<?xml version="1.0" encoding="utf-8"?><?xml-stylesheet href="http://www.habaritanzania.com/templates/Default/RssDisplay.xslt" type="text/xsl"?>
		<rss version="2.0">
		  <channel>
				<title>Habari Tanzania - Articles - Salehe Mmoro</title>
				<link>http://www.habaritanzania.com</link>
				<description />
				<language>en-us</language>
				<copyright>http://www.habaritanzania.com</copyright>
				<generator>N/A</generator>
				<webMaster>info@habaritanzania.com</webMaster>
				<lastBuildDate>Sat, 22 Nov 2008 10:26:19 +0300</lastBuildDate>
				<ttl>20</ttl>

					<item>
					  <title>Wenye Vichwa vikubwa na matumbo membamba wapewe keki watunze</title>
					  <link>http://www.habaritanzania.com/articles/1421/1/Wenye-Vichwa-vikubwa-na-matumbo-membamba-wapewe-keki-watunze</link>
					  <description>KATUNI iliyochorwa na King Kinya, katika gazeti, The Citizen la Oktoba 16  mwaka huu, juu ya mabadiliko ya Baraza la Mawaziri aliyofanya Rais Jakaya  Kikwete, imeniacha hoi!</description>
					  <author>omybabu@yahoo.com (Salehe Mmoro)</author>
					  <pubDate>Fri, 20 Oct 2006 00:00:00 +0300</pubDate>
					 
					</item>

				

					<item>
					  <title>Bush ni pacha wa Baba yake</title>
					  <link>http://www.habaritanzania.com/articles/1332/1/Bush-ni-pacha-wa-Baba-yake</link>
					  <description>KATUNI ya gazeti la Newsweek la Septemba 12 mwaka jana, ilimwonyesha  George W. Bush (Namba 43 White House) akipiga simu kutaka maafa ya janga la  katrina, New Orleans , yakabiliwe kijeshi.</description>
					  <author>omybabu@yahoo.com (Salehe Mmoro)</author>
					  <pubDate>Sat, 14 Oct 2006 00:00:00 +0300</pubDate>
					 
					</item>

				

					<item>
					  <title>Ni Kweli, Katika msafara wa Mamba na Kenge wamo.</title>
					  <link>http://www.habaritanzania.com/articles/1331/1/Ni-Kweli%2C-Katika-msafara-wa-Mamba-na-Kenge-wamo.</link>
					  <description>MWAKA 1831, Seneta wa New York , William L. Marcy aliwahi kusema wakati wa  majadiliano katika Bunge la Congress kwamba mshindi (wa uchaguzi) huja na  majahili na mafisadi!</description>
					  <author>omybabu@yahoo.com (Salehe Mmoro)</author>
					  <pubDate>Sat, 14 Oct 2006 00:00:00 +0300</pubDate>
					 
					</item>

				

					<item>
					  <title>'Sitaki-Nataka' Raila Odinga Awe Rais Kenya.</title>
					  <link>http://www.habaritanzania.com/articles/1233/1/%91Sitaki-Nataka%92-Raila-Odinga-Awe-Rais-Kenya.</link>
					  <description>KAMA kuna Mwanasiasa ambaye harakati na mienendo yake ya kisiasa ni utata  mtupu, mafumbo na kiini macho hapa Afrika Mashariki, si mwingine bali Waziri wa  zamani wa Barabara, Ujenzi na Nyumba, Raila Odinga.</description>
					  <author>omybabu@yahoo.com (Salehe Mmoro)</author>
					  <pubDate>Sat, 07 Oct 2006 00:00:00 +0300</pubDate>
					 
					</item>

				

					<item>
					  <title>CCM Kwa Kuwajengea Vibanda vya Udongo Wawekezaji wa Madini, Haina Akili?</title>
					  <link>http://www.habaritanzania.com/articles/1232/1/CCM-Kwa-Kuwajengea-Vibanda-vya-Udongo-Wawekezaji-wa-Madini%2C-Haina-Akili%3F</link>
					  <description>SEPTEMBA 22, mwaka 2004, Rais Mstaafu, Benjamin William Mkapa ,alipokuwa  akihojiwa na Mtayarishaji wa kipindi maarufu cha Straight Talk Africa (VoA), Dk.  Shaka Ssali, aliwatetea wawekezaji wa madini kwamba wamekuwa na manufaa makubwa  kwa kuleta tija katika sekta hiyo na kusadia huduma za jamii nchini.</description>
					  <author>omybabu@yahoo.com (Salehe Mmoro)</author>
					  <pubDate>Sat, 07 Oct 2006 00:00:00 +0300</pubDate>
					 
					</item>

				

					<item>
					  <title>Heri Kulamba Miguu ya Kikwete Kuliko ya Mabeberu</title>
					  <link>http://www.habaritanzania.com/articles/1231/1/Heri-Kulamba-Miguu-ya-Kikwete-Kuliko-ya-Mabeberu</link>
					  <description>JUMAPILI, Oktoba Mosi mwaka huu, Gazeti la Sunday Nation la Kenya  liliwakejeli waandishi wa habari wa Tanzania kwamba walikuwa wakikalia 'kumlamba  miguu' Rais Jakaya Kikwete, na kukariri kila akisemacho, kama kasuku!</description>
					  <author>omybabu@yahoo.com (Salehe Mmoro)</author>
					  <pubDate>Sat, 07 Oct 2006 00:00:00 +0300</pubDate>
					 
					</item>

				
				  </channel>
				</rss>
			