<?xml version="1.0" encoding="utf-8"?><?xml-stylesheet href="http://www.habaritanzania.com/templates/Default/RssDisplay.xslt" type="text/xsl"?>
		<rss version="2.0">
		  <channel>
				<title>Habari Tanzania - Articles - Mzee Mwanakijiji</title>
				<link>http://www.habaritanzania.com</link>
				<description />
				<language>en-us</language>
				<copyright>http://www.habaritanzania.com</copyright>
				<generator>N/A</generator>
				<webMaster>info@habaritanzania.com</webMaster>
				<lastBuildDate>Sat, 22 Nov 2008 05:42:09 +0300</lastBuildDate>
				<ttl>20</ttl>

					<item>
					  <title>Rais Kikwete na Simba wake wa Kuchora!</title>
					  <link>http://www.habaritanzania.com/articles/4240/1/Rais-Kikwete-na-Simba-wake-wa-Kuchora%21</link>
					  <description>Mara kadhaa sasa Rais Kikwete na viongozi wenzake wa ngazi za juu wamekuwa wakishikilia picha ya kuchora ya simba wakiwatishia wahalifu. Kwanini wahalifu hawatatishiki? </description>
					  <author>mwanakijiji@journalist.com (Mzee Mwanakijiji)</author>
					  <pubDate>Fri, 30 Nov 2007 00:00:00 +0300</pubDate>
					 
					</item>

				

					<item>
					  <title>Ukimya wa Mkapa , Ushahidi wa Kutoka Kapa Darasani!</title>
					  <link>http://www.habaritanzania.com/articles/4220/1/Ukimya-wa-Mkapa-%2C-Ushahidi-wa-Kutoka-Kapa-Darasani%21</link>
					  <description>Makala hii ilitoka kwenye gazeti la &#34;Kulikoni&#34; siku ya Jumatatu Octoba 22, 2007. Niliandika makala hii kufuatia kuendelea kwa Rais mstaafu Mkapa kuwa bubu kufuatia tuhuma mbalimbali zinazomkabili. Kwanini yuko kimya? </description>
					  <author>mwanakijiji@journalist.com (Mzee Mwanakijiji)</author>
					  <pubDate>Tue, 23 Oct 2007 00:00:00 +0300</pubDate>
					 
					</item>

				

					<item>
					  <title>Kasungura Ka Lowassa Na Aliyekula Ng&#39;ombe!</title>
					  <link>http://www.habaritanzania.com/articles/4206/1/Kasungura-Ka-Lowassa-Na-Aliyekula-Ng%26%2339%3Bombe%21</link>
					  <description>  Kuna michezo mingi ya kitoto ambayo ukikaa chini kufikiria inakuwa kama methali yenye maana. Baadhi ya michezo hiyo bado tunawaona watoto wetu wakiicheza leo hii sehemu mbalimbali nchini. Na kuna nyimbo nyingi za michezo ya kitoto ambayo watoto wetu nao huiimba siku hizi wakicheza kila jua lichwapo na giza liingiapo. Mojawapo ya nyimbo ambazo bado nazikumbuka za toka utotoni ni ule wa "Kakuku ka mama Rhoda". Sijui ni nani alianzisha wimbo au ni kwanini waliutunga, lakini kwa vyovyote vile huyo mtu alikuwa na lake kwani kuku wa jirani alikuwa anakula mpunga wa mtu huyo na kila akitaka kukafukuza basi mama Rhoda alikuwa "anamkataza."    </description>
					  <author>mwanakijiji@journalist.com (Mzee Mwanakijiji)</author>
					  <pubDate>Mon, 15 Oct 2007 00:00:00 +0300</pubDate>
					 
					</item>

				

					<item>
					  <title>Haya ni Mapambano ya Kifikra</title>
					  <link>http://www.habaritanzania.com/articles/4202/1/Haya-ni-Mapambano-ya-Kifikra</link>
					  <description>Taifa letu linapitia wakati mgumu na wa majaribu ya kisiasa. Kiini cha ugumu wa wakati huu ni mgongano wa fikra unaondelea kati ya watawala na watawaliwa, viongozi na wale wanaoongozwa. </description>
					  <author>mwanakijiji@journalist.com (Mzee Mwanakijiji)</author>
					  <pubDate>Tue, 09 Oct 2007 00:00:00 +0300</pubDate>
					 
					</item>

				

