<?xml version="1.0" encoding="utf-8"?><?xml-stylesheet href="http://www.habaritanzania.com/templates/Default/RssDisplay.xslt" type="text/xsl"?>
		<rss version="2.0">
		  <channel>
				<title>Habari Tanzania - Articles - Siasa</title>
				<link>http://www.habaritanzania.com</link>
				<description />
				<language>en-us</language>
				<copyright>http://www.habaritanzania.com</copyright>
				<generator>N/A</generator>
				<webMaster>info@habaritanzania.com</webMaster>
				<lastBuildDate>Sat, 22 Nov 2008 04:39:57 +0300</lastBuildDate>
				<ttl>20</ttl>

					<item>
					  <title> Muafaka waja - JK</title>
					  <link>http://www.habaritanzania.com/articles/4282/1/-Muafaka-waja---JK</link>
					  <description>MAZUNGUMZO ya kusaka muafaka wa kisiasa visiwani Zanzibar, baina ya Chama Cha Mapinzuzi (CCM) na Chama cha Wananchi (CUF) yanakaribia kufikia mwisho, Rais Jakaya Kikwete amesema.</description>
					  <author>info@habaritanzania.com (Habari Tanzania)</author>
					  <pubDate>Sat, 12 Jan 2008 00:00:00 +0300</pubDate>
					 
					</item>

				

					<item>
					  <title> Bush ajitosa vurugu za Kenya</title>
					  <link>http://www.habaritanzania.com/articles/4272/1/-Bush-ajitosa-vurugu-za-Kenya</link>
					  <description>MAREKANI imeanza kuchukua hatua katika jaribio la kusuluhisha mgogoro ulioikumba Kenya kutokana na kutokubalika kwa matokeo ya uchaguzi mkuu uliofanyika mwishoni mwa mwaka jana.</description>
					  <author>info@habaritanzania.com (Habari Tanzania)</author>
					  <pubDate>Sat, 05 Jan 2008 00:00:00 +0300</pubDate>
					 
					</item>

				

					<item>
					  <title> CHADEMA yafufua hoja ya mafisadi</title>
					  <link>http://www.habaritanzania.com/articles/4260/1/-CHADEMA-yafufua-hoja-ya-mafisadi</link>
					  <description>                              CHAMA cha Demokrasia na Maendeleo (CHADEMA), kimehoji ukimya wa serikali kuhusu kuwashughulikia watuhumiwa wa ufisadi walioanikwa hadharani na wapinzani miezi michache iliyopita.</description>
					  <author>info@habaritanzania.com (Habari Tanzania)</author>
					  <pubDate>Wed, 19 Dec 2007 00:00:00 +0300</pubDate>
					 
					</item>

				

					<item>
					  <title>Rais Kikwete na Simba wake wa Kuchora!</title>
					  <link>http://www.habaritanzania.com/articles/4240/1/Rais-Kikwete-na-Simba-wake-wa-Kuchora%21</link>
					  <description>Mara kadhaa sasa Rais Kikwete na viongozi wenzake wa ngazi za juu wamekuwa wakishikilia picha ya kuchora ya simba wakiwatishia wahalifu. Kwanini wahalifu hawatatishiki? </description>
					  <author>mwanakijiji@journalist.com (Mzee Mwanakijiji)</author>
					  <pubDate>Fri, 30 Nov 2007 00:00:00 +0300</pubDate>
					 
					</item>

				

					<item>
					  <title>Mapinduzi CCM</title>
					  <link>http://www.habaritanzania.com/articles/4229/1/Mapinduzi-CCM</link>
					  <description>HALMASHAURI Kuu ya Taifa ya Chama Cha Mapinduzi (CCM), jana ilifanya mabadiliko makubwa kwa nafasi za watendaji wakuu wa ndani ya chama hicho.</description>
					  <author>washawashaupupu@yahoo.com (Marshy Abdu)</author>
					  <pubDate>Wed, 07 Nov 2007 00:00:00 +0300</pubDate>
					 
					</item>

				

					<item>
					  <title>Kauli za Kikwete kuiponza serikali</title>
					  <link>http://www.habaritanzania.com/articles/4227/1/Kauli-za-Kikwete-kuiponza-serikali</link>
					  <description>KAULI kuhusu kuunda kamati ya kupitia mikataba pamoja na sheria za madini, iliyotolewa mwishoni mwa wiki iliyopita na Rais Jakaya Kikwete, kupitia hotuba yake ya ufunguzi wa Mkutano Mkuu wa nane wa Chama Cha Mapinduzi (CCM), imeelezwa kuwa itawasha moto mpya utakaoitia matatani zaidi serikali anayoiongoza pamoja na chama chake.</description>
					  <author>washawashaupupu@yahoo.com (Marshy Abdu)</author>
					  <pubDate>Mon, 05 Nov 2007 00:00:00 +0300</pubDate>
					 
					</item>

				

					<item>
					  <title>Ngoma nzito Kizota</title>
					  <link>http://www.habaritanzania.com/articles/4226/1/Ngoma-nzito-Kizota</link>
					  <description>KINYANG'ANYIRO cha uchaguzi ndani ya Chama Cha Mapinduzi (CCM) kiliendelea hadi usiku wa manane kuamkia leo, kukiwa na habari kuwa jitihada za Mwenyekiti wa chama hicho, Rais Jakaya Kikwete kutaka watoa rushwa wasichaguliwe, ziligonga mwamba.</description>
					  <author>washawashaupupu@yahoo.com (Marshy Abdu)</author>
					  <pubDate>Mon, 05 Nov 2007 00:00:00 +0300</pubDate>
					 
					</item>

				

					<item>
					  <title>Ukimya wa Mkapa , Ushahidi wa Kutoka Kapa Darasani!</title>
					  <link>http://www.habaritanzania.com/articles/4220/1/Ukimya-wa-Mkapa-%2C-Ushahidi-wa-Kutoka-Kapa-Darasani%21</link>
					  <description>Makala hii ilitoka kwenye gazeti la &#34;Kulikoni&#34; siku ya Jumatatu Octoba 22, 2007. Niliandika makala hii kufuatia kuendelea kwa Rais mstaafu Mkapa kuwa bubu kufuatia tuhuma mbalimbali zinazomkabili. Kwanini yuko kimya? </description>
					  <author>mwanakijiji@journalist.com (Mzee Mwanakijiji)</author>
					  <pubDate>Tue, 23 Oct 2007 00:00:00 +0300</pubDate>
					 
					</item>

				

					<item>
					  <title>Mkapa amtesa Rais Kikwete</title>
					  <link>http://www.habaritanzania.com/articles/4216/1/Mkapa-amtesa-Rais-Kikwete</link>
					  <description>DHAMBI ya ubaguzi na kuchafuana majina iliyoibuka wakati wa mchakato wa kumpata mgombea urais ndani ya Chama Cha Mapinduzi (CCM), sasa imeanza kumwandama Rais Jakaya Kikwete.</description>
					  <author>info@habaritanzania.com (Habari Tanzania)</author>
					  <pubDate>Sun, 21 Oct 2007 00:00:00 +0300</pubDate>
					 
					</item>

				

					<item>
					  <title>Kasungura Ka Lowassa Na Aliyekula Ng&#39;ombe!</title>
					  <link>http://www.habaritanzania.com/articles/4206/1/Kasungura-Ka-Lowassa-Na-Aliyekula-Ng%26%2339%3Bombe%21</link>
					  <description>  Kuna michezo mingi ya kitoto ambayo ukikaa chini kufikiria inakuwa kama methali yenye maana. Baadhi ya michezo hiyo bado tunawaona watoto wetu wakiicheza leo hii sehemu mbalimbali nchini. Na kuna nyimbo nyingi za michezo ya kitoto ambayo watoto wetu nao huiimba siku hizi wakicheza kila jua lichwapo na giza liingiapo. Mojawapo ya nyimbo ambazo bado nazikumbuka za toka utotoni ni ule wa "Kakuku ka mama Rhoda". Sijui ni nani alianzisha wimbo au ni kwanini waliutunga, lakini kwa vyovyote vile huyo mtu alikuwa na lake kwani kuku wa jirani alikuwa anakula mpunga wa mtu huyo na kila akitaka kukafukuza basi mama Rhoda alikuwa "anamkataza."    </description>
					  <author>mwanakijiji@journalist.com (Mzee Mwanakijiji)</author>
					  <pubDate>Mon, 15 Oct 2007 00:00:00 +0300</pubDate>
					 
					</item>

				

					<item>
					  <title>Haya ni Mapambano ya Kifikra</title>
					  <link>http://www.habaritanzania.com/articles/4202/1/Haya-ni-Mapambano-ya-Kifikra</link>
					  <description>Taifa letu linapitia wakati mgumu na wa majaribu ya kisiasa. Kiini cha ugumu wa wakati huu ni mgongano wa fikra unaondelea kati ya watawala na watawaliwa, viongozi na wale wanaoongozwa. </description>
					  <author>mwanakijiji@journalist.com (Mzee Mwanakijiji)</author>
					  <pubDate>Tue, 09 Oct 2007 00:00:00 +0300</pubDate>
					 
					</item>

				

					<item>
					  <title>Mawaziri wazomewa</title>
					  <link>http://www.habaritanzania.com/articles/4195/1/Mawaziri-wazomewa</link>
					  <description>MAWAZIRI wa Serikali ya Awamu ya Nne walio mkoani Mbeya kwa lengo la kukisafisha chama hicho tawala dhidi ya sumu iliyosambazwa na wapinzani, jana walijikuta wakiwa katika wakati mgumu kisiasa, baada ya mkutano wao wa hadhara kutawaliwa na miguno ya wananchi na baadaye kuzomewa.</description>
					  <author>washawashaupupu@yahoo.com (Marshy Abdu)</author>
					  <pubDate>Thu, 04 Oct 2007 00:00:00 +0300</pubDate>
					 
					</item>

				

					<item>
					  <title>Wasomi hawawi nepi.</title>
					  <link>http://www.habaritanzania.com/articles/4192/1/Wasomi-hawawi-nepi.</link>
					  <description>Wakati wa kudai uhuru, nchi yetu ilipata taabu sana kutokana na mfumo  uliokuwa umewekwa na wakoloni. Wakoloni walipoivamia na kuikalia Afrika,  walitumia mbinu nyingi chafu kuhakikisha wanaendelea kuinyonya.</description>
					  <author>nesaa1977@yahoo.com (Nthelezi Nesaa)</author>
					  <pubDate>Fri, 28 Sep 2007 00:00:00 +0300</pubDate>
					 
					</item>

				

					<item>
					  <title>Serikali na wahusika wajibu tuhuma badala ya kujirusha.</title>
					  <link>http://www.habaritanzania.com/articles/4191/1/Serikali-na-wahusika-wajibu-tuhuma-badala-ya-kujirusha.</link>
					  <description>Tarehe septemba 15, Tanzania iliweka historia mpya. Ukimya na ulegelege wa  wapinzani ulianza kuwa historia. Si haba muungano wa vyama vinne vya upinzani  unaanza kuzaa matunda tena kwa kasi mpya nguvu mpya na ari mpya. Uzembe wa bunge  kwa kumsimamisha mbunge wa Kigoma Kaskazini, Zitto Kabwe unaanza kuiandama  serikali na chama tawala.</description>
					  <author>nesaa1977@yahoo.com (Nthelezi Nesaa)</author>
					  <pubDate>Fri, 28 Sep 2007 00:00:00 +0300</pubDate>
					 
					</item>

				

					<item>
					  <title>ILI KUIBADILI BONGO, &#34;Wa-Tank Man&#34; WANAHITAJIKA</title>
					  <link>http://www.habaritanzania.com/articles/4121/1/ILI-KUIBADILI-BONGO%2C-%26quot%3BWa-Tank-Man%26quot%3B-WANAHITAJIKA</link>
					  <description>&#34;The Tank man&#34; anatukumbusha kuwa mchakato wa mabadiliko yoyote yale yawe ya kisiasa, kijamii ama kiuchumi hayataletwa na viongozi wenye majina makubwa yaliyozoeleka masikioni mwetu </description>
					  <author>edward@bongotz.com (Edward Chacha)</author>
					  <pubDate>Tue, 25 Sep 2007 00:00:00 +0300</pubDate>
					 
					</item>

				

					<item>
					  <title>Tungelikuwa sisi wao, tungelifanya hivi</title>
					  <link>http://www.habaritanzania.com/articles/4189/1/Tungelikuwa-sisi-wao%2C-tungelifanya-hivi</link>
					  <description>Katika makala mbili zilizotangulia nimejaribu kuonesha kuwa Swali la Waziri mkuu lina majibu na makala hizo ni sehemu ya majibu hayo. </description>
					  <author>mwanakijiji@journalist.com (Mzee Mwanakijiji)</author>
					  <pubDate>Mon, 24 Sep 2007 00:00:00 +0300</pubDate>
					 
					</item>

				

					<item>
					  <title>JK amponza Lowassa</title>
					  <link>http://www.habaritanzania.com/articles/4188/1/JK-amponza-Lowassa</link>
					  <description>FALSAFA aliyoingia nayo madarakani Rais Jakaya Kikwete, inaelekea kuanza kumkaanga kiongozi huyo wa awamu ya nne katika Serikali ya Tanzania, baada ya msaidizi wake mkuu, Waziri Mkuu, Edward Lowassa kubanwa na wananchi wa Sengerema.</description>
					  <author>washawashaupupu@yahoo.com (Marshy Abdu)</author>
					  <pubDate>Mon, 24 Sep 2007 00:00:00 +0300</pubDate>
					 
					</item>

				

					<item>
					  <title>Zitto atumiwa ndege kwenda Bukoba</title>
					  <link>http://www.habaritanzania.com/articles/4187/1/Zitto-atumiwa-ndege-kwenda-Bukoba</link>
					  <description>KATIKA kile kinachoonekana kuwa ni kutotaka kupitwa na masuala mazito ya kitaifa, wakazi wa mjini Bukoba bila kujali itikadi zao wamechanga fedha za kununua tiketi ya ndege ili kumwezesha Mbunge wa Kigoma Kaskazini, Kabwe Zitto (CHADEMA), kwenda kuwaeleza masuala kadhaa yanayoisumbua nchi.</description>
					  <author>washawashaupupu@yahoo.com (Marshy Abdu)</author>
					  <pubDate>Mon, 24 Sep 2007 00:00:00 +0300</pubDate>
					 
					</item>

				

					<item>
					  <title>Tulichofanya Kulisaidia Taifa Letu - Najibu Swali la Waziri Mkuu</title>
					  <link>http://www.habaritanzania.com/articles/4180/1/Tulichofanya-Kulisaidia-Taifa-Letu---Najibu-Swali-la-Waziri-Mkuu</link>
					  <description>Wakati akitoa hoja ya kulihairisha Bunge tarehe 18 August mwaka huu, Waziri Mkuu Mh. Edward Lowassa alihoji kwa kejeli kuwa watu ambao wamekuwa wakiikosoa serikali wao &#34;wamefanya nini kulisaidia taifa letu?&#34;. Hii ni sehemu ya pili ya majibu yangu ya swali hilo.</description>
					  <author>mwanakijiji@journalist.com (Mzee Mwanakijiji)</author>
					  <pubDate>Tue, 18 Sep 2007 00:00:00 +0300</pubDate>
					 
					</item>

				

					<item>
					  <title>Zitto asuburiwa kwa hamu Moro</title>
					  <link>http://www.habaritanzania.com/articles/4175/1/Zitto-asuburiwa-kwa-hamu-Moro</link>
					  <description>ZIARA ya Mbunge wa Kigoma Kaskazini, Zitto Kabwe na viongozi waandamizi wa vyama vinne vya upinzani, huenda ikaamsha masuala mazito mkoani hapa kutokana na wananchi wengi waliozungumza kudai wako tayari kutaja baadhi ya ukiukwaji wa sheria, kanuni na taratibu za utawala bora.</description>
					  <author>washawashaupupu@yahoo.com (Marshy Abdu)</author>
					  <pubDate>Fri, 14 Sep 2007 00:00:00 +0300</pubDate>
					 
					</item>

				

					<item>
					  <title>CCM yavunja moyo</title>
					  <link>http://www.habaritanzania.com/articles/4173/1/CCM-yavunja-moyo</link>
					  <description>MATOKEO ya uchaguzi wa Chama Cha Mapinduzi (CCM) ngazi ya mikoa yanayoendelea kutangazwa, yameonyesha hali ya kukatisha tamaa makada wake wengi kutokana na matukio kadhaa, yakiwamo ya kukithiri kwa makundi na kauli za wazi za kulalamika zinazoendelea kutolewa na wanachama maarufu ndani ya chama hicho.</description>
					  <author>washawashaupupu@yahoo.com (Marshy Abdu)</author>
					  <pubDate>Thu, 13 Sep 2007 00:00:00 +0300</pubDate>
					 
					</item>

				

					<item>
					  <title>Uchaguzi ccm kigoma vigogo wang'olewa</title>
					  <link>http://www.habaritanzania.com/articles/4171/1/Uchaguzi-ccm-kigoma-vigogo-wang%92olewa</link>
					  <description>Chama cha mapinduzi mkoa wa kigoma juzi kimewapata viongozi wapya watakaouongoza mkoa huio katika kipindi cha miaka mitano ijayo baada ya kufanyika kwa mkutano mkuu wa mkoa uliokuwa ukiwajibika kwa uchaguzi huo.  </description>
					  <author>info@habaritanzania.com (Habari Tanzania)</author>
					  <pubDate>Wed, 12 Sep 2007 00:00:00 +0300</pubDate>
					 
					</item>

				

					<item>
					  <title>Ni vita NEC CCM</title>
					  <link>http://www.habaritanzania.com/articles/4170/1/Ni-vita-NEC-CCM</link>
					  <description>DAKIKA za majeruhi katika uchaguzi wa ndani wa Chama Cha Mapinduzi (CCM) umeshuhudia wagombea, hasa wale wa nafasi za ujumbe wa Halmashauri Kuu ya Taifa (NEC) wakitumia mbinu mbalimbali kujihakikishia ushindi.</description>
					  <author>washawashaupupu@yahoo.com (Marshy Abdu)</author>
					  <pubDate>Mon, 10 Sep 2007 00:00:00 +0300</pubDate>
					 
					</item>

				

					<item>
					  <title>Leo:Kusuka au Kunyoa</title>
					  <link>http://www.habaritanzania.com/articles/4162/1/Leo%3AKusuka-au-Kunyoa</link>
					  <description>HATIMA ya kukithiri kwa vitendo vya rushwa katika uchaguzi wa ndani ya Chama Cha Mapinduzi (CCM) inatarajiwa kujulikana leo baada ya kikao cha Kamati Kuu ya chama hicho inayokutana Dodoma chini ya Uenyekiti wa Rais Jakaya Kikwete. </description>
					  <author>washawashaupupu@yahoo.com (Marshy Abdu)</author>
					  <pubDate>Wed, 05 Sep 2007 00:00:00 +0300</pubDate>
					 
					</item>

				

					<item>
					  <title>Mbowe: Wananchi kataeni kuwa madaraja ya kuivusha CCM</title>
					  <link>http://www.habaritanzania.com/articles/4161/1/Mbowe%3A-Wananchi-kataeni-kuwa-madaraja-ya-kuivusha-CCM</link>
					  <description>WAKATI umefika kwa wakazi wa Mkoa wa Tabora kuacha kuwa maboya na madaraja ya Chama Cha Mapinduzi (CCM) kuingia madarakani.</description>
					  <author>washawashaupupu@yahoo.com (Marshy Abdu)</author>
					  <pubDate>Wed, 05 Sep 2007 00:00:00 +0300</pubDate>
					 
					</item>

				

					<item>
					  <title>Mbowe: Nawachukia viongozi CCM, serikali kwa ubadhirifu</title>
					  <link>http://www.habaritanzania.com/articles/4159/1/Mbowe%3A-Nawachukia-viongozi-CCM%2C-serikali-kwa-ubadhirifu</link>
					  <description>MWENYEKITI wa Chama cha Demokrasia na Maendeleo (CHADEMA), Freeman Mbowe, amewahakikishia wanachama wa Chama Cha Mapindzi (CCM) pamoja na makatibu kata wa Wilaya ya Misungwi, Mkoa wa Mwanza kuwa hana chuki nao, bali ana chuki na viongozi wa CCM na serikali kwa ujumla kwani ni wabadhilifu, wezi wa mali ya umma.</description>
					  <author>washawashaupupu@yahoo.com (Marshy Abdu)</author>
					  <pubDate>Tue, 04 Sep 2007 00:00:00 +0300</pubDate>
					 
					</item>

				

