<?xml version="1.0" encoding="utf-8"?><?xml-stylesheet href="http://www.habaritanzania.com/templates/Default/RssDisplay.xslt" type="text/xsl"?>
		<rss version="2.0">
		  <channel>
				<title>Habari Tanzania - Articles - Habari za Kitaifa</title>
				<link>http://www.habaritanzania.com</link>
				<description />
				<language>en-us</language>
				<copyright>http://www.habaritanzania.com</copyright>
				<generator>N/A</generator>
				<webMaster>info@habaritanzania.com</webMaster>
				<lastBuildDate>Sun, 05 Feb 2012 13:58:23 -0600</lastBuildDate>
				<ttl>20</ttl>

					<item>
					  <title>Ban Ki-Moon atishwa Dar</title>
					  <link>http://www.habaritanzania.com/articles/4295/1/Ban-Ki-Moon-atishwa-Dar</link>
					  <description>WAKATI Katibu Mkuu wa Umoja wa Mataifa (UN), Ban Ki-Moon akitarajia kutua nchini kesho kwa ziara ya kikazi ya siku tatu, serikali imefichua mpango wa baadhi ya Watanzania kuihujumu ziara hiyo.</description>
					  <author>washawashaupupu@yahoo.com (Marshy Abdu)</author>
					  <pubDate>Wed, 25 Feb 2009 00:00:00 -0600</pubDate>
					 
					</item>

				

					<item>
					  <title>Maskini Liyumba</title>
					  <link>http://www.habaritanzania.com/articles/4294/1/Maskini-Liyumba</link>
					  <description>                         MAHAKAMA ya Hakimu Mkazi Kisutu Dar es Salaam, jana ilimfutia dhamana aliyekuwa Mkurugenzi wa Utumishi na Utawala wa Benki Kuu (BoT), Amatus Liyumba, ambaye ni mshitakiwa wa kwanza katika kesi ya matumizi mabaya ya ofisi za umma na kusababisha hasara ya sh bilioni 221, baada ya kubaini kuwa aliidanganya mahakama.         &#160;</description>
					  <author>washawashaupupu@yahoo.com (Marshy Abdu)</author>
					  <pubDate>Wed, 25 Feb 2009 00:00:00 -0600</pubDate>
					 
					</item>

				

					<item>
					  <title>BARUA KWA WASOMAJI WA HABARI TANZANIA</title>
					  <link>http://www.habaritanzania.com/articles/4293/1/BARUA-KWA-WASOMAJI-WA-HABARI-TANZANIA</link>
					  <description>UFUATAO NI TAMKO TOKA UONGOZI WA TOVUTI YA HABARI TANZANIA</description>
					  <author>info@habaritanzania.com (Habari Tanzania)</author>
					  <pubDate>Sat, 22 Nov 2008 00:00:00 -0600</pubDate>
					 
					</item>

				

					<item>
					  <title>Kama Zanzibar si nchi, Tanganyika ilijiunga na wilaya?</title>
					  <link>http://www.habaritanzania.com/articles/4291/1/Kama-Zanzibar-si-nchi%2C-Tanganyika-ilijiunga-na-wilaya%3F</link>
					  <description>BABA wa Taifa, Mwalimu Julius Nyerere, alikuwa mtu mwenye kanuni ya kujikosoa. Nadhani ni kanuni hiyo iliyomfanya afe akiwa kipenzi cha wote wakiwamo hata wale ambao kwa namna moja au nyingine walibanwa na wadhifa wake.</description>
					  <author>washawashaupupu@yahoo.com (Marshy Abdu)</author>
					  <pubDate>Sun, 10 Aug 2008 00:00:00 -0500</pubDate>
					 
					</item>

				

					<item>
					  <title>Kiteto kumekucha</title>
					  <link>http://www.habaritanzania.com/articles/4286/1/Kiteto-kumekucha</link>
					  <description>MCHUANO wa kisiasa katika kampeni za uchaguzi mdogo wa Jimbo la Kiteto, mkoani Manyara kati ya vyama viwili vinavyoshindana vikali, Chama Cha Mapinduzi (CCM) na Chama cha Demokrasia na Maendeleo (CHADEMA) umezidi kuwa mkali. </description>
					  <author>washawashaupupu@yahoo.com (Marshy Abdu)</author>
					  <pubDate>Fri, 22 Feb 2008 00:00:00 -0600</pubDate>
					 
					</item>

				

					<item>
					  <title>Richmond yaivua nguo serikali</title>
					  <link>http://www.habaritanzania.com/articles/4285/1/Richmond-yaivua-nguo-serikali</link>
					  <description>KAMATI Teule ya Bunge iliyochunguza mchakato wa upatikanaji wa zabuni ya uzalishaji umeme wa dharura, iliyopewa Kampuni ya Richmond Development LLC, ya Hauston Marekani, imemtaja Waziri Mkuu, Edward Lowassa, kuwa alihusika kuibeba kampuni hiyo kupata zabuni hiyo.</description>
					  <author>washawashaupupu@yahoo.com (Marshy Abdu)</author>
					  <pubDate>Thu, 07 Feb 2008 00:00:00 -0600</pubDate>
					 
					</item>

				

					<item>
					  <title> Eti Bongo mteja sio mfalme?</title>
					  <link>http://www.habaritanzania.com/articles/4284/1/-Eti-Bongo-mteja-sio-mfalme%3F</link>
					  <description>                 MWANANGU mtabisha nikiwaambia kastama kea kwenu ni ziro?&#160;Mbona siku zote tulifunzwa kwamba mteja ni mfalme wajameni? Kumbe kauli hii ya mteja ni mfalme haiwahusu Wabongo sio? Kama sivyo mbona hatuoni ubora wa huduma kwa wateja katika nyanja zote? Nawaapia tangu siasa, michezo, jamiii na&#160;eneo lolote utakalo, hakuna&#160;kabisa hicho kinachoitwa kwa kimombo customer care! Huko simo mwanakwetu.</description>
					  <author>info@habaritanzania.com (Habari Tanzania)</author>
					  <pubDate>Sat, 12 Jan 2008 00:00:00 -0600</pubDate>
					 
					</item>

				

					<item>
					  <title> Dk. Slaa: Nina siri nyingine nzito</title>
					  <link>http://www.habaritanzania.com/articles/4280/1/-Dk.-Slaa%3A-Nina-siri-nyingine-nzito</link>
					  <description>WAKATI Watanzania wakitafakari hatua ya Rais Jakaya Kikwete kutengua uteuzi wa aliyekuwa Gavana wa Benki Kuu (BoT), Dk. Daudi Balali kutokana na kashfa ya akaunti ya malipo ya madeni ya nje (EPA), muasisi wa tuhuma zilizosababisha uchunguzi wa akaunti hiyo, Dk. Willibrod Slaa, ameibuka na siri nyingine kuhusu tuhuma za ufisadi wa viongozi walio serikalini.</description>
					  <author>info@habaritanzania.com (Habari Tanzania)</author>
					  <pubDate>Sat, 12 Jan 2008 00:00:00 -0600</pubDate>
					 
					</item>

				

					<item>
					  <title> ODM watua Dar</title>
					  <link>http://www.habaritanzania.com/articles/4279/1/-ODM-watua-Dar</link>
					  <description>UJUMBE wa Chama cha Orange Democratic Movement (ODM) cha Kenya, jana ulinguruma jijini Dar es Salaam na kusema kuwa wanaodhani kuwa wanaweza kushiriki kwenye serikali ya umoja wa kitaifa iliyopendekezwa na Rais Mwai Kibaki wanajidanganya.</description>
					  <author>info@habaritanzania.com (Habari Tanzania)</author>
					  <pubDate>Tue, 08 Jan 2008 00:00:00 -0600</pubDate>
					 
					</item>

				

					<item>
					  <title> JK: Msitishike na shambulio dhidi ya wanahabari</title>
					  <link>http://www.habaritanzania.com/articles/4278/1/-JK%3A-Msitishike-na-shambulio-dhidi-ya-wanahabari</link>
					  <description>RAIS Jakaya Kikwete, amewataka waandishi wa habari kote nchini, kutokatishwa tamaa au kuogopa vitisho vinavyoelekezwa dhidi yao na badala yake waendelee kutimiza wajibu wao wa kazi kwa kuchukua tahadhari za kutosha.</description>
					  <author>info@habaritanzania.com (Habari Tanzania)</author>
					  <pubDate>Tue, 08 Jan 2008 00:00:00 -0600</pubDate>
					 
					</item>

				

					<item>
					  <title> Mwana Halisi washambuliwa</title>
					  <link>http://www.habaritanzania.com/articles/4277/1/-Mwana-Halisi-washambuliwa</link>
					  <description>KATIKA tukio linaloweza kutafsiriwa kuwa jitihada za kutisha mhimili wa nne wa utawala, watumishi wawili wa gazeti la Mwana halisi, juzi walivamiwa na watu wasiojulikana, kutishwa, kushambuliwa na kujeruhiwa vibaya.</description>
					  <author>info@habaritanzania.com (Habari Tanzania)</author>
					  <pubDate>Mon, 07 Jan 2008 00:00:00 -0600</pubDate>
					 
					</item>

				

					<item>
					  <title>Busara itawale zaidi ya jazba</title>
					  <link>http://www.habaritanzania.com/articles/4276/1/Busara-itawale-zaidi-ya-jazba</link>
					  <description>                 TUNAANDIKA tukionya kuwa, kinachotokea kwa jirani zetu Kenya, kinaweza kutokea hapa nchini. Wala tusijidanganye kuwa amani na utulivu tulionao ni benki itakayotulinda dhidi ya vurugu.</description>
					  <author>info@habaritanzania.com (Habari Tanzania)</author>
					  <pubDate>Sat, 05 Jan 2008 00:00:00 -0600</pubDate>
					 
					</item>

				

					<item>
					  <title> Mbunge azomewa mbele ya Kamati ya Madini</title>
					  <link>http://www.habaritanzania.com/articles/4274/1/-Mbunge-azomewa-mbele-ya-Kamati-ya-Madini</link>
					  <description>WACHIMBAJI wadogo wa almasi wa Kijiji cha Maganzo, wilayani Kishapu, Shinyanga, wamemzomea mbunge wa jimbo hilo, Tungu Mpendazoe (CCM) kwa kumtuhumu kumpendelea mmiliki wa mgodi wa El Hilal, hivyo kuwazuia wasilime kwenye mashamba yao.</description>
					  <author>info@habaritanzania.com (Habari Tanzania)</author>
					  <pubDate>Sat, 05 Jan 2008 00:00:00 -0600</pubDate>
					 
					</item>

				

					<item>
					  <title> Kamati ya Jaji Bomani yatua Buzwagi</title>
					  <link>http://www.habaritanzania.com/articles/4273/1/-Kamati-ya-Jaji-Bomani-yatua-Buzwagi</link>
					  <description>KAMATI ya kupitia sheria na mikataba ya madini, iliyo chini ya uenyekiti wa Jaji Mark Bomani, kesho itazuru mgodi wa Buzwagi, mkoani Shinyanga.</description>
					  <author>info@habaritanzania.com (Habari Tanzania)</author>
					  <pubDate>Sat, 05 Jan 2008 00:00:00 -0600</pubDate>
					 
					</item>

				

					<item>
					  <title> Vurugu za Kenya kuhamia Dar?</title>
					  <link>http://www.habaritanzania.com/articles/4271/1/-Vurugu-za-Kenya-kuhamia-Dar%3F</link>
					  <description>VURUGU huenda zikatokea leo jijini Dar es Salaam, iwapo wanasiasa wa vyama vya upinzani wataamua kupuuza amri ya polisi na kuandamana ili kupinga mauaji yanayoendelea nchini Kenya.</description>
					  <author>info@habaritanzania.com (Habari Tanzania)</author>
					  <pubDate>Sat, 05 Jan 2008 00:00:00 -0600</pubDate>
					 
					</item>

				

					<item>
					  <title> Zanzibar wagomea mishahara</title>
					  <link>http://www.habaritanzania.com/articles/4268/1/-Zanzibar-wagomea-mishahara</link>
					  <description>BAADHI ya wafanyakazi wa Serikali ya Mapinduzi Zanzibar (SMZ) wamegoma kupokea mishahara yao katika kipindi hiki cha Sikukuu ya Idd el Hajj kwa kile walichokiita kupunjwa mishahara yao na kuahidi kuwa wataendelea kuigomea hadi hapo marekebisho yatakapofanywa.</description>
					  <author>info@habaritanzania.com (Habari Tanzania)</author>
					  <pubDate>Sat, 22 Dec 2007 00:00:00 -0600</pubDate>
					 
					</item>

				

					<item>
					  <title>Madaktari sita matatani</title>
					  <link>http://www.habaritanzania.com/articles/4267/1/Madaktari-sita-matatani</link>
					  <description>MADAKTARI sita na wauguzi sita wa Taasisi ya Mifupa ya Muhimbili (MOI), wamepatikana na makosa ya uzembe yaliyosababisha kufanyika kwa upasuaji tata wa wagonjwa wawili katika taasisi hiyo, hivi karibuni.</description>
					  <author>info@habaritanzania.com (Habari Tanzania)</author>
					  <pubDate>Sat, 22 Dec 2007 00:00:00 -0600</pubDate>
					 
					</item>

				

					<item>
					  <title> Balali akamatwe - Slaa</title>
					  <link>http://www.habaritanzania.com/articles/4266/1/-Balali-akamatwe---Slaa</link>
					  <description>Na Salehe MohamedKATIBU Mkuu wa Chama cha Demokrasia na Maendeleo (CHADEMA), Dk. Willbrod Slaa, amemtaka Rais Jakaya Kikwete kuamuru kukamatwa na kushtakiwa kwa Gavana wa Benki Kuu (BoT), Dk. Daudi Balali.</description>
					  <author>info@habaritanzania.com (Habari Tanzania)</author>
					  <pubDate>Sat, 22 Dec 2007 00:00:00 -0600</pubDate>
					 
					</item>

				

					<item>
					  <title>JK: Sijashindwa</title>
					  <link>http://www.habaritanzania.com/articles/4265/1/JK%3A-Sijashindwa</link>
					  <description>WAKATI baadhi ya Watanzania wakionyesha kukata tamaa kwa utekelezaji wa ahadi zilizotolewa na Serikali ya Awamu ya Nne, Rais Jakaya Kikwete, amesema kuwa hawajashindwa kutekeleza alichokiahidi miaka miwili iliyopita.</description>
					  <author>info@habaritanzania.com (Habari Tanzania)</author>
					  <pubDate>Fri, 21 Dec 2007 00:00:00 -0600</pubDate>
					 
					</item>

				

					<item>
					  <title>Balali ajiuzulu huku soo la ufisadi BOT likiendelea</title>
					  <link>http://www.habaritanzania.com/articles/4264/1/Balali-ajiuzulu-huku-soo-la-ufisadi-BOT-likiendelea</link>
					  <description>Wakati sakata la tuhuma za ufisadi katika Benki Kuu nchini, BOT, likiendelea kuzizima, zimepatikana habari kuwa Gavana wa benki hiyo ameandika barua kwa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Bw. Jakaya Kikwete, akiomba kujiuzulu. </description>
					  <author>washawashaupupu@yahoo.com (Marshy Abdu)</author>
					  <pubDate>Fri, 21 Dec 2007 00:00:00 -0600</pubDate>
					 
					</item>

				

					<item>
					  <title>Magufuli atoa mpya</title>
					  <link>http://www.habaritanzania.com/articles/4263/1/Magufuli-atoa-mpya</link>
					  <description>WAZIRI wa Ardhi, Nyumba na Maendeleo ya Makazi, John Magufuli, amezijia juu halmashauri nchini na kuzitaka kuacha mara moja kuvunja nyumba za wananchi zilizojengwa katika maeneo ya makazi ambayo hayajapimwa.</description>
					  <author>washawashaupupu@yahoo.com (Marshy Abdu)</author>
					  <pubDate>Thu, 20 Dec 2007 00:00:00 -0600</pubDate>
					 
					</item>

				

					<item>
					  <title>Idd el Hajj Sikukuu ya Kiislam baada ya ibada ya hijja</title>
					  <link>http://www.habaritanzania.com/articles/4262/1/Idd-el-Hajj-Sikukuu-ya-Kiislam-baada-ya-ibada-ya-hijja</link>
					  <description>LEO Wailamu kote nchini wameungana na wenzao duniani kusherehekea Sikukuu ya Idd el Hajj, mbayo husherehekewa baada ya mahujaji kukamilisha ibada ya hijja, kwenye miji mitakatifu ya Makka na Madina</description>
					  <author>washawashaupupu@yahoo.com (Marshy Abdu)</author>
					  <pubDate>Thu, 20 Dec 2007 00:00:00 -0600</pubDate>
					 
					</item>

				

					<item>
					  <title> Kufaulu kwa shuka - matokeo darasa la saba</title>
					  <link>http://www.habaritanzania.com/articles/4261/1/-Kufaulu-kwa-shuka---matokeo-darasa-la-saba</link>
					  <description>                              KIWANGO cha kufaulu kwa wanafunzi wa darasa la saba kimeshuka kwa asilimia 16.3 mwaka huu ukilinganisha na mwaka jana, ambapo waliofaulu walikuwa asilimia 70.48 ya wanafunzi wote waliofanya mitihani.</description>
					  <author>info@habaritanzania.com (Habari Tanzania)</author>
					  <pubDate>Wed, 19 Dec 2007 00:00:00 -0600</pubDate>
					 
					</item>

				

					<item>
					  <title>JK atabiriwa magumu 2008</title>
					  <link>http://www.habaritanzania.com/articles/4259/1/JK-atabiriwa-magumu-2008</link>
					  <description>JARIDA maarufu la The Economist, kwa mara nyingine tena limefanya tathmini yake kuhusu mwelekeo wa kiuchumi wa Tanzania na Serikali ya Rais Jakaya Kikwete katika kipindi cha mwaka ujao wa 2008 unaojongea.</description>
					  <author>info@habaritanzania.com (Habari Tanzania)</author>
					  <pubDate>Sun, 16 Dec 2007 00:00:00 -0600</pubDate>
					 
					</item>

				

					<item>
					  <title>Marekani yakumbusha Muafaka wa Zanzibar</title>
					  <link>http://www.habaritanzania.com/articles/4258/1/Marekani-yakumbusha-Muafaka-wa-Zanzibar</link>
					  <description>UBALOZI wa Marekani nchini, umetaka Chama Cha Mapinduzi (CCM) na Chama cha Wananchi (CUF) kuhitimisha haraka na kwa haki mazungumzo ya kutafuta suluhu ya kudumu ya mpasuko wa kisiasa Zanzibar.</description>
					  <author>info@habaritanzania.com (Habari Tanzania)</author>
					  <pubDate>Fri, 14 Dec 2007 00:00:00 -0600</pubDate>
					 
					</item>

				

					<item>
					  <title>Mahujaji wateseka</title>
					  <link>http://www.habaritanzania.com/articles/4257/1/Mahujaji-wateseka</link>
					  <description>JUHUDI za serikali kuwasafirisha mahujaji waliokwama kwenda kuhiji Makka, zimeshindwa kuzaa matunda kwa wakati muafaka, baada ya ndege iliyokodiwa kutoka Kampuni ya AL-Wassam kushindwa kuhimili safari za kuwasafirisha mahujaji hao baada ya kuharibika.</description>
					  <author>info@habaritanzania.com (Habari Tanzania)</author>
					  <pubDate>Fri, 14 Dec 2007 00:00:00 -0600</pubDate>
					 
					</item>

				

					<item>
					  <title>Richmond yachemka</title>
					  <link>http://www.habaritanzania.com/articles/4256/1/Richmond-yachemka</link>
					  <description>SASA ni dhahiri kuwa, kazi ya Kamati ya Bunge ya Kuchunguza mkataba wa kuzalisha umeme wa dharura kati ya Shirika la Umeme Tanzania (Tanesco) na Kampuni ya Richmond Development Corporation (RDC) ni nzito na inayotiwa vidole ili kuharibu matokeo.</description>
					  <author>info@habaritanzania.com (Habari Tanzania)</author>
					  <pubDate>Fri, 14 Dec 2007 00:00:00 -0600</pubDate>
					 
					</item>

				

					<item>
					  <title>Hujuma madini</title>
					  <link>http://www.habaritanzania.com/articles/4255/1/Hujuma-madini</link>
					  <description>SIKU tatu tangu gazeti hili liandike habari kuhusu kasoro kadhaa zinazohusu udhaifu unaolipotezea taifa mamilioni ya fedha kupitia madini, taarifa zaidi zinaonyesha kuwa wawekezaji wa kigeni katika sekta hiyo ni mabingwa wa 'kukarabati' hesabu kwa malengo ya kukwepa kodi.</description>
					  <author>washawashaupupu@yahoo.com (Marshy Abdu)</author>
					  <pubDate>Thu, 13 Dec 2007 00:00:00 -0600</pubDate>
					 
					</item>

				

					<item>
					  <title>Kingunge; Katiba mpya si haki ya chama, ila umma</title>
					  <link>http://www.habaritanzania.com/articles/4254/1/Kingunge%3B-Katiba-mpya-si-haki-ya-chama%2C-ila-umma</link>
					  <description>NIMESUKUMWA na kauli ya Kingunge Ngombale-Mwiru kujadili kauli yake kwamba "Mjadala wa katiba umefungwa."Kingunge bingwa wa propaganda za Chama Cha Mapinduzi (CCM) tangu enzi</description>
					  <author>washawashaupupu@yahoo.com (Marshy Abdu)</author>
					  <pubDate>Thu, 13 Dec 2007 00:00:00 -0600</pubDate>
					 
					</item>

				

					<item>
					  <title>Maalbino walalamika</title>
					  <link>http://www.habaritanzania.com/articles/4252/1/Maalbino-walalamika</link>
					  <description>CHAMA cha Maalbino nchini (TAS) kimeazimia kumuona Rais Jakaya Kikwete ili ashughulikie haraka suala la mauaji ya maalbino yanayoshamiri hivi sasa nchini.</description>
					  <author>info@habaritanzania.com (Habari Tanzania)</author>
					  <pubDate>Wed, 12 Dec 2007 00:00:00 -0600</pubDate>
					 
					</item>

				

					<item>
					  <title>Hatimaye mahujaji waondoka</title>
					  <link>http://www.habaritanzania.com/articles/4251/1/Hatimaye-mahujaji-waondoka</link>
					  <description>RAIS Jakaya Kikwete, alilazimika kuingilia kati yeye binafsi utata uliogubika safari ya mahujaji wa Kiislamu wanaofikia 1,500 waliokuwa wamekwama katika Uwanja wa Ndege wa Kimataifa wa Mwalimu Nyerere, Dar es Salaam kwa siku kadhaa kabla ya kuanza kupata usafiri wa kwanza jana jioni.</description>
					  <author>info@habaritanzania.com (Habari Tanzania)</author>
					  <pubDate>Wed, 12 Dec 2007 00:00:00 -0600</pubDate>
					 
					</item>

				

					<item>
					  <title>Hujuma madini</title>
					  <link>http://www.habaritanzania.com/articles/4250/1/Hujuma-madini</link>
					  <description>SIKU tatu tangu gazeti hili liandike habari kuhusu kasoro kadhaa zinazohusu udhaifu unaolipotezea taifa mamilioni ya fedha kupitia madini, taarifa zaidi zinaonyesha kuwa wawekezaji wa kigeni katika sekta hiyo ni mabingwa wa 'kukarabati' hesabu kwa malengo ya kukwepa kodi.</description>
					  <author>info@habaritanzania.com (Habari Tanzania)</author>
					  <pubDate>Wed, 12 Dec 2007 00:00:00 -0600</pubDate>
					 
					</item>

				

					<item>
					  <title>Serikali kunusuru mahujaji?</title>
					  <link>http://www.habaritanzania.com/articles/4247/1/Serikali-kunusuru-mahujaji%3F</link>
					  <description>SERIKALI imeingilia kati sakata la kukwama kwa mahujaji wanaokwenda Makka na kuamua kutafuta suluhu ya dharura ya kuwasafirisha kwa awamu mbili, wakati siku ya leo ikiwa ndiyo ya mwisho.</description>
					  <author>info@habaritanzania.com (Habari Tanzania)</author>
					  <pubDate>Tue, 11 Dec 2007 00:00:00 -0600</pubDate>
					 
					</item>

				

					<item>
					  <title>Vumbi kesi ya Dk. Slaa</title>
					  <link>http://www.habaritanzania.com/articles/4246/1/Vumbi-kesi-ya-Dk.-Slaa</link>
					  <description>UTATA unaotokana na tofauti za takwimu umeibuka mahakamani wakati kesi ya kupinga ushindi wa Mbunge wa Karatu, Dk. Willbrod Slaa (CHADEMA) ilipokuwa ikiendelea kusikilizwa jana.</description>
					  <author>info@habaritanzania.com (Habari Tanzania)</author>
					  <pubDate>Tue, 11 Dec 2007 00:00:00 -0600</pubDate>
					 
					</item>

				

					<item>
					  <title>Takukuru msalabani</title>
					  <link>http://www.habaritanzania.com/articles/4245/1/Takukuru-msalabani</link>
					  <description>BAADHI ya wakazi wa Dar es Salaam jana waliipasha Taasisi ya Kuzuia na Kupambana na Rushwa (TAKUKURU) kuwa hawana imani nayo kutokana na kutoa ripoti zinazoleta shaka.</description>
					  <author>info@habaritanzania.com (Habari Tanzania)</author>
					  <pubDate>Tue, 11 Dec 2007 00:00:00 -0600</pubDate>
					 
					</item>

				

					<item>
					  <title>JK amng'oa Severe</title>
					  <link>http://www.habaritanzania.com/articles/4244/1/JK-amng%92oa-Severe</link>
					  <description>BAADA ya vuta nikuvute ya takriban miaka miwili sasa, Rais Jakaya Kikwete amekata mzizi wa fitina na akabariki kufanyika kwa mabadiliko makubwa ya wakurugenzi katika Wizara ya Maliasili na Utalii.</description>
					  <author>washawashaupupu@yahoo.com (Marshy Abdu)</author>
					  <pubDate>Fri, 07 Dec 2007 00:00:00 -0600</pubDate>
					 
					</item>

				

					<item>
					  <title>Tulumbane vijiweni lakini tuhimize maendeleo - JK</title>
					  <link>http://www.habaritanzania.com/articles/4243/1/Tulumbane-vijiweni-lakini-tuhimize-maendeleo-%96-JK</link>
					  <description>RAIS Jakaya Kikwete amewasihi wanasiasa wenzake kuwahimiza wanachama wao kushiriki katika shughuli za maendeleo kwa faida ya Watanzania wote.</description>
					  <author>washawashaupupu@yahoo.com (Marshy Abdu)</author>
					  <pubDate>Fri, 07 Dec 2007 00:00:00 -0600</pubDate>
					 
					</item>

				

					<item>
					  <title>REDET yamkaanga JK</title>
					  <link>http://www.habaritanzania.com/articles/4242/1/REDET-yamkaanga-JK</link>
					  <description>MATOKEO ya kura ya maoni iliyoendeshwa na Mpango wa Utafiti na Elimu ya Demokrasia ya Chuo Kikuu Cha Dar es Salaam (REDET) yamepokewa kwa hisia tofauti na watu wa kada mbalimbali nchini. </description>
					  <author>washawashaupupu@yahoo.com (Marshy Abdu)</author>
					  <pubDate>Thu, 06 Dec 2007 00:00:00 -0600</pubDate>
					 
					</item>

				

					<item>
					  <title>Mahujaji wakwama Zanzibar</title>
					  <link>http://www.habaritanzania.com/articles/4241/1/Mahujaji-wakwama-Zanzibar</link>
					  <description>MAHUJAJI wapatao 72, ambao walikuwa wafike Saudi Arabia kwa ajili ya ibada ya hija jana, wamekwama visiwani hapa baada ya Shirika la Ndege la Tanzania (ATCL) kudaiwa kushindwa kuwasafirisha. </description>
					  <author>washawashaupupu@yahoo.com (Marshy Abdu)</author>
					  <pubDate>Thu, 06 Dec 2007 00:00:00 -0600</pubDate>
					 
					</item>

				

					<item>
					  <title>Zitto: Kuna njama</title>
					  <link>http://www.habaritanzania.com/articles/4239/1/Zitto%3A-Kuna-njama</link>
					  <description>Naibu Katibu Mkuu wa Chama cha Demokrasia na Maendeleo (CHADEMA), Zitto Kabwe, amesema chama hicho kimegundua kuwapo kwa njama mahususi zinazoendeshwa na baadhi ya watu wenye lengo mahususi la kuwasambaratisha.</description>
					  <author>washawashaupupu@yahoo.com (Marshy Abdu)</author>
					  <pubDate>Wed, 05 Dec 2007 00:00:00 -0600</pubDate>
					 
					</item>

				

					<item>
					  <title>Hoja ya OIC yachemka</title>
					  <link>http://www.habaritanzania.com/articles/4238/1/Hoja-ya-OIC-yachemka</link>
					  <description>HOJA kuhusu nchi kujiunga na Jumuiya ya Kiislamu ya OIC inaanza kuzua mjadala, huku watu wakitoa maoni tofauti kuhusu suala hilo. Suala hilo, ambalo miaka kadhaa iliyopita lilizusha mjadala wa kitaifa,</description>
					  <author>washawashaupupu@yahoo.com (Marshy Abdu)</author>
					  <pubDate>Wed, 05 Dec 2007 00:00:00 -0600</pubDate>
					 
					</item>

				

					<item>
					  <title>Mtikila amuonya Makamu wa Rais</title>
					  <link>http://www.habaritanzania.com/articles/4237/1/Mtikila-amuonya-Makamu-wa-Rais</link>
					  <description>MWENYEKITI wa Chama cha Democratic (DP), Mchungaji Christopher Mtikila, amepinga hatua iliyofikiwa kati ya Tanzania na nchi za Iran na Misri ya kutaka kufufua tume za ushirikiano.</description>
					  <author>washawashaupupu@yahoo.com (Marshy Abdu)</author>
					  <pubDate>Mon, 03 Dec 2007 00:00:00 -0600</pubDate>
					 
					</item>

				

					<item>
					  <title>Kiama cha maji kuikumba Dar</title>
					  <link>http://www.habaritanzania.com/articles/4236/1/Kiama-cha-maji-kuikumba-Dar</link>
					  <description>WATU wanaoishi katika maeneo aghali jijini Dar es Salaam, sasa wataanza kuonja joto ya kukatiwa maji, katika kampeni mpya iliyoanzishwa na Shirika la Majisafi na Majitaka Dar es Salaam (Dawasco).</description>
					  <author>washawashaupupu@yahoo.com (Marshy Abdu)</author>
					  <pubDate>Mon, 03 Dec 2007 00:00:00 -0600</pubDate>
					 
					</item>

				

					<item>
					  <title>Burundi ya pili kupeleka askari Somalia</title>
					  <link>http://www.habaritanzania.com/articles/4235/1/Burundi-ya-pili-kupeleka-askari-Somalia</link>
					  <description>NCHI ya Burundi licha ya matatizo iliyonayo kuhusiana na masuala ya usalama, imekuwa nchi ya pili barani Afrika kukubali kupeleka askari wa kulinda amani nchini Somalia.</description>
					  <author>washawashaupupu@yahoo.com (Marshy Abdu)</author>
					  <pubDate>Fri, 23 Nov 2007 00:00:00 -0600</pubDate>
					 
					</item>

				

					<item>
					  <title>Serikali yamtetea Zitto</title>
					  <link>http://www.habaritanzania.com/articles/4234/1/Serikali-yamtetea-Zitto</link>
					  <description>IKIWA imebaki siku moja kabla ya Kamati Kuu ya Taifa ya Chama cha Demokrasia na Maendeleo (CHADEMA) kutoa uamuzi wa iwapo Mbunge wa Kigoma Kaskazini, Kabwe Zitto ashiriki katika kamati ya kupitia mikataba ya madini au la, serikali imesema mbunge huyo ana kila sababu ya kushiriki.</description>
					  <author>washawashaupupu@yahoo.com (Marshy Abdu)</author>
					  <pubDate>Fri, 23 Nov 2007 00:00:00 -0600</pubDate>
					 
					</item>

				

					<item>
					  <title>Diwani wa Muhanga atoa wito kunusuru vijana na UKIMWI</title>
					  <link>http://www.habaritanzania.com/articles/4233/1/Diwani-wa-Muhanga-atoa-wito-kunusuru-vijana-na-UKIMWI</link>
					  <description>Wito umetolewa kwa serikali na watu binafsi kuwawezesha vijana kujimudu kimaisha ili kuwaepusha na vishawishi vya kijamii ambavyo vitawapelekea kupata maambukizi ya virusi vya ukimwi</description>
					  <author>pkwigize@yahoo.com (Prosper Kwigize)</author>
					  <pubDate>Fri, 16 Nov 2007 00:00:00 -0600</pubDate>
					 
					</item>

				

					<item>
					  <title>Inje ya elimu ya ukimwi, takwimu nazo zipelekwe mashuleni</title>
					  <link>http://www.habaritanzania.com/articles/4231/1/Inje-ya-elimu-ya-ukimwi%2C-takwimu-nazo-zipelekwe-mashuleni</link>
					  <description>Kama zisemavyo takwimu nyingi zinazoelezea masuala ya Ukimwi, kundi linalodaiwa kuathirika zaidi ni kundi la vijana kati ya umri wa miaka 16 hadi 40 kote nchini, hii ni kutokana na kwamba vijana ndio walioko katika changamoto kubwa zaidi za mabadiliko ya kibaiolojia pamoja na kijamii pia.&#160;</description>
					  <author>pkwigize@yahoo.com (Prosper Kwigize)</author>
					  <pubDate>Fri, 16 Nov 2007 00:00:00 -0600</pubDate>
					 
					</item>

				

					<item>
					  <title>Dereva mbaroni kwa kugonga na kuua mara mbili</title>
					  <link>http://www.habaritanzania.com/articles/4230/1/Dereva-mbaroni-kwa-kugonga-na-kuua-mara-mbili</link>
					  <description>Dreva wa gari la abiria linalofanya safari zake kati ya Kigoma na Kasulu mkoani Kigoma amefikishwa katika mahakama ya wilaya ya Kasulu mwishoni mwa wiki kwa kosa la kukiuka sheria za usalama barabarani na kusababisha kifo.</description>
					  <author>pkwigize@yahoo.com (Prosper Kwigize)</author>
					  <pubDate>Fri, 16 Nov 2007 00:00:00 -0600</pubDate>
					 
					</item>

				

					<item>
					  <title>Waislamu wataka serikali isitishe uhusiano na Vatican</title>
					  <link>http://www.habaritanzania.com/articles/4228/1/Waislamu-wataka-serikali-isitishe-uhusiano-na-Vatican</link>
					  <description>LICHA ya kushinikiza uanzishwaji wa Mahakama ya Kadhi nchini, safari hii viongozi wa dini ya Kiislamu wameibuka na madai mengine, wakitaka serikali ikomeshe mahusiano yake na Vatican.</description>
					  <author>washawashaupupu@yahoo.com (Marshy Abdu)</author>
					  <pubDate>Wed, 07 Nov 2007 00:00:00 -0600</pubDate>
					 
					</item>

				

					<item>
					  <title>Waislamu kuandamana kupinga ziara ya Papa</title>
					  <link>http://www.habaritanzania.com/articles/4224/1/Waislamu-kuandamana-kupinga-ziara-ya-Papa</link>
					  <description>JUMUIYA na Taasisi za Kiislamu imemtaka Papa Benedict XVI kuwaomba radhi Waislamu wa Tanzania kabla ya kuja nchini kutokana na maneno yake aliyoyatoa akimkashfu Mtume Muhamed mwaka jana, wakati akihutubia katika chuo kikuu kimoja nchini Ujerumani, la sivyo hawataitambua ziara yake.</description>
					  <author>washawashaupupu@yahoo.com (Marshy Abdu)</author>
					  <pubDate>Sat, 27 Oct 2007 00:00:00 -0500</pubDate>
					 
					</item>

				

					<item>
					  <title>Waziri Sophia Simba mgonjwa</title>
					  <link>http://www.habaritanzania.com/articles/4223/1/Waziri-Sophia-Simba-mgonjwa</link>
					  <description>WAKATI aliyekuwa Naibu Waziri wa Maendeleo ya Jamii, Jinsia na Watoto, Salome Mbatia, anazikwa leo mkoani Kilimanjaro, imefahamika kuwa Waziri wake, Sofia Simba, ni mgonjwa na hawezi kufanya kazi.</description>
					  <author>washawashaupupu@yahoo.com (Marshy Abdu)</author>
					  <pubDate>Sat, 27 Oct 2007 00:00:00 -0500</pubDate>
					 
					</item>

				

					<item>
					  <title>Taifa lamlilia Mbatia</title>
					  <link>http://www.habaritanzania.com/articles/4222/1/Taifa-lamlilia-Mbatia</link>
					  <description>VIONGOZI wakuu wa kitaifa serikalini, wanasiasa kutoka vyama mbalimbali vya siasa na wananchi wa kawaida wameshikamana kuomboleza kifo cha Naibu Waziri wa Maendeleo ya Jamii, Jinsia na Watoto, Salome Joseph Mbatia, aliyefariki dunia juzi wilayani Njombe kwa ajali ya gari. </description>
					  <author>washawashaupupu@yahoo.com (Marshy Abdu)</author>
					  <pubDate>Fri, 26 Oct 2007 00:00:00 -0500</pubDate>
					 
					</item>

				

					<item>
					  <title>Barrick Gold matatani tena</title>
					  <link>http://www.habaritanzania.com/articles/4221/1/Barrick-Gold-matatani-tena</link>
					  <description>MISUKOSUKO inayoikabili kampuni inayomiliki migodi kadhaa ya dhahabu nchini, Barrick Gold Corporation, inaongezeka huku wafanyakazi wake wa mgodi wa dhahabu wa Bulyanhulu wilayani Kahama katika Mkoa wa Shinyanga wakigoma, na mfanyakzi mwingi wa mgodi wa North Mara mkoani Mara akidai kufukuzwa kazi kwa mizengwe.</description>
					  <author>washawashaupupu@yahoo.com (Marshy Abdu)</author>
					  <pubDate>Fri, 26 Oct 2007 00:00:00 -0500</pubDate>
					 
					</item>

				

					<item>
					  <title>Mahakama ya Kadhi yagonganisha vichwa</title>
					  <link>http://www.habaritanzania.com/articles/4219/1/Mahakama-ya-Kadhi-yagonganisha-vichwa</link>
					  <description>KWA mara nyingine, suala la Mahakama ya Kadhi, limezusha mjadala baina ya wanaharakati wa kidini na wanasiasa, ambao wanabishana mambo kadhaa kuhusiana na mahakama hiyo.</description>
					  <author>washawashaupupu@yahoo.com (Marshy Abdu)</author>
					  <pubDate>Mon, 22 Oct 2007 00:00:00 -0500</pubDate>
					 
					</item>

				

					<item>
					  <title>Mbunge mwingine aingia matatani</title>
					  <link>http://www.habaritanzania.com/articles/4215/1/Mbunge-mwingine-aingia-matatani</link>
					  <description>MAHAKAMA ya Hakimu Mkazi Kisutu, imeamuru Mkurugenzi wa Kampuni ya Ilabila Industries Ltd ambaye pia ni Mbunge wa Bariadi Mashariki, John Momose Cheyo, akamatwe.</description>
					  <author>washawashaupupu@yahoo.com (Marshy Abdu)</author>
					  <pubDate>Sat, 20 Oct 2007 00:00:00 -0500</pubDate>
					 
					</item>

				

					<item>
					  <title>Mkapa: No way, nimeshastaafu</title>
					  <link>http://www.habaritanzania.com/articles/4212/1/Mkapa%3A-No-way%2C-nimeshastaafu</link>
					  <description>RAIS wa Awamu ya Tatu, Benjamin Mkapa, ameamua kujiepusha kujibu tuhuma zinazoelekezwa kwake, kuhusiana na kile kinachodaiwa kuwa matumizi mabaya ya madaraka akiwa mkuu wa nchi na uongozi mbaya alipokuwa mwenyekiti wa Chama Cha Mapinduzi (CCM).</description>
					  <author>washawashaupupu@yahoo.com (Marshy Abdu)</author>
					  <pubDate>Fri, 19 Oct 2007 00:00:00 -0500</pubDate>
					 
					</item>

				

					<item>
					  <title>Mtikila apinga Mahakama ya Kadhi mahakamani</title>
					  <link>http://www.habaritanzania.com/articles/4211/1/Mtikila-apinga-Mahakama-ya-Kadhi-mahakamani</link>
					  <description>MWENYEKITI wa Chama cha DP, Mchungaji Christopher Mtikila, amefungua kesi katika Mahakama Kuu Kanda ya Dar es Salaam jana, kupinga serikali kujihusisha na harakati zozote za kutunga sheria itakayohalalisha kuwepo kwa Mahakama ya Kadhi nchini.</description>
					  <author>washawashaupupu@yahoo.com (Marshy Abdu)</author>
					  <pubDate>Fri, 19 Oct 2007 00:00:00 -0500</pubDate>
					 
					</item>

				

					<item>
					  <title>Pigo kuu upinzani</title>
					  <link>http://www.habaritanzania.com/articles/4210/1/Pigo-kuu-upinzani</link>
					  <description>WIKI moja baada ya Mahakama Kuu Kanda ya Kagera kutengua matokeo ya uchaguzi yaliyompa ushindi Phares Kabuye (TLP-Biharamulo Magharibi), balaa jingine linaelekea kuiangukia kambi ya upinzani, baada ya jana Mahakama ya Hakimu Mkazi mkoani Kagera, kumkuta na hatia, aliyekuwa Mbunge wa Bukoba Mjini, Wilfred Lwakatare (CUF).</description>
					  <author>washawashaupupu@yahoo.com (Marshy Abdu)</author>
					  <pubDate>Wed, 17 Oct 2007 00:00:00 -0500</pubDate>
					 
					</item>

				

					<item>
					  <title>Lowassa apata shida kumtetea Karamagi</title>
					  <link>http://www.habaritanzania.com/articles/4209/1/Lowassa-apata-shida-kumtetea-Karamagi</link>
					  <description>JARIBIO la Waziri Mkuu, Edward Lowassa, kutaka kumsafisha na kumkingia kifua Waziri wa Nshati na Madini, Nazir Karamagi, kuhusu mkataba wa Buzwagi liliingia dosari jana baada ya wakazi wa Mbeya kupinga kwa sauti za juu utetezi wake kuhusu mkataba huo.</description>
					  <author>washawashaupupu@yahoo.com (Marshy Abdu)</author>
					  <pubDate>Wed, 17 Oct 2007 00:00:00 -0500</pubDate>
					 
					</item>

				

					<item>
					  <title>Serikali kitanzini</title>
					  <link>http://www.habaritanzania.com/articles/4208/1/Serikali-kitanzini</link>
					  <description>VIGOGO kadhaa waliyatumia maadhimisho ya miaka minane tangu kufariki kwa Baba wa Taifa, hayati Mwalimu Julius Nyerere jana, kuinyooshea kidole serikali, wakiituhumu kwa kufanya mchezo na vita dhidi ya rushwa, ubadhirifu na ufisadi.</description>
					  <author>washawashaupupu@yahoo.com (Marshy Abdu)</author>
					  <pubDate>Tue, 16 Oct 2007 00:00:00 -0500</pubDate>
					 
					</item>

				

					<item>
					  <title>Mwinyi: Tuhuma zisipuuzwe</title>
					  <link>http://www.habaritanzania.com/articles/4207/1/Mwinyi%3A-Tuhuma-zisipuuzwe</link>
					  <description>MADAI dhidi ya kushamiri kwa ufisadi, rushwa na ubadhirifu wa mali ya umma, jana yalipata sura nyingine baada ya Rais mstaafu wa Awamu ya Pili, Ali Hassan Mwinyi, kuibuka na kusema kuwa madai hayo hayapaswi kudharauliwa na viongozi</description>
					  <author>washawashaupupu@yahoo.com (Marshy Abdu)</author>
					  <pubDate>Tue, 16 Oct 2007 00:00:00 -0500</pubDate>
					 
					</item>

				

					<item>
					  <title>Hivi ndivyo Sikukuu ya Idd inavyotakiwa kusherehekewa</title>
					  <link>http://www.habaritanzania.com/articles/4205/1/Hivi-ndivyo-Sikukuu-ya-Idd-inavyotakiwa-kusherehekewa</link>
					  <description>IDD EL FITR ni Sikukuu ya Kiislamu inayosherehekewa baada ya kumalizika kwa mfungo wa mwezi Mtukufu wa Ramadhani kumalizika. Siku hii Waislamu huitumia katika kufurahi na kumshukuru Mwenyezi Mungu</description>
					  <author>washawashaupupu@yahoo.com (Marshy Abdu)</author>
					  <pubDate>Fri, 12 Oct 2007 00:00:00 -0500</pubDate>
					 
					</item>

				

					<item>
					  <title>JK awaamsha wapinzani</title>
					  <link>http://www.habaritanzania.com/articles/4203/1/JK-awaamsha-wapinzani</link>
					  <description> SIKU moja baada ya Rais Jakaya Kikwete kutoa kauli akijibu tuhuma zilizotolewa na viongozi wa upinzani dhidi ya viongozi kadhaa wa serikali, wapinzani hao nao wamejibu na kusema kauli ya Kikwete inalenga kupotosha kile ambacho wao wamekisema.</description>
					  <author>washawashaupupu@yahoo.com (Marshy Abdu)</author>
					  <pubDate>Fri, 12 Oct 2007 00:00:00 -0500</pubDate>
					 
					</item>

				

					<item>
					  <title>Maajabu kesi ya Balozi Mahalu</title>
					  <link>http://www.habaritanzania.com/articles/4201/1/Maajabu-kesi-ya-Balozi-Mahalu</link>
					  <description>UPANDE wa mashitaka katika kesi ya kuhujumu uchumi inayomkabili aliyekuwa Balozi wa Tanzania nchini Italia, Costa Ricky Mahalu na mwenzake, umekiri kwamba hakuna mlalamikaji katika kesi hiyo.</description>
					  <author>washawashaupupu@yahoo.com (Marshy Abdu)</author>
					  <pubDate>Sat, 06 Oct 2007 00:00:00 -0500</pubDate>
					 
					</item>

				

					<item>
					  <title>Mabalozi waikamata Serikali ya JK pabaya</title>
					  <link>http://www.habaritanzania.com/articles/4200/1/Mabalozi-waikamata-Serikali-ya-JK-pabaya</link>
					  <description>MSIMAMO wa mashirika na mataifa mbalimbali wa kuitaka serikali kuchunguza tuhuma za ubadhirifu zinazoikabili, zimeonekana dhahiri kuishtua Serikali ya Awamu ya Nne.</description>
					  <author>washawashaupupu@yahoo.com (Marshy Abdu)</author>
					  <pubDate>Sat, 06 Oct 2007 00:00:00 -0500</pubDate>
					 
					</item>

				

					<item>
					  <title>Zomeazomea yazidi</title>
					  <link>http://www.habaritanzania.com/articles/4198/1/Zomeazomea-yazidi</link>
					  <description>WAKATI Waziri wa Kilimo, Chakula na Ushirika, Stephen Wasira, akikanusha taarifa zilizoandikwa na gazeti hili jana na jingine la kila siku, zinazoeleza kuhusu kuzomewa na wananchi wa Mbeya wakati wa mkutano wao wa hadhara uliofanyika juzi, waziri mwingine katika serikali ya Rais Jakaya Kikwete, alikutwa na zahama kama hiyo huko Mpanda, mkoani Rukwa.</description>
					  <author>washawashaupupu@yahoo.com (Marshy Abdu)</author>
					  <pubDate>Fri, 05 Oct 2007 00:00:00 -0500</pubDate>
					 
					</item>

				

					<item>
					  <title>Zomeazomea yazidi</title>
					  <link>http://www.habaritanzania.com/articles/4197/1/Zomeazomea-yazidi</link>
					  <description>WAKATI Waziri wa Kilimo, Chakula na Ushirika, Stephen Wasira, akikanusha taarifa zilizoandikwa na gazeti hili jana na jingine la kila siku, zinazoeleza kuhusu kuzomewa na wananchi wa Mbeya wakati wa mkutano wao wa hadhara uliofanyika juzi, waziri mwingine katika serikali ya Rais Jakaya Kikwete, alikutwa na zahama kama hiyo huko Mpanda, mkoani Rukwa.</description>
					  <author>info@habaritanzania.com (Habari Tanzania)</author>
					  <pubDate>Thu, 04 Oct 2007 00:00:00 -0500</pubDate>
					 
					</item>

				

					<item>
					  <title>Ukodishaji Reli ya Kati matatani</title>
					  <link>http://www.habaritanzania.com/articles/4196/1/Ukodishaji-Reli-ya-Kati-matatani</link>
					  <description>UKODISHAJI wa lililokuwa Shirika la Reli Tanzania (TRC) kwa mwekezaji wa kigeni uliozaa Kampuni mpya ya Tanzania Railway Limited (TRL), unaendelea kukumbwa na matatizo mwanzoni kabisa mwa mkataba wake.</description>
					  <author>washawashaupupu@yahoo.com (Marshy Abdu)</author>
					  <pubDate>Thu, 04 Oct 2007 00:00:00 -0500</pubDate>
					 
					</item>

				

					<item>
					  <title>Benki ya Dunia yadai uchunguzi</title>
					  <link>http://www.habaritanzania.com/articles/4194/1/Benki-ya-Dunia-yadai-uchunguzi</link>
					  <description>WAKATI serikali ikisuasua kufikia uamuzi wa kuzishughulikia tuhuma za ubadhirifu ndani ya Benki Kuu (BoT) zilizotolewa hivi karibuni na Dk. Willibrod Slaa (Karatu-CHADEMA), Benki ya Dunia imesema ni matumaini kuwa, serikali itachukua hatua madhubuti kuhusu tuhuma hizo.</description>
					  <author>washawashaupupu@yahoo.com (Marshy Abdu)</author>
					  <pubDate>Wed, 03 Oct 2007 00:00:00 -0500</pubDate>
					 
					</item>

				

					<item>
					  <title>Wapinzani kuipeleka NEC kortini</title>
					  <link>http://www.habaritanzania.com/articles/4193/1/Wapinzani-kuipeleka-NEC-kortini</link>
					  <description>UMOJA wa vyama vinne vya siasa nchini kesho unatarajia kufungua kesi ya kikatiba dhidi ya Tume ya Taifa ya Uchaguzi (NEC) kuzuia kufanyika kwa uchaguzi mdogo wa madiwani nchini.</description>
					  <author>washawashaupupu@yahoo.com (Marshy Abdu)</author>
					  <pubDate>Wed, 03 Oct 2007 00:00:00 -0500</pubDate>
					 
					</item>

				

					<item>
					  <title>Karamagi agoma kujiuzulu</title>
					  <link>http://www.habaritanzania.com/articles/4190/1/Karamagi-agoma-kujiuzulu</link>
					  <description>HOMA ya hoja ya Katibu Mkuu wa Chama cha Demokrasia na Maendeleo (CHADEMA), Dk. Wilbrod Slaa ya kuwatuhumu viongozi 11 wa serikali na wa Chama Cha Mapinduzi (CCM) kwa vitendo vya ufisadi, inaendelea kuchukua sura mpya kila kukicha.</description>
					  <author>washawashaupupu@yahoo.com (Marshy Abdu)</author>
					  <pubDate>Wed, 26 Sep 2007 00:00:00 -0500</pubDate>
					 
					</item>

				

					<item>
					  <title>Gari la Coca Cola laua watoto tisa</title>
					  <link>http://www.habaritanzania.com/articles/4185/1/Gari-la-Coca-Cola-laua-watoto-tisa</link>
					  <description>WANAFUNZI wanane wa Shule ya Msingi ya Ntokela, Wilaya ya Rungwe, katika Mkoa wa Mbeya, na mtoto mdogo wa mwaka mmoja na nusu, wamekufa papo hapo na wengine wanane wamejeruhiwa vibaya baada ya kugongwa na gari la Kampuni ya vinywaji baridi ya Coca Cola, walipokuwa wakilifuata kwa nyuma gari la matangazo ya kidini.</description>
					  <author>info@habaritanzania.com (Habari Tanzania)</author>
					  <pubDate>Fri, 21 Sep 2007 00:00:00 -0500</pubDate>
					 
					</item>

				

					<item>
					  <title>Sumu ya Zitto yamfika waziri</title>
					  <link>http://www.habaritanzania.com/articles/4184/1/Sumu-ya-Zitto-yamfika-waziri</link>
					  <description>SUMU iliyomwagwa na Mbunge wa Kigoma Kaskazini, Kabwe Zubeir Zitto (CHADEMA), kuhusiana na kuwepo kwa shaka ya rushwa katika mkataba wa mradi wa mgodi wa dhahabu wa Buzwagi mkoani Shinyanga, imeanza kuwaingia wananchi.</description>
					  <author>info@habaritanzania.com (Habari Tanzania)</author>
					  <pubDate>Fri, 21 Sep 2007 00:00:00 -0500</pubDate>
					 
					</item>

				

					<item>
					  <title>Vijana wa upinzani wamkejeli Kingunge</title>
					  <link>http://www.habaritanzania.com/articles/4183/1/Vijana-wa-upinzani-wamkejeli-Kingunge</link>
					  <description>VIJANA wa vyama vinne vya upinzani vya Chadema, CUF, NCCR-Mageuzi na TLP wametoa tamko la pamoja wakikejeli 'hekima za kisiasa' za mwanasiasa mkongwe Kingunge Ngombale -Mwiru.</description>
					  <author>info@habaritanzania.com (Habari Tanzania)</author>
					  <pubDate>Fri, 21 Sep 2007 00:00:00 -0500</pubDate>
					 
					</item>

				

					<item>
					  <title>Mahakama yaamru Mrema akamatwe</title>
					  <link>http://www.habaritanzania.com/articles/4182/1/Mahakama-yaamru-Mrema-akamatwe</link>
					  <description> MAHAKAMA ya Hakimu Mkazi Kisutu jana ilitoa hati ya kukamatwa kwa Mwenyekiti wa Chama cha Tanzania Labour (TLP) Augustine Mrema na wenzake watatu. Amri hiyo inakuja wakati Mrema akiwa miongoni mwa viongozi wa vyama vinne vya upinzani </description>
					  <author>washawashaupupu@yahoo.com (Marshy Abdu)</author>
					  <pubDate>Wed, 19 Sep 2007 00:00:00 -0500</pubDate>
					 
					</item>

				

					<item>
					  <title>Kingunge ashambulia wapinzani</title>
					  <link>http://www.habaritanzania.com/articles/4181/1/Kingunge-ashambulia-wapinzani</link>
					  <description>MWANASIASA mkongwe na bingwa wa propaganda za Chama Cha Mapinduzi, Kingunge Ngombale-Mwiru amewashambulia viongozi wa vyama vinne vya upinzani wanaozunguka katika maeneo mbalimbali nchini wakitoa tuhuma nzito dhidi ya viongozi wa serikali.</description>
					  <author>washawashaupupu@yahoo.com (Marshy Abdu)</author>
					  <pubDate>Wed, 19 Sep 2007 00:00:00 -0500</pubDate>
					 
					</item>

				

					<item>
					  <title>Mudhihir anena</title>
					  <link>http://www.habaritanzania.com/articles/4179/1/Mudhihir-anena</link>
					  <description>MBUNGE wa Mchinga, Mudhihir Mudhihir, amewataka Watanzania kutoihusisha ajali iliyosababisha akatwe mkono wake wa kuume na masuala ya kisiasa. Aidha, mbunge huyo amesema ajali hiyo iliyotokea Lindi mjini mwishoni mwa wiki iliyopita ilikuwa ni mapenzi ya Mungu</description>
					  <author>washawashaupupu@yahoo.com (Marshy Abdu)</author>
					  <pubDate>Tue, 18 Sep 2007 00:00:00 -0500</pubDate>
					 
					</item>

				

					<item>
					  <title>Mrema kuanza kukabidhi mikoba leo</title>
					  <link>http://www.habaritanzania.com/articles/4177/1/Mrema-kuanza-kukabidhi-mikoba-leo</link>
					  <description>MWENYEKITI wa Chama cha Tanzania Labour (TLP), Augustine Mrema, amesema leo ataanza kukabidhi baadhi ya mikoba yake kwa Mbunge wa Kigoma Kaskazini, Kabwe Zitto (Chadema), ikiwa ni ishara ya kuanza kustaafu siasa.</description>
					  <author>info@habaritanzania.com (Habari Tanzania)</author>
					  <pubDate>Sat, 15 Sep 2007 00:00:00 -0500</pubDate>
					 
					</item>

				

					<item>
					  <title>Mudhihir akatwa mkono</title>
					  <link>http://www.habaritanzania.com/articles/4176/1/Mudhihir-akatwa-mkono</link>
					  <description>MBUNGE wa Jimbo la Mchinga (CCM), Mudhihir Mudhihir, amehamishiwa katika Taasisi ya Mifupa ya Muhimbili (MOI), JIJINI Dar es Salaam, akiwa amekatwa mkono wa kulia kutokana na ajali aliyoipata mkoani Lindi, juzi.</description>
					  <author>info@habaritanzania.com (Habari Tanzania)</author>
					  <pubDate>Sat, 15 Sep 2007 00:00:00 -0500</pubDate>
					 
					</item>

				

					<item>
					  <title>Mwamunyange awa Mkuu mpya wa Majeshi</title>
					  <link>http://www.habaritanzania.com/articles/4174/1/Mwamunyange-awa-Mkuu-mpya-wa-Majeshi</link>
					  <description>RAIS Jakaya Kikwete amempandisha cheo Luteni Jenerali Davis Adolf Mwamunyange, kuwa Jenerali na kumteua kuwa Mkuu wa Majeshi. Jenerali Mwamunyange anachukua nafasi iliyoachwa wazi na Jenerali George Waitara, ambaye amestaafu rasmi jana.</description>
					  <author>washawashaupupu@yahoo.com (Marshy Abdu)</author>
					  <pubDate>Fri, 14 Sep 2007 00:00:00 -0500</pubDate>
					 
					</item>

				

					<item>
					  <title> Polisi yazuia Waislamu</title>
					  <link>http://www.habaritanzania.com/articles/4165/1/-Polisi-yazuia-Waislamu</link>
					  <description>                              POLISI Kanda Maalum ya Dar es Salaam, imeyapiga marufuku maandamano yaliyopangwa kufanywa na waumini wa dini ya Kiislamu kesho, kushinikiza kurejeshwa kwa kiwanja wanachodai kimeuzwa kinyume cha taratibu kwa kampuni moja jijini Dar es Salaam.</description>
					  <author>info@habaritanzania.com (Habari Tanzania)</author>
					  <pubDate>Thu, 06 Sep 2007 00:00:00 -0500</pubDate>
					 
					</item>

				

					<item>
					  <title>Walemave wilayani Kasulu wapatiwa msaada wa baiskeli.</title>
					  <link>http://www.habaritanzania.com/articles/4164/1/Walemave-wilayani-Kasulu-wapatiwa-msaada-wa-baiskeli.</link>
					  <description>Shirika la msaada wa injili vijijini lenye makao makuu jijini Dar es salaam  limetoa msaada wa baiskeli tano kwa walemavu wilayani kasulu mkoani kigoma.&#160; </description>
					  <author>pkwigize@yahoo.com (Prosper Kwigize)</author>
					  <pubDate>Tue, 04 Sep 2007 00:00:00 -0500</pubDate>
					 
					</item>

				

					<item>
					  <title>TRC yakodishwa</title>
					  <link>http://www.habaritanzania.com/articles/4160/1/TRC-yakodishwa</link>
					  <description>MKATABA wa ukodishwaji wa Shirika la Reli nchini (TRC) hatimaye umesainiwa huku ukiendelea kuacha utata mkubwa katika masuala kadhaa likiwamo la hatima ya wafanyakazi watakaopunguzwa.</description>
					  <author>washawashaupupu@yahoo.com (Marshy Abdu)</author>
					  <pubDate>Tue, 04 Sep 2007 00:00:00 -0500</pubDate>
					 
					</item>

				

					<item>
					  <title>CCM Kasulu chapata uongozi mpya 2007 - 2012</title>
					  <link>http://www.habaritanzania.com/articles/4153/1/CCM-Kasulu-chapata-uongozi-mpya-2007---2012</link>
					  <description>Chama cha mapinduzi wilaya ya Kasulu mkoani Kigoma Jumanne wiki hii kimepata viongozi wapya watakaokiongoza kwa kipindi cha miaka mitano ijayo, huku kikimwacha mtetezi wa nafasi ya uenyekiti.</description>
					  <author>pkwigize@yahoo.com (Prosper Kwigize)</author>
					  <pubDate>Sun, 02 Sep 2007 00:00:00 -0500</pubDate>
					 
					</item>

				

					<item>
					  <title>Jenerali Waitara aonya</title>
					  <link>http://www.habaritanzania.com/articles/4151/1/Jenerali-Waitara-aonya</link>
					  <description>JESHI la Wananchi wa Tanzania (JWTZ), limewaonya wananchi wote waliovamia maeneo ya jeshi hilo kote nchini, kuondoka mara moja katika maeneo hayo.</description>
					  <author>info@habaritanzania.com (Habari Tanzania)</author>
					  <pubDate>Sun, 02 Sep 2007 00:00:00 -0500</pubDate>
					 
					</item>

				

					<item>
					  <title>Vita ya makundi CCM</title>
					  <link>http://www.habaritanzania.com/articles/4150/1/Vita-ya-makundi-CCM</link>
					  <description>VITA ya makundi ndani ya Chama Cha Mapinduzi (CCM), hali ambayo imekuwa ikikitawala chama hicho kila nyakati za uchaguzi, sasa imeanza kuchukua sura mpya.</description>
					  <author>info@habaritanzania.com (Habari Tanzania)</author>
					  <pubDate>Sun, 02 Sep 2007 00:00:00 -0500</pubDate>
					 
					</item>

				

					<item>
					  <title>Zitto aijibu Barrick</title>
					  <link>http://www.habaritanzania.com/articles/4149/1/Zitto-aijibu-Barrick</link>
					  <description>MBUNGE wa Kigoma Kaskazini aliyesimamishwa, Zitto Zuberi Kabwe (Chadema), ameeleza kushangazwa na majibu ya Kampuni ya Barrick Tanzania, iliyoyatoa juzi kuhusu mazingira yaliyosababisha mkataba wa madini wa Buzwagi usainiwe London, Uingereza.</description>
					  <author>washawashaupupu@yahoo.com (Marshy Abdu)</author>
					  <pubDate>Wed, 29 Aug 2007 00:00:00 -0500</pubDate>
					 
					</item>

				

					<item>
					  <title>Msafara wa Vuai wajeruhi mwanafunzi</title>
					  <link>http://www.habaritanzania.com/articles/4140/1/Msafara-wa-Vuai-wajeruhi-mwanafunzi</link>
					  <description>MSAFARA wa Waziri Kiongozi wa Zanzibar, Shamsi Vuai Nahodha, umemgonga mwanafunzi mmoja wa shule ya Sekondari ya Mission na kusababisha kuvunjika mkono.</description>
					  <author>info@habaritanzania.com (Habari Tanzania)</author>
					  <pubDate>Sun, 26 Aug 2007 00:00:00 -0500</pubDate>
					 
					</item>

				

					<item>
					  <title>Mpakanjia sasa hoi</title>
					  <link>http://www.habaritanzania.com/articles/4139/1/Mpakanjia-sasa-hoi</link>
					  <description>ALIYEWAHI kuwa mume wa Mbunge wa Viti Maalumu, marehemu Amina Chifupa (UVCCM), Mohammed 'Meddy' Mpakanjia, aliyelazwa katika Hospitali ya Jeshi ya Lugalo, Dar es Salaam, hali yake ni mbaya na sasa analishwa kwa kutumia mirija.</description>
					  <author>info@habaritanzania.com (Habari Tanzania)</author>
					  <pubDate>Sun, 26 Aug 2007 00:00:00 -0500</pubDate>
					 
					</item>

				

					<item>
					  <title>Chaguzi CCM vurugu tupu</title>
					  <link>http://www.habaritanzania.com/articles/4138/1/Chaguzi-CCM-vurugu-tupu</link>
					  <description>WAKATI chaguzi za ngazi mbalimbali ndani ya Chama Cha Mapindizi (CCM), zikiwa zinakaribia, kampeni ya uchaguzi huo zimetawaliwa na wanachama wa chama hicho kugawanyika katika makundi na kufanyiana kampeni chafu na za kikabila miongoni mwa wagombea hao.</description>
					  <author>info@habaritanzania.com (Habari Tanzania)</author>
					  <pubDate>Sun, 26 Aug 2007 00:00:00 -0500</pubDate>
					 
					</item>

				

					<item>
					  <title>Waziri wa JK matatani</title>
					  <link>http://www.habaritanzania.com/articles/4137/1/Waziri-wa-JK-matatani</link>
					  <description>WAFANYAKAZI mkoani Dar es Salaam kupitia Shirikisho la Vyama vya Wafanyakazi Tanzania (TUCTA), wametishia kuandamana kumshinikiza Rais Jakaya Kikwete kumwondoa madarakani Waziri wa Nchi Ofisi ya Rais Utumishi wa Umma, Hawa Ghasia.</description>
					  <author>info@habaritanzania.com (Habari Tanzania)</author>
					  <pubDate>Sun, 26 Aug 2007 00:00:00 -0500</pubDate>
					 
					</item>

				

					<item>
					  <title>Profesa Shivji aonya</title>
					  <link>http://www.habaritanzania.com/articles/4136/1/Profesa-Shivji-aonya</link>
					  <description>MWANAZUONI maarufu hapa nchini na bingwa wa masuala ya sheria, Issa Shivji, amesema moto aliouwasha Mbunge wa Kigoma Kaskazini, Kabwe Zitto (CHADEMA), ni kielelezo cha wananchi kuchoshwa na dhuluma inayoendeshwa dhidi ya rasilimali zao.</description>
					  <author>washawashaupupu@yahoo.com (Marshy Abdu)</author>
					  <pubDate>Fri, 24 Aug 2007 00:00:00 -0500</pubDate>
					 
					</item>

				

					<item>
					  <title>Wananchi waeleza sababu za kumzomea mbunge</title>
					  <link>http://www.habaritanzania.com/articles/4135/1/Wananchi-waeleza-sababu-za-kumzomea-mbunge</link>
					  <description>WANANCHI wa Kahama, wamesema walimzomea Mbunge wao, James Lembeli (CCM), kwa kuwa alishindwa kuzungumzia sakata la utiaji saini mkataba wa uchimbaji wa dhahabu wa Buzwagi, hivyo kukosa imani kwake.</description>
					  <author>washawashaupupu@yahoo.com (Marshy Abdu)</author>
					  <pubDate>Fri, 24 Aug 2007 00:00:00 -0500</pubDate>
					 
					</item>

				

					<item>
					  <title>Jinamizi la Zitto lamfuata Kikwete</title>
					  <link>http://www.habaritanzania.com/articles/4132/1/Jinamizi-la-Zitto-lamfuata-Kikwete</link>
					  <description>KIWINGU cha hoja ya Mbunge wa Kigoma Kaskazini aliyesimamishwa, Kabwe Zubeir Zitto (Chadema), ya kupinga utiaji saini wa mkataba wa uchimbaji madini kati ya Kampuni ya Barrick Gold Mine na Waziri wa Nishati na Madini, sasa linaonekana kupanda juu na kumfikia Rais Jakaya Kikwete.</description>
					  <author>washawashaupupu@yahoo.com (Marshy Abdu)</author>
					  <pubDate>Wed, 22 Aug 2007 00:00:00 -0500</pubDate>
					 
					</item>

				

					<item>
					  <title>Hujuma hizi katika kata ya MINEPA zitakwisha lini</title>
					  <link>http://www.habaritanzania.com/articles/4130/1/Hujuma-hizi-katika-kata-ya-MINEPA-zitakwisha-lini</link>
					  <description>  	Kwanza kabisa napenda kumshukuru Mungu ambae  	ametupa uzima. Napenda pia kuwashukuru viongozi wetu wa chama  	na serikali kwa jinsi wanavyowajibika katika kuwatumikia watanzania katika  	wilaya hii ya Ulanga. </description>
					  <author>info@habaritanzania.com (Habari Tanzania)</author>
					  <pubDate>Tue, 21 Aug 2007 00:00:00 -0500</pubDate>
					 
					</item>

				

					<item>
					  <title>Bunge sasa lamuunga mkono Kabwe Zitto</title>
					  <link>http://www.habaritanzania.com/articles/4129/1/Bunge-sasa-lamuunga-mkono-Kabwe-Zitto</link>
					  <description> SIKU moja baada ya maelfu ya wakazi wa Dar es Salaam kumpokea kwa kishindo Mbunge wa Kigoma Kaskazini, Kabwe Zuberi Zitto (CHADEMA), Bunge la Jamhuri ya Muungano limeibuka na kusema kuwa hoja ya msingi iliyotolewa na mbunge huyo na kusababisha kusimamishwa bado ina nguvu.</description>
					  <author>washawashaupupu@yahoo.com (Marshy Abdu)</author>
					  <pubDate>Mon, 20 Aug 2007 00:00:00 -0500</pubDate>
					 
					</item>

				

					<item>
					  <title>Suala la Zitto lampeleka Mtikila mahakamani</title>
					  <link>http://www.habaritanzania.com/articles/4128/1/Suala-la-Zitto-lampeleka-Mtikila-mahakamani</link>
					  <description>SIKU moja baada ya kufanyika maandamano makubwa ya kumpokea Mbunge wa Kigoma Kaskazini, Kabwe Zuberi Zitto, yaliyohusisha vyama vya upinzani, Mwenyekiti wa Chama cha Democratic (DP), Mchungaji Christopher Mtikila ameibuka na kusema kuwa anafikiria kufungua kesi juu ya hoja iliyosababisha mbunge huyo kusimamishwa.</description>
					  <author>washawashaupupu@yahoo.com (Marshy Abdu)</author>
					  <pubDate>Mon, 20 Aug 2007 00:00:00 -0500</pubDate>
					 
					</item>

				

					<item>
					  <title>Spika, tuondolee utata huu</title>
					  <link>http://www.habaritanzania.com/articles/4127/1/Spika%2C-tuondolee-utata-huu</link>
					  <description>WATANZANIA kwa mara ya kwanza katika historia ya taifa hili, tunashuhudia kutikisika kwa nguzo moja muhimu ya utawala wa nchi yetu.</description>
					  <author>info@habaritanzania.com (Habari Tanzania)</author>
					  <pubDate>Sun, 19 Aug 2007 00:00:00 -0500</pubDate>
					 
					</item>

				

					<item>
					  <title>Serikali yaibiwa mafuta</title>
					  <link>http://www.habaritanzania.com/articles/4126/1/Serikali-yaibiwa-mafuta</link>
					  <description>SERIKALI inaibiwa maelfu ya lita za mafuta ya petroli na dizeli na watumishi wake.</description>
					  <author>info@habaritanzania.com (Habari Tanzania)</author>
					  <pubDate>Sun, 19 Aug 2007 00:00:00 -0500</pubDate>
					 
					</item>

				

					<item>
					  <title>CUF yapoza hasira</title>
					  <link>http://www.habaritanzania.com/articles/4125/1/CUF-yapoza-hasira</link>
					  <description>CHAMA cha Wananchi (CUF) kimetangaza kurejea katika meza ya mazungumzo ya kutafuta mwafaka wa kisiasa visiwani Zanzibar.</description>
					  <author>info@habaritanzania.com (Habari Tanzania)</author>
					  <pubDate>Sun, 19 Aug 2007 00:00:00 -0500</pubDate>
					 
					</item>

				

					<item>
					  <title>Zitto amgeukia JK</title>
					  <link>http://www.habaritanzania.com/articles/4124/1/Zitto-amgeukia-JK</link>
					  <description>SIKU nne tangu Bunge limsimamishe kufanya kazi za uwakilishi, Mbunge wa Kigoma Kaskazini, Kabwe Zitto (CHADEMA), amemgeukia Rais Jakaya Kikwete akimtahadharisha kuwa macho na kile alichokieleza kuwa kundi la viongozi mafisadi ndani ya serikali yake.</description>
					  <author>info@habaritanzania.com (Habari Tanzania)</author>
					  <pubDate>Sun, 19 Aug 2007 00:00:00 -0500</pubDate>
					 
					</item>

				

					<item>
					  <title>Kishindo cha Zitto kikubwa</title>
					  <link>http://www.habaritanzania.com/articles/4123/1/Kishindo-cha-Zitto-kikubwa</link>
					  <description>KISHINDO cha uamuzi wa Bunge kumsimamisha Mbunge wa Kigoma Kaskazini, Kabwe Zubeir Zitto (CHADEMA) kwa miezi mitano, bado kinaendelea kusikika kutoka maeneo mbalimbali nchini.</description>
					  <author>washawashaupupu@yahoo.com (Marshy Abdu)</author>
					  <pubDate>Sat, 18 Aug 2007 00:00:00 -0500</pubDate>
					 
					</item>

				

					<item>
					  <title>ILI KUIBADILI BONGO, &#34;Wa-Tank Man&#34;  WANAHITAJIKA</title>
					  <link>http://www.habaritanzania.com/articles/4120/1/ILI-KUIBADILI-BONGO%2C-%26quot%3BWa-Tank-Man%26quot%3B--WANAHITAJIKA</link>
					  <description>The Tank man&#34; anatukumbusha kuwa mchakato wa mabadiliko yoyote yale yawe ya kisiasa, kijamii ama kiuchumi hayataletwa na viongozi wenye majina makubwa yaliyozoeleka masikioni mwetu (Malecela, Kingunge, Malima, Mwinyi, Chambiri, Msuya, Sitta); bali mabadiliko halisi yataletwa na raia wa kawaida watakaohiyari kujitoa mhanga kutetea maslahi ya taifa bila kujali yanayoweza kuwatokea kesho. Kama Rais Kennedy alivyowahi kusema, utu wa kweli umekamilika ndani ya yule anayediriki kufanya kila awezacho kutetea haki na uhuru wake pasipokujali madhara yanayoweza kumkumba hapo baadaye.</description>
					  <author>edward@bongotz.com (Edward Chacha)</author>
					  <pubDate>Fri, 17 Aug 2007 00:00:00 -0500</pubDate>
					 
					</item>

				

					<item>
					  <title>CUF kutamka Jumamosi</title>
					  <link>http://www.habaritanzania.com/articles/4115/1/CUF-kutamka-Jumamosi</link>
					  <description>SIKU moja baada ya Rais Jakaya Kikwete kukitaka Chama cha Wanachi (CUF) kutosusia mazungumzo ya kusaka muafaka kati yake na Chama Cha Mapinduzi (CCM) juu ya hali ya kisiasa kisiwani Zanzibar, chama hicho kimesema kitaweka hadharani ukweli wa mambo keshokutwa Jumamosi.</description>
					  <author>info@habaritanzania.com (Habari Tanzania)</author>
					  <pubDate>Thu, 16 Aug 2007 00:00:00 -0500</pubDate>
					 
					</item>

				

					<item>
					  <title>Zitto Kabwe azua mambo</title>
					  <link>http://www.habaritanzania.com/articles/4114/1/Zitto-Kabwe-azua-mambo</link>
					  <description>UAMUZI wa Bunge kumsimamisha Mbunge wa Kigoma Kaskazini, Kabwe Zubeir Zitto, kwa miezi mitano, umepokewa kwa shingo upande, katika hali ya mshangao, masikitiko na kejeli na wananchi wa kada mbalimbali.</description>
					  <author>info@habaritanzania.com (Habari Tanzania)</author>
					  <pubDate>Thu, 16 Aug 2007 00:00:00 -0500</pubDate>
					 
					</item>

				

					<item>
					  <title>Ushindani wa bei wawaondoa soko la pamba</title>
					  <link>http://www.habaritanzania.com/articles/4111/1/Ushindani-wa-bei-wawaondoa-soko-la-pamba</link>
					  <description>KAMPUNI mbili kongwe zinazojishughulisha na ununuzi wa pamba, Nyanza Cooperative Union (1984) Ltd ya mkoani Mwanza na Mara Lint Industries Ltd ya Mkoa wa Mara, zimeshindwa kuhimili uashindani wa bei ya pamba wilayani Magu mwaka huu na kushindwa kununua hata kilo moja, imefahamika. </description>
					  <author>info@habaritanzania.com (Habari Tanzania)</author>
					  <pubDate>Wed, 15 Aug 2007 00:00:00 -0500</pubDate>
					 
					</item>

				

					<item>
					  <title>Wabunge wa CCM wamsulubu Zitto</title>
					  <link>http://www.habaritanzania.com/articles/4110/1/Wabunge-wa-CCM-wamsulubu-Zitto</link>
					  <description>HOJA binafsi iliyowasilishwa na Mbunge wa Kigoma Kaskazini, Zitto Kabwe (CHADEMA), ya kuliomba Bunge liunde kamati teule kuchunguza hatua ya Waziri wa Nishati na Madini, Nazir Karamagi, kusaini mkataba wa madini nje ya nchi, jana iligeuzwa na wabunge wa CCM na kuwa mwiba mkali kwa mbunge huyo kijana aliyesimamishwa Bunge hadi Januari mwakani. </description>
					  <author>info@habaritanzania.com (Habari Tanzania)</author>
					  <pubDate>Wed, 15 Aug 2007 00:00:00 -0500</pubDate>
					 
					</item>

				

					<item>
					  <title>Kikwete ainusuru Zanzibar</title>
					  <link>http://www.habaritanzania.com/articles/4109/1/Kikwete-ainusuru-Zanzibar</link>
					  <description>RAIS Jakaya Kikwete, kwa mara ya pili tangu ashike madaraka ya urais wa Jamhuri ya Tanzania, ametoa kauli ambayo inaweza ikaendelea kuinusuru Zanzibar katika hatari ya kutokea tena kwa machafuko ya kisiasa.</description>
					  <author>info@habaritanzania.com (Habari Tanzania)</author>
					  <pubDate>Wed, 15 Aug 2007 00:00:00 -0500</pubDate>
					 
					</item>

				

					<item>
					  <title>Upinzani: Makali ya bajeti yaanza kuonekana</title>
					  <link>http://www.habaritanzania.com/articles/4106/1/Upinzani%3A-Makali-ya-bajeti-yaanza-kuonekana</link>
					  <description>ONGEZEKO la kodi katika bidhaa za mafuta si tu limeleta athari katika usafirishaji wa abiria kama ambavyo imethibitika katika jamii, bali pia limesababisha kupanda kwa gharama za mazao yanayouzwa katika masoko katika mikoa mbali mbali nchini.</description>
					  <author>washawashaupupu@yahoo.com (Marshy Abdu)</author>
					  <pubDate>Tue, 14 Aug 2007 00:00:00 -0500</pubDate>
					 
