo kwa wanafunzi wa elimu ya juu nchini (HESLB) imesema hivi sasa inalazimika kukopa fedha kutoka taasisi mbalimbali za fedha kwa ajili ya kuwakopesha wanafunzi wote wenye sifa waliopo katika vyuo mbalimbali nchini.</description>
					  <author>info@habaritanzania.com (Habari Tanzania)</author>
					  <pubDate>Fri, 08 Dec 2006 00:00:00 +0300</pubDate>
					 
					</item>

				

					<item>
					  <title>Kiswahili kuwa lugha ya kufundishia vyuo vikuu</title>
					  <link>http://www.habaritanzania.com/articles/2211/1/Kiswahili-kuwa-lugha-ya-kufundishia-vyuo-vikuu</link>
					  <description>CHUO kikuu cha Dar es Salaam, kinaandaa mapendekezo yatakayopelekwa serikali, kutaka Kiswahili iwe lugha ya kufundishia katika vyuo vikuu nchini.</description>
					  <author>info@habaritanzania.com (Habari Tanzania)</author>
					  <pubDate>Wed, 06 Dec 2006 00:00:00 +0300</pubDate>
					 
					</item>

				

					<item>
					  <title>Kikwete kuzindua jengo la CWT</title>
					  <link>http://www.habaritanzania.com/articles/2171/1/Kikwete-kuzindua-jengo-la-CWT</link>
					  <description>RAIS Jakaya Kikwete mwezi huu atalizindua rasmi jengo la Kitega Uchumi la Chama cha Walimu nchini (CWT) lenye ghorofa 10 lijulikanalo kama Mwalimu House ambalo limeghalimu Sh5 bilioni.</description>
					  <author>info@habaritanzania.com (Habari Tanzania)</author>
					  <pubDate>Mon, 04 Dec 2006 00:00:00 +0300</pubDate>
					 
					</item>

				

					<item>
					  <title>Mramba ataka serikali za Kiafrika ziamke</title>
					  <link>http://www.habaritanzania.com/articles/2169/1/Mramba-ataka-serikali-za-Kiafrika-ziamke</link>
					  <description>WAZIRI wa Viwanda, Biashara na Masoko, Basil Mramba, amezitaka nchi za Afrika kutumia fursa zinazojitokeza kwenye biashara za kimataifa ili kuinua uchumi wao kama nchi tajiri zinavyofanya.</description>
					  <author>info@habaritanzania.com (Habari Tanzania)</author>
					  <pubDate>Mon, 04 Dec 2006 00:00:00 +0300</pubDate>
					 
					</item>

				

					<item>
					  <title> Tamasha la kujadili umeme laja</title>
					  <link>http://www.habaritanzania.com/articles/2112/1/-Tamasha-la-kujadili-umeme-laja</link>
					  <description>KAMPUNI ya Focus Solution imeandaa Tamasha la Uhuru Dar es Salaam, ambalo          pamoja na mambo mengine litajadili tatizo la umeme nchini.</description>
					  <author>info@habaritanzania.com (Habari Tanzania)</author>
					  <pubDate>Fri, 01 Dec 2006 00:00:00 +0300</pubDate>
					 
					</item>

				

					<item>
					  <title>Mafanikio haya ya uvuvi yaigwe na sekta nyingine</title>
					  <link>http://www.habaritanzania.com/articles/2102/1/Mafanikio-haya-ya-uvuvi-yaigwe-na-sekta-nyingine</link>
					  <description>PENGINE tangu Watanzania waingie katika mfumo wa biashara huria, hawajaweza kutamba katika ulingo wa kimataifa lakini mafanikio yaliyopatikana katika sekta ya uvuvi katika kipindi cha miaka kumi na moja iliyopita si haba na ni changamoto kwa sekta nyingine za uchumi.</description>
					  <author>info@habaritanzania.com (Habari Tanzania)</author>
					  <pubDate>Thu, 30 Nov 2006 00:00:00 +0300</pubDate>
					 
					</item>

				

					<item>
					  <title>Profesa Maghembe: Tunaweza kujitosheleza kwa umeme wa upepo</title>
					  <link>http://www.habaritanzania.com/articles/2092/1/Profesa-Maghembe%3A-Tunaweza-kujitosheleza-kwa-umeme-wa-upepo</link>
					  <description>Tanzania imekuwa ikikabiliwa na matatizo makubwa ya umeme kwa muda mrefu, licha ya kuwa na vyanzo vingi vya kuzalisha nishati hiyo. Katika makala haya, Mwandishi wetu JULIUS SAMWEL amezungumza na baadhi ya wanasayansi wa misitu nchini ambao wanatoa mapendekezo yao kwa Serikali kumaliza tatizo hilo.</description>
					  <author>info@habaritanzania.com (Habari Tanzania)</author>
					  <pubDate>Thu, 30 Nov 2006 00:00:00 +0300</pubDate>
					 
					</item>

				

					<item>
					  <title>Shule ya msingi yamsononesha Waziri Sitta</title>
					  <link>http://www.habaritanzania.com/articles/2070/1/Shule-ya-msingi-yamsononesha-Waziri-Sitta</link>
					  <description>WAZIRI wa Elimu na Mafunzo ya Ufundi, Margret Sitta, ameonyesha kusoneshwa na mazingira mabaya ya Shule ya Msingi Msitu wa Mbogo iliyoko wilayani ya Arumeru Mkoa wa Manyara kaskazini mwa Tanzania, kutokana na wanafunzi wake kusomea chini ya mti.</description>
					  <author>info@habaritanzania.com (Habari Tanzania)</author>
					  <pubDate>Wed, 29 Nov 2006 00:00:00 +0300</pubDate>
					 
					</item>

				

					<item>
					  <title>Ngwahi: Tutawasomesha bure masomo ya ufundi vijana waishio mazingira magumu</title>
					  <link>http://www.habaritanzania.com/articles/2062/1/Ngwahi%3A-Tutawasomesha-bure-masomo-ya-ufundi-vijana-waishio-mazingira-magumu</link>
					  <description>KILIO cha masikini kimeanza kusikika. Kampeni za kuwasaidia kielimu watoto waishio mitaani au katika mazingira magumu zimeanza kupata nguvu kwa taasisi mbalimbali kujitokeza kufadhili mafunzo hayo.</description>
					  <author>info@habaritanzania.com (Habari Tanzania)</author>
					  <pubDate>Tue, 28 Nov 2006 00:00:00 +0300</pubDate>
					 
					</item>

				

					<item>
					  <title>Wakulima wa mkonge kumilikishwa mashamba</title>
					  <link>http://www.habaritanzania.com/articles/2032/1/Wakulima-wa-mkonge-kumilikishwa-mashamba</link>
					  <description>SERIKALI imeridhia wakulima wadogo wa mkonge nchini kupatiwa hatimiliki na kisha kumilikimshwa rasmi mashamba hayo baada ya sera yake kupitiwa upya na wataalamu na kufanyiwa tathimini ya kina.</description>
					  <author>info@habaritanzania.com (Habari Tanzania)</author>
					  <pubDate>Mon, 27 Nov 2006 00:00:00 +0300</pubDate>
					 
					</item>

				

					<item>
					  <title>Waziri Karamagi tumezichoka hadithi, sasa tunataka umeme wa uhakika</title>
					  <link>http://www.habaritanzania.com/articles/2018/1/Waziri-Karamagi-tumezichoka-hadithi%2C-sasa-tunataka-umeme-wa-uhakika</link>
					  <description>KUNA simulizi maarufu ambayo imekuwa ikisimuliwa sana tangu enzi ya babu zetu na kuwaelezea viongozi ambao hawajali matatizo ya wananchi wale wanaowaongoza.</description>
					  <author>info@habaritanzania.com (Habari Tanzania)</author>
					  <pubDate>Sun, 26 Nov 2006 00:00:00 +0300</pubDate>
					 
					</item>

				

					<item>
					  <title>Wafanyabiashara washauriwa kutumia soko la Agoa</title>
					  <link>http://www.habaritanzania.com/articles/2016/1/Wafanyabiashara-washauriwa-kutumia-soko-la-Agoa</link>
					  <description>LICHA ya Tanzania kuchelewa kujiunga na soko la Marekani kupitia mpango wa Agoa, wafanyabiashara nchini wameshauriwa kutozembea kulitumia soko hilo kwa manufaa yao.</description>
					  <author>info@habaritanzania.com (Habari Tanzania)</author>
					  <pubDate>Sun, 26 Nov 2006 00:00:00 +0300</pubDate>
					 
					</item>

				

					<item>
					  <title>Nyanza Bottling yatwaa tuzo ya kimataifa</title>
					  <link>http://www.habaritanzania.com/articles/2015/1/Nyanza-Bottling-yatwaa-tuzo-ya-kimataifa</link>
					  <description>KAMPUNI ya Nyanza Bottling Ltd ya jijini Mwanza inayotengeneza vinywaji baridi imeshinda tuzo ya ubora wa bidhaa ya Afrika Mashariki na Kati ya Eko-Africa pamoja na tuzo ya mazingira kwa mwaka 2005.</description>
					  <author>info@habaritanzania.com (Habari Tanzania)</author>
					  <pubDate>Sun, 26 Nov 2006 00:00:00 +0300</pubDate>
					 
					</item>

				

					<item>
					  <title>Hizi ahadi za umeme wa kesho zimechosha, twataka matendo</title>
					  <link>http://www.habaritanzania.com/articles/2001/1/Hizi-ahadi-za-umeme-wa-kesho-zimechosha%2C-twataka-matendo</link>
					  <description>SERIKALI ya Awamu ya Nne iliyodumu madarakani kwa takriban miezi 11 na ushei sasa, imekuwa katika hali ngumu sana ya kiutendaji kutokana na kuingia madarakani wakati kukiwa na tatizo kubwa la nishati ya umeme.</description>
					  <author>info@habaritanzania.com (Habari Tanzania)</author>
					  <pubDate>Sat, 25 Nov 2006 00:00:00 +0300</pubDate>
					 
					</item>

				

					<item>
					  <title>Wavuvi wasiochangia maendeleo kukiona</title>
					  <link>http://www.habaritanzania.com/articles/2000/1/Wavuvi-wasiochangia-maendeleo-kukiona</link>
					  <description>MKUU wa Mkoa wa Singida, Parseko Vicent Kone, ameuagiza uongozi wa Wilaya ya Iramba, mkoani hapa, kuorodhesha idadi ya wavuvi wanaovua katika Ziwa Kitangili, ili kubaini ni wangapi hawachangii shughuli za maendeleo.</description>
					  <author>info@habaritanzania.com (Habari Tanzania)</author>
					  <pubDate>Sat, 25 Nov 2006 00:00:00 +0300</pubDate>
					 