					<item>
					  <title>CCM Tanga waonyesha tofauti zao</title>
					  <link>http://www.habaritanzania.com/articles/4157/1/CCM-Tanga-waonyesha-tofauti-zao</link>
					  <description>WATENDAJI wa Chama Cha Mapinduzi (CCM) na jumuiya zake mkoani hapa, wamesema wameanza kuonyesha tofauti za wazi kutokana na malumbano yaliyoibuka baina ya Katibu Mkuu wa chama hicho, Yussuf Makamba, na Mwenyekiti wa CCM wa Wilaya ya Tanga, Mohamed Dhikri.</description>
					  <author>washawashaupupu@yahoo.com (Marshy Abdu)</author>
					  <pubDate>Mon, 03 Sep 2007 00:00:00 +0300</pubDate>
					 
					</item>

				

					<item>
					  <title>Sakata la Buzwagi laibua siri nyingine</title>
					  <link>http://www.habaritanzania.com/articles/4156/1/Sakata-la-Buzwagi-laibua-siri-nyingine</link>
					  <description>ZIARA ya viongozi wa vyama vinne vya upinzani mikoani kuelezea sakata la kusimamishwa kwa Mbunge wa Kigoma Kaskazini, Kabwe ZuberiZitto (CHADEMA), inaibua kashfa nyingine ambazo zilishaanza kusahaulika. </description>
					  <author>washawashaupupu@yahoo.com (Marshy Abdu)</author>
					  <pubDate>Mon, 03 Sep 2007 00:00:00 +0300</pubDate>
					 
					</item>

				

					<item>
					  <title>Mgombea NEC-Vijana atoa hadhari ya utandawazi na uongozi bora</title>
					  <link>http://www.habaritanzania.com/articles/4154/1/Mgombea-NEC-Vijana-atoa-hadhari-ya-utandawazi-na-uongozi-bora</link>
					  <description>Wananchi na wanachama wa chama cha mapinduzi CCM mkoani Kigoma na Tanzania kwa ujumla wametakiwa kuwa makini wakati wa ushindani wa kiteknolojia na utandawazi ili kujiletea maendeleo ya haraka.</description>
					  <author>pkwigize@yahoo.com (Prosper Kwigize)</author>
					  <pubDate>Sun, 02 Sep 2007 00:00:00 +0300</pubDate>
					 
					</item>

				

					<item>
					  <title>Wagombea NEC, Uenyekiti wa mkoa wa Kigoma wacharuka</title>
					  <link>http://www.habaritanzania.com/articles/4152/1/Wagombea-NEC%2C-Uenyekiti-wa-mkoa-wa-Kigoma-wacharuka</link>
					  <description>Wanachama wateue wa chama cha mapinduzi wanaowania kuchaguliwa kuwa wajumbe wa halmashauri kuu ya chama hicho ngazi ya taifa, na wanaogombea uenyekiti wa mkoa wa Kigoma wiki hii wamekuwa katika pilikapilika za hapa na pale kunadi majina yao sambamba na kuomba kura katika mikutano mikuu ya wilaya za Kigoma, Kasulu na Kibondo.</description>
					  <author>pkwigize@yahoo.com (Prosper Kwigize)</author>
					  <pubDate>Sun, 02 Sep 2007 00:00:00 +0300</pubDate>
					 
					</item>

				

					<item>
					  <title>Mbunge Lembeli akimbia fedheha nyingine</title>
					  <link>http://www.habaritanzania.com/articles/4148/1/Mbunge-Lembeli-akimbia-fedheha-nyingine</link>
					  <description>MBUNGE wa Kahama, James Lembeli (CCM), anadaiwa kukacha kusikiliza matokeo ya uchaguzi wa chama hicho wilayani hapa, kwa hofu ya kuzomewa tena baada ya kupata tetesi kuwa mgombea anayemuunga mkono, alikuwa ameshindwa.</description>
					  <author>washawashaupupu@yahoo.com (Marshy Abdu)</author>
					  <pubDate>Wed, 29 Aug 2007 00:00:00 +0300</pubDate>
					 
					</item>

				

					<item>
					  <title>CCM yawatosa 'wala rushwa'</title>
					  <link>http://www.habaritanzania.com/articles/4147/1/CCM-yawatosa-%91wala-rushwa%92</link>
					  <description>CHAMA Cha Mapinduzi (CCM) kimesema hakitajihusisha na wananchama wake ambao wamekamatwa kwa tuhuma za kutoa au kupokea rushwa katika harakati za uchaguzi wa ndani wa chama hicho unaoendelea.</description>
					  <author>washawashaupupu@yahoo.com (Marshy Abdu)</author>
					  <pubDate>Tue, 28 Aug 2007 00:00:00 +0300</pubDate>
					 
					</item>

				

					<item>
					  <title>CCM iache michezo ya Kitoto</title>
					  <link>http://www.habaritanzania.com/articles/4145/1/CCM-iache-michezo-ya-Kitoto</link>
					  <description>Katika makala yake kwenye gazeti la Mzalendo Mbunge wa Mchinga Mhe. Mudhihir Mudhihi alidai kuwa mwitikio wa wananchi kwenye sakata la Zitto ni sawa na &#34;mchezo wa kitoto&#34;. Alidai kuwa Zitto anatumia nafasi ya kufungiwa kuwazuga wananchi. Haya ni majibu yangu kwa aina ile ile. </description>
					  <author>mwanakijiji@journalist.com (Mzee Mwanakijiji)</author>
					  <pubDate>Mon, 27 Aug 2007 00:00:00 +0300</pubDate>
					 
					</item>

				

					<item>
					  <title>Hoja ya Zitto yaigusa CCM</title>
					  <link>http://www.habaritanzania.com/articles/4144/1/Hoja-ya-Zitto-yaigusa-CCM</link>
					  <description>KWA mara ya kwanza, Chama Cha Mapinduzi (CCM) kimejitokeza na kutoa kauli kuhusiana na umaarufu anaoupata Mbunge wa Kigoma Kaskazini aliyesimamishwa, Kabwe Zubeir Zitto (CHADEMA).</description>
					  <author>washawashaupupu@yahoo.com (Marshy Abdu)</author>
					  <pubDate>Mon, 27 Aug 2007 00:00:00 +0300</pubDate>
					 
					</item>

				

					<item>
					  <title>NEC kufanya chaguzi za madiwani</title>
					  <link>http://www.habaritanzania.com/articles/4141/1/NEC-kufanya-chaguzi-za-madiwani</link>
					  <description>TUME ya Taifa ya Uchaguzi (NEC), inatarajia kufanya chaguzi ndogo za madiwani ili kujaza nafasi zilizoachwa wazi kutokana na kufariki, kuachishwa, kujiengua uanachama na kuhama chama kwa madiwani waliokuwepo.</description>
					  <author>info@habaritanzania.com (Habari Tanzania)</author>
					  <pubDate>Sun, 26 Aug 2007 00:00:00 +0300</pubDate>
					 
					</item>

				

					<item>
					  <title>Zitto aanza na Malima</title>
					  <link>http://www.habaritanzania.com/articles/4134/1/Zitto-aanza-na-Malima</link>
					  <description>ADAM Malima, amekuwa mbunge wa kwanza wa Chama Cha Mapinduzi (CCM) kuanza kurushiwa makombora ya hoja na Mbunge wa Kigoma Kaskazini aliyesimamishwa, Kabwe Zitto.</description>
					  <author>washawashaupupu@yahoo.com (Marshy Abdu)</author>
					  <pubDate>Thu, 23 Aug 2007 00:00:00 +0300</pubDate>
					 
					</item>

				

					<item>
					  <title>CCM yatuma vigogo</title>
					  <link>http://www.habaritanzania.com/articles/4133/1/CCM-yatuma-vigogo</link>
					  <description>CHAMA Cha Mapinduzi (CCM), kimetangaza majina ya wanasiasa wenye majina makubwa kisiasa, wakiwamo Makamu wa Rais na Waziri Mkuu kusimamia chaguzi za mikoa za chama hicho mikoani.</description>
					  <author>washawashaupupu@yahoo.com (Marshy Abdu)</author>
					  <pubDate>Thu, 23 Aug 2007 00:00:00 +0300</pubDate>
					 
					</item>

				

					<item>
					  <title>Mwenyekiti wa CCM akoswakoswa risasi</title>
					  <link>http://www.habaritanzania.com/articles/4131/1/Mwenyekiti-wa-CCM-akoswakoswa-risasi</link>
					  <description> KATIKA tukio linalohusishwa na upinzani katika uchaguzi ndani ya Chama Cha Mapinduzi (CCM), Mwenyekiti wa chama hicho mkoani Tabora, Juma Nkumba, amenusurika kifo baada ya watu wasiojulikana kumkosakosa kwa risasi.</description>
					  <author>washawashaupupu@yahoo.com (Marshy Abdu)</author>
					  <pubDate>Wed, 22 Aug 2007 00:00:00 +0300</pubDate>
					 
					</item>

				

					<item>
					  <title>Lowassa - Ndege inapaa, nani anabisha?</title>
					  <link>http://www.habaritanzania.com/articles/4122/1/Lowassa---Ndege-inapaa%2C-nani-anabisha%3F</link>
					  <description>WAZIRI Mkuu, Edward Lowassa, jana alihitimisha kikao cha Bunge la Bajeti kwa kujibu mashambulizi dhidi ya watu waliobisha hoja aliyoitoa mwanzoni mwa kikao hicho kuwa, uchumi wa Tanzania unapaa.</description>
					  <author>washawashaupupu@yahoo.com (Marshy Abdu)</author>
					  <pubDate>Sat, 18 Aug 2007 00:00:00 +0300</pubDate>
					 
					</item>

				

					<item>
					  <title>Zitto awatangazia vita wabunge 10 wa CCM</title>
					  <link>http://www.habaritanzania.com/articles/4119/1/Zitto-awatangazia-vita-wabunge-10-wa-CCM</link>
					  <description>SIKU mbili baada ya wabunge wa Chama Cha Mapinduzi (CCM) kujenga mtandao mahususi wa hoja za kumwangusha na kumsimamisha kuhudhuria vikao vya Bunge kwa miezi mitano, Mbunge wa Kigoma Kaskazini, Kabwe Zitto amezindua mkakati mahususi unaowalenga wabunge 10 wa chama hicho tawala walioongoza harakati za kumwadhibu.</description>
					  <author>washawashaupupu@yahoo.com (Marshy Abdu)</author>
					  <pubDate>Fri, 17 Aug 2007 00:00:00 +0300</pubDate>
					 
					</item>

				

					<item>
					  <title>Wananchi wamlilia Kabwe, wadai haki haikutendeka</title>
					  <link>http://www.habaritanzania.com/articles/4113/1/Wananchi-wamlilia-Kabwe%2C-wadai-haki-haikutendeka</link>
					  <description>SIKU moja tu baada ya kukabiliwa na adhabu ya kusimamishwa kuhuduria vikao vya Bunge kwa takribani miezi mitano, Mbunge wa Kigoma Kaskazini, Zitto Kabwe (Chadema) amejizolea umaarufu mkubwa na baadhi ya wasomi, wanasiasa na wananchi wa kawaifa wamemchukulia kama shujaa kutokana na msimamo wake.</description>
					  <author>info@habaritanzania.com (Habari Tanzania)</author>
					  <pubDate>Wed, 15 Aug 2007 00:00:00 +0300</pubDate>
					 
					</item>

				

					<item>
					  <title>Kanuni za Bunge - Mabadiliko makubwa</title>
					  <link>http://www.habaritanzania.com/articles/4105/1/Kanuni-za-Bunge---Mabadiliko-makubwa</link>
					  <description>MABADILIKO makubwa ya kanuni za uendeshaji wa shughuli za Bunge, yanatarajia kufanyika ili kuboresha shughuli na uendeshaji wa taasisi hiyo nyeti nchini.</description>
					  <author>washawashaupupu@yahoo.com (Marshy Abdu)</author>
					  <pubDate>Tue, 14 Aug 2007 00:00:00 +0300</pubDate>
					 
					</item>

				

					<item>
					  <title>Wingu zito latanda hoja ya Zitto, Dk. Slaa</title>
					  <link>http://www.habaritanzania.com/articles/4103/1/Wingu-zito-latanda-hoja-ya-Zitto%2C-Dk.-Slaa</link>
					  <description>MBUNGE wa Kigoma Kaskazini, Zitto Kabwe na Dk. Willibroad Slaa wa Karatu, wote kutoka Chama cha Demokrasia na Maendeleo (CHADEMA), wanatarajia kuwasilisha hoja zao binafsi kesho, huku wingu zito likiwa limetanda bungeni juu ya hoja hizo.</description>
					  <author>washawashaupupu@yahoo.com (Marshy Abdu)</author>
					  <pubDate>Mon, 13 Aug 2007 00:00:00 +0300</pubDate>
					 
					</item>

				

					<item>
					  <title>'Ubadhirifu balozini washtusha'</title>
					  <link>http://www.habaritanzania.com/articles/4094/1/%91Ubadhirifu-balozini-washtusha%92</link>
					  <description>KAMBI ya upinzani imetaka maelezo ya ubadhirifu wa mabilioni ya fedha unaodaiwa kufanyika katika ofisi kadhaa za Ubalozi wa Tanzania nchi za nje.</description>
					  <author>washawashaupupu@yahoo.com (Marshy Abdu)</author>
					  <pubDate>Tue, 07 Aug 2007 00:00:00 +0300</pubDate>
					 
					</item>

				

					<item>
					  <title>Mheshimiwa Kikwete, vijana wanasema hivi</title>
					  <link>http://www.habaritanzania.com/articles/4086/1/Mheshimiwa-Kikwete%2C-vijana-wanasema-hivi%85</link>
					  <description>MHESHIMIWA Rais Jakaya Kikwete, Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania.</description>
					  <author>info@habaritanzania.com (Habari Tanzania)</author>
					  <pubDate>Sun, 05 Aug 2007 00:00:00 +0300</pubDate>
					 
					</item>

				

					<item>
					  <title>Madiwani wa CHADEMA Tarime wampongeza Mbowe</title>
					  <link>http://www.habaritanzania.com/articles/4081/1/Madiwani-wa-CHADEMA-Tarime-wampongeza-Mbowe</link>
					  <description>MADIWANI wa Chama cha Demokrasia na Maendeleo (CHADEMA) wilayani Tarime, wamempongeza mwenyekiti wa chama hicho taifa, Freeman Mbowe, kwa kuwapatia msaada wa hali na mali uliowawezesha kutwaa uongozi wa halmashauri ya wilaya hiyo.</description>
					  <author>info@habaritanzania.com (Habari Tanzania)</author>
					  <pubDate>Sat, 04 Aug 2007 00:00:00 +0300</pubDate>
					 
					</item>

				

					<item>
					  <title>Serikali yatenga eneo B'moyo kujenga uwanja wa ndege</title>
					  <link>http://www.habaritanzania.com/articles/4078/1/Serikali-yatenga-eneo-B%92moyo-kujenga-uwanja-wa-ndege</link>
					  <description>SERIKALI imetenga eneo mjini Bagamoyo, kwa lengo la kujenga uwanja mpya wa ndege.</description>
					  <author>info@habaritanzania.com (Habari Tanzania)</author>
					  <pubDate>Sat, 04 Aug 2007 00:00:00 +0300</pubDate>
					 
					</item>

				

					<item>
					  <title>SMZ yaibana CUF</title>
					  <link>http://www.habaritanzania.com/articles/4072/1/SMZ-yaibana-CUF</link>
					  <description>SERIKALI ya Mapinduzi Zanzibar (SMZ), imewapa mtihani mzito wawakilishi wa Chama cha Wananchi (CUF), ikiwataka kujenga mashirikiano, kama waliyoyaonyesha katika mjadala wa bajeti ya serikali, kabla ya kupatiwa mikopo ya magari.</description>
					  <author>washawashaupupu@yahoo.com (Marshy Abdu)</author>
					  <pubDate>Sat, 04 Aug 2007 00:00:00 +0300</pubDate>
					 
					</item>

				

					<item>
					  <title>Sumaye atinga bungeni</title>
					  <link>http://www.habaritanzania.com/articles/4070/1/Sumaye-atinga-bungeni</link>
					  <description>WAZIRI Mkuu mstaafu, Frederick Sumaye, jana alitinga bungeni kushuhudia uendeshaji wa Bunge la Bajeti.Sumaye, ambaye yupo mjini Dodoma kwa ajili ya kuhudhuria vikao vya Kamati Kuu (CC) na Halmashauri Kuu (NEC) vya Chama Cha Mapinduzi (CCM), </description>
					  <author>washawashaupupu@yahoo.com (Marshy Abdu)</author>
					  <pubDate>Fri, 03 Aug 2007 00:00:00 +0300</pubDate>
					 
					</item>

				

					<item>
					  <title>Mbowe: Uchumi wetu wapaa kwenda kuzimu</title>
					  <link>http://www.habaritanzania.com/articles/4065/1/Mbowe%3A-Uchumi-wetu-wapaa-kwenda-kuzimu</link>
					  <description>MWENYEKITI wa Taifa wa Chama cha Demokrasia na Maendeleo (Chadema), Freeman Mbowe, ameeleza kushangazwa kwake na kauli ya Waziri Mkuu, Edward Lowassa, ya hivi karibuni kuhusu mwenendo wa uchumi hapa nchini.</description>
					  <author>washawashaupupu@yahoo.com (Marshy Abdu)</author>
					  <pubDate>Wed, 01 Aug 2007 00:00:00 +0300</pubDate>
					 
					</item>

				

					<item>
					  <title>Panga lapita CCM</title>
					  <link>http://www.habaritanzania.com/articles/4064/1/Panga-lapita-CCM</link>
					  <description>MAMBO si shwari ndani ya Chama Cha Mapinduzi (CCM) kutokana na kuingia katika operesheni ngumu ya kufukuzana uanachama na kuvuana sifa za kugombea uongozi miongoni mwa makada wake.</description>
					  <author>washawashaupupu@yahoo.com (Marshy Abdu)</author>
					  <pubDate>Wed, 01 Aug 2007 00:00:00 +0300</pubDate>
					 
					</item>

				

					<item>
					  <title>Mbowe: Tarime ujasusi</title>
					  <link>http://www.habaritanzania.com/articles/4053/1/Mbowe%3A-Tarime-ujasusi</link>
					  <description>MWENYEKITI wa Chama cha Demokrasia na Maendeleo (CHADEMA), Freeman Mbowe, amesema chama chake kilifanya kazi ya ziada kuhakikisha kinatwaa uongozi wa Halmashauri ya Wilaya ya Tarime katika uchaguzi uliofanyika hivi karibuni.</description>
					  <author>info@habaritanzania.com (Habari Tanzania)</author>
					  <pubDate>Sun, 29 Jul 2007 00:00:00 +0300</pubDate>
					 
					</item>

				

					<item>
					  <title>Lowassa awakejeli wapinzani</title>
					  <link>http://www.habaritanzania.com/articles/4050/1/Lowassa-awakejeli-wapinzani</link>
					  <description>WAZIRI Mkuu, Edward Lowassa, amesema mipango mizuri iliyowasilishwa bungeni, yenye nia ya kuendeleza utalii nchini, ni utekelezaji wa sera za CCM na si mapendekezo ya wanasiasa wa upinzani.</description>
					  <author>info@habaritanzania.com (Habari Tanzania)</author>
					  <pubDate>Fri, 27 Jul 2007 00:00:00 +0300</pubDate>
					 
					</item>

				

					<item>
					  <title>CCM Kilimanjaro waanza kuvurugana</title>
					  <link>http://www.habaritanzania.com/articles/4047/1/CCM-Kilimanjaro-waanza-kuvurugana</link>
					  <description>MOTO umeanza kuwaka ndani ya Chama Cha Mapinduzi(CCM) mkoani hapa huku uhasama ukianza kusambaa baina ya wanachama wanaowania nafasi mbali mbali za uongozi ndani ya chama hicho.</description>
					  <author>washawashaupupu@yahoo.com (Marshy Abdu)</author>
					  <pubDate>Fri, 27 Jul 2007 00:00:00 +0300</pubDate>
					 
					</item>

				

					<item>
					  <title>Wawakilishi wambana Shamuhuna</title>
					  <link>http://www.habaritanzania.com/articles/4043/1/Wawakilishi-wambana-Shamuhuna</link>
					  <description>WAJUMBE wa Baraza la Wawakilishi wa Chama Cha Mapinduzi (CCM) na wale wa Chama cha Wananchi (CUF), wamembana Naibu Waziri Kiongozi na Waziri wa Habari, Ali Juma Shamuhuna kwa kuvitumia vibaya vyombo vya habari vya umma dhidi ya wapinzani.</description>
					  <author>washawashaupupu@yahoo.com (Marshy Abdu)</author>
					  <pubDate>Thu, 26 Jul 2007 00:00:00 +0300</pubDate>
					 
