<?xml version="1.0" encoding="utf-8"?><?xml-stylesheet href="http://www.habaritanzania.com/templates/Default/RssDisplay.xslt" type="text/xsl"?>
		<rss version="2.0">
		  <channel>
				<title>Habari Tanzania - Articles - Habari za Kitaifa</title>
				<link>http://www.habaritanzania.com</link>
				<description />
				<language>en-us</language>
				<copyright>http://www.habaritanzania.com</copyright>
				<generator>N/A</generator>
				<webMaster>info@habaritanzania.com</webMaster>
				<lastBuildDate>Sat, 22 Nov 2008 11:18:44 +0300</lastBuildDate>
				<ttl>20</ttl>

					<item>
					  <title>Kama Zanzibar si nchi, Tanganyika ilijiunga na wilaya?</title>
					  <link>http://www.habaritanzania.com/articles/4291/1/Kama-Zanzibar-si-nchi%2C-Tanganyika-ilijiunga-na-wilaya%3F</link>
					  <description>BABA wa Taifa, Mwalimu Julius Nyerere, alikuwa mtu mwenye kanuni ya kujikosoa. Nadhani ni kanuni hiyo iliyomfanya afe akiwa kipenzi cha wote wakiwamo hata wale ambao kwa namna moja au nyingine walibanwa na wadhifa wake.</description>
					  <author>washawashaupupu@yahoo.com (Marshy Abdu)</author>
					  <pubDate>Sun, 10 Aug 2008 00:00:00 +0300</pubDate>
					 
					</item>

				

					<item>
					  <title>Kiteto kumekucha</title>
					  <link>http://www.habaritanzania.com/articles/4286/1/Kiteto-kumekucha</link>
					  <description>MCHUANO wa kisiasa katika kampeni za uchaguzi mdogo wa Jimbo la Kiteto, mkoani Manyara kati ya vyama viwili vinavyoshindana vikali, Chama Cha Mapinduzi (CCM) na Chama cha Demokrasia na Maendeleo (CHADEMA) umezidi kuwa mkali. </description>
					  <author>washawashaupupu@yahoo.com (Marshy Abdu)</author>
					  <pubDate>Fri, 22 Feb 2008 00:00:00 +0300</pubDate>
					 
					</item>

				

					<item>
					  <title>Richmond yaivua nguo serikali</title>
					  <link>http://www.habaritanzania.com/articles/4285/1/Richmond-yaivua-nguo-serikali</link>
					  <description>KAMATI Teule ya Bunge iliyochunguza mchakato wa upatikanaji wa zabuni ya uzalishaji umeme wa dharura, iliyopewa Kampuni ya Richmond Development LLC, ya Hauston Marekani, imemtaja Waziri Mkuu, Edward Lowassa, kuwa alihusika kuibeba kampuni hiyo kupata zabuni hiyo.</description>
					  <author>washawashaupupu@yahoo.com (Marshy Abdu)</author>
					  <pubDate>Thu, 07 Feb 2008 00:00:00 +0300</pubDate>
					 
					</item>

				

					<item>
					  <title> Eti Bongo mteja sio mfalme?</title>
					  <link>http://www.habaritanzania.com/articles/4284/1/-Eti-Bongo-mteja-sio-mfalme%3F</link>
					  <description>                 MWANANGU mtabisha nikiwaambia kastama kea kwenu ni ziro?&#160;Mbona siku zote tulifunzwa kwamba mteja ni mfalme wajameni? Kumbe kauli hii ya mteja ni mfalme haiwahusu Wabongo sio? Kama sivyo mbona hatuoni ubora wa huduma kwa wateja katika nyanja zote? Nawaapia tangu siasa, michezo, jamiii na&#160;eneo lolote utakalo, hakuna&#160;kabisa hicho kinachoitwa kwa kimombo customer care! Huko simo mwanakwetu.</description>
					  <author>info@habaritanzania.com (Habari Tanzania)</author>
					  <pubDate>Sat, 12 Jan 2008 00:00:00 +0300</pubDate>
					 
					</item>

				

					<item>
					  <title> Dk. Slaa: Nina siri nyingine nzito</title>
					  <link>http://www.habaritanzania.com/articles/4280/1/-Dk.-Slaa%3A-Nina-siri-nyingine-nzito</link>
					  <description>WAKATI Watanzania wakitafakari hatua ya Rais Jakaya Kikwete kutengua uteuzi wa aliyekuwa Gavana wa Benki Kuu (BoT), Dk. Daudi Balali kutokana na kashfa ya akaunti ya malipo ya madeni ya nje (EPA), muasisi wa tuhuma zilizosababisha uchunguzi wa akaunti hiyo, Dk. Willibrod Slaa, ameibuka na siri nyingine kuhusu tuhuma za ufisadi wa viongozi walio serikalini.</description>
					  <author>info@habaritanzania.com (Habari Tanzania)</author>
					  <pubDate>Sat, 12 Jan 2008 00:00:00 +0300</pubDate>
					 
					</item>

				

					<item>
					  <title> ODM watua Dar</title>
					  <link>http://www.habaritanzania.com/articles/4279/1/-ODM-watua-Dar</link>
					  <description>UJUMBE wa Chama cha Orange Democratic Movement (ODM) cha Kenya, jana ulinguruma jijini Dar es Salaam na kusema kuwa wanaodhani kuwa wanaweza kushiriki kwenye serikali ya umoja wa kitaifa iliyopendekezwa na Rais Mwai Kibaki wanajidanganya.</description>
					  <author>info@habaritanzania.com (Habari Tanzania)</author>
					  <pubDate>Tue, 08 Jan 2008 00:00:00 +0300</pubDate>
					 
					</item>

				

					<item>
					  <title> JK: Msitishike na shambulio dhidi ya wanahabari</title>
					  <link>http://www.habaritanzania.com/articles/4278/1/-JK%3A-Msitishike-na-shambulio-dhidi-ya-wanahabari</link>
					  <description>RAIS Jakaya Kikwete, amewataka waandishi wa habari kote nchini, kutokatishwa tamaa au kuogopa vitisho vinavyoelekezwa dhidi yao na badala yake waendelee kutimiza wajibu wao wa kazi kwa kuchukua tahadhari za kutosha.</description>
					  <author>info@habaritanzania.com (Habari Tanzania)</author>
					  <pubDate>Tue, 08 Jan 2008 00:00:00 +0300</pubDate>
					 
					</item>

				

					<item>
					  <title> Mwana Halisi washambuliwa</title>
					  <link>http://www.habaritanzania.com/articles/4277/1/-Mwana-Halisi-washambuliwa</link>
					  <description>KATIKA tukio linaloweza kutafsiriwa kuwa jitihada za kutisha mhimili wa nne wa utawala, watumishi wawili wa gazeti la Mwana halisi, juzi walivamiwa na watu wasiojulikana, kutishwa, kushambuliwa na kujeruhiwa vibaya.</description>
					  <author>info@habaritanzania.com (Habari Tanzania)</author>
					  <pubDate>Mon, 07 Jan 2008 00:00:00 +0300</pubDate>
					 
					</item>

				

					<item>
					  <title>Busara itawale zaidi ya jazba</title>
					  <link>http://www.habaritanzania.com/articles/4276/1/Busara-itawale-zaidi-ya-jazba</link>
					  <description>                 TUNAANDIKA tukionya kuwa, kinachotokea kwa jirani zetu Kenya, kinaweza kutokea hapa nchini. Wala tusijidanganye kuwa amani na utulivu tulionao ni benki itakayotulinda dhidi ya vurugu.</description>
					  <author>info@habaritanzania.com (Habari Tanzania)</author>
					  <pubDate>Sat, 05 Jan 2008 00:00:00 +0300</pubDate>
					 
					</item>

				

					<item>
					  <title> Mbunge azomewa mbele ya Kamati ya Madini</title>
					  <link>http://www.habaritanzania.com/articles/4274/1/-Mbunge-azomewa-mbele-ya-Kamati-ya-Madini</link>
					  <description>WACHIMBAJI wadogo wa almasi wa Kijiji cha Maganzo, wilayani Kishapu, Shinyanga, wamemzomea mbunge wa jimbo hilo, Tungu Mpendazoe (CCM) kwa kumtuhumu kumpendelea mmiliki wa mgodi wa El Hilal, hivyo kuwazuia wasilime kwenye mashamba yao.</description>
					  <author>info@habaritanzania.com (Habari Tanzania)</author>
					  <pubDate>Sat, 05 Jan 2008 00:00:00 +0300</pubDate>
					 
					</item>

				

					<item>
					  <title> Kamati ya Jaji Bomani yatua Buzwagi</title>
					  <link>http://www.habaritanzania.com/articles/4273/1/-Kamati-ya-Jaji-Bomani-yatua-Buzwagi</link>
					  <description>KAMATI ya kupitia sheria na mikataba ya madini, iliyo chini ya uenyekiti wa Jaji Mark Bomani, kesho itazuru mgodi wa Buzwagi, mkoani Shinyanga.</description>
					  <author>info@habaritanzania.com (Habari Tanzania)</author>
					  <pubDate>Sat, 05 Jan 2008 00:00:00 +0300</pubDate>
					 
					</item>

				

					<item>
					  <title> Vurugu za Kenya kuhamia Dar?</title>
					  <link>http://www.habaritanzania.com/articles/4271/1/-Vurugu-za-Kenya-kuhamia-Dar%3F</link>
					  <description>VURUGU huenda zikatokea leo jijini Dar es Salaam, iwapo wanasiasa wa vyama vya upinzani wataamua kupuuza amri ya polisi na kuandamana ili kupinga mauaji yanayoendelea nchini Kenya.</description>
					  <author>info@habaritanzania.com (Habari Tanzania)</author>
					  <pubDate>Sat, 05 Jan 2008 00:00:00 +0300</pubDate>
					 
					</item>

				

					<item>
					  <title> Zanzibar wagomea mishahara</title>
					  <link>http://www.habaritanzania.com/articles/4268/1/-Zanzibar-wagomea-mishahara</link>
					  <description>BAADHI ya wafanyakazi wa Serikali ya Mapinduzi Zanzibar (SMZ) wamegoma kupokea mishahara yao katika kipindi hiki cha Sikukuu ya Idd el Hajj kwa kile walichokiita kupunjwa mishahara yao na kuahidi kuwa wataendelea kuigomea hadi hapo marekebisho yatakapofanywa.</description>
					  <author>info@habaritanzania.com (Habari Tanzania)</author>
					  <pubDate>Sat, 22 Dec 2007 00:00:00 +0300</pubDate>
					 
					</item>

				

					<item>
					  <title>Madaktari sita matatani</title>
					  <link>http://www.habaritanzania.com/articles/4267/1/Madaktari-sita-matatani</link>
					  <description>MADAKTARI sita na wauguzi sita wa Taasisi ya Mifupa ya Muhimbili (MOI), wamepatikana na makosa ya uzembe yaliyosababisha kufanyika kwa upasuaji tata wa wagonjwa wawili katika taasisi hiyo, hivi karibuni.</description>
					  <author>info@habaritanzania.com (Habari Tanzania)</author>
					  <pubDate>Sat, 22 Dec 2007 00:00:00 +0300</pubDate>
					 
					</item>

				

					<item>
					  <title> Balali akamatwe - Slaa</title>
					  <link>http://www.habaritanzania.com/articles/4266/1/-Balali-akamatwe---Slaa</link>
					  <description>Na Salehe MohamedKATIBU Mkuu wa Chama cha Demokrasia na Maendeleo (CHADEMA), Dk. Willbrod Slaa, amemtaka Rais Jakaya Kikwete kuamuru kukamatwa na kushtakiwa kwa Gavana wa Benki Kuu (BoT), Dk. Daudi Balali.</description>
					  <author>info@habaritanzania.com (Habari Tanzania)</author>
					  <pubDate>Sat, 22 Dec 2007 00:00:00 +0300</pubDate>
					 
					</item>

				

					<item>
					  <title>JK: Sijashindwa</title>
					  <link>http://www.habaritanzania.com/articles/4265/1/JK%3A-Sijashindwa</link>
					  <description>WAKATI baadhi ya Watanzania wakionyesha kukata tamaa kwa utekelezaji wa ahadi zilizotolewa na Serikali ya Awamu ya Nne, Rais Jakaya Kikwete, amesema kuwa hawajashindwa kutekeleza alichokiahidi miaka miwili iliyopita.</description>
					  <author>info@habaritanzania.com (Habari Tanzania)</author>
					  <pubDate>Fri, 21 Dec 2007 00:00:00 +0300</pubDate>
					 
					</item>

				

					<item>
					  <title>Balali ajiuzulu huku soo la ufisadi BOT likiendelea</title>
					  <link>http://www.habaritanzania.com/articles/4264/1/Balali-ajiuzulu-huku-soo-la-ufisadi-BOT-likiendelea</link>
					  <description>Wakati sakata la tuhuma za ufisadi katika Benki Kuu nchini, BOT, likiendelea kuzizima, zimepatikana habari kuwa Gavana wa benki hiyo ameandika barua kwa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Bw. Jakaya Kikwete, akiomba kujiuzulu. </description>
					  <author>washawashaupupu@yahoo.com (Marshy Abdu)</author>
					  <pubDate>Fri, 21 Dec 2007 00:00:00 +0300</pubDate>
					 
					</item>

				

					<item>
					  <title>Magufuli atoa mpya</title>
					  <link>http://www.habaritanzania.com/articles/4263/1/Magufuli-atoa-mpya</link>
					  <description>WAZIRI wa Ardhi, Nyumba na Maendeleo ya Makazi, John Magufuli, amezijia juu halmashauri nchini na kuzitaka kuacha mara moja kuvunja nyumba za wananchi zilizojengwa katika maeneo ya makazi ambayo hayajapimwa.</description>
					  <author>washawashaupupu@yahoo.com (Marshy Abdu)</author>
					  <pubDate>Thu, 20 Dec 2007 00:00:00 +0300</pubDate>
					 
					</item>

				

					<item>
					  <title>Idd el Hajj Sikukuu ya Kiislam baada ya ibada ya hijja</title>
					  <link>http://www.habaritanzania.com/articles/4262/1/Idd-el-Hajj-Sikukuu-ya-Kiislam-baada-ya-ibada-ya-hijja</link>
					  <description>LEO Wailamu kote nchini wameungana na wenzao duniani kusherehekea Sikukuu ya Idd el Hajj, mbayo husherehekewa baada ya mahujaji kukamilisha ibada ya hijja, kwenye miji mitakatifu ya Makka na Madina</description>
					  <author>washawashaupupu@yahoo.com (Marshy Abdu)</author>
					  <pubDate>Thu, 20 Dec 2007 00:00:00 +0300</pubDate>
					 
					</item>

				

					<item>
					  <title> Kufaulu kwa shuka - matokeo darasa la saba</title>
					  <link>http://www.habaritanzania.com/articles/4261/1/-Kufaulu-kwa-shuka---matokeo-darasa-la-saba</link>
					  <description>                              KIWANGO cha kufaulu kwa wanafunzi wa darasa la saba kimeshuka kwa asilimia 16.3 mwaka huu ukilinganisha na mwaka jana, ambapo waliofaulu walikuwa asilimia 70.48 ya wanafunzi wote waliofanya mitihani.</description>
					  <author>info@habaritanzania.com (Habari Tanzania)</author>
					  <pubDate>Wed, 19 Dec 2007 00:00:00 +0300</pubDate>
					 
					</item>

				

					<item>
					  <title>JK atabiriwa magumu 2008</title>
					  <link>http://www.habaritanzania.com/articles/4259/1/JK-atabiriwa-magumu-2008</link>
					  <description>JARIDA maarufu la The Economist, kwa mara nyingine tena limefanya tathmini yake kuhusu mwelekeo wa kiuchumi wa Tanzania na Serikali ya Rais Jakaya Kikwete katika kipindi cha mwaka ujao wa 2008 unaojongea.</description>
					  <author>info@habaritanzania.com (Habari Tanzania)</author>
					  <pubDate>Sun, 16 Dec 2007 00:00:00 +0300</pubDate>
					 
					</item>

				

					<item>
					  <title>Marekani yakumbusha Muafaka wa Zanzibar</title>
					  <link>http://www.habaritanzania.com/articles/4258/1/Marekani-yakumbusha-Muafaka-wa-Zanzibar</link>
					  <description>UBALOZI wa Marekani nchini, umetaka Chama Cha Mapinduzi (CCM) na Chama cha Wananchi (CUF) kuhitimisha haraka na kwa haki mazungumzo ya kutafuta suluhu ya kudumu ya mpasuko wa kisiasa Zanzibar.</description>
					  <author>info@habaritanzania.com (Habari Tanzania)</author>
					  <pubDate>Fri, 14 Dec 2007 00:00:00 +0300</pubDate>
					 
					</item>

				

					<item>
					  <title>Mahujaji wateseka</title>
					  <link>http://www.habaritanzania.com/articles/4257/1/Mahujaji-wateseka</link>
					  <description>JUHUDI za serikali kuwasafirisha mahujaji waliokwama kwenda kuhiji Makka, zimeshindwa kuzaa matunda kwa wakati muafaka, baada ya ndege iliyokodiwa kutoka Kampuni ya AL-Wassam kushindwa kuhimili safari za kuwasafirisha mahujaji hao baada ya kuharibika.</description>
					  <author>info@habaritanzania.com (Habari Tanzania)</author>
					  <pubDate>Fri, 14 Dec 2007 00:00:00 +0300</pubDate>
					 
					</item>

				

					<item>
					  <title>Richmond yachemka</title>
					  <link>http://www.habaritanzania.com/articles/4256/1/Richmond-yachemka</link>
					  <description>SASA ni dhahiri kuwa, kazi ya Kamati ya Bunge ya Kuchunguza mkataba wa kuzalisha umeme wa dharura kati ya Shirika la Umeme Tanzania (Tanesco) na Kampuni ya Richmond Development Corporation (RDC) ni nzito na inayotiwa vidole ili kuharibu matokeo.</description>
					  <author>info@habaritanzania.com (Habari Tanzania)</author>
					  <pubDate>Fri, 14 Dec 2007 00:00:00 +0300</pubDate>
					 
					</item>

				

					<item>
					  <title>Hujuma madini</title>
					  <link>http://www.habaritanzania.com/articles/4255/1/Hujuma-madini</link>
					  <description>SIKU tatu tangu gazeti hili liandike habari kuhusu kasoro kadhaa zinazohusu udhaifu unaolipotezea taifa mamilioni ya fedha kupitia madini, taarifa zaidi zinaonyesha kuwa wawekezaji wa kigeni katika sekta hiyo ni mabingwa wa 'kukarabati' hesabu kwa malengo ya kukwepa kodi.</description>
					  <author>washawashaupupu@yahoo.com (Marshy Abdu)</author>
					  <pubDate>Thu, 13 Dec 2007 00:00:00 +0300</pubDate>
					 
					</item>

				

					<item>
					  <title>Kingunge; Katiba mpya si haki ya chama, ila umma</title>
					  <link>http://www.habaritanzania.com/articles/4254/1/Kingunge%3B-Katiba-mpya-si-haki-ya-chama%2C-ila-umma</link>
					  <description>NIMESUKUMWA na kauli ya Kingunge Ngombale-Mwiru kujadili kauli yake kwamba "Mjadala wa katiba umefungwa."Kingunge bingwa wa propaganda za Chama Cha Mapinduzi (CCM) tangu enzi</description>
					  <author>washawashaupupu@yahoo.com (Marshy Abdu)</author>
					  <pubDate>Thu, 13 Dec 2007 00:00:00 +0300</pubDate>
					 
					</item>

				

					<item>
					  <title>Maalbino walalamika</title>
					  <link>http://www.habaritanzania.com/articles/4252/1/Maalbino-walalamika</link>
					  <description>CHAMA cha Maalbino nchini (TAS) kimeazimia kumuona Rais Jakaya Kikwete ili ashughulikie haraka suala la mauaji ya maalbino yanayoshamiri hivi sasa nchini.</description>
					  <author>info@habaritanzania.com (Habari Tanzania)</author>
					  <pubDate>Wed, 12 Dec 2007 00:00:00 +0300</pubDate>
					 
					</item>

				

					<item>
					  <title>Hatimaye mahujaji waondoka</title>
					  <link>http://www.habaritanzania.com/articles/4251/1/Hatimaye-mahujaji-waondoka</link>
					  <description>RAIS Jakaya Kikwete, alilazimika kuingilia kati yeye binafsi utata uliogubika safari ya mahujaji wa Kiislamu wanaofikia 1,500 waliokuwa wamekwama katika Uwanja wa Ndege wa Kimataifa wa Mwalimu Nyerere, Dar es Salaam kwa siku kadhaa kabla ya kuanza kupata usafiri wa kwanza jana jioni.</description>
					  <author>info@habaritanzania.com (Habari Tanzania)</author>
					  <pubDate>Wed, 12 Dec 2007 00:00:00 +0300</pubDate>
					 