					</item>

				

					<item>
					  <title>Mwanafunzi afungwa miaka 15 jela</title>
					  <link>http://www.habaritanzania.com/articles/1970/1/Mwanafunzi-afungwa-miaka-15-jela</link>
					  <description>MAHAKAMA ya Hakimu Mkazi Mkoa wa Morogoro, jana imemhukumu mwanafunzi wa kidato cha pili katika Shule ya Sekondari ya Jamhuri iliyopo mjini Dodoma, Sunday Valley (21), kwenda jela miaka 15 kwa kosa la kufanya jaribio la kunyang'anya gari.</description>
					  <author>info@habaritanzania.com (Habari Tanzania)</author>
					  <pubDate>Thu, 23 Nov 2006 00:00:00 +0300</pubDate>
					 
					</item>

				

					<item>
					  <title>Uhaba wa nyumba hudhalilisha hadhi ya walimu</title>
					  <link>http://www.habaritanzania.com/articles/1968/1/Uhaba-wa-nyumba-hudhalilisha-hadhi-ya-walimu</link>
					  <description>ANAITWA mwalimu Stella Mathias (si jina lake halisi ), anaishi katika Mtaa wa Miningani, ambaye hutembea zaidi ya dakika 40 kila siku ili kufika katika Shule ya Msingi Miningani, iliyopo kilometa tatu kutoka Kondoa mjini. </description>
					  <author>info@habaritanzania.com (Habari Tanzania)</author>
					  <pubDate>Thu, 23 Nov 2006 00:00:00 +0300</pubDate>
					 
					</item>

				

					<item>
					  <title>Utafiti wa Mkukuta waanza</title>
					  <link>http://www.habaritanzania.com/articles/1947/1/Utafiti-wa-Mkukuta-waanza</link>
					  <description>IDARA ya Taifa ya Takwimu, imeandaa utafiti wa mapato na matumzi ya kaya binafsi Tanzania bara utakaofanyika nchi nzima kuanzia mwezi januari utakaogharimu Sh3.6 bilioni 3.6.</description>
					  <author>info@habaritanzania.com (Habari Tanzania)</author>
					  <pubDate>Wed, 22 Nov 2006 00:00:00 +0300</pubDate>
					 
					</item>

				

					<item>
					  <title>Kiwanda cha karatasi chadaiwa kuchafua mazingira</title>
					  <link>http://www.habaritanzania.com/articles/1946/1/Kiwanda-cha-karatasi-chadaiwa-kuchafua-mazingira</link>
					  <description>WANANCHI wa vijiji vya Masagati na Taweta vilivyopo katikaa Tarafa ya Mlimba wilayani Kilombero, Mkoa wa Morogoro, wameiomba Serikali na Baraza la Taifa la Hifadhi ya Mazingira (NEMC), kuingilia kati tatizo la uchafuzi wa mazingira katika Mto Mnyela unaopita katika vijiji hivyo, unaodaiwa kufanywa na Kiwanda cha Karatasi cha Mgololo (SPM), kilichopo mkoani Iringa.</description>
					  <author>info@habaritanzania.com (Habari Tanzania)</author>
					  <pubDate>Wed, 22 Nov 2006 00:00:00 +0300</pubDate>
					 
					</item>

				

					<item>
					  <title>Chuo Kikuu wasikilizwe</title>
					  <link>http://www.habaritanzania.com/articles/1911/1/Chuo-Kikuu-wasikilizwe</link>
					  <description>JANA katika gazeti la Tanzania Daima, kulikuwa na habari za kucharuka kwa wanafunzi wa Kitivo cha Sheria, katika Chuo Kikuu cha Dar es Salaam, ambao waliandamana wakitaka kujua hatima ya mafunzo kwa vitendo.</description>
					  <author>info@habaritanzania.com (Habari Tanzania)</author>
					  <pubDate>Sun, 19 Nov 2006 00:00:00 +0300</pubDate>
					 
					</item>

				

					<item>
					  <title>Wafugaji wa Ihefu wavamia Mufindi</title>
					  <link>http://www.habaritanzania.com/articles/1871/1/Wafugaji-wa-Ihefu-wavamia-Mufindi</link>
					  <description>KUNA kila dalili ya kuibuka mgogoro mkubwa kati ya wakulima na wafugaji, kufuatia hatua ya wafugaji wa kabila la Wasukuma waliondolewa Bonde la Usangu mkoani Mbeya, kuvamia vijiji vya wilaya ya Mufindi.</description>
					  <author>info@habaritanzania.com (Habari Tanzania)</author>
					  <pubDate>Fri, 17 Nov 2006 00:00:00 +0300</pubDate>
					 
					</item>

				

					<item>
					  <title>Wafanyakazi wataka serikali ipunguze kuwanyonya</title>
					  <link>http://www.habaritanzania.com/articles/1870/1/Wafanyakazi-wataka-serikali-ipunguze-kuwanyonya</link>
					  <description>TUME ya Rais inayoshughulikilia marekebisho ya mishahara ya wafanyakazi nchini, imetakiwa kuangalia uwezekano wa kupunguza kodi ya mapato kwa wafanyakazi (PAYE) wakati inaangalia ongezeko la mishahara.</description>
					  <author>info@habaritanzania.com (Habari Tanzania)</author>
					  <pubDate>Fri, 17 Nov 2006 00:00:00 +0300</pubDate>
					 
					</item>

				

					<item>
					  <title>Tanesco bado iko hoi</title>
					  <link>http://www.habaritanzania.com/articles/1842/1/Tanesco-bado-iko-hoi</link>
					  <description>SHIRIKA la Umeme Tanzania (Tanesco), linaendelea kukabiliwa na hali mbaya ya kifedha kutoka na kuwa na matumizi makubwa kuliko mapato</description>
					  <author>info@habaritanzania.com (Habari Tanzania)</author>
					  <pubDate>Wed, 15 Nov 2006 00:00:00 +0300</pubDate>
					 
					</item>

				

					<item>
					  <title>Wafaransa kuipatia Exim Bank bilioni 5/-</title>
					  <link>http://www.habaritanzania.com/articles/1834/1/Wafaransa-kuipatia-Exim-Bank-bilioni-5%7B47%7D-</link>
					  <description>BENKI ya Exim imeingia mkataba na Shirika la Fedha la Proparco kutoka Ufaransa utakaowezesha benki hiyo kutoa huduma za mikopo ya muda mrefu kwa wazalishaji wadogo na wakati kwa lengo la kukuza uchumi na kuongeza ajira. </description>
					  <author>info@habaritanzania.com (Habari Tanzania)</author>
					  <pubDate>Tue, 14 Nov 2006 00:00:00 +0300</pubDate>
					 
					</item>

				

					<item>
					  <title>Tuzinduke, kuzitumia vyema fursa za mkutano huu wa China</title>
					  <link>http://www.habaritanzania.com/articles/1816/1/Tuzinduke%2C-kuzitumia-vyema-fursa-za-mkutano-huu-wa-China</link>
					  <description>MWANZONI mwa mwezi huu, Rais Jakaya Mrisho Kikwete, kama walivyo marais wengine wa Afrika, alifunga safari ndefu kwenda Bara Asia na hasa kwa rafiki zetu wakubwa, China.</description>
					  <author>info@habaritanzania.com (Habari Tanzania)</author>
					  <pubDate>Mon, 13 Nov 2006 00:00:00 +0300</pubDate>
					 
					</item>

				

					<item>
					  <title>Watalaam wa kilimo Korea waja Tanzania</title>
					  <link>http://www.habaritanzania.com/articles/1768/1/Watalaam-wa-kilimo-Korea-waja-Tanzania</link>
					  <description>RAIS Jakaya Kikwete ameukaribisha uamuzi wa Jumuiya ya Vijiji ya Korea na Shirika la Kilimo (Korea Rural Community and Agriculture Corporation) wa kushirikiana na Serikali katika kilimo na maendeleo ya wananchi wa vijijini.</description>
					  <author>info@habaritanzania.com (Habari Tanzania)</author>
					  <pubDate>Fri, 10 Nov 2006 00:00:00 +0300</pubDate>
					 
					</item>

				

					<item>
					  <title>Tanzania kujenga viwanda vya nyama</title>
					  <link>http://www.habaritanzania.com/articles/1711/1/Tanzania-kujenga-viwanda-vya-nyama</link>
					  <description>WIZARA ya Maendeleo ya Mifugo, imesema kuanzia mwaka kesho itaomba fedha kwa ajili ya kujenga viwanda vya kusindika mazao ya mifugo nchini.</description>
					  <author>info@habaritanzania.com (Habari Tanzania)</author>
					  <pubDate>Tue, 07 Nov 2006 00:00:00 +0300</pubDate>
					 
					</item>

				

					<item>
					  <title>Nairobi wajifunza Dar kuendesha Tamisemi</title>
					  <link>http://www.habaritanzania.com/articles/1709/1/Nairobi-wajifunza-Dar-kuendesha-Tamisemi</link>
					  <description>WATUMISHI 50 wa Halmashauri ya Jiji la Nairobi, wako jijini Dar es Salaam kujifunza jinsi ya uendeshaji wa shughuli za Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa (Tamisemi). </description>
					  <author>info@habaritanzania.com (Habari Tanzania)</author>
					  <pubDate>Tue, 07 Nov 2006 00:00:00 +0300</pubDate>
					 
					</item>

				

					<item>
					  <title>Wamachinga walalamikia maeneo yao kukosa mvuto kibiashara</title>
					  <link>http://www.habaritanzania.com/articles/1671/1/Wamachinga-walalamikia-maeneo-yao-kukosa-mvuto-kibiashara</link>
					  <description>MVUTO wa biashara si tu kwa mfanyabiashara kuwa msafi lugha nzuri au kuwa mkarimu kwa kila kitu kwa mteja wake hapana, hata mazingira ya nayofanyiwa kazi hiyo yanatakiwa kuwa na hadhi na muonekano mzuri ili kumfanya mnunuzi kuvutiwa nayo.</description>
					  <author>info@habaritanzania.com (Habari Tanzania)</author>
					  <pubDate>Sat, 04 Nov 2006 00:00:00 +0300</pubDate>
					 
					</item>

				

