<?xml version="1.0" encoding="utf-8"?><?xml-stylesheet href="http://www.habaritanzania.com/templates/Default/RssDisplay.xslt" type="text/xsl"?>
		<rss version="2.0">
		  <channel>
				<title>Habari Tanzania - Articles - Ramadhan Semtawa</title>
				<link>http://www.habaritanzania.com</link>
				<description />
				<language>en-us</language>
				<copyright>http://www.habaritanzania.com</copyright>
				<generator>N/A</generator>
				<webMaster>info@habaritanzania.com</webMaster>
				<lastBuildDate>Sat, 22 Nov 2008 05:13:42 +0300</lastBuildDate>
				<ttl>20</ttl>

					<item>
					  <title>Serikali kuendesha tena vivuko vyake</title>
					  <link>http://www.habaritanzania.com/articles/3027/1/Serikali-kuendesha-tena-vivuko-vyake</link>
					  <description>HATIMAYE serikali imeamua kuchukua kazi ya uendeshaji vivuko vyake vya Mv Alina na Kigamboni, baada ya kampuni ya Imalaseko kubwaga manyanga.</description>
					  <author>info@habaritanzania.com (Habari Tanzania)</author>
					  <pubDate>Sun, 18 Feb 2007 00:00:00 +0300</pubDate>
					 
					</item>

				

					<item>
					  <title>Serikali bado yang&#39;ang&#39;ania kupinga mgombea binafsi</title>
					  <link>http://www.habaritanzania.com/articles/2997/1/Serikali-bado-yang%26%2339%3Bang%26%2339%3Bania-kupinga-mgombea-binafsi</link>
					  <description>MPANGO wa serikali kukata rufaa kupinga hukumu ya kesi ya kikatiba ya kuruhusu wagombea binafsi katika uchaguzi umeiva na sasa itawasilisha hati yake ya rufaa ndani ya siku 60 kuanzia mwezi huu.</description>
					  <author>info@habaritanzania.com (Habari Tanzania)</author>
					  <pubDate>Fri, 16 Feb 2007 00:00:00 +0300</pubDate>
					 
					</item>

				

					<item>
					  <title>Wakuu wa polisi kujadili uhalifu duniani</title>
					  <link>http://www.habaritanzania.com/articles/2897/1/Wakuu-wa-polisi-kujadili-uhalifu-duniani</link>
					  <description>POLISI nchini wameandaa mkutano mkubwa wa maafisa wakuu waandamizi kujadili changamoto za uhalifu duniani.</description>
					  <author>info@habaritanzania.com (Habari Tanzania)</author>
					  <pubDate>Sat, 10 Feb 2007 00:00:00 +0300</pubDate>
					 
					</item>

				

					<item>
					  <title>Makampuni ya kigeni yajitosa kukarabati kivuko</title>
					  <link>http://www.habaritanzania.com/articles/2868/1/Makampuni-ya-kigeni-yajitosa-kukarabati-kivuko</link>
					  <description>MAKAMPUNI matatu ya kigeni, yamejitosa kutaka kukifanyia matengeneza kivuko cha Mv Kigamboni ambacho kiko katika hali mbaya.</description>
					  <author>semtawa@yahoo.co.uk (Ramadhan Semtawa)</author>
					  <pubDate>Thu, 08 Feb 2007 00:00:00 +0300</pubDate>
					 
					</item>

				

					<item>
					  <title>Baharia wa meli iliyozama aibuka</title>
					  <link>http://www.habaritanzania.com/articles/2791/1/Baharia-wa-meli-iliyozama-aibuka</link>
					  <description>         WAKATI timu ya wachunguzi wakifuatilia meli ya Mv Mnazi Bay iliyopotea          katika Bahari ya Hindi tangu Januari 23, mmoja wa mabaharia aliyeondokao          Dar es Salaam na meli hiyo amejitokeza na kuelezea mlolongo wa safari          kabla ya kupotea.</description>
					  <author>info@habaritanzania.com (Habari Tanzania)</author>
					  <pubDate>Fri, 02 Feb 2007 00:00:00 +0300</pubDate>
					 
					</item>

				