					</item>

				

					<item>
					  <title>Hujuma madini</title>
					  <link>http://www.habaritanzania.com/articles/4250/1/Hujuma-madini</link>
					  <description>SIKU tatu tangu gazeti hili liandike habari kuhusu kasoro kadhaa zinazohusu udhaifu unaolipotezea taifa mamilioni ya fedha kupitia madini, taarifa zaidi zinaonyesha kuwa wawekezaji wa kigeni katika sekta hiyo ni mabingwa wa 'kukarabati' hesabu kwa malengo ya kukwepa kodi.</description>
					  <author>info@habaritanzania.com (Habari Tanzania)</author>
					  <pubDate>Wed, 12 Dec 2007 00:00:00 +0300</pubDate>
					 
					</item>

				

					<item>
					  <title>Serikali kunusuru mahujaji?</title>
					  <link>http://www.habaritanzania.com/articles/4247/1/Serikali-kunusuru-mahujaji%3F</link>
					  <description>SERIKALI imeingilia kati sakata la kukwama kwa mahujaji wanaokwenda Makka na kuamua kutafuta suluhu ya dharura ya kuwasafirisha kwa awamu mbili, wakati siku ya leo ikiwa ndiyo ya mwisho.</description>
					  <author>info@habaritanzania.com (Habari Tanzania)</author>
					  <pubDate>Tue, 11 Dec 2007 00:00:00 +0300</pubDate>
					 
					</item>

				

					<item>
					  <title>Vumbi kesi ya Dk. Slaa</title>
					  <link>http://www.habaritanzania.com/articles/4246/1/Vumbi-kesi-ya-Dk.-Slaa</link>
					  <description>UTATA unaotokana na tofauti za takwimu umeibuka mahakamani wakati kesi ya kupinga ushindi wa Mbunge wa Karatu, Dk. Willbrod Slaa (CHADEMA) ilipokuwa ikiendelea kusikilizwa jana.</description>
					  <author>info@habaritanzania.com (Habari Tanzania)</author>
					  <pubDate>Tue, 11 Dec 2007 00:00:00 +0300</pubDate>
					 
					</item>

				

					<item>
					  <title>Takukuru msalabani</title>
					  <link>http://www.habaritanzania.com/articles/4245/1/Takukuru-msalabani</link>
					  <description>BAADHI ya wakazi wa Dar es Salaam jana waliipasha Taasisi ya Kuzuia na Kupambana na Rushwa (TAKUKURU) kuwa hawana imani nayo kutokana na kutoa ripoti zinazoleta shaka.</description>
					  <author>info@habaritanzania.com (Habari Tanzania)</author>
					  <pubDate>Tue, 11 Dec 2007 00:00:00 +0300</pubDate>
					 
					</item>

				

					<item>
					  <title>JK amng'oa Severe</title>
					  <link>http://www.habaritanzania.com/articles/4244/1/JK-amng%92oa-Severe</link>
					  <description>BAADA ya vuta nikuvute ya takriban miaka miwili sasa, Rais Jakaya Kikwete amekata mzizi wa fitina na akabariki kufanyika kwa mabadiliko makubwa ya wakurugenzi katika Wizara ya Maliasili na Utalii.</description>
					  <author>washawashaupupu@yahoo.com (Marshy Abdu)</author>
					  <pubDate>Fri, 07 Dec 2007 00:00:00 +0300</pubDate>
					 
					</item>

				

					<item>
					  <title>Tulumbane vijiweni lakini tuhimize maendeleo - JK</title>
					  <link>http://www.habaritanzania.com/articles/4243/1/Tulumbane-vijiweni-lakini-tuhimize-maendeleo-%96-JK</link>
					  <description>RAIS Jakaya Kikwete amewasihi wanasiasa wenzake kuwahimiza wanachama wao kushiriki katika shughuli za maendeleo kwa faida ya Watanzania wote.</description>
					  <author>washawashaupupu@yahoo.com (Marshy Abdu)</author>
					  <pubDate>Fri, 07 Dec 2007 00:00:00 +0300</pubDate>
					 
					</item>

				

					<item>
					  <title>REDET yamkaanga JK</title>
					  <link>http://www.habaritanzania.com/articles/4242/1/REDET-yamkaanga-JK</link>
					  <description>MATOKEO ya kura ya maoni iliyoendeshwa na Mpango wa Utafiti na Elimu ya Demokrasia ya Chuo Kikuu Cha Dar es Salaam (REDET) yamepokewa kwa hisia tofauti na watu wa kada mbalimbali nchini. </description>
					  <author>washawashaupupu@yahoo.com (Marshy Abdu)</author>
					  <pubDate>Thu, 06 Dec 2007 00:00:00 +0300</pubDate>
					 
					</item>

				

					<item>
					  <title>Mahujaji wakwama Zanzibar</title>
					  <link>http://www.habaritanzania.com/articles/4241/1/Mahujaji-wakwama-Zanzibar</link>
					  <description>MAHUJAJI wapatao 72, ambao walikuwa wafike Saudi Arabia kwa ajili ya ibada ya hija jana, wamekwama visiwani hapa baada ya Shirika la Ndege la Tanzania (ATCL) kudaiwa kushindwa kuwasafirisha. </description>
					  <author>washawashaupupu@yahoo.com (Marshy Abdu)</author>
					  <pubDate>Thu, 06 Dec 2007 00:00:00 +0300</pubDate>
					 
					</item>

				

					<item>
					  <title>Zitto: Kuna njama</title>
					  <link>http://www.habaritanzania.com/articles/4239/1/Zitto%3A-Kuna-njama</link>
					  <description>Naibu Katibu Mkuu wa Chama cha Demokrasia na Maendeleo (CHADEMA), Zitto Kabwe, amesema chama hicho kimegundua kuwapo kwa njama mahususi zinazoendeshwa na baadhi ya watu wenye lengo mahususi la kuwasambaratisha.</description>
					  <author>washawashaupupu@yahoo.com (Marshy Abdu)</author>
					  <pubDate>Wed, 05 Dec 2007 00:00:00 +0300</pubDate>
					 
					</item>

				

					<item>
					  <title>Hoja ya OIC yachemka</title>
					  <link>http://www.habaritanzania.com/articles/4238/1/Hoja-ya-OIC-yachemka</link>
					  <description>HOJA kuhusu nchi kujiunga na Jumuiya ya Kiislamu ya OIC inaanza kuzua mjadala, huku watu wakitoa maoni tofauti kuhusu suala hilo. Suala hilo, ambalo miaka kadhaa iliyopita lilizusha mjadala wa kitaifa,</description>
					  <author>washawashaupupu@yahoo.com (Marshy Abdu)</author>
					  <pubDate>Wed, 05 Dec 2007 00:00:00 +0300</pubDate>
					 
					</item>

				

					<item>
					  <title>Mtikila amuonya Makamu wa Rais</title>
					  <link>http://www.habaritanzania.com/articles/4237/1/Mtikila-amuonya-Makamu-wa-Rais</link>
					  <description>MWENYEKITI wa Chama cha Democratic (DP), Mchungaji Christopher Mtikila, amepinga hatua iliyofikiwa kati ya Tanzania na nchi za Iran na Misri ya kutaka kufufua tume za ushirikiano.</description>
					  <author>washawashaupupu@yahoo.com (Marshy Abdu)</author>
					  <pubDate>Mon, 03 Dec 2007 00:00:00 +0300</pubDate>
					 
					</item>

				

					<item>
					  <title>Kiama cha maji kuikumba Dar</title>
					  <link>http://www.habaritanzania.com/articles/4236/1/Kiama-cha-maji-kuikumba-Dar</link>
					  <description>WATU wanaoishi katika maeneo aghali jijini Dar es Salaam, sasa wataanza kuonja joto ya kukatiwa maji, katika kampeni mpya iliyoanzishwa na Shirika la Majisafi na Majitaka Dar es Salaam (Dawasco).</description>
					  <author>washawashaupupu@yahoo.com (Marshy Abdu)</author>
					  <pubDate>Mon, 03 Dec 2007 00:00:00 +0300</pubDate>
					 
					</item>

				

					<item>
					  <title>Burundi ya pili kupeleka askari Somalia</title>
					  <link>http://www.habaritanzania.com/articles/4235/1/Burundi-ya-pili-kupeleka-askari-Somalia</link>
					  <description>NCHI ya Burundi licha ya matatizo iliyonayo kuhusiana na masuala ya usalama, imekuwa nchi ya pili barani Afrika kukubali kupeleka askari wa kulinda amani nchini Somalia.</description>
					  <author>washawashaupupu@yahoo.com (Marshy Abdu)</author>
					  <pubDate>Fri, 23 Nov 2007 00:00:00 +0300</pubDate>
					 
					</item>

				

					<item>
					  <title>Serikali yamtetea Zitto</title>
					  <link>http://www.habaritanzania.com/articles/4234/1/Serikali-yamtetea-Zitto</link>
					  <description>IKIWA imebaki siku moja kabla ya Kamati Kuu ya Taifa ya Chama cha Demokrasia na Maendeleo (CHADEMA) kutoa uamuzi wa iwapo Mbunge wa Kigoma Kaskazini, Kabwe Zitto ashiriki katika kamati ya kupitia mikataba ya madini au la, serikali imesema mbunge huyo ana kila sababu ya kushiriki.</description>
					  <author>washawashaupupu@yahoo.com (Marshy Abdu)</author>
					  <pubDate>Fri, 23 Nov 2007 00:00:00 +0300</pubDate>
					 
					</item>

				

					<item>
					  <title>Diwani wa Muhanga atoa wito kunusuru vijana na UKIMWI</title>
					  <link>http://www.habaritanzania.com/articles/4233/1/Diwani-wa-Muhanga-atoa-wito-kunusuru-vijana-na-UKIMWI</link>
					  <description>Wito umetolewa kwa serikali na watu binafsi kuwawezesha vijana kujimudu kimaisha ili kuwaepusha na vishawishi vya kijamii ambavyo vitawapelekea kupata maambukizi ya virusi vya ukimwi</description>
					  <author>pkwigize@yahoo.com (Prosper Kwigize)</author>
					  <pubDate>Fri, 16 Nov 2007 00:00:00 +0300</pubDate>
					 
					</item>

				

					<item>
					  <title>Inje ya elimu ya ukimwi, takwimu nazo zipelekwe mashuleni</title>
					  <link>http://www.habaritanzania.com/articles/4231/1/Inje-ya-elimu-ya-ukimwi%2C-takwimu-nazo-zipelekwe-mashuleni</link>
					  <description>Kama zisemavyo takwimu nyingi zinazoelezea masuala ya Ukimwi, kundi linalodaiwa kuathirika zaidi ni kundi la vijana kati ya umri wa miaka 16 hadi 40 kote nchini, hii ni kutokana na kwamba vijana ndio walioko katika changamoto kubwa zaidi za mabadiliko ya kibaiolojia pamoja na kijamii pia.&#160;</description>
					  <author>pkwigize@yahoo.com (Prosper Kwigize)</author>
					  <pubDate>Fri, 16 Nov 2007 00:00:00 +0300</pubDate>
					 
					</item>

				

					<item>
					  <title>Dereva mbaroni kwa kugonga na kuua mara mbili</title>
					  <link>http://www.habaritanzania.com/articles/4230/1/Dereva-mbaroni-kwa-kugonga-na-kuua-mara-mbili</link>
					  <description>Dreva wa gari la abiria linalofanya safari zake kati ya Kigoma na Kasulu mkoani Kigoma amefikishwa katika mahakama ya wilaya ya Kasulu mwishoni mwa wiki kwa kosa la kukiuka sheria za usalama barabarani na kusababisha kifo.</description>
					  <author>pkwigize@yahoo.com (Prosper Kwigize)</author>
					  <pubDate>Fri, 16 Nov 2007 00:00:00 +0300</pubDate>
					 
					</item>

				

					<item>
					  <title>Waislamu wataka serikali isitishe uhusiano na Vatican</title>
					  <link>http://www.habaritanzania.com/articles/4228/1/Waislamu-wataka-serikali-isitishe-uhusiano-na-Vatican</link>
					  <description>LICHA ya kushinikiza uanzishwaji wa Mahakama ya Kadhi nchini, safari hii viongozi wa dini ya Kiislamu wameibuka na madai mengine, wakitaka serikali ikomeshe mahusiano yake na Vatican.</description>
					  <author>washawashaupupu@yahoo.com (Marshy Abdu)</author>
					  <pubDate>Wed, 07 Nov 2007 00:00:00 +0300</pubDate>
					 
					</item>

				

					<item>
					  <title>Waislamu kuandamana kupinga ziara ya Papa</title>
					  <link>http://www.habaritanzania.com/articles/4224/1/Waislamu-kuandamana-kupinga-ziara-ya-Papa</link>
					  <description>JUMUIYA na Taasisi za Kiislamu imemtaka Papa Benedict XVI kuwaomba radhi Waislamu wa Tanzania kabla ya kuja nchini kutokana na maneno yake aliyoyatoa akimkashfu Mtume Muhamed mwaka jana, wakati akihutubia katika chuo kikuu kimoja nchini Ujerumani, la sivyo hawataitambua ziara yake.</description>
					  <author>washawashaupupu@yahoo.com (Marshy Abdu)</author>
					  <pubDate>Sat, 27 Oct 2007 00:00:00 +0300</pubDate>
					 
					</item>

				

					<item>
					  <title>Waziri Sophia Simba mgonjwa</title>
					  <link>http://www.habaritanzania.com/articles/4223/1/Waziri-Sophia-Simba-mgonjwa</link>
					  <description>WAKATI aliyekuwa Naibu Waziri wa Maendeleo ya Jamii, Jinsia na Watoto, Salome Mbatia, anazikwa leo mkoani Kilimanjaro, imefahamika kuwa Waziri wake, Sofia Simba, ni mgonjwa na hawezi kufanya kazi.</description>
					  <author>washawashaupupu@yahoo.com (Marshy Abdu)</author>
					  <pubDate>Sat, 27 Oct 2007 00:00:00 +0300</pubDate>
					 
					</item>

				

					<item>
					  <title>Taifa lamlilia Mbatia</title>
					  <link>http://www.habaritanzania.com/articles/4222/1/Taifa-lamlilia-Mbatia</link>
					  <description>VIONGOZI wakuu wa kitaifa serikalini, wanasiasa kutoka vyama mbalimbali vya siasa na wananchi wa kawaida wameshikamana kuomboleza kifo cha Naibu Waziri wa Maendeleo ya Jamii, Jinsia na Watoto, Salome Joseph Mbatia, aliyefariki dunia juzi wilayani Njombe kwa ajali ya gari. </description>
					  <author>washawashaupupu@yahoo.com (Marshy Abdu)</author>
					  <pubDate>Fri, 26 Oct 2007 00:00:00 +0300</pubDate>
					 
					</item>

				

					<item>
					  <title>Barrick Gold matatani tena</title>
					  <link>http://www.habaritanzania.com/articles/4221/1/Barrick-Gold-matatani-tena</link>
					  <description>MISUKOSUKO inayoikabili kampuni inayomiliki migodi kadhaa ya dhahabu nchini, Barrick Gold Corporation, inaongezeka huku wafanyakazi wake wa mgodi wa dhahabu wa Bulyanhulu wilayani Kahama katika Mkoa wa Shinyanga wakigoma, na mfanyakzi mwingi wa mgodi wa North Mara mkoani Mara akidai kufukuzwa kazi kwa mizengwe.</description>
					  <author>washawashaupupu@yahoo.com (Marshy Abdu)</author>
					  <pubDate>Fri, 26 Oct 2007 00:00:00 +0300</pubDate>
					 
					</item>

				

					<item>
					  <title>Mahakama ya Kadhi yagonganisha vichwa</title>
					  <link>http://www.habaritanzania.com/articles/4219/1/Mahakama-ya-Kadhi-yagonganisha-vichwa</link>
					  <description>KWA mara nyingine, suala la Mahakama ya Kadhi, limezusha mjadala baina ya wanaharakati wa kidini na wanasiasa, ambao wanabishana mambo kadhaa kuhusiana na mahakama hiyo.</description>
					  <author>washawashaupupu@yahoo.com (Marshy Abdu)</author>
					  <pubDate>Mon, 22 Oct 2007 00:00:00 +0300</pubDate>
					 
					</item>

				

					<item>
					  <title>Mbunge mwingine aingia matatani</title>
					  <link>http://www.habaritanzania.com/articles/4215/1/Mbunge-mwingine-aingia-matatani</link>
					  <description>MAHAKAMA ya Hakimu Mkazi Kisutu, imeamuru Mkurugenzi wa Kampuni ya Ilabila Industries Ltd ambaye pia ni Mbunge wa Bariadi Mashariki, John Momose Cheyo, akamatwe.</description>
					  <author>washawashaupupu@yahoo.com (Marshy Abdu)</author>
					  <pubDate>Sat, 20 Oct 2007 00:00:00 +0300</pubDate>
					 
					</item>

				

					<item>
					  <title>Mkapa: No way, nimeshastaafu</title>
					  <link>http://www.habaritanzania.com/articles/4212/1/Mkapa%3A-No-way%2C-nimeshastaafu</link>
					  <description>RAIS wa Awamu ya Tatu, Benjamin Mkapa, ameamua kujiepusha kujibu tuhuma zinazoelekezwa kwake, kuhusiana na kile kinachodaiwa kuwa matumizi mabaya ya madaraka akiwa mkuu wa nchi na uongozi mbaya alipokuwa mwenyekiti wa Chama Cha Mapinduzi (CCM).</description>
					  <author>washawashaupupu@yahoo.com (Marshy Abdu)</author>
					  <pubDate>Fri, 19 Oct 2007 00:00:00 +0300</pubDate>
					 
					</item>

				

					<item>
					  <title>Mtikila apinga Mahakama ya Kadhi mahakamani</title>
					  <link>http://www.habaritanzania.com/articles/4211/1/Mtikila-apinga-Mahakama-ya-Kadhi-mahakamani</link>
					  <description>MWENYEKITI wa Chama cha DP, Mchungaji Christopher Mtikila, amefungua kesi katika Mahakama Kuu Kanda ya Dar es Salaam jana, kupinga serikali kujihusisha na harakati zozote za kutunga sheria itakayohalalisha kuwepo kwa Mahakama ya Kadhi nchini.</description>
					  <author>washawashaupupu@yahoo.com (Marshy Abdu)</author>
					  <pubDate>Fri, 19 Oct 2007 00:00:00 +0300</pubDate>
					 
					</item>

				

					<item>
					  <title>Pigo kuu upinzani</title>
					  <link>http://www.habaritanzania.com/articles/4210/1/Pigo-kuu-upinzani</link>
					  <description>WIKI moja baada ya Mahakama Kuu Kanda ya Kagera kutengua matokeo ya uchaguzi yaliyompa ushindi Phares Kabuye (TLP-Biharamulo Magharibi), balaa jingine linaelekea kuiangukia kambi ya upinzani, baada ya jana Mahakama ya Hakimu Mkazi mkoani Kagera, kumkuta na hatia, aliyekuwa Mbunge wa Bukoba Mjini, Wilfred Lwakatare (CUF).</description>
					  <author>washawashaupupu@yahoo.com (Marshy Abdu)</author>
					  <pubDate>Wed, 17 Oct 2007 00:00:00 +0300</pubDate>
					 
					</item>

				

					<item>
					  <title>Lowassa apata shida kumtetea Karamagi</title>
					  <link>http://www.habaritanzania.com/articles/4209/1/Lowassa-apata-shida-kumtetea-Karamagi</link>
					  <description>JARIBIO la Waziri Mkuu, Edward Lowassa, kutaka kumsafisha na kumkingia kifua Waziri wa Nshati na Madini, Nazir Karamagi, kuhusu mkataba wa Buzwagi liliingia dosari jana baada ya wakazi wa Mbeya kupinga kwa sauti za juu utetezi wake kuhusu mkataba huo.</description>
					  <author>washawashaupupu@yahoo.com (Marshy Abdu)</author>
					  <pubDate>Wed, 17 Oct 2007 00:00:00 +0300</pubDate>
					 
					</item>

				