					<item>
					  <title>Mbaroni kwa kutaka kuhonga maafisa PCB</title>
					  <link>http://www.habaritanzania.com/articles/1669/1/Mbaroni-kwa-kutaka-kuhonga-maafisa-PCB</link>
					  <description>AFISA mmoja katika Idara ya Ujenzi Wilaya ya Korogwe, anashikiliwa na Jeshi la Polisi kwa tuhuma za kutaka kuwahonga maafisa wawili wa Taasisi ya Kuzuia Rushwa (PCB), wasichunguze tuhuma upotevu wa Sh8.5 milioni zilizotengwa kujengea banda la Nanenane.</description>
					  <author>info@habaritanzania.com (Habari Tanzania)</author>
					  <pubDate>Sat, 04 Nov 2006 00:00:00 +0300</pubDate>
					 
					</item>

				

					<item>
					  <title>EU kutoa sh. bilioni 4.2 kwa ushirikishaji wananchi</title>
					  <link>http://www.habaritanzania.com/articles/1653/1/EU-kutoa-sh.-bilioni-4.2-kwa-ushirikishaji-wananchi</link>
					  <description>JUMUIA ya Ulaya (EU) imezishauri asasi zisizo za serikali kufanya kazi kwa uwazi na ukweli ili kuwawezesha wananchi kunufaika kimaendeleo kutokana na mipango wanayoandaliwa na serikali.</description>
					  <author>info@habaritanzania.com (Habari Tanzania)</author>
					  <pubDate>Fri, 03 Nov 2006 00:00:00 +0300</pubDate>
					 
					</item>

				

					<item>
					  <title>Mtandao wa barabara EAC kuimarika</title>
					  <link>http://www.habaritanzania.com/articles/1629/1/Mtandao-wa-barabara-EAC-kuimarika</link>
					  <description>MBUNGE wa Singida Kaskazini, Lazaro Nyarandu (CCM), ameihoji serikali akitaka kujua, Jumuiya ya Afrika Mashariki (EAC), itaanza lini ujenzi wa barabara ambazo zipo katika mtandao wake ili kuimarisha uchukuzi kwenye nchi husika.</description>
					  <author>info@habaritanzania.com (Habari Tanzania)</author>
					  <pubDate>Wed, 01 Nov 2006 00:00:00 +0300</pubDate>
					 
					</item>

				

					<item>
					  <title>Mramba kuongoza wafanyabiashara Urusi</title>
					  <link>http://www.habaritanzania.com/articles/1594/1/Mramba-kuongoza-wafanyabiashara-Urusi</link>
					  <description>WAZIRI wa Viwanda Biashara na Masoko, Basil Mramba, ameongoza ujumbe wa Tanzania kwenye mkutano wa uwekezaji wa masoko, viwanda na biashara unaofanyika nchini Urusi.</description>
					  <author>info@habaritanzania.com (Habari Tanzania)</author>
					  <pubDate>Mon, 30 Oct 2006 00:00:00 +0300</pubDate>
					 
					</item>

				

					<item>
					  <title>Tatizo la maji toka mtambo wa Ruvu juu kupungua</title>
					  <link>http://www.habaritanzania.com/articles/1570/1/Tatizo-la-maji-toka-mtambo-wa-Ruvu-juu-kupungua</link>
					  <description>HATIMAYE tatizo la maji lililokuwa likiwakabili wananchi wanaotumia maji toka mtambo wa Ruvu juu litapungua baada ya DAWASA kupata pampu mpya nne jana.</description>
					  <author>info@habaritanzania.com (Habari Tanzania)</author>
					  <pubDate>Sat, 28 Oct 2006 00:00:00 +0300</pubDate>
					 
					</item>

				

					<item>
					  <title>Machinga Mbeya walalamika</title>
					  <link>http://www.habaritanzania.com/articles/1532/1/Machinga-Mbeya-walalamika</link>
					  <description>WAFANYABIASHARA ndogondogo maarufu kama 'Wamachinga' wa Halmashauri ya Jiji la Mbeya wameulalamikia uongozi wa jiji kwa kuwapa siku mbili ili waondoke katikati ya jiji.</description>
					  <author>info@habaritanzania.com (Habari Tanzania)</author>
					  <pubDate>Thu, 26 Oct 2006 00:00:00 +0300</pubDate>
					 
					</item>

				

					<item>
					  <title>Ujenzi Mnara wa Nyerere Dodoma karibu kukamilika</title>
					  <link>http://www.habaritanzania.com/articles/1531/1/Ujenzi-Mnara-wa-Nyerere-Dodoma-karibu-kukamilika</link>
					  <description>UJENZI wa mnara wa hayati Mwalimu Julius Kambarage</description>
					  <author>info@habaritanzania.com (Habari Tanzania)</author>
					  <pubDate>Thu, 26 Oct 2006 00:00:00 +0300</pubDate>
					 
					</item>

				

					<item>
					  <title>Ukarabati wa stendi ya Makumbusho mwezi ujao</title>
					  <link>http://www.habaritanzania.com/articles/1527/1/Ukarabati-wa-stendi-ya-Makumbusho-mwezi-ujao</link>
					  <description>UKARABATI wa hali ya juu wa miundombinu ya stendi ya mabasi ya Makumbusho, Dar es Salaam, utakaogharimu sh. milioni 207 utaanza mapema mwezi ujao.</description>
					  <author>info@habaritanzania.com (Habari Tanzania)</author>
					  <pubDate>Thu, 26 Oct 2006 00:00:00 +0300</pubDate>
					 
					</item>

				

					<item>
					  <title>DCI: Tumepunguza uhalifu asilimia 50</title>
					  <link>http://www.habaritanzania.com/articles/1474/1/DCI%3A-Tumepunguza-uhalifu-asilimia-50</link>
					  <description>JESHI la Polisi nchini limesema vitendo vya ujambazi na uhalifu katika maeneo mbalimbali vimepungua kwa zaidi ya asilimia 50.</description>
					  <author>info@habaritanzania.com (Habari Tanzania)</author>
					  <pubDate>Mon, 23 Oct 2006 00:00:00 +0300</pubDate>
					 
					</item>

				

					<item>
					  <title>TCCIA KIBONDO LAWAMANI</title>
					  <link>http://www.habaritanzania.com/articles/1413/1/TCCIA-KIBONDO-LAWAMANI</link>
					  <description>Chama cha wafanyabiashara, wakulima na wenye viwanda TCCIA wilayani Kibondo kimedaiwa kudharau maagizo ya serikali ya kukamilisha ujenzi wa ofisi ya chemba ya tarafa ya Mabamba</description>
					  <author>pkwigize@yahoo.com (Prosper Kwigize)</author>
					  <pubDate>Thu, 19 Oct 2006 00:00:00 +0300</pubDate>
					 
					</item>

				

					<item>
					  <title>'Vyombo vinavyotoa mikopo vipunguze masharti'</title>
					  <link>http://www.habaritanzania.com/articles/1412/1/%91Vyombo-vinavyotoa-mikopo-vipunguze-masharti%92</link>
					  <description>ASASI Zisizo za Serikali (AZISE) zimeviomba vyombo vinavyotoa mikopo kupungunza masharti, ili kupunguza umasikini duniani.</description>
					  <author>info@habaritanzania.com (Habari Tanzania)</author>
					  <pubDate>Thu, 19 Oct 2006 00:00:00 +0300</pubDate>
					 
					</item>

				

					<item>
					  <title>Mmiliki wa chuo adaiwa kutapeli wanafunzi</title>
					  <link>http://www.habaritanzania.com/articles/1394/1/Mmiliki-wa-chuo-adaiwa-kutapeli-wanafunzi</link>
					  <description>MMILIKI wa chuo binafsi cha Moshi Tourism Centre cha mjini hapa, John Mandele (28), anatuhumiwa kuwatapeli watahiniwa binafsi 32 wa kidato cha pili kwa kuchukua fedha zao na kushindwa kuwapatia namba za mtihani.</description>
					  <author>info@habaritanzania.com (Habari Tanzania)</author>
					  <pubDate>Wed, 18 Oct 2006 00:00:00 +0300</pubDate>
					 
					</item>

				

					<item>
					  <title>Umuhimu wa mifugo katika uchumi wa dunia</title>
					  <link>http://www.habaritanzania.com/articles/1374/1/Umuhimu-wa-mifugo-katika-uchumi-wa-dunia</link>
					  <description>SEKTA ya mifugo ni muhimu kwa uchumi wa nchi zote zilizoendelea na zinazoendelea. Nchi zote duniani licha ya utofauti wake wa hali ya hewa au utamaduni, zinategemea mifugo.</description>
					  <author>info@habaritanzania.com (Habari Tanzania)</author>
					  <pubDate>Tue, 17 Oct 2006 00:00:00 +0300</pubDate>
					 
					</item>

				

					<item>
					  <title>Hazina yatenga trilioni 1/- kukabili tatizo la umeme</title>
					  <link>http://www.habaritanzania.com/articles/1369/1/Hazina-yatenga-trilioni-1%7B47%7D--kukabili-tatizo-la-umeme</link>
					  <description>WIZARA ya Fedha inatarajia kutenga dola bilioni moja (sawa na sh trilioni 1.3), kwa ajili ya Wizara ya Nishati na Madini ndani ya miaka mitano ijayo. </description>
					  <author>info@habaritanzania.com (Habari Tanzania)</author>
					  <pubDate>Tue, 17 Oct 2006 00:00:00 +0300</pubDate>
					 
					</item>

				

					<item>
					  <title>Pemba hawahitaji nguvu za kiume, wanataka chakula</title>
					  <link>http://www.habaritanzania.com/articles/1354/1/Pemba-hawahitaji-nguvu-za-kiume%2C-wanataka-chakula</link>
					  <description>KWA kawaida mnyama huwa hana hulka ya kumwonea huruma mwenzake kutokana na kukosa ufahamu alionao binadamu.</description>
					  <author>info@habaritanzania.com (Habari Tanzania)</author>
					  <pubDate>Mon, 16 Oct 2006 00:00:00 +0300</pubDate>
					 
					</item>

				

					<item>
					  <title>Uwanja wa Fisi; mfupa uliomshinda Makamba, Kandoro umemkwama</title>
					  <link>http://www.habaritanzania.com/articles/1299/1/Uwanja-wa-Fisi%3B-mfupa-uliomshinda-Makamba%2C-Kandoro-umemkwama</link>
					  <description>KAMA hadithi moja ya fisi wawili wala mifupa, mmoja alijaribu kutafuna mfupa ukamshinda na kuamua kuuacha kama ulivyo, lakini mwingine alipokuja, akajifanya hodari, akaukabili na kulazimisha kuutafuna na kuumeza, lakini ukaishia kumkwama kooni.</description>
					  <author>info@habaritanzania.com (Habari Tanzania)</author>
					  <pubDate>Thu, 12 Oct 2006 00:00:00 +0300</pubDate>
					 