					<item>
					  <title>Meli yahofiwa kuzama baharini na kuua sita</title>
					  <link>http://www.habaritanzania.com/articles/2779/1/Meli-yahofiwa-kuzama-baharini-na-kuua-sita</link>
					  <description>MELI ya MV Mbambabay iliyokuwa ikienda Songosongo, Kilwa imepotea katika mwambao wa Bahari ya Hindi tangu Januari 23, mwaka huu na kuhofiwa kuua watu sita.</description>
					  <author>semtawa@yahoo.co.uk (Ramadhan Semtawa)</author>
					  <pubDate>Thu, 01 Feb 2007 00:00:00 +0300</pubDate>
					 
					</item>

				

					<item>
					  <title>Mradi wa eneo maalum la utalii ufukweni wakwama</title>
					  <link>http://www.habaritanzania.com/articles/2584/1/Mradi-wa-eneo-maalum-la-utalii-ufukweni-wakwama</link>
					  <description>MIPANGO ya Kituo cha Uwezekezaji (TIC) ya kugeuza ufukwe wa Bahari ya Hindi kuwa eneo la kitalii imekwama kutokana na kukosekana kwa ushirikiano na ubunifu miongoni mwa mamlaka mbalimbali za serikali.</description>
					  <author>semtawa@yahoo.co.uk (Ramadhan Semtawa)</author>
					  <pubDate>Mon, 15 Jan 2007 00:00:00 +0300</pubDate>
					 
					</item>

				

					<item>
					  <title>Usafiri wa boti Dar kwenda mbuga za wanyama waja</title>
					  <link>http://www.habaritanzania.com/articles/2574/1/Usafiri-wa-boti-Dar-kwenda-mbuga-za-wanyama-waja</link>
					  <description>USAFIRI wa boti kutoka eneo la Makao Makuu ya Polisi mkoani, Dar es Salaam hadi Mbuga ya Saadan, unatarajiwa kuanza mwaka huu.</description>
					  <author>semtawa@yahoo.co.uk (Ramadhan Semtawa)</author>
					  <pubDate>Sun, 14 Jan 2007 00:00:00 +0300</pubDate>
					 
					</item>

				

					<item>
					  <title>Serikali yamsimamisha waziri wa zamani kuharibu mikoko</title>
					  <link>http://www.habaritanzania.com/articles/2509/1/Serikali-yamsimamisha-waziri-wa-zamani-kuharibu-mikoko</link>
					  <description>SAKATA la kumilikishwa eneo lenye mikoko kwa Dk Abdallah Kigoda, lililopo eneo la Boko Ununio, limeingia katika sura mpya baada ya Wizara ya Malisili na Utalii, kupiga marufuku uwekezaji wa aina yoyote katika eneo hilo.</description>
					  <author>semtawa@yahoo.co.uk (Ramadhan Semtawa)</author>
					  <pubDate>Mon, 08 Jan 2007 00:00:00 +0300</pubDate>
					 
					</item>

				

					<item>
					  <title>Leo ni Krismasi</title>
					  <link>http://www.habaritanzania.com/articles/2449/1/Leo-ni-Krismasi</link>
					  <description>WAKRISTO nchini leo wanaungana na wenzao duniani kote kusheherekea sikukuu ya Krismasi ikiwa ni maadhimisho ya siku ya kuzaliwa Yesu Kristo.</description>
					  <author>semtawa@yahoo.co.uk (Ramadhan Semtawa)</author>
					  <pubDate>Mon, 25 Dec 2006 00:00:00 +0300</pubDate>
					 
					</item>

				

					<item>
					  <title>Waziri Karamagi atua Richmond</title>
					  <link>http://www.habaritanzania.com/articles/2328/1/Waziri-Karamagi-atua-Richmond</link>
					  <description>WAZIRI wa Nishati na Madini, Nazir Karamagi, jana alifanya ziara ya ghafla katika mitambo ya kuzalisha umeme wa dharura ya Kampuni ya Richmond Development (RDC) na kuagiza Shirika la Umeme (Tanesco) na kampuni hiyo kuacha malumbano</description>
					  <author>semtawa@yahoo.co.uk (Ramadhan Semtawa)</author>
					  <pubDate>Thu, 14 Dec 2006 00:00:00 +0300</pubDate>
					 