					<item>
					  <title>Serikali kitanzini</title>
					  <link>http://www.habaritanzania.com/articles/4208/1/Serikali-kitanzini</link>
					  <description>VIGOGO kadhaa waliyatumia maadhimisho ya miaka minane tangu kufariki kwa Baba wa Taifa, hayati Mwalimu Julius Nyerere jana, kuinyooshea kidole serikali, wakiituhumu kwa kufanya mchezo na vita dhidi ya rushwa, ubadhirifu na ufisadi.</description>
					  <author>washawashaupupu@yahoo.com (Marshy Abdu)</author>
					  <pubDate>Tue, 16 Oct 2007 00:00:00 +0300</pubDate>
					 
					</item>

				

					<item>
					  <title>Mwinyi: Tuhuma zisipuuzwe</title>
					  <link>http://www.habaritanzania.com/articles/4207/1/Mwinyi%3A-Tuhuma-zisipuuzwe</link>
					  <description>MADAI dhidi ya kushamiri kwa ufisadi, rushwa na ubadhirifu wa mali ya umma, jana yalipata sura nyingine baada ya Rais mstaafu wa Awamu ya Pili, Ali Hassan Mwinyi, kuibuka na kusema kuwa madai hayo hayapaswi kudharauliwa na viongozi</description>
					  <author>washawashaupupu@yahoo.com (Marshy Abdu)</author>
					  <pubDate>Tue, 16 Oct 2007 00:00:00 +0300</pubDate>
					 
					</item>

				

					<item>
					  <title>Hivi ndivyo Sikukuu ya Idd inavyotakiwa kusherehekewa</title>
					  <link>http://www.habaritanzania.com/articles/4205/1/Hivi-ndivyo-Sikukuu-ya-Idd-inavyotakiwa-kusherehekewa</link>
					  <description>IDD EL FITR ni Sikukuu ya Kiislamu inayosherehekewa baada ya kumalizika kwa mfungo wa mwezi Mtukufu wa Ramadhani kumalizika. Siku hii Waislamu huitumia katika kufurahi na kumshukuru Mwenyezi Mungu</description>
					  <author>washawashaupupu@yahoo.com (Marshy Abdu)</author>
					  <pubDate>Fri, 12 Oct 2007 00:00:00 +0300</pubDate>
					 
					</item>

				

					<item>
					  <title>JK awaamsha wapinzani</title>
					  <link>http://www.habaritanzania.com/articles/4203/1/JK-awaamsha-wapinzani</link>
					  <description> SIKU moja baada ya Rais Jakaya Kikwete kutoa kauli akijibu tuhuma zilizotolewa na viongozi wa upinzani dhidi ya viongozi kadhaa wa serikali, wapinzani hao nao wamejibu na kusema kauli ya Kikwete inalenga kupotosha kile ambacho wao wamekisema.</description>
					  <author>washawashaupupu@yahoo.com (Marshy Abdu)</author>
					  <pubDate>Fri, 12 Oct 2007 00:00:00 +0300</pubDate>
					 
					</item>

				

					<item>
					  <title>Maajabu kesi ya Balozi Mahalu</title>
					  <link>http://www.habaritanzania.com/articles/4201/1/Maajabu-kesi-ya-Balozi-Mahalu</link>
					  <description>UPANDE wa mashitaka katika kesi ya kuhujumu uchumi inayomkabili aliyekuwa Balozi wa Tanzania nchini Italia, Costa Ricky Mahalu na mwenzake, umekiri kwamba hakuna mlalamikaji katika kesi hiyo.</description>
					  <author>washawashaupupu@yahoo.com (Marshy Abdu)</author>
					  <pubDate>Sat, 06 Oct 2007 00:00:00 +0300</pubDate>
					 
					</item>

				

					<item>
					  <title>Mabalozi waikamata Serikali ya JK pabaya</title>
					  <link>http://www.habaritanzania.com/articles/4200/1/Mabalozi-waikamata-Serikali-ya-JK-pabaya</link>
					  <description>MSIMAMO wa mashirika na mataifa mbalimbali wa kuitaka serikali kuchunguza tuhuma za ubadhirifu zinazoikabili, zimeonekana dhahiri kuishtua Serikali ya Awamu ya Nne.</description>
					  <author>washawashaupupu@yahoo.com (Marshy Abdu)</author>
					  <pubDate>Sat, 06 Oct 2007 00:00:00 +0300</pubDate>
					 
					</item>

				

					<item>
					  <title>Zomeazomea yazidi</title>
					  <link>http://www.habaritanzania.com/articles/4198/1/Zomeazomea-yazidi</link>
					  <description>WAKATI Waziri wa Kilimo, Chakula na Ushirika, Stephen Wasira, akikanusha taarifa zilizoandikwa na gazeti hili jana na jingine la kila siku, zinazoeleza kuhusu kuzomewa na wananchi wa Mbeya wakati wa mkutano wao wa hadhara uliofanyika juzi, waziri mwingine katika serikali ya Rais Jakaya Kikwete, alikutwa na zahama kama hiyo huko Mpanda, mkoani Rukwa.</description>
					  <author>washawashaupupu@yahoo.com (Marshy Abdu)</author>
					  <pubDate>Fri, 05 Oct 2007 00:00:00 +0300</pubDate>
					 
					</item>

				

					<item>
					  <title>Zomeazomea yazidi</title>
					  <link>http://www.habaritanzania.com/articles/4197/1/Zomeazomea-yazidi</link>
					  <description>WAKATI Waziri wa Kilimo, Chakula na Ushirika, Stephen Wasira, akikanusha taarifa zilizoandikwa na gazeti hili jana na jingine la kila siku, zinazoeleza kuhusu kuzomewa na wananchi wa Mbeya wakati wa mkutano wao wa hadhara uliofanyika juzi, waziri mwingine katika serikali ya Rais Jakaya Kikwete, alikutwa na zahama kama hiyo huko Mpanda, mkoani Rukwa.</description>
					  <author>info@habaritanzania.com (Habari Tanzania)</author>
					  <pubDate>Thu, 04 Oct 2007 00:00:00 +0300</pubDate>
					 
					</item>

				

					<item>
					  <title>Ukodishaji Reli ya Kati matatani</title>
					  <link>http://www.habaritanzania.com/articles/4196/1/Ukodishaji-Reli-ya-Kati-matatani</link>
					  <description>UKODISHAJI wa lililokuwa Shirika la Reli Tanzania (TRC) kwa mwekezaji wa kigeni uliozaa Kampuni mpya ya Tanzania Railway Limited (TRL), unaendelea kukumbwa na matatizo mwanzoni kabisa mwa mkataba wake.</description>
					  <author>washawashaupupu@yahoo.com (Marshy Abdu)</author>
					  <pubDate>Thu, 04 Oct 2007 00:00:00 +0300</pubDate>
					 
					</item>

				

					<item>
					  <title>Benki ya Dunia yadai uchunguzi</title>
					  <link>http://www.habaritanzania.com/articles/4194/1/Benki-ya-Dunia-yadai-uchunguzi</link>
					  <description>WAKATI serikali ikisuasua kufikia uamuzi wa kuzishughulikia tuhuma za ubadhirifu ndani ya Benki Kuu (BoT) zilizotolewa hivi karibuni na Dk. Willibrod Slaa (Karatu-CHADEMA), Benki ya Dunia imesema ni matumaini kuwa, serikali itachukua hatua madhubuti kuhusu tuhuma hizo.</description>
					  <author>washawashaupupu@yahoo.com (Marshy Abdu)</author>
					  <pubDate>Wed, 03 Oct 2007 00:00:00 +0300</pubDate>
					 
					</item>

				

					<item>
					  <title>Wapinzani kuipeleka NEC kortini</title>
					  <link>http://www.habaritanzania.com/articles/4193/1/Wapinzani-kuipeleka-NEC-kortini</link>
					  <description>UMOJA wa vyama vinne vya siasa nchini kesho unatarajia kufungua kesi ya kikatiba dhidi ya Tume ya Taifa ya Uchaguzi (NEC) kuzuia kufanyika kwa uchaguzi mdogo wa madiwani nchini.</description>
					  <author>washawashaupupu@yahoo.com (Marshy Abdu)</author>
					  <pubDate>Wed, 03 Oct 2007 00:00:00 +0300</pubDate>
					 
					</item>

				

					<item>
					  <title>Karamagi agoma kujiuzulu</title>
					  <link>http://www.habaritanzania.com/articles/4190/1/Karamagi-agoma-kujiuzulu</link>
					  <description>HOMA ya hoja ya Katibu Mkuu wa Chama cha Demokrasia na Maendeleo (CHADEMA), Dk. Wilbrod Slaa ya kuwatuhumu viongozi 11 wa serikali na wa Chama Cha Mapinduzi (CCM) kwa vitendo vya ufisadi, inaendelea kuchukua sura mpya kila kukicha.</description>
					  <author>washawashaupupu@yahoo.com (Marshy Abdu)</author>
					  <pubDate>Wed, 26 Sep 2007 00:00:00 +0300</pubDate>
					 
					</item>

				

					<item>
					  <title>Gari la Coca Cola laua watoto tisa</title>
					  <link>http://www.habaritanzania.com/articles/4185/1/Gari-la-Coca-Cola-laua-watoto-tisa</link>
					  <description>WANAFUNZI wanane wa Shule ya Msingi ya Ntokela, Wilaya ya Rungwe, katika Mkoa wa Mbeya, na mtoto mdogo wa mwaka mmoja na nusu, wamekufa papo hapo na wengine wanane wamejeruhiwa vibaya baada ya kugongwa na gari la Kampuni ya vinywaji baridi ya Coca Cola, walipokuwa wakilifuata kwa nyuma gari la matangazo ya kidini.</description>
					  <author>info@habaritanzania.com (Habari Tanzania)</author>
					  <pubDate>Fri, 21 Sep 2007 00:00:00 +0300</pubDate>
					 
					</item>

				

					<item>
					  <title>Sumu ya Zitto yamfika waziri</title>
					  <link>http://www.habaritanzania.com/articles/4184/1/Sumu-ya-Zitto-yamfika-waziri</link>
					  <description>SUMU iliyomwagwa na Mbunge wa Kigoma Kaskazini, Kabwe Zubeir Zitto (CHADEMA), kuhusiana na kuwepo kwa shaka ya rushwa katika mkataba wa mradi wa mgodi wa dhahabu wa Buzwagi mkoani Shinyanga, imeanza kuwaingia wananchi.</description>
					  <author>info@habaritanzania.com (Habari Tanzania)</author>
					  <pubDate>Fri, 21 Sep 2007 00:00:00 +0300</pubDate>
					 
					</item>

				

					<item>
					  <title>Vijana wa upinzani wamkejeli Kingunge</title>
					  <link>http://www.habaritanzania.com/articles/4183/1/Vijana-wa-upinzani-wamkejeli-Kingunge</link>
					  <description>VIJANA wa vyama vinne vya upinzani vya Chadema, CUF, NCCR-Mageuzi na TLP wametoa tamko la pamoja wakikejeli 'hekima za kisiasa' za mwanasiasa mkongwe Kingunge Ngombale -Mwiru.</description>
					  <author>info@habaritanzania.com (Habari Tanzania)</author>
					  <pubDate>Fri, 21 Sep 2007 00:00:00 +0300</pubDate>
					 
					</item>

				

					<item>
					  <title>Mahakama yaamru Mrema akamatwe</title>
					  <link>http://www.habaritanzania.com/articles/4182/1/Mahakama-yaamru-Mrema-akamatwe</link>
					  <description> MAHAKAMA ya Hakimu Mkazi Kisutu jana ilitoa hati ya kukamatwa kwa Mwenyekiti wa Chama cha Tanzania Labour (TLP) Augustine Mrema na wenzake watatu. Amri hiyo inakuja wakati Mrema akiwa miongoni mwa viongozi wa vyama vinne vya upinzani </description>
					  <author>washawashaupupu@yahoo.com (Marshy Abdu)</author>
					  <pubDate>Wed, 19 Sep 2007 00:00:00 +0300</pubDate>
					 
					</item>

				

					<item>
					  <title>Kingunge ashambulia wapinzani</title>
					  <link>http://www.habaritanzania.com/articles/4181/1/Kingunge-ashambulia-wapinzani</link>
					  <description>MWANASIASA mkongwe na bingwa wa propaganda za Chama Cha Mapinduzi, Kingunge Ngombale-Mwiru amewashambulia viongozi wa vyama vinne vya upinzani wanaozunguka katika maeneo mbalimbali nchini wakitoa tuhuma nzito dhidi ya viongozi wa serikali.</description>
					  <author>washawashaupupu@yahoo.com (Marshy Abdu)</author>
					  <pubDate>Wed, 19 Sep 2007 00:00:00 +0300</pubDate>
					 
					</item>

				

					<item>
					  <title>Mudhihir anena</title>
					  <link>http://www.habaritanzania.com/articles/4179/1/Mudhihir-anena</link>
					  <description>MBUNGE wa Mchinga, Mudhihir Mudhihir, amewataka Watanzania kutoihusisha ajali iliyosababisha akatwe mkono wake wa kuume na masuala ya kisiasa. Aidha, mbunge huyo amesema ajali hiyo iliyotokea Lindi mjini mwishoni mwa wiki iliyopita ilikuwa ni mapenzi ya Mungu</description>
					  <author>washawashaupupu@yahoo.com (Marshy Abdu)</author>
					  <pubDate>Tue, 18 Sep 2007 00:00:00 +0300</pubDate>
					 
					</item>

				

					<item>
					  <title>Mrema kuanza kukabidhi mikoba leo</title>
					  <link>http://www.habaritanzania.com/articles/4177/1/Mrema-kuanza-kukabidhi-mikoba-leo</link>
					  <description>MWENYEKITI wa Chama cha Tanzania Labour (TLP), Augustine Mrema, amesema leo ataanza kukabidhi baadhi ya mikoba yake kwa Mbunge wa Kigoma Kaskazini, Kabwe Zitto (Chadema), ikiwa ni ishara ya kuanza kustaafu siasa.</description>
					  <author>info@habaritanzania.com (Habari Tanzania)</author>
					  <pubDate>Sat, 15 Sep 2007 00:00:00 +0300</pubDate>
					 
					</item>

				

					<item>
					  <title>Mudhihir akatwa mkono</title>
					  <link>http://www.habaritanzania.com/articles/4176/1/Mudhihir-akatwa-mkono</link>
					  <description>MBUNGE wa Jimbo la Mchinga (CCM), Mudhihir Mudhihir, amehamishiwa katika Taasisi ya Mifupa ya Muhimbili (MOI), JIJINI Dar es Salaam, akiwa amekatwa mkono wa kulia kutokana na ajali aliyoipata mkoani Lindi, juzi.</description>
					  <author>info@habaritanzania.com (Habari Tanzania)</author>
					  <pubDate>Sat, 15 Sep 2007 00:00:00 +0300</pubDate>
					 
					</item>

				

					<item>
					  <title>Mwamunyange awa Mkuu mpya wa Majeshi</title>
					  <link>http://www.habaritanzania.com/articles/4174/1/Mwamunyange-awa-Mkuu-mpya-wa-Majeshi</link>
					  <description>RAIS Jakaya Kikwete amempandisha cheo Luteni Jenerali Davis Adolf Mwamunyange, kuwa Jenerali na kumteua kuwa Mkuu wa Majeshi. Jenerali Mwamunyange anachukua nafasi iliyoachwa wazi na Jenerali George Waitara, ambaye amestaafu rasmi jana.</description>
					  <author>washawashaupupu@yahoo.com (Marshy Abdu)</author>
					  <pubDate>Fri, 14 Sep 2007 00:00:00 +0300</pubDate>
					 
					</item>

				

					<item>
					  <title> Polisi yazuia Waislamu</title>
					  <link>http://www.habaritanzania.com/articles/4165/1/-Polisi-yazuia-Waislamu</link>
					  <description>                              POLISI Kanda Maalum ya Dar es Salaam, imeyapiga marufuku maandamano yaliyopangwa kufanywa na waumini wa dini ya Kiislamu kesho, kushinikiza kurejeshwa kwa kiwanja wanachodai kimeuzwa kinyume cha taratibu kwa kampuni moja jijini Dar es Salaam.</description>
					  <author>info@habaritanzania.com (Habari Tanzania)</author>
					  <pubDate>Thu, 06 Sep 2007 00:00:00 +0300</pubDate>
					 
					</item>

				

					<item>
					  <title>Walemave wilayani Kasulu wapatiwa msaada wa baiskeli.</title>
					  <link>http://www.habaritanzania.com/articles/4164/1/Walemave-wilayani-Kasulu-wapatiwa-msaada-wa-baiskeli.</link>
					  <description>Shirika la msaada wa injili vijijini lenye makao makuu jijini Dar es salaam  limetoa msaada wa baiskeli tano kwa walemavu wilayani kasulu mkoani kigoma.&#160; </description>
					  <author>pkwigize@yahoo.com (Prosper Kwigize)</author>
					  <pubDate>Tue, 04 Sep 2007 00:00:00 +0300</pubDate>
					 
					</item>

				

					<item>
					  <title>TRC yakodishwa</title>
					  <link>http://www.habaritanzania.com/articles/4160/1/TRC-yakodishwa</link>
					  <description>MKATABA wa ukodishwaji wa Shirika la Reli nchini (TRC) hatimaye umesainiwa huku ukiendelea kuacha utata mkubwa katika masuala kadhaa likiwamo la hatima ya wafanyakazi watakaopunguzwa.</description>
					  <author>washawashaupupu@yahoo.com (Marshy Abdu)</author>
					  <pubDate>Tue, 04 Sep 2007 00:00:00 +0300</pubDate>
					 
					</item>

				

					<item>
					  <title>CCM Kasulu chapata uongozi mpya 2007 - 2012</title>
					  <link>http://www.habaritanzania.com/articles/4153/1/CCM-Kasulu-chapata-uongozi-mpya-2007---2012</link>
					  <description>Chama cha mapinduzi wilaya ya Kasulu mkoani Kigoma Jumanne wiki hii kimepata viongozi wapya watakaokiongoza kwa kipindi cha miaka mitano ijayo, huku kikimwacha mtetezi wa nafasi ya uenyekiti.</description>
					  <author>pkwigize@yahoo.com (Prosper Kwigize)</author>
					  <pubDate>Sun, 02 Sep 2007 00:00:00 +0300</pubDate>
					 
					</item>

				

					<item>
					  <title>Jenerali Waitara aonya</title>
					  <link>http://www.habaritanzania.com/articles/4151/1/Jenerali-Waitara-aonya</link>
					  <description>JESHI la Wananchi wa Tanzania (JWTZ), limewaonya wananchi wote waliovamia maeneo ya jeshi hilo kote nchini, kuondoka mara moja katika maeneo hayo.</description>
					  <author>info@habaritanzania.com (Habari Tanzania)</author>
					  <pubDate>Sun, 02 Sep 2007 00:00:00 +0300</pubDate>
					 
					</item>

				

					<item>
					  <title>Vita ya makundi CCM</title>
					  <link>http://www.habaritanzania.com/articles/4150/1/Vita-ya-makundi-CCM</link>
					  <description>VITA ya makundi ndani ya Chama Cha Mapinduzi (CCM), hali ambayo imekuwa ikikitawala chama hicho kila nyakati za uchaguzi, sasa imeanza kuchukua sura mpya.</description>
					  <author>info@habaritanzania.com (Habari Tanzania)</author>
					  <pubDate>Sun, 02 Sep 2007 00:00:00 +0300</pubDate>
					 
					</item>

				

					<item>
					  <title>Zitto aijibu Barrick</title>
					  <link>http://www.habaritanzania.com/articles/4149/1/Zitto-aijibu-Barrick</link>
					  <description>MBUNGE wa Kigoma Kaskazini aliyesimamishwa, Zitto Zuberi Kabwe (Chadema), ameeleza kushangazwa na majibu ya Kampuni ya Barrick Tanzania, iliyoyatoa juzi kuhusu mazingira yaliyosababisha mkataba wa madini wa Buzwagi usainiwe London, Uingereza.</description>
					  <author>washawashaupupu@yahoo.com (Marshy Abdu)</author>
					  <pubDate>Wed, 29 Aug 2007 00:00:00 +0300</pubDate>
					 
					</item>

				

					<item>
					  <title>Msafara wa Vuai wajeruhi mwanafunzi</title>
					  <link>http://www.habaritanzania.com/articles/4140/1/Msafara-wa-Vuai-wajeruhi-mwanafunzi</link>
					  <description>MSAFARA wa Waziri Kiongozi wa Zanzibar, Shamsi Vuai Nahodha, umemgonga mwanafunzi mmoja wa shule ya Sekondari ya Mission na kusababisha kuvunjika mkono.</description>
					  <author>info@habaritanzania.com (Habari Tanzania)</author>
					  <pubDate>Sun, 26 Aug 2007 00:00:00 +0300</pubDate>
					 