					</item>

				

					<item>
					  <title>Dosari za operesheni jiji safi, zirekebishwe</title>
					  <link>http://www.habaritanzania.com/articles/1248/1/Dosari-za-operesheni-jiji-safi%2C-zirekebishwe</link>
					  <description>HABARI kubwa katika gazeti hili la leo ni ile inayohusu utekelezaji wa operesheni ya kulisafisha Jiji la Dar es Salaam inayohusisha kuwaondoa wafanyabiashara ndogondogo kutoka katikati ya Jiji na kubomoa majengo ya biashara yaliyo katika maeneo yasiyostahili.</description>
					  <author>info@habaritanzania.com (Habari Tanzania)</author>
					  <pubDate>Sun, 08 Oct 2006 00:00:00 +0300</pubDate>
					 
					</item>

				

					<item>
					  <title>Salamu za Wamachinga kwa Serikali</title>
					  <link>http://www.habaritanzania.com/articles/1243/1/Salamu-za-Wamachinga-kwa-Serikali</link>
					  <description>Ufuatao ni ujumbe mahususi uliotumwa na wafanyabiashara wadogo wadogo (wamachinga) kwa serikali yao huko Sulleimania katika jimbo la Kurdistan mwaka 1991 wakati wa harakati za kuwaondoa kutoka mitaani. Mengi yaliyozungumzwa yanafanana sana kimaisha na yale yanayowasibu wamachinga wa hapa nyumbani. Serikali inapaswa kuiangalia hali hiyo na kuchukua hatua zinazofaa. </description>
					  <author>info@habaritanzania.com (Habari Tanzania)</author>
					  <pubDate>Sun, 08 Oct 2006 00:00:00 +0300</pubDate>
					 
					</item>

				

					<item>
					  <title>TRA IMEAGIZWA KUWAELIMISHA WANANCHI</title>
					  <link>http://www.habaritanzania.com/articles/1237/1/TRA-IMEAGIZWA-KUWAELIMISHA-WANANCHI</link>
					  <description>Mamlaka ya mapato Tanzania TRA imetakiwa kuanza kutoa elimu kwa wananchi juu ya ushuru wa forodha uliopitishwa na jumuiya ya afrika mashariki ili kuondoa hofu na baadhi ya kero zinazotokana na wananchi kutoelimishwa.</description>
					  <author>pkwigize@yahoo.com (Prosper Kwigize)</author>
					  <pubDate>Sat, 07 Oct 2006 00:00:00 +0300</pubDate>
					 
					</item>

				

					<item>
					  <title>Nini suluhu ya kudumu ya machinga?</title>
					  <link>http://www.habaritanzania.com/articles/1225/1/Nini-suluhu-ya-kudumu-ya-machinga%3F</link>
					  <description>NAAM! Waliosema hayawi sasa yamekuwa! Nguvu mpya ari mpya na kasi mpya imefanya vitu vyake! Sasa mji "mweupe", "msafi sana", au siyo?</description>
					  <author>info@habaritanzania.com (Habari Tanzania)</author>
					  <pubDate>Fri, 06 Oct 2006 00:00:00 +0300</pubDate>
					 
					</item>

				

					<item>
					  <title>Wazee wajengewa nyumba 313</title>
					  <link>http://www.habaritanzania.com/articles/1197/1/Wazee-wajengewa-nyumba-313</link>
					  <description>WAZEE wilayani Magu mkoa wa Mwanza, wamejengewa nyumba 313 katika tarafa sita tangu mwaka 2000 hadi mwaka huu.Nyumba hizo zimejengwa kwa thamani ya Sh616.9milioni na asasi zinazohudumia wazee wilayani hapa za Nassa Brother Hood for Aged (NABRAHO) na MAPERECE chini ya Shirika la Kimataifa la Kuhudumia wazee la HelpAge International.</description>
					  <author>info@habaritanzania.com (Habari Tanzania)</author>
					  <pubDate>Wed, 04 Oct 2006 00:00:00 +0300</pubDate>
					 
					</item>

				

					<item>
					  <title>Profesa azungushwa kiwanja, Magufuli aitwa</title>
					  <link>http://www.habaritanzania.com/articles/1182/1/Profesa-azungushwa-kiwanja%2C-Magufuli-aitwa</link>
					  <description>WAKAZI wa Kijiji cha Ununio, Wilaya ya Kinondoni, mkoani Dar es Salaam, wanajiandaa kumuona Waziri wa Ardhi, Nyumba na Maendeleo ya Makazi, John Magufuli, ili aweze kuingilia kati mgogoro mkubwa wa viwanja ulioibuka kijijini hapo.</description>
					  <author>info@habaritanzania.com (Habari Tanzania)</author>
					  <pubDate>Tue, 03 Oct 2006 00:00:00 +0300</pubDate>
					 
					</item>

				

					<item>
					  <title>Kipi bora, mwanafalsafa asiyeridhika au nguruwe aliyeridhika?</title>
					  <link>http://www.habaritanzania.com/articles/1169/1/Kipi-bora%2C-mwanafalsafa-asiyeridhika-au-nguruwe-aliyeridhika%3F</link>
					  <description>"UNAWEZA kujua kwa hakika kwamba mtu fulani anakupenda? Utakuwa na uhakika gani? Unaweza kujua watu wengine wanawaza nini au wanahisi nini wasipokwambia?</description>
					  <author>info@habaritanzania.com (Habari Tanzania)</author>
					  <pubDate>Sun, 01 Oct 2006 00:00:00 +0300</pubDate>
					 
					</item>

				

					<item>
					  <title>Sakata la Darwin's Nightmare, Acheni Unafiki, Muwe wakweli</title>
					  <link>http://www.habaritanzania.com/articles/1161/1/Sakata-la-Darwin%92s-Nightmare%2C-Acheni-Unafiki%2C-Muwe-wakweli</link>
					  <description>Sakata la Darwin's Nightmare, Acheni Unafiki, Muwe wakweli &#160;ACHENI UNAFIKI, MUWE WAKWELI. &#160; &#160;Na Salehe Mmoro &#160;Kauli kwamba sangara wa Ziwa Victoria huuzwa Ulaya na kuacha mifupa, kwa  kuwa siyo chaguo la kwanza la wakazi wa eneo hilo, ni uongo mtupu, upuuzi na  unafiki uliopea.</description>
					  <author>omybabu@yahoo.com (Salehe Mmoro)</author>
					  <pubDate>Sat, 30 Sep 2006 00:00:00 +0300</pubDate>
					 
					</item>

				

					<item>
					  <title>Umeme wa kumwaga</title>
					  <link>http://www.habaritanzania.com/articles/1160/1/Umeme-wa-kumwaga</link>
					  <description>WAKATI Tanzania inahangaika na tatizo kubwa la umeme kutokana na kupungua maji katika Bwawa la Mtera, maporomoko ya Mto Luvanyina wilayani Makete, yanaweza kuzalisha megawati 222.</description>
					  <author>info@habaritanzania.com (Habari Tanzania)</author>
					  <pubDate>Sat, 30 Sep 2006 00:00:00 +0300</pubDate>
					 
					</item>

				

					<item>
					  <title>Vibaka sasa waibia waumini misikitini</title>
					  <link>http://www.habaritanzania.com/articles/1150/1/Vibaka-sasa-waibia-waumini-misikitini</link>
					  <description>Pamoja na kuanza kwa mfungo wa mwezi wa Ramadhani, vibaka bado wameonekana wakiendelea kufanya vitu vyao, ambapo sasa wameibukia maeneo ya msikitini na kuiba viatu vya waumini. </description>
					  <author>info@habaritanzania.com (Habari Tanzania)</author>
					  <pubDate>Fri, 29 Sep 2006 00:00:00 +0300</pubDate>
					 
					</item>

				

					<item>
					  <title>Pamba Hulimwa na Wenye Njaa, Huchumwa na Walioshiba</title>
					  <link>http://www.habaritanzania.com/articles/1143/1/Pamba-Hulimwa-na-Wenye-Njaa%2C-Huchumwa-na-Walioshiba</link>
					  <description>WAKATI uzalishaji wa zao la pamba nchini ukiongezeka kutoka marobota  196,000 msimu wa 1999\2000 hadi takriban marobota 700,000 mwaka jana, wakulima  walichuma hasara ya shilingi Bilioni 31.4 kufuatia wanunuzi matajiri kupeleka  pamba chafu katika soko.</description>
					  <author>omybabu@yahoo.com (Salehe Mmoro)</author>
					  <pubDate>Fri, 29 Sep 2006 00:00:00 +0300</pubDate>
					 
					</item>

				

					<item>
					  <title>Waziri apasua jipu Z'bar</title>
					  <link>http://www.habaritanzania.com/articles/1134/1/Waziri-apasua-jipu-Z%92bar</link>
					  <description>WIZARA ya Maendeleo ya Vijana, Ajira Wanawake na Watoto Zanzibar, imesema askari polisi Visiwani humu, wanaongoza kwa kuwatia mimba wanafunzi na wamekuwa wazito kuitikia mwito wanaposhtakiwa katika wizara hiyo</description>
					  <author>info@habaritanzania.com (Habari Tanzania)</author>
					  <pubDate>Thu, 28 Sep 2006 00:00:00 +0300</pubDate>
					 
					</item>

				

					<item>
					  <title>Makali mgawo wa umeme kupungua - Msabaha</title>
					  <link>http://www.habaritanzania.com/articles/1112/1/Makali-mgawo-wa-umeme-kupungua---Msabaha</link>
					  <description>SERIKALI imesema makali ya mgawo wa umeme yatapungua wiki ijayo.</description>
					  <author>info@habaritanzania.com (Habari Tanzania)</author>
					  <pubDate>Tue, 26 Sep 2006 00:00:00 +0300</pubDate>
					 
					</item>

				

					<item>
					  <title>Makao ya wilaya yaigawa Rorya</title>
					  <link>http://www.habaritanzania.com/articles/1103/1/Makao-ya-wilaya-yaigawa-Rorya</link>
					  <description>KUNDI la matajiri wafanyabiashara, linadaiwa kuwahonga madiwani kadhaa wa Halmashauri ya Wilaya ya Tarime, na kuupigia kura mji wa Utegi kuwa makao makuu ya wilaya mpya ya Rorya inayotarajiwa kuanzishwa hivi karibuni.</description>
					  <author>info@habaritanzania.com (Habari Tanzania)</author>
					  <pubDate>Mon, 25 Sep 2006 00:00:00 +0300</pubDate>
					 