					<item>
					  <title>Tulichofanya Kulisaidia Taifa Letu - Najibu Swali la Waziri Mkuu</title>
					  <link>http://www.habaritanzania.com/articles/4180/1/Tulichofanya-Kulisaidia-Taifa-Letu---Najibu-Swali-la-Waziri-Mkuu</link>
					  <description>Wakati akitoa hoja ya kulihairisha Bunge tarehe 18 August mwaka huu, Waziri Mkuu Mh. Edward Lowassa alihoji kwa kejeli kuwa watu ambao wamekuwa wakiikosoa serikali wao &#34;wamefanya nini kulisaidia taifa letu?&#34;. Hii ni sehemu ya pili ya majibu yangu ya swali hilo.</description>
					  <author>mwanakijiji@journalist.com (Mzee Mwanakijiji)</author>
					  <pubDate>Tue, 18 Sep 2007 00:00:00 +0300</pubDate>
					 
					</item>

				

					<item>
					  <title>CCM iache michezo ya Kitoto</title>
					  <link>http://www.habaritanzania.com/articles/4145/1/CCM-iache-michezo-ya-Kitoto</link>
					  <description>Katika makala yake kwenye gazeti la Mzalendo Mbunge wa Mchinga Mhe. Mudhihir Mudhihi alidai kuwa mwitikio wa wananchi kwenye sakata la Zitto ni sawa na &#34;mchezo wa kitoto&#34;. Alidai kuwa Zitto anatumia nafasi ya kufungiwa kuwazuga wananchi. Haya ni majibu yangu kwa aina ile ile. </description>
					  <author>mwanakijiji@journalist.com (Mzee Mwanakijiji)</author>
					  <pubDate>Mon, 27 Aug 2007 00:00:00 +0300</pubDate>
					 
					</item>

				

					<item>
					  <title>Woga wa Wabunge wa CCM, Umeligharimu Taifa!</title>
					  <link>http://www.habaritanzania.com/articles/4045/1/Woga-wa-Wabunge-wa-CCM%2C-Umeligharimu-Taifa%21</link>
					  <description>Ni kwanini Taifa letu limeendelea kujiingiza kwenye mikataba mibovu, kuvumilia uzembe, na kuufumbia macho ufisadi mkubwa. Ni nani mwenye wajibu wa kuhakikisha kuwa serikali yetu inawajibika kwa wananchi vinginevyo inawajibishwa!? Jibu, ni wabunge wa CCM</description>
					  <author>mwanakijiji@journalist.com (Mzee Mwanakijiji)</author>
					  <pubDate>Thu, 26 Jul 2007 00:00:00 +0300</pubDate>
					 
					</item>

				

					<item>
					  <title>Je, tuwazirie nchi watawala wetu?</title>
					  <link>http://www.habaritanzania.com/articles/4006/1/Je%2C-tuwazirie-nchi-watawala-wetu%3F</link>
					  <description>Watanzania tunatakiwa tukae kimya wakubwa wakisema, tusifanye uchunguzi zinapotokea tuhuma nzito, na tusijaribu hata kidogo kuonesha mapungufu ya serikali na badala yake tukubali majibu yasiyojitosheleza ya serikali kuhusu masuala mbalimbali. Wanataka tuzire ili wafanye watakalo. </description>
					  <author>mwanakijiji@journalist.com (Mzee Mwanakijiji)</author>
					  <pubDate>Tue, 17 Jul 2007 00:00:00 +0300</pubDate>
					 
					</item>

				

					<item>
					  <title>Barua ya Wazi toka Ukraine kwa Wabunge wa JMT</title>
					  <link>http://www.habaritanzania.com/articles/3964/1/Barua-ya-Wazi-toka-Ukraine-kwa-Wabunge-wa-JMT</link>
					  <description>Ifuatayo ni barua ya wazi toka kwa wanafunzi waliokwama huko Ukraine kwenda kwa Wabunge wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania kwenye kikao chao kinachoendelea cha bajeti huko Dodoma. Nakala ya barua hii inapatikana pia huko http://www.jamboforums.com</description>
					  <author>mwanakijiji@journalist.com (Mzee Mwanakijiji)</author>
					  <pubDate>Tue, 10 Jul 2007 00:00:00 +0300</pubDate>
					 
					</item>

				

					<item>
					  <title>Their Silence - A Clear Evidence of the Arrogance!</title>
					  <link>http://www.habaritanzania.com/articles/3696/1/Their-Silence---A-Clear-Evidence-of-the-Arrogance%21</link>
					  <description>Two scores and six years ago, our founders boastfully and rightly so declared to the world that we had decided to light a candle, we had decided to light a torch and put it on Mount Kilimanjaro to be a symbol a new mission for our young republic that was determined to be a nation that would bring hope where there is despair, love where there is enmity, and respect where there is hatred.</description>
					  <author>mwanakijiji@journalist.com (Mzee Mwanakijiji)</author>
					  <pubDate>Sun, 01 Jul 2007 00:00:00 +0300</pubDate>
					 
					</item>

				