					</item>

				

					<item>
					  <title>Mpakanjia sasa hoi</title>
					  <link>http://www.habaritanzania.com/articles/4139/1/Mpakanjia-sasa-hoi</link>
					  <description>ALIYEWAHI kuwa mume wa Mbunge wa Viti Maalumu, marehemu Amina Chifupa (UVCCM), Mohammed 'Meddy' Mpakanjia, aliyelazwa katika Hospitali ya Jeshi ya Lugalo, Dar es Salaam, hali yake ni mbaya na sasa analishwa kwa kutumia mirija.</description>
					  <author>info@habaritanzania.com (Habari Tanzania)</author>
					  <pubDate>Sun, 26 Aug 2007 00:00:00 +0300</pubDate>
					 
					</item>

				

					<item>
					  <title>Chaguzi CCM vurugu tupu</title>
					  <link>http://www.habaritanzania.com/articles/4138/1/Chaguzi-CCM-vurugu-tupu</link>
					  <description>WAKATI chaguzi za ngazi mbalimbali ndani ya Chama Cha Mapindizi (CCM), zikiwa zinakaribia, kampeni ya uchaguzi huo zimetawaliwa na wanachama wa chama hicho kugawanyika katika makundi na kufanyiana kampeni chafu na za kikabila miongoni mwa wagombea hao.</description>
					  <author>info@habaritanzania.com (Habari Tanzania)</author>
					  <pubDate>Sun, 26 Aug 2007 00:00:00 +0300</pubDate>
					 
					</item>

				

					<item>
					  <title>Waziri wa JK matatani</title>
					  <link>http://www.habaritanzania.com/articles/4137/1/Waziri-wa-JK-matatani</link>
					  <description>WAFANYAKAZI mkoani Dar es Salaam kupitia Shirikisho la Vyama vya Wafanyakazi Tanzania (TUCTA), wametishia kuandamana kumshinikiza Rais Jakaya Kikwete kumwondoa madarakani Waziri wa Nchi Ofisi ya Rais Utumishi wa Umma, Hawa Ghasia.</description>
					  <author>info@habaritanzania.com (Habari Tanzania)</author>
					  <pubDate>Sun, 26 Aug 2007 00:00:00 +0300</pubDate>
					 
					</item>

				

					<item>
					  <title>Profesa Shivji aonya</title>
					  <link>http://www.habaritanzania.com/articles/4136/1/Profesa-Shivji-aonya</link>
					  <description>MWANAZUONI maarufu hapa nchini na bingwa wa masuala ya sheria, Issa Shivji, amesema moto aliouwasha Mbunge wa Kigoma Kaskazini, Kabwe Zitto (CHADEMA), ni kielelezo cha wananchi kuchoshwa na dhuluma inayoendeshwa dhidi ya rasilimali zao.</description>
					  <author>washawashaupupu@yahoo.com (Marshy Abdu)</author>
					  <pubDate>Fri, 24 Aug 2007 00:00:00 +0300</pubDate>
					 
					</item>

				

					<item>
					  <title>Wananchi waeleza sababu za kumzomea mbunge</title>
					  <link>http://www.habaritanzania.com/articles/4135/1/Wananchi-waeleza-sababu-za-kumzomea-mbunge</link>
					  <description>WANANCHI wa Kahama, wamesema walimzomea Mbunge wao, James Lembeli (CCM), kwa kuwa alishindwa kuzungumzia sakata la utiaji saini mkataba wa uchimbaji wa dhahabu wa Buzwagi, hivyo kukosa imani kwake.</description>
					  <author>washawashaupupu@yahoo.com (Marshy Abdu)</author>
					  <pubDate>Fri, 24 Aug 2007 00:00:00 +0300</pubDate>
					 
					</item>

				

					<item>
					  <title>Jinamizi la Zitto lamfuata Kikwete</title>
					  <link>http://www.habaritanzania.com/articles/4132/1/Jinamizi-la-Zitto-lamfuata-Kikwete</link>
					  <description>KIWINGU cha hoja ya Mbunge wa Kigoma Kaskazini aliyesimamishwa, Kabwe Zubeir Zitto (Chadema), ya kupinga utiaji saini wa mkataba wa uchimbaji madini kati ya Kampuni ya Barrick Gold Mine na Waziri wa Nishati na Madini, sasa linaonekana kupanda juu na kumfikia Rais Jakaya Kikwete.</description>
					  <author>washawashaupupu@yahoo.com (Marshy Abdu)</author>
					  <pubDate>Wed, 22 Aug 2007 00:00:00 +0300</pubDate>
					 
					</item>

				

					<item>
					  <title>Hujuma hizi katika kata ya MINEPA zitakwisha lini</title>
					  <link>http://www.habaritanzania.com/articles/4130/1/Hujuma-hizi-katika-kata-ya-MINEPA-zitakwisha-lini</link>
					  <description>  	Kwanza kabisa napenda kumshukuru Mungu ambae  	ametupa uzima. Napenda pia kuwashukuru viongozi wetu wa chama  	na serikali kwa jinsi wanavyowajibika katika kuwatumikia watanzania katika  	wilaya hii ya Ulanga. </description>
					  <author>info@habaritanzania.com (Habari Tanzania)</author>
					  <pubDate>Tue, 21 Aug 2007 00:00:00 +0300</pubDate>
					 
					</item>

				

					<item>
					  <title>Bunge sasa lamuunga mkono Kabwe Zitto</title>
					  <link>http://www.habaritanzania.com/articles/4129/1/Bunge-sasa-lamuunga-mkono-Kabwe-Zitto</link>
					  <description> SIKU moja baada ya maelfu ya wakazi wa Dar es Salaam kumpokea kwa kishindo Mbunge wa Kigoma Kaskazini, Kabwe Zuberi Zitto (CHADEMA), Bunge la Jamhuri ya Muungano limeibuka na kusema kuwa hoja ya msingi iliyotolewa na mbunge huyo na kusababisha kusimamishwa bado ina nguvu.</description>
					  <author>washawashaupupu@yahoo.com (Marshy Abdu)</author>
					  <pubDate>Mon, 20 Aug 2007 00:00:00 +0300</pubDate>
					 
					</item>

				

					<item>
					  <title>Suala la Zitto lampeleka Mtikila mahakamani</title>
					  <link>http://www.habaritanzania.com/articles/4128/1/Suala-la-Zitto-lampeleka-Mtikila-mahakamani</link>
					  <description>SIKU moja baada ya kufanyika maandamano makubwa ya kumpokea Mbunge wa Kigoma Kaskazini, Kabwe Zuberi Zitto, yaliyohusisha vyama vya upinzani, Mwenyekiti wa Chama cha Democratic (DP), Mchungaji Christopher Mtikila ameibuka na kusema kuwa anafikiria kufungua kesi juu ya hoja iliyosababisha mbunge huyo kusimamishwa.</description>
					  <author>washawashaupupu@yahoo.com (Marshy Abdu)</author>
					  <pubDate>Mon, 20 Aug 2007 00:00:00 +0300</pubDate>
					 
					</item>

				

					<item>
					  <title>Spika, tuondolee utata huu</title>
					  <link>http://www.habaritanzania.com/articles/4127/1/Spika%2C-tuondolee-utata-huu</link>
					  <description>WATANZANIA kwa mara ya kwanza katika historia ya taifa hili, tunashuhudia kutikisika kwa nguzo moja muhimu ya utawala wa nchi yetu.</description>
					  <author>info@habaritanzania.com (Habari Tanzania)</author>
					  <pubDate>Sun, 19 Aug 2007 00:00:00 +0300</pubDate>
					 
					</item>

				

					<item>
					  <title>Serikali yaibiwa mafuta</title>
					  <link>http://www.habaritanzania.com/articles/4126/1/Serikali-yaibiwa-mafuta</link>
					  <description>SERIKALI inaibiwa maelfu ya lita za mafuta ya petroli na dizeli na watumishi wake.</description>
					  <author>info@habaritanzania.com (Habari Tanzania)</author>
					  <pubDate>Sun, 19 Aug 2007 00:00:00 +0300</pubDate>
					 
					</item>

				

					<item>
					  <title>CUF yapoza hasira</title>
					  <link>http://www.habaritanzania.com/articles/4125/1/CUF-yapoza-hasira</link>
					  <description>CHAMA cha Wananchi (CUF) kimetangaza kurejea katika meza ya mazungumzo ya kutafuta mwafaka wa kisiasa visiwani Zanzibar.</description>
					  <author>info@habaritanzania.com (Habari Tanzania)</author>
					  <pubDate>Sun, 19 Aug 2007 00:00:00 +0300</pubDate>
					 
					</item>

				

					<item>
					  <title>Zitto amgeukia JK</title>
					  <link>http://www.habaritanzania.com/articles/4124/1/Zitto-amgeukia-JK</link>
					  <description>SIKU nne tangu Bunge limsimamishe kufanya kazi za uwakilishi, Mbunge wa Kigoma Kaskazini, Kabwe Zitto (CHADEMA), amemgeukia Rais Jakaya Kikwete akimtahadharisha kuwa macho na kile alichokieleza kuwa kundi la viongozi mafisadi ndani ya serikali yake.</description>
					  <author>info@habaritanzania.com (Habari Tanzania)</author>
					  <pubDate>Sun, 19 Aug 2007 00:00:00 +0300</pubDate>
					 
					</item>

				

					<item>
					  <title>Kishindo cha Zitto kikubwa</title>
					  <link>http://www.habaritanzania.com/articles/4123/1/Kishindo-cha-Zitto-kikubwa</link>
					  <description>KISHINDO cha uamuzi wa Bunge kumsimamisha Mbunge wa Kigoma Kaskazini, Kabwe Zubeir Zitto (CHADEMA) kwa miezi mitano, bado kinaendelea kusikika kutoka maeneo mbalimbali nchini.</description>
					  <author>washawashaupupu@yahoo.com (Marshy Abdu)</author>
					  <pubDate>Sat, 18 Aug 2007 00:00:00 +0300</pubDate>
					 
					</item>

				

					<item>
					  <title>ILI KUIBADILI BONGO, &#34;Wa-Tank Man&#34;  WANAHITAJIKA</title>
					  <link>http://www.habaritanzania.com/articles/4120/1/ILI-KUIBADILI-BONGO%2C-%26quot%3BWa-Tank-Man%26quot%3B--WANAHITAJIKA</link>
					  <description>The Tank man&#34; anatukumbusha kuwa mchakato wa mabadiliko yoyote yale yawe ya kisiasa, kijamii ama kiuchumi hayataletwa na viongozi wenye majina makubwa yaliyozoeleka masikioni mwetu (Malecela, Kingunge, Malima, Mwinyi, Chambiri, Msuya, Sitta); bali mabadiliko halisi yataletwa na raia wa kawaida watakaohiyari kujitoa mhanga kutetea maslahi ya taifa bila kujali yanayoweza kuwatokea kesho. Kama Rais Kennedy alivyowahi kusema, utu wa kweli umekamilika ndani ya yule anayediriki kufanya kila awezacho kutetea haki na uhuru wake pasipokujali madhara yanayoweza kumkumba hapo baadaye.</description>
					  <author>edward@bongotz.com (Edward Chacha)</author>
					  <pubDate>Fri, 17 Aug 2007 00:00:00 +0300</pubDate>
					 
					</item>

				

					<item>
					  <title>CUF kutamka Jumamosi</title>
					  <link>http://www.habaritanzania.com/articles/4115/1/CUF-kutamka-Jumamosi</link>
					  <description>SIKU moja baada ya Rais Jakaya Kikwete kukitaka Chama cha Wanachi (CUF) kutosusia mazungumzo ya kusaka muafaka kati yake na Chama Cha Mapinduzi (CCM) juu ya hali ya kisiasa kisiwani Zanzibar, chama hicho kimesema kitaweka hadharani ukweli wa mambo keshokutwa Jumamosi.</description>
					  <author>info@habaritanzania.com (Habari Tanzania)</author>
					  <pubDate>Thu, 16 Aug 2007 00:00:00 +0300</pubDate>
					 
					</item>

				

					<item>
					  <title>Zitto Kabwe azua mambo</title>
					  <link>http://www.habaritanzania.com/articles/4114/1/Zitto-Kabwe-azua-mambo</link>
					  <description>UAMUZI wa Bunge kumsimamisha Mbunge wa Kigoma Kaskazini, Kabwe Zubeir Zitto, kwa miezi mitano, umepokewa kwa shingo upande, katika hali ya mshangao, masikitiko na kejeli na wananchi wa kada mbalimbali.</description>
					  <author>info@habaritanzania.com (Habari Tanzania)</author>
					  <pubDate>Thu, 16 Aug 2007 00:00:00 +0300</pubDate>
					 
					</item>

				

					<item>
					  <title>Ushindani wa bei wawaondoa soko la pamba</title>
					  <link>http://www.habaritanzania.com/articles/4111/1/Ushindani-wa-bei-wawaondoa-soko-la-pamba</link>
					  <description>KAMPUNI mbili kongwe zinazojishughulisha na ununuzi wa pamba, Nyanza Cooperative Union (1984) Ltd ya mkoani Mwanza na Mara Lint Industries Ltd ya Mkoa wa Mara, zimeshindwa kuhimili uashindani wa bei ya pamba wilayani Magu mwaka huu na kushindwa kununua hata kilo moja, imefahamika. </description>
					  <author>info@habaritanzania.com (Habari Tanzania)</author>
					  <pubDate>Wed, 15 Aug 2007 00:00:00 +0300</pubDate>
					 
					</item>

				

					<item>
					  <title>Wabunge wa CCM wamsulubu Zitto</title>
					  <link>http://www.habaritanzania.com/articles/4110/1/Wabunge-wa-CCM-wamsulubu-Zitto</link>
					  <description>HOJA binafsi iliyowasilishwa na Mbunge wa Kigoma Kaskazini, Zitto Kabwe (CHADEMA), ya kuliomba Bunge liunde kamati teule kuchunguza hatua ya Waziri wa Nishati na Madini, Nazir Karamagi, kusaini mkataba wa madini nje ya nchi, jana iligeuzwa na wabunge wa CCM na kuwa mwiba mkali kwa mbunge huyo kijana aliyesimamishwa Bunge hadi Januari mwakani. </description>
					  <author>info@habaritanzania.com (Habari Tanzania)</author>
					  <pubDate>Wed, 15 Aug 2007 00:00:00 +0300</pubDate>
					 
					</item>

				

					<item>
					  <title>Kikwete ainusuru Zanzibar</title>
					  <link>http://www.habaritanzania.com/articles/4109/1/Kikwete-ainusuru-Zanzibar</link>
					  <description>RAIS Jakaya Kikwete, kwa mara ya pili tangu ashike madaraka ya urais wa Jamhuri ya Tanzania, ametoa kauli ambayo inaweza ikaendelea kuinusuru Zanzibar katika hatari ya kutokea tena kwa machafuko ya kisiasa.</description>
					  <author>info@habaritanzania.com (Habari Tanzania)</author>
					  <pubDate>Wed, 15 Aug 2007 00:00:00 +0300</pubDate>
					 
					</item>

				

					<item>
					  <title>Upinzani: Makali ya bajeti yaanza kuonekana</title>
					  <link>http://www.habaritanzania.com/articles/4106/1/Upinzani%3A-Makali-ya-bajeti-yaanza-kuonekana</link>
					  <description>ONGEZEKO la kodi katika bidhaa za mafuta si tu limeleta athari katika usafirishaji wa abiria kama ambavyo imethibitika katika jamii, bali pia limesababisha kupanda kwa gharama za mazao yanayouzwa katika masoko katika mikoa mbali mbali nchini.</description>
					  <author>washawashaupupu@yahoo.com (Marshy Abdu)</author>
					  <pubDate>Tue, 14 Aug 2007 00:00:00 +0300</pubDate>
					 
					</item>

				

					<item>
					  <title>Mtandao waiba mabilioni</title>
					  <link>http://www.habaritanzania.com/articles/4104/1/Mtandao-waiba-mabilioni</link>
					  <description>MTANDAO mpya wa wizi wa fedha za serikali zilizotengwa kwa ajili ya malipo ya mafao ya waliokuwa wafanyakazi wa Jumuiya ya Afrika Mashariki, umeibuka.</description>
					  <author>washawashaupupu@yahoo.com (Marshy Abdu)</author>
					  <pubDate>Mon, 13 Aug 2007 00:00:00 +0300</pubDate>
					 
					</item>

				

					<item>
					  <title>DCI apata kigugumizi mchanga wa dhahabu</title>
					  <link>http://www.habaritanzania.com/articles/4102/1/DCI-apata-kigugumizi-mchanga-wa-dhahabu</link>
					  <description>SAKATA la makontena 74 miongoni mwa 261 yaliyokuwa na mchanga wenye madini yaliyozuiliwa na polisi kwa uchunguzi zaidi baada ya kubainika kuwa na utata, linaonekana kumwelemea Mkuu wa Upelelezi wa Makosa ya Jinai (DCI) Robert Manumba.</description>
					  <author>info@habaritanzania.com (Habari Tanzania)</author>
					  <pubDate>Sun, 12 Aug 2007 00:00:00 +0300</pubDate>
					 
					</item>

				

					<item>
					  <title>Wabunge wamgeuka Spika</title>
					  <link>http://www.habaritanzania.com/articles/4101/1/Wabunge-wamgeuka-Spika</link>
					  <description>BAADHI ya wabunge wa Chama Cha Mapinduzi (CCM), wameanza kuonyesha shaka dhidi ya utendaji kazi wa Spika wa Bunge, Samuel Sitta.</description>
					  <author>info@habaritanzania.com (Habari Tanzania)</author>
					  <pubDate>Sun, 12 Aug 2007 00:00:00 +0300</pubDate>
					 
					</item>

				

					<item>
					  <title>Kikwete ana siku 30</title>
					  <link>http://www.habaritanzania.com/articles/4100/1/Kikwete-ana-siku-30</link>
					  <description>WAFANYAKAZI wa Mkoa wa Dar es Salaam, wamemtumia malalamiko mazito, Rais Jakaya Kikwete, kuhusu hali ngumu ya maisha wanayokabiliana nayo, na wamemtaka awajibu ndani ya siku 30.</description>
					  <author>info@habaritanzania.com (Habari Tanzania)</author>
					  <pubDate>Sun, 12 Aug 2007 00:00:00 +0300</pubDate>
					 
					</item>

				

					<item>
					  <title>Dalili mbaya Zanzibar</title>
					  <link>http://www.habaritanzania.com/articles/4099/1/Dalili-mbaya-Zanzibar</link>
					  <description>Wabunge 31 wa CUF waondoka Dodoma. HALI ya kisiasa ya Zanzibar imeendelea kuwa ni ya wasiwasi mkubwa kutokana na matukio yaliyoanza kujitokeza katika kipindi cha siku za hivi karibuni. Baada ya viongozi mashuhuri wa kitaifa na kimataifa kuanza kueleza wasiwasi wao,&#160; </description>
					  <author>washawashaupupu@yahoo.com (Marshy Abdu)</author>
					  <pubDate>Sat, 11 Aug 2007 00:00:00 +0300</pubDate>
					 
					</item>

				

					<item>
					  <title>Mgomo mwingine kuibuka UDSM?</title>
					  <link>http://www.habaritanzania.com/articles/4098/1/Mgomo-mwingine-kuibuka-UDSM%3F</link>
					  <description>MGOGORO mpya unaweza ukaibuka tena katika Chuo Kikuu cha Dar es Salaam (UDSM), baada ya uongozi wa chuo hicho kuwaandikia barua ya kujieleza na kuitwa kwenye kamati ya nidhamu wanafunzi 20 ambao awali walisimamishwa masomo na kuwarejesha tena baada ya wenzao kutishia kugoma.</description>
					  <author>washawashaupupu@yahoo.com (Marshy Abdu)</author>
					  <pubDate>Sat, 11 Aug 2007 00:00:00 +0300</pubDate>
					 
					</item>

				

					<item>
					  <title>TvT yaibua mambo makubwa bungeni</title>
					  <link>http://www.habaritanzania.com/articles/4097/1/TvT-yaibua-mambo-makubwa-bungeni</link>
					  <description>MJADALA mzito umezuka bungeni juu ya uhalali wa Taasisi ya Utangazaji nchini (TUT) kutumia kodi ya wananchi kushindana na vyombo vya habari binafsi chini ya muungano wao wa MOAT.</description>
					  <author>info@habaritanzania.com (Habari Tanzania)</author>
					  <pubDate>Wed, 08 Aug 2007 00:00:00 +0300</pubDate>
					 