					</item>

				

					<item>
					  <title>Wizi wa mikonga wazorotesha kampuni ya simu</title>
					  <link>http://www.habaritanzania.com/articles/1099/1/Wizi-wa-mikonga-wazorotesha-kampuni-ya-simu</link>
					  <description>CHAMA cha Wafanyakazi wa sekta ya mtandao wa simu (Tewuta), kimeitaka serikali kuchukua hatua za haraka kukomesha wizi wa nyaya za umeme la sivyo mtandao wa kampuni ya simu (TTCL) unaweza kutoweka.</description>
					  <author>info@habaritanzania.com (Habari Tanzania)</author>
					  <pubDate>Mon, 25 Sep 2006 00:00:00 +0300</pubDate>
					 
					</item>

				

					<item>
					  <title>Bush hajakosea kuzungumzia Kenya akiwa na Kikwete</title>
					  <link>http://www.habaritanzania.com/articles/1093/1/Bush-hajakosea-kuzungumzia-Kenya-akiwa-na-Kikwete</link>
					  <description>WIKI hii rais Jakaya Kikwete alifanya mazungumzo na Rais wa Marekani George Bush kuhusu masuala mbalimbali ya Tanzania na Afrika kwa ujumla.</description>
					  <author>info@habaritanzania.com (Habari Tanzania)</author>
					  <pubDate>Sun, 24 Sep 2006 00:00:00 +0300</pubDate>
					 
					</item>

				

					<item>
					  <title>Utafiti waonyesha mashirika hayana sera ya ukimwi</title>
					  <link>http://www.habaritanzania.com/articles/1083/1/Utafiti-waonyesha-mashirika-hayana-sera-ya-ukimwi</link>
					  <description>ZAIDI ya asilimia 50 ya mashirika ya serikali na watu binafsi, hayana sera ya kupambana na ugonjwa wa ukimwi, utafiti umebainisha.</description>
					  <author>info@habaritanzania.com (Habari Tanzania)</author>
					  <pubDate>Sun, 24 Sep 2006 00:00:00 +0300</pubDate>
					 
					</item>

				

					<item>
					  <title>Mwawanyima mikopo, Mlimani watoke vipi?</title>
					  <link>http://www.habaritanzania.com/articles/1078/1/Mwawanyima-mikopo%2C-Mlimani-watoke-vipi%3F</link>
					  <description>MWANAKWETU kila kukicha mwaleta za kuleta siyo? Mizaha mingine nasema haifai wandugu. Mwaweza kuchezea yote lakini si hili la elimu nawaapia. Eti ninyi mnakuwa kama msiojua faidia ya elimu? Nasema katika hili lazima tushikane mashati wanakwetu. Mie simo wala simo kabisa.</description>
					  <author>info@habaritanzania.com (Habari Tanzania)</author>
					  <pubDate>Sat, 23 Sep 2006 00:00:00 +0300</pubDate>
					 
					</item>

				

					<item>
					  <title>Walionunua nyumba za serikali wapewa siku 30</title>
					  <link>http://www.habaritanzania.com/articles/1072/1/Walionunua-nyumba-za-serikali-wapewa-siku-30</link>
					  <description>SERIKALI imetoa siku 30 kwa watumishi wa umma, waliokopeshwa nyumba za serikali kulipa malimbikizo ya madeni yao, vinginevyo watapokonywa nyumba hizo.</description>
					  <author>info@habaritanzania.com (Habari Tanzania)</author>
					  <pubDate>Sat, 23 Sep 2006 00:00:00 +0300</pubDate>
					 
					</item>

				

					<item>
					  <title>&#39;Mgawo wa umeme ni matokeo ya kupuuza wataalam&#39;</title>
					  <link>http://www.habaritanzania.com/articles/1067/1/%26%2339%3BMgawo-wa-umeme-ni-matokeo-ya-kupuuza-wataalam%26%2339%3B</link>
					  <description>KUUPUZWA kwa ushauri wa watalaam wa nishati kuhusu kubadilika kutoka katika kutegemezi wa umeme kwa kutumia maji na kutumia njia mbadala ndiyo sababu inayoitumbiliza Tanzania katika janga la mgawo wa nishati hiyo, imefahamika.</description>
					  <author>info@habaritanzania.com (Habari Tanzania)</author>
					  <pubDate>Fri, 22 Sep 2006 00:00:00 +0300</pubDate>
					 
					</item>

				

					<item>
					  <title>Waliokosa mikopo Chuo Kikuu waanza kurejea makawao</title>
					  <link>http://www.habaritanzania.com/articles/1059/1/Waliokosa-mikopo-Chuo-Kikuu-waanza-kurejea-makawao</link>
					  <description>ZAIDI ya wanafunzi 30 wa mwaka wa kwanza katika Chuo Kikuu cha Dar es Salaam (Mlimani), wameondoka kurudi kwao baada ya Bodi ya Mikopo ya Elimu ya Juu kushindwa kuwapatia mikopo ya elimu na kujikimu.</description>
					  <author>info@habaritanzania.com (Habari Tanzania)</author>
					  <pubDate>Thu, 21 Sep 2006 00:00:00 +0300</pubDate>
					 
					</item>

				

					<item>
					  <title>TCC yashamiri katika ushindani mkali wa biashara</title>
					  <link>http://www.habaritanzania.com/articles/1046/1/TCC-yashamiri-katika-ushindani-mkali-wa-biashara</link>
					  <description>KAMPUNI ya Sigara Tanzania (TCC), imekuwa katika mikakati ya kujiimarisha kwa njia mbalimbali. MWANDISHI WETU alimhoji Meneja Mkuu wa TCC, Jorge Da Motta, kuhusu shughuli za kampuni hiyo katika kipindi cha nusu mwaka kufikia Juni 30, mwaka huu. Yafuatayo ni mahojiano yenyewe:</description>
					  <author>info@habaritanzania.com (Habari Tanzania)</author>
					  <pubDate>Tue, 19 Sep 2006 00:00:00 +0300</pubDate>
					 
					</item>

				

					<item>
					  <title>Hongera SMZ</title>
					  <link>http://www.habaritanzania.com/articles/1043/1/Hongera-SMZ</link>
					  <description>ZIPO habari kwamba, Serikali ya Mapinduzi Zanzibar (SMZ), imechukua hatua kuwabana wafanyabiashara wasiwanyanyase wananchi.</description>
					  <author>info@habaritanzania.com (Habari Tanzania)</author>
					  <pubDate>Tue, 19 Sep 2006 00:00:00 +0300</pubDate>
					 
					</item>

				

					<item>
					  <title>Wana Apollo wajeruhi wachimbaji TanzaniteOne</title>
					  <link>http://www.habaritanzania.com/articles/1037/1/Wana-Apollo-wajeruhi-wachimbaji-TanzaniteOne</link>
					  <description>WACHIMBAJI wanne wa Kampuni ya TanzaniteOne, kitalu C, katika machimbo ya tanzanite mkoani Manyara, wamejeruhiwa na wana Apollo wakati wa uchimbaji wa madini hayo.</description>
					  <author>info@habaritanzania.com (Habari Tanzania)</author>
					  <pubDate>Tue, 19 Sep 2006 00:00:00 +0300</pubDate>
					 
					</item>

				

					<item>
					  <title>Is Tanzania a safe place to invest?</title>
					  <link>http://www.habaritanzania.com/articles/1021/1/Is-Tanzania-a-safe-place-to-invest%3F</link>
					  <description>The Tanzanian Government have embarked on a major campaign to attract foreign investors into Tanzania stating it to be a 'Haven for Investors', but is Tanzania a safe place to invest?</description>
					  <author>courageatalltimes@yahoo.co.uk (Linda Garner)</author>
					  <pubDate>Mon, 18 Sep 2006 00:00:00 +0300</pubDate>
					 
					</item>

				

					<item>
					  <title>Zanzibar njia panda</title>
					  <link>http://www.habaritanzania.com/articles/1020/1/Zanzibar-njia-panda</link>
					  <description>VITA iliyoikumba Israel na Lebanon imesababisha wataalamu wa nishati kutoka Zanzibar kukwama kuingia Israel kupata mafunzo ya uzalishaji wa umeme kutokana na mawimbi ya bahari.</description>
					  <author>info@habaritanzania.com (Habari Tanzania)</author>
					  <pubDate>Mon, 18 Sep 2006 00:00:00 +0300</pubDate>
					 
					</item>

				

					<item>
					  <title>Serikali itangaze hali ya hatari</title>
					  <link>http://www.habaritanzania.com/articles/995/1/Serikali-itangaze-hali-ya-hatari</link>
					  <description>Seriakali imeshauriwa kutangaza hali ya hatari, kutokana na ongezeko la mgao wa umeme nchini kwa sababu hali hiyo itasaidia kuchukuliwa hatua za haraka kupata suluhu ya tatizo. </description>
					  <author>info@habaritanzania.com (Habari Tanzania)</author>
					  <pubDate>Sun, 17 Sep 2006 00:00:00 +0300</pubDate>
					 
					</item>

				

					<item>
					  <title>Wakili 'nabii wa rushwa' anaswa</title>
					  <link>http://www.habaritanzania.com/articles/958/1/Wakili-%91nabii-wa-rushwa%92-anaswa</link>
					  <description>MAHAKAMA Kuu ya Tanzania Kanda ya Dar es Salaam, jana imetupilia mbali rufaa ya wakili wa kujitegemea Christian Rutagatina, aliyekuwa akipinga uamuzi wa Kamati ya Mawakili wa kumwondoa kwenye orodha ya mawakili nchini.</description>
					  <author>info@habaritanzania.com (Habari Tanzania)</author>
					  <pubDate>Tue, 12 Sep 2006 00:00:00 +0300</pubDate>
					 
					</item>

				

					<item>
					  <title>Lowassa ajionea madini yanayotafunwa na wageni</title>
					  <link>http://www.habaritanzania.com/articles/953/1/Lowassa-ajionea-madini-yanayotafunwa-na-wageni</link>
					  <description>KIGUGUMIZI cha serikali kuwabana wawekezaji kuanzisha viwanda vya kuchonga na kuongeza thamani ya madini nchini, kinalikosesha taifa mabilioni ya shilingi.</description>
					  <author>info@habaritanzania.com (Habari Tanzania)</author>
					  <pubDate>Mon, 11 Sep 2006 00:00:00 +0300</pubDate>
					 