					<item>
					  <title>Watanzania hatustahili vitu vizuri?</title>
					  <link>http://www.habaritanzania.com/articles/3830/1/Watanzania-hatustahili-vitu-vizuri%3F</link>
					  <description>Hivi umewahi kujiuliza kwanini maeneo fulani bado yanaitwa Uzunguni, na mengine Uswahilini? Vipi kuhusu yale yanayoitwa Uhindini. Je, majina hayo yanaficha kitu gani hasa?</description>
					  <author>mwanakijiji@journalist.com (Mzee Mwanakijiji)</author>
					  <pubDate>Tue, 19 Jun 2007 00:00:00 +0300</pubDate>
					 
					</item>

				

					<item>
					  <title>Sipendi, tena Sitaki Rais anapoongopa!!</title>
					  <link>http://www.habaritanzania.com/articles/3757/1/Sipendi%2C-tena-Sitaki-Rais-anapoongopa%21%21</link>
					  <description>Suala la wanafunzi Ukraine limezidi kuchanganya watu, kwani Rais Kikwete naye kwa kutegemea taarifa za magazetini amesema &#34;anavyofahamu&#34; ni kuwa wanafunzi walienda wenyewe Ukraine na serikali haikuhusika.&#160; </description>
					  <author>mwanakijiji@journalist.com (Mzee Mwanakijiji)</author>
					  <pubDate>Thu, 07 Jun 2007 00:00:00 +0300</pubDate>
					 
					</item>

				

					<item>
					  <title>Wakati umefika, Prof. Msolla Jiuzulu sasa!</title>
					  <link>http://www.habaritanzania.com/articles/3669/1/Wakati-umefika%2C-Prof.-Msolla-Jiuzulu-sasa%21</link>
					  <description>Hivi kwanini Watanzania ni waoga kuwaambia viongozi wao kuwa imetosha kwa wao kuendelea kuboronga na wampishe mtu mwingine? Inakuwaje Prof. Msolla anaendelea kuongoza wizara ambayo kwa kila dalili imemshinda? </description>
					  <author>mwanakijiji@journalist.com (Mzee Mwanakijiji)</author>
					  <pubDate>Wed, 23 May 2007 00:00:00 +0300</pubDate>
					 
					</item>

				

					<item>
					  <title>Maswali 10 au Zaidi kwa Mkurugenzi wa TAKURU (PCB)</title>
					  <link>http://www.habaritanzania.com/articles/3636/1/Maswali-10-au-Zaidi-kwa-Mkurugenzi-wa-TAKURU-%28PCB%29</link>
					  <description>Mkurugenzi wa taasisi ya kuzuia rushwa nchini Bw. Edward Hosea ametoa taarifa yake kwa wananchi kuhusu mkataba wa Richmond na kuhitimisha kuwa hakukuwa na vitendo vyovyote vya rushwa. hata hivyo maswali yafuatayo hakuwa tayari kuyajibu.</description>
					  <author>mwanakijiji@journalist.com (Mzee Mwanakijiji)</author>
					  <pubDate>Wed, 16 May 2007 00:00:00 +0300</pubDate>
					 
					</item>

				

					<item>
					  <title>Nchi ya Ahadi: Wapinzani watatuongoza?</title>
					  <link>http://www.habaritanzania.com/articles/3605/1/Nchi-ya-Ahadi%3A-Wapinzani-watatuongoza%3F</link>
					  <description>Mwaka 1995 watanzania wengi walitarajia kuwa utakuwa ni mwanzo wa mwamko mpya wa kisiasa nchini. Kwa kiasi fulani mwamko huo umetokea. </description>
					  <author>mwanakijiji@journalist.com (Mzee Mwanakijiji)</author>
					  <pubDate>Wed, 09 May 2007 00:00:00 +0300</pubDate>
					 
					</item>

				

					<item>
					  <title>Barua ya Wazi kwa Rais Kikwete kuhusu Vyombo vya Habari</title>
					  <link>http://www.habaritanzania.com/articles/3566/1/Barua-ya-Wazi-kwa-Rais-Kikwete-kuhusu-Vyombo-vya-Habari</link>
					  <description>Siku ya Uhuru wa vyombo vya habari ni siku muhimu na ambayo msingi wake unatukumbusha wajibu wetu.</description>
					  <author>mwanakijiji@journalist.com (Mzee Mwanakijiji)</author>
					  <pubDate>Thu, 03 May 2007 00:00:00 +0300</pubDate>
					 
					</item>

				