					</item>

				

					<item>
					  <title>CCM, CUF warushana</title>
					  <link>http://www.habaritanzania.com/articles/4096/1/CCM%2C-CUF-warushana</link>
					  <description>CHAMA Cha Mapinduzi (CCM) na Chama cha Wananchi (CUF) kila kimoja kwa wakati wake, vimeeleza kusikitishwa na mwenendo wa mwingine katika mazungumzo ya kutafuta suluhu ya kisiasa ya Zanzibar ambayo katika siku za hivi karibuni yameonekana kulegalega.</description>
					  <author>info@habaritanzania.com (Habari Tanzania)</author>
					  <pubDate>Wed, 08 Aug 2007 00:00:00 +0300</pubDate>
					 
					</item>

				

					<item>
					  <title>Jaji Warioba akerwa na unafiki wa kisiasa</title>
					  <link>http://www.habaritanzania.com/articles/4095/1/Jaji-Warioba-akerwa-na-unafiki-wa-kisiasa</link>
					  <description>WAZIRI Mkuu mstaafu na mwanasheria mkongwe, Jaji Joseph Warioba, ameeleza kushangazwa kwake na tabia za ukigeugeu za baadhi ya watu wanaohamahama vyama vya siasa.</description>
					  <author>info@habaritanzania.com (Habari Tanzania)</author>
					  <pubDate>Tue, 07 Aug 2007 00:00:00 +0300</pubDate>
					 
					</item>

				

					<item>
					  <title>Chifu Fundikira afariki dunia</title>
					  <link>http://www.habaritanzania.com/articles/4093/1/Chifu-Fundikira-afariki-dunia</link>
					  <description>MWANASIASA mkongwe na Chifu wa kabila la Wanyamwezi, Abdallah Said Fundikira, amefariki dunia. Habari zilizopatikana mjini hapa, zilieleza kuwa, Chifu Fundikira alifariki dunia jana majira ya saa 7:30 mchana nyumbani kwake Mwanza Road,</description>
					  <author>washawashaupupu@yahoo.com (Marshy Abdu)</author>
					  <pubDate>Tue, 07 Aug 2007 00:00:00 +0300</pubDate>
					 
					</item>

				

					<item>
					  <title>Mashahidi Kesi ya Wakenya hawaonekani wasakwa</title>
					  <link>http://www.habaritanzania.com/articles/4092/1/Mashahidi-Kesi-ya-Wakenya-hawaonekani-wasakwa</link>
					  <description>KATIKA hali ambayo haikutarajiwa, mashahidi wote kumi waliopangwa kutoa ushahidi wao katika kesi mbili tofauti za uporaji wa fedha katika maduka mawili ya kubadilisha fedha, jana hawakutokea mahakamani.</description>
					  <author>info@habaritanzania.com (Habari Tanzania)</author>
					  <pubDate>Mon, 06 Aug 2007 00:00:00 +0300</pubDate>
					 
					</item>

				

					<item>
					  <title>Mashahidi Kesi ya Wakenya hawaonekani wasakwa</title>
					  <link>http://www.habaritanzania.com/articles/4091/1/Mashahidi-Kesi-ya-Wakenya-hawaonekani-wasakwa</link>
					  <description>KATIKA hali ambayo haikutarajiwa, mashahidi wote kumi waliopangwa kutoa ushahidi wao katika kesi mbili tofauti za uporaji wa fedha katika maduka mawili ya kubadilisha fedha, jana hawakutokea mahakamani.</description>
					  <author>info@habaritanzania.com (Habari Tanzania)</author>
					  <pubDate>Mon, 06 Aug 2007 00:00:00 +0300</pubDate>
					 
					</item>

				

					<item>
					  <title>Wanasiasa &#39;vinyonga&#39; wanadidimiza demokrasia Tanzania</title>
					  <link>http://www.habaritanzania.com/articles/4090/1/Wanasiasa-%26%2339%3Bvinyonga%26%2339%3B-wanadidimiza-demokrasia-Tanzania</link>
					  <description>WAZIRI Mkuu Mstaafu, Jaji Joseph Sinde Warioba, ameeleza kukerwa kwake na na tabia ya baadhi ya wanasiasa ambao wamekuwa mamluki kwa kikimbilia vyama vingine kutafuta maslahi binafsi na kugeuka kama vinyonga. Vilevile, ameshangaa kwa nini vyama vinawapokea kwa shangwe na kuwapa madaraka.</description>
					  <author>info@habaritanzania.com (Habari Tanzania)</author>
					  <pubDate>Mon, 06 Aug 2007 00:00:00 +0300</pubDate>
					 
					</item>

				

					<item>
					  <title>Kikwete aisifu ufufuaji kahawa mkoani Kilimanjaro</title>
					  <link>http://www.habaritanzania.com/articles/4089/1/Kikwete-aisifu-ufufuaji-kahawa-mkoani-Kilimanjaro</link>
					  <description>RAIS Jakaya Kikwete ameipongeza Kampuni ya Kilimanjaro Plantation kwa kufufua zao la kahawa na kuliagiza Shirika la Umeme nchini (TANESCO) kutatua tatizo la umeme.</description>
					  <author>info@habaritanzania.com (Habari Tanzania)</author>
					  <pubDate>Mon, 06 Aug 2007 00:00:00 +0300</pubDate>
					 
					</item>

				

					<item>
					  <title>Waziri mkuu wa zamani asema katiba mpya haiepukiki</title>
					  <link>http://www.habaritanzania.com/articles/4088/1/Waziri-mkuu-wa-zamani-asema-katiba-mpya-haiepukiki</link>
					  <description>SERIKALI imetakiwa kuhakikisha kuwa inaridhia mabadiliko ya kikatiba, kwa kuwa hakuna namna ya kuyakimbia kutokana na umuhimu wake kwa jamii ya Watanzania wa sasa.</description>
					  <author>info@habaritanzania.com (Habari Tanzania)</author>
					  <pubDate>Mon, 06 Aug 2007 00:00:00 +0300</pubDate>
					 
					</item>

				

					<item>
					  <title>SMZ sasa yakiri upungufu</title>
					  <link>http://www.habaritanzania.com/articles/4085/1/SMZ-sasa-yakiri-upungufu</link>
					  <description>SERIKALI ya Mapinduzi Zanzibar (SMZ), imekiri kwamba inazo kasoro kadhaa katika utekelezaji wa utawala bora.</description>
					  <author>info@habaritanzania.com (Habari Tanzania)</author>
					  <pubDate>Sun, 05 Aug 2007 00:00:00 +0300</pubDate>
					 
					</item>

				

					<item>
					  <title>Balaa kubwa Anglikana</title>
					  <link>http://www.habaritanzania.com/articles/4084/1/Balaa-kubwa-Anglikana</link>
					  <description>KATIKA hatua inayoonyesha kukua kwa mgogoro ndani ya Kanisa la Anglikana Dayosisi ya Ruvuma, waumini wa kanisa hilo wanaompinga askofu wao wamelisambaratisha kanisa lao.</description>
					  <author>info@habaritanzania.com (Habari Tanzania)</author>
					  <pubDate>Sun, 05 Aug 2007 00:00:00 +0300</pubDate>
					 
					</item>

				

					<item>
					  <title>Vijana CCM wapigana kumrithi Amina Chifupa</title>
					  <link>http://www.habaritanzania.com/articles/4083/1/Vijana-CCM-wapigana-kumrithi-Amina-Chifupa</link>
					  <description>BARAZA Kuu la Umoja wa Vijana wa Chama Cha Mapinduzi (UVCCM) limetaka nafasi ya aliyekuwa Mbunge wa Viti Maalumu, marehemu Amina Chifupa, kupitia umoja huo, irithiwe na mtu kutoka Jumuiya hiyo.</description>
					  <author>info@habaritanzania.com (Habari Tanzania)</author>
					  <pubDate>Sun, 05 Aug 2007 00:00:00 +0300</pubDate>
					 
					</item>

				

					<item>
					  <title>Afrika Ngoma yawa gumzo Ujerumani</title>
					  <link>http://www.habaritanzania.com/articles/4079/1/Afrika-Ngoma-yawa-gumzo-Ujerumani</link>
					  <description>BENDI ya muziki wa dansi ya The Afrika Ngoma, ambayo inafanya shughuli zake nchini Ujerumani imezidi kupanda chati na kuwashika raia wa nchi mbalimbali nchini humo.</description>
					  <author>info@habaritanzania.com (Habari Tanzania)</author>
					  <pubDate>Sat, 04 Aug 2007 00:00:00 +0300</pubDate>
					 
					</item>

				

					<item>
					  <title>Polisi kudhibiti wizi kwenye ATM</title>
					  <link>http://www.habaritanzania.com/articles/4077/1/Polisi-kudhibiti-wizi-kwenye-ATM</link>
					  <description>JESHI la Polisi nchini limesema kuwa litakabiliana kwa nguvu zake zote na kuwakamata wale wote wanaojihusisha na wizi wa fedha kwenye ATM katika benki mbalimbali nchini.</description>
					  <author>info@habaritanzania.com (Habari Tanzania)</author>
					  <pubDate>Sat, 04 Aug 2007 00:00:00 +0300</pubDate>
					 
					</item>

				

					<item>
					  <title>Mwanajeshi akutwa na risasi 1,900</title>
					  <link>http://www.habaritanzania.com/articles/4076/1/Mwanajeshi-akutwa-na-risasi-1%2C900</link>
					  <description>MWANAJESHI wa Jeshi la Wananchi Tanzania (JWTZ), Henry Mwisongo (28), mwenye namba MT 80186 PT, amefikishwa katika Mahakama ya Hakimu Mkazi Kisutu, Dar es Salaam akikabiliwa na tuhuma za kupatikana na silaha mbili na risasi 1,982.</description>
					  <author>info@habaritanzania.com (Habari Tanzania)</author>
					  <pubDate>Sat, 04 Aug 2007 00:00:00 +0300</pubDate>
					 
					</item>

				

					<item>
					  <title>CHADEMA yalia na Karamagi</title>
					  <link>http://www.habaritanzania.com/articles/4075/1/CHADEMA-yalia-na-Karamagi</link>
					  <description>CHAMA cha Demekrasia na Maendeleo (CHADEMA) kimeungana na mbunge wake, Zitto Kabwe (Kigoma Kaskazini), kushikilia bango suala la serikali kusaini mkataba mpya wa madini nje ya nchi kabla hata kumaliza kupitia upya mikataba ya madini yenye utata.</description>
					  <author>info@habaritanzania.com (Habari Tanzania)</author>
					  <pubDate>Sat, 04 Aug 2007 00:00:00 +0300</pubDate>
					 
					</item>

				

					<item>
					  <title>CHADEMA yalia na Karamagi</title>
					  <link>http://www.habaritanzania.com/articles/4073/1/CHADEMA-yalia-na-Karamagi</link>
					  <description>CHAMA cha Demekrasia na Maendeleo (CHADEMA) kimeungana na mbunge wake, Zitto Kabwe (Kigoma Kaskazini), kushikilia bango suala la serikali kusaini mkataba mpya wa madini nje ya nchi kabla hata kumaliza kupitia upya mikataba ya madini yenye utata.</description>
					  <author>info@habaritanzania.com (Habari Tanzania)</author>
					  <pubDate>Sat, 04 Aug 2007 00:00:00 +0300</pubDate>
					 
					</item>

				

					<item>
					  <title>Vigogo wakabana CCM</title>
					  <link>http://www.habaritanzania.com/articles/4068/1/Vigogo-wakabana-CCM</link>
					  <description>HATIMAYE Chama Cha Mapinduzi (CCM) kimetangaza uteuzi wa wagombea wake waliowania nafasi mbalimbali za uongozi kuanzia ngazi ya wilaya hadi taifa. </description>
					  <author>info@habaritanzania.com (Habari Tanzania)</author>
					  <pubDate>Fri, 03 Aug 2007 00:00:00 +0300</pubDate>
					 
					</item>

				

					<item>
					  <title>Uraia wa nchi mbili karibuni</title>
					  <link>http://www.habaritanzania.com/articles/4067/1/Uraia-wa-nchi-mbili-karibuni</link>
					  <description>SUALA nyeti linalohusu uraia wa nchi mbili sasa lipo mikononi mwa Baraza la Mawaziri na linatarajiwa kulitolea maamuzi katika siku chache zijazo, Bunge lilielezwa jana.</description>
					  <author>info@habaritanzania.com (Habari Tanzania)</author>
					  <pubDate>Thu, 02 Aug 2007 00:00:00 +0300</pubDate>
					 
					</item>

				

					<item>
					  <title>CHADEMA yawanoa viongozi wake</title>
					  <link>http://www.habaritanzania.com/articles/4062/1/CHADEMA-yawanoa-viongozi-wake</link>
					  <description>WAJUMBE wa Kamati Kuu wa Chama cha Demokrasia na Maendeleo (CHADEMA), wamefanyiwa semina ya siku moja kuhusu mpango wa 'CHADEMA ni msingi - tumaini jipya la Watanzania'.</description>
					  <author>info@habaritanzania.com (Habari Tanzania)</author>
					  <pubDate>Tue, 31 Jul 2007 00:00:00 +0300</pubDate>
					 
					</item>

				

					<item>
					  <title>JK ateua Katibu Mkuu mpya</title>
					  <link>http://www.habaritanzania.com/articles/4061/1/JK-ateua-Katibu-Mkuu-mpya</link>
					  <description>RAIS Jakaya Kikwete, amemteua Mohamed Muya, kuwa Katibu Mkuu wa Wizara ya Mambo ya Ndani ya Nchi.</description>
					  <author>info@habaritanzania.com (Habari Tanzania)</author>
					  <pubDate>Tue, 31 Jul 2007 00:00:00 +0300</pubDate>
					 
					</item>

				

					<item>
					  <title>CCM yakana maamuzi</title>
					  <link>http://www.habaritanzania.com/articles/4060/1/CCM-yakana-maamuzi</link>
					  <description>CHAMA Cha Mapinduzi (CCM), kimekanusha taarifa zilizoandikwa jana katika magazeti kadhaa nchini (si Tanzania Daima), kuhusu kusimamishwa kwa uongozi wa vigogo kadhaa wa chama hicho kutokana na tuhuma mbalimbali za ubadhirifu wa fedha.</description>
					  <author>info@habaritanzania.com (Habari Tanzania)</author>
					  <pubDate>Tue, 31 Jul 2007 00:00:00 +0300</pubDate>
					 
					</item>

				

					<item>
					  <title>Mbunge astaajabisha</title>
					  <link>http://www.habaritanzania.com/articles/4059/1/Mbunge-astaajabisha</link>
					  <description>MBUNGE wa Biharamulo Magharibi, Phares Kabuye (TLP), jana aliwashtua wabunge na kuamsha hisia zao pale alipoinuka na kudai kuwa wabunge wote walipata ushindi baada ya kutumia rushwa.</description>
					  <author>info@habaritanzania.com (Habari Tanzania)</author>
					  <pubDate>Tue, 31 Jul 2007 00:00:00 +0300</pubDate>
					 
					</item>

				

					<item>
					  <title>Mke wa Bush ampamba Kikwete</title>
					  <link>http://www.habaritanzania.com/articles/4057/1/Mke-wa-Bush-ampamba-Kikwete</link>
					  <description>KITENDO cha Rais Jakaya Kikwete kupima hadharani virusi vinavyosababisha maradhi ya ukimwi, kimemkosha mke wa Rais wa Marekani, Laura Bush, ambaye amemwandikia rais barua ya kumpongeza.</description>
					  <author>info@habaritanzania.com (Habari Tanzania)</author>
					  <pubDate>Mon, 30 Jul 2007 00:00:00 +0300</pubDate>
					 
					</item>

				

					<item>
					  <title>STZ yakataa tangazo la Dk. Salmin</title>
					  <link>http://www.habaritanzania.com/articles/4056/1/STZ-yakataa-tangazo-la-Dk.-Salmin</link>
					  <description>SAUTI ya Tanzania Zanzibar (STZ) imelaumiwa kwa kukataa kutoa tangazo kuwataarifu wananchi wa Kijiji cha Mkwajuni, Mkoa wa Kaskazini Unguja juu ya ujio wa Rais mstaafu wa Zanzibar, Dk. Salmin Amour Juma, kijijini kwao Kidombo.</description>
					  <author>info@habaritanzania.com (Habari Tanzania)</author>
					  <pubDate>Mon, 30 Jul 2007 00:00:00 +0300</pubDate>
					 
					</item>

				

					<item>
					  <title>Lowassa apangua wakurugenzi, ateua wapya</title>
					  <link>http://www.habaritanzania.com/articles/4055/1/Lowassa-apangua-wakurugenzi%2C-ateua-wapya</link>
					  <description>WAZIRI Mkuu Edward Lowassa, chini ya dhamana yake ya Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa, amewateua Wakurugenzi wapya wa Mamlaka za Serikali za Mitaa na kuwabadilisha wengine vituo vyao vya kazi.</description>
					  <author>info@habaritanzania.com (Habari Tanzania)</author>
					  <pubDate>Sun, 29 Jul 2007 00:00:00 +0300</pubDate>
					 
					</item>

				

					<item>
					  <title>Kikwete aponda viti maalum</title>
					  <link>http://www.habaritanzania.com/articles/4054/1/Kikwete-aponda-viti-maalum</link>
					  <description>RAIS Jakaya Kikwete ameunga mkono pendekezo la kuondoa mfumo wa viti maalum kwa wabunge ili kuwafanya wanawake wagombee nafasi hizo kupitia majimbo.</description>
					  <author>info@habaritanzania.com (Habari Tanzania)</author>
					  <pubDate>Sun, 29 Jul 2007 00:00:00 +0300</pubDate>
					 
					</item>

				

					<item>
					  <title>Sumaye adai bilioni 20/- kortini Dar</title>
					  <link>http://www.habaritanzania.com/articles/4052/1/Sumaye-adai-bilioni-20%7B47%7D--kortini-Dar</link>
					  <description>WAZIRI Mkuu mstaafu, Frederick Sumaye, amefungua kesi katika Mahakama Kuu ya Tanzania akidai fidia ya shilingi bilioni 20 kwa madai ya kuchafuliwa jina lake.</description>
					  <author>washawashaupupu@yahoo.com (Marshy Abdu)</author>
					  <pubDate>Sat, 28 Jul 2007 00:00:00 +0300</pubDate>
					 
					</item>

				

					<item>
					  <title>Serikali yakataa mabadiliko ya katiba</title>
					  <link>http://www.habaritanzania.com/articles/4051/1/Serikali-yakataa-mabadiliko-ya-katiba</link>
					  <description>LICHA ya madai kutoka kwa watu mbalimbali wakiwemo wanasiasa wa kambi ya upinzani na wanaharakati, serikali imesema haina mpango wa kuanzisha mjadala wa mabadiliko ya katiba ya nchi kwa sasa, imefahamika.</description>
					  <author>washawashaupupu@yahoo.com (Marshy Abdu)</author>
					  <pubDate>Sat, 28 Jul 2007 00:00:00 +0300</pubDate>
					 
					</item>

				

					<item>
					  <title>Gavana Balali apoza wabunge</title>
					  <link>http://www.habaritanzania.com/articles/4048/1/Gavana-Balali-apoza-wabunge</link>
					  <description>KAMATI ya Bunge ya Fedha na Uchumi, imepitisha mahesabu ya fedha ya Benki Kuu ya Tanzania (BoT) ya mwaka 2005/06, baada ya Gavana wake, Daudi Balali, kutoa majibu yaliyoiridhisha kamati hiyo.</description>
					  <author>info@habaritanzania.com (Habari Tanzania)</author>
					  <pubDate>Fri, 27 Jul 2007 00:00:00 +0300</pubDate>
					 
					</item>

				

					<item>
					  <title>Polisi wazima mapigano ya koo Tarime</title>
					  <link>http://www.habaritanzania.com/articles/4046/1/Polisi-wazima-mapigano-ya-koo-Tarime</link>
					  <description>POLISI wilayani Tarime Mkoa wa Mara, wamefanikiwa kuzima mapigano ya koo za Wanchari na Wakira, baada ya kuwakutanisha viongozi na wananchi wa pande zote katika eneo la mapigano la Nyabichune.</description>
					  <author>washawashaupupu@yahoo.com (Marshy Abdu)</author>
					  <pubDate>Fri, 27 Jul 2007 00:00:00 +0300</pubDate>
					 
					</item>

				