					</item>

				

					<item>
					  <title>Mawaziri wa JK waandika historia</title>
					  <link>http://www.habaritanzania.com/articles/944/1/Mawaziri-wa-JK-waandika-historia</link>
					  <description>HISTORIA ya siasa za Tanzania inaanza kuandikwa upya. Waandishi wachanga ni Dk. Juma Ngasongwa na Celina Kombani. Hawa ni wabunge. Vilevile ni mawaziri. </description>
					  <author>info@habaritanzania.com (Habari Tanzania)</author>
					  <pubDate>Sun, 10 Sep 2006 00:00:00 +0300</pubDate>
					 
					</item>

				

					<item>
					  <title>Burundi amani kwanza</title>
					  <link>http://www.habaritanzania.com/articles/932/1/Burundi-amani-kwanza</link>
					  <description>JANA, hadi tunakwenda mitamboni mazungumzo ya usuluhishi kati ya waasi wa kikundi cha FNL cha Burundi na Serikali ya Rais Pierre Nkurunzinza yalikuwa yakiendelea Dar es Salaam</description>
					  <author>info@habaritanzania.com (Habari Tanzania)</author>
					  <pubDate>Fri, 08 Sep 2006 00:00:00 +0300</pubDate>
					 
					</item>

				

					<item>
					  <title>Ukiukwaji mkataba umezitenganisha ATCL, SAA</title>
					  <link>http://www.habaritanzania.com/articles/927/1/Ukiukwaji-mkataba-umezitenganisha-ATCL%2C-SAA</link>
					  <description>MWENYEKITI wa Bodi ya Wakurugenzi ya Shirika la Ndege la Tanzania (ATCL), Ali Mufuruki, amewaambia waandishi wa habari jana jijini Dar es Salaam kuwa sababu za kuvunjika ubia baina ya ATCL na Shirika la Ndege la Afrika ya Kusini (SAA) ni ukiukwaji wa mkataba.</description>
					  <author>info@habaritanzania.com (Habari Tanzania)</author>
					  <pubDate>Fri, 08 Sep 2006 00:00:00 +0300</pubDate>
					 
					</item>

				

					<item>
					  <title>Picha za Mwalimu kuonyeshwa Kenya</title>
					  <link>http://www.habaritanzania.com/articles/926/1/Picha-za-Mwalimu-kuonyeshwa-Kenya</link>
					  <description>PICHA za Baba wa Taifa, Mwalimu Julius Kambarage Nyerere, zitawekwa kwenye maonyesho wakati wa kongamano kubwa la dunia la Jukwaa la Jamii Duniani (World Social Forum).</description>
					  <author>info@habaritanzania.com (Habari Tanzania)</author>
					  <pubDate>Fri, 08 Sep 2006 00:00:00 +0300</pubDate>
					 
					</item>

				

					<item>
					  <title>Mshirika wa 'AFGEM' asakwa Marekani</title>
					  <link>http://www.habaritanzania.com/articles/923/1/Mshirika-wa-%91AFGEM%92-asakwa-Marekani</link>
					  <description>MFANYABIASHARA maarufu wa madini ya tanzanite, na mshirika wa kibiashara wa Kampuni ya TanzaniteOne (AFGEM), Sunil Agrawal (47), anatafutwa na Serikali ya Marekani akikabiliwa na tuhuma za kumhonga ofisa wa uhamiaji wa serikali hiyo.</description>
					  <author>info@habaritanzania.com (Habari Tanzania)</author>
					  <pubDate>Thu, 07 Sep 2006 00:00:00 +0300</pubDate>
					 
					</item>

				

					<item>
					  <title>WILAYA YA KIBONDO YAUNDA KAMATI YA USALAMA BARABARANI</title>
					  <link>http://www.habaritanzania.com/articles/921/1/WILAYA-YA-KIBONDO-YAUNDA-KAMATI-YA-USALAMA-BARABARANI</link>
					  <description>Wilaya ya Kibondo mkoani Kigoma imeunda kamati mpya ya usalama barabarani kwa lengo la kupambana na utumiwaji mbaya wabarabara na ajali zinazotokana na vyombo vya usafiri</description>
					  <author>pkwigize@yahoo.com (Prosper Kwigize)</author>
					  <pubDate>Wed, 06 Sep 2006 00:00:00 +0300</pubDate>
					 
					</item>

				

					<item>
					  <title>Serikali irekebishe</title>
					  <link>http://www.habaritanzania.com/articles/911/1/Serikali-irekebishe</link>
					  <description>GAZETI hili, katika toleo la jana, kulikuwa na habari za mfumuko wa bei visiwani Zanzibar, kutokana na kupanda kwa bei ya mafuta.</description>
					  <author>info@habaritanzania.com (Habari Tanzania)</author>
					  <pubDate>Tue, 05 Sep 2006 00:00:00 +0300</pubDate>
					 
					</item>

				

					<item>
					  <title>Hotuba Ya Mhe. Jakaya Mrisho Kikwete</title>
					  <link>http://www.habaritanzania.com/articles/879/1/Hotuba-Ya-Mhe.-Jakaya-Mrisho-Kikwete</link>
					  <description>HOTUBA YA MHE. JAKAYA MRISHO KIKWETE, RAIS WA JAMHURI YA MUUNGANO WA TANZANIA, KWA WANANCHI NA VIONGOZI WA MKOA WA DODOMA 31 AGOSTI, 2006</description>
					  <author>info@habaritanzania.com (Habari Tanzania)</author>
					  <pubDate>Sat, 02 Sep 2006 00:00:00 +0300</pubDate>
					 
					</item>

				

					<item>
					  <title>Qaresi, Qorro matatani</title>
					  <link>http://www.habaritanzania.com/articles/840/1/Qaresi%2C-Qorro-matatani</link>
					  <description>SERIKALI imebatilisha mikataba ya ukodishwaji wa mashamba mawili na kiwanja kimoja, mali ya Chama Kikuu cha Ushirika cha Rift Valley Limited (RIVACU).Walio matatani kutokana na kufutwa mikataba hiyo, ni aliyekuwa Mkuu wa Mkoa wa Mbeya, Matheo Qaresi, na mwanasiasa mkongwe, Patrick Qorro.</description>
					  <author>info@habaritanzania.com (Habari Tanzania)</author>
					  <pubDate>Wed, 30 Aug 2006 00:00:00 +0300</pubDate>
					 
					</item>

				

					<item>
					  <title>IPP yaburuzwa kortini</title>
					  <link>http://www.habaritanzania.com/articles/799/1/IPP-yaburuzwa-kortini</link>
					  <description>MAHAKAMA Kuu nchini, jana imeiamuru Kampuni ya The Guardian Ltd inayomilikiwa na Mwenyekiti wa kampuni za IPP, Reginald Mengi na Mkurugenzi wa Fedha wa kampuni hiyo, Ramaskrishna Vankantaraman, kuwasilisha hati ya utetezi wao mahakamani kabla ya Septemba 12, mwaka huu.</description>
					  <author>info@habaritanzania.com (Habari Tanzania)</author>
					  <pubDate>Wed, 23 Aug 2006 00:00:00 +0300</pubDate>
					 
					</item>

				

					<item>
					  <title>Utandawazi na hoja ya kutegemeana, kuungana</title>
					  <link>http://www.habaritanzania.com/articles/774/1/Utandawazi-na-hoja-ya-kutegemeana%2C-kuungana</link>
					  <description>KILA mahali inaelezwa kuwa muunganiko kimataifa unakua kwa kasi kutokana na ongezeko la mtiririko wa biashara, mitaji, fedha, uwekezaji, teknolojia, watu, mawasiliano na mawazo mbalimbali kuwa yanavuka mipaka.</description>
					  <author>info@habaritanzania.com (Habari Tanzania)</author>
					  <pubDate>Sat, 19 Aug 2006 00:00:00 +0300</pubDate>
					 
					</item>

				

					<item>
					  <title>Ubungo na sifa za kinafiki</title>
					  <link>http://www.habaritanzania.com/articles/754/1/Ubungo-na-sifa-za-kinafiki</link>
					  <description>KWA muda sasa, uongozi wa Kituo cha Mabasi Ubungo, umekuwa ukijitahidi kukipamba kituo hicho kwa namna inayoshangaza.</description>
					  <author>manyerere@hotmail.com (Manyerere Jackton)</author>
					  <pubDate>Fri, 18 Aug 2006 00:00:00 +0300</pubDate>
					 
					</item>

				

					<item>
					  <title>Tusirutubishe 'uranium' kuligawa taifa letu</title>
					  <link>http://www.habaritanzania.com/articles/756/1/Tusirutubishe-%91uranium%92-kuligawa-taifa-letu</link>
					  <description>NINA wasiwasi kwamba taifa letu linaweza kugawanyika vibaya, zipo hoja, nitazibainisha, ila ni juu yako msomaji wa makala hii kuziona. Usipoziona usinilaumu. Nilipata kuandika makala ndani ya gazeti la Rai kuhusu mashirika ya hifadhi ya jamii, na kuhoji wasomaji ikiwa wao si kati ya waathirika.</description>
					  <author>info@habaritanzania.com (Habari Tanzania)</author>
					  <pubDate>Thu, 17 Aug 2006 00:00:00 +0300</pubDate>
					 
					</item>

				

					<item>
					  <title>Tufichue wezi wa mafuta ya transfoma</title>
					  <link>http://www.habaritanzania.com/articles/673/1/Tufichue-wezi-wa-mafuta-ya-transfoma</link>
					  <description>HIRIKA la Umeme Tanzania (TANESCO) limekuwa likikumbwa na tatizo kubwa la wizi wa mafuta ya transfoma na vifaa mbalimbali vya usambazaji umeme kama nyaya za umeme.Wizi mwingine unaojitokeza ni ule wa uunganishwaji wa service line kimagendo unaofanywa na mafundi wasio na leseni, maarufu kama vishoka, ambao pia hupunguza kasi ya mita kwa baadhi ya wateja ili wapate unafuu wa bili zao.</description>
					  <author>info@habaritanzania.com (Habari Tanzania)</author>
					  <pubDate>Tue, 01 Aug 2006 00:00:00 +0300</pubDate>
					 
					</item>

				