					</item>

				

					<item>
					  <title>Mtandao waiba mabilioni</title>
					  <link>http://www.habaritanzania.com/articles/4104/1/Mtandao-waiba-mabilioni</link>
					  <description>MTANDAO mpya wa wizi wa fedha za serikali zilizotengwa kwa ajili ya malipo ya mafao ya waliokuwa wafanyakazi wa Jumuiya ya Afrika Mashariki, umeibuka.</description>
					  <author>washawashaupupu@yahoo.com (Marshy Abdu)</author>
					  <pubDate>Mon, 13 Aug 2007 00:00:00 -0500</pubDate>
					 
					</item>

				

					<item>
					  <title>DCI apata kigugumizi mchanga wa dhahabu</title>
					  <link>http://www.habaritanzania.com/articles/4102/1/DCI-apata-kigugumizi-mchanga-wa-dhahabu</link>
					  <description>SAKATA la makontena 74 miongoni mwa 261 yaliyokuwa na mchanga wenye madini yaliyozuiliwa na polisi kwa uchunguzi zaidi baada ya kubainika kuwa na utata, linaonekana kumwelemea Mkuu wa Upelelezi wa Makosa ya Jinai (DCI) Robert Manumba.</description>
					  <author>info@habaritanzania.com (Habari Tanzania)</author>
					  <pubDate>Sun, 12 Aug 2007 00:00:00 -0500</pubDate>
					 
					</item>

				

					<item>
					  <title>Wabunge wamgeuka Spika</title>
					  <link>http://www.habaritanzania.com/articles/4101/1/Wabunge-wamgeuka-Spika</link>
					  <description>BAADHI ya wabunge wa Chama Cha Mapinduzi (CCM), wameanza kuonyesha shaka dhidi ya utendaji kazi wa Spika wa Bunge, Samuel Sitta.</description>
					  <author>info@habaritanzania.com (Habari Tanzania)</author>
					  <pubDate>Sun, 12 Aug 2007 00:00:00 -0500</pubDate>
					 
					</item>

				

					<item>
					  <title>Kikwete ana siku 30</title>
					  <link>http://www.habaritanzania.com/articles/4100/1/Kikwete-ana-siku-30</link>
					  <description>WAFANYAKAZI wa Mkoa wa Dar es Salaam, wamemtumia malalamiko mazito, Rais Jakaya Kikwete, kuhusu hali ngumu ya maisha wanayokabiliana nayo, na wamemtaka awajibu ndani ya siku 30.</description>
					  <author>info@habaritanzania.com (Habari Tanzania)</author>
					  <pubDate>Sun, 12 Aug 2007 00:00:00 -0500</pubDate>
					 
					</item>

				

					<item>
					  <title>Dalili mbaya Zanzibar</title>
					  <link>http://www.habaritanzania.com/articles/4099/1/Dalili-mbaya-Zanzibar</link>
					  <description>Wabunge 31 wa CUF waondoka Dodoma. HALI ya kisiasa ya Zanzibar imeendelea kuwa ni ya wasiwasi mkubwa kutokana na matukio yaliyoanza kujitokeza katika kipindi cha siku za hivi karibuni. Baada ya viongozi mashuhuri wa kitaifa na kimataifa kuanza kueleza wasiwasi wao,&#160; </description>
					  <author>washawashaupupu@yahoo.com (Marshy Abdu)</author>
					  <pubDate>Sat, 11 Aug 2007 00:00:00 -0500</pubDate>
					 
					</item>

				

					<item>
					  <title>Mgomo mwingine kuibuka UDSM?</title>
					  <link>http://www.habaritanzania.com/articles/4098/1/Mgomo-mwingine-kuibuka-UDSM%3F</link>
					  <description>MGOGORO mpya unaweza ukaibuka tena katika Chuo Kikuu cha Dar es Salaam (UDSM), baada ya uongozi wa chuo hicho kuwaandikia barua ya kujieleza na kuitwa kwenye kamati ya nidhamu wanafunzi 20 ambao awali walisimamishwa masomo na kuwarejesha tena baada ya wenzao kutishia kugoma.</description>
					  <author>washawashaupupu@yahoo.com (Marshy Abdu)</author>
					  <pubDate>Sat, 11 Aug 2007 00:00:00 -0500</pubDate>
					 
					</item>

				

					<item>
					  <title>TvT yaibua mambo makubwa bungeni</title>
					  <link>http://www.habaritanzania.com/articles/4097/1/TvT-yaibua-mambo-makubwa-bungeni</link>
					  <description>MJADALA mzito umezuka bungeni juu ya uhalali wa Taasisi ya Utangazaji nchini (TUT) kutumia kodi ya wananchi kushindana na vyombo vya habari binafsi chini ya muungano wao wa MOAT.</description>
					  <author>info@habaritanzania.com (Habari Tanzania)</author>
					  <pubDate>Wed, 08 Aug 2007 00:00:00 -0500</pubDate>
					 
					</item>

				

					<item>
					  <title>CCM, CUF warushana</title>
					  <link>http://www.habaritanzania.com/articles/4096/1/CCM%2C-CUF-warushana</link>
					  <description>CHAMA Cha Mapinduzi (CCM) na Chama cha Wananchi (CUF) kila kimoja kwa wakati wake, vimeeleza kusikitishwa na mwenendo wa mwingine katika mazungumzo ya kutafuta suluhu ya kisiasa ya Zanzibar ambayo katika siku za hivi karibuni yameonekana kulegalega.</description>
					  <author>info@habaritanzania.com (Habari Tanzania)</author>
					  <pubDate>Wed, 08 Aug 2007 00:00:00 -0500</pubDate>
					 
					</item>

				

					<item>
					  <title>Jaji Warioba akerwa na unafiki wa kisiasa</title>
					  <link>http://www.habaritanzania.com/articles/4095/1/Jaji-Warioba-akerwa-na-unafiki-wa-kisiasa</link>
					  <description>WAZIRI Mkuu mstaafu na mwanasheria mkongwe, Jaji Joseph Warioba, ameeleza kushangazwa kwake na tabia za ukigeugeu za baadhi ya watu wanaohamahama vyama vya siasa.</description>
					  <author>info@habaritanzania.com (Habari Tanzania)</author>
					  <pubDate>Tue, 07 Aug 2007 00:00:00 -0500</pubDate>
					 
					</item>

				

					<item>
					  <title>Chifu Fundikira afariki dunia</title>
					  <link>http://www.habaritanzania.com/articles/4093/1/Chifu-Fundikira-afariki-dunia</link>
					  <description>MWANASIASA mkongwe na Chifu wa kabila la Wanyamwezi, Abdallah Said Fundikira, amefariki dunia. Habari zilizopatikana mjini hapa, zilieleza kuwa, Chifu Fundikira alifariki dunia jana majira ya saa 7:30 mchana nyumbani kwake Mwanza Road,</description>
					  <author>washawashaupupu@yahoo.com (Marshy Abdu)</author>
					  <pubDate>Tue, 07 Aug 2007 00:00:00 -0500</pubDate>
					 
					</item>

				

					<item>
					  <title>Mashahidi Kesi ya Wakenya hawaonekani wasakwa</title>
					  <link>http://www.habaritanzania.com/articles/4092/1/Mashahidi-Kesi-ya-Wakenya-hawaonekani-wasakwa</link>
					  <description>KATIKA hali ambayo haikutarajiwa, mashahidi wote kumi waliopangwa kutoa ushahidi wao katika kesi mbili tofauti za uporaji wa fedha katika maduka mawili ya kubadilisha fedha, jana hawakutokea mahakamani.</description>
					  <author>info@habaritanzania.com (Habari Tanzania)</author>
					  <pubDate>Mon, 06 Aug 2007 00:00:00 -0500</pubDate>
					 
					</item>

				

					<item>
					  <title>Mashahidi Kesi ya Wakenya hawaonekani wasakwa</title>
					  <link>http://www.habaritanzania.com/articles/4091/1/Mashahidi-Kesi-ya-Wakenya-hawaonekani-wasakwa</link>
					  <description>KATIKA hali ambayo haikutarajiwa, mashahidi wote kumi waliopangwa kutoa ushahidi wao katika kesi mbili tofauti za uporaji wa fedha katika maduka mawili ya kubadilisha fedha, jana hawakutokea mahakamani.</description>
					  <author>info@habaritanzania.com (Habari Tanzania)</author>
					  <pubDate>Mon, 06 Aug 2007 00:00:00 -0500</pubDate>
					 
					</item>

				

					<item>
					  <title>Wanasiasa &#39;vinyonga&#39; wanadidimiza demokrasia Tanzania</title>
					  <link>http://www.habaritanzania.com/articles/4090/1/Wanasiasa-%26%2339%3Bvinyonga%26%2339%3B-wanadidimiza-demokrasia-Tanzania</link>
					  <description>WAZIRI Mkuu Mstaafu, Jaji Joseph Sinde Warioba, ameeleza kukerwa kwake na na tabia ya baadhi ya wanasiasa ambao wamekuwa mamluki kwa kikimbilia vyama vingine kutafuta maslahi binafsi na kugeuka kama vinyonga. Vilevile, ameshangaa kwa nini vyama vinawapokea kwa shangwe na kuwapa madaraka.</description>
					  <author>info@habaritanzania.com (Habari Tanzania)</author>
					  <pubDate>Mon, 06 Aug 2007 00:00:00 -0500</pubDate>
					 
					</item>

				

					<item>
					  <title>Kikwete aisifu ufufuaji kahawa mkoani Kilimanjaro</title>
					  <link>http://www.habaritanzania.com/articles/4089/1/Kikwete-aisifu-ufufuaji-kahawa-mkoani-Kilimanjaro</link>
					  <description>RAIS Jakaya Kikwete ameipongeza Kampuni ya Kilimanjaro Plantation kwa kufufua zao la kahawa na kuliagiza Shirika la Umeme nchini (TANESCO) kutatua tatizo la umeme.</description>
					  <author>info@habaritanzania.com (Habari Tanzania)</author>
					  <pubDate>Mon, 06 Aug 2007 00:00:00 -0500</pubDate>
					 
					</item>

				

					<item>
					  <title>Waziri mkuu wa zamani asema katiba mpya haiepukiki</title>
					  <link>http://www.habaritanzania.com/articles/4088/1/Waziri-mkuu-wa-zamani-asema-katiba-mpya-haiepukiki</link>
					  <description>SERIKALI imetakiwa kuhakikisha kuwa inaridhia mabadiliko ya kikatiba, kwa kuwa hakuna namna ya kuyakimbia kutokana na umuhimu wake kwa jamii ya Watanzania wa sasa.</description>
					  <author>info@habaritanzania.com (Habari Tanzania)</author>
					  <pubDate>Mon, 06 Aug 2007 00:00:00 -0500</pubDate>
					 
					</item>

				

					<item>
					  <title>SMZ sasa yakiri upungufu</title>
					  <link>http://www.habaritanzania.com/articles/4085/1/SMZ-sasa-yakiri-upungufu</link>
					  <description>SERIKALI ya Mapinduzi Zanzibar (SMZ), imekiri kwamba inazo kasoro kadhaa katika utekelezaji wa utawala bora.</description>
					  <author>info@habaritanzania.com (Habari Tanzania)</author>
					  <pubDate>Sun, 05 Aug 2007 00:00:00 -0500</pubDate>
					 
					</item>

				

					<item>
					  <title>Balaa kubwa Anglikana</title>
					  <link>http://www.habaritanzania.com/articles/4084/1/Balaa-kubwa-Anglikana</link>
					  <description>KATIKA hatua inayoonyesha kukua kwa mgogoro ndani ya Kanisa la Anglikana Dayosisi ya Ruvuma, waumini wa kanisa hilo wanaompinga askofu wao wamelisambaratisha kanisa lao.</description>
					  <author>info@habaritanzania.com (Habari Tanzania)</author>
					  <pubDate>Sun, 05 Aug 2007 00:00:00 -0500</pubDate>
					 
					</item>

				

					<item>
					  <title>Vijana CCM wapigana kumrithi Amina Chifupa</title>
					  <link>http://www.habaritanzania.com/articles/4083/1/Vijana-CCM-wapigana-kumrithi-Amina-Chifupa</link>
					  <description>BARAZA Kuu la Umoja wa Vijana wa Chama Cha Mapinduzi (UVCCM) limetaka nafasi ya aliyekuwa Mbunge wa Viti Maalumu, marehemu Amina Chifupa, kupitia umoja huo, irithiwe na mtu kutoka Jumuiya hiyo.</description>
					  <author>info@habaritanzania.com (Habari Tanzania)</author>
					  <pubDate>Sun, 05 Aug 2007 00:00:00 -0500</pubDate>
					 
					</item>

				

					<item>
					  <title>Afrika Ngoma yawa gumzo Ujerumani</title>
					  <link>http://www.habaritanzania.com/articles/4079/1/Afrika-Ngoma-yawa-gumzo-Ujerumani</link>
					  <description>BENDI ya muziki wa dansi ya The Afrika Ngoma, ambayo inafanya shughuli zake nchini Ujerumani imezidi kupanda chati na kuwashika raia wa nchi mbalimbali nchini humo.</description>
					  <author>info@habaritanzania.com (Habari Tanzania)</author>
					  <pubDate>Sat, 04 Aug 2007 00:00:00 -0500</pubDate>
					 
					</item>

				

					<item>
					  <title>Polisi kudhibiti wizi kwenye ATM</title>
					  <link>http://www.habaritanzania.com/articles/4077/1/Polisi-kudhibiti-wizi-kwenye-ATM</link>
					  <description>JESHI la Polisi nchini limesema kuwa litakabiliana kwa nguvu zake zote na kuwakamata wale wote wanaojihusisha na wizi wa fedha kwenye ATM katika benki mbalimbali nchini.</description>
					  <author>info@habaritanzania.com (Habari Tanzania)</author>
					  <pubDate>Sat, 04 Aug 2007 00:00:00 -0500</pubDate>
					 
					</item>

				

					<item>
					  <title>Mwanajeshi akutwa na risasi 1,900</title>
					  <link>http://www.habaritanzania.com/articles/4076/1/Mwanajeshi-akutwa-na-risasi-1%2C900</link>
					  <description>MWANAJESHI wa Jeshi la Wananchi Tanzania (JWTZ), Henry Mwisongo (28), mwenye namba MT 80186 PT, amefikishwa katika Mahakama ya Hakimu Mkazi Kisutu, Dar es Salaam akikabiliwa na tuhuma za kupatikana na silaha mbili na risasi 1,982.</description>
					  <author>info@habaritanzania.com (Habari Tanzania)</author>
					  <pubDate>Sat, 04 Aug 2007 00:00:00 -0500</pubDate>
					 
					</item>

				

					<item>
					  <title>CHADEMA yalia na Karamagi</title>
					  <link>http://www.habaritanzania.com/articles/4075/1/CHADEMA-yalia-na-Karamagi</link>
					  <description>CHAMA cha Demekrasia na Maendeleo (CHADEMA) kimeungana na mbunge wake, Zitto Kabwe (Kigoma Kaskazini), kushikilia bango suala la serikali kusaini mkataba mpya wa madini nje ya nchi kabla hata kumaliza kupitia upya mikataba ya madini yenye utata.</description>
					  <author>info@habaritanzania.com (Habari Tanzania)</author>
					  <pubDate>Sat, 04 Aug 2007 00:00:00 -0500</pubDate>
					 
					</item>

				

					<item>
					  <title>CHADEMA yalia na Karamagi</title>
					  <link>http://www.habaritanzania.com/articles/4073/1/CHADEMA-yalia-na-Karamagi</link>
					  <description>CHAMA cha Demekrasia na Maendeleo (CHADEMA) kimeungana na mbunge wake, Zitto Kabwe (Kigoma Kaskazini), kushikilia bango suala la serikali kusaini mkataba mpya wa madini nje ya nchi kabla hata kumaliza kupitia upya mikataba ya madini yenye utata.</description>
					  <author>info@habaritanzania.com (Habari Tanzania)</author>
					  <pubDate>Sat, 04 Aug 2007 00:00:00 -0500</pubDate>
					 
					</item>

				

					<item>
					  <title>Vigogo wakabana CCM</title>
					  <link>http://www.habaritanzania.com/articles/4068/1/Vigogo-wakabana-CCM</link>
					  <description>HATIMAYE Chama Cha Mapinduzi (CCM) kimetangaza uteuzi wa wagombea wake waliowania nafasi mbalimbali za uongozi kuanzia ngazi ya wilaya hadi taifa. </description>
					  <author>info@habaritanzania.com (Habari Tanzania)</author>
					  <pubDate>Fri, 03 Aug 2007 00:00:00 -0500</pubDate>
					 
					</item>

				

					<item>
					  <title>Uraia wa nchi mbili karibuni</title>
					  <link>http://www.habaritanzania.com/articles/4067/1/Uraia-wa-nchi-mbili-karibuni</link>
					  <description>SUALA nyeti linalohusu uraia wa nchi mbili sasa lipo mikononi mwa Baraza la Mawaziri na linatarajiwa kulitolea maamuzi katika siku chache zijazo, Bunge lilielezwa jana.</description>
					  <author>info@habaritanzania.com (Habari Tanzania)</author>
					  <pubDate>Thu, 02 Aug 2007 00:00:00 -0500</pubDate>
					 
					</item>

				

					<item>
					  <title>CHADEMA yawanoa viongozi wake</title>
					  <link>http://www.habaritanzania.com/articles/4062/1/CHADEMA-yawanoa-viongozi-wake</link>
					  <description>WAJUMBE wa Kamati Kuu wa Chama cha Demokrasia na Maendeleo (CHADEMA), wamefanyiwa semina ya siku moja kuhusu mpango wa 'CHADEMA ni msingi - tumaini jipya la Watanzania'.</description>
					  <author>info@habaritanzania.com (Habari Tanzania)</author>
					  <pubDate>Tue, 31 Jul 2007 00:00:00 -0500</pubDate>
					 
					</item>

				

					<item>
					  <title>JK ateua Katibu Mkuu mpya</title>
					  <link>http://www.habaritanzania.com/articles/4061/1/JK-ateua-Katibu-Mkuu-mpya</link>
					  <description>RAIS Jakaya Kikwete, amemteua Mohamed Muya, kuwa Katibu Mkuu wa Wizara ya Mambo ya Ndani ya Nchi.</description>
					  <author>info@habaritanzania.com (Habari Tanzania)</author>
					  <pubDate>Tue, 31 Jul 2007 00:00:00 -0500</pubDate>
					 
					</item>

				

					<item>
					  <title>CCM yakana maamuzi</title>
					  <link>http://www.habaritanzania.com/articles/4060/1/CCM-yakana-maamuzi</link>
					  <description>CHAMA Cha Mapinduzi (CCM), kimekanusha taarifa zilizoandikwa jana katika magazeti kadhaa nchini (si Tanzania Daima), kuhusu kusimamishwa kwa uongozi wa vigogo kadhaa wa chama hicho kutokana na tuhuma mbalimbali za ubadhirifu wa fedha.</description>
					  <author>info@habaritanzania.com (Habari Tanzania)</author>
					  <pubDate>Tue, 31 Jul 2007 00:00:00 -0500</pubDate>
					 
					</item>

				

					<item>
					  <title>Mbunge astaajabisha</title>
					  <link>http://www.habaritanzania.com/articles/4059/1/Mbunge-astaajabisha</link>
					  <description>MBUNGE wa Biharamulo Magharibi, Phares Kabuye (TLP), jana aliwashtua wabunge na kuamsha hisia zao pale alipoinuka na kudai kuwa wabunge wote walipata ushindi baada ya kutumia rushwa.</description>
					  <author>info@habaritanzania.com (Habari Tanzania)</author>
					  <pubDate>Tue, 31 Jul 2007 00:00:00 -0500</pubDate>
					 
					</item>

				

					<item>
					  <title>Mke wa Bush ampamba Kikwete</title>
					  <link>http://www.habaritanzania.com/articles/4057/1/Mke-wa-Bush-ampamba-Kikwete</link>
					  <description>KITENDO cha Rais Jakaya Kikwete kupima hadharani virusi vinavyosababisha maradhi ya ukimwi, kimemkosha mke wa Rais wa Marekani, Laura Bush, ambaye amemwandikia rais barua ya kumpongeza.</description>
					  <author>info@habaritanzania.com (Habari Tanzania)</author>
					  <pubDate>Mon, 30 Jul 2007 00:00:00 -0500</pubDate>
					 
					</item>

				

					<item>
					  <title>STZ yakataa tangazo la Dk. Salmin</title>
					  <link>http://www.habaritanzania.com/articles/4056/1/STZ-yakataa-tangazo-la-Dk.-Salmin</link>
					  <description>SAUTI ya Tanzania Zanzibar (STZ) imelaumiwa kwa kukataa kutoa tangazo kuwataarifu wananchi wa Kijiji cha Mkwajuni, Mkoa wa Kaskazini Unguja juu ya ujio wa Rais mstaafu wa Zanzibar, Dk. Salmin Amour Juma, kijijini kwao Kidombo.</description>
					  <author>info@habaritanzania.com (Habari Tanzania)</author>
					  <pubDate>Mon, 30 Jul 2007 00:00:00 -0500</pubDate>
					 
					</item>

				

					<item>
					  <title>Lowassa apangua wakurugenzi, ateua wapya</title>
					  <link>http://www.habaritanzania.com/articles/4055/1/Lowassa-apangua-wakurugenzi%2C-ateua-wapya</link>
					  <description>WAZIRI Mkuu Edward Lowassa, chini ya dhamana yake ya Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa, amewateua Wakurugenzi wapya wa Mamlaka za Serikali za Mitaa na kuwabadilisha wengine vituo vyao vya kazi.</description>
					  <author>info@habaritanzania.com (Habari Tanzania)</author>
					  <pubDate>Sun, 29 Jul 2007 00:00:00 -0500</pubDate>
					 
					</item>

				

					<item>
					  <title>Kikwete aponda viti maalum</title>
					  <link>http://www.habaritanzania.com/articles/4054/1/Kikwete-aponda-viti-maalum</link>
					  <description>RAIS Jakaya Kikwete ameunga mkono pendekezo la kuondoa mfumo wa viti maalum kwa wabunge ili kuwafanya wanawake wagombee nafasi hizo kupitia majimbo.</description>
					  <author>info@habaritanzania.com (Habari Tanzania)</author>
					  <pubDate>Sun, 29 Jul 2007 00:00:00 -0500</pubDate>
					 
					</item>

				

					<item>
					  <title>Sumaye adai bilioni 20/- kortini Dar</title>
					  <link>http://www.habaritanzania.com/articles/4052/1/Sumaye-adai-bilioni-20%7B47%7D--kortini-Dar</link>
					  <description>WAZIRI Mkuu mstaafu, Frederick Sumaye, amefungua kesi katika Mahakama Kuu ya Tanzania akidai fidia ya shilingi bilioni 20 kwa madai ya kuchafuliwa jina lake.</description>
					  <author>washawashaupupu@yahoo.com (Marshy Abdu)</author>
					  <pubDate>Sat, 28 Jul 2007 00:00:00 -0500</pubDate>
					 
					</item>

				

					<item>
					  <title>Serikali yakataa mabadiliko ya katiba</title>
					  <link>http://www.habaritanzania.com/articles/4051/1/Serikali-yakataa-mabadiliko-ya-katiba</link>
					  <description>LICHA ya madai kutoka kwa watu mbalimbali wakiwemo wanasiasa wa kambi ya upinzani na wanaharakati, serikali imesema haina mpango wa kuanzisha mjadala wa mabadiliko ya katiba ya nchi kwa sasa, imefahamika.</description>
					  <author>washawashaupupu@yahoo.com (Marshy Abdu)</author>
					  <pubDate>Sat, 28 Jul 2007 00:00:00 -0500</pubDate>
					 
					</item>

				

					<item>
					  <title>Gavana Balali apoza wabunge</title>
					  <link>http://www.habaritanzania.com/articles/4048/1/Gavana-Balali-apoza-wabunge</link>
					  <description>KAMATI ya Bunge ya Fedha na Uchumi, imepitisha mahesabu ya fedha ya Benki Kuu ya Tanzania (BoT) ya mwaka 2005/06, baada ya Gavana wake, Daudi Balali, kutoa majibu yaliyoiridhisha kamati hiyo.</description>
					  <author>info@habaritanzania.com (Habari Tanzania)</author>
					  <pubDate>Fri, 27 Jul 2007 00:00:00 -0500</pubDate>
					 
					</item>

				

					<item>
					  <title>Polisi wazima mapigano ya koo Tarime</title>
					  <link>http://www.habaritanzania.com/articles/4046/1/Polisi-wazima-mapigano-ya-koo-Tarime</link>
					  <description>POLISI wilayani Tarime Mkoa wa Mara, wamefanikiwa kuzima mapigano ya koo za Wanchari na Wakira, baada ya kuwakutanisha viongozi na wananchi wa pande zote katika eneo la mapigano la Nyabichune.</description>
					  <author>washawashaupupu@yahoo.com (Marshy Abdu)</author>
					  <pubDate>Fri, 27 Jul 2007 00:00:00 -0500</pubDate>
					 
					</item>

				

					<item>
					  <title>Balali ana kwa ana na Kamati ya Bunge</title>
					  <link>http://www.habaritanzania.com/articles/4044/1/Balali-ana-kwa-ana-na-Kamati-ya-Bunge</link>
					  <description>KAMATI ya Bunge ya Fedha na Uchumi, imeanza kumhoji Gavana wa Benki Kuu (BoT), Daudi Balali, kuhusu matumizi ya taasisi hiyo kwa mwaka wa fedha wa 2005/2006.</description>
					  <author>washawashaupupu@yahoo.com (Marshy Abdu)</author>
					  <pubDate>Thu, 26 Jul 2007 00:00:00 -0500</pubDate>
					 
					</item>

				

					<item>
					  <title>Waraka wa siri washtua vigogo wa polisi</title>
					  <link>http://www.habaritanzania.com/articles/4040/1/Waraka-wa-siri-washtua-vigogo-wa-polisi</link>
					  <description>WARAKA wa siri unaoonyesha kupanda kwa viwango vya mishahara kwa askari polisi kuanzia wale wenye vyeo vya chini hadi vya juu uliolifikia Tanzania Daima mwishoni mwa wiki iliyopita, umesababisha mtafaruku mkubwa ndani ya jeshi hilo.</description>
					  <author>washawashaupupu@yahoo.com (Marshy Abdu)</author>
					  <pubDate>Wed, 25 Jul 2007 00:00:00 -0500</pubDate>
					 
					</item>

				

					<item>
					  <title>CUF wajitoe katika mazungumzo haya</title>
					  <link>http://www.habaritanzania.com/articles/4035/1/CUF-wajitoe-katika-mazungumzo-haya</link>
					  <description>CHAMA cha Wananchi (CUF) kimewekwa njia panda na Chama Cha Mapinduzi (CCM) katika kutafuta suluhisho la kile ambacho Rais Jakaya Kikwete kwa kauli yake mwenyewe alikipachika jina la mpasuko wa kisiasa wa Zanzibar.</description>
					  <author>info@habaritanzania.com (Habari Tanzania)</author>
					  <pubDate>Tue, 24 Jul 2007 00:00:00 -0500</pubDate>
					 
					</item>

				

					<item>
					  <title>Ikulu yamjibu Mbowe</title>
					  <link>http://www.habaritanzania.com/articles/4034/1/Ikulu-yamjibu-Mbowe</link>
					  <description>OFISI ya Rais (Ikulu), imekanusha madai ya Mwenyekiti wa Taifa wa CHADEMA, Freeman Mbowe, aliyoyatoa mwishoni mwa wiki wakati akihutubia mkutano wa hadhara Sirari, wilayani Tarime.</description>
					  <author>info@habaritanzania.com (Habari Tanzania)</author>
					  <pubDate>Tue, 24 Jul 2007 00:00:00 -0500</pubDate>
					 
					</item>

				

					<item>
					  <title>Ujambazi watikisa Bunge</title>
					  <link>http://www.habaritanzania.com/articles/4033/1/Ujambazi-watikisa-Bunge</link>
					  <description>KAMBI ya upinzani bungeni imeonyesha wasiwasi wake na uwezo wa majeshi nchini kudhibiti mipaka ya nchi na kuishauri serikali kuchukua hatua za haraka kuhakikisha hali hiyo inarekebishwa.</description>
					  <author>info@habaritanzania.com (Habari Tanzania)</author>
					  <pubDate>Tue, 24 Jul 2007 00:00:00 -0500</pubDate>
					 
					</item>

				

					<item>
					  <title>Ni aibu kuambulia medali moja Algeria</title>
					  <link>http://www.habaritanzania.com/articles/4030/1/Ni-aibu-kuambulia-medali-moja-Algeria</link>
					  <description>MICHEZO ya Mataifa ya Afrika 'All African Games' inafikia tamati leo mjini Algiers, Algeria huku Tanzania ikiwa imepata medali moja ya fedha kati ya wanamichezo wake 21 walioiwakilisha.</description>
					  <author>info@habaritanzania.com (Habari Tanzania)</author>
					  <pubDate>Mon, 23 Jul 2007 00:00:00 -0500</pubDate>
					 
					</item>

				

					<item>
					  <title>Oldonyo Lengai bado yachemka</title>
					  <link>http://www.habaritanzania.com/articles/4029/1/Oldonyo-Lengai-bado-yachemka</link>
					  <description>MIALE ya moto mwekundu ulioambatana na matetemeko makubwa katika maeneo kuzunguka Mlima wa Oldonyo Lengai wenye volkano hai uliopo wilayani hapa, imeongeza wasiwasi kuwa volkano ya mlima huo inaweza kulipuka wakati wowote.</description>
					  <author>info@habaritanzania.com (Habari Tanzania)</author>
					  <pubDate>Mon, 23 Jul 2007 00:00:00 -0500</pubDate>
					 
					</item>

				

					<item>
					  <title>Zitto awatega CCM</title>
					  <link>http://www.habaritanzania.com/articles/4028/1/Zitto-awatega-CCM</link>
					  <description>MAFUNZO yaliyotokana na nia ya kutaka kuwasilisha hoja binafsi iliyotolewa na Mbunge wa Karatu, Dk. Willibrod Slaa, (CHADEMA) kuhusiana na tuhuma za ubadhirifu wa Benki Kuu (BoT), yameacha somo kubwa kwa wapinzani.</description>
					  <author>info@habaritanzania.com (Habari Tanzania)</author>
					  <pubDate>Mon, 23 Jul 2007 00:00:00 -0500</pubDate>
					 
					</item>

				

					<item>
					  <title>Makani amtaka JK amwondoe Balali</title>
					  <link>http://www.habaritanzania.com/articles/4026/1/Makani-amtaka-JK-amwondoe-Balali</link>
					  <description>ALIYEKUWA Kaimu Gavana wa Benki Kuu na mwanasheria mashuhuri nchini, Bob Makani, amemshauri Rais Jakaya Kikwete kumfuta kazi Gavana wa Benki Kuu ya Tanzania (BoT), Daud Balali.</description>
					  <author>washawashaupupu@yahoo.com (Marshy Abdu)</author>
					  <pubDate>Mon, 23 Jul 2007 00:00:00 -0500</pubDate>
					 
					</item>

				

					<item>
					  <title>HakiElimu wamewakosea nini yarabi?</title>
					  <link>http://www.habaritanzania.com/articles/4025/1/HakiElimu-wamewakosea-nini-yarabi%3F</link>
					  <description>MBONA mwatutangazia kiama cha uhuru wa habari wakati ndio kunakucha? Mwanakwetu wanatupeleka mbali hawa. Eti waheshimiwa kadhaa wamesikika wakitoa kilio chao kuhusu HakiElimu! My God! Dhambi ya hawa HakiElimu ni ipi hadi wawakilishi wa watu waone kama hawa jamaa hawastahili kutoa maoni? Mbona yapo mengi zaidi ya kuongea kuliko kushauri watu wazibwe vinywa wasiseme yaliyo katika sakafu ya nyoyo zao? Nasema huko simo mwanangu. </description>
					  <author>info@habaritanzania.com (Habari Tanzania)</author>
					  <pubDate>Sat, 21 Jul 2007 00:00:00 -0500</pubDate>
					 
					</item>

				

					<item>
					  <title>Majambazi ya NMB sasa yazua kizaazaa</title>
					  <link>http://www.habaritanzania.com/articles/4023/1/Majambazi-ya-NMB-sasa-yazua-kizaazaa</link>
					  <description>JINAMIZI la tukio la ujambazi lililotokea katika benki ya NMB, wilayani Mwanga mwishoni mwa wiki iliyopita, limeitikisa miji ya Arusha na Moshi.</description>
					  <author>info@habaritanzania.com (Habari Tanzania)</author>
					  <pubDate>Sat, 21 Jul 2007 00:00:00 -0500</pubDate>
					 
					</item>

				

					<item>
					  <title>Nauli zapanda rasmi</title>
					  <link>http://www.habaritanzania.com/articles/4022/1/Nauli-zapanda-rasmi</link>
					  <description>MAMLAKA ya Udhibiti wa Usafiri wa Anga, Nchi Kavu na Majini (SUMATRA) umetangaza rasmi kupanda kwa nauli mpya za usafiri wa mabasi ya masafa marefu na daladala.</description>
					  <author>info@habaritanzania.com (Habari Tanzania)</author>
					  <pubDate>Sat, 21 Jul 2007 00:00:00 -0500</pubDate>
					 
					</item>

				

					<item>
					  <title>Tatizo la wanafunzi Ukraine laibuka bungeni</title>
					  <link>http://www.habaritanzania.com/articles/4021/1/Tatizo-la-wanafunzi-Ukraine-laibuka-bungeni</link>
					  <description>KAMBI ya upinzani bungeni, imeitaka serikali kufanya uchunguzi wa kina kuhusu tatizo la wanafunzi zaidi ya 20 wa Kitanzania waliokwama nchini Ukraine kutokana na kushindwa kulipa ada na gharama nyingine za masomo. </description>
					  <author>washawashaupupu@yahoo.com (Marshy Abdu)</author>
					  <pubDate>Sat, 21 Jul 2007 00:00:00 -0500</pubDate>
					 
					</item>

				

					<item>
					  <title>Umeme wa Mbinga kugharimu dola mil 50</title>
					  <link>http://www.habaritanzania.com/articles/4020/1/Umeme-wa-Mbinga-kugharimu-dola-mil-50</link>
					  <description>UPANUZI wa umeme wa gridi ya taifa kutoka kituo cha Makambako hadi Songea na kisha kupeleka umeme huo Wilaya ya Mbinga, Namtumbo na Ludewa utagharimu dola milioni 50.</description>
					  <author>washawashaupupu@yahoo.com (Marshy Abdu)</author>
					  <pubDate>Sat, 21 Jul 2007 00:00:00 -0500</pubDate>
					 
					</item>

				

					<item>
					  <title>Mwinyi: Kosoeni viongozi</title>
					  <link>http://www.habaritanzania.com/articles/4019/1/Mwinyi%3A-Kosoeni-viongozi</link>
					  <description>WAKATI baadhi ya viongozi wa serikali wamekuwa wakionyesha kutokuwa wavumilivu kutokana na ukosoaji unaofanywa na vyombo vya habari, Rais mstaafu wa Awamu ya Pili ameibuka na msimamo tofauti na huo.</description>
					  <author>info@habaritanzania.com (Habari Tanzania)</author>
					  <pubDate>Fri, 20 Jul 2007 00:00:00 -0500</pubDate>
					 
					</item>

				

					<item>
					  <title>Samatta aaga kwa kishindo</title>
					  <link>http://www.habaritanzania.com/articles/4018/1/Samatta-aaga-kwa-kishindo</link>
					  <description>JAJI Mkuu wa Tanzania anayestaafu leo, Barnabas Samatta, amesema zama na chama kimoja na Bunge kushika hatamu zimepitwa na wakati.</description>
					  <author>info@habaritanzania.com (Habari Tanzania)</author>
					  <pubDate>Fri, 20 Jul 2007 00:00:00 -0500</pubDate>
					 
					</item>

				

					<item>
					  <title>Wakora wavamia watalii, wawapora</title>
					  <link>http://www.habaritanzania.com/articles/4016/1/Wakora-wavamia-watalii%2C-wawapora</link>
					  <description>KUNDI la watu wanaodhaniwa kuwa ni majambazi wamewavamia watalii sita na kuwapora vitu mbalimbali ikiwemo fedha taslimu katika eneo la Mto wa Mbu wilayani Monduli usiku wa kuamkia jana.</description>
					  <author>info@habaritanzania.com (Habari Tanzania)</author>
					  <pubDate>Thu, 19 Jul 2007 00:00:00 -0500</pubDate>
					 
					</item>

				

					<item>
					  <title>MwanaHALISI laichokoza tena serikali</title>
					  <link>http://www.habaritanzania.com/articles/4015/1/MwanaHALISI-laichokoza-tena-serikali</link>
					  <description>SERIKALI imemtaka mhariri wa gazeti la MwanaHALISI kutoa maelezo kwa nini gazeti hilo lisichukuliwe hatua kutokana na habari iliyochapishwa katika toleo lake la jana ambayo serikali imeifananisha na "lugha ya matusi na kebehi kwa viongozi wakuu wa taifa." </description>
					  <author>info@habaritanzania.com (Habari Tanzania)</author>
					  <pubDate>Thu, 19 Jul 2007 00:00:00 -0500</pubDate>
					 
					</item>

				

					<item>
					  <title>Wabunge kupimwa ukimwi Jumamosi</title>
					  <link>http://www.habaritanzania.com/articles/4014/1/Wabunge-kupimwa-ukimwi-Jumamosi</link>
					  <description>SPIKA wa Bunge, Samuel Sitta, jana alitangaza kuwa siku ya Jumamosi itakuwa ni maalumu kwa wabunge wote kupima afya zao kujua kama wameambukizwa virusi vinavyosababisha ukimwi au la.</description>
					  <author>info@habaritanzania.com (Habari Tanzania)</author>
					  <pubDate>Thu, 19 Jul 2007 00:00:00 -0500</pubDate>
					 
					</item>

				

					<item>
					  <title>Familia ya Nyerere 'yaigeuka' nyumba</title>
					  <link>http://www.habaritanzania.com/articles/4013/1/Familia-ya-Nyerere-%91yaigeuka%92-nyumba</link>
					  <description>KATIKA tukio la nadra, mjane wa Baba wa Taifa, Mwalimu Julius Nyerere, Mama Maria Nyerere, jana alikanusha madai ya mmoja wa watoto wake, kuhusu kukerwa na uamuzi wa kubomolewa kwa nyumba ya Magomeni, jijini Dar es Salaam, aliyopata kuishi na mumewe zaidi ya miaka 40 iliyopita.</description>
					  <author>info@habaritanzania.com (Habari Tanzania)</author>
					  <pubDate>Thu, 19 Jul 2007 00:00:00 -0500</pubDate>
					 
					</item>

				

					<item>
					  <title>Wananchi Dar wataka Karamagi ashughulikiwe</title>
					  <link>http://www.habaritanzania.com/articles/4011/1/Wananchi-Dar-wataka-Karamagi-ashughulikiwe</link>
					  <description>SIKU chache baada ya Mbunge wa Kigoma Kaskazini, Zitto Kabwe (Chadema) kuibua kashfa dhidi ya Waziri wa Nishati na Madini, Nazir Karamagi, kusaini mkataba wa madini nje ya nchi, baadhi ya wananchi wamependekeza kiundwe chombo ambacho kitawashinikiza viongozi wenye kashfa kulazimishwa kujiuzulu.</description>
					  <author>washawashaupupu@yahoo.com (Marshy Abdu)</author>
					  <pubDate>Thu, 19 Jul 2007 00:00:00 -0500</pubDate>
					 
					</item>

				

					<item>
					  <title>Jaji Augustino Ramadhani awa Jaji Mkuu mpya</title>
					  <link>http://www.habaritanzania.com/articles/4010/1/Jaji-Augustino-Ramadhani-awa-Jaji-Mkuu-mpya</link>
					  <description>RAIS Jakaya Kikwete, amemteua Jaji wa Mahakama ya Rufaa Tanzania, Augustino Steven Lawrence Ramadhani, kuwa Jaji Mkuu mpya wa Tanzania.</description>
					  <author>info@habaritanzania.com (Habari Tanzania)</author>
					  <pubDate>Wed, 18 Jul 2007 00:00:00 -0500</pubDate>
					 
					</item>

				

					<item>
					  <title>Kabwe ambana Karamagi</title>
					  <link>http://www.habaritanzania.com/articles/4009/1/Kabwe-ambana-Karamagi</link>
					  <description>MBUNGE wa Kigoma Kaskazini, Zitto Kabwe (CHADEMA), amelitaka Bunge kuunda kamati ya kuchunguza uamuzi wa Waziri wa Nishati na Madini, Nazir Karamagi, wa kusaini mkataba wa madini nje ya nchi.</description>
					  <author>info@habaritanzania.com (Habari Tanzania)</author>
					  <pubDate>Wed, 18 Jul 2007 00:00:00 -0500</pubDate>
					 
					</item>

				

					<item>
					  <title>Zanzibar wadai mgawo wa madini</title>
					  <link>http://www.habaritanzania.com/articles/4008/1/Zanzibar-wadai-mgawo-wa-madini</link>
					  <description>SUALA la mgawanyo wa rasilimali zinazohesabika kuwa ni za Muungano, linazidi kuchukua sura mpya kila siku na sasa wajumbe wa Baraza la Wawakilishi kutoka Chama cha Wananchi (CUF) wanataka Zanzibar ipatiwe mgawo kutokana na mapato ya madini kabla ya kuanza kuchimbwa kwa mafuta ya Zanzibar.</description>
					  <author>washawashaupupu@yahoo.com (Marshy Abdu)</author>
					  <pubDate>Wed, 18 Jul 2007 00:00:00 -0500</pubDate>
					 
					</item>

				

					<item>
					  <title>Mrema amwangusha tena Tao</title>
					  <link>http://www.habaritanzania.com/articles/4007/1/Mrema-amwangusha-tena-Tao</link>
					  <description>MWENYEKITI wa Tanzania Labour Party (TLP), Augustine Mrema, jana aliondoka katika Mahakama ya Hakimu Mkazi Kisutu, Dar es Salaam kifua mbele baada ya mahakama hiyo kufuta mashitaka dhidi yake.</description>
					  <author>washawashaupupu@yahoo.com (Marshy Abdu)</author>
					  <pubDate>Wed, 18 Jul 2007 00:00:00 -0500</pubDate>
					 
					</item>

				

					<item>
					  <title>Ongezeko la ada sekta ya utalii, kitanzi kwa kampuni za uwindaji</title>
					  <link>http://www.habaritanzania.com/articles/4005/1/Ongezeko-la-ada-sekta-ya-utalii%2C-kitanzi-kwa-kampuni-za-uwindaji</link>
					  <description>HIVI karibuni, Mwenyekiti wa Chama cha Wamiliki wa Makampuni ya Uwindaji Tanzania (TAHOA), ambaye pia ni Makamu wa Rais Mtendaji wa Mfuko wa Hifadhi ya Wanyamapori Tanzania na Mshauri wa Kujitolea wa Tanzania mjini Nice, Ufaransa, Gerard Pasanisi, mmoja wa watu walio mstari wa mbele katika kusaidia Tanzania ipate msaada kutoka Serikali ya Ufaransa kwa ajili ya kujenga Uwanja wa Ndege wa Kimataifa wa Dar es Salaam chini ya uongozi wa Valery Giscard d'sEstaing, alifanya mahojiano na mwandishi wetu juu ya masuala mbalimbali yanayohusiana na shughuli za uwindaji wa kitalii nchini Tanzania, ambazo yeye ni mmoja wa waasisi wake. Hapa anaeleza zaidi. </description>
					  <author>info@habaritanzania.com (Habari Tanzania)</author>
					  <pubDate>Tue, 17 Jul 2007 00:00:00 -0500</pubDate>
					 
					</item>

				

					<item>
					  <title>Bil. 4.5/- hutumika kuanzisha wilaya</title>
					  <link>http://www.habaritanzania.com/articles/4004/1/Bil.-4.5%7B47%7D--hutumika-kuanzisha-wilaya</link>
					  <description>SERIKALI imesema kuwa inatambua umuhimu wa kuzigawanya wilaya kiutawala lakini imekuwa ikishindwa kutekeleza zoezi hilo kutoka na ghama kubwa ambazo huhitajika katika kuanzisha wilaya mpya.</description>
					  <author>info@habaritanzania.com (Habari Tanzania)</author>
					  <pubDate>Tue, 17 Jul 2007 00:00:00 -0500</pubDate>
					 
					</item>

				

					<item>
					  <title>'Punda wa Yesu' afungwa</title>
					  <link>http://www.habaritanzania.com/articles/4002/1/%91Punda-wa-Yesu%92-afungwa</link>
					  <description>MCHUNGAJI Peter Gabriel na wenzake watatu waliotuhumiwa kufukua maiti ya Samweli Limbu wilayani Kahama wamehukumiwa kwenda jela miaka minne.</description>
					  <author>info@habaritanzania.com (Habari Tanzania)</author>
					  <pubDate>Tue, 17 Jul 2007 00:00:00 -0500</pubDate>
					 
					</item>

				

					<item>
					  <title>Tetemeko latikisa Arusha, Dodoma</title>
					  <link>http://www.habaritanzania.com/articles/4001/1/Tetemeko-latikisa-Arusha%2C-Dodoma</link>
					  <description>BAADHI ya maeneo ya Mkoa wa Arusha kwa siku mbili mfululizo, yamekumbwa na tetemeko la ardhi ambalo halijawahi kutokea katika maeneo hayo kwa miaka mingi.</description>
					  <author>info@habaritanzania.com (Habari Tanzania)</author>
					  <pubDate>Tue, 17 Jul 2007 00:00:00 -0500</pubDate>
					 
					</item>

				

					<item>
					  <title>Zitto Kabwe afichua siri</title>
					  <link>http://www.habaritanzania.com/articles/4000/1/Zitto-Kabwe-afichua-siri</link>
					  <description>MBUNGE wa Kigoma Kaskazini, Zitto Kabwe (CHADEMA), jana alikuwa mwiba mkali kwa Waziri wa Nishati na Madini, Nazir Karamagi.</description>
					  <author>info@habaritanzania.com (Habari Tanzania)</author>
					  <pubDate>Tue, 17 Jul 2007 00:00:00 -0500</pubDate>
					 
					</item>

				

					<item>
					  <title>Wabunge wamjia juu Waziri Karamagi mkataba mpya London</title>
					  <link>http://www.habaritanzania.com/articles/3999/1/Wabunge-wamjia-juu-Waziri-Karamagi-mkataba-mpya-London</link>
					  <description>WABUNGE wamedai kuwa suala la kupanda kwa mafuta na migodi mikubwa kumilikiwa na wageni kuwa ni ushauri mbovu na uzembe wa watendaji serikalini.</description>
					  <author>info@habaritanzania.com (Habari Tanzania)</author>
					  <pubDate>Mon, 16 Jul 2007 00:00:00 -0500</pubDate>
					 
					</item>

				

					<item>
					  <title>Mtikila ataka rais mstaafu aweze kushtakiwa</title>
					  <link>http://www.habaritanzania.com/articles/3998/1/Mtikila-ataka-rais-mstaafu-aweze-kushtakiwa</link>
					  <description>MWENYEKITI wa Chama cha Democratic (DP), Mchungaji Christopher Mtikila, ametangaza azma ya kufungua kesi mahakamani kuomba kufutwa kwa sheria zinazomlinda rais mstaafu asishtakiwe kwa maovu aliyoyafanya akiwa madarakani na Bunge limwachishe kazi rais aliye madarakani anapokiuka Katiba ya nchi.</description>
					  <author>info@habaritanzania.com (Habari Tanzania)</author>
					  <pubDate>Mon, 16 Jul 2007 00:00:00 -0500</pubDate>
					 
					</item>

				

					<item>
					  <title>Watanzania waanza kufunga mikanda</title>
					  <link>http://www.habaritanzania.com/articles/3996/1/Watanzania-waanza-kufunga-mikanda</link>
					  <description>ATHARI za kupanda kwa kodi katika bajeti iliyotangazwa hivi karibuni na Waziri wa Fedha, Zakia Meghji, sasa zimeanza kuwaumiza Watanzania licha ya kauli za kila mara zinazotolewa na serikali za kudhibiti ongezeko la bei ya mafuta.</description>
					  <author>washawashaupupu@yahoo.com (Marshy Abdu)</author>
					  <pubDate>Mon, 16 Jul 2007 00:00:00 -0500</pubDate>
					 
					</item>

				

					<item>
					  <title>Mbowe kumsomesha mtoto aliyeulizia helikopta</title>
					  <link>http://www.habaritanzania.com/articles/3993/1/Mbowe-kumsomesha-mtoto-aliyeulizia-helikopta</link>
					  <description>MWENYEKITI wa taifa wa Chama cha Demokrasia na Maendeleo (CHADEMA), Freeman Mbowe, ameahidi kumsomesha hadi ngazi ya chuo kikuu, Rwechuhura Gozbert.</description>
					  <author>info@habaritanzania.com (Habari Tanzania)</author>
					  <pubDate>Sat, 14 Jul 2007 00:00:00 -0500</pubDate>
					 
					</item>

				

					<item>
					  <title>Meghji awasikitisha Z'Bar</title>
					  <link>http://www.habaritanzania.com/articles/3992/1/Meghji-awasikitisha-Z%92Bar</link>
					  <description>WAZIRI wa Nchi Ofisi ya Rais Ikulu, Dk. Mwinyihaji Makame, amesema amesikitishwa na kitendo cha Waziri wa Fedha wa Serikali ya Muungano, Zakia Meghji kutotekeleza ahadi yake ya kusaidia bajeti ya Zanzibar katika mwaka wa fedha 2006/07 kama alivyoahidi.</description>
					  <author>info@habaritanzania.com (Habari Tanzania)</author>
					  <pubDate>Sat, 14 Jul 2007 00:00:00 -0500</pubDate>
					 
					</item>

				

					<item>
					  <title>Balali ashtua watu</title>
					  <link>http://www.habaritanzania.com/articles/3990/1/Balali-ashtua-watu</link>
					  <description>WANASIASA na wanaharakati kadhaa, wameeleza kusikitishwa kwao na msimamo wa Gavana wa Benki Kuu (BoT), Daudi Balali wa kukataa kujiuzulu wadhifa wake kutokana na tuhuma mbalimbazi zinazoelekezwa kwake.</description>
					  <author>info@habaritanzania.com (Habari Tanzania)</author>
					  <pubDate>Sat, 14 Jul 2007 00:00:00 -0500</pubDate>
					 
					</item>

				

					<item>
					  <title>White Sands Hotel yaiibia DAWASCO</title>
					  <link>http://www.habaritanzania.com/articles/3989/1/White-Sands-Hotel-yaiibia-DAWASCO</link>
					  <description>UONGOZI wa Hoteli ya White Sands Resort umetiwa mbaroni kwa tuhuma za kujipatia huduma ya maji kinyume cha taratibu na kuisababishia hasara Mamlaka ya Maji Safi na Maji Taka Mkoa wa Dar es Salaam (DAWASCO).</description>
					  <author>info@habaritanzania.com (Habari Tanzania)</author>
					  <pubDate>Sat, 14 Jul 2007 00:00:00 -0500</pubDate>
					 
					</item>

				

					<item>
					  <title>Wananchi robo tatu hawataki Shirikisho</title>
					  <link>http://www.habaritanzania.com/articles/3988/1/Wananchi-robo-tatu-hawataki-Shirikisho</link>
					  <description>ROBO tatu ya Watanzania waliohojiwa kuhusu haja ya kuharakishwa kwa uundwaji wa Shirikisho la Afrika Mashariki, wamepinga mpango huo.  &#160;</description>
					  <author>washawashaupupu@yahoo.com (Marshy Abdu)</author>
					  <pubDate>Sat, 14 Jul 2007 00:00:00 -0500</pubDate>
					 
					</item>

				

					<item>
					  <title>Jibrudishe lakini jihadari</title>
					  <link>http://www.habaritanzania.com/articles/3986/1/Jibrudishe-lakini-jihadari</link>
					  <description>Hapa kenya hatuna vibaka wakawaida; wetu ni mabinti waliopevuka na hawatasita kukupekua na kisha kukupora.    </description>
					  <author>nthiongo@gmail.com (Nick Thiong'o)</author>
					  <pubDate>Sat, 14 Jul 2007 00:00:00 -0500</pubDate>
					 
					</item>

				

					<item>
					  <title>Taifa ombaomba lamkera Balali</title>
					  <link>http://www.habaritanzania.com/articles/3985/1/Taifa-ombaomba-lamkera-Balali</link>
					  <description>GAVANA wa Benki Kuu ya Tanzania (BoT), Daudi Balali, amesema moja ya udhaifu wa taifa kiuchumi umetokana na tabia ya kuomba bila aibu.</description>
					  <author>info@habaritanzania.com (Habari Tanzania)</author>
					  <pubDate>Fri, 13 Jul 2007 00:00:00 -0500</pubDate>
					 
					</item>

				

					<item>
					  <title>Kifo cha Amina Chifupa chaivuruga familia yake</title>
					  <link>http://www.habaritanzania.com/articles/3984/1/Kifo-cha-Amina-Chifupa-chaivuruga-familia-yake</link>
					  <description>KIFO cha aliyekuwa Mbunge wa Viti Maalum, Amina Chifupa (CCM), kinaonekana kuichanganya familia yake ambayo sasa imebadili mwelekeo wake wa awali, na kuanza kulihusisha tukio hilo na sababu za kishirikina.</description>
					  <author>info@habaritanzania.com (Habari Tanzania)</author>
					  <pubDate>Fri, 13 Jul 2007 00:00:00 -0500</pubDate>
					 
					</item>

				

					<item>
					  <title>Balali: Nimezushiwa</title>
					  <link>http://www.habaritanzania.com/articles/3982/1/Balali%3A-Nimezushiwa</link>
					  <description>GAVANA wa Benki Kuu ya Tanzania (BoT), Daudi Balali, amesema hatajiuzulu wadhifa wake kwani madai ya ubadhirifu yanayotolewa dhidi yake ni uzushi na uongo mtupu..</description>
					  <author>washawashaupupu@yahoo.com (Marshy Abdu)</author>
					  <pubDate>Fri, 13 Jul 2007 00:00:00 -0500</pubDate>
					 
					</item>

				

					<item>
					  <title>Singida yaongoza kwa umaskini</title>
					  <link>http://www.habaritanzania.com/articles/3981/1/Singida-yaongoza-kwa-umaskini</link>
					  <description>MKOA wa Singida, umeshika nafasi ya kwanza kwa umaskini uliokithiri hapa nchini katika kipindi cha mwaka mmoja. Hayo yamesemwa na Katibu Tawala Msaidizi wa huduma za uongozi na usimamizi, Sebastian Mundia,</description>
					  <author>washawashaupupu@yahoo.com (Marshy Abdu)</author>
					  <pubDate>Fri, 13 Jul 2007 00:00:00 -0500</pubDate>
					 
					</item>

				

					<item>
					  <title>Serikali yaonya wauaji wanaojifanya wananchi wenye &#65533;hasira kali&#65533;</title>
					  <link>http://www.habaritanzania.com/articles/3980/1/Serikali-yaonya-wauaji-wanaojifanya-wananchi-wenye-%26%2365533%3Bhasira-kali%26%2365533%3B</link>
					  <description>WAZIRI Mkuu, Edward Lowassa amesema kuwa serikali haitambui na haitawafumbia macho watu wanaoua wenzao kwa kisingizio cha kuwa na hasira kali.</description>
					  <author>info@habaritanzania.com (Habari Tanzania)</author>
					  <pubDate>Thu, 12 Jul 2007 00:00:00 -0500</pubDate>
					 
					</item>

				

					<item>
					  <title>Profesa kizimbani kwa kutishia kuua</title>
					  <link>http://www.habaritanzania.com/articles/3979/1/Profesa-kizimbani-kwa-kutishia-kuua</link>
					  <description>MHADHIRI Mwandamizi wa Chuo Kikuu cha Dar es Salaam, Profesa Haidary Amani, amefikishwa kizimbani katika Mahakama ya Hakimu Mkazi Wilaya ya Kinondoni kujibu shitaka la kutishia kuua.</description>
					  <author>info@habaritanzania.com (Habari Tanzania)</author>
					  <pubDate>Thu, 12 Jul 2007 00:00:00 -0500</pubDate>
					 
					</item>

				

					<item>
					  <title>Wabunge bado walia barabara, barabara</title>
					  <link>http://www.habaritanzania.com/articles/3978/1/Wabunge-bado-walia-barabara%2C-barabara</link>
					  <description>KAMA ni kilio cha barabara basi wabunge walitumia siku ya jana kila mmoja kwa staili yake, kuwasilisha kilio hicho huku baadhi wakitaka ujenzi wa barabara za lami nchini ufanywe kwa kuzingatia uchumi wa kijiografia.</description>
					  <author>info@habaritanzania.com (Habari Tanzania)</author>
					  <pubDate>Thu, 12 Jul 2007 00:00:00 -0500</pubDate>
					 
					</item>

				

					<item>
					  <title>Daladala zagomea safari Dar kwenda Morogoro</title>
					  <link>http://www.habaritanzania.com/articles/3977/1/Daladala-zagomea-safari-Dar-kwenda-Morogoro</link>
					  <description>WAMILIKI wa mabasi yanayotoa huduma katika mjini hapa, wamegoma kutoa huduma ya usafiri huo wakipinga kutoza nauli ya zamani kutokana na kupanda kwa bei ya mafuta.</description>
					  <author>info@habaritanzania.com (Habari Tanzania)</author>
					  <pubDate>Thu, 12 Jul 2007 00:00:00 -0500</pubDate>
					 
					</item>

				

					<item>
					  <title>Halmashauri kuongezewa fedha za barabara</title>
					  <link>http://www.habaritanzania.com/articles/3975/1/Halmashauri-kuongezewa-fedha-za-barabara</link>
					  <description>FEDHA za mifuko ya barabara katika halmashauri, zitaongezeka na kuongeza idadi ya barabara zitakazotengenezwa katika mwaka wa fedha 2007/08, Bunge limeelezwa.  &#160;</description>
					  <author>washawashaupupu@yahoo.com (Marshy Abdu)</author>
					  <pubDate>Thu, 12 Jul 2007 00:00:00 -0500</pubDate>
					 
					</item>

				

					<item>
					  <title>Maamuzi magumu tuliyoahidiwa yako wapi?</title>
					  <link>http://www.habaritanzania.com/articles/3973/1/Maamuzi-magumu-tuliyoahidiwa-yako-wapi%3F</link>
					  <description>ZIMETOLEWA ahadi nyingi lakini moja mbayo iliwashtua watu wengi na baadaye kuanza kuwafurahisha, ni ile iliyotolewa na Rais Jakaya Kikwete katika siku za mwanzo za utawala wake, akiwataka wananchi wajiandae kukabiliana na maamuzi magumu yatakayofanywa na serikali. </description>
					  <author>info@habaritanzania.com (Habari Tanzania)</author>
					  <pubDate>Wed, 11 Jul 2007 00:00:00 -0500</pubDate>
					 
					</item>

				

					<item>
					  <title>Tatizo si HakiElimu ni wanasiasa waoga</title>
					  <link>http://www.habaritanzania.com/articles/3971/1/Tatizo-si-HakiElimu-ni-wanasiasa-waoga</link>
					  <description>MIAKA zaidi ya 10 iliyopita, msomi maarufu nchini na mchambuzi wa masuala ya kisiasa na kisheria, Profesa Issa Shivji, alisema: "Wanasiasa hawapendi siasa, wanapenda madaraka." </description>
					  <author>info@habaritanzania.com (Habari Tanzania)</author>
					  <pubDate>Wed, 11 Jul 2007 00:00:00 -0500</pubDate>
					 
					</item>

				

					<item>
					  <title>Ulinzi watetea uamuzi wa kununua helikopta</title>
					  <link>http://www.habaritanzania.com/articles/3970/1/Ulinzi-watetea-uamuzi-wa-kununua-helikopta</link>
					  <description>SIKU chache baada ya Kampuni ya Khaisa Enterprises Ltd kufungua kesi ya madai ya fidia ya sh bilioni 16.8 dhidi ya serikali kwa madai ya kuvunjwa kwa mkataba wa kununua helikopta sita za Jeshi la Wananchi wa Tanzania (JWTZ), Wizara ya Ulinzi na Jeshi la kujenga Taifa, imeibuka na kuiponda kampuni hiyo.</description>
					  <author>info@habaritanzania.com (Habari Tanzania)</author>
					  <pubDate>Wed, 11 Jul 2007 00:00:00 -0500</pubDate>
					 
					</item>

				

					<item>
					  <title>Waliopandisha mafuta kubanwa</title>
					  <link>http://www.habaritanzania.com/articles/3969/1/Waliopandisha-mafuta-kubanwa</link>
					  <description>MAMLAKA ya Udhibiti wa Usafiri wa Majini na Nchi Kavu (SUMATRA), imepanga kukutana na Mamlaka ya Udhibiti wa Matumizi ya Maji, Nishati na Mazingira (EWURA), ili kupanga mikakati ya pamoja ya kuwabana wauzaji wa mafuta kupunguza bei ya nishati hiyo.</description>
					  <author>info@habaritanzania.com (Habari Tanzania)</author>
					  <pubDate>Wed, 11 Jul 2007 00:00:00 -0500</pubDate>
					 
					</item>

				

					<item>
					  <title>HakiElimu yaifumua bajeti ya elimu nchini</title>
					  <link>http://www.habaritanzania.com/articles/3968/1/HakiElimu-yaifumua-bajeti-ya-elimu-nchini</link>
					  <description>SIKU moja baada ya wabunge wawili wa Chama Cha Mapinduzi (CCM) kuitaka serikali ichukue hatua kali dhidi ya HakiElimu, taasisi hiyo imeibuka na kusema fedha nyingi zinazotengwa kwa ajili ya maendeleo ya elimu nchini hazitumiki ipasavyo.</description>
					  <author>info@habaritanzania.com (Habari Tanzania)</author>
					  <pubDate>Wed, 11 Jul 2007 00:00:00 -0500</pubDate>
					 
					</item>

				

					<item>
					  <title>Wapinzani: Elimu sasa bidhaa</title>
					  <link>http://www.habaritanzania.com/articles/3967/1/Wapinzani%3A-Elimu-sasa-bidhaa</link>
					  <description>KAMBI ya Upinzani bungeni imeilaumu serikali kwa kusababisha elimu igeuke kutoka kuwa huduma muhimu kijamii na kuwa bidhaa.</description>
					  <author>info@habaritanzania.com (Habari Tanzania)</author>
					  <pubDate>Tue, 10 Jul 2007 00:00:00 -0500</pubDate>
					 
					</item>

				

					<item>
					  <title>Daktari mbaroni akidaiwa kuua</title>
					  <link>http://www.habaritanzania.com/articles/3966/1/Daktari-mbaroni-akidaiwa-kuua</link>
					  <description>DAKTARI Catherine Mng'ong'o (46) na wenzake watatu jana walipandishwa kizimbani katika Mahakama ya Hakimu Mkazi Kisutu, kwa tuhuma za mauaji ya mfanyabiashara Leonard Chandika.</description>
					  <author>info@habaritanzania.com (Habari Tanzania)</author>
					  <pubDate>Tue, 10 Jul 2007 00:00:00 -0500</pubDate>
					 
					</item>

				

					<item>
					  <title>Seleli aapa kuwabana Chenge, Karamagi</title>
					  <link>http://www.habaritanzania.com/articles/3959/1/Seleli-aapa-kuwabana-Chenge%2C-Karamagi</link>
					  <description>MBUNGE wa Nzega (CCM), Lucas Selelii, amesema bado hajabadili msimamo wake wa kuzibana Wizara za Miundombinu na Nishati na Madini licha ya serikali kutenga fungu kwa ujenzi wa barabara ya kati Dodoma-Singida.</description>
					  <author>info@habaritanzania.com (Habari Tanzania)</author>
					  <pubDate>Mon, 09 Jul 2007 00:00:00 -0500</pubDate>
					 
					</item>

				

					<item>
					  <title>Kero za kivuko Dar zina mkono wa Mfanyabiashara</title>
					  <link>http://www.habaritanzania.com/articles/3958/1/Kero-za-kivuko-Dar-zina-mkono-wa-Mfanyabiashara</link>
					  <description>WAKATI usalama wa mali na maisha ya abiria wanaosafiri kati ya Magogoni na Kigamboni jijini Dar es Salaam ukiwa hatarini kutokana na vivuko vya serikali kuwa vibovu, mfanyabiashara maarufu nchini kwa kushirikiana na baadhi ya vigogo wa miundombinu amekwamisha uagizaji wa kivuko cha kukodi cha sh 2 bilioni, akitaka zabuni hiyo apewe yeye.</description>
					  <author>info@habaritanzania.com (Habari Tanzania)</author>
					  <pubDate>Mon, 09 Jul 2007 00:00:00 -0500</pubDate>
					 
					</item>

				

					<item>
					  <title>RVF: Waziri akiri hali ni mbaya</title>
					  <link>http://www.habaritanzania.com/articles/3957/1/RVF%3A-Waziri-akiri-hali-ni-mbaya</link>
					  <description>WAZIRI wa Afya na Ustawi wa Jamii, Profesa David Mwakyusa, amekiri kuwa Hospitali ya Mkoa wa Dodoma imezidiwa na wagonjwa wa homa ya Bonde la Ufa (RVF) na kuwa wamelazimika kuchukua wauguzi wanafunzi wa Chuo Mirembe mkoani hapa kusaidia. </description>
					  <author>info@habaritanzania.com (Habari Tanzania)</author>
					  <pubDate>Mon, 09 Jul 2007 00:00:00 -0500</pubDate>
					 
					</item>

				

					<item>
					  <title>Hamad Rashid aokoa nyumba yake kunadiwa</title>
					  <link>http://www.habaritanzania.com/articles/3956/1/Hamad-Rashid-aokoa-nyumba-yake-kunadiwa</link>
					  <description>KIONGOZI wa Kambi ya Upinzani katika Bunge la Jamhuri ya Muungano, Hamad Rashid Mohamed, ameinusuru nyumba yake kupigwa mnada uliopangwa kufanyika kesho kwa kile kilichodaiwa kuwa ni kushindwa kulipa mkopo wa mamilioni ya fedha alizokopa katika benki moja ya jijini Dar es Salaam.</description>
					  <author>washawashaupupu@yahoo.com (Marshy Abdu)</author>
					  <pubDate>Mon, 09 Jul 2007 00:00:00 -0500</pubDate>
					 
					</item>

				

					<item>
					  <title>Bunda watumia bil. 3.4/- elimu</title>
					  <link>http://www.habaritanzania.com/articles/3955/1/Bunda-watumia-bil.-3.4%7B47%7D--elimu</link>
					  <description>IDARA ya elimu katika Halmashauri ya Wilaya ya Bunda, mkoani Mara, imetumia zaidi ya sh bilioni 3.4 kwa ajili ya ujenzi wa nyumba za walimu na shughuli za maendeleo ya elimu kwa kipindi cha miaka mitano.</description>
					  <author>washawashaupupu@yahoo.com (Marshy Abdu)</author>
					  <pubDate>Mon, 09 Jul 2007 00:00:00 -0500</pubDate>
					 
					</item>

				

					<item>
					  <title>Amuua mamaye msibani</title>
					  <link>http://www.habaritanzania.com/articles/3953/1/Amuua-mamaye-msibani</link>
					  <description>MKAZI wa Kijiji cha Mwamalili, wilayani Shinyanga, Mande Manyanya (22), anashikiliwa na polisi kwa tuhuma za kumuua mama yake mzazi akiwa msibani.</description>
					  <author>info@habaritanzania.com (Habari Tanzania)</author>
					  <pubDate>Sat, 07 Jul 2007 00:00:00 -0500</pubDate>
					 
					</item>

				

					<item>
					  <title>Amuua mamaye msibani</title>
					  <link>http://www.habaritanzania.com/articles/3952/1/Amuua-mamaye-msibani</link>
					  <description>MKAZI wa Kijiji cha Mwamalili, wilayani Shinyanga, Mande Manyanya (22), anashikiliwa na polisi kwa tuhuma za kumuua mama yake mzazi akiwa msibani.</description>
					  <author>info@habaritanzania.com (Habari Tanzania)</author>
					  <pubDate>Sat, 07 Jul 2007 00:00:00 -0500</pubDate>
					 
					</item>

				

					<item>
					  <title>Serikali Kuu mahakamani</title>
					  <link>http://www.habaritanzania.com/articles/3948/1/Serikali-Kuu-mahakamani</link>
					  <description>KAMPUNI ya Khaisa Enterprises Ltd imefungua kesi ya kudai fidia sh bilioni 16.8 dhidi ya serikali kwa madai ya kuvunja mkataba wa kununua helikopta sita za Jeshi la Wananchi wa Tanzania (JWTZ).</description>
					  <author>washawashaupupu@yahoo.com (Marshy Abdu)</author>
					  <pubDate>Fri, 06 Jul 2007 00:00:00 -0500</pubDate>
					 
					</item>

				

					<item>
					  <title>Barua kwa vijana wa Tanzania</title>
					  <link>http://www.habaritanzania.com/articles/3940/1/Barua-kwa-vijana-wa-Tanzania</link>
					  <description>Leo nimeona niwasiliane nanyi kupitia safu hii. Wengi wenu mnanifuatilia vipindi vyangu vya luninga na kwenye safu hii hasa mfululizo wa makala saba zilizotangulia kuhusu haja ya chama tawala kuwa na taswira mpya. </description>
					  <author>info@habaritanzania.com (Habari Tanzania)</author>
					  <pubDate>Fri, 06 Jul 2007 00:00:00 -0500</pubDate>
					 
					</item>

				

					<item>
					  <title>Mtanunua mashangingi mangapi?</title>
					  <link>http://www.habaritanzania.com/articles/3939/1/Mtanunua-mashangingi-mangapi%3F</link>
					  <description>OFISI ya Waziri Mkuu, Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa (TAMISEMI), hivi karibuni imewaeleza wabunge kuwa serikali haijatenga fedha katika bajeti yake ya mwaka huu kwa ajili ya kununulia magari ya wagonjwa katika halmashauri. </description>
					  <author>info@habaritanzania.com (Habari Tanzania)</author>
					  <pubDate>Fri, 06 Jul 2007 00:00:00 -0500</pubDate>
					 
					</item>

				

					<item>
					  <title>Lowassa; tumejifunza kitu msongamano Dar</title>
					  <link>http://www.habaritanzania.com/articles/3938/1/Lowassa%3B-tumejifunza-kitu-msongamano-Dar</link>
					  <description>TATIZO la msongamano mkubwa wa magari katika maeneo mbalimbali ya Jiji la Dar es Salaam na sehemu nyingine nchini limekuwa ni tatizo linaloumiza vichwa vya watumiaji wengi wa barabara akiwamo Waziri Mkuu, Edward Lowassa.</description>
					  <author>info@habaritanzania.com (Habari Tanzania)</author>
					  <pubDate>Fri, 06 Jul 2007 00:00:00 -0500</pubDate>
					 
					</item>

				

					<item>
					  <title>Polisi wanasa madereva, leseni feki</title>
					  <link>http://www.habaritanzania.com/articles/3937/1/Polisi-wanasa-madereva%2C-leseni-feki</link>
					  <description>JESHI la Polisi nchini limefanikiwa kukamata madereva na leseni feki wakati wa ukaguzi wa leseni na kuhakiki uzima wa magari hayo ili kukabiliana na tatizo la ajali.</description>
					  <author>info@habaritanzania.com (Habari Tanzania)</author>
					  <pubDate>Fri, 06 Jul 2007 00:00:00 -0500</pubDate>
					 
					</item>

				

					<item>
					  <title>Serikali haijateua mzabuni kutengeneza vitambulisho</title>
					  <link>http://www.habaritanzania.com/articles/3936/1/Serikali-haijateua-mzabuni-kutengeneza-vitambulisho</link>
					  <description>SERIKALI bado haijateua mzabuni wa kutengeneza vitambulisho vya taifa nchini na kwamba kazi hiyo itasimamiwa na taasisi ya vitambulisho vya taifa iliyoanzishwa nchini.</description>
					  <author>info@habaritanzania.com (Habari Tanzania)</author>
					  <pubDate>Fri, 06 Jul 2007 00:00:00 -0500</pubDate>
					 
					</item>

				

					<item>
					  <title>Muungano majaribuni</title>
					  <link>http://www.habaritanzania.com/articles/3935/1/Muungano-majaribuni</link>
					  <description>SERIKALI inamtafuta mshauri mwelekezaji atakayeishauri kuhusu mgawanyo wa mafuta yanayoonyesha dalili kubwa ya kugundulika nchini, kati ya Serikali ya Muungano na ile ya Mapinduzi Zanzibar.</description>
					  <author>info@habaritanzania.com (Habari Tanzania)</author>
					  <pubDate>Fri, 06 Jul 2007 00:00:00 -0500</pubDate>
					 
					</item>

				

					<item>
					  <title>Slaa afufua mzuka wa Richmond tena</title>
					  <link>http://www.habaritanzania.com/articles/3934/1/Slaa-afufua-mzuka-wa-Richmond-tena</link>
					  <description>MBUNGE wa Karatu, Dk. Willibrod Slaa (CHADEMA), ameibua upya sakata la zabuni ya kampuni ya kuzalisha umeme wa dharura ya Richmond Development Company (RDC) ambalo lilitangazwa kufungwa na Taasisi ya Kuzuia Rushwa (TAKURU).</description>
					  <author>info@habaritanzania.com (Habari Tanzania)</author>
					  <pubDate>Fri, 06 Jul 2007 00:00:00 -0500</pubDate>
					 
					</item>

				

					<item>
					  <title>Lowassa ajifunze kwa Gordon Brown</title>
					  <link>http://www.habaritanzania.com/articles/3933/1/Lowassa-ajifunze-kwa-Gordon-Brown</link>
					  <description>WIKI iliyopita dunia ilishuhudia Uingereza ikimpata Waziri Mkuu mpya, Gordon Brown. Halikuwa ni jambo la kushtukiza kwa sababu tangu mwaka 1997 Waziri Mkuu aliyeondoka, Tony Blair, uvumi ulitanda kwamba viongozi hao walikuwa wamekubaliana jinsi ya kuachiana madaraka.</description>
					  <author>info@habaritanzania.com (Habari Tanzania)</author>
					  <pubDate>Wed, 04 Jul 2007 00:00:00 -0500</pubDate>
					 
					</item>

				

					<item>
					  <title>Mbowe: Tunatawaliwa na wakoloni weusi</title>
					  <link>http://www.habaritanzania.com/articles/3931/1/Mbowe%3A-Tunatawaliwa-na-wakoloni-weusi</link>
					  <description>VIONGOZI wa vyama vinne vikuu vya upinzani wamehitimisha ziara yao ya siku 16 mikoani kwa kutoa hotuba nzito ambazo zinaweza kuliweka taifa katika mwelekeo tofauti kabisa miaka michache ijayo.</description>
					  <author>info@habaritanzania.com (Habari Tanzania)</author>
					  <pubDate>Wed, 04 Jul 2007 00:00:00 -0500</pubDate>
					 
					</item>

				

					<item>
					  <title>Kingunge ayakanyaga makombora ya CUF</title>
					  <link>http://www.habaritanzania.com/articles/3930/1/Kingunge-ayakanyaga-makombora-ya-CUF</link>
					  <description>WAZIRI wa Nchi katika Ofisi ya Rais anayeshughulikia Siasa na Mahusiano ya Jamii, Kingunge Ngombale-Mwiru, ameleeza kushangazwa na hatua ya wapinzani ya kutaka kuharakishwa kwa mazungumzo ya kutafuta muafaka wa kisiasa wa Zanzibar.</description>
					  <author>info@habaritanzania.com (Habari Tanzania)</author>
					  <pubDate>Wed, 04 Jul 2007 00:00:00 -0500</pubDate>
					 
					</item>

				

					<item>
					  <title>Kikwete akerwa na walinzi wake</title>
					  <link>http://www.habaritanzania.com/articles/3928/1/Kikwete-akerwa-na-walinzi-wake</link>
					  <description>RAIS Jakaya Kikwete jana alilazimika kuingilia kati na kuwataka walinzi wake waache kuwabughudhi wapiga picha ambao walikwenda kutekeleza majukumu yao katika mapokezi ya Rais wa Msumbiji, Armando Guebuza.</description>
					  <author>washawashaupupu@yahoo.com (Marshy Abdu)</author>
					  <pubDate>Wed, 04 Jul 2007 00:00:00 -0500</pubDate>
					 
					</item>

				

					<item>
					  <title>Serikali kurejesha baadhi ya kodi</title>
					  <link>http://www.habaritanzania.com/articles/3921/1/Serikali-kurejesha-baadhi-ya-kodi</link>
					  <description>MSIMAMO ulioonyeshwa na wabunge kuhusiana na posho za madiwani, umeilazimisha serikali kuangalia uwezekano wa kurejesha baadhi ya kodi zilizofutwa.</description>
					  <author>info@habaritanzania.com (Habari Tanzania)</author>
					  <pubDate>Tue, 03 Jul 2007 00:00:00 -0500</pubDate>
					 
					</item>

				

					<item>
					  <title>"Waziri Kiongozi mwoga"</title>
					  <link>http://www.habaritanzania.com/articles/3920/1/%93Waziri-Kiongozi-mwoga%94</link>
					  <description>BAADHI ya wajumbe wa Baraza la Wawakilishi Zanzibar, wamemlaumu Waziri Kiongozi, Shamsi Vuai Nahodha, kwa kushindwa kusimamia kazi zake ipasavyo na kuonyesha woga kwa watendaji walio chini yake.</description>
					  <author>info@habaritanzania.com (Habari Tanzania)</author>
					  <pubDate>Tue, 03 Jul 2007 00:00:00 -0500</pubDate>
					 
					</item>

				

					<item>
					  <title>Mafuta, nauli zapanda</title>
					  <link>http://www.habaritanzania.com/articles/3919/1/Mafuta%2C-nauli-zapanda</link>
					  <description>IKIWA leo ni siku ya tatu tangu kuanza kwa mwaka mpya wa fedha wa 2007/08, machungu ya bajeti yanaonekana kuanza kupanda kidogo kidogo kutokana na kupanda kwa bei ya bidhaa za petroli na nauli za mabasi, Tanzania Daima imethibitisha.</description>
					  <author>info@habaritanzania.com (Habari Tanzania)</author>
					  <pubDate>Tue, 03 Jul 2007 00:00:00 -0500</pubDate>
					 