					<item>
					  <title>Balali ana kwa ana na Kamati ya Bunge</title>
					  <link>http://www.habaritanzania.com/articles/4044/1/Balali-ana-kwa-ana-na-Kamati-ya-Bunge</link>
					  <description>KAMATI ya Bunge ya Fedha na Uchumi, imeanza kumhoji Gavana wa Benki Kuu (BoT), Daudi Balali, kuhusu matumizi ya taasisi hiyo kwa mwaka wa fedha wa 2005/2006.</description>
					  <author>washawashaupupu@yahoo.com (Marshy Abdu)</author>
					  <pubDate>Thu, 26 Jul 2007 00:00:00 +0300</pubDate>
					 
					</item>

				

					<item>
					  <title>Waraka wa siri washtua vigogo wa polisi</title>
					  <link>http://www.habaritanzania.com/articles/4040/1/Waraka-wa-siri-washtua-vigogo-wa-polisi</link>
					  <description>WARAKA wa siri unaoonyesha kupanda kwa viwango vya mishahara kwa askari polisi kuanzia wale wenye vyeo vya chini hadi vya juu uliolifikia Tanzania Daima mwishoni mwa wiki iliyopita, umesababisha mtafaruku mkubwa ndani ya jeshi hilo.</description>
					  <author>washawashaupupu@yahoo.com (Marshy Abdu)</author>
					  <pubDate>Wed, 25 Jul 2007 00:00:00 +0300</pubDate>
					 
					</item>

				

					<item>
					  <title>CUF wajitoe katika mazungumzo haya</title>
					  <link>http://www.habaritanzania.com/articles/4035/1/CUF-wajitoe-katika-mazungumzo-haya</link>
					  <description>CHAMA cha Wananchi (CUF) kimewekwa njia panda na Chama Cha Mapinduzi (CCM) katika kutafuta suluhisho la kile ambacho Rais Jakaya Kikwete kwa kauli yake mwenyewe alikipachika jina la mpasuko wa kisiasa wa Zanzibar.</description>
					  <author>info@habaritanzania.com (Habari Tanzania)</author>
					  <pubDate>Tue, 24 Jul 2007 00:00:00 +0300</pubDate>
					 
					</item>

				

					<item>
					  <title>Ikulu yamjibu Mbowe</title>
					  <link>http://www.habaritanzania.com/articles/4034/1/Ikulu-yamjibu-Mbowe</link>
					  <description>OFISI ya Rais (Ikulu), imekanusha madai ya Mwenyekiti wa Taifa wa CHADEMA, Freeman Mbowe, aliyoyatoa mwishoni mwa wiki wakati akihutubia mkutano wa hadhara Sirari, wilayani Tarime.</description>
					  <author>info@habaritanzania.com (Habari Tanzania)</author>
					  <pubDate>Tue, 24 Jul 2007 00:00:00 +0300</pubDate>
					 
					</item>

				

					<item>
					  <title>Ujambazi watikisa Bunge</title>
					  <link>http://www.habaritanzania.com/articles/4033/1/Ujambazi-watikisa-Bunge</link>
					  <description>KAMBI ya upinzani bungeni imeonyesha wasiwasi wake na uwezo wa majeshi nchini kudhibiti mipaka ya nchi na kuishauri serikali kuchukua hatua za haraka kuhakikisha hali hiyo inarekebishwa.</description>
					  <author>info@habaritanzania.com (Habari Tanzania)</author>
					  <pubDate>Tue, 24 Jul 2007 00:00:00 +0300</pubDate>
					 
					</item>

				

					<item>
					  <title>Ni aibu kuambulia medali moja Algeria</title>
					  <link>http://www.habaritanzania.com/articles/4030/1/Ni-aibu-kuambulia-medali-moja-Algeria</link>
					  <description>MICHEZO ya Mataifa ya Afrika 'All African Games' inafikia tamati leo mjini Algiers, Algeria huku Tanzania ikiwa imepata medali moja ya fedha kati ya wanamichezo wake 21 walioiwakilisha.</description>
					  <author>info@habaritanzania.com (Habari Tanzania)</author>
					  <pubDate>Mon, 23 Jul 2007 00:00:00 +0300</pubDate>
					 
					</item>

				

					<item>
					  <title>Oldonyo Lengai bado yachemka</title>
					  <link>http://www.habaritanzania.com/articles/4029/1/Oldonyo-Lengai-bado-yachemka</link>
					  <description>MIALE ya moto mwekundu ulioambatana na matetemeko makubwa katika maeneo kuzunguka Mlima wa Oldonyo Lengai wenye volkano hai uliopo wilayani hapa, imeongeza wasiwasi kuwa volkano ya mlima huo inaweza kulipuka wakati wowote.</description>
					  <author>info@habaritanzania.com (Habari Tanzania)</author>
					  <pubDate>Mon, 23 Jul 2007 00:00:00 +0300</pubDate>
					 
					</item>

				

					<item>
					  <title>Zitto awatega CCM</title>
					  <link>http://www.habaritanzania.com/articles/4028/1/Zitto-awatega-CCM</link>
					  <description>MAFUNZO yaliyotokana na nia ya kutaka kuwasilisha hoja binafsi iliyotolewa na Mbunge wa Karatu, Dk. Willibrod Slaa, (CHADEMA) kuhusiana na tuhuma za ubadhirifu wa Benki Kuu (BoT), yameacha somo kubwa kwa wapinzani.</description>
					  <author>info@habaritanzania.com (Habari Tanzania)</author>
					  <pubDate>Mon, 23 Jul 2007 00:00:00 +0300</pubDate>
					 
					</item>

				

					<item>
					  <title>Makani amtaka JK amwondoe Balali</title>
					  <link>http://www.habaritanzania.com/articles/4026/1/Makani-amtaka-JK-amwondoe-Balali</link>
					  <description>ALIYEKUWA Kaimu Gavana wa Benki Kuu na mwanasheria mashuhuri nchini, Bob Makani, amemshauri Rais Jakaya Kikwete kumfuta kazi Gavana wa Benki Kuu ya Tanzania (BoT), Daud Balali.</description>
					  <author>washawashaupupu@yahoo.com (Marshy Abdu)</author>
					  <pubDate>Mon, 23 Jul 2007 00:00:00 +0300</pubDate>
					 
					</item>

				

					<item>
					  <title>HakiElimu wamewakosea nini yarabi?</title>
					  <link>http://www.habaritanzania.com/articles/4025/1/HakiElimu-wamewakosea-nini-yarabi%3F</link>
					  <description>MBONA mwatutangazia kiama cha uhuru wa habari wakati ndio kunakucha? Mwanakwetu wanatupeleka mbali hawa. Eti waheshimiwa kadhaa wamesikika wakitoa kilio chao kuhusu HakiElimu! My God! Dhambi ya hawa HakiElimu ni ipi hadi wawakilishi wa watu waone kama hawa jamaa hawastahili kutoa maoni? Mbona yapo mengi zaidi ya kuongea kuliko kushauri watu wazibwe vinywa wasiseme yaliyo katika sakafu ya nyoyo zao? Nasema huko simo mwanangu. </description>
					  <author>info@habaritanzania.com (Habari Tanzania)</author>
					  <pubDate>Sat, 21 Jul 2007 00:00:00 +0300</pubDate>
					 
					</item>

				

					<item>
					  <title>Majambazi ya NMB sasa yazua kizaazaa</title>
					  <link>http://www.habaritanzania.com/articles/4023/1/Majambazi-ya-NMB-sasa-yazua-kizaazaa</link>
					  <description>JINAMIZI la tukio la ujambazi lililotokea katika benki ya NMB, wilayani Mwanga mwishoni mwa wiki iliyopita, limeitikisa miji ya Arusha na Moshi.</description>
					  <author>info@habaritanzania.com (Habari Tanzania)</author>
					  <pubDate>Sat, 21 Jul 2007 00:00:00 +0300</pubDate>
					 
					</item>

				

					<item>
					  <title>Nauli zapanda rasmi</title>
					  <link>http://www.habaritanzania.com/articles/4022/1/Nauli-zapanda-rasmi</link>
					  <description>MAMLAKA ya Udhibiti wa Usafiri wa Anga, Nchi Kavu na Majini (SUMATRA) umetangaza rasmi kupanda kwa nauli mpya za usafiri wa mabasi ya masafa marefu na daladala.</description>
					  <author>info@habaritanzania.com (Habari Tanzania)</author>
					  <pubDate>Sat, 21 Jul 2007 00:00:00 +0300</pubDate>
					 
					</item>

				

					<item>
					  <title>Tatizo la wanafunzi Ukraine laibuka bungeni</title>
					  <link>http://www.habaritanzania.com/articles/4021/1/Tatizo-la-wanafunzi-Ukraine-laibuka-bungeni</link>
					  <description>KAMBI ya upinzani bungeni, imeitaka serikali kufanya uchunguzi wa kina kuhusu tatizo la wanafunzi zaidi ya 20 wa Kitanzania waliokwama nchini Ukraine kutokana na kushindwa kulipa ada na gharama nyingine za masomo. </description>
					  <author>washawashaupupu@yahoo.com (Marshy Abdu)</author>
					  <pubDate>Sat, 21 Jul 2007 00:00:00 +0300</pubDate>
					 
					</item>

				

					<item>
					  <title>Umeme wa Mbinga kugharimu dola mil 50</title>
					  <link>http://www.habaritanzania.com/articles/4020/1/Umeme-wa-Mbinga-kugharimu-dola-mil-50</link>
					  <description>UPANUZI wa umeme wa gridi ya taifa kutoka kituo cha Makambako hadi Songea na kisha kupeleka umeme huo Wilaya ya Mbinga, Namtumbo na Ludewa utagharimu dola milioni 50.</description>
					  <author>washawashaupupu@yahoo.com (Marshy Abdu)</author>
					  <pubDate>Sat, 21 Jul 2007 00:00:00 +0300</pubDate>
					 
					</item>

				

					<item>
					  <title>Mwinyi: Kosoeni viongozi</title>
					  <link>http://www.habaritanzania.com/articles/4019/1/Mwinyi%3A-Kosoeni-viongozi</link>
					  <description>WAKATI baadhi ya viongozi wa serikali wamekuwa wakionyesha kutokuwa wavumilivu kutokana na ukosoaji unaofanywa na vyombo vya habari, Rais mstaafu wa Awamu ya Pili ameibuka na msimamo tofauti na huo.</description>
					  <author>info@habaritanzania.com (Habari Tanzania)</author>
					  <pubDate>Fri, 20 Jul 2007 00:00:00 +0300</pubDate>
					 
					</item>

				

					<item>
					  <title>Samatta aaga kwa kishindo</title>
					  <link>http://www.habaritanzania.com/articles/4018/1/Samatta-aaga-kwa-kishindo</link>
					  <description>JAJI Mkuu wa Tanzania anayestaafu leo, Barnabas Samatta, amesema zama na chama kimoja na Bunge kushika hatamu zimepitwa na wakati.</description>
					  <author>info@habaritanzania.com (Habari Tanzania)</author>
					  <pubDate>Fri, 20 Jul 2007 00:00:00 +0300</pubDate>
					 
					</item>

				

					<item>
					  <title>Wakora wavamia watalii, wawapora</title>
					  <link>http://www.habaritanzania.com/articles/4016/1/Wakora-wavamia-watalii%2C-wawapora</link>
					  <description>KUNDI la watu wanaodhaniwa kuwa ni majambazi wamewavamia watalii sita na kuwapora vitu mbalimbali ikiwemo fedha taslimu katika eneo la Mto wa Mbu wilayani Monduli usiku wa kuamkia jana.</description>
					  <author>info@habaritanzania.com (Habari Tanzania)</author>
					  <pubDate>Thu, 19 Jul 2007 00:00:00 +0300</pubDate>
					 
					</item>

				

					<item>
					  <title>MwanaHALISI laichokoza tena serikali</title>
					  <link>http://www.habaritanzania.com/articles/4015/1/MwanaHALISI-laichokoza-tena-serikali</link>
					  <description>SERIKALI imemtaka mhariri wa gazeti la MwanaHALISI kutoa maelezo kwa nini gazeti hilo lisichukuliwe hatua kutokana na habari iliyochapishwa katika toleo lake la jana ambayo serikali imeifananisha na "lugha ya matusi na kebehi kwa viongozi wakuu wa taifa." </description>
					  <author>info@habaritanzania.com (Habari Tanzania)</author>
					  <pubDate>Thu, 19 Jul 2007 00:00:00 +0300</pubDate>
					 
					</item>

				

					<item>
					  <title>Wabunge kupimwa ukimwi Jumamosi</title>
					  <link>http://www.habaritanzania.com/articles/4014/1/Wabunge-kupimwa-ukimwi-Jumamosi</link>
					  <description>SPIKA wa Bunge, Samuel Sitta, jana alitangaza kuwa siku ya Jumamosi itakuwa ni maalumu kwa wabunge wote kupima afya zao kujua kama wameambukizwa virusi vinavyosababisha ukimwi au la.</description>
					  <author>info@habaritanzania.com (Habari Tanzania)</author>
					  <pubDate>Thu, 19 Jul 2007 00:00:00 +0300</pubDate>
					 
					</item>

				

					<item>
					  <title>Familia ya Nyerere 'yaigeuka' nyumba</title>
					  <link>http://www.habaritanzania.com/articles/4013/1/Familia-ya-Nyerere-%91yaigeuka%92-nyumba</link>
					  <description>KATIKA tukio la nadra, mjane wa Baba wa Taifa, Mwalimu Julius Nyerere, Mama Maria Nyerere, jana alikanusha madai ya mmoja wa watoto wake, kuhusu kukerwa na uamuzi wa kubomolewa kwa nyumba ya Magomeni, jijini Dar es Salaam, aliyopata kuishi na mumewe zaidi ya miaka 40 iliyopita.</description>
					  <author>info@habaritanzania.com (Habari Tanzania)</author>
					  <pubDate>Thu, 19 Jul 2007 00:00:00 +0300</pubDate>
					 
					</item>

				

					<item>
					  <title>Wananchi Dar wataka Karamagi ashughulikiwe</title>
					  <link>http://www.habaritanzania.com/articles/4011/1/Wananchi-Dar-wataka-Karamagi-ashughulikiwe</link>
					  <description>SIKU chache baada ya Mbunge wa Kigoma Kaskazini, Zitto Kabwe (Chadema) kuibua kashfa dhidi ya Waziri wa Nishati na Madini, Nazir Karamagi, kusaini mkataba wa madini nje ya nchi, baadhi ya wananchi wamependekeza kiundwe chombo ambacho kitawashinikiza viongozi wenye kashfa kulazimishwa kujiuzulu.</description>
					  <author>washawashaupupu@yahoo.com (Marshy Abdu)</author>
					  <pubDate>Thu, 19 Jul 2007 00:00:00 +0300</pubDate>
					 
					</item>

				

					<item>
					  <title>Jaji Augustino Ramadhani awa Jaji Mkuu mpya</title>
					  <link>http://www.habaritanzania.com/articles/4010/1/Jaji-Augustino-Ramadhani-awa-Jaji-Mkuu-mpya</link>
					  <description>RAIS Jakaya Kikwete, amemteua Jaji wa Mahakama ya Rufaa Tanzania, Augustino Steven Lawrence Ramadhani, kuwa Jaji Mkuu mpya wa Tanzania.</description>
					  <author>info@habaritanzania.com (Habari Tanzania)</author>
					  <pubDate>Wed, 18 Jul 2007 00:00:00 +0300</pubDate>
					 
					</item>

				

					<item>
					  <title>Kabwe ambana Karamagi</title>
					  <link>http://www.habaritanzania.com/articles/4009/1/Kabwe-ambana-Karamagi</link>
					  <description>MBUNGE wa Kigoma Kaskazini, Zitto Kabwe (CHADEMA), amelitaka Bunge kuunda kamati ya kuchunguza uamuzi wa Waziri wa Nishati na Madini, Nazir Karamagi, wa kusaini mkataba wa madini nje ya nchi.</description>
					  <author>info@habaritanzania.com (Habari Tanzania)</author>
					  <pubDate>Wed, 18 Jul 2007 00:00:00 +0300</pubDate>
					 
					</item>

				

					<item>
					  <title>Zanzibar wadai mgawo wa madini</title>
					  <link>http://www.habaritanzania.com/articles/4008/1/Zanzibar-wadai-mgawo-wa-madini</link>
					  <description>SUALA la mgawanyo wa rasilimali zinazohesabika kuwa ni za Muungano, linazidi kuchukua sura mpya kila siku na sasa wajumbe wa Baraza la Wawakilishi kutoka Chama cha Wananchi (CUF) wanataka Zanzibar ipatiwe mgawo kutokana na mapato ya madini kabla ya kuanza kuchimbwa kwa mafuta ya Zanzibar.</description>
					  <author>washawashaupupu@yahoo.com (Marshy Abdu)</author>
					  <pubDate>Wed, 18 Jul 2007 00:00:00 +0300</pubDate>
					 
					</item>

				

					<item>
					  <title>Mrema amwangusha tena Tao</title>
					  <link>http://www.habaritanzania.com/articles/4007/1/Mrema-amwangusha-tena-Tao</link>
					  <description>MWENYEKITI wa Tanzania Labour Party (TLP), Augustine Mrema, jana aliondoka katika Mahakama ya Hakimu Mkazi Kisutu, Dar es Salaam kifua mbele baada ya mahakama hiyo kufuta mashitaka dhidi yake.</description>
					  <author>washawashaupupu@yahoo.com (Marshy Abdu)</author>
					  <pubDate>Wed, 18 Jul 2007 00:00:00 +0300</pubDate>
					 
					</item>

				

					<item>
					  <title>Ongezeko la ada sekta ya utalii, kitanzi kwa kampuni za uwindaji</title>
					  <link>http://www.habaritanzania.com/articles/4005/1/Ongezeko-la-ada-sekta-ya-utalii%2C-kitanzi-kwa-kampuni-za-uwindaji</link>
					  <description>HIVI karibuni, Mwenyekiti wa Chama cha Wamiliki wa Makampuni ya Uwindaji Tanzania (TAHOA), ambaye pia ni Makamu wa Rais Mtendaji wa Mfuko wa Hifadhi ya Wanyamapori Tanzania na Mshauri wa Kujitolea wa Tanzania mjini Nice, Ufaransa, Gerard Pasanisi, mmoja wa watu walio mstari wa mbele katika kusaidia Tanzania ipate msaada kutoka Serikali ya Ufaransa kwa ajili ya kujenga Uwanja wa Ndege wa Kimataifa wa Dar es Salaam chini ya uongozi wa Valery Giscard d'sEstaing, alifanya mahojiano na mwandishi wetu juu ya masuala mbalimbali yanayohusiana na shughuli za uwindaji wa kitalii nchini Tanzania, ambazo yeye ni mmoja wa waasisi wake. Hapa anaeleza zaidi. </description>
					  <author>info@habaritanzania.com (Habari Tanzania)</author>
					  <pubDate>Tue, 17 Jul 2007 00:00:00 +0300</pubDate>
					 
					</item>

				

					<item>
					  <title>Bil. 4.5/- hutumika kuanzisha wilaya</title>
					  <link>http://www.habaritanzania.com/articles/4004/1/Bil.-4.5%7B47%7D--hutumika-kuanzisha-wilaya</link>
					  <description>SERIKALI imesema kuwa inatambua umuhimu wa kuzigawanya wilaya kiutawala lakini imekuwa ikishindwa kutekeleza zoezi hilo kutoka na ghama kubwa ambazo huhitajika katika kuanzisha wilaya mpya.</description>
					  <author>info@habaritanzania.com (Habari Tanzania)</author>
					  <pubDate>Tue, 17 Jul 2007 00:00:00 +0300</pubDate>
					 
					</item>

				

					<item>
					  <title>'Punda wa Yesu' afungwa</title>
					  <link>http://www.habaritanzania.com/articles/4002/1/%91Punda-wa-Yesu%92-afungwa</link>
					  <description>MCHUNGAJI Peter Gabriel na wenzake watatu waliotuhumiwa kufukua maiti ya Samweli Limbu wilayani Kahama wamehukumiwa kwenda jela miaka minne.</description>
					  <author>info@habaritanzania.com (Habari Tanzania)</author>
					  <pubDate>Tue, 17 Jul 2007 00:00:00 +0300</pubDate>
					 
					</item>

				