					</item>

				

					<item>
					  <title>CHADEMA yainyakua Halmashauri ya Tarime</title>
					  <link>http://www.habaritanzania.com/articles/4041/1/CHADEMA-yainyakua-Halmashauri-ya-Tarime</link>
					  <description>CHAMA cha Demokrasia na Maendeleo (CHADEMA), kimefanikiwa kutwaa uongozi katika Halmashauri ya Wilaya ya Tarime, mkoani Mara.</description>
					  <author>washawashaupupu@yahoo.com (Marshy Abdu)</author>
					  <pubDate>Wed, 25 Jul 2007 00:00:00 +0300</pubDate>
					 
					</item>

				

					<item>
					  <title>Msikurupuke kutoa maagizo!</title>
					  <link>http://www.habaritanzania.com/articles/4036/1/Msikurupuke-kutoa-maagizo%21</link>
					  <description>JANA, vyombo vya habari nchini viliandika habari inayomhusu Rais Jakaya Kikwete, namna anavyozishangaa mamlaka zinazohusika kushindwa kudhibiti kupanda kwa nauli nchini.</description>
					  <author>info@habaritanzania.com (Habari Tanzania)</author>
					  <pubDate>Tue, 24 Jul 2007 00:00:00 +0300</pubDate>
					 
					</item>

				

					<item>
					  <title>Kikwete amsusa Maalim Seif</title>
					  <link>http://www.habaritanzania.com/articles/4032/1/Kikwete-amsusa-Maalim-Seif</link>
					  <description> JITIHADA za Chama cha Wananchi (CUF) kuonana na Rais Jakaya Kikwete ili kujaribu kutafuta ufumbuzi wa vikwazo vilivyojitokeza katika mazungumzo ya kusaka amani Zanzibar zimegonga mwamba hadi hivi sasa, Tanzania Daima imejulishwa.</description>
					  <author>washawashaupupu@yahoo.com (Marshy Abdu)</author>
					  <pubDate>Tue, 24 Jul 2007 00:00:00 +0300</pubDate>
					 
					</item>

				

					<item>
					  <title>Ujambazi watikisa Bunge</title>
					  <link>http://www.habaritanzania.com/articles/4031/1/Ujambazi-watikisa-Bunge</link>
					  <description> KAMBI ya upinzani bungeni imeonyesha wasiwasi wake na uwezo wa majeshi nchini kudhibiti mipaka ya nchi na kuishauri serikali kuchukua hatua za haraka kuhakikisha hali hiyo inarekebishwa.</description>
					  <author>washawashaupupu@yahoo.com (Marshy Abdu)</author>
					  <pubDate>Tue, 24 Jul 2007 00:00:00 +0300</pubDate>
					 
					</item>

				

					<item>
					  <title>Zitto awatega CCM</title>
					  <link>http://www.habaritanzania.com/articles/4027/1/Zitto-awatega-CCM</link>
					  <description>MAFUNZO yaliyotokana na nia ya kutaka kuwasilisha hoja binafsi iliyotolewa na Mbunge wa Karatu, Dk. Willibrod Slaa, (CHADEMA) kuhusiana na tuhuma za ubadhirifu wa Benki Kuu (BoT), yameacha somo kubwa kwa wapinzani.</description>
					  <author>washawashaupupu@yahoo.com (Marshy Abdu)</author>
					  <pubDate>Mon, 23 Jul 2007 00:00:00 +0300</pubDate>
					 
					</item>

				

					<item>
					  <title>SMZ yakataa kura ya maoni</title>
					  <link>http://www.habaritanzania.com/articles/4012/1/SMZ-yakataa-kura-ya-maoni</link>
					  <description>SERIKALI ya Mapinduzi Zanzibar (SMZ), imetupilia mbali mapendekezo ya wawakilishi wa Chama cha Wananchi (CUF), ya kutaka kuitishwa kura ya maoni kwa wananchi kuhusu suala la mafuta ya Zanzibar.</description>
					  <author>washawashaupupu@yahoo.com (Marshy Abdu)</author>
					  <pubDate>Thu, 19 Jul 2007 00:00:00 +0300</pubDate>
					 
					</item>

				

					<item>
					  <title>Spika amnusuru Chenge</title>
					  <link>http://www.habaritanzania.com/articles/3987/1/Spika-amnusuru-Chenge</link>
					  <description>BAJETI ya Wizara ya Miundombinu imepita baada ya Spika wa Bunge, Samuel Sitta, kulazimika kutumia kanuni ili kuepuka hatari ya kukwama kupitishwa wakati Bunge likiwa katika dakika za mwisho kabla ya kuahirishwa.</description>
					  <author>washawashaupupu@yahoo.com (Marshy Abdu)</author>
					  <pubDate>Sat, 14 Jul 2007 00:00:00 +0300</pubDate>
					 
					</item>

				

					<item>
					  <title>Alichokisema Kingunge neno kwa neno kuhusu muafaka</title>
					  <link>http://www.habaritanzania.com/articles/3972/1/Alichokisema-Kingunge-neno-kwa-neno-kuhusu-muafaka</link>
					  <description>SIKU kadhaa baada ya Waziri wa Nchi, Ofisi ya Rais (Siasa na Mahusiano ya Jamii), Kingunge Ngombale Mwiru kusimama bungeni kujibu baadhi ya hoja zilizotolewa na wabunge kuhusu hali ya siasa nchini, hususani mazungumzo ya kusaka muafaka wa kisiasa Zanzibar, mwanasiasa huyo mkongwe aliibuka na kudai kuwa magazeti yalikuwa yamemnukuu vibaya.</description>
					  <author>info@habaritanzania.com (Habari Tanzania)</author>
					  <pubDate>Wed, 11 Jul 2007 00:00:00 +0300</pubDate>
					 
					</item>

				

					<item>
					  <title>Serikali inamlinda Balali - Wapinzani</title>
					  <link>http://www.habaritanzania.com/articles/3963/1/Serikali-inamlinda-Balali---Wapinzani</link>
					  <description>VYAMA vikuu vinne vya siasa vimeituhumu serikali kwa kumkingia kifua, Gavana wa Benki Kuu, Daudi Balali, dhidi ya tuhuma za ubadhirifu wa fedha ndani ya benki hiyo.  &#160;</description>
					  <author>washawashaupupu@yahoo.com (Marshy Abdu)</author>
					  <pubDate>Tue, 10 Jul 2007 00:00:00 +0300</pubDate>
					 
					</item>

				

					<item>
					  <title>Mbunge: HakiELimu itaidondosha serikali</title>
					  <link>http://www.habaritanzania.com/articles/3962/1/Mbunge%3A-HakiELimu-itaidondosha-serikali</link>
					  <description>WABUNGE wawili wa Chama Cha Mapinduzi (CCM) wameitaka serikali kuichukulia hatua taasisi isiyo ya kiserikali ya HakiElimu kwa maelezo kuwa matangazo yake yamekuwa yakibeza juhudi za kuendeleza elimu nchini.</description>
					  <author>washawashaupupu@yahoo.com (Marshy Abdu)</author>
					  <pubDate>Tue, 10 Jul 2007 00:00:00 +0300</pubDate>
					 
					</item>

				

					<item>
					  <title>SMZ yakataa kuanzishwa sheria ya rushwa</title>
					  <link>http://www.habaritanzania.com/articles/3954/1/SMZ-yakataa-kuanzishwa-sheria-ya-rushwa</link>
					  <description>SERIKALI ya Mapinduzi Zanzibar (SMZ), imetoa sababu za kukataa rasimu ya sheria ya kuanzishwa mamlaka ya kuzuia rushwa na kusimamia maadili ya viongozi wa serikali.</description>
					  <author>info@habaritanzania.com (Habari Tanzania)</author>
					  <pubDate>Sat, 07 Jul 2007 00:00:00 +0300</pubDate>
					 
					</item>

				

					<item>
					  <title>Wapinzani wataka Mkapa kupekuliwa</title>
					  <link>http://www.habaritanzania.com/articles/3929/1/Wapinzani-wataka-Mkapa-kupekuliwa</link>
					  <description>KAMBI ya upinzani Bungeni imeihoji serikali iwapo ipo tayari kuweka utaratibu utakaomwezesha raia wa kawaida kupekua nyaraka za matamko ya mali na madeni ya Rais mstaafu wa Awamu ya Tatu, Benjamin Mkapa.</description>
					  <author>washawashaupupu@yahoo.com (Marshy Abdu)</author>
					  <pubDate>Wed, 04 Jul 2007 00:00:00 +0300</pubDate>
					 
					</item>

				

					<item>
					  <title>Chokochoko hizi Zanzibar hazijengi</title>
					  <link>http://www.habaritanzania.com/articles/3924/1/Chokochoko-hizi-Zanzibar-hazijengi</link>
					  <description>KWA muda mrefu imekuwa kawaida Zanzibar kusikia watu wamefikishwa mahakamani kwa madai ya kuchafua, kuchana au kuunguza moto bendera ya CCM au kuharibu mlingoti wake.</description>
					  <author>info@habaritanzania.com (Habari Tanzania)</author>
					  <pubDate>Tue, 03 Jul 2007 00:00:00 +0300</pubDate>
					 
					</item>

				

					<item>
					  <title>Amina aenda na ubunge wa vijana, mrithi kutoka Umoja wa Wanawake</title>
					  <link>http://www.habaritanzania.com/articles/3908/1/Amina-aenda-na-ubunge-wa-vijana%2C-mrithi-kutoka-Umoja-wa-Wanawake</link>
					  <description>KIFO cha aliyekuwa Mbunge Viti Maalum kupitia Umoja wa Vijana wa Chama Cha Mapinduzi (UVCCM), Amina Chifupa, kimesababisha umoja huo kupoteza kiti hicho na sasa kitarejea katika Umoja wa Wanawake wa chama hicho (UWT).</description>
					  <author>info@habaritanzania.com (Habari Tanzania)</author>
					  <pubDate>Sun, 01 Jul 2007 00:00:00 +0300</pubDate>
					 
					</item>

				

					<item>
					  <title>Mbunge: CUF ishughulikiwe</title>
					  <link>http://www.habaritanzania.com/articles/3901/1/Mbunge%3A-CUF-ishughulikiwe</link>
					  <description>MBUNGE wa Chwaka, Yahya Kassim Issa (CCM), ameitaka serikali kuwashughulikia wabunge wa Chama cha Wananchi (CUF) ambao wanaendeleza msimamo wao wa kutoitambua Serikali ya Mapinduzi Zanzibar (SMZ).</description>
					  <author>washawashaupupu@yahoo.com (Marshy Abdu)</author>
					  <pubDate>Sat, 30 Jun 2007 00:00:00 +0300</pubDate>
					 
					</item>

				

					<item>
					  <title>Serikali yamtikisa Dk. Slaa bungeni</title>
					  <link>http://www.habaritanzania.com/articles/3900/1/Serikali-yamtikisa-Dk.-Slaa-bungeni</link>
					  <description>SERIKALI imeendeleza kile kinachoonekana kuwa ajenda mahususi ya kuwasafisha vigogo kadhaa, ambao wametajwa kuhusika katika tuhuma za ubadhirifu wa mamilioni ya fedha katika Benki Kuu ya Tanzania (BoT).</description>
					  <author>washawashaupupu@yahoo.com (Marshy Abdu)</author>
					  <pubDate>Sat, 30 Jun 2007 00:00:00 +0300</pubDate>
					 
					</item>

				

					<item>
					  <title>'Chambueni Ilani ya CCM kuona utekelezaji wake'</title>
					  <link>http://www.habaritanzania.com/articles/3899/1/%91Chambueni-Ilani-ya-CCM-kuona-utekelezaji-wake%92</link>
					  <description>WANAHABARI nchini wameshauriwa kuichambua kwa kina Ilani ya Uchaguzi ya Chama Cha Mapinduzi (CCM) ili kubaini kama inatekelezwa ipasavyo na serikali iliyopo madarakani kwa faida ya mwananchi.</description>
					  <author>info@habaritanzania.com (Habari Tanzania)</author>
					  <pubDate>Fri, 29 Jun 2007 00:00:00 +0300</pubDate>
					 
					</item>

				

					<item>
					  <title>Serikali yajitetea bungeni</title>
					  <link>http://www.habaritanzania.com/articles/3891/1/Serikali-yajitetea-bungeni</link>
					  <description>SERIKALI jana ilitetea bungeni vitendo vya maofisa masuuli nchini wanaoshindwa kuwasilisha nyaraka kwa wakati zinapohitajiwa kwa ukaguzi.</description>
					  <author>washawashaupupu@yahoo.com (Marshy Abdu)</author>
					  <pubDate>Fri, 29 Jun 2007 00:00:00 +0300</pubDate>
					 
					</item>

				

					<item>
					  <title>BoT yaibuka upya bungeni</title>
					  <link>http://www.habaritanzania.com/articles/3890/1/BoT-yaibuka-upya-bungeni</link>
					  <description>SAKATA la madai ya ubadhirifu ndani ya Benki Kuu (BoT), limezidi kuiandama serikali kwa wanasiasa wa kambi ya upinzani kuzidi kuibua hoja nzito.</description>
					  <author>washawashaupupu@yahoo.com (Marshy Abdu)</author>
					  <pubDate>Fri, 29 Jun 2007 00:00:00 +0300</pubDate>
					 
					</item>

				

					<item>
					  <title>Taifa lamlilia Amina Chifupa</title>
					  <link>http://www.habaritanzania.com/articles/3886/1/Taifa-lamlilia-Amina-Chifupa</link>
					  <description>KWA mara ya kwanza katika historia ya miaka ya karibuni, Bunge jana liliahirisha shughuli zake kwa siku nzima, kuomboleza kifo cha Mbunge wa Viti Maalumu, Amina Chifupa (CCM).</description>
					  <author>info@habaritanzania.com (Habari Tanzania)</author>
					  <pubDate>Thu, 28 Jun 2007 00:00:00 +0300</pubDate>
					 
					</item>

				

					<item>
					  <title>Amina Chifupa, Princess Diana wetu</title>
					  <link>http://www.habaritanzania.com/articles/3885/1/Amina-Chifupa%2C-Princess-Diana-wetu</link>
					  <description>AMINA Chifupa Mpakanjia (26), amefariki dunia juzi jioni wakati alipokuwa katika mapambano makali dhidi ya maradhi yaliyomuanza mwanzoni mwa mwezi Mei mwaka huu, ambayo taarifa za baba na mumewe aliyemtaliki zinaeleza zilisababishwa na 'kisukari' na 'homa kali.' </description>
					  <author>info@habaritanzania.com (Habari Tanzania)</author>
					  <pubDate>Thu, 28 Jun 2007 00:00:00 +0300</pubDate>
					 
					</item>

				

					<item>
					  <title>Amina Chifupa, Princess Diana wetu</title>
					  <link>http://www.habaritanzania.com/articles/3884/1/Amina-Chifupa%2C-Princess-Diana-wetu</link>
					  <description>AMINA Chifupa Mpakanjia (26), amefariki dunia juzi jioni wakati alipokuwa katika mapambano makali dhidi ya maradhi yaliyomuanza mwanzoni mwa mwezi Mei mwaka huu, ambayo taarifa za baba na mumewe aliyemtaliki zinaeleza zilisababishwa na 'kisukari' na 'homa kali.' </description>
					  <author>info@habaritanzania.com (Habari Tanzania)</author>
					  <pubDate>Thu, 28 Jun 2007 00:00:00 +0300</pubDate>
					 
					</item>

				

					<item>
					  <title>Mtihani wa Lowassa leo</title>
					  <link>http://www.habaritanzania.com/articles/3872/1/Mtihani-wa-Lowassa-leo</link>
					  <description>WAKATI vuguvugu la kuibana serikali dhidi ya matumizi mabaya ya fedha za umma na kutotekeleza ahadi zake kwa wananchi likiwa limepamba moto miongoni mwa wabunge, Waziri Mkuu, Edward Lowassa, leo anawasilisha bungeni hotuba ya makadirio ya matumizi ya ofisi yake kwa mwaka wa fedha wa 2007/2008.</description>
					  <author>washawashaupupu@yahoo.com (Marshy Abdu)</author>
					  <pubDate>Mon, 25 Jun 2007 00:00:00 +0300</pubDate>
					 
					</item>

				

					<item>
					  <title>Maalim Seif ashauri zipigwe kura Uharakishwaji EAC</title>
					  <link>http://www.habaritanzania.com/articles/3871/1/Maalim-Seif-ashauri-zipigwe-kura-Uharakishwaji-EAC</link>
					  <description>KATIBU Mkuu wa Chama cha Wananchi (CUF), Maalim Seif Sharif Hamad, amesema kuitishwe kura itakayoamua kuanzishwa kwa Shirikisho la Afrika Mashariki badala ya kukusanywa maoni.</description>
					  <author>washawashaupupu@yahoo.com (Marshy Abdu)</author>
					  <pubDate>Mon, 25 Jun 2007 00:00:00 +0300</pubDate>
					 
					</item>

				

					<item>
					  <title>Serikali yaboresha Bajeti ya 2007/08</title>
					  <link>http://www.habaritanzania.com/articles/3863/1/Serikali-yaboresha-Bajeti-ya-2007%7B47%7D08</link>
					  <description>BUNGE la Jamhuri ya Muungano wa Tanzania limepitisha bajeti ya serikali ya mwaka 2007/2008, baada ya serikali kuifanyia marekebisho ya kuondosha ushuru wa mafuta ya taa na marekebisho ya leseni za magari.</description>
					  <author>washawashaupupu@yahoo.com (Marshy Abdu)</author>
					  <pubDate>Sat, 23 Jun 2007 00:00:00 +0300</pubDate>
					 
					</item>

				

					<item>
					  <title>Kikwete hakika aanze upya</title>
					  <link>http://www.habaritanzania.com/articles/3862/1/Kikwete-hakika-aanze-upya</link>
					  <description>MAKALA ya Absalom Kibanda ya Juni 20, imenichochea kuandika ujumbe huu. Hii si mara ya kwanza kuwasiliana na rais wangu kupitia safu hii.</description>
					  <author>info@habaritanzania.com (Habari Tanzania)</author>
					  <pubDate>Sat, 23 Jun 2007 00:00:00 +0300</pubDate>
					 
					</item>

				

					<item>
					  <title>Wapinzani wasafisha 'sumu' ya JK Kigoma</title>
					  <link>http://www.habaritanzania.com/articles/3854/1/Wapinzani-wasafisha-%91sumu%92-ya-JK-Kigoma</link>
					  <description>MJI wa Kigoma na vitongoji vyake, juzi na jana ulibadilika baada ya mamia ya watu kuacha shughuli zao na kwenda kuwalaki viongozi wakuu wa vyama vya upinzani waliowasili hapa.</description>
					  <author>washawashaupupu@yahoo.com (Marshy Abdu)</author>
					  <pubDate>Fri, 22 Jun 2007 00:00:00 +0300</pubDate>
					 
					</item>

				

					<item>
					  <title>Mbunge wa CCM amtisha Lowassa</title>
					  <link>http://www.habaritanzania.com/articles/3853/1/Mbunge-wa-CCM-amtisha-Lowassa</link>
					  <description>MBUNGE wa Nzega, Lucas Selelii (CCM), jana aligeuka 'mbogo', akitishia kukwamisha bajeti za wizara tatu, ikiwamo ya Ofisi ya Waziri Mkuu. Alitoa msimamo wake huo wakati akichangia hotuba ya bajeti ya serikali kwa mwaka 2007/08, iliyowasilishwa Alhamisi iliyopita na Waziri wa Fedha, Zakia Meghji.</description>
					  <author>washawashaupupu@yahoo.com (Marshy Abdu)</author>
					  <pubDate>Fri, 22 Jun 2007 00:00:00 +0300</pubDate>
					 
					</item>

				

					<item>
					  <title>Tanzania inadaiwa trilioni 5.735</title>
					  <link>http://www.habaritanzania.com/articles/3852/1/Tanzania-inadaiwa-trilioni-5.735</link>
					  <description>HADI kufikia Aprili 30 mwaka huu, Serikali ilikuwa inadaiwa jumla ya sh trilioni 5.735. Deni hilo linajumuisha la ndani na nje, Bunge liliambiwa jana. Kati ya kiasi hicho, deni la ndani lilikuwa ni sh trilioni 1.788 na fedha zilizosalia lilikuwa ni deni la nje ya nchi</description>
					  <author>washawashaupupu@yahoo.com (Marshy Abdu)</author>
					  <pubDate>Fri, 22 Jun 2007 00:00:00 +0300</pubDate>
					 
					</item>

				