					<item>
					  <title>&#39;Teknolojia na utaalamu havithaminiwi Tanzania&#39;</title>
					  <link>http://www.habaritanzania.com/articles/649/1/%26%2339%3BTeknolojia-na-utaalamu-havithaminiwi-Tanzania%26%2339%3B</link>
					  <description>HIVI karibuni, Watanzania waliosoma nchini Uholanzi walizindua umoja wao na kuweka bayana mikakati yao ya ziada ya kuisaidia nchi kuharakisha maendeleo. Mmoja wasomi hao ni Bw. Lyimo ambaye katika mahojiano na mwandishi wetu RAMADHAN KINYONYA amebainisha kuwa bado teknolojia na elimu havijathaminiwa na kufanyiwa kazi kiasi cha kutosha, akatahadharisha kuwa nchi itazidi kuwa maskini mpaka watawala watakapokubali kuufanyia kazi ushauri wa wataalamu, uende sanjari na teknolojia ya kisasa. Makala haya yanaeleza zaidi. </description>
					  <author>info@habaritanzania.com (Habari Tanzania)</author>
					  <pubDate>Thu, 27 Jul 2006 00:00:00 +0300</pubDate>
					 
					</item>

				

					<item>
					  <title>Kwa nini Taasisi ya Moyo ikwazwe?</title>
					  <link>http://www.habaritanzania.com/articles/603/1/Kwa-nini-Taasisi-ya-Moyo-ikwazwe%3F</link>
					  <description>WIKI hii uongozi wa Taasisi ya Moyo ulitoa tuhuma nzito dhidi ya Wizara ya Afya na Ustawi wa Jamii.</description>
					  <author>info@habaritanzania.com (Habari Tanzania)</author>
					  <pubDate>Sat, 22 Jul 2006 00:00:00 +0300</pubDate>
					 
					</item>

				

					<item>
					  <title>Bidhaa za sh. bilioni 20 zimeuzwa kwenye maonyesho</title>
					  <link>http://www.habaritanzania.com/articles/579/1/Bidhaa-za-sh.-bilioni-20-zimeuzwa-kwenye-maonyesho</link>
					  <description>BIDHAA zenye thamani ya zaidi ya sh. bilioni 20 zimeuzwa katika maonyesho ya 30 ya Biashara ya Kimataifa ya mwaka huu kutokana na kuimarika kwa huduma kwa washiriki.</description>
					  <author>info@habaritanzania.com (Habari Tanzania)</author>
					  <pubDate>Tue, 18 Jul 2006 00:00:00 +0300</pubDate>
					 
					</item>

				

					<item>
					  <title>Mmiliki eneo vilimokutwa vifaa vya Tanesco bado hajapatikana</title>
					  <link>http://www.habaritanzania.com/articles/550/1/Mmiliki-eneo-vilimokutwa-vifaa-vya-Tanesco-bado-hajapatikana</link>
					  <description>MMILIKI wa eneo vilimokutwa vifaa mbalimbali vya Shirika la Umeme nchini (Tanesco) vinavyosadikiwa kuibwa na kupatikana huko Mikocheni Dar es Salaam, bado hajapatikana.</description>
					  <author>info@habaritanzania.com (Habari Tanzania)</author>
					  <pubDate>Sat, 15 Jul 2006 00:00:00 +0300</pubDate>
					 
					</item>

				

					<item>
					  <title>Umakini wa wabunge utaiokoa Tanzania</title>
					  <link>http://www.habaritanzania.com/articles/535/1/Umakini-wa-wabunge-utaiokoa-Tanzania</link>
					  <description>KIKAO cha Bunge cha leo kinatarajiwa kupokea na kujadili bajeti ya Wizara ya Maliasili na Utalii.</description>
					  <author>info@habaritanzania.com (Habari Tanzania)</author>
					  <pubDate>Fri, 14 Jul 2006 00:00:00 +0300</pubDate>
					 
					</item>

				

					<item>
					  <title>Tuikabili rushwa</title>
					  <link>http://www.habaritanzania.com/articles/528/1/Tuikabili-rushwa</link>
					  <description>TANZANIA inatarajiwa kuwa mwenyeji wa mkutano wa Jumuiya ya Kimataifa ya Mapambano dhidi ya Rushwa (GOPAC).</description>
					  <author>info@habaritanzania.com (Habari Tanzania)</author>
					  <pubDate>Thu, 13 Jul 2006 00:00:00 +0300</pubDate>
					 
					</item>

				

					<item>
					  <title>Rais wa Benki ya Dunia kukutana na Kikwete</title>
					  <link>http://www.habaritanzania.com/articles/524/1/Rais-wa-Benki-ya-Dunia-kukutana-na-Kikwete</link>
					  <description>Rais wa Benki ya Dunia, Bw. Paul Wolfowits, amewasili nchini na anatarajiwa kuwa na mazungumzo na Rais Jakaya Kikwete na wabunge wa Bunge la Jamhuri ya Muungano wa Tanzania. </description>
					  <author>info@habaritanzania.com (Habari Tanzania)</author>
					  <pubDate>Thu, 13 Jul 2006 00:00:00 +0300</pubDate>
					 
					</item>

				

					<item>
					  <title>Kampeni ya Stars kwenda Ghana ifutwe</title>
					  <link>http://www.habaritanzania.com/articles/506/1/Kampeni-ya-Stars-kwenda-Ghana-ifutwe</link>
					  <description>FAINALI za 18 Kombe la Dunia zilizochukua mwezi mmoja, hatimaye jana zilifikia mwisho. Watanzania tumeshuhudia mambo mengi mbali ya kula uhondo wa kimataifa.</description>
					  <author>info@habaritanzania.com (Habari Tanzania)</author>
					  <pubDate>Mon, 10 Jul 2006 00:00:00 +0300</pubDate>
					 
					</item>

				

					<item>
					  <title>Manispaa ya Kinondoni na kero ya taka</title>
					  <link>http://www.habaritanzania.com/articles/491/1/Manispaa-ya-Kinondoni-na-kero-ya-taka</link>
					  <description>Jiji la Dar es Salaam kwa miaka mingi linakabiliwa na tatizo la kushindwa kuzoa takataka zinazozalishwa na kusababisha mlundikano wa takataka katika maeneo mengi.Hivi karibuni timu ya uboreshaji kanda ya Dar es Salaam iliendesha semina kwa madiwani wa manispaa ya Kinondoni juu ya wajibu na majukumu ya viongozi wa kisiasa katika huduma ya usafishaji. Grace Chilongola wa Shirika la Habari la PST anaeleza zaidi kuhusu huduma ya usafishaji kwenye manispaa hiyo. </description>
					  <author>info@habaritanzania.com (Habari Tanzania)</author>
					  <pubDate>Sun, 09 Jul 2006 00:00:00 +0300</pubDate>
					 
					</item>

				

					<item>
					  <title>Tunahitaji kina Mkono wengi</title>
					  <link>http://www.habaritanzania.com/articles/446/1/Tunahitaji-kina-Mkono-wengi</link>
					  <description>MBUNGE wa Musoma Vijijini, Nimrod Mkono (CCM), hivi karibuni mjini Dodoma, alisusa sherehe zilizoandaliwa na serikali na Kampuni inayochimba dhahabu ya Barrick</description>
					  <author>info@habaritanzania.com (Habari Tanzania)</author>
					  <pubDate>Tue, 04 Jul 2006 00:00:00 +0300</pubDate>
					 
					</item>

				

					<item>
					  <title>Tufufue ushirika</title>
					  <link>http://www.habaritanzania.com/articles/412/1/Tufufue-ushirika</link>
					  <description>SERIKALI ya Awamu ya Nne, imetangaza azima yake ya kuleta mapinduzi ya kilimo, kwa kuelekeza nguvu zake kwenye sekta hiyo muhimu.</description>
					  <author>info@habaritanzania.com (Habari Tanzania)</author>
					  <pubDate>Fri, 30 Jun 2006 00:00:00 +0300</pubDate>
					 
					</item>

				

					<item>
					  <title>Miundombinu ni msingi wa kukua uchumi</title>
					  <link>http://www.habaritanzania.com/articles/400/1/Miundombinu-ni-msingi-wa-kukua-uchumi</link>
					  <description>AMANI kwenu wapendwa wana Suluhisho. Tumshukuru Muumba kwa fadhila na baraka zake kwetu. Huku tukiwa katika mjadala wa bajeti yetu ya kwanza ya Serikali ya Awamu ya Nne, hatuna budi kumwomba awajaze busara na hekima</description>
					  <author>info@habaritanzania.com (Habari Tanzania)</author>
					  <pubDate>Thu, 29 Jun 2006 00:00:00 +0300</pubDate>
					 
					</item>

				

					<item>
					  <title>Yono ananyanyasa watu, wanachafua jina la polisi</title>
					  <link>http://www.habaritanzania.com/articles/375/1/Yono-ananyanyasa-watu%2C-wanachafua-jina-la-polisi</link>
					  <description>Na Deodatus Balile&#160;  &#160; SITANII na wala sicheki, Kampuni ya Yono Auction Mart inanyanyasa wakazi wa Jiji la Dar es Salaam , hasa wenye magari. </description>
					  <author>info@habaritanzania.com (Habari Tanzania)</author>
					  <pubDate>Sun, 25 Jun 2006 00:00:00 +0300</pubDate>
					 
					</item>

				

					<item>
					  <title>Umeme wa gesi waja</title>
					  <link>http://www.habaritanzania.com/articles/329/1/Umeme-wa-gesi-waja</link>
					  <description>Shirika la Umeme Nchini (TANESCO), limesaini mkataba na kampuni ya WARTSILA OY ya Finland kwa ajili ya mradi wa kuweka mitambo ya umeme ya dharura ya kutumia gesi wenye thamani ya Sh. bilioni 92.3. </description>
					  <author>info@habaritanzania.com (Habari Tanzania)</author>
					  <pubDate>Wed, 21 Jun 2006 00:00:00 +0300</pubDate>
					 
					</item>

				

					<item>
					  <title>SMZ yapandisha bei ya petroli, dizeli</title>
					  <link>http://www.habaritanzania.com/articles/312/1/SMZ-yapandisha-bei-ya-petroli%2C-dizeli</link>
					  <description>Serikali ya Mapinduzi Zanzibar (SMZ), imeridhia ongezeko la bei ya mafuta visiwani humu. </description>
					  <author>info@habaritanzania.com (Habari Tanzania)</author>
					  <pubDate>Sun, 18 Jun 2006 00:00:00 +0300</pubDate>
					 
					</item>

				