					<item>
					  <title>Tetemeko latikisa Arusha, Dodoma</title>
					  <link>http://www.habaritanzania.com/articles/4001/1/Tetemeko-latikisa-Arusha%2C-Dodoma</link>
					  <description>BAADHI ya maeneo ya Mkoa wa Arusha kwa siku mbili mfululizo, yamekumbwa na tetemeko la ardhi ambalo halijawahi kutokea katika maeneo hayo kwa miaka mingi.</description>
					  <author>info@habaritanzania.com (Habari Tanzania)</author>
					  <pubDate>Tue, 17 Jul 2007 00:00:00 +0300</pubDate>
					 
					</item>

				

					<item>
					  <title>Zitto Kabwe afichua siri</title>
					  <link>http://www.habaritanzania.com/articles/4000/1/Zitto-Kabwe-afichua-siri</link>
					  <description>MBUNGE wa Kigoma Kaskazini, Zitto Kabwe (CHADEMA), jana alikuwa mwiba mkali kwa Waziri wa Nishati na Madini, Nazir Karamagi.</description>
					  <author>info@habaritanzania.com (Habari Tanzania)</author>
					  <pubDate>Tue, 17 Jul 2007 00:00:00 +0300</pubDate>
					 
					</item>

				

					<item>
					  <title>Wabunge wamjia juu Waziri Karamagi mkataba mpya London</title>
					  <link>http://www.habaritanzania.com/articles/3999/1/Wabunge-wamjia-juu-Waziri-Karamagi-mkataba-mpya-London</link>
					  <description>WABUNGE wamedai kuwa suala la kupanda kwa mafuta na migodi mikubwa kumilikiwa na wageni kuwa ni ushauri mbovu na uzembe wa watendaji serikalini.</description>
					  <author>info@habaritanzania.com (Habari Tanzania)</author>
					  <pubDate>Mon, 16 Jul 2007 00:00:00 +0300</pubDate>
					 
					</item>

				

					<item>
					  <title>Mtikila ataka rais mstaafu aweze kushtakiwa</title>
					  <link>http://www.habaritanzania.com/articles/3998/1/Mtikila-ataka-rais-mstaafu-aweze-kushtakiwa</link>
					  <description>MWENYEKITI wa Chama cha Democratic (DP), Mchungaji Christopher Mtikila, ametangaza azma ya kufungua kesi mahakamani kuomba kufutwa kwa sheria zinazomlinda rais mstaafu asishtakiwe kwa maovu aliyoyafanya akiwa madarakani na Bunge limwachishe kazi rais aliye madarakani anapokiuka Katiba ya nchi.</description>
					  <author>info@habaritanzania.com (Habari Tanzania)</author>
					  <pubDate>Mon, 16 Jul 2007 00:00:00 +0300</pubDate>
					 
					</item>

				

					<item>
					  <title>Watanzania waanza kufunga mikanda</title>
					  <link>http://www.habaritanzania.com/articles/3996/1/Watanzania-waanza-kufunga-mikanda</link>
					  <description>ATHARI za kupanda kwa kodi katika bajeti iliyotangazwa hivi karibuni na Waziri wa Fedha, Zakia Meghji, sasa zimeanza kuwaumiza Watanzania licha ya kauli za kila mara zinazotolewa na serikali za kudhibiti ongezeko la bei ya mafuta.</description>
					  <author>washawashaupupu@yahoo.com (Marshy Abdu)</author>
					  <pubDate>Mon, 16 Jul 2007 00:00:00 +0300</pubDate>
					 
					</item>

				

					<item>
					  <title>Mbowe kumsomesha mtoto aliyeulizia helikopta</title>
					  <link>http://www.habaritanzania.com/articles/3993/1/Mbowe-kumsomesha-mtoto-aliyeulizia-helikopta</link>
					  <description>MWENYEKITI wa taifa wa Chama cha Demokrasia na Maendeleo (CHADEMA), Freeman Mbowe, ameahidi kumsomesha hadi ngazi ya chuo kikuu, Rwechuhura Gozbert.</description>
					  <author>info@habaritanzania.com (Habari Tanzania)</author>
					  <pubDate>Sat, 14 Jul 2007 00:00:00 +0300</pubDate>
					 
					</item>

				

					<item>
					  <title>Meghji awasikitisha Z'Bar</title>
					  <link>http://www.habaritanzania.com/articles/3992/1/Meghji-awasikitisha-Z%92Bar</link>
					  <description>WAZIRI wa Nchi Ofisi ya Rais Ikulu, Dk. Mwinyihaji Makame, amesema amesikitishwa na kitendo cha Waziri wa Fedha wa Serikali ya Muungano, Zakia Meghji kutotekeleza ahadi yake ya kusaidia bajeti ya Zanzibar katika mwaka wa fedha 2006/07 kama alivyoahidi.</description>
					  <author>info@habaritanzania.com (Habari Tanzania)</author>
					  <pubDate>Sat, 14 Jul 2007 00:00:00 +0300</pubDate>
					 
					</item>

				

					<item>
					  <title>Balali ashtua watu</title>
					  <link>http://www.habaritanzania.com/articles/3990/1/Balali-ashtua-watu</link>
					  <description>WANASIASA na wanaharakati kadhaa, wameeleza kusikitishwa kwao na msimamo wa Gavana wa Benki Kuu (BoT), Daudi Balali wa kukataa kujiuzulu wadhifa wake kutokana na tuhuma mbalimbazi zinazoelekezwa kwake.</description>
					  <author>info@habaritanzania.com (Habari Tanzania)</author>
					  <pubDate>Sat, 14 Jul 2007 00:00:00 +0300</pubDate>
					 
					</item>

				

					<item>
					  <title>White Sands Hotel yaiibia DAWASCO</title>
					  <link>http://www.habaritanzania.com/articles/3989/1/White-Sands-Hotel-yaiibia-DAWASCO</link>
					  <description>UONGOZI wa Hoteli ya White Sands Resort umetiwa mbaroni kwa tuhuma za kujipatia huduma ya maji kinyume cha taratibu na kuisababishia hasara Mamlaka ya Maji Safi na Maji Taka Mkoa wa Dar es Salaam (DAWASCO).</description>
					  <author>info@habaritanzania.com (Habari Tanzania)</author>
					  <pubDate>Sat, 14 Jul 2007 00:00:00 +0300</pubDate>
					 
					</item>

				

					<item>
					  <title>Wananchi robo tatu hawataki Shirikisho</title>
					  <link>http://www.habaritanzania.com/articles/3988/1/Wananchi-robo-tatu-hawataki-Shirikisho</link>
					  <description>ROBO tatu ya Watanzania waliohojiwa kuhusu haja ya kuharakishwa kwa uundwaji wa Shirikisho la Afrika Mashariki, wamepinga mpango huo.  &#160;</description>
					  <author>washawashaupupu@yahoo.com (Marshy Abdu)</author>
					  <pubDate>Sat, 14 Jul 2007 00:00:00 +0300</pubDate>
					 
					</item>

				

					<item>
					  <title>Jibrudishe lakini jihadari</title>
					  <link>http://www.habaritanzania.com/articles/3986/1/Jibrudishe-lakini-jihadari</link>
					  <description>Hapa kenya hatuna vibaka wakawaida; wetu ni mabinti waliopevuka na hawatasita kukupekua na kisha kukupora.    </description>
					  <author>thiongonick@yahoo.com (Nick Thiong'o)</author>
					  <pubDate>Sat, 14 Jul 2007 00:00:00 +0300</pubDate>
					 
					</item>

				

					<item>
					  <title>Taifa ombaomba lamkera Balali</title>
					  <link>http://www.habaritanzania.com/articles/3985/1/Taifa-ombaomba-lamkera-Balali</link>
					  <description>GAVANA wa Benki Kuu ya Tanzania (BoT), Daudi Balali, amesema moja ya udhaifu wa taifa kiuchumi umetokana na tabia ya kuomba bila aibu.</description>
					  <author>info@habaritanzania.com (Habari Tanzania)</author>
					  <pubDate>Fri, 13 Jul 2007 00:00:00 +0300</pubDate>
					 
					</item>

				

					<item>
					  <title>Kifo cha Amina Chifupa chaivuruga familia yake</title>
					  <link>http://www.habaritanzania.com/articles/3984/1/Kifo-cha-Amina-Chifupa-chaivuruga-familia-yake</link>
					  <description>KIFO cha aliyekuwa Mbunge wa Viti Maalum, Amina Chifupa (CCM), kinaonekana kuichanganya familia yake ambayo sasa imebadili mwelekeo wake wa awali, na kuanza kulihusisha tukio hilo na sababu za kishirikina.</description>
					  <author>info@habaritanzania.com (Habari Tanzania)</author>
					  <pubDate>Fri, 13 Jul 2007 00:00:00 +0300</pubDate>
					 
					</item>

				

					<item>
					  <title>Balali: Nimezushiwa</title>
					  <link>http://www.habaritanzania.com/articles/3982/1/Balali%3A-Nimezushiwa</link>
					  <description>GAVANA wa Benki Kuu ya Tanzania (BoT), Daudi Balali, amesema hatajiuzulu wadhifa wake kwani madai ya ubadhirifu yanayotolewa dhidi yake ni uzushi na uongo mtupu..</description>
					  <author>washawashaupupu@yahoo.com (Marshy Abdu)</author>
					  <pubDate>Fri, 13 Jul 2007 00:00:00 +0300</pubDate>
					 
					</item>

				

					<item>
					  <title>Singida yaongoza kwa umaskini</title>
					  <link>http://www.habaritanzania.com/articles/3981/1/Singida-yaongoza-kwa-umaskini</link>
					  <description>MKOA wa Singida, umeshika nafasi ya kwanza kwa umaskini uliokithiri hapa nchini katika kipindi cha mwaka mmoja. Hayo yamesemwa na Katibu Tawala Msaidizi wa huduma za uongozi na usimamizi, Sebastian Mundia,</description>
					  <author>washawashaupupu@yahoo.com (Marshy Abdu)</author>
					  <pubDate>Fri, 13 Jul 2007 00:00:00 +0300</pubDate>
					 
					</item>

				

					<item>
					  <title>Serikali yaonya wauaji wanaojifanya wananchi wenye &#65533;hasira kali&#65533;</title>
					  <link>http://www.habaritanzania.com/articles/3980/1/Serikali-yaonya-wauaji-wanaojifanya-wananchi-wenye-%26%2365533%3Bhasira-kali%26%2365533%3B</link>
					  <description>WAZIRI Mkuu, Edward Lowassa amesema kuwa serikali haitambui na haitawafumbia macho watu wanaoua wenzao kwa kisingizio cha kuwa na hasira kali.</description>
					  <author>info@habaritanzania.com (Habari Tanzania)</author>
					  <pubDate>Thu, 12 Jul 2007 00:00:00 +0300</pubDate>
					 
					</item>

				

					<item>
					  <title>Profesa kizimbani kwa kutishia kuua</title>
					  <link>http://www.habaritanzania.com/articles/3979/1/Profesa-kizimbani-kwa-kutishia-kuua</link>
					  <description>MHADHIRI Mwandamizi wa Chuo Kikuu cha Dar es Salaam, Profesa Haidary Amani, amefikishwa kizimbani katika Mahakama ya Hakimu Mkazi Wilaya ya Kinondoni kujibu shitaka la kutishia kuua.</description>
					  <author>info@habaritanzania.com (Habari Tanzania)</author>
					  <pubDate>Thu, 12 Jul 2007 00:00:00 +0300</pubDate>
					 
					</item>

				

					<item>
					  <title>Wabunge bado walia barabara, barabara</title>
					  <link>http://www.habaritanzania.com/articles/3978/1/Wabunge-bado-walia-barabara%2C-barabara</link>
					  <description>KAMA ni kilio cha barabara basi wabunge walitumia siku ya jana kila mmoja kwa staili yake, kuwasilisha kilio hicho huku baadhi wakitaka ujenzi wa barabara za lami nchini ufanywe kwa kuzingatia uchumi wa kijiografia.</description>
					  <author>info@habaritanzania.com (Habari Tanzania)</author>
					  <pubDate>Thu, 12 Jul 2007 00:00:00 +0300</pubDate>
					 
					</item>

				

					<item>
					  <title>Daladala zagomea safari Dar kwenda Morogoro</title>
					  <link>http://www.habaritanzania.com/articles/3977/1/Daladala-zagomea-safari-Dar-kwenda-Morogoro</link>
					  <description>WAMILIKI wa mabasi yanayotoa huduma katika mjini hapa, wamegoma kutoa huduma ya usafiri huo wakipinga kutoza nauli ya zamani kutokana na kupanda kwa bei ya mafuta.</description>
					  <author>info@habaritanzania.com (Habari Tanzania)</author>
					  <pubDate>Thu, 12 Jul 2007 00:00:00 +0300</pubDate>
					 
					</item>

				

					<item>
					  <title>Halmashauri kuongezewa fedha za barabara</title>
					  <link>http://www.habaritanzania.com/articles/3975/1/Halmashauri-kuongezewa-fedha-za-barabara</link>
					  <description>FEDHA za mifuko ya barabara katika halmashauri, zitaongezeka na kuongeza idadi ya barabara zitakazotengenezwa katika mwaka wa fedha 2007/08, Bunge limeelezwa.  &#160;</description>
					  <author>washawashaupupu@yahoo.com (Marshy Abdu)</author>
					  <pubDate>Thu, 12 Jul 2007 00:00:00 +0300</pubDate>
					 
					</item>

				

					<item>
					  <title>Maamuzi magumu tuliyoahidiwa yako wapi?</title>
					  <link>http://www.habaritanzania.com/articles/3973/1/Maamuzi-magumu-tuliyoahidiwa-yako-wapi%3F</link>
					  <description>ZIMETOLEWA ahadi nyingi lakini moja mbayo iliwashtua watu wengi na baadaye kuanza kuwafurahisha, ni ile iliyotolewa na Rais Jakaya Kikwete katika siku za mwanzo za utawala wake, akiwataka wananchi wajiandae kukabiliana na maamuzi magumu yatakayofanywa na serikali. </description>
					  <author>info@habaritanzania.com (Habari Tanzania)</author>
					  <pubDate>Wed, 11 Jul 2007 00:00:00 +0300</pubDate>
					 
					</item>

				

					<item>
					  <title>Tatizo si HakiElimu ni wanasiasa waoga</title>
					  <link>http://www.habaritanzania.com/articles/3971/1/Tatizo-si-HakiElimu-ni-wanasiasa-waoga</link>
					  <description>MIAKA zaidi ya 10 iliyopita, msomi maarufu nchini na mchambuzi wa masuala ya kisiasa na kisheria, Profesa Issa Shivji, alisema: "Wanasiasa hawapendi siasa, wanapenda madaraka." </description>
					  <author>info@habaritanzania.com (Habari Tanzania)</author>
					  <pubDate>Wed, 11 Jul 2007 00:00:00 +0300</pubDate>
					 
					</item>

				

					<item>
					  <title>Ulinzi watetea uamuzi wa kununua helikopta</title>
					  <link>http://www.habaritanzania.com/articles/3970/1/Ulinzi-watetea-uamuzi-wa-kununua-helikopta</link>
					  <description>SIKU chache baada ya Kampuni ya Khaisa Enterprises Ltd kufungua kesi ya madai ya fidia ya sh bilioni 16.8 dhidi ya serikali kwa madai ya kuvunjwa kwa mkataba wa kununua helikopta sita za Jeshi la Wananchi wa Tanzania (JWTZ), Wizara ya Ulinzi na Jeshi la kujenga Taifa, imeibuka na kuiponda kampuni hiyo.</description>
					  <author>info@habaritanzania.com (Habari Tanzania)</author>
					  <pubDate>Wed, 11 Jul 2007 00:00:00 +0300</pubDate>
					 
					</item>

				

					<item>
					  <title>Waliopandisha mafuta kubanwa</title>
					  <link>http://www.habaritanzania.com/articles/3969/1/Waliopandisha-mafuta-kubanwa</link>
					  <description>MAMLAKA ya Udhibiti wa Usafiri wa Majini na Nchi Kavu (SUMATRA), imepanga kukutana na Mamlaka ya Udhibiti wa Matumizi ya Maji, Nishati na Mazingira (EWURA), ili kupanga mikakati ya pamoja ya kuwabana wauzaji wa mafuta kupunguza bei ya nishati hiyo.</description>
					  <author>info@habaritanzania.com (Habari Tanzania)</author>
					  <pubDate>Wed, 11 Jul 2007 00:00:00 +0300</pubDate>
					 
					</item>

				

					<item>
					  <title>HakiElimu yaifumua bajeti ya elimu nchini</title>
					  <link>http://www.habaritanzania.com/articles/3968/1/HakiElimu-yaifumua-bajeti-ya-elimu-nchini</link>
					  <description>SIKU moja baada ya wabunge wawili wa Chama Cha Mapinduzi (CCM) kuitaka serikali ichukue hatua kali dhidi ya HakiElimu, taasisi hiyo imeibuka na kusema fedha nyingi zinazotengwa kwa ajili ya maendeleo ya elimu nchini hazitumiki ipasavyo.</description>
					  <author>info@habaritanzania.com (Habari Tanzania)</author>
					  <pubDate>Wed, 11 Jul 2007 00:00:00 +0300</pubDate>
					 
					</item>

				

					<item>
					  <title>Wapinzani: Elimu sasa bidhaa</title>
					  <link>http://www.habaritanzania.com/articles/3967/1/Wapinzani%3A-Elimu-sasa-bidhaa</link>
					  <description>KAMBI ya Upinzani bungeni imeilaumu serikali kwa kusababisha elimu igeuke kutoka kuwa huduma muhimu kijamii na kuwa bidhaa.</description>
					  <author>info@habaritanzania.com (Habari Tanzania)</author>
					  <pubDate>Tue, 10 Jul 2007 00:00:00 +0300</pubDate>
					 
					</item>

				

					<item>
					  <title>Daktari mbaroni akidaiwa kuua</title>
					  <link>http://www.habaritanzania.com/articles/3966/1/Daktari-mbaroni-akidaiwa-kuua</link>
					  <description>DAKTARI Catherine Mng'ong'o (46) na wenzake watatu jana walipandishwa kizimbani katika Mahakama ya Hakimu Mkazi Kisutu, kwa tuhuma za mauaji ya mfanyabiashara Leonard Chandika.</description>
					  <author>info@habaritanzania.com (Habari Tanzania)</author>
					  <pubDate>Tue, 10 Jul 2007 00:00:00 +0300</pubDate>
					 
					</item>

				

					<item>
					  <title>Seleli aapa kuwabana Chenge, Karamagi</title>
					  <link>http://www.habaritanzania.com/articles/3959/1/Seleli-aapa-kuwabana-Chenge%2C-Karamagi</link>
					  <description>MBUNGE wa Nzega (CCM), Lucas Selelii, amesema bado hajabadili msimamo wake wa kuzibana Wizara za Miundombinu na Nishati na Madini licha ya serikali kutenga fungu kwa ujenzi wa barabara ya kati Dodoma-Singida.</description>
					  <author>info@habaritanzania.com (Habari Tanzania)</author>
					  <pubDate>Mon, 09 Jul 2007 00:00:00 +0300</pubDate>
					 
					</item>

				

					<item>
					  <title>Kero za kivuko Dar zina mkono wa Mfanyabiashara</title>
					  <link>http://www.habaritanzania.com/articles/3958/1/Kero-za-kivuko-Dar-zina-mkono-wa-Mfanyabiashara</link>
					  <description>WAKATI usalama wa mali na maisha ya abiria wanaosafiri kati ya Magogoni na Kigamboni jijini Dar es Salaam ukiwa hatarini kutokana na vivuko vya serikali kuwa vibovu, mfanyabiashara maarufu nchini kwa kushirikiana na baadhi ya vigogo wa miundombinu amekwamisha uagizaji wa kivuko cha kukodi cha sh 2 bilioni, akitaka zabuni hiyo apewe yeye.</description>
					  <author>info@habaritanzania.com (Habari Tanzania)</author>
					  <pubDate>Mon, 09 Jul 2007 00:00:00 +0300</pubDate>
					 
					</item>

				

					<item>
					  <title>RVF: Waziri akiri hali ni mbaya</title>
					  <link>http://www.habaritanzania.com/articles/3957/1/RVF%3A-Waziri-akiri-hali-ni-mbaya</link>
					  <description>WAZIRI wa Afya na Ustawi wa Jamii, Profesa David Mwakyusa, amekiri kuwa Hospitali ya Mkoa wa Dodoma imezidiwa na wagonjwa wa homa ya Bonde la Ufa (RVF) na kuwa wamelazimika kuchukua wauguzi wanafunzi wa Chuo Mirembe mkoani hapa kusaidia. </description>
					  <author>info@habaritanzania.com (Habari Tanzania)</author>
					  <pubDate>Mon, 09 Jul 2007 00:00:00 +0300</pubDate>
					 