					<item>
					  <title>Hongera kwa nyongeza ya kima cha chini! Hongera...lakini...</title>
					  <link>http://www.habaritanzania.com/articles/3552/1/Hongera-kwa-nyongeza-ya-kima-cha-chini%21-Hongera...lakini...</link>
					  <description>Leo ni siku kuu ya Wafanyakazi Duniani yaani Mei Mosi. Wafanyakazi wa Tanzania wanaungana na wafanyakazi wengine duniani kuadhimisha sikukuu hii muhimu ambayo siyo tu inatambua nafasi ya wafanyakazi katika jamii bali pia mchango wao na wajibu wao katika ujenzi wa Taifa letu. </description>
					  <author>mwanakijiji@journalist.com (Mzee Mwanakijiji)</author>
					  <pubDate>Tue, 01 May 2007 00:00:00 +0300</pubDate>
					 
					</item>

				

					<item>
					  <title>Serikali iache kuvitisha vyombo vya habari! Ndio mwanzo wa Udikteta!</title>
					  <link>http://www.habaritanzania.com/articles/3545/1/Serikali-iache-kuvitisha-vyombo-vya-habari%21-Ndio-mwanzo-wa-Udikteta%21</link>
					  <description>Inaonekana viongozi wetu bado hawajaingiza mawazoni mwao kuwa wakati wa wote kuimba &#34;zidumu fikra sahihi&#34; umepita. Muda wa watanzania kukubaliana na mawazo ya upande mmoja umepita. </description>
					  <author>mwanakijiji@journalist.com (Mzee Mwanakijiji)</author>
					  <pubDate>Sun, 29 Apr 2007 00:00:00 +0300</pubDate>
					 
					</item>

				

					<item>
					  <title>Bunge Lisilojitambua, Linajiumbua!</title>
					  <link>http://www.habaritanzania.com/articles/3532/1/Bunge-Lisilojitambua%2C-Linajiumbua%21</link>
					  <description>Hivi karibuni kumekuwa na tabia ya baadhi ya wabunge kuomba hisani ya serikali ili Bunge liweze kufanya mambo fulani. Miongoni mwa mambo hayo ni kuweza kupitia mikataba na hoja ya kuweza kumuuliza Waziri Mkuu maswali kila wiki. </description>
					  <author>mwanakijiji@journalist.com (Mzee Mwanakijiji)</author>
					  <pubDate>Wed, 25 Apr 2007 00:00:00 +0300</pubDate>
					 
					</item>

				

					<item>
					  <title>Vitisho vya Rais haviwatishi wavunja sheria serikalini!</title>
					  <link>http://www.habaritanzania.com/articles/3495/1/Vitisho-vya-Rais-haviwatishi-wavunja-sheria-serikalini%21</link>
					  <description>Licha ya kuwa Rais Kikwete kabla na baada ya kuingia madarakani amekuwa akitishia &#34;hatua kali&#34; dhidi ya wale wanaofuja fedha za umma na wasiofuata taratibu za ununuzi wa mali za serikali. Vitisho hivyo hata hivyo vimekuwa butu! Hata hivyo, yeye bado anaendelea kutoa vitisho vingine!</description>
					  <author>mwanakijiji@journalist.com (Mzee Mwanakijiji)</author>
					  <pubDate>Thu, 19 Apr 2007 00:00:00 +0300</pubDate>
					 
					</item>

				

					<item>
					  <title>Viongozi wanaojinoma bila noma!</title>
					  <link>http://www.habaritanzania.com/articles/3465/1/Viongozi-wanaojinoma-bila-noma%21</link>
					  <description>Leo tunaambiwa matumizi ya serikali yamezidi kupita kiasi! Kumbe kati yetu kuna watu wanajinoma katika nafasi zao za uongozi. Hawa tutaendelea kuwapigia kelele. </description>
					  <author>mwanakijiji@journalist.com (Mzee Mwanakijiji)</author>
					  <pubDate>Fri, 13 Apr 2007 00:00:00 +0300</pubDate>
					 
					</item>

				

					<item>
					  <title>Tunamkumbuka E.M. Sokoine - Mtu wa Watu</title>
					  <link>http://www.habaritanzania.com/articles/3453/1/Tunamkumbuka-E.M.-Sokoine---Mtu-wa-Watu</link>
					  <description>Leo ni miaka 23 tangu Waziri Mkuu Edward Moringe Sokoine atutoke ghafla na kuacha simanzi na wingu la huzuni. Siku ile ya machozi na majonzi imebakia katika kumbukumbu za Watanzania wengi kama vile jana. </description>
					  <author>mwanakijiji@journalist.com (Mzee Mwanakijiji)</author>
					  <pubDate>Thu, 12 Apr 2007 00:00:00 +0300</pubDate>
					 
					</item>

				