					<item>
					  <title>Mzindakaya asalimisha mabomu, Ngasongwa asongwa bungeni</title>
					  <link>http://www.habaritanzania.com/articles/3847/1/Mzindakaya-asalimisha-mabomu%2C-Ngasongwa-asongwa-bungeni</link>
					  <description>KATIKA kile kinachoweza kuelezwa kuwa ni ama kubadilika kwa Mbunge wa Kwela, Dk. Chrisant Mzindakaya (CCM) au kuishiwa mabomu, mwanasiasa huyo jana alitumia muda mwingi bungeni kuitetea serikali dhidi ya tuhuma zilizotolewa na baadhi ya wabunge.</description>
					  <author>washawashaupupu@yahoo.com (Marshy Abdu)</author>
					  <pubDate>Thu, 21 Jun 2007 00:00:00 +0300</pubDate>
					 
					</item>

				

					<item>
					  <title>Katika hili tunakubaliana na wabunge wa upinzani</title>
					  <link>http://www.habaritanzania.com/articles/3841/1/Katika-hili-tunakubaliana-na-wabunge-wa-upinzani</link>
					  <description>JUZI wabunge wa kambi ya upinzani waliwasilisha kile walichokielezea kuwa ni bajeti mbadala iliyokuwa ikijibu hotuba ya bajeti ya Waziri wa Fedha, Zakia Meghji aliyoitoa Alhamisi ya wiki iliyopita</description>
					  <author>info@habaritanzania.com (Habari Tanzania)</author>
					  <pubDate>Wed, 20 Jun 2007 00:00:00 +0300</pubDate>
					 
					</item>

				

					<item>
					  <title>Wabunge CCM waishangaa bajeti</title>
					  <link>http://www.habaritanzania.com/articles/3839/1/Wabunge-CCM-waishangaa-bajeti</link>
					  <description>KATIBU wa Itikadi na Uenezi wa Chama Cha Mapinduzi (CCM) na Mbunge wa Siha, Agrey Mwanri, jana aliungana na wabunge wengine kuponda utekelezaji wa serikali na kudai kuwa uchumi unaojengwa nchini ni wa kikoloni mamboleo.</description>
					  <author>washawashaupupu@yahoo.com (Marshy Abdu)</author>
					  <pubDate>Wed, 20 Jun 2007 00:00:00 +0300</pubDate>
					 
					</item>

				

					<item>
					  <title>CHADEMA kuwaengua viongozi wala rushwa</title>
					  <link>http://www.habaritanzania.com/articles/3833/1/CHADEMA-kuwaengua-viongozi-wala-rushwa</link>
					  <description>CHAMA cha Demokrasia na Maendeleo (CHADEMA), kimesema hakitasita kuwafuta uanachama viongozi wake waliopewa dhamana ya kuongoza wananchi katika ngazi mbalimbali za uongozi endapo watabainika kujihusisha na vitendo vya rushwa.</description>
					  <author>washawashaupupu@yahoo.com (Marshy Abdu)</author>
					  <pubDate>Tue, 19 Jun 2007 00:00:00 +0300</pubDate>
					 
					</item>

				

					<item>
					  <title>Upinzani kuwasilisha bajeti mbadala</title>
					  <link>http://www.habaritanzania.com/articles/3821/1/Upinzani-kuwasilisha-bajeti-mbadala</link>
					  <description>KAMBI ya vyama vya upinzani bungeni, inatarajia kuwasilisha bajeti yake kwa mwaka 2007/2007 leo. Akizungumza na Tanzania Daima ofisini kwake mwishoni mwa wiki, kiongozi wa shughuli za upinzani bungeni, Hamad Rashid Mohammed, alisema kambi ya upinzani itawasilisha bajeti hiyo ambayo itatoa mwelekeo wa hali halisi ya uchumi.</description>
					  <author>washawashaupupu@yahoo.com (Marshy Abdu)</author>
					  <pubDate>Mon, 18 Jun 2007 00:00:00 +0300</pubDate>
					 
					</item>

				

					<item>
					  <title>Nnauye aionya CCM</title>
					  <link>http://www.habaritanzania.com/articles/3816/1/Nnauye-aionya-CCM</link>
					  <description>MJUMBE wa Halmashauri Kuu ya CCM (NEC) kupitia vijana, Nape Moses Nnauye, aliyemaliza muda wake na kuamua kujitosa tena katika nafasi hiyo, ametahadharisha udhaifu uliopo kwenye vyama vya upinzani kuwa, hali hiyo ni ya hatari kwa demokrasia na kwa CCM yenyewe.</description>
					  <author>info@habaritanzania.com (Habari Tanzania)</author>
					  <pubDate>Sun, 17 Jun 2007 00:00:00 +0300</pubDate>
					 
					</item>

				

					<item>
					  <title>Bajeti yazidi kuliza wengi</title>
					  <link>http://www.habaritanzania.com/articles/3814/1/Bajeti-yazidi-kuliza-wengi</link>
					  <description>BAADHI ya wakazi wa Mkoa wa Dar es Salaam, wameilalamikia bajeti ya serikali iliyotangazwa Alhamisi wiki iliyopita na Waziri wa Fedha, Zakia Hamdani Meghji kuwa inawakandamiza na kuwazidishia umasikini, kinyume na ahadi ya kuboresha maisha, ambayo imekuwa ikitolewa kila mara na Rais Jakaya Kikwete.</description>
					  <author>info@habaritanzania.com (Habari Tanzania)</author>
					  <pubDate>Sun, 17 Jun 2007 00:00:00 +0300</pubDate>
					 
					</item>

				

					<item>
					  <title>Blue Guards wamweka kitimoto Maalim Seif</title>
					  <link>http://www.habaritanzania.com/articles/3790/1/Blue-Guards-wamweka-kitimoto-Maalim-Seif</link>
					  <description>UMOJA wa Vijana wa Chama cha Wananchi (CUF), umemtaka Katibu Mkuu wa chama hicho, Maalim Seif Sharif Hamad, kuachana na mazungumzo yanayoendelea, ya kutafuta muafaka wa kisiasa wa Zanzibar kati ya CUF na Chama Cha Mapinduzi hadi hapo Rais Jakaya Kikwete atakapoonyesha mwelekeo mwema.</description>
					  <author>washawashaupupu@yahoo.com (Marshy Abdu)</author>
					  <pubDate>Wed, 13 Jun 2007 00:00:00 +0300</pubDate>
					 
					</item>

				

					<item>
					  <title>Tumsaidie Mbowe ili naye amsaidie rais</title>
					  <link>http://www.habaritanzania.com/articles/3771/1/Tumsaidie-Mbowe-ili-naye-amsaidie-rais</link>
					  <description>MHESHIMIWA Freeman Mbowe, ni mdogo kwangu kiumri, lakini ni mkubwa wangu kisiasa. Pamoja na kuwa mimi si mfuasi wa Chama cha Demokrasia na Maendeleo (CHADEMA), hata hivyo, hii hainipi haki kumwona yeye si kiongozi ambaye hastaili heshima.</description>
					  <author>info@habaritanzania.com (Habari Tanzania)</author>
					  <pubDate>Sat, 09 Jun 2007 00:00:00 +0300</pubDate>
					 
					</item>

				

					<item>
					  <title>JK: Hatujawahi kuiba kura</title>
					  <link>http://www.habaritanzania.com/articles/3740/1/JK%3A-Hatujawahi-kuiba-kura</link>
					  <description>RAIS Jakaya Kikwete, kwa mara ya kwanza tangu aingie madarakani, amefanya mahojiano na jarida maarufu la NewAfrican, linalochapishwa kila mwezi na kusambazwa katika nchi takriban 40 za Kiafrika na nje ya bara hili.</description>
					  <author>washawashaupupu@yahoo.com (Marshy Abdu)</author>
					  <pubDate>Tue, 05 Jun 2007 00:00:00 +0300</pubDate>
					 
					</item>

				

					<item>
					  <title>Wabunge wampa Dk. Ngasongwa mtihani</title>
					  <link>http://www.habaritanzania.com/articles/3739/1/Wabunge-wampa-Dk.-Ngasongwa-mtihani</link>
					  <description>WAJUMBE wa Kamati ya Bunge ya Fedha na Uchumi, jana walionyesha kutoridhishwa na ripoti ya serikali kuhusu mipango, uchumi na uwezeshaji. Walionyesha hali huyo mwishoni mwa kikao cha kamati hiyo, baada ya Waziri wa Mipango, Uchumi na Uwezeshaji, Dk. Juma Ngasongwa, kuwasilisha ripoti kuhusiana na mipango ya bajeti ya mwaka ujao wa fedha.</description>
					  <author>washawashaupupu@yahoo.com (Marshy Abdu)</author>
					  <pubDate>Tue, 05 Jun 2007 00:00:00 +0300</pubDate>
					 
					</item>

				

					<item>
					  <title>Raza achambua nafasi ya Zanzibar katika shirikisho</title>
					  <link>http://www.habaritanzania.com/articles/3735/1/Raza-achambua-nafasi-ya-Zanzibar-katika-shirikisho</link>
					  <description>MFANYABIASHARA maarufu, Mohamed Raza, aliyewahi kuwa Mshauri wa mambo ya michezo wa Rais mstaafu wa Zanzibar, Dk. Salmini Amour, ameonya uwezekano wa Zanzibar kutoweka katika ramani ya dunia iwapo itakubali kuingia katika shirikisho la kisiasa la Afrika Mashariki.</description>
					  <author>info@habaritanzania.com (Habari Tanzania)</author>
					  <pubDate>Mon, 04 Jun 2007 00:00:00 +0300</pubDate>
					 
					</item>

				

					<item>
					  <title>Joto urais Zanzibar lafukuta</title>
					  <link>http://www.habaritanzania.com/articles/3727/1/Joto-urais-Zanzibar-lafukuta</link>
					  <description>KAMPENI za kuwania nafasi ya urais wa Zanzibar mwaka 2010 zimechukua sura mpya na kuna uwezekano mkubwa mgombea wa CCM kwa mara ya kwanza kutokea Kisiwa cha Pemba.</description>
					  <author>washawashaupupu@yahoo.com (Marshy Abdu)</author>
					  <pubDate>Sun, 03 Jun 2007 00:00:00 +0300</pubDate>
					 
					</item>

				

					<item>
					  <title>CUF yajitoa kwenye muafaka</title>
					  <link>http://www.habaritanzania.com/articles/3719/1/CUF-yajitoa-kwenye-muafaka</link>
					  <description>CHAMA cha Wananchi (CUF), kimesitisha rasmi kujiondoa katika mazungumzo ya kutafuta muafaka wa mpasuko wa kisiasa Zanzibar, yaliyokuwa yakiendelea kati yake na Chama Cha Mapinduzi (CCM).</description>
					  <author>washawashaupupu@yahoo.com (Marshy Abdu)</author>
					  <pubDate>Fri, 01 Jun 2007 00:00:00 +0300</pubDate>
					 
					</item>

				

					<item>
					  <title>Meghji, Mihanji waitaka NEC</title>
					  <link>http://www.habaritanzania.com/articles/3708/1/Meghji%2C-Mihanji-waitaka-NEC</link>
					  <description>KUNDI la viongozi wa Chama Cha Mapinduzi (CCM) na serikali waliopo madarakani na wastaafu, jana waliendelea kumiminika katika ofisi za chama hicho nchini kote, wakichukua fomu za kuomba nafasi mbalimbali za uongozi ndani ya chama hicho.</description>
					  <author>info@habaritanzania.com (Habari Tanzania)</author>
					  <pubDate>Wed, 30 May 2007 00:00:00 +0300</pubDate>
					 
					</item>

				

					<item>
					  <title>CHADEMA: Kikwete ndiye aombe radhi</title>
					  <link>http://www.habaritanzania.com/articles/3706/1/CHADEMA%3A-Kikwete-ndiye-aombe-radhi</link>
					  <description>MALUMBANO ya kisiasa yanaelekea kuibuka baina ya Serikali na Chama cha Demokrasia na Maendeleo (CHADEMA), baada ya chama hicho jana kumkingia kifua mbunge wake, Zitto Kabwe, aliyetakiwa amuombe radhi Rais Jakaya Kikwete.</description>
					  <author>washawashaupupu@yahoo.com (Marshy Abdu)</author>
					  <pubDate>Wed, 30 May 2007 00:00:00 +0300</pubDate>
					 
					</item>

				

					<item>
					  <title>Uchaguzi CCM wazidi kuwavuta vigogo</title>
					  <link>http://www.habaritanzania.com/articles/3699/1/Uchaguzi-CCM-wazidi-kuwavuta-vigogo</link>
					  <description>WAZIRI Mkuu, Edward Lowassa, na Katibu Mkuu wa Chama Cha Mapinduzi (CCM), Yusufu Makamba, wamejitosa kwa mara nyingine katika kinyang'anyiro cha kugombea ujumbe wa Halmashauri Kuu ya Taifa ya chama hicho (NEC), baada ya kuchukua fomu za kuomba kuteuliwa kuwania nafasi hiyo. </description>
					  <author>info@habaritanzania.com (Habari Tanzania)</author>
					  <pubDate>Mon, 28 May 2007 00:00:00 +0300</pubDate>
					 
					</item>

				

					<item>
					  <title>Mchuano CCM leo</title>
					  <link>http://www.habaritanzania.com/articles/3682/1/Mchuano-CCM-leo</link>
					  <description>MBIO za kuwania uongozi ndani ya Chama Cha Mapinduzi (CCM) kwa ngazi ya taifa, mikoa na wilaya zinaanza rasmi leo.</description>
					  <author>info@habaritanzania.com (Habari Tanzania)</author>
					  <pubDate>Fri, 25 May 2007 00:00:00 +0300</pubDate>
					 
					</item>

				

					<item>
					  <title>Ziara ya Makamba Pemba yaongeza shauku</title>
					  <link>http://www.habaritanzania.com/articles/3656/1/Ziara-ya-Makamba-Pemba-yaongeza-shauku</link>
					  <description>KATIBU Mkuu wa Chama Cha Mapinduzi (CCM), Yussuf Makamba, jana alianza ziara kisiwani Pemba, huku wananchi wa kisiwa hicho wakiwa na shauku kubwa ya kutaka kujua mambo yaliyoafikiwa katika mazungumzo ya kumaliza mpasuko wa kisiasa visiwani Zanzibar.</description>
					  <author>info@habaritanzania.com (Habari Tanzania)</author>
					  <pubDate>Mon, 21 May 2007 00:00:00 +0300</pubDate>
					 
					</item>

				

					<item>
					  <title>Profesa Wangwe fanya kazi uliyotumwa</title>
					  <link>http://www.habaritanzania.com/articles/3623/1/Profesa-Wangwe-fanya-kazi-uliyotumwa</link>
					  <description>MCHAKATO wa kukusanya maoni ya wananchi kuhusu uharakishwaji wa shirikisho la Afrika Mashariki unaendelea hapa nchini.</description>
					  <author>info@habaritanzania.com (Habari Tanzania)</author>
					  <pubDate>Sun, 13 May 2007 00:00:00 +0300</pubDate>
					 
					</item>

				

					<item>
					  <title>Wapinzani waanza kuvurugana</title>
					  <link>http://www.habaritanzania.com/articles/3608/1/Wapinzani-waanza-kuvurugana</link>
					  <description>SABABU za kihistoria na uhasama binafsi uliojengeka baina ya wanasiasa ni mambo ambayo yameanza kutishia harakati ya vyama vya upinzani nchini kuunganisha nguvu dhidi ya Chama Cha Mapinduzi (CCM).</description>
					  <author>info@habaritanzania.com (Habari Tanzania)</author>
					  <pubDate>Wed, 09 May 2007 00:00:00 +0300</pubDate>
					 
					</item>

				

					<item>
					  <title>Wahasibu watakiwa kukabili changamoto</title>
					  <link>http://www.habaritanzania.com/articles/3585/1/Wahasibu-watakiwa-kukabili-changamoto</link>
					  <description>MAKAMU wa Rais, Dk. Ali Mohamed Shein, amewataka wahasibu wazalendo kutumia fursa ya kongamano linalofanyika Dar es Salaam kujifunza mbinu mpya za fani hiyo, ili kukabiliana na changamoto zilizopo.</description>
					  <author>info@habaritanzania.com (Habari Tanzania)</author>
					  <pubDate>Fri, 04 May 2007 00:00:00 +0300</pubDate>
					 
					</item>

				

					<item>
					  <title>Mahakama Afrika Mashariki yambwaga Mtikila</title>
					  <link>http://www.habaritanzania.com/articles/3540/1/Mahakama-Afrika-Mashariki-yambwaga-Mtikila</link>
					  <description>JITIHADA za Mwenyekiti wa chama cha Democratic (DP), Mchungaji Christopher Mtikila, kuzuia kuapishwa kwa wabunge wa Afrika Mashariki kutoka Tanzania, zimegonga mwamba baada ya Mahakama ya Afrika Mashariki kutupilia mbali kesi yake.</description>
					  <author>info@habaritanzania.com (Habari Tanzania)</author>
					  <pubDate>Thu, 26 Apr 2007 00:00:00 +0300</pubDate>
					 
					</item>

				

					<item>
					  <title>Kesi ya Chitalilo yaiva</title>
					  <link>http://www.habaritanzania.com/articles/3523/1/Kesi-ya-Chitalilo-yaiva</link>
					  <description>MBUNGE wa Buchosa, Samwel Chitalilo (CCM), anayetuhumiwa kughushi vyeti na kudanganya kuhusu elimu yake, atapanda kizimbani katika Mahakama ya Hakimu Mkazi Mwanza Mei 14, mwaka huu ambapo maombi ya kutaka ashitakiwe kwa utaratibu binafsi (private prosecution) yatatajwa kwa mara ya kwanza.</description>
					  <author>info@habaritanzania.com (Habari Tanzania)</author>
					  <pubDate>Mon, 23 Apr 2007 00:00:00 +0300</pubDate>
					 
					</item>

				

					<item>
					  <title>Halima James Mdee a.k.a Kamanda - Mbunge kijana anayepigania kurejeshwa kwa hadhi ya Bunge</title>
					  <link>http://www.habaritanzania.com/articles/3519/1/Halima-James-Mdee-a.k.a-Kamanda---Mbunge-kijana-anayepigania-kurejeshwa-kwa-hadhi-ya-Bunge</link>
					  <description>"KAMA tunataka Bunge letu liwe 'active', inatakiwa wabunge tupewe fursa ya kuweza kupata maelezo ya kutosha kwa kuongozewa idadi ya maswali ya kuiuliza serikali, na fursa hiyo ikiwapo, utakuwa ndiyo mwanzo wa kulibadili Bunge linaloendeshwa na kanuni zilizopitwa na wakati, na hapo ndipo pia wangeliuona moto wa vita yangu. </description>
					  <author>info@habaritanzania.com (Habari Tanzania)</author>
					  <pubDate>Sun, 22 Apr 2007 00:00:00 +0300</pubDate>
					 
					</item>

				

					<item>
					  <title>Maalim Seif amchambua Karume</title>
					  <link>http://www.habaritanzania.com/articles/3516/1/Maalim-Seif-amchambua-Karume</link>
					  <description>KATIBU Mkuu wa Chama cha Wananchi (CUF), Maalim Seif Shariff Hamad, amewatuhumu viongozi wa Serikali ya Zanzibar kuwa wanachangia visiwa hivyo kukosa haki zake ndani ya Muungano.</description>
					  <author>info@habaritanzania.com (Habari Tanzania)</author>
					  <pubDate>Sun, 22 Apr 2007 00:00:00 +0300</pubDate>
					 
					</item>

				

					<item>
					  <title>CUF yaenda Taiwan kuchukua uzoevu kuikabili CCM</title>
					  <link>http://www.habaritanzania.com/articles/3494/1/CUF-yaenda-Taiwan-kuchukua-uzoevu-kuikabili-CCM</link>
					  <description>CHAMA cha Wananchi (CUF) na Democratic Progressive Party (DPP) cha Taiwan, vimekubaliana kubadilishana uzoefu wa kufanya kampeni wakati wa uchaguzi mkuu. </description>
					  <author>info@habaritanzania.com (Habari Tanzania)</author>
					  <pubDate>Wed, 18 Apr 2007 00:00:00 +0300</pubDate>
					 
					</item>

				

					<item>
					  <title>Rais Kikwete lini utachukua hatua?</title>
					  <link>http://www.habaritanzania.com/articles/3486/1/Rais-Kikwete-lini-utachukua-hatua%3F</link>
					  <description>JUZI, Rais Jakaya Kikwete alifanya kikao kingine tena na watendaji takriban wote wa serikali yake, wakiwamo wakuu wa mikoa na makatibu tawala wa mikoa.</description>
					  <author>info@habaritanzania.com (Habari Tanzania)</author>
					  <pubDate>Tue, 17 Apr 2007 00:00:00 +0300</pubDate>
					 