					</item>

				

					<item>
					  <title>Hamad Rashid aokoa nyumba yake kunadiwa</title>
					  <link>http://www.habaritanzania.com/articles/3956/1/Hamad-Rashid-aokoa-nyumba-yake-kunadiwa</link>
					  <description>KIONGOZI wa Kambi ya Upinzani katika Bunge la Jamhuri ya Muungano, Hamad Rashid Mohamed, ameinusuru nyumba yake kupigwa mnada uliopangwa kufanyika kesho kwa kile kilichodaiwa kuwa ni kushindwa kulipa mkopo wa mamilioni ya fedha alizokopa katika benki moja ya jijini Dar es Salaam.</description>
					  <author>washawashaupupu@yahoo.com (Marshy Abdu)</author>
					  <pubDate>Mon, 09 Jul 2007 00:00:00 +0300</pubDate>
					 
					</item>

				

					<item>
					  <title>Bunda watumia bil. 3.4/- elimu</title>
					  <link>http://www.habaritanzania.com/articles/3955/1/Bunda-watumia-bil.-3.4%7B47%7D--elimu</link>
					  <description>IDARA ya elimu katika Halmashauri ya Wilaya ya Bunda, mkoani Mara, imetumia zaidi ya sh bilioni 3.4 kwa ajili ya ujenzi wa nyumba za walimu na shughuli za maendeleo ya elimu kwa kipindi cha miaka mitano.</description>
					  <author>washawashaupupu@yahoo.com (Marshy Abdu)</author>
					  <pubDate>Mon, 09 Jul 2007 00:00:00 +0300</pubDate>
					 
					</item>

				

					<item>
					  <title>Amuua mamaye msibani</title>
					  <link>http://www.habaritanzania.com/articles/3953/1/Amuua-mamaye-msibani</link>
					  <description>MKAZI wa Kijiji cha Mwamalili, wilayani Shinyanga, Mande Manyanya (22), anashikiliwa na polisi kwa tuhuma za kumuua mama yake mzazi akiwa msibani.</description>
					  <author>info@habaritanzania.com (Habari Tanzania)</author>
					  <pubDate>Sat, 07 Jul 2007 00:00:00 +0300</pubDate>
					 
					</item>

				

					<item>
					  <title>Amuua mamaye msibani</title>
					  <link>http://www.habaritanzania.com/articles/3952/1/Amuua-mamaye-msibani</link>
					  <description>MKAZI wa Kijiji cha Mwamalili, wilayani Shinyanga, Mande Manyanya (22), anashikiliwa na polisi kwa tuhuma za kumuua mama yake mzazi akiwa msibani.</description>
					  <author>info@habaritanzania.com (Habari Tanzania)</author>
					  <pubDate>Sat, 07 Jul 2007 00:00:00 +0300</pubDate>
					 
					</item>

				

					<item>
					  <title>Serikali Kuu mahakamani</title>
					  <link>http://www.habaritanzania.com/articles/3948/1/Serikali-Kuu-mahakamani</link>
					  <description>KAMPUNI ya Khaisa Enterprises Ltd imefungua kesi ya kudai fidia sh bilioni 16.8 dhidi ya serikali kwa madai ya kuvunja mkataba wa kununua helikopta sita za Jeshi la Wananchi wa Tanzania (JWTZ).</description>
					  <author>washawashaupupu@yahoo.com (Marshy Abdu)</author>
					  <pubDate>Fri, 06 Jul 2007 00:00:00 +0300</pubDate>
					 
					</item>

				

					<item>
					  <title>Barua kwa vijana wa Tanzania</title>
					  <link>http://www.habaritanzania.com/articles/3940/1/Barua-kwa-vijana-wa-Tanzania</link>
					  <description>Leo nimeona niwasiliane nanyi kupitia safu hii. Wengi wenu mnanifuatilia vipindi vyangu vya luninga na kwenye safu hii hasa mfululizo wa makala saba zilizotangulia kuhusu haja ya chama tawala kuwa na taswira mpya. </description>
					  <author>info@habaritanzania.com (Habari Tanzania)</author>
					  <pubDate>Fri, 06 Jul 2007 00:00:00 +0300</pubDate>
					 
					</item>

				

					<item>
					  <title>Mtanunua mashangingi mangapi?</title>
					  <link>http://www.habaritanzania.com/articles/3939/1/Mtanunua-mashangingi-mangapi%3F</link>
					  <description>OFISI ya Waziri Mkuu, Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa (TAMISEMI), hivi karibuni imewaeleza wabunge kuwa serikali haijatenga fedha katika bajeti yake ya mwaka huu kwa ajili ya kununulia magari ya wagonjwa katika halmashauri. </description>
					  <author>info@habaritanzania.com (Habari Tanzania)</author>
					  <pubDate>Fri, 06 Jul 2007 00:00:00 +0300</pubDate>
					 
					</item>

				

					<item>
					  <title>Lowassa; tumejifunza kitu msongamano Dar</title>
					  <link>http://www.habaritanzania.com/articles/3938/1/Lowassa%3B-tumejifunza-kitu-msongamano-Dar</link>
					  <description>TATIZO la msongamano mkubwa wa magari katika maeneo mbalimbali ya Jiji la Dar es Salaam na sehemu nyingine nchini limekuwa ni tatizo linaloumiza vichwa vya watumiaji wengi wa barabara akiwamo Waziri Mkuu, Edward Lowassa.</description>
					  <author>info@habaritanzania.com (Habari Tanzania)</author>
					  <pubDate>Fri, 06 Jul 2007 00:00:00 +0300</pubDate>
					 
					</item>

				

					<item>
					  <title>Polisi wanasa madereva, leseni feki</title>
					  <link>http://www.habaritanzania.com/articles/3937/1/Polisi-wanasa-madereva%2C-leseni-feki</link>
					  <description>JESHI la Polisi nchini limefanikiwa kukamata madereva na leseni feki wakati wa ukaguzi wa leseni na kuhakiki uzima wa magari hayo ili kukabiliana na tatizo la ajali.</description>
					  <author>info@habaritanzania.com (Habari Tanzania)</author>
					  <pubDate>Fri, 06 Jul 2007 00:00:00 +0300</pubDate>
					 
					</item>

				

					<item>
					  <title>Serikali haijateua mzabuni kutengeneza vitambulisho</title>
					  <link>http://www.habaritanzania.com/articles/3936/1/Serikali-haijateua-mzabuni-kutengeneza-vitambulisho</link>
					  <description>SERIKALI bado haijateua mzabuni wa kutengeneza vitambulisho vya taifa nchini na kwamba kazi hiyo itasimamiwa na taasisi ya vitambulisho vya taifa iliyoanzishwa nchini.</description>
					  <author>info@habaritanzania.com (Habari Tanzania)</author>
					  <pubDate>Fri, 06 Jul 2007 00:00:00 +0300</pubDate>
					 
					</item>

				

					<item>
					  <title>Muungano majaribuni</title>
					  <link>http://www.habaritanzania.com/articles/3935/1/Muungano-majaribuni</link>
					  <description>SERIKALI inamtafuta mshauri mwelekezaji atakayeishauri kuhusu mgawanyo wa mafuta yanayoonyesha dalili kubwa ya kugundulika nchini, kati ya Serikali ya Muungano na ile ya Mapinduzi Zanzibar.</description>
					  <author>info@habaritanzania.com (Habari Tanzania)</author>
					  <pubDate>Fri, 06 Jul 2007 00:00:00 +0300</pubDate>
					 
					</item>

				

					<item>
					  <title>Slaa afufua mzuka wa Richmond tena</title>
					  <link>http://www.habaritanzania.com/articles/3934/1/Slaa-afufua-mzuka-wa-Richmond-tena</link>
					  <description>MBUNGE wa Karatu, Dk. Willibrod Slaa (CHADEMA), ameibua upya sakata la zabuni ya kampuni ya kuzalisha umeme wa dharura ya Richmond Development Company (RDC) ambalo lilitangazwa kufungwa na Taasisi ya Kuzuia Rushwa (TAKURU).</description>
					  <author>info@habaritanzania.com (Habari Tanzania)</author>
					  <pubDate>Fri, 06 Jul 2007 00:00:00 +0300</pubDate>
					 
					</item>

				

					<item>
					  <title>Lowassa ajifunze kwa Gordon Brown</title>
					  <link>http://www.habaritanzania.com/articles/3933/1/Lowassa-ajifunze-kwa-Gordon-Brown</link>
					  <description>WIKI iliyopita dunia ilishuhudia Uingereza ikimpata Waziri Mkuu mpya, Gordon Brown. Halikuwa ni jambo la kushtukiza kwa sababu tangu mwaka 1997 Waziri Mkuu aliyeondoka, Tony Blair, uvumi ulitanda kwamba viongozi hao walikuwa wamekubaliana jinsi ya kuachiana madaraka.</description>
					  <author>info@habaritanzania.com (Habari Tanzania)</author>
					  <pubDate>Wed, 04 Jul 2007 00:00:00 +0300</pubDate>
					 
					</item>

				

					<item>
					  <title>Mbowe: Tunatawaliwa na wakoloni weusi</title>
					  <link>http://www.habaritanzania.com/articles/3931/1/Mbowe%3A-Tunatawaliwa-na-wakoloni-weusi</link>
					  <description>VIONGOZI wa vyama vinne vikuu vya upinzani wamehitimisha ziara yao ya siku 16 mikoani kwa kutoa hotuba nzito ambazo zinaweza kuliweka taifa katika mwelekeo tofauti kabisa miaka michache ijayo.</description>
					  <author>info@habaritanzania.com (Habari Tanzania)</author>
					  <pubDate>Wed, 04 Jul 2007 00:00:00 +0300</pubDate>
					 
					</item>

				

					<item>
					  <title>Kingunge ayakanyaga makombora ya CUF</title>
					  <link>http://www.habaritanzania.com/articles/3930/1/Kingunge-ayakanyaga-makombora-ya-CUF</link>
					  <description>WAZIRI wa Nchi katika Ofisi ya Rais anayeshughulikia Siasa na Mahusiano ya Jamii, Kingunge Ngombale-Mwiru, ameleeza kushangazwa na hatua ya wapinzani ya kutaka kuharakishwa kwa mazungumzo ya kutafuta muafaka wa kisiasa wa Zanzibar.</description>
					  <author>info@habaritanzania.com (Habari Tanzania)</author>
					  <pubDate>Wed, 04 Jul 2007 00:00:00 +0300</pubDate>
					 
					</item>

				

					<item>
					  <title>Kikwete akerwa na walinzi wake</title>
					  <link>http://www.habaritanzania.com/articles/3928/1/Kikwete-akerwa-na-walinzi-wake</link>
					  <description>RAIS Jakaya Kikwete jana alilazimika kuingilia kati na kuwataka walinzi wake waache kuwabughudhi wapiga picha ambao walikwenda kutekeleza majukumu yao katika mapokezi ya Rais wa Msumbiji, Armando Guebuza.</description>
					  <author>washawashaupupu@yahoo.com (Marshy Abdu)</author>
					  <pubDate>Wed, 04 Jul 2007 00:00:00 +0300</pubDate>
					 
					</item>

				

					<item>
					  <title>Serikali kurejesha baadhi ya kodi</title>
					  <link>http://www.habaritanzania.com/articles/3921/1/Serikali-kurejesha-baadhi-ya-kodi</link>
					  <description>MSIMAMO ulioonyeshwa na wabunge kuhusiana na posho za madiwani, umeilazimisha serikali kuangalia uwezekano wa kurejesha baadhi ya kodi zilizofutwa.</description>
					  <author>info@habaritanzania.com (Habari Tanzania)</author>
					  <pubDate>Tue, 03 Jul 2007 00:00:00 +0300</pubDate>
					 
					</item>

				

					<item>
					  <title>"Waziri Kiongozi mwoga"</title>
					  <link>http://www.habaritanzania.com/articles/3920/1/%93Waziri-Kiongozi-mwoga%94</link>
					  <description>BAADHI ya wajumbe wa Baraza la Wawakilishi Zanzibar, wamemlaumu Waziri Kiongozi, Shamsi Vuai Nahodha, kwa kushindwa kusimamia kazi zake ipasavyo na kuonyesha woga kwa watendaji walio chini yake.</description>
					  <author>info@habaritanzania.com (Habari Tanzania)</author>
					  <pubDate>Tue, 03 Jul 2007 00:00:00 +0300</pubDate>
					 
					</item>

				

					<item>
					  <title>Mafuta, nauli zapanda</title>
					  <link>http://www.habaritanzania.com/articles/3919/1/Mafuta%2C-nauli-zapanda</link>
					  <description>IKIWA leo ni siku ya tatu tangu kuanza kwa mwaka mpya wa fedha wa 2007/08, machungu ya bajeti yanaonekana kuanza kupanda kidogo kidogo kutokana na kupanda kwa bei ya bidhaa za petroli na nauli za mabasi, Tanzania Daima imethibitisha.</description>
					  <author>info@habaritanzania.com (Habari Tanzania)</author>
					  <pubDate>Tue, 03 Jul 2007 00:00:00 +0300</pubDate>
					 
					</item>

				

					<item>
					  <title>Lowassa: Tuhuma BoT zinashitusha</title>
					  <link>http://www.habaritanzania.com/articles/3918/1/Lowassa%3A-Tuhuma-BoT-zinashitusha</link>
					  <description>WAZIRI Mkuu, Edward Lowassa, amesema serikali imeshtushwa na kusikitishwa na kuwapo kwa tuhuma za ubadhirifu wa mabilioni ya fedha katika Benki Kuu (BoT).</description>
					  <author>info@habaritanzania.com (Habari Tanzania)</author>
					  <pubDate>Tue, 03 Jul 2007 00:00:00 +0300</pubDate>
					 
					</item>

				

					<item>
					  <title>Musoma waanza kuonja makali ya bajeti</title>
					  <link>http://www.habaritanzania.com/articles/3914/1/Musoma-waanza-kuonja-makali-ya-bajeti</link>
					  <description>WAKAZI wa Manispaa ya Musoma, mkoani Mara, wameanza kuonja makali ya bajeti ya mwaka 2007/08 baada ya kupanda kwa bei ya dizeli na petroli katika vituo mbalimbali vya mafuta mjini hapa, hivyo kusababisha nauli na bidhaa mbalimbali muhimu kupanda pia.</description>
					  <author>info@habaritanzania.com (Habari Tanzania)</author>
					  <pubDate>Mon, 02 Jul 2007 00:00:00 +0300</pubDate>
					 
					</item>

				

					<item>
					  <title>Kandoro, wapiga debe wazua jambo Dar</title>
					  <link>http://www.habaritanzania.com/articles/3913/1/Kandoro%2C-wapiga-debe-wazua-jambo-Dar</link>
					  <description>MAENEO mbalimbali ya Jiji la Dar es Salaam jana yaligeuka uwanja wa vita baada ya zoezi la kuondoa wapiga debe kuanza kutekelezwa na uongozi wa jiji.</description>
					  <author>info@habaritanzania.com (Habari Tanzania)</author>
					  <pubDate>Mon, 02 Jul 2007 00:00:00 +0300</pubDate>
					 
					</item>

				

					<item>
					  <title>Wizi ofisi ya Bunge</title>
					  <link>http://www.habaritanzania.com/articles/3912/1/Wizi-ofisi-ya-Bunge</link>
					  <description>SIKU chache baada ya kuripotiwa kutokea wizi katika Wizara ya Miundombinu bila kuvunjwa mlango, wizi mwingine wa aina hiyo umetokea katika Ofisi ya Katibu wa Bunge la Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Damian Foka.</description>
					  <author>info@habaritanzania.com (Habari Tanzania)</author>
					  <pubDate>Mon, 02 Jul 2007 00:00:00 +0300</pubDate>
					 
					</item>

				

					<item>
					  <title>'Osama' amkera Lowassa Dodoma</title>
					  <link>http://www.habaritanzania.com/articles/3911/1/%91Osama%92-amkera-Lowassa-Dodoma</link>
					  <description>WAZIRI Mkuu, Edward Lowassa, ameliagiza Jeshi la Polisi wilayani Mpwapwa, Dodoma, kumkamata Mwenyekiti wa Kijiji cha Kibakwe, Laurian Ngingo 'Osama' kwa tuhuma za kuhujumu mali za kijiji.</description>
					  <author>info@habaritanzania.com (Habari Tanzania)</author>
					  <pubDate>Mon, 02 Jul 2007 00:00:00 +0300</pubDate>
					 
					</item>

				

					<item>
					  <title>Hoja ya Mbunge Slaa bado yaishumbua Serikali</title>
					  <link>http://www.habaritanzania.com/articles/3909/1/Hoja-ya-Mbunge-Slaa-bado-yaishumbua-Serikali</link>
					  <description>HOJA zilizotolewa bungeni na Mbunge wa Karatu, Dk Wilbroad Slaa zinaonekana kuendelea kuisumbua serikali baada ya mawaziri wawili kuwasilisha hoja za kumpinga kabla ya Waziri Mkuu, Edward Lowassa kutoa maelezo juu ya kauli ya Dk Slaa.</description>
					  <author>info@habaritanzania.com (Habari Tanzania)</author>
					  <pubDate>Sun, 01 Jul 2007 00:00:00 +0300</pubDate>
					 
					</item>

				

					<item>
					  <title>Polisi wadaiwa kumvunja miguu, mikono raia</title>
					  <link>http://www.habaritanzania.com/articles/3907/1/Polisi-wadaiwa-kumvunja-miguu%2C-mikono-raia</link>
					  <description>POLISI wawili wa Kituo cha Polisi Katoro, wilayani Geita, wanadaiwa kumpiga na kumvunja miguu na mikono raia mmoja mkazi wa kijiji cha Katoro, Tarafa ya Butundwe wilayani hapa, kisa kikidaiwa kuwa ni ugomvi wa kugombea mwanamke baa.</description>
					  <author>info@habaritanzania.com (Habari Tanzania)</author>
					  <pubDate>Sun, 01 Jul 2007 00:00:00 +0300</pubDate>
					 
					</item>

				

					<item>
					  <title>Vyama vyasaka mwarobaini wa Uzanzibari, Upemba</title>
					  <link>http://www.habaritanzania.com/articles/3906/1/Vyama-vyasaka-mwarobaini-wa-Uzanzibari%2C-Upemba</link>
					  <description>VYAMA vya siasa nchini vimeweka mkakati wa kuhakikisha vinaondoa na au kupunguza hisia za uzanzibari na upemba kama tiba ya hali ya kutokuelewana kisiasa visiwani Zanzibar.</description>
					  <author>info@habaritanzania.com (Habari Tanzania)</author>
					  <pubDate>Sun, 01 Jul 2007 00:00:00 +0300</pubDate>
					 
					</item>

				

					<item>
					  <title>Amina Chifupa: Maisha, Misukosuko hadi kifo</title>
					  <link>http://www.habaritanzania.com/articles/3905/1/Amina-Chifupa%3A-Maisha%2C-Misukosuko-hadi-kifo</link>
					  <description>SAFARI ya maisha na hatimaye kifo cha Mbunge kijana, Amina Chifupa, kinaelezwa kujumuisha misukosuko, harakati zilizoanza tangu kuzaliwa kwake hadi mauti yalipomfika mwanzoni mwa wiki hii. </description>
					  <author>info@habaritanzania.com (Habari Tanzania)</author>
					  <pubDate>Sun, 01 Jul 2007 00:00:00 +0300</pubDate>
					 
					</item>

				

					<item>
					  <title>Bunge la Bajeti 2007/08: Maswali mgeni majibu haba</title>
					  <link>http://www.habaritanzania.com/articles/3904/1/Bunge-la-Bajeti-2007%7B47%7D08%3A-Maswali-mgeni-majibu-haba</link>
					  <description>KUMEKUWEPO na hali inayozua maswali kuhusu utata unaoibuka katika mkutano wa nane wa Bunge unaoendelea mjini Dodoma, hasa kutokana na hoja kali kuibuliwa na kisha kupooza haraka. </description>
					  <author>info@habaritanzania.com (Habari Tanzania)</author>
					  <pubDate>Sun, 01 Jul 2007 00:00:00 +0300</pubDate>
					 
					</item>

				

					<item>
					  <title>Mbunge: Tusisomeshe wahasibu, watatuibia</title>
					  <link>http://www.habaritanzania.com/articles/3903/1/Mbunge%3A-Tusisomeshe-wahasibu%2C-watatuibia</link>
					  <description>MBUNGE wa Koani, Haroub Said Masoud (CCM), am