					<item>
					  <title>Jinamizi la CCM litamkaba Malima?</title>
					  <link>http://www.habaritanzania.com/articles/3415/1/Jinamizi-la-CCM-litamkaba-Malima%3F</link>
					  <description>Uamuzi wa Mhe. Malima kuandika barua ya kutaka maamuzi ya chama katika suala lililoanzia Bungeni na kuhusisha wabunge na spika unaweza kuwa ni sawa na mtu aliyefungulia jini kutoka kwenye chupa. Gharama yake ni kubwa mno!!</description>
					  <author>mwanakijiji@journalist.com (Mzee Mwanakijiji)</author>
					  <pubDate>Tue, 03 Apr 2007 00:00:00 +0300</pubDate>
					 
					</item>

				

					<item>
					  <title>Tanzania hatuna Wafalme!</title>
					  <link>http://www.habaritanzania.com/articles/3278/1/Tanzania-hatuna-Wafalme%21</link>
					  <description>Rais Kikwete ameamua kumkingia kifua Rais Mkapa ili asihojiwe kuhusu ununuzi wa rada. Tukikubali maneno hayo ya Rais basi Kikwete aitwe Mfalme!</description>
					  <author>mwanakijiji@journalist.com (Mzee Mwanakijiji)</author>
					  <pubDate>Tue, 13 Mar 2007 00:00:00 +0300</pubDate>
					 
					</item>

				

					<item>
					  <title>Kama mambo ni hivi, Ditopile aachiwe!</title>
					  <link>http://www.habaritanzania.com/articles/3243/1/Kama-mambo-ni-hivi%2C-Ditopile-aachiwe%21</link>
					  <description>Hivi kuna mtu katika Tanzania ambaye anastahili haki zaidi wengine? Inaonekana Polisi wanajibu kwa haraka &#34;ndiyokuliko &#34;!</description>
					  <author>mwanakijiji@journalist.com (Mzee Mwanakijiji)</author>
					  <pubDate>Thu, 08 Mar 2007 00:00:00 +0300</pubDate>
					 
					</item>

				

					<item>
					  <title>Ofisi ya Mwanasheria Mkuu ipanguliwe!</title>
					  <link>http://www.habaritanzania.com/articles/3216/1/Ofisi-ya-Mwanasheria-Mkuu-ipanguliwe%21</link>
					  <description>Rais kadai kuwa tumeingizwa kwenye mikataba kwa sababu wataalamu wetu wana uwezo mdogo, je hayo ni ya kweli au ni mazingaombwe yale yale?</description>
					  <author>mwanakijiji@journalist.com (Mzee Mwanakijiji)</author>
					  <pubDate>Mon, 05 Mar 2007 00:00:00 +0300</pubDate>
					 
					</item>

				

					<item>
					  <title>Wamekosa Uzalendo, Wataongoza Vipi?</title>
					  <link>http://www.habaritanzania.com/articles/3154/1/Wamekosa-Uzalendo%2C-Wataongoza-Vipi%3F</link>
					  <description>Leo nachambua kiini cha viongozi uchwara ambao wamejaa katika nafasi mbalimbali. Sifa za viongozi hao na jinsi gani mtu anaweza kuwatambua</description>
					  <author>mwanakijiji@journalist.com (Mzee Mwanakijiji)</author>
					  <pubDate>Tue, 27 Feb 2007 00:00:00 +0300</pubDate>
					 
					</item>

				

					<item>
					  <title>Kuna Ukabila Tanzania?</title>
					  <link>http://www.habaritanzania.com/articles/3106/1/Kuna-Ukabila-Tanzania%3F</link>
					  <description>Kwa mara nyingine na wakati mwingine chini kwa chini kuna baadhi ya watu ambao wanataka tuamini kuwa katika Tanzania makabila hayo matatu yanapendelewa na yanajipendelea kwa kuendekeza Ukabila mahala pa kazi. Kuna watu hata hivyo wanaamini mawazo hayo.</description>
					  <author>mwanakijiji@journalist.com (Mzee Mwanakijiji)</author>
					  <pubDate>Fri, 23 Feb 2007 00:00:00 +0300</pubDate>
					 
					</item>

				

					<item>
					  <title>Profesa Msolla Achia Ngazi!</title>
					  <link>http://www.habaritanzania.com/articles/3103/1/Profesa-Msolla-Achia-Ngazi%21</link>
					  <description>Vijana 29 wa Kitanzania waliokuwa wadhaminiwe na Bodi ya Mikopo ya Elimu ya juu wametelekezwa na Serikali  huko Ukraine. Waziri wa Wizara ya Sayansi, Teknolojia na Elimu ya juu anaendelea na kazi yake kana kwamba hilo ni jambo la mzaha, huku akiendelea kuvurunda! Wakati umefika kumtaka ajiuzulu!</description>
					  <author>mwanakijiji@journalist.com (Mzee Mwanakijiji)</author>
					  <pubDate>Fri, 23 Feb 2007 00:00:00 +0300</pubDate>
					 