					</item>

				

					<item>
					  <title>Japan yasisitiza kusaidia ujenzi wa barabara ya Kilwa</title>
					  <link>http://www.habaritanzania.com/articles/2273/1/Japan-yasisitiza-kusaidia-ujenzi-wa-barabara-ya-Kilwa</link>
					  <description>SERIKALI ya Japan imeihakikishia Tanzania kwamba utekelezaji wa mpango wa kuisaidia katika ujenzi wa Barabara ya Kilwa uko hatua za mwisho na kinachosubiriwa ni kukamilika kwa baadhi ya taratibu za ndani.</description>
					  <author>semtawa@yahoo.co.uk (Ramadhan Semtawa)</author>
					  <pubDate>Mon, 11 Dec 2006 00:00:00 +0300</pubDate>
					 
					</item>

				

					<item>
					  <title>Chenge akanusha rushwa ya rada</title>
					  <link>http://www.habaritanzania.com/articles/2162/1/Chenge-akanusha-rushwa-ya-rada</link>
					  <description>WAZIRI wa Miundombinu, Andrew Chenge, amezibeza taarifa za uchunguzi wa tuhuma za rushwa unaofanywa na Uingereza kuhusiana na tuhuma kwamba Tanzania ilihongwa ili inunue rada kuwa hayo ni maneno ya Wazungu.</description>
					  <author>semtawa@yahoo.co.uk (Ramadhan Semtawa)</author>
					  <pubDate>Mon, 04 Dec 2006 00:00:00 +0300</pubDate>
					 
					</item>

				

					<item>
					  <title>Kigamboni wataka ukataji tekiti kwa kompyuta</title>
					  <link>http://www.habaritanzania.com/articles/2152/1/Kigamboni-wataka-ukataji-tekiti-kwa-kompyuta</link>
					  <description>BAADHI ya wananchi wa Kigamboni wametaka mfumo kompyuta katika ukataji wa tiketi kwa sababu, unaweza kupunguza adha wanayopata kwenye vivuko vya mv Alina na Kigamboni. </description>
					  <author>semtawa@yahoo.co.uk (Ramadhan Semtawa)</author>
					  <pubDate>Sun, 03 Dec 2006 00:00:00 +0300</pubDate>
					 
					</item>

				

					<item>
					  <title>Mikataba yazidi kuitesa serikali</title>
					  <link>http://www.habaritanzania.com/articles/2147/1/Mikataba-yazidi-kuitesa-serikali</link>
					  <description>JINAMIZI la mikataba yenye utata, ikiwamo ile iliyotiwa saini wakati wa awamu ya tatu ya chini ya Rais mstaafu Benjamin Mkapa linaendelea kuitesa Serikali ya Rais Jakaya Kikwete, safari hii likihusisha miradi mikubwa ya ujenzi wa miundombinu, hasa barabara kuu.</description>
					  <author>semtawa@yahoo.co.uk (Ramadhan Semtawa)</author>
					  <pubDate>Sun, 03 Dec 2006 00:00:00 +0300</pubDate>
					 
					</item>

				

					<item>
					  <title>Kikwete kushiriki mkutano wa TNBC mara ya kwanza</title>
					  <link>http://www.habaritanzania.com/articles/2114/1/Kikwete-kushiriki-mkutano-wa-TNBC-mara-ya-kwanza</link>
					  <description>KWA mara ya kwanza tangu aingie madarakani, Rais Jakaya Kikwete, anatarajiwa kushiriki katika mkutano wa nne wa Baraza la Biashara la Taifa (TNBC) utakaofanyika Desemba 11. </description>
					  <author>semtawa@yahoo.co.uk (Ramadhan Semtawa)</author>
					  <pubDate>Fri, 01 Dec 2006 00:00:00 +0300</pubDate>
					 
					</item>

				