					</item>

				

					<item>
					  <title>Lowassa: Tuhuma BoT zinashitusha</title>
					  <link>http://www.habaritanzania.com/articles/3918/1/Lowassa%3A-Tuhuma-BoT-zinashitusha</link>
					  <description>WAZIRI Mkuu, Edward Lowassa, amesema serikali imeshtushwa na kusikitishwa na kuwapo kwa tuhuma za ubadhirifu wa mabilioni ya fedha katika Benki Kuu (BoT).</description>
					  <author>info@habaritanzania.com (Habari Tanzania)</author>
					  <pubDate>Tue, 03 Jul 2007 00:00:00 -0500</pubDate>
					 
					</item>

				

					<item>
					  <title>Musoma waanza kuonja makali ya bajeti</title>
					  <link>http://www.habaritanzania.com/articles/3914/1/Musoma-waanza-kuonja-makali-ya-bajeti</link>
					  <description>WAKAZI wa Manispaa ya Musoma, mkoani Mara, wameanza kuonja makali ya bajeti ya mwaka 2007/08 baada ya kupanda kwa bei ya dizeli na petroli katika vituo mbalimbali vya mafuta mjini hapa, hivyo kusababisha nauli na bidhaa mbalimbali muhimu kupanda pia.</description>
					  <author>info@habaritanzania.com (Habari Tanzania)</author>
					  <pubDate>Mon, 02 Jul 2007 00:00:00 -0500</pubDate>
					 
					</item>

				

					<item>
					  <title>Kandoro, wapiga debe wazua jambo Dar</title>
					  <link>http://www.habaritanzania.com/articles/3913/1/Kandoro%2C-wapiga-debe-wazua-jambo-Dar</link>
					  <description>MAENEO mbalimbali ya Jiji la Dar es Salaam jana yaligeuka uwanja wa vita baada ya zoezi la kuondoa wapiga debe kuanza kutekelezwa na uongozi wa jiji.</description>
					  <author>info@habaritanzania.com (Habari Tanzania)</author>
					  <pubDate>Mon, 02 Jul 2007 00:00:00 -0500</pubDate>
					 
					</item>

				

					<item>
					  <title>Wizi ofisi ya Bunge</title>
					  <link>http://www.habaritanzania.com/articles/3912/1/Wizi-ofisi-ya-Bunge</link>
					  <description>SIKU chache baada ya kuripotiwa kutokea wizi katika Wizara ya Miundombinu bila kuvunjwa mlango, wizi mwingine wa aina hiyo umetokea katika Ofisi ya Katibu wa Bunge la Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Damian Foka.</description>
					  <author>info@habaritanzania.com (Habari Tanzania)</author>
					  <pubDate>Mon, 02 Jul 2007 00:00:00 -0500</pubDate>
					 
					</item>

				

					<item>
					  <title>'Osama' amkera Lowassa Dodoma</title>
					  <link>http://www.habaritanzania.com/articles/3911/1/%91Osama%92-amkera-Lowassa-Dodoma</link>
					  <description>WAZIRI Mkuu, Edward Lowassa, ameliagiza Jeshi la Polisi wilayani Mpwapwa, Dodoma, kumkamata Mwenyekiti wa Kijiji cha Kibakwe, Laurian Ngingo 'Osama' kwa tuhuma za kuhujumu mali za kijiji.</description>
					  <author>info@habaritanzania.com (Habari Tanzania)</author>
					  <pubDate>Mon, 02 Jul 2007 00:00:00 -0500</pubDate>
					 
					</item>

				

					<item>
					  <title>Hoja ya Mbunge Slaa bado yaishumbua Serikali</title>
					  <link>http://www.habaritanzania.com/articles/3909/1/Hoja-ya-Mbunge-Slaa-bado-yaishumbua-Serikali</link>
					  <description>HOJA zilizotolewa bungeni na Mbunge wa Karatu, Dk Wilbroad Slaa zinaonekana kuendelea kuisumbua serikali baada ya mawaziri wawili kuwasilisha hoja za kumpinga kabla ya Waziri Mkuu, Edward Lowassa kutoa maelezo juu ya kauli ya Dk Slaa.</description>
					  <author>info@habaritanzania.com (Habari Tanzania)</author>
					  <pubDate>Sun, 01 Jul 2007 00:00:00 -0500</pubDate>
					 
					</item>

				

					<item>
					  <title>Polisi wadaiwa kumvunja miguu, mikono raia</title>
					  <link>http://www.habaritanzania.com/articles/3907/1/Polisi-wadaiwa-kumvunja-miguu%2C-mikono-raia</link>
					  <description>POLISI wawili wa Kituo cha Polisi Katoro, wilayani Geita, wanadaiwa kumpiga na kumvunja miguu na mikono raia mmoja mkazi wa kijiji cha Katoro, Tarafa ya Butundwe wilayani hapa, kisa kikidaiwa kuwa ni ugomvi wa kugombea mwanamke baa.</description>
					  <author>info@habaritanzania.com (Habari Tanzania)</author>
					  <pubDate>Sun, 01 Jul 2007 00:00:00 -0500</pubDate>
					 
					</item>

				

					<item>
					  <title>Vyama vyasaka mwarobaini wa Uzanzibari, Upemba</title>
					  <link>http://www.habaritanzania.com/articles/3906/1/Vyama-vyasaka-mwarobaini-wa-Uzanzibari%2C-Upemba</link>
					  <description>VYAMA vya siasa nchini vimeweka mkakati wa kuhakikisha vinaondoa na au kupunguza hisia za uzanzibari na upemba kama tiba ya hali ya kutokuelewana kisiasa visiwani Zanzibar.</description>
					  <author>info@habaritanzania.com (Habari Tanzania)</author>
					  <pubDate>Sun, 01 Jul 2007 00:00:00 -0500</pubDate>
					 
					</item>

				

					<item>
					  <title>Amina Chifupa: Maisha, Misukosuko hadi kifo</title>
					  <link>http://www.habaritanzania.com/articles/3905/1/Amina-Chifupa%3A-Maisha%2C-Misukosuko-hadi-kifo</link>
					  <description>SAFARI ya maisha na hatimaye kifo cha Mbunge kijana, Amina Chifupa, kinaelezwa kujumuisha misukosuko, harakati zilizoanza tangu kuzaliwa kwake hadi mauti yalipomfika mwanzoni mwa wiki hii. </description>
					  <author>info@habaritanzania.com (Habari Tanzania)</author>
					  <pubDate>Sun, 01 Jul 2007 00:00:00 -0500</pubDate>
					 
					</item>

				

					<item>
					  <title>Bunge la Bajeti 2007/08: Maswali mgeni majibu haba</title>
					  <link>http://www.habaritanzania.com/articles/3904/1/Bunge-la-Bajeti-2007%7B47%7D08%3A-Maswali-mgeni-majibu-haba</link>
					  <description>KUMEKUWEPO na hali inayozua maswali kuhusu utata unaoibuka katika mkutano wa nane wa Bunge unaoendelea mjini Dodoma, hasa kutokana na hoja kali kuibuliwa na kisha kupooza haraka. </description>
					  <author>info@habaritanzania.com (Habari Tanzania)</author>
					  <pubDate>Sun, 01 Jul 2007 00:00:00 -0500</pubDate>
					 
					</item>

				

					<item>
					  <title>Mbunge: Tusisomeshe wahasibu, watatuibia</title>
					  <link>http://www.habaritanzania.com/articles/3903/1/Mbunge%3A-Tusisomeshe-wahasibu%2C-watatuibia</link>
					  <description>MBUNGE wa Koani, Haroub Said Masoud (CCM), ameitaka serikali kuachana na mpango wake wa kuwasomesha zaidi wahasibu wake, akisema hatua hiyo itawaongezea mbinu za wizi.</description>
					  <author>info@habaritanzania.com (Habari Tanzania)</author>
					  <pubDate>Sat, 30 Jun 2007 00:00:00 -0500</pubDate>
					 
					</item>

				

					<item>
					  <title>Kwaheri Amina Chifupa</title>
					  <link>http://www.habaritanzania.com/articles/3895/1/Kwaheri-Amina-Chifupa</link>
					  <description>Mbunge Mstaafu wa Lupa, Njelu Kasaka:  &#34;Amina alikuwa jasiri ndani ya kundi la wabunge wachache wenye moyo wa ujasiri, aliyeweza kukemea ufisadi, tena ndani ya Bunge jambo ambalo hata wabunge wakongwe hawajawahi kushikia kidete vita ya dawa za kulevya. Hakika Amina alikuwa ni mfano ndani na nje ya CCM.&#34;</description>
					  <author>info@habaritanzania.com (Habari Tanzania)</author>
					  <pubDate>Fri, 29 Jun 2007 00:00:00 -0500</pubDate>
					 
					</item>

				

					<item>
					  <title>Serikali yajitetea bungeni</title>
					  <link>http://www.habaritanzania.com/articles/3894/1/Serikali-yajitetea-bungeni</link>
					  <description>SERIKALI jana ilitetea bungeni vitendo vya maofisa masuuli nchini wanaoshindwa kuwasilisha nyaraka kwa wakati zinapohitajiwa kwa ukaguzi.</description>
					  <author>info@habaritanzania.com (Habari Tanzania)</author>
					  <pubDate>Fri, 29 Jun 2007 00:00:00 -0500</pubDate>
					 
					</item>

				

					<item>
					  <title>BoT yaibuka upya bungeni</title>
					  <link>http://www.habaritanzania.com/articles/3893/1/BoT-yaibuka-upya-bungeni</link>
					  <description>SAKATA la madai ya ubadhirifu ndani ya Benki Kuu (BoT), limezidi kuiandama serikali kwa wanasiasa wa kambi ya upinzani kuzidi kuibua hoja nzito.</description>
					  <author>info@habaritanzania.com (Habari Tanzania)</author>
					  <pubDate>Fri, 29 Jun 2007 00:00:00 -0500</pubDate>
					 
					</item>

				

					<item>
					  <title>Amina Chifupa 'nabii' wa kifo</title>
					  <link>http://www.habaritanzania.com/articles/3892/1/Amina-Chifupa-%91nabii%92-wa-kifo</link>
					  <description>MBUNGE WA Viti Maalum, Amina Chifupa, alizikwa nyumbani kwa mama yake mzazi jana, majira ya saa 9:00 alasiri, Lupembe Njombe na maelfu ya waombolezaji kutoka maeneo mbalimbali nchini.</description>
					  <author>info@habaritanzania.com (Habari Tanzania)</author>
					  <pubDate>Fri, 29 Jun 2007 00:00:00 -0500</pubDate>
					 
					</item>

				

					<item>
					  <title>Namlilia Amina Chifupa!</title>
					  <link>http://www.habaritanzania.com/articles/3883/1/Namlilia-Amina-Chifupa%21</link>
					  <description>NAMLILIA Amina Chifupa. Nina kila sababu ya kumlilia Mheshimiwa huyu kijana aliyepewa dhamana ya kutuwakilisha vijana wenzake katika Bunge la Jamhuri ya Muungano.</description>
					  <author>info@habaritanzania.com (Habari Tanzania)</author>
					  <pubDate>Thu, 28 Jun 2007 00:00:00 -0500</pubDate>
					 
					</item>

				

					<item>
					  <title>Tumepoteza mpiganaji 'Nabii' mpya wa vijana</title>
					  <link>http://www.habaritanzania.com/articles/3882/1/Tumepoteza-mpiganaji-%91Nabii%92-mpya-wa-vijana</link>
					  <description>AMINA Chifupa Mpakanjia (26), amefariki dunia juzi katika Hospitali ya Jeshi ya Lugalo alikokuwa amelazwa kwa takriban wiki moja akiugua homa kali na kisukari.</description>
					  <author>info@habaritanzania.com (Habari Tanzania)</author>
					  <pubDate>Thu, 28 Jun 2007 00:00:00 -0500</pubDate>
					 
					</item>

				

					<item>
					  <title>Acheni woga kutetea haki zenu - Wito</title>
					  <link>http://www.habaritanzania.com/articles/3881/1/Acheni-woga-kutetea-haki-zenu---Wito</link>
					  <description>WANANCHI wametakiwa kuacha woga pindi wanapopigania haki zao sehemu za kazi.</description>
					  <author>info@habaritanzania.com (Habari Tanzania)</author>
					  <pubDate>Thu, 28 Jun 2007 00:00:00 -0500</pubDate>
					 
					</item>

				

					<item>
					  <title>NHC: Nyumba ya Nyerere haivunjwi</title>
					  <link>http://www.habaritanzania.com/articles/3880/1/NHC%3A-Nyumba-ya-Nyerere-haivunjwi</link>
					  <description>SHIRIKA la Nyumba la Taifa (NHC), limesema nyumba ya Baba wa Taifa, hayati Mwalimu Nyerere, iliyopo Magomeni, Dar es Salaam, haivunjwi bali inafanyiwa ukarabati na kuwa sehemu ya biashara.</description>
					  <author>info@habaritanzania.com (Habari Tanzania)</author>
					  <pubDate>Thu, 28 Jun 2007 00:00:00 -0500</pubDate>
					 
					</item>

				

					<item>
					  <title>Simanzi: Kifo cha Amina Chifupa</title>
					  <link>http://www.habaritanzania.com/articles/3879/1/Simanzi%3A-Kifo-cha-Amina-Chifupa</link>
					  <description>KIFO cha Mbunge wa Viti Maalumu, Amina Chifupa, kilichotokea juzi katika Hospitali ya Jeshi ya Lugalo, jijini Dar es Salaam kimelitikisa taifa.</description>
					  <author>info@habaritanzania.com (Habari Tanzania)</author>
					  <pubDate>Thu, 28 Jun 2007 00:00:00 -0500</pubDate>
					 
					</item>

				

					<item>
					  <title>dafasfdf</title>
					  <link>http://www.habaritanzania.com/articles/3878/1/dafasfdf</link>
					  <description>vcsafdasf</description>
					  <author>info@habaritanzania.com (Habari Tanzania)</author>
					  <pubDate>Thu, 28 Jun 2007 00:00:00 -0500</pubDate>
					 
					</item>

				

					<item>
					  <title>Serikali yaanza kujipunguzia madaraka</title>
					  <link>http://www.habaritanzania.com/articles/3877/1/Serikali-yaanza-kujipunguzia-madaraka</link>
					  <description>SERIKALI imeshaanza mpango wa kupunguza madaraka yake na kuyapeleka moja kwa moja katika Serikali za Mitaa, Waziri Mkuu, Edward Lowassa, aliliambia Bunge jana.</description>
					  <author>info@habaritanzania.com (Habari Tanzania)</author>
					  <pubDate>Tue, 26 Jun 2007 00:00:00 -0500</pubDate>
					 
					</item>

				

					<item>
					  <title>Lowassa atangaza halmashauri mpya 11</title>
					  <link>http://www.habaritanzania.com/articles/3876/1/Lowassa-atangaza-halmashauri-mpya-11</link>
					  <description>WAZIRI Mkuu, Edward Lowassa, amesema katika mwaka ujao wa fedha, serikali inakusudia kuanzisha halmashauri mpya 11 katika mikoa mbalimbali nchini.</description>
					  <author>info@habaritanzania.com (Habari Tanzania)</author>
					  <pubDate>Tue, 26 Jun 2007 00:00:00 -0500</pubDate>
					 
					</item>

				

					<item>
					  <title>Wanafunzi 100 wafukuzwa sekondari</title>
					  <link>http://www.habaritanzania.com/articles/3875/1/Wanafunzi-100-wafukuzwa-sekondari</link>
					  <description>ZAIDI ya wanafunzi 100 wa kidato cha tatu katika Shule ya Sekondari ya Bungulwa, iliyopo wilayani Kwimba, Mwanza, wamefukuzwa shule kutokana na kile kilichoelezwa kutofanya mtihani wa darasa la saba.</description>
					  <author>info@habaritanzania.com (Habari Tanzania)</author>
					  <pubDate>Mon, 25 Jun 2007 00:00:00 -0500</pubDate>
					 
					</item>

				

					<item>
					  <title>Wapinzani waiteka Kigoma</title>
					  <link>http://www.habaritanzania.com/articles/3874/1/Wapinzani-waiteka-Kigoma</link>
					  <description>VIONGOZI wanne wa kambi ya upinzani waliozuru Mkoa wa Kigoma, wameutangaza kuwa moja ya ngome kuu za kambi ya upinnzani.</description>
					  <author>info@habaritanzania.com (Habari Tanzania)</author>
					  <pubDate>Mon, 25 Jun 2007 00:00:00 -0500</pubDate>
					 
					</item>

				

					<item>
					  <title>Wapinzani waiteka Kigoma</title>
					  <link>http://www.habaritanzania.com/articles/3873/1/Wapinzani-waiteka-Kigoma</link>
					  <description>VIONGOZI wanne wa kambi ya upinzani waliozuru Mkoa wa Kigoma, wameutangaza kuwa moja ya ngome kuu za kambi ya upinnzani.</description>
					  <author>info@habaritanzania.com (Habari Tanzania)</author>
					  <pubDate>Mon, 25 Jun 2007 00:00:00 -0500</pubDate>
					 
					</item>

				

					<item>
					  <title>Zitto Kabwe azidi kulia na bajeti</title>
					  <link>http://www.habaritanzania.com/articles/3870/1/Zitto-Kabwe-azidi-kulia-na-bajeti</link>
					  <description>MBUNGE wa Kigoma Kaskazini, Zitto Kabwe, ameendeleza msimamo wake wa kuikosoa bajeti ya serikali iliyosomwa Alhamisi wiki iliyopita na kupitishwa juzi Ijumaa na Bunge, kuwa imekwenda nje ya maslahi ya wananchi.</description>
					  <author>info@habaritanzania.com (Habari Tanzania)</author>
					  <pubDate>Sun, 24 Jun 2007 00:00:00 -0500</pubDate>
					 
					</item>

				

					<item>
					  <title>'Kipanya' chaua abiria 20 Arusha</title>
					  <link>http://www.habaritanzania.com/articles/3869/1/%91Kipanya%92-chaua-abiria-20-Arusha</link>
					  <description>ABIRIA 20 waliokuwa wakisafiri kutoka wilayani Monduli kuelekea mjini Arusha, wamefariki papo hapo baada ya gari walilokuwa wakisafiria kugongana uso kwa uso na lori.</description>
					  <author>info@habaritanzania.com (Habari Tanzania)</author>
					  <pubDate>Sun, 24 Jun 2007 00:00:00 -0500</pubDate>
					 
					</item>

				

					<item>
					  <title>Benki Kuu yamshinda Meghji</title>
					  <link>http://www.habaritanzania.com/articles/3868/1/Benki-Kuu-yamshinda-Meghji</link>
					  <description>MLOLONGO wa kashfa zinazoiandama Benki Kuu ya Tanzania (BoT) ambayo ni taasisi iliyo chini ya Wizara ya Fedha, unaelekea kumuelemea Waziri wa Fedha, Zakia Meghji.</description>
					  <author>info@habaritanzania.com (Habari Tanzania)</author>
					  <pubDate>Sun, 24 Jun 2007 00:00:00 -0500</pubDate>
					 
					</item>

				

					<item>
					  <title>Msanii maarufu Marekani aja kukuza utalii</title>
					  <link>http://www.habaritanzania.com/articles/3865/1/Msanii-maarufu-Marekani-aja-kukuza-utalii</link>
					  <description>MWANA Sanaa maarufu duniani wa Kimarekani, Franklin Gaskin, anayejulikana kwa jina la Franco the Great, anaingia Jijini Dar es Salaam kesho kwa ziara ya wiki moja kwa nia ya kutafuta njia ya kukuza utalii wa Tanzania nchi za nje kwa njia ya sanaa. </description>
					  <author>info@habaritanzania.com (Habari Tanzania)</author>
					  <pubDate>Sun, 24 Jun 2007 00:00:00 -0500</pubDate>
					 
					</item>

				

					<item>
					  <title>Wanaojiunga kidato cha 1 kurudia mitihani</title>
					  <link>http://www.habaritanzania.com/articles/3867/1/Wanaojiunga-kidato-cha-1-kurudia-mitihani</link>
					  <description>SERIKALI imetangaza utaratibu mpya wa wanafunzi wanaofaulu mtihani wa darasa la saba ambapo kuanzia mwaka ujao watatakiwa kurudia mitihani hiyo baada ya kujiunga na shule za sekondari.</description>
					  <author>info@habaritanzania.com (Habari Tanzania)</author>
					  <pubDate>Sat, 23 Jun 2007 00:00:00 -0500</pubDate>
					 
					</item>

				

					<item>
					  <title>Mwalilia kipi kwenye bajeti hii ?</title>
					  <link>http://www.habaritanzania.com/articles/3866/1/Mwalilia-kipi-kwenye-bajeti-hii-%3F</link>
					  <description>NAANZA kwa kuwaambia komeni tena komeni hadi mkomae. Ninyi watu wa majungu tu mnaochungulia kwenye jungu.</description>
					  <author>info@habaritanzania.com (Habari Tanzania)</author>
					  <pubDate>Sat, 23 Jun 2007 00:00:00 -0500</pubDate>
					 
					</item>

				

					<item>
					  <title>BoT yachunguzwa kwa kashfa</title>
					  <link>http://www.habaritanzania.com/articles/3864/1/BoT-yachunguzwa-kwa-kashfa</link>
					  <description>SERIKALI imeagiza kuanza kufanyika kwa uchunguzi wa tuhuma za ubadhirifu wa fedha katika akaunti ya madeni ya biashara ya nje zinazoikabili Benki Kuu ya Tanzania (BoT).</description>
					  <author>washawashaupupu@yahoo.com (Marshy Abdu)</author>
					  <pubDate>Sat, 23 Jun 2007 00:00:00 -0500</pubDate>
					 
					</item>

				

					<item>
					  <title>Meghji amejaribu lakini ametuonea</title>
					  <link>http://www.habaritanzania.com/articles/3861/1/Meghji-amejaribu-lakini-ametuonea%85</link>
					  <description>BUNGE la Jamhuri ya Muungano wa Tanzania jana lilipitisha bajeti ya serikali ya mwaka 2007/2008 baada ya serikali kuifanyia marekebisho kadhaa.</description>
					  <author>info@habaritanzania.com (Habari Tanzania)</author>
					  <pubDate>Sat, 23 Jun 2007 00:00:00 -0500</pubDate>
					 
					</item>

				

					<item>
					  <title>Serikali yawaonya wabunge wa CCM</title>
					  <link>http://www.habaritanzania.com/articles/3860/1/Serikali-yawaonya-wabunge-wa-CCM</link>
					  <description>WABUNGE wa Chama Cha Mapinduzi (CCM), wameonywa kuwa makini wakati wakichangia hoja bungeni kwa kutoishambulia serikali.</description>
					  <author>info@habaritanzania.com (Habari Tanzania)</author>
					  <pubDate>Sat, 23 Jun 2007 00:00:00 -0500</pubDate>
					 
					</item>

				

					<item>
					  <title>BoT yachunguzwa kwa kashfa</title>
					  <link>http://www.habaritanzania.com/articles/3859/1/BoT-yachunguzwa-kwa-kashfa</link>
					  <description>SERIKALI imeagiza kuanza kufanyika kwa uchunguzi wa tuhuma za ubadhirifu wa fedha katika akaunti ya madeni ya biashara ya nje zinazoikabili Benki Kuu ya Tanzania (BoT).</description>
					  <author>info@habaritanzania.com (Habari Tanzania)</author>
					  <pubDate>Sat, 23 Jun 2007 00:00:00 -0500</pubDate>
					 
					</item>

				

					<item>
					  <title>Serikali yaboresha Bajeti ya 2007/08</title>
					  <link>http://www.habaritanzania.com/articles/3858/1/Serikali-yaboresha-Bajeti-ya-2007%7B47%7D08</link>
					  <description>BUNGE la Jamhuri ya Muungano wa Tanzania limepitisha bajeti ya serikali ya mwaka 2007/2008, baada ya serikali kuifanyia marekebisho ya kuondosha ushuru wa mafuta ya taa na marekebisho ya leseni za magari.</description>
					  <author>info@habaritanzania.com (Habari Tanzania)</author>
					  <pubDate>Sat, 23 Jun 2007 00:00:00 -0500</pubDate>
					 
					</item>

				

					<item>
					  <title>Mbunge wa CCM Z'bar aikejeli CUF</title>
					  <link>http://www.habaritanzania.com/articles/3857/1/Mbunge-wa-CCM-Z%92bar-aikejeli-CUF</link>
					  <description>MBUNGE wa Dimani, Hafidh Ali Tahir (CCM), amewakejeli viongozi wa Chama cha Wananchi (CUF), kwa kusema kuwa uamuzi wao wa kuyafikisha masuala kuhusu mazungumzo ya muafaka katika Ubalozi wa Marekani ni sawa na utoto.</description>
					  <author>info@habaritanzania.com (Habari Tanzania)</author>
					  <pubDate>Fri, 22 Jun 2007 00:00:00 -0500</pubDate>
					 
					</item>

				

					<item>
					  <title>Wapinzani wasafisha 'sumu' ya JK Kigoma</title>
					  <link>http://www.habaritanzania.com/articles/3856/1/Wapinzani-wasafisha-%91sumu%92-ya-JK-Kigoma</link>
					  <description>MJI wa Kigoma na vitongoji vyake, juzi na jana ulibadilika baada ya mamia ya watu kuacha shughuli zao na kwenda kuwalaki viongozi wakuu wa vyama vya upinzani waliowasili hapa.</description>
					  <author>info@habaritanzania.com (Habari Tanzania)</author>
					  <pubDate>Fri, 22 Jun 2007 00:00:00 -0500</pubDate>
					 
					</item>

				

					<item>
					  <title>Mbunge wa CCM amtisha Lowassa</title>
					  <link>http://www.habaritanzania.com/articles/3855/1/Mbunge-wa-CCM-amtisha-Lowassa</link>
					  <description>MBUNGE wa Nzega, Lucas Selelii (CCM), jana aligeuka 'mbogo', akitishia kukwamisha bajeti za wizara tatu, ikiwamo ya Ofisi ya Waziri Mkuu.</description>
					  <author>info@habaritanzania.com (Habari Tanzania)</author>
					  <pubDate>Fri, 22 Jun 2007 00:00:00 -0500</pubDate>
					 
					</item>

				

					<item>
					  <title>Wakimbizi wa Somalia wapewa uraia</title>
					  <link>http://www.habaritanzania.com/articles/3849/1/Wakimbizi-wa-Somalia-wapewa-uraia</link>
					  <description>WAKIMBIZI zaidi ya 500 kutoka Somalia wamepewa uraia wa Tanzania baada ya kuishi nchini kwa miaka mingi. Katibu Mkuu wa Wizara ya Mambo ya Ndani, Solomon Odunga, alibainisha hayo jana wakati wa maadhimisho ya Siku ya Wakimbizi Duniani yaliyofanyika katika viwanja vya Karimjee jijini Dar es Salaam.</description>
					  <author>washawashaupupu@yahoo.com (Marshy Abdu)</author>
					  <pubDate>Thu, 21 Jun 2007 00:00:00 -0500</pubDate>
					 
					</item>

				

					<item>
					  <title>Amina Chifupa alazwa</title>
					  <link>http://www.habaritanzania.com/articles/3848/1/Amina-Chifupa-alazwa</link>
					  <description>MBUNGE machachari wa Viti Maalumu (CCM), Amina Chifupa, amelazwa katika hospitali moja inayomilikiwa na Jeshi la Wananchi wa Tanzania (JWTZ) jijini Dar es Salaam, imefahamika.</description>
					  <author>info@habaritanzania.com (Habari Tanzania)</author>
					  <pubDate>Thu, 21 Jun 2007 00:00:00 -0500</pubDate>
					 
					</item>

				

					<item>
					  <title>Mzindakaya asalimisha mabomu, Ngasongwa asongwa bungeni</title>
					  <link>http://www.habaritanzania.com/articles/3846/1/Mzindakaya-asalimisha-mabomu%2C-Ngasongwa-asongwa-bungeni</link>
					  <description>KATIKA kile kinachoweza kuelezwa kuwa ni ama kubadilika kwa Mbunge wa Kwela, Dk. Chrisant Mzindakaya (CCM) au kuishiwa mabomu, mwanasiasa huyo jana alitumia muda mwingi bungeni kuitetea serikali dhidi ya tuhuma zilizotolewa na baadhi ya wabunge.</description>
					  <author>info@habaritanzania.com (Habari Tanzania)</author>
					  <pubDate>Thu, 21 Jun 2007 00:00:00 -0500</pubDate>
					 
					</item>

				

					<item>
					  <title>Dk. Salmin: Sijawahi kutaka kubadili katiba</title>
					  <link>http://www.habaritanzania.com/articles/3845/1/Dk.-Salmin%3A-Sijawahi-kutaka-kubadili-katiba</link>
					  <description>RAIS mstaafu wa Zanzibar, Dk. Salmin Amour, amesema hajawahi hata mara moja kuwa na mpango wa kubadilisha katiba ili aweze kutawala kipindi cha tatu.</description>
					  <author>info@habaritanzania.com (Habari Tanzania)</author>
					  <pubDate>Thu, 21 Jun 2007 00:00:00 -0500</pubDate>
					 
					</item>

				

					<item>
					  <title>Kikwete sasa atalazimishwa kuvunja Baraza la Mawaziri</title>
					  <link>http://www.habaritanzania.com/articles/3843/1/Kikwete-sasa-atalazimishwa-kuvunja-Baraza-la-Mawaziri</link>
					  <description>HIZI si habari mpya kwa Rais Jakaya Mrisho Kikwete. Si habari mpya kwa sababu nitakachokiandika hapa si changu, bali ni chake yeye, na pengine kitakachomshangaza ni uamuzi wangu wa kujipendekeza na kuwa msemaji wake au mahali nilikoyatoa maneno haya mapesi nitakayoyaandika.</description>
					  <author>info@habaritanzania.com (Habari Tanzania)</author>
					  <pubDate>Wed, 20 Jun 2007 00:00:00 -0500</pubDate>
					 
					</item>

				

					<item>
					  <title>Sumaye: Sijasoma kusaka urais</title>
					  <link>http://www.habaritanzania.com/articles/3840/1/Sumaye%3A-Sijasoma-kusaka-urais</link>
					  <description>WAZIRI Mkuu mstaafu, Frederick Sumaye, alirejea nchini jana kutoka Marekani alikokuwa kwa mwaka mmoja masomoni, na kusema wazi kuwa hakwenda kusoma ili kujiandaa kuwa rais.</description>
					  <author>info@habaritanzania.com (Habari Tanzania)</author>
					  <pubDate>Wed, 20 Jun 2007 00:00:00 -0500</pubDate>
					 
					</item>

				

					<item>
					  <title>Mke wa Malecela aishambulia serikali</title>
					  <link>http://www.habaritanzania.com/articles/3837/1/Mke-wa-Malecela-aishambulia-serikali</link>
					  <description>MBUNGE wa Same Mashariki, Anne Kilango Malecela (CCM), ameitahadharisha serikali kuwa mpango wake mpya ilioubuni wa kupitisha mizigo na bidhaa za wawekezaji bandarini bila ya kukaguliwa, ni hatari kwa taifa.</description>
					  <author>info@habaritanzania.com (Habari Tanzania)</author>
					  <pubDate>Wed, 20 Jun 2007 00:00:00 -0500</pubDate>
					 
					</item>

				

					<item>
					  <title>Meghji tuisaidie kwa hili</title>
					  <link>http://www.habaritanzania.com/articles/3836/1/Meghji-tuisaidie-kwa-hili</link>
					  <description>PAMOJA na makengeza yangu kuwa yamejaa michozi ni kijililia mimi na kura yangu niliyoichezea kwenye uchaguzi, nimeokoteza miwani yangu ya mbao na kuisoma kwa kina hotuba ya bajeti yetu ya mashaka.</description>
					  <author>info@habaritanzania.com (Habari Tanzania)</author>
					  <pubDate>Tue, 19 Jun 2007 00:00:00 -0500</pubDate>
					 
					</item>

				

					<item>
					  <title>Mabadiliko ya Katiba Tanzania hayaepukiki (6)</title>
					  <link>http://www.habaritanzania.com/articles/3835/1/Mabadiliko-ya-Katiba-Tanzania-hayaepukiki-%286%29</link>
					  <description>KATIKA makala yangu ya mwisho ya mfululizo huu kuhusu Katiba, nilimalizia kwa kuahidi kwamba makala ifuatayo ningeandika kuhusu Tume ya Uchaguzi.</description>
					  <author>info@habaritanzania.com (Habari Tanzania)</author>
					  <pubDate>Tue, 19 Jun 2007 00:00:00 -0500</pubDate>
					 
					</item>

				

					<item>
					  <title>Bil. 4/- zilitumika kupambana na RVF</title>
					  <link>http://www.habaritanzania.com/articles/3832/1/Bil.-4%7B47%7D--zilitumika-kupambana-na-RVF</link>
					  <description>JUMLA ya sh bilioni 4 zilitumika kwa ajili ya kupambana na homa ya bonde la ufa (RVF), Bunge lililezwa jana.</description>
					  <author>info@habaritanzania.com (Habari Tanzania)</author>
					  <pubDate>Tue, 19 Jun 2007 00:00:00 -0500</pubDate>
					 
					</item>

				

					<item>
					  <title>Dk. Salmin arejea haoni sawasawa</title>
					  <link>http://www.habaritanzania.com/articles/3831/1/Dk.-Salmin-arejea-haoni-sawasawa</link>
					  <description>ALIYEKUWA Rais wa Zanzibar, Dk. Salmin Amour, amerejea nchini jana akitokea China, alikokuwa amekwenda kupata matibabu ya macho.</description>
					  <author>info@habaritanzania.com (Habari Tanzania)</author>
					  <pubDate>Tue, 19 Jun 2007 00:00:00 -0500</pubDate>
					 
					</item>

				

					<item>
					  <title>Wapinzani wataka bajeti ya trilioni 8</title>
					  <link>http://www.habaritanzania.com/articles/3829/1/Wapinzani-wataka-bajeti-ya-trilioni-8</link>
					  <description>KAMBI ya Upinzani bungeni jana iliwasilisha bajeti mbadala ikijibu hoja za Waziri wa Fedha, Zakia Meghji na Waziri wa Mipango, Uchumi na Uwezeshaji, Dk. Juma Ngasongwa.</description>
					  <author>info@habaritanzania.com (Habari Tanzania)</author>
					  <pubDate>Tue, 19 Jun 2007 00:00:00 -0500</pubDate>
					 
					</item>

				

					<item>
					  <title>Machungu ya uchaguzi yaitafuna Mbeya</title>
					  <link>http://www.habaritanzania.com/articles/3826/1/Machungu-ya-uchaguzi-yaitafuna-Mbeya</link>
					  <description>WAKAZI wa Jiji la Mbeya, wameelezea tabia ya kutokuwa makini katika uchaguzi wa madiwani wenye uwezo, kuwa ndiko kunakokwamisha mipango mingi ya maendeleo ya jiji hilo.</description>
					  <author>info@habaritanzania.com (Habari Tanzania)</author>
					  <pubDate>Mon, 18 Jun 2007 00:00:00 -0500</pubDate>
					 
					</item>

				

					<item>
					  <title>Young Life Marekani yaacha changamoto kikapu Tanzania</title>
					  <link>http://www.habaritanzania.com/articles/3825/1/Young-Life-Marekani-yaacha-changamoto-kikapu-Tanzania</link>
					  <description>JUNI 3 hadi 12, mwaka huu, Tanzania ilipata ugeni wa timu za mpira wa kikapu za Young Life zinazojumuisha wachezaji wanaosoma vyuo vikuu mbalimbali nchini Marekani.</description>
					  <author>info@habaritanzania.com (Habari Tanzania)</author>
					  <pubDate>Mon, 18 Jun 2007 00:00:00 -0500</pubDate>
					 
					</item>

				

					<item>
					  <title>Mahakimu Z'bar matatani</title>
					  <link>http://www.habaritanzania.com/articles/3823/1/Mahakimu-Z%92bar-matatani</link>
					  <description>SERIKALI ya Mapinduzi Zanzibar (SMZ), imesema baadhi ya mahakimu wamekuwa wakila fedha za dhamana zilizowekwa na washitakiwa, wakishirikiana na makarani wa mahakama.</description>
					  <author>info@habaritanzania.com (Habari Tanzania)</author>
					  <pubDate>Mon, 18 Jun 2007 00:00:00 -0500</pubDate>
					 
					</item>

				

					<item>
					  <title>Wabunge CCM waibana serikali</title>
					  <link>http://www.habaritanzania.com/articles/3819/1/Wabunge-CCM-waibana-serikali</link>
					  <description>WAKATI wabunge wa Bunge la Jamhuri ya Muungano wa Tanzania wakijiandaa kuanza kuijadili bajeti ya serikali ya mwaka 2007/2008, leo, kuna habari kwamba wabunge wa Chama Cha Mapinduzi (CCM) waliokuwa kwenye kikao cha faragha mwishoni mwa wiki, waliibana serikali na kuihoji kwanini imeongeza gharama katika kodi ya mafuta.</description>
					  <author>info@habaritanzania.com (Habari Tanzania)</author>
					  <pubDate>Mon, 18 Jun 2007 00:00:00 -0500</pubDate>
					 
					</item>

				

					<item>
					  <title>Zanzibar si ya CCM wala CUF</title>
					  <link>http://www.habaritanzania.com/articles/3818/1/Zanzibar-si-ya-CCM-wala-CUF</link>
					  <description>UNAPOBAHATIKA kuwa mmoja wa wanaovuta pumzi ukiwa juu ya sayari hii basi hakuna shaka shukrani kwa Mungu haziepukiki kwa yeyote anayeamini uwepo na nguvu ya huyo aliye juu. Basi nikitambua hilo natimiza jadi yangu ya kufanya dua na maombi kwake yeye nikitambua nguvu na ukuu wake.</description>
					  <author>info@habaritanzania.com (Habari Tanzania)</author>
					  <pubDate>Sun, 17 Jun 2007 00:00:00 -0500</pubDate>
					 
					</item>

				

					<item>
					  <title>Waliokufa ajali ya Mohamed Trans wajulikana</title>
					  <link>http://www.habaritanzania.com/articles/3817/1/Waliokufa-ajali-ya-Mohamed-Trans-wajulikana</link>
					  <description>WATU 16 waliokufa katika ajali ya basi la Mohamed Trans iliyotokea juzi mkoani hapa, wametambuliwa.</description>
					  <author>info@habaritanzania.com (Habari Tanzania)</author>
					  <pubDate>Sun, 17 Jun 2007 00:00:00 -0500</pubDate>
					 
					</item>

				

					<item>
					  <title>CUF wamgeuka Lipumba</title>
					  <link>http://www.habaritanzania.com/articles/3813/1/CUF-wamgeuka-Lipumba</link>
					  <description>KUNA kila dalili sasa kuwa, upepo wa kisiasa kwa Mwenyekiti wa Chama cha Wananchi (CUF), Profesa Ibrahim Haruna Lipumba, ndani ya chama hicho, umeanza kuchafuka.</description>
					  <author>info@habaritanzania.com (Habari Tanzania)</author>
					  <pubDate>Sun, 17 Jun 2007 00:00:00 -0500</pubDate>
					 
					</item>

				

					<item>
					  <title>Bitchuka, Zahir Ally Zorro kurindima Moro</title>
					  <link>http://www.habaritanzania.com/articles/3808/1/Bitchuka%2C-Zahir-Ally-Zorro-kurindima-Moro</link>
					  <description>WANAMUZIKI wakongwe katika medani ya muziki wa dansi nchini, Hassan Rehani Bitchuka na Zahir Ally Zorro, wanatarajiwa kufanya shoo ya pamoja katika Ukumbi wa Savoy mjini Morogoro, Juni 22.</description>
					  <author>info@habaritanzania.com (Habari Tanzania)</author>
					  <pubDate>Sat, 16 Jun 2007 00:00:00 -0500</pubDate>
					 
					</item>

				

					<item>
					  <title>Kikwete ana mtihani kuidhibiti Zanzibar</title>
					  <link>http://www.habaritanzania.com/articles/3807/1/Kikwete-ana-mtihani-kuidhibiti-Zanzibar</link>
					  <description>TULIPATA kuandika kuhusu kurejea kwa matumaini mema baada ya kuanza kwa mazungumzo ya makatibu wakuu wa vyama vya CCM na CUF, yenye lengo la kutafuta ufumbuzi wa mpasuko wa kisiasa wa Zanzibar uliodumu kwa zaidi ya miaka 10 sasa.</description>
					  <author>info@habaritanzania.com (Habari Tanzania)</author>
					  <pubDate>Sat, 16 Jun 2007 00:00:00 -0500</pubDate>
					 
					</item>

				

					<item>
					  <title>Wapinzani: Bajeti inaua wananchi</title>
					  <link>http://www.habaritanzania.com/articles/3806/1/Wapinzani%3A-Bajeti-inaua-wananchi</link>
					  <description>KAMBI ya vyama vya upinzani bungeni, imeitaka serikali kurudisha mara moja Kodi ya Ongezeko la Thamani (VAT) kwa waagizaji wa mafuta nchini, kama ilivyokuwa awali.</description>
					  <author>info@habaritanzania.com (Habari Tanzania)</author>
					  <pubDate>Sat, 16 Jun 2007 00:00:00 -0500</pubDate>
					 
					</item>

				

					<item>
					  <title>Moto wawaka CUF</title>
					  <link>http://www.habaritanzania.com/articles/3805/1/Moto-wawaka-CUF</link>
					  <description>KAULI zilizotolewa na Katibu Mkuu wa Chama Cha Mapinduzi (CCM) wakati wa ziara yake kisiwani Pemba, hivi karibuni, zinaelekea kuhatarisha mazungumzo baina ya chama hicho na Chama cha Wananchi (CUF).</description>
					  <author>info@habaritanzania.com (Habari Tanzania)</author>
					  <pubDate>Sat, 16 Jun 2007 00:00:00 -0500</pubDate>
					 
					</item>

				

					<item>
					  <title>Basi lalipuka na kuua 20 Singida</title>
					  <link>http://www.habaritanzania.com/articles/3804/1/Basi-lalipuka-na-kuua-20-Singida</link>
					  <description>WATU wanaokadiriwa kufikia 20 wamepoteza maisha kwa kuteketea kwa moto baada ya basi la Kampuni ya Mohammed Trans kuanguka na baadaye kulipuka na kuteketea kwa moto.</description>
					  <author>info@habaritanzania.com (Habari Tanzania)</author>
					  <pubDate>Sat, 16 Jun 2007 00:00:00 -0500</pubDate>
					 
					</item>

				

					<item>
					  <title>Serikali yakiri kasi kushuka</title>
					  <link>http://www.habaritanzania.com/articles/3803/1/Serikali-yakiri-kasi-kushuka</link>
					  <description>SERIKALI imekiri kushuka kwa kasi ya uchumi na kubainisha kuwa, kushuka huko kulisababishwa na hali ya ukame&#160;iliyojitokeza kwenye maeneo mengi katika msimu wa mvua wa mwaka 2005/2006.</description>
					  <author>info@habaritanzania.com (Habari Tanzania)</author>
					  <pubDate>Fri, 15 Jun 2007 00:00:00 -0500</pubDate>
					 
					</item>

				

					<item>
					  <title>Wapinzani waiponda bajeti</title>
					  <link>http://www.habaritanzania.com/articles/3802/1/Wapinzani-waiponda-bajeti</link>
					  <description>INGAWA wamepewa muda wa siku kadhaa kuisoma na kuitafakari bajeti kabla ya kuanza kuijadili rasmi Jumatatu ijayo, wabunge wameshaanza kuonyesha msimamo wao kuhusu bajeti hiyo.</description>
					  <author>info@habaritanzania.com (Habari Tanzania)</author>
					  <pubDate>Fri, 15 Jun 2007 00:00:00 -0500</pubDate>
					 
					</item>

				

					<item>
					  <title>Uwezo wakwamisha MKUKUTA</title>
					  <link>http://www.habaritanzania.com/articles/3801/1/Uwezo-wakwamisha-MKUKUTA</link>
					  <description>SERIKALI imekiri jana bungeni kuwa, haina uwezo wa kukidhi mahitaji ya rasilimali zinazohitajika kwa ajili ya utekelezaji wa Mkakati wa Kukuza Uchumi na Kupunguza Umasikini (MKUKUTA).</description>
					  <author>info@habaritanzania.com (Habari Tanzania)</author>
					  <pubDate>Fri, 15 Jun 2007 00:00:00 -0500</pubDate>
					 
					</item>

				

					<item>
					  <title>Gharama za maisha juu</title>
					  <link>http://www.habaritanzania.com/articles/3799/1/Gharama-za-maisha-juu</link>
					  <description>SERIKALI jana ilitangaza mabadiliko makubwa katika mfumo na viwango vya kodi kwenye bidhaa mbalimbali yakiwamo mafuta ya taa, petroli na dizeli, hatua ambayo mbali ya kuiongezea mapato, inaweza kusababisha kupanda kwa gharama za maisha katika mwaka ujao wa fedha unaoanza Julai mosi.</description>
					  <author>info@habaritanzania.com (Habari Tanzania)</author>
					  <pubDate>Fri, 15 Jun 2007 00:00:00 -0500</pubDate>
					 
					</item>

				

					<item>
					  <title>Wapinzani waiponda bajeti</title>
					  <link>http://www.habaritanzania.com/articles/3797/1/Wapinzani-waiponda-bajeti</link>
					  <description>INGAWA wamepewa muda wa siku kadhaa kuisoma na kuitafakari bajeti kabla ya kuanza kuijadili rasmi Jumatatu ijayo, wabunge wameshaanza kuonyesha msimamo wao kuhusu bajeti hiyo.</description>
					  <author>washawashaupupu@yahoo.com (Marshy Abdu)</author>
					  <pubDate>Fri, 15 Jun 2007 00:00:00 -0500</pubDate>
					 
					</item>

				

					<item>
					  <title>Makusanyo sawa, matumizi je?</title>
					  <link>http://www.habaritanzania.com/articles/3796/1/Makusanyo-sawa%2C-matumizi-je%3F</link>
					  <description>BAADHI ya watu wmeonyesha wasiwasi wao iwapo ahadi zilizotolewa na serikali za kuwapunguzia ukali wa maisha zitatekelezeka ipasavyo, kutokana na ongezeko la kodi mbalimbali kupitia bajeti ya mwaka 2007/08.</description>
					  <author>washawashaupupu@yahoo.com (Marshy Abdu)</author>
					  <pubDate>Fri, 15 Jun 2007 00:00:00 -0500</pubDate>
					 
					</item>

				

					<item>
					  <title>Huyu si Kikwete tuliyesimuliwa!</title>
					  <link>http://www.habaritanzania.com/articles/3795/1/Huyu-si-Kikwete-tuliyesimuliwa%21</link>
					  <description>MAJIRA kama haya, miaka miwili tu iliyopita, taifa hili lilikuwa katika mchakato wa kumtafuta rais wa nne wa Jamhuri ya Muungano ya Tanzania.</description>
					  <author>info@habaritanzania.com (Habari Tanzania)</author>
					  <pubDate>Wed, 13 Jun 2007 00:00:00 -0500</pubDate>
					 
					</item>

				

					<item>
					  <title>Nani atamnyima kura mtoto wa rais NEC?</title>
					  <link>http://www.habaritanzania.com/articles/3794/1/Nani-atamnyima-kura-mtoto-wa-rais-NEC%3F</link>
					  <description>MWALIMU Nyerere wakati anaondoka madarakani, hakuacha hata mtoto wake mmoja kwenye siasa za Chama Cha Mapinduzi (CCM), zaidi ya kuacha mwanawe mkubwa, Makongoro, akiwa ameiasi CCM na kwenda alikokuwa anadhani panamfaa.</description>
					  <author>info@habaritanzania.com (Habari Tanzania)</author>
					  <pubDate>Wed, 13 Jun 2007 00:00:00 -0500</pubDate>
					 
					</item>

				

					<item>
					  <title>Mratibu: Serikali inawaruka bure wanafunzi wa Ukraine</title>
					  <link>http://www.habaritanzania.com/articles/3793/1/Mratibu%3A-Serikali-inawaruka-bure-wanafunzi-wa-Ukraine</link>
					  <description>MRATIBU wa Kampuni ya Ukraine Education Fund, Dk. Noordian Jella, ameishangaa serikali kwa kuwakana wanafunzi wa Kitanzania wanaosota nchini Ukraine kutokana na kushindwa kulipia gharama za masomo yao.</description>
					  <author>info@habaritanzania.com (Habari Tanzania)</author>
					  <pubDate>Wed, 13 Jun 2007 00:00:00 -0500</pubDate>
					 
					</item>

				

					<item>
					  <title>Blue Guards wamweka kitimoto Maalim Seif</title>
					  <link>http://www.habaritanzania.com/articles/3792/1/Blue-Guards-wamweka-kitimoto-Maalim-Seif</link>
					  <description>UMOJA wa Vijana wa Chama cha Wananchi (CUF), umemtaka Katibu Mkuu wa chama hicho, Maalim Seif Sharif Hamad, kuachana na mazungumzo yanayoendelea, ya kutafuta muafaka wa kisiasa wa Zanzibar kati ya CUF na Chama Cha Mapinduzi hadi hapo Rais Jakaya Kikwete atakapoonyesha mwelekeo mwema.</description>
					  <author>info@habaritanzania.com (Habari Tanzania)</author>
					  <pubDate>Wed, 13 Jun 2007 00:00:00 -0500</pubDate>
					 
					</item>

				

					<item>
					  <title>CCM ni chama cha siasa au kampuni ya biashara?</title>
					  <link>http://www.habaritanzania.com/articles/3786/1/CCM-ni-chama-cha-siasa-au-kampuni-ya-biashara%3F</link>
					  <description>NIMEPATA mshtuko baada ya jana kuona habari kuwa Chama Cha Mapinduzi (CCM), kina kampuni ya biashara iitwayo Tanzania Green Company Limited!</description>
					  <author>info@habaritanzania.com (Habari Tanzania)</author>
					  <pubDate>Tue, 12 Jun 2007 00:00:00 -0500</pubDate>
					 
					</item>

				

					<item>
					  <title>Majambazi yalipua posta Kibaha</title>
					  <link>http://www.habaritanzania.com/articles/3785/1/Majambazi-yalipua-posta-Kibaha</link>
					  <description>WATU wasiofahamika, wanaodhaniwa kuwa ni majambazi, wamelipua posta ya Mkoa wa Pwani kwa kutumia baruti kwa nia ya kuiba.</description>
					  <author>info@habaritanzania.com (Habari Tanzania)</author>
					  <pubDate>Tue, 12 Jun 2007 00:00:00 -0500</pubDate>
					 
					</item>

				

					<item>
					  <title>Kikao cha bajeti kuanza leo Dodoma</title>
					  <link>http://www.habaritanzania.com/articles/3784/1/Kikao-cha-bajeti-kuanza-leo-Dodoma</link>
					  <description>WAKATI kikao cha Bunge la Muungano kinaanza leo mjini Dodoma, bajeti ya Serikali ya Mapinduzi Zanzibar kwa ajili ya mwaka wa fedha wa 2007/08 inatarajiwa kusomwa Juni 20, mwaka huu.</description>
					  <author>info@habaritanzania.com (Habari Tanzania)</author>
					  <pubDate>Tue, 12 Jun 2007 00:00:00 -0500</pubDate>
					 
					</item>

				

					<item>
					  <title>DPP aweka mikono maghorofa Masaki</title>
					  <link>http://www.habaritanzania.com/articles/3783/1/DPP-aweka-mikono-maghorofa-Masaki</link>
					  <description>MKURUGENZI wa Makosa ya Jinai (DPP), amewaachia huru watuhumiwa watatu, waliokuwa na tuhuma za kughushi na kutoa kibali bandia cha ujenzi wa maghorofa ya Masaki, jijini Dar es Salaam.</description>
					  <author>info@habaritanzania.com (Habari Tanzania)</author>
					  <pubDate>Tue, 12 Jun 2007 00:00:00 -0500</pubDate>
					 
					</item>

				

					<item>
					  <title>Makamba kavuruga mambo Z'bar - CUF</title>
					  <link>http://www.habaritanzania.com/articles/3782/1/Makamba-kavuruga-mambo-Z%92bar---CUF</link>
					  <description>CHAMA cha Wananchi (CUF), kimesema kauli iliyotolewa hivi karibuni kisiwani Pemba na Katibu Mkuu wa Chama Cha Mapinduzi (CCM), Luteni Yusuf Makamba, imeharibu na kuchafua hali ya hewa kisiasa Visiwani Zanzibar.</description>
					  <author>info@habaritanzania.com (Habari Tanzania)</author>
					  <pubDate>Tue, 12 Jun 2007 00:00:00 -0500</pubDate>
					 
					</item>

				

					<item>
					  <title>Bajeti ya serikali yaweka hatima ya Posta, ATCL mashakani</title>
					  <link>http://www.habaritanzania.com/articles/3781/1/Bajeti-ya-serikali-yaweka-hatima-ya-Posta%2C-ATCL-mashakani</link>
					  <description>WAKATI Bunge la bajeti likianza kesho mjini Dodoma, hatima ya Shirika la Posta Tanzania (TPC) na Shirika la Ndege Tanzania (ATCL), bado haijafahamika kutokana na&#160; bajeti ya Wizara ya Miundombinu, kushindwa kuonyesha kiasi cha fedha kilichotengwa kwa ajili ya kunusuru mashirika hayo.</description>
					  <author>info@habaritanzania.com (Habari Tanzania)</author>
					  <pubDate>Mon, 11 Jun 2007 00:00:00 -0500</pubDate>
					 
					</item>

				

					<item>
					  <title>Bajeti ya serikali yaweka hatima ya Posta, ATCL mashakani</title>
					  <link>http://www.habaritanzania.com/articles/3780/1/Bajeti-ya-serikali-yaweka-hatima-ya-Posta%2C-ATCL-mashakani</link>
					  <description>WAKATI Bunge la bajeti likianza kesho mjini Dodoma, hatima ya Shirika la Posta Tanzania (TPC) na Shirika la Ndege Tanzania (ATCL), bado haijafahamika kutokana na&#160; bajeti ya Wizara ya Miundombinu, kushindwa kuonyesha kiasi cha fedha kilichotengwa kwa ajili ya kunusuru mashirika hayo.</description>
					  <author>info@habaritanzania.com (Habari Tanzania)</author>
					  <pubDate>Mon, 11 Jun 2007 00:00:00 -0500</pubDate>
					 
					</item>

				

					<item>
					  <title>Mwana wa Rais Kikwete asema hana ubia na baba yake CCM</title>
					  <link>http://www.habaritanzania.com/articles/3779/1/Mwana-wa-Rais-Kikwete-asema-hana-ubia-na-baba-yake-CCM</link>
					  <description>WAKATI kukiwa na mjadala kuhusu watoto wa vigogo waliojitokeza kuwania nafasi mbalimbali za uongozi katika Uchaguzi Mkuu wa Chama Cha Mapinduzi (CCM), mtoto wa Rais Jakaya Kikwete, ameliambia Mwananchi Jumapili kuwa, baba yao hakuwahi kuwapa fursa ya kuingilia nafasi za kazi yake.</description>
					  <author>info@habaritanzania.com (Habari Tanzania)</author>
					  <pubDate>Mon, 11 Jun 2007 00:00:00 -0500</pubDate>
					 
					</item>

				

					<item>
					  <title>Wabunge wa CCM  wakwama kugombea nafasi za utendaji</title>
					  <link>http://www.habaritanzania.com/articles/3778/1/Wabunge-wa-CCM--wakwama-kugombea-nafasi-za-utendaji</link>
					  <description>HATIMAYE Chama cha Mapinduzi (CCM), kimetoa waraka kwa viongozi wa chama hicho wa mikoa kuwazuia wabunge na madiwani kugombea nafasi za utendaji wa kila siku ndaniya chama hicho.</description>
					  <author>info@habaritanzania.com (Habari Tanzania)</author>
					  <pubDate>Mon, 11 Jun 2007 00:00:00 -0500</pubDate>
					 
					</item>

				

					<item>
					  <title>Azma ya Spika Sitta, wabunge imetimia</title>
					  <link>http://www.habaritanzania.com/articles/3776/1/Azma-ya-Spika-Sitta%2C-wabunge-imetimia</link>
					  <description>AZMA ya Spika wa Bunge, Samuel Sitta, ya kutaka kuongezwa kwa marupurupu ya wabunge, imetimia.</description>
					  <author>info@habaritanzania.com (Habari Tanzania)</author>
					  <pubDate>Sun, 10 Jun 2007 00:00:00 -0500</pubDate>
					 
					</item>

				

					<item>
					  <title>Majambazi wavunja ATM na kupora mamilioni Dar</title>
					  <link>http://www.habaritanzania.com/articles/3775/1/Majambazi-wavunja-ATM-na-kupora-mamilioni-Dar</link>
					  <description>WAKATI wananchi wakianza kusahau kero za ujambazi, watu wanaodhaniwa kuwa ni majambazi, wamepora kiasi kikubwa cha fedha baada ya kuvunja mashine ya kuchukulia fedha (ATM) ya Benki ya NBC katika kituo cha mafuta cha Magomeni Mapipa, kilicho katika makutano ya barabara za Kawawa na Morogoro, Dar es Salaam.</description>
					  <author>info@habaritanzania.com (Habari Tanzania)</author>
					  <pubDate>Sun, 10 Jun 2007 00:00:00 -0500</pubDate>
					 
					</item>

				

					<item>
					  <title>CCM yageukia biashara</title>
					  <link>http://www.habaritanzania.com/articles/3774/1/CCM-yageukia-biashara</link>
					  <description>KIKIWA kinapata ruzuku ya karibu sh bilioni moja kila mwezi, Chama Cha Mapinduzi (CCM), sasa kimeamua kujiingiza rasmi katika biashara, baada ya kubainika kwa mpango wake wa kunyemelea mradi wenye thamani ya mabilioni ya dola za kimarekani.</description>
					  <author>info@habaritanzania.com (Habari Tanzania)</author>
					  <pubDate>Sun, 10 Jun 2007 00:00:00 -0500</pubDate>
					 
					</item>

				

					<item>
					  <title>Kikwete achafuliwa Mbeya</title>
					  <link>http://www.habaritanzania.com/articles/3773/1/Kikwete-achafuliwa-Mbeya</link>
					  <description>FITINA, majungu na uongo, vyenye lengo la kumchafua Rais Jakaya Kikwete, vimeanza kusambazwa mkoani hapa na kundi la watu wanaodaiwa kuwa wanamtandao waliosahauliwa.</description>
					  <author>info@habaritanzania.com (Habari Tanzania)</author>
					  <pubDate>Sun, 10 Jun 2007 00:00:00 -0500</pubDate>
					 
					</item>

				

					<item>
					  <title>Mishahara Z'bar kupanda</title>
					  <link>http://www.habaritanzania.com/articles/3768/1/Mishahara-Z%92bar-kupanda</link>
					  <description>WAZIRI wa Nchi Ofisi ya Rais Ikulu, anayeshughulikia fedha na uchumi Zanzibar, Dk. Mwinyihaji Makame, amesema watumishi wa Serikali ya Mapinduzi Zanzibar (SMZ) watarajie kunusa tumbaku kwa kupandishiwa mishahara yao katika mwaka ujao wa fedha.</description>
					  <author>info@habaritanzania.com (Habari Tanzania)</author>
					  <pubDate>Sat, 09 Jun 2007 00:00:00 -0500</pubDate>
					 
					</item>

				

					<item>
					  <title>Bandari Dar es Salaam kuwanufaisha waagizaji</title>
					  <link>http://www.habaritanzania.com/articles/3767/1/Bandari-Dar-es-Salaam-kuwanufaisha-waagizaji</link>
					  <description>SERIKALI imekisikia kilio cha waagizaji wa bidhaa wanaotumia Bandari ya Dar es Salaam, kwa kuanzisha taratibu nafuu kadhaa mpya zitakaomaliza urasimu uliokuwa ukisababisha msongamano wa muda mrefu.</description>
					  <author>info@habaritanzania.com (Habari Tanzania)</author>
					  <pubDate>Sat, 09 Jun 2007 00:00:00 -0500</pubDate>
					 
					</item>

				

					<item>
					  <title>Mishahara Z'bar kupanda</title>
					  <link>http://www.habaritanzania.com/articles/3766/1/Mishahara-Z%92bar-kupanda</link>
					  <description>WAZIRI wa Nchi Ofisi ya Rais Ikulu, anayeshughulikia fedha na uchumi Zanzibar, Dk. Mwinyihaji Makame, amesema watumishi wa Serikali ya Mapinduzi Zanzibar (SMZ) watarajie kunusa tumbaku kwa kupandishiwa mishahara yao katika mwaka ujao wa fedha.</description>
					  <author>washawashaupupu@yahoo.com (Marshy Abdu)</author>
					  <pubDate>Sat, 09 Jun 2007 00:00:00 -0500</pubDate>
					 
					</item>

				

					<item>
					  <title>Makadirio ya Chenge yakwama</title>
					  <link>http://www.habaritanzania.com/articles/3765/1/Makadirio-ya-Chenge-yakwama</link>
					  <description>WIZARA ya Miundombinu, ndiyo pekee ambayo bajeti yake imekwama kupitishwa katika ngazi ya kamati husika kabla ya kuanza kwa kikao cha Bunge la Bajeti, wiki ijayo.</description>
					  <author>washawashaupupu@yahoo.com (Marshy Abdu)</author>
					  <pubDate>Sat, 09 Jun 2007 00:00:00 -0500</pubDate>
					 
					</item>

				

					<item>
					  <title>Kifusi chaua Songea, Morogoro</title>
					  <link>http://www.habaritanzania.com/articles/3764/1/Kifusi-chaua-Songea%2C-Morogoro</link>
					  <description>WACHIMBAJI madini sita wamekufa baada ya kufukiwa na vifusi katika matukio mawili tofauti. Vifo hivyo vimetokea katika mikoa ya Ruvuma na Morogoro.</description>
					  <author>info@habaritanzania.com (Habari Tanzania)</author>
					  <pubDate>Fri, 08 Jun 2007 00:00:00 -0500</pubDate>
					 
					</item>

				

					<item>
					  <title>Wapinzani wamshangaa Kikwete</title>
					  <link>http://www.habaritanzania.com/articles/3763/1/Wapinzani-wamshangaa-Kikwete</link>
					  <description>VIONGOZI wa vyama vya upinzani wamedai kuwa, kauli za Rais Jakaya Kikwete kutochunguza tuhuma zinazomkabili mtangulizi wake, Rais mstaafu Benjamin Mkapa, anayedaiwa kufanya biashara wakati akiwa Ikulu, ni dalili kuwa hata naye si msafi.</description>
					  <author>info@habaritanzania.com (Habari Tanzania)</author>
					  <pubDate>Fri, 08 Jun 2007 00:00:00 -0500</pubDate>
					 
					</item>

				

					<item>
					  <title>Rais Karume amefumbuka macho</title>
					  <link>http://www.habaritanzania.com/articles/3760/1/Rais-Karume-amefumbuka-macho</link>
					  <description>RAIS wa Zanzibar, Amani Abeid Karume, amerudi Zanzibar baada ya ziara ya wiki nne Ujerumani, ambapo pia alichunguzwa afya yake na kufanyiwa upasuaji wa macho ili kutibu matatizo aliyokuwa nayo.</description>
					  <author>info@habaritanzania.com (Habari Tanzania)</author>
					  <pubDate>Thu, 07 Jun 2007 00:00:00 -0500</pubDate>
					 
					</item>

				

					<item>
					  <title>Mlima Kilimanjaro miaka 15 ijayo hautakuwa na barafu</title>
					  <link>http://www.habaritanzania.com/articles/3759/1/Mlima-Kilimanjaro-miaka-15-ijayo-hautakuwa-na-barafu</link>
					  <description>JUZI Watanzania tuliungana na mataifa mengine kuadhimisha Siku ya Mazingira Duniani ambayo kitaifa iliadhimishwa mkoani Mtwara, mgeni rasmi akiwa Makamu wa Rais, Dk. Ali Mohamed Shein.</description>
					  <author>info@habaritanzania.com (Habari Tanzania)</author>
					  <pubDate>Thu, 07 Jun 2007 00:00:00 -0500</pubDate>
					 
					</item>

				

					<item>
					  <title>Tumemsikia Kikwete tulinusuru taifa letu</title>
					  <link>http://www.habaritanzania.com/articles/3758/1/Tumemsikia-Kikwete-tulinusuru-taifa-letu</link>
					  <description>RAIS Jakaya Kikwete jana alilihutubia taifa kupitia katika mazungumzo yake na wahariri na wakuu wa vyombo mbalimbali vya habari.</description>
					  <author>info@habaritanzania.com (Habari Tanzania)</author>
					  <pubDate>Thu, 07 Jun 2007 00:00:00 -0500</pubDate>
					 
					</item>

				

					<item>
					  <title>DPP apinga dhamana ya Mahalu</title>
					  <link>http://www.habaritanzania.com/articles/3756/1/DPP-apinga-dhamana-ya-Mahalu</link>
					  <description>OFISI ya Mkurugenzi wa Mashitaka nchini, imewasilisha upya ombi la kupinga dhamana ya aliyekuwa Balozi wa Tanzania nchini Italia, Professa Costa Ricky Mahalu na wenzake wawili katika Mahakama Kuu ya Tanzania.</description>
					  <author>info@habaritanzania.com (Habari Tanzania)</author>
					  <pubDate>Thu, 07 Jun 2007 00:00:00 -0500</pubDate>
					 
					</item>

				

					<item>
					  <title>Ubalozi kuwaandaa wanaokwenda masomoni Marekani</title>
					  <link>http://www.habaritanzania.com/articles/3755/1/Ubalozi-kuwaandaa-wanaokwenda-masomoni-Marekani</link>
					  <description>UBALOZI wa Marekani nchini umeandaa siku maalumu kwa ajili ya wananfunzi waliopata nafasi za masomo katika vyuo vikuu nchini humo, kupata taarifa za awali kuhusiana na nchi hiyo.</description>
					  <author>washawashaupupu@yahoo.com (Marshy Abdu)</author>
					  <pubDate>Thu, 07 Jun 2007 00:00:00 -0500</pubDate>
					 
					</item>

				

					<item>
					  <title>Kamati ya Bunge yakataa ripoti za halmashauri tatu</title>
					  <link>http://www.habaritanzania.com/articles/3754/1/Kamati-ya-Bunge-yakataa-ripoti-za-halmashauri-tatu</link>
					  <description>KAMATI ya Bunge ya Hesabu za Serikali za Mitaa, jana ilikataa kupokea ripoti za mwaka za Halmashauri tatu kutoka Mkoa wa Kigoma kwa madai ya kutokuwa na ufafanuzi wa kutosha.</description>
					  <author>washawashaupupu@yahoo.com (Marshy Abdu)</author>
					  <pubDate>Thu, 07 Jun 2007 00:00:00 -0500</pubDate>
					 
					</item>

				

					<item>
					  <title>Kikwete amlinda na 'amshangaa' Mkapa</title>
					  <link>http://www.habaritanzania.com/articles/3751/1/Kikwete-amlinda-na-%91amshangaa%92-Mkapa</link>
					  <description>RAIS Jakaya Kikwete amewataka waandishi wa habari kuachana na kile alichokielezea kuwa ni utaratibu wa kuwachunguza viongozi wastaafu hususan katika masuala madogo.</description>
					  <author>info@habaritanzania.com (Habari Tanzania)</author>
					  <pubDate>Thu, 07 Jun 2007 00:00:00 -0500</pubDate>
					 
					</item>

				

					<item>
					  <title>Wazanzibari wabishania muungano</title>
					  <link>http://www.habaritanzania.com/articles/3749/1/Wazanzibari-wabishania-muungano</link>
					  <description>MKURUGENZI wa Mashitaka Zanzibar (DPP), Othman Masoud, ametofautiana na Naibu Waziri Kiongozi, Ali Juma Shamuhuna, juu ya masuala kadhaa ya muungano na kero zake.</description>
					  <author>washawashaupupu@yahoo.com (Marshy Abdu)</author>
					  <pubDate>Wed, 06 Jun 2007 00:00:00 -0500</pubDate>
					 
					</item>

				

					<item>
					  <title>Serikali yaigomea Tanesco</title>
					  <link>http://www.habaritanzania.com/articles/3748/1/Serikali-yaigomea-Tanesco</link>
					  <description>WATUMIAJI wa nishati ya umeme huenda wakalazimika kulipa zaidi kuanzia mwaka ujao wa fedha iwapo serikali itatekeleza azima yake ya kutolipatia Shirika la Umeme nchini (Tanesco) ruzuku.</description>
					  <author>washawashaupupu@yahoo.com (Marshy Abdu)</author>
					  <pubDate>Wed, 06 Jun 2007 00:00:00 -0500</pubDate>
					 
					</item>

				

					<item>
					  <title>Mabadiliko ya Katiba nchini hayaepukiki (5)</title>
					  <link>http://www.habaritanzania.com/articles/3745/1/Mabadiliko-ya-Katiba-nchini-hayaepukiki-%285%29</link>
					  <description>UCHAGUZI wa Rais unaendeshwa rasmi kwa utaratibu ulioainishwa katika ibara ya 41 ya katiba. Maoni yangu ni kuwa, kuna mushkeli katika ibara ndogo ya 41(6). Hii inasomeka: "Mgombea yeyote wa kiti cha rais atatangazwa kuwa amechaguliwa kuwa rais iwapo tu amepata kura nyingi zaidi kuliko mgombea mwingine yeyote." </description>
					  <author>info@habaritanzania.com (Habari Tanzania)</author>
					  <pubDate>Tue, 05 Jun 2007 00:00:00 -0500</pubDate>
					 
					</item>

				

					<item>
					  <title>JK atende anayosema</title>
					  <link>http://www.habaritanzania.com/articles/3744/1/JK-atende-anayosema</link>
					  <description>TUMELAZIMIKA kuandika maoni haya kutokana na habari kubwa ya leo ambayo inatokana na mahojiano kati ya Rais Jakaya Kikwete na jarida maarufu la Kiafrika la NewAfrican.</description>
					  <author>info@habaritanzania.com (Habari Tanzania)</author>
					  <pubDate>Tue, 05 Jun 2007 00:00:00 -0500</pubDate>
					 
					</item>

				

					<item>
					  <title>Makamba akemea rushwa, mizengwe CCM</title>
					  <link>http://www.habaritanzania.com/articles/3743/1/Makamba-akemea-rushwa%2C-mizengwe-CCM</link>
					  <description>MIZENGWE inayoashiria kuwapo kwa wingu la rushwa, imeanza kujidhihirisha ndani ya Chama Cha Mapinduzi (CCM) wakati kikielekea kuhitimisha harakati za uchaguzi baadaye mwaka huu.</description>
					  <author>info@habaritanzania.com (Habari Tanzania)</author>
					  <pubDate>Tue, 05 Jun 2007 00:00:00 -0500</pubDate>
					 
					</item>

				

					<item>
					  <title>Mwandosya: Niko tayari kupambana</title>
					  <link>http://www.habaritanzania.com/articles/3733/1/Mwandosya%3A-Niko-tayari-kupambana</link>
					  <description>WAZIRI wa Nchi, Ofisi ya Makamu wa Rais (Mazingira), Profesa Mark Mwandosya, amesema yuko tayari kukabiliana na washindani wake kisiasa, katika uchaguzi wa viongozi wa Chama Cha Mapinduzi (CCM).</description>
					  <author>info@habaritanzania.com (Habari Tanzania)</author>
					  <pubDate>Mon, 04 Jun 2007 00:00:00 -0500</pubDate>
					 
					</item>

				

					<item>
					  <title>Viongozi wa dini wapewa kazi</title>
					  <link>http://www.habaritanzania.com/articles/3732/1/Viongozi-wa-dini-wapewa-kazi</link>
					  <description>SIKU chache baada ya kikundi cha Wazanzibari kumi kutuma waraka kwa Chama cha Wananchi (CUF) kukitaka kujiondoa katika mazungumzo ya kusaka suluhisho la mpasuko Zanzibar, wametuma waraka mwingine kwa viongozi wa dini kuhusu suala hilo hilo la mapasuko wa kisiasa Zanzibar.</description>
					  <author>info@habaritanzania.com (Habari Tanzania)</author>
					  <pubDate>Mon, 04 Jun 2007 00:00:00 -0500</pubDate>
					 
					</item>

				

					<item>
					  <title>Ofisa TRA amfanyia unyama mwanafunzi</title>
					  <link>http://www.habaritanzania.com/articles/3731/1/Ofisa-TRA-amfanyia-unyama-mwanafunzi</link>
					  <description>MENEJA wa Mamlaka ya Mapato Tanzania (TRA), Horohoro, mkoani Tanga, Gamba Gaya (50), anatuhumiwa kumteka, kumbaka na kumpa ujauzito mwanafunzi wa kidato cha pili, mwenye umri wa miaka 16 na kisha kumtelekeza.</description>
					  <author>info@habaritanzania.com (Habari Tanzania)</author>
					  <pubDate>Mon, 04 Jun 2007 00:00:00 -0500</pubDate>
					 
					</item>

				

					<item>
					  <title>Joto urais Zanzibar lafukuta</title>
					  <link>http://www.habaritanzania.com/articles/3730/1/Joto-urais-Zanzibar-lafukuta</link>
					  <description>KAMPENI za kuwania nafasi ya urais wa Zanzibar mwaka 2010 zimechukua sura mpya na kuna uwezekano mkubwa mgombea wa CCM kwa mara ya kwanza kutokea Kisiwa cha Pemba.</description>
					  <author>info@habaritanzania.com (Habari Tanzania)</author>
					  <pubDate>Sun, 03 Jun 2007 00:00:00 -0500</pubDate>
					 
					</item>

				

					<item>
					  <title>Mawaziri wa JK kushitakiwa</title>
					  <link>http://www.habaritanzania.com/articles/3729/1/Mawaziri-wa-JK-kushitakiwa</link>
					  <description>WABUNGE watatu wa Chama Cha Mapinduzi (CCM) wa wilaya za Ulanga na Kilombero, wanatarajiwa kushitakiwa kwenye Halmashauri Kuu ya chama hicho (NEC), wakidaiwa kushindwa kutekeleza ilani ya uchaguzi.</description>
					  <author>info@habaritanzania.com (Habari Tanzania)</author>
					  <pubDate>Sun, 03 Jun 2007 00:00:00 -0500</pubDate>
					 
					</item>

				

					<item>
					  <title>Mangula aitega CCM</title>
					  <link>http://www.habaritanzania.com/articles/3728/1/Mangula-aitega-CCM</link>
					  <description>UAMUZI wa Katibu Mkuu wa zamani wa Chama Cha Mapinduzi (CCM), Philip Japhet Mangula, wa kujishusha hadi kuwania umakamu mwenyekiti wa mkoa, umeibua hisia nzito miongoni mwa Wana CCM.</description>
					  <author>info@habaritanzania.com (Habari Tanzania)</author>
					  <pubDate>Sun, 03 Jun 2007 00:00:00 -0500</pubDate>
					 
					</item>

				

					<item>
					  <title>Wahadzabe wamzulia jambo Waziri Marmo</title>
					  <link>http://www.habaritanzania.com/articles/3724/1/Wahadzabe-wamzulia-jambo-Waziri-Marmo</link>
					  <description>WAHADZABE wanaoishi katika bonde la Yaeda Chini katika Wilaya ya Mbulu, mkoani Manyara, wamepinga kauli ya Waziri wa Nchi, Ofisi ya Rais (Utawala Bora), Philip Marmo, juu ya hatua ya ardhi yao kukabidhiwa kwa Kampuni ya Arab Emirates kutoka Falme za Kiarabu.</description>
					  <author>info@habaritanzania.com (Habari Tanzania)</author>
					  <pubDate>Sat, 02 Jun 2007 00:00:00 -0500</pubDate>
					 
					</item>

				

					<item>
					  <title>Wapinzani waibua madai mengine</title>
					  <link>http://www.habaritanzania.com/articles/3723/1/Wapinzani-waibua-madai-mengine</link>
					  <description>UMOJA wa vyama vya upinzani, bado umesimama kwenye madai yake, kuitaka serikali iwalipie wanafunzi 29, waliokwama nchini Ukraine, baada ya kushindwa kulipia gharama za masomo na kujikimu.</description>
					  <author>info@habaritanzania.com (Habari Tanzania)</author>
					  <pubDate>Sat, 02 Jun 2007 00:00:00 -0500</pubDate>
					 
					</item>

				

					<item>
					  <title>Wizara katika kashfa ya bil. 4/=</title>
					  <link>http://www.habaritanzania.com/articles/3722/1/Wizara-katika-kashfa-ya-bil.-4%7B47%7D%3D</link>
					  <description>WIZARA ya Mawasiliano na Uchukuzi Zanzibar, inadaiwa kuisababishia Serikali ya Mapinduzi Zanzibar (SMZ) hasara ya mabilioni ya shilingi.  &#160;</description>
					  <author>washawashaupupu@yahoo.com (Marshy Abdu)</author>
					  <pubDate>Sat, 02 Jun 2007 00:00:00 -0500</pubDate>
					 
					</item>

				

					<item>
					  <title>Wapinzani waibua madai mengine</title>
					  <link>http://www.habaritanzania.com/articles/3721/1/Wapinzani-waibua-madai-mengine</link>
					  <description>UMOJA wa vyama vya upinzani, bado umesimama kwenye madai yake, kuitaka serikali iwalipie wanafunzi 29, waliokwama nchini Ukraine, baada ya kushindwa kulipia gharama za masomo na kujikimu.</description>
					  <author>washawashaupupu@yahoo.com (Marshy Abdu)</author>
					  <pubDate>Sat, 02 Jun 2007 00:00:00 -0500</pubDate>
					 
					</item>

				

					<item>
					  <title>Serikali yaombwa kuongeza ruzuku ya sekondari</title>
					  <link>http://www.habaritanzania.com/articles/3718/1/Serikali-yaombwa-kuongeza-ruzuku-ya-sekondari</link>
					  <description>SERIKALI imeombwa kuongeza fedha za ruzuku kwenye shule za sekondari wilayani Kilombero. Wakizungumza kwa nyakati tofauti, walimu wakuu wa shule za sekondari za Kilombero, Kiyongwile na Ifakara, waliliambia gazeti hili kuwa, fedha zinazotolewa na serikali hazitoshelezi.</description>
					  <author>washawashaupupu@yahoo.com (Marshy Abdu)</author>
					  <pubDate>Fri, 01 Jun 2007 00:00:00 -0500</pubDate>
					 
