<?xml version="1.0" encoding="utf-8"?><?xml-stylesheet href="http://www.habaritanzania.com/templates/Default/RssDisplay.xslt" type="text/xsl"?>
		<rss version="2.0">
		  <channel>
				<title>Habari Tanzania - Articles - Jamii</title>
				<link>http://www.habaritanzania.com</link>
				<description />
				<language>en-us</language>
				<copyright>http://www.habaritanzania.com</copyright>
				<generator>N/A</generator>
				<webMaster>info@habaritanzania.com</webMaster>
				<lastBuildDate>Sat, 22 Nov 2008 05:50:57 +0300</lastBuildDate>
				<ttl>20</ttl>

					<item>
					  <title> Waziri kuwatembelea wafungwa gerezani</title>
					  <link>http://www.habaritanzania.com/articles/4270/1/-Waziri-kuwatembelea-wafungwa-gerezani</link>
					  <description>SERIKALI imeanzisha mpango wa maboresho ya sekta ya sheria ili kukabiliana na kero mbalimbali, ikiwemo msongamano wa watuhumiwa magerezani.</description>
					  <author>info@habaritanzania.com (Habari Tanzania)</author>
					  <pubDate>Sat, 22 Dec 2007 00:00:00 +0300</pubDate>
					 
					</item>

				

					<item>
					  <title>Wati 160wakutwa na virusi vya UKIMWI</title>
					  <link>http://www.habaritanzania.com/articles/4232/1/Wati-160wakutwa-na-virusi-vya-UKIMWI</link>
					  <description>Jumla ya watu 160 kati ya watu hamsini na moja elfu na mia tisa themanini na wawili (51982) waliojitokeza kupima virusi vya ukimwi katika tarafa za Heru chini, Manyovu na Makere wilayani Kasulu mkoani Kigoma walikutwa wameambukizwa virusi vya ugonjwa huo.</description>
					  <author>pkwigize@yahoo.com (Prosper Kwigize)</author>
					  <pubDate>Fri, 16 Nov 2007 00:00:00 +0300</pubDate>
					 
					</item>

				

					<item>
					  <title>Kamati yaeleza kutoridhishwa kasi ujenzi daraja la Kigamboni</title>
					  <link>http://www.habaritanzania.com/articles/4082/1/Kamati-yaeleza-kutoridhishwa-kasi-ujenzi-daraja-la-Kigamboni</link>
					  <description>KAMATI ya Maendeleo ya Jamii ya Bunge, imesema hairidhishwi na kasi ya serikali katika kushughulikia suala la ujenzi wa daraja la Kigamboni, ambao umeasisiwa na Shirika la Taifa la Hifadhi ya Jamii (NSSF).</description>
					  <author>info@habaritanzania.com (Habari Tanzania)</author>
					  <pubDate>Sat, 04 Aug 2007 00:00:00 +0300</pubDate>
					 
					</item>

				

					<item>
					  <title>Wanchari, Wakira wauana Tarime</title>
					  <link>http://www.habaritanzania.com/articles/4049/1/Wanchari%2C-Wakira-wauana-Tarime</link>
					  <description>MIEZI kadhaa baada ya Waziri Mkuu, Edward Lowassa, kuongoza mkutano wa kusaka amani mkoani Mara, mapigano baina ya koo mkoani humo bado yanaendelea.</description>
					  <author>info@habaritanzania.com (Habari Tanzania)</author>
					  <pubDate>Fri, 27 Jul 2007 00:00:00 +0300</pubDate>
					 
					</item>

				

					<item>
					  <title>Elimu ya Juu yaainisha mikakati</title>
					  <link>http://www.habaritanzania.com/articles/4024/1/Elimu-ya-Juu-yaainisha-mikakati</link>
					  <description>WIZARA ya Elimu ya Juu, Sayansi na Teknolojia, itaongeza idadi ya wanafunzi wa elimu ya juu kutoka 68,029 hadi 75,346 katika mwaka huu wa fedha.</description>
					  <author>info@habaritanzania.com (Habari Tanzania)</author>
					  <pubDate>Sat, 21 Jul 2007 00:00:00 +0300</pubDate>
					 
					</item>

				

					<item>
					  <title>Kikwete kuongoza watu milioni 4 kupima ukimwi</title>
					  <link>http://www.habaritanzania.com/articles/3991/1/Kikwete-kuongoza-watu-milioni-4-kupima-ukimwi</link>
					  <description>JUMLA ya watu milioni nne wanatarajiwa kupimwa ukimwi hadi kufikia mwishoni mwa mwaka huu kupitia kampeni kubwa ya kitaifa inayozinduliwa leo na Rais Jakaya Kikwete.</description>
					  <author>info@habaritanzania.com (Habari Tanzania)</author>
					  <pubDate>Sat, 14 Jul 2007 00:00:00 +0300</pubDate>
					 
					</item>

				

					<item>
					  <title>Jibrudishe lakini jihadari</title>
					  <link>http://www.habaritanzania.com/articles/3986/1/Jibrudishe-lakini-jihadari</link>
					  <description>Hapa kenya hatuna vibaka wakawaida; wetu ni mabinti waliopevuka na hawatasita kukupekua na kisha kukupora.    </description>
					  <author>thiongonick@yahoo.com (Nick Thiong'o)</author>
					  <pubDate>Sat, 14 Jul 2007 00:00:00 +0300</pubDate>
					 
					</item>

				

					<item>
					  <title>Lowassa: Huu ni mzaha mbaya kwa Watanzania</title>
					  <link>http://www.habaritanzania.com/articles/3974/1/Lowassa%3A-Huu-ni-mzaha-mbaya-kwa-Watanzania</link>
					  <description>"TUPO makini, tupo ndani ya wakati na tunaweza kutekeleza tuliyokusudia. tumesikia mengi yakichangiwa katika mjadala wa ofisi yangu, lakini ninachoweza kuwaeleza Watanzania ni kwamba maisha bora kwa kila Mtanzania yanawezekana."</description>
					  <author>info@habaritanzania.com (Habari Tanzania)</author>
					  <pubDate>Wed, 11 Jul 2007 00:00:00 +0300</pubDate>
					 
					</item>

				

					<item>
					  <title>Kwa nini tunasherehekea kupeleka madaraka kwa wananchi? (2)</title>
					  <link>http://www.habaritanzania.com/articles/3941/1/Kwa-nini-tunasherehekea-kupeleka-madaraka-kwa-wananchi%3F-%282%29</link>
					  <description>WAKATI tunasherehekea Siku ya Serikali za Mitaa, ni lazima tuzame katika tafakuri na kuendelea kuufahamu zaidi mfumo huu mpya.</description>
					  <author>info@habaritanzania.com (Habari Tanzania)</author>
					  <pubDate>Fri, 06 Jul 2007 00:00:00 +0300</pubDate>
					 
					</item>

				

					<item>
					  <title>Balali achia ngazi</title>
					  <link>http://www.habaritanzania.com/articles/3923/1/Balali-achia-ngazi</link>
					  <description>NCHINI Kenya, mwaka jana Gavana wa Benki Kuu ya nchi hiyo (KCB), Andrew Mullei, alishutumiwa kumtumia mtoto wake, Silla Mullei, kufanya kazi ndogo ya kitaalamu ya Benki Kuu.</description>
					  <author>info@habaritanzania.com (Habari Tanzania)</author>
					  <pubDate>Tue, 03 Jul 2007 00:00:00 +0300</pubDate>
					 
					</item>

				

					<item>
					  <title>Njoo kesho kikwazo cha maendeleo - Dk. Shein</title>
					  <link>http://www.habaritanzania.com/articles/3915/1/Njoo-kesho-kikwazo-cha-maendeleo-%96-Dk.-Shein</link>
					  <description>MAKAMU wa Rais, Dk. Mohamed Shein, amewataka watumishi wa serikali kuachana na majibu ya 'njoo kesho', na badala yake kuwatumikia wananchi kwa haraka zaidi.</description>
					  <author>info@habaritanzania.com (Habari Tanzania)</author>
					  <pubDate>Mon, 02 Jul 2007 00:00:00 +0300</pubDate>
					 
					</item>

				

					<item>
					  <title>NGOs 107 za kimataifa zimesajiliwa nchini</title>
					  <link>http://www.habaritanzania.com/articles/3844/1/NGOs-107-za-kimataifa-zimesajiliwa-nchini</link>
					  <description>JUMLA ya taasisi zisizokuwa za kiserikali (NGOs) za kimataifa 107 ziko nchini, zikiendesha shughuli zake mbalimbali.</description>
					  <author>info@habaritanzania.com (Habari Tanzania)</author>
					  <pubDate>Wed, 20 Jun 2007 00:00:00 +0300</pubDate>
					 
					</item>

				

					<item>
					  <title>Nyuki waua wawili</title>
					  <link>http://www.habaritanzania.com/articles/3788/1/Nyuki-waua-wawili</link>
					  <description>WATU wawili, akiwamo raia mmoja wa India, wamekufa na wengine 11 kujeruhiwa, baada ya kushambuliwa na kundi la nyuki juzi mchana katika Kijiji cha Songwa, Kata ya Songwa, wilayani Kishapu mkoani hapa.</description>
					  <author>info@habaritanzania.com (Habari Tanzania)</author>
					  <pubDate>Tue, 12 Jun 2007 00:00:00 +0300</pubDate>
					 
					</item>

				

					<item>
					  <title>Walemavu wataka sheria ya ajira irekebishwe</title>
					  <link>http://www.habaritanzania.com/articles/3787/1/Walemavu-wataka-sheria-ya-ajira-irekebishwe</link>
					  <description>WITO umetolewa kwa serikali kuiangalia upya sheria ya ajira ya mwaka 1982 iliyokuwa ikilenga kuwalinda walemavu, ambayo kwa sasa imepitwa na wakati na imekuwa ikitumika kuwakandamiza.</description>
					  <author>info@habaritanzania.com (Habari Tanzania)</author>
					  <pubDate>Tue, 12 Jun 2007 00:00:00 +0300</pubDate>
					 
					</item>

				

					<item>
					  <title>Serikali yetu isiyochoka kuibiwa</title>
					  <link>http://www.habaritanzania.com/articles/3777/1/Serikali-yetu-isiyochoka-kuibiwa</link>
					  <description>SITAKI serikali iondokane na wizi wa aina moja halafu ijiingize katika wizi wa aina nyingine. Lakini hivyo ndivyo inavyotaka kufanya.</description>
					  <author>info@habaritanzania.com (Habari Tanzania)</author>
					  <pubDate>Sun, 10 Jun 2007 00:00:00 +0300</pubDate>
					 
					</item>

				

					<item>
					  <title>Twaipongeza serikali kuikumbuka bandari</title>
					  <link>http://www.habaritanzania.com/articles/3770/1/Twaipongeza-serikali-kuikumbuka-bandari</link>
					  <description>HABARI kubwa katika gazeti hili la leo, ni ile inayohusu uamuzi wa serikali kutambua kuhusu umuhimu wa Bandari ya Dar es Salaam katika maendeleo ya kiuchumi hapa nchini.</description>
					  <author>info@habaritanzania.com (Habari Tanzania)</author>
					  <pubDate>Sat, 09 Jun 2007 00:00:00 +0300</pubDate>
					 
					</item>

				

					<item>
					  <title>Talaka ya ndoa ya Kiislamu</title>
					  <link>http://www.habaritanzania.com/articles/3761/1/Talaka-ya-ndoa-ya-Kiislamu</link>
					  <description>KATIKA talaka ambayo wafunga ndoa walioana kwa mujibu wa sheria ya Kiislamu, mahakama haitatoa talaka hadi imeridhika kuwa: </description>
					  <author>info@habaritanzania.com (Habari Tanzania)</author>
					  <pubDate>Thu, 07 Jun 2007 00:00:00 +0300</pubDate>
					 
					</item>

				

					<item>
					  <title>Ubovu wa miundombinu unavyoathiri ukuaji uchumi</title>
					  <link>http://www.habaritanzania.com/articles/3746/1/Ubovu-wa-miundombinu-unavyoathiri-ukuaji-uchumi</link>
					  <description>TATIZO la usafiri katika Jiji la Dar es Salaam pamoja na sehemu nyingine nchini sasa linaelekea kuwa sugu, kwa kuwa limekuwa la siku nyingi tangu lianze zaidi ya miongo miwili iliyopita na sasa linaonekana kuathiri uchumi na kustawisha umaskini nchini.</description>
					  <author>info@habaritanzania.com (Habari Tanzania)</author>
					  <pubDate>Tue, 05 Jun 2007 00:00:00 +0300</pubDate>
					 
					</item>

				

					<item>
					  <title> Kundi jingine laibuka Anglikana Dodoma</title>
					  <link>http://www.habaritanzania.com/articles/3734/1/-Kundi-jingine-laibuka-Anglikana-Dodoma</link>
					  <description>LIMEIBUKA kundi jingine ndani ya Kanisa la Anglikana Diocese of Central Tanganyika (DCT), kufuatia kutoelewana kwa baadhi ya viongozi wa juu wa dayosisi hiyo.</description>
					  <author>info@habaritanzania.com (Habari Tanzania)</author>
					  <pubDate>Mon, 04 Jun 2007 00:00:00 +0300</pubDate>
					 
					</item>

				

					<item>
					  <title>Tumetelekeza vyuo vikuu vyetu!</title>
					  <link>http://www.habaritanzania.com/articles/3693/1/Tumetelekeza-vyuo-vikuu-vyetu%21</link>
					  <description>KATIKA dunia ya sasa ya ushindani unaoambatana na mapinduzi ya kiteknolojia na kifikra, elimu ya juu ni sekta nyeti na muhimu kwa kila taifa lenye dira thabiti ya kujiendeleza.</description>
					  <author>info@habaritanzania.com (Habari Tanzania)</author>
					  <pubDate>Sun, 27 May 2007 00:00:00 +0300</pubDate>
					 
					</item>

				

					<item>
					  <title>Ateketeza nyumba ya baba wakigombea bunduki</title>
					  <link>http://www.habaritanzania.com/articles/3675/1/Ateketeza-nyumba-ya-baba-wakigombea-bunduki</link>
					  <description>MKAZI wa kijiji cha Ikolo wilayani Kyela mkoani hapa, Bw. Gilbert Danken (37) anashikiliwa na Polisi akidaiwa kuteketeza kwa moto nyumba ya baba yake mkubwa wakigombea bunduki ya urithi iliyoachwa na marehemu baba yake. </description>
					  <author>info@habaritanzania.com (Habari Tanzania)</author>
					  <pubDate>Thu, 24 May 2007 00:00:00 +0300</pubDate>
					 
					</item>

				

					<item>
					  <title>'Teknohama kikwazo cha maendeleo'</title>
					  <link>http://www.habaritanzania.com/articles/3660/1/%91Teknohama-kikwazo-cha-maendeleo%92</link>
					  <description>IMEELEZWA kwamba kiwango duni cha elimu kuhusu teknolojia ya mawasiliano ya kisasa (TEKNOHAMA), ni moja ya sababu kubwa zinazofanya vita dhidi ya umaskini na ujinga isifanikwe nchini.</description>
					  <author>info@habaritanzania.com (Habari Tanzania)</author>
					  <pubDate>Mon, 21 May 2007 00:00:00 +0300</pubDate>
					 
					</item>

				

					<item>
					  <title>Maofisa afya wateketeza nyama</title>
					  <link>http://www.habaritanzania.com/articles/3607/1/Maofisa-afya-wateketeza-nyama</link>
					  <description>MAOFISA afya wa Manispaa ya Dodoma, wameteketeza nyama zilizokuwa zinauzwa katika mabucha mawili, katika eneo la Chang'ombe mjini hapa, baada ya wamiliki wa maduka hayo kuyafungua na kuanza kufanya biashara pasipo kukidhi kanuni za afya.</description>
					  <author>info@habaritanzania.com (Habari Tanzania)</author>
					  <pubDate>Wed, 09 May 2007 00:00:00 +0300</pubDate>
					 
					</item>

				

					<item>
					  <title>JK, ya Ukerewe sawa, lakini</title>
					  <link>http://www.habaritanzania.com/articles/3594/1/JK%2C-ya-Ukerewe-sawa%2C-lakini%85</link>
					  <description>AKIWA Nansio, Ukerewe katika ziara yake inayoendelea mkoani Mwanza, miongoni mwa mambo aliyozungumza Rais Jakaya Kikwete, ni juu ya mikakati ya kuisaidia Ukerewe kupiga kasi kiuchumi.</description>
					  <author>info@habaritanzania.com (Habari Tanzania)</author>
					  <pubDate>Sun, 06 May 2007 00:00:00 +0300</pubDate>
					 
					</item>

				

					<item>
					  <title>Wizara ya Afya 'yafungwa'</title>
					  <link>http://www.habaritanzania.com/articles/3588/1/Wizara-ya-Afya-%91yafungwa%92</link>
					  <description>WAKATI Serikali ya Awamu ya Nne ikisisitiza viongozi wafanye kazi kwa bidii kuwatumikia wananchi, watendaji wengi katika Wizara ya Afya na Ustawi wa Jamii, jana waliziacha ofisi zao na kuhamia katika ukumbi wa mikutano wa Jengo la NSSF-Water Front.</description>
					  <author>info@habaritanzania.com (Habari Tanzania)</author>
					  <pubDate>Sat, 05 May 2007 00:00:00 +0300</pubDate>
					 
					</item>

				

					<item>
					  <title>Tuna wasiwasi na hali ya usalama wa taifa</title>
					  <link>http://www.habaritanzania.com/articles/3583/1/Tuna-wasiwasi-na-hali-ya-usalama-wa-taifa</link>
					  <description>MATUKIO ya kukamatwa kwa raia wa kigeni wanaoingia nchini, kinyume cha sheria za uhamiaji, ambayo katika siku za karibuni yameibuka kwa kasi, yametushitua na kutufikisha mbali.</description>
					  <author>info@habaritanzania.com (Habari Tanzania)</author>
					  <pubDate>Fri, 04 May 2007 00:00:00 +0300</pubDate>
					 
					</item>

				

					<item>
					  <title>Mikokoteni, guta si sababu ya msongamano wa magari Dar</title>
					  <link>http://www.habaritanzania.com/articles/3512/1/Mikokoteni%2C-guta-si-sababu-ya-msongamano-wa-magari-Dar</link>
					  <description>SIKU hizi katika jiji la Dar es Salaam hali ya msongamano wa magari inatisha. Kuanzia wenye magari binafsi hadi wapanda daladala, wote kilio kimoja nacho ni foleni ya magari.</description>
					  <author>info@habaritanzania.com (Habari Tanzania)</author>
					  <pubDate>Sat, 21 Apr 2007 00:00:00 +0300</pubDate>
					 
					</item>

				

					<item>
					  <title>Madaktari bingwa watoa huduma bure Kilimanjaro</title>
					  <link>http://www.habaritanzania.com/articles/3506/1/Madaktari-bingwa-watoa-huduma-bure-Kilimanjaro</link>
					  <description>MADAKTARI bingwa wa tiba za upasuaji kutoka nchi nane za Afrika wamepiga kambi katika hospitali tatu za Mkoa wa Kilimanjaro kwa ajili ya kuendesha bure upasuaji&#160; ulioshindikana.</description>
					  <author>info@habaritanzania.com (Habari Tanzania)</author>
					  <pubDate>Fri, 20 Apr 2007 00:00:00 +0300</pubDate>
					 
					</item>

				

					<item>
					  <title>Umakini, uadilifu vitumike kupata warembo bora</title>
					  <link>http://www.habaritanzania.com/articles/3470/1/Umakini%2C-uadilifu-vitumike-kupata-warembo-bora</link>
					  <description>NI matumaini yangu kwamba wapenzi wasomaji wa safu hii ya busati, wote ni wazima wa afya na mko tayari kuishambulia vilivyo wikiendi.</description>
					  <author>info@habaritanzania.com (Habari Tanzania)</author>
					  <pubDate>Fri, 13 Apr 2007 00:00:00 +0300</pubDate>
					 
					</item>

				