					<item>
					  <title>Aliyeua mtu kwa Tibaigana kizimbani</title>
					  <link>http://www.habaritanzania.com/articles/2107/1/Aliyeua-mtu-kwa-Tibaigana-kizimbani</link>
					  <description>RIPOTI ya uchunguzi wa kifo cha raia, Bernad Mapunda, kilichotokana na kipigo cha polisi kwa tuhuma za wizi wa makasha 27 ya marumaru katika nyumba ya Kamanda wa Polisi wa Kanda Maalumu ya Dar es Salaam, Alfred Tibaigana, imetoka na hatua za kisheria zimekwishachukuliwa kwa askari aliyetoa kipigo hicho. </description>
					  <author>semtawa@yahoo.co.uk (Ramadhan Semtawa)</author>
					  <pubDate>Fri, 01 Dec 2006 00:00:00 +0300</pubDate>
					 
					</item>

				

					<item>
					  <title>Taasisi ya moyo kuanza kutibu figo</title>
					  <link>http://www.habaritanzania.com/articles/2031/1/Taasisi-ya-moyo-kuanza-kutibu-figo</link>
					  <description>TAASISI ya moyo nchini (THI) inatarajia kuimarisha Idara yake ya Figo kama hatua ya kuboresha huduma zake za matibabu ya moyo.</description>
					  <author>semtawa@yahoo.co.uk (Ramadhan Semtawa)</author>
					  <pubDate>Mon, 27 Nov 2006 00:00:00 +0300</pubDate>
					 
					</item>

				

					<item>
					  <title>Bandari yajitetea kuhusu meli</title>
					  <link>http://www.habaritanzania.com/articles/1883/1/Bandari-yajitetea-kuhusu-meli</link>
					  <description>MAMLAKA ya Bandari Tanzania (TPA), imejivua lawama kwa kutoa ufafanuzi kwamba, udhaifu wa pampu za meli za mafuta ndiyo chanzo cha kudorora kwa kasi ya upakuaji mafuta kwenye mita maalum za mamlaka hiyo Kurasini (KOJ).</description>
					  <author>semtawa@yahoo.co.uk (Ramadhan Semtawa)</author>
					  <pubDate>Sat, 18 Nov 2006 00:00:00 +0300</pubDate>
					 
					</item>

				

					<item>
					  <title>Meli za mafuta zaidaiwa kuingiaTanzania bila vibali</title>
					  <link>http://www.habaritanzania.com/articles/1865/1/Meli-za-mafuta-zaidaiwa-kuingiaTanzania-bila-vibali</link>
					  <description>NAIBU Waziri wa Miundombinu, Dk Maua Daftari jana alifanya ziara ya ghafla katika Bandari ya Dar es Salaam na kubaini kwamba kuna meli mbili za mafuta zilizoingia nchini zikiwa hazina nyaraka za maelezo wala kuagizwa na wakala yeyote.</description>
					  <author>semtawa@yahoo.co.uk (Ramadhan Semtawa)</author>
					  <pubDate>Fri, 17 Nov 2006 00:00:00 +0300</pubDate>
					 
					</item>

				

					<item>
					  <title>Mabasi kasi yakaribia kuingia Dar</title>
					  <link>http://www.habaritanzania.com/articles/1856/1/Mabasi-kasi-yakaribia-kuingia-Dar</link>
					  <description>MRADI wa mabasi yaendayo kasi jijini Dar es Salaam sasa unaonekana kuiva huku mwelekeo ukionyesha kwamba idadi ya abiria wanaotumia usafiri wa daladala katika jiji hilo itaongezeka kutoka 123,000 sasa hadi kufikia watu 300,000 kwa siku.</description>
					  <author>semtawa@yahoo.co.uk (Ramadhan Semtawa)</author>
					  <pubDate>Thu, 16 Nov 2006 00:00:00 +0300</pubDate>
					 
					</item>

				

					<item>
					  <title>Mawaziri watetea safari za Kikwete</title>
					  <link>http://www.habaritanzania.com/articles/1838/1/Mawaziri-watetea-safari-za-Kikwete</link>
					  <description>MAWAZIRI wawili wa serikali ya awamu ya nne waliokuwa wameongozana na Rais Jakaya Kikwete katika nchi za mashariki ya mbali, wamezitetea ziara za Rais nje ya nchi, wakisema zina manufaa makubwa kwa taifa.</description>
					  <author>semtawa@yahoo.co.uk (Ramadhan Semtawa)</author>
					  <pubDate>Wed, 15 Nov 2006 00:00:00 +0300</pubDate>
					 