					</item>

				

					<item>
					  <title>Ufaransa yaifutia deni Tanzania</title>
					  <link>http://www.habaritanzania.com/articles/3716/1/Ufaransa-yaifutia-deni-Tanzania</link>
					  <description>SERIKALI ya Ufaransa imeifutia Tanzania deni la sh bilioni 7.5 sanjari na kusaini mkataba wa kuipatia msaada wa sh bilioni 12.</description>
					  <author>info@habaritanzania.com (Habari Tanzania)</author>
					  <pubDate>Thu, 31 May 2007 00:00:00 -0500</pubDate>
					 
					</item>

				

					<item>
					  <title>Ufaransa yaifutia deni Tanzania</title>
					  <link>http://www.habaritanzania.com/articles/3714/1/Ufaransa-yaifutia-deni-Tanzania</link>
					  <description>SERIKALI ya Ufaransa imeifutia Tanzania deni la sh bilioni 7.5 sanjari na kusaini mkataba wa kuipatia msaada wa sh bilioni 12. Makubaliano hayo yalitiwa saini jana na Waziri wa Fedha, Zakia Meghji, na Balozi wa Ufaransa hapa nchini, Jacques Champagne de Labriolle, katika ofisi za wizara hiyo.</description>
					  <author>washawashaupupu@yahoo.com (Marshy Abdu)</author>
					  <pubDate>Thu, 31 May 2007 00:00:00 -0500</pubDate>
					 
					</item>

				

					<item>
					  <title>Tumeona ya ANBEN, hatutaki kusikia ya SAKI</title>
					  <link>http://www.habaritanzania.com/articles/3712/1/Tumeona-ya-ANBEN%2C-hatutaki-kusikia-ya-SAKI</link>
					  <description>"SIAMINI kama mstaafu wetu, Benjamin Mkapa, tuliyemsifia kuwa ni Mr Clean, anaweza kutufanyia hivyo, Watanzania tuwe imara na tuamke na kumbana atuambie kulikoni." Anaingia Mkurupukaji, anaimba hata hasalimii.</description>
					  <author>info@habaritanzania.com (Habari Tanzania)</author>
					  <pubDate>Wed, 30 May 2007 00:00:00 -0500</pubDate>
					 
					</item>

				

					<item>
					  <title>Mkapa kavunja mwiko, Ikulu si patakatifu tena</title>
					  <link>http://www.habaritanzania.com/articles/3711/1/Mkapa-kavunja-mwiko%2C-Ikulu-si-patakatifu-tena</link>
					  <description>ILE kashfa ya ununuzi wa rada ilipokuwa imevuma wakati Rais Benjamin Mkapa akiwa madarakani, watu hawakuonekana kuhoji sana jinsi rais wao alivyokuwa akitumia muda wake wa kuwa ikulu.</description>
					  <author>info@habaritanzania.com (Habari Tanzania)</author>
					  <pubDate>Wed, 30 May 2007 00:00:00 -0500</pubDate>
					 
					</item>

				

					<item>
					  <title>Waraka kwa Watanzania (2)</title>
					  <link>http://www.habaritanzania.com/articles/3710/1/Waraka-kwa-Watanzania-%282%29</link>
					  <description>Nikiwa bado naendelea kupumzisha nyaraka zangu kwa Mheshimiwa Rais, naomba leo nijadili hoja kadhaa zilizoibuliwa na makala ya Prince Bagenda, iliyobeba kichwa cha habari: "Itikadi ya mrengo wa kati si jibu", iliyochapishwa katika gazeti la Tanzania Daima Mei 9, 2007.</description>
					  <author>info@habaritanzania.com (Habari Tanzania)</author>
					  <pubDate>Wed, 30 May 2007 00:00:00 -0500</pubDate>
					 
					</item>

				

					<item>
					  <title>Twaikumbusha Serikali kuanza kutekeza ahadi</title>
					  <link>http://www.habaritanzania.com/articles/3709/1/Twaikumbusha-Serikali-kuanza-kutekeza-ahadi</link>
					  <description>TULIANDIKA, tukaandika tena, na sasa tunaandika kwa mara nyingine</description>
					  <author>info@habaritanzania.com (Habari Tanzania)</author>
					  <pubDate>Wed, 30 May 2007 00:00:00 -0500</pubDate>
					 
					</item>

				

					<item>
					  <title>Mtikila akamatwa mara mbili</title>
					  <link>http://www.habaritanzania.com/articles/3707/1/Mtikila-akamatwa-mara-mbili</link>
					  <description>MWENYEKITI wa Chama cha Democratic (DP), Mchungaji Christopher Mtikila, jana alipandishwa kizimbani katika Mahakama ya Hakimu Mkazi Kisutu, Dar es Salaam, kwa tuhuma za kumjeruhi mwanamke.</description>
					  <author>washawashaupupu@yahoo.com (Marshy Abdu)</author>
					  <pubDate>Wed, 30 May 2007 00:00:00 -0500</pubDate>
					 
					</item>

				

					<item>
					  <title>CHADEMA: Kikwete ndiye aombe radhi</title>
					  <link>http://www.habaritanzania.com/articles/3705/1/CHADEMA%3A-Kikwete-ndiye-aombe-radhi</link>
					  <description>MALUMBANO ya kisiasa yanaelekea kuibuka baina ya Serikali na Chama cha Demokrasia na Maendeleo (CHADEMA), baada ya chama hicho jana kumkingia kifua mbunge wake, Zitto Kabwe, aliyetakiwa amuombe radhi Rais Jakaya Kikwete.</description>
					  <author>info@habaritanzania.com (Habari Tanzania)</author>
					  <pubDate>Wed, 30 May 2007 00:00:00 -0500</pubDate>
					 
					</item>

				

					<item>
					  <title>Serikali yawakana wanafunzi Ukraine</title>
					  <link>http://www.habaritanzania.com/articles/3704/1/Serikali-yawakana-wanafunzi-Ukraine</link>
					  <description>SIKU moja baada ya wapinzani kutoa mchango wa sh milioni moja kuwasaidia wanafunzi 29 Watanzania waliokwama Ukraine kwa kukosa ada, serikali imejitokeza kukataa kuwasaidia.</description>
					  <author>info@habaritanzania.com (Habari Tanzania)</author>
					  <pubDate>Tue, 29 May 2007 00:00:00 -0500</pubDate>
					 
					</item>

				

					<item>
					  <title>Lowassa akumbusha enzi zake na Kikwete</title>
					  <link>http://www.habaritanzania.com/articles/3702/1/Lowassa-akumbusha-enzi-zake-na-Kikwete</link>
					  <description>WAZIRI Mkuu, Edward Lowassa na Katibu Mkuu wa Chama Cha Mapinduzi (CCM), Yusuf Makamba, jana kwa pamoja walikwenda katika Ofisi za CCM Mkoa wa Dar es Salaam kuchukua fomu za kuomba kugombea ujumbe wa Halmshauri Kuu (NEC) ya chama hicho.</description>
					  <author>info@habaritanzania.com (Habari Tanzania)</author>
					  <pubDate>Tue, 29 May 2007 00:00:00 -0500</pubDate>
					 
					</item>

				

					<item>
					  <title>Wateja wa umeme Pemba kuanza kutumia TUKUZA</title>
					  <link>http://www.habaritanzania.com/articles/3701/1/Wateja-wa-umeme-Pemba-kuanza-kutumia-TUKUZA</link>
					  <description>WANANCHI wa kisiwa cha Pemba, hivi karibuni wanatarajiwa kuanza kutumia huduma ya umeme wa malipo kabla, unaofahamika kama TUKUZA, baada ya Shirika la Umeme Zanzibar kutangaza kufunga mita za huduma hiyo.</description>
					  <author>washawashaupupu@yahoo.com (Marshy Abdu)</author>
					  <pubDate>Tue, 29 May 2007 00:00:00 -0500</pubDate>
					 
					</item>

				

					<item>
					  <title>Kocha awaumiza vichwa Simba</title>
					  <link>http://www.habaritanzania.com/articles/3700/1/Kocha-awaumiza-vichwa-Simba</link>
					  <description>HOJA ya nani arithi mikoba ya aliyekuwa kocha mkuu wa timu ya Simba, Mbrazil, Nielsen Elias, kwa sasa inawaumiza vichwa viongozi wa klabu hiyo. Habari kutoka ndani ya klabu hiyo, zinasema, katika kujadili nani wa kuvaa 'viatu' hivyo, juzi na jana viongozi wa klabu hiyo walikutana kujadili bila kupata jawabu.</description>
					  <author>washawashaupupu@yahoo.com (Marshy Abdu)</author>
					  <pubDate>Tue, 29 May 2007 00:00:00 -0500</pubDate>
					 
					</item>

				

					<item>
					  <title>Dhehebu la kuua watu halijasajiliwa</title>
					  <link>http://www.habaritanzania.com/articles/3698/1/Dhehebu-la-kuua-watu-halijasajiliwa</link>
					  <description>SERIKALI imekana kulitambua kanisa moja lijulikanalo kama Faraja, lenye makao yake makuu jijini Mwanza, ambalo huendesha ibada za kafara ya damu.</description>
					  <author>info@habaritanzania.com (Habari Tanzania)</author>
					  <pubDate>Mon, 28 May 2007 00:00:00 -0500</pubDate>
					 
					</item>

				

					<item>
					  <title>Wapinzani kuwaokoa waliokwama Ukraine</title>
					  <link>http://www.habaritanzania.com/articles/3697/1/Wapinzani-kuwaokoa-waliokwama-Ukraine</link>
					  <description>MUUNGANO wa vyama vinne vya upinzani nchini wameanzisha harambee, yenye nia ya kukusanya fedha kwa ajili ya kuwasaidia wanafunzi wa Kitanzania wapatao 29 ambao wamekwama nchini Ukraine.</description>
					  <author>info@habaritanzania.com (Habari Tanzania)</author>
					  <pubDate>Mon, 28 May 2007 00:00:00 -0500</pubDate>
					 
					</item>

				

					<item>
					  <title>Makundi CCM bado yapo</title>
					  <link>http://www.habaritanzania.com/articles/3692/1/Makundi-CCM-bado-yapo</link>
					  <description>HABARI kubwa katika gazeti hili leo, inahusu kujitokeza kwa wanasiasa wakongwe wa Chama Cha Mapinduzi (CCM) kuchukua fomu za kuwania ngazi mbalimbali za uongozi ndani ya chama hicho.</description>
					  <author>info@habaritanzania.com (Habari Tanzania)</author>
					  <pubDate>Sun, 27 May 2007 00:00:00 -0500</pubDate>
					 
					</item>

				

					<item>
					  <title>Kikwete asikitika Kigoma</title>
					  <link>http://www.habaritanzania.com/articles/3691/1/Kikwete-asikitika-Kigoma</link>
					  <description>RAIS Jakaya Kikwete, amesema atalazimika kuchukua maamuzi mazito ambayo hayatawapendeza wengi ili kuinusuru bandari ya Kigoma.</description>
					  <author>info@habaritanzania.com (Habari Tanzania)</author>
					  <pubDate>Sun, 27 May 2007 00:00:00 -0500</pubDate>
					 
					</item>

				

					<item>
					  <title>Masumbuko Lamwai asimamishwa uwakili</title>
					  <link>http://www.habaritanzania.com/articles/3690/1/Masumbuko-Lamwai-asimamishwa-uwakili</link>
					  <description>JOPO la majaji watatu wa Mahakama Kuu ya Tanzania, limemfungia kufanya kazi ya uwakili, mwanasheria wa Chama Cha Mapinduzi (CCM), Dk. Masumbuko Lamwai, kwa kosa la kukiuka sheria za kazi ya uwakili.</description>
					  <author>info@habaritanzania.com (Habari Tanzania)</author>
					  <pubDate>Sun, 27 May 2007 00:00:00 -0500</pubDate>
					 
					</item>

				

					<item>
					  <title>Sumaye atikisa mtandao</title>
					  <link>http://www.habaritanzania.com/articles/3689/1/Sumaye-atikisa-mtandao</link>
					  <description>UAMUZI wa Waziri Mkuu mstaafu, Frederick Sumaye, wa kuchukua fomu za kusaka ujumbe wa Halmashauri Kuu ya Taifa (NEC) ya Chama Cha Mapinduzi (CCM), umetafsiriwa kuwa ni hatua yake ya pili ya kujipanga upya kwa ajili ya madaraka makubwa zaidi ndani ya chama hicho.</description>
					  <author>info@habaritanzania.com (Habari Tanzania)</author>
					  <pubDate>Sun, 27 May 2007 00:00:00 -0500</pubDate>
					 
					</item>

				

					<item>
					  <title>Matumaini yarejea Reli ya Kati</title>
					  <link>http://www.habaritanzania.com/articles/3688/1/Matumaini-yarejea-Reli-ya-Kati</link>
					  <description>MKATABA wa ubia wa uendeshaji wa Shirika la Reli Tanzania (TRC) na kampuni ya Rites Limited ya India umetiwa saini mjini Dar es Salaam juzi, imefahamika.</description>
					  <author>info@habaritanzania.com (Habari Tanzania)</author>
					  <pubDate>Sat, 26 May 2007 00:00:00 -0500</pubDate>
					 
					</item>

				

					<item>
					  <title>Mtikila anyumbulisha kesi ya Ditopile</title>
					  <link>http://www.habaritanzania.com/articles/3687/1/Mtikila-anyumbulisha-kesi-ya-Ditopile</link>
					  <description>MWENYEKITI wa Chama cha Democratic (DP), Mchungaji Christopher Mtikila, amefungua kesi ya katiba katika Mahakama Kuu Kanda ya Dar es Salaam, akiomba mahakama hiyo ifungue upya kesi ya kuua bila kukusudia inayomkabili aliyekuwa Mkuu wa Mkoa wa Tabora Ukiwaona Ditopile Mzuzuri ili iwe ya kuua kwa kukusudia.</description>
					  <author>info@habaritanzania.com (Habari Tanzania)</author>
					  <pubDate>Sat, 26 May 2007 00:00:00 -0500</pubDate>
					 
					</item>

				

					<item>
					  <title>TRA yaikana Barrick kuhusu mchanga wa dhahabu</title>
					  <link>http://www.habaritanzania.com/articles/3686/1/TRA-yaikana-Barrick-kuhusu-mchanga-wa-dhahabu</link>
					  <description>KAMPUNI&#160; ya kuchimba dhahabu ya Barrick Gold, ikidai&#160; kuwa ndiyo iliyosababisha makontena yake ya mchanga wa dhahabu yakaguliwe bandarini, Mamlaka ya Mapato&#160; (TRA) imepingana nayo na kusema kuwa ilifanya hivyo yenyewe baada ya kupata taarifa kutoka kwa raia wema.</description>
					  <author>info@habaritanzania.com (Habari Tanzania)</author>
					  <pubDate>Sat, 26 May 2007 00:00:00 -0500</pubDate>
					 
					</item>

				

					<item>
					  <title>Magereza wajiandaa kumuaga Banzi</title>
					  <link>http://www.habaritanzania.com/articles/3685/1/Magereza-wajiandaa-kumuaga-Banzi</link>
					  <description>JESHI la Magereza nchini, limeanza maandalizi ya sherehe kabambe za kumuaga Kamishna wake Mkuu, Nicas Pius Banzi, anayetarajiwa kustaafu rasmi Juni 20, mwaka huu, imefahamika.</description>
					  <author>info@habaritanzania.com (Habari Tanzania)</author>
					  <pubDate>Fri, 25 May 2007 00:00:00 -0500</pubDate>
					 
					</item>

				

					<item>
					  <title>Magereza wajiandaa kumuaga Banzi</title>
					  <link>http://www.habaritanzania.com/articles/3684/1/Magereza-wajiandaa-kumuaga-Banzi</link>
					  <description>JESHI la Magereza nchini, limeanza maandalizi ya sherehe kabambe za kumuaga Kamishna wake Mkuu, Nicas Pius Banzi, anayetarajiwa kustaafu rasmi Juni 20, mwaka huu, imefahamika.</description>
					  <author>info@habaritanzania.com (Habari Tanzania)</author>
					  <pubDate>Fri, 25 May 2007 00:00:00 -0500</pubDate>
					 
					</item>

				

					<item>
					  <title>Tanzania yaitisha Somalia</title>
					  <link>http://www.habaritanzania.com/articles/3683/1/Tanzania-yaitisha-Somalia</link>
					  <description>SERIKALI ya Tanzania imetishia kusitisha mpango wake wa kuwapa mafunzo wanajeshi 1,000 wa Somalia, iwapo waasi wa nchi hiyo hawatawaachia huru watu 24 waliowateka kutoka katika meli mbili za Korea ya Kusini.</description>
					  <author>info@habaritanzania.com (Habari Tanzania)</author>
					  <pubDate>Fri, 25 May 2007 00:00:00 -0500</pubDate>
					 
					</item>

				

					<item>
					  <title>Dhehebu la kuua watu latua nchini</title>
					  <link>http://www.habaritanzania.com/articles/3681/1/Dhehebu-la-kuua-watu-latua-nchini</link>
					  <description>BAADA ya kuwapo kwa maneno ya chinichini yasiyo na ushahidi wa moja kwa moja ya muda mrefu, hatimaye sasa siri imeanza kufichuka kuwa Tanzania imeingia katika orodha za nchi zilizo na madhehebu ya dini yanayotoa kafara za damu za binadamu.</description>
					  <author>info@habaritanzania.com (Habari Tanzania)</author>
					  <pubDate>Fri, 25 May 2007 00:00:00 -0500</pubDate>
					 
					</item>

				

					<item>
					  <title>Tanzania yaitisha Somalia</title>
					  <link>http://www.habaritanzania.com/articles/3680/1/Tanzania-yaitisha-Somalia</link>
					  <description>SERIKALI ya Tanzania imetishia kusitisha mpango wake wa kuwapa mafunzo wanajeshi 1,000 wa Somalia, iwapo waasi wa nchi hiyo hawatawaachia huru watu 24 waliowateka kutoka katika meli mbili za Korea ya Kusini.</description>
					  <author>washawashaupupu@yahoo.com (Marshy Abdu)</author>
					  <pubDate>Fri, 25 May 2007 00:00:00 -0500</pubDate>
					 
					</item>

				

					<item>
					  <title>Dhehebu la kuua watu latua nchini</title>
					  <link>http://www.habaritanzania.com/articles/3679/1/Dhehebu-la-kuua-watu-latua-nchini</link>
					  <description>BAADA ya kuwapo kwa maneno ya chinichini yasiyo na ushahidi wa moja kwa moja ya muda mrefu, hatimaye sasa siri imeanza kufichuka kuwa Tanzania imeingia katika orodha za nchi zilizo na madhehebu ya dini yanayotoa kafara za damu za binadamu.</description>
					  <author>washawashaupupu@yahoo.com (Marshy Abdu)</author>
					  <pubDate>Fri, 25 May 2007 00:00:00 -0500</pubDate>
					 
					</item>

				

					<item>
					  <title>Maslahi ya waandishi wa habari Mengi ataka wamiliki wa vyombo wabanwe</title>
					  <link>http://www.habaritanzania.com/articles/3673/1/Maslahi-ya-waandishi-wa-habari-Mengi-ataka-wamiliki-wa-vyombo-wabanwe</link>
					  <description>WAHARIRI wakuu na waandishi wa habari nchini wametakiwa kuwa jasiri na kuwabana wamiliki wa vyombo vya habari, ili wawape maslahi bora.</description>
					  <author>info@habaritanzania.com (Habari Tanzania)</author>
					  <pubDate>Thu, 24 May 2007 00:00:00 -0500</pubDate>
					 
					</item>

				

					<item>
					  <title>Mbunge atumia &#39;Bingo&#39; kudhibiti mimba</title>
					  <link>http://www.habaritanzania.com/articles/3672/1/Mbunge-atumia-%26%2339%3BBingo%26%2339%3B-kudhibiti-mimba</link>
					  <description>MBUNGE wa Gairo, Bw. Ahmed Shabiby, amesema mtindo wa kutoa zawadi ya sh. 5,000 kwa kila aliyetoa taarifa za mtu aliyempeleka mwanafunzi katika nyumba za kulala wageni kufanya mapenzi umesaidia kupunguza idadi ya wanafunzi wanaopata mimba jimboni mwake. </description>
					  <author>info@habaritanzania.com (Habari Tanzania)</author>
					  <pubDate>Thu, 24 May 2007 00:00:00 -0500</pubDate>
					 
					</item>

				

					<item>
					  <title>Wakubwa wadaiwa mamilioni Ilala</title>
					  <link>http://www.habaritanzania.com/articles/3670/1/Wakubwa-wadaiwa-mamilioni-Ilala</link>
					  <description>HALMASHAURI ya Manispaa ya Ilala, Dar es Salaam, imetoa notisi kwa wadaiwa sugu wa kodi za majengo wilayani humo, na kuwapa muda walipe deni hilo kabla hatua kali za kisheria hazijachukuliwa dhidi yao.</description>
					  <author>washawashaupupu@yahoo.com (Marshy Abdu)</author>
					  <pubDate>Wed, 23 May 2007 00:00:00 -0500</pubDate>
					 
					</item>

				

					<item>
					  <title>Wakubwa wadaiwa mamilioni Ilala</title>
					  <link>http://www.habaritanzania.com/articles/3668/1/Wakubwa-wadaiwa-mamilioni-Ilala</link>
					  <description>HALMASHAURI ya Manispaa ya Ilala, Dar es Salaam, imetoa notisi kwa wadaiwa sugu wa kodi za majengo wilayani humo, na kuwapa muda walipe deni hilo kabla hatua kali za kisheria hazijachukuliwa dhidi yao.</description>
					  <author>info@habaritanzania.com (Habari Tanzania)</author>
					  <pubDate>Wed, 23 May 2007 00:00:00 -0500</pubDate>
					 
					</item>

				

					<item>
					  <title>Serikali yajitia kitanzi barabara ya Singida</title>
					  <link>http://www.habaritanzania.com/articles/3667/1/Serikali-yajitia-kitanzi-barabara-ya-Singida</link>
					  <description>MPANGO wa serikali wa ujenzi wa barabara kuu nchini, huenda ukachukua muda mrefu kuliko ilivyoahidiwa awali, iwapo mtindo iliouanzisha serikali wa kukubaliana na makandarasi utaendelezwa.</description>
					  <author>info@habaritanzania.com (Habari Tanzania)</author>
					  <pubDate>Wed, 23 May 2007 00:00:00 -0500</pubDate>
					 
					</item>

				

					<item>
					  <title>Mivutano uchaguzi CCM</title>
					  <link>http://www.habaritanzania.com/articles/3666/1/Mivutano-uchaguzi-CCM</link>
					  <description>UCHAGUZI unaoendelea ndani ya Chama Cha Mapinduzi (CCM) umeanza kufichua udhaifu uliopo miongoni mwa wanachama na viongozi wa chama hicho katika kufuata misingi ya demokrasia waliyojiwekea.</description>
					  <author>info@habaritanzania.com (Habari Tanzania)</author>
					  <pubDate>Wed, 23 May 2007 00:00:00 -0500</pubDate>
					 
					</item>

				

					<item>
					  <title>Agizo la Lowassa laanza vibaya</title>
					  <link>http://www.habaritanzania.com/articles/3665/1/Agizo-la-Lowassa-laanza-vibaya</link>
					  <description>KUTOELEWEKA vyema kwa utaratibu wa matumizi ya barabara za Ali Hassan Mwinyi na Morogoro, nyakati za asubuhi kwa magari yanayokuja katikati ya jiji, jana kulisababisha usumbufu uliowafanya baadhi ya wakazi wa jiji kuona utaratibu huo kuwa ni kero badala ya suluhisho la msongamano wa magari.</description>
					  <author>washawashaupupu@yahoo.com (Marshy Abdu)</author>
					  <pubDate>Tue, 22 May 2007 00:00:00 -0500</pubDate>
					 
					</item>

				

					<item>
					  <title>Anglikana: Aliyemrithi Askofu Dodoma mhaini</title>
					  <link>http://www.habaritanzania.com/articles/3664/1/Anglikana%3A-Aliyemrithi-Askofu-Dodoma-mhaini</link>
					  <description>MGOGORO uliolikumba Kanisa la Angalikana Dayosisi ya Central Tanganyika (DCT), unazidi kuchukua sura mpya kila siku, na sasa kuna tishio la kuchukuliwa kwa hatua za kisheria dhidi ya baadhi ya viongozi wa kanisa hilo.</description>
					  <author>washawashaupupu@yahoo.com (Marshy Abdu)</author>
					  <pubDate>Tue, 22 May 2007 00:00:00 -0500</pubDate>
					 
					</item>

				

					<item>
					  <title>Anglikana: Aliyemrithi Askofu Dodoma mhaini</title>
					  <link>http://www.habaritanzania.com/articles/3663/1/Anglikana%3A-Aliyemrithi-Askofu-Dodoma-mhaini</link>
					  <description>MGOGORO uliolikumba Kanisa la Angalikana Dayosisi ya Central Tanganyika (DCT), unazidi kuchukua sura mpya kila siku, na sasa kuna tishio la kuchukuliwa kwa hatua za kisheria dhidi ya baadhi ya viongozi wa kanisa hilo.</description>
					  <author>info@habaritanzania.com (Habari Tanzania)</author>
					  <pubDate>Tue, 22 May 2007 00:00:00 -0500</pubDate>
					 
					</item>

				

					<item>
					  <title>Ditopile: Dhamana ngumu</title>
					  <link>http://www.habaritanzania.com/articles/3662/1/Ditopile%3A-Dhamana-ngumu</link>
					  <description>ALIYEKUWA Mkuu wa Mkoa wa Tabora, Ukiwaona Ditopile Mzuzuri, amewasilisha ombi katika Mahakama Kuu, akiiomba ifanye marekebisho ya moja ya masharti ya dhamana, katika kesi yake ya mauaji bila kukusudia.</description>
					  <author>info@habaritanzania.com (Habari Tanzania)</author>
					  <pubDate>Tue, 22 May 2007 00:00:00 -0500</pubDate>
					 
					</item>

				

					<item>
					  <title>Prof. Baregu: Shirikisho EAC si la kuchagua</title>
					  <link>http://www.habaritanzania.com/articles/3658/1/Prof.-Baregu%3A-Shirikisho-EAC-si-la-kuchagua</link>
					  <description>PROFESA Mwesiga Baregu wa Idara ya Sayansi ya Siasa na Utawala Chuo Kikuu cha Dar es Salaam, amesema uharakishwaji wa Shirikisho la Jumuiya ya Afrika Mashariki, umeingia katika sura mpya baada ya Watanzania kushauriwa kuwa suala hilo ni la lazima na si la kuchagua.</description>
					  <author>washawashaupupu@yahoo.com (Marshy Abdu)</author>
					  <pubDate>Mon, 21 May 2007 00:00:00 -0500</pubDate>
					 
					</item>

				

					<item>
					  <title>Waziri Mkuu kuanza ziara Singida</title>
					  <link>http://www.habaritanzania.com/articles/3657/1/Waziri-Mkuu-kuanza-ziara-Singida</link>
					  <description>WAZIRI Mkuu, Edward Lowassa, leo anaanza ziara ya kikazi ya siku tano katika Mkoa wa Singida ambako atakagua shughuli za maendeleo na kuzungumza na wananchi.</description>
					  <author>info@habaritanzania.com (Habari Tanzania)</author>
					  <pubDate>Mon, 21 May 2007 00:00:00 -0500</pubDate>
					 
					</item>

				

					<item>
					  <title>Polisi yafanya mabadiliko makubwa leseni za udereva</title>
					  <link>http://www.habaritanzania.com/articles/3654/1/Polisi-yafanya-mabadiliko-makubwa-leseni-za-udereva</link>
					  <description>WAKATI viongozi wakikuna vichwa kupunguza ajali za barabarani, Jeshi la Polisi nchini limetangaza mipango yake inayolenga kudhibiti hali hiyo.</description>
					  <author>info@habaritanzania.com (Habari Tanzania)</author>
					  <pubDate>Mon, 21 May 2007 00:00:00 -0500</pubDate>
					 
					</item>

				

					<item>
					  <title>Wapinzani sasa waibukia Ukraine</title>
					  <link>http://www.habaritanzania.com/articles/3653/1/Wapinzani-sasa-waibukia-Ukraine</link>
					  <description>UMOJA wa vyama vya CHADEMA, CUF, NCCR-Mageuzi na TLP, umeitaka serikali kueleza wazi juu ya hatima ya wanafunzi wa Kitanzania wapatao 29, ambao walikuwa wanasoma nchini Ukraine na kufukuzwa kwa kushindwa kulipa ada.</description>
					  <author>info@habaritanzania.com (Habari Tanzania)</author>
					  <pubDate>Mon, 21 May 2007 00:00:00 -0500</pubDate>
					 
					</item>

				

					<item>
					  <title>Waanglikana Dodoma wafunguliana mashitaka</title>
					  <link>http://www.habaritanzania.com/articles/3652/1/Waanglikana-Dodoma-wafunguliana-mashitaka</link>
					  <description>WAUMINI wa Kanisa la Anglikana Dayosisi ya Central Tanganyika (DCT), wameyafikisha madai dhidi ya Askofu wao Mkuu, Godfrey Mdimi Mhogolo, katika ngazi za juu za uongozi wa kanisa hilo, imefahamika.</description>
					  <author>info@habaritanzania.com (Habari Tanzania)</author>
					  <pubDate>Mon, 21 May 2007 00:00:00 -0500</pubDate>
					 
					</item>

				

					<item>
					  <title>JK apangua vigogo</title>
					  <link>http://www.habaritanzania.com/articles/3651/1/JK-apangua-vigogo</link>
					  <description>WAKATI kukiwa na kelele kuhusu mwenendo usioridhisha wa matumizi ya fedha za umma na baadhi ya wizara kukabiliwa na tuhuma za utendaji mbaya wa kazi, Rais Jakaya Kikwete, amefanya mabadiliko madogo mazito ya watendaji wakuu serikalini.</description>
					  <author>info@habaritanzania.com (Habari Tanzania)</author>
					  <pubDate>Sat, 19 May 2007 00:00:00 -0500</pubDate>
					 
					</item>

				

					<item>
					  <title>Dhamira ya wapinzani kuishitaki serikali ipo palepale</title>
					  <link>http://www.habaritanzania.com/articles/3650/1/Dhamira-ya-wapinzani-kuishitaki-serikali-ipo-palepale</link>
					  <description>SIKU moja baada ya Chuo Kikuu Dar es Salaam (UDSM) na kile cha Kilimo cha Sokoine huko Morogoro (SUA) kutangaza kuwarejesha wanafunzi waliokuwa wamesimamishwa masomo, baadhi ya vyama vya upinzani vimetoa tamko la pamoja kueleza kuwa hatua hiyo haitasitisha azma yao ya kuishitaki serikali kuhusu suala hilo la wanafunzi.</description>
					  <author>washawashaupupu@yahoo.com (Marshy Abdu)</author>
					  <pubDate>Sat, 19 May 2007 00:00:00 -0500</pubDate>
					 
					</item>

				

					<item>
					  <title>JK apangua vigogo</title>
					  <link>http://www.habaritanzania.com/articles/3649/1/JK-apangua-vigogo</link>
					  <description>WAKATI kukiwa na kelele kuhusu mwenendo usioridhisha wa matumizi ya fedha za umma na baadhi ya wizara kukabiliwa na tuhuma za utendaji mbaya wa kazi, Rais Jakaya Kikwete, amefanya mabadiliko madogo mazito ya watendaji wakuu serikalini.</description>
					  <author>washawashaupupu@yahoo.com (Marshy Abdu)</author>
					  <pubDate>Sat, 19 May 2007 00:00:00 -0500</pubDate>
					 
					</item>

				

					<item>
					  <title>JK apangua vigogo</title>
					  <link>http://www.habaritanzania.com/articles/3647/1/JK-apangua-vigogo</link>
					  <description>WAKATI kukiwa na kelele kuhusu mwenendo usioridhisha wa matumizi ya fedha za umma na baadhi ya wizara kukabiliwa na tuhuma za utendaji mbaya wa kazi, Rais Jakaya Kikwete, amefanya mabadiliko madogo mazito ya watendaji wakuu serikalini.</description>
					  <author>info@habaritanzania.com (Habari Tanzania)</author>
					  <pubDate>Sat, 19 May 2007 00:00:00 -0500</pubDate>
					 
					</item>

				

					<item>
					  <title>Tossi amgusa IGP</title>
					  <link>http://www.habaritanzania.com/articles/3646/1/Tossi-amgusa-IGP</link>
					  <description>YULE kamanda maarufu wa polisi katika kusimamia na kuongoza operesheni za uhalifu ulioshindikana, Venance Tossi, amerejeshwa makao makuu ya jeshi hilo jijini Dar es Salaam kuongoza kitengo kipya kilichopewa jukumu la kuendesha operesheni maalum, zikiwamo zile za kukabiliana na uhalifu nchini.</description>
					  <author>info@habaritanzania.com (Habari Tanzania)</author>
					  <pubDate>Sat, 19 May 2007 00:00:00 -0500</pubDate>
					 
					</item>

				

					<item>
					  <title>Chuo Kikuu chawarejesha wanafunzi wake wote 56</title>
					  <link>http://www.habaritanzania.com/articles/3645/1/Chuo-Kikuu-chawarejesha-wanafunzi-wake-wote-56</link>
					  <description>HATIMAYE uongozi wa Chuo Kikuu cha Dar es Salaam (UDSM), umewaruhusu wanafunzi 56 ambao walisimamishwa masomo kwa madai kuwa walikuwa vinara wa mgomo, kufanya mitihani inayotarajiwa kuanza Jumatatu ijayo.</description>
					  <author>info@habaritanzania.com (Habari Tanzania)</author>
					  <pubDate>Fri, 18 May 2007 00:00:00 -0500</pubDate>
					 
					</item>

				

					<item>
					  <title>DCI amshangaa mkuu wa mkoa</title>
					  <link>http://www.habaritanzania.com/articles/3644/1/DCI-amshangaa-mkuu-wa-mkoa</link>
					  <description>MKURUGENZI wa Upelelezi wa Makosa ya Jinai (DCI), Kamishna Robert Manumba, amewataka wananchi wenye taarifa za siri kuhusu uhalifu kutosita kufanya hivyo kwa sababu ya kuhofia kile kilichowakuta wazee wa Mkoa wa Mbeya.</description>
					  <author>info@habaritanzania.com (Habari Tanzania)</author>
					  <pubDate>Fri, 18 May 2007 00:00:00 -0500</pubDate>
					 
					</item>

				

					<item>
					  <title>Migomo ya walimu yaibuka tena sekondari Vituka</title>
					  <link>http://www.habaritanzania.com/articles/3643/1/Migomo-ya-walimu-yaibuka-tena-sekondari-Vituka</link>
					  <description>WALIMU 26 wa Shule ya Sekondari Vituka, Dar es Salaam, jana waligoma kufundisha na kusimamia mitihani ya majaribio (mock) ya kidato cha pili na nne shuleni hapo kwa madai ya kutolipwa mishahara.</description>
					  <author>washawashaupupu@yahoo.com (Marshy Abdu)</author>
					  <pubDate>Fri, 18 May 2007 00:00:00 -0500</pubDate>
					 
					</item>

				

					<item>
					  <title>Mrema kuunda tume ya kumhoji Prof. Mukandala</title>
					  <link>http://www.habaritanzania.com/articles/3642/1/Mrema-kuunda-tume-ya-kumhoji-Prof.-Mukandala</link>
					  <description>MWENYEKITI wa Chama cha Tanzania Labour (TLP), Agustine Mrema, amesema amepanga kuunda tume itakayomhoji Makamu Mkuu wa Chuo Kikuu Dar es Salaam (UDSM), Profesa Rwekaza Mukandala, kuhusiana na tuhuma za kukivuruga chuo hicho.</description>
					  <author>washawashaupupu@yahoo.com (Marshy Abdu)</author>
					  <pubDate>Fri, 18 May 2007 00:00:00 -0500</pubDate>
					 
					</item>

				

					<item>
					  <title>FFU watega Chuo Kikuu Dar</title>
					  <link>http://www.habaritanzania.com/articles/3641/1/FFU-watega-Chuo-Kikuu-Dar</link>
					  <description>HALI katika Chuo Kikuu cha Dar es Salaam (UDSM) bado ni tete, kufuatia kusimamishwa kwa wanafunzi 56, ambao wengi wao ni viongozi wa serikali ya wanafunzi.</description>
					  <author>info@habaritanzania.com (Habari Tanzania)</author>
					  <pubDate>Thu, 17 May 2007 00:00:00 -0500</pubDate>
					 
					</item>

				

					<item>
					  <title>Viongozi wa serikali sasa kujieleza CCM</title>
					  <link>http://www.habaritanzania.com/articles/3640/1/Viongozi-wa-serikali-sasa-kujieleza-CCM</link>
					  <description>CHAMA Cha Mapinduzi (CCM), kimeanzisha utaratibu mpya wa kuwaita watendaji wa serikali kutoa taarifa za kiutendaji za serikali katika vikao vya Halmashauri Kuu ya chama hicho.</description>
					  <author>info@habaritanzania.com (Habari Tanzania)</author>
					  <pubDate>Thu, 17 May 2007 00:00:00 -0500</pubDate>
					 
					</item>

				

					<item>
					  <title>Kibao chawageukia wasiri wa IGP, DCI</title>
					  <link>http://www.habaritanzania.com/articles/3639/1/Kibao-chawageukia-wasiri-wa-IGP%2C-DCI</link>
					  <description>KUNDI la wazee kutoka Mkoa wa Mbeya ambalo hivi karibuni liliripotiwa kupeleka taarifa za siri za uhalifu za mkoa huo kwa Mkuu wa Jeshi la Polisi nchini (IGP), Said Mwema na Mkurugenzi wa Makosa ya Jinai (DCI), Robert Manumba, liko katika wakati mgumu.</description>
					  <author>info@habaritanzania.com (Habari Tanzania)</author>
					  <pubDate>Thu, 17 May 2007 00:00:00 -0500</pubDate>
					 
					</item>

				

					<item>
					  <title>Ukodishwaji wa Shirika la Reli ukamilike haraka</title>
					  <link>http://www.habaritanzania.com/articles/3637/1/Ukodishwaji-wa-Shirika-la-Reli-ukamilike-haraka</link>
					  <description>HABARI kubwa katika gazeti hili leo, ni ile inayozungumzia kufika katika hatua za mwanzo za mwekezaji aliyeshinda zabuni ya kukodishwa uendeshaji wa miundombinu ya Shirika la Reli Tanzania (TRC), kuanza kuliendesha rasmi.</description>
					  <author>info@habaritanzania.com (Habari Tanzania)</author>
					  <pubDate>Wed, 16 May 2007 00:00:00 -0500</pubDate>
					 
					</item>

				

					<item>
					  <title>Ujenzi daraja la Malagarasi washika kasi</title>
					  <link>http://www.habaritanzania.com/articles/3635/1/Ujenzi-daraja-la-Malagarasi-washika-kasi</link>
					  <description>MPANGO wa ujenzi wa daraja katika Mto Malagarasi mkoani Kigoma, sasa unaonekana kushika kasi kufuatia kuwasili nchini kwa watalaamu wanane kutoka Korea Kusini kwa ajili ya utekelezaji wa mradi huo.</description>
					  <author>washawashaupupu@yahoo.com (Marshy Abdu)</author>
					  <pubDate>Wed, 16 May 2007 00:00:00 -0500</pubDate>
					 
					</item>

				

					<item>
					  <title>JK atoa tuzo</title>
					  <link>http://www.habaritanzania.com/articles/3632/1/JK-atoa-tuzo</link>
					  <description>SERIKALI imewazawadia wanafunzi waliofanya vizuri katika mitihani ya kidato cha sita, iliyofanyika mwaka jana na matokeo yake kutangazwa hivi karibuni na Baraza la Mitihani la Taifa.</description>
					  <author>info@habaritanzania.com (Habari Tanzania)</author>
					  <pubDate>Wed, 16 May 2007 00:00:00 -0500</pubDate>
					 
					</item>

				

					<item>
					  <title>Chuo Kikuu Sokoine chazuia wanafunzi 36</title>
					  <link>http://www.habaritanzania.com/articles/3631/1/Chuo-Kikuu-Sokoine-chazuia-wanafunzi-36</link>
					  <description>WAKATI Chuo Kikuu cha Kilimo cha Sokoine (SUA) kimetangaza kuwazuia wanafunzi 36 kurejea chuoni, uongozi wa Chuo Kikuu cha Dar es Salaam (UDSM) umewataka wanafunzi 56 wa shahada ya awali waliosimamishwa masomo, kufika chuoni leo kwa ajili ya kuchukua barua zao.</description>
					  <author>info@habaritanzania.com (Habari Tanzania)</author>
					  <pubDate>Wed, 16 May 2007 00:00:00 -0500</pubDate>
					 
					</item>

				

					<item>
					  <title>TRC kutoka ICU</title>
					  <link>http://www.habaritanzania.com/articles/3630/1/TRC-kutoka-ICU</link>
					  <description>BAADA ya kipindi kirefu cha kusuasua usafiri wa Reli ya Kati unaoanzia Dar es Salaam kwenda mikoani, uko katika hatua za kurejeshwa chini ya mwekezaji mpya.</description>
					  <author>info@habaritanzania.com (Habari Tanzania)</author>
					  <pubDate>Wed, 16 May 2007 00:00:00 -0500</pubDate>
					 
					</item>

				

					<item>
					  <title>Chitalilo akosekana kortini</title>
					  <link>http://www.habaritanzania.com/articles/3629/1/Chitalilo-akosekana-kortini</link>
					  <description>MBUNGE wa Buchosa anayetuhumiwa kughushi vyeti na kudanganya wapiga kura wake, Samuel Chitalilo (CCM), jana hakuonekana mahakamani, kama alivyotakiwa, kujibu madai hayo.</description>
					  <author>info@habaritanzania.com (Habari Tanzania)</author>
					  <pubDate>Tue, 15 May 2007 00:00:00 -0500</pubDate>
					 
					</item>

				

					<item>
					  <title>Daruso kujitoa mhanga kuwaokoa wenzao 56</title>
					  <link>http://www.habaritanzania.com/articles/3628/1/Daruso-kujitoa-mhanga-kuwaokoa-wenzao-56</link>
					  <description>MARA baada ya kurejea chuoni jana, viongozi wa Serikali ya Wanafunzi ya Chuo Kikuu cha Dar es Salaam (Daruso), ambao hawajasimamishwa, waliitisha kikao, ambacho moja ya ajenda zake kubwa ni kutafuta namna ya kuwatetea viongozi wenzao waliosimamishwa.</description>
					  <author>info@habaritanzania.com (Habari Tanzania)</author>
					  <pubDate>Tue, 15 May 2007 00:00:00 -0500</pubDate>
					 
					</item>

				

					<item>
					  <title>Padri atiwa mbaroni akihusishwa na kifo</title>
					  <link>http://www.habaritanzania.com/articles/3625/1/Padri-atiwa-mbaroni-akihusishwa-na-kifo</link>
					  <description>PADRI wa Kanisa Katoliki anayetuhumiwa kuhusika katika kumtoa mimba mwanafunzi wa kidato cha pili wa Shule ya Sekondari ya Dongobesh wilayani Mbulu, Veneranda Antony Amini, ambaye baadaye alipoteza maisha, ametiwa mbaroni.</description>
					  <author>info@habaritanzania.com (Habari Tanzania)</author>
					  <pubDate>Tue, 15 May 2007 00:00:00 -0500</pubDate>
					 
					</item>

				

					<item>
					  <title>Anglikana sasa vurugu tupu</title>
					  <link>http://www.habaritanzania.com/articles/3622/1/Anglikana-sasa-vurugu-tupu</link>
					  <description>UFA unaosababishwa na matendo ya ushoga umezidi kuongezeka katika Kanisa la Anglikana hapa nchini.</description>
					  <author>info@habaritanzania.com (Habari Tanzania)</author>
					  <pubDate>Sun, 13 May 2007 00:00:00 -0500</pubDate>
					 
					</item>

				

					<item>
					  <title>CCM yanyemelewa na kashfa ya makundi</title>
					  <link>http://www.habaritanzania.com/articles/3621/1/CCM-yanyemelewa-na-kashfa-ya-makundi</link>
					  <description>KUNA kila dalili za wazi kuwa Chama Cha Mapinduzi (CCM), sasa kinanyemelewa na kashfa nzito ya viongozi wake kutokuwa na maadili mema ya uongozi, ambayo chanzo chake ni makundi yaliyoota mizizi ndani ya chama hicho.</description>
					  <author>info@habaritanzania.com (Habari Tanzania)</author>
					  <pubDate>Sun, 13 May 2007 00:00:00 -0500</pubDate>
					 
					</item>

				

					<item>
					  <title>Makamba asema CCM haina wanamtandao</title>
					  <link>http://www.habaritanzania.com/articles/3618/1/Makamba-asema-CCM-haina-wanamtandao</link>
					  <description>SIKU moja baada ya Katibu Mstaafu wa CCM, Phillip Mangula, kuliambia gazeti hili kuwa makundi katika chama yanakikosesha uhai na kumtaka Mwenyekiti wa CCM, Jakaya Kikwete kuyakemea; Katibu Mkuu wa sasa, Yusufu Makamba, ameibuka na kusema kuwa hakuna makundi katika CCM.</description>
					  <author>info@habaritanzania.com (Habari Tanzania)</author>
					  <pubDate>Sat, 12 May 2007 00:00:00 -0500</pubDate>
					 
					</item>

				

					<item>
					  <title>PCB yaisafisha tuhuma za rushwa Richmond</title>
					  <link>http://www.habaritanzania.com/articles/3617/1/PCB-yaisafisha-tuhuma-za-rushwa-Richmond</link>
					  <description>TAASISI ya Kuzuia Rushwa nchini (TAKURU) imeisafisha kampuni ya Richmod Development Company dhidi ya tuhuma za rushwa zilizokuwa zikiikabili katika uingiaji wa mkataba wa kukodisha mitambo ya kuzalisha umeme wa dharura kwa TANESCO.&#160; </description>
					  <author>info@habaritanzania.com (Habari Tanzania)</author>
					  <pubDate>Sat, 12 May 2007 00:00:00 -0500</pubDate>
					 
					</item>

				

					<item>
					  <title>Waziri Diallo chupchupu kufa maji</title>
					  <link>http://www.habaritanzania.com/articles/3616/1/Waziri-Diallo-chupchupu-kufa-maji</link>
					  <description>WAZIRI wa Maendeleo ya Mifugo na vigogo kadhaa wa Chama Cha Mapinduzi (CCM) na serikali katika mikoa ya Mwanza na Kagera, jana walionja harufu ya kifo, baada ya kukaa kwa saa nzima katika ziwa Victoria wakining'inia kwenye maboya.</description>
					  <author>info@habaritanzania.com (Habari Tanzania)</author>
					  <pubDate>Sat, 12 May 2007 00:00:00 -0500</pubDate>
					 
					</item>

				

					<item>
					  <title>Ushoga wamponza askofu wa Anglikana Dodoma</title>
					  <link>http://www.habaritanzania.com/articles/3615/1/Ushoga-wamponza-askofu-wa-Anglikana-Dodoma</link>
					  <description>KUNA kila dalili za mgawanyiko katika Kanisa la Anglikana Dayosisi ya Dodoma, unaosababishwa na matendo ya ushoga na usagaji.</description>
					  <author>info@habaritanzania.com (Habari Tanzania)</author>
					  <pubDate>Fri, 11 May 2007 00:00:00 -0500</pubDate>
					 
					</item>

				

					<item>
					  <title>Scandinavia matatani</title>
					  <link>http://www.habaritanzania.com/articles/3614/1/Scandinavia-matatani</link>
					  <description>SIKU moja baada ya Kampuni ya usafirishaji ya Scandinavia Express Services Limited kutangaza kusitisha zoezi la utumaji fedha, kundi la watu wenye hasira, jana walivamia ofisi za shirika hilo jijini hapa wakidai fedha walizotumiwa na ndugu zao.</description>
					  <author>info@habaritanzania.com (Habari Tanzania)</author>
					  <pubDate>Fri, 11 May 2007 00:00:00 -0500</pubDate>
					 
					</item>

				

					<item>
					  <title>Wapinzani waweka msimamo</title>
					  <link>http://www.habaritanzania.com/articles/3613/1/Wapinzani-waweka-msimamo</link>
					  <description>VYAMA vinne vya siasa vya upinzani nchini, vimekubaliana kimsingi kuwa na msimamo wa pamoja katika kudai na kutetea masilahi ya wananchi dhidi ya serikali kabla ya kufikiwa kwa ndoto ngumu ya kuunda chama kimoja.</description>
					  <author>info@habaritanzania.com (Habari Tanzania)</author>
					  <pubDate>Thu, 10 May 2007 00:00:00 -0500</pubDate>
					 
					</item>

				

					<item>
					  <title>Shirika lampa JK mtihani</title>
					  <link>http://www.habaritanzania.com/articles/3612/1/Shirika-lampa-JK-mtihani</link>
					  <description>SHIRIKA la kimataifa la kutetea haki za binadamu la Human Rights Watch (HRW), limemwandikia Rais Jakaya Kikwete likilalamikia unyama waliotendewa watu wanaodaiwa kuwa wahamiaji haramu kutoka Rwanda na Burundi ambao wameondolewa kwa nguvu nchini katika miezi ya hivi karibuni.</description>
					  <author>info@habaritanzania.com (Habari Tanzania)</author>
					  <pubDate>Thu, 10 May 2007 00:00:00 -0500</pubDate>
					 
					</item>

				

					<item>
					  <title>Elimu ya Juu: Tatizo ni la misuli kutangulia ubongo</title>
					  <link>http://www.habaritanzania.com/articles/3606/1/Elimu-ya-Juu%3A-Tatizo-ni-la-misuli-kutangulia-ubongo</link>
					  <description>SIKU tano kuanzia leo umma utashuhudia utekelezwaji wa agizo la uongozi wa Chuo Kikuu cha Dar es Salaam kwa wanafunzi waliorejeshwa makwao baada ya kugoma. Huu ni utekelezaji wa masharti ya kurejea chuoni ifikapo Jumatatu Mei 14, 2007.</description>
					  <author>info@habaritanzania.com (Habari Tanzania)</author>
					  <pubDate>Wed, 09 May 2007 00:00:00 -0500</pubDate>
					 
					</item>

				

					<item>
					  <title>Nyumba ya Nyerere yakodishwa</title>
					  <link>http://www.habaritanzania.com/articles/3604/1/Nyumba-ya-Nyerere-yakodishwa</link>
					  <description>SERIKALI ina mpango wa kuikodisha nyumba aliyowahi kuitumia hayati Mwalimu Julius Nyerere wakati wa harakati za kudai uhuru, iliyopo Mtaa wa Ifunda, Magomeni, Dar es Salaam.</description>
					  <author>info@habaritanzania.com (Habari Tanzania)</author>
					  <pubDate>Wed, 09 May 2007 00:00:00 -0500</pubDate>
					 
					</item>

				

					<item>
					  <title>Zitto: Mimi mpiganaji nitaitetea haki yangu</title>
					  <link>http://www.habaritanzania.com/articles/3603/1/Zitto%3A-Mimi-mpiganaji-nitaitetea-haki-yangu</link>
					  <description>MBUNGE wa Kigoma Kaskazini, Kabwe Zubeir Zitto (CHADEMA) amesema anajiandaa vilivyo kukabiliana kisheria na wimbi la tuhuma zinazoelekezwa kwake zikimhusisha kuwa na uhusiano usiofaa na mbunge mwenzake, Amina Chifupa Mpakanjia (CCM).</description>
					  <author>info@habaritanzania.com (Habari Tanzania)</author>
					  <pubDate>Wed, 09 May 2007 00:00:00 -0500</pubDate>
					 
					</item>

				

					<item>
					  <title>DARUSO yahimiza migomo</title>
					  <link>http://www.habaritanzania.com/articles/3602/1/DARUSO-yahimiza-migomo</link>
					  <description>BAADA ya kukaa mafichoni kwa muda mrefu tangu kusimamishwa kwa wanafunzi wa Chuo Kikuu cha Dar es Salaam, jana uongozi wa serikali ya chuo hicho (DARUSO) ulijitokeza hadharani na kutoa kauli iliyoelekezwa kwa uongozi wa chuo hicho, huku ikitetea migomo kuwa ndiyo njia sahihi na ya mwisho ya kudai haki.</description>
					  <author>info@habaritanzania.com (Habari Tanzania)</author>
					  <pubDate>Tue, 08 May 2007 00:00:00 -0500</pubDate>
					 
					</item>

				

					<item>
					  <title>Wapinzani: JK ashangaza</title>
					  <link>http://www.habaritanzania.com/articles/3601/1/Wapinzani%3A-JK-ashangaza</link>
					  <description>VYAMA viwili vya upinzani vimeeleza kushangazwa na kauli ya Rais Jakaya Kikwete inayotoa mwelekeo wa kumtetea Mbunge wa Buchosa, Samwel Chitalilo (CCM), anayekabiliwa na kesi ya jinai ya kudanganya kuhusu elimu yake wakati wa kampeni za Uchaguzi Mkuu wa mwaka 2005.</description>
					  <author>info@habaritanzania.com (Habari Tanzania)</author>
					  <pubDate>Tue, 08 May 2007 00:00:00 -0500</pubDate>
					 
					</item>

				

					<item>
					  <title>'Sheria ya rushwa peke yake haitoshi'</title>
					  <link>http://www.habaritanzania.com/articles/3598/1/%91Sheria-ya-rushwa-peke-yake-haitoshi%92</link>
					  <description>SERIKALI imehimizwa kuongeza kasi kutunga sheria itakayowalinda watu watakaotoa taarifa kuhusu tuhuma zinazohusu rushwa na aina nyingine ya ufisadi ili kuifanya sheria ya kupambana na rushwa ilete manufaa yaliyokusudiwa.</description>
					  <author>info@habaritanzania.com (Habari Tanzania)</author>
					  <pubDate>Mon, 07 May 2007 00:00:00 -0500</pubDate>
					 
					</item>

				

					<item>
					  <title>Amina Chifupa kulipua bomu leo</title>
					  <link>http://www.habaritanzania.com/articles/3597/1/Amina-Chifupa-kulipua-bomu-leo</link>
					  <description>MBUNGE wa Viti Maalumu, Amina Chifupa (CCM), amesema leo analipua bomu mbele ya waandishi wa habari kuhusu kuvunjika ndoa yake na Mohamed Mpakanjia, tukio analosema limesababishwa na kiongozi mmoja ndani ya Chama Cha Mapinduzi, ambaye pia ni Naibu Waziri.</description>
					  <author>info@habaritanzania.com (Habari Tanzania)</author>
					  <pubDate>Mon, 07 May 2007 00:00:00 -0500</pubDate>
					 
					</item>

				

					<item>
					  <title>Manji anunua mechi</title>
					  <link>http://www.habaritanzania.com/articles/3596/1/Manji-anunua-mechi</link>
					  <description>MASHABIKI wa soka nchini, leo wataandika historia ya pekee kwa kuishuhudia mechi ya kimataifa ya Kombe la Shirikisho kati ya Yanga na Al-Merreikh ya Sudan bila kulipa kiingilio.</description>
					  <author>info@habaritanzania.com (Habari Tanzania)</author>
					  <pubDate>Sun, 06 May 2007 00:00:00 -0500</pubDate>
					 
					</item>

				

					<item>
					  <title>Akamba lapinduka Arusha</title>
					  <link>http://www.habaritanzania.com/articles/3593/1/Akamba-lapinduka-Arusha</link>
					  <description>BASI la Akamba lililokuwa likisafiri kutoka Dar es Salaam kwenda Nairobi, Kenya, jana lilipinduka na kujeruhi watu takribani 35 baadhi yao vibaya katika maeneo ya Langejavi, Arumeru mkoani hapa.</description>
					  <author>info@habaritanzania.com (Habari Tanzania)</author>
					  <pubDate>Sun, 06 May 2007 00:00:00 -0500</pubDate>
					 
					</item>

				

					<item>
					  <title>Kenya Airways yahofiwa kuua 115</title>
					  <link>http://www.habaritanzania.com/articles/3592/1/Kenya-Airways-yahofiwa-kuua-115</link>
					  <description>AJALI ya ndege ya Shirika la Ndege la Kenya (Kenya Airways) iliyoanguka Cameroon na kuhofiwa kuua abiria wote 115, imemlazimu mwanasiasa maarufu wa Kenya, Uhuru Kenyatta kusitisha ziara yake ya kikazi nchini.</description>
					  <author>info@habaritanzania.com (Habari Tanzania)</author>
					  <pubDate>Sun, 06 May 2007 00:00:00 -0500</pubDate>
					 
					</item>

				

					<item>
					  <title>Mambo yaenda kombo serikalini</title>
					  <link>http://www.habaritanzania.com/articles/3591/1/Mambo-yaenda-kombo-serikalini</link>
					  <description>KUNA kila dalili sasa hali ya mambo kwenda kombo serikalini, jambo ambalo limeanza kuwatesa viongozi wakuu wa nchi, huku likiacha maswali mengi magumu kwa wananchi.</description>
					  <author>info@habaritanzania.com (Habari Tanzania)</author>
					  <pubDate>Sun, 06 May 2007 00:00:00 -0500</pubDate>
					 
					</item>

				

					<item>
					  <title>Mjadala mkali Mahakama ya Kadhi Z'bar</title>
					  <link>http://www.habaritanzania.com/articles/3590/1/Mjadala-mkali-Mahakama-ya-Kadhi-Z%92bar</link>
					  <description>SUALA la kuanzishwa kwa Mahakama ya Kadhi Tanzania Bara, jana lilizua mgawanyiko baina ya wanasheria visiwani humu.</description>
					  <author>info@habaritanzania.com (Habari Tanzania)</author>
					  <pubDate>Sat, 05 May 2007 00:00:00 -0500</pubDate>
					 
					</item>

				

					<item>
					  <title>Kipigo cha FFU chamdhuru mwandishi Tanzania Daima</title>
					  <link>http://www.habaritanzania.com/articles/3587/1/Kipigo-cha-FFU-chamdhuru-mwandishi-Tanzania-Daima</link>
					  <description>MWANDISHI wa habari wa Tanzania Daima, Anna Makange, aliyejeruhiwa na askari wa kikosi cha kutuliza ghasia (FFU), hivi karibuni mkoani Tanga, hali yake imezidi kuwa mbaya kutokana na kipigo hicho.</description>
					  <author>info@habaritanzania.com (Habari Tanzania)</author>
					  <pubDate>Sat, 05 May 2007 00:00:00 -0500</pubDate>
					 
					</item>

				

					<item>
					  <title>CCM inao mkono mzozo wa vyuo vikuu?</title>
					  <link>http://www.habaritanzania.com/articles/3586/1/CCM-inao-mkono-mzozo-wa-vyuo-vikuu%3F</link>
					  <description>SURA ya mzozo unaowahusisha wanafunzi wa vyuo kadhaa nchini, imeendelea kubadilika na kuchukua kile kinachoonekana sura ya kisiasa.</description>
					  <author>info@habaritanzania.com (Habari Tanzania)</author>
					  <pubDate>Sat, 05 May 2007 00:00:00 -0500</pubDate>
					 
					</item>

				

					<item>
					  <title>Paspoti zawaangusha wasanii kwenda Zambia</title>
					  <link>http://www.habaritanzania.com/articles/3582/1/Paspoti-zawaangusha-wasanii-kwenda-Zambia</link>
					  <description>KUNDI la muziki wa asili la Machozi limeshindwa kuthibitisha ushiriki katika sherehe za Uhuru wa Zambia zitakazofanyika Mei 23, mwaka huu, jijini Lusaka.</description>
					  <author>info@habaritanzania.com (Habari Tanzania)</author>
					  <pubDate>Fri, 04 May 2007 00:00:00 -0500</pubDate>
					 
					</item>

				

					<item>
					  <title>Majambazi yaua mwanajeshi</title>
					  <link>http://www.habaritanzania.com/articles/3580/1/Majambazi-yaua-mwanajeshi</link>
					  <description>WATU wanne, wanaoaminika kuwa majambazi, wamemuua kwa kumpiga risasi kifuani, askari mmoja wa Jeshi la Wananchi (JWTZ) mkoani hapa.</description>
					  <author>info@habaritanzania.com (Habari Tanzania)</author>
					  <pubDate>Fri, 04 May 2007 00:00:00 -0500</pubDate>
					 
					</item>

				

					<item>
					  <title>Kanisa Katoliki Z'bar lapinga Mahakama ya Kadhi</title>
					  <link>http://www.habaritanzania.com/articles/3579/1/Kanisa-Katoliki-Z%92bar-lapinga-Mahakama-ya-Kadhi</link>
					  <description>KANISA Katoliki Jimbo la Zanzibar, limepinga kuanzishwa kwa Mahakama ya Kadhi Tanzania Bara kwa madai ni kwenda kinyume cha katiba ya Muungano ya mwaka 1977.</description>
					  <author>info@habaritanzania.com (Habari Tanzania)</author>
					  <pubDate>Fri, 04 May 2007 00:00:00 -0500</pubDate>
					 
					</item>

				

					<item>
					  <title>Wasomali sasa tatizo</title>
					  <link>http://www.habaritanzania.com/articles/3578/1/Wasomali-sasa-tatizo</link>
					  <description>WIMBI la raia wa Somalia wanaokamatwa nchini, linazidi kuongezeka kwani katika wiki mbili zilizopita, jumla ya Wasomali 199 wamekamatwa katika mikoa mitatu tofauti.</description>
					  <author>info@habaritanzania.com (Habari Tanzania)</author>
					  <pubDate>Fri, 04 May 2007 00:00:00 -0500</pubDate>
					 
					</item>

				

					<item>
					  <title>Vyuo vikuu kituko</title>
					  <link>http://www.habaritanzania.com/articles/3577/1/Vyuo-vikuu-kituko</link>
					  <description>WANASIASA, wanafunzi na wanaharakati mbalimbali, wamejitokeza kulaani tamko lililotolewa na Umoja wa Serikali za Wanafunzi wa Vyuo Vikuu (TAHLISO), wakiiomba radhi serikali kwa mgomo wa wanafunzi.</description>
					  <author>info@habaritanzania.com (Habari Tanzania)</author>
					  <pubDate>Fri, 04 May 2007 00:00:00 -0500</pubDate>
					 
					</item>

				

					<item>
					  <title>Wanafunzi vyuo vikuu wamuangukia Kikwete</title>
					  <link>http://www.habaritanzania.com/articles/3571/1/Wanafunzi-vyuo-vikuu-wamuangukia-Kikwete</link>
					  <description>WAKATI baadhi ya wanafunzi wameanza kutekeleza masharti yaliyowekwa na uongozi wa Chuo Kikuu Dar es Salaam (UDSM) ili warudishwe chuoni, Umoja wa Serikali za Wanafunzi wa Vyuo Vikuu (TAHLISO), umeiangukia serikali na kuitaka iwasamehe.</description>
					  <author>info@habaritanzania.com (Habari Tanzania)</author>
					  <pubDate>Thu, 03 May 2007 00:00:00 -0500</pubDate>
					 
					</item>

				

					<item>
					  <title>Kufaulu kidato cha sita kwashuka 20%</title>
					  <link>http://www.habaritanzania.com/articles/3570/1/Kufaulu-kidato-cha-sita-kwashuka-20%25</link>
					  <description>BARAZA la Mitihani la Tanzania (NECTA), limetangaza matokeo ya mtihani wa kidato cha sita, huku kiwango cha kufaulu kwa watahiniwa waliopata daraja la kwanza hadi la tatu kikiwa kimeshuka kwa asiliamia 19.9, ikilinganishwa na mwaka jana.</description>
					  <author>info@habaritanzania.com (Habari Tanzania)</author>
					  <pubDate>Thu, 03 May 2007 00:00:00 -0500</pubDate>
					 
					</item>

				

					<item>
					  <title>Wafanyakazi waisuta serikali mbele ya JK</title>
					  <link>http://www.habaritanzania.com/articles/3565/1/Wafanyakazi-waisuta-serikali-mbele-ya-JK</link>
					  <description>WAFANYAKAZI jana waliyatumia maadhimisho ya Siku ya Wafanyakazi Duniani (Mei Mosi), kuelezea kusikitishwa kwao na matumizi makubwa ambayo hayazingatii uwezo wa nchi, yanayofanywa na serikali.</description>
					  <author>info@habaritanzania.com (Habari Tanzania)</author>
					  <pubDate>Wed, 02 May 2007 00:00:00 -0500</pubDate>
					 
					</item>

				

					<item>
					  <title>Mei Mosi yawaliza Zanzibar</title>
					  <link>http://www.habaritanzania.com/articles/3562/1/Mei-Mosi-yawaliza-Zanzibar</link>
					  <description>WENGI kati ya watumishi wa Serikali ya Mapinduzi Zanzibar (SMZ), leo wanaadhimisha sherehe za Siku ya Wafanyakazi Duniani, maarufu kama Mei Mosi, huku wakiwa hawajapatiwa mishahara yao ya mwezi uliopita.</description>
					  <author>info@habaritanzania.com (Habari Tanzania)</author>
					  <pubDate>Tue, 01 May 2007 00:00:00 -0500</pubDate>
					 
					</item>

				

					<item>
					  <title>Msongamano Dar wamtesa Lowassa</title>
					  <link>http://www.habaritanzania.com/articles/3559/1/Msongamano-Dar-wamtesa-Lowassa</link>
					  <description>TATIZO la msongamano uliokithiri wa magari katika maeneo mbalimbali ya Jiji la Dar es Salaam, bado linaendelea kumuumiza kichwa Waziri Mkuu, Edward Lowassa.</description>
					  <author>info@habaritanzania.com (Habari Tanzania)</author>
					  <pubDate>Tue, 01 May 2007 00:00:00 -0500</pubDate>
					 
					</item>

				

					<item>
					  <title>Kikwete: Nimepata mahali pa kuanzia</title>
					  <link>http://www.habaritanzania.com/articles/3557/1/Kikwete%3A-Nimepata-mahali-pa-kuanzia</link>
					  <description>RAIS Jakaya Kikwete, amesema tatizo la udhibiti mbaya wa mapato na matumizi ya fedha za umma limekuwa likimkosesha amani kwa muda mrefu.</description>
					  <author>info@habaritanzania.com (Habari Tanzania)</author>
					  <pubDate>Tue, 01 May 2007 00:00:00 -0500</pubDate>
					 
					</item>

				

					<item>
					  <title>Tunawapongeza Zantel</title>
					  <link>http://www.habaritanzania.com/articles/3554/1/Tunawapongeza-Zantel</link>
					  <description>JUZI kwenye viwanja vya Gymkhana mjini Zanzibar, Kampuni ya simu za mkononi ya Zantel ilitoa msaada wa vifaa na fedha vyenye jumla ya sh mil 16.1.</description>
					  <author>info@habaritanzania.com (Habari Tanzania)</author>
					  <pubDate>Mon, 30 Apr 2007 00:00:00 -0500</pubDate>
					 
					</item>

				

					<item>
					  <title>Wapinzani wapania kuifikisha serikali mahakamani</title>
					  <link>http://www.habaritanzania.com/articles/3553/1/Wapinzani-wapania-kuifikisha-serikali-mahakamani</link>
					  <description>VYAMA vinne vya upinzani nchini vinajiandaa kwenda mahakamani kufungua kesi dhidi ya serikali kuitaka mahakama itoe tamko la kufuta masharti magumu yaliyotolewa kwa wanafunzi wa Chuo Kikuu cha Dar es Salaam ili warejee masomoni.</description>
					  <author>info@habaritanzania.com (Habari Tanzania)</author>
					  <pubDate>Mon, 30 Apr 2007 00:00:00 -0500</pubDate>
					 
					</item>

				

					<item>
					  <title>CCM Zanzibar wakata tamaa</title>
					  <link>http://www.habaritanzania.com/articles/3551/1/CCM-Zanzibar-wakata-tamaa</link>
					  <description>INGAWA nafasi ya Makamu Mwenyekiti wa Jumuiya ya Wanawake wa Chama Cha Mapinduzi (CCM) Zanzibar, inaweza kuonekana ndogo, lakini mchakato wa kuijaza umeibua hoja zinazoonyesha kuwa, baadhi ya wana CCM upande wa Zanzibar wanakatishwa tamaa na jinsi masuala ya Wazanzibari yanavyoamuliwa na vikao vya juu vya chama hicho.</description>
					  <author>info@habaritanzania.com (Habari Tanzania)</author>
					  <pubDate>Mon, 30 Apr 2007 00:00:00 -0500</pubDate>
					 
					</item>

				

					<item>
					  <title>Wabunge waiamsha serikali usingizini</title>
					  <link>http://www.habaritanzania.com/articles/3550/1/Wabunge-waiamsha-serikali-usingizini</link>
					  <description>WABUNGE wanaonekana kuitumia vema fursa ya kuishauri serikali kuhusu vipaumbele katika bajeti ijayo, walipoamua kuiamsha kutoka katika lindi la usingizi ambao umeifanya isahau kuwa kilimo ndio uti wa mgongo wa taifa.</description>
					  <author>info@habaritanzania.com (Habari Tanzania)</author>
					  <pubDate>Mon, 30 Apr 2007 00:00:00 -0500</pubDate>
					 
					</item>

				

					<item>
					  <title>Chuo Kikuu chagomea wanafunzi</title>
					  <link>http://www.habaritanzania.com/articles/3549/1/Chuo-Kikuu-chagomea-wanafunzi</link>
					  <description>UONGOZI wa Chuo Kikuu cha Dar es Salaam (UDSM), umekataa kulegeza masharti ya kurejea chuoni hapo kwa wanafunzi wa Shahada ya Kwanza waliofukuzwa baada ya kugoma wakipinga kuchangia asilimia 40 ya ada.</description>
					  <author>info@habaritanzania.com (Habari Tanzania)</author>
					  <pubDate>Sun, 29 Apr 2007 00:00:00 -0500</pubDate>
					 
					</item>

				

					<item>
					  <title>Serikali yalitisha Tanzania Daima</title>
					  <link>http://www.habaritanzania.com/articles/3547/1/Serikali-yalitisha-Tanzania-Daima</link>
					  <description>SERIKALI imetoa kile ilichokielezea kuwa ni onyo kali kwa gazeti la Tanzania Daima, ikilishutumu kutumia lugha ya matusi dhidi ya viongozi wakuu wa serikali, hususan Rais Jakaya Kikwete, ambaye pia ni Amiri Jeshi Mkuu wa Majeshi ya Ulinzi na Usalama. </description>
					  <author>info@habaritanzania.com (Habari Tanzania)</author>
					  <pubDate>Sat, 28 Apr 2007 00:00:00 -0500</pubDate>
					 
					</item>

				

					<item>
					  <title>Shilingi bilioni 100 zapotea MMEM</title>
					  <link>http://www.habaritanzania.com/articles/3546/1/Shilingi-bilioni-100-zapotea-MMEM</link>
					  <description>MFUMO wa Kufuatilia Matumizi ya Serikali (PETS), umebaini kuwa takribani sh bilioni 100, katika fedha zilizotolewa na serikali kama ruzuku kwa wanafunzi (capitation grant) wa shule za msingi chini ya Mpango wa Maendeleo ya Elimu ya Msingi (MMEM), hazikufika shuleni kama ilivyokusudiwa.</description>
					  <author>info@habaritanzania.com (Habari Tanzania)</author>
					  <pubDate>Sat, 28 Apr 2007 00:00:00 -0500</pubDate>
					 
					</item>

				

					<item>
					  <title>Wananchi kutoa maoni ya katiba Juni</title>
					  <link>http://www.habaritanzania.com/articles/3544/1/Wananchi-kutoa-maoni-ya-katiba-Juni</link>
					  <description>MCHAKATO wa wananchi kutoa maoni kuhusu kuandikwa kwa katiba mpya, unaoratibiwa na vyama kadhaa vya upinzani, umepangwa kuanza mwezi Juni.</description>
					  <author>info@habaritanzania.com (Habari Tanzania)</author>
					  <pubDate>Fri, 27 Apr 2007 00:00:00 -0500</pubDate>
					 
					</item>

				

					<item>
					  <title>Viongozi wamefanya ziara picnic</title>
					  <link>http://www.habaritanzania.com/articles/3543/1/Viongozi-wamefanya-ziara-picnic</link>
					  <description>KATIBU Mkuu wa Chama cha Wananchi (CUF), Maalim Seif Sharif Hamad, amesema ziara zinazofanywa na viongozi wa kitaifa nje ya nchi, zingekuwa na manufaa makubwa kwa nchi iwapo zingekuwa zinapangiliwa vizuri badala ya kufanywa picnic kama ilivyo sasa.</description>
					  <author>info@habaritanzania.com (Habari Tanzania)</author>
					  <pubDate>Fri, 27 Apr 2007 00:00:00 -0500</pubDate>
					 
					</item>

				

					<item>
					  <title>Kikwete awapa tuzo watu 3,155</title>
					  <link>http://www.habaritanzania.com/articles/3542/1/Kikwete-awapa-tuzo-watu-3%2C155</link>
					  <description>WAKATI taifa linasherehekea miaka 43 ya Muungano wa Tanganyika na Unguja, Rais Jakaya Kikwete, jana aliwatunuku nishani mbalimbali jumla ya Watanzania 3,155.</description>
					  <author>info@habaritanzania.com (Habari Tanzania)</author>
					  <pubDate>Fri, 27 Apr 2007 00:00:00 -0500</pubDate>
					 
					</item>

				

					<item>
					  <title>Sitta aishangaa serikali kuhusu Richmond</title>
					  <link>http://www.habaritanzania.com/articles/3541/1/Sitta-aishangaa-serikali-kuhusu-Richmond</link>
					  <description>BUNGE la Jamhuri, moja ya mihimili ya dola, halijaridhishwa na msimamo wa serikali wa kuficha mikataba mikubwa, ambayo imeingia na kampuni za nje katika sekta mbalimbali za uchumi.</description>
					  <author>info@habaritanzania.com (Habari Tanzania)</author>
					  <pubDate>Fri, 27 Apr 2007 00:00:00 -0500</pubDate>
					 
					</item>

				

					<item>
					  <title>JWTZ kuwajengea askari wake nyumba</title>
					  <link>http://www.habaritanzania.com/articles/3539/1/JWTZ-kuwajengea-askari-wake-nyumba</link>
					  <description>JESHI la Ulinzi la Wananchi wa Tanzania (JWTZ), limeanza kuwajengea nyumba za kuishi askari wake, ambapo katika awamu ya kwanza ya mradi, zitajengwa nyumba 270.</description>
					  <author>info@habaritanzania.com (Habari Tanzania)</author>
					  <pubDate>Thu, 26 Apr 2007 00:00:00 -0500</pubDate>
					 
					</item>

				

					<item>
					  <title>Dawa za malaria bure</title>
					  <link>http://www.habaritanzania.com/articles/3538/1/Dawa-za-malaria-bure</link>
					  <description>SERIKALI jana ilitangaza zawadi ya Siku ya Malaria Afrika, kwa kutoa bure dawa za kukabiliana na ugonjwa huo hatari unaopoteza maisha ya wananchi wengi hapa nchini, hususan watoto na wajawazito. </description>
					  <author>info@habaritanzania.com (Habari Tanzania)</author>
					  <pubDate>Thu, 26 Apr 2007 00:00:00 -0500</pubDate>
					 
					</item>

				

					<item>
					  <title>Serikali yajipanga kuiokoa Tanesco</title>
					  <link>http://www.habaritanzania.com/articles/3537/1/Serikali-yajipanga-kuiokoa-Tanesco</link>
					  <description>SERIKALI inaandaa utaratibu maalum wa kifedha utakaoliwezesha Shirika la Umeme Tanzania (TANESCO) kukabiliana na tatizo la ukata unaolikabili kwa muda mrefu sasa.</description>
					  <author>info@habaritanzania.com (Habari Tanzania)</author>
					  <pubDate>Thu, 26 Apr 2007 00:00:00 -0500</pubDate>
					 
					</item>

				

					<item>
					  <title>Muungano kidonda</title>
					  <link>http://www.habaritanzania.com/articles/3536/1/Muungano-kidonda</link>
					  <description>MUUNGANO wa Tanganyika na Zanzibar uliozaa Tanzania miaka 43 iliyopita, umeendelea kubakia kidonda kilichozaa misuguano isiyokoma katika kipindi chote hicho.</description>
					  <author>info@habaritanzania.com (Habari Tanzania)</author>
					  <pubDate>Thu, 26 Apr 2007 00:00:00 -0500</pubDate>
					 
					</item>

				

					<item>
					  <title>Serikali kupiga marufuku dawa bandia za malaria</title>
					  <link>http://www.habaritanzania.com/articles/3535/1/Serikali-kupiga-marufuku-dawa-bandia-za-malaria</link>
					  <description>KATIKA juhudi za kukabiliana na ugonjwa wa malaria, serikali inatarajia kupiga marufuku dawa za malaria zilizopo madukani hivi sasa ili kutoa nafasi kwa dawa mpya mseto ya ALU (Artemether na Lumefantrine).</description>
					  <author>info@habaritanzania.com (Habari Tanzania)</author>
					  <pubDate>Wed, 25 Apr 2007 00:00:00 -0500</pubDate>
					 
					</item>

				

					<item>
					  <title>Siasa zavuruga Chuo Kikuu Dar</title>
					  <link>http://www.habaritanzania.com/articles/3534/1/Siasa-zavuruga-Chuo-Kikuu-Dar</link>
					  <description>MGOMO wa wanafunzi wa vyuo vikuu uliofuatiwa na tukio la wanafunzi hao kutimuliwa vyuoni, umeonekana kuibua mambo mapya kadri siku zinavyozidi kwenda.</description>
					  <author>info@habaritanzania.com (Habari Tanzania)</author>
					  <pubDate>Wed, 25 Apr 2007 00:00:00 -0500</pubDate>
					 
					</item>

				

					<item>
					  <title>Urasimu bandarini wakera wabunge</title>
					  <link>http://www.habaritanzania.com/articles/3533/1/Urasimu-bandarini-wakera-wabunge</link>
					  <description>UTATA wa umiliki&#160; wa kampuni ya Kukagua na Kuthamini Mizigo Bandarini (T-Scan) umechukua sura nyingine, baada ya baadhi ya wabunge kuitaka serikali kutaja mmiliki&#160; wa kampuni hiyo, ambayo wamedai imejijengea himaya ya urasimu na inanuka rushwa.</description>
					  <author>info@habaritanzania.com (Habari Tanzania)</author>
					  <pubDate>Wed, 25 Apr 2007 00:00:00 -0500</pubDate>
					 