					<item>
					  <title>Wakuvanga; mchekeshaji aliyeteswa na baba yake mzazi</title>
					  <link>http://www.habaritanzania.com/articles/3469/1/Wakuvanga%3B-mchekeshaji-aliyeteswa-na-baba-yake-mzazi</link>
					  <description>Isaya Mwakilasa a.k.a Wakuvanga, ni miongoni mwa waigizaji maarufu, aliyejizolea sifa kemkem kutokana na umahiri wake wa kuigiza katika kipindi cha vichekesho cha The Comedy, kinachorushwa kila Alhamisi kupitia kituo cha East Africa Television (EATV) cha Dar es Salaam.</description>
					  <author>info@habaritanzania.com (Habari Tanzania)</author>
					  <pubDate>Fri, 13 Apr 2007 00:00:00 +0300</pubDate>
					 
					</item>

				

					<item>
					  <title>Ajali yaua saba Dar</title>
					  <link>http://www.habaritanzania.com/articles/3459/1/Ajali-yaua-saba-Dar</link>
					  <description>WATU saba wanaoaminika kuwa wafanyabiashara, akiwemo mjamzito, wamefariki dunia na wengine 11 kujeruhiwa katika ajali iliyohusisha malori.</description>
					  <author>info@habaritanzania.com (Habari Tanzania)</author>
					  <pubDate>Thu, 12 Apr 2007 00:00:00 +0300</pubDate>
					 
					</item>

				

					<item>
					  <title>Uhuni michezoni ulaaniwe Zanzibar</title>
					  <link>http://www.habaritanzania.com/articles/3411/1/Uhuni-michezoni-ulaaniwe-Zanzibar</link>
					  <description>MASHINDANO yoyote yale ya michezo, yakiwamo ya soka, huwa na vioja na vituko vyake ambavyo katika hali ya kawaida, unaweza kusema ndivyo vionjo na furaha ya mchezo wenyewe.</description>
					  <author>info@habaritanzania.com (Habari Tanzania)</author>
					  <pubDate>Mon, 02 Apr 2007 00:00:00 +0300</pubDate>
					 
					</item>

				

					<item>
					  <title>KIFA yaibua 20 wa soka ya wanawake</title>
					  <link>http://www.habaritanzania.com/articles/3400/1/KIFA-yaibua-20-wa-soka-ya-wanawake</link>
					  <description>KAMPENI ya Chama cha Soka Manispaa ya Kinondoni (KIFA), kusaka vipaji vya soka kwa wasichana chini ya miaka 16, imefanikiwa kunasa wachezaji 20.</description>
					  <author>info@habaritanzania.com (Habari Tanzania)</author>
					  <pubDate>Thu, 29 Mar 2007 00:00:00 +0300</pubDate>
					 
					</item>

				

					<item>
					  <title>Vyandarua; nyenzo ya maskini kupambana na malaria</title>
					  <link>http://www.habaritanzania.com/articles/3395/1/Vyandarua%3B-nyenzo-ya-maskini-kupambana-na-malaria</link>
					  <description>MIONGONI mwa wadudu wanaohesabika kama viumbe hatari na tishio kwa binadamu ni mbu, ambao wanaeneza malaria, licha ya kwamba aina nyingine ya mbu nayo inahusika katika kueneza ugonjwa wa homa ya bonde la ufa.</description>
					  <author>info@habaritanzania.com (Habari Tanzania)</author>
					  <pubDate>Thu, 29 Mar 2007 00:00:00 +0300</pubDate>
					 
					</item>

				

					<item>
					  <title>JEMA yapania kuifanya nchi kuwa kijani</title>
					  <link>http://www.habaritanzania.com/articles/3352/1/JEMA-yapania-kuifanya-nchi-kuwa-kijani</link>
					  <description>ASASI isiyo ya kiserikali inayojishughulisha na uhifadhi na utunzaji wa mazingira hapa nchini (JEMA), iliyopo Chuo Kikuu cha Dar es Salaam sehemu ya mlimani, hivi karibuni imetimiza miaka kumi tangu ilipoanzishwa mwaka 1996.</description>
					  <author>info@habaritanzania.com (Habari Tanzania)</author>
					  <pubDate>Thu, 22 Mar 2007 00:00:00 +0300</pubDate>
					 
					</item>

				

					<item>
					  <title>Mapambano dhidi ya kifo cha uwazi na ukweli</title>
					  <link>http://www.habaritanzania.com/articles/3337/1/Mapambano-dhidi-ya-kifo-cha-uwazi-na-ukweli</link>
					  <description>WAPO waandishi ambao wamekuwa wakituelimisha kuhusu aya za kidikteta wanazoziita Muswada. Kati yao yupo mwandishi na mwanablogu Ramadhani Msangi (http://msangimdogo.blogspot.com/). Iwapo una nafasi inayokuwezesha kuongea na watu wengi iwe ni kwa maandishi, muziki, hotuba, risala, mahubiri, n.k. nakutaka uelimishe Watanzania wenzako juu ya muswada unaoua uwazi na ukweli kwenye vyumba vya utawala. Kwanza jielimishe wewe mwenyewe kisha elimisha wengine ili sote tuweze kuungana na kukataa kuwa na serikali isiyotaka wanaoongozwa wajue kinachoendelea. </description>
					  <author>info@habaritanzania.com (Habari Tanzania)</author>
					  <pubDate>Mon, 19 Mar 2007 00:00:00 +0300</pubDate>
					 
					</item>

				

					<item>
					  <title>Mahabusu wapigana mahakamani Temeke</title>
					  <link>http://www.habaritanzania.com/articles/3310/1/Mahabusu-wapigana-mahakamani-Temeke</link>
					  <description>WAKATI mgomo wa mahabusu ukiwa umeingia siku ya tano katika baadhi ya mikoa, hali katika Mahakama ya Temeke ilikuwa tofauti jana, baada ya kuzuka vurugu kubwa.</description>
					  <author>info@habaritanzania.com (Habari Tanzania)</author>
					  <pubDate>Fri, 16 Mar 2007 00:00:00 +0300</pubDate>
					 
					</item>

				

					<item>
					  <title>'Wazee huambukizwa zaidi UKIMWI vijijini'</title>
					  <link>http://www.habaritanzania.com/articles/3309/1/%91Wazee-huambukizwa-zaidi-UKIMWI-vijijini%92</link>
					  <description>JAMII imetakiwa kutambua kuwapo kwa maambukizi makubwa ya virusi vya UKIMWI kutoka kwa vijana kwenda kwa vikongwe vijijini kunakotokana na wazee hao kuwahudumia wagonjwa wa UKIMWI wanaotolewa mijini.</description>
					  <author>info@habaritanzania.com (Habari Tanzania)</author>
					  <pubDate>Fri, 16 Mar 2007 00:00:00 +0300</pubDate>
					 
					</item>

				

					<item>
					  <title>Serikali yatoa tamko sakata la Ditopile</title>
					  <link>http://www.habaritanzania.com/articles/3299/1/Serikali-yatoa-tamko-sakata-la-Ditopile</link>
					  <description>HATIMAYE serikali imetoa tamko kuhusu vurugu zilizofanywa katikati ya wiki iliyopita na ndugu na jamaa wa Ukiwaona Ditopile Mzuzuri, ndani na nje ya jengo la Mahakama Kuu, jijini Dar es Salaam.</description>
					  <author>info@habaritanzania.com (Habari Tanzania)</author>
					  <pubDate>Wed, 14 Mar 2007 00:00:00 +0300</pubDate>
					 
					</item>

				

					<item>
					  <title>Mpango wa Maendeleo ya Milenia uwashirikishe vijana</title>
					  <link>http://www.habaritanzania.com/articles/3287/1/Mpango-wa-Maendeleo-ya-Milenia-uwashirikishe-vijana</link>
					  <description>BINAFSI nimeguswa na namna vijana wanavyoshirikishwa kwenye mipango mbalimbali ya kitaifa na kimataifa. </description>
					  <author>info@habaritanzania.com (Habari Tanzania)</author>
					  <pubDate>Tue, 13 Mar 2007 00:00:00 +0300</pubDate>
					 
					</item>

				

					<item>
					  <title>Neno 'mabilioni ya Kikwete' linatoa matumaini makubwa</title>
					  <link>http://www.habaritanzania.com/articles/3286/1/Neno-%91mabilioni-ya-Kikwete%92-linatoa-matumaini-makubwa</link>
					  <description>KUNA usemi uliozoeleka kwa wengi kuwa ahadi ni deni, na kama si deni, basi ahadi ni wajibu.</description>
					  <author>info@habaritanzania.com (Habari Tanzania)</author>
					  <pubDate>Tue, 13 Mar 2007 00:00:00 +0300</pubDate>
					 
					</item>

				

					<item>
					  <title>Mahabusi ajinyonga kwa suruali Dar</title>
					  <link>http://www.habaritanzania.com/articles/3274/1/Mahabusi-ajinyonga-kwa-suruali-Dar</link>
					  <description>MAHABUSU Sanov Joseph Rwegoshora, anadaiwa amejinyonga kwa kutumia suruali yake katika mahabusu ya kituo cha Polisi cha Kilwa Road alipokuwa akishikiliwa kwa tuhuma za kukutwa na madawa ya kulevya.</description>
					  <author>info@habaritanzania.com (Habari Tanzania)</author>
					  <pubDate>Sun, 11 Mar 2007 00:00:00 +0300</pubDate>
					 
					</item>

				

					<item>
					  <title>Mgogoro bado unaendelea KKKT Mwanga</title>
					  <link>http://www.habaritanzania.com/articles/3248/1/Mgogoro-bado-unaendelea-KKKT-Mwanga</link>
					  <description>ASKOFU Mkuu wa Kanisa la Kiinjili la Kilutheri Tanzania (KKKT), Dk. Samson Mshemba, amesema kuwa kukwama kwa mazungumzo ya kusaka amani katika Dayosisi ya Pare, kunatokana na waumini waliojitenga kushindwa kuwa waungwana.Akizungumza na waandishi wa habari juzi mjini hapa, Mshemba amedai kuwa waumini hao wameshindwa kutekeleza makubaliano ya kusameheana ili kuruhusu kuanza kwa awamu ya pili ya mazungumzo.</description>
					  <author>info@habaritanzania.com (Habari Tanzania)</author>
					  <pubDate>Fri, 09 Mar 2007 00:00:00 +0300</pubDate>
					 
					</item>

				

					<item>
					  <title>'Babu Seya' awatisha wazazi</title>
					  <link>http://www.habaritanzania.com/articles/3241/1/%91Babu-Seya%92-awatisha-wazazi</link>
					  <description>WAZAZI wa wanafunzi wa Shule ya Msingi Kyela, ambao watoto wao wamekiri kuwa walikuwa wakilawitiwa na watu wazima, akiwamo mfanyabiashara mmoja, sasa wameamua kuwahamisha watoto hao.</description>
					  <author>info@habaritanzania.com (Habari Tanzania)</author>
					  <pubDate>Thu, 08 Mar 2007 00:00:00 +0300</pubDate>
					 
					</item>

				

					<item>
					  <title>Bil. 246/- kuboresha utumishi wa umma</title>
					  <link>http://www.habaritanzania.com/articles/3231/1/Bil.-246%7B47%7D--kuboresha-utumishi-wa-umma</link>
					  <description>MABADILIKO yanayolenga kuboresha utendaji kazi serikalini, yaliyoanza mwishoni mwa miaka ya 1980, yameligharimu taifa zaidi ya sh bilioni 246, imeelezwa.</description>
					  <author>info@habaritanzania.com (Habari Tanzania)</author>
					  <pubDate>Wed, 07 Mar 2007 00:00:00 +0300</pubDate>
					 
					</item>

				

					<item>
					  <title>Waliyodokeza Profesa Chambo, Mzee Mtei yatainua kilimo cha kahawa</title>
					  <link>http://www.habaritanzania.com/articles/3223/1/Waliyodokeza-Profesa-Chambo%2C-Mzee-Mtei-yatainua-kilimo-cha-kahawa</link>
					  <description>HIVI karibuni kwenye warsha ya uwezeshaji wa vyama vya ushirika vya ngazi za chini, iliyoandaliwa na Mpango wa Utafiti na Elimu ya Demokrasi Tanzania (REDET), Dar es Salaam, mmoja wa wataalamu na mwanataaluma wa masuala ya ushirika ambaye pia ni Mkuu wa Chuo Kikuu cha Ushirika Moshi, Profesa Suleiman Chambo, alisema kuwa, vyama vya ushirika pekee ndivyo vyenye uwezo wa kufika sehemu za vijijini tofauti na taasisi nyingine za fedha.</description>
					  <author>info@habaritanzania.com (Habari Tanzania)</author>
					  <pubDate>Tue, 06 Mar 2007 00:00:00 +0300</pubDate>
					 
					</item>

				

					<item>
					  <title>Serikali ikisikie kilio cha TAMWA kuhusu ndoa</title>
					  <link>http://www.habaritanzania.com/articles/3221/1/Serikali-ikisikie-kilio-cha-TAMWA-kuhusu-ndoa</link>
					  <description>CHAMA cha Waandishi wa Habari Wanawake (TAMWA), kwa mara nyingine tena kimerejea pendekezo lake la muda mrefu la kuitaka serikali ifanye marekebisho ya Sheria ya Ndoa ya Mwaka 1971.</description>
					  <author>info@habaritanzania.com (Habari Tanzania)</author>
					  <pubDate>Tue, 06 Mar 2007 00:00:00 +0300</pubDate>
					 
					</item>

				

					<item>
					  <title>Mtoto afungwa jela maisha</title>
					  <link>http://www.habaritanzania.com/articles/3212/1/Mtoto-afungwa-jela-maisha</link>
					  <description>MAHAKAMA ya Hakimu Mkazi Mkoa wa Tabora, imemhukumu Juma Omari (15), kutumikia kifungo cha maisha jela baada ya kupatikana na hatia ya kumbaka mtoto mweye umri wa miaka mitatu.</description>
					  <author>info@habaritanzania.com (Habari Tanzania)</author>
					  <pubDate>Mon, 05 Mar 2007 00:00:00 +0300</pubDate>
					 
					</item>

				

					<item>
					  <title>Vigogo TRC wabanwa</title>
					  <link>http://www.habaritanzania.com/articles/3211/1/Vigogo-TRC-wabanwa</link>
					  <description>JESHI la Wananchi wa Tanzania (JWTZ) kwa kushirikiana na Jeshi la Polisi, juzi walianza kutekeleza agizo la Waziri Mkuu, Edward Lowassa la kuwakamata na kuwahoji maofisa waandamizi wa Shirika la Reli Tanzania (TRC) mkoani hapa, kutokana na hujuma ya kufunguliwa kwa reli na kusababisha ajali iliyojeruhi watu 71.</description>
					  <author>info@habaritanzania.com (Habari Tanzania)</author>
					  <pubDate>Mon, 05 Mar 2007 00:00:00 +0300</pubDate>
					 
					</item>

				

					<item>
					  <title>Wanawake Watanzania wazidi kung&#39;ara nje</title>
					  <link>http://www.habaritanzania.com/articles/3210/1/Wanawake-Watanzania-wazidi-kung%26%2339%3Bara-nje</link>
					  <description>IDADI ya wanawake wanaohitimu elimu ya juu nchini inazidi kuongezeka na kuwafanya kung'ara katika medani mbalimbali za kimataifa.</description>
					  <author>info@habaritanzania.com (Habari Tanzania)</author>
					  <pubDate>Mon, 05 Mar 2007 00:00:00 +0300</pubDate>
					 
					</item>

				

					<item>
					  <title>Kandoro aagiza ada zipunguzwe sekondari</title>
					  <link>http://www.habaritanzania.com/articles/3209/1/Kandoro-aagiza-ada-zipunguzwe-sekondari</link>
					  <description>MKUU wa Mkoa wa Dar es Salaam, Abbas Kandoro, amesisitiza agizo la serikali linalowataka wamiliki wa shule binafsi za sekondari kupunguza ada ili kuwawezesha wanafunzi wanaotoka kwenye familia maskini kujiunga na masomo ya sekondari.</description>
					  <author>info@habaritanzania.com (Habari Tanzania)</author>
					  <pubDate>Mon, 05 Mar 2007 00:00:00 +0300</pubDate>
					 
					</item>

				

					<item>
					  <title>Tatizo la umeme lingalipo</title>
					  <link>http://www.habaritanzania.com/articles/3187/1/Tatizo-la-umeme-lingalipo</link>
					  <description>SERIKALI imetangaza rasmi kumalizika kwa tatizo la umeme hapa nchini, baada ya mvua kuanza kunyesha na kupatikana kwa vyanzo vingine kadhaa vya umeme.</description>
					  <author>info@habaritanzania.com (Habari Tanzania)</author>
					  <pubDate>Sat, 03 Mar 2007 00:00:00 +0300</pubDate>
					 
					</item>

				

					<item>
					  <title>Tamko dhidi ya kuberi limepuuzwa?</title>
					  <link>http://www.habaritanzania.com/articles/3188/1/Tamko-dhidi-ya-kuberi-limepuuzwa%3F</link>
					  <description>KAMA kuna kitu kinahuzunisha na kusikitisha katika utendaji kazi wa serikali yetu hii ni kutoa maamuzi na maagizo ambayo baadaye inashindwa kuyasimamia na kuyatekeleza.</description>
					  <author>info@habaritanzania.com (Habari Tanzania)</author>
					  <pubDate>Fri, 02 Mar 2007 00:00:00 +0300</pubDate>
					 
					</item>

				

					<item>
					  <title>DC KASULU AONYA WANAODHARAU WANAWAKE</title>
					  <link>http://www.habaritanzania.com/articles/3181/1/DC-KASULU-AONYA-WANAODHARAU-WANAWAKE</link>
					  <description>Mkuu wa wilaya ya Kasulu mkoani Kigoma Bw. Said Bwanamdogo amewaonya watendaji wa vijiji na kata kutowabagua wananwake katika shughuli za kijamii na badala yake wapewe kipaumbele sawa na wanaume.</description>
					  <author>pkwigize@yahoo.com (Prosper Kwigize)</author>
					  <pubDate>Thu, 01 Mar 2007 00:00:00 +0300</pubDate>
					 
					</item>

				

					<item>
					  <title>OUT inaongoza kutoa wahitimu wengi</title>
					  <link>http://www.habaritanzania.com/articles/3177/1/OUT-inaongoza-kutoa-wahitimu-wengi</link>
					  <description>CHUO Kikuu Huria (OUT), ni chuo pekee nchini ambacho kinatoa wahitimu wengi kwa wakati mmoja kuliko kingine chochocte nchini licha ya uchanga na matatizo lukuki ambayo yanakikabili.</description>
					  <author>info@habaritanzania.com (Habari Tanzania)</author>
					  <pubDate>Thu, 01 Mar 2007 00:00:00 +0300</pubDate>
					 
					</item>

				

					<item>
					  <title>Mvua yaezua nyumba 50 Chanika</title>
					  <link>http://www.habaritanzania.com/articles/3176/1/Mvua-yaezua-nyumba-50-Chanika</link>
					  <description>ZAIDI ya nyumba 50, shule mpya ya sekondari na misikiti miwili vimebomoka baada mvua iliyonyesha usiku wa kuamkia jana jijini Dar es Salaam.</description>
					  <author>info@habaritanzania.com (Habari Tanzania)</author>
					  <pubDate>Thu, 01 Mar 2007 00:00:00 +0300</pubDate>
					 
					</item>

				

					<item>
					  <title>Simu: Uvumbuzi wake umejaa utata</title>
					  <link>http://www.habaritanzania.com/articles/3175/1/Simu%3A-Uvumbuzi-wake-umejaa-utata</link>
					  <description>KATIKA nyanja ya mawasiliano, simu ni kitu muhimu mno katika maisha ya mwanadamu kijamii, kisiasa na kiuchumi. &#160;</description>
					  <author>info@habaritanzania.com (Habari Tanzania)</author>
					  <pubDate>Thu, 01 Mar 2007 00:00:00 +0300</pubDate>
					 
					</item>

				

					<item>
					  <title>TANAPA kutumia silaha za kisasa kukabili majangili</title>
					  <link>http://www.habaritanzania.com/articles/3150/1/TANAPA-kutumia-silaha-za-kisasa-kukabili-majangili</link>
					  <description>SHIRIKA la Hifadhi za Taifa (TANAPA), limeanza kutumia silaha za kisasa kwa ajili ya kukabiliana na wimbi la majangili na uharamia kwenye hifadhi zake.</description>
					  <author>info@habaritanzania.com (Habari Tanzania)</author>
					  <pubDate>Mon, 26 Feb 2007 00:00:00 +0300</pubDate>
					 
					</item>

				