					</item>

				

					<item>
					  <title>Ujenzi wa daraja la kisasa Kigamboni bado ni ndoto</title>
					  <link>http://www.habaritanzania.com/articles/1810/1/Ujenzi-wa-daraja-la-kisasa-Kigamboni-bado-ni-ndoto</link>
					  <description>UJENZI wa daraja la kisasa la Kigamboni bado ni ndoto kutokana na kughubikwa na migongano ya maamuzi kuhusu utekelezaji wa mradi huo.Hadi sasa haijaeleweka bayana lini mradi huo ambao ni nguzo muhimu ya kiuchumi kwa wakazi wa Kigamboni na wengine wa jiji, utaanza rasmi.</description>
					  <author>semtawa@yahoo.co.uk (Ramadhan Semtawa)</author>
					  <pubDate>Mon, 13 Nov 2006 00:00:00 +0300</pubDate>
					 
					</item>

				

					<item>
					  <title>Ushindani waitisha TPDC</title>
					  <link>http://www.habaritanzania.com/articles/1791/1/Ushindani-waitisha-TPDC</link>
					  <description>USHINDANI wa kibiashara katika soko la mafuta umelitisha Shirika la Maendeleo ya Petroli nchini (TPDC) na sasa limedai linafanya mambo yake chini kwa chini kwa kuogopa washindani.</description>
					  <author>semtawa@yahoo.co.uk (Ramadhan Semtawa)</author>
					  <pubDate>Sat, 11 Nov 2006 00:00:00 +0300</pubDate>
					 
					</item>

				

					<item>
					  <title>Saddam Hussein &#39;Rais&#39; wa Iraq anayekabiliwa na adhabu ya kifo</title>
					  <link>http://www.habaritanzania.com/articles/1781/1/Saddam-Hussein-%26%2339%3BRais%26%2339%3B-wa-Iraq-anayekabiliwa-na-adhabu-ya-kifo</link>
					  <description>HADI sasa hujiita Rais wa Iraq akizingatia madaraka yake aliyoyapata baada ya kufanya mapinduzi mwaka 1979.</description>
					  <author>semtawa@yahoo.co.uk (Ramadhan Semtawa)</author>
					  <pubDate>Fri, 10 Nov 2006 00:00:00 +0300</pubDate>
					 
					</item>

				

					<item>
					  <title>Tume ya Mawasiliano kujenga kitega uchumi</title>
					  <link>http://www.habaritanzania.com/articles/1744/1/Tume-ya-Mawasiliano-kujenga-kitega-uchumi</link>
					  <description>MAMALAKA ya Mawasiliano Tanzania (TCRA), imeanza kujijengea uwezo wa kiuchumi baada ya kuanzisha mradi mkubwa wa ujenzi wa nyumba ya ghorofa 14 ambao unatarajiwa kugharimu zaidi ya Sh25 bilioni.</description>
					  <author>semtawa@yahoo.co.uk (Ramadhan Semtawa)</author>
					  <pubDate>Thu, 09 Nov 2006 00:00:00 +0300</pubDate>
					 
					</item>

				

					<item>
					  <title>Dar hatarini kuzama baharini</title>
					  <link>http://www.habaritanzania.com/articles/1733/1/Dar-hatarini-kuzama-baharini</link>
					  <description>MAENEO ya fukwe za Bahari ya Hindi katika jiji la Dar es Salaam, yako hatarini kumezwa na maji baada ya maji ya bahari kuongezeka kutokana na ongezeko la joto duniani.</description>
					  <author>semtawa@yahoo.co.uk (Ramadhan Semtawa)</author>
					  <pubDate>Wed, 08 Nov 2006 00:00:00 +0300</pubDate>
					 
					</item>

				

					<item>
					  <title>Viongozi Afrika wanastahili lawama</title>
					  <link>http://www.habaritanzania.com/articles/1686/1/Viongozi-Afrika-wanastahili-lawama</link>
					  <description>MJUMBE wa Halmashauri Kuu ya chama cha NCCR-Mageuzi, Dk Sengodo Mvungi amewashutumu viongozi wa mataifa ya Afrika kwa uchu wao wa madaraka ambao umekuwa chanzo cha vita na machafuko yanayosababisha wakimbizi.</description>
					  <author>semtawa@yahoo.co.uk (Ramadhan Semtawa)</author>
					  <pubDate>Sun, 05 Nov 2006 00:00:00 +0300</pubDate>
					 