					<item>
					  <title>Tabia ya kuweka fedha benki inaongeza wajasiarimali</title>
					  <link>http://www.habaritanzania.com/articles/301/1/Tabia-ya-kuweka-fedha-benki-inaongeza-wajasiarimali</link>
					  <description>Utamaduni wa kuweka akiba benki kwa kila sehemu ya fedha inayopatikana bado ni mdogo miongoni mwa Watanzania walio wengi kulinganisha na nchi jirani za Kenya na Uganda kama Mwandishi Joseph Mwendapole, anavyoeleza kwa kina faida za kujiwekea akiba. Hiyo itasaidia Watanzania wengi kupata mitaji na kujiajiri katika biashara na shughuli mbalimbali. </description>
					  <author>info@habaritanzania.com (Habari Tanzania)</author>
					  <pubDate>Sat, 17 Jun 2006 00:00:00 +0300</pubDate>
					 
					</item>

				

					<item>
					  <title>Mzalendo atafaidika vipi na bajeti nzuri?</title>
					  <link>http://www.habaritanzania.com/articles/298/1/Mzalendo-atafaidika-vipi-na-bajeti-nzuri%3F</link>
					  <description>AMANI kwenu wapendwa wana Suluhisho. Tumshukuru Muumba kwa majaliwa yetu! Bajeti ya kwanza ya Serikali ya Awamu ya Nne ndiyo hiyo tumeishaisikia, huku mjadala ukiwa unaendelea, sina shaka kwamba mjadala huo hautabadilisha msingi wa bajeti yenyewe. Kwa hiyo lililopo ni kujiweka sawa kwa utekelezaji. </description>
					  <author>info@habaritanzania.com (Habari Tanzania)</author>
					  <pubDate>Sat, 17 Jun 2006 00:00:00 +0300</pubDate>
					 
					</item>

				

					<item>
					  <title>Mkakati wa kutoa mafunzo ya juu ya utalii nchini</title>
					  <link>http://www.habaritanzania.com/articles/287/1/Mkakati-wa-kutoa-mafunzo-ya-juu-ya-utalii-nchini</link>
					  <description>Mafanikio ya sekta ya utalii yataimarika zaidi nchini kama yatafanywa na Watanzania wenye ujuzi wa fani mbalimbali. </description>
					  <author>info@habaritanzania.com (Habari Tanzania)</author>
					  <pubDate>Fri, 16 Jun 2006 00:00:00 +0300</pubDate>
					 
					</item>

				

					<item>
					  <title>Gharama za maji nazo kupanda</title>
					  <link>http://www.habaritanzania.com/articles/274/1/Gharama-za-maji-nazo-kupanda</link>
					  <description>BAADA ya kupanda kwa gharama za mafuta, umeme, nauli, vyakula na nyinginezo, mamlaka husika zimependekeza kuongeza viwango vya bei za huduma ya maji.</description>
					  <author>info@habaritanzania.com (Habari Tanzania)</author>
					  <pubDate>Thu, 15 Jun 2006 00:00:00 +0300</pubDate>
					 
					</item>

				

					<item>
					  <title>Nishati mbadala nafuu itapunguza matumizi ya kuni na mkaa</title>
					  <link>http://www.habaritanzania.com/articles/289/1/Nishati-mbadala-nafuu-itapunguza-matumizi-ya-kuni-na-mkaa</link>
					  <description>Wakati serikali imetangaza mkakati maalum wa kukabiliana na uharibifu mkubwa wa mazingira nchini ambao unatishia kuzuka kwa hali ya jangwa, ukame na kukauka kwa vyanzo vya maji nchini, zaidi ya asilimia 90 ya Watanzania wanategemea kuni na mkaa kwa matumizi ya nyumbani. Takwimu zinaonyesha kuwa kwa wastani hekta zipatazo 91,300 hupotea kila mwaka.</description>
					  <author>info@habaritanzania.com (Habari Tanzania)</author>
					  <pubDate>Wed, 14 Jun 2006 00:00:00 +0300</pubDate>
					 
					</item>

				

					<item>
					  <title>Wawekezaji toka Bondeni si waporaji - Balozi</title>
					  <link>http://www.habaritanzania.com/articles/258/1/Wawekezaji-toka-Bondeni-si-waporaji---Balozi</link>
					  <description>Balozi wa Afrika Kusini, Bw. Sindiso Mfenyane amesema wawekezaji kutoka nchini humo, hawahusiki katika uporaji wa rasilimali za nchi kama inavyodhaniwa na wananchi wengi.</description>
					  <author>info@habaritanzania.com (Habari Tanzania)</author>
					  <pubDate>Wed, 14 Jun 2006 00:00:00 +0300</pubDate>
					 
					</item>

				

					<item>
					  <title>&#34;Kopa ng&#39;ombe lipa ng&#39;ombe&#34; yawainua Ibumila</title>
					  <link>http://www.habaritanzania.com/articles/267/1/%26quot%3BKopa-ng%26%2339%3Bombe-lipa-ng%26%2339%3Bombe%26quot%3B-yawainua-Ibumila</link>
					  <description>KIJIJI cha Ibumila kimeweza kunufaika na mradi wa kopa ng'ombe lipa ng'ombe, baada ya wana kikundi kufuata taratibu za ufugaji bora na wa kisasa unaolenga biashara. Mwandishi JUMANNE MNYAU aliyekuwa kwenye ziara ya Waziri wa Maendeleo ya Mifugo, Dk. Shukuru Kawambwa, anaeleza zaidi kwenye makala hii. </description>
					  <author>info@habaritanzania.com (Habari Tanzania)</author>
					  <pubDate>Tue, 13 Jun 2006 00:00:00 +0300</pubDate>
					 
					</item>

				

					<item>
					  <title>Mjerumani mbaroni kwa kujifanya wakala TRA</title>
					  <link>http://www.habaritanzania.com/articles/236/1/Mjerumani-mbaroni-kwa-kujifanya-wakala-TRA</link>
					  <description>Raia mmoja mwenye asili ya Kijerumani pamoja na mkazi wa Nzovwe Jijini hapa wametiwa mbaroni na Polisi kwa tuhuma za kujifanya mawakala wa Mamlaka ya Mapato Tanzania (TRA) na kukusanya fedha za kodi mbalimbali. </description>
					  <author>info@habaritanzania.com (Habari Tanzania)</author>
					  <pubDate>Sun, 11 Jun 2006 00:00:00 +0300</pubDate>
					 
					</item>

				

					<item>
					  <title>Upanuzi wa barabara ya kilwa kuanza Desemba</title>
					  <link>http://www.habaritanzania.com/articles/210/1/Upanuzi-wa-barabara-ya-kilwa-kuanza-Desemba</link>
					  <description>Ukarabati na upanuzi wa barabara ya Kilwa jijini Dar es Salaam, kuanzia njia panda ya bandari hadi Mbagala Rangi Tatu yenye urefu wa kilometa 11.6 unatarajiwa kuanza Desemba mwaka huu. </description>
					  <author>info@habaritanzania.com (Habari Tanzania)</author>
					  <pubDate>Wed, 07 Jun 2006 00:00:00 +0300</pubDate>
					 
					</item>

				

					<item>
					  <title>Tanzania halijalitumia vizuri soko la SADC</title>
					  <link>http://www.habaritanzania.com/articles/205/1/Tanzania-halijalitumia-vizuri-soko-la-SADC</link>
					  <description>Soko la Jumuiya ya Maendeleo ya Uchumi ya Nchi za Kusini mwa Afrika (SADC) lilianzishwa miaka 26 iliyopita lengo likiwa ni kuziwezesha nchi wanachama kupanua wigo wa kuuza bidhaa zake. </description>
					  <author>info@habaritanzania.com (Habari Tanzania)</author>
					  <pubDate>Tue, 06 Jun 2006 00:00:00 +0300</pubDate>
					 
					</item>

				

					<item>
					  <title>Lindi na vivutio vyake vya kitalii visivyotumika ipasavyo</title>
					  <link>http://www.habaritanzania.com/articles/16/1/Lindi-na-vivutio-vyake-vya-kitalii-visivyotumika-ipasavyo</link>
					  <description>Watalii wengi hufika nchini kwa ajili ya kujionea vivutio mbalimbali wakiwemo wanyama, na kuchangia pato la taifa.</description>
					  <author>info@habaritanzania.com (Habari Tanzania)</author>
					  <pubDate>Thu, 11 May 2006 00:00:00 +0300</pubDate>
					 
					</item>

				

					<item>
					  <title>Mahari kwa wanawake ni kitegauchumi au zawadi kwa wazazi?</title>
					  <link>http://www.habaritanzania.com/articles/19/1/Mahari-kwa-wanawake-ni-kitegauchumi-au-zawadi-kwa-wazazi%3F</link>
					  <description>Mahari kwa wanawake imekuwa ikitolewa kwa miaka kwa dhamira ya kuunganisha familia mbili za waoaji na waolewaji.</description>
					  <author>info@habaritanzania.com (Habari Tanzania)</author>
					  <pubDate>Mon, 08 May 2006 00:00:00 +0300</pubDate>
					 
					</item>

				

					<item>
					  <title>Watanzania watembelee vivutio vya utalii vilivyopo nchini</title>
					  <link>http://www.habaritanzania.com/articles/20/1/Watanzania-watembelee-vivutio-vya-utalii-vilivyopo-nchini</link>
					  <description>Mwamko wa Watanzania wengi kutembelea vivutio vya kitalii vilivyopo nchini bado ni mdogo kulinganisha na ule wa wageni toka nje ambao wanaingiza mapato mengi katika sekta hiyo. </description>
					  <author>info@habaritanzania.com (Habari Tanzania)</author>
					  <pubDate>Fri, 05 May 2006 00:00:00 +0300</pubDate>
					 
					</item>

				

					<item>
					  <title>Ngara watahadharisha Rwanda, Burundi kujiunga A.Mashariki</title>
					  <link>http://www.habaritanzania.com/articles/23/1/Ngara-watahadharisha-Rwanda%2C-Burundi-kujiunga-A.Mashariki</link>
					  <description>Katika ziara yake mkoani Kagera hivi karibuni, Waziri Mkuu Edward Lowassa alipokea kilio cha wazee wa mkoa huo kuhusu tatizo la wahamiaji haramu, mifugo pamoja na hofu ya kujengwa kwa himaya ya kimataifa ya nguvu ya Watutsi katika ukanda wa nchi za Maziwa Makuu. </description>
					  <author>info@habaritanzania.com (Habari Tanzania)</author>
					  <pubDate>Tue, 02 May 2006 00:00:00 +0300</pubDate>
					 
					</item>

				
				  </channel>
				</rss>
			