					<item>
					  <title>Bodi yasajili makandarasi 618</title>
					  <link>http://www.habaritanzania.com/articles/3149/1/Bodi-yasajili-makandarasi-618</link>
					  <description>BODI ya Makandarasi imefanya usajili wa makandarasi wapya 618 kwa kipindi cha mwaka mmoja uliopita.</description>
					  <author>info@habaritanzania.com (Habari Tanzania)</author>
					  <pubDate>Mon, 26 Feb 2007 00:00:00 +0300</pubDate>
					 
					</item>

				

					<item>
					  <title>Profesa Msolla anawahadaa Watanzania</title>
					  <link>http://www.habaritanzania.com/articles/3142/1/Profesa-Msolla-anawahadaa-Watanzania</link>
					  <description>GUMZO leo linazungumzia mikopo ya wanafunzi wa elimu ya juu inavyoendelea kuchukua sura mpira kwa viongozi wa serikali kuitumia kama mtaji wa kisiasa, ili mradi tu kuwapumbaza watu huku malengo yao yakitimia. </description>
					  <author>info@habaritanzania.com (Habari Tanzania)</author>
					  <pubDate>Sun, 25 Feb 2007 00:00:00 +0300</pubDate>
					 
					</item>

				

					<item>
					  <title> Valentine's Day: Kwa hili vijana tunajiangamiza</title>
					  <link>http://www.habaritanzania.com/articles/3141/1/-Valentine%92s-Day%3A-Kwa-hili-vijana-tunajiangamiza</link>
					  <description>HIVI karibuni dunia nzima iliadhimisha Siku ya Wapendanao, maarufu kama VALENTINE'S DAY! Pamoja na maudhui kamili ya siku hii ambayo inazidi kupata umaarufu zaidi hapa nchini, lakini kwa baadhi ya Watanzania hususan vijana wamekuwa na dhana tofauti kabisa na maana yake. </description>
					  <author>info@habaritanzania.com (Habari Tanzania)</author>
					  <pubDate>Sun, 25 Feb 2007 00:00:00 +0300</pubDate>
					 
					</item>

				

					<item>
					  <title>Kwaresma ijenge mshikamano, upendo kwa Wakristo</title>
					  <link>http://www.habaritanzania.com/articles/3093/1/Kwaresma-ijenge-mshikamano%2C-upendo-kwa-Wakristo</link>
					  <description>JANA ilikuwa Jumatano ya Majivu. Ni siku ya mwanzo wa kipindi cha Kwaresma ambacho ni siku 40 za mfungo na kuomba toba miongoni mwa waumini wa Kikristo.</description>
					  <author>info@habaritanzania.com (Habari Tanzania)</author>
					  <pubDate>Thu, 22 Feb 2007 00:00:00 +0300</pubDate>
					 
					</item>

				

					<item>
					  <title>Mtera imejaa, mbona tunamwaga maji?</title>
					  <link>http://www.habaritanzania.com/articles/3091/1/Mtera-imejaa%2C-mbona-tunamwaga-maji%3F</link>
					  <description>TUNAAMBIWA hakuna taifa linaloendelea bila umeme, yaani - nishati.</description>
					  <author>info@habaritanzania.com (Habari Tanzania)</author>
					  <pubDate>Thu, 22 Feb 2007 00:00:00 +0300</pubDate>
					 
					</item>

				

					<item>
					  <title>Dereva anyweshwa dawa ya kutuliza kichaa, aporwa gari</title>
					  <link>http://www.habaritanzania.com/articles/3075/1/Dereva-anyweshwa-dawa-ya-kutuliza-kichaa%2C-aporwa-gari</link>
					  <description>POLISI wilayani Korogwe mkoani hapa, wanawashikilia watu wawili wanaoshukiwa kuwa majambazi wakati wakijaribu kutorosha gari waliloliteka jijini Tanga baada ya kumnywesha dawa ya kutuliza kichaa.</description>
					  <author>info@habaritanzania.com (Habari Tanzania)</author>
					  <pubDate>Wed, 21 Feb 2007 00:00:00 +0300</pubDate>
					 
					</item>

				

					<item>
					  <title>TBS kufungua ofisi mipakani</title>
					  <link>http://www.habaritanzania.com/articles/3074/1/TBS-kufungua-ofisi-mipakani</link>
					  <description>SHIRIKA la Viwango nchini (TBS) litafungua ofisi kwenye mipaka yote hapa nchini, ili kudhibiti viwango vya ubora vya bidhaa zinazoingizwa nchini.</description>
					  <author>info@habaritanzania.com (Habari Tanzania)</author>
					  <pubDate>Wed, 21 Feb 2007 00:00:00 +0300</pubDate>
					 
					</item>

				

					<item>
					  <title>SMS yaua wapenzi</title>
					  <link>http://www.habaritanzania.com/articles/3062/1/SMS-yaua-wapenzi</link>
					  <description>MKAZI wa Old Moshi, mkoani Kilimanjaro, Nickson Anaeli (26), amejiua kwa kunywa sumu ya kuua wadudu, baada ya kumchoma kisu kilichomuua mpenzi wake, muda mfupi baada ya kupokea ujumbe mfupi wa maneno katika simu yake ya mkononi (SMS) aliodhani kuwa ulikuwa ni wa kimapenzi kutoka kwa mwanamume mwingine.</description>
					  <author>info@habaritanzania.com (Habari Tanzania)</author>
					  <pubDate>Tue, 20 Feb 2007 00:00:00 +0300</pubDate>
					 
					</item>

				

					<item>
					  <title>Migogoro ya Ardhi Kasulu yatatuliwa Kijijini.</title>
					  <link>http://www.habaritanzania.com/articles/3058/1/Migogoro-ya-Ardhi-Kasulu-yatatuliwa-Kijijini.</link>
					  <description>Jumla ya migogoro 25 imefikishwa kwenye baraza la utatuzi wa mogogoro ya ardhi katika kijiji cha Murubona wilayani Kasulu kwa mwaka 2006- 2007.</description>
					  <author>pkwigize@yahoo.com (Prosper Kwigize)</author>
					  <pubDate>Tue, 20 Feb 2007 00:00:00 +0300</pubDate>
					 
					</item>

				

					<item>
					  <title>Fundi saa akutwa na kichwa cha mtoto &#39;ofisini&#39;</title>
					  <link>http://www.habaritanzania.com/articles/3042/1/Fundi-saa-akutwa-na-kichwa-cha-mtoto-%26%2339%3Bofisini%26%2339%3B</link>
					  <description>MKAZI wa Halmashauri ya Wilaya ya Sumbawanga, mkoani Rukwa, Amani Mwakisyala, amefikishwa katika Mahakama ya Hakimu Mkazi mjini Sumbawanga kwa kosa la kukutwa na kichwa cha binadamu kwenye eneo lake la kazi.</description>
					  <author>info@habaritanzania.com (Habari Tanzania)</author>
					  <pubDate>Mon, 19 Feb 2007 00:00:00 +0300</pubDate>
					 
					</item>

				

					<item>
					  <title>Kikwete aomboleza kifo cha Mangi Marealle</title>
					  <link>http://www.habaritanzania.com/articles/3015/1/Kikwete-aomboleza-kifo-cha-Mangi-Marealle</link>
					  <description>RAIS Jakaya Kikwete, jana aliungana na ndugu, jamaa na marafiki, kuomboleza kifo cha Mshumbue Mangi Mkuu, Thomas Lenana Marealle II (O.B.E), aiyefariki dunia Jumanne wiki hii.</description>
					  <author>info@habaritanzania.com (Habari Tanzania)</author>
					  <pubDate>Sat, 17 Feb 2007 00:00:00 +0300</pubDate>
					 
					</item>

				

					<item>
					  <title>JK aendeleza juhudi za Mkapa kwa Mugabe</title>
					  <link>http://www.habaritanzania.com/articles/3014/1/JK-aendeleza-juhudi-za-Mkapa-kwa-Mugabe</link>
					  <description>MSAIDIZI mwandamizi wa usalama wa Rais Jakaya Kikwete, anaripotiwa kuzuru nchini Zimbabwe na kufanya mikutano ya siri na maofisa usalama wa Zimbabwe.</description>
					  <author>info@habaritanzania.com (Habari Tanzania)</author>
					  <pubDate>Sat, 17 Feb 2007 00:00:00 +0300</pubDate>
					 
					</item>

				

					<item>
					  <title>Jumanne Idd - Chameleone wa Bongo</title>
					  <link>http://www.habaritanzania.com/articles/3007/1/Jumanne-Idd---Chameleone-wa-Bongo</link>
					  <description>JUMANNE Idd ambaye ni msanii chipukizi, juzi usiku alishindwa kuamini kilichotokea mara baada ya kuibuka mshindi wa shindano la Bongo Star Search.</description>
					  <author>info@habaritanzania.com (Habari Tanzania)</author>
					  <pubDate>Fri, 16 Feb 2007 00:00:00 +0300</pubDate>
					 
					</item>

				

					<item>
					  <title>Vita ya rushwa, mihadarati imetushinda?</title>
					  <link>http://www.habaritanzania.com/articles/3005/1/Vita-ya-rushwa%2C-mihadarati-imetushinda%3F</link>
					  <description>SASA miezi kadhaa imepita tangu Rais wa Tanzania, Jakaya Kikwete, atangaze vita dhidi ya mihadarati. </description>
					  <author>info@habaritanzania.com (Habari Tanzania)</author>
					  <pubDate>Fri, 16 Feb 2007 00:00:00 +0300</pubDate>
					 
					</item>

				

					<item>
					  <title>Idadi ya sekondari Tanzania kufikia 2,823</title>
					  <link>http://www.habaritanzania.com/articles/2984/1/Idadi-ya-sekondari-Tanzania-kufikia-2%2C823</link>
					  <description>IDADI ya shule za sekondari za sekondari nchini, inatarajia kuongezeka hadi kufikia 2,823 mwezi ujao.</description>
					  <author>info@habaritanzania.com (Habari Tanzania)</author>
					  <pubDate>Thu, 15 Feb 2007 00:00:00 +0300</pubDate>
					 
					</item>

				

					<item>
					  <title>Chifu Marealle afariki dunia</title>
					  <link>http://www.habaritanzania.com/articles/2982/1/Chifu-Marealle-afariki-dunia</link>
					  <description>CHIFU wa kabila la Wachagga, Thomas Lenana Mlang'a Marealle II OBE,(92) amefariki dunia</description>
					  <author>info@habaritanzania.com (Habari Tanzania)</author>
					  <pubDate>Thu, 15 Feb 2007 00:00:00 +0300</pubDate>
					 
					</item>

				

					<item>
					  <title>Mwili wa Brigedia Masesa waagwa Dar</title>
					  <link>http://www.habaritanzania.com/articles/2964/1/Mwili-wa-Brigedia-Masesa-waagwa-Dar</link>
					  <description>RAIS Jakaya Kikwete, ameongoza mamia ya waombolezaji, wakiwamo viongozi wakuu wa serikali na vyombo vya ulinzi na usalama, kuuaga mwili wa Brigedia Jenerali Emmanuel Masesa, unaotarajiwa kuzikwa kijijini kwake, Itobo, Wilaya ya Nzega, mkoani Tabora leo.</description>
					  <author>info@habaritanzania.com (Habari Tanzania)</author>
					  <pubDate>Wed, 14 Feb 2007 00:00:00 +0300</pubDate>
					 
					</item>

				

					<item>
					  <title>Polisi lawamani kwa upendeleo</title>
					  <link>http://www.habaritanzania.com/articles/2952/1/Polisi-lawamani-kwa-upendeleo</link>
					  <description>WAZIRI wa Usalama wa Raia, Bakari Mwapachu, ameliagiza Jeshi la Polisi kujiwekea utaratibu wa ajira bila upendeleo ili kuondoa minong'ono na malalamiko kuwa, wanaoajiriwa ni watoto wa vigogo ndani ya jeshi hilo.</description>
					  <author>info@habaritanzania.com (Habari Tanzania)</author>
					  <pubDate>Tue, 13 Feb 2007 00:00:00 +0300</pubDate>
					 
					</item>

				

					<item>
					  <title>Kwa hili, Padri Karugendo amepotoka!</title>
					  <link>http://www.habaritanzania.com/articles/2918/1/Kwa-hili%2C-Padri-Karugendo-amepotoka%21</link>
					  <description>NI takriban siku ya 11 ya mwezi wa pili, yeyote anayesoma makala hii nimpe pongezi na kila la heri kwa mwaka mpya 2007! </description>
					  <author>info@habaritanzania.com (Habari Tanzania)</author>
					  <pubDate>Sun, 11 Feb 2007 00:00:00 +0300</pubDate>
					 
					</item>

				

					<item>
					  <title>Spika aagiza kamati kumwadhibu Wangwe</title>
					  <link>http://www.habaritanzania.com/articles/2900/1/Spika-aagiza-kamati-kumwadhibu-Wangwe</link>
					  <description>SPIKA wa Bunge, Samuel Sitta ameiagiza Kamati ya Haki, Maadili na Madaraka ya Bunge, kumwadhibu Mbunge wa Tarime (Chadema), Chacha Wangwe kwa utovu nidhamu baada ya kukataa kufuta kauli kuhusiana na mauaji yaliyotokea jimboni mwake kutokana na vurugu za kisiasa wakati wa uchaguzi mkuu mwaka juzi .</description>
					  <author>info@habaritanzania.com (Habari Tanzania)</author>
					  <pubDate>Sat, 10 Feb 2007 00:00:00 +0300</pubDate>
					 
					</item>

				

					<item>
					  <title>Sumbawanga si uchawi na ushirikina tu</title>
					  <link>http://www.habaritanzania.com/articles/2884/1/Sumbawanga-si-uchawi-na-ushirikina-tu</link>
					  <description>WENGI wetu tukisikia jina Sumbawanga ni wazi kuwa fikra zinakwenda moja kwa moja kuwa ni uchawi, ushirikina na pengine kifo. Ukweli ni kwamba ni jina lililotoholewa kwenye neno Sumbu wanga, likiwa na maana ya tupa uchawi , na lilianzishwa na mtawala mmoja wa zamani wa eneo hilo aliyeitwa Mwene Ngalu.</description>
					  <author>info@habaritanzania.com (Habari Tanzania)</author>
					  <pubDate>Fri, 09 Feb 2007 00:00:00 +0300</pubDate>
					 
					</item>

				

					<item>
					  <title>Serikali yatoa masharti mapya HakiElimu</title>
					  <link>http://www.habaritanzania.com/articles/2852/1/Serikali-yatoa-masharti-mapya-HakiElimu</link>
					  <description>WAZIRI Mkuu, Edward Lowassa, amesema serikali itaondoa amri walizopewa          taasisi isiyo ya kiserikali ya HakiElimu kuhusu matangazo na machapisho          yao kwa makubaliano kuwa taasisi hiyo itazingatia sheria, kanuni na taratibu          za nchi.</description>
					  <author>info@habaritanzania.com (Habari Tanzania)</author>
					  <pubDate>Wed, 07 Feb 2007 00:00:00 +0300</pubDate>
					 
					</item>

				

					<item>
					  <title>Ukeketaji bado tatizo Manyara</title>
					  <link>http://www.habaritanzania.com/articles/2849/1/Ukeketaji-bado-tatizo-Manyara</link>
					  <description>ASILIMIA 81 ya wanawake wa Mkoa wa Manyara wamekeketwa, amesema Mratibu wa Mtandao wa Mashirika Yanayopinga vitendo vya Ukeketaji (NCAFGM), Jane Shuma. </description>
					  <author>info@habaritanzania.com (Habari Tanzania)</author>
					  <pubDate>Wed, 07 Feb 2007 00:00:00 +0300</pubDate>
					 
					</item>

				

					<item>
					  <title>KASULU KUJENGA SEKONDARI YA KIJIJI</title>
					  <link>http://www.habaritanzania.com/articles/2840/1/KASULU-KUJENGA-SEKONDARI-YA-KIJIJI</link>
					  <description>Jumla ya shilingi laki mbili na elfu arobaini na saba zimetolewa katika harambee ya kuchangia ujenzi wa shule ya sekondari Nyansha kata ya Mrufyiti wilayani Kasulu.</description>
					  <author>pkwigize@yahoo.com (Prosper Kwigize)</author>
					  <pubDate>Tue, 06 Feb 2007 00:00:00 +0300</pubDate>
					 
					</item>

				

					<item>
					  <title>Mradi wa Vijana wazinduliwa Dar</title>
					  <link>http://www.habaritanzania.com/articles/2826/1/Mradi-wa-Vijana-wazinduliwa-Dar</link>
					  <description>TAASISI isiyo ya Kiserikali ya Tayen imezindua mradi wa ushiriki wa Mchakato wa Maendeleo kwa Vijana, wenye thamani ya Sh 32,800,000.</description>
					  <author>info@habaritanzania.com (Habari Tanzania)</author>
					  <pubDate>Sun, 04 Feb 2007 00:00:00 +0300</pubDate>
					 
					</item>

				

					<item>
					  <title>Taasisi ya Moyo bado yavutana na serikali</title>
					  <link>http://www.habaritanzania.com/articles/2810/1/Taasisi-ya-Moyo-bado-yavutana-na-serikali</link>
					  <description>Mvutano kati ya Taasisi ya Moyo nchini (THI) na Wizara ya Afya unazidi kukua, baada ya taasisi hiyo kusema kwamba hatua ya serikali kutotia saini mkataba kati yake na taasisi hiyo umeifanya kukosa dola za Marekani 350,000 kutoka Taasisi ya Moyo ya Ujerumani.</description>
					  <author>info@habaritanzania.com (Habari Tanzania)</author>
					  <pubDate>Sat, 03 Feb 2007 00:00:00 +0300</pubDate>
					 
					</item>

				

					<item>
					  <title>Sehemu za siri zakatwa kwa ajili ya madini</title>
					  <link>http://www.habaritanzania.com/articles/2794/1/Sehemu-za-siri-zakatwa-kwa-ajili-ya-madini</link>
					  <description>PETER Gabriel (42), mkazi wa Kijiji cha Mkindo wilayani hapa, ambaye          hivi karibuni aliponea chupuchupu kufa kwa kukatwa sehemu za siri, amekihusisha          kitendo hicho na imani za kishirikina.</description>
					  <author>info@habaritanzania.com (Habari Tanzania)</author>
					  <pubDate>Fri, 02 Feb 2007 00:00:00 +0300</pubDate>
					 
					</item>

				

					<item>
					  <title>Serikali yabuni miradi 13 ya maji</title>
					  <link>http://www.habaritanzania.com/articles/2768/1/Serikali-yabuni-miradi-13-ya-maji</link>
					  <description>WAZIRI wa Maji, Dk Shukuru Kawambwa, amesema serikali imebuni miradi 13 ya maji mijini na vijiji, ambayo itagharimu zaidi ya Sh1 bilioni ili kupunguza tatizo la maji nchini.</description>
					  <author>info@habaritanzania.com (Habari Tanzania)</author>
					  <pubDate>Wed, 31 Jan 2007 00:00:00 +0300</pubDate>
					 
					</item>

				

					<item>
					  <title>Shule ya msingi mwalimu mmoja wanafunzi 280</title>
					  <link>http://www.habaritanzania.com/articles/2757/1/Shule-ya-msingi-mwalimu-mmoja-wanafunzi-280</link>
					  <description>SHULE ya Msingi Digalama, iliyoko wilayani Mvomero, ambayo ina mwalimu mmoja anayefundisha zaidi ya wanafunzi 280, haijawahi kufaulisha mwanafunzi hata mmoja kwenda sekondari kwa miaka 29. </description>
					  <author>info@habaritanzania.com (Habari Tanzania)</author>
					  <pubDate>Tue, 30 Jan 2007 00:00:00 +0300</pubDate>
					 
					</item>

				

					<item>
					  <title>DC agiza wanaopata mimba waendelee kusoma</title>
					  <link>http://www.habaritanzania.com/articles/2756/1/DC-agiza-wanaopata-mimba-waendelee-kusoma</link>
					  <description>MKUU wa Wilaya ya Singida, Frolence Horombe, ameagiza kuwa wafunzi wa kike wanaopa mimba, waendelee kwenda shuleni ili kufanya uchunguzi wa kumbaini aliyewapa ujauzito huo, kisha kuwakamata na kuwachukulia hatua za kisheria.</description>
					  <author>info@habaritanzania.com (Habari Tanzania)</author>
					  <pubDate>Tue, 30 Jan 2007 00:00:00 +0300</pubDate>
					 