					</item>

				

					<item>
					  <title>Waziri akataa wananchi kushawishiwa kuhusu Shirikisho</title>
					  <link>http://www.habaritanzania.com/articles/1601/1/Waziri-akataa-wananchi-kushawishiwa-kuhusu-Shirikisho</link>
					  <description>NAIBU Waziri wa Ushirikiano wa Afrika Mashariki, Dk Diodarus Kamala amekemea baadhi ya watu kutoka nje ya nchi ambao wanafanya ushawishi wa kutaka kuwaamulia watanzania kuingia katika shirikisho la Afrika Mashariki.</description>
					  <author>semtawa@yahoo.co.uk (Ramadhan Semtawa)</author>
					  <pubDate>Mon, 30 Oct 2006 00:00:00 +0300</pubDate>
					 
					</item>

				

					<item>
					  <title>Tido Mhando aiacha BBC , kurejea Tanzania</title>
					  <link>http://www.habaritanzania.com/articles/1578/1/Tido-Mhando-aiacha-BBC-%2C-kurejea-Tanzania</link>
					  <description>MWAFRIKA wa kwanza kuongoza Idhaa ya Kiswahili ya Radio ya Shirika la Utangazaji la Uingereza (BBC), Danstan Tido Mhando, ambaye ni Mtanzania amestaafu kazi na anategemea kurejea nchini hivi karibuni.</description>
					  <author>semtawa@yahoo.co.uk (Ramadhan Semtawa)</author>
					  <pubDate>Sun, 29 Oct 2006 00:00:00 +0300</pubDate>
					 
					</item>

				

					<item>
					  <title>PSRC yajiosha mikono kuhusu Saskatel International</title>
					  <link>http://www.habaritanzania.com/articles/1458/1/PSRC-yajiosha-mikono-kuhusu-Saskatel-International</link>
					  <description>TUME ya Rais ya Kurekebisha Mashirika ya Umma (PSRC) imeutua mzigo kwa kueleza kwamba imemaliza jukumu lake katika mchakato wa kuipata menejimenti mpya ya Kampuni ya Simu Tanzania (TTCL) na kuwasilisha ripoti yake Wizara ya Miundombinu.</description>
					  <author>semtawa@yahoo.co.uk (Ramadhan Semtawa)</author>
					  <pubDate>Sun, 22 Oct 2006 00:00:00 +0300</pubDate>
					 
					</item>

				

					<item>
					  <title>Kikwete: Vigogo wa dawa za kulevya jisamilisheni</title>
					  <link>http://www.habaritanzania.com/articles/1351/1/Kikwete%3A-Vigogo-wa-dawa-za-kulevya-jisamilisheni</link>
					  <description>SIKU chache baada ya Rais Jakaya Kikwete kutangaza kuwa ana majina ya vigogo wa dawa za kulevya nchini, amewataka wanaojihusisha na biashara hiyo kujisamilisha vinginevyo watanaswa na msako mkali utakaoanzishwa dhidi yao.</description>
					  <author>semtawa@yahoo.co.uk (Ramadhan Semtawa)</author>
					  <pubDate>Mon, 16 Oct 2006 00:00:00 +0300</pubDate>
					 
					</item>

				

					<item>
					  <title>Waziri asema ndege za serikali Tanzania zimezeeka</title>
					  <link>http://www.habaritanzania.com/articles/1122/1/Waziri-asema-ndege-za-serikali-Tanzania-zimezeeka</link>
					  <description>WAZIRI wa Miundombinu, Basil Mramba, amesema karibu ndege zote za serikali zimezeeka na zinapaswa kununuliwa nyingine mpya.</description>
					  <author>semtawa@yahoo.co.uk (Ramadhan Semtawa)</author>
					  <pubDate>Wed, 27 Sep 2006 00:00:00 +0300</pubDate>
					 
					</item>

				
				  </channel>
				</rss>
			