					</item>

				

					<item>
					  <title>JK awatia kitanzi watendaji wake</title>
					  <link>http://www.habaritanzania.com/articles/3482/1/JK-awatia-kitanzi-watendaji-wake</link>
					  <description>SUALA la matumizi mabaya na ubadhirifu wa fedha za umma, sasa limeingia katika sura mpya, huku Rais Jakaya Kikwete akishusha mzigo kwa watendaji wakuu serikalini.</description>
					  <author>info@habaritanzania.com (Habari Tanzania)</author>
					  <pubDate>Mon, 16 Apr 2007 00:00:00 +0300</pubDate>
					 
					</item>

				

					<item>
					  <title>Kikwete atua Z'bar kimyakimya</title>
					  <link>http://www.habaritanzania.com/articles/3477/1/Kikwete-atua-Z%92bar-kimyakimya</link>
					  <description>RAIS Jakaya Kikwete, yuko Zanzibar kwa mapumziko, ambayo yamesababisha kuibuka kwa minong'ono inayomhusisha na kutafutwa kwa dhamira ya kutafuta jawabu la tatizo la kisiasa visiwani hapa.</description>
					  <author>info@habaritanzania.com (Habari Tanzania)</author>
					  <pubDate>Sat, 14 Apr 2007 00:00:00 +0300</pubDate>
					 
					</item>

				

					<item>
					  <title>Wawakilishi walilia magari, posho Z'bar</title>
					  <link>http://www.habaritanzania.com/articles/3464/1/Wawakilishi-walilia-magari%2C-posho-Z%92bar</link>
					  <description>WAJUMBE wa Baraza la Wawakilishi wa CCM na CUF, wamesema posho na mishahara wanayolipwa ni midogo na haitoshi katika utekelezaji wa majukumu yao.</description>
					  <author>info@habaritanzania.com (Habari Tanzania)</author>
					  <pubDate>Fri, 13 Apr 2007 00:00:00 +0300</pubDate>
					 
					</item>

				

					<item>
					  <title>Majereha yaanza uchaguzi wa CCM Moshi</title>
					  <link>http://www.habaritanzania.com/articles/3444/1/Majereha-yaanza-uchaguzi-wa-CCM-Moshi</link>
					  <description>HARAKATI za kuwania uongozi ndani ya Chama Cha Mapinduzi (CCM) katika Manispaa ya Moshi, zimeanza kwa kasi ya aina yake, huku wanaowania uongozi wakidaiwa kuwatumia mawakala wao kuwapaka matope baadhi ya washindani wao. </description>
					  <author>info@habaritanzania.com (Habari Tanzania)</author>
					  <pubDate>Mon, 09 Apr 2007 00:00:00 +0300</pubDate>
					 
					</item>

				

					<item>
					  <title>Viongozi wawasusa wananchi baada ya uchaguzi</title>
					  <link>http://www.habaritanzania.com/articles/3431/1/Viongozi-wawasusa-wananchi-baada-ya-uchaguzi</link>
					  <description>WAKAZI wa Kata ya Mlimani mjini hapa, wanalalamikia kutelekezwa na viongozi wa ngazi mbalimbali ambao hawajawatembelea tangu kumalizika kwa kampeni za uchaguzi mkuu uliofanyika mwishoni mwa mwaka juzi.</description>
					  <author>info@habaritanzania.com (Habari Tanzania)</author>
					  <pubDate>Fri, 06 Apr 2007 00:00:00 +0300</pubDate>
					 
					</item>

				

					<item>
					  <title>Shule za Jumuiya ya Wazazi (CCM) zimepoteza mwelekeo</title>
					  <link>http://www.habaritanzania.com/articles/3393/1/Shule-za-Jumuiya-ya-Wazazi-%28CCM%29-zimepoteza-mwelekeo</link>
					  <description>ZAMANI shule za Jumuiya ya Wazazi ya Chama Cha Mapinduzi (CCM), zilikuwa mfano wa kuigwa. Zilikuwa zikifanya vizuri. </description>
					  <author>info@habaritanzania.com (Habari Tanzania)</author>
					  <pubDate>Thu, 29 Mar 2007 00:00:00 +0300</pubDate>
					 
					</item>

				

					<item>
					  <title>Njia hii yaweza kuwa mkombozi kwa taifa</title>
					  <link>http://www.habaritanzania.com/articles/3392/1/Njia-hii-yaweza-kuwa-mkombozi-kwa-taifa</link>
					  <description>TANGU tukio la mahabusu kugoma wakilalamikia kesi zao kutoshughulikiwa kwa kasi kama ya aliyekuwa Mkuu wa Mkoa wa zamani wa Tabora, Ukiwaona Ditopile Mzuzuri, kumekuwa na mwamko wa watu kujua haki zao.</description>
					  <author>info@habaritanzania.com (Habari Tanzania)</author>
					  <pubDate>Thu, 29 Mar 2007 00:00:00 +0300</pubDate>
					 
					</item>

				

					<item>
					  <title>Kikwete; tushike anayoyasema au anayoyatenda?</title>
					  <link>http://www.habaritanzania.com/articles/3385/1/Kikwete%3B-tushike-anayoyasema-au-anayoyatenda%3F</link>
					  <description>KUNA kanuni kuu tatu katika ufundishaji, ambazo kila mwalimu mwenye kufuata kanuni za ualimu huzifuata pindi anapoingia darasani kufundisha. </description>
					  <author>info@habaritanzania.com (Habari Tanzania)</author>
					  <pubDate>Wed, 28 Mar 2007 00:00:00 +0300</pubDate>
					 
					</item>

				

					<item>
					  <title>Tunakukumbusha tena Rais Kikwete!</title>
					  <link>http://www.habaritanzania.com/articles/3373/1/Tunakukumbusha-tena-Rais-Kikwete%21</link>
					  <description>TULIANDIKA, tukaandika tena na sasa tunaandika kwa mara nyingine. Tutaendelea kuandika na kulifuatilia suala hili hadi hapo tutakapoona limemalizika na kuhitimishwa. </description>
					  <author>info@habaritanzania.com (Habari Tanzania)</author>
					  <pubDate>Tue, 27 Mar 2007 00:00:00 +0300</pubDate>
					 
					</item>

				

					<item>
					  <title>Waiba kompyuta ya kamati ya Afrika Mashariki</title>
					  <link>http://www.habaritanzania.com/articles/3355/1/Waiba-kompyuta-ya-kamati-ya-Afrika-Mashariki</link>
					  <description>KAMATI ya taifa inayokusanya maoni kutoka kwa wananchi juu ya kuharakisha kuundwa kwa Shirikisho la kisiasa la Afrika Mashariki, ambayo ipo mkoani Tabora, imepata pigo baada ya kompyuta yake ndogo kuibwa.</description>
					  <author>info@habaritanzania.com (Habari Tanzania)</author>
					  <pubDate>Thu, 22 Mar 2007 00:00:00 +0300</pubDate>
					 
					</item>

				

					<item>
					  <title>Chitalilo ana baraka za Mwl. Nyerere!</title>
					  <link>http://www.habaritanzania.com/articles/3330/1/Chitalilo-ana-baraka-za-Mwl.-Nyerere%21</link>
					  <description>HIVI karibuni, gazeti hili lilipambwa na habari isemayo, "hatimaye Jeshi la Polisi nchini, limetamka rasmi kuwa Mbunge wa Buchosa, Samwel Mchele Chitalilo, alighushi vyeti vya elimu yake na aliwadanganya wapiga kura wake."</description>
					  <author>info@habaritanzania.com (Habari Tanzania)</author>
					  <pubDate>Sun, 18 Mar 2007 00:00:00 +0300</pubDate>
					 
					</item>

				

					<item>
					  <title>Kama tumekosa kauli, basi tunyamaze tusijiabishe</title>
					  <link>http://www.habaritanzania.com/articles/3295/1/Kama-tumekosa-kauli%2C-basi-tunyamaze-tusijiabishe</link>
					  <description>KAULI ni kitu muhimu sana katika maisha ya binadamu yeyote awaye. Kauli yaweza kuchonganisha. Inaweza pia kufurahisha, kutoa matumaini, kuleta balaa wakati mwingine na hata kuleta madhara makubwa.</description>
					  <author>info@habaritanzania.com (Habari Tanzania)</author>
					  <pubDate>Wed, 14 Mar 2007 00:00:00 +0300</pubDate>
					 
					</item>

				

					<item>
					  <title>Mwaka mmoja, matarajio bado</title>
					  <link>http://www.habaritanzania.com/articles/3292/1/Mwaka-mmoja%2C-matarajio-bado</link>
					  <description>HOFU iliyoelezwa na Rais Jakaya Kikwete wakati akifungua semina elekezi ya kwanza Machi 13, 2006 kuhusu matumaini makubwa ya wananchi dhidi ya serikali yake, inaonekana kuendelea kuwapo huku kukiwa na kuongezeka kukata tamaa kutoka kwa wananchi.</description>
					  <author>info@habaritanzania.com (Habari Tanzania)</author>
					  <pubDate>Wed, 14 Mar 2007 00:00:00 +0300</pubDate>
					 
					</item>

				

					<item>
					  <title>Kampeni chafu zaanza uchaguzi mdogo Tunduru</title>
					  <link>http://www.habaritanzania.com/articles/3257/1/Kampeni-chafu-zaanza-uchaguzi-mdogo-Tunduru</link>
					  <description>MBIO za kuelekea uchaguzi mdogo wa Mbunge katika Jimbo la Tunduru, zimeingia katika&#160; sura mpya, baada ya watu wasiojulikana kuanzisha kampeni chafu dhidi ya wagombea wa Chadema, CCM na viongozi wa kitaifa wa vyama hivyo.</description>
					  <author>info@habaritanzania.com (Habari Tanzania)</author>
					  <pubDate>Sat, 10 Mar 2007 00:00:00 +0300</pubDate>
					 
					</item>

				

					<item>
					  <title>Wataka muda zaidi kabla ya shirikisho</title>
					  <link>http://www.habaritanzania.com/articles/3256/1/Wataka-muda-zaidi-kabla-ya-shirikisho</link>
					  <description>BAADHI ya wananchi jijini hapa wameitaka serikali kuhakikisha kuwa inatoa muda wa kutosha wa kusahihisha mambo yaliyosababisha kuvunjika kwa Jumuia ya Afrika Mashariki, kabla ya shirikisho kuanza.Wananchi hao walitoa ushauri huo kwa nyakati tofauti, kwenye vikao vya&#160; Kamati ya kukusanya maoni vilivyofanyika sehemu mbalimbali, jijini hapa.</description>
					  <author>info@habaritanzania.com (Habari Tanzania)</author>
					  <pubDate>Sat, 10 Mar 2007 00:00:00 +0300</pubDate>
					 
					</item>

				

					<item>
					  <title>CCM, CUF waonyeshana ubabe kikaoni</title>
					  <link>http://www.habaritanzania.com/articles/3249/1/CCM%2C-CUF-waonyeshana-ubabe-kikaoni</link>
					  <description>KATIKA moja ya vituko vinavyoonyesha msuguano kati ya Chama Cha Mapinduzi (CCM) na Chama cha Wananchi (CUF) katika Baraza la Madiwani la Halmashauri ya Jiji la Tanga, Meya wa Tanga, Kassim Kisauji, aliingia katika mzozo na Mbunge wa Viti Maalumu wa Chama cha Wananchi (CUF), Nuru Awadhi.</description>
					  <author>info@habaritanzania.com (Habari Tanzania)</author>
					  <pubDate>Fri, 09 Mar 2007 00:00:00 +0300</pubDate>
					 
					</item>

				

					<item>
					  <title>CCM yaanza kujiimarisha Pemba</title>
					  <link>http://www.habaritanzania.com/articles/3189/1/CCM-yaanza-kujiimarisha-Pemba</link>
					  <description>MANAIBU waziri sita wa Serikali ya Mapinduzi Zanzibar (SMZ), wiki ijayo wataanza kampeni maalumu ya kukiimarisha Chama Cha Mapinduzi (CCM) kisiwani Pemba.</description>
					  <author>info@habaritanzania.com (Habari Tanzania)</author>
					  <pubDate>Fri, 02 Mar 2007 00:00:00 +0300</pubDate>
					 
					</item>

				

					<item>
					  <title>Abbas Sykes: CCM itupe heshima kama Nyerere</title>
					  <link>http://www.habaritanzania.com/articles/3166/1/Abbas-Sykes%3A-CCM-itupe-heshima-kama-Nyerere</link>
					  <description>BALOZI Abbas Sykes, anaanza kwa kusema kwamba kikundi au chama chochote kinapoadhimisha miaka kadhaa ya kuanzishwa kwakwe, ni lazima siku hiyo kiadhimishe maadhimisho yake kwa kuwataja na kuwaenzi waasisi waliofanya kazi ya kufa na kupona hadi chama hicho kikafikia hapo kilipo.</description>
					  <author>info@habaritanzania.com (Habari Tanzania)</author>
					  <pubDate>Wed, 28 Feb 2007 00:00:00 +0300</pubDate>
					 
					</item>

				

					<item>
					  <title>Ni afadhali kuwa ombaomba kuliko matapeli</title>
					  <link>http://www.habaritanzania.com/articles/3130/1/Ni-afadhali-kuwa-ombaomba-kuliko-matapeli</link>
					  <description>FALSAFA ya kutafuta ufumbuzi wa tatizo inatutaka tufuate utaratibu unaofanana na huu ufuatao: Kwanza, tutambue kuwepo kwa tatizo. Pili, tulinganishe tatizo tulilotambua leo, na matatizo tuliyotambua jana, na ambayo bado yapo, kwa lengo la kuchagua tatizo la kuanza kutatua. </description>
					  <author>info@habaritanzania.com (Habari Tanzania)</author>
					  <pubDate>Sun, 25 Feb 2007 00:00:00 +0300</pubDate>
					 
					</item>

				

					<item>
					  <title>Kada wa CCM akana kumchafua Ndesamburo</title>
					  <link>http://www.habaritanzania.com/articles/3113/1/Kada-wa-CCM-akana-kumchafua-Ndesamburo</link>
					  <description>MJUMBE wa Kamati ya Siasa ya Chama Cha Mapinduzi (CCM) Mkoa wa Kilimanjaro, Mildred Kisamo, amekanusha kumzushia tuhuma za rushwa Mbunge wa Moshi Mjini (Chadema), Philemon Ndesamburo, kama inavyoenezwa na baadhi ya watu.</description>
					  <author>info@habaritanzania.com (Habari Tanzania)</author>
					  <pubDate>Sat, 24 Feb 2007 00:00:00 +0300</pubDate>
					 
					</item>

				

					<item>
					  <title>Wabunge ichangieni polisi - Mkono</title>
					  <link>http://www.habaritanzania.com/articles/3094/1/Wabunge-ichangieni-polisi---Mkono</link>
					  <description>WABUNGE wameombwa kutoa sehemu ya mapato yao kulichangia Jeshi la Polisi ambalo linaendesha operesheni maalumu ya kupambana na ujambazi nchini.</description>
					  <author>info@habaritanzania.com (Habari Tanzania)</author>
					  <pubDate>Thu, 22 Feb 2007 00:00:00 +0300</pubDate>
					 
					</item>

				

					<item>
					  <title>Lowassa, uchungu huu wa kweli?</title>
					  <link>http://www.habaritanzania.com/articles/3092/1/Lowassa%2C-uchungu-huu-wa-kweli%3F</link>
					  <description>NIMESOMA habari kwamba Waziri Mkuu Edward Lowassa, amewataka wananchi wa Mkoa wa Dar es Salaam kuchangia ujenzi wa shule za sekondari za kata, kama wanavyochangia mabilioni ya fedha kwenye sherehe za harusi.</description>
					  <author>info@habaritanzania.com (Habari Tanzania)</author>
					  <pubDate>Thu, 22 Feb 2007 00:00:00 +0300</pubDate>
					 
					</item>

				

					<item>
					  <title>Wapigakura wamzoea mbunge wao</title>
					  <link>http://www.habaritanzania.com/articles/3077/1/Wapigakura-wamzoea-mbunge-wao</link>
					  <description>VURUGU, mabango na kuzomewa mara kwa mara kwa Mbunge wa Msalala mkoani Shinyanga, Ezekiel Maige ni miongoni mwa vioja vilivyotokea kwenye mkutano wa Naibu Waziri wa Madini, Willim Ngeleja katika Kijiji cha Kakola.</description>
					  <author>info@habaritanzania.com (Habari Tanzania)</author>
					  <pubDate>Wed, 21 Feb 2007 00:00:00 +0300</pubDate>
					 
					</item>

				

					<item>
					  <title>Waliosimamishwa CCM waja juu</title>
					  <link>http://www.habaritanzania.com/articles/3076/1/Waliosimamishwa-CCM-waja-juu</link>
					  <description>BAADHI ya viongozi wa Chama cha Mapinduzi (CCM) ngazi ya kata wilayani hapa, wamekuja juu wakitaka kupewa barua za kusimamishwa au kurejeshewa nyadhifa zao.</description>
					  <author>info@habaritanzania.com (Habari Tanzania)</author>
					  <pubDate>Wed, 21 Feb 2007 00:00:00 +0300</pubDate>
					 
					</item>

				

					<item>
					  <title>Zanzibar inahitaji maridhiano si maafikiano</title>
					  <link>http://www.habaritanzania.com/articles/3045/1/Zanzibar-inahitaji-maridhiano-si-maafikiano</link>
					  <description>WANANCHI wa kada mbalimbali wanazidi kuonyesha wasiwasi wao kuhusu mbinu inayotumiwa na vyama vya CCM na CUF, kujadili utata wa kimahusiano uliopo miongoni mwa wananchi wa Zanzibar, ambao umepewa jina la mpasuko wa kisiasa visiwani humo.</description>
					  <author>info@habaritanzania.com (Habari Tanzania)</author>
					  <pubDate>Mon, 19 Feb 2007 00:00:00 +0300</pubDate>
					 
					</item>

				

					<item>
					  <title>Mchungaji Mtikila kufungua kesi kusimamisha uchaguzi Tunduru</title>
					  <link>http://www.habaritanzania.com/articles/3044/1/Mchungaji-Mtikila-kufungua-kesi-kusimamisha-uchaguzi-Tunduru</link>
					  <description>Mwenyekiti wa DP Mchungaji Christopher Mtikila leo anafungua kesi Mahakama kuu kusimamisha uchaguzi mdogo wa ubunge jimbo la Tunduru. Akizungumza na waandishi wa habari jana kwenye ofisi za chama hicho mchungaji Mtikila alisema hatua hiyo inafuatia kitendo cha Tume ya Taifa ya uchaguzi kukaidi uamuzi wa mahakama kuu wa kuruhusu wagombea binafsi. Alisema chama hicho kitawasilisha kesi hiyo mahakama kuu leo ili kupinga kufanyika kwa uchaguzi huo pamoja na ule wa madiwani wa kata 14 ambao nao umepangwa kufanyika hivi karibuni. </description>
					  <author>info@habaritanzania.com (Habari Tanzania)</author>
					  <pubDate>Mon, 19 Feb 2007 00:00:00 +0300</pubDate>
					 
					</item>

				

					<item>
					  <title>Vigogo serikalini wahojiwa kuhusu rada</title>
					  <link>http://www.habaritanzania.com/articles/3043/1/Vigogo-serikalini-wahojiwa-kuhusu-rada</link>
					  <description>KASHFA ya ununuzi wa rada ya Sh40 bilioni kutoka kampuni ya BAE System ya Uingereza, imezidi kuchukua sura mpya baada ya kitengo cha uchunguzi cha makachero wa Uingereza (SFO), kuwahoji baadhi ya maafisa wa serikali ya Tanzania waliohusika na ununuzi wa rada hiyo.</description>
					  <author>info@habaritanzania.com (Habari Tanzania)</author>
					  <pubDate>Mon, 19 Feb 2007 00:00:00 +0300</pubDate>
					 
					</item>

				

					<item>
					  <title>Mbunge Uingereza avipa somo vyama vya siasa nchini</title>
					  <link>http://www.habaritanzania.com/articles/3029/1/Mbunge-Uingereza-avipa-somo-vyama-vya-siasa-nchini</link>
					  <description>MBUNGE wa Chama cha Conservative cha Uingereza, ambaye pia ni mjumbe wa tume ya kuchunguza rushwa ya rada iliyouzwa kwa Tanzania, Peter Lilley amevitaka vyama vya siasa katika nchi zinazoendelea kutofumbia macho tuhuma za rushwa na badala yake viwe mstari wa mbele kuzifuatilia kwa maslahi ya wananchi.</description>
					  <author>info@habaritanzania.com (Habari Tanzania)</author>
					  <pubDate>Sun, 18 Feb 2007 00:00:00 +0300</pubDate>
					 