					</item>

				

					<item>
					  <title>Watendaji 'miungu watu' kushughulikiwa</title>
					  <link>http://www.habaritanzania.com/articles/2747/1/Watendaji-%91miungu-watu%92-kushughulikiwa</link>
					  <description>MKUU wa Wilaya ya Kilombero, Evarist Ndikilo, amewataka makatibu tarafa wa wilaya hiyo kuwashughulikia kikamilifu maofisa watendaji wanaosahau majukumu yao na kujifanya miungu watu, ili kupunguza kero kwa wananchi.</description>
					  <author>info@habaritanzania.com (Habari Tanzania)</author>
					  <pubDate>Mon, 29 Jan 2007 00:00:00 +0300</pubDate>
					 
					</item>

				

					<item>
					  <title>Barua ya wakazi wa Kurasini kwa Rais, Mheshimiwa Jakaya Kikwete</title>
					  <link>http://www.habaritanzania.com/articles/2740/1/Barua-ya-wakazi-wa-Kurasini-kwa-Rais%2C-Mheshimiwa-Jakaya-Kikwete</link>
					  <description>Chama Cha Mapinduzi kinatambua kwamba ardhi wanayomiliki wananchi ni mtaji wao wa msingi wa kutegemewa katika kuwapatia ajira, kuwaondolea umaskini na kuwaletea ustawi wa jamii pale walipo.&#34; -- Ilani ya Uchaguzi 2005 -2010 ya Chama cha Mapinduzi.</description>
					  <author>info@habaritanzania.com (Habari Tanzania)</author>
					  <pubDate>Sun, 28 Jan 2007 00:00:00 +0300</pubDate>
					 
					</item>

				

					<item>
					  <title>Mpelelezi mkuu akiri vita ya madawa haramu ngumu</title>
					  <link>http://www.habaritanzania.com/articles/2733/1/Mpelelezi-mkuu-akiri-vita-ya-madawa-haramu-ngumu</link>
					  <description>JESHI la Polisi nchini limekiri kuwa vita ya kupambana na biashara ya dawa za kulevya ni ngumu na inahitaji jitihada za pamoja, hasa kwa sababu imeshajichimbia mizizi ndani ya jamii.</description>
					  <author>info@habaritanzania.com (Habari Tanzania)</author>
					  <pubDate>Sun, 28 Jan 2007 00:00:00 +0300</pubDate>
					 
					</item>

				

					<item>
					  <title>Kikwete safarini Uswisi, Ethiopia</title>
					  <link>http://www.habaritanzania.com/articles/2692/1/Kikwete-safarini-Uswisi%2C-Ethiopia</link>
					  <description>RAIS Jakaya Kikwete anaondoka nchini leo kuelekea Davos, Uswisi kuhudhuria baraza la viongozi la kila mwaka linalojadili hali ya uchumi duniani na masuala mengine ya kisiasa na kijamii.</description>
					  <author>info@habaritanzania.com (Habari Tanzania)</author>
					  <pubDate>Wed, 24 Jan 2007 00:00:00 +0300</pubDate>
					 
					</item>

				

					<item>
					  <title>Magomeni Kota watoa masharti ya kuhama</title>
					  <link>http://www.habaritanzania.com/articles/2670/1/Magomeni-Kota-watoa-masharti-ya-kuhama</link>
					  <description>WAKAZI wa Magomeni Kota, Manispaa ya Kinondoni, jijini Dar es Salaam, wametoa masharti matatu kabla hawajakubaliana na uamuzi wa kuhama kutoka katika eneo hilo uliotolewa na manispaa. </description>
					  <author>info@habaritanzania.com (Habari Tanzania)</author>
					  <pubDate>Mon, 22 Jan 2007 00:00:00 +0300</pubDate>
					 
					</item>

				

					<item>
					  <title>Wafanyakazi hawa vipi?</title>
					  <link>http://www.habaritanzania.com/articles/2655/1/Wafanyakazi-hawa-vipi%3F</link>
					  <description>LAZIMA nishangae hili. Nisiposhangaa walimwengu watatushangaa kwa kuyaona mambo ya ajabu kuwa ya kawaida. Mwafanya vituko mchana kweupe jua likiwaka bado mwataka tuyaone ya kawaida hayo? Naapa lazima nijitoe katika haya.</description>
					  <author>info@habaritanzania.com (Habari Tanzania)</author>
					  <pubDate>Sat, 20 Jan 2007 00:00:00 +0300</pubDate>
					 
					</item>

				

					<item>
					  <title>Mkuu wa mkoa akiri kukabiliwa hali mbaya kielimu</title>
					  <link>http://www.habaritanzania.com/articles/2643/1/Mkuu-wa-mkoa-akiri-kukabiliwa-hali-mbaya-kielimu</link>
					  <description>MKUU wa Mkoa wa Morogoro, Meja Jenerali Mstaafu, Said Kalembo amekiri kuwa hali ya elimu mkoani kwake ni mbaya, na kuwahimiza madiwani kuwahamasisha wananchi kukamilisha ujenzi wa madarasa ya shule za sekondari kabla ya machi 15, mwaka huu.</description>
					  <author>info@habaritanzania.com (Habari Tanzania)</author>
					  <pubDate>Fri, 19 Jan 2007 00:00:00 +0300</pubDate>
					 
					</item>

				

					<item>
					  <title>Waziri Mkuu ataka Kanisa lisaidie Afrika inufaike na raslimali</title>
					  <link>http://www.habaritanzania.com/articles/2609/1/Waziri-Mkuu-ataka-Kanisa-lisaidie-Afrika-inufaike-na-raslimali</link>
					  <description>WAZIRI Mkuu Edward Lowassa, amelitaka Kanisa kuyaelekeza mataifa yaliyoendelea, taasisi za fedha za kimataifa na taasisi za kibiashara kuhakikisha Afrika inanufaika na rasilimali zake.</description>
					  <author>info@habaritanzania.com (Habari Tanzania)</author>
					  <pubDate>Wed, 17 Jan 2007 00:00:00 +0300</pubDate>
					 
					</item>

				

					<item>
					  <title>Polisi wakamata waganga wa jadi 20 kwa kusababisha maafa</title>
					  <link>http://www.habaritanzania.com/articles/2607/1/Polisi-wakamata-waganga-wa-jadi-20-kwa-kusababisha-maafa</link>
					  <description>POLISI mkoani Mwanza wamewakamata waganga wa jadi zaidi ya 20 wanaodaiwa kupiga ramli na kusababisha watu kupoteza maisha kwa kukatwa mapanga kwa imani za kishirikina.</description>
					  <author>info@habaritanzania.com (Habari Tanzania)</author>
					  <pubDate>Wed, 17 Jan 2007 00:00:00 +0300</pubDate>
					 
					</item>

				

					<item>
					  <title>Wakuu polisi Tanzania, Kenya wajadili uhalifu</title>
					  <link>http://www.habaritanzania.com/articles/2606/1/Wakuu-polisi-Tanzania%2C-Kenya-wajadili-uhalifu</link>
					  <description>WAKUU wa polisi mikoa ya Mara na Rift Valley nchini Kenya, wamesema ushirikiano kati ya mikoa hiyo katika vita dhidi ya majanga ya uhalifu mipakani umeonyesha mafanikio kwa kupungua kwa vitendo hivyo.</description>
					  <author>info@habaritanzania.com (Habari Tanzania)</author>
					  <pubDate>Wed, 17 Jan 2007 00:00:00 +0300</pubDate>
					 
					</item>

				

					<item>
					  <title>&#39;Morogoro yaongoza kwa dawa za kulevya&#39;</title>
					  <link>http://www.habaritanzania.com/articles/2594/1/%26%2339%3BMorogoro-yaongoza-kwa-dawa-za-kulevya%26%2339%3B</link>
					  <description>IMEBAINIKA kuwa Mkoa wa Morogoro unaoongoza kwa upatikanaji wa dawa za kulevya na kuwa na idadi kubwa ya mashamba ya bangi kuliko mikoa mingine nchini.</description>
					  <author>info@habaritanzania.com (Habari Tanzania)</author>
					  <pubDate>Tue, 16 Jan 2007 00:00:00 +0300</pubDate>
					 
					</item>

				

					<item>
					  <title>A Preface to the Problem of Evil</title>
					  <link>http://www.habaritanzania.com/articles/2583/1/A-Preface-to-the-Problem-of-Evil</link>
					  <description>No single factor is invoked more often in people turning away from God, or in their failing to believe in Him, than the occurrence --- note that I do not say &#34;existence&#34; --- of evil, especially as it manifests itself in suffering. The occurrence of evil appears incompatible with God, or at least a coherent conception of God as both (and simultaneously) absolutely good and absolutely powerful. </description>
					  <author>mwanahabari@gmail.com (Mwana Habari)</author>
					  <pubDate>Mon, 15 Jan 2007 00:00:00 +0300</pubDate>
					 
					</item>

				

					<item>
					  <title>A Preface to the Problem of Evil</title>
					  <link>http://www.habaritanzania.com/articles/2582/1/A-Preface-to-the-Problem-of-Evil</link>
					  <description>No single factor is invoked more often in people turning away from God, or in their failing to believe in Him, than the occurrence --- note that I do not say &#34;existence&#34; --- of evil, especially as it manifests itself in suffering. The occurrence of evil appears incompatible with God, or at least a coherent conception of God as both (and simultaneously) absolutely good and absolutely powerful. </description>
					  <author>mwanahabari@gmail.com (Mwana Habari)</author>
					  <pubDate>Mon, 15 Jan 2007 00:00:00 +0300</pubDate>
					 
					</item>

				

					<item>
					  <title>Karume atoa ahadi ya mamilioni kila mkoa</title>
					  <link>http://www.habaritanzania.com/articles/2566/1/Karume-atoa-ahadi-ya-mamilioni-kila-mkoa</link>
					  <description>RAIS wa Serikali ya Mapinduzi ya Zanzibar, Aman Abeid Karume emesema atafuata nyayo za Rais Jakaya Kiwete kwa kumwaga kila mkoa mamilioni ya shilingi kwa wananchi wa Zanzibar ikiwa ni mkakati wa kupambana na umaskini nchini. </description>
					  <author>info@habaritanzania.com (Habari Tanzania)</author>
					  <pubDate>Sat, 13 Jan 2007 00:00:00 +0300</pubDate>
					 
					</item>

				

					<item>
					  <title>Malaria utangazwe janga la kitaifa - Wahariri</title>
					  <link>http://www.habaritanzania.com/articles/2554/1/Malaria-utangazwe-janga-la-kitaifa---Wahariri</link>
					  <description>WADAU wa sekta ya habari nchini, wameishauri serikali kuutangaza ugonjwa wa malaria kuwa ni janga la kitaifa kwa kuwa ndio unaongoza kwa kuua watu hapa nchini kuliko magonjwa mengine.</description>
					  <author>info@habaritanzania.com (Habari Tanzania)</author>
					  <pubDate>Fri, 12 Jan 2007 00:00:00 +0300</pubDate>
					 
					</item>

				

					<item>
					  <title>Wanawake Tanga wampongeza Migiro</title>
					  <link>http://www.habaritanzania.com/articles/2513/1/Wanawake-Tanga-wampongeza-Migiro</link>
					  <description>WANAWAKE mkoani hapa wamempongeza kutangazwa kwa Asha-Rose Migiro kuwa Naibu Katibu Mkuu wa Umoja wa Mataifa (UN) na wamesema hiyo ni heshima kubwa kwa nchi ya Tanzania.</description>
					  <author>info@habaritanzania.com (Habari Tanzania)</author>
					  <pubDate>Mon, 08 Jan 2007 00:00:00 +0300</pubDate>
					 
					</item>

				

					<item>
					  <title>Vibanda vya Soko la Mitumba vyavunjwa Arusha</title>
					  <link>http://www.habaritanzania.com/articles/2512/1/Vibanda-vya-Soko-la-Mitumba-vyavunjwa-Arusha</link>
					  <description>HALMASHAURI ya Manispaa ya Arusha, imevunja vibanda vyote vya soko kuu la Mitumba lililo eneo la Kilombero ambalo lilikuwa na wafanyabiashara zaidi ya 250 wengi wao wakiwa ni wanawake na vijana.</description>
					  <author>info@habaritanzania.com (Habari Tanzania)</author>
					  <pubDate>Mon, 08 Jan 2007 00:00:00 +0300</pubDate>
					 
					</item>

				

					<item>
					  <title>Mvua yaharibu miundombinu Dar</title>
					  <link>http://www.habaritanzania.com/articles/2471/1/Mvua-yaharibu-miundombinu-Dar</link>
					  <description>MVUA inayoendelea kunyesha jijini Dar es Salaam, imeharibu baadhi ya barabara na miundombinu mingine.</description>
					  <author>info@habaritanzania.com (Habari Tanzania)</author>
					  <pubDate>Wed, 27 Dec 2006 00:00:00 +0300</pubDate>
					 
					</item>

				

					<item>
					  <title>Zawadi ya kinyago yainusuru shule</title>
					  <link>http://www.habaritanzania.com/articles/2456/1/Zawadi-ya-kinyago-yainusuru-shule</link>
					  <description>SHULE ya Msingi ya Nyakelela, iliyokuwa ya mwisho kwenye mtihani wa darasa la saba wilayani Kasulu mwaka jana, imeingia kwenye shule kumi bora mwaka huu.</description>
					  <author>info@habaritanzania.com (Habari Tanzania)</author>
					  <pubDate>Mon, 25 Dec 2006 00:00:00 +0300</pubDate>
					 
					</item>

				

					<item>
					  <title>Bei ya vyakula Dar juu</title>
					  <link>http://www.habaritanzania.com/articles/2455/1/Bei-ya-vyakula-Dar-juu</link>
					  <description>WAKAZI wa Jiji la Dar es Salaam leo wanasherehekea Sikukuu ya Krismasi huku bei za vyakula mbalimbali zikiwa zimepanda.</description>
					  <author>info@habaritanzania.com (Habari Tanzania)</author>
					  <pubDate>Mon, 25 Dec 2006 00:00:00 +0300</pubDate>
					 
					</item>

				

					<item>
					  <title>Mwili wa mwandishi mwingine waagwa</title>
					  <link>http://www.habaritanzania.com/articles/2454/1/Mwili-wa-mwandishi-mwingine-waagwa</link>
					  <description>MKE wa Rais Kikwete, Mama Salma na Waziri Mkuu, Edward Lowassa, jana waliongoza waombolezaji kuaga mwili wa marehemu, George Bendera (26), aliyekuwa Ofisa Habari wa Kitengo cha Maafa katika Ofisi ya Waziri Mkuu, kwenye Hospitali ya Taifa ya Muhimbili. </description>
					  <author>info@habaritanzania.com (Habari Tanzania)</author>
					  <pubDate>Mon, 25 Dec 2006 00:00:00 +0300</pubDate>
					 
					</item>

				

					<item>
					  <title>Vijana tujizatiti, dunia haituonei huruma</title>
					  <link>http://www.habaritanzania.com/articles/2440/1/Vijana-tujizatiti%2C-dunia-haituonei-huruma</link>
					  <description>HIVI karibuni nilisoma habari juu ya kujinyonga kwa mfanyabiashara ndogo ndogo - mmachinga, jijini Dar es Salaam. Inaelezwa kwamba, alichukua uamuzi huo baada ya kubomolewa kibanda chake alichokuwa anafanyia biashara. Tukio la kifo hicho ni pigo kubwa kwa wazazi wa marehemu, ndugu, jamaa, marafiki na wafanyabiashara wenzake.</description>
					  <author>info@habaritanzania.com (Habari Tanzania)</author>
					  <pubDate>Sun, 24 Dec 2006 00:00:00 +0300</pubDate>
					 
					</item>

				

					<item>
					  <title>TEA na mikakati ya kuvutia wachangiaji elimu</title>
					  <link>http://www.habaritanzania.com/articles/2439/1/TEA-na-mikakati-ya-kuvutia-wachangiaji-elimu</link>
					  <description>KUCHANGIA katika shughuli za kijamii kumejikita zaidi katika moyo wa mapenzi mema na thamani kubwa ya kuchangia, si kiasi cha kuchangia cha mchango bali ni faraja, upendo na kutambulika.</description>
					  <author>info@habaritanzania.com (Habari Tanzania)</author>
					  <pubDate>Sun, 24 Dec 2006 00:00:00 +0300</pubDate>
					 
					</item>

				

					<item>
					  <title>'Wananchi wameamka kutumia DNA'</title>
					  <link>http://www.habaritanzania.com/articles/2364/1/%91Wananchi-wameamka-kutumia-DNA%92</link>
					  <description>MKEMIA Mkuu wa Serikali, Dk. Ernest Mashimba, amesema Watanzania wameanza kuonyesha mwamko wa kutumia maabara yake katika utatuzi wa mambo mbalimbali yanayowakabili.</description>
					  <author>info@habaritanzania.com (Habari Tanzania)</author>
					  <pubDate>Sat, 16 Dec 2006 00:00:00 +0300</pubDate>
					 
					</item>

				

					<item>
					  <title>Kandoro awataka walemavu kuacha vurugu</title>
					  <link>http://www.habaritanzania.com/articles/2363/1/Kandoro-awataka-walemavu-kuacha-vurugu</link>
					  <description>MKUU wa Mkoa wa Dar es Salaam, Abbas Kandoro, amewataka watu wenye ulemavu kutotumia vurugu wakati wa kuadi haki zao.</description>
					  <author>info@habaritanzania.com (Habari Tanzania)</author>
					  <pubDate>Sat, 16 Dec 2006 00:00:00 +0300</pubDate>
					 
					</item>

				

					<item>
					  <title>Mahakimu watakiwa kutenda haki</title>
					  <link>http://www.habaritanzania.com/articles/2341/1/Mahakimu-watakiwa-kutenda-haki</link>
					  <description>NAIBU Waziri wa Jinsia Wanawake na Watoto, Salome Mbatia, amewataka mahakimu nchini kuzingatia haki za binadamu na wanawake wakati katika utendaji kazi wao.</description>
					  <author>info@habaritanzania.com (Habari Tanzania)</author>
					  <pubDate>Fri, 15 Dec 2006 00:00:00 +0300</pubDate>
					 
					</item>

				

					<item>
					  <title>Polisi, waandishi wasameheana</title>
					  <link>http://www.habaritanzania.com/articles/2331/1/Polisi%2C-waandishi-wasameheana</link>
					  <description>WAANDISHI wa habari na Jeshi la Polisi mkoani Rukwa, wameondoa tofauti zao zilizosababisha uhusiano wa kikazi baina yao kuvunjika kwa zaidi ya mwezi mmoja sasa.</description>
					  <author>info@habaritanzania.com (Habari Tanzania)</author>
					  <pubDate>Thu, 14 Dec 2006 00:00:00 +0300</pubDate>
					 
					</item>

				

					<item>
					  <title>Viongozi wa kidini waingia mapambano dhidi ya ukimwi</title>
					  <link>http://www.habaritanzania.com/articles/2329/1/Viongozi-wa-kidini-waingia-mapambano-dhidi-ya-ukimwi</link>
					  <description>VIONGOZI wa kidini nchini wametoa tamko la kushirikiana na asasi zinazopambana na ugonjwa wa ukimwi nchini ili kurahisisha mapambano hayo.</description>
					  <author>info@habaritanzania.com (Habari Tanzania)</author>
					  <pubDate>Thu, 14 Dec 2006 00:00:00 +0300</pubDate>
					 
					</item>

				

					<item>
					  <title>Mwanza wachangia yatima mkesha wa Uhuru</title>
					  <link>http://www.habaritanzania.com/articles/2312/1/Mwanza-wachangia-yatima-mkesha-wa-Uhuru</link>
					  <description>KIASI cha shilingi 2.8 milioni kimekusanywa katika harambee iliyoendeshwa na Mkuu wa Mkoa wa Mwanza, Dk James Alex Msekela wakati wa mkesha wa maadhimisho ya miaka 45 ya Uhuru wa Tanzania, kwa ajili ya kusaidia watoto yatima na wanaoishi katika mazingira magumu mkoani humo.</description>
					  <author>info@habaritanzania.com (Habari Tanzania)</author>
					  <pubDate>Wed, 13 Dec 2006 00:00:00 +0300</pubDate>
					 
					</item>

				