					</item>

				

					<item>
					  <title>Unaifahamu Jambo Forums?</title>
					  <link>http://www.habaritanzania.com/articles/3008/1/Unaifahamu-Jambo-Forums%3F</link>
					  <description>Kuna siri katika mtandao, ambayo wachache wamejaliwa kuifahamu na wengi wakiifahamu na wenyewe hawatasita kuitoa siri hiyo kwa wengine. Unaifahamu jambo forums?</description>
					  <author>mwanakijiji@journalist.com (Mzee Mwanakijiji)</author>
					  <pubDate>Fri, 23 Feb 2007 00:00:00 +0300</pubDate>
					 
					</item>

				

					<item>
					  <title>Rais Adanganywa Tena! - Tuwalaumu Wasaidizi!</title>
					  <link>http://www.habaritanzania.com/articles/2802/1/Rais-Adanganywa-Tena%21---Tuwalaumu-Wasaidizi%21</link>
					  <description>Kwa mara nyingine tena wasaidizi wa Rais wanamuacha aseme maneno ambayo si ya kweli mbele ya watu kwa kutompa taarifa sahihi. </description>
					  <author>mwanakijiji@journalist.com (Mzee Mwanakijiji)</author>
					  <pubDate>Fri, 02 Feb 2007 00:00:00 +0300</pubDate>
					 
					</item>

				

					<item>
					  <title>Miaka 30 ya CCM - Hongera!! Lakini....</title>
					  <link>http://www.habaritanzania.com/articles/2801/1/Miaka-30-ya-CCM---Hongera%21%21-Lakini....</link>
					  <description>Tarehe 5/2/2007 itakuwa imetimia miaka thelathini tangu Chama cha Mapinduzi kuzaliwa baada ya vyama vya  TANU na ASP kuvunjwa. </description>
					  <author>mwanakijiji@journalist.com (Mzee Mwanakijiji)</author>
					  <pubDate>Thu, 01 Feb 2007 00:00:00 +0300</pubDate>
					 
					</item>

				

					<item>
					  <title>Kuanguka kwa CCM - Unabii Utatimia</title>
					  <link>http://www.habaritanzania.com/articles/2653/1/Kuanguka-kwa-CCM---Unabii-Utatimia</link>
					  <description>Hivi ni nani aliyesema kuwa CCM itatawala milele?! ni nani aliyetoa ahadi kuwa mwenyezi Mungu amekiteua chama hicho kututawala na kutufikisha katika nchi ya ahadi, nchi ile imiminikayo maziwa na asali? Hakuna! CCM itaanguka na kuporomoka. Kwanini? hili ni jibu langu.</description>
					  <author>mwanakijiji@journalist.com (Mzee Mwanakijiji)</author>
					  <pubDate>Sat, 20 Jan 2007 00:00:00 +0300</pubDate>
					 
					</item>

				

					<item>
					  <title>An Open Letter to the British Government</title>
					  <link>http://www.habaritanzania.com/articles/2627/1/An-Open-Letter-to-the-British-Government</link>
					  <description>This is an open letter from the Consortium of Concerned Tanzanians International concerning the recent revelation of a possible scandal involving a British firm and Tanzanian government. </description>
					  <author>mwanakijiji@journalist.com (Mzee Mwanakijiji)</author>
					  <pubDate>Thu, 18 Jan 2007 00:00:00 +0300</pubDate>
					 
					</item>

				

					<item>
					  <title>Sakata la Rada - Ukweli Lazima Ujulikane</title>
					  <link>http://www.habaritanzania.com/articles/2626/1/Sakata-la-Rada---Ukweli-Lazima-Ujulikane</link>
					  <description>Wakati wa kuendelea kuburuzwa na kukubali maneno ya viongozi kama vile maneno ya mitume umepita. Kuna mtu hasemi ukweli na viongozi ninaowataja humu watupe maelezo yao na waruhusu wachunguzwe!!</description>
					  <author>mwanakijiji@journalist.com (Mzee Mwanakijiji)</author>
					  <pubDate>Thu, 18 Jan 2007 00:00:00 +0300</pubDate>
					 
					</item>

				

					<item>
					  <title>The Remaining Political Challenges</title>
					  <link>http://www.habaritanzania.com/articles/2600/1/The-Remaining-Political-Challenges</link>
					  <description>We have survied the Army Mutiny, the Kagera War, the attempted overthrow of the government, the retiring of Mwalimu etc. However we have at least four more political challenges that we as a nation have to face one day. Will we survive them and remain a nation? </description>
					  <author>mwanakijiji@journalist.com (Mzee Mwanakijiji)</author>
					  <pubDate>Tue, 16 Jan 2007 00:00:00 +0300</pubDate>
					 