					</item>

				

					<item>
					  <title>Kwa kasi hii ya sasa, tutafakari la kufanya</title>
					  <link>http://www.habaritanzania.com/articles/3028/1/Kwa-kasi-hii-ya-sasa%2C-tutafakari-la-kufanya</link>
					  <description>PANGA pangua. Hili huku, lile kule, chukua huyu hamisha peleka kule, yule weka hapa, mwingine fukuza, toa matamshi ya kila aina ya kutia matumaini ya ajabu na kisha mwisho wa siku mambo yanabaki kuwa yale yale na pengine mabaya zaidi.</description>
					  <author>info@habaritanzania.com (Habari Tanzania)</author>
					  <pubDate>Sun, 18 Feb 2007 00:00:00 +0300</pubDate>
					 
					</item>

				

					<item>
					  <title>Twaikumbusha serikali kuanza kutekeleza ahadi</title>
					  <link>http://www.habaritanzania.com/articles/3016/1/Twaikumbusha-serikali-kuanza-kutekeleza-ahadi</link>
					  <description>TULIANDIKA, tukaandika tena na sasa tunaandika kwa mara nyingine tena. Tutaendelea kuandika na kulifuatilia suala hili hadi hapo tutakapoona limemalizika na kuhitimishwa.</description>
					  <author>info@habaritanzania.com (Habari Tanzania)</author>
					  <pubDate>Sat, 17 Feb 2007 00:00:00 +0300</pubDate>
					 
					</item>

				

					<item>
					  <title>Afrika yatakiwa kupambana na majanga</title>
					  <link>http://www.habaritanzania.com/articles/2963/1/Afrika-yatakiwa-kupambana-na-majanga</link>
					  <description>WAZIRI wa Nchi Ofisi ya Waziri Mkuu (Bunge), Dk Batilda Burian, ametaka nchi za Afrika kupambana na majanga kama hatua ya kujiletea maendeleo endelevu.</description>
					  <author>info@habaritanzania.com (Habari Tanzania)</author>
					  <pubDate>Wed, 14 Feb 2007 00:00:00 +0300</pubDate>
					 
					</item>

				

					<item>
					  <title>Waziri Mkuu safarini Ufaransa</title>
					  <link>http://www.habaritanzania.com/articles/2953/1/Waziri-Mkuu-safarini-Ufaransa</link>
					  <description>WAZIRI Mkuu, Edward Lowassa, anaondoka nchini leo kwenda Ufaransa kumwakilisha Rais Jakaya Kikwete katika mkutano wa 24 wa wakuu wa nchi za Afrika na Rais Jacques Chirac wa nchi hiyo.</description>
					  <author>info@habaritanzania.com (Habari Tanzania)</author>
					  <pubDate>Tue, 13 Feb 2007 00:00:00 +0300</pubDate>
					 
					</item>

				

					<item>
					  <title>Chacha Wangwe shujaa Tarime</title>
					  <link>http://www.habaritanzania.com/articles/2951/1/Chacha-Wangwe-shujaa-Tarime</link>
					  <description>VYAMA kadhaa vya upinzani wilayani hapa, mkoani Mara, vimeungana kupanga mapokezi makubwa ya Mbunge wa Tarime, Chacha Wangwe (CHADEMA), atakapowasili mjini hapa kesho.</description>
					  <author>info@habaritanzania.com (Habari Tanzania)</author>
					  <pubDate>Tue, 13 Feb 2007 00:00:00 +0300</pubDate>
					 
					</item>

				

					<item>
					  <title>&#39;Ndumilakuwili CCM&#39; K&#39;njaro matumbo moto</title>
					  <link>http://www.habaritanzania.com/articles/2934/1/%26%2339%3BNdumilakuwili-CCM%26%2339%3B-K%26%2339%3Bnjaro-matumbo-moto</link>
					  <description>BAADHI ya wanachama wa Chama cha Mapinduzi (CCM) Mkoa wa Kilimanjaro, wameanza utekelezaji wa agizo la kutowachagua viongozi ndumilakuwili katika uchaguzi mkuu wa chama hicho utakaofanyika hivi karibuni.</description>
					  <author>info@habaritanzania.com (Habari Tanzania)</author>
					  <pubDate>Mon, 12 Feb 2007 00:00:00 +0300</pubDate>
					 
					</item>

				

					<item>
					  <title>CCM waguswa mgogoro wa wananchi, manispaa</title>
					  <link>http://www.habaritanzania.com/articles/2933/1/CCM-waguswa-mgogoro-wa-wananchi%2C-manispaa</link>
					  <description>CHAMA Cha Mapinduzi (CCM) Wilaya ya Arusha kimeingilia kati mgogoro ulioibuka kati ya wakazi wa Muriet Kata ya Sokoni 1 na Manispaa ya Arusha baada ya kutakiwa kuvunja nyumba zao kupisha mradi wa upimaji viwanja.</description>
					  <author>info@habaritanzania.com (Habari Tanzania)</author>
					  <pubDate>Mon, 12 Feb 2007 00:00:00 +0300</pubDate>
					 
					</item>

				

					<item>
					  <title>Mkuu wa usalama JWTZ afariki ghafla Burundi</title>
					  <link>http://www.habaritanzania.com/articles/2931/1/Mkuu-wa-usalama-JWTZ-afariki-ghafla-Burundi</link>
					  <description>MKUU wa usalama na utambuzi wa Jeshi la Wananchi wa Tanzania (JWTZ), Brigedia Jenerali Emanuel Masesa, amefariki ghafla mjini Bunjumbura, Burundi.</description>
					  <author>info@habaritanzania.com (Habari Tanzania)</author>
					  <pubDate>Mon, 12 Feb 2007 00:00:00 +0300</pubDate>
					 
					</item>

				

					<item>
					  <title>Jumuia Afrika Mashariki kwa maslahi ya wanasiasa?</title>
					  <link>http://www.habaritanzania.com/articles/2922/1/Jumuia-Afrika-Mashariki-kwa-maslahi-ya-wanasiasa%3F</link>
					  <description>NAMSHUKURU Mola wangu kwa kuniwezesha kukutana nanyi tena katika waraka wangu huu mwepesi wenye mawazo mepesi. Ni jadi yangu kila Jumapili kuanza waraka huu kwa dua ya shukrani, maombi na masifu kwa yeeye aliye muweza wa yote.</description>
					  <author>info@habaritanzania.com (Habari Tanzania)</author>
					  <pubDate>Sun, 11 Feb 2007 00:00:00 +0300</pubDate>
					 
					</item>

				

					<item>
					  <title>Spika anapochoka kabla ya safari</title>
					  <link>http://www.habaritanzania.com/articles/2921/1/Spika-anapochoka-kabla-ya-safari</link>
					  <description>SITAKI Spika wa Bunge anayechoka kabla ya safari kuanza. Sitaki Spika mwenye rekodi ya kuadhibu watuhumiwa, lakini anayeshindwa kuadhibu mbunge aliyesema uongo usiokanika.</description>
					  <author>info@habaritanzania.com (Habari Tanzania)</author>
					  <pubDate>Sun, 11 Feb 2007 00:00:00 +0300</pubDate>
					 
					</item>

				

					<item>
					  <title>Miaka 30 CCM inaanguka kwa kishindo, nani wa kuiokoa?</title>
					  <link>http://www.habaritanzania.com/articles/2916/1/Miaka-30-CCM-inaanguka-kwa-kishindo%2C-nani-wa-kuiokoa%3F</link>
					  <description>CHAMA Cha Mapinduzi (CCM) wiki iliyopita kiliadhimisha miaka 30 ya kuzaliwa kwake kwa mbwembwe, shughuli ya kitaifa ikifanyika viwanja vya Jangwani, Dar es Salaam chini ya Mwenyekiti wa chama hicho, Rais Jakaya Kikwete.</description>
					  <author>info@habaritanzania.com (Habari Tanzania)</author>
					  <pubDate>Sun, 11 Feb 2007 00:00:00 +0300</pubDate>
					 
					</item>

				

					<item>
					  <title>Zitto Kabwe ameonyesha vijana wanaweza!</title>
					  <link>http://www.habaritanzania.com/articles/2915/1/Zitto-Kabwe-ameonyesha-vijana-wanaweza%21</link>
					  <description>WATU wengi wanapotaka kujifunza juu ya wajibu na utendaji ulio bora, mambo mbalimbali ya kijamii na kadhalika, hukimbilia kujifunza kutoka kwa wazee au wale wenye umri mkubwa au waliokula chumvi nyingi. Kimsingi hilo ni jambo zuri, kwani Waswahili wana misemo mingi kama ule wa uzee ni dawa, wazee ni hazina au thamani ya uzee ni kichwa chenye mvi na kadha wa kadha.</description>
					  <author>info@habaritanzania.com (Habari Tanzania)</author>
					  <pubDate>Sun, 11 Feb 2007 00:00:00 +0300</pubDate>
					 
					</item>

				

					<item>
					  <title>Hoja ya Ndesamburo yapelekwa PCB</title>
					  <link>http://www.habaritanzania.com/articles/2899/1/Hoja-ya-Ndesamburo-yapelekwa-PCB</link>
					  <description>MADAI ya rushwa yaliyotolewa na Mbunge wa Moshi Mjini, Phillemon Ndesamburo kwamba sakata kati ya Mbunge wa Mkuranga, Adam Malima na Mwenyekiti wa Makampuni ya IPP Reginald Mengi lilikuwa limegubikwa na rushwa iliyolenga kumkandamiza Mengi sasa yamepelekwa katika Tume ya kudhibiti rushwa (Takuru).</description>
					  <author>info@habaritanzania.com (Habari Tanzania)</author>
					  <pubDate>Sat, 10 Feb 2007 00:00:00 +0300</pubDate>
					 
					</item>

				

					<item>
					  <title>Vijana CCM wajitosa kutunza mazingira</title>
					  <link>http://www.habaritanzania.com/articles/2898/1/Vijana-CCM-wajitosa-kutunza-mazingira</link>
					  <description>UMOJA wa Vijana wa Chama cha Mapinduzi ( UVCCM) Wilaya ya Bukoba Mjini Mkoa wa Kagera, umeanza kuunga mkono jitihada za taifa kwa kuanza kampeni ya kupanda miti.</description>
					  <author>info@habaritanzania.com (Habari Tanzania)</author>
					  <pubDate>Sat, 10 Feb 2007 00:00:00 +0300</pubDate>
					 
					</item>

				

					<item>
					  <title> Mahakama yakataa tena hoja ya Kenya</title>
					  <link>http://www.habaritanzania.com/articles/2851/1/-Mahakama-yakataa-tena-hoja-ya-Kenya</link>
					  <description>         MAHAKAMA ya Afrika Mashariki (EACJ) imetupilia mbali ombi la Serikali          ya Kenya ya kuwakataa majaji wawili wa mahakama hiyo kutoka nchini humo          kwa madai ya kutokuwa na imani nao.</description>
					  <author>info@habaritanzania.com (Habari Tanzania)</author>
					  <pubDate>Wed, 07 Feb 2007 00:00:00 +0300</pubDate>
					 
					</item>

				

					<item>
					  <title>CCM inakwenda wapi?</title>
					  <link>http://www.habaritanzania.com/articles/2838/1/CCM-inakwenda-wapi%3F</link>
					  <description>KWA binadamu, ili ujue unakokwenda ni busara ujue ulikotoka na ulipo sasa.                    Chama Cha Mapinduzi (CCM), leo kinatimiza miaka 30 tangu kuzaliwa kwake. Hongera na pongezi nyingi kwa CCM. </description>
					  <author>info@habaritanzania.com (Habari Tanzania)</author>
					  <pubDate>Mon, 05 Feb 2007 00:00:00 +0300</pubDate>
					 
					</item>

				

					<item>
					  <title>Mbunge aahidi kujenga sekondari tano</title>
					  <link>http://www.habaritanzania.com/articles/2812/1/Mbunge-aahidi-kujenga-sekondari-tano</link>
					  <description>MBUNGE wa Tarime mkoani Mara, Chacha Wangwe amedai kuwa, amepata wafadhili wa kujenga shule tano jimboni mwake, hivyo kuwataka wananchi wasichangie ujenzi huo.</description>
					  <author>info@habaritanzania.com (Habari Tanzania)</author>
					  <pubDate>Sat, 03 Feb 2007 00:00:00 +0300</pubDate>
					 
					</item>

				

					<item>
					  <title>Wapinzani kugomea uchaguzi wa mitaa</title>
					  <link>http://www.habaritanzania.com/articles/2771/1/Wapinzani-kugomea-uchaguzi-wa-mitaa</link>
					  <description>VYAMA vya upinzani vimesema havitashiriki uchaguzi wa serikali za mitaa utakaofanyika nchini kote mwaka 2009 endapo serikali haitakubali kuandika katiba ya Jamhuri ya Muungano upya.</description>
					  <author>info@habaritanzania.com (Habari Tanzania)</author>
					  <pubDate>Wed, 31 Jan 2007 00:00:00 +0300</pubDate>
					 
					</item>

				

					<item>
					  <title>Upinzani wawataka Lowassa, Nahodha kumaliza vikao</title>
					  <link>http://www.habaritanzania.com/articles/2770/1/Upinzani-wawataka-Lowassa%2C-Nahodha-kumaliza-vikao</link>
					  <description>KIONGOZI wa Upinzani bungeni, Hamad Mohamed Rashid, amewataka Waziri Mkuu, Edward Lowassa na Waziri Kiongozi, Shamsi Vuai Nahodha, kumaliza vikao vya kujadili kero za muungano ili wananchi wajue hatima ya suala hilo.</description>
					  <author>info@habaritanzania.com (Habari Tanzania)</author>
					  <pubDate>Wed, 31 Jan 2007 00:00:00 +0300</pubDate>
					 
					</item>

				

					<item>
					  <title>Shirikisho msalabani</title>
					  <link>http://www.habaritanzania.com/articles/2746/1/Shirikisho-msalabani</link>
					  <description>WATANZANIA wasomi na wanasiasa wanaotafakari mambo, wameanza kutoa maneno yenye mwelekeo wa kukataa mchakato wa kutaka kuundwa kwa Shirikisho la Afrika Mashariki (EAC).</description>
					  <author>info@habaritanzania.com (Habari Tanzania)</author>
					  <pubDate>Mon, 29 Jan 2007 00:00:00 +0300</pubDate>
					 
					</item>

				

					<item>
					  <title>PCB msitoe tena likizo</title>
					  <link>http://www.habaritanzania.com/articles/2736/1/PCB-msitoe-tena-likizo</link>
					  <description>WIKI hii kwa hakika sisi wavuja jasho, wafyeka nyasi na wasaka nyoka; (usishangae haya yote ni majina yetu sisi tusio na kitu na tusio na pa kuegemea), tulipata taarifa ambayo ilitufanya tushushe pumzi.</description>
					  <author>info@habaritanzania.com (Habari Tanzania)</author>
					  <pubDate>Sun, 28 Jan 2007 00:00:00 +0300</pubDate>
					 
					</item>

				

					<item>
					  <title>Mwachezea mali za walipa kodi kwenye siasa?</title>
					  <link>http://www.habaritanzania.com/articles/2722/1/Mwachezea-mali-za-walipa-kodi-kwenye-siasa%3F</link>
					  <description>AIIIII, uuuwiiiiiii! Nawaambia hicho ni kilio cha Mzee wa Kujitoa kinachotokana na mambo yanavyokwenda kama vile nchi haina wenyewe. Nawaapia kwa mtaji huu tutafikishana mbali. </description>
					  <author>info@habaritanzania.com (Habari Tanzania)</author>
					  <pubDate>Sat, 27 Jan 2007 00:00:00 +0300</pubDate>
					 
					</item>

				

					<item>
					  <title>Tutunge sheria kutetea haki za mtoto</title>
					  <link>http://www.habaritanzania.com/articles/2721/1/Tutunge-sheria-kutetea-haki-za-mtoto</link>
					  <description>MWAKA 1989 Baraza Kuu la Umoja wa Mataifa, lilipitisha kwa kauli moja Mkataba wa Kimataifa wa Haki za Mtoto (UN Convention on the Rights of the Child, 1989).</description>
					  <author>info@habaritanzania.com (Habari Tanzania)</author>
					  <pubDate>Sat, 27 Jan 2007 00:00:00 +0300</pubDate>
					 
					</item>

				

					<item>
					  <title>Wasomi: Wananchi wasiburuzwe kujiunga shirikisho Afrika Mashariki</title>
					  <link>http://www.habaritanzania.com/articles/2646/1/Wasomi%3A-Wananchi-wasiburuzwe-kujiunga-shirikisho-Afrika-Mashariki</link>
					  <description>KADRI kamati ya Profesa Samuel Wangwe inavyozidi kukusanya maoni ya wananchi juu ya uharakishwaji wa kuundwa kwa shirikisho la Afrika Mashariki, ndivyo inavyozidi kukumbana na maswali ya wananchi wanaohoji mantiki ya kuharakisha zoezi hilo.</description>
					  <author>info@habaritanzania.com (Habari Tanzania)</author>
					  <pubDate>Fri, 19 Jan 2007 00:00:00 +0300</pubDate>
					 
					</item>

				

					<item>
					  <title>Wananchi wajitahidi, serikali yashindwa kutimiza ahadi</title>
					  <link>http://www.habaritanzania.com/articles/2645/1/Wananchi-wajitahidi%2C-serikali-yashindwa-kutimiza-ahadi</link>
					  <description>WANANCHI wa mji mdogo wa Micheweni Kaskazini Pemba wamefanikiwa kujenga vyumba sita vya madarasa vyenye thamani ya Sh 5,732,000 kwa kutumia nguvu zao lakini Serikali imeshindwa kutekeleza ahadi yake ya kuezeka na kutia lipu.</description>
					  <author>info@habaritanzania.com (Habari Tanzania)</author>
					  <pubDate>Fri, 19 Jan 2007 00:00:00 +0300</pubDate>
					 
					</item>

				

					<item>
					  <title>Wasomi: Wananchi wasiburuzwe kujiunga shirikisho Afrika Mashariki</title>
					  <link>http://www.habaritanzania.com/articles/2625/1/Wasomi%3A-Wananchi-wasiburuzwe-kujiunga-shirikisho-Afrika-Mashariki</link>
					  <description>KADRI kamati ya Profesa Samuel Wangwe inavyozidi kukusanya maoni ya wananchi juu ya uharakishwaji wa kuundwa kwa shirikisho la Afrika Mashariki, ndivyo inavyozidi kukumbana na maswali ya wananchi wanaohoji mantiki ya kuharakisha zoezi hilo.</description>
					  <author>info@habaritanzania.com (Habari Tanzania)</author>
					  <pubDate>Thu, 18 Jan 2007 00:00:00 +0300</pubDate>
					 
					</item>

				

					<item>
					  <title>Moshi waukana msaada wa mbunge wa upinzani</title>
					  <link>http://www.habaritanzania.com/articles/2624/1/Moshi-waukana-msaada-wa-mbunge-wa-upinzani</link>
					  <description>HATUA ya Meya wa Manispaa ya Moshi, Lameck Kaaya kuuwekea masharti msaada wa gari la wagonjwa unaotarajiwa kutolewa na Mbunge wa Moshi Mjini, Philemon Ndesamburo (Chadema), imepingwa na wananchi wanaonufaika na msaada huo.</description>
					  <author>info@habaritanzania.com (Habari Tanzania)</author>
					  <pubDate>Thu, 18 Jan 2007 00:00:00 +0300</pubDate>
					 
					</item>

				

					<item>
					  <title>Mwandishi wa habari akana cheo cha kisiasa</title>
					  <link>http://www.habaritanzania.com/articles/2610/1/Mwandishi-wa-habari-akana-cheo-cha-kisiasa</link>
					  <description>MWANDISHI wa Habari mwandamizi nchini, Makwaia wa Kuhenga, ameukataa wadhifa wa Katibu Mwenezi wa Chama cha Ustawi Tanzania, CHAUSTA kama ulivyotangazwa na Mwenyekiti wa Chama hicho James Mapalala.</description>
					  <author>info@habaritanzania.com (Habari Tanzania)</author>
					  <pubDate>Wed, 17 Jan 2007 00:00:00 +0300</pubDate>
					 
					</item>

				