					</item>

				

					<item>
					  <title>Sekta binafsi kutibu Muungano</title>
					  <link>http://www.habaritanzania.com/articles/3530/1/Sekta-binafsi-kutibu-Muungano</link>
					  <description>BAADA ya muda mrefu wa malumbano na mabishano kuhusu kile kinachoitwa kero za Muungano, serikali sasa imeamua kuishirikisha sekta binafsi ili kuukuza.</description>
					  <author>info@habaritanzania.com (Habari Tanzania)</author>
					  <pubDate>Tue, 24 Apr 2007 00:00:00 -0500</pubDate>
					 
					</item>

				

					<item>
					  <title>Mfumuko wa bei juu, deni la nje laongezeka</title>
					  <link>http://www.habaritanzania.com/articles/3527/1/Mfumuko-wa-bei-juu%2C-deni-la-nje-laongezeka</link>
					  <description>MWENENDO wa uchumi wa taifa ni wa kusuasua, hasa baada ya takwimu muhimu kuonyesha mwelekeo usioridhisha. </description>
					  <author>info@habaritanzania.com (Habari Tanzania)</author>
					  <pubDate>Tue, 24 Apr 2007 00:00:00 -0500</pubDate>
					 
					</item>

				

					<item>
					  <title>Sumatra sasa yaamka</title>
					  <link>http://www.habaritanzania.com/articles/3526/1/Sumatra-sasa-yaamka</link>
					  <description>MAELFU ya wakazi wa jiji la Dar es Salaam na vitongoji vyake, huenda leo wakakumbwa na shida kubwa ya usafiri baada ya Mamlaka ya Udhibiti wa Usafiri wa Nchi Kavu na Majini (Sumatra) kuamua kufanya operesheni maalum ya kukamata daladala zinazokiuka utaratibu.</description>
					  <author>info@habaritanzania.com (Habari Tanzania)</author>
					  <pubDate>Tue, 24 Apr 2007 00:00:00 -0500</pubDate>
					 
					</item>

				

					<item>
					  <title>BOT sasa yatetea matumizi serikalini</title>
					  <link>http://www.habaritanzania.com/articles/3525/1/BOT-sasa-yatetea-matumizi-serikalini</link>
					  <description>BENKI Kuu ya Tanzania (BoT) imetetea matumizi ya serikali na kusema si vema kupima ongezeko la matumizi&#160; katika kipindi hiki, kwani takwimu sahihi zitapatikana Juni 2007 ili kujua kama serikali imetumia zaidi ya makadirio yake ya bajeti.</description>
					  <author>info@habaritanzania.com (Habari Tanzania)</author>
					  <pubDate>Tue, 24 Apr 2007 00:00:00 -0500</pubDate>
					 
					</item>

				

					<item>
					  <title>Wakenya Watawala Mbio Za Flora London Marathon</title>
					  <link>http://www.habaritanzania.com/articles/3524/1/Wakenya-Watawala-Mbio-Za-Flora-London-Marathon</link>
					  <description> Mashindano ya Flora London Marathon yamemalizika kwa wakenya kuibuka  kidedea kwenye nafasi za mbio ndefu baada ya Martin Lel kumshinda mkenya mwenzie  Felix Limo aliekuwa bingwa mwaka jana.</description>
					  <author>yakubuchumbageni@yahoo.com (Saidi Yakubu)</author>
					  <pubDate>Mon, 23 Apr 2007 00:00:00 -0500</pubDate>
					 
					</item>

				

					<item>
					  <title>CUF, CHADEMA wajipanga kwa uchaguzi mkuu wa 2010</title>
					  <link>http://www.habaritanzania.com/articles/3522/1/CUF%2C-CHADEMA-wajipanga-kwa-uchaguzi-mkuu-wa-2010</link>
					  <description>CHAMA cha Wananchi (CUF), na Chama cha Demokrasia na Maendeleo (CHADEMA), vimeanza kujipanga kwa ajili ya uchaguzi mkuu wa mwaka 2010.</description>
					  <author>info@habaritanzania.com (Habari Tanzania)</author>
					  <pubDate>Mon, 23 Apr 2007 00:00:00 -0500</pubDate>
					 
					</item>

				

					<item>
					  <title>Wahandisi maji 104 walipwa mishahara bila kufanya kazi</title>
					  <link>http://www.habaritanzania.com/articles/3521/1/Wahandisi-maji-104-walipwa-mishahara-bila-kufanya-kazi</link>
					  <description>WAKATI hali haijatulia serikalini kutokana na ripoti ya Mkaguzi na Mdhibiti Mkuu wa Hesabu za Serikali (CAG) inayoonyesha ubadhirifu wa mabilioni ya shilingi, imegundulika kuwa Wizara ya Maji imeajiri wahandisi ambao wamekuwa wakipokea mishahara kwa muda wa miezi sita sasa bila kufanya kazi.</description>
					  <author>info@habaritanzania.com (Habari Tanzania)</author>
					  <pubDate>Mon, 23 Apr 2007 00:00:00 -0500</pubDate>
					 
					</item>

				

					<item>
					  <title>Vijana na dawa za kulevya, Askofu Mokiwa umenena</title>
					  <link>http://www.habaritanzania.com/articles/3520/1/Vijana-na-dawa-za-kulevya%2C-Askofu-Mokiwa-umenena</link>
					  <description>HIVI karibuni katika mahubiri yake wakati wa siku ya Ijumaa Kuu, Askofu Mkuu wa Kanisa la Anglikana, Dayosisi ya Dar es Salaam, Askofu Dk. Valentino Mokiwa, alizungumza kwa uchungu juu ya tatizo la dawa za kulevya ambalo linazidi kushamiri hapa nchini.</description>
					  <author>info@habaritanzania.com (Habari Tanzania)</author>
					  <pubDate>Sun, 22 Apr 2007 00:00:00 -0500</pubDate>
					 
					</item>

				

					<item>
					  <title>Serikali iwe makini na ahadi zake</title>
					  <link>http://www.habaritanzania.com/articles/3518/1/Serikali-iwe-makini-na-ahadi-zake</link>
					  <description>KAMA kuna jambo baya kwa watu waliostaarabika, ambalo mara nyingi hushusha heshima ya mtu bila kujali wadhifa wake, ahadi za uongo au zisizotekelezeka.</description>
					  <author>info@habaritanzania.com (Habari Tanzania)</author>
					  <pubDate>Sun, 22 Apr 2007 00:00:00 -0500</pubDate>
					 
					</item>

				

					<item>
					  <title>Wabunge waikatalia serikali</title>
					  <link>http://www.habaritanzania.com/articles/3517/1/Wabunge-waikatalia-serikali</link>
					  <description>WABUNGE wamekataa uharakishwaji wa Shirikisho la Afrika Mashariki kwa kile walichoeleza kuwa, Tanzania haijajiandaa kushindana na nchi wanachama wa shirikisho hilo.</description>
					  <author>info@habaritanzania.com (Habari Tanzania)</author>
					  <pubDate>Sun, 22 Apr 2007 00:00:00 -0500</pubDate>
					 
					</item>

				

					<item>
					  <title>Maalim Seif amchambua Karume</title>
					  <link>http://www.habaritanzania.com/articles/3515/1/Maalim-Seif-amchambua-Karume</link>
					  <description>KATIBU Mkuu wa Chama cha Wananchi (CUF), Maalim Seif Shariff Hamad, amewatuhumu viongozi wa Serikali ya Zanzibar kuwa wanachangia visiwa hivyo kukosa haki zake ndani ya Muungano.</description>
					  <author>info@habaritanzania.com (Habari Tanzania)</author>
					  <pubDate>Sun, 22 Apr 2007 00:00:00 -0500</pubDate>
					 
					</item>

				

					<item>
					  <title>Manji ajalini akimkwepa Lowassa</title>
					  <link>http://www.habaritanzania.com/articles/3514/1/Manji-ajalini-akimkwepa-Lowassa</link>
					  <description>MFANYABIASHARA maarufu wa jijini Dar es Salaam, Yusuf Manji, amesurika kufa baada ya gari lake kugonga nguzo wakati akikwepa magari ya msafara wa Waziri Mkuu, Edward Lowassa.</description>
					  <author>info@habaritanzania.com (Habari Tanzania)</author>
					  <pubDate>Sun, 22 Apr 2007 00:00:00 -0500</pubDate>
					 
					</item>

				

					<item>
					  <title>Kikwete kitanzini</title>
					  <link>http://www.habaritanzania.com/articles/3513/1/Kikwete-kitanzini</link>
					  <description>WANAFUNZI wa Chuo Kikuu Cha Dar es Salaam, wamemuingiza Rais Jakaya Mrisho Kikwete katika orodha ya marais wote wanne wa Tanzania, ambao kwa zaidi ya miaka 40 wamekuwa kwa nyakati tofauti wakishindwa kukidhi matakwa ya kitaaluma ya wasomi hao. </description>
					  <author>info@habaritanzania.com (Habari Tanzania)</author>
					  <pubDate>Sun, 22 Apr 2007 00:00:00 -0500</pubDate>
					 
					</item>

				

					<item>
					  <title>Ni kwa nini wabunge wamefunga midomo?</title>
					  <link>http://www.habaritanzania.com/articles/3511/1/Ni-kwa-nini-wabunge-wamefunga-midomo%3F</link>
					  <description>LEO tunaandika suala hili kwa mara ya sita. Msimamo wetu katika hili ni bayana. Imani yetu katika maamuzi haya ni kwamba, Watanzania tumeibiwa mali na viongozi wetu walioamua kuitumia vibaya dhamana ya madaraka tuliyowapa.</description>
					  <author>info@habaritanzania.com (Habari Tanzania)</author>
					  <pubDate>Sat, 21 Apr 2007 00:00:00 -0500</pubDate>
					 
					</item>

				

					<item>
					  <title>Majambazi yanyongwe - Mbunge</title>
					  <link>http://www.habaritanzania.com/articles/3510/1/Majambazi-yanyongwe---Mbunge</link>
					  <description>ADHABU ya kifungo cha miaka 30 jela kwa watuhumiwa wa makosa ya ujambazi wanaotumia silaha haitoshi, na serikali imeshauriwa kuangalia uwezekano wa adhabu kwa makosa hayo kuwa kifo cha kunyongwa.</description>
					  <author>info@habaritanzania.com (Habari Tanzania)</author>
					  <pubDate>Sat, 21 Apr 2007 00:00:00 -0500</pubDate>
					 
					</item>

				

					<item>
					  <title>SMZ yawatii wahisani</title>
					  <link>http://www.habaritanzania.com/articles/3509/1/SMZ-yawatii-wahisani</link>
					  <description>WAZIRI Kiongozi wa Serikali ya Mapinduzi Zanzibar (SMZ), Shamsi Vuai Nahodha, amesema kwamba ujenzi wa Bandari ya Malindi utaendelea kwa kujengwa bandari ya tuta, kama ilivyokubaliwa na wafadhili na serikali.</description>
					  <author>info@habaritanzania.com (Habari Tanzania)</author>
					  <pubDate>Sat, 21 Apr 2007 00:00:00 -0500</pubDate>
					 
					</item>

				

					<item>
					  <title>Lowassa: Lengo ni elimu ya juu bure</title>
					  <link>http://www.habaritanzania.com/articles/3508/1/Lowassa%3A-Lengo-ni-elimu-ya-juu-bure</link>
					  <description>WAZIRI Mkuu, Edward Lowassa, amesema kuwa lengo la serikali ni kuona kuwa elimu ya vyuo vikuu nchini inatolewa bure siku hali ya uchumi itakapotengemaa.</description>
					  <author>info@habaritanzania.com (Habari Tanzania)</author>
					  <pubDate>Sat, 21 Apr 2007 00:00:00 -0500</pubDate>
					 
					</item>

				

					<item>
					  <title>Daraja la Kigamboni bado Kitendawili</title>
					  <link>http://www.habaritanzania.com/articles/3505/1/Daraja-la-Kigamboni-bado-Kitendawili</link>
					  <description>KATIKA hali inayoonekana kuwa ujenzi wa daraja la Kigamboni kuwa kitendawili, serikali imesema bado inatafuta fedha kwa sababu, imeona&#160; ishiriki badala ya kuachia Shirika la Hifadhi ya Jamii (NSSF) peke yake. </description>
					  <author>info@habaritanzania.com (Habari Tanzania)</author>
					  <pubDate>Fri, 20 Apr 2007 00:00:00 -0500</pubDate>
					 
					</item>

				

					<item>
					  <title>Ajali ya Buffalo yawazindua polisi</title>
					  <link>http://www.habaritanzania.com/articles/3504/1/Ajali-ya-Buffalo-yawazindua-polisi</link>
					  <description>AJALI ya basi la kampuni ya Buffalo na lori iliyoua watu 22 na kujeruhi&#160; 18, imewazindua polisi mkoani hapa ambapo sasa wameanza kutumia kifaa maalumu kubaini magari (mabasi) yaliyo kwenye mwendo.</description>
					  <author>info@habaritanzania.com (Habari Tanzania)</author>
					  <pubDate>Fri, 20 Apr 2007 00:00:00 -0500</pubDate>
					 
					</item>

				

					<item>
					  <title>Kamati ya Bunge yamsafisha Manji</title>
					  <link>http://www.habaritanzania.com/articles/3503/1/Kamati-ya-Bunge-yamsafisha-Manji</link>
					  <description>KAMATI ndogo ya Bunge ya Fedha na Uchumi, imemeuosha mfanyabiashara maarufu nchini, Yusuf Manji na Mfuko wa Pensheni wa Watumishi wa Umma (PSPF), baada ya kuridhika na thamani ya jengo la Quality Plaza na taratibu zilizofuatwa katika kuuziana.</description>
					  <author>info@habaritanzania.com (Habari Tanzania)</author>
					  <pubDate>Fri, 20 Apr 2007 00:00:00 -0500</pubDate>
					 
					</item>

				

					<item>
					  <title>Chuo Kikuu wasaka viongozi wa mgomo</title>
					  <link>http://www.habaritanzania.com/articles/3502/1/Chuo-Kikuu-wasaka-viongozi-wa-mgomo</link>
					  <description>UONGOZI wa Chuo kikuu cha Dar es Salaam umeanza mchakato wa kutafuta viongozi wa mgomo, huku ikionekana wazi kunuia kuwachukulia hatua viongozi&#160; wa Serikali ya Wanafunzi (Daruso-Mlimani) kwa tuhuma za kuhusika moja kwa moja kuchochea mgomo huo.</description>
					  <author>info@habaritanzania.com (Habari Tanzania)</author>
					  <pubDate>Fri, 20 Apr 2007 00:00:00 -0500</pubDate>
					 
					</item>

				

					<item>
					  <title>Mwakyembe: Kuna hatari nchi kuongozwa na vihiyo</title>
					  <link>http://www.habaritanzania.com/articles/3499/1/Mwakyembe%3A-Kuna-hatari-nchi-kuongozwa-na-vihiyo</link>
					  <description>MBUNGE wa Kyela, Dk. Harrison Mwakyembe (CCM), ametahadharisha kuwa Tanzania inaweza ikajikuta inaongozwa na kundi la watu walioghushi viwango vya elimu, maarufu kwa jina la vihiyo, iwapo hatua madhubuti hazitachukuliwa kudhibiti wimbi la vyeti bandia.</description>
					  <author>info@habaritanzania.com (Habari Tanzania)</author>
					  <pubDate>Thu, 19 Apr 2007 00:00:00 -0500</pubDate>
					 
					</item>

				

					<item>
					  <title>Serikali yapewa siku 21 kuwarejesha wanafunzi</title>
					  <link>http://www.habaritanzania.com/articles/3498/1/Serikali-yapewa-siku-21-kuwarejesha-wanafunzi</link>
					  <description>SAKATA la mgomo wa wanafunzi wa vyuo vikuu nchini, limechukua sura mpya siku moja baada ya Baraza la Uongozi wa Chuo Kikuu cha Dar es Salaam kuwasimamisha masomo wanafunzi hao kwa muda usiojulikana.</description>
					  <author>info@habaritanzania.com (Habari Tanzania)</author>
					  <pubDate>Thu, 19 Apr 2007 00:00:00 -0500</pubDate>
					 
					</item>

				

					<item>
					  <title>Polisi vyeo kama JWTZ</title>
					  <link>http://www.habaritanzania.com/articles/3493/1/Polisi-vyeo-kama-JWTZ</link>
					  <description>JESHI la Polisi limefanya mabadiliko ya nembo za vyeo za maofisa wake wa juu vinavyovaliwa mabegani, kwa kuanza kutumia mfumo ambao kwa kiwango kikubwa unafanana na ule wa Jeshi la Wananchi Tanzania (JWTZ), imebainika.</description>
					  <author>info@habaritanzania.com (Habari Tanzania)</author>
					  <pubDate>Wed, 18 Apr 2007 00:00:00 -0500</pubDate>
					 
					</item>

				

					<item>
					  <title>Zanzibar waikataa sheria ya rushwa</title>
					  <link>http://www.habaritanzania.com/articles/3492/1/Zanzibar-waikataa-sheria-ya-rushwa</link>
					  <description>SERIKALI ya Mapinduzi Zanzibar (SMZ), imesema sheria mpya ya kupambana na rushwa, iliyopitishwa na Bunge juzi jioni, haitafanya kazi Zanzibar kwa vile hilo si suala la Muungano.</description>
					  <author>info@habaritanzania.com (Habari Tanzania)</author>
					  <pubDate>Wed, 18 Apr 2007 00:00:00 -0500</pubDate>
					 
					</item>

				

					<item>
					  <title>Mgomo wakifunga Chuo Kikuu Dar</title>
					  <link>http://www.habaritanzania.com/articles/3491/1/Mgomo-wakifunga-Chuo-Kikuu-Dar</link>
					  <description>BARAZA la Chuo Kikuu cha Dar es Salaam, limetangaza kuwasimamisha masomo kwa muda usiojulikana, wanafunzi wote wa shahada za awali kufuatia mgomo waliouitisha kuishinikiza serikali iwaongezee fedha za mikopo.</description>
					  <author>info@habaritanzania.com (Habari Tanzania)</author>
					  <pubDate>Wed, 18 Apr 2007 00:00:00 -0500</pubDate>
					 
					</item>

				

					<item>
					  <title>Micho asaka makali ya kuiua Esperance</title>
					  <link>http://www.habaritanzania.com/articles/3490/1/Micho-asaka-makali-ya-kuiua-Esperance</link>
					  <description>BAADA ya kubanwa na Moro United katika mechi ya ufunguzi wa Ligi Ndogo, Jumamosi iliyopita, mabingwa watetezi, Yanga, leo wanashuka dimbani kwa mara ya pili kucheza na wenyeji, AFC Arusha.</description>
					  <author>info@habaritanzania.com (Habari Tanzania)</author>
					  <pubDate>Tue, 17 Apr 2007 00:00:00 -0500</pubDate>
					 
					</item>

				

					<item>
					  <title>Ikulu nanyi mkutane kujadili matumizi</title>
					  <link>http://www.habaritanzania.com/articles/3487/1/Ikulu-nanyi-mkutane-kujadili-matumizi</link>
					  <description>HADI sasa, Waziri wa fedha, Zakia Meghji, ameshindwa kutoa hadharani, jibu la barua aliyoandikiwa hivi karibuni na Mwenyekiti wa Chama cha Wananchi (CUF), Profesa Ibrahim Lipumba. Katika barua hiyo, Profesa Lipumba alimtaka Meghji amfahamishe fedha za bajeti ya matumizi ya Ikulu zinawekwa katika fungu gani, kwani alikuwa (Meghji) amekanusha taarifa ya awali ya Profesa Lipumba kwamba fedha hizo zinakuwa katika fungu liitwalo Consolidated Fund.</description>
					  <author>info@habaritanzania.com (Habari Tanzania)</author>
					  <pubDate>Tue, 17 Apr 2007 00:00:00 -0500</pubDate>
					 
					</item>

				

					<item>
					  <title>Kabwe amtumia Kikwete, Warioba kuibana serikali</title>
					  <link>http://www.habaritanzania.com/articles/3485/1/Kabwe-amtumia-Kikwete%2C-Warioba-kuibana-serikali</link>
					  <description>MBUNGE wa Kigoma Kaskazini, Zitto Kabwe (CHADEMA), jana alimlazimisha Waziri Mkuu, Edward Lowassa kusimama na kuliahidi Bunge kuwa, serikali itawasilisha muswada wa mabadiliko ya sheria ya uchaguzi itakayozungumzia pamoja na mambo mengine masuala yanayohusu matumizi ya fedha wakazi wa uchaguzi.</description>
					  <author>info@habaritanzania.com (Habari Tanzania)</author>
					  <pubDate>Tue, 17 Apr 2007 00:00:00 -0500</pubDate>
					 
					</item>

				

					<item>
					  <title>Mume, mke, watoto wafa ajali ya Buffalo</title>
					  <link>http://www.habaritanzania.com/articles/3484/1/Mume%2C-mke%2C-watoto-wafa-ajali-ya-Buffalo</link>
					  <description>WATU wanne wa familia moja, ni miongoni mwa abiria 22 ambao walifariki baada ya basi la Buffalo walilokuwa wakisafiria kutoka Dar es Salaam kwenda Arusha, kugongana na lori la mafuta katika Wilaya ya Mwanga mkoani Kilimanjaro, juzi alasiri. </description>
					  <author>info@habaritanzania.com (Habari Tanzania)</author>
					  <pubDate>Tue, 17 Apr 2007 00:00:00 -0500</pubDate>
					 
					</item>

				

					<item>
					  <title>Wabunge CCM waapa kufa au kupona na Mkataba wa Richmond</title>
					  <link>http://www.habaritanzania.com/articles/3483/1/Wabunge-CCM-waapa-kufa-au-kupona-na-Mkataba-wa-Richmond</link>
					  <description>BAADHI ya wabunge wa Bunge la Muungano, wameeleza kusikitishwa na hatua ya serikali ya kulitolea maelezo suala la mkataba kati ya Richmond na Shirika la Umeme (TANESCO) kwenye vyombo vya habari badala ya bungeni.</description>
					  <author>info@habaritanzania.com (Habari Tanzania)</author>
					  <pubDate>Mon, 16 Apr 2007 00:00:00 -0500</pubDate>
					 
					</item>

				

					<item>
					  <title>Basi laua 22 Kilimanjaro</title>
					  <link>http://www.habaritanzania.com/articles/3481/1/Basi-laua-22-Kilimanjaro</link>
					  <description>WATU 22 wamefariki dunia papo hapo na wengine zaidi ya 45 kujeruhiwa baada ya ajali mbaya iliyohusisha basi la Buffalo na lori katika Kijiji cha Kisangara Lemberi wilayani Mwanga, Kilimanjaro.</description>
					  <author>info@habaritanzania.com (Habari Tanzania)</author>
					  <pubDate>Mon, 16 Apr 2007 00:00:00 -0500</pubDate>
					 
					</item>

				

					<item>
					  <title>Mawaziri wa JK presha juu</title>
					  <link>http://www.habaritanzania.com/articles/3479/1/Mawaziri-wa-JK-presha-juu</link>
					  <description>HOFU imetanda miongoni mwa mawaziri baada ya Rais Jakaya Kikwete kuitisha mkutano wa dharua leo kwa lengo la kujadili ubadhirifu wa fedha, uliobainishwa katika ripoti ya Mkaguzi na Mdhibiti Mkuu wa Hesabu za Serikali (CAG) ya mwaka 2005/2006.</description>
					  <author>info@habaritanzania.com (Habari Tanzania)</author>
					  <pubDate>Sun, 15 Apr 2007 00:00:00 -0500</pubDate>
					 
					</item>

				

					<item>
					  <title>Samaki wazua hofu Dar</title>
					  <link>http://www.habaritanzania.com/articles/3478/1/Samaki-wazua-hofu-Dar</link>
					  <description>WAKATI watu wengi nchini wanategemea samaki na kuku kama kitoweo kikuu baada ya kuibuka kwa homa ya bonde la ufa (RVF), Tanzania Daima imebaini kuwa, samaki ni kitoweo hatari kwa maisha ya binadamu.</description>
					  <author>info@habaritanzania.com (Habari Tanzania)</author>
					  <pubDate>Sun, 15 Apr 2007 00:00:00 -0500</pubDate>
					 
					</item>

				

					<item>
					  <title>Wabunge wauponda muswada wa rushwa</title>
					  <link>http://www.habaritanzania.com/articles/3476/1/Wabunge-wauponda-muswada-wa-rushwa</link>
					  <description>MUSWADA wa sheria ya kuzuia na kupambana na rushwa wa mwaka 2007, hauna maana kama Ofisi ya Taasisi ya Kupambana na Rushwa (TAKURU) haitakuwa huru na mkurugenzi wake kuendelea kuteuliwa na rais; Bunge limeelezwa.</description>
					  <author>info@habaritanzania.com (Habari Tanzania)</author>
					  <pubDate>Sat, 14 Apr 2007 00:00:00 -0500</pubDate>
					 
					</item>

				

					<item>
					  <title>Matumizi mabaya sasa yaitikisa dola</title>
					  <link>http://www.habaritanzania.com/articles/3475/1/Matumizi-mabaya-sasa-yaitikisa-dola</link>
					  <description>UPEPO wa matumizi mabaya ya fedha za umma katika serikali kuu na za mitaa, umeanza kutikisa mihimili mikuu miwili ya dola; Serikali na Bunge; Tanzania Daima imebaini.</description>
					  <author>info@habaritanzania.com (Habari Tanzania)</author>
					  <pubDate>Sat, 14 Apr 2007 00:00:00 -0500</pubDate>
					 
					</item>

				

					<item>
					  <title>Wahubiri wa dini, waganga wa jadi marufuku kutangaza kutibu UKIMWI</title>
					  <link>http://www.habaritanzania.com/articles/3474/1/Wahubiri-wa-dini%2C-waganga-wa-jadi-marufuku-kutangaza-kutibu-UKIMWI</link>
					  <description>SERIKALI imepiga marufuku wahubiri wa dini na waganga wa jadi wanaojitangaza kuwa wana uwezo wa kutibu ugonjwa wa UKIMWI, kwani kufanya hivyo ni kuendelea kuchochea maambukizi ya ugonjwa huo ambao hadi sasa hauna tiba wala chanjo.</description>
					  <author>info@habaritanzania.com (Habari Tanzania)</author>
					  <pubDate>Fri, 13 Apr 2007 00:00:00 -0500</pubDate>
					 
					</item>

				

					<item>
					  <title>Utandawazi umemeza falsafa ya Nkrumah</title>
					  <link>http://www.habaritanzania.com/articles/3467/1/Utandawazi-umemeza-falsafa-ya-Nkrumah</link>
					  <description>HIVI karibuni Ghana iliadhimisha miaka 50 tangu ijipatie uhuru wake kutoka kwa wakoloni wa Kiingereza.</description>
					  <author>info@habaritanzania.com (Habari Tanzania)</author>
					  <pubDate>Fri, 13 Apr 2007 00:00:00 -0500</pubDate>
					 
					</item>

				

					<item>
					  <title>Waziri Nazir Karamagi ameifedhehesha serikali</title>
					  <link>http://www.habaritanzania.com/articles/3466/1/Waziri-Nazir-Karamagi-ameifedhehesha-serikali</link>
					  <description>MBUNGE wa Same Mashariki, Anne Kilango Malecela (CCM), juzi alilieleza Bunge kushangazwa kwake na hatua ya serikali kutumia muda mrefu kutafuta njia mbadala ya tatizo la nishati kwa kutumia mitambo ya kukodi inayoendeshwa na kampuni binafsi.</description>
					  <author>info@habaritanzania.com (Habari Tanzania)</author>
					  <pubDate>Fri, 13 Apr 2007 00:00:00 -0500</pubDate>
					 
					</item>

				

					<item>
					  <title>Wawakilishi walilia magari, posho Z'bar</title>
					  <link>http://www.habaritanzania.com/articles/3464/1/Wawakilishi-walilia-magari%2C-posho-Z%92bar</link>
					  <description>WAJUMBE wa Baraza la Wawakilishi wa CCM na CUF, wamesema posho na mishahara wanayolipwa ni midogo na haitoshi katika utekelezaji wa majukumu yao.</description>
					  <author>info@habaritanzania.com (Habari Tanzania)</author>
					  <pubDate>Fri, 13 Apr 2007 00:00:00 -0500</pubDate>
					 
					</item>

				

					<item>
					  <title>'Matumizi bado tatizo serikalini'</title>
					  <link>http://www.habaritanzania.com/articles/3463/1/%91Matumizi-bado-tatizo-serikalini%92</link>
					  <description>MDHIBITI na Mkaguzi Mkuu wa Hesabu za Serikali, amesema idadi ya matumizi ya fedha yanayotiliwa shaka serikalini, imeongezeka sambamba na kuendelea kukua kwa pato la taifa.</description>
					  <author>info@habaritanzania.com (Habari Tanzania)</author>
					  <pubDate>Fri, 13 Apr 2007 00:00:00 -0500</pubDate>
					 
					</item>

				

					<item>
					  <title>Sitta akosoa utawala</title>
					  <link>http://www.habaritanzania.com/articles/3462/1/Sitta-akosoa-utawala</link>
					  <description>SPIKA wa Bunge, Samuel Sitta kwa mara nyingine tena wiki hii, amekata mzizi wa fitina kwa kuukosoa mfumo wa utawala nchini, akibainisha kuwapo kwa kasoro, hususan katika eneo la uteuzi, uwazi na uwajibikaji wa viongozi na watendaji.</description>
					  <author>info@habaritanzania.com (Habari Tanzania)</author>
					  <pubDate>Fri, 13 Apr 2007 00:00:00 -0500</pubDate>
					 
					</item>

				

					<item>
					  <title>Miss India 1999 kuwanoa washiriki Miss Universe</title>
					  <link>http://www.habaritanzania.com/articles/3461/1/Miss-India-1999-kuwanoa-washiriki-Miss-Universe</link>
					  <description>MISS India 1999, Yukta Mookhey, anatarajiwa kuwasili nchini leo kwa ndege ya Shirika la Qatar ambako atakuwa jaji katika shindano la kumsaka Miss Universe Tanzania, linalotarajiwa kufanyika keshokutwa katika Hoteli ya Movenpick, Dar es Salaam.</description>
					  <author>info@habaritanzania.com (Habari Tanzania)</author>
					  <pubDate>Fri, 13 Apr 2007 00:00:00 -0500</pubDate>
					 
					</item>

				

					<item>
					  <title>Siku ya Utalii wa Ndani Juni 2 Leaders</title>
					  <link>http://www.habaritanzania.com/articles/3460/1/Siku-ya-Utalii-wa-Ndani-Juni-2-Leaders</link>
					  <description>TAMASHA la kuhamasisha utalii wa ndani Tanzania, linatarajiwa kurindima Juni 2 kwenye viwanja vya Leaders, Kinondoni jijini Dar es Salaam.</description>
					  <author>info@habaritanzania.com (Habari Tanzania)</author>
					  <pubDate>Thu, 12 Apr 2007 00:00:00 -0500</pubDate>
					 
					</item>

				

					<item>
					  <title>Magufuli aja na mwarobaini wa ardhi</title>
					  <link>http://www.habaritanzania.com/articles/3458/1/Magufuli-aja-na-mwarobaini-wa-ardhi</link>
					  <description>MISWADA ya sheria ya ardhi iliyowasilishwa bungeni jana, itasaidia kutatua migogoro ya ardhi iliyopo katika maeneo mbalimbali nchini, ikiwa ni pamoja na kuwawezesha wanawake kumiliki ardhi.</description>
					  <author>info@habaritanzania.com (Habari Tanzania)</author>
					  <pubDate>Thu, 12 Apr 2007 00:00:00 -0500</pubDate>
					 
					</item>

				

					<item>
					  <title>Safari ya Chitalilo mahakamani yaanza</title>
					  <link>http://www.habaritanzania.com/articles/3457/1/Safari-ya-Chitalilo-mahakamani-yaanza</link>
					  <description>HATIMAYE wapiga kura wa Jimbo la Buchosa mkoani Mwanza, jana waliwasilisha rasmi ombi lao kutaka Mahakama Kuu Kanda ya Mwanza, iwarushu kumshtaki mbunge wao, Samwel Mchele Chitalilo, kwa utaratibu wa mwendesha mashtaka binafsi (Private Prosecution), kwa tuhuma zinazomkabili za kughushi vyeti na kudanganya kuhusu elimu yake.</description>
					  <author>info@habaritanzania.com (Habari Tanzania)</author>
					  <pubDate>Thu, 12 Apr 2007 00:00:00 -0500</pubDate>
					 
					</item>

				

					<item>
					  <title>DCI: Karibu tutawataja vigogo wanaouza unga</title>
					  <link>http://www.habaritanzania.com/articles/3456/1/DCI%3A-Karibu-tutawataja-vigogo-wanaouza-unga</link>
					  <description>JESHI la Polisi nchini, limesema siku za wafanyabiashara wanaojihusisha na biashara ya dawa za kulevya kuwa huru, sasa zinahesabika.</description>
					  <author>info@habaritanzania.com (Habari Tanzania)</author>
					  <pubDate>Thu, 12 Apr 2007 00:00:00 -0500</pubDate>
					 
					</item>

				

					<item>
					  <title>Wananchi wadai kutishiwa kuuawa</title>
					  <link>http://www.habaritanzania.com/articles/3451/1/Wananchi-wadai-kutishiwa-kuuawa</link>
					  <description>MGOGORO wa ardhi kati ya viongozi wa Kata ya Kibasuka na wananchi wa Kijiji cha Nyakunguru wilayani hapa mkoani Mara, umefikia mahali pabaya baada ya wananchi kudai kuwa, wametishiwa kuuawa kama wataendelea kuhoji uuzwaji wa ardhi ya kijiji chao.</description>
					  <author>info@habaritanzania.com (Habari Tanzania)</author>
					  <pubDate>Wed, 11 Apr 2007 00:00:00 -0500</pubDate>
					 
					</item>

				

					<item>
					  <title>Warioba kuongoza timu ya Madola uchaguzi Nigeria</title>
					  <link>http://www.habaritanzania.com/articles/3450/1/Warioba-kuongoza-timu-ya-Madola-uchaguzi-Nigeria</link>
					  <description>WAZIRI Mkuu mstaafu, Jaji Joseph Warioba, ameteuliwa na Katibu Mkuu wa Jumuiya ya Madola, Don McKinnon, kuongoza timu maalumu ya waangalizi wa jumuiya hiyo, katika uchaguzi mkuu wa Nigeria.</description>
					  <author>info@habaritanzania.com (Habari Tanzania)</author>
					  <pubDate>Wed, 11 Apr 2007 00:00:00 -0500</pubDate>
					 
					</item>

				

					<item>
					  <title>Spika - Malima kanifedhehesha</title>
					  <link>http://www.habaritanzania.com/articles/3449/1/Spika---Malima-kanifedhehesha</link>
					  <description>SPIKA wa Bunge la Jamhuri ya Muungano, Samuel Sitta, amesema adhabu inayomfaa Mbunge wa Mkuranga, Adam Malima (CCM) kwa kosa la kulidhalilisha Bunge na Spika (Sitta), ni kumpuuza na kuwataka wabunge washirikiane kumpa ushauri nasaha.</description>
					  <author>info@habaritanzania.com (Habari Tanzania)</author>
					  <pubDate>Wed, 11 Apr 2007 00:00:00 -0500</pubDate>
					 
					</item>

				

					<item>
					  <title>Mwingine amwagiwa tindikali Zanzibar</title>
					  <link>http://www.habaritanzania.com/articles/3447/1/Mwingine-amwagiwa-tindikali-Zanzibar</link>
					  <description>SIKU chache baada ya mfanyabiashara mmoja anayeuza pombe kali mjini hapa kumwagiwa tindikali na watu wasiojulikana, mfanyabiashara mwingine anayejihusisha na biashara hiyo, amepatwa na mkasa kama huo.</description>
					  <author>info@habaritanzania.com (Habari Tanzania)</author>
					  <pubDate>Tue, 10 Apr 2007 00:00:00 -0500</pubDate>
					 
					</item>

				

					<item>
					  <title>Lowassa ashtushwa kasi ya RVF</title>
					  <link>http://www.habaritanzania.com/articles/3446/1/Lowassa-ashtushwa-kasi-ya-RVF</link>
					  <description>WAZIRI Mkuu, Edward Lowasa, ameshtushwa na hali za wagonjwa wa homa ya bonde la ufa (RVF), waliolazwa katika Hospitali ya Mkoa wa Dodoma, baada ya kutembelea hospitali hiyo jana.</description>
					  <author>info@habaritanzania.com (Habari Tanzania)</author>
					  <pubDate>Tue, 10 Apr 2007 00:00:00 -0500</pubDate>
					 
					</item>

				

					<item>
					  <title>Wakitaka wakashitaki hata kwa shetani - Sitta</title>
					  <link>http://www.habaritanzania.com/articles/3445/1/Wakitaka-wakashitaki-hata-kwa-shetani---Sitta</link>
					  <description>SPIKA wa Bunge, Samuel Sitta, amesema hatishwi na hatua ya Mbunge wa Mkuranga, Adam Malima (CCM), kuufikisha mgogoro aliouamua bungeni kati yake na Mwenyekiti wa Kampuni za IPP, Reginald Mengi.</description>
					  <author>info@habaritanzania.com (Habari Tanzania)</author>
					  <pubDate>Tue, 10 Apr 2007 00:00:00 -0500</pubDate>
					 
					</item>

				

					<item>
					  <title>100 wazaliwa Dar mkesha wa Pasaka</title>
					  <link>http://www.habaritanzania.com/articles/3441/1/100-wazaliwa-Dar-mkesha-wa-Pasaka</link>
					  <description>JUMLA ya watoto 100 wamezaliwa jijini Dar es Salaam katika mkesha wa Sikukuu ya Pasaka, iliyoadhimishwa jana duniani kote.</description>
					  <author>info@habaritanzania.com (Habari Tanzania)</author>
					  <pubDate>Mon, 09 Apr 2007 00:00:00 -0500</pubDate>
					 
					</item>

				

					<item>
					  <title>Bucha zafungwa, kuku wapaa</title>
					  <link>http://www.habaritanzania.com/articles/3440/1/Bucha-zafungwa%2C-kuku-wapaa</link>
					  <description>BAADHI ya bucha zinazouza nyama ya ng'ombe katika Jiji la Dar es Salaam, zimefungwa kutokana na kukosa wateja katika kipindi cha Sikukuu ya Pasaka.</description>
					  <author>info@habaritanzania.com (Habari Tanzania)</author>
					  <pubDate>Mon, 09 Apr 2007 00:00:00 -0500</pubDate>
					 
					</item>

				

					<item>
					  <title>Kipigo kisiikatishe tamaa Yanga</title>
					  <link>http://www.habaritanzania.com/articles/3439/1/Kipigo-kisiikatishe-tamaa-Yanga</link>
					  <description>IJUMAA iliyopita, wawakilishi pekee wa Tanzania waliobaki katika michuano ya kimataifa, Yanga ya jijini Dar es Salaam, ilicheza mechi yake ya awali ya hatua ya tatu ya michuano ya Ligi ya Mabingwa Afrika.</description>
					  <author>info@habaritanzania.com (Habari Tanzania)</author>
					  <pubDate>Mon, 09 Apr 2007 00:00:00 -0500</pubDate>
					 
					</item>

				

					<item>
					  <title>Maaskofu waikosoa serikali</title>
					  <link>http://www.habaritanzania.com/articles/3437/1/Maaskofu-waikosoa-serikali</link>
					  <description>MAASKOFU wawili, wa madhehebu ya Kikristo, wametoa kauli kali za kukosoa maamuzi yaliyofanywa na serikali katika maeneo kadhaa.</description>
					  <author>info@habaritanzania.com (Habari Tanzania)</author>
					  <pubDate>Mon, 09 Apr 2007 00:00:00 -0500</pubDate>
					 
					</item>

				

					<item>
					  <title>Sitta: Sina ushahidi dhidi ya Chitalilo</title>
					  <link>http://www.habaritanzania.com/articles/3436/1/Sitta%3A-Sina-ushahidi-dhidi-ya-Chitalilo</link>
					  <description>SPIKA wa Bunge, Samuel Sitta, amesema ofisi yake haijapokea barua toka ofisi ya Mkurugenzi wa Upelelezi wa Makosa ya Jinai, inayoeleza kwamba Jeshi la Polisi limethibitisha kwamba Mbunge wa Buchosa, Samwel Chitalilo, alighushi cheti cha elimu ya sekondari kwamba alisoma katika shule moja iliyopo nchini Uganda.</description>
					  <author>info@habaritanzania.com (Habari Tanzania)</author>
					  <pubDate>Mon, 09 Apr 2007 00:00:00 -0500</pubDate>
					 
					</item>

				

					<item>
					  <title>Askofu adai orodha ya vigogo wa unga</title>
					  <link>http://www.habaritanzania.com/articles/3435/1/Askofu-adai-orodha-ya-vigogo-wa-unga</link>
					  <description>MIEZI kadha baada ya vyombo vya habari kuripoti kuwepo kwa orodha ya wanaodaiwa kuwa ni wafanyabiashara wakubwa wa dawa za kulevya, kiongozi mmoja wa kidini nchini, ameitaka serikali kuiweka wazi orodha hiyo.</description>
					  <author>info@habaritanzania.com (Habari Tanzania)</author>
					  <pubDate>Sat, 07 Apr 2007 00:00:00 -0500</pubDate>
					 
					</item>

				

					<item>
					  <title>CCM kumtimua diwani wake anayetuhumiwa kubaka</title>
					  <link>http://www.habaritanzania.com/articles/3430/1/CCM-kumtimua-diwani-wake-anayetuhumiwa-kubaka</link>
					  <description>CHAMA Cha Mapinduzi (CCM) wilayani hapa, mkoani Tabora, kimepanga kumvua madaraka, Diwani wa Kata ya Ndono, Musa Kayege, ambaye hivi karibuni alifikishwa mahakamani akikabiliwa na tuhuma za kumbaka mwanafunzi wa darasa la saba mwenye umri wa miaka 14.</description>
					  <author>info@habaritanzania.com (Habari Tanzania)</author>
					  <pubDate>Fri, 06 Apr 2007 00:00:00 -0500</pubDate>
					 
					</item>

				

					<item>
					  <title>Polisi: Uchunguzi wawatia hatiani watuhumiwa Mbeya</title>
					  <link>http://www.habaritanzania.com/articles/3429/1/Polisi%3A-Uchunguzi-wawatia-hatiani-watuhumiwa-Mbeya</link>
					  <description>UCHUNGUZI uliofanywa na Jeshi la Polisi kuhusu sakata la vijana watatu waliokamatwa jijini Mbeya hivi karibuni wakihusishwa na tukio la ujambazi wa kutumia silaha, umethibitisha kuwa walihusika na tukio hilo na si wafanyabiashara kama inavyodaiwa na baadhi ya ndugu zao.</description>
					  <author>info@habaritanzania.com (Habari Tanzania)</author>
					  <pubDate>Fri, 06 Apr 2007 00:00:00 -0500</pubDate>
					 
					</item>

				

					<item>
					  <title>Hakuna visa kuingia Afrika Kusini</title>
					  <link>http://www.habaritanzania.com/articles/3428/1/Hakuna-visa-kuingia-Afrika-Kusini</link>
					  <description>SERIKALI ya Tanzania na Afrika Kusini, zimesaini mkataba wa kufuta matumizi ya viza za kusafiria kati ya nchi hizo.</description>
					  <author>info@habaritanzania.com (Habari Tanzania)</author>
					  <pubDate>Fri, 06 Apr 2007 00:00:00 -0500</pubDate>
					 
					</item>

				

					<item>
					  <title>Ripoti: Tanzania yapwaya katika uhuru wa kiuchumi</title>
					  <link>http://www.habaritanzania.com/articles/3427/1/Ripoti%3A-Tanzania-yapwaya-katika-uhuru-wa-kiuchumi</link>
					  <description>SIKU chache tu baada ya jarida la The Economist la Uingereza kuukosoa utawala wa Rais Jakaya Kikwete, jarida jingine linaloheshimika sana huko Marekani, Wall Street Journal, limetoa ripoti inayoonyesha kuwa Tanzania inaserereka katika masuala ya uchumi.</description>
					  <author>info@habaritanzania.com (Habari Tanzania)</author>
					  <pubDate>Fri, 06 Apr 2007 00:00:00 -0500</pubDate>
					 
					</item>

				

					<item>
					  <title>Serikali zaanza mazungumzo kuhusu utumishi</title>
					  <link>http://www.habaritanzania.com/articles/3425/1/Serikali-zaanza-mazungumzo-kuhusu-utumishi</link>
					  <description>SERIKALI imeanza kuendesha vikao vya mashauriano katika masuala ya utumishi wa umma kati ya Serikali ya Jamhuri wa Muungano wa Tanzania na Serikali ya Mapinduzi Zanzibar.</description>
					  <author>info@habaritanzania.com (Habari Tanzania)</author>
					  <pubDate>Thu, 05 Apr 2007 00:00:00 -0500</pubDate>
					 
					</item>

				

					<item>
					  <title>Kortini Dar akihusishwa mihadarati nchini China</title>
					  <link>http://www.habaritanzania.com/articles/3424/1/Kortini-Dar-akihusishwa-mihadarati-nchini-China</link>
					  <description>MKAZI mmoja wa jijini Dar es Salaam, amefikishwa katika Mahakama ya Hakimu Mkazi Kisutu, akihusishwa na kifo cha mtu mwingine aliyekufa baada ya mihadarati aliyomeza, kupasukia tumboni.</description>
					  <author>info@habaritanzania.com (Habari Tanzania)</author>
					  <pubDate>Thu, 05 Apr 2007 00:00:00 -0500</pubDate>
					 
					</item>

				

					<item>
					  <title>Tendwa atishia kufuta chama cha Mtikila</title>
					  <link>http://www.habaritanzania.com/articles/3423/1/Tendwa-atishia-kufuta-chama-cha-Mtikila</link>
					  <description>MSAJILI wa Vyama vya Siasa nchini, John Tendwa, ametoa onyo na kutishia kuvifutia usajili baadhi ya vyama vya siasa visivyofuata masharti ya kuandikishwa kwake, kikiwamo Democratic Party (DP), kinachoongozwa na Mchungaji Christopher Mtikila.</description>
					  <author>info@habaritanzania.com (Habari Tanzania)</author>
					  <pubDate>Thu, 05 Apr 2007 00:00:00 -0500</pubDate>
					 
					</item>

				

					<item>
					  <title>Lipumba ampa Kikwete mtihani wa uchumi</title>
					  <link>http://www.habaritanzania.com/articles/3422/1/Lipumba-ampa-Kikwete-mtihani-wa-uchumi</link>
					  <description>MWENYEKITI wa Taifa wa Chama cha Wananchi (CUF), Profesa Ibrahim Lipumba, jana alifanya tathmini na kutoa mwelekeo wa maamuzi kadhaa ya kiuchumi ya Serikali ya Awamu ya Nne.</description>
					  <author>info@habaritanzania.com (Habari Tanzania)</author>
					  <pubDate>Thu, 05 Apr 2007 00:00:00 -0500</pubDate>
					 
					</item>

				

					<item>
					  <title>Serikali yajipanga upya</title>
					  <link>http://www.habaritanzania.com/articles/3421/1/Serikali-yajipanga-upya</link>
					  <description>JITIHADA za serikali kuunganisha wizara, idara, tasisi, mikoa na wilaya katika mtandao mmoja wa mawasilianio kwa dhamira ya kuongeza kasi ya utendaji, imeanza kutekelezwa kwa vitendo.</description>
					  <author>info@habaritanzania.com (Habari Tanzania)</author>
					  <pubDate>Wed, 04 Apr 2007 00:00:00 -0500</pubDate>
					 
					</item>

				

					<item>
					  <title>Mgogoro wa Sitta, Malima kuitesa CCM</title>
					  <link>http://www.habaritanzania.com/articles/3420/1/Mgogoro-wa-Sitta%2C-Malima-kuitesa-CCM</link>
					  <description>UAMUZI wa Spika wa Bunge la Jamhuri ya Muungano, Samuel Sitta kujaribu kumaliza mzozo kati ya Mbunge wa Mkuranga, Adam Malima (CCM) na mfanyabiashara maarufu, Reginald Mengi, sasa umeingia hatua mpya inayoweza kukigharimu Chama Cha Mapinduzi.</description>
					  <author>info@habaritanzania.com (Habari Tanzania)</author>
					  <pubDate>Wed, 04 Apr 2007 00:00:00 -0500</pubDate>
					 
					</item>

				

					<item>
					  <title>CCM lawamani kwa kuwapotosha wananchi</title>
					  <link>http://www.habaritanzania.com/articles/3417/1/CCM-lawamani-kwa-kuwapotosha-wananchi</link>
					  <description>DHAMIRA ya viongozi wa Chama cha Mapinduzi (CCM) mkoani humu kutaka kujijenga kisiasa ndiyo iliyokwamisha mchakato wa utoaji wa mikopo kwa wajasiriamali.</description>
					  <author>info@habaritanzania.com (Habari Tanzania)</author>
					  <pubDate>Tue, 03 Apr 2007 00:00:00 -0500</pubDate>
					 
					</item>

				

					<item>
					  <title>Viongozi wauza shule, ofisi ya CCM kwa siri</title>
					  <link>http://www.habaritanzania.com/articles/3416/1/Viongozi-wauza-shule%2C-ofisi-ya-CCM-kwa-siri</link>
					  <description>VIONGOZI wa kijiji kimoja mkoani Mara, wameuza eneo la ekari 10 kwa kampuni ya uchimbaji madini na kusababisha malalamiko kutoka kwa wananchi. </description>
					  <author>info@habaritanzania.com (Habari Tanzania)</author>
					  <pubDate>Tue, 03 Apr 2007 00:00:00 -0500</pubDate>
					 
					</item>

				

					<item>
					  <title>Kamati ya Bunge yasikitishwa na hali ya TUT</title>
					  <link>http://www.habaritanzania.com/articles/3414/1/Kamati-ya-Bunge-yasikitishwa-na-hali-ya-TUT</link>
					  <description>KAMATI ya Bunge ya Maendeleo ya Jamii, imesikitishwa na hatua ya serikali kutothamini Taasisi ya Utangazaji Tanzania (TUT), kwa kushindwa kuipatia fedha za kutosha kuyafanyia ukarabati baadhi ya majengo yake, ambayo kwa sasa yana hali mbaya.</description>
					  <author>info@habaritanzania.com (Habari Tanzania)</author>
					  <pubDate>Tue, 03 Apr 2007 00:00:00 -0500</pubDate>
					 
					</item>

				

					<item>
					  <title>Mvua yaongeza hatari ya RVF</title>
					  <link>http://www.habaritanzania.com/articles/3413/1/Mvua-yaongeza-hatari-ya-RVF</link>
					  <description>SERIKALI imesema kuwa, upo uwezekano wa kuenea zaidi kwa ugonjwa wa homa ya bonde la ufa (RVF) na hivyo kuongezeka kwa madhara yatokanayo na ugonjwa huo nchini.</description>
					  <author>info@habaritanzania.com (Habari Tanzania)</author>
					  <pubDate>Tue, 03 Apr 2007 00:00:00 -0500</pubDate>
					 
					</item>

				

					<item>
					  <title>Marekani yapinga maamuzi ya akina Kikwete</title>
					  <link>http://www.habaritanzania.com/articles/3412/1/Marekani-yapinga-maamuzi-ya-akina-Kikwete</link>
					  <description>SERIKALI ya Marekani imeeleza kutoridhishwa kwake na namna viongozi wakuu wa nchi wanachama wa Jumuiya ya Maendeleo ya Kusini mwa Afrika (SADC) waliokutana jijini Dar es Salaam wiki iliyopita walivyolishughulikia tatizo la kisiasa nchini Zimbabwe.</description>
					  <author>info@habaritanzania.com (Habari Tanzania)</author>
					  <pubDate>Tue, 03 Apr 2007 00:00:00 -0500</pubDate>
					 
					</item>

				

					<item>
					  <title>TASWA inastahili kuungwa mkono</title>
					  <link>http://www.habaritanzania.com/articles/3410/1/TASWA-inastahili-kuungwa-mkono</link>
					  <description>IJUMAA iliyopita, Chama cha Waandishi wa Habari za Michezo Tanzania (TASWA), kilitoa tuzo kwa wanamichezo waliofanya vema kwa kipindi cha kuanzia Januari hadi Desemba mwaka jana.</description>
					  <author>info@habaritanzania.com (Habari Tanzania)</author>
					  <pubDate>Mon, 02 Apr 2007 00:00:00 -0500</pubDate>
					 
					</item>

				

					<item>
					  <title>Kawawa awataka wananchi kuwaumbua viongozi wabovu</title>
					  <link>http://www.habaritanzania.com/articles/3409/1/Kawawa-awataka-wananchi-kuwaumbua-viongozi-wabovu</link>
					  <description>WAZIRI Mkuu mstaafu wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Rashid Mfaume Kawawa, amewataka wananchi kupambana na viongozi wa ushirika wanaotumia nyadhifa zao kujitajirisha badala ya kunufaisha walengwa kwa kupatiwa mikopo.</description>
					  <author>info@habaritanzania.com (Habari Tanzania)</author>
					  <pubDate>Mon, 02 Apr 2007 00:00:00 -0500</pubDate>
					 
					</item>

				

					<item>
					  <title>Wezi wa mafuta ya transfoma ni TANESCO wenyewe - Mbunge</title>
					  <link>http://www.habaritanzania.com/articles/3408/1/Wezi-wa-mafuta-ya-transfoma-ni-TANESCO-wenyewe---Mbunge</link>
					  <description>MBUNGE wa Mbeya Mjini, Benson Mpesya, amesema wezi wa mafuta ya transfoma za Shirika la Umeme Tanzania (TANESCO) ni wafanyakazi wenyewe wa shirika hilo.</description>
					  <author>info@habaritanzania.com (Habari Tanzania)</author>
					  <pubDate>Mon, 02 Apr 2007 00:00:00 -0500</pubDate>
					 
					</item>

				

					<item>
					  <title>CCM waanza kuchezeana rafu</title>
					  <link>http://www.habaritanzania.com/articles/3407/1/CCM-waanza-kuchezeana-rafu</link>
					  <description>JOTO la uchaguzi wa viongozi ndani ya Chama Cha Mapinduzi (CCM), limeanza kupanda kwa baadhi ya vigogo wa chama hicho wilayani hapa, wanaodaiwa kuhofia kupokwa nafasi zao.</description>
					  <author>info@habaritanzania.com (Habari Tanzania)</author>
					  <pubDate>Mon, 02 Apr 2007 00:00:00 -0500</pubDate>
					 
					</item>

				

					<item>
					  <title>Viongozi DARUSO wadaiwa 'kutafuna' mil. 34/-</title>
					  <link>http://www.habaritanzania.com/articles/3406/1/Viongozi-DARUSO-wadaiwa-%91kutafuna%92-mil.-34%7B47%7D-</link>
					  <description>VIONGOZI wa serikali ya wanafunzi wa Chuo Kikuu cha Dar es Salaam (DARUSO), ambao wanamaliza muda wao kesho, huenda wakafikishwa mahakamani kwa tuhuma za kuhusika na ubadhirifu wa mamilioni ya shilingi.</description>
					  <author>info@habaritanzania.com (Habari Tanzania)</author>
					  <pubDate>Sun, 01 Apr 2007 00:00:00 -0500</pubDate>
					 
					</item>

				

					<item>
					  <title>Askofu matatani kwa fedha za mkopo</title>
					  <link>http://www.habaritanzania.com/articles/3405/1/Askofu-matatani-kwa-fedha-za-mkopo</link>
					  <description>ASKOFU wa kanisa moja la kiroho nchini, na United Bank of Africa (UBA), wameingia katika mgogoro mzito kuhusu deni la sh milioni 100, ambazo askofu huyo alizikopa kutoka katika benki hiyo miaka kadhaa iliyopita.</description>
					  <author>info@habaritanzania.com (Habari Tanzania)</author>
					  <pubDate>Sun, 01 Apr 2007 00:00:00 -0500</pubDate>
					 
					</item>

				

					<item>
					  <title>Majambazi wampiga risasi polisi</title>
					  <link>http://www.habaritanzania.com/articles/3403/1/Majambazi-wampiga-risasi-polisi</link>
					  <description>ASKARI wa Jeshi la Polisi wilayani Korogwe mwenye namba F. 5002, D/C Mohamed, amejeruhiwa vibaya baada ya kupigwa risasi sehemu za tumboni na mapajani katika harakati za kumkamata mmoja wa majambazi waliokuwa wameliteka basi la Kwekanga Line, lililokuwa likitokea wilayani Lushoto kuelekea jijini Tanga. </description>
					  <author>info@habaritanzania.com (Habari Tanzania)</author>
					  <pubDate>Fri, 30 Mar 2007 00:00:00 -0500</pubDate>
					 
					</item>

				

					<item>
					  <title>Jaji Bomani: Ukaidi umetuponza</title>
					  <link>http://www.habaritanzania.com/articles/3402/1/Jaji-Bomani%3A-Ukaidi-umetuponza</link>
					  <description>KITENDO cha serikali kushindwa kutekeleza mapendekezo ya kitaalamu ya mabadiliko ya sheria yaliyotolewa miaka 10 iliyopita, ndicho chanzo cha kuibuka kwa matatizo kama yale ya mgomo wa mahabusu na kukithiri kwa msongamano wa wafungwa magerezani.</description>
					  <author>info@habaritanzania.com (Habari Tanzania)</author>
					  <pubDate>Fri, 30 Mar 2007 00:00:00 -0500</pubDate>
					 
					</item>

				

					<item>
					  <title>Mugabe tatizo Dar</title>
					  <link>http://www.habaritanzania.com/articles/3401/1/Mugabe-tatizo-Dar</link>
					  <description>JINA la Rais Robert Mugabe wa Zimbabwe, ndilo lililotawala mkutano maalumu wa wakuu wa Jumuiya ya Maendeleo ya nchi za Kusini mwa Afrika (SADC), uliofanyika jijini Dar es Salaam jana, ambao ulikuwa ukijadili masuala ya ulinzi na usalama katika nchi wanachama.</description>
					  <author>info@habaritanzania.com (Habari Tanzania)</author>
					  <pubDate>Fri, 30 Mar 2007 00:00:00 -0500</pubDate>
					 
					</item>

				

					<item>
					  <title>Mugabe aambiwe ukweli</title>
					  <link>http://www.habaritanzania.com/articles/3391/1/Mugabe-aambiwe-ukweli</link>
					  <description>MKUTANO wa viongozi wa nchi wanachama wa Jumuiya ya Maendeleo ya Kusini mwa Afrika (SADC), umeanza jana chini ya Uenyekiti wa Rais Jakaya Kikwete.</description>
					  <author>info@habaritanzania.com (Habari Tanzania)</author>
					  <pubDate>Thu, 29 Mar 2007 00:00:00 -0500</pubDate>
					 
					</item>

				

					<item>
					  <title>Majambazi waibuka Z'bar na staili mpya</title>
					  <link>http://www.habaritanzania.com/articles/3390/1/Majambazi-waibuka-Z%92bar-na-staili-mpya</link>
					  <description>BAADA ya kimya kirefu, majambazi yameibuka tena mjini Zanzibar wakiwa na staili mpya ya kuvaa sare za mafundi wa Shirika la Umeme Zanzibar (ZECO), na kufanikiwa kuiba mamilioni ya fedha.</description>
					  <author>info@habaritanzania.com (Habari Tanzania)</author>
					  <pubDate>Thu, 29 Mar 2007 00:00:00 -0500</pubDate>
					 
					</item>

				

					<item>
					  <title>IGP Mwema amwondoa Mkuu wa Trafiki</title>
					  <link>http://www.habaritanzania.com/articles/3389/1/IGP-Mwema-amwondoa-Mkuu-wa-Trafiki</link>
					  <description>MKUU wa Jeshi la Polisi nchini (IGP), Said Mwema, amefanya mabadiliko ya ghafla katika vitengo viwili ndani ya jeshi hilo, kwa kile kilichoelezwa kuwa ni kuongeza ufanisi.</description>
					  <author>info@habaritanzania.com (Habari Tanzania)</author>
					  <pubDate>Thu, 29 Mar 2007 00:00:00 -0500</pubDate>
					 
					</item>

				

					<item>
					  <title>Benki ya Dunia yataka bei ya umeme ipande</title>
					  <link>http://www.habaritanzania.com/articles/3388/1/Benki-ya-Dunia-yataka-bei-ya-umeme-ipande</link>
					  <description>BENKI ya Dunia imewataka Watanzania kuelewa kuwa bila kupandisha bei ya ankara ya umeme, shirika linalojishughulisha na uzalishaji na usambazaji wa nishati hiyo, Tanesco, litakufa.</description>
					  <author>info@habaritanzania.com (Habari Tanzania)</author>
					  <pubDate>Thu, 29 Mar 2007 00:00:00 -0500</pubDate>
					 
					</item>

				

					<item>
					  <title>Hofu serikalini</title>
					  <link>http://www.habaritanzania.com/articles/3387/1/Hofu-serikalini</link>
					  <description>SERIKALI ya Awamu ya Nne imeingia katika mtego mkubwa wa hatari ya kukumbwa na matumizi makubwa ya fedha, hali ambayo sasa imesababisha nakisi katika bajeti ya serikali kuongezeka.</description>
					  <author>info@habaritanzania.com (Habari Tanzania)</author>
					  <pubDate>Thu, 29 Mar 2007 00:00:00 -0500</pubDate>
					 
					</item>

				

					<item>
					  <title>Kikwete; tushike anayoyasema au anayoyatenda?</title>
					  <link>http://www.habaritanzania.com/articles/3385/1/Kikwete%3B-tushike-anayoyasema-au-anayoyatenda%3F</link>
					  <description>KUNA kanuni kuu tatu katika ufundishaji, ambazo kila mwalimu mwenye kufuata kanuni za ualimu huzifuata pindi anapoingia darasani kufundisha. </description>
					  <author>info@habaritanzania.com (Habari Tanzania)</author>
					  <pubDate>Wed, 28 Mar 2007 00:00:00 -0500</pubDate>
					 
					</item>

				

					<item>
					  <title>Utata ujambazi wa Mbeya uwe fundisho kwetu sote</title>
					  <link>http://www.habaritanzania.com/articles/3384/1/Utata-ujambazi-wa-Mbeya-uwe-fundisho-kwetu-sote</link>
					  <description>LIMETOKEA tukio lenye utata linalohusisha matukio mawili ya ujambazi yaliyotokea mkoani Mbeya katika maeneo mawili tofauti, hivi karibuni.</description>
					  <author>info@habaritanzania.com (Habari Tanzania)</author>
					  <pubDate>Wed, 28 Mar 2007 00:00:00 -0500</pubDate>
					 
					</item>

				

					<item>
					  <title>Wahisani: Sheria mpya ya rushwa ina mianya</title>
					  <link>http://www.habaritanzania.com/articles/3383/1/Wahisani%3A-Sheria-mpya-ya-rushwa-ina-mianya</link>
					  <description>KWA mara nyingine, wafadhili wameonyesha dhahiri dhamira yao ya kupambana na ufisadi, baada ya kutoa masharti matano wanayotaka yawepo katika sheria mpya ya kupambana na rushwa.</description>
					  <author>info@habaritanzania.com (Habari Tanzania)</author>
					  <pubDate>Wed, 28 Mar 2007 00:00:00 -0500</pubDate>
					 
					</item>

				

					<item>
					  <title>Utata ujambazi Mbeya, uchunguzi waanza</title>
					  <link>http://www.habaritanzania.com/articles/3382/1/Utata-ujambazi-Mbeya%2C-uchunguzi-waanza</link>
					  <description>SAKATA la ujambazi uliolitikisa Jiji la Mbeya na kuamsha hisia tofauti, limechukua sura mpya, baada ya mamlaka mbalimbali kuamuru upelelezi wa kina ufanyike ili kubaini ukweli wa mambo.</description>
					  <author>info@habaritanzania.com (Habari Tanzania)</author>
					  <pubDate>Wed, 28 Mar 2007 00:00:00 -0500</pubDate>
					 
					</item>

				

					<item>
					  <title>Jarida maarufu la kimataifa lamkosoa JK</title>
					  <link>http://www.habaritanzania.com/articles/3381/1/Jarida-maarufu-la-kimataifa-lamkosoa-JK</link>
					  <description>JARIDA maarufu na linaloheshimika duniani, The Economist, limefanya tathmini ya uongozi wa mwaka mmoja wa serikali ya Rais Jakaya Kikwete na kuuelezea kuwa uliopoteza matumaini makubwa yaliyojengwa wakati wa kampeni.</description>
					  <author>info@habaritanzania.com (Habari Tanzania)</author>
					  <pubDate>Wed, 28 Mar 2007 00:00:00 -0500</pubDate>
					 
					</item>

				

					<item>
					  <title>Waziri atahadharisha juu ya Kifua Kikuu</title>
					  <link>http://www.habaritanzania.com/articles/3379/1/Waziri-atahadharisha-juu-ya-Kifua-Kikuu</link>
					  <description>Waziri wa afya na ustawi wa jamii Mheshimiwa Profesa David Mwakyusa amesema huhudi za pamoja kati ya serikali, wananchi,taasisi za kitaifa na kimataifa zinahitajika ili kuukabili ugonjwa wa kifua kikuu nchini kufuatia idadi ya wagonjwa kuongezeka hasa kutokana na ugonjwa wa ukimwi.</description>
					  <author>pkwigize@yahoo.com (Prosper Kwigize)</author>
					  <pubDate>Tue, 27 Mar 2007 00:00:00 -0500</pubDate>
					 
					</item>

				

					<item>
					  <title>Mahabusu sasa wahofu kuuawa</title>
					  <link>http://www.habaritanzania.com/articles/3372/1/Mahabusu-sasa-wahofu-kuuawa</link>
					  <description>MAHABUSU ambao wiki iliyopita waligoma kwa siku nne kushuka katika magari walipoletwa mahakamani kusikiliza kesi zao, sasa wamekuja na madai mapya kuwa wanatishiwa maisha na askari magereza.</description>
					  <author>info@habaritanzania.com (Habari Tanzania)</author>
					  <pubDate>Tue, 27 Mar 2007 00:00:00 -0500</pubDate>
					 
					</item>

				

					<item>
					  <title>Lowassa aomba wataalamu</title>
					  <link>http://www.habaritanzania.com/articles/3371/1/Lowassa-aomba-wataalamu</link>
					  <description>WAZIRI Mkuu, Edward Lowassa, ameiomba serikali ya New Zealand, kutuma nchini mabingwa wa elimu na madini pamoja na wa utengenezaji wa mafuta ya petroli kwa kutumia mazao.</description>
					  <author>info@habaritanzania.com (Habari Tanzania)</author>
					  <pubDate>Tue, 27 Mar 2007 00:00:00 -0500</pubDate>
					 
					</item>

				

					<item>
					  <title>Karume akoswakoswa kugongwa na daladala</title>
					  <link>http://www.habaritanzania.com/articles/3370/1/Karume-akoswakoswa-kugongwa-na-daladala</link>
					  <description>GARI alilokuwa amepanda Rais wa Zanzibar, Amani Abeid Karume mwishoni mwa wiki lilinusurika kugongwa na basi la abiria, maarufu kwa jina la daladala katika eneo la Kilimani, visiwani hapa. </description>
					  <author>info@habaritanzania.com (Habari Tanzania)</author>
					  <pubDate>Tue, 27 Mar 2007 00:00:00 -0500</pubDate>
					 
					</item>

				

					<item>
					  <title>Utata waibuka sakata la Ujambazi Mbeya</title>
					  <link>http://www.habaritanzania.com/articles/3369/1/Utata-waibuka-sakata-la-Ujambazi-Mbeya</link>
					  <description>JESHI la Polisi mkoani hapa, limeingizwa katika mtihani mkubwa baada ya kuibuka kwa malalamiko yanayoonyesha kuwa watu watatu waliohusishwa na tukio la ujambazi wa mwishoni mwa wiki wamekamatwa kimakosa.</description>
					  <author>info@habaritanzania.com (Habari Tanzania)</author>
					  <pubDate>Tue, 27 Mar 2007 00:00:00 -0500</pubDate>
					 
					</item>

				

					<item>
					  <title>Askari Magereza waua mfungwa</title>
					  <link>http://www.habaritanzania.com/articles/3368/1/Askari-Magereza-waua-mfungwa</link>
					  <description>ASKARI Magereza waliokuwa zamu ya kufungia wafungwa katika Gereza la Kanegele, wilayani Bukombe, wanadaiwa kumpiga hadi kufa mfungwa aliyetambuliwa kwa jina la Charles Madoshi (20).</description>
					  <author>info@habaritanzania.com (Habari Tanzania)</author>
					  <pubDate>Mon, 26 Mar 2007 00:00:00 -0500</pubDate>
					 
					</item>

				

					<item>
					  <title>15 mbaroni kwa kumtoa roho 'popobawa'</title>
					  <link>http://www.habaritanzania.com/articles/3365/1/15-mbaroni-kwa-kumtoa-roho-%91popobawa%92</link>
					  <description>WATU 15 wakazi wa Kijiji cha Nungwi, wanashikiliwa na polisi kutokana na tuhuma za kumuua mzee mmoja baada ya kumtuhumu kuwa ni 'popobawa'.</description>
					  <author>info@habaritanzania.com (Habari Tanzania)</author>
					  <pubDate>Mon, 26 Mar 2007 00:00:00 -0500</pubDate>
					 
					</item>

				

					<item>
					  <title>Mtanzania aliyelipua ubalozi Dar aomba radhi</title>
					  <link>http://www.habaritanzania.com/articles/3363/1/Mtanzania-aliyelipua-ubalozi-Dar-aomba-radhi</link>
					  <description>WIZARA ya Ulinzi ya Marekani, imesema kuwa, mfungwa katika gereza la Guantanamo ambaye ni raia wa Tanzania, Ahmed Khalfani Ghailani ameomba radhi kwa kuhusika kwake katika ulipuaji wa ubalozi wa Marekani jijini Dar es Salaam mwaka 1998.</description>
					  <author>info@habaritanzania.com (Habari Tanzania)</author>
					  <pubDate>Sun, 25 Mar 2007 00:00:00 -0500</pubDate>
					 
					</item>

				

					<item>
					  <title>Majambazi yaua mbele ya RPC</title>
					  <link>http://www.habaritanzania.com/articles/3362/1/Majambazi-yaua-mbele-ya-RPC</link>
					  <description>MIRINDIMO ya risasi zilizokuwa zikipigwa hovyo na kundi la majambazi wanne waliotokea mkoani Iringa na kuja kufanya uhalifu Jijini Mbeya, juzi, ziliamsha huzuni kubwa baada ya mwanafunzi wa mwaka wa pili wa Chuo Kikuu cha Mzumbe tawi la Mbeya, Juma Rajabu Tenga (27) kupigwa risasi kichwani na kufa muda mfupi baada ya kufikishwa kwenye Hospitali ya Rufaa Mbeya.</description>
					  <author>info@habaritanzania.com (Habari Tanzania)</author>
					  <pubDate>Sun, 25 Mar 2007 00:00:00 -0500</pubDate>
					 
					</item>

				

					<item>
					  <title>RVF sasa kukabiliwa kimataifa</title>
					  <link>http://www.habaritanzania.com/articles/3361/1/RVF-sasa-kukabiliwa-kimataifa</link>
					  <description>TIMU ya Shirika la Umoja wa Mataifa inayoratibu misaada ya dharura kwa Tanzania, imesema ipo tayari kutafuta fedha kwa ajili ya kampeni ya kukabiliana na homa ya bonde la ufa (RVF), ambayo inazidi kuua watu nchini.</description>
					  <author>info@habaritanzania.com (Habari Tanzania)</author>
					  <pubDate>Sat, 24 Mar 2007 00:00:00 -0500</pubDate>
					 
					</item>

				

					<item>
					  <title>Kikwete awatangazia majambazi matanga</title>
					  <link>http://www.habaritanzania.com/articles/3360/1/Kikwete-awatangazia-majambazi-matanga</link>
					  <description>RAIS Jakaya Kikwete jana alimaliza ziara yake mkoani hapa, akielekeza ujumbe wake dhidi ya majambazi, na watendaji serikalini wanaotumia nafasi zao kuwaonea maskini kwa kuwapokonya ardhi na kuwapa matajiri katika mazingira yasiyokubalika. </description>
					  <author>info@habaritanzania.com (Habari Tanzania)</author>
					  <pubDate>Sat, 24 Mar 2007 00:00:00 -0500</pubDate>
					 
					</item>

				

					<item>
					  <title>DCI Manumba aongoza vita ya ujambazi Arusha</title>
					  <link>http://www.habaritanzania.com/articles/3359/1/DCI-Manumba-aongoza-vita-ya-ujambazi-Arusha</link>
					  <description>VITA dhidi ya ujambazi sasa inaonekana kuhamia katika mikoa ya Arusha na Kilimanjaro, baada ya Jeshi la Polisi kuongeza nguvu katika mikoa hiyo kukabiliana na majambazi kwa upande mmoja, wakati majambazi nao wakiendeleza vitendo vyao vya uporaji kwa upande mwingine.</description>
					  <author>info@habaritanzania.com (Habari Tanzania)</author>
					  <pubDate>Fri, 23 Mar 2007 00:00:00 -0500</pubDate>
					 
					</item>

				

					<item>
					  <title>Wapinzani wajuta</title>
					  <link>http://www.habaritanzania.com/articles/3358/1/Wapinzani-wajuta</link>
					  <description>'MAJUTO ni mjukuu'; ndivyo inavyoonekana kuwa kwa upande wa vyama vitatu vya upinzani, Chama cha Wananchi (CUF), NCCR-Mageuzi na Tanzania Labour (TLP), ambavyo ushirikiano wao uliolenga kukishinda Chama Cha Mapinduzi (CCM) katika uchaguzi mdogo wa ubunge Tunduru, uligonga mwamba.</description>
					  <author>info@habaritanzania.com (Habari Tanzania)</author>
					  <pubDate>Fri, 23 Mar 2007 00:00:00 -0500</pubDate>
					 
					</item>

				

					<item>
					  <title>Uuzaji wa nyumba za Tazara una walakini</title>
					  <link>http://www.habaritanzania.com/articles/3351/1/Uuzaji-wa-nyumba-za-Tazara-una-walakini</link>
					  <description>SUALA la uhaba wa nyumba kwa askari polisi ni tatizo lililo wazi na la siku nyingi nchini.</description>
					  <author>info@habaritanzania.com (Habari Tanzania)</author>
					  <pubDate>Thu, 22 Mar 2007 00:00:00 -0500</pubDate>
					 
					</item>

				

					<item>
					  <title>Serikali inapaswa kujiuliza kulikoni?</title>
					  <link>http://www.habaritanzania.com/articles/3350/1/Serikali-inapaswa-kujiuliza-kulikoni%3F</link>
					  <description>WAMACHINGA wanalalamika kufukuzwa mitaani, wananchi wanalia wakipinga mikataba yenye utata na hali ngumu ya maisha, mahabusu wanapinga kesi zao kurundikwa kwa muda mrefu huku za wakubwa zikisikilizwa kwa haraka na sasa maimamu wananung'unikia kutotekelezwa kwa ahadi walizoahidiwa.</description>
					  <author>info@habaritanzania.com (Habari Tanzania)</author>
					  <pubDate>Thu, 22 Mar 2007 00:00:00 -0500</pubDate>
					 
					</item>

				

					<item>
					  <title>JWTZ kuwakabili Wasomali Longido</title>
					  <link>http://www.habaritanzania.com/articles/3349/1/JWTZ-kuwakabili-Wasomali-Longido</link>
					  <description>RAIS Jakaya Kikwete amewaondoa hofu wakazi wa Wilaya ya Longido kuhusu uvamizi wa mara kwa mara unaofanywa na watu wanaoaminika kuwa majangili kutoka Somalia, na kusema kuwa iwapo Jeshi la Polisi litashindwa kukabiliana nao, Jeshi la Wananchi wa Tanzania (TJTZ), litapewa jukumu hilo.</description>
					  <author>info@habaritanzania.com (Habari Tanzania)</author>
					  <pubDate>Thu, 22 Mar 2007 00:00:00 -0500</pubDate>
					 
					</item>

				

					<item>
					  <title>Majambazi yarudi Arusha, yaua mtalii</title>
					  <link>http://www.habaritanzania.com/articles/3348/1/Majambazi-yarudi-Arusha%2C-yaua-mtalii</link>
					  <description>BAADA ya kuwa kimya kwa kipindi kirefu, majambazi wameibuka kwa kasi mkoani Arusha na kusababisha kifo na uporaji.</description>
					  <author>info@habaritanzania.com (Habari Tanzania)</author>
					  <pubDate>Thu, 22 Mar 2007 00:00:00 -0500</pubDate>
					 
					</item>

				

					<item>
					  <title>Maimamu Dar wamjia juu Rais Kikwete, Mtikila</title>
					  <link>http://www.habaritanzania.com/articles/3347/1/Maimamu-Dar-wamjia-juu-Rais-Kikwete%2C-Mtikila</link>
					  <description>KAMATI ya Maimamu wa Kiislamu, wamewajia juu Rais Jakaya Kikwete na Mchungaji Christopher Mtikila katika masuala mawili nyeti.</description>
					  <author>info@habaritanzania.com (Habari Tanzania)</author>
					  <pubDate>Thu, 22 Mar 2007 00:00:00 -0500</pubDate>
					 
					</item>

				

					<item>
					  <title>Kwanini shilingi ya Tanzania inaporomoka?</title>
					  <link>http://www.habaritanzania.com/articles/3344/1/Kwanini-shilingi-ya-Tanzania-inaporomoka%3F</link>
					  <description>BENKI Kuu ya Tanzania imekuwa ikizungumzia mara nyingi juu ya mfumuko wa bei, viwango vya ubadilishaji wa fedha za kigeni, riba za benki mbalimbali na taasisi za fedha, ili kuelewa tunatoka wapi katika safari ya kuimarisha uchumi. </description>
					  <author>info@habaritanzania.com (Habari Tanzania)</author>
					  <pubDate>Tue, 20 Mar 2007 00:00:00 -0500</pubDate>
					 
					</item>

				