					</item>

				

					<item>
					  <title>Wapinzani Wakombozi au Bangaizi?</title>
					  <link>http://www.habaritanzania.com/articles/2525/1/Wapinzani-Wakombozi-au-Bangaizi%3F</link>
					  <description>Tangu uchaguzi uishe na hata kabla ya uchaguzi viongozi kadhaa wa upinzani wamekuwa wakidai kuwa CCM imeshindwa kuongoza, imejaa ufisadi, haifai kushika hatamu za uongozi wa nchi yetu. Je, tuwageukie wapinzani ili watutoe katika kifungo hiki cha CCM au na wao ni bangaizi vile vile?</description>
					  <author>mwanakijiji@journalist.com (Mzee Mwanakijiji)</author>
					  <pubDate>Mon, 08 Jan 2007 00:00:00 +0300</pubDate>
					 
					</item>

				

					<item>
					  <title>JWTZ, Polisi wasituletee Ubabe wa Kijeshi!</title>
					  <link>http://www.habaritanzania.com/articles/2492/1/JWTZ%2C-Polisi-wasituletee-Ubabe-wa-Kijeshi%21</link>
					  <description>Mara kadhaa tumesikia kuwa vyombo vyetu vya usalama vimekuwa vikikamata watu waliovalia mavazi &#34;yanayofanana&#34; na sare za kijeshi kwa kisingizio kuwa kwa kufanya hivyo watu hao wanalidhalilisha jeshi na wanachochea vitendo vya uhalifu. Ukweli hata hivyo, hauko hivyo. </description>
					  <author>mwanakijiji@journalist.com (Mzee Mwanakijiji)</author>
					  <pubDate>Fri, 05 Jan 2007 00:00:00 +0300</pubDate>
					 
					</item>

				

					<item>
					  <title>Tunaweza Kushindana na Wachina!</title>
					  <link>http://www.habaritanzania.com/articles/2484/1/Tunaweza-Kushindana-na-Wachina%21</link>
					  <description>Ukitembea sehemu mbalimbali za Tanzania usishangae kuona Wachina wakiendesha biashara mbalimbali. Hata biashara ambazo huko nyuma zilifanywa na wamachinga!! </description>
					  <author>mwanakijiji@journalist.com (Mzee Mwanakijiji)</author>
					  <pubDate>Thu, 04 Jan 2007 00:00:00 +0300</pubDate>
					 
					</item>

				

					<item>
					  <title>Mazingaombwe ya RDC na Tanesco!</title>
					  <link>http://www.habaritanzania.com/articles/2477/1/Mazingaombwe-ya-RDC-na-Tanesco%21</link>
					  <description>Kama ulikuwa hujui, basi sasa jua! Mkataba wa RDC na Tanesco umeuzwa kwa kampuni ya Falme za Kiarabu kwa bei iliyofichwa na hivyo kuindoa kampuni ya RDC kutoka katika kuwajibika kuleta umeme. </description>
					  <author>mwanakijiji@journalist.com (Mzee Mwanakijiji)</author>
					  <pubDate>Fri, 29 Dec 2006 00:00:00 +0300</pubDate>
					 
					</item>

				

					<item>
					  <title>Kubadili Mfumo wa Ulipaji Mishahara siri ya Kuondoa Rushwa</title>
					  <link>http://www.habaritanzania.com/articles/2351/1/Kubadili-Mfumo-wa-Ulipaji-Mishahara-siri-ya-Kuondoa-Rushwa</link>
					  <description>Je rushwa ndogondogo Tanzania inaweza kupunguzwa na hatimaye kukomeshwa? ni hoja yangu kuwa tukifanya mabadiliko fulani katika mfumo wetu wa ulipaji mishahara tutaweza kuanza kupunguza rushwa ndogondogo. </description>
					  <author>mwanakijiji@journalist.com (Mzee Mwanakijiji)</author>
					  <pubDate>Sat, 16 Dec 2006 00:00:00 +0300</pubDate>
					 
					</item>

				

					<item>
					  <title>Tunauliza kwa nini?</title>
					  <link>http://www.habaritanzania.com/articles/2288/1/Tunauliza-kwa-nini%3F</link>
					  <description>Hivi kwanini kuna watu katika Tanzania ambao wanaamini kuwa wao wanastahili zaidi kuliko Watanzania wengine? Inakuwaje watu hao wafanye kazi zao bila kujali matokeo yake kana kwamba wao ni miungu watu. Tunauliza kwanini!!</description>
					  <author>mwanakijiji@journalist.com (Mzee Mwanakijiji)</author>
					  <pubDate>Tue, 12 Dec 2006 00:00:00 +0300</pubDate>
					 
					</item>

				