					<item>
					  <title>Spika ataka tuhuma za mbunge kwa maandishi</title>
					  <link>http://www.habaritanzania.com/articles/2608/1/Spika-ataka-tuhuma-za-mbunge-kwa-maandishi</link>
					  <description>SPIKA wa Bunge, Samuel Sitta amemwandikia rasmi Mbunge wa Moshi Mjini (Chadema), Phillemon Ndesamburo, akimtaka kumwandikia kwa maandishi tuhuma za rushwa alizotoa dhidi ya wajumbe wa Kamati ya Haki, Maadili na Madaraka ya Bunge</description>
					  <author>info@habaritanzania.com (Habari Tanzania)</author>
					  <pubDate>Wed, 17 Jan 2007 00:00:00 +0300</pubDate>
					 
					</item>

				

					<item>
					  <title>Serikali yakiri uelewa wa wananchi mdogo</title>
					  <link>http://www.habaritanzania.com/articles/2599/1/Serikali-yakiri-uelewa-wa-wananchi-mdogo</link>
					  <description>SERIKALI imekiri kwamba, uelewa wa Watanzania wengi kuhusu mchakato wa kuelekea kuundwa kwa Shirikisho la Jumuiya ya Afrika Mashariki mwaka 2010, ni mdogo.</description>
					  <author>info@habaritanzania.com (Habari Tanzania)</author>
					  <pubDate>Tue, 16 Jan 2007 00:00:00 +0300</pubDate>
					 
					</item>

				

					<item>
					  <title>Kigogo CCM Z'bar amtelekeza Makamba</title>
					  <link>http://www.habaritanzania.com/articles/2598/1/Kigogo-CCM-Z%92bar-amtelekeza-Makamba</link>
					  <description>KATIBU Mkuu wa Chama Cha Mapinduzi (CCM), Yusufu Makamba, amesema Naibu Katibu Mkuu wa CCM, Zanzibar, Saleh Ramadhani Feruzi, ambaye ndiye mwenyeji wake kwenye ziara yake visiwani hapa, amemtelekeza.</description>
					  <author>info@habaritanzania.com (Habari Tanzania)</author>
					  <pubDate>Tue, 16 Jan 2007 00:00:00 +0300</pubDate>
					 
					</item>

				

					<item>
					  <title>MAPINDUZI BILA DAMU WALA WAFADHILI</title>
					  <link>http://www.habaritanzania.com/articles/2558/1/MAPINDUZI-BILA-DAMU-WALA-WAFADHILI</link>
					  <description>Vunjavunja kila kitu. Madirisha ya vioo, pasua! Kama ni ya mbao, zing'oe kisha washia moto. Vunja kuta. Bomoa mageti. Ng'oa paa. Milango, tupilia mbali! Chomoa misumari yote. </description>
					  <author>mwanahabari@gmail.com (Mwana Habari)</author>
					  <pubDate>Sat, 13 Jan 2007 00:00:00 +0300</pubDate>
					 
					</item>

				

					<item>
					  <title>Where are We?</title>
					  <link>http://www.habaritanzania.com/articles/2561/1/Where-are-We%3F</link>
					  <description>Have you heard about Mbezi Beach Block L, in Dar es Salaam? If you wander about the area, you will be surprised to find that the local government people identify it as Kunduchi Kilongawima instead. We have a Tower of Babel here! The Central Government, through its auspicious Ministry of Lands and Human Settlement, has one system of physical addresses while local level governments have entirely different identifications for the same places! </description>
					  <author>mwanahabari@gmail.com (Mwana Habari)</author>
					  <pubDate>Fri, 12 Jan 2007 00:00:00 +0300</pubDate>
					 
					</item>

				

					<item>
					  <title>Vyama vya upinzani vyasifu Maendeleo ya Zanzibar</title>
					  <link>http://www.habaritanzania.com/articles/2531/1/Vyama-vya-upinzani-vyasifu-Maendeleo-ya-Zanzibar</link>
					  <description>VYAMA vya siasa vya Sauti ya Umma na NLD vimesifu maendeleo yaliyofikiwa Zanzibar tangu kufanyika kwa mapinduzi ya mwaka 1964.</description>
					  <author>info@habaritanzania.com (Habari Tanzania)</author>
					  <pubDate>Tue, 09 Jan 2007 00:00:00 +0300</pubDate>
					 
					</item>

				

					<item>
					  <title>Wapinzani wahoji mamlaka ya Rais</title>
					  <link>http://www.habaritanzania.com/articles/2530/1/Wapinzani-wahoji-mamlaka-ya-Rais</link>
					  <description>VONGOZI wa vyama vya siasa mkoani hapa wamesema mamlaka makubwa aliyonayo Rais wa Jamhuri wa Muungano wa Tanzania kuwa ni moja ya sheria kandamizi ambazo zinadumaza mfumo huru wa demokrasia katika mfumo waa vyama vingi nchini.</description>
					  <author>info@habaritanzania.com (Habari Tanzania)</author>
					  <pubDate>Tue, 09 Jan 2007 00:00:00 +0300</pubDate>
					 
					</item>

				

					<item>
					  <title>CUF yataka wananchi waseme hapana</title>
					  <link>http://www.habaritanzania.com/articles/2515/1/CUF-yataka-wananchi-waseme-hapana</link>
					  <description>WAKATI mchakato wa kuchukua maoni kwa ajili Shirikisho la kisiasa la Afrika Mashariki unaanza leo kwa wakazi wa jiji la Dar es Salaam, Chama cha Wananchi (CUF), kimewataka wananchi kuukataa mpango kasi kuelekea shirikisho hilo.</description>
					  <author>info@habaritanzania.com (Habari Tanzania)</author>
					  <pubDate>Mon, 08 Jan 2007 00:00:00 +0300</pubDate>
					 
					</item>

				

					<item>
					  <title>Tume yachunguza fedha za CCM Mwanza</title>
					  <link>http://www.habaritanzania.com/articles/2514/1/Tume-yachunguza-fedha-za-CCM-Mwanza</link>
					  <description>TIMU ya wakaguzi wa hesabu wa Chama cha Mapinduzi (CCM) imeingia mkoani Mwanza na kuanza uchunguzi wa mapato ya chama hicho ikiwa ni pamoja na kufuatilia ununuzi wa magari mawili yaliyonunuliwa Dubai mwaka jana.</description>
					  <author>info@habaritanzania.com (Habari Tanzania)</author>
					  <pubDate>Mon, 08 Jan 2007 00:00:00 +0300</pubDate>
					 
					</item>

				

					<item>
					  <title>Uteuzi wa Bi Migiro ni Fahari kwa Afrika.</title>
					  <link>http://www.habaritanzania.com/articles/2504/1/Uteuzi-wa-Bi-Migiro-ni-Fahari-kwa-Afrika.</link>
					  <description>Naibu Katibu Mkuu Mteule wa Umoja wa Mataifa Bi Asha Rose Migiro ameulezea  uteuzi wake kama ni fursa kubwa kwa Bara la Afrika. Ikiwa ni mara ya kwanza  kuzungumza na mwandishi wa habari, Bi Asha Rose Migiro amemuelezea mwandishi wa  BBC Saidi Yakubu namna alivyopokea uteuzi:</description>
					  <author>info@habaritanzania.com (Habari Tanzania)</author>
					  <pubDate>Sun, 07 Jan 2007 00:00:00 +0300</pubDate>
					 
					</item>

				

					<item>
					  <title>Bomoa Bomoa : Na nyie mbomolewe tupate watendaji safi.</title>
					  <link>http://www.habaritanzania.com/articles/2502/1/Bomoa-Bomoa-%3A-Na-nyie-mbomolewe-tupate-watendaji-safi.</link>
					  <description>Wasiokumbwa na bomoa bomoa bado wanaamini kuwa zoezi hili lina lengo la kuweka  majiji safi.Bila hofu wala mashaka wanaendelea kutoa hoja za kukejeli na  kuwashangaa aidha wafanya biashara ama wenye nyumba walojenga sehemu  zilizobomolewa.</description>
					  <author>ellymgumba@hotmail.com (Elly Mgumba)</author>
					  <pubDate>Fri, 05 Jan 2007 00:00:00 +0300</pubDate>
					 
					</item>

				

					<item>
					  <title>Migiro the next UN Deputy Secretary-General</title>
					  <link>http://www.habaritanzania.com/articles/2501/1/Migiro-the-next-UN-Deputy-Secretary-General</link>
					  <description>I have decided to appoint Dr. Asha-Rose Migiro, Minister of Foreign Affairs and International Cooperation of the United Republic of Tanzania, as Deputy Secretary-General.</description>
					  <author>info@habaritanzania.com (Habari Tanzania)</author>
					  <pubDate>Fri, 05 Jan 2007 00:00:00 +0300</pubDate>
					 
					</item>

				

					<item>
					  <title>Kamwe hatutashika bunduki- Duni</title>
					  <link>http://www.habaritanzania.com/articles/2465/1/Kamwe-hatutashika-bunduki--Duni</link>
					  <description>CHAMA Cha Wananchi (CUF) kimesema pamoja na kushindwa katika chaguzi kuu  mata tatu, kamwe hawatawashawishi wafuasi wao kushika siraha za moto na kuingia  mitaani katika kutafuta haki yao.</description>
					  <author>jambolondon@yahoo.co.uk (Juma Pinto)</author>
					  <pubDate>Wed, 27 Dec 2006 00:00:00 +0300</pubDate>
					 
					</item>

				

					<item>
					  <title>CUF: Tumeupokea uamuzi wa CCM</title>
					  <link>http://www.habaritanzania.com/articles/2452/1/CUF%3A-Tumeupokea-uamuzi-wa-CCM</link>
					  <description>CHAMA cha Wananchi (CUF), kimesema kinapokea kwa mikono miwili, hatua ya Halmashauri Kuu (NEC) ya CCM, ya kuridhia mazungumzo baina ya vyama hivyo, kufanya mazungumzo tena yenye lengo la kutafuta ufumbuzi wa kudumu wa mpasuko wa kisiasa visiwani Zanzibar.</description>
					  <author>info@habaritanzania.com (Habari Tanzania)</author>
					  <pubDate>Mon, 25 Dec 2006 00:00:00 +0300</pubDate>
					 
					</item>

				

					<item>
					  <title>Makengeza ya REDET na siasa za Zanzibar</title>
					  <link>http://www.habaritanzania.com/articles/2447/1/Makengeza-ya-REDET-na-siasa-za-Zanzibar</link>
					  <description>SITAKI kushiriki mawazo ya Mradi wa Utafiti na Elimu ya Demokrasia (REDET) kwamba Wazanzibari wanahitaji kwenda chuoni kujifunza jinsi ya kuishi bila "siasa za chuki na uhasama."</description>
					  <author>info@habaritanzania.com (Habari Tanzania)</author>
					  <pubDate>Sun, 24 Dec 2006 00:00:00 +0300</pubDate>
					 
					</item>

				

					<item>
					  <title>Kwanini Serikali ya Kikwete ni kiboko na si mamba?</title>
					  <link>http://www.habaritanzania.com/articles/2446/1/Kwanini-Serikali-ya-Kikwete-ni-kiboko-na-si-mamba%3F</link>
					  <description>MOJA ya sifa kubwa kwa baadhi ya viongozi wa Serikali ya Awamu ya Nne ambao hivi majuzi imetimiza mwaka mmoja madarakani ni kujisifu mbele ya vyombo vya habari, ili wananchi wajue kwamba wamechagua viongozi bora ambao wanachapa kazi usiku na mchana. Ni nadra kwa viongozi hawa kukiri udhaifu, wao wamekuwa wakijisifu kupita kiasi; wamefika hatua hata ya kuwa wakali pale wanapoambiwa ukweli.</description>
					  <author>info@habaritanzania.com (Habari Tanzania)</author>
					  <pubDate>Sun, 24 Dec 2006 00:00:00 +0300</pubDate>
					 
					</item>

				

					<item>
					  <title>Tofauti ya shirikisho la sasa Afrika Mashariki na lile lililovunjika</title>
					  <link>http://www.habaritanzania.com/articles/2442/1/Tofauti-ya-shirikisho-la-sasa-Afrika-Mashariki-na-lile-lililovunjika</link>
					  <description>WATANZANIA wengi hivi sasa, wakiwamo waliopo vijijini, wanatakiwa kutoa maoni yao kuhusu Shirikisho la Afrika Mashariki (EAC).</description>
					  <author>info@habaritanzania.com (Habari Tanzania)</author>
					  <pubDate>Sun, 24 Dec 2006 00:00:00 +0300</pubDate>
					 
					</item>

				

					<item>
					  <title>"Rais Kikwete aishi dunia ya kufikirika"</title>
					  <link>http://www.habaritanzania.com/articles/2441/1/%93Rais-Kikwete-aishi-dunia-ya-kufikirika%94</link>
					  <description>Oktoba 24, mwaka huu, makala yenye kichwa cha habari kisemacho; "Kikwete Lives in Utopia", kikimaanisha Kikwete anaishi katika dunia ya kufikirika, ilisambazwa katika mtandao wa kompyuta, ikiwa imeandikwa na mwandishi anayejitambulisha kwa jina la JAMES MPINGANJIRA wa Kenya. Tumeamua kuichapisha makala hii kuonyesha mtazamo wa baadhi ya watu wanaoishi nje ya nchi hii, hasa baada ya kauli ya Rais Kikwete aliyoitoa juzi mjini Dodoma, ambayo pamoja na mambo mengine, alilisifia Baraza lake la Mawaziri na kueleza sifa za uongozi wake na mwelekeo wa serikali yake. </description>
					  <author>info@habaritanzania.com (Habari Tanzania)</author>
					  <pubDate>Sun, 24 Dec 2006 00:00:00 +0300</pubDate>
					 
					</item>

				

					<item>
					  <title>Kikwete tumekusikia, sasa tunataka vitendo</title>
					  <link>http://www.habaritanzania.com/articles/2417/1/Kikwete-tumekusikia%2C-sasa-tunataka-vitendo</link>
					  <description>JANA Rais Jakaya Kikwete, alitimiza mwaka mmoja tangu alipochaguliwa kuwa Rais wa Awamu ya Nne wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania. </description>
					  <author>info@habaritanzania.com (Habari Tanzania)</author>
					  <pubDate>Fri, 22 Dec 2006 00:00:00 +0300</pubDate>
					 
					</item>

				

					<item>
					  <title>Chipukizi kuchagua viongozi</title>
					  <link>http://www.habaritanzania.com/articles/2402/1/Chipukizi-kuchagua-viongozi</link>
					  <description>CHIPUKIZI wa Umoja wa Vijana wa Chama Cha Mapinduzi (UVCCM) wanatarajia kufanya mkutano mwishoni mwa mwezi huu, mjini Dodoma.</description>
					  <author>info@habaritanzania.com (Habari Tanzania)</author>
					  <pubDate>Thu, 21 Dec 2006 00:00:00 +0300</pubDate>
					 
					</item>

				

					<item>
					  <title>Sikuzomewa - Londa</title>
					  <link>http://www.habaritanzania.com/articles/2366/1/Sikuzomewa---Londa</link>
					  <description>MEYA wa Manispaa ya Kinondoni, Salum Londa, amesema kuwa hakuzomewa kwenye mkutano na wananchi, uliofanyika katika Shule ya Msingi Kawe kujadili mgogoro wa kiwanja cha shule hiyo.</description>
					  <author>info@habaritanzania.com (Habari Tanzania)</author>
					  <pubDate>Sat, 16 Dec 2006 00:00:00 +0300</pubDate>
					 
					</item>

				

					<item>
					  <title>Amina awaomba vijana kumuunga mkono</title>
					  <link>http://www.habaritanzania.com/articles/2343/1/Amina-awaomba-vijana-kumuunga-mkono</link>
					  <description>MBUNGE wa Viti Maalum wa Chama Cha Mapinduzi, ) Amina Chifupa, amewaomba wanachama wa umoja wa vijana wa CCM (UVCCM), kumuunga mkono katika vita dhidi ya dawa za kulevya nchini. </description>
					  <author>info@habaritanzania.com (Habari Tanzania)</author>
					  <pubDate>Fri, 15 Dec 2006 00:00:00 +0300</pubDate>
					 
					</item>

				

					<item>
					  <title>DC alia na watendaji kata, vijiji</title>
					  <link>http://www.habaritanzania.com/articles/2342/1/DC-alia-na-watendaji-kata%2C-vijiji</link>
					  <description>MKUU wa Wilaya ya Kyela, Mashimba Hussein Mashimba, ameitaka Halmasharu ya Wilaya hiyo kupitia upya mikataba ya ajira ya watendaji wa kata wana vijiji kutokana na utendaji wao kutorisha.</description>
					  <author>info@habaritanzania.com (Habari Tanzania)</author>
					  <pubDate>Fri, 15 Dec 2006 00:00:00 +0300</pubDate>
					 
					</item>

				

					<item>
					  <title>CUF wasusia kikao cha Baraza Madiwani</title>
					  <link>http://www.habaritanzania.com/articles/2332/1/CUF-wasusia-kikao-cha-Baraza-Madiwani</link>
					  <description>KIKAO cha Baraza la Madiwani wa Halmashauri ya Jiji la Tanga jana kiliingia katika mtafaruku wa aina yake baada ya madiwani sita kupitia Chama cha Wananchi (CUF) kuondoka ukumbini wakipinga kuondolewa kikaoni mwenzao, Mussa Mbarouk anayedaiwa kuhukumiwa kifungo cha nje.</description>
					  <author>info@habaritanzania.com (Habari Tanzania)</author>
					  <pubDate>Thu, 14 Dec 2006 00:00:00 +0300</pubDate>
					 
					</item>

				

					<item>
					  <title>Wana-CCM wahimizwa kuunda vikundi</title>
					  <link>http://www.habaritanzania.com/articles/2316/1/Wana-CCM-wahimizwa-kuunda-vikundi</link>
					  <description>WANACHAMA wa Chama cha Mapinduzi (CCM) mkoani Kagera umehimiziwa kuanzisha vikundi vya uzalishaji mali na kuboresha vilivyopo kama njia mojawapo ya kuwawezesha kupambana na umaskini.</description>
					  <author>info@habaritanzania.com (Habari Tanzania)</author>
					  <pubDate>Wed, 13 Dec 2006 00:00:00 +0300</pubDate>
					 
					</item>

				

					<item>
					  <title>Mabalozi wa CCM walalamikiwa</title>
					  <link>http://www.habaritanzania.com/articles/2315/1/Mabalozi-wa-CCM-walalamikiwa</link>
					  <description>WAKAZI wilayani Bunda wamelalamikia kitendo cha mabalozi nyumba kumi wa Chama Cha Mapindizi (CCM) kupewa wajibu wa kukusanya michango ya maendeleo kutoka kwa wananchi kuwa ni kinyume na misingi ya utawala bora.</description>
					  <author>info@habaritanzania.com (Habari Tanzania)</author>
					  <pubDate>Wed, 13 Dec 2006 00:00:00 +0300</pubDate>
					 
					</item>

				

					<item>
					  <title>Utendaji wa Takuru watiliwa shaka</title>
					  <link>http://www.habaritanzania.com/articles/2296/1/Utendaji-wa-Takuru-watiliwa-shaka</link>
					  <description>VIONGOZI wa vyama vya siasa mkoani Singida wameitaka Serikali kuangalia upya muundo wa Taasisi ya Kuzuia Rushwa (Takuru), ili iweze kukidhi mahitaji na malengo ya kuanzishwa kwake katika kupiga vita rushwa. </description>
					  <author>info@habaritanzania.com (Habari Tanzania)</author>
					  <pubDate>Tue, 12 Dec 2006 00:00:00 +0300</pubDate>
					 
					</item>

				

					<item>
					  <title>Mahakama yaelezwa Wakenya walivyopora Sh54 milioni</title>
					  <link>http://www.habaritanzania.com/articles/2294/1/Mahakama-yaelezwa-Wakenya-walivyopora-Sh54-milioni</link>
					  <description>MAHAKAMA ya Hakimu Mkazi mkoani Kilimanjaro, jana ilielezwa namna raia sita wa Kenya walivyoingia nchini na kupora zaidi ya Sh54 milioni katika duka la kubadilisha fedha la Chase Bureau De Change.</description>
					  <author>info@habaritanzania.com (Habari Tanzania)</author>
					  <pubDate>Tue, 12 Dec 2006 00:00:00 +0300</pubDate>
					 
					</item>

				

					<item>
					  <title>Waasisi wa taifa kuungwa mkono</title>
					  <link>http://www.habaritanzania.com/articles/2278/1/Waasisi-wa-taifa-kuungwa-mkono</link>
					  <description>MKOA wa Mbeya umesema utaendelea kuenzi mchango wa viongozi wa chama na serikali kutokana na kukubali kwao katika harakati za ukombozi wa nchi pamoja na kujitoa mhanga na kupigania Uhuru wa Tanzania na nchi jirani ili kudumisha amani na mshikamano.</description>
					  <author>info@habaritanzania.com (Habari Tanzania)</author>
					  <pubDate>Mon, 11 Dec 2006 00:00:00 +0300</pubDate>
					 