					<item>
					  <title>Wagonjwa wa rufaa Ukerewe hukata tamaa</title>
					  <link>http://www.habaritanzania.com/articles/2311/1/Wagonjwa-wa-rufaa-Ukerewe-hukata-tamaa</link>
					  <description>KAIMU Mganga Mkuu wa Wilaya ya Ukerewe, Dk Faustine Nkinga amesema idadi kubwa ya wagonjwa wilayani hapa, wanaopewa rufaa ya kwenda kutibiwa kwenye Hospitali ya Mkoa wa Mwanza na Rufaa Bugando hudai kuwa wamepewa Hati ya Kifo.</description>
					  <author>info@habaritanzania.com (Habari Tanzania)</author>
					  <pubDate>Wed, 13 Dec 2006 00:00:00 +0300</pubDate>
					 
					</item>

				

					<item>
					  <title>Radi yaua mmoja, yajeruhi watatu</title>
					  <link>http://www.habaritanzania.com/articles/2295/1/Radi-yaua-mmoja%2C-yajeruhi-watatu</link>
					  <description>MTU mmoja amefariki dunia na wengine watatu kujeruhiwa baada ya kupigwa na radi katika Tarafa ya Ifakara Kata ya Idete Wilayani Kilombero.</description>
					  <author>info@habaritanzania.com (Habari Tanzania)</author>
					  <pubDate>Tue, 12 Dec 2006 00:00:00 +0300</pubDate>
					 
					</item>

				

					<item>
					  <title>Mwanga washindi Mwenge wa Uhuru</title>
					  <link>http://www.habaritanzania.com/articles/2276/1/Mwanga-washindi-Mwenge-wa-Uhuru</link>
					  <description>NAIBU Waziri wa Wizara ya Kazi, Ajira na Maendeleo ya Vijana, Jeremia Sumari ameupongeza uongozi wa Serikali wilayani hapa, kufuatia ushindi wa kwanza wa mbio za Mwenge wa Uhuru kwa miaka miwili mfululizo.</description>
					  <author>info@habaritanzania.com (Habari Tanzania)</author>
					  <pubDate>Mon, 11 Dec 2006 00:00:00 +0300</pubDate>
					 
					</item>

				

					<item>
					  <title>&#39;Wanafunzi walioanguka Mbuyuni hawakulogwa&#39;</title>
					  <link>http://www.habaritanzania.com/articles/2274/1/%26%2339%3BWanafunzi-walioanguka-Mbuyuni-hawakulogwa%26%2339%3B</link>
					  <description>MGANGA Mkuu wa Jiji la Dar es Salaam, Dk Deo Mtasiwa, ametoa ufafanuzi juu ya tukio la kuanguka kwa wanafunzi wa Shule ya Msingi Mbuyuni, Wilayani Kinondoni.</description>
					  <author>info@habaritanzania.com (Habari Tanzania)</author>
					  <pubDate>Mon, 11 Dec 2006 00:00:00 +0300</pubDate>
					 
					</item>

				

					<item>
					  <title>Michango ikusanywe nyumba hadi nyumba-DC</title>
					  <link>http://www.habaritanzania.com/articles/2264/1/Michango-ikusanywe-nyumba-hadi-nyumba-DC</link>
					  <description>MKUU wa Wilaya ya Handeni Mkoani Tanga, Winfred Ligubi amewaagiza watendaji wa kata na madiwani kukusanya michango nyumba hadi nyumba ya ujenzi wa sekondari za kata zao.</description>
					  <author>info@habaritanzania.com (Habari Tanzania)</author>
					  <pubDate>Sun, 10 Dec 2006 00:00:00 +0300</pubDate>
					 
					</item>

				

					<item>
					  <title>DC akemea viongozi, wazazi kwa ukimya wao kuhusu ukimwi</title>
					  <link>http://www.habaritanzania.com/articles/2262/1/DC-akemea-viongozi%2C-wazazi-kwa-ukimya-wao-kuhusu-ukimwi</link>
					  <description>MKUU wa Wilaya ya Kahama, Mkoa wa Shinyanga, Kelvin Kasemwa amekemea vitendo vya baadhi ya viongozi na wazazi wilayani humo kushindwa kuzungumzia tatizo la ukimwi kwenye majukwaa na familia zao.</description>
					  <author>info@habaritanzania.com (Habari Tanzania)</author>
					  <pubDate>Sun, 10 Dec 2006 00:00:00 +0300</pubDate>
					 
					</item>

				

					<item>
					  <title>Mwanafunzi auwawa na majambazi</title>
					  <link>http://www.habaritanzania.com/articles/2243/1/Mwanafunzi-auwawa-na-majambazi</link>
					  <description>KUNDI la watu wanaodhaniwa kuwa ni majambazi wamempiga risasi na kumuua papo hapo, mwanafunzi wa kidato cha pili, Martha Bartholomeo (16) wa Shule ya Sekondari ya Olele iliyopo wilayani Rombo.</description>
					  <author>info@habaritanzania.com (Habari Tanzania)</author>
					  <pubDate>Sat, 09 Dec 2006 00:00:00 +0300</pubDate>
					 
					</item>

				

					<item>
					  <title>Darwin&#39;s Nightmare - Behind the Scenes</title>
					  <link>http://www.habaritanzania.com/articles/2223/1/Darwin%26%2339%3Bs-Nightmare---Behind-the-Scenes</link>
					  <description>Series of Behind the Scene of Darwin's Nightmare</description>
					  <author>info@habaritanzania.com (Habari Tanzania)</author>
					  <pubDate>Thu, 07 Dec 2006 00:00:00 +0300</pubDate>
					 
					</item>

				

					<item>
					  <title>Polisi Kagera yafichua mtandao wa utapeli</title>
					  <link>http://www.habaritanzania.com/articles/2210/1/Polisi-Kagera-yafichua-mtandao-wa-utapeli</link>
					  <description>JESHI la Polisi Mkoani Kagera limefichua utapeli unaofanywa kwa kutumia biashara ya pikipiki ambazo zimekuwa zikiingizwa mkoani humo kinyemela, kusajiliwa kwa namba bandia na kuendeshwa bila kulipiwa kodi.</description>
					  <author>info@habaritanzania.com (Habari Tanzania)</author>
					  <pubDate>Wed, 06 Dec 2006 00:00:00 +0300</pubDate>
					 
					</item>

				

					<item>
					  <title>Saba wafariki dunia wilayani Bunda</title>
					  <link>http://www.habaritanzania.com/articles/2209/1/Saba-wafariki-dunia-wilayani-Bunda</link>
					  <description>ASKARI mstaafu, Thomas Zegera (59) wa Jeshi la Polisi aliyejinyonga baada ya mahakama kuruhusu talaka na mkewe ni miongoni mwa watu saba waliopoteza maisha katika matukio yaliyotokea wilayani Bunda mwezi huu. </description>
					  <author>info@habaritanzania.com (Habari Tanzania)</author>
					  <pubDate>Wed, 06 Dec 2006 00:00:00 +0300</pubDate>
					 
					</item>

				

					<item>
					  <title>JK: Hali ya chakula nzuri</title>
					  <link>http://www.habaritanzania.com/articles/2189/1/JK%3A-Hali-ya-chakula-nzuri</link>
					  <description>RAIS Jakaya Kikwete amesema hali ya chakula nchini kwa sasa ni mzuri na kwamba serikali tayari imenunua tani 99,019 kwa ajili ya kuimarisha hifadhi ya chakula ya taifa.</description>
					  <author>info@habaritanzania.com (Habari Tanzania)</author>
					  <pubDate>Tue, 05 Dec 2006 00:00:00 +0300</pubDate>
					 
					</item>

				

					<item>
					  <title>Upandaji daladala waingia dosari Dar</title>
					  <link>http://www.habaritanzania.com/articles/2187/1/Upandaji-daladala-waingia-dosari-Dar</link>
					  <description>MPANGO wa abiria kupanda mabasi ya daladala kwa foleni uliokuwa uanze wiki hii mjini Dar es Salaam, umekwama kutokana na baadhi ya wadau wa usafirishaji wa abiria mkoa wa Dar es Salaam, kutoshirikishwa.</description>
					  <author>info@habaritanzania.com (Habari Tanzania)</author>
					  <pubDate>Tue, 05 Dec 2006 00:00:00 +0300</pubDate>
					 
					</item>

				

					<item>
					  <title>Watu wazima sasa kusoma elimu ya sekondari</title>
					  <link>http://www.habaritanzania.com/articles/2167/1/Watu-wazima-sasa-kusoma-elimu-ya-sekondari</link>
					  <description>TAASISI ya Elimu ya Watu Wazima (TEWW) inatarajia kutoa mafunzo ya ngazi mbalimbali kwa watu 50,000 katika mkakati wake wa kuinua elimu uliopangwa kuchukua miaka mitano.</description>
					  <author>info@habaritanzania.com (Habari Tanzania)</author>
					  <pubDate>Mon, 04 Dec 2006 00:00:00 +0300</pubDate>
					 
					</item>

				

					<item>
					  <title>Wanafunzi wa udaktari wasema mikopo imejenga matabaka</title>
					  <link>http://www.habaritanzania.com/articles/2151/1/Wanafunzi-wa-udaktari-wasema-mikopo-imejenga-matabaka</link>
					  <description>BAADHI ya wanafunzi wanasoma Chuo Kikuu Kishiriki cha Afya Muhimbili (MUCHS), wamesema utaratibu wa utoaji mikopo kwa wanafunzi wa vyuo vya elimu ya juu ni mbovu kwa sababu umeweka matabaka.</description>
					  <author>info@habaritanzania.com (Habari Tanzania)</author>
					  <pubDate>Sun, 03 Dec 2006 00:00:00 +0300</pubDate>
					 
					</item>

				

					<item>
					  <title>Wafungwa Gereza la Isanga kizimbani</title>
					  <link>http://www.habaritanzania.com/articles/2134/1/Wafungwa-Gereza-la-Isanga-kizimbani</link>
					  <description>WAFUNGWA wanne wa Gereza la Isanga mjini hapa wamefikishwa mahakamani kujibu mashtaka ya mauaji ya mfungwa mwenzao, Athumani Mussa (30.</description>
					  <author>info@habaritanzania.com (Habari Tanzania)</author>
					  <pubDate>Sat, 02 Dec 2006 00:00:00 +0300</pubDate>
					 
					</item>

				

					<item>
					  <title>Mji wa Muleba hatarani kwa kipindupindu</title>
					  <link>http://www.habaritanzania.com/articles/2133/1/Mji-wa-Muleba-hatarani-kwa-kipindupindu</link>
					  <description>MJI wa Muleba, uko hatarini kukumbwa na magonjwa ya milipuko kutokana na wakazi wake kutupa ovyo taka mitaani.</description>
					  <author>info@habaritanzania.com (Habari Tanzania)</author>
					  <pubDate>Sat, 02 Dec 2006 00:00:00 +0300</pubDate>
					 
					</item>

				

					<item>
					  <title>Serikali yaanda mwongozo kuhusu ukimwi kazini</title>
					  <link>http://www.habaritanzania.com/articles/2132/1/Serikali-yaanda-mwongozo-kuhusu-ukimwi-kazini</link>
					  <description>SERIALI inaandaa mwongozo wa kushughulikia masuala ya ukimwi sehemu za kazi na kwa watumishi wake</description>
					  <author>info@habaritanzania.com (Habari Tanzania)</author>
					  <pubDate>Sat, 02 Dec 2006 00:00:00 +0300</pubDate>
					 
					</item>

				

					<item>
					  <title>Leo Desemba mosi, umeme wa Richmond uko wapi?</title>
					  <link>http://www.habaritanzania.com/articles/2123/1/Leo-Desemba-mosi%2C-umeme-wa-Richmond-uko-wapi%3F</link>
					  <description>WATANZANIA wakiendelea kutaabika kwa mgawo wa umeme, leo waananza mwezi wa mwisho wa mwaka huu wakiwa bado hawana matumaini ya kumalizika kwa adha hiyo ambayo kwa wastani wamekuwa nayo kwa mwaka wote huu.</description>
					  <author>info@habaritanzania.com (Habari Tanzania)</author>
					  <pubDate>Fri, 01 Dec 2006 00:00:00 +0300</pubDate>
					 
					</item>

				

					<item>
					  <title>Jela kwa kumbaka mchumba wa mtu</title>
					  <link>http://www.habaritanzania.com/articles/2113/1/Jela-kwa-kumbaka-mchumba-wa-mtu</link>
					  <description>MCHIMBA madini katika machimbo ya kijiji cha Londoni, Christopher Damiani (38), amehukumiwa kwenda jela miaka 30 na kulipa faini ya Sh150,000 baada ya kupatikana na hatia ya kumbaka msichana na kusababisha aachwe na mchumba wake.</description>
					  <author>info@habaritanzania.com (Habari Tanzania)</author>
					  <pubDate>Fri, 01 Dec 2006 00:00:00 +0300</pubDate>
					 
					</item>

				

					<item>
					  <title>Mwanamke auawa kinyama Njombe</title>
					  <link>http://www.habaritanzania.com/articles/2110/1/Mwanamke-auawa-kinyama-Njombe</link>
					  <description>MKAZI wa Kijiji cha Masaulwa, Wilaya ya Njombe, Naboti Mange (67) ameuawa na watu wasiojulikana kisha mwili wake kunyofolewa viungo ikiwemo pua, matiti, masikio na sehemu za siri.</description>
					  <author>info@habaritanzania.com (Habari Tanzania)</author>
					  <pubDate>Fri, 01 Dec 2006 00:00:00 +0300</pubDate>
					 
					</item>

				

					<item>
					  <title>Wakimbizi wavamia Muleba</title>
					  <link>http://www.habaritanzania.com/articles/2091/1/Wakimbizi-wavamia-Muleba</link>
					  <description>OFISI ya Mkuu wa Wilaya Muleba, imekabidhiwa orodha ya wakimbizi 675 kutoka nchi za Rwanda na Burundi wanaoishi kwenye baadhi ya vitongoji vya Kata ya Ngenge baada ya kutoroka kwenye Kambi ya Benaco wilayani Ngara.</description>
					  <author>info@habaritanzania.com (Habari Tanzania)</author>
					  <pubDate>Thu, 30 Nov 2006 00:00:00 +0300</pubDate>
					 
					</item>

				

					<item>
					  <title>Wafugaji watakiwa kuungana</title>
					  <link>http://www.habaritanzania.com/articles/2069/1/Wafugaji-watakiwa-kuungana</link>
					  <description>WAFUGAJI nchini wametakiwa kuunda umoja utakaowasaidia kutatua kero zinazowakabili.</description>
					  <author>info@habaritanzania.com (Habari Tanzania)</author>
					  <pubDate>Wed, 29 Nov 2006 00:00:00 +0300</pubDate>
					 
					</item>

				

					<item>
					  <title>Kituo cha kurekebisha walevi chajengwa</title>
					  <link>http://www.habaritanzania.com/articles/2050/1/Kituo-cha-kurekebisha-walevi-chajengwa</link>
					  <description>SERIKALI itatumia Sh6 bilioni kukamilisha ujenzi wa kituo cha kuwarekebisha waathirika wa dawa za kulevya na watu waliokumbwa na magonjwa ya akili.</description>
					  <author>info@habaritanzania.com (Habari Tanzania)</author>
					  <pubDate>Tue, 28 Nov 2006 00:00:00 +0300</pubDate>
					 
					</item>

				

					<item>
					  <title>Mtuhumiwa mauaji ya Kapinga adai hakuhusika</title>
					  <link>http://www.habaritanzania.com/articles/2049/1/Mtuhumiwa-mauaji-ya-Kapinga-adai-hakuhusika</link>
					  <description>MTUHUMIWA wa tatu katika kesi ya mauaji ya wakili wa kujitegemea, Eliuther Kapinga jijini Dar es Salaam, Godluck Sangawe, ameiomba Mahakama Kuu ya Tanzania imuachie huru kwa madai kuwa hakuhusika kwenye mauaji hayo. </description>
					  <author>info@habaritanzania.com (Habari Tanzania)</author>
					  <pubDate>Tue, 28 Nov 2006 00:00:00 +0300</pubDate>
					 
					</item>

				

					<item>
					  <title>Raia wa Ethiopia wakamatwa kanisani</title>
					  <link>http://www.habaritanzania.com/articles/2033/1/Raia-wa-Ethiopia-wakamatwa-kanisani</link>
					  <description>WIMBI la wahamiaji haramu kuingia nchini kinyume limeendelea kuukumba Mkoa wa Pwani kufuatia raia 10 wa Ethiopia kukamatwa wiki iliyopita.</description>
					  <author>info@habaritanzania.com (Habari Tanzania)</author>
					  <pubDate>Mon, 27 Nov 2006 00:00:00 +0300</pubDate>
					 
					</item>

				

					<item>
					  <title>Mmetutangazia watembea kwa miguu haki ya kufa?</title>
					  <link>http://www.habaritanzania.com/articles/2025/1/Mmetutangazia-watembea-kwa-miguu-haki-ya-kufa%3F</link>
					  <description>NINAENDELEA kukata mbuga jijini Dar es Salaam. Nimefika mtaa wa Ubungo, huku ndiko yaliko makazi yangu. Miaka mitano iliyopita sikuwahi kuona mabomba ya huku yakitoa maji.Kipindi hicho mbunge wa Jimbo hili, Charles Keenja, alikuwa pia Waziri katika Serikali ya Rais Benjamin Mkapa. Tulidhani angeweza kutumia nafasi yake kuweka mambo sawa jimboni hapa na hivyo kulifanya jimbo hili kupata huduma nyingi muhimu.</description>
					  <author>info@habaritanzania.com (Habari Tanzania)</author>
					  <pubDate>Sun, 26 Nov 2006 00:00:00 +0300</pubDate>
					 
					</item>

				

					<item>
					  <title>Watumiaji magari ya serikali wabanwe</title>
					  <link>http://www.habaritanzania.com/articles/2003/1/Watumiaji-magari-ya-serikali-wabanwe</link>
					  <description>TANZANIA ni moja ya nchi maskini barani Afrika. Neno masikini si zuri, halipendezi! Nina hakika hakuna anayependa kuitwa maskini. </description>
					  <author>info@habaritanzania.com (Habari Tanzania)</author>
					  <pubDate>Sat, 25 Nov 2006 00:00:00 +0300</pubDate>
					 
					</item>

				

					<item>
					  <title>Kipindupindu kitawapindua msipokipindua</title>
					  <link>http://www.habaritanzania.com/articles/2002/1/Kipindupindu-kitawapindua-msipokipindua</link>
					  <description>UKISIKIA utani unaokera, nawaambia ndiyo huu. Iwezekane vipi hapa palipo kitovu cha nchi ndipo pawe na hili gonjwa la kipindupindu? Mwanakwetu sasa mimi nashindwa kuwaelewa naapa. Ikiwa kwenye jiji tunapata hili gonjwa litokanalo na kula kinyesi tutarajie lipi katika vijiji vyetu? Katika hili naapa lazima nijitoe.</description>
					  <author>info@habaritanzania.com (Habari Tanzania)</author>
					  <pubDate>Sat, 25 Nov 2006 00:00:00 +0300</pubDate>
					 
					</item>

				

					<item>
					  <title>Unicef yatoa Sh40m kwa watoto wa mazingira magumu</title>
					  <link>http://www.habaritanzania.com/articles/1980/1/Unicef-yatoa-Sh40m-kwa-watoto-wa-mazingira-magumu</link>
					  <description>SHIRIKA la Kuhudumia Watoto Duniani (UNICEF), limetoa shilingi 40 milioni kusaidia watoto 5,230 wanaoishi katika mazingira magumu katika Manispaa ya Iringa.</description>
					  <author>info@habaritanzania.com (Habari Tanzania)</author>
					  <pubDate>Fri, 24 Nov 2006 00:00:00 +0300</pubDate>
					 
					</item>

				

					<item>
					  <title>Wezi wavunja kanisa wapora fedha, viti, biblia</title>
					  <link>http://www.habaritanzania.com/articles/1979/1/Wezi-wavunja-kanisa-wapora-fedha%2C-viti%2C-biblia</link>
					  <description>KANISA la Anglikana la Mtakatifu Barnaba Parish ya Magu, limevamiwa na wezi na kuiba fedha na mali ya Sh704,000.</description>
					  <author>info@habaritanzania.com (Habari Tanzania)</author>
					  <pubDate>Fri, 24 Nov 2006 00:00:00 +0300</pubDate>
					 