					<item>
					  <title>Watanzania wamepata somo jingine Tunduru</title>
					  <link>http://www.habaritanzania.com/articles/3343/1/Watanzania-wamepata-somo-jingine-Tunduru</link>
					  <description>DALILI za awali za matokeo ya Uchaguzi Mdogo wa Ubunge Tunduru, zimeanza kuonyesha dhahiri kwamba, Chama Cha Mapinduzi (CCM) kimeshinda kwa mara nyingine tena.</description>
					  <author>info@habaritanzania.com (Habari Tanzania)</author>
					  <pubDate>Tue, 20 Mar 2007 00:00:00 -0500</pubDate>
					 
					</item>

				

					<item>
					  <title>Chitalilo anaweza kufunguliwa kesi</title>
					  <link>http://www.habaritanzania.com/articles/3342/1/Chitalilo-anaweza-kufunguliwa-kesi</link>
					  <description>HATIMAYE wapiga kura wa Jimbo la Buchosa mkoani Mwanza, wameibuka na kuwaomba wataalamu wa mambo ya sheria wawasaidie kumfungulia kesi mahakamani, Mbunge wao, Samwel Mchele Chitalilo, ambaye mamlaka zimethibitisha kuwa ameghushi vyeti vya elimu yake.</description>
					  <author>info@habaritanzania.com (Habari Tanzania)</author>
					  <pubDate>Tue, 20 Mar 2007 00:00:00 -0500</pubDate>
					 
					</item>

				

					<item>
					  <title>  Wamuomba rais aruhusu wanyongwe</title>
					  <link>http://www.habaritanzania.com/articles/3341/1/--Wamuomba-rais-aruhusu-wanyongwe</link>
					  <description>KATIKA kile kinachoonyesha kuwa maisha ya wafungwa gerezani ni mabaya sana, wafungwa wawili wamemwandikia barua Rais Jakaya Kikwete, wakimuomba abatilishe adhabu ya kifungo cha maisha wanayotumikia ili wanyongwe hadi kufa.</description>
					  <author>info@habaritanzania.com (Habari Tanzania)</author>
					  <pubDate>Tue, 20 Mar 2007 00:00:00 -0500</pubDate>
					 
					</item>

				

					<item>
					  <title>Tunduru wakimbia uchaguzi</title>
					  <link>http://www.habaritanzania.com/articles/3340/1/Tunduru-wakimbia-uchaguzi</link>
					  <description>KATIKA hali ya kushangaza, watu wengi waliokuwa wamejiandikisha kwa ajili ya uchaguzi mdogo wa Jimbo la Tunduru, hawakujitokeza kupiga kura.</description>
					  <author>info@habaritanzania.com (Habari Tanzania)</author>
					  <pubDate>Tue, 20 Mar 2007 00:00:00 -0500</pubDate>
					 
					</item>

				

					<item>
					  <title>Gharama haziepukiki katika demokrasia</title>
					  <link>http://www.habaritanzania.com/articles/3335/1/Gharama-haziepukiki-katika-demokrasia</link>
					  <description>UCHAGUZI katika mazingira yoyote yale unatarajiwa kuwa alama na/au ishara ya demokrasia. </description>
					  <author>info@habaritanzania.com (Habari Tanzania)</author>
					  <pubDate>Mon, 19 Mar 2007 00:00:00 -0500</pubDate>
					 
					</item>

				

					<item>
					  <title>Uchaguzi Tunduru shwari, matokeo yaanza kutolewa</title>
					  <link>http://www.habaritanzania.com/articles/3334/1/Uchaguzi-Tunduru-shwari%2C-matokeo-yaanza-kutolewa</link>
					  <description>UCHAGUZI mdogo wa Jimbo la Tunduru, ulifanyika kwa amani jana, lakini kukiwa na malalamiko baadhi ya watu kuzuiwa kupiga kura kwa sababu mbalimbali.</description>
					  <author>info@habaritanzania.com (Habari Tanzania)</author>
					  <pubDate>Mon, 19 Mar 2007 00:00:00 -0500</pubDate>
					 
					</item>

				

					<item>
					  <title>Mzungu mbaguzi arejeshwa kwao</title>
					  <link>http://www.habaritanzania.com/articles/3333/1/Mzungu-mbaguzi-arejeshwa-kwao</link>
					  <description>SUALA la kudhalilishwa kwa Mtanzania, mtumishi wa mradi wa ujenzi wa minara pacha ya Benki Kuu ya Tanzania (BoT) limeingia sura mpya, baada ya makao makuu ya Kampuni ya Group Five International kumrejesha Afrika Kusini ofisa wake, Ruan Kidson aliyehusika na kashfa hiyo.</description>
					  <author>info@habaritanzania.com (Habari Tanzania)</author>
					  <pubDate>Mon, 19 Mar 2007 00:00:00 -0500</pubDate>
					 
					</item>

				

					<item>
					  <title>Mtikila amvaa Ditopile</title>
					  <link>http://www.habaritanzania.com/articles/3332/1/Mtikila-amvaa-Ditopile</link>
					  <description>WIKI chache baada ya aliyekuwa Mkuu wa Mkoa wa Tabora, Ukiwaona Ditopile Mzuzuri, kuachiwa kwa dhamana, Mwenyekiti wa Chama cha Democratic (DP), Mchungaji Christopher Mtikila, akisaidiwa na jopo la mawakili wanne, anakamilisha taratibu za kufungua kesi nyingine kuitaka mahakama imbadilishie kesi hiyo ili iwe ya mauaji ya kukusudia.</description>
					  <author>info@habaritanzania.com (Habari Tanzania)</author>
					  <pubDate>Mon, 19 Mar 2007 00:00:00 -0500</pubDate>
					 
					</item>

				

					<item>
					  <title>Kila la kheri uchaguzi mdogo Tunduru</title>
					  <link>http://www.habaritanzania.com/articles/3329/1/Kila-la-kheri-uchaguzi-mdogo-Tunduru</link>
					  <description>HATIMAYE uchaguzi mdogo katika Jimbo la Tunduru kujaza nafasi ya ubunge iliyoachwa wazi kufuatia kifo cha aliyekuwa Waziri wa Nchi, Ofisi ya Rais, Juma Jamaldin Akukweti, unafanyika leo.</description>
					  <author>info@habaritanzania.com (Habari Tanzania)</author>
					  <pubDate>Sun, 18 Mar 2007 00:00:00 -0500</pubDate>
					 
					</item>

				

					<item>
					  <title>CHADEMA yawashangaa Mrema, Mvungi</title>
					  <link>http://www.habaritanzania.com/articles/3328/1/CHADEMA-yawashangaa-Mrema%2C-Mvungi</link>
					  <description>CHAMA cha Demokrasia na Maendeleo (CHADEMA), kimesema kwamba baadhi ya vyama vimewafanyia 'usanii', baada ya kujua hakuna watakachopoteza kwa kumpigia debe mgombea wa Chama cha Wananchi (CUF), Mazee Mzee katika uchaguzi mdogo wa jimbo la Tunduru utakaofanyika leo. </description>
					  <author>info@habaritanzania.com (Habari Tanzania)</author>
					  <pubDate>Sun, 18 Mar 2007 00:00:00 -0500</pubDate>
					 
					</item>

				

					<item>
					  <title>Ofisi ya DC kuvunjwa kupisha uchimbaji dhahabu</title>
					  <link>http://www.habaritanzania.com/articles/3327/1/Ofisi-ya-DC-kuvunjwa-kupisha-uchimbaji-dhahabu</link>
					  <description>OFISI ya Mkuu wa Wilaya (DC) ya Chunya na ile ya halmashauri ya wilaya hiyo, zinaweza kubomolewa wakati wowote endapo wawekezaji waliomilikishwa eneo hilo na kupewa vibali vya kuchimba dhahabu wataamua kuanza kazi hiyo.</description>
					  <author>info@habaritanzania.com (Habari Tanzania)</author>
					  <pubDate>Sun, 18 Mar 2007 00:00:00 -0500</pubDate>
					 
					</item>

				

					<item>
					  <title>Kiwingu Tunduru</title>
					  <link>http://www.habaritanzania.com/articles/3325/1/Kiwingu-Tunduru</link>
					  <description>UCHAGUZI mdogo katika Jimbo la Tunduru kujaza nafasi ya ubunge iliyoachwa wazi kufuatia kifo cha aliyekuwa Waziri wa Nchi, Ofisi ya Rais, Juma Jamaldin Akukweti, unafanyika leo wakati hali ya mambo ikionyesha kuwapo kwa mchuano mkali kati ya Chama Cha Mapinduzi (CCM) na Chama cha Wananchi (CUF).</description>
					  <author>info@habaritanzania.com (Habari Tanzania)</author>
					  <pubDate>Sun, 18 Mar 2007 00:00:00 -0500</pubDate>
					 
					</item>

				

					<item>
					  <title>Kiwingu Tunduru</title>
					  <link>http://www.habaritanzania.com/articles/3323/1/Kiwingu-Tunduru</link>
					  <description>UCHAGUZI mdogo katika Jimbo la Tunduru kujaza nafasi ya ubunge iliyoachwa wazi kufuatia kifo cha aliyekuwa Waziri wa Nchi, Ofisi ya Rais, Juma Jamaldin Akukweti, unafanyika leo wakati hali ya mambo ikionyesha kuwapo kwa mchuano mkali kati ya Chama Cha Mapinduzi (CCM) na Chama cha Wananchi (CUF).</description>
					  <author>info@habaritanzania.com (Habari Tanzania)</author>
					  <pubDate>Sun, 18 Mar 2007 00:00:00 -0500</pubDate>
					 
					</item>

				

					<item>
					  <title>Hivi hizo takwimu za uchumi zinatoka wapi?</title>
					  <link>http://www.habaritanzania.com/articles/3322/1/Hivi-hizo-takwimu-za-uchumi-zinatoka-wapi%3F</link>
					  <description>ZANZIBAR imekumbwa na mvutano mkubwa wa hoja, baada ya Rais wa Serikali ya Mapinduzi ya Zanzibar, Amani Abeid Karume, kutangaza kukua kwa uchumi visiwani humo katika kipindi cha miaka mitano iliyopita.</description>
					  <author>info@habaritanzania.com (Habari Tanzania)</author>
					  <pubDate>Sat, 17 Mar 2007 00:00:00 -0500</pubDate>
					 
					</item>

				

					<item>
					  <title>JK ajitosa kusuluhisha Zimbabwe</title>
					  <link>http://www.habaritanzania.com/articles/3321/1/JK-ajitosa-kusuluhisha-Zimbabwe</link>
					  <description>ZIARA ya siku moja aliyoifanya Rais Jakaya Kikwete nchini Zimbabwe juzi, inaonekana kuzaa matunda kwani Rais Robert Mugabe wa nchi hiyo, ameonyesha kulegeza msimamo katika msuguano na nchi za Magharibi.</description>
					  <author>info@habaritanzania.com (Habari Tanzania)</author>
					  <pubDate>Sat, 17 Mar 2007 00:00:00 -0500</pubDate>
					 
					</item>

				

					<item>
					  <title>Wapinzani Z'bar waiponda kauli ya Karume</title>
					  <link>http://www.habaritanzania.com/articles/3318/1/Wapinzani-Z%92bar-waiponda-kauli-ya-Karume</link>
					  <description>VIONGOZI wa vyama vya upinzani visiwani hapa, wameshitushwa na kauli ya Rais Amani Abeid Karume, kuwa kiwango cha umasikini Zanzibar kimepungua kutoka asilimia 60 hadi 49 katika kipindi cha miaka mitano.</description>
					  <author>info@habaritanzania.com (Habari Tanzania)</author>
					  <pubDate>Sat, 17 Mar 2007 00:00:00 -0500</pubDate>
					 
					</item>

				

					<item>
					  <title>Mahabusu Keko watishia kujilipua</title>
					  <link>http://www.habaritanzania.com/articles/3317/1/Mahabusu-Keko-watishia-kujilipua</link>
					  <description>MAHABUSU walioko katika gereza la Keko, Dar es Salaam, ambao juzi walifikia muafaka wa kusitisha mgomo wao, wameipa serikali miezi mitatu kutekeleza madai yao, vinginevyo watajilipua kwa mabomu ya petroli.</description>
					  <author>info@habaritanzania.com (Habari Tanzania)</author>
					  <pubDate>Sat, 17 Mar 2007 00:00:00 -0500</pubDate>
					 
					</item>

				

					<item>
					  <title>Mahakama: Uchaguzi Tunduru utaendelea</title>
					  <link>http://www.habaritanzania.com/articles/3316/1/Mahakama%3A-Uchaguzi-Tunduru-utaendelea</link>
					  <description>MAHAKAMA Kuu ya Tanzania, imetupilia mbali ombi la Mwenyekiti wa Chama cha Democratic (DP), Mchungaji Christopher Mtikila, la kutaka uchaguzi mdogo wa ubunge Jimbo la Tunduru mkoani Ruvuma, usimamishwe.</description>
					  <author>info@habaritanzania.com (Habari Tanzania)</author>
					  <pubDate>Sat, 17 Mar 2007 00:00:00 -0500</pubDate>
					 
					</item>

				

					<item>
					  <title>Waziri Mwapachu ametufungua macho</title>
					  <link>http://www.habaritanzania.com/articles/3306/1/Waziri-Mwapachu-ametufungua-macho</link>
					  <description>KWA mara ya kwanza serikali imekiri hadharani kuwa ule msemo kwamba watu wote ni sawa mbele ya sheria, ni danganya toto.</description>
					  <author>info@habaritanzania.com (Habari Tanzania)</author>
					  <pubDate>Fri, 16 Mar 2007 00:00:00 -0500</pubDate>
					 
					</item>

				

					<item>
					  <title>Tujitokeze kukisaidia Chuo Kikuu Mzumbe</title>
					  <link>http://www.habaritanzania.com/articles/3305/1/Tujitokeze-kukisaidia-Chuo-Kikuu-Mzumbe</link>
					  <description>LEO, Waziri Mkuu Edward Lowassa, anatarajiwa kuwa mgeni rasmi katika harambee ya elimu ya kukichangia Chuo Kikuu cha Mzumbe. </description>
					  <author>info@habaritanzania.com (Habari Tanzania)</author>
					  <pubDate>Fri, 16 Mar 2007 00:00:00 -0500</pubDate>
					 
					</item>

				

					<item>
					  <title>Ajali yaua 12 Morogoro</title>
					  <link>http://www.habaritanzania.com/articles/3304/1/Ajali-yaua-12-Morogoro</link>
					  <description>WATU 12 wamefariki dunia na wengine zaidi ya 30 kujeruhiwa, baadhi yao vibaya, baada ya basi walilokuwa wakisafiria kugongana uso kwa uso na lori la mizigo aina ya Fuso, katika Barabara ya Morogoro-Dodoma, eneo la Mkundi, katika Manispaa ya Morogoro. Ajali hiyo ilitokea jana majira ya saa 7 mchana.</description>
					  <author>info@habaritanzania.com (Habari Tanzania)</author>
					  <pubDate>Fri, 16 Mar 2007 00:00:00 -0500</pubDate>
					 
					</item>

				

					<item>
					  <title>Wafadhili wafurahishwa na mazungumzo ya CCM, CUF</title>
					  <link>http://www.habaritanzania.com/articles/3303/1/Wafadhili-wafurahishwa-na-mazungumzo-ya-CCM%2C-CUF</link>
					  <description>JUMUIYA ya kimataifa imesema kuanzishwa kwa mazungumzo yanayolenga kuleta maelewano ya kisiasa na kijamii Zanzibar kutasaidia juhudi za kujenga uchumi zinazoendelea.</description>
					  <author>info@habaritanzania.com (Habari Tanzania)</author>
					  <pubDate>Fri, 16 Mar 2007 00:00:00 -0500</pubDate>
					 
					</item>

				

					<item>
					  <title>Iddi Simba: Watanzania bado wamelewa ujamaa</title>
					  <link>http://www.habaritanzania.com/articles/3302/1/Iddi-Simba%3A-Watanzania-bado-wamelewa-ujamaa</link>
					  <description>MJUMBE wa Halmashauri Kuu ya Chama Cha Mapinduzi (CCM), na mtetezi mkubwa wa sera ya uzawa, Iddi Simba, ameibukia Zanzibar na kulaumu maamuzi yaliyofanywa na viongozi waliobadili mfumo wa uchumi, yaliyofanywa zaidi ya miaka 20 iliyopita, kutoka ujamaa kwenda ubepari.</description>
					  <author>info@habaritanzania.com (Habari Tanzania)</author>
					  <pubDate>Fri, 16 Mar 2007 00:00:00 -0500</pubDate>
					 
					</item>

				

					<item>
					  <title>Mawaziri wanne waangukia mahabusu</title>
					  <link>http://www.habaritanzania.com/articles/3301/1/Mawaziri-wanne-waangukia-mahabusu</link>
					  <description>SASA ni dhahiri kwamba mgomo wa siku nne wa mahabusu umeitikisa serikali ya Rais Jakaya Kikwete, baada ya jana mawaziri wake wanne waandamizi kulazimika kwenda katika Gereza la Keko kuzungumza na mahabusu hao.</description>
					  <author>info@habaritanzania.com (Habari Tanzania)</author>
					  <pubDate>Fri, 16 Mar 2007 00:00:00 -0500</pubDate>
					 
					</item>

				

					<item>
					  <title>Wawekezaji Bulyanhulu wasalimu amri kwa wenyeji</title>
					  <link>http://www.habaritanzania.com/articles/3296/1/Wawekezaji-Bulyanhulu-wasalimu-amri-kwa-wenyeji</link>
					  <description>MGODI wa dhahabu wa Bulyanhulu umeanza kuifanya marekebisho barabara iliyosababisha machafuko baina ya mgodi na wananchi waiishio karibu na eneo hilo.</description>
					  <author>info@habaritanzania.com (Habari Tanzania)</author>
					  <pubDate>Wed, 14 Mar 2007 00:00:00 -0500</pubDate>
					 
					</item>

				

					<item>
					  <title>Chadema wamgeuzia kibao Lowassa</title>
					  <link>http://www.habaritanzania.com/articles/3294/1/Chadema-wamgeuzia-kibao-Lowassa</link>
					  <description>MKURUGENZI wa Taifa wa Vijana wa Chama cha Demokrasia na Maendeleo (Chadema), John Mnyika, amemtaka Waziri Mkuu, Edward Lowassa, kusimamia mwenyewe tatizo la msongamano wa abiria na kushughulikia ujenzi wa barabara kuliko kuziachia manispaa.</description>
					  <author>info@habaritanzania.com (Habari Tanzania)</author>
					  <pubDate>Wed, 14 Mar 2007 00:00:00 -0500</pubDate>
					 
					</item>

				

					<item>
					  <title>Vijana wafugaji waua simba saba</title>
					  <link>http://www.habaritanzania.com/articles/3293/1/Vijana-wafugaji-waua-simba-saba</link>
					  <description>KIKOSI maalumu cha vijana wa kabila la wafugaji wa Kibarbaig kimefanikiwa kuua simba saba&#160; waliokuwa tishio kwa mifugo na wananachi waishio katika Kitongoji cha Msua, Kata ya Kwala, Tarafa ya Ruvu, wilayani Kibaha.</description>
					  <author>info@habaritanzania.com (Habari Tanzania)</author>
					  <pubDate>Wed, 14 Mar 2007 00:00:00 -0500</pubDate>
					 
					</item>

				

					<item>
					  <title>Mgomo wa mahabusi wasambaa Dar</title>
					  <link>http://www.habaritanzania.com/articles/3291/1/Mgomo-wa-mahabusi-wasambaa-Dar</link>
					  <description>MGOMO wa mahabusu wa kupinga kucheleweshewa kesi zao ulioanza katika Mahakama ya Kisutu juzi, umeendelea jana na kusambaa katika mahakama nyingine jijini Dar es Salaam na mjini Arusha.</description>
					  <author>info@habaritanzania.com (Habari Tanzania)</author>
					  <pubDate>Wed, 14 Mar 2007 00:00:00 -0500</pubDate>
					 
					</item>

				

					<item>
					  <title>Uchaguzi Tunduru waingia mashakani</title>
					  <link>http://www.habaritanzania.com/articles/3290/1/Uchaguzi-Tunduru-waingia-mashakani</link>
					  <description>MAHAKAMA Kuu leo itatoa uamuzi kama uchaguzi mdogo wa ubunge katika Jimbo la Tunduru, mkoani Ruvuma&#160; unaotarajia kufanyika Jumapili usimamishwe au la.</description>
					  <author>info@habaritanzania.com (Habari Tanzania)</author>
					  <pubDate>Wed, 14 Mar 2007 00:00:00 -0500</pubDate>
					 
					</item>

				

					<item>
					  <title>Lowassa aibiwa ng'ombe Handeni</title>
					  <link>http://www.habaritanzania.com/articles/3283/1/Lowassa-aibiwa-ng%92ombe-Handeni</link>
					  <description>NG'OMBE wanane wanaofugwa katika shamba la mifugo linalomilikiwa na Waziri Mkuu, Edward Lowassa lililopo Handeni, mkoani Tanga wameibwa.</description>
					  <author>info@habaritanzania.com (Habari Tanzania)</author>
					  <pubDate>Tue, 13 Mar 2007 00:00:00 -0500</pubDate>
					 
					</item>

				

					<item>
					  <title>Rais Kikwete awaangukia wawekezaji kutoka nje</title>
					  <link>http://www.habaritanzania.com/articles/3282/1/Rais-Kikwete-awaangukia-wawekezaji-kutoka-nje</link>
					  <description>RAIS Jakaya Kikwete, jana aliwaangukia wawekezaji kutoka nje na kuwataka kuwekeza nchini ili kuisaidia serikali yake kukuza uchumi na kuboresha maisha ya Watanzania.</description>
					  <author>info@habaritanzania.com (Habari Tanzania)</author>
					  <pubDate>Tue, 13 Mar 2007 00:00:00 -0500</pubDate>
					 
					</item>

				

					<item>
					  <title>DPP Z'bar ajitetea kufutwa kesi za ubadhirifu</title>
					  <link>http://www.habaritanzania.com/articles/3281/1/DPP-Z%92bar-ajitetea-kufutwa-kesi-za-ubadhirifu</link>
					  <description>OFISI ya Mkurugenzi wa Mashitaka (DPP) visiwani hapa imetaka isilaumiwe kutokana na kitendo cha mahakama kuzitupilia mbali kesi zinazowakabili viongozi kadhaa kuhusiana na ubadhirifu wa mali ya umma.</description>
					  <author>info@habaritanzania.com (Habari Tanzania)</author>
					  <pubDate>Tue, 13 Mar 2007 00:00:00 -0500</pubDate>
					 
					</item>

				

					<item>
					  <title>Samatta awalaani ndugu wa Ditopile</title>
					  <link>http://www.habaritanzania.com/articles/3280/1/Samatta-awalaani-ndugu-wa-Ditopile</link>
					  <description>JAJI Mkuu wa Tanzania, Barnabas Samatta, amelaani vurugu zilizofanywa katika Mahakama Kuu Kanda ya Dar es Salaam na baadhi ya ndugu wa mtuhumiwa wa kesi ya kuua bila kukusudia, aliyekuwa Mkuu wa Mkoa wa Tabora, Ukiwaona Ditopile Mzuzuri.</description>
					  <author>info@habaritanzania.com (Habari Tanzania)</author>
					  <pubDate>Tue, 13 Mar 2007 00:00:00 -0500</pubDate>
					 
					</item>

				

					<item>
					  <title>Mahabusu wagoma wakimlilia Ditopile</title>
					  <link>http://www.habaritanzania.com/articles/3279/1/Mahabusu-wagoma-wakimlilia-Ditopile</link>
					  <description>JINAMIZI la kasi ya kesi ya mauaji ya bila kukusudia ya aliyekuwa Mkuu wa Mkoa Tabora, Ukiwaona Ditopile Mzuzuri, jana lilianikiza shughuli za mahakama nyingi jijini Dar es Salaam, baada ya mahabusu kugoma kushuka kwenye magari yaliyowaleta kusikiliza kesi zao, wakidai kutotendewa haki.</description>
					  <author>info@habaritanzania.com (Habari Tanzania)</author>
					  <pubDate>Tue, 13 Mar 2007 00:00:00 -0500</pubDate>
					 
					</item>

				

					<item>
					  <title>Sakata la kulawati wanafunzi lageuka</title>
					  <link>http://www.habaritanzania.com/articles/3277/1/Sakata-la-kulawati-wanafunzi-lageuka</link>
					  <description>SAKATA linalomhusisha mfanyabiashara mmoja anayedaiwa kuwalawiti wanafunzi wa shule moja wilayani Kyela, mkoani hapa, limechukua sura mpya baada ya mwandishi wa habari wa gazeti hili kutishiwa maisha. </description>
					  <author>info@habaritanzania.com (Habari Tanzania)</author>
					  <pubDate>Mon, 12 Mar 2007 00:00:00 -0500</pubDate>
					 
					</item>

				

					<item>
					  <title>Mjamzito afanyiwa ukatili na mumewe</title>
					  <link>http://www.habaritanzania.com/articles/3276/1/Mjamzito-afanyiwa-ukatili-na-mumewe</link>
					  <description>MWANAMKE mwenye ujauzito wa miezi minane, mkazi wa Kijiji cha Mseki, wilayani hapa, Victoria Simon (27), amechomwa visu na mumewe na kusababisha kichanga kilichokuwa tumboni kufariki dunia.</description>
					  <author>info@habaritanzania.com (Habari Tanzania)</author>
					  <pubDate>Mon, 12 Mar 2007 00:00:00 -0500</pubDate>
					 
					</item>

				

					<item>
					  <title>Machinga kupewa vitambulisho Z&#39;bar</title>
					  <link>http://www.habaritanzania.com/articles/3273/1/Machinga-kupewa-vitambulisho-Z%26%2339%3Bbar</link>
					  <description>BODI ya Mapato ya Zanzibar imeamua kuwatambua rasmi wafanyabishara wanaotembeza bidhaa mikononi maarufu kwa jina la Machinga na imetangaza kuwapatia beji maalumu, ili wapate kulipa kodi kwa lengo la kuongeza mapato ya serikali.</description>
					  <author>info@habaritanzania.com (Habari Tanzania)</author>
					  <pubDate>Sun, 11 Mar 2007 00:00:00 -0600</pubDate>
					 
					</item>

				

					<item>
					  <title>Ajali zaua 11 Mbeya, Rukwa</title>
					  <link>http://www.habaritanzania.com/articles/3272/1/Ajali-zaua-11-Mbeya%2C-Rukwa</link>
					  <description>WATU 11 wamekufa katika ajali za barabarani na moto zilizotokea Mbeya na Rukwa mwishoni mwa wiki.</description>
					  <author>info@habaritanzania.com (Habari Tanzania)</author>
					  <pubDate>Sun, 11 Mar 2007 00:00:00 -0600</pubDate>
					 
					</item>

				

					<item>
					  <title>Tanzania yaendeleza vituko EAC</title>
					  <link>http://www.habaritanzania.com/articles/3271/1/Tanzania-yaendeleza-vituko-EAC</link>
					  <description>Serikali ya Tanzania imeendeleza kampeni yake ya kuhakikisha inafikia azma yake ya kuingia katika Shirikisho la Afrika Mashariki bila ya kujali maoni ya wananchi, licha ya kutumia fedha nyingi katika kuyakusanya. </description>
					  <author>info@habaritanzania.com (Habari Tanzania)</author>
					  <pubDate>Sun, 11 Mar 2007 00:00:00 -0600</pubDate>
					 
					</item>

				

					<item>
					  <title>Ujenzi Benki Kuu wazawa wafananishwa na sokwe</title>
					  <link>http://www.habaritanzania.com/articles/3270/1/Ujenzi-Benki-Kuu-wazawa-wafananishwa-na-sokwe</link>
					  <description>WAKATI Watanzania bado wanahoji sababu za serikali kuwekeza mabilioni ya shilingi katika ujenzi wa maghorofa pacha ya Benki Kuu ya Tanzania (BoT) yanayojulikana kama minara pacha, kumeibuka kashfa ya unyanyasaji na udhalilishaji wa wazawa wanaofanya kazi katika mradi huo.</description>
					  <author>info@habaritanzania.com (Habari Tanzania)</author>
					  <pubDate>Sun, 11 Mar 2007 00:00:00 -0600</pubDate>
					 
					</item>

				

					<item>
					  <title>Uhuni huu wa jamaa za Ditopile hautavumilika</title>
					  <link>http://www.habaritanzania.com/articles/3267/1/Uhuni-huu-wa-jamaa-za-Ditopile-hautavumilika</link>
					  <description>JUZI, ndugu na jamaa wa aliyekuwa Mkuu wa Mkoa wa Tabora, Ukiwaona Ditopile Mzuzuri, walihitimisha vituko walivyoanza navyo wiki kadhaa zilizopita kwa kufanya vurugu kubwa katika eneo la Mahakama Kuu Tanzania.</description>
					  <author>info@habaritanzania.com (Habari Tanzania)</author>
					  <pubDate>Sat, 10 Mar 2007 00:00:00 -0600</pubDate>
					 
					</item>

				

					<item>
					  <title>Wadai posho kujadili wakopaji wa bilioni ya JK</title>
					  <link>http://www.habaritanzania.com/articles/3266/1/Wadai-posho-kujadili-wakopaji-wa-bilioni-ya-JK</link>
					  <description>WAJUMBE wa Kamati za Maendeleo ya Kata (WDC), wilayani Kahama, wamegoma kuhudhuria vikao vya kuwajadili wakopaji wa sh bilioni moja iliyotolewa na Rais Kikwete hadi watakapolipwa posho za vikao hivyo.</description>
					  <author>info@habaritanzania.com (Habari Tanzania)</author>
					  <pubDate>Sat, 10 Mar 2007 00:00:00 -0600</pubDate>
					 
					</item>

				

					<item>
					  <title>Ahukumiwa viboko kwa kubaka</title>
					  <link>http://www.habaritanzania.com/articles/3265/1/Ahukumiwa-viboko-kwa-kubaka</link>
					  <description>MAHAKAMA ya Hakimu Mkazi Mkoa wa Rukwa, imemhumuku Mtoto, Spriano Done (14), mkazi wa Jangwani kuchapwa viboko viwili kwa kosa la kumbaka mtoto mwenzie mwenye umri wa miaka minne.</description>
					  <author>info@habaritanzania.com (Habari Tanzania)</author>
					  <pubDate>Sat, 10 Mar 2007 00:00:00 -0600</pubDate>
					 
					</item>

				

					<item>
					  <title>Jeuri za nduguze Dito sasa zageuka kidonda</title>
					  <link>http://www.habaritanzania.com/articles/3264/1/Jeuri-za-nduguze-Dito-sasa-zageuka-kidonda</link>
					  <description>SIKU moja baada ya polisi, ndugu na jamaa wa aliyekuwa Mkuu wa Mkoa wa Tabora, Ukiwaona Ditopile Mzuzuri, kuanzisha vurugu, kutoa maneno ya kejeli na mbwembwe zisizo na msingi katika eneo la Mahakama Kuu, Jeshi la Polisi limeiomba radhi Mahakama Kuu.</description>
					  <author>info@habaritanzania.com (Habari Tanzania)</author>
					  <pubDate>Sat, 10 Mar 2007 00:00:00 -0600</pubDate>
					 
					</item>

				

					<item>
					  <title>Serikali yasisitiza mabilioni ya Kikwete siyo sadaka,ruzuku</title>
					  <link>http://www.habaritanzania.com/articles/3255/1/Serikali-yasisitiza-mabilioni-ya-Kikwete-siyo-sadaka%2Cruzuku</link>
					  <description>SERIKALI imesema Sh21 bilioni zilizotolewa kusaidia kupambana na umaskini nchini siyo ruzuku wala sadaka, bali fedha za walalahoi zinazotakiwa kukopwa kwa nidhamu ili itimize malengo.</description>
					  <author>info@habaritanzania.com (Habari Tanzania)</author>
					  <pubDate>Sat, 10 Mar 2007 00:00:00 -0600</pubDate>
					 
					</item>

				

					<item>
					  <title>Rufaa dawa za kulevya zaanza kusikilizwa</title>
					  <link>http://www.habaritanzania.com/articles/3254/1/Rufaa-dawa-za-kulevya-zaanza-kusikilizwa</link>
					  <description>MAHAKAMA Kuu ya Tanzania Kanda ya Mbeya, imeanza kusikiliza rufaa mbili zilizotolewa na pande mbili katika kesi ya dawa za kulevya inayowakabili watu 13 wanaodaiwa kusafirisha cocane kwa kutumia mwili wa marehemu Kombo Siriri.</description>
					  <author>info@habaritanzania.com (Habari Tanzania)</author>
					  <pubDate>Sat, 10 Mar 2007 00:00:00 -0600</pubDate>
					 
					</item>

				

					<item>
					  <title>Kampeni chafu zaanza uchaguzi mdogo Tunduru</title>
					  <link>http://www.habaritanzania.com/articles/3253/1/Kampeni-chafu-zaanza-uchaguzi-mdogo-Tunduru</link>
					  <description>MBIO za kuelekea uchaguzi mdogo wa Mbunge katika Jimbo la Tunduru, zimeingia katika&#160; sura mpya, baada ya watu wasiojulikana kuanzisha kampeni chafu dhidi ya wagombea wa Chadema, CCM na viongozi wa kitaifa wa vyama hivyo.</description>
					  <author>info@habaritanzania.com (Habari Tanzania)</author>
					  <pubDate>Sat, 10 Mar 2007 00:00:00 -0600</pubDate>
					 
					</item>

				

					<item>
					  <title>Madaktari mikoani Tanzania walia njaa</title>
					  <link>http://www.habaritanzania.com/articles/3252/1/Madaktari-mikoani-Tanzania-walia-njaa</link>
					  <description>WATAALAM wa afya 3,150 wakiwemo madaktari waliopelekwa kwenye halmashauri mbalimbali za wilaya nchini tangu Desemba 6, mwaka jana, wako katika hali mbaya kutokana na kutolipwa mishahara yao hadi sasa.</description>
					  <author>info@habaritanzania.com (Habari Tanzania)</author>
					  <pubDate>Sat, 10 Mar 2007 00:00:00 -0600</pubDate>
					 
					</item>

				

					<item>
					  <title>Japan yamwaga mabilioni Tanzania</title>
					  <link>http://www.habaritanzania.com/articles/3251/1/Japan-yamwaga-mabilioni-Tanzania</link>
					  <description>SERIKALI za Tanzania na Japan jana zilitialiana saini mikataba ya mikopo na msaada itakayogharimu jumla ya Sh102.4 bilioni.Utiaji saini huo wa mikataba mitatu tofauti, ulifanyika katika ofisi za Wizara ya Fedha, ambako Katibu Mkuu wa Wizara hiyo, Gray Mgonja, alitia saini kwa upande wa Tanzania na Balozi wa Japan nchini, Makoto Ito, akiiwakilisha nchi yake.</description>
					  <author>info@habaritanzania.com (Habari Tanzania)</author>
					  <pubDate>Sat, 10 Mar 2007 00:00:00 -0600</pubDate>
					 
					</item>

				

					<item>
					  <title>Taasisi zalaani vurugu za ndugu wa Ditopile</title>
					  <link>http://www.habaritanzania.com/articles/3250/1/Taasisi-zalaani-vurugu-za-ndugu-wa-Ditopile</link>
					  <description>WANAHARAKATI na watu kutoka taasisi mbalimbali, wamelaani vikali vitendo vya vurugu vilivyofanywa na watu wanaodhaniwa kuwa ni ndugu wa Mkuu wa zamani wa Mkoa wa Tabora, Ukiwaona Ditopile Mzuzuri kwa waandishi wa habari katika Mahakama Kuu Dar es Salaam juzi. </description>
					  <author>info@habaritanzania.com (Habari Tanzania)</author>
					  <pubDate>Sat, 10 Mar 2007 00:00:00 -0600</pubDate>
					 
					</item>

				

					<item>
					  <title>Ajali haina kinga, lakini inaepukika</title>
					  <link>http://www.habaritanzania.com/articles/3247/1/Ajali-haina-kinga%2C-lakini-inaepukika</link>
					  <description>AJALI haina kinga. Msemo huu ni kawaida kutamkwa na watu wengi, hasa inapotokea ajali. </description>
					  <author>info@habaritanzania.com (Habari Tanzania)</author>
					  <pubDate>Fri, 09 Mar 2007 00:00:00 -0600</pubDate>
					 
					</item>

				

					<item>
					  <title>Serikali ifikirie upya tatizo la msongamano Dar</title>
					  <link>http://www.habaritanzania.com/articles/3246/1/Serikali-ifikirie-upya-tatizo-la-msongamano-Dar</link>
					  <description>DHAMIRA ya serikali ya kuondoa tatizo la msongamano wa magari katikati ya Jiji la Dar es Salaam, sasa inaonekana kuwa ndoto za alinacha.</description>
					  <author>info@habaritanzania.com (Habari Tanzania)</author>
					  <pubDate>Fri, 09 Mar 2007 00:00:00 -0600</pubDate>
					 
					</item>

				

					<item>
					  <title>'Babu Seya' anaswa Kyela</title>
					  <link>http://www.habaritanzania.com/articles/3245/1/%91Babu-Seya%92-anaswa-Kyela</link>
					  <description>POLISI mkoani humu wamemtia nguvuni mfanyabiashara maarufu wa mjini Kyela anayedaiwa kuwalawiti watoto wa kiume wanaosoma katika Shule ya Msingi ya Kyela.</description>
					  <author>info@habaritanzania.com (Habari Tanzania)</author>
					  <pubDate>Fri, 09 Mar 2007 00:00:00 -0600</pubDate>
					 
					</item>

				

					<item>
					  <title>Ditopile aaga Keko kwa vurugu kortini</title>
					  <link>http://www.habaritanzania.com/articles/3244/1/Ditopile-aaga-Keko-kwa-vurugu-kortini</link>
					  <description>MWANZO wa ngoma ni lele. Vurugu, kejeli na mbwembwe zisizo na msingi zilizoanza kufanywa na ndugu na jamaa wa aliyekuwa Mkuu wa Mkoa wa Tabora, Ukiwaona Ditopile Mzuzuri na kupigiwa chapuo na vituko vyake mwenyewe, jana vilitawala eneo la Mahakama Kuu, wakati shauri la mauaji ya bila kukusudia lilipofikishwa hapo kwa ajili ya kusikilizwa kwa ombi la dhamana. </description>
					  <author>info@habaritanzania.com (Habari Tanzania)</author>
					  <pubDate>Fri, 09 Mar 2007 00:00:00 -0600</pubDate>
					 
					</item>

				

					<item>
					  <title>Hatima ya Ditopile leo</title>
					  <link>http://www.habaritanzania.com/articles/3238/1/Hatima-ya-Ditopile-leo</link>
					  <description>NDOTO za aliyekuwa Mkuu wa Mkoa wa Tabora, Ukiwana Ditopile Mzuzuri, kupata dhamana na kurudi uraiani, ziliyeyuka jana katika viwanja vya Mahakama Kuu baada ya mahakama hiyo kushindwa kusikiliza maombi yake ya dhamana katika kesi ya mauaji inayomkabili.</description>
					  <author>info@habaritanzania.com (Habari Tanzania)</author>
					  <pubDate>Thu, 08 Mar 2007 00:00:00 -0600</pubDate>
					 
					</item>

				

					<item>
					  <title>Magufuli aandaa risasi kujibu mashambulizi</title>
					  <link>http://www.habaritanzania.com/articles/3237/1/Magufuli-aandaa-risasi-kujibu-mashambulizi</link>
					  <description>MGOGORO wa kiwanja namba 951, ilipojengwa Baa ya Rose Garden jijini Dar es Salaam, umechukua sura mpya baada ya Waziri wa Ardhi, Nyumba na Maendeleo ya Makazi, John Pombe Magufuli, mmoja wa viongozi walio katikati ya sakata hilo kuandaa hoja za kujisafisha dhidi ya tuhuma zinazoelekezwa kwake.</description>
					  <author>info@habaritanzania.com (Habari Tanzania)</author>
					  <pubDate>Thu, 08 Mar 2007 00:00:00 -0600</pubDate>
					 
					</item>

				

					<item>
					  <title>Kunguru kuteketezwa Dar</title>
					  <link>http://www.habaritanzania.com/articles/3236/1/Kunguru-kuteketezwa-Dar</link>
					  <description>SERIKALI imeandaa mkakati maalum wa kuwateketeza kunguru waliozagaa jijini Dar es Salaam, kuanzia wiki ijayo.</description>
					  <author>info@habaritanzania.com (Habari Tanzania)</author>
					  <pubDate>Wed, 07 Mar 2007 00:00:00 -0600</pubDate>
					 
					</item>

				

					<item>
					  <title>Polisi wamkwamisha Ditopile</title>
					  <link>http://www.habaritanzania.com/articles/3235/1/Polisi-wamkwamisha-Ditopile</link>
					  <description>POLISI wamedaiwa kukwamisha kusikilizwa kwa ombi la dhamana dhidi ya aliyekuwa Mkuu wa Mkoa wa Tabora, Ditopile Mzuzuri (58) anayekabiliwa na kesi ya kuua bila kukusudia.</description>
					  <author>info@habaritanzania.com (Habari Tanzania)</author>
					  <pubDate>Wed, 07 Mar 2007 00:00:00 -0600</pubDate>
					 
					</item>

				

					<item>
					  <title>Kesi ya uchaguzi Tunduru yaiva</title>
					  <link>http://www.habaritanzania.com/articles/3233/1/Kesi-ya-uchaguzi-Tunduru-yaiva</link>
					  <description>MAHAKAMA Kuu Kanda ya Dar es Salaam, itaanza kusikiliza kesi ya kikatiba ya kusitishwa kwa maandalizi ya uchaguzi mdogo wa Jimbo la Tunduru, utakaofanyika Machi 18, mwaka huu.</description>
					  <author>info@habaritanzania.com (Habari Tanzania)</author>
					  <pubDate>Wed, 07 Mar 2007 00:00:00 -0600</pubDate>
					 
					</item>

				

					<item>
					  <title>Kashfa nyingine Polisi</title>
					  <link>http://www.habaritanzania.com/articles/3232/1/Kashfa-nyingine-Polisi</link>
					  <description>JESHI la Polisi mkoani hapa, limeingia katika mgogoro na wazazi wa wanafunzi wa Shule ya Msingi ya Kyela, baada ya kumuachia mfanyabiashara mmoja anayedaiwa kuwalawiti watoto wa kiume wanaosoma katika shule hiyo.</description>
					  <author>info@habaritanzania.com (Habari Tanzania)</author>
					  <pubDate>Wed, 07 Mar 2007 00:00:00 -0600</pubDate>
					 
					</item>

				

					<item>
					  <title>Ditopile huenda akatolewa gerezani leo</title>
					  <link>http://www.habaritanzania.com/articles/3230/1/Ditopile-huenda-akatolewa-gerezani-leo</link>
					  <description>BAADA ya aliyekuwa Mkuu wa Mkoa wa Tabora, Kapteni Ukiwaona Ditopile Mzuzuri, kukaa rumande kwa zaidi ya miezi mitatu, hatimaye leo Mahakama Kuu ya Tanzania itatoa uamuzi endapo atoke nje kwa dhamana au la.</description>
					  <author>info@habaritanzania.com (Habari Tanzania)</author>
					  <pubDate>Wed, 07 Mar 2007 00:00:00 -0600</pubDate>
					 
					</item>

				

					<item>
					  <title>Mke, mume kizimbani kwa kudhulumu yatima</title>
					  <link>http://www.habaritanzania.com/articles/3220/1/Mke%2C-mume-kizimbani-kwa-kudhulumu-yatima</link>
					  <description>EDITH Kahanda na Deo Kahanda, ambao ni mume na mke, wakazi wa Ilala, jijini Dar es Salaam, jana walifikishwa katika Mahakama ya Hakimu Mkazi Kisutu wakituhumiwa kuuza nyumba ya mirathi kwa sh milioni 115 na kuwadhulumu watoto watatu wa marehemu, Juma Abdallah.</description>
					  <author>info@habaritanzania.com (Habari Tanzania)</author>
					  <pubDate>Tue, 06 Mar 2007 00:00:00 -0600</pubDate>
					 
					</item>

				

					<item>
					  <title>Anglikana wazozana na SMZ</title>
					  <link>http://www.habaritanzania.com/articles/3219/1/Anglikana-wazozana-na-SMZ</link>
					  <description>MGOGORO mkubwa umezuka baina ya Kanisa la Anglikana na Serikali ya Mapinduzi Zanzibar (SMZ), kuhusu umiliki wa Shule ya Msingi Mkunazini.</description>
					  <author>info@habaritanzania.com (Habari Tanzania)</author>
					  <pubDate>Tue, 06 Mar 2007 00:00:00 -0600</pubDate>
					 
					</item>

				

					<item>
					  <title>Al Qaeda sasa wamsaka mtoto wa Princess Diana</title>
					  <link>http://www.habaritanzania.com/articles/3218/1/Al-Qaeda-sasa-wamsaka-mtoto-wa-Princess-Diana</link>
					  <description>GENGE la Al Qaeda nchini Iraq, limeanza kujiandaa kumteka na baadaye kumuua, mjukuu wa Malkia Elizabeth, Mei mwaka huu, wakati atakapokuwa nchini humo kwa mazoezi ya kijeshi.</description>
					  <author>info@habaritanzania.com (Habari Tanzania)</author>
					  <pubDate>Tue, 06 Mar 2007 00:00:00 -0600</pubDate>
					 
					</item>

				

					<item>
					  <title>Chitalilo atamba kutesa miaka 20</title>
					  <link>http://www.habaritanzania.com/articles/3217/1/Chitalilo-atamba-kutesa-miaka-20</link>
					  <description>SIKU kadhaa baada ya Jeshi la Polisi kubainisha kuwa Mbunge wa Buchosa, Samwel Chitalilo, aliwadanganya wapiga kura kuhusu elimu yake, mbunge huyo ameibuka na kutamba kuwa kashfa hiyo haitamharibia.</description>
					  <author>info@habaritanzania.com (Habari Tanzania)</author>
					  <pubDate>Tue, 06 Mar 2007 00:00:00 -0600</pubDate>
					 
					</item>

				

					<item>
					  <title>Msimamo wa serikali kuhusu wamachinga haujabadilika</title>
					  <link>http://www.habaritanzania.com/articles/3207/1/Msimamo-wa-serikali-kuhusu-wamachinga-haujabadilika</link>
					  <description>SERIKALI itaendelea kupiga marufuku biashara za kimachinga mitaani na kuwataka wafanyabiashara hao kwenda katika maeneo yaliyotengwa na kujiunga na vikundi vya biashara ili wapewe mikopo ya kuendeleza biashara zao.</description>
					  <author>info@habaritanzania.com (Habari Tanzania)</author>
					  <pubDate>Mon, 05 Mar 2007 00:00:00 -0600</pubDate>
					 
					</item>

				

					<item>
					  <title>Msako wa wasomali Arusha waiva</title>
					  <link>http://www.habaritanzania.com/articles/3206/1/Msako-wa-wasomali-Arusha-waiva</link>
					  <description>ASKARI wa Kikosi cha Kutuliza Ghasia (FFU) kutoka jijini Dar es Salaam, wamewasili wilayani Ngorongoro jana kwa ajili ya kuongeza nguvu ya kukabiliana na majambazi wa Kisomali waliovamia watalii na kuwanyang'anya fedha na mali mbalimbali.</description>
					  <author>info@habaritanzania.com (Habari Tanzania)</author>
					  <pubDate>Mon, 05 Mar 2007 00:00:00 -0600</pubDate>
					 
					</item>

				

					<item>
					  <title>Bomu lagundulika ghala la vyuma Tanga</title>
					  <link>http://www.habaritanzania.com/articles/3205/1/Bomu-lagundulika-ghala-la-vyuma-Tanga</link>
					  <description>WATAALAMU wa Jeshi la Wananchi (JWTZ) kwa kushirikiana na Polisi Mkoa wa Tanga, jana waligundua bomu katika ghala la kuhifadhia vyuma chakavu linalomilikiwa na mfanyabiashara mmoja jijini hapa.</description>
					  <author>info@habaritanzania.com (Habari Tanzania)</author>
					  <pubDate>Mon, 05 Mar 2007 00:00:00 -0600</pubDate>
					 
					</item>

				

					<item>
					  <title>Vurugu zawatikisa Anglikani Mwanza</title>
					  <link>http://www.habaritanzania.com/articles/3204/1/Vurugu-zawatikisa-Anglikani-Mwanza</link>
					  <description>MGOGORO wa kanisa la Anglikana Dayosisi ya Victoria Nyanza, Mwanza, jana umeingia katika sura mpya baada ya Askofu John Changae anayedaiwa kuondolewa madarakani, kufunga milango ya kanisa ili kuwazuia baadhi ya waumuni kuingia kusali.</description>
					  <author>info@habaritanzania.com (Habari Tanzania)</author>
					  <pubDate>Mon, 05 Mar 2007 00:00:00 -0600</pubDate>
					 
					</item>

				

					<item>
					  <title>Marekani kusaidia jeshi la Tanzania</title>
					  <link>http://www.habaritanzania.com/articles/3203/1/Marekani-kusaidia-jeshi-la-Tanzania</link>
					  <description>MAREKANI imesema imefurahishwa na hatua ya Tanzania kupeleka majeshi yake kudumisha amani katika nchi zenye machafuko na imeahidi kuipa misaada mbalimbali ya kijeshi ikiwamo mafunzo ili kujiimarisha zaidi.</description>
					  <author>info@habaritanzania.com (Habari Tanzania)</author>
					  <pubDate>Mon, 05 Mar 2007 00:00:00 -0600</pubDate>
					 
					</item>

				

					<item>
					  <title>Polisi sasa wamuanika mbunge Msomi feki</title>
					  <link>http://www.habaritanzania.com/articles/3202/1/Polisi-sasa-wamuanika-mbunge-Msomi-feki</link>
					  <description>HATIMAYE, Jeshi la Polisi nchini, limetamka rasmi kuwa Mbunge wa Buchosa, Samuel Chitalilo (CCM), alighushi vyeti vya elimu yake na aliwadanganya wapiga kura wake.</description>
					  <author>info@habaritanzania.com (Habari Tanzania)</author>
					  <pubDate>Sun, 04 Mar 2007 00:00:00 -0600</pubDate>
					 
					</item>

				

					<item>
					  <title>Mtoto wa miaka 9 aweka rekodi Mlima Kilimanjaro</title>
					  <link>http://www.habaritanzania.com/articles/3201/1/Mtoto-wa-miaka-9-aweka-rekodi-Mlima-Kilimanjaro</link>
					  <description>WATOTO wawili wa miaka tisa na 11, raia wa China, wamefanikiwa kupanda mlima Kilimanjaro hadi kileleni. Mlima wa Kilimanjaro una urefu wa mita 5,895, imefahamika. Watoto hao ndugu ambao ni wanafunzi wa shule ya msingi, Zhang Muyuan(9) na Zhang Muyao(11), waliupanda mlima huo Februari 22 mwaka huu wakiwa na kundi la watu wazima. </description>
					  <author>info@habaritanzania.com (Habari Tanzania)</author>
					  <pubDate>Sun, 04 Mar 2007 00:00:00 -0600</pubDate>
					 
					</item>

				

					<item>
					  <title>Fomu za siri, si siri tena</title>
					  <link>http://www.habaritanzania.com/articles/3200/1/Fomu-za-siri%2C-si-siri-tena</link>
					  <description>FOMU za siri za maelezo binafsi ya wanafunzi wanaomaliza kidato cha nne za uchaguzi wa michepuo ya masomo ya kidato cha tano pamoja na vyuo vya elimu ya juu maarufu 'Sel form', zimezagaa mitaani. </description>
					  <author>info@habaritanzania.com (Habari Tanzania)</author>
					  <pubDate>Sun, 04 Mar 2007 00:00:00 -0600</pubDate>
					 
					</item>

				

					<item>
					  <title>Kufuatia tishio la homa ya 'rift valley' Nyama Dodoma yadoda</title>
					  <link>http://www.habaritanzania.com/articles/3197/1/Kufuatia-tishio-la-homa-ya-%91rift-valley%92%85-Nyama-Dodoma-yadoda</link>
					  <description>KUTOKANA na kuwepo kwa wagonjwa wanaosadikiwa kuwa na dalili za ugonjwa wa homa ya 'rift valley' katika manispaa ya Dodoma, bei ya nyama ya kuku na samaki imepanda maradufu katika migahawa, huku nyama ya ng'ombe ikidoda katika mabucha mjini hapa.</description>
					  <author>info@habaritanzania.com (Habari Tanzania)</author>
					  <pubDate>Sat, 03 Mar 2007 00:00:00 -0600</pubDate>
					 
					</item>

				

					<item>
					  <title>Tanzania kurudishiwa msaada na Denmaki</title>
					  <link>http://www.habaritanzania.com/articles/3196/1/Tanzania-kurudishiwa-msaada-na-Denmaki</link>
					  <description>SERIKALI ya Denmaki itairejeshea Tanzania asilimia 20 ya msaada wake wa bajeti iliousimamisha, sawa na takriban sh. bilioni 4, baada ya masharti yake kutimizwa. </description>
					  <author>info@habaritanzania.com (Habari Tanzania)</author>
					  <pubDate>Sat, 03 Mar 2007 00:00:00 -0600</pubDate>
					 
					</item>

				

					<item>
					  <title>Mechi ya Yanga, Atletico hofu tupu</title>
					  <link>http://www.habaritanzania.com/articles/3190/1/Mechi-ya-Yanga%2C-Atletico-hofu-tupu</link>
					  <description>INAWEZEKANA kusema, pambano la Ligi ya Mabingwa Afrika kati ya Yanga na Petro Atletico ya Angola, ni hofu tupu kwani kila moja ina hofu dhidi ya mwenzake.</description>
					  <author>info@habaritanzania.com (Habari Tanzania)</author>
					  <pubDate>Fri, 02 Mar 2007 00:00:00 -0600</pubDate>
					 
					</item>

				

					<item>
					  <title>Wamkacha Waziri Magufuli</title>
					  <link>http://www.habaritanzania.com/articles/3186/1/Wamkacha-Waziri-Magufuli</link>
					  <description>MAKAMU wa Rais, Dk. Ali Mohamed Shein, Mkuu wa Mkoa wa Dar es Salaam, Abbas Kandoro na Mkuu wa Wilaya ya Kinondoni, Kanali Fabian Massawe, jana walishindwa kuhudhuria sherehe za uwekaji wa jiwe la msingi kwa ajili ya ujenzi wa nyumba 63 Mbweni, jijini, zilizoandaliwa na Waziri wa Ardhi, Nyumba na Maendeleo ya Makazi, John Magufuli.</description>
					  <author>info@habaritanzania.com (Habari Tanzania)</author>
					  <pubDate>Fri, 02 Mar 2007 00:00:00 -0600</pubDate>
					 
					</item>

				

					<item>
					  <title>Ndugu wagombea maiti Dar</title>
					  <link>http://www.habaritanzania.com/articles/3185/1/Ndugu-wagombea-maiti-Dar</link>
					  <description>MVUTANO mkubwa wa kugombea maiti ulizuka jana katika Mtaa wa Keko Akida, Dar es Salaam, kati ya ndugu na familia ya marehemu Yusufu Matimbwa kuhusu wapi maiti hiyo izikwe.</description>
					  <author>info@habaritanzania.com (Habari Tanzania)</author>
					  <pubDate>Fri, 02 Mar 2007 00:00:00 -0600</pubDate>
					 
					</item>

				

					<item>
					  <title>JK aiangukia Norway</title>
					  <link>http://www.habaritanzania.com/articles/3184/1/JK-aiangukia-Norway</link>
					  <description>RAIS Jakaya Kikwete, amesema matatizo yanayojitokeza katika mikataba mbalimbali ambayo serikali imeingia na wawekezaji, pamoja na mambo mengine, yanasababishwa na uwezo mdogo walionao baadhi ya wataalamu wa Kitanzania wanaoshiriki katika majadiliano ya mikataba hiyo.</description>
					  <author>info@habaritanzania.com (Habari Tanzania)</author>
					  <pubDate>Fri, 02 Mar 2007 00:00:00 -0600</pubDate>
					 
					</item>

				

					<item>
					  <title>Askofu shoga alijibu kanisa</title>
					  <link>http://www.habaritanzania.com/articles/3182/1/Askofu-shoga-alijibu-kanisa</link>
					  <description>UAMUZI wa Kanisa Anglikana duniani kuwapa miezi saba wenzao wa Marekani kuacha kukumbatia tabia za kishoga ndani ya kanisa hilo, umeanza kulitikisa taifa hilo kubwa ambalo liko katika hatari ya kuondolewa katika umoja wa madhehebu hayo. </description>
					  <author>info@habaritanzania.com (Habari Tanzania)</author>
					  <pubDate>Fri, 02 Mar 2007 00:00:00 -0600</pubDate>
					 
					</item>

				

					<item>
					  <title>Majambazi yang'oa mataruma, treni yapinduka</title>
					  <link>http://www.habaritanzania.com/articles/3183/1/Majambazi-yang%92oa-mataruma%2C-treni-yapinduka</link>
					  <description>WATU 71 wamejeruhiwa na kulazwa katika Hospitali ya Mkoa wa Tabora kutokana na ajali ya treni ya abiria iliyokuwa ikitokea Tabora kuelekea Dodoma kuanguka eneo la Cheyo mjini hapa. </description>
					  <author>info@habaritanzania.com (Habari Tanzania)</author>
					  <pubDate>Thu, 01 Mar 2007 00:00:00 -0600</pubDate>
					 
					</item>

				

					<item>
					  <title>Maduka feki ya dawa ni jambo la hatari</title>
					  <link>http://www.habaritanzania.com/articles/3173/1/Maduka-feki-ya-dawa-ni-jambo-la-hatari</link>
					  <description>JUZI, Kamati ya Dawa ya Mkoa wa Dar es Salaam ilitoa taarifa yake kwa vyombo vya habari kuhusu ukaguzi iliyoufanya katika maduka yanayouza dawa za binadamu katika maeneo mbalimbali ya jiji hilo.</description>
					  <author>info@habaritanzania.com (Habari Tanzania)</author>
					  <pubDate>Thu, 01 Mar 2007 00:00:00 -0600</pubDate>
					 
					</item>

				

					<item>
					  <title>Zitto Kabwe atangaza kung'atuka</title>
					  <link>http://www.habaritanzania.com/articles/3172/1/Zitto-Kabwe-atangaza-kung%92atuka</link>
					  <description>MBUNGE wa Kigoma Kaskazini, Zitto Kabwe, ametangaza kung'atuka katika wadhifa wake mwaka 2010.</description>
					  <author>info@habaritanzania.com (Habari Tanzania)</author>
					  <pubDate>Thu, 01 Mar 2007 00:00:00 -0600</pubDate>
					 
					</item>

				

					<item>
					  <title>Viongozi wa serikali walumbana</title>
					  <link>http://www.habaritanzania.com/articles/3171/1/Viongozi-wa-serikali-walumbana</link>
					  <description>SAKATA la kukwama kwa usajili wa gari la zimamoto la Halmashauri ya Manispaa ya Temeke, limechukua sura mpya baada ya uongozi wa manispaa hiyo, kuwatuhumu baadhi ya watendaji wa Wizara ya Miundombinu kwa mchezo mchafu.</description>
					  <author>info@habaritanzania.com (Habari Tanzania)</author>
					  <pubDate>Thu, 01 Mar 2007 00:00:00 -0600</pubDate>
					 
					</item>

				

					<item>
					  <title>Wapelelezi wa rada waja kuinoa TAKURU</title>
					  <link>http://www.habaritanzania.com/articles/3170/1/Wapelelezi-wa-rada-waja-kuinoa-TAKURU</link>
					  <description>KITENGO cha Kupambana na Rushwa cha Serikali ya Uingereza (SFO), kinajiandaa kuja nchini kuipa mafunzo ya kukabiliana na makosa ya ufisadi, Taasisi ya Kupambana na Rushwa (TAKURU). </description>
					  <author>info@habaritanzania.com (Habari Tanzania)</author>
					  <pubDate>Thu, 01 Mar 2007 00:00:00 -0600</pubDate>
					 
					</item>

				

					<item>
					  <title>Abbas Sykes: CCM itupe heshima kama Nyerere</title>
					  <link>http://www.habaritanzania.com/articles/3166/1/Abbas-Sykes%3A-CCM-itupe-heshima-kama-Nyerere</link>
					  <description>BALOZI Abbas Sykes, anaanza kwa kusema kwamba kikundi au chama chochote kinapoadhimisha miaka kadhaa ya kuanzishwa kwakwe, ni lazima siku hiyo kiadhimishe maadhimisho yake kwa kuwataja na kuwaenzi waasisi waliofanya kazi ya kufa na kupona hadi chama hicho kikafikia hapo kilipo.</description>
					  <author>info@habaritanzania.com (Habari Tanzania)</author>
					  <pubDate>Wed, 28 Feb 2007 00:00:00 -0600</pubDate>
					 
					</item>

				

					<item>
					  <title>Serikali haikujiandaa vya kutosha kutoa mikopo ya Kikwete</title>
					  <link>http://www.habaritanzania.com/articles/3165/1/Serikali-haikujiandaa-vya-kutosha-kutoa-mikopo-ya-Kikwete</link>
					  <description>MABILIONI ya Rais Jakaya Kikwete, yaliyosambazwa katika mikoa mbalimbali hapa nchini, yameendelea kubakia katika benki mbili za NMB na CRDB kwa miezi kadhaa sasa.</description>
					  <author>info@habaritanzania.com (Habari Tanzania)</author>
					  <pubDate>Wed, 28 Feb 2007 00:00:00 -0600</pubDate>
					 
					</item>

				

					<item>
					  <title>'Tumieni Kiswahili kukabili ushindani wa habari'</title>
					  <link>http://www.habaritanzania.com/articles/3164/1/%91Tumieni-Kiswahili-kukabili-ushindani-wa-habari%92</link>
					  <description>SERIKALI imevitaka vyombo vya habari nchini kutumia kwa usahihi lugha ya Kiswahili ikiwa ni mbinu ya kukabiliana na ushindani uliopo katika soko la habari duniani.</description>
					  <author>info@habaritanzania.com (Habari Tanzania)</author>
					  <pubDate>Wed, 28 Feb 2007 00:00:00 -0600</pubDate>
					 
					</item>

				

					<item>
					  <title>Magufuli chunguza viwanja visivyoendelezwa - Lowassa</title>
					  <link>http://www.habaritanzania.com/articles/3163/1/Magufuli-chunguza-viwanja-visivyoendelezwa---Lowassa</link>
					  <description>WAZIRI Mkuu, Edward Lowassa, amemuagiza Waziri wa Ardhi, Nyumba na Maendeleo ya Makazi, John Magufuli, kuja mkoani Morogoro kuchunguza hati za viwanja vyote ambavyo havijaendelezwa.</description>
					  <author>info@habaritanzania.com (Habari Tanzania)</author>
					  <pubDate>Wed, 28 Feb 2007 00:00:00 -0600</pubDate>
					 
					</item>

				

					<item>
					  <title>Lowassa amjibu Cheyo</title>
					  <link>http://www.habaritanzania.com/articles/3162/1/Lowassa-amjibu-Cheyo</link>
					  <description>WAZIRI Mkuu, Edward Lowassa, amemtaka Mwenyekiti wa Chama cha United Democratic (UDP), John Cheyo, kuanzisha sera zake za elimu pale atakaposhinda urais na si kudandia sera zinazotekelezwa hivi sasa na Serikali ya Chama Cha Mapinduzi (CCM).</description>
					  <author>info@habaritanzania.com (Habari Tanzania)</author>
					  <pubDate>Wed, 28 Feb 2007 00:00:00 -0600</pubDate>
					 
					</item>

				

					<item>
					  <title>Muhimbili yakatiwa umeme</title>
					  <link>http://www.habaritanzania.com/articles/3161/1/Muhimbili-yakatiwa-umeme</link>
					  <description>MENEJIMENTI ya Hospitali ya Taifa ya Muhimbili (MNH), jana ilijikuta katika wakati mgumu baada Shirika la Umeme Tanzania (TANESCO) kukata umeme hospitalini hapo.</description>
					  <author>info@habaritanzania.com (Habari Tanzania)</author>
					  <pubDate>Wed, 28 Feb 2007 00:00:00 -0600</pubDate>
					 
					</item>

				

					<item>
					  <title>Lipumba afichua siri mpya ya rada</title>
					  <link>http://www.habaritanzania.com/articles/3160/1/Lipumba-afichua-siri-mpya-ya-rada</link>
					  <description>SIKU chache, baada ya Rais Jakaya Kikwete kumkingia kifua Rais mstaafu Benjamin Mkapa, kwa kuwataka Watanzania waache kumhusisha katika sakata la ununuzi wa rada, Mwenyekiti wa Chama cha Wananchi (CUF), Profesa Ibrahim Lipumba, ameibuka na tuhuma nzito dhidi ya serikali.</description>
					  <author>info@habaritanzania.com (Habari Tanzania)</author>
					  <pubDate>Wed, 28 Feb 2007 00:00:00 -0600</pubDate>
					 
					</item>

				

					<item>
					  <title>Gesi ya Songosongo: Serikali imeokoa bil. 700/-</title>
					  <link>http://www.habaritanzania.com/articles/3159/1/Gesi-ya-Songosongo%3A-Serikali-imeokoa-bil.-700%7B47%7D-</link>
					  <description>SERIKALI imeokoa zaidi ya dola za Marekani milioni 650, sawa na sh bilioni 700 zilizopangwa kutumika kwa ajili ya kununulia gesi nje ya nchi.</description>
					  <author>info@habaritanzania.com (Habari Tanzania)</author>
					  <pubDate>Tue, 27 Feb 2007 00:00:00 -0600</pubDate>
					 
					</item>

				

					<item>
					  <title>Umeme huu tunaamini hautakuwa mzigo tena</title>
					  <link>http://www.habaritanzania.com/articles/3158/1/Umeme-huu-tunaamini-hautakuwa-mzigo-tena</link>
					  <description>MOJA ya habari kubwa katika vyombo vya habari leo hii, ni ile inayohusu kuruhusiwa kuanza kazi kwa kampuni binafsi ya kuzalisha umeme ya Artumas.</description>
					  <author>info@habaritanzania.com (Habari Tanzania)</author>
					  <pubDate>Tue, 27 Feb 2007 00:00:00 -0600</pubDate>
					 
					</item>

				

					<item>
					  <title>Hali si shwari Muhimbili</title>
					  <link>http://www.habaritanzania.com/articles/3157/1/Hali-si-shwari-Muhimbili</link>
					  <description>HALI ya mambo katika Hospitali ya Taifa Muhimbili (MNH) si shwari, baada ya menejimenti ya sasa ya hospitali hiyo, kuanza kufumua kashfa za ulaji fedha, uliokuwa ukifanywa na uongozi uliopita.</description>
					  <author>info@habaritanzania.com (Habari Tanzania)</author>
					  <pubDate>Tue, 27 Feb 2007 00:00:00 -0600</pubDate>
					 
					</item>

				

					<item>
					  <title>Serikali yamnyang'anya mzawa mradi wa bomba</title>
					  <link>http://www.habaritanzania.com/articles/3156/1/Serikali-yamnyang%92anya-mzawa-mradi-wa-bomba</link>
					  <description>SERIKALI imetangaza rasmi kumnyang'anya mwekezaji wa ndani, Kampuni ya Africommerce, mradi mkubwa wa kujenga mabomba ya kusafirisha mafuta.</description>
					  <author>info@habaritanzania.com (Habari Tanzania)</author>
					  <pubDate>Tue, 27 Feb 2007 00:00:00 -0600</pubDate>
					 
					</item>

				

					<item>
					  <title>Kiti cha marehemu Akukweti kichungu</title>
					  <link>http://www.habaritanzania.com/articles/3155/1/Kiti-cha-marehemu-Akukweti-kichungu</link>
					  <description>MWENYEKITI wa Chama cha Democratic (DP), Mchungaji Christopher Mtikila, amefungua kesi ya kikatiba Mahakama Kuu ya Tanzania, akitaka mahakama hiyo isitishe maandalizi ya uchaguzi mdogo katika Jimbo la Tunduru kwa kuwa unakwenda kinyume cha Katiba na maamuzi ya mahakama.</description>
					  <author>info@habaritanzania.com (Habari Tanzania)</author>
					  <pubDate>Tue, 27 Feb 2007 00:00:00 -0600</pubDate>
					 
					</item>

				

					<item>
					  <title>Yanga isijiloge kabla ya mechi</title>
					  <link>http://www.habaritanzania.com/articles/3147/1/Yanga-isijiloge-kabla-ya-mechi</link>
					  <description>NI siku tano zimebaki kabla ya wawakilishi wa Tanzania Bara kwenye michuano ya Ligi ya Mabingwa Afrika, Yanga, ikwaane na mabingwa wa Angola, Petro Atletico.</description>
					  <author>info@habaritanzania.com (Habari Tanzania)</author>
					  <pubDate>Mon, 26 Feb 2007 00:00:00 -0600</pubDate>
					 
					</item>

				

					<item>
					  <title>Giza lamzuia Waziri wa Sayansi kuhutubia</title>
					  <link>http://www.habaritanzania.com/articles/3146/1/Giza-lamzuia-Waziri-wa-Sayansi-kuhutubia</link>
					  <description>WAZIRI wa Sayansi, Teknolojia na Elimu ya Juu, Profesa Peter Msolla, juzi alishindwa kuwahutubia wanachuo wa Chuo Kikuu Huria (OUT) kituo cha Arusha kutokana na giza.</description>
					  <author>info@habaritanzania.com (Habari Tanzania)</author>
					  <pubDate>Mon, 26 Feb 2007 00:00:00 -0600</pubDate>
					 
					</item>

				

					<item>
					  <title>Maji yakwamisha masomo UDSM</title>
					  <link>http://www.habaritanzania.com/articles/3145/1/Maji-yakwamisha-masomo-UDSM</link>
					  <description>UHABA wa maji uliolikumba Jiji la Dar es Salaam kwa zaidi ya wiki tatu sasa, umesababisha baadhi ya wanafunzi wa Chuo Kikuu cha Dar es Salaam, sehemu ya Mlimani kushindwa kuingia darasani.</description>
					  <author>info@habaritanzania.com (Habari Tanzania)</author>
					  <pubDate>Mon, 26 Feb 2007 00:00:00 -0600</pubDate>
					 
					</item>

				

					<item>
					  <title>Zanzibar kuagiza kuku Mauritania</title>
					  <link>http://www.habaritanzania.com/articles/3144/1/Zanzibar-kuagiza-kuku-Mauritania</link>
					  <description>SERIKALI ya Mapinduzi Zanzibar (SMZ), inaangalia uwezekano wa kuagiza kuku kutoka nchini Mauritania ili kukabiliana na uhaba wa nyama ya kuku visiwani hapa.</description>
					  <author>info@habaritanzania.com (Habari Tanzania)</author>
					  <pubDate>Mon, 26 Feb 2007 00:00:00 -0600</pubDate>
					 
					</item>

				

					<item>
					  <title>Msafara wa Lowassa wapata ajali Arusha</title>
					  <link>http://www.habaritanzania.com/articles/3143/1/Msafara-wa-Lowassa-wapata-ajali-Arusha</link>
					  <description>MSAFARA wa Waziri Mkuu, Edward Lowassa, juzi ulipata ajali ukiwa njiani kutoka eneo la Ngurero, mkoani Kilimanjaro kuelekea Monduli, mkoani Arusha.</description>
					  <author>info@habaritanzania.com (Habari Tanzania)</author>
					  <pubDate>Mon, 26 Feb 2007 00:00:00 -0600</pubDate>
					 
					</item>

				

					<item>
					  <title>Tujiulze, tunachohitaji ni sifa ya kuitwa wasomi?</title>
					  <link>http://www.habaritanzania.com/articles/3129/1/Tujiulze%2C-tunachohitaji-ni-sifa-ya-kuitwa-wasomi%3F</link>
					  <description>HAIWEZEKANI kupuuza jitihada zote za serikali inazofanya kuwezesha kuanzishwa kwa chuo kikuu kipya kitakachowezesha kuchukua wanachuo 40,000 huko Dodoma.</description>
					  <author>info@habaritanzania.com (Habari Tanzania)</author>
					  <pubDate>Sun, 25 Feb 2007 00:00:00 -0600</pubDate>
					 
					</item>

				

					<item>
					  <title>Serikali yashauriwa kubuni sera ya kilimo cha umwagiliaji</title>
					  <link>http://www.habaritanzania.com/articles/3128/1/Serikali-yashauriwa-kubuni-sera-ya-kilimo-cha-umwagiliaji</link>
					  <description>WADAU wa sekta ya kilimo nchini wameishauri serikali kuanzisha sera maalum ya kilimo cha umwagiliaji na kuisimamia vizuri ili kumwezesha mkulima mdogo na wa kati kushiriki kilimo hicho kwa maendeleo yake na taifa.</description>
					  <author>info@habaritanzania.com (Habari Tanzania)</author>
					  <pubDate>Sun, 25 Feb 2007 00:00:00 -0600</pubDate>
					 
					</item>

				

					<item>
					  <title>Msomi maaarufu akerwa na ukiukwaji haki za binadamu Zanzibar</title>
					  <link>http://www.habaritanzania.com/articles/3127/1/Msomi-maaarufu-akerwa-na-ukiukwaji-haki-za-binadamu-Zanzibar</link>
					  <description>MKUU wa Kituo cha Huduma za Sheria cha Zanzibar , Profesa Haroub Othman amesema kumekuwepo na ukiukwaji mkubwa wa haki za binaadamu Zanzibar unaofanywa na wananchi wenyewe.</description>
					  <author>info@habaritanzania.com (Habari Tanzania)</author>
					  <pubDate>Sun, 25 Feb 2007 00:00:00 -0600</pubDate>
					 
					</item>

				

					<item>
					  <title>Mwanasiasa adai wananchi walazimishwa kuchangia sekondari</title>
					  <link>http://www.habaritanzania.com/articles/3126/1/Mwanasiasa-adai-wananchi-walazimishwa-kuchangia-sekondari</link>
					  <description>BAADHI ya viongozi wa serikali Wilayani Bariadi, mkoani Shinyanga wamedaiwa kuwalazimisha wananchi kuchangia ujenzi wa sekondari kwa kutishia kuuza mifugo yao na kung'oa mabati ya nyumba zao iwapo hawatachangia ujenzi huo.</description>
					  <author>info@habaritanzania.com (Habari Tanzania)</author>
					  <pubDate>Sun, 25 Feb 2007 00:00:00 -0600</pubDate>
					 
					</item>

				

					<item>
					  <title>Dar yazima mzuka wa Waanglikana</title>
					  <link>http://www.habaritanzania.com/articles/3125/1/Dar-yazima-mzuka-wa-Waanglikana</link>
					  <description>KWA kipindi cha wiki nzima iliyopita masikio ya watu wengi yalielekezwa Dar es Salaam, Tanzania kutaka kujua nini kitatokea kwenye mkutano mkuu wa maaskofu wakuu wa Kanisa la Anglikana duniani uliokuwa ukifanyika Hoteli ya Whitesands.</description>
					  <author>info@habaritanzania.com (Habari Tanzania)</author>
					  <pubDate>Sun, 25 Feb 2007 00:00:00 -0600</pubDate>
					 
					</item>

				

					<item>
					  <title>Tanzania yahimiza matumizi rasimali Mto Nile</title>
					  <link>http://www.habaritanzania.com/articles/3111/1/Tanzania-yahimiza-matumizi-rasimali-Mto-Nile</link>
					  <description>SERIKALI imewahimiza raia wa nchini zilizomo kwenye Bonde la Mto Nile kulinda, kutumia vizuri na kuendeleza rasilimali zake kwa manufaa ya nchi hizo na vizazi vijavyo.</description>
					  <author>info@habaritanzania.com (Habari Tanzania)</author>
					  <pubDate>Sat, 24 Feb 2007 00:00:00 -0600</pubDate>
					 
					</item>

				

					<item>
					  <title>Tanzania yalipongeza Kanisa la Orthodox</title>
					  <link>http://www.habaritanzania.com/articles/3110/1/Tanzania-yalipongeza-Kanisa-la-Orthodox</link>
					  <description>MAKAMU wa Rais, Dk Ali Mohamed Shein, amesema Tanzania inatambua mchango unaotolewa na Kanisa la Orthodox katika kusaidia utekelezaji wa miradi ya maendeleo nchini.</description>
					  <author>info@habaritanzania.com (Habari Tanzania)</author>
					  <pubDate>Sat, 24 Feb 2007 00:00:00 -0600</pubDate>
					 
					</item>

				

					<item>
					  <title>Muuza cocaine aachiwa huru kwa Sh4m</title>
					  <link>http://www.habaritanzania.com/articles/3109/1/Muuza-cocaine-aachiwa-huru-kwa-Sh4m</link>
					  <description>MTUHUMIWA wa kupatikana na gramu 783 za dawa za kulevya aina ya cocaine daraja la kwanza, zenye thamani ya Sh6 milioni, Abdallah Nassoro Makotta, amehukumiwa kulipa faini ya Sh4 milioni.</description>
					  <author>info@habaritanzania.com (Habari Tanzania)</author>
					  <pubDate>Sat, 24 Feb 2007 00:00:00 -0600</pubDate>
					 
					</item>

				

					<item>
					  <title>Meneja NHC kortini kwa kuvunja, kuiba</title>
					  <link>http://www.habaritanzania.com/articles/3108/1/Meneja-NHC-kortini-kwa-kuvunja%2C-kuiba</link>
					  <description>MENEJA wa Shirika la Nyumba la Taifa (NHC) mkoani Tabora, Damas Ngoiya (47), mkazi wa Dar es Salaam, Eliaisa Keenja (37) na mfanyabiashara, Josephati Nyambekwa, wamefikishwa katika Mahakama ya Hakimu Mkazi Kisutu jijini Dar es Salaam, wakikabiliwa na mashitaka matatu likiwamo la kuvunja nyumba na kuiba.</description>
					  <author>info@habaritanzania.com (Habari Tanzania)</author>
					  <pubDate>Sat, 24 Feb 2007 00:00:00 -0600</pubDate>
					 
					</item>

				

					<item>
					  <title>CCM, CUF wajichimbia Bagamoyo</title>
					  <link>http://www.habaritanzania.com/articles/3107/1/CCM%2C-CUF-wajichimbia-Bagamoyo</link>
					  <description>KAMATI ya vyama vya CCM na CUF inayoshughulikia mazungumzo ya muafaka, inaendelea na vikao vyake, safiri hii wajumbe wa vyama hivyo wakiwa wamejichimbia Bagamoyo, lakini habari za ajenda zinazojadiliwa ndani, zikigubikwa na usiri mkubwa.</description>
					  <author>info@habaritanzania.com (Habari Tanzania)</author>
					  <pubDate>Sat, 24 Feb 2007 00:00:00 -0600</pubDate>
					 