					<item>
					  <title>Watanzania Wachangamkie Shirikisho la Afrika ya Mashariki</title>
					  <link>http://www.habaritanzania.com/articles/2161/1/Watanzania-Wachangamkie-Shirikisho-la-Afrika-ya-Mashariki</link>
					  <description>Watanzania wengi wanaonesha wako hatihati na roho ya kusitasita kuhusu ujio wa Shirikisho la Afrika ya Mashariki. Hoja yangu leo ni kuwa haipaswi kuwa hivyo. Hii ni sehemu ya kwanza.</description>
					  <author>mwanakijiji@journalist.com (Mzee Mwanakijiji)</author>
					  <pubDate>Sun, 03 Dec 2006 00:00:00 +0300</pubDate>
					 
					</item>

				

					<item>
					  <title>Penzi lako Silitaki!</title>
					  <link>http://www.habaritanzania.com/articles/2125/1/Penzi-lako-Silitaki%21</link>
					  <description>Ni utenzi mfupi wa mtu aliyetamani cha mtu kumbe vyote ulaghai!</description>
					  <author>mwanakijiji@journalist.com (Mzee Mwanakijiji)</author>
					  <pubDate>Sun, 03 Dec 2006 00:00:00 +0300</pubDate>
					 
					</item>

				

					<item>
					  <title>A Challenge to Pessimists - A Dare to Hope</title>
					  <link>http://www.habaritanzania.com/articles/2082/1/A-Challenge-to-Pessimists---A-Dare-to-Hope</link>
					  <description>When we look at the situation in the country and across East Africa, we are tempted to be pessimistic, and indeed sometimes we find ourselves holding such world view. It is the purpose of this article to challenge our generation to dare to hope and soar higher like an eagle even when things don't look that promising. But first, we must defeat pessimism. </description>
					  <author>mwanakijiji@journalist.com (Mzee Mwanakijiji)</author>
					  <pubDate>Thu, 30 Nov 2006 00:00:00 +0300</pubDate>
					 
					</item>

				

					<item>
					  <title>Hapa Walipo Hawapo!</title>
					  <link>http://www.habaritanzania.com/articles/1973/1/Hapa-Walipo-Hawapo%21</link>
					  <description>Alichosema Lowassa bungeni bado kinanikera. Leo napiga hatua moja zaidi. Kama Waziri mkuu anawajua viongozi mashujaa, mahiri, waadilifu na majasiri atutajie majina yao!!</description>
					  <author>mwanakijiji@journalist.com (Mzee Mwanakijiji)</author>
					  <pubDate>Sun, 26 Nov 2006 00:00:00 +0300</pubDate>
					 
					</item>

				

					<item>
					  <title>Lowassa twataka jibu!!</title>
					  <link>http://www.habaritanzania.com/articles/1862/1/Lowassa-twataka-jibu%21%21</link>
					  <description>Akitoa hoja ya kuahirisha bunge, Waziri Mkuu alighani shairi ambalo kwa majigambo na majitambo, alidai kuwa viongozi mashujaa, waadilifu, majasiri na wanaojali watu &#34;wapo wamejaa tele&#34;. </description>
					  <author>mwanakijiji@journalist.com (Mzee Mwanakijiji)</author>
					  <pubDate>Fri, 17 Nov 2006 00:00:00 +0300</pubDate>
					 
					</item>

				

					<item>
					  <title>Rambirambi au Unafiki?</title>
					  <link>http://www.habaritanzania.com/articles/1836/1/Rambirambi-au-Unafiki%3F</link>
					  <description>Kitendo cha viongozi wa ngazi za juu wa serikali yetu kwenda kutoa rambirambi kwa familia ya Hassan Mbonde huko Kawe, kwa njia kinaonekana ni cha kibinadamu, kiungwana, na kinachoonesha kujali. Hata hivyo kwa mtu anayeangalia kwa karibu kitendo hiki kimejaa unafiki, uzandiki, na kinachozua maswali mengi zaidi.</description>
					  <author>mwanakijiji@journalist.com (Mzee Mwanakijiji)</author>
					  <pubDate>Thu, 16 Nov 2006 00:00:00 +0300</pubDate>
					 
					</item>

				

					<item>
					  <title>The Arrogance of Power</title>
					  <link>http://www.habaritanzania.com/articles/1764/1/The-Arrogance-of-Power</link>
					  <description>A minister is accused of rape of a fifteen years old Secondary school student in Dodoma. The accusation is made after the minister is caught ready handed by his wife in one of the hotels the designate capital.</description>
					  <author>mwanakijiji@journalist.com (Mzee Mwanakijiji)</author>
					  <pubDate>Thu, 09 Nov 2006 00:00:00 +0300</pubDate>
					 
					</item>

				
				  </channel>
				</rss>
			