					</item>

				

					<item>
					  <title>Semina, nyimbo haziwezi kuondoa UKIMWI</title>
					  <link>http://www.habaritanzania.com/articles/1969/1/Semina%2C-nyimbo-haziwezi-kuondoa-UKIMWI</link>
					  <description>MIILI ya zana za kivita dhidi ya UKIMWI inasikika zaidi magazetini, redioni, kwenye televisheni, bungeni na kwenye mikutano ya hadhara na taarifa za hivi karibuni wilayani Kahama, Mkoa wa Shinyanga, zinaonyesha kwamba elimu juu ya UKIMWI haijafika kwa walengwa na hata watawala.</description>
					  <author>info@habaritanzania.com (Habari Tanzania)</author>
					  <pubDate>Thu, 23 Nov 2006 00:00:00 +0300</pubDate>
					 
					</item>

				

					<item>
					  <title>Madawa ya kulevya: Polisi wadaiwa kupeleka ushahidi</title>
					  <link>http://www.habaritanzania.com/articles/1945/1/Madawa-ya-kulevya%3A-Polisi-wadaiwa-kupeleka-ushahidi</link>
					  <description>MAHAKAMA ya Hakimu Mkazi Kisutu, imetoa siku saba kwa upande wa mashitaka kukamilisha upelelezi wa awali katika kesi inayomkabili mkazi wa Tabata Mawenzi, James Chacha (29), anayedaiwa kuwa kinara wa usambazaji, uuzaji na usafirishaji wa dawa za kulevya ndani na nje ya nchi.</description>
					  <author>info@habaritanzania.com (Habari Tanzania)</author>
					  <pubDate>Wed, 22 Nov 2006 00:00:00 +0300</pubDate>
					 
					</item>

				

					<item>
					  <title>Wizara ya Afya yaweka msimamo</title>
					  <link>http://www.habaritanzania.com/articles/1909/1/Wizara-ya-Afya-yaweka-msimamo</link>
					  <description>WAZIRI wa Afya na Ustawi wa Jamii, Profesa David Mwakyusa, amesema kuwa wizara yake haitasitisha mpango wake wa kufadhili semina zinazohusu vita dhidi ya UKIMWI.</description>
					  <author>info@habaritanzania.com (Habari Tanzania)</author>
					  <pubDate>Sun, 19 Nov 2006 00:00:00 +0300</pubDate>
					 
					</item>

				

					<item>
					  <title>Kamanda Tossi aahidi kukomesha uhalifu Kagera</title>
					  <link>http://www.habaritanzania.com/articles/1887/1/Kamanda-Tossi-aahidi-kukomesha-uhalifu-Kagera</link>
					  <description>Kamanda wa Polisi Mkoa wa Kilimanjaro, Venance Tossi, ambaye sasa amehamishiwa mkoa wa Kagera ametangaza vita dhidi ya majambazi kutoka nchi za Rwanda na Burundi wanaoshirikiana na baadhi ya wananchi kuendesha uhalifu.</description>
					  <author>info@habaritanzania.com (Habari Tanzania)</author>
					  <pubDate>Sat, 18 Nov 2006 00:00:00 +0300</pubDate>
					 
					</item>

				

					<item>
					  <title>Wamasai waonywa bila elimu wataishia kazi za ulinzi</title>
					  <link>http://www.habaritanzania.com/articles/1872/1/Wamasai-waonywa-bila-elimu-wataishia-kazi-za-ulinzi</link>
					  <description>RAIS Jakaya Kikwete ameitahadharisha jamii ya Kimasai na wafugaji wengine kwamba iwapo hawatabadilika na kuweka elimu katika vipaumbele vyao, vizazi vyao vitaishia kufanya kazi za ulinzi.</description>
					  <author>info@habaritanzania.com (Habari Tanzania)</author>
					  <pubDate>Fri, 17 Nov 2006 00:00:00 +0300</pubDate>
					 
					</item>

				

					<item>
					  <title>Acharanga mapanga baba mzazi, kakake</title>
					  <link>http://www.habaritanzania.com/articles/1833/1/Acharanga-mapanga-baba-mzazi%2C-kakake</link>
					  <description>ZIKIWA zimepita chache tangu mkazi wa kijiji cha Itunda Ilalu wilaya ya Kilolo mkoani hapa, Bw. Suleiman Kisava (23), kudaiwa kumuua mtoto wake wa kambo kwa imani za kishirikina na kumzika shambani ili apate mazao mengi, mkazi wa kijiji cha Magome wilaya ya Kilolo, Bw. Erigius Kihongosi (34), anadaiwa kumuua kwa kumcharanga mapanga baba yake mzazi na kaka yake kwa madai kuwa wamekuwa wakimroga.</description>
					  <author>info@habaritanzania.com (Habari Tanzania)</author>
					  <pubDate>Tue, 14 Nov 2006 00:00:00 +0300</pubDate>
					 
					</item>

				

					<item>
					  <title>Kipindupindu chapiga hodi Arusha</title>
					  <link>http://www.habaritanzania.com/articles/1812/1/Kipindupindu-chapiga-hodi-Arusha</link>
					  <description>UGONJWA wa kipindupindu umelipuka jijini Arusha, ambapo hadi kufikia juzi mtu mmoja ameripotiwa kufariki na wengine 31 wamelazwa katika Hospitali ya Revolosi, wakitokea maeneo mbali mbali jijini.</description>
					  <author>info@habaritanzania.com (Habari Tanzania)</author>
					  <pubDate>Mon, 13 Nov 2006 00:00:00 +0300</pubDate>
					 
					</item>

				

					<item>
					  <title>Vigogo polisi waapishwa kuunda tume</title>
					  <link>http://www.habaritanzania.com/articles/1771/1/Vigogo-polisi-waapishwa-kuunda-tume</link>
					  <description>MAAFISA watano wa polisi, akiwemo Inspekta Jenerali Saidi Mwema, jana wameapishwa katika Mahakama Kuu ya Tanzania kuwa wajumbe wa tume ya utumishi ya polisi na magereza.</description>
					  <author>info@habaritanzania.com (Habari Tanzania)</author>
					  <pubDate>Fri, 10 Nov 2006 00:00:00 +0300</pubDate>
					 
					</item>

				

					<item>
					  <title>Maandamano yawe ya amani kweli</title>
					  <link>http://www.habaritanzania.com/articles/1760/1/Maandamano-yawe-ya-amani-kweli</link>
					  <description>CHAMA cha Wananchi (CUF), kimetangaza kufanya maandamano katika miji ya Dar es Salaam, Zanzibar na Chakechake Kisiwani Pemba katika kinachoelezwa kuwa ni kuunga mkono msimamo wa Rais Jakaya Kikwete kuhusu hali ya kisiasa visiwani.</description>
					  <author>info@habaritanzania.com (Habari Tanzania)</author>
					  <pubDate>Thu, 09 Nov 2006 00:00:00 +0300</pubDate>
					 
					</item>

				

					<item>
					  <title>Vijana wanapenda maisha bora bila kuzalisha</title>
					  <link>http://www.habaritanzania.com/articles/1748/1/Vijana-wanapenda-maisha-bora-bila-kuzalisha</link>
					  <description>Hii ni sehemu ya pili ya makala hii iliyoandikwa na OMAR KIPUTIPUTI, Makamu Mkuu wa Chuo cha Biashara Dodoma (CBE), katika makala ya awali alielezea dhana ya kazi kwamba ni matumizi ya juhudi katika kutimiza jukumu fulani lakini juhudi hiyo ni lazima ifanywe na mtu binafsi kwanza. </description>
					  <author>info@habaritanzania.com (Habari Tanzania)</author>
					  <pubDate>Thu, 09 Nov 2006 00:00:00 +0300</pubDate>
					 
					</item>

				

					<item>
					  <title>Bomoa bomoa ya Kurasini yapata kikwazo</title>
					  <link>http://www.habaritanzania.com/articles/1734/1/Bomoa-bomoa-ya-Kurasini-yapata-kikwazo</link>
					  <description>WAKATI leo ni siku ya mwisho wa muda uliotolewa na serikali kwa wamiliki 180 kubomoa nyumba zao kupisha upanuzi wa bandari katika eneo la Kurasini, jijini Dar es Salaam, wamiliki hao wamedai kuwa muda huo ni mfupi na hautoshi kupata makazi mapya ya kuishi.</description>
					  <author>info@habaritanzania.com (Habari Tanzania)</author>
					  <pubDate>Wed, 08 Nov 2006 00:00:00 +0300</pubDate>
					 
					</item>

				

					<item>
					  <title>Matambalya: Mfumo wa vyuo vyetu unatukuza kazi za utawala kuliko utafiti</title>
					  <link>http://www.habaritanzania.com/articles/1721/1/Matambalya%3A-Mfumo-wa-vyuo-vyetu-unatukuza-kazi-za-utawala-kuliko-utafiti</link>
					  <description>&#34;NATAMANI thamani ya profesa wa Tanzania iwe sawa na profesa mwingine anayetoka Marekani, Ujerumani au nchi nyingine yoyote iliyoendelea. Kwa sasa hali haiko hivyo, kwa sababu huku kwetu hatuwekezi katika utafiti kama wenzetu.&#34; </description>
					  <author>info@habaritanzania.com (Habari Tanzania)</author>
					  <pubDate>Tue, 07 Nov 2006 00:00:00 +0300</pubDate>
					 
					</item>

				

					<item>
					  <title>Quality Group kusomesha watu 26 Chuo Kikuu</title>
					  <link>http://www.habaritanzania.com/articles/1713/1/Quality-Group-kusomesha-watu-26-Chuo-Kikuu</link>
					  <description>KAMPUNI ya Quality Group Limited, imejitolea kuwasomesha kwa gharama zake, wanafunzi wapya 26 wa Chuo Kikuu, ikiwa ni sehemu ya mchango wake katika kuadhimisha miaka 45 ya uhuru.</description>
					  <author>info@habaritanzania.com (Habari Tanzania)</author>
					  <pubDate>Tue, 07 Nov 2006 00:00:00 +0300</pubDate>
					 
					</item>

				

					<item>
					  <title>&#39;Mdogo&#39; wa Kikwete atupwa jela</title>
					  <link>http://www.habaritanzania.com/articles/1689/1/%26%2339%3BMdogo%26%2339%3B-wa-Kikwete-atupwa-jela</link>
					  <description>MAHAKAMA ya Hakimu Mkazi Mkoa wa Morogoro imemuhukumu John Nkondo (39), mkazi wa Sultan Area mjini hapa kifungo cha miaka miwili jela baada ya kupatikana na hatia ya kujifanya mdogo wa Rais Jakaya Kikwete.</description>
					  <author>info@habaritanzania.com (Habari Tanzania)</author>
					  <pubDate>Sun, 05 Nov 2006 00:00:00 +0300</pubDate>
					 
					</item>

				

					<item>
					  <title>Taasisi ya Kiyemen yairuka Bakwata</title>
					  <link>http://www.habaritanzania.com/articles/1688/1/Taasisi-ya-Kiyemen-yairuka-Bakwata</link>
					  <description>TAASISI ya Hisani na Utamaduni ya Kiyemeni (DYCCC), imesema madai yaliyoelekezwa kwake na Baraza Kuu la Waislamu Tanzania (Bakwata) kwamba, iliacha malimbikizo ya mishahara ya watangazaji wa Radio Sauti ya Qur'an ya miezi mitatu bila ya kulipa hayana msingi.</description>
					  <author>info@habaritanzania.com (Habari Tanzania)</author>
					  <pubDate>Sun, 05 Nov 2006 00:00:00 +0300</pubDate>
					 
					</item>

				

					<item>
					  <title>Ujenzi wa sekondari wapatiwa msaada</title>
					  <link>http://www.habaritanzania.com/articles/1654/1/Ujenzi-wa-sekondari-wapatiwa-msaada</link>
					  <description>DIWANI wa Kata ya Mwasemi, wilaya ya Rufiji, Hiyari Puga, amewaomba wawekezaji wa hapa nchini na kutoka nje kushiriki na kusaidia katika maendeleo ya jamii, hasa katika sekta ya elimu na afya katika maeneo wanayofanyia biashara zao.</description>
					  <author>info@habaritanzania.com (Habari Tanzania)</author>
					  <pubDate>Fri, 03 Nov 2006 00:00:00 +0300</pubDate>
					 
					</item>

				

					<item>
					  <title>Adai kichwa walichokutwa nacho watuhumiwa ni cha mtoto wake</title>
					  <link>http://www.habaritanzania.com/articles/1641/1/Adai-kichwa-walichokutwa-nacho-watuhumiwa-ni-cha-mtoto-wake</link>
					  <description>OSWALD Kudema(53) mkazi wa kijiji cha Ngombo, wilayani Kilombero, amedai kichwa cha binadamu walichokamatwa nacho watu watatu hivi karibuni ni cha mwanawe aliyemzika Agosti 26, mwaka huu.</description>
					  <author>info@habaritanzania.com (Habari Tanzania)</author>
					  <pubDate>Thu, 02 Nov 2006 00:00:00 +0300</pubDate>
					 
					</item>

				

					<item>
					  <title>Shule ya sekondari moyowosi kibondo kunufaika na vyoo vya msaada</title>
					  <link>http://www.habaritanzania.com/articles/1635/1/Shule-ya-sekondari-moyowosi-kibondo-kunufaika-na-vyoo-vya-msaada</link>
					  <description>Shule ya sekondari Moyowosi wilayani Kibondo inatarajia kuanza kufaidi huduma ya vyoo vinavyojengwa na shirika la Twesa kwa ajili ya wakimbizi katika eneo la shule hiyo.</description>
					  <author>info@habaritanzania.com (Habari Tanzania)</author>
					  <pubDate>Wed, 01 Nov 2006 00:00:00 +0300</pubDate>
					 
					</item>

				

					<item>
					  <title>Wauaji Wengine Kibondo Wahukumiwa</title>
					  <link>http://www.habaritanzania.com/articles/1634/1/Wauaji-Wengine-Kibondo-Wahukumiwa</link>
					  <description>Mahakama kuu kanda ya Tabora inayoendelea na kikao chake wilayani Kibondo imewahukumu watu wawili kifungo cha miezi kumi na miwili nje baad aya kukiri kuua bila kukusudia.</description>
					  <author>info@habaritanzania.com (Habari Tanzania)</author>
					  <pubDate>Wed, 01 Nov 2006 00:00:00 +0300</pubDate>
					 
					</item>

				

					<item>
					  <title>Mtaala mpya wa ufundishaji wa vijana kutolewa</title>
					  <link>http://www.habaritanzania.com/articles/1633/1/Mtaala-mpya-wa-ufundishaji-wa-vijana-kutolewa</link>
					  <description>Chama cha msalaba mwekundu Tanzania chini ya mradi wa pamoja tunaweza uko mbioni kutoa kitabu chenye maelekezo ya ufundishaji wa watoto na vijana juu ya masuala ya ukimwi.</description>
					  <author>pkwigize@yahoo.com (Prosper Kwigize)</author>
					  <pubDate>Wed, 01 Nov 2006 00:00:00 +0300</pubDate>
					 
					</item>

				

					<item>
					  <title>Marasta kumkumbuka mfalme wao</title>
					  <link>http://www.habaritanzania.com/articles/1628/1/Marasta-kumkumbuka-mfalme-wao</link>
					  <description>CHAMA cha Marasta Tanzania (TARAMO) kimeandaa maadhimisho ya miaka 76 ya kutawazwa kwa mfalme wao, Haile Selassie</description>
					  <author>info@habaritanzania.com (Habari Tanzania)</author>
					  <pubDate>Wed, 01 Nov 2006 00:00:00 +0300</pubDate>
					 
					</item>

				

					<item>
					  <title>Daladala yaua mwanafunzi Dar</title>
					  <link>http://www.habaritanzania.com/articles/1615/1/Daladala-yaua-mwanafunzi-Dar</link>
					  <description>Msuguano mkali kati ya wanafunzi wa Shule za Msingi na Sekondari Jijini Dar, umechukua sura mpya baada ya basi moja la daladala kusababisha umauti kwa mwanafunzi wa kidato cha kwanza katika Shule ya Sekondari Azania Jijini aitwaye James David, 16. </description>
					  <author>info@habaritanzania.com (Habari Tanzania)</author>
					  <pubDate>Tue, 31 Oct 2006 00:00:00 +0300</pubDate>
					 
					</item>

				

					<item>
					  <title>SHIRIKA LA TCRS LATOA MISAADA KUPAMBANA NA UKIMWI</title>
					  <link>http://www.habaritanzania.com/articles/1604/1/SHIRIKA-LA-TCRS-LATOA-MISAADA-KUPAMBANA-NA-UKIMWI</link>
					  <description>Shirika la TCRS wilayani Kibondo limetoa zana za uzalishaji mali zenye thamani ya shilingi milioni kumi na tatu na laki nane kwa vikundi vya uzalishaji na mapambano dhidi ya virusi vya ukimwi.</description>
					  <author>pkwigize@yahoo.com (Prosper Kwigize)</author>
					  <pubDate>Mon, 30 Oct 2006 00:00:00 +0300</pubDate>
					 
					</item>

				

					<item>
					  <title>Kituo kingine cha saratani kujengwa Mwanza</title>
					  <link>http://www.habaritanzania.com/articles/1577/1/Kituo-kingine-cha-saratani-kujengwa-Mwanza</link>
					  <description>SERIKALI imepanga kuanzisha kituo kingine cha kutibu maradhi ya saratani (kansa) ambacho kitakuwa mkoani Mwanza ulioko kanda ya Ziwa Victoria.</description>
					  <author>info@habaritanzania.com (Habari Tanzania)</author>
					  <pubDate>Sun, 29 Oct 2006 00:00:00 +0300</pubDate>
					 
					</item>

				

					<item>
					  <title>Atapeli kwa kuvaa kama padre</title>
					  <link>http://www.habaritanzania.com/articles/1553/1/Atapeli-kwa-kuvaa-kama-padre</link>
					  <description>POLISI inawashikilia watu wawili kwa tuhuma za utapeli, mmoja akitenda kosa hilo akiwa amevalia kama padre.</description>
					  <author>pkwigize@yahoo.com (Prosper Kwigize)</author>
					  <pubDate>Fri, 27 Oct 2006 00:00:00 +0300</pubDate>
					 
					</item>

				

					<item>
					  <title>Waaswa kuendeleza mema ya Ramadhani</title>
					  <link>http://www.habaritanzania.com/articles/1552/1/Waaswa-kuendeleza-mema-ya-Ramadhani</link>
					  <description>MEYA wa Halmashauri ya Jiji la Mbeya, Athnas Kapunga, amewashauri Waislamu kuendeleza mafunzo waliyoyapata katika Mfungo wa Mwezi Mtukufu wa Ramadhani, ambayo yamejaa maadili mema.</description>
					  <author>info@habaritanzania.com (Habari Tanzania)</author>
					  <pubDate>Fri, 27 Oct 2006 00:00:00 +0300</pubDate>
					 
					</item>

				

					<item>
					  <title>Marmo: Eneo la Wahadzabe halijauzwa</title>
					  <link>http://www.habaritanzania.com/articles/1550/1/Marmo%3A-Eneo-la-Wahadzabe-halijauzwa</link>
					  <description>WAZIRI wa Nchi, Ofisi ya Rais, Utawala Bora, Philip Marmo, amesema eneo la jamii ya Wahadzabe la Yaeda Chini, wilayani Mbulu, halijauzwa bali limepata mwekezaji wa kuliendeleza.</description>
					  <author>info@habaritanzania.com (Habari Tanzania)</author>
					  <pubDate>Fri, 27 Oct 2006 00:00:00 +0300</pubDate>
					 
					</item>

				

					<item>
					  <title>Amchinja mkewe kwa kuchukua sh. 500</title>
					  <link>http://www.habaritanzania.com/articles/1545/1/Amchinja-mkewe-kwa-kuchukua-sh.-500</link>
					  <description>MUME amemuua mkewe kwa kumchinja akimtuhumu kwamba alichukua sh. 500 za kanisa kwenda kulipia gharama za kusagisha mahindi mkoani Morogoro.</description>
					  <author>info@habaritanzania.com (Habari Tanzania)</author>
					  <pubDate>Fri, 27 Oct 2006 00:00:00 +0300</pubDate>
					 
					</item>

				