					</item>

				

					<item>
					  <title>Askofu afungwa miaka 7</title>
					  <link>http://www.habaritanzania.com/articles/3102/1/Askofu-afungwa-miaka-7</link>
					  <description>ASKOFU wa Umoja wa Makanisa ya Afrika nchini Marekani, Peter Gerry Mutafungwa (51), amehukumiwa kifungo cha miaka saba jela na kulipa fedha kutokana na kupatikana na hatia ya kutumia fedha pamoja na kujipatia misaada mbalimbali ya wajane na watoto yatima kwa kupitia jina la Mfuko wa Mwalimu Nyerere.</description>
					  <author>info@habaritanzania.com (Habari Tanzania)</author>
					  <pubDate>Fri, 23 Feb 2007 00:00:00 -0600</pubDate>
					 
					</item>

				

					<item>
					  <title>GGM yaidanganya serikali</title>
					  <link>http://www.habaritanzania.com/articles/3101/1/GGM-yaidanganya-serikali</link>
					  <description>KAMPUNI ya kuchimba dhahabu ya Geita (GGM), imeidanganya serikali kuhusu ujenzi wa Sekondari ya Geita na mabweni ya wasichana shuleni hapo.</description>
					  <author>info@habaritanzania.com (Habari Tanzania)</author>
					  <pubDate>Fri, 23 Feb 2007 00:00:00 -0600</pubDate>
					 
					</item>

				

					<item>
					  <title>Kikwete akataa kufuta cheo cha ukuu wa wilaya</title>
					  <link>http://www.habaritanzania.com/articles/3100/1/Kikwete-akataa-kufuta-cheo-cha-ukuu-wa-wilaya</link>
					  <description>RAIS Jakaya Kikwete amesema, serikali yake haina mpango wa kukifuta cheo cha ukuu wa wilaya kwa kuwa bado ni wadhifa unaohitajika katika mfumo wa utawala na kwamba viongozi hao wanazo kazi muhimu wanazozifanya.</description>
					  <author>info@habaritanzania.com (Habari Tanzania)</author>
					  <pubDate>Fri, 23 Feb 2007 00:00:00 -0600</pubDate>
					 
					</item>

				

					<item>
					  <title>Rais Kikwete amtetea Mkapa kashfa ya rada</title>
					  <link>http://www.habaritanzania.com/articles/3099/1/Rais-Kikwete-amtetea-Mkapa-kashfa-ya-rada</link>
					  <description>RAIS Jakaya Kikwete amesema haoni sababu ya Rais Mstaafu, Benjamin Mkapa, kusimama hadharani na kuzungumzia suala la ununuzi wa Rada.</description>
					  <author>info@habaritanzania.com (Habari Tanzania)</author>
					  <pubDate>Fri, 23 Feb 2007 00:00:00 -0600</pubDate>
					 
					</item>

				

					<item>
					  <title>Uwajibikaji wa pamoja serikalini umekwisha lini?</title>
					  <link>http://www.habaritanzania.com/articles/3089/1/Uwajibikaji-wa-pamoja-serikalini-umekwisha-lini%3F</link>
					  <description>SERIKALI yoyote yenye mafanikio ni ile ambayo inaheshimu misingi ya utawala bora, ambayo moja ya nguzo zake kubwa ni nidhamu ya utendaji wa kazi.</description>
					  <author>info@habaritanzania.com (Habari Tanzania)</author>
					  <pubDate>Thu, 22 Feb 2007 00:00:00 -0600</pubDate>
					 
					</item>

				

					<item>
					  <title>ZSC yaanza kupunguza wafanyakazi</title>
					  <link>http://www.habaritanzania.com/articles/3088/1/ZSC-yaanza-kupunguza-wafanyakazi</link>
					  <description>SHIRIKA la Meli la Zanzibar (ZSC), limeanza kuwapa likizo za lazima wafanyakazi wake ambao hawana kazi za kufanya katika shirika hilo kwa sasa.</description>
					  <author>info@habaritanzania.com (Habari Tanzania)</author>
					  <pubDate>Thu, 22 Feb 2007 00:00:00 -0600</pubDate>
					 
					</item>

				

					<item>
					  <title>Tanzania kuzalisha ethanol</title>
					  <link>http://www.habaritanzania.com/articles/3087/1/Tanzania-kuzalisha-ethanol</link>
					  <description>TANZANIA imetajwa kuwa nchi ya kwanza barani Afrika kuanza kuzalisha na kutumia nishati mbadala ya ethanol itakayotokana na miwa.</description>
					  <author>info@habaritanzania.com (Habari Tanzania)</author>
					  <pubDate>Thu, 22 Feb 2007 00:00:00 -0600</pubDate>
					 
					</item>

				

					<item>
					  <title>Lowassa aagiza kazi saa 24 Bandari Dar</title>
					  <link>http://www.habaritanzania.com/articles/3086/1/Lowassa-aagiza-kazi-saa-24-Bandari-Dar</link>
					  <description>SERIKALI imeagiza wadau wote katika Bandari ya Dar es Salaam kufanya kazi kwa saa 24 ili kumaliza tatizo la msongamano.</description>
					  <author>info@habaritanzania.com (Habari Tanzania)</author>
					  <pubDate>Thu, 22 Feb 2007 00:00:00 -0600</pubDate>
					 
					</item>

				

					<item>
					  <title>Sitta: Tutaijadili Richmond</title>
					  <link>http://www.habaritanzania.com/articles/3085/1/Sitta%3A-Tutaijadili-Richmond</link>
					  <description>HATIMAYE sakata la Kampuni ya Richmond Development, iliyoshindwa kutekeleza mkataba wa dola za Marekani milioni 172 wa kuzalisha umeme wa megawati 100, litajadiliwa katika kikao kijacho cha Bunge.</description>
					  <author>info@habaritanzania.com (Habari Tanzania)</author>
					  <pubDate>Thu, 22 Feb 2007 00:00:00 -0600</pubDate>
					 
					</item>

				

					<item>
					  <title>Waomba vituo vya ARV viongezwe</title>
					  <link>http://www.habaritanzania.com/articles/3073/1/Waomba-vituo-vya-ARV-viongezwe</link>
					  <description>SERIKALI imeombwa kuangalia uwezekano wa kuongeza idadi ya vituo vya kutolea huduma ya dawa za kurefusha maisha (ARV), ili visaidie kuhudumia wagonjwa wengi zaidi wa ukimwi mkoani Singida.</description>
					  <author>info@habaritanzania.com (Habari Tanzania)</author>
					  <pubDate>Wed, 21 Feb 2007 00:00:00 -0600</pubDate>
					 
					</item>

				

					<item>
					  <title>Bwawa la Mtera latapishwa</title>
					  <link>http://www.habaritanzania.com/articles/3072/1/Bwawa-la-Mtera-latapishwa</link>
					  <description>BWAWA la Mtera jana lilifunguliwa ili kuruhusu maji yaliyojaa hadi kutishia kingo zake kutiririka katika mto Ruaha ili kuliepusha bwawa hilo kupasuka na kusababisha maafa makubwa</description>
					  <author>info@habaritanzania.com (Habari Tanzania)</author>
					  <pubDate>Wed, 21 Feb 2007 00:00:00 -0600</pubDate>
					 
					</item>

				

					<item>
					  <title>Bwawa la Mtera latapishwa</title>
					  <link>http://www.habaritanzania.com/articles/3071/1/Bwawa-la-Mtera-latapishwa</link>
					  <description>BWAWA la Mtera jana lilifunguliwa ili kuruhusu maji yaliyojaa hadi kutishia kingo zake kutiririka katika mto Ruaha ili kuliepusha bwawa hilo kupasuka na kusababisha maafa makubwa.</description>
					  <author>info@habaritanzania.com (Habari Tanzania)</author>
					  <pubDate>Wed, 21 Feb 2007 00:00:00 -0600</pubDate>
					 
					</item>

				

					<item>
					  <title>Magufuli aanza kazi baada ya matibabu Ujerumani</title>
					  <link>http://www.habaritanzania.com/articles/3070/1/Magufuli-aanza-kazi-baada-ya-matibabu-Ujerumani</link>
					  <description>WAZIRI wa Ardhi, Nyumba na Maendeleo ya Makazi, John Magufuli, amerejea kazini baada ya safari ya matibabu nchini Ujerumani na kumtetea mmiliki wa baa ya Rose Garden, iliyopo Mikocheni Dar es Salaam, akisema imejengwa kihalali kwa kufuata taratibu zote zinazotakiwa.</description>
					  <author>info@habaritanzania.com (Habari Tanzania)</author>
					  <pubDate>Wed, 21 Feb 2007 00:00:00 -0600</pubDate>
					 
					</item>

				

					<item>
					  <title>Anglikana wapiga marufuku ndoa za mashoga</title>
					  <link>http://www.habaritanzania.com/articles/3069/1/Anglikana-wapiga-marufuku-ndoa-za-mashoga</link>
					  <description>KANISA la Anglikana duniani limepiga marufuku kubarikiwa kwa ndoa za watu wa jinsi moja pamoja na kulitaka kanisa hilo nchini Marekani kusitisha kuwaweka wakfu mashoga na wasagaji kuwa makasisi.</description>
					  <author>info@habaritanzania.com (Habari Tanzania)</author>
					  <pubDate>Wed, 21 Feb 2007 00:00:00 -0600</pubDate>
					 
					</item>

				

					<item>
					  <title>Benki zakwamisha &#39;mabilioni ya Kikwete&#39;</title>
					  <link>http://www.habaritanzania.com/articles/3068/1/Benki-zakwamisha-%26%2339%3Bmabilioni-ya-Kikwete%26%2339%3B</link>
					  <description>MIEZI miwili baada ya mabilioni ya fedha za kuwawezesha wananchi zilizotolewa na serikali ya awamu ya nne kuingia katika benki, bado fedha hizo zimekwama katika benki za CRDB na NMB kutokana na wakopaji wengi kukosa sifa.</description>
					  <author>info@habaritanzania.com (Habari Tanzania)</author>
					  <pubDate>Wed, 21 Feb 2007 00:00:00 -0600</pubDate>
					 
					</item>

				

					<item>
					  <title>Waziri, RC waumbuana mbele ya Waziri Mkuu</title>
					  <link>http://www.habaritanzania.com/articles/3067/1/Waziri%2C-RC-waumbuana-mbele-ya-Waziri-Mkuu</link>
					  <description>MKUU wa Mkoa (RC) wa Dar es Salaam, Abbas Kandoro jana alimshushia tuhuma nzito, Waziri wa Elimu na Mafunzo ya Ufundi, Margaret Sitta, kuwa wizara yake imekuwa ikitoa taarifa za uongo dhidi ya pesa za ujenzi wa shule.</description>
					  <author>info@habaritanzania.com (Habari Tanzania)</author>
					  <pubDate>Tue, 20 Feb 2007 00:00:00 -0600</pubDate>
					 
					</item>

				

					<item>
					  <title>Waziri, RC waumbuana mbele ya Waziri Mkuu</title>
					  <link>http://www.habaritanzania.com/articles/3064/1/Waziri%2C-RC-waumbuana-mbele-ya-Waziri-Mkuu</link>
					  <description>MKUU wa Mkoa (RC) wa Dar es Salaam, Abbas Kandoro jana alimshushia tuhuma nzito, Waziri wa Elimu na Mafunzo ya Ufundi, Margaret Sitta, kuwa wizara yake imekuwa ikitoa taarifa za uongo dhidi ya pesa za ujenzi wa shule.</description>
					  <author>info@habaritanzania.com (Habari Tanzania)</author>
					  <pubDate>Tue, 20 Feb 2007 00:00:00 -0600</pubDate>
					 
					</item>

				

					<item>
					  <title>Wanaorudia mitihani ya darasa la saba kuanza kesho</title>
					  <link>http://www.habaritanzania.com/articles/3063/1/Wanaorudia-mitihani-ya-darasa-la-saba-kuanza-kesho</link>
					  <description>WANAFUNZI waliofutiwa matokeo yao ya mtihani wa darasa la saba mwaka jana, wanatarajia kuanza kufanya marudio ya mitihani hiyo kesho.</description>
					  <author>info@habaritanzania.com (Habari Tanzania)</author>
					  <pubDate>Tue, 20 Feb 2007 00:00:00 -0600</pubDate>
					 
					</item>

				

					<item>
					  <title>Mtera hatarini kupasuka</title>
					  <link>http://www.habaritanzania.com/articles/3061/1/Mtera-hatarini-kupasuka</link>
					  <description>KINGO za bwawa la Mtera, ziko katika hatari ya kupasuka kutokana na kujaa maji kupita uwezo wake, kulikosababishwa na mvua nyingi zinazoendelea kunyesha.</description>
					  <author>info@habaritanzania.com (Habari Tanzania)</author>
					  <pubDate>Tue, 20 Feb 2007 00:00:00 -0600</pubDate>
					 
					</item>

				

					<item>
					  <title>Kikwete: Tukikosea tukosoeni</title>
					  <link>http://www.habaritanzania.com/articles/3060/1/Kikwete%3A-Tukikosea-tukosoeni</link>
					  <description>RAIS Jakaya Kikwete amesisitiza wito wake kwa wabunge wa Bunge la Jamhuri ya Muungano wanaotokana na Chama Cha Mapinduzi (CCM), kutosita kuikosoa serikali pale inapokosea.</description>
					  <author>info@habaritanzania.com (Habari Tanzania)</author>
					  <pubDate>Tue, 20 Feb 2007 00:00:00 -0600</pubDate>
					 
					</item>

				

					<item>
					  <title>Mashoga wapenya Zanzibar</title>
					  <link>http://www.habaritanzania.com/articles/3059/1/Mashoga-wapenya-Zanzibar</link>
					  <description>KUNDI la mashoga limefanikiwa kujipenyeza na kuingia visiwani Zanzibar na kushiriki ibada ya misa iliyoongozwa na Askofu Mkuu wa Canterbury, Dk. Rowan Williams, pamoja na kupokea Ekaristi Takatifu.</description>
					  <author>info@habaritanzania.com (Habari Tanzania)</author>
					  <pubDate>Tue, 20 Feb 2007 00:00:00 -0600</pubDate>
					 
					</item>

				

					<item>
					  <title>Wizara ya Usalama Wa Raia , Kigoma na Kagera- Wananchi Tunateseka</title>
					  <link>http://www.habaritanzania.com/articles/3057/1/Wizara-ya-Usalama-Wa-Raia-%2C-Kigoma-na-Kagera--Wananchi-Tunateseka</link>
					  <description>Mimi ni Raia mwema ninaeipenda nchi yangu!&#160; Lakini ninakerwa sana na jambo hili la ujambazi. </description>
					  <author>info@habaritanzania.com (Habari Tanzania)</author>
					  <pubDate>Tue, 20 Feb 2007 00:00:00 -0600</pubDate>
					 
					</item>

				

					<item>
					  <title>Fundi saa akutwa na kichwa cha mtoto &#39;ofisini&#39;</title>
					  <link>http://www.habaritanzania.com/articles/3041/1/Fundi-saa-akutwa-na-kichwa-cha-mtoto-%26%2339%3Bofisini%26%2339%3B</link>
					  <description>MKAZI wa Halmashauri ya Wilaya ya Sumbawanga, mkoani Rukwa, Amani Mwakisyala, amefikishwa katika Mahakama ya Hakimu Mkazi mjini Sumbawanga kwa kosa la kukutwa na kichwa cha binadamu kwenye eneo lake la kazi.</description>
					  <author>info@habaritanzania.com (Habari Tanzania)</author>
					  <pubDate>Mon, 19 Feb 2007 00:00:00 -0600</pubDate>
					 
					</item>

				

					<item>
					  <title>Homa ya Bonde la Ufa yapuuzwa Kilimanjaro</title>
					  <link>http://www.habaritanzania.com/articles/3040/1/Homa-ya-Bonde-la-Ufa-yapuuzwa-Kilimanjaro</link>
					  <description>WATEJA wa nyama na wauzaji wa kitoweo hicho mkoani Kilimanjaro, wameanza kuingiza mzaha katika suala la kujikinga na ugonjwa wa Homa ya Bonde la Ufa, kwa madai kuwa wataalamu hawasemi ukweli kuhusu ugonjwa huo.</description>
					  <author>info@habaritanzania.com (Habari Tanzania)</author>
					  <pubDate>Mon, 19 Feb 2007 00:00:00 -0600</pubDate>
					 
					</item>

				

					<item>
					  <title>Askofu Dodoma ajipalia makaa kuendekeza ushoga</title>
					  <link>http://www.habaritanzania.com/articles/3039/1/Askofu-Dodoma-ajipalia-makaa-kuendekeza-ushoga</link>
					  <description>MAASKOFU na wachungaji wa Makanisa yote ya Mkoani Dodoma wametangaza kutoshirikiana na kiongozi yeyote wa dini anayekubaliana na suala la ndoa za jinsia moja.</description>
					  <author>info@habaritanzania.com (Habari Tanzania)</author>
					  <pubDate>Mon, 19 Feb 2007 00:00:00 -0600</pubDate>
					 
					</item>

				

					<item>
					  <title>Ziara ya maaskofu wa Anglikan Zanzibar yazidisha mpasuko</title>
					  <link>http://www.habaritanzania.com/articles/3038/1/Ziara-ya-maaskofu-wa-Anglikan-Zanzibar-yazidisha-mpasuko</link>
					  <description>MPASUKO ndani ya Jumuiya ya Kanisa la Anglikan umezidi kupanuka baada ya Askofu Mkuu wa kanisa hilo nchini Nigeria, Peter Akinola, kushindwa kuungana na maaskofu wakuu wengine duniani kwenda Zanzibar kuhudhuria ibada iliyofanyika katika kanisa kuu la Kristu Mfalme la Mkunazini jana.</description>
					  <author>info@habaritanzania.com (Habari Tanzania)</author>
					  <pubDate>Mon, 19 Feb 2007 00:00:00 -0600</pubDate>
					 
					</item>

				

					<item>
					  <title>Kikwete awapasha Watanzania waishio ughaibuni</title>
					  <link>http://www.habaritanzania.com/articles/3037/1/Kikwete-awapasha-Watanzania-waishio-ughaibuni</link>
					  <description>RAIS Jakaya Kikwete amewapasha Watanzania wanaoishi ughaibuni ambao kwa makusudi waliamua kuziharibu pasi walizokuwa nazo kwa lengo la kuukataa uraia wao na nchi yao, kuwa serikali haitakuwa tayari kuwapatia pasi mpya za kusafiria.</description>
					  <author>info@habaritanzania.com (Habari Tanzania)</author>
					  <pubDate>Mon, 19 Feb 2007 00:00:00 -0600</pubDate>
					 
					</item>

				

					<item>
					  <title>Mkapa awa Mkuu wa Chuo Kikuu Dodoma</title>
					  <link>http://www.habaritanzania.com/articles/3026/1/Mkapa-awa-Mkuu-wa-Chuo-Kikuu-Dodoma</link>
					  <description>RAIS Jakaya Kikwete amemteua rais mstaafu wa awamu ya tatu, Benjamin Mkapa kuwa Mkuu wa Chuo Kikuu kipya cha serikali kinachojengwa Dodoma.</description>
					  <author>info@habaritanzania.com (Habari Tanzania)</author>
					  <pubDate>Sun, 18 Feb 2007 00:00:00 -0600</pubDate>
					 
					</item>

				

					<item>
					  <title>Wananchi wataka marais waamue juu ya shirikisho EAC</title>
					  <link>http://www.habaritanzania.com/articles/3025/1/Wananchi-wataka-marais-waamue-juu-ya-shirikisho-EAC</link>
					  <description>Viongozi wakuu wa nchi za Afrika Mashariki, wameambiwa kuwa hakuna haja ya kuwauliza wananchi juu ya kuharakisha uundwaji wa Shirikisho la kisiasa la Afrika Mashariki, wakati viongozi hao tayari wamekwishatoa uamuzi kabla ya kupata maoni ya wananchi.</description>
					  <author>info@habaritanzania.com (Habari Tanzania)</author>
					  <pubDate>Sun, 18 Feb 2007 00:00:00 -0600</pubDate>
					 
					</item>

				

					<item>
					  <title>Mkuu wa Canterbury kufanya ibada Zanzibar</title>
					  <link>http://www.habaritanzania.com/articles/3024/1/Mkuu-wa-Canterbury-kufanya-ibada-Zanzibar</link>
					  <description>MAASKOFU wa Kanisa la Anglikana duniani leo wanahudhuria ibada ya misa takatifu itakayofanyika mjini Zanzibar baada ya siku kadhaa za za mkutano wao mkuu unaomalizika kesho, anaripoti Simon Berege.</description>
					  <author>info@habaritanzania.com (Habari Tanzania)</author>
					  <pubDate>Sun, 18 Feb 2007 00:00:00 -0600</pubDate>
					 
					</item>

				

					<item>
					  <title>Wabunge wa CCM wamshtukia Rais Kikwete</title>
					  <link>http://www.habaritanzania.com/articles/3023/1/Wabunge-wa-CCM-wamshtukia-Rais-Kikwete</link>
					  <description>SIKU chache baada ya Rais Jakaya Kikwete kukutana na wabunge wa Chama Cha Mapinduzi (CCM); na kuwataka wawe huru kuikosoa serikali, kauli hiyo imepokewa kwa hisia tofauti na wabunge hao ambao wamedai mwenyekiti wao anawachezea shere. </description>
					  <author>info@habaritanzania.com (Habari Tanzania)</author>
					  <pubDate>Sun, 18 Feb 2007 00:00:00 -0600</pubDate>
					 
					</item>

				

					<item>
					  <title>Wabunge wa CCM wamshtukia Rais Kikwete</title>
					  <link>http://www.habaritanzania.com/articles/3022/1/Wabunge-wa-CCM-wamshtukia-Rais-Kikwete</link>
					  <description>SIKU chache baada ya Rais Jakaya Kikwete kukutana na wabunge wa Chama Cha Mapinduzi (CCM); na kuwataka wawe huru kuikosoa serikali, kauli hiyo imepokewa kwa hisia tofauti na wabunge hao ambao wamedai mwenyekiti wao anawachezea shere. </description>
					  <author>info@habaritanzania.com (Habari Tanzania)</author>
					  <pubDate>Sun, 18 Feb 2007 00:00:00 -0600</pubDate>
					 
					</item>

				

					<item>
					  <title>Homa Bonde la Ufa pigo kiuchumi Tanzania</title>
					  <link>http://www.habaritanzania.com/articles/3021/1/Homa-Bonde-la-Ufa-pigo-kiuchumi-Tanzania</link>
					  <description>KUIBUKA kwa Homa ya Bonde la Ufa (RVF) nchini, kiasi cha wiki mbili zilizopita kumekuwa zaidi kukitazamwa kama janga la kiafya, kuliko la kiuchumi.</description>
					  <author>info@habaritanzania.com (Habari Tanzania)</author>
					  <pubDate>Sun, 18 Feb 2007 00:00:00 -0600</pubDate>
					 
					</item>

				

					<item>
					  <title>Twaikumbusha serikali kuanza kutekeleza ahadi</title>
					  <link>http://www.habaritanzania.com/articles/3018/1/Twaikumbusha-serikali-kuanza-kutekeleza-ahadi</link>
					  <description>TULIANDIKA, tukaandika tena na sasa tunaandika kwa mara nyingine tena. Tutaendelea kuandika na kulifuatilia suala hili hadi hapo tutakapoona limemalizika na kuhitimishwa.</description>
					  <author>info@habaritanzania.com (Habari Tanzania)</author>
					  <pubDate>Sat, 17 Feb 2007 00:00:00 -0600</pubDate>
					 
					</item>

				

					<item>
					  <title>Cheo cha ukurugenzi BAKWATA chafutwa</title>
					  <link>http://www.habaritanzania.com/articles/3013/1/Cheo-cha-ukurugenzi-BAKWATA-chafutwa</link>
					  <description>MUFTI wa Tanzania, Sheikh Mkuu, Sheikh Issa bin Shaaban Simba, amemfuta kazi ya ukurugenzi wa dini katika Baraza la Waislamu wa Tanzania (BAKWATA), Sheikh Suleiman Gorogosi na wakurugnzi wengine wanne. </description>
					  <author>info@habaritanzania.com (Habari Tanzania)</author>
					  <pubDate>Sat, 17 Feb 2007 00:00:00 -0600</pubDate>
					 
					</item>

				

					<item>
					  <title>Mabilioni ya Kikwete yakwama</title>
					  <link>http://www.habaritanzania.com/articles/3012/1/Mabilioni-ya-Kikwete-yakwama</link>
					  <description>FEDHA za serikali zilizotengwa kwa ajili ya kusaidia ujasiriamali mkoani Arusha, bado zinaendelea kubakia katika Benki ya CRDB, zikisubiri halmashauri ya manispaa hiyo kuwasilisha orodha ya vikundi na vyama vya akiba na mikopo (SACCOS) vilivyopatiwa mafunzo.</description>
					  <author>info@habaritanzania.com (Habari Tanzania)</author>
					  <pubDate>Sat, 17 Feb 2007 00:00:00 -0600</pubDate>
					 
					</item>

				

					<item>
					  <title>Tume yawakataa wagombea binafsi</title>
					  <link>http://www.habaritanzania.com/articles/3010/1/Tume-yawakataa-wagombea-binafsi</link>
					  <description>TUME ya Taifa ya Uchaguzi (NEC) imekataa kuanza kuutumia sasa, uamuzi wa Mahakama Kuu wa kutaka wagombea binafsi waruhusishwe.</description>
					  <author>info@habaritanzania.com (Habari Tanzania)</author>
					  <pubDate>Sat, 17 Feb 2007 00:00:00 -0600</pubDate>
					 
					</item>

				

					<item>
					  <title>Watatu kizimbani kwa kupiga gari kwa mawe Kasulu</title>
					  <link>http://www.habaritanzania.com/articles/3009/1/Watatu-kizimbani-kwa-kupiga-gari-kwa-mawe-Kasulu</link>
					  <description>Watu watatu wamefikishwa katika mahakama ya wilaya ya Kasulu kwa kosa la kuyarushia mawe magari katika barabara kuu ya kutoka Kibondo kwenda Kigoma kupitia Kasulu.</description>
					  <author>info@habaritanzania.com (Habari Tanzania)</author>
					  <pubDate>Sat, 17 Feb 2007 00:00:00 -0600</pubDate>
					 
					</item>

				

					<item>
					  <title>Sauti za Busara zilizokosa busara</title>
					  <link>http://www.habaritanzania.com/articles/3006/1/Sauti-za-Busara-zilizokosa-busara</link>
					  <description>WAPENZI wasomaji, leo tuzungumzie tamasha la Sauti za Busara ambalo hivi karibuni limefanyika kwa mara ya pili mfululizo kule mjini Unguja, Zanzibar. </description>
					  <author>info@habaritanzania.com (Habari Tanzania)</author>
					  <pubDate>Fri, 16 Feb 2007 00:00:00 -0600</pubDate>
					 
					</item>

				

					<item>
					  <title>Ali Nabwa afariki dunia</title>
					  <link>http://www.habaritanzania.com/articles/2995/1/Ali-Nabwa-afariki-dunia</link>
					  <description>MWANDISHI wa habari wa siku nyingi wa Zanzibar, Mohammed Ali Nabwa (71) amefariki dunia.</description>
					  <author>info@habaritanzania.com (Habari Tanzania)</author>
					  <pubDate>Fri, 16 Feb 2007 00:00:00 -0600</pubDate>
					 
					</item>

				

					<item>
					  <title>Marekani yakiwezesha kiwanda kuzalisha umeme</title>
					  <link>http://www.habaritanzania.com/articles/2994/1/Marekani-yakiwezesha-kiwanda-kuzalisha-umeme</link>
					  <description>SHIRIKA la Biashara na Maendeleo la Marekani limetoa kiasi cha Sh401 milioni kwa Kampuni ya Sukari ya Kilombero ili kuiwezesha kutumia taka kuzalisha umeme.</description>
					  <author>info@habaritanzania.com (Habari Tanzania)</author>
					  <pubDate>Fri, 16 Feb 2007 00:00:00 -0600</pubDate>
					 
					</item>

				

					<item>
					  <title>Suala la ushoga latishia Waanglikana</title>
					  <link>http://www.habaritanzania.com/articles/2993/1/Suala-la-ushoga-latishia-Waanglikana</link>
					  <description>MGAWANYIKO uliotarajiwa kujitokeza kwenye mkutano wa maaskofu wakuu wa Kanisa la Anglikana unaoendelea katika Hotel ya White Sands jijini Dar es Salaam, jana ulidhihirika baada ya maaskofu watatu waliowasilisha mada zao kutofautiana juu mwelekeo wa kanisa hilo katika suala la ushoga.</description>
					  <author>info@habaritanzania.com (Habari Tanzania)</author>
					  <pubDate>Fri, 16 Feb 2007 00:00:00 -0600</pubDate>
					 
					</item>

				

					<item>
					  <title>Mufti atimua wakurugenzi wote Bakwata</title>
					  <link>http://www.habaritanzania.com/articles/2992/1/Mufti-atimua-wakurugenzi-wote-Bakwata</link>
					  <description>MUFTI wa Tanzania, Sheikh Mkuu, Issa bin Shaban Simba, amelifumua Baraza Kuu la Waislamu Tanzania (Bakwata) kwa kuwavua nyadhifa wakurugenzi wake wote, akiwamo Mkurugenzi wa Dini, Sheikh Suleiman Gorogosi.</description>
					  <author>info@habaritanzania.com (Habari Tanzania)</author>
					  <pubDate>Fri, 16 Feb 2007 00:00:00 -0600</pubDate>
					 
					</item>

				

					<item>
					  <title>Mahakama yaelezwa Ditopile alivyoua</title>
					  <link>http://www.habaritanzania.com/articles/2991/1/Mahakama-yaelezwa-Ditopile-alivyoua</link>
					  <description>UPANDE wa mashitaka katika kesi ya mauaji inayomkabili aliyekuwa Mkuu wa Mkoa wa Tabora, Ditopile Mzuzuri, jana ulitoa maelezo ya mashahidi 23 wa upande wa mashitaka katika Mahakama ya Hakimu Mkazi Kisutu, jijini Dar es Salaam.</description>
					  <author>info@habaritanzania.com (Habari Tanzania)</author>
					  <pubDate>Fri, 16 Feb 2007 00:00:00 -0600</pubDate>
					 
					</item>

				

					<item>
					  <title>Mvua yazua maafa Tanga, Moro</title>
					  <link>http://www.habaritanzania.com/articles/2981/1/Mvua-yazua-maafa-Tanga%2C-Moro</link>
					  <description>MVUA zinazoendelea kunyesha nchini, zimeanza kusababisha maafa baada ya nyumba kadhaa kubomoka na nyingine kuezuliwa mapaa katika mikoa ya Tanga na Morogoro.</description>
					  <author>info@habaritanzania.com (Habari Tanzania)</author>
					  <pubDate>Thu, 15 Feb 2007 00:00:00 -0600</pubDate>
					 
					</item>

				

					<item>
					  <title>Magari mazito yazuiwa mbugani Serengeti</title>
					  <link>http://www.habaritanzania.com/articles/2980/1/Magari-mazito-yazuiwa-mbugani-Serengeti</link>
					  <description>HIFADHI ya Wanyama ya Serengeti mkoani Mara, imepiga marufuku magari yenye uzito zaidi ya tani tatu, kutumia barabara ya Naabi mpaka Fort Ikoma inayopita ndani ya hifadhi hiyo.</description>
					  <author>info@habaritanzania.com (Habari Tanzania)</author>
					  <pubDate>Thu, 15 Feb 2007 00:00:00 -0600</pubDate>
					 
					</item>

				

					<item>
					  <title>Soko la Hisa Dar lakutwa na mahesabu machafu</title>
					  <link>http://www.habaritanzania.com/articles/2979/1/Soko-la-Hisa-Dar-lakutwa-na-mahesabu-machafu</link>
					  <description>UKIUKWAJI wa taratibu za matumizi ya fedha za serikali, ikiwamo kutoa zabuni bila kuzingatia taratibu za manunuzi, umelifanya Soko la Hisa Dar es Salaam (DSE), kupata hati chafu ya ukaguzi wa mahesabu ya mwaka 2005/06.</description>
					  <author>info@habaritanzania.com (Habari Tanzania)</author>
					  <pubDate>Thu, 15 Feb 2007 00:00:00 -0600</pubDate>
					 
					</item>

				

					<item>
					  <title>Ajali za treni, Scandnavia zaua 11</title>
					  <link>http://www.habaritanzania.com/articles/2978/1/Ajali-za-treni%2C-Scandnavia-zaua-11</link>
					  <description>WATU 11 wamekufa papo hapo na wengine zaidi ya 12 kujeruhiwa vibaya katika ajali mbili tofauti, ikiwamo ya kuanguka kwa treni ya abiria mkoani Kigoma.</description>
					  <author>info@habaritanzania.com (Habari Tanzania)</author>
					  <pubDate>Thu, 15 Feb 2007 00:00:00 -0600</pubDate>
					 
					</item>

				

					<item>
					  <title>Mashoga wapiga kambi mkutano wa maaskofu Dar</title>
					  <link>http://www.habaritanzania.com/articles/2977/1/Mashoga-wapiga-kambi-mkutano-wa-maaskofu-Dar</link>
					  <description>WAWAKILISHI wa wanaharakati wa kimataifa wa kutetea haki za mashoga na wasagaji ndani ya kanisa la Kianglikana, wamefanikiwa kuweka kambi katika hoteli ya Whitesands ya jijiji Dar es Salaam, eneo linalotumiwa na maaskofu wakuu wa kanisa hilo duniani kujadili mambo mbalimbali yanayolihusu kanisa.</description>
					  <author>info@habaritanzania.com (Habari Tanzania)</author>
					  <pubDate>Thu, 15 Feb 2007 00:00:00 -0600</pubDate>
					 
					</item>

				

					<item>
					  <title>DC KASULU ANUSURIKA KUPIGWA JIWE</title>
					  <link>http://www.habaritanzania.com/articles/2974/1/DC-KASULU-ANUSURIKA-KUPIGWA-JIWE</link>
					  <description>Wazazi wilayani Kasulu wametakiwa kuhakikisha watoto wao wanaenda shule badala ya ya kuzurula mitaani na kufanya vitendo vinavyokiuka maadili ya kijamii.</description>
					  <author>info@habaritanzania.com (Habari Tanzania)</author>
					  <pubDate>Wed, 14 Feb 2007 00:00:00 -0600</pubDate>
					 
					</item>

				

					<item>
					  <title>Norway yasifu mazungumzo ya CCM, CUF</title>
					  <link>http://www.habaritanzania.com/articles/2966/1/Norway-yasifu-mazungumzo-ya-CCM%2C-CUF</link>
					  <description>SERIKALI ya Norway imepongeza hatua ya Serikali ya Tanzania ya kuendeleza mazungumzo kati ya CCM na CUF na kusema yanatia moyo katika kufikia maelewano na hatimaye kuleta hali ya utulivu na amani visiwani Zanzibar.</description>
					  <author>info@habaritanzania.com (Habari Tanzania)</author>
					  <pubDate>Wed, 14 Feb 2007 00:00:00 -0600</pubDate>
					 
					</item>

				

					<item>
					  <title>Balozi wa Amani kuwatetea wa Korea ya Kusini</title>
					  <link>http://www.habaritanzania.com/articles/2962/1/Balozi-wa-Amani-kuwatetea-wa-Korea-ya-Kusini</link>
					  <description>BALOZI wa Amani nchini, Paul Kimiti amesema atatumia fursa ya kushiriki kikao cha cha Kamati ya Shirikisho la Amani duniani (IFWP), kinatarajia kufanyika Korea ya Kusini wiki ijayo kujadiliana na wawekezaji wa nchini humo kwa ajili ya mradi wa mashamba makubwa ya kibiashara nchini.</description>
					  <author>info@habaritanzania.com (Habari Tanzania)</author>
					  <pubDate>Wed, 14 Feb 2007 00:00:00 -0600</pubDate>
					 
					</item>

				

					<item>
					  <title>Bodi yatuhumiwa kumhujumu Waziri Chami</title>
					  <link>http://www.habaritanzania.com/articles/2961/1/Bodi-yatuhumiwa-kumhujumu-Waziri-Chami</link>
					  <description>BODI ya Chama cha Ushirika cha Msingi Kirima Boro, katika Jimbo la Moshi Vijijini mkoani Kilimanjaro, kinatuhumiwa kukwamisha juhudi za Mbunge wake, Dk Cyrill Chami, kujenga Kiwanda cha Ngozi.</description>
					  <author>info@habaritanzania.com (Habari Tanzania)</author>
					  <pubDate>Wed, 14 Feb 2007 00:00:00 -0600</pubDate>
					 
					</item>

				

					<item>
					  <title>Wachina wanyang&#39;anywa ujenzi barabara Singida</title>
					  <link>http://www.habaritanzania.com/articles/2960/1/Wachina-wanyang%26%2339%3Banywa-ujenzi-barabara-Singida</link>
					  <description>SERIKALI imeinyang'anya Kampuni ya Sietco eneo la urefu wa kiliomita 30 mkoani Singida na kuipatia Kampuni ya Konoike, baada ya kubainika kuwa kampuni hiyo haina uwezo wa kuijenga kutokana na kuwa na vifaa chakavu.</description>
					  <author>info@habaritanzania.com (Habari Tanzania)</author>
					  <pubDate>Wed, 14 Feb 2007 00:00:00 -0600</pubDate>
					 
					</item>

				

					<item>
					  <title>Homa Bonde la Ufa yazidi kusambaa</title>
					  <link>http://www.habaritanzania.com/articles/2959/1/Homa-Bonde-la-Ufa-yazidi-kusambaa</link>
					  <description>IDADI ya watu wanahofiwa kufariki dunia kwa ugonjwa wa Homa ya Bonde la Ufa (RVF) mkoani Arusha sasa imefikia watano huku wengine wawili wakiwa wamelazwa katika hospitali ya mkoa ya Mount Meru.</description>
					  <author>info@habaritanzania.com (Habari Tanzania)</author>
					  <pubDate>Wed, 14 Feb 2007 00:00:00 -0600</pubDate>
					 
					</item>

				

					<item>
					  <title>Maaskofu Waanglikana duniani wakutana Dar</title>
					  <link>http://www.habaritanzania.com/articles/2958/1/Maaskofu-Waanglikana-duniani-wakutana-Dar</link>
					  <description>Maaskofu wakuu wa Kanisa la Kianglikana duniani, leo wataanza mkutano wao wa siku sita jijini Dar es Salaam kujadili mambo mbalimbali yanayohusu kanisa hilo.</description>
					  <author>info@habaritanzania.com (Habari Tanzania)</author>
					  <pubDate>Wed, 14 Feb 2007 00:00:00 -0600</pubDate>
					 
					</item>

				

					<item>
					  <title>Siku za Ditopile Keko zinahesabika</title>
					  <link>http://www.habaritanzania.com/articles/2950/1/Siku-za-Ditopile-Keko-zinahesabika</link>
					  <description>SASA ni dhahiri kwamba, kuna kila dalili kwa aliyekuwa Mkuu wa Mkoa wa Tabora, Ukiwaona Ditopile-Mzuzuri kutoka katika mahabusu ya Keko alikokaa kwa takriban miezi mitatu sasa. </description>
					  <author>info@habaritanzania.com (Habari Tanzania)</author>
					  <pubDate>Tue, 13 Feb 2007 00:00:00 -0600</pubDate>
					 
					</item>

				

					<item>
					  <title>Mwanafunzi ajiua kwa kupata daraja la nne</title>
					  <link>http://www.habaritanzania.com/articles/2949/1/Mwanafunzi-ajiua-kwa-kupata-daraja-la-nne</link>
					  <description>MWANAFUNZI, Pamela Alfred (22), amejiua kwa kumeza vidonge vingi vya klorokwini kwa kupata daraja la nne katika mtihani wa kidato cha nne, imefahamika. </description>
					  <author>info@habaritanzania.com (Habari Tanzania)</author>
					  <pubDate>Tue, 13 Feb 2007 00:00:00 -0600</pubDate>
					 
					</item>

				

					<item>
					  <title>TUCTA yasalimu amri kwa walimu</title>
					  <link>http://www.habaritanzania.com/articles/2948/1/TUCTA-yasalimu-amri-kwa-walimu</link>
					  <description>SHIRIKISHO la Vyama vya wafanyakazi Tanzania (TUCTA) limekubali kubadili katiba ya shirikisho hilo kukidhi matakwa ya Chama Cha Walimu Tanzania (CWT) ya uwakilishi wa uwiano katika TUCTA. </description>
					  <author>info@habaritanzania.com (Habari Tanzania)</author>
					  <pubDate>Tue, 13 Feb 2007 00:00:00 -0600</pubDate>
					 
					</item>

				

					<item>
					  <title>Natafakari uamuzi wa spika'</title>
					  <link>http://www.habaritanzania.com/articles/2947/1/Natafakari-uamuzi-wa-spika%92</link>
					  <description>MBUNGE wa Mkuranga, Adam Malima (CCM) amesema kwa sasa hana haraka ya kukutanishwa na Mwenyekiti wa IPP, Reginald Mengi na badala yake atakachofanya ni kupitia upya uamuzi wa Spika, Samuel Sitta na kuutafakari. </description>
					  <author>info@habaritanzania.com (Habari Tanzania)</author>
					  <pubDate>Tue, 13 Feb 2007 00:00:00 -0600</pubDate>
					 
					</item>

				

					<item>
					  <title>Kikwete ataka wabunge CCM waikosoe Serikali</title>
					  <link>http://www.habaritanzania.com/articles/2946/1/Kikwete-ataka-wabunge-CCM-waikosoe-Serikali</link>
					  <description>RAIS Jakaya Kikwete amewaeleza wabunge wa CCM wawe huru kuikosoa serikali mradi wawe na ushahidi na hoja zao. Katika semina ya siku moja iliyofanyika Dar es Salaam juzi, rais aliwaambia wabunge hao kuwa hayuko tayari kulinda watu wachafu ndani ya serikali yake, hivyo akatoa mwito kwa wabunge kufichua mambo yanayoenda kinyume na maadili ya uongozi. </description>
					  <author>info@habaritanzania.com (Habari Tanzania)</author>
					  <pubDate>Tue, 13 Feb 2007 00:00:00 -0600</pubDate>
					 
					</item>

				

					<item>
					  <title>Kasulu yapata ufadhili UA UNHCR kujenga shule</title>
					  <link>http://www.habaritanzania.com/articles/2944/1/Kasulu-yapata-ufadhili-UA-UNHCR-kujenga-shule</link>
					  <description>Shirika la umoja wa mataifa linalohudumia wakimbizi UNHCR limetoa ufadhili wa shilingi milioni kumi na sita kusaidia ujenzi wa shule ya sekondari ya kata ya Nkundutsi wilayani Kasulu.</description>
					  <author>pkwigize@yahoo.com (Prosper Kwigize)</author>
					  <pubDate>Tue, 13 Feb 2007 00:00:00 -0600</pubDate>
					 
					</item>

				

					<item>
					  <title>Waziri mkuu kwenda Ufaransa kesho</title>
					  <link>http://www.habaritanzania.com/articles/2943/1/Waziri-mkuu-kwenda-Ufaransa-kesho</link>
					  <description>WAZIRI MKUU Edward Lowassa kesho (Jumanne Februari 13, 2007) anaondoka nchini kwenda Ufaransa kumwakilisha Rais Jakaya Kikwete kwenye mkutano wa 24 wa wakuu wa nchi za Afrika na Rais Jacques Chirac wa nchi hiyo.</description>
					  <author>info@habaritanzania.com (Habari Tanzania)</author>
					  <pubDate>Mon, 12 Feb 2007 00:00:00 -0600</pubDate>
					 
					</item>

				

					<item>
					  <title>Afya za wauza mapanki Mwanza hatarini</title>
					  <link>http://www.habaritanzania.com/articles/2932/1/Afya-za-wauza-mapanki-Mwanza-hatarini</link>
					  <description>AFYA za wafanyabiashara na vibarua wanaojishughulisha na ukaushaji wa mabaki ya minofu ya samaki maarufu kwa jina la mapanki eneo la Mkolani, Wilaya ya Nyamagana, jijini Mwanza itaendelea kuwa hatarini, ikiwa inzi na funza wanaozagaa eneo hilo hawatadhibitiwa.</description>
					  <author>info@habaritanzania.com (Habari Tanzania)</author>
					  <pubDate>Mon, 12 Feb 2007 00:00:00 -0600</pubDate>
					 
					</item>

				

					<item>
					  <title>Afrika Mashriki yatakiwa kuboresha barabara</title>
					  <link>http://www.habaritanzania.com/articles/2930/1/Afrika-Mashriki-yatakiwa-kuboresha-barabara</link>
					  <description>NCHI za Afrika Mashariki zimetakiwa kuimarisha miundombinu ya barabara, ili kuharakisha maendeleo ya nchi hizo.</description>
					  <author>info@habaritanzania.com (Habari Tanzania)</author>
					  <pubDate>Mon, 12 Feb 2007 00:00:00 -0600</pubDate>
					 
					</item>

				

					<item>
					  <title>Ufaransa yashtaki wachimba madini Tanzania</title>
					  <link>http://www.habaritanzania.com/articles/2929/1/Ufaransa-yashtaki-wachimba-madini-Tanzania</link>
					  <description>UBALOZI wa Ufaransa nchini, umefungua kesi dhidi ya Chama cha Wachimbaji Wadogo wa Madini Mkoa wa Arusha (Arema) na Shirikisho la Vyama vya Wafanyakazi nchini (Tucta), ukidai kurejeshewa kompyuta na vifaa vingine vyenye thamani ya dola za Marekani 7,725,000, ambavyo ilivitoa kama mradi kwa chama hicho. </description>
					  <author>info@habaritanzania.com (Habari Tanzania)</author>
					  <pubDate>Mon, 12 Feb 2007 00:00:00 -0600</pubDate>
					 
					</item>

				

					<item>
					  <title>Homa ya Bonde la Ufa yaingia Kilosa, Tanga</title>
					  <link>http://www.habaritanzania.com/articles/2928/1/Homa-ya-Bonde-la-Ufa-yaingia-Kilosa%2C-Tanga</link>
					  <description>UGONJWA wa homa ya bonde la ufa umeingia katika Wilaya ya Kilosa,mkoani Morogoro.</description>
					  <author>info@habaritanzania.com (Habari Tanzania)</author>
					  <pubDate>Mon, 12 Feb 2007 00:00:00 -0600</pubDate>
					 
					</item>

				

					<item>
					  <title>Wafugaji Dar kuonja machungu ya sheria</title>
					  <link>http://www.habaritanzania.com/articles/2927/1/Wafugaji-Dar-kuonja-machungu-ya-sheria</link>
					  <description>WAKAZI wa jiji la Dar es Salaam wanaofuga mifugo wataanza kuonja machungu ya makali ya sheria ya ndogo ya ufugaji mijini kufuatia kuanzishwa kwa operesheni maalum kuondoa mifugo iliyopangwa kuanza kutekelezwa Februari 15, mwaka huu.</description>
					  <author>info@habaritanzania.com (Habari Tanzania)</author>
					  <pubDate>Mon, 12 Feb 2007 00:00:00 -0600</pubDate>
					 
					</item>

				

					<item>
					  <title>Serikali yajipuuza yanunua magari ya fahari</title>
					  <link>http://www.habaritanzania.com/articles/2925/1/Serikali-yajipuuza-yanunua-magari-ya-fahari</link>
					  <description>MIEZI michache tangu serikali itangaze kuanza mchakato wa kupunguza gharama za uendeshaji zinazotokana na wingi wa magari yake ya fahari, imenunua magari mawili ya kifahari aina ya Lexus ambayo gharama yake inakadiriwa kufika Sh400 milioni.</description>
					  <author>info@habaritanzania.com (Habari Tanzania)</author>
					  <pubDate>Mon, 12 Feb 2007 00:00:00 -0600</pubDate>
					 
					</item>

				

					<item>
					  <title>Serikali inaogopa vikaragosi vya HakiElimu na TAMWA?</title>
					  <link>http://www.habaritanzania.com/articles/2914/1/Serikali-inaogopa-vikaragosi-vya-HakiElimu-na-TAMWA%3F</link>
					  <description>MATUKIO kadhaa katika wiki chache zilizopita nchini Tanzania, yamenifanya nimkumbuke aliyekuwa rais, dikteta wa Uganda, Nduli Idi Amin Dada. </description>
					  <author>info@habaritanzania.com (Habari Tanzania)</author>
					  <pubDate>Sun, 11 Feb 2007 00:00:00 -0600</pubDate>
					 
					</item>

				

					<item>
					  <title>Msimamo huu wa wazazi Serengeti wa kuigwa</title>
					  <link>http://www.habaritanzania.com/articles/2913/1/Msimamo-huu-wa-wazazi-Serengeti-wa-kuigwa</link>
					  <description>MOJA ya habari kubwa katika gazeti hili, ni kuhusu hatua ya kushangaza iliyochukuliwa na baadhi ya wazazi wilayani Serengeti, mkoani Mara, waliojitokeza kupinga watoto wao kuwamo katika orodha ya wanafunzi waliofaulu mitihani ya kuhitimu elimu ya msingi.</description>
					  <author>info@habaritanzania.com (Habari Tanzania)</author>
					  <pubDate>Sun, 11 Feb 2007 00:00:00 -0600</pubDate>
					 
					</item>

				

					<item>
					  <title>Tanzania sasa kurudi COMESA</title>
					  <link>http://www.habaritanzania.com/articles/2912/1/Tanzania-sasa-kurudi-COMESA</link>
					  <description>KATIKA moja ya mabadiliko makubwa katika sera za biashara, serikali imeanza kufikiria kuirejesha Tanzania katika Soko la Pamoja la Nchi za Mashariki na Kusini mwa Afrika (COMESA), miaka saba baada ya kujitoa.</description>
					  <author>info@habaritanzania.com (Habari Tanzania)</author>
					  <pubDate>Sun, 11 Feb 2007 00:00:00 -0600</pubDate>
					 
					</item>

				

					<item>
					  <title>Wapinga watoto wao kufaulu darasa la saba</title>
					  <link>http://www.habaritanzania.com/articles/2911/1/Wapinga-watoto-wao-kufaulu-darasa-la-saba</link>
					  <description>KATIKA hali ya kushangaza, baadhi ya wazazi wilayani hapa, mkoani Mara, wameijia juu Wizara ya Elimu na Mafunzo ya Ufundi baada ya kutangaza kuwa watoto wao ni kati ya wanafunzi waliofaulu mitihani ya kuhitimu elimu ya msingi.</description>
					  <author>info@habaritanzania.com (Habari Tanzania)</author>
					  <pubDate>Sun, 11 Feb 2007 00:00:00 -0600</pubDate>
					 
					</item>

				

					<item>
					  <title>Mambo yaiva TRC</title>
					  <link>http://www.habaritanzania.com/articles/2910/1/Mambo-yaiva-TRC</link>
					  <description>SERIKALI imesema mchakato wa kulikodisha Shirika la Reli Tanzania (TRC) kwa mwekezaji mpya, umefikia ukingoni.</description>
					  <author>info@habaritanzania.com (Habari Tanzania)</author>
					  <pubDate>Sun, 11 Feb 2007 00:00:00 -0600</pubDate>
					 
					</item>

				

					<item>
					  <title>Wilaya ya Kinondoni hakuna utawala bora</title>
					  <link>http://www.habaritanzania.com/articles/2896/1/Wilaya-ya-Kinondoni-hakuna-utawala-bora</link>
					  <description>HALMASHAURI ya Manispaa ya Kinondoni imeshika mkia katika utekelezaji wa vigezo vya upimaji utawala bora katika kipindi cha mwaka jana, uchambuzi uliofanywa na wataalamu wa Wizara ya Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa (Tamisemi) umeonyesha.</description>
					  <author>info@habaritanzania.com (Habari Tanzania)</author>
					  <pubDate>Sat, 10 Feb 2007 00:00:00 -0600</pubDate>
					 
					</item>

				

					<item>
					  <title>Kikwete akemea urasimu kudumaza uwekezaji</title>
					  <link>http://www.habaritanzania.com/articles/2895/1/Kikwete-akemea-urasimu-kudumaza-uwekezaji</link>
					  <description>RAIS Jakaya Kikwete amesema baadhi ya watendaji wa serikali wanaoshughulika na utoaji leseni na mfuko wa kodi, wanadumaza uwekezaji nchini kutokana na urasimu.</description>
					  <author>info@habaritanzania.com (Habari Tanzania)</author>
					  <pubDate>Sat, 10 Feb 2007 00:00:00 -0600</pubDate>
					 
					</item>

				

					<item>
					  <title>Mahakama Dar yaelezwa polisi walivyomvuta nyeti mshtakiwa</title>
					  <link>http://www.habaritanzania.com/articles/2894/1/Mahakama-Dar-yaelezwa-polisi-walivyomvuta-nyeti-mshtakiwa</link>
					  <description>MSHITAKIWA wa tano katika kesi ya wizi wa dola 2 milioni za Marekani mali ya Citi Bank. Libent Likondwa, jana aliangua kilio katika Mahakama ya Kisutu wakati akieleza madai ya kuteswa na aliyekuwa Mkuu wa Upelelezi wa Makosa ya Jinai Mkoa wa Dar es Salaam, Abdallah Zombe.</description>
					  <author>info@habaritanzania.com (Habari Tanzania)</author>
					  <pubDate>Sat, 10 Feb 2007 00:00:00 -0600</pubDate>
					 
					</item>

				

					<item>
					  <title>Shule za wasichana zaongoza kufaulu Tanzania kidato cha nne</title>
					  <link>http://www.habaritanzania.com/articles/2893/1/Shule-za-wasichana-zaongoza-kufaulu-Tanzania-kidato-cha-nne</link>
					  <description>MATOKEO ya mtihani wa taifa wa kidato cha nne uliofanyika nchini Oktoba, mwaka jana yametangazwa jana na Baraza la Mitihani la Tanzania (Necta), huku shule za sekondari za wasichana za St. Francis ya mkoani Mbeya na Marian ya Pwani zikiongoza katika orodha ya shule 10 bora zilizofaulisha vizuri.</description>
					  <author>info@habaritanzania.com (Habari Tanzania)</author>
					  <pubDate>Sat, 10 Feb 2007 00:00:00 -0600</pubDate>
					 
					</item>

				

					<item>
					  <title>Bunge lapuuza ushauri wa Jaji, wanasheria</title>
					  <link>http://www.habaritanzania.com/articles/2892/1/Bunge-lapuuza-ushauri-wa-Jaji%2C-wanasheria</link>
					  <description>BUNGE limewapuuza wanasheria akiwemo Jaji wa Mahakama ya Afrika Mashariki, Joseph Warioba, na kupitisha Azio la mabadiliko ya Mkataba wa Jumuiya ya Afrika Mashariki ili kuanzisha Mahakama ya Rufaa.</description>
					  <author>info@habaritanzania.com (Habari Tanzania)</author>
					  <pubDate>Sat, 10 Feb 2007 00:00:00 -0600</pubDate>
					 
					</item>

				

					<item>
					  <title>Mkuu wa gereza akutwa amekufa</title>
					  <link>http://www.habaritanzania.com/articles/2883/1/Mkuu-wa-gereza-akutwa-amekufa</link>
					  <description>MKUU wa Gereza la Ruanda mkoani hapa, Thobias Otto amekutwa amekufa chumbani kwake huku akiwa ameegemea stuli na mkononi akiwa na dawa ya kutibu ugonjwa wa pumu. Ofisa Mnadhimu Mkuu wa Magereza Mkoa wa Mbeya, Peter Wampandamalishi, alisema kuwa kifo cha Otto kilijulikana jana asubuhi baada ya kuchelewa kuingia ofisini. </description>
					  <author>info@habaritanzania.com (Habari Tanzania)</author>
					  <pubDate>Fri, 09 Feb 2007 00:00:00 -0600</pubDate>
					 
					</item>

				

					<item>
					  <title>Serikali yatetea dawa mpya ya malaria</title>
					  <link>http://www.habaritanzania.com/articles/2882/1/Serikali-yatetea-dawa-mpya-ya-malaria</link>
					  <description>SERIKALI imesema haitapiga marufuku matumizi ya dawa mpya ya malaria ya ALU, kutokana na madai kuwa ina madhara kwa watumiaji. Badala yake imewataka wananchi kuwa makini na matumizi ya dawa zote kabla ya kupata ushauri wa wataalamu na madaktari. </description>
					  <author>info@habaritanzania.com (Habari Tanzania)</author>
					  <pubDate>Fri, 09 Feb 2007 00:00:00 -0600</pubDate>
					 
					</item>

				

					<item>
					  <title>Serikali yatetea dawa mpya ya malaria</title>
					  <link>http://www.habaritanzania.com/articles/2880/1/Serikali-yatetea-dawa-mpya-ya-malaria</link>
					  <description>SERIKALI imesema haitapiga marufuku matumizi ya dawa mpya ya malaria ya ALU, kutokana na madai kuwa ina madhara kwa watumiaji. Badala yake imewataka wananchi kuwa makini na matumizi ya dawa zote kabla ya kupata ushauri wa wataalamu na madaktari. </description>
					  <author>info@habaritanzania.com (Habari Tanzania)</author>
					  <pubDate>Fri, 09 Feb 2007 00:00:00 -0600</pubDate>
					 
					</item>

				

					<item>
					  <title>Waziri Chenge: TTCL si mali ya wafanyakazi</title>
					  <link>http://www.habaritanzania.com/articles/2879/1/Waziri-Chenge%3A-TTCL-si-mali-ya-wafanyakazi</link>
					  <description>SERIKALI imesema haitarajii wafanyakazi wa Kampuni ya Simu Tanzania (TTCL), kumfungia mwekezaji mpya, Saska-Tel International ya Canada kwani mwenye mali amekwisha kuamua hivyo. </description>
					  <author>info@habaritanzania.com (Habari Tanzania)</author>
					  <pubDate>Fri, 09 Feb 2007 00:00:00 -0600</pubDate>
					 
					</item>

				

					<item>
					  <title>Yatangaza ajira 9,000 kwa walimu</title>
					  <link>http://www.habaritanzania.com/articles/2878/1/Yatangaza-ajira-9%2C000-kwa-walimu</link>
					  <description>SERIKALI inatafuta walimu zaidi ya 9,000 wanaotakiwa kufundisha katika sekondari mpya zilizofunguliwa na wananchi, kabla ya Machi mwaka huu. </description>
					  <author>info@habaritanzania.com (Habari Tanzania)</author>
					  <pubDate>Fri, 09 Feb 2007 00:00:00 -0600</pubDate>
					 
					</item>

				

					<item>
					  <title>Spika Sitta aagiza PCB iwachunguze Wabunge</title>
					  <link>http://www.habaritanzania.com/articles/2877/1/Spika-Sitta-aagiza-PCB-iwachunguze-Wabunge</link>
					  <description>SPIKA wa Bunge, Samuel Sitta ameikabidhi Taasisi ya Kuzuia Rushwa (PCB) jukumu la kuchunguza madai yaliyotolewa na Mbunge wa Moshi Mjini, Phillemon Ndesamburo (Chadema) kuwa baadhi ya wabunge walipokea rushwa kutoka kwa mfanyabiashara maarufu, Yussuf Manji. </description>
					  <author>info@habaritanzania.com (Habari Tanzania)</author>
					  <pubDate>Fri, 09 Feb 2007 00:00:00 -0600</pubDate>
					 
					</item>

				

					<item>
					  <title>CCM K&#39;njaro waanza kuwekana sawa</title>
					  <link>http://www.habaritanzania.com/articles/2869/1/CCM-K%26%2339%3Bnjaro-waanza-kuwekana-sawa</link>
					  <description>CHAMA Cha Mapinduzi mkoani Kilimanjaro, kimepiga marufuku uuzaji fomu wa wanachama wake watakaojitokeza kuwania nafasi za uongozi katika uchaguzi wake mkuu unaofanyika mwaka huu.</description>
					  <author>info@habaritanzania.com (Habari Tanzania)</author>
					  <pubDate>Thu, 08 Feb 2007 00:00:00 -0600</pubDate>
					 
					</item>

				

					<item>
					  <title>Mabomu yaliyolipuka Dar yalitoka Tabora</title>
					  <link>http://www.habaritanzania.com/articles/2867/1/Mabomu-yaliyolipuka-Dar-yalitoka-Tabora</link>
					  <description>WATAALAM wa Kikosi cha Jeshi la Wananchi Tanzania (JWTZ) cha 302, wamegundua kwamba baadhi ya wananchi wakijipenyeza kwa siri kwenye uwanja wa shabaha wa Shule ya Mafunzo ya Kijeshi ya Kalunde, mkoani Tabora na kukusanya mabomu yaliyochwa kwenye eneo hilo wakidhani ni vyuma chakavu.</description>
					  <author>info@habaritanzania.com (Habari Tanzania)</author>
					  <pubDate>Thu, 08 Feb 2007 00:00:00 -0600</pubDate>
					 
					</item>

				

					<item>
					  <title>Wanajeshi wa Tanzania waenda Lebanon</title>
					  <link>http://www.habaritanzania.com/articles/2866/1/Wanajeshi-wa-Tanzania-waenda-Lebanon</link>
					  <description>MKUU wa Majeshi ya Ulinzi Tanzania, Jenerali George Waitara amewaonya wanajeshi 80 walioondoka jana kwenda Lebanon kushiriki katika Jeshi la Umoja wa Mataifa la kulinda amani nchini humo, kutojiingiza kwenye vitendo vya uasherati, ulevi na anasa nyinigne ili kulinda afya zao na maslahi ya Taifa.</description>
					  <author>info@habaritanzania.com (Habari Tanzania)</author>
					  <pubDate>Thu, 08 Feb 2007 00:00:00 -0600</pubDate>
					 
					</item>

				

					<item>
					  <title>EAC wamuenzi Julius K. Nyerere</title>
					  <link>http://www.habaritanzania.com/articles/2865/1/EAC-wamuenzi-Julius-K.-Nyerere</link>
					  <description>JUMUIYA ya Afrika Mashariki (EAC), itaanzisha kituo cha utafiti wa amani na utatuzi wa migogoro katika nchi za Kusini mwa Afrika.</description>
					  <author>info@habaritanzania.com (Habari Tanzania)</author>
					  <pubDate>Thu, 08 Feb 2007 00:00:00 -0600</pubDate>
					 
					</item>

				

					<item>
					  <title>Mawaziri wakagua barabara mbovu kwa helikopta</title>
					  <link>http://www.habaritanzania.com/articles/2864/1/Mawaziri-wakagua-barabara-mbovu-kwa-helikopta</link>
					  <description>MAWAZIRI wanne wa serikali ya awamu ya nne waliokwenda kukagua ubovu wa barabara ya Dodoma-Singida walifika jana kwa helikopta ya jeshi na kujionea hali halisi ya barabara hiyo, lakini wakaondoka bila kutoa kauli yoyote.</description>
					  <author>info@habaritanzania.com (Habari Tanzania)</author>
					  <pubDate>Thu, 08 Feb 2007 00:00:00 -0600</pubDate>
					 
					</item>

				

					<item>
					  <title>Vitambulisho vya taifa Tanzania kugharimu Sh192bilioni</title>
					  <link>http://www.habaritanzania.com/articles/2862/1/Vitambulisho-vya-taifa-Tanzania-kugharimu-Sh192bilioni</link>
					  <description>SERIKALI imetangaza rasmi kuanza kutekelezwa kwa mradi wa taifa wa kutengeneza vitambulisho vya raia wa Tanzania walimo ndani na nje ya nchi pamoja na wakazi wasio raia waishio nchini utakaogharimu jumla ya Dola za kimarekani 152 milioni sawa na Sh192bilioni.</description>
					  <author>info@habaritanzania.com (Habari Tanzania)</author>
					  <pubDate>Thu, 08 Feb 2007 00:00:00 -0600</pubDate>
					 
					</item>

				

					<item>
					  <title>RVF:Tanzania yazuia mifugo kuingia Kenya</title>
					  <link>http://www.habaritanzania.com/articles/2861/1/RVF%3ATanzania-yazuia-mifugo-kuingia-Kenya</link>
					  <description>SERIKALI imepiga marufuku yake kwenda nchini Kenya na kuhamisha mifugo kiholela nchini ikiwa ni hatua ya tahadhari yakukabiliana na ugonjwa wa Homa ya Bonde la Ufa (RVF) ambao hadi sasa umesababisha vifo vya watu wawili nchini.</description>
					  <author>info@habaritanzania.com (Habari Tanzania)</author>
					  <pubDate>Thu, 08 Feb 2007 00:00:00 -0600</pubDate>
					 
					</item>

				

					<item>
					  <title>Agonga watoto na kukimbia</title>
					  <link>http://www.habaritanzania.com/articles/2848/1/Agonga-watoto-na-kukimbia</link>
					  <description>POLISI jijini Dar es Salaam wanamtafuta dereva wa gari lenye namba T167 ALD Toyota Surf kwa tuhuma za kuwagonga watoto watatu wa Shule ya Msingi Kumbukumbu na kusababisha kifo cha mmoja wao. </description>
					  <author>info@habaritanzania.com (Habari Tanzania)</author>
					  <pubDate>Wed, 07 Feb 2007 00:00:00 -0600</pubDate>
					 
					</item>

				

					<item>
					  <title>Wahitaji Shilingi milioni 500</title>
					  <link>http://www.habaritanzania.com/articles/2847/1/Wahitaji-Shilingi-milioni-500</link>
					  <description>TAASISI ya kulea watoto yatima na wanaoishi katika mazingira magumu ya J.C Foundation for Needy, inatafuta shilingi milioni 500 ili kujenga kituo cha kulelea watoto.</description>
					  <author>info@habaritanzania.com (Habari Tanzania)</author>
					  <pubDate>Wed, 07 Feb 2007 00:00:00 -0600</pubDate>
					 
					</item>

				

					<item>
					  <title>Mwenyekiti adaiwa kuzini</title>
					  <link>http://www.habaritanzania.com/articles/2846/1/Mwenyekiti-adaiwa-kuzini</link>
					  <description>MWENYEKITI wa Halmashauri ya Wilaya ya Makete, mkoani Iringa, Onna Nkwama amefikishwa mahakamani akituhumiwa kuzini na mke wa mtu. </description>
					  <author>info@habaritanzania.com (Habari Tanzania)</author>
					  <pubDate>Wed, 07 Feb 2007 00:00:00 -0600</pubDate>
					 
					</item>

				

					<item>
					  <title>Wabunge wataka JKT</title>
					  <link>http://www.habaritanzania.com/articles/2845/1/Wabunge-wataka-JKT</link>
					  <description>BUNGE limeishauri Serikali kurejesha mafunzo ya lazima ya Jeshi la Kujenga Taifa (JKT) kwa vijana wanaomaliza kidato cha sita na chuo kikuu. </description>
					  <author>info@habaritanzania.com (Habari Tanzania)</author>
					  <pubDate>Wed, 07 Feb 2007 00:00:00 -0600</pubDate>
					 
					</item>

				

					<item>
					  <title>TUCTA yataka kima cha chini kiwe 315,000/-</title>
					  <link>http://www.habaritanzania.com/articles/2844/1/TUCTA-yataka-kima-cha-chini-kiwe-315%2C000%7B47%7D-</link>
					  <description>SHIRIKISHO la Vyama vya Wafanyakazi Tanzania (TUCTA), limependekeza kima cha chini cha mshahara kwa mtumishi wa umma nchini uwe Sh 315,000 kwa mwezi. TUCTA imemweleza Rais Jakaya Kikwete kuwa huo ni mshahara anaostahili kulipwa mtumishi aweze kumudu gharama za maisha kama za chakula, mavazi, elimu kwa watoto, nishati, malazi, matibabu na gharama nyingine. </description>
					  <author>info@habaritanzania.com (Habari Tanzania)</author>
					  <pubDate>Wed, 07 Feb 2007 00:00:00 -0600</pubDate>
					 
					</item>

				

					<item>
					  <title>Hospitali ya kanisa kuboresha huduma</title>
					  <link>http://www.habaritanzania.com/articles/2843/1/Hospitali-ya-kanisa-kuboresha-huduma</link>
					  <description>HOSPITALI ya Kanisa la Uinjilisti la Mbalizi, iliyopo eneo Ifisi, Wilaya ya Mbeya Vijijini itaboresha huduma zake, ili kupunguza misongamano ya wagonjwa katika zahanati mbali mbali jijini hapa.</description>
					  <author>info@habaritanzania.com (Habari Tanzania)</author>
					  <pubDate>Tue, 06 Feb 2007 00:00:00 -0600</pubDate>
					 
					</item>

				

					<item>
					  <title>Polisi kuimarisha ulinzi wa Ditopile</title>
					  <link>http://www.habaritanzania.com/articles/2842/1/Polisi-kuimarisha-ulinzi-wa-Ditopile</link>
					  <description>ULINZI wa Mkuu wa Mkoa wa zamani wa Tabora, Ditopile Mzuzuri, utaimarishwa na polisi ili kuwadhibiti watu wanamzunguka na kumfunika khanga mahakamani, kwa ajili ya usalama wake.</description>
					  <author>info@habaritanzania.com (Habari Tanzania)</author>
					  <pubDate>Tue, 06 Feb 2007 00:00:00 -0600</pubDate>
					 
					</item>

				

					<item>
					  <title> Maradhi hatari ya Rifti Valley yapiga hodi Tanzania</title>
					  <link>http://www.habaritanzania.com/articles/2841/1/-Maradhi-hatari-ya-Rifti-Valley-yapiga-hodi-Tanzania</link>
					  <description>         UGONJWA wa homa ya bonde la ufa (Rift Valley Fever) ambao umekuwa ukitikisa          nchini Kenya umeingia nchini na tayari umeau watu wawili mkoani Arusha.</description>
					  <author>info@habaritanzania.com (Habari Tanzania)</author>
					  <pubDate>Tue, 06 Feb 2007 00:00:00 -0600</pubDate>
					 
					</item>

				

					<item>
					  <title>HALMASHAURI YA KASULU KATIKA LAWAMA NZITO</title>
					  <link>http://www.habaritanzania.com/articles/2839/1/HALMASHAURI-YA-KASULU-KATIKA-LAWAMA-NZITO</link>
					  <description>Wananchi wa kijiji cha Nyansha wilayani Kasulu wameulaumu uongozi wa wilaya ya Kasulu kwa kutowapa ushirikiano katika shughuli za maendeleo kijijini mwao.</description>
					  <author>pkwigize@yahoo.com (Prosper Kwigize)</author>
					  <pubDate>Tue, 06 Feb 2007 00:00:00 -0600</pubDate>
					 
					</item>

				

					<item>
					  <title>BFT mmeanza vizuri, isiwe nguvu ya soda</title>
					  <link>http://www.habaritanzania.com/articles/2837/1/BFT-mmeanza-vizuri%2C-isiwe-nguvu-ya-soda</link>
					  <description>MWEZI uliopita, Shirikisho la Mchezo wa Ngumi za Ridhaa Tanzania (BFT), lilifanya uchaguzi mkuu wa kikatiba uliomweka madarakani Alhaji Shaaban Mintanga na kamati yake.</description>
					  <author>info@habaritanzania.com (Habari Tanzania)</author>
					  <pubDate>Mon, 05 Feb 2007 00:00:00 -0600</pubDate>
					 
					</item>

				

					<item>
					  <title>Mbolea ya ruzuku yayeyuka Kahama</title>
					  <link>http://www.habaritanzania.com/articles/2836/1/Mbolea-ya-ruzuku-yayeyuka-Kahama</link>
					  <description>MKUU wa Wilaya ya Kahama, Kanali Kelvin Msemwa, amesema utaratibu mbovu uliowekwa na wakala walioteuliwa na halmashauri, ndio kikwazo cha mbolea ya ruzuku kuwafikia wakulima.</description>
					  <author>info@habaritanzania.com (Habari Tanzania)</author>
					  <pubDate>Mon, 05 Feb 2007 00:00:00 -0600</pubDate>
					 
					</item>

				

					<item>
					  <title>CCM yadoda Dar, Moshi yatia fora</title>
					  <link>http://www.habaritanzania.com/articles/2835/1/CCM-yadoda-Dar%2C-Moshi-yatia-fora</link>
					  <description>CHAMA Cha Mapinduzi (CCM) jana kilifanya sherehe za kutimiza miaka 30 ya kuzaliwa kwake katika hali iliyoonyesha mabadiliko makubwa ya kimtazamo miongoni mwa wananchi.</description>
					  <author>info@habaritanzania.com (Habari Tanzania)</author>
					  <pubDate>Mon, 05 Feb 2007 00:00:00 -0600</pubDate>
					 
					</item>

				

					<item>
					  <title>Lowassa awaita HakiElimu</title>
					  <link>http://www.habaritanzania.com/articles/2834/1/Lowassa-awaita-HakiElimu</link>
					  <description>SIKU tatu baada ya Rais Jakaya Kikwete kusema analifanyia kazi suala la Taasisi ya HakiElimu, Waziri Mkuu, Edward Lowassa, amewaita viongozi wa shirika hilo mjini Dodoma anakohudhuria kikao cha Bunge.</description>
					  <author>info@habaritanzania.com (Habari Tanzania)</author>
					  <pubDate>Mon, 05 Feb 2007 00:00:00 -0600</pubDate>
					 
					</item>

				

					<item>
					  <title>Kikwete: Kama si Mkapa leo tungekuwa shirikisho</title>
					  <link>http://www.habaritanzania.com/articles/2833/1/Kikwete%3A-Kama-si-Mkapa-leo-tungekuwa-shirikisho</link>
					  <description>RAIS Jakaya Kikwete ameshangazwa na hatua ya baadhi ya wanasheria na wanasiasa kumlaumu yeye kutokana na kuanza kwa mchakato wa kuundwa kwa Shirikisho la Afrika Mashariki ifikapo mwaka 2013.</description>
					  <author>info@habaritanzania.com (Habari Tanzania)</author>
					  <pubDate>Mon, 05 Feb 2007 00:00:00 -0600</pubDate>
					 
					</item>

				

					<item>
					  <title>Majambazi yateka mabasi, yapora abiria</title>
					  <link>http://www.habaritanzania.com/articles/2825/1/Majambazi-yateka-mabasi%2C-yapora-abiria</link>
					  <description>MABASI mawili ya Kampuni ya Hajee's yametekwa na watu wanaosadikiwa kuwa ni majambazi na kisha abiria wake kuporwa, wakiwamo waandishi wa habari.</description>
					  <author>info@habaritanzania.com (Habari Tanzania)</author>
					  <pubDate>Sun, 04 Feb 2007 00:00:00 -0600</pubDate>
					 
					</item>

				

					<item>
					  <title>Emirates yatangaza ajira kwa Watanzania</title>
					  <link>http://www.habaritanzania.com/articles/2824/1/Emirates-yatangaza-ajira-kwa-Watanzania</link>
					  <description>SHIRIKA la Ndege la Emirates limetangaza nafasi za ajira kwa Watanzania na kuwashauri wale wanaohitaji ajira hizo wajitokeze na kuomba kazi hizo.</description>
					  <author>info@habaritanzania.com (Habari Tanzania)</author>
					  <pubDate>Sun, 04 Feb 2007 00:00:00 -0600</pubDate>
					 
					</item>

				

					<item>
					  <title>Kikwete aahidi kushughulikia kilio cha wanavyuo</title>
					  <link>http://www.habaritanzania.com/articles/2823/1/Kikwete-aahidi-kushughulikia-kilio-cha-wanavyuo</link>
					  <description>SERIKALI imesikia kilio cha wanafunzi wa vyuo vya elimu ya juu nchini cha kutaka iondoe utaratibu wa kuwataka wachangie asilimia 40 ya gharama za masomo yao, ingawa imeeleza kuwa haina uwezo kwa sasa kutekeleza madai hayo.</description>
					  <author>info@habaritanzania.com (Habari Tanzania)</author>
					  <pubDate>Sun, 04 Feb 2007 00:00:00 -0600</pubDate>
					 
					</item>

				

					<item>
					  <title>Miaka 30 Chama tawala kimesahau nguzo zilizokijenga</title>
					  <link>http://www.habaritanzania.com/articles/2822/1/Miaka-30-Chama-tawala-kimesahau-nguzo-zilizokijenga</link>
					  <description>CHAMA Cha Mapinduzi (CCM), leo kinaadhimisha sherehe za kutimiza miaka 30 tangu kuanzishwa kwake. Mengi yamezungumzwa kuhusu historia ya chama hiki, lakini kubwa ni kuwa, sasa CCM imegeuka na kuacha nguzo zilizo katika bendera yake.</description>
					  <author>info@habaritanzania.com (Habari Tanzania)</author>
					  <pubDate>Sun, 04 Feb 2007 00:00:00 -0600</pubDate>
					 
					</item>

				

					<item>
					  <title>TLS waenda Bungeni kunusuru Afrika Mashariki</title>
					  <link>http://www.habaritanzania.com/articles/2821/1/TLS-waenda-Bungeni-kunusuru-Afrika-Mashariki</link>
					  <description>CHAMA cha Wanasheria Tanganyika(TLS) kimetuma mjumbe maalum kwenye Bunge la Jamhuri ya Muungano wa Tanzania linaloendelea mjini Dodoma ili kuliomba Bunge hilo kusitisha kupitisha rasimu ya mabadiliko katika Mkataba wa Afrika Mashariki, hasa kipengele kinachohusiana na uundwaji wa Mahakama ya Rufaa.</description>
					  <author>info@habaritanzania.com (Habari Tanzania)</author>
					  <pubDate>Sun, 04 Feb 2007 00:00:00 -0600</pubDate>
					 
					</item>

				

					<item>
					  <title>Mbunge ataka uchimbaji tanzanite usitishwe</title>
					  <link>http://www.habaritanzania.com/articles/2809/1/Mbunge-ataka-uchimbaji-tanzanite-usitishwe</link>
					  <description>MBUNGE wa Same Mashariki, Anne Malecela, ameishauri serikali kusimamisha uchimbaji wa madini ya Tanzanite hadi hapo wawekezaji wa ndani watakapokuwa na uwezo wa kuyachimba madini hayo.</description>
					  <author>info@habaritanzania.com (Habari Tanzania)</author>
					  <pubDate>Sat, 03 Feb 2007 00:00:00 -0600</pubDate>
					 
					</item>

				