					</item>

				

					<item>
					  <title>Mtikila aja na mpya</title>
					  <link>http://www.habaritanzania.com/articles/2277/1/Mtikila-aja-na-mpya</link>
					  <description>SIKU moja baada ya Watanzania kuadhimisha miaka 45 ya Uhuru, Mwenyekiti wa Chama cha Democratic (DP), Mchungaji Christopher Mtikila, ametangaza kuanzisha vyombo vya habari ili kuamsha hisia za utanganyika ili Watanzania bara waweza kuuthamini na kuupigania utaifa wao.</description>
					  <author>info@habaritanzania.com (Habari Tanzania)</author>
					  <pubDate>Mon, 11 Dec 2006 00:00:00 +0300</pubDate>
					 
					</item>

				

					<item>
					  <title>Wako wapi mashujaa wa Uhuru Tanganyika?</title>
					  <link>http://www.habaritanzania.com/articles/2265/1/Wako-wapi-mashujaa-wa-Uhuru-Tanganyika%3F</link>
					  <description>HISTORIA ya TANU ingelipotea kabisa kama siyo juhudi za makusudi za Profesa John Illife wa Cambridge aliyekuwa mwalimu wa historia Chuo Kikuu cha Dar es Salaam katika miaka ya katikati ya 1960. </description>
					  <author>info@habaritanzania.com (Habari Tanzania)</author>
					  <pubDate>Sun, 10 Dec 2006 00:00:00 +0300</pubDate>
					 
					</item>

				

					<item>
					  <title>&#39;Vigogo&#39; Chadema wamwaga misaada KKKT</title>
					  <link>http://www.habaritanzania.com/articles/2261/1/%26%2339%3BVigogo%26%2339%3B-Chadema-wamwaga-misaada-KKKT</link>
					  <description>MWENYEKITI wa Taifa wa Chama cha Demokrasia na Maendeleo (Chadema), Freeman Mbowe na Mbunge wa Viti Maalum wa chama hicho, Grace Kiwelu wametoa msaada wa Sh 4,200,000 ili kusaidia miradi ya ujenzi ya Kanisa la Kiinjili la Kilutheri Tanzania (KKKT) Usharika wa Majengo mjini hapa.</description>
					  <author>info@habaritanzania.com (Habari Tanzania)</author>
					  <pubDate>Sun, 10 Dec 2006 00:00:00 +0300</pubDate>
					 
					</item>

				

					<item>
					  <title>Was Kambona That Bad</title>
					  <link>http://www.habaritanzania.com/articles/2230/1/Was-Kambona-That-Bad</link>
					  <description>Oscar Kambona, like many other politicians who fundementally disagreed with Nyerere, has been portrayed as a villain by the Tanzanian history. But was he that bad?</description>
					  <author>mettyn@hotmail.com (Metty Nyang'oro)</author>
					  <pubDate>Fri, 08 Dec 2006 00:00:00 +0300</pubDate>
					 
					</item>

				

					<item>
					  <title>DC aagiza anayekwamisha mradi akamatwe</title>
					  <link>http://www.habaritanzania.com/articles/2226/1/DC-aagiza-anayekwamisha-mradi-akamatwe</link>
					  <description>MKUU wa Wilaya ya Korogwe, Betty Mkwasa ameliagiza Jeshi la Polisi kumkamata kiongozi wa kikundi cha watu wanaowachochea wakazi wa Kijiji cha Manga Mikocheni Tarafa ya Mombo kugoma kupelekewa mradi wa umwagiliaji mashamba wenye thamani ya shilingi 13.6 milioni kwa maslahi binafsi.</description>
					  <author>info@habaritanzania.com (Habari Tanzania)</author>
					  <pubDate>Thu, 07 Dec 2006 00:00:00 +0300</pubDate>
					 
					</item>

				

					<item>
					  <title>Kiongozi wa upinzani amuunga mkono Cheyo kuhusu ukaguzi wa madini</title>
					  <link>http://www.habaritanzania.com/articles/2225/1/Kiongozi-wa-upinzani-amuunga-mkono-Cheyo-kuhusu-ukaguzi-wa-madini</link>
					  <description>KIONGOZI wa Upinzani Bungeni, Hamad Rashid Mohamed, amempongeza Mwenyekiti wa Kamati ya Bunge ya Hesabu za Serikali, John Cheyo, kwa nia yake ya kutaka kuchunguza taarifa za ukaguzi wa dhahabu inayochimbwa chini.</description>
					  <author>info@habaritanzania.com (Habari Tanzania)</author>
					  <pubDate>Thu, 07 Dec 2006 00:00:00 +0300</pubDate>
					 
					</item>

				

					<item>
					  <title>Nini hatma ya KANU katika siasa za Kenya?</title>
					  <link>http://www.habaritanzania.com/articles/2213/1/Nini-hatma-ya-KANU-katika-siasa-za-Kenya%3F</link>
					  <description>CHAMA cha KANU kinazidi kukumbwa na kimbunga! Safari hii kimbunga hiki kinaweza kabisa kutoa mwanya wa kukisambaratisha chama hiki au kukipa nafasi ya kutotisha kabisa katika siasa za Kenya.KANU ni miongoni mwa vyama vikongwe Afrika Mashariki na huenda hiki ni kipindi cha kukichimbia kaburi kama hakutakuwa na jitihada za dhati kukwamisha kuongezeka makundi yanayochukiana kwa muda mrefu ndani ya chama hicho.</description>
					  <author>info@habaritanzania.com (Habari Tanzania)</author>
					  <pubDate>Wed, 06 Dec 2006 00:00:00 +0300</pubDate>
					 
					</item>

				

					<item>
					  <title>Je tunajua twendako? Siku ya 'nakma' kwa Wapalestina</title>
					  <link>http://www.habaritanzania.com/articles/2212/1/Je-tunajua-twendako%3F-Siku-ya-%91nakma%92-kwa-Wapalestina</link>
					  <description>NOVEMBA 29, mwaka 1947 Baraza Kuu la Umoja wa Mataifa lilipitisha Azimio la kuigawa ardhi ya Palestina kuwa nchi mbili, moja ikiwa ni ya Waarabu na nyingine ikiwa ni ya Wayahudi. Wapalestina wanaiita siku hiyo kuwa ni 'siku ya nakma.' Wapalestina walipinga, na wanaendelea kupinga, kugawanywa kwa nchi yao na kwamba kitendo hicho hakikuendana na sheria wala haki na ni kinyume na misingi ya demokrasia. Vile vile wanaushtumu Umoja wa Mataifa wa kuigawa ardhi yao.</description>
					  <author>info@habaritanzania.com (Habari Tanzania)</author>
					  <pubDate>Wed, 06 Dec 2006 00:00:00 +0300</pubDate>
					 
					</item>

				

					<item>
					  <title>Mwinyimsa RC mpya Tabora</title>
					  <link>http://www.habaritanzania.com/articles/2188/1/Mwinyimsa-RC-mpya-Tabora</link>
					  <description>RAIS Jakaya Kikwete amemteua Abeid Mwinyimsa kuwa Mkuu wa Mkoa wa Tabora kuchukua nafasi ya Ukiwaona Ditopile Mzuzuri aliyejiuzulu.</description>
					  <author>info@habaritanzania.com (Habari Tanzania)</author>
					  <pubDate>Tue, 05 Dec 2006 00:00:00 +0300</pubDate>
					 
					</item>

				

					<item>
					  <title>Uongozi wa CCM Moshi walaumiwa</title>
					  <link>http://www.habaritanzania.com/articles/2170/1/Uongozi-wa-CCM-Moshi-walaumiwa</link>
					  <description>UONGOZI wa Chama Cha Mapinduzi(CCM) Manispaa ya Moshi, umelaumiwa kutokufanya vikao vya Halmashauri Kuu ya Wilaya kwa mujibu wa kalenda ya chama jambo ambalo linahatarisha uhai wa chama hicho.</description>
					  <author>info@habaritanzania.com (Habari Tanzania)</author>
					  <pubDate>Mon, 04 Dec 2006 00:00:00 +0300</pubDate>
					 
					</item>

				

					<item>
					  <title>Afrika yaomba majeshi UN yabaki DRC</title>
					  <link>http://www.habaritanzania.com/articles/2168/1/Afrika-yaomba-majeshi-UN-yabaki-DRC</link>
					  <description>NCHI za Maziwa Makuu zimetaka kuongezwa muda wa miezi mitatu kwa majeshi ya Umoja wa Mataifa kuwapo Jamhuri ya Kidemokrasia ya Congo (DRC) ili kuhakisha amani ya kudumu katika taifa hilo.</description>
					  <author>info@habaritanzania.com (Habari Tanzania)</author>
					  <pubDate>Mon, 04 Dec 2006 00:00:00 +0300</pubDate>
					 
					</item>

				

					<item>
					  <title>Blair: Vatican haina budi &#39;ikubali ukweli&#39; kuhusu kondomu</title>
					  <link>http://www.habaritanzania.com/articles/2154/1/Blair%3A-Vatican-haina-budi-%26%2339%3Bikubali-ukweli%26%2339%3B-kuhusu-kondomu</link>
					  <description>SIKU ya Ukimwi Duniani, Desemba Mosi ilikumbukwa juzi kote ulimwenguni kwa ujumbe wa umuhimu wa uaminifu katika kuyanusuru maisha.</description>
					  <author>info@habaritanzania.com (Habari Tanzania)</author>
					  <pubDate>Sun, 03 Dec 2006 00:00:00 +0300</pubDate>
					 
					</item>

				

					<item>
					  <title>Haiwezekani kamwe, chetu kikawa chenu</title>
					  <link>http://www.habaritanzania.com/articles/2153/1/Haiwezekani-kamwe%2C-chetu-kikawa-chenu</link>
					  <description>TAFADHALINI mabibi na mabwana, tunakaribia kutua uwanja wa ndege wa Zurich Uswisi, kwa hiyo bakini katika viti vyenu hadi ndege itakapokapotulia vyema. Hii ni sauti ya mwanamama wa Kiswisi akitamka maneno haya ya Kiswahili, tena kwa lugha fasaha.</description>
					  <author>info@habaritanzania.com (Habari Tanzania)</author>
					  <pubDate>Sun, 03 Dec 2006 00:00:00 +0300</pubDate>
					 
					</item>

				

					<item>
					  <title>Mbowe atoa hoja kwenye Mtandao wa JamboForums.com</title>
					  <link>http://www.habaritanzania.com/articles/2145/1/Mbowe-atoa-hoja-kwenye-Mtandao-wa-JamboForums.com</link>
					  <description>Mwenywekiti wa Chama Cha Demokrasia na Maendeleo (CHADEMA) Mhe. Freeman A. Mbowe ametoa hoja nzito katika mtandao wa JamboForums.comSoma Hoja aliyoitoa Mhe. Mbowe.</description>
					  <author>info@habaritanzania.com (Habari Tanzania)</author>
					  <pubDate>Sat, 02 Dec 2006 00:00:00 +0300</pubDate>
					 
					</item>

				

					<item>
					  <title>Chifupa apeleka kampeni zake Manyara</title>
					  <link>http://www.habaritanzania.com/articles/2135/1/Chifupa-apeleka-kampeni-zake-Manyara</link>
					  <description>MBUNGE wa Viti Maalum, Amina Chifupa, ameendeleza kampeni zake za kupambana na tatizo la matumizi ya dawa za kulevya kwa kuwataka vijana wa Wilaya ya Hanang kuwafichua mara moja watu wanaohusika na uuzaji wa dawa za kulevya.</description>
					  <author>info@habaritanzania.com (Habari Tanzania)</author>
					  <pubDate>Sat, 02 Dec 2006 00:00:00 +0300</pubDate>
					 
					</item>

				

					<item>
					  <title>Makamba ambana Mwenyekiti CCM Wilaya ya Arusha</title>
					  <link>http://www.habaritanzania.com/articles/2090/1/Makamba-ambana-Mwenyekiti-CCM-Wilaya-ya-Arusha</link>
					  <description>KATIBU Mkuu wa Chama cha Mapinduzi ( CCM), Yusuph Makamba amemuagiza Mwenyekiti wa CCM Wilaya ya Arusha, Jubilate Kileo kuchagua cheo kimoja kati ya unyekiti au udiwani wa Kata ya Kaloleni mjini hapa.</description>
					  <author>info@habaritanzania.com (Habari Tanzania)</author>
					  <pubDate>Thu, 30 Nov 2006 00:00:00 +0300</pubDate>
					 
					</item>

				

					<item>
					  <title>Wakuu EAC wakutana Arusha leo</title>
					  <link>http://www.habaritanzania.com/articles/2089/1/Wakuu-EAC-wakutana-Arusha-leo</link>
					  <description>VIONGOZI wakuu wa nchi wanachama wa Jumuiya ya Afrika Mashariki (EAC), leo wanakutana mjini Arusha katika kikao cha nane cha viongozi hao.</description>
					  <author>info@habaritanzania.com (Habari Tanzania)</author>
					  <pubDate>Thu, 30 Nov 2006 00:00:00 +0300</pubDate>
					 
					</item>

				

					<item>
					  <title>Utata wa fikra za viongozi kikwazo Afrika Mashariki</title>
					  <link>http://www.habaritanzania.com/articles/2081/1/Utata-wa-fikra-za-viongozi-kikwazo-Afrika-Mashariki</link>
					  <description>NCHI za Kenya, Tanzania na Uganda hivi sasa ziko katika zoezi la kukusanya maoni kutoka kwa wananchi wao ili kukubali au kupinga harakati za kuzifanya nchi hizi kufikia muungano wa kisiasa. Tayari nchi hizi zipo katika ushirika wa masuala mbalimbali ya kijamii na kiuchumi na harakati hizi za ukusanyaji maoni zinalenga kufikia uvunjaji wa mipaka ya nchi hizi na kujenga taifa moja la Afrika Mashariki. Inatarajiwa lengo la kuzifanya nchi hizi taifa moja kuwa limekamilika ifikapo mwaka 2013.</description>
					  <author>info@habaritanzania.com (Habari Tanzania)</author>
					  <pubDate>Wed, 29 Nov 2006 00:00:00 +0300</pubDate>
					 
					</item>

				

					<item>
					  <title>PPT-Maendeleo kuandamana kudai umeme</title>
					  <link>http://www.habaritanzania.com/articles/2072/1/PPT-Maendeleo-kuandamana-kudai-umeme</link>
					  <description>CHAMA cha PPT-Maendeleo kinaandaa maandamano yatakayofanyika Januari mwakani yenye lengo la kuishinikiza serikali kusambaza umeme inavyotakiwa.</description>
					  <author>info@habaritanzania.com (Habari Tanzania)</author>
					  <pubDate>Wed, 29 Nov 2006 00:00:00 +0300</pubDate>
					 
					</item>

				

					<item>
					  <title>Diwani wa CUF ajiunga Chausta</title>
					  <link>http://www.habaritanzania.com/articles/2071/1/Diwani-wa-CUF-ajiunga-Chausta</link>
					  <description>DIWANI wa Kata ya Ipililo, Wilaya ya Maswa, mkoani Shinyanga kupitia Chama cha Wananchi (CUF), Sylvester Kasulumbai, amejiunga na Chama cha Ustawi Tanzania (Chausta), huku akisita kuachia wadhifa wake wa udiwani</description>
					  <author>info@habaritanzania.com (Habari Tanzania)</author>
					  <pubDate>Wed, 29 Nov 2006 00:00:00 +0300</pubDate>
					 
					</item>

				

					<item>
					  <title>Miadi ya Lowassa kwa jamii ya wafugaji, awataka wajali elimu</title>
					  <link>http://www.habaritanzania.com/articles/2052/1/Miadi-ya-Lowassa-kwa-jamii-ya-wafugaji%2C-awataka-wajali-elimu</link>
					  <description>ALIPOAMUA kufanya ziara ya kiserikali katika Mkoa wa Manyara hivi karibuni, inaelekea Waziri Mkuu, Edward Lowassa alipata picha ya maisha yanayosawiriwa katika kitabu cha Kiingereza kiitwacho 'Is it possible?' </description>
					  <author>info@habaritanzania.com (Habari Tanzania)</author>
					  <pubDate>Tue, 28 Nov 2006 00:00:00 +0300</pubDate>
					 
					</item>

				

					<item>
					  <title>Serikali yatangaza kufunga makambi ya wakimbizi kibondo</title>
					  <link>http://www.habaritanzania.com/articles/2063/1/Serikali-yatangaza-kufunga-makambi-ya-wakimbizi-kibondo</link>
					  <description>erikali wilayani Kibondo imeagiza kufungwa kwa makambi matatu ya  wakimbizi wilayani humona kuwaweka wakimbizi wote katika kambi moja kwa lengo la  kuimarisha utoaji wa huduma na usalama.</description>
					  <author>pkwigize@yahoo.com (Prosper Kwigize)</author>
					  <pubDate>Mon, 27 Nov 2006 00:00:00 +0300</pubDate>
					 
					</item>

				

					<item>
					  <title>Vijiji vyetu vinahitaji msukumo, nguvu ili tuweze kuviinua</title>
					  <link>http://www.habaritanzania.com/articles/2017/1/Vijiji-vyetu-vinahitaji-msukumo%2C-nguvu-ili-tuweze-kuviinua</link>
					  <description>KADRI ninavyozidi kuingia ndani kabisa ya vijiji katika sehemu hii ya Tanzania, nazidi kupata picha tofauti kabisa ya nchi na watu wake. Napata picha kwamba katika nchi hii huenda kuna Tanzania mbili au tatu na pengine au hata labda zinazofikia tano.</description>
					  <author>info@habaritanzania.com (Habari Tanzania)</author>
					  <pubDate>Sun, 26 Nov 2006 00:00:00 +0300</pubDate>
					 
					</item>

				

					<item>
					  <title>Tanzania tuanze kutathimini huu Uhuru wetu kwa kina.</title>
					  <link>http://www.habaritanzania.com/articles/1989/1/Tanzania-tuanze-kutathimini-huu-Uhuru-wetu-kwa-kina.</link>
					  <description>Bado tunasota na Uhuru wa bendera huku wachache waliomo ndani ya mfumo wakifaidi.</description>
					  <author>kagungarichard@yahoo.co.uk (Kagunga Richard)</author>
					  <pubDate>Sun, 26 Nov 2006 00:00:00 +0300</pubDate>
					 
					</item>

				

					<item>
					  <title>Chadema kuwashukuru wananchi kwa helikopta</title>
					  <link>http://www.habaritanzania.com/articles/1981/1/Chadema-kuwashukuru-wananchi-kwa-helikopta</link>
					  <description>CHAMA cha Demokrasia na Maendeleo (Chadema), kimekiri kuwa na mpango wa kuleta tena nchini helikopta kwa ajili ya kuzunguka mikoani kuwashukuru wananchi kwa kuwapigia kura wagombea wake katika Uchaguzi Mkuu wa mwaka jana.</description>
					  <author>info@habaritanzania.com (Habari Tanzania)</author>
					  <pubDate>Fri, 24 Nov 2006 00:00:00 +0300</pubDate>
					 
					</item>

				

					<item>
					  <title>Waziri Mkuu ashauri Z&#39;bar ibadili mitaala</title>
					  <link>http://www.habaritanzania.com/articles/1948/1/Waziri-Mkuu-ashauri-Z%26%2339%3Bbar-ibadili-mitaala</link>
					  <description>WAZIRI Mkuu, Edward Lowassa, ameishauri Serikali ya Zanzibar (SMZ) ibadili mitaala yake ya elimu ili ifanane na Tanzania Bara kama njia ya kuondoa tofauti katika elimu na hatua ambayo amesema itawasaidia kushindana vizuri katika ajira.</description>
					  <author>info@habaritanzania.com (Habari Tanzania)</author>
					  <pubDate>Wed, 22 Nov 2006 00:00:00 +0300</pubDate>
					 
					</item>

				

					<item>
					  <title>JK: Viongozi acheni urasimu</title>
					  <link>http://www.habaritanzania.com/articles/1921/1/JK%3A-Viongozi-acheni-urasimu</link>
					  <description>RAIS Jakaya Kikwete amesema urasimu wa viongozi unaifanya nchi iwe nyuma kwa maendeleo.</description>
					  <author>info@habaritanzania.com (Habari Tanzania)</author>
					  <pubDate>Mon, 20 Nov 2006 00:00:00 +0300</pubDate>
					 
					</item>

				

					<item>
					  <title>Tume yaundwa 