					<item>
					  <title>Polisi yawaonya wakorofi Tanga</title>
					  <link>http://www.habaritanzania.com/articles/1530/1/Polisi-yawaonya-wakorofi-Tanga</link>
					  <description>WAKAZI wa mjini Tanga wametakiwa kusheherekea sikukuu ya Eid el Fitr kwa amani kwa kuacha kufanya starehe za kupita kiasi ambazo husababisha kuvunjika kwa amani.</description>
					  <author>info@habaritanzania.com (Habari Tanzania)</author>
					  <pubDate>Thu, 26 Oct 2006 00:00:00 +0300</pubDate>
					 
					</item>

				

					<item>
					  <title>Hospitali kufunguliwa Kigamboni</title>
					  <link>http://www.habaritanzania.com/articles/1529/1/Hospitali-kufunguliwa-Kigamboni</link>
					  <description>MANISPAA ya Temeke, inatarajia kufungua hospitali mpya iliyopo Vijibweni-Kigamboni itakayokuwa na uwezo wa kuhudumia wagonjwa laki moja.</description>
					  <author>info@habaritanzania.com (Habari Tanzania)</author>
					  <pubDate>Thu, 26 Oct 2006 00:00:00 +0300</pubDate>
					 
					</item>

				

					<item>
					  <title>SHULE YAKABIRIWA NA TATIZO LA UHABA WA MAJI</title>
					  <link>http://www.habaritanzania.com/articles/1522/1/SHULE-YAKABIRIWA-NA-TATIZO-LA-UHABA-WA-MAJI</link>
					  <description>Shule ya msingi Kasebuzi wilayani Kibondo mkoani Kigoma inakabiliwa na tatizo kubwa la ukosefu wa maji kwa ajili ya matumizi ya kuwapikia wanafunzi na huduma nyiongine za kiafya.</description>
					  <author>pkwigize@yahoo.com (Prosper Kwigize)</author>
					  <pubDate>Wed, 25 Oct 2006 00:00:00 +0300</pubDate>
					 
					</item>

				

					<item>
					  <title>'Wauguzi hutumia mifuko ya rambo'</title>
					  <link>http://www.habaritanzania.com/articles/1519/1/%91Wauguzi-hutumia-mifuko-ya-rambo%92</link>
					  <description>UHABA wa vitendea kazi katika Kituo cha Afya cha Mburahati, Wilaya ya Kinondoni, umewafanya wauguzi wa kituo hicho kuvaa mifuko ya plastiki (rambo) kama 'gloves'.</description>
					  <author>info@habaritanzania.com (Habari Tanzania)</author>
					  <pubDate>Wed, 25 Oct 2006 00:00:00 +0300</pubDate>
					 
					</item>

				

					<item>
					  <title>Baraza la Idd Dar kufanyika M'Mmoja</title>
					  <link>http://www.habaritanzania.com/articles/1499/1/Baraza-la-Idd-Dar-kufanyika-M%92Mmoja</link>
					  <description>BARAZA la Idd el Fitr, Mkoa wa Dar es Salaam, linatarajiwa kufanyika leo saa 9 alasiri katika viwanja vya Mnazi Mmoja, Dar es Salaam.</description>
					  <author>info@habaritanzania.com (Habari Tanzania)</author>
					  <pubDate>Tue, 24 Oct 2006 00:00:00 +0300</pubDate>
					 
					</item>

				

					<item>
					  <title>Serikali kupambana na mila zinazochangia UKIMWI</title>
					  <link>http://www.habaritanzania.com/articles/1478/1/Serikali-kupambana-na-mila-zinazochangia-UKIMWI</link>
					  <description>SERIKALI imesema kuwa itapambana kwa gharama yoyote na mila na tamaduni potofu zinazochangia kuenea kwa ugonjwa wa UKIMWI.</description>
					  <author>info@habaritanzania.com (Habari Tanzania)</author>
					  <pubDate>Mon, 23 Oct 2006 00:00:00 +0300</pubDate>
					 
					</item>

				

					<item>
					  <title>Shein ataka Waislamu kuzingatia mafunzo</title>
					  <link>http://www.habaritanzania.com/articles/1476/1/Shein-ataka-Waislamu-kuzingatia-mafunzo</link>
					  <description>MAKAMU wa Rais, Dk. Ali Mohamed Shein, amewataka waumini wa dini ya Kiislamu nchini kuzingatia mafunzo yaliyokuwa yanatolewa kwa njia ya mawaidha wakati wa mwezi mtukufu wa Ramadhani, ili waendelee kuwa raia wema na kuimarisha dini yao.</description>
					  <author>info@habaritanzania.com (Habari Tanzania)</author>
					  <pubDate>Mon, 23 Oct 2006 00:00:00 +0300</pubDate>
					 
					</item>

				

					<item>
					  <title>Manispaa Ilala yaliza yatima</title>
					  <link>http://www.habaritanzania.com/articles/1425/1/Manispaa-Ilala-yaliza-yatima</link>
					  <description>KUNDI la watoto 30, wakiwamo yatima wa Kituo cha Mao Education Center cha Banana, Kipunguni ' A', Wilaya ya Ilala, Dar es Salaam, wamemlalamikia ofisa elimu wa manispaa hiyo kwa kutoa amri ya kukifunga kituo hicho.</description>
					  <author>info@habaritanzania.com (Habari Tanzania)</author>
					  <pubDate>Fri, 20 Oct 2006 00:00:00 +0300</pubDate>
					 
					</item>

				

					<item>
					  <title>Unapokuwa maskini mpaka ubongoni</title>
					  <link>http://www.habaritanzania.com/articles/1418/1/Unapokuwa-maskini-mpaka-ubongoni</link>
					  <description>Hatimae Madonna amempata mtoto David Banda.NA na anasema kumpata tena mtoto huyo mwafrika ni labda awe amekufa!.Mimi siungi mkono hata kidogo kitendo hicho na nasikitika sana.</description>
					  <author>kagungarichard@yahoo.co.uk (Kagunga Richard)</author>
					  <pubDate>Thu, 19 Oct 2006 00:00:00 +0300</pubDate>
					 
					</item>

				

					<item>
					  <title>HakiElimu yapitia ripoti ya ukaguzi hesabu</title>
					  <link>http://www.habaritanzania.com/articles/1398/1/HakiElimu-yapitia-ripoti-ya-ukaguzi-hesabu</link>
					  <description>HAKIELIMU jana ilipitia ripoti ya ukaguzi wa hesabu ya fedha iliyofanyika hivi karibuni na Mkaguzi Mkuu wa hesabu za Serikali katika kipindi cha miaka mitatu.</description>
					  <author>info@habaritanzania.com (Habari Tanzania)</author>
					  <pubDate>Wed, 18 Oct 2006 00:00:00 +0300</pubDate>
					 
					</item>

				

					<item>
					  <title>Moto wateketeza mali SAUT</title>
					  <link>http://www.habaritanzania.com/articles/1387/1/Moto-wateketeza-mali-SAUT</link>
					  <description>MOTO mkubwa uliozuka muda mfupi baada ya umeme kurejea katika Chuo Kikuu cha Mtakatifu Augustine (SAUT) jijini Mwanza, umeteketeza vyumba 19 vya mabweni na mali nyingi za wanafunzi.</description>
					  <author>info@habaritanzania.com (Habari Tanzania)</author>
					  <pubDate>Wed, 18 Oct 2006 00:00:00 +0300</pubDate>
					 
					</item>

				

					<item>
					  <title>Tunakabiliana na wavuta bangi, tunawaacha wabwia unga</title>
					  <link>http://www.habaritanzania.com/articles/1375/1/Tunakabiliana-na-wavuta-bangi%2C-tunawaacha-wabwia-unga</link>
					  <description>RAIS wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Jakaya Kikwete, hivi karibuni alilihutubia taifa kupitia mazungumzo na wazee wa Mkoa wa Mwanza,</description>
					  <author>info@habaritanzania.com (Habari Tanzania)</author>
					  <pubDate>Tue, 17 Oct 2006 00:00:00 +0300</pubDate>
					 
					</item>

				

					<item>
					  <title>Wanawake walemavu hupata shida katika mikopo</title>
					  <link>http://www.habaritanzania.com/articles/1371/1/Wanawake-walemavu-hupata-shida-katika-mikopo</link>
					  <description>UTAFITI unaonyesha kuwa wanawake wajasiriamali wengi, wakiwamo walemavu na watu wanaoishi na virusi vya UKIMWI, hupata shida katika suala la mikopo kutoka asasi mbalimbali.</description>
					  <author>info@habaritanzania.com (Habari Tanzania)</author>
					  <pubDate>Tue, 17 Oct 2006 00:00:00 +0300</pubDate>
					 
					</item>

				

					<item>
					  <title>Washindi wa kuhifadhi Quran wazawadiwa</title>
					  <link>http://www.habaritanzania.com/articles/1370/1/Washindi-wa-kuhifadhi-Quran-wazawadiwa</link>
					  <description>MKE wa Rais, Mama Salma Kikwete, juzi alikabidhi zawadi kwa watoto walioshinda kwenye shindano la kuhifadhi Quran takatifu.</description>
					  <author>info@habaritanzania.com (Habari Tanzania)</author>
					  <pubDate>Tue, 17 Oct 2006 00:00:00 +0300</pubDate>
					 
					</item>

				

					<item>
					  <title>WAHAMIAJI HARAMU WATAKIWA KUONDOKA KWA HIARI</title>
					  <link>http://www.habaritanzania.com/articles/1363/1/WAHAMIAJI-HARAMU-WATAKIWA-KUONDOKA-KWA-HIARI</link>
					  <description>Serikali wilayani Kibondo imetoa agizo kwa wahamiaji haramu wote waishio wilayani humo kujisalimisha kwa vyombo vya dora au kujiondoa wenyewe kabla nguvu ya dola kutumika katika kuwaska na kuwachukulia hatua. </description>
					  <author>pkwigize@yahoo.com (Prosper Kwigize)</author>
					  <pubDate>Tue, 17 Oct 2006 00:00:00 +0300</pubDate>
					 
					</item>

				

					<item>
					  <title>Miaka saba ya kifo cha Mwalimu, Afrika bado inalia</title>
					  <link>http://www.habaritanzania.com/articles/1326/1/Miaka-saba-ya-kifo-cha-Mwalimu%2C-Afrika-bado-inalia</link>
					  <description>MWALIMU Julius Kambarage Nyerere, leo ametimiza miaka saba tangu alipofariki dunia Oktoba 14, 1999, London Uingereza, huku wazalendo wa Bara la Afrika wakiwa bado na jinamizi linalowasumabua, la kuandamwa na kivuli chake.</description>
					  <author>info@habaritanzania.com (Habari Tanzania)</author>
					  <pubDate>Sat, 14 Oct 2006 00:00:00 +0300</pubDate>
					 
					</item>

				

					<item>
					  <title>Filamu ya utumwa yapunguza mauzo ya tanzanite</title>
					  <link>http://www.habaritanzania.com/articles/1313/1/Filamu-ya-utumwa-yapunguza-mauzo-ya-tanzanite</link>
					  <description>FILAMU inayohusu utumikishwaji wa watoto katika migodi ya madini ya tanzanite yanayochimbwa Mererani wilayani Simanjiro, Manyara, iliyotengenezwa na kuonyeshwa kwa wadau wa haki za watoto nchi mbalimbali, imeanza kuleta madhara katika soko la madini hayo duniani.</description>
					  <author>info@habaritanzania.com (Habari Tanzania)</author>
					  <pubDate>Fri, 13 Oct 2006 00:00:00 +0300</pubDate>
					 
					</item>

				

					<item>
					  <title>Dk Kamala: Kuwaondoa wakimbizi kazi ngumu</title>
					  <link>http://www.habaritanzania.com/articles/1293/1/Dk-Kamala%3A-Kuwaondoa-wakimbizi-kazi-ngumu</link>
					  <description>NAIBU Waziri wa Ushirikiano wa Afrika Mashariki, Dk. Deodorus Kamala, amesema zoezi la kuwaondoa wakimbizi nchini ni gumu kwani linahitaji ushirikiano baina ya viongozi.</description>
					  <author>info@habaritanzania.com (Habari Tanzania)</author>
					  <pubDate>Thu, 12 Oct 2006 00:00:00 +0300</pubDate>
					 
					</item>

				

					<item>
					  <title>Wamiliki shule mbovu waonywa</title>
					  <link>http://www.habaritanzania.com/articles/1279/1/Wamiliki-shule-mbovu-waonywa</link>
					  <description>SERIKALI imesema itawachukulia hatua kali, wamiliki wa shule watakaobainika kuendesha shule hizo huku majengo yake yakiwa yanahatarisha usalama wa wanafunzi.</description>
					  <author>info@habaritanzania.com (Habari Tanzania)</author>
					  <pubDate>Wed, 11 Oct 2006 00:00:00 +0300</pubDate>
					 
					</item>

				

					<item>
					  <title>Mbunge achangia ujenzi wa sekondari</title>
					  <link>http://www.habaritanzania.com/articles/1258/1/Mbunge-achangia-ujenzi-wa-sekondari</link>
					  <description>MBUNGE wa Muheza, Hebert Mtangi, ameahidi kutoa mifuko 50 ya saruji kwa ajili ya kuchangia ujenzi wa shule ya sekondari ambayo inatarajiwa kujengwa katika Kijiji cha Mwembeni, Kata ya Magoroto wilayani hapa.</description>
					  <author>info@habaritanzania.com (Habari Tanzania)</author>
					  <pubDate>Mon, 09 Oct 2006 00:00:00 +0300</pubDate>
					 
					</item>

				

					<item>
					  <title>Tunafaidi joto la kukumbatiwa; Tanzania inafaidi nini?</title>
					  <link>http://www.habaritanzania.com/articles/1250/1/Tunafaidi-joto-la-kukumbatiwa%3B-Tanzania-inafaidi-nini%3F</link>
					  <description>NAANDIKA kumpa pole Rais Jakaya Kikwete kwa yaliyompata kutoka gazeti la Kenya wiki inayomalizika leo.</description>
					  <author>info@habaritanzania.com (Habari Tanzania)</author>
					  <pubDate>Sun, 08 Oct 2006 00:00:00 +0300</pubDate>
					 
					</item>

				

					<item>
					  <title>MAPINDUZI YA FIKRA KWA BINADAMU YATANUSURU MAZINGIRA TANZANIA</title>
					  <link>http://www.habaritanzania.com/articles/1238/1/MAPINDUZI-YA-FIKRA-KWA-BINADAMU-YATANUSURU-MAZINGIRA-TANZANIA</link>
					  <description>Mwaka 2004 mwezi November kwa kauli moja Bunge la jamhuri ya muunganop wa Tanzania lilipitisha sheria ya mazingira kwa lengo la kuyanusuru mazingira pamoja na kupunguza uwezekano wa Tanzania kuendelea kupata majanga yanayotokana na uharibifu wa mazingira</description>
					  <author>pkwigize@yahoo.com (Prosper Kwigize)</author>
					  <pubDate>Sat, 07 Oct 2006 00:00:00 +0300</pubDate>
					 
					</item>

				

					<item>
					  <title>Mapigano haya yasitishwe</title>
					  <link>http://www.habaritanzania.com/articles/1224/1/Mapigano-haya-yasitishwe</link>
					  <description>LEO zimeripotiwa habari za kuuawa kwa watu watano wilayani Chunya, Mbeya, kutokana na chuki zilizojengeka kati ya wakulima na wafugaji.</description>
					  <author>info@habaritanzania.com (Habari Tanzania)</author>
					  <pubDate>Fri, 06 Oct 2006 00:00:00 +0300</pubDate>
					 
					</item>

				

					<item>
					  <title>Wasagaji na Mashoga samahanini</title>
					  <link>http://www.habaritanzania.com/articles/1212/1/Wasagaji-na-Mashoga-samahanini</link>
					  <description>Naomba kuwauliza nini kinawafanya mnakiuka amri za mwenyezi mungu mpendwa kwa kufanya matendo kinyume na maumbile</description>
					  <author>washawashaupupu@yahoo.com (Marshy Abdu)</author>
					  <pubDate>Thu, 05 Oct 2006 00:00:00 +0300</pubDate>
					 
					</item>

				

					<item>
					  <title>Wachuna ngozi wahukumiwa kunyongwa</title>
					  <link>http://www.habaritanzania.com/articles/1208/1/Wachuna-ngozi-wahukumiwa-kunyongwa</link>
					  <description>MAHAKAMA Kuu Kanda ya Mbeya, imewahukumu kunyongwa hadi kufa wakazi wawili wa Wilaya ya Mbozi, baada ya kupatikana na hatia ya kuua na kumchuna ngozi, Loti Nzowa (22), mwaka 2001.</description>
					  <author>info@habaritanzania.com (Habari Tanzania)</author>
					  <pubDate>Thu, 05 Oct 2006 00:00:00 +0300</pubDate>
					 
					</item>

				

					<item>
					  <title>Sakata la Darwin's Nightmare, Acheni Unafiki, Muwe Wakweli</title>
					  <link>http://www.habaritanzania.com/articles/1201/1/Sakata-la-Darwin%92s-Nightmare%2C-Acheni-Unafiki%2C-Muwe-Wakweli</link>
					  <description>Kauli kwamba sangara wa Ziwa Victoria huuzwa Ulaya na kuacha mifupa, kwa  kuwa siyo chaguo la kwanza la wakazi wa eneo hilo, ni uongo mtupu, upuuzi na  unafiki uliopea.</description>
					  <author>omybabu@yahoo.com (Salehe Mmoro)</author>
					  <pubDate>Wed, 04 Oct 2006 00:00:00 +0300</pubDate>
					 
					</item>

				

					<item>
					  <title>WATUMISHI WA HALMASHAURI YA KIBONDO KUKIONA CHA MOTO</title>
					  <link>http://www.habaritanzania.com/articles/1196/1/WATUMISHI-WA-HALMASHAURI-YA-KIBONDO-KUKIONA-CHA-MOTO</link>
					  <description>Halmashauri ya wilaya ya Kibondo mkoani Kigoma inatarajia kuwachululia hatua za kinidhamu watumishi wake wanaoshindwa kuwahudumia watoto wao walioko katika shule za sekondari.</description>
					  <author>pkwigize@yahoo.com (Prosper Kwigize)</author>
					  <pubDate>Wed, 04 Oct 2006 00:00:00 +0300</pubDate>
					 
					</item>

				

					<item>
					  <title>VIONGOZI MIKOANI FUNGUENI MILANGO KWA VYOMBO VYA HABARI</title>
					  <link>http://www.habaritanzania.com/articles/1183/1/VIONGOZI-MIKOANI-FUNGUENI-MILANGO-KWA-VYOMBO-VYA-HABARI</link>
					  <description>Wakati wananchi wengi vijijini wako nyuma ya pazia la utawala wao, na wengi wao wakilalamikia tabia ya viongozi kutowapa taarifa za mapato na matumizi ya pesa za umma viongozi wa wilaya na mikoa wako kimya na wamefunga milango ili wasionwe na vyombo vya habari, je kwa tabia hii tutafika?</description>
					  <author>pkwigize@yahoo.com (Prosper Kwigize)</author>
					  <pubDate>Tue, 03 Oct 2006 00:00:00 +0300</pubDate>
					 
					</item>

				

					<item>
					  <title>Mtoto kizimbani kwa kuua</title>
					  <link>http://www.habaritanzania.com/articles/1180/1/Mtoto-kizimbani-kwa-kuua</link>
					  <description>MWANAFUNZI wa darasa la pili katika Shule ya Msingi ya Kintandaa, katika Halmashauri ya Wilaya ya Singida, Selemani Hassan (11), amepandishwa kizimbani akikabiliwa na tuhuma za kumuua Ahmed Juma (17).</description>
					  <author>info@habaritanzania.com (Habari Tanzania)</author>
					  <pubDate>Tue, 03 Oct 2006 00:00:00 +0300</pubDate>
					 
					</item>

				

					<item>
					  <title>Kikwete sasa kuzungumza 'live' na wahariri</title>
					  <link>http://www.habaritanzania.com/articles/1165/1/Kikwete-sasa-kuzungumza-%91live%92-na-wahariri</link>
					  <description>RAIS Jakaya Kikwete, keshokutwa anatarajiwa kuzungumza na wananchi kupitia mkutano wake na wahariri kutoka vyombo mbalimbali vya habari nchini utakaofanyika Ikulu jijini Dar es Salaam.</description>
					  <author>info@habaritanzania.com (Habari Tanzania)</author>
					  <pubDate>Sun, 01 Oct 2006 00:00:00 +0300</pubDate>
					 