					<item>
					  <title>Waziri ashauri wananchi kutaa misaada ya kompyuta</title>
					  <link>http://www.habaritanzania.com/articles/2808/1/Waziri-ashauri-wananchi-kutaa-misaada-ya-kompyuta</link>
					  <description>WAZIRI wa Nchi, Ofisi ya Makamu wa Rais (Mazingira), Profesa Mark Mwandosya amewashauri Watanzania kukataa misaada ya kompyuta na simu za mitumba ili kuiepusha Tanzania kugeuka dampo la taka za sumu za kielektroniki.</description>
					  <author>info@habaritanzania.com (Habari Tanzania)</author>
					  <pubDate>Sat, 03 Feb 2007 00:00:00 -0600</pubDate>
					 
					</item>

				

					<item>
					  <title>Afisa wa ubalozi kulipa Sh34 milioni</title>
					  <link>http://www.habaritanzania.com/articles/2807/1/Afisa-wa-ubalozi-kulipa-Sh34-milioni</link>
					  <description>AFISA mmoja wa Ubalozi wa Tanzania nchini Malawi amepewa adhabu ya kulipa Sh33,887,569, baada kubainika kufanya ubadhilifu wa fedha za serikali.</description>
					  <author>info@habaritanzania.com (Habari Tanzania)</author>
					  <pubDate>Sat, 03 Feb 2007 00:00:00 -0600</pubDate>
					 
					</item>

				

					<item>
					  <title>Wapinzani wanyemelea kumrithi Akukweti</title>
					  <link>http://www.habaritanzania.com/articles/2806/1/Wapinzani-wanyemelea-kumrithi-Akukweti</link>
					  <description>VYAMA vya upinzani vimeanza mbio za kuwania ubunge katika uchaguzi Mdogo wa Jimbo la Tunduru kuziba nafasi iliyoachwa wazi na aliyekuwa Waziri wa Nchi Ofisi ya Waziri Mkuu marehemu Juma Akukweti.</description>
					  <author>info@habaritanzania.com (Habari Tanzania)</author>
					  <pubDate>Sat, 03 Feb 2007 00:00:00 -0600</pubDate>
					 
					</item>

				

					<item>
					  <title>Mtikila ashtaki wabunge wa Afrika Mashariki</title>
					  <link>http://www.habaritanzania.com/articles/2805/1/Mtikila-ashtaki-wabunge-wa-Afrika-Mashariki</link>
					  <description>MWENYEKITI wa chama cha Democratic (DP), Mchungaji Christopher Mtikila amefungua kesi katika mahakama ya Afrika Mashariki akitaka wabunge kutoka Tanzania katika Bunge la Afrika Mashariki(EALA) wasiapishwe.</description>
					  <author>info@habaritanzania.com (Habari Tanzania)</author>
					  <pubDate>Sat, 03 Feb 2007 00:00:00 -0600</pubDate>
					 
					</item>

				

					<item>
					  <title> Profesa Mukandara aweka mada kwapani kukimbia waandishi</title>
					  <link>http://www.habaritanzania.com/articles/2792/1/-Profesa-Mukandara-aweka-mada-kwapani-kukimbia-waandishi</link>
					  <description>MAKAMU Mkuu wa Chuo Kikuu cha Dar es Salaam, Profesa Rwekaza Mukandara,          jana aligoma kutoa mada kawenye Warsha ya Wawekezaji, akiwahofia waandishi          wa habari.</description>
					  <author>info@habaritanzania.com (Habari Tanzania)</author>
					  <pubDate>Fri, 02 Feb 2007 00:00:00 -0600</pubDate>
					 
					</item>

				

					<item>
					  <title> Rais Kikwete, Jaji Mkuu Sammata wabeza matangazo ya Tamwa</title>
					  <link>http://www.habaritanzania.com/articles/2790/1/-Rais-Kikwete%2C-Jaji-Mkuu-Sammata-wabeza-matangazo-ya-Tamwa</link>
					  <description>RAIS Jakaya Kikwete na Jaji Mkuu, Barnabas Samatta wameyabeza matangazo          dhidi ya rushwa yanayotolewa kwenye vyombo vya habari yaidhalilisha mahakama          na kuonyesha kuwa mfumo mzima wa mahakama umejaa rushwa.</description>
					  <author>info@habaritanzania.com (Habari Tanzania)</author>
					  <pubDate>Fri, 02 Feb 2007 00:00:00 -0600</pubDate>
					 
					</item>

				

					<item>
					  <title>Spika amsamehe Mbunge Zitto Kabwe</title>
					  <link>http://www.habaritanzania.com/articles/2789/1/Spika-amsamehe-Mbunge-Zitto-Kabwe</link>
					  <description>SPIKA wa Bunge, Samueli Sitta amemsamehe Mbunge wa Kigoma Kaskazini,          Zitto Kabwe baada ya kumuamba msamaha katika shauri la kumdharau na kukataa          maelekezo yake.</description>
					  <author>info@habaritanzania.com (Habari Tanzania)</author>
					  <pubDate>Fri, 02 Feb 2007 00:00:00 -0600</pubDate>
					 
					</item>

				

					<item>
					  <title>Kikwete asisitiza ameshika bakora ya urais</title>
					  <link>http://www.habaritanzania.com/articles/2788/1/Kikwete-asisitiza-ameshika-bakora-ya-urais</link>
					  <description>Rais Jakaya Kikwete, jana alirudia tena kauli yake kuwa urais wake hauna          ubia na kwamba kama ni ubia basi mbia wake ni Makamu wa Rais Dk Mohamed          Shein ambaye kwa pamoja walichaguliwa na wapiga kura kuiongoza Tanzania.          </description>
					  <author>info@habaritanzania.com (Habari Tanzania)</author>
					  <pubDate>Fri, 02 Feb 2007 00:00:00 -0600</pubDate>
					 
					</item>

				

					<item>
					  <title>Tanzania:Waliokula hongo ya rada kukiona</title>
					  <link>http://www.habaritanzania.com/articles/2787/1/Tanzania%3AWaliokula-hongo-ya-rada-kukiona</link>
					  <description>SERIKALI ya Tanzania inasubiri kwa hamu ripoti ya uchunguzi wa sakata          la rada iliyouziwa kutoka Uingereza ili kuchukua hatua kwa Watanzania          watakaobainika kushiriki katika kupokea rushwa ya fedha hizo.</description>
					  <author>info@habaritanzania.com (Habari Tanzania)</author>
					  <pubDate>Fri, 02 Feb 2007 00:00:00 -0600</pubDate>
					 
					</item>

				

					<item>
					  <title>Chuo kikuu Dar huenda kikakopesha wanafunzi wake</title>
					  <link>http://www.habaritanzania.com/articles/2783/1/Chuo-kikuu-Dar-huenda-kikakopesha-wanafunzi-wake</link>
					  <description>UONGOZI wa Chuo Kikuu cha Dar es Salaam (UDSM), unadaiwa kuwa unaangalia uwezekano wa kukopesha wanafunzi wake asilimia 40 ya gharama zote za masomo wanazotakiwa kulipa kwa ajili ya masomo.</description>
					  <author>info@habaritanzania.com (Habari Tanzania)</author>
					  <pubDate>Thu, 01 Feb 2007 00:00:00 -0600</pubDate>
					 
					</item>

				

					<item>
					  <title>Benki CRDB yakopesha Saccos Sh27bilioni</title>
					  <link>http://www.habaritanzania.com/articles/2781/1/Benki-CRDB-yakopesha-Saccos-Sh27bilioni</link>
					  <description>VYAMA vya Kuweka na Kukopa (Saccos) vinavyopatiwa mikopo na Benki ya ya CRDB vimeongezeka kutoka 162 mwaka 2005 hadi kufikia 227 mwisho wa mwaka jana. </description>
					  <author>info@habaritanzania.com (Habari Tanzania)</author>
					  <pubDate>Thu, 01 Feb 2007 00:00:00 -0600</pubDate>
					 
					</item>

				

					<item>
					  <title>Kufungiwa HakiElimu serikali yajipalia mkaa</title>
					  <link>http://www.habaritanzania.com/articles/2778/1/Kufungiwa-HakiElimu-serikali-yajipalia-mkaa</link>
					  <description>WASOMI na wasasiasa wamesema kwamba serikali imevunja haki za kidemokrasia kwa kuyafungia matangazo na machapisho yote ya Shirika lisilo la kiserikali la HakiElimu.</description>
					  <author>info@habaritanzania.com (Habari Tanzania)</author>
					  <pubDate>Thu, 01 Feb 2007 00:00:00 -0600</pubDate>
					 
					</item>

				

					<item>
					  <title>Japan kuisamehe Tanzania deni Sh742bn</title>
					  <link>http://www.habaritanzania.com/articles/2767/1/Japan-kuisamehe-Tanzania-deni-Sh742bn</link>
					  <description>SERIKALI ya Tanzania na Japan, leo zinatiliana saini mkataba wa makubaliano ya kufuta deni la Sh 742 bilioni ambazo Tanzania ilikuwa inadaiwa na nchi hiyo.</description>
					  <author>info@habaritanzania.com (Habari Tanzania)</author>
					  <pubDate>Wed, 31 Jan 2007 00:00:00 -0600</pubDate>
					 
					</item>

				

					<item>
					  <title>Mayote wadaiwa kutaka kutawaliwa na Ufaransa</title>
					  <link>http://www.habaritanzania.com/articles/2766/1/Mayote-wadaiwa-kutaka-kutawaliwa-na-Ufaransa</link>
					  <description>NAIBU Waziri wa Mambo ya Nje na Ushirikiano wa Kimataifa, Cyril Chami ameorodhesha bungeni changamoto zinazoukabili Umoja wa Afrika (AU) kuhusu msimamo wa kuhakikisha Kisiwa Mayote kinarudi katika Dola ya Comoro.</description>
					  <author>info@habaritanzania.com (Habari Tanzania)</author>
					  <pubDate>Wed, 31 Jan 2007 00:00:00 -0600</pubDate>
					 
					</item>

				

					<item>
					  <title>Rais Kikwete apewa mwaliko kuwa mgeni rasmi Vatican</title>
					  <link>http://www.habaritanzania.com/articles/2765/1/Rais-Kikwete-apewa-mwaliko-kuwa-mgeni-rasmi-Vatican</link>
					  <description>Vatican imemwalika Rais Jakaya Kikwete kuwa mgeni rasmi na kufungua mkutano mkuu wa mwaka utakaowajumuisha viongozi wakuu wa madhehebu mbalimbali ya dini Ulimwenguni.</description>
					  <author>info@habaritanzania.com (Habari Tanzania)</author>
					  <pubDate>Wed, 31 Jan 2007 00:00:00 -0600</pubDate>
					 
					</item>

				

					<item>
					  <title>Serikali yainyamazisha tena HakiElimu</title>
					  <link>http://www.habaritanzania.com/articles/2764/1/Serikali-yainyamazisha-tena-HakiElimu</link>
					  <description>OFISI ya Waziri Mkuu imepiga marufuku machapisho na matangazo yanayotolewa na Shirika lisilo la Kiserikali la HakiElimu kupitia vyombo vya habari na kutishia kulichukulia hatua kali za kisheria iwapo litakiuka amri hiyo.</description>
					  <author>info@habaritanzania.com (Habari Tanzania)</author>
					  <pubDate>Wed, 31 Jan 2007 00:00:00 -0600</pubDate>
					 
					</item>

				

					<item>
					  <title>Kamati ya Wangwe yakimbia Zanzibar</title>
					  <link>http://www.habaritanzania.com/articles/2763/1/Kamati-ya-Wangwe-yakimbia-Zanzibar</link>
					  <description>KAMATI ya kukusanya maoni ya Uharakishaji wa Kuunda Shirikisho la Afrika Mashariki imekatisha muda wake visiwani Zanzibar, kwa madai kuwa muda waliopanga hautoshi na wananchi wameonekana hawaelewi kinachotakiwa kufanyika</description>
					  <author>info@habaritanzania.com (Habari Tanzania)</author>
					  <pubDate>Wed, 31 Jan 2007 00:00:00 -0600</pubDate>
					 
					</item>

				

					<item>
					  <title>Mashindano ya karate shuleni yaja</title>
					  <link>http://www.habaritanzania.com/articles/2762/1/Mashindano-ya-karate-shuleni-yaja</link>
					  <description>MASHINDANO ya karate kwa shule za msingi, sekondari na vyuo yanatarajiwa kufanyika Aprili mwaka huu jijini Dar es Salaam.</description>
					  <author>info@habaritanzania.com (Habari Tanzania)</author>
					  <pubDate>Tue, 30 Jan 2007 00:00:00 -0600</pubDate>
					 
					</item>

				

					<item>
					  <title>Wajenga sekondari usiku na kucha</title>
					  <link>http://www.habaritanzania.com/articles/2755/1/Wajenga-sekondari-usiku-na-kucha</link>
					  <description>MOTO uliowashwa na Waziri Mkuu, Edward Lowasa, kuhusu ujenzi wa vyumba vya madarasa na shule mpya za sekondari, umepokelewa kwa staili ya kipekee na wakazi wa Kata ya Kilema Kusini, Jimbo la Vunjo, ambapo sasa wanakesha usiku na kucha wakijenga shule yao mpya ili iweze kukamilika kabla ya Februari 28, mwaka huu.</description>
					  <author>info@habaritanzania.com (Habari Tanzania)</author>
					  <pubDate>Tue, 30 Jan 2007 00:00:00 -0600</pubDate>
					 
					</item>

				

					<item>
					  <title>Wamasai wadaiwa kumteka mkulima</title>
					  <link>http://www.habaritanzania.com/articles/2754/1/Wamasai-wadaiwa-kumteka-mkulima</link>
					  <description>MKULIMA Amos Bwayonga (36), wa Ruaha, wilayani Kilosa anadaiwa kutekwa nyara na wafugaji wa jamii ya kimasai toka Januari kumi, mwaka huu na hajaonekana wala haijulikani kama yuko hai. </description>
					  <author>info@habaritanzania.com (Habari Tanzania)</author>
					  <pubDate>Tue, 30 Jan 2007 00:00:00 -0600</pubDate>
					 
					</item>

				

					<item>
					  <title>Ndege yaangukia barabarani, abiria salama</title>
					  <link>http://www.habaritanzania.com/articles/2753/1/Ndege-yaangukia-barabarani%2C-abiria-salama</link>
					  <description>RAIA wa Afrika ya Kusini, Uingereza na Ufaransa wamenusurika kufa baada ya ndege waliyokuwa wakisafiria kutoka wilayani Chunya kuelekea jijini Dar es Salaam kuanguka barabarani.</description>
					  <author>info@habaritanzania.com (Habari Tanzania)</author>
					  <pubDate>Tue, 30 Jan 2007 00:00:00 -0600</pubDate>
					 
					</item>

				

					<item>
					  <title>Serikali yatafuta kampuni nyingine ya kuifyonza TTCL</title>
					  <link>http://www.habaritanzania.com/articles/2752/1/Serikali-yatafuta-kampuni-nyingine-ya-kuifyonza-TTCL</link>
					  <description>KASUMBA ya kutafuta kampuni za kimenejimenti kutoka nje kuja kuendesha makampuni ya umma nchini, ambayo imeishaingiza Serikali ya Tanzania hasara kubwa, bado iko ndani ya vichwa vya mawaziri na sasa wanatafuta mwendeshaji wa kigeni wa kukabidhiwa Kampuni ya Simu Tanzania (TTCL).</description>
					  <author>info@habaritanzania.com (Habari Tanzania)</author>
					  <pubDate>Tue, 30 Jan 2007 00:00:00 -0600</pubDate>
					 
					</item>

				

					<item>
					  <title>Maandalizi ya kesi ya Ditopile tayari</title>
					  <link>http://www.habaritanzania.com/articles/2751/1/Maandalizi-ya-kesi-ya-Ditopile-tayari</link>
					  <description>UPELELEZI wa kesi ya mauaji inayomkabili aliyekuwa Mkuu wa Mkoa wa Tabora, Ditopile Mzuzuri umekamilika na jalada lake limepelekwa kwa Mkurugenzi wa Mashitaka (DPP).</description>
					  <author>info@habaritanzania.com (Habari Tanzania)</author>
					  <pubDate>Tue, 30 Jan 2007 00:00:00 -0600</pubDate>
					 
					</item>

				

					<item>
					  <title>Korogwe yatunga sheria kuwabana wavivu</title>
					  <link>http://www.habaritanzania.com/articles/2749/1/Korogwe-yatunga-sheria-kuwabana-wavivu</link>
					  <description>WILAYA ya Korogwe iko katika hatua za mwisho za maandalizi ya utungaji wa sheria ndogo itakayowabana watu wanaokwepa shughuli mbalimbali za maendeleo.</description>
					  <author>info@habaritanzania.com (Habari Tanzania)</author>
					  <pubDate>Mon, 29 Jan 2007 00:00:00 -0600</pubDate>
					 
					</item>

				

					<item>
					  <title>Askofu awatetea waandishi kuhusu muswada wa habari</title>
					  <link>http://www.habaritanzania.com/articles/2744/1/Askofu-awatetea-waandishi-kuhusu-muswada-wa-habari</link>
					  <description>ASKOFU wa Kanisa la Kiiinjili la Kilutheli (KKKT), Dayosisi ya Dodoma, Dk Peter Mwamasika, ameomba serikali kuzingatia mawazo ya waandishi wa habari katika utungaji wa sheria mpya ya habari.</description>
					  <author>info@habaritanzania.com (Habari Tanzania)</author>
					  <pubDate>Mon, 29 Jan 2007 00:00:00 -0600</pubDate>
					 
					</item>

				

					<item>
					  <title>Hifadhi zakusanya jumla ya Sh45.6bn Tanzania</title>
					  <link>http://www.habaritanzania.com/articles/2743/1/Hifadhi-zakusanya-jumla-ya-Sh45.6bn-Tanzania</link>
					  <description>MAPATO ya Mamlaka ya Hifadhi za Taifa (TANAPA) yamefikia Sh45.6bilioni kutoka mwaka 1995/6 hadi 2005/6.</description>
					  <author>info@habaritanzania.com (Habari Tanzania)</author>
					  <pubDate>Mon, 29 Jan 2007 00:00:00 -0600</pubDate>
					 
					</item>

				

					<item>
					  <title>Serikali yatafuta kampuni nyingine ya kuifyonza TTCL</title>
					  <link>http://www.habaritanzania.com/articles/2742/1/Serikali-yatafuta-kampuni-nyingine-ya-kuifyonza-TTCL</link>
					  <description>KASUMBA ya kutafuta kampuni za kimenejimenti kutoka nje kuja kuendesha makampuni ya umma nchini, ambayo imeishaingiza Serikali ya Tanzania hasara kubwa, bado iko ndani ya vichwa vya mawaziri na sasa wanatafuta mwendeshaji wa kigeni wa kukabidhiwa Kampuni ya Simu Tanzania (TTCL).</description>
					  <author>info@habaritanzania.com (Habari Tanzania)</author>
					  <pubDate>Mon, 29 Jan 2007 00:00:00 -0600</pubDate>
					 
					</item>

				

					<item>
					  <title>Wanafunzi vyuo vikuu wamgeuka Kikwete</title>
					  <link>http://www.habaritanzania.com/articles/2741/1/Wanafunzi-vyuo-vikuu-wamgeuka-Kikwete</link>
					  <description>WANAFUNZI wa vyuo vikuu jijini Dar es Salaam jana walifanya maandamano ya amani, kupinga kuchangia asilimia 40 katika gharama za masomo yao huku serikali ikiwakopesha asilimia 60. </description>
					  <author>info@habaritanzania.com (Habari Tanzania)</author>
					  <pubDate>Mon, 29 Jan 2007 00:00:00 -0600</pubDate>
					 
					</item>

				

					<item>
					  <title>Mawazo Sanifu: Vijana changamkieni kilimo kuleta mapinduzi ya uchumi</title>
					  <link>http://www.habaritanzania.com/articles/2737/1/Mawazo-Sanifu%3A-Vijana-changamkieni-kilimo-kuleta-mapinduzi-ya-uchumi</link>
					  <description>KUKUA kwa uchumi wa nchi, ni sawa na kukua kwa mwili wa binadamu, ama viumbe wengine! Kama kulivyo na uwiano wa kukua kwa viungo vyote vya mwili, usio na kilema, ni lazima kuwe na uwiano katika kukua kwa sekta zote za uchumi wa nchi, isipokuwa kama sera zinazoongoza zina kilema! </description>
					  <author>info@habaritanzania.com (Habari Tanzania)</author>
					  <pubDate>Sun, 28 Jan 2007 00:00:00 -0600</pubDate>
					 
					</item>

				

					<item>
					  <title>Waziri wa Afya: Hatuna ugomvi na THI</title>
					  <link>http://www.habaritanzania.com/articles/2732/1/Waziri-wa-Afya%3A-Hatuna-ugomvi-na-THI</link>
					  <description>WIZARA ya Afya na Ustaawi wa Jamii imetoa maelezo kuhusiana na madai ya Taasisi ya Moyo nchini (THI) kuwa wizara hiyo inaikwamisha kuleta wataalamu watakaotibu wagonjwa wa moyo karibu 30.</description>
					  <author>info@habaritanzania.com (Habari Tanzania)</author>
					  <pubDate>Sun, 28 Jan 2007 00:00:00 -0600</pubDate>
					 
					</item>

				

					<item>
					  <title>Sakata la mauaji ya vijana Dar lafika kwa AG</title>
					  <link>http://www.habaritanzania.com/articles/2731/1/Sakata-la-mauaji-ya-vijana-Dar-lafika-kwa-AG</link>
					  <description>SAKATA la mauaji ya vijana wawili yanayohusishwa na polisi, limezidi kutikisa mamlaka za serikali na tayari limekwisha fikishwa kwenye ofisi ya Mwanasheria Mkuu wa Serikali (AG) kwa ajili ya kuangalia undani wa vifo hivyo.</description>
					  <author>info@habaritanzania.com (Habari Tanzania)</author>
					  <pubDate>Sun, 28 Jan 2007 00:00:00 -0600</pubDate>
					 
					</item>

				

					<item>
					  <title>Mabadiliko makubwa yaikabili CCM kuondoa makundi</title>
					  <link>http://www.habaritanzania.com/articles/2730/1/Mabadiliko-makubwa-yaikabili-CCM-kuondoa-makundi</link>
					  <description>MABADILIKO makubwa bado yanakikabili Chama Cha Mapinduzi (CCM), ili kukipa dira tofauti na kumaliza makundi yaliyomo ndani yake. Chama hiki kinatimiza miaka 30 mwezi ujao na kitakuwa na Uchaguzi Mkuu wake mwaka huu.</description>
					  <author>info@habaritanzania.com (Habari Tanzania)</author>
					  <pubDate>Sun, 28 Jan 2007 00:00:00 -0600</pubDate>
					 
					</item>

				

					<item>
					  <title>Mzimu wa Richmond kuibuka bungeni</title>
					  <link>http://www.habaritanzania.com/articles/2728/1/Mzimu-wa-Richmond-kuibuka-bungeni</link>
					  <description>WABUNGE kadhaa wamepania kuamsha mjadala wa suala la kampuni ya kuzalisha umeme wa dharura ya Richmond Development Corporation (sasa Dowans) bungeni katika mkutano unaoanza keshokutwa, lakini kwa kutegemea zaidi kudra za Spika.</description>
					  <author>info@habaritanzania.com (Habari Tanzania)</author>
					  <pubDate>Sun, 28 Jan 2007 00:00:00 -0600</pubDate>
					 
					</item>

				

					<item>
					  <title>Mabadiliko makubwa yaikabili CCM kuondoa makundi</title>
					  <link>http://www.habaritanzania.com/articles/2729/1/Mabadiliko-makubwa-yaikabili-CCM-kuondoa-makundi</link>
					  <description>MABADILIKO makubwa bado yanakikabili Chama Cha Mapinduzi (CCM), ili kukipa dira tofauti na kumaliza makundi yaliyomo ndani yake. Chama hiki kinatimiza miaka 30 mwezi ujao na kitakuwa na Uchaguzi Mkuu wake mwaka huu.</description>
					  <author>info@habaritanzania.com (Habari Tanzania)</author>
					  <pubDate>Sat, 27 Jan 2007 00:00:00 -0600</pubDate>
					 
					</item>

				

					<item>
					  <title>Viongozi mtaitenga Mtwara hadi lini?</title>
					  <link>http://www.habaritanzania.com/articles/2720/1/Viongozi-mtaitenga-Mtwara-hadi-lini%3F</link>
					  <description>KATIKA makala yangu iliyokuwa na kichwa cha habari "Dk Shein na Lowassa wameitenga Mtwara", nilijadili na kubainisha kuwa Makamu wa Rais, Dk. Ali Mohammed Shein na Waziri Mkuu, Edward Lowassa, wanafanya ubaguzi wa wazi kwa kutofanya ziara za kikazi katika mikoa ya Mtwara na Lindi wakati wamefanya ziara nyingi katika mikoa mingine, hasa ile ya Kaskazini. </description>
					  <author>info@habaritanzania.com (Habari Tanzania)</author>
					  <pubDate>Sat, 27 Jan 2007 00:00:00 -0600</pubDate>
					 
					</item>

				

					<item>
					  <title>Kwa hili tunampongeza Waziri Margaret Sitta</title>
					  <link>http://www.habaritanzania.com/articles/2719/1/Kwa-hili-tunampongeza-Waziri-Margaret-Sitta</link>
					  <description>MOJA ya mambo yanayokera katika elimu ya Tanzania, ni suala la udanganyifu wa mitihani, ambao chanzo chake ni watumishi wasio waadilifu ndani ya Wizara ya Elimu na Mafunzo ya Ufundi inayoongozwa na Margaret Sitta.</description>
					  <author>info@habaritanzania.com (Habari Tanzania)</author>
					  <pubDate>Sat, 27 Jan 2007 00:00:00 -0600</pubDate>
					 
					</item>

				

					<item>
					  <title>Waziri Sitta acharuka</title>
					  <link>http://www.habaritanzania.com/articles/2718/1/Waziri-Sitta-acharuka</link>
					  <description>WAZIRI wa Elimu na Mafunzo ya Ufundi, Margaret Sitta, jana alitangaza kuwavua madaraka walimu wakuu na baadhi ya maofisa elimu wa mikoa mine, ambayo imebainika kufanya udanganyifu katika mitihani ya darasa la saba mwaka jana. </description>
					  <author>info@habaritanzania.com (Habari Tanzania)</author>
					  <pubDate>Sat, 27 Jan 2007 00:00:00 -0600</pubDate>
					 
					</item>

				

					<item>
					  <title>CUF wajikanganya</title>
					  <link>http://www.habaritanzania.com/articles/2717/1/CUF-wajikanganya</link>
					  <description>WAKATI Chama Cha Mapinduzi (CCM) na Chama cha Wananchi (CUF) vimeanza mazungumzo ya siri kwa lengo la kutafuta muafaka wa mgogoro wa kisiasa visiwani Zanzibar, CUF imeanza kujikanganya kwa kusema kuwa haipo tayari kusaini muafaka wa tatu.</description>
					  <author>info@habaritanzania.com (Habari Tanzania)</author>
					  <pubDate>Sat, 27 Jan 2007 00:00:00 -0600</pubDate>
					 
					</item>

				

					<item>
					  <title>Dowans yashtua wabunge</title>
					  <link>http://www.habaritanzania.com/articles/2716/1/Dowans-yashtua-wabunge</link>
					  <description>KAMATI ya Bunge ya Biashara na Uwekezaji, imeshtushwa na kasi ndogo ya utekelezaji wa mkataba wa megawati 100 za umeme kati ya Kampuni ya Dowans na Shirika la Umeme nchini (TANESCO).</description>
					  <author>info@habaritanzania.com (Habari Tanzania)</author>
					  <pubDate>Sat, 27 Jan 2007 00:00:00 -0600</pubDate>
					 
					</item>

				

					<item>
					  <title>TPC yasimamisha uzalishaji sukari</title>
					  <link>http://www.habaritanzania.com/articles/2711/1/TPC-yasimamisha-uzalishaji-sukari</link>
					  <description>UONGOZI wa Kampuni ya Tanganyika Plant (TPC), umesimamisha uzalishaji wa sukari kwa muda usiojulikana baada ya wafanyakazi wake kugoma kwa siku mbili mfululizo.</description>
					  <author>info@habaritanzania.com (Habari Tanzania)</author>
					  <pubDate>Fri, 26 Jan 2007 00:00:00 -0600</pubDate>
					 
					</item>

				

					<item>
					  <title>Polisi Mbeya, Iringa, Rukwa kushirikiana</title>
					  <link>http://www.habaritanzania.com/articles/2710/1/Polisi-Mbeya%2C-Iringa%2C-Rukwa-kushirikiana</link>
					  <description>JESHI la Polisi Mbeya limetangaza kampeni kambambe ya kukabiliana vitendo vya uhalifu ukiwamo ujambazi wa kutumia silaha kwa kufanya msako kwa kushirikiana na wenzao wa Iringa na Rukwa.</description>
					  <author>info@habaritanzania.com (Habari Tanzania)</author>
					  <pubDate>Fri, 26 Jan 2007 00:00:00 -0600</pubDate>
					 
					</item>

				

					<item>
					  <title>Wananchi waomba mahakama kufunga kanisa</title>
					  <link>http://www.habaritanzania.com/articles/2709/1/Wananchi-waomba-mahakama-kufunga-kanisa</link>
					  <description>MAHAKAMA ya Hakimu Mkazi Sokoine Drive, imeombwa kupitisha amri ya kulifunga Kanisa la Redeemed Gospel Church (Miracle Centre), lililoko Tabata Mawenzi, Jijini Dar es Salaam kwa madai kuwa linasababisha kero kwa wakazi wa eneo hilo.</description>
					  <author>info@habaritanzania.com (Habari Tanzania)</author>
					  <pubDate>Fri, 26 Jan 2007 00:00:00 -0600</pubDate>
					 
					</item>

				

					<item>
					  <title>Wabunge waikataa taarifa ya Tanesco</title>
					  <link>http://www.habaritanzania.com/articles/2708/1/Wabunge-waikataa-taarifa-ya-Tanesco</link>
					  <description>KAMATI ya Bunge ya Uwekezaji na Biashara imekataa kupokea ripoti ya ukaguzi wa hesabu za Shirika la Umeme Tanzania (Tanesco) baada ya kushindwa kuingiza mwaka jana.</description>
					  <author>info@habaritanzania.com (Habari Tanzania)</author>
					  <pubDate>Fri, 26 Jan 2007 00:00:00 -0600</pubDate>
					 
					</item>

				

					<item>
					  <title>Songas, TPDC waandaa kilio kipya kwa wananchi</title>
					  <link>http://www.habaritanzania.com/articles/2707/1/Songas%2C-TPDC-waandaa-kilio-kipya-kwa-wananchi</link>
					  <description>MWAKA 2007 hautakuwa na nafuu ya maisha kwa mwananchi wa kawaida kutokana na uwezekano mkubwa wa kuzidi kuegemewa na ongezeko kubwa la bei ya umeme, Mwananchi imegundua.</description>
					  <author>info@habaritanzania.com (Habari Tanzania)</author>
					  <pubDate>Fri, 26 Jan 2007 00:00:00 -0600</pubDate>
					 
					</item>

				

					<item>
					  <title>Mahakimu watimuliwa kwa kukiuka maadili</title>
					  <link>http://www.habaritanzania.com/articles/2701/1/Mahakimu-watimuliwa-kwa-kukiuka-maadili</link>
					  <description>KATIKA hatua ya kupambana na utovu wa nidhamu na ukiukwaji wa maadili, Idara ya Mahakama imetangaza kumfukuza kazi hakimu mkazi mmoja na kumstaafisha kwa manufaa ya umma hakimu wa wilaya.</description>
					  <author>info@habaritanzania.com (Habari Tanzania)</author>
					  <pubDate>Thu, 25 Jan 2007 00:00:00 -0600</pubDate>
					 
					</item>

				

					<item>
					  <title>Tibaigana ajisalimisha mahakamani</title>
					  <link>http://www.habaritanzania.com/articles/2700/1/Tibaigana-ajisalimisha-mahakamani</link>
					  <description>KAMISHNA wa Polisi, Kanda Maalumu ya Dar es Salaam, Alfred Tibaigana, amelazimika kukatisha likizo na kujisalimisha katika Mahakama ya Hakimu Mkazi Kisutu, iliyokuwa inamtafuta ili kutoa ushahidi wa utetezi katika kesi ya wizi inayowakabili wafanyabiashara watatu.</description>
					  <author>info@habaritanzania.com (Habari Tanzania)</author>
					  <pubDate>Thu, 25 Jan 2007 00:00:00 -0600</pubDate>
					 
					</item>

				

					<item>
					  <title>Migiro aagwa kimila Mwanga</title>
					  <link>http://www.habaritanzania.com/articles/2699/1/Migiro-aagwa-kimila-Mwanga</link>
					  <description>NAIBU Katibu Mkuu wa Umoja wa Mataifa, Dk. Asha-Rose Migiro, leo anatarajiwa kupata baraka za kimila nyumbani kwao Usangi, wilayani Mwanga, katika maombezi yatakayofanywa na wazee wa Chilla.</description>
					  <author>info@habaritanzania.com (Habari Tanzania)</author>
					  <pubDate>Thu, 25 Jan 2007 00:00:00 -0600</pubDate>
					 
					</item>

				

					<item>
					  <title>Waziri: Polisi Zanzibar wadhalilisha wanawake</title>
					  <link>http://www.habaritanzania.com/articles/2697/1/Waziri%3A-Polisi-Zanzibar-wadhalilisha-wanawake</link>
					  <description>WAZIRI wa Kazi, Maendeleo ya Vijana, Wanawake na Watoto, Asha Abdalla Juma, amelieleza Baraza la Wawakilishi Zanzibar kuwa polisi wamekuwa miongoni mwa makundi ya watu yanayoongoza katika kuwadhalilisha wanawake na watoto Zanzibar.</description>
					  <author>info@habaritanzania.com (Habari Tanzania)</author>
					  <pubDate>Thu, 25 Jan 2007 00:00:00 -0600</pubDate>
					 
					</item>

				

					<item>
					  <title>Mafao ya majaji kupanda</title>
					  <link>http://www.habaritanzania.com/articles/2696/1/Mafao-ya-majaji-kupanda</link>
					  <description>WAKATI ripoti ya tume iliyoangalia mishahara ya watumnishi wa umma ikiwa inasubiri kufanyiwa kazi na Rais Jakaya Kikwete, Bunge limepanga kujadili muswada wa kuongeza mishahara na masilahi ya majaji nchini, katika mkutano wake wa sita unaotarajiwa kuanza wiki ijayo.</description>
					  <author>info@habaritanzania.com (Habari Tanzania)</author>
					  <pubDate>Thu, 25 Jan 2007 00:00:00 -0600</pubDate>
					 
					</item>

				

					<item>
					  <title>Polisi waua jambazi tishio</title>
					  <link>http://www.habaritanzania.com/articles/2691/1/Polisi-waua-jambazi-tishio</link>
					  <description>POLISI mkoani Mara, wamefanikiwa kumuua mtu mmoja anayedaiwa kuwa jambazi tishio, Magori Tito, mkazi wa Kijiji cha Nyakunguru wilayani hapa.</description>
					  <author>info@habaritanzania.com (Habari Tanzania)</author>
					  <pubDate>Wed, 24 Jan 2007 00:00:00 -0600</pubDate>
					 
					</item>

				

					<item>
					  <title>Ziara ya Makamba yazua hofu Z'bar</title>
					  <link>http://www.habaritanzania.com/articles/2690/1/Ziara-ya-Makamba-yazua-hofu-Z%92bar</link>
					  <description>ZIARA ya Katibu Mkuu wa Chama Cha Mapinduzi (CCM), Yussuf Makamba, hapa Zanzibar, imewaweka roho juu baadhi ya vigogo wa SMZ, wanaohofia kupoteza nyadhifa zao.</description>
					  <author>info@habaritanzania.com (Habari Tanzania)</author>
					  <pubDate>Wed, 24 Jan 2007 00:00:00 -0600</pubDate>
					 
					</item>

				

					<item>
					  <title>Tuzo yamwamsha Kawawa</title>
					  <link>http://www.habaritanzania.com/articles/2689/1/Tuzo-yamwamsha-Kawawa</link>
					  <description>WAZIRI Mkuu mstaafu, Rashid Mfaume Kawawa, amesema tuzo ya Martin Luther King Jr Drum Major, ambayo Ubalozi wa Marekani nchini umemtunukia mwaka huu, imefufua ari yake ya kulitumikia taifa.</description>
					  <author>info@habaritanzania.com (Habari Tanzania)</author>
					  <pubDate>Wed, 24 Jan 2007 00:00:00 -0600</pubDate>
					 
					</item>

				

					<item>
					  <title>Bei ya umeme kupanda rasmi siku nane zijazo</title>
					  <link>http://www.habaritanzania.com/articles/2688/1/Bei-ya-umeme-kupanda-rasmi-siku-nane-zijazo</link>
					  <description>SHIRIKA la Umeme Tanzania (TANESCO), limetangaza rasmi viwango vipya vya bei za umeme vitakavyoanza kutumika katika kipindi cha siku nane zijazo.</description>
					  <author>info@habaritanzania.com (Habari Tanzania)</author>
					  <pubDate>Wed, 24 Jan 2007 00:00:00 -0600</pubDate>
					 
					</item>

				

					<item>
					  <title>Tuhuma za rushwa zainyemelea Temeke</title>
					  <link>http://www.habaritanzania.com/articles/2681/1/Tuhuma-za-rushwa-zainyemelea-Temeke</link>
					  <description>BAADHI ya watendaji katika Manispaa ya Temeke, wamejiingiza katika kitendawili kigumu baada ya kushidwa kuwasilisha nyaraka maalumu za gari la zimamoto (Manufactural Warrant) katika Wizara ya Miundombinu ili kupata usajili kama ilivyoelekezwa na wizara.</description>
					  <author>info@habaritanzania.com (Habari Tanzania)</author>
					  <pubDate>Tue, 23 Jan 2007 00:00:00 -0600</pubDate>
					 
					</item>

				

					<item>
					  <title>Ofisa Misitu atuhumiwa kuuza vibali vya serikali</title>
					  <link>http://www.habaritanzania.com/articles/2678/1/Ofisa-Misitu-atuhumiwa-kuuza-vibali-vya-serikali</link>
					  <description>WAFANYABIASHARA wanaosafirisha mbao kutoka Mafinga, mkoani Iringa kuja Dar es Salaam, wamemtuhumu ofisa misitu mkoani humo kwa kuweka mawakala wa kuwauzia vibali vya usafirishaji kinyume cha sheria.</description>
					  <author>info@habaritanzania.com (Habari Tanzania)</author>
					  <pubDate>Tue, 23 Jan 2007 00:00:00 -0600</pubDate>
					 
					</item>

				

					<item>
					  <title>Balozi Mahalu kizimbani kwa kuhujumu uchumi</title>
					  <link>http://www.habaritanzania.com/articles/2677/1/Balozi-Mahalu-kizimbani-kwa-kuhujumu-uchumi</link>
					  <description>KATIKA kile kitakachokuja kupigiwa upatu baadaye, kuwa ni juhudi za serikali kupambana na ufisadi, serikali jana ilimfikisha mahakamani, aliyekuwa Balozi wa Tanzania nchini Italia, Costa Ricky Mahalu na wenzake wawili, kujibu tuhuma za kuhujumu uchumi.</description>
					  <author>info@habaritanzania.com (Habari Tanzania)</author>
					  <pubDate>Tue, 23 Jan 2007 00:00:00 -0600</pubDate>
					 
					</item>

				

					<item>
					  <title>CCM yadaiwa kumlinda mbunge aliyeghushi vyeti</title>
					  <link>http://www.habaritanzania.com/articles/2676/1/CCM-yadaiwa-kumlinda-mbunge-aliyeghushi-vyeti</link>
					  <description>CHAMA Cha Mapinduzi (CCM), kimejenga mtandao wa kumlinda Mbunge wa Buchosa, Samuel Chitalilo, anayetuhumiwa kughushi vyeti vya elimu yake, Tanzania Daima imedokezwa.</description>
					  <author>info@habaritanzania.com (Habari Tanzania)</author>
					  <pubDate>Tue, 23 Jan 2007 00:00:00 -0600</pubDate>
					 
					</item>

				

					<item>
					  <title>Majambazi sugu mbaroni</title>
					  <link>http://www.habaritanzania.com/articles/2669/1/Majambazi-sugu-mbaroni</link>
					  <description>JESHI la Polisi, limezidi kupiga hatua kubwa katika vita dhidi ya uhalifu nchini, kwa kuendelea kuwanasa watu wanaotuhumiwa kujihusisha na ujambazi wa kutumia silaha.</description>
					  <author>info@habaritanzania.com (Habari Tanzania)</author>
					  <pubDate>Mon, 22 Jan 2007 00:00:00 -0600</pubDate>
					 
					</item>

				

					<item>
					  <title>Bunge, serikali vyashutumiwa kwa kumkingia kifua mfanyabiashara</title>
					  <link>http://www.habaritanzania.com/articles/2668/1/Bunge%2C-serikali-vyashutumiwa-kwa-kumkingia-kifua-mfanyabiashara</link>
					  <description>VIONGOZI wa serikali na wa Bunge la Jamhuri ya Muungano, wameshutumiwa kumlinda mfanyabiashara mmoja mwenye asili ya kiasia, anayedaiwa kupora fedha za mifuko ya jamii nchini.</description>
					  <author>info@habaritanzania.com (Habari Tanzania)</author>
					  <pubDate>Mon, 22 Jan 2007 00:00:00 -0600</pubDate>
					 
					</item>

				

					<item>
					  <title>Serikali yaficha majina ya vigogo wauza 'unga'</title>
					  <link>http://www.habaritanzania.com/articles/2667/1/Serikali-yaficha-majina-ya-vigogo-wauza-%91unga%92</link>
					  <description>MAJINA ya vigogo wanaotuhumiwa kujihusisha na biashara ya dawa za kulevya, yaliyowasilishwa na Mbunge wa Viti Maalumu (CCM), Amina Chifupa katika Wizara ya Usalama wa Raia na kwa Rais Jakaya Kikwete, yataendelea kuwa siri.</description>
					  <author>info@habaritanzania.com (Habari Tanzania)</author>
					  <pubDate>Mon, 22 Jan 2007 00:00:00 -0600</pubDate>
					 
					</item>

				

					<item>
					  <title>Makamba ambeba Tambwe Hizza kuibomoa CUF Z'bar</title>
					  <link>http://www.habaritanzania.com/articles/2666/1/Makamba-ambeba-Tambwe-Hizza-kuibomoa-CUF-Z%92bar</link>
					  <description>KWELI siasa mchezo mchafu. Katibu Mkuu wa Chama Cha Mapinduzi (CCM), Yussuf Makamba, amebadili rangi akiwa Zanzibar na kuvaa sura halisi ya ukada, na kukichafua Chama cha Wananchi (CUF), akiwatumia wanachama waliokihama.</description>
					  <author>info@habaritanzania.com (Habari Tanzania)</author>
					  <pubDate>Mon, 22 Jan 2007 00:00:00 -0600</pubDate>
					 
					</item>

				

					<item>
					  <title>Wamachinga waikebehi serikali kwa kulala usiku</title>
					  <link>http://www.habaritanzania.com/articles/2664/1/Wamachinga-waikebehi-serikali-kwa-kulala-usiku</link>
					  <description>MIEZI michache tangu kuondolewa katika mitaa na maeneo yasiyoruhusiwa kwa shughuli za biashara, wafanyabiashara ndogo ndogo (wamachinga) wamerudi rasmi katika baadhi ya maeneo hayo, huku baadhi yao wakidai kuwa zile zilikuwa nguvu za soda tu.</description>
					  <author>info@habaritanzania.com (Habari Tanzania)</author>
					  <pubDate>Mon, 22 Jan 2007 00:00:00 -0600</pubDate>
					 
					</item>

				

					<item>
					  <title>Mhadhiri ahofu Tanzania kushambuliwa na Marekani</title>
					  <link>http://www.habaritanzania.com/articles/2663/1/Mhadhiri-ahofu-Tanzania-kushambuliwa-na-Marekani</link>
					  <description>BAADHI ya wahadhiri wa Chuo Kikuu cha Dar es Salaam (UDSM), wameonya kuwa mashambulizi ya Marekani dhidi ya Somalia hivi karibuni, yatakuja pia Tanzania kwa kuwa nchi hiyo inaamini kwamba wafuasi wa mtandao wa kigaidi wa Al-Qaeda wapo pia hapa nchini.</description>
					  <author>info@habaritanzania.com (Habari Tanzania)</author>
					  <pubDate>Mon, 22 Jan 2007 00:00:00 -0600</pubDate>
					 
					</item>

				

					<item>
					  <title>Wizara ya Fedha, Miundombinu zavutana kuhusu Posta</title>
					  <link>http://www.habaritanzania.com/articles/2662/1/Wizara-ya-Fedha%2C-Miundombinu-zavutana-kuhusu-Posta</link>
					  <description>WAKATI Shirika la Posta (TPC) nchini linazidi kuchungulia kaburi Wizara ya Fedha na Miundombinu zinavutana juu ya namna bora zaidi ya kunusuru shirika hilo kongwe nchini, Mwananchi imebaini.</description>
					  <author>info@habaritanzania.com (Habari Tanzania)</author>
					  <pubDate>Mon, 22 Jan 2007 00:00:00 -0600</pubDate>
					 
					</item>

				

					<item>
					  <title>Viongozi wa CCM watunishiana misuli</title>
					  <link>http://www.habaritanzania.com/articles/2661/1/Viongozi-wa-CCM-watunishiana-misuli</link>
					  <description>Viongozi wa CCM mkoa wa Arusha wameanza kutunishiana misuli kutokana na kuhusika katika kashfa ya kuvamia viwanja na kukataa kujiuzulu.</description>
					  <author>info@habaritanzania.com (Habari Tanzania)</author>
					  <pubDate>Mon, 22 Jan 2007 00:00:00 -0600</pubDate>
					 
					</item>

				

					<item>
					  <title>Ukarimu wa Tanzania; krimu yenye sumu</title>
					  <link>http://www.habaritanzania.com/articles/2659/1/Ukarimu-wa-Tanzania%3B-krimu-yenye-sumu</link>
					  <description>WASWAHILI husema: "Mgema akisifiwa, tembo hulitia maji". Na kuna misemo mingi ya aina hiyo ambayo huonyesha kusifiwa kwa kitu lakini baadaye sifa zikizidi mambo lazima yatakwenda mrama.</description>
					  <author>info@habaritanzania.com (Habari Tanzania)</author>
					  <pubDate>Sun, 21 Jan 2007 00:00:00 -0600</pubDate>
					 
					</item>

				

					<item>
					  <title>Mwanri na ujamaa usiojulikana, Makamba na rushwa</title>
					  <link>http://www.habaritanzania.com/articles/2658/1/Mwanri-na-ujamaa-usiojulikana%2C-Makamba-na-rushwa</link>
					  <description>HIVI karibuni Chama Cha Mapinduzi (CCM), kilitoa tamko kwenye magazeti kadhaa, kwa lengo la kujibu hoja kadhaa zilizotolewa na Mwenyekiti wa Chama Cha Demokrasia na Maendeleo (CHADEMA), Freeman Mbowe, hoja ambazo alizitoa alipokuwa akihutubia mikoani, katika ziara yake ya kuwashukuru wananchi kwa kukiunga chama chake mkono katika uchaguzi uliopita sanjari na kujenga na kuimarisha chama chake.</description>
					  <author>info@habaritanzania.com (Habari Tanzania)</author>
					  <pubDate>Sun, 21 Jan 2007 00:00:00 -0600</pubDate>
					 
					</item>

				

					<item>
					  <title>Ari mpya midomoni au mioyoni mwa waimbaji?</title>
					  <link>http://www.habaritanzania.com/articles/2657/1/Ari-mpya-midomoni-au-mioyoni-mwa-waimbaji%3F</link>
					  <description>KAMA unataka kumgusa Rais Jakaya Kikwete, kuna watu unaopaswa kukaa mbali nao. Orodha yao ni ndefu kidogo. Baadhi yao wamo serikalini, wengine wamo ndani ya Chama Cha Mapinduzi (CCM); wengine ni wafanyabiashara. Wanajijua, nami nawajua. Kama unamwogopa Kikwete, kaa mbali nao.</description>
					  <author>info@habaritanzania.com (Habari Tanzania)</author>
					  <pubDate>Sun, 21 Jan 2007 00:00:00 -0600</pubDate>
					 
					</item>

				

					<item>
					  <title>Polisi isifumbie macho madai haya</title>
					  <link>http://www.habaritanzania.com/articles/2656/1/Polisi-isifumbie-macho-madai-haya</link>
					  <description>MOJA ya habari nzito katika toleo hili ni kuhusu madai ya baadhi ya watu walijitokeza wakidai kuwa, ndugu zao wamekamatwa na kufunguliwa kesi za jinai kutokana na kile kinachodaiwa kuwa ni chuki binafsi.</description>
					  <author>info@habaritanzania.com (Habari Tanzania)</author>
					  <pubDate>Sun, 21 Jan 2007 00:00:00 -0600</pubDate>
					 
					</item>

				

					<item>
					  <title>Kuchangia maendeleo ni wajibu wetu sote</title>
					  <link>http://www.habaritanzania.com/articles/2654/1/Kuchangia-maendeleo-ni-wajibu-wetu-sote</link>
					  <description>MWEZI huu nimepata fursa ya kuzitembelea kikazi wilaya za Kigoma, Kasulu na Kibondo katika Mkoa wa Kigoma. Nikiwa katika wilaya hizi, nilibahatika kutembelea maeneo mbalimbali, ambayo yalikuwa yamekumbwa na mvua kubwa, kama ilivyo katika maeneo mengine ya nchi. </description>
					  <author>info@habaritanzania.com (Habari Tanzania)</author>
					  <pubDate>Sat, 20 Jan 2007 00:00:00 -0600</pubDate>
					 
					</item>

				

					<item>
					  <title>Kikwete na Lowassa wekeni mali zenu hadharani</title>
					  <link>http://www.habaritanzania.com/articles/2652/1/Kikwete-na-Lowassa-wekeni-mali-zenu-hadharani</link>
					  <description>TANGU akiwa kwenye kinyang'anyiro cha kuwania kuteuliwa na chama chake kuwa mgombea urais, na baada ya ya kuteuliwa na kushinda uchaguzi mkuu, Rais Jakaya Kikwete alikuwa akieleza wazi kuwa, akichaguliwa kuwa rais, pamoja na mambo mengine, angeendeleza mafanikio na mambo mema ya serikali iliyomtangulia.</description>
					  <author>info@habaritanzania.com (Habari Tanzania)</author>
					  <pubDate>Sat, 20 Jan 2007 00:00:00 -0600</pubDate>
					 
					</item>

				

					<item>
					  <title>Jamani nchi inaliwa</title>
					  <link>http://www.habaritanzania.com/articles/2651/1/Jamani-nchi-inaliwa</link>
					  <description>NAITWA Mpayukaji mwana wa Msema hovyo. Januari 12, mwaka huu nikiwa napitapita kwenye mitaa ya Kariakoo pale Shule ya Uhuru mduara, jijini Dar es Salaam, kwa mara ya kwanza tangu mwaka huu uanze, nilinunua gazeti la Tanzania Daima.</description>
					  <author>info@habaritanzania.com (Habari Tanzania)</author>
					  <pubDate>Sat, 20 Jan 2007 00:00:00 -0600</pubDate>
					 
					</item>

				

					<item>
					  <title>Mabadiliko sheria ya rushwa yawe dhahiri</title>
					  <link>http://www.habaritanzania.com/articles/2650/1/Mabadiliko-sheria-ya-rushwa-yawe-dhahiri</link>
					  <description>MOJA ya habari zilizochapishwa katika ukurasa wa mbele wa gazeti hili leo, inahusu nia ya Serikali kuharakisha kuupeleka bungeni muswada wa sheria mpya ya rushwa.</description>
					  <author>info@habaritanzania.com (Habari Tanzania)</author>
					  <pubDate>Sat, 20 Jan 2007 00:00:00 -0600</pubDate>
					 
					</item>

				

					<item>
					  <title>Mkuu wa mkoa akiri kukabiliwa hali mbaya kielimu</title>
					  <link>http://www.habaritanzania.com/articles/2642/1/Mkuu-wa-mkoa-akiri-kukabiliwa-hali-mbaya-kielimu</link>
					  <description>MKUU wa Mkoa wa Morogoro, Meja Jenerali Mstaafu, Said Kalembo amekiri kuwa hali ya elimu mkoani kwake ni mbaya, na kuwahimiza madiwani kuwahamasisha wananchi kukamilisha ujenzi wa madarasa ya shule za sekondari kabla ya machi 15, mwaka huu.</description>
					  <author>info@habaritanzania.com (Habari Tanzania)</author>
					  <pubDate>Fri, 19 Jan 2007 00:00:00 -0600</pubDate>
					 
					</item>

				

					<item>
					  <title>Mkuu wa mkoa akiri kukabiliwa hali mbaya kielimu</title>
					  <link>http://www.habaritanzania.com/articles/2641/1/Mkuu-wa-mkoa-akiri-kukabiliwa-hali-mbaya-kielimu</link>
					  <description>MKUU wa Mkoa wa Morogoro, Meja Jenerali Mstaafu, Said Kalembo amekiri kuwa hali ya elimu mkoani kwake ni mbaya, na kuwahimiza madiwani kuwahamasisha wananchi kukamilisha ujenzi wa madarasa ya shule za sekondari kabla ya machi 15, mwaka huu.</description>
					  <author>info@habaritanzania.com (Habari Tanzania)</author>
					  <pubDate>Fri, 19 Jan 2007 00:00:00 -0600</pubDate>
					 
					</item>

				

					<item>
					  <title>K&#39;njaro yamshangaza Lowassa kuhusu elimu</title>
					  <link>http://www.habaritanzania.com/articles/2640/1/K%26%2339%3Bnjaro-yamshangaza-Lowassa-kuhusu-elimu</link>
					  <description>WAZIRI Mkuu Edward Lowassa, ameushangaa Mkoa wa Kilimanjaro kuwa pamoja na kuwa na shule nyingi za sekondari, kuna wanafunzi wengi waliofaulu darasa la saba lakini wakakosa nafasi ya kuingia katika shule hizo mwaka huu.</description>
					  <author>info@habaritanzania.com (Habari Tanzania)</author>
					  <pubDate>Fri, 19 Jan 2007 00:00:00 -0600</pubDate>
					 
					</item>

				

					<item>
					  <title>Waziri, wanahabari wazidi kulumbana kwa muswada</title>
					  <link>http://www.habaritanzania.com/articles/2639/1/Waziri%2C-wanahabari-wazidi-kulumbana-kwa-muswada</link>
					  <description>WAZIRI wa Habari, Utamaduni na Michezo, Muhammed Seif Khatib amesema haikuwa lazima kuwaita wadau wa sekta ya habari nchini wakati wa kuandaa rasimu ya muswada wa marekebisho wa sheria ya vyombo vya habari.</description>
					  <author>info@habaritanzania.com (Habari Tanzania)</author>
					  <pubDate>Fri, 19 Jan 2007 00:00:00 -0600</pubDate>
					 
					</item>

				

					<item>
					  <title>Mahakama Dar yageuka kuwa ulingi wa ndondi</title>
					  <link>http://www.habaritanzania.com/articles/2637/1/Mahakama-Dar-yageuka-kuwa-ulingi-wa-ndondi</link>
					  <description>MAHAKAMA ya Hakimu Mkazi Kisutu, jijini Dar es Salaam jana iligeuka kuwa ulingo wa masumbwi baada ya Mtanzania na raia wa Jamhuri ya Kidemokrasia ya Kongo (DRC) kupigana na kusababisha hakimu kushindwa kuendelea na kesi.</description>
					  <author>info@habaritanzania.com (Habari Tanzania)</author>
					  <pubDate>Fri, 19 Jan 2007 00:00:00 -0600</pubDate>
					 
					</item>

				

					<item>
					  <title>Ubaguzi wachochea migogoro migodini</title>
					  <link>http://www.habaritanzania.com/articles/2623/1/Ubaguzi-wachochea-migogoro-migodini</link>
					  <description>CHAMA cha Wafanyakazi wa Migodini nchini (Tamico), kimesema migogoro ya wafanyakazi inayotokea migodini inasababishwa waajiri kuwalipa wazalendo maslahi kidogo ikilinganishwa na wageni.</description>
					  <author>info@habaritanzania.com (Habari Tanzania)</author>
					  <pubDate>Thu, 18 Jan 2007 00:00:00 -0600</pubDate>
					 
					</item>

				

					<item>
					  <title>Mahujaji kuwasili kesho kutwa</title>
					  <link>http://www.habaritanzania.com/articles/2622/1/Mahujaji-kuwasili-kesho-kutwa</link>
					  <description>MAHUJAJI 277 wakiwamo maofisa watano waandamizi wa Baraza Kuu la Waislamu wa Tanzania (Bakwata) waliomaliza ibada ya hijja nchini Saud Arabia mwishoni mwa mwaka jana wanatarajiwa kuwasili nchini kesho kutwa.</description>
					  <author>info@habaritanzania.com (Habari Tanzania)</author>
					  <pubDate>Thu, 18 Jan 2007 00:00:00 -0600</pubDate>
					 
					</item>

				

					<item>
					  <title>Kimbunga chabomoa nyumba 21 Rukwa</title>
					  <link>http://www.habaritanzania.com/articles/2621/1/Kimbunga-chabomoa-nyumba-21-Rukwa</link>
					  <description>NYUMBA 21 zimeezuliwa mapaa na nyingine kubomoka pamoja na mtu mmoja kujeruhiwa kutokana na kimbunga kikali kilichotokea jana mchana katika Manispaa ya Sumbawanga, mkoani Rukwa.</description>
					  <author>info@habaritanzania.com (Habari Tanzania)</author>
					  <pubDate>Thu, 18 Jan 2007 00:00:00 -0600</pubDate>
					 
					</item>

				

					<item>
					  <title>Vigogo walaji Arusha mbaroni</title>
					  <link>http://www.habaritanzania.com/articles/2620/1/Vigogo-walaji-Arusha-mbaroni</link>
					  <description>WAFANYAKAZI wawili waliokuwa watumishi wa Halmashauri ya Manispaa ya Arusha wanashikiliwa na polisi na wengine saba, akiwamo aliyekuwa mkurugenzi mtendaji wanatafutwa ili wahojiwe kwa tuhuma za kuhusika na upotevu wa Sh36,950,000 za Manispaa hiyo.</description>
					  <author>info@habaritanzania.com (Habari Tanzania)</author>
					  <pubDate>Thu, 18 Jan 2007 00:00:00 -0600</pubDate>
					 
					</item>

				

					<item>
					  <title>Baada ya mgawo sasa umeme wa kumwaga Tanzania</title>
					  <link>http://www.habaritanzania.com/articles/2619/1/Baada-ya-mgawo-sasa-umeme-wa-kumwaga-Tanzania</link>
					  <description>UZALISHAJI umeme nchini ulioingizwa katika gridi ya taifa umeongezeka kwa kiwango kikubwa hadi kufikia megawati 926 kwa sasa.</description>
					  <author>info@habaritanzania.com (Habari Tanzania)</author>
					  <pubDate>Thu, 18 Jan 2007 00:00:00 -0600</pubDate>
					 
					</item>

				

					<item>
					  <title>Rasimu mbadala muswada wa habari yaandaliwa</title>
					  <link>http://www.habaritanzania.com/articles/2605/1/Rasimu-mbadala-muswada-wa-habari-yaandaliwa</link>
					  <description>MVUTANO kati ya serikali na wadau wa sekta ya habari nchini kuhusu rasimu ya muswada mpya wa sheria ya uhuru wa habari, umechukua sura mpya baada ya wadau wa habari kuamua kuandaa rasimu mbadala ambayo wanapendelea ipelekwe bungeni.</description>
					  <author>info@habaritanzania.com (Habari Tanzania)</author>
					  <pubDate>Wed, 17 Jan 2007 00:00:00 -0600</pubDate>
					 
					</item>

				

					<item>
					  <title>Mvua yaharibu barabara Tunduma-S&#39;wanga</title>
					  <link>http://www.habaritanzania.com/articles/2604/1/Mvua-yaharibu-barabara-Tunduma-S%26%2339%3Bwanga</link>
					  <description>WASAFIRI 150 na magari kadhaa yakiwemo ya abiria na mizigo yamekwama katika eneo la Miangarua katika barabara ya Tunduma - Sumbawanga baada ya barabara hiyo kuharibika kufuatia mvua zinazoendelea kunyesha hivi sasa.</description>
					  <author>info@habaritanzania.com (Habari Tanzania)</author>
					  <pubDate>Wed, 17 Jan 2007 00:00:00 -0600</pubDate>
					 
					</item>

				

					<item>
					  <title>Wasomi wahimizwa kurudi kwao kuendeleza elimu</title>
					  <link>http://www.habaritanzania.com/articles/2603/1/Wasomi-wahimizwa-kurudi-kwao-kuendeleza-elimu</link>
					  <description>UBORESHAJI wa elimu ya msingi na sekondari nchini utaweza kufanikiwa kwa kiasi kikubwa endapo wasomi kutoka katika fani mbalimbali, watakubali kurudi nyumbani kwao na kutoa misaada katika shule walizosomea.</description>
					  <author>info@habaritanzania.com (Habari Tanzania)</author>
					  <pubDate>Wed, 17 Jan 2007 00:00:00 -0600</pubDate>
					 
					</item>

				

					<item>
					  <title>Waziri Mkuu ataka Kanisa lisaidie Afrika inufaike na raslimali</title>
					  <link>http://www.habaritanzania.com/articles/2602/1/Waziri-Mkuu-ataka-Kanisa-lisaidie-Afrika-inufaike-na-raslimali</link>
					  <description>WAZIRI Mkuu Edward Lowassa, amelitaka Kanisa kuyaelekeza mataifa yaliyoendelea, taasisi za fedha za kimataifa na taasisi za kibiashara kuhakikisha Afrika inanufaika na rasilimali zake.</description>
					  <author>info@habaritanzania.com (Habari Tanzania)</author>
					  <pubDate>Wed, 17 Jan 2007 00:00:00 -0600</pubDate>
					 
					</item>

				

					<item>
					  <title>Uingereza kuongeza msaada kwa Tanzania</title>
					  <link>http://www.habaritanzania.com/articles/2601/1/Uingereza-kuongeza-msaada-kwa-Tanzania</link>
					  <description>MCHANGO wa serikali ya Uingereza katika bajeti ya Tanzania mwakani utaongezeka kutoka paundi 90 milioni za mwaka huu hadi paundi 105 milioni ili kusaidia juhudi za serikali katika kupunguza umaskini kwa wananchi wa Tanzania.</description>
					  <author>info@habaritanzania.com (Habari Tanzania)</author>
					  <pubDate>Wed, 17 Jan 2007 00:00:00 -0600</pubDate>
					 
					</item>

				

					<item>
					  <title>Welcome to Jambo Think Tank - Jambothinktank.com</title>
					  <link>http://www.habaritanzania.com/articles/2617/1/Welcome-to-Jambo-Think-Tank-%96-Jambothinktank.com</link>
					  <description>The Jambo Think Tank's mission is to offer ICT leadership by catalyzing  policy changes and by supporting related developments aimed at enabling  Tanzanians to participate effectively in the modern Internet-based global  economy, benefiting the Nation and its partners.</description>
					  <author>info@habaritanzania.com (Habari Tanzania)</author>
					  <pubDate>Tue, 16 Jan 2007 00:00:00 -0600</pubDate>
					 
					</item>

				

					<item>
					  <title>Mtanzania aliyeyatafuna mabilioni ya rada atajwa</title>
					  <link>http://www.habaritanzania.com/articles/2597/1/Mtanzania-aliyeyatafuna-mabilioni-ya-rada-atajwa</link>
					  <description>MTANZANIA aliyepokea mamilioni ya dola za Marekani kama kamisheni ya ununuzi wa rada, ametajwa.</description>
					  <author>info@habaritanzania.com (Habari Tanzania)</author>
					  <pubDate>Tue, 16 Jan 2007 00:00:00 -0600</pubDate>
					 
					</item>

				

					<item>
					  <title>Dk. Sheni mkutanoni Djibouti</title>
					  <link>http://www.habaritanzania.com/articles/2593/1/Dk.-Sheni-mkutanoni-Djibouti</link>
					  <description>MAKAMU wa Rais Dk. Ali Mohamed Sheni, anatarajia kuondoka nchini keshokutwa kwenda Djibouti kuhudhuria mkutano utakaowahusisha Wakuu wa Nchi za Ukanda wa Mashariki ya Afrika kuhusu masuala ya nishati inayotokana na joto la ardhini barani Afrika. </description>
					  <author>info@habaritanzania.com (Habari Tanzania)</author>
					  <pubDate>Tue, 16 Jan 2007 00:00:00 -0600</pubDate>
					 
					</item>

				

					<item>
					  <title>Ekari 100 zasombwa maji Sumbawanga vijijini</title>
					  <link>http://www.habaritanzania.com/articles/2592/1/Ekari-100-zasombwa-maji-Sumbawanga-vijijini</link>
					  <description>ZAIDI ya ekari 100 za mashamba ya wakulima 50 wa vijiji sita vya kata ya Mambwe kenya wilayani Sumbawanga vijijini zimesombwa na maji baada ya mvua kunyesha kwa zaidi ya saa tano katika kata hiyo.</description>
					  <author>info@habaritanzania.com (Habari Tanzania)</author>
					  <pubDate>Tue, 16 Jan 2007 00:00:00 -0600</pubDate>
					 
					</item>

				

					<item>
					  <title>Wabangua korosho wagoma, waandamana kwa RC</title>
					  <link>http://www.habaritanzania.com/articles/2589/1/Wabangua-korosho-wagoma%2C-waandamana-kwa-RC</link>
					  <description>WAFANYAKAZI zaidi ya 3,000 wa kiwanda cha korosho cha Olam, mkoani hapa jana waligoma kufanya kazi na kuandamana hadi ofisi ya mkuu wa mkoa, wakidai nyongeza ya mshahara waliyoahidiwa Januari, mwaka huu. Kwa mujibu wa wafanyakazi hao, ambao baada ya kufika kazini jana asubuhi wote walitoka nje, walilalamikia nyongeza waliyopewa kuwa ni&#160; ndogo.</description>
					  <author>info@habaritanzania.com (Habari Tanzania)</author>
					  <pubDate>Tue, 16 Jan 2007 00:00:00 -0600</pubDate>
					 
					</item>

				

					<item>
					  <title>Madarasa ya msingi, sekondari hayakidhi viwango- Wabunge</title>
					  <link>http://www.habaritanzania.com/articles/2588/1/Madarasa-ya-msingi%2C-sekondari-hayakidhi-viwango--Wabunge</link>
					  <description>ASILIMIA 90 ya majengo ya shule za msingi na sekondari mkoani Rukwa, yamejengwa kwa kutozingatia vipimo na ramani vilivyotolewa na Wizara ya Elimu na Mafunzo ya Ufundi, imefahamika.</description>
					  <author>info@habaritanzania.com (Habari Tanzania)</author>
					  <pubDate>Tue, 16 Jan 2007 00:00:00 -0600</pubDate>
					 
					</item>

				

					<item>
					  <title>Washirika wa Saddam wanyongwa</title>
					  <link>http://www.habaritanzania.com/articles/2587/1/Washirika-wa-Saddam-wanyongwa</link>
					  <description>WASAIDIZI waandamizi wa aliyekuwa Rais wa Irak marehemu Saddam Hussein, wamenyongwa kama ilivyofanyika kwa kiongozi huyo wiki mbili zilizopita.</description>
					  <author>info@habaritanzania.com (Habari Tanzania)</author>
					  <pubDate>Tue, 16 Jan 2007 00:00:00 -0600</pubDate>
					 
					</item>

				

					<item>
					  <title>Mkuu wa mkoa ataka orodha wanaojaza mimba wanafunzi</title>
					  <link>http://www.habaritanzania.com/articles/2585/1/Mkuu-wa-mkoa-ataka-orodha-wanaojaza-mimba-wanafunzi</link>
					  <description>KATIKA harakati za kudhibiti upataji mimba kwa wasichana wa shule za msingi, Mkuu wa Mkoa Morogoro, Meja Jenerali Mstaafu Said Kalembo ameagiza kuwa sasa anahitaji kuona idadi ya watuhumiwa waliokamatwa kwa kosa hilo na si idadi tu ya wasichana waliojazwa mimba.</description>
					  <author>info@habaritanzania.com (Habari Tanzania)</author>
					  <pubDate>Mon, 15 Jan 2007 00:00:00 -0600</pubDate>
					 
					</item>

				

					<item>
					  <title>Problems, Where I stand, and answers</title>
					  <link>http://www.habaritanzania.com/articles/2581/1/Problems%2C-Where-I-stand%2C-and-answers</link>
					  <description>Many libertarians appear to believe that libertarianism can be stated as a simple and convincing moral principle from which everything else follows. Popular candidates are &#34;It is always wrong to initiate coercion&#34; and &#34;Everyone has the absolute right to control his own property, provided that he does not use it to violate the corresponding rights of others.</description>
					  <author>info@habaritanzania.com (Habari Tanzania)</author>
					  <pubDate>Mon, 15 Jan 2007 00:00:00 -0600</pubDate>
					 
					</item>

				

					<item>
					  <title>Tanzania sasa ni kinyozi -Kikwete</title>
					  <link>http://www.habaritanzania.com/articles/2586/1/Tanzania-sasa-ni-kinyozi-%96Kikwete</link>
					  <description>RAIS Jakaya Kikwete amesema Tanzania imeondokana na kuwa kichwa cha  mwenzawazimu katika michezo na sasa imegeuka kuwa kinyozi.</description>
					  <author>jambolondon@yahoo.co.uk (Juma Pinto)</author>
					  <pubDate>Sun, 14 Jan 2007 00:00:00 -0600</pubDate>
					 
					</item>

				

					<item>
					  <title>Agizo la Lowassa wazazi Dar kuchangia kwa nguvu</title>
					  <link>http://www.habaritanzania.com/articles/2576/1/Agizo-la-Lowassa-wazazi-Dar-kuchangia-kwa-nguvu</link>
					  <description>BAADA ya Waziri Mkuu, Edward Lowassa kusulubu uongozi wa Mkoa wa Dar es Salaam kwa kushindwa kupeleka asilimia 70 ya wanafunzi waliofaulu darasa la saba, kuingia kidato cha kwanza, uongozi huo sasa umewageukia wazazi ukitaka kubeba msalaba huo.</description>
					  <author>info@habaritanzania.com (Habari Tanzania)</author>
					  <pubDate>Sun, 14 Jan 2007 00:00:00 -0600</pubDate>
					 
					</item>

				

					<item>
					  <title>Karume apongezwa kuwajali wafanyakazi</title>
					  <link>http://www.habaritanzania.com/articles/2575/1/Karume-apongezwa-kuwajali-wafanyakazi</link>
					  <description>Katibu wa Shirikisho la Vyama vya Wafanyakazi Zanzibar (ZATUC) Makame Launi Makame, ameipongeza hotuba ya Rais wa Zanzibar, Amani Abeid Karume, aliyoitoa katika kilele cha kuadhimisha miaka 43 ya Mapinduzi na kusema kuwa, imeonyesha nuru mpya kufuatia kugusa vipengele vingi vinavyojali maslahi ya wafanyakazi.</description>
					  <author>info@habaritanzania.com (Habari Tanzania)</author>
					  <pubDate>Sun, 14 Jan 2007 00:00:00 -0600</pubDate>
					 
					</item>

				

					<item>
					  <title>Serikali Tanzania kushitakiwa kwaPolisi kuua raia</title>
					  <link>http://www.habaritanzania.com/articles/2573/1/Serikali-Tanzania-kushitakiwa-kwaPolisi-kuua-raia</link>
					  <description>TAARIFA za mauaji ya vijana wawili yanayowahusisha polisi, zimefika hatua mpya baada ya familia za marehemu kuja juu na kutishia kwenda katika Taasisi za Kimataifa za Haki za Binadamu kuishitaki serikali ya Tanzania iwapo idara yake ya polisi itashindwa kuwafichua askari waliohusika na mauaji hayo ya kinyama.</description>
					  <author>info@habaritanzania.com (Habari Tanzania)</author>
					  <pubDate>Sun, 14 Jan 2007 00:00:00 -0600</pubDate>
					 
					</item>

				

					<item>
					  <title>Muswada wa habari wazidi kupingwa</title>
					  <link>http://www.habaritanzania.com/articles/2564/1/Muswada-wa-habari-wazidi-kupingwa</link>
					  <description>MWENYEKITI wa Shirikisho la Wenye Viwanda Tanzania (CTI), Reginald Mengi, amesema wana imani na Rais Jakaya Kikwete kwamba muswada wa marekebisho ya sheria ya vyombo vya habari unaoandaliwa kupelekwa bungeni utasitishwa. </description>
					  <author>info@habaritanzania.com (Habari Tanzania)</author>
					  <pubDate>Sat, 13 Jan 2007 00:00:00 -0600</pubDate>
					 
					</item>

				

					<item>
					  <title>Mawaziri wapya Tanzania waapishwa</title>
					  <link>http://www.habaritanzania.com/articles/2563/1/Mawaziri-wapya-Tanzania-waapishwa</link>
					  <description>RAIS Jakaya Kikwete amewaapisha mawaziri wapya, huku wakitoa ahadi za kuongeza kasi ya utekelezaji wa falsafa ya maisha bora kwa kila Mtanzania.</description>
					  <author>info@habaritanzania.com (Habari Tanzania)</author>
					  <pubDate>Sat, 13 Jan 2007 00:00:00 -0600</pubDate>
					 
					</item>

				

					<item>
					  <title>CUF wasema Karume bora kuliko Salmin</title>
					  <link>http://www.habaritanzania.com/articles/2562/1/CUF-wasema-Karume-bora-kuliko-Salmin</link>
					  <description>WAKATI wananchi wa Zanzibar jana walisherehekea miaka 43 ya Mapinduzi, baadhi ya viongozi wa Chama cha Wananchi (CUF) wameusifia uongozi wa Rais Aman Abeid Karume kwamba umepunguza machungu ya kisiasa kuliko ilivyokuwa wakati wa rais aliyemtangulia, Dk Salmin Amour.</description>
					  <author>info@habaritanzania.com (Habari Tanzania)</author>
					  <pubDate>Sat, 13 Jan 2007 00:00:00 -0600</pubDate>
					 
					</item>

				

					<item>
					  <title>Hospitali yageuzwa danguro</title>
					  <link>http://www.habaritanzania.com/articles/2553/1/Hospitali-yageuzwa-danguro</link>
					  <description>MKUU wa Mkoa wa Kagera, Kanali Enos Mfuru, amekiri kupokea taarifa zinazoonyesha ukiukwaji mkubwa wa maadili, unaodaiwa kufanywa na baadhi ya watumishi wa hospitali ya mkoa, wa kufanya ngono kwenye chumba cha matibabu.</description>
					  <author>info@habaritanzania.com (Habari Tanzania)</author>
					  <pubDate>Fri, 12 Jan 2007 00:00:00 -0600</pubDate>
					 
					</item>

				

					<item>
					  <title>Migiro: Wanaonipinga hawanitishi katu</title>
					  <link>http://www.habaritanzania.com/articles/2552/1/Migiro%3A-Wanaonipinga-hawanitishi-katu</link>
					  <description>NAIBU Katibu Mkuu mteule wa Umoja wa Mataifa, Dk. Asha-Rose Migiro, amesema hababaishwi wala kutishwa na kauli zinazotolewa na baadhi ya watu kupinga na kukashifu uteuzi wake.</description>
					  <author>info@habaritanzania.com (Habari Tanzania)</author>
					  <pubDate>Fri, 12 Jan 2007 00:00:00 -0600</pubDate>
					 
					</item>

				

					<item>
					  <title>Kikwete awateua mawaziri wapya</title>
					  <link>http://www.habaritanzania.com/articles/2551/1/Kikwete-awateua-mawaziri-wapya</link>
					  <description>HATIMAYE Rais Jakaya Kikwete ametangaza rasmi mabadiliko madogo ya Baraza la Mawaziri kuziba nafasi mbili zilizo wazi.</description>
					  <author>info@habaritanzania.com (Habari Tanzania)</author>
					  <pubDate>Fri, 12 Jan 2007 00:00:00 -0600</pubDate>
					 
					</item>

				

					<item>
					  <title>Vigogo wapigana vita</title>
					  <link>http://www.habaritanzania.com/articles/2545/1/Vigogo-wapigana-vita</link>
					  <description>NI dhahiri kwamba, sasa taifa limeingizwa katika mzozo mkubwa wa kimaadili unaoweza kubadili mwelekeo wa mahusiano ya kisiasa na kikazi miongoni mwa watu kadhaa maarufu serikalini, bungeni na katika sekta ya biashara. </description>
					  <author>info@habaritanzania.com (Habari Tanzania)</author>
					  <pubDate>Thu, 11 Jan 2007 00:00:00 -0600</pubDate>
					 
					</item>

				

					<item>
					  <title>Kikwete akamilisha Baraza la Mawaziri</title>
					  <link>http://www.habaritanzania.com/articles/2544/1/Kikwete-akamilisha-Baraza-la-Mawaziri</link>
					  <description>RAIS Jakaya Kikwete, yuko katika hatua za mwisho za kukamilisha mabadiliko ya Baraza lake la Mawaziri, na wakati wowote kuanzia sasa anaweza kuyatangaza.</description>
					  <author>info@habaritanzania.com (Habari Tanzania)</author>
					  <pubDate>Thu, 11 Jan 2007 00:00:00 -0600</pubDate>
					 
					</item>

				

					<item>
					  <title>Awamu ya Nne Tuutokomze Umasikini</title>
					  <link>http://www.habaritanzania.com/articles/2541/1/Awamu-ya-Nne-Tuutokomze-Umasikini</link>
					  <description>Mimi kama Mtanzania na mzalendo naomba nitoe salaamu zangu za mwaka mpya wa 2007  kwa Watanzania wote popote walipo Duniani hasa walioko Tanzania. </description>
					  <author>mtm@uccmail.co.tz (Migella T. Mondea)</author>
					  <pubDate>Wed, 10 Jan 2007 00:00:00 -0600</pubDate>
					 
					</item>

				

					<item>
					  <title>Kibondo tusidhani Rais Kikwete ni Kipofu</title>
					  <link>http://www.habaritanzania.com/articles/2539/1/Kibondo-tusidhani-Rais-Kikwete-ni-Kipofu</link>