					</item>

				

					<item>
					  <title>FAO yatoa vifaa, dawa vya Sh500m kukinga mafua ya ndege</title>
					  <link>http://www.habaritanzania.com/articles/1157/1/FAO-yatoa-vifaa%2C-dawa-vya-Sh500m-kukinga-mafua-ya-ndege</link>
					  <description>SHIRIKA la Umoja wa Mataifa la Chakula na Kilimo (FAO) limetoa msaada wa vifaa na dawa kwa ajili ya kujikinga na mafua ya ndege kwa Wizara ya Maendeleo ya Mifugo.</description>
					  <author>info@habaritanzania.com (Habari Tanzania)</author>
					  <pubDate>Sat, 30 Sep 2006 00:00:00 +0300</pubDate>
					 
					</item>

				

					<item>
					  <title>Wenye VVU wapigiwa debe serikalini</title>
					  <link>http://www.habaritanzania.com/articles/1149/1/Wenye-VVU-wapigiwa-debe-serikalini</link>
					  <description>Imeelezwa kuwa kiasi cha fedha kilichotengwa na serikali katika bajeti yake kwa ajili ya kupambana na Virusi Vya Ukimwi, VVU na Ukimwi ni ndogo na haitoshelezi mahitaji. </description>
					  <author>info@habaritanzania.com (Habari Tanzania)</author>
					  <pubDate>Fri, 29 Sep 2006 00:00:00 +0300</pubDate>
					 
					</item>

				

					<item>
					  <title>Mwingine ajali ya Champion afariki dunia</title>
					  <link>http://www.habaritanzania.com/articles/1148/1/Mwingine-ajali-ya-Champion-afariki-dunia</link>
					  <description>Idadi ya abiria waliofariki katika ajali mbaya ya basi la Champion liliyotokea juzi pale Bamba Darajani wilayani Kibaha imeongezeka na kufikia 17 baada ya majeruhi aliyetambuliwa kwa jina la Christina Kilato kufariki dunia jana usiku. </description>
					  <author>info@habaritanzania.com (Habari Tanzania)</author>
					  <pubDate>Fri, 29 Sep 2006 00:00:00 +0300</pubDate>
					 
					</item>

				

					<item>
					  <title>Azimia saa 48</title>
					  <link>http://www.habaritanzania.com/articles/1147/1/Azimia-saa-48</link>
					  <description>Ni zaidi ya saa 48 sasa tangu kijana mmoja ambaye jina lake bado halijafahamika, mkazi wa Manzese Jijini Dar es Salaam, amepozama kwenye usingizi mzito ulisababishwa na kibano cha wananchi wenye hasira. </description>
					  <author>info@habaritanzania.com (Habari Tanzania)</author>
					  <pubDate>Fri, 29 Sep 2006 00:00:00 +0300</pubDate>
					 
					</item>

				

					<item>
					  <title>Kesi ya Zombe:Kitimtim chaanza</title>
					  <link>http://www.habaritanzania.com/articles/1146/1/Kesi-ya-Zombe%3AKitimtim-chaanza</link>
					  <description>Kitimtim kilichokuwa kikisubiriwa kwa hamu na watu wanaofuatilia kwa undani kesi ya mauaji inayomkabili Abdallah Zombe na wenzake, kilianza jana katika Mahakama Kuu ya Tanzania. </description>
					  <author>info@habaritanzania.com (Habari Tanzania)</author>
					  <pubDate>Fri, 29 Sep 2006 00:00:00 +0300</pubDate>
					 
					</item>

				

					<item>
					  <title>Kesi ya Chang'ombe Village yanguruma</title>
					  <link>http://www.habaritanzania.com/articles/1140/1/Kesi-ya-Chang%92ombe-Village-yanguruma</link>
					  <description>WASHITAKIWA watano wanaokabiliwa na kosa la kuua bila kukusudia, jana walisomewa mashitaka yao kwa mara ya kwanza katika Mahakama Kuu ya Tanzania.</description>
					  <author>info@habaritanzania.com (Habari Tanzania)</author>
					  <pubDate>Thu, 28 Sep 2006 00:00:00 +0300</pubDate>
					 
					</item>

				

					<item>
					  <title>Serikali kuruhusu kuku kutoka nje</title>
					  <link>http://www.habaritanzania.com/articles/1136/1/Serikali-kuruhusu-kuku-kutoka-nje</link>
					  <description>BAADA ya miezi mitano ya serikali kuzuia uingizwaji nchini wa mazao ya kuku kutokana na tishio la ugonjwa wa mafua ya ndege, sasa imetangaza kufungua mipaka hiyo kwa ajili ya kuingiza kuku kutoka nje ya nchi ifikapo mwishoni mwa mwezi huu.</description>
					  <author>info@habaritanzania.com (Habari Tanzania)</author>
					  <pubDate>Thu, 28 Sep 2006 00:00:00 +0300</pubDate>
					 
					</item>

				

					<item>
					  <title>Mwanamke, Mfanyabiashara wadaiwa kuwafanyia watoto unyama wa kutisha</title>
					  <link>http://www.habaritanzania.com/articles/1127/1/Mwanamke%2C-Mfanyabiashara-wadaiwa-kuwafanyia-watoto-unyama-wa-kutisha</link>
					  <description>JESHI la Polisi wilayani Geita mkoani Mwanza, linamshikilia mwanamke mmoja mkazi wa mjini hapa, kwa tuhuma za kumjeruhi mtoto mdogo mwenye umri wa miaka 10 kwa kummwagia mafuta ya taa kisha kumtia kiberiti kwa tuhuma za kuiba sh. 500. </description>
					  <author>info@habaritanzania.com (Habari Tanzania)</author>
					  <pubDate>Wed, 27 Sep 2006 00:00:00 +0300</pubDate>
					 
					</item>

				

					<item>
					  <title>Wafanyabiashara Z'bar wapuuza agizo la Rais Karume</title>
					  <link>http://www.habaritanzania.com/articles/1115/1/Wafanyabiashara-Z%92bar-wapuuza-agizo-la-Rais-Karume</link>
					  <description>BAADHI ya wafanyabiashara mjini Zanzibar wamekaidi agizo la Rais wa Zanzibar, Amani Abeid Karume, la kuwataka wasipandishe bei za bidhaa za futari katika kipindi hiki cha mfungo wa mwezi wa Ramadhani.</description>
					  <author>info@habaritanzania.com (Habari Tanzania)</author>
					  <pubDate>Tue, 26 Sep 2006 00:00:00 +0300</pubDate>
					 
					</item>

				

					<item>
					  <title>Wafe wangapi ili sheria irekebishwe?</title>
					  <link>http://www.habaritanzania.com/articles/1114/1/Wafe-wangapi-ili-sheria-irekebishwe%3F</link>
					  <description>ABIRIA 16 wamekufa katika ajali ya basi la Champion iliyotokea mkoani Pwani.</description>
					  <author>info@habaritanzania.com (Habari Tanzania)</author>
					  <pubDate>Tue, 26 Sep 2006 00:00:00 +0300</pubDate>
					 
					</item>

				

					<item>
					  <title>Vibaka wajijengea 'jamhuri' Feri</title>
					  <link>http://www.habaritanzania.com/articles/1113/1/Vibaka-wajijengea-%91jamhuri%92-Feri</link>
					  <description>SOKO la samaki la Feri lililopo jijini Dar es Salaam, liko hatarini kukimbiwa na watalii na wananchi wa kawaida, kutokana na kukithiri kwa vitendo vya uhalifu.</description>
					  <author>info@habaritanzania.com (Habari Tanzania)</author>
					  <pubDate>Tue, 26 Sep 2006 00:00:00 +0300</pubDate>
					 
					</item>

				

					<item>
					  <title>Watu 3,648 hawajui kusoma, kuandika Arusha</title>
					  <link>http://www.habaritanzania.com/articles/1086/1/Watu-3%2C648-hawajui-kusoma%2C-kuandika-Arusha</link>
					  <description>MKUU wa Wilaya ya Arusha, Evance Balama amesema wilaya hiyo ina watu 3,648 wasiojua kusoma, kuandika na kuhesabu na kutaka juhudi ziongezwe ili kuwasaidia waelimike.</description>
					  <author>info@habaritanzania.com (Habari Tanzania)</author>
					  <pubDate>Sun, 24 Sep 2006 00:00:00 +0300</pubDate>
					 
					</item>

				

					<item>
					  <title>Sheria hizi zibadilishwe sasa</title>
					  <link>http://www.habaritanzania.com/articles/1077/1/Sheria-hizi-zibadilishwe-sasa</link>
					  <description>WAJUMBE wa Mkutano Mkuu wa Mwaka wa Baraza la Usalama Barabarani, wamependekeza yawepo mabadiliko katika sheria za usalama barabarani.</description>
					  <author>info@habaritanzania.com (Habari Tanzania)</author>
					  <pubDate>Sat, 23 Sep 2006 00:00:00 +0300</pubDate>
					 
					</item>

				

					<item>
					  <title>&#39;Mgawo wa umeme ni matokeo ya kupuuza wataalam&#39;</title>
					  <link>http://www.habaritanzania.com/articles/1067/1/%26%2339%3BMgawo-wa-umeme-ni-matokeo-ya-kupuuza-wataalam%26%2339%3B</link>
					  <description>KUUPUZWA kwa ushauri wa watalaam wa nishati kuhusu kubadilika kutoka katika kutegemezi wa umeme kwa kutumia maji na kutumia njia mbadala ndiyo sababu inayoitumbiliza Tanzania katika janga la mgawo wa nishati hiyo, imefahamika.</description>
					  <author>info@habaritanzania.com (Habari Tanzania)</author>
					  <pubDate>Fri, 22 Sep 2006 00:00:00 +0300</pubDate>
					 
					</item>

				

					<item>
					  <title>Mahakama ya Rufani kuhamia Forodhani</title>
					  <link>http://www.habaritanzania.com/articles/1066/1/Mahakama-ya-Rufani-kuhamia-Forodhani</link>
					  <description>MAHAKAMA ya Rufani ya Tanzania itahama kutoka jengo la Mahakama Kuu, kwenda katika jengo lililokuwa Hoteli ya Forodhani, lililopo barabara ya Kivukoni, jijini Dar es Salaam kuanzia Jumatatu wiki ijayo.</description>
					  <author>info@habaritanzania.com (Habari Tanzania)</author>
					  <pubDate>Fri, 22 Sep 2006 00:00:00 +0300</pubDate>
					 
					</item>

				

					<item>
					  <title>George Lubeleje anusurika kifo</title>
					  <link>http://www.habaritanzania.com/articles/1024/1/George-Lubeleje-anusurika-kifo</link>
					  <description>MBUNGE wa Mpwapwa, George Malima Lubeleje, juzi alfajiri alinusurika kuungua kwa moto baada ya nyumba yake kuteketea kabisa.</description>
					  <author>info@habaritanzania.com (Habari Tanzania)</author>
					  <pubDate>Mon, 18 Sep 2006 00:00:00 +0300</pubDate>
					 
					</item>

				

					<item>
					  <title>Jitokezeni kusaidia watoto wanaougua moyo - Salma Kikwete</title>
					  <link>http://www.habaritanzania.com/articles/1008/1/Jitokezeni-kusaidia-watoto-wanaougua-moyo---Salma-Kikwete</link>
					  <description>Mke wa Rais, Mama Salma Kikwete, ametoa wito kwa taasisi, mashirika na watu binafsi kujitokeza kusaidia watoto wanaougua maradhi ya moyo ili wakafanyiwe upasuaji. </description>
					  <author>info@habaritanzania.com (Habari Tanzania)</author>
					  <pubDate>Sun, 17 Sep 2006 00:00:00 +0300</pubDate>
					 
					</item>

				

					<item>
					  <title>Mramba awa kituko</title>
					  <link>http://www.habaritanzania.com/articles/982/1/Mramba-awa-kituko</link>
					  <description>WAZIRI wa Miundombinu, Basil Mramba amezua kizaazaa kwa wananchi wa Wilaya ya Kibondo, baada ya kuwaambia waishi kwa matumaini ili wajengewe barabara ya lami.</description>
					  <author>info@habaritanzania.com (Habari Tanzania)</author>
					  <pubDate>Fri, 15 Sep 2006 00:00:00 +0300</pubDate>
					 
					</item>

				

					<item>
					  <title>Salma Kikwete asiwapuuze wanaharakati</title>
					  <link>http://www.habaritanzania.com/articles/980/1/Salma-Kikwete-asiwapuuze-wanaharakati</link>
					  <description>JANA, vyombo vya habari vilikuwa na habari ya wanaharakati wa masuala ya jinsia kumshangaa na kumlaumu Salma Kikwete, ambaye ni mke wa Rais Jakaya Kikwete, kwa kuhudhuria sherehe ya kimila nchini Swazland ambayo hutumiwa na Mfalme Mswati III wa nchi hiyo kujichagulia mke mpya.</description>
					  <author>info@habaritanzania.com (Habari Tanzania)</author>
					  <pubDate>Thu, 14 Sep 2006 00:00:00 +0300</pubDate>
					 
					</item>

				

					<item>
					  <title>Kikwete kupewa tuzo kwa kujali wanawake</title>
					  <link>http://www.habaritanzania.com/articles/978/1/Kikwete-kupewa-tuzo-kwa-kujali-wanawake</link>
					  <description>RAIS Jakaya Kikwete ameteuliwa kupokea tuzo ya Chama cha Wanawake wa Afrika cha Women Advancement foe Economic and Leadership Empowerment inayotarajiwa kukabidhiwa mwishoni mwa Oktoba, mwaka huu, mjini Tripoli, Libya.</description>
					  <author>info@habaritanzania.com (Habari Tanzania)</author>
					  <pubDate>Thu, 14 Sep 2006 00:00:00 +0300</pubDate>
					 
					</item>

				

					<item>
					  <title>Watawala dhaifu wametufanya mateka wa giza</title>
					  <link>http://www.habaritanzania.com/articles/948/1/Watawala-dhaifu-wametufanya-mateka-wa-giza</link>
					  <description>NASIKITIKA kwamba Tanzania inakuwa nchi ya giza. Ndani ya nchi ya giza kuna taifa la giza. Katika taifa la giza kutakuwa na mateka wa giza</description>
					  <author>info@habaritanzania.com (Habari Tanzania)</author>
					  <pubDate>Sun, 10 Sep 2006 00:00:00 +0300</pubDate>
					 
					</item>

				

					<item>
					  <title>Ngasongwa, Celina wawe makini</title>
					  <link>http://www.habaritanzania.com/articles/938/1/Ngasongwa%2C-Celina-wawe-makini</link>
					  <description>MKUU wa Wilaya ya Ulanga, amesema mgogoro wa uchimbaji wa madini katika eneo la Ipanko, unahitaji kutafutiwa ufumbuzi wa haraka.</description>
					  <author>info@habaritanzania.com (Habari Tanzania)</author>
					  <pubDate>Sat, 09 Sep 2006 00:00:00 +0300</pubDate>
					 
					</item>

				

					<item>
					  <title>Tuwasaidie vijana kujiepusha na maambukizi ya UKIMWI</title>
					  <link>http://www.habaritanzania.com/articles/933/1/Tuwasaidie-vijana-kujiepusha-na-maambukizi-ya-UKIMWI</link>
					  <description>MIKAKATI ya mapambano dhidi ya maambukizi ya VVU/UKIMWI ni suala nyeti na la msingi sana katika maisha ya Watanzania na wanajamii kwa hivi sasa.</description>
					  <author>info@habaritanzania.com (Habari Tanzania)</author>
					  <pubDate>Fri, 08 Sep 2006 00:00:00 +0300</pubDate>
					 
					</item>

				

					<item>
					  <title>Dalali aliyeuza shule anusurika kifo</title>
					  <link>http://www.habaritanzania.com/articles/917/1/Dalali-aliyeuza-shule-anusurika-kifo</link>
					  <description>DALALI wa Mahakama ya Mkoa wa Shinyanga aliyeipiga mnada sekondari binafsi ya Rocken Hill ya mjini Kahama, amenusurika kifo baada ya kushambuliwa kwa kipigo na wanafunzi wa shule hiyo.</description>
					  <author>info@habaritanzania.com (Habari Tanzania)</author>
					  <pubDate>Wed, 06 Sep 2006 00:00:00 +0300</pubDate>
					 
					</item>

				

					<item>
					  <title>Mamilioni yaporwa katika kambi za wakimbizi Kibondo</title>
					  <link>http://www.habaritanzania.com/articles/912/1/Mamilioni-yaporwa-katika-kambi-za-wakimbizi-Kibondo</link>
					  <description>Watu wanaosadikika kuwa majambazi yakiwa na siraha yamevamia na kupora kiasi kikubwa cha fedha kutoka kwa wakimbizi katika mkambi ya wakimbizi ya Nduta na Kanembwa wilayani hapa. </description>
					  <author>pkwigize@yahoo.com (Prosper Kwigize)</author>
					  <pubDate>Tue, 05 Sep 2006 00:00:00 +0300</pubDate>
					 
					</item>

				

					<item>
					  <title>Mapanki yagharimu mil. 600/</title>
					  <link>http://www.habaritanzania.com/articles/903/1/Mapanki-yagharimu-mil.-600%7B47%7D</link>
					  <description>SAKATA la Filamu ya Mapanki iliyoandaliwa na Mfaransa, Hubert Sauper, limeingia hatua mpya, baada ya kubainika kwamba iligharimu zaidi ya sh milioni 557.</description>
					  <author>info@habaritanzania.com (Habari Tanzania)</author>
					  <pubDate>Tue, 05 Sep 2006 00:00:00 +0300</pubDate>
					 
					</item>

				

					<item>
					  <title>Cheyo awataka wenye viwanja wawe ngangari</title>
					  <link>http://www.habaritanzania.com/articles/898/1/Cheyo-awataka-wenye-viwanja-wawe-ngangari</link>
					  <description>MWENYEKITI wa Chama Cha United Democratic (UDP), John Cheyo, amewataka wananchi waliotangaziwa kunyang'anywa viwanja vyao na Waziri wa Ardhi na Makazi, John Magufuli, kutokubalina na uamuzi huo.</description>
					  <author>info@habaritanzania.com (Habari Tanzania)</author>
					  <pubDate>Mon, 04 Sep 2006 00:00:00 +0300</pubDate>
					 
					</item>

				

					<item>
					  <title>Hotuba Ya Mhe. Jakaya Mrisho Kikwete</title>
					  <link>http://www.habaritanzania.com/articles/879/1/Hotuba-Ya-Mhe.-Jakaya-Mrisho-Kikwete</link>
					  <description>HOTUBA YA MHE. JAKAYA MRISHO KIKWETE, RAIS WA JAMHURI YA MUUNGANO WA TANZANIA, KWA WANANCHI NA VIONGOZI WA MKOA WA DODOMA 31 AGOSTI, 2006</description>
					  <author>info@habaritanzania.com (Habari Tanzania)</author>
					  <pubDate>Sat, 02 Sep 2006 00:00:00 +0300</pubDate>
					 
					</item>

				

					<item>
					  <title>Upendo</title>
					  <link>http://www.habaritanzania.com/articles/878/1/Upendo</link>
					  <description>LEO kwa mara nyingine, tutazame juu ya jambo lililozoeleka mno kiasi kwamba linakosa maana. Lenyewe ni jambo la maana sana na muhimu, ambalo halina mbadala, lakini limezoeleka na linatasfiriwa visivyo.</description>
					  <author>info@habaritanzania.com (Habari Tanzania)</author>
					  <pubDate>Sat, 02 Sep 2006 00:00:00 +0300</pubDate>
					 
					</item>

				

					<item>
					  <title>Tuwasaidie vijana wasikate tamaa ya kuishi</title>
					  <link>http://www.habaritanzania.com/articles/863/1/Tuwasaidie-vijana-wasikate-tamaa-ya-kuishi</link>
					  <description>MWAKA huu tulifanya maadhimisho ya Siku ya Mtoto wa Afrika. Katika maadhimisho hayo ambayo yalifanyika ngazi ya mikoa, wilaya na kata, kulikuwa na maonyesho na mikutano mbalimbali iliyohusu masuala ya watoto.</description>
					  <author>info@habaritanzania.com (Habari Tanzania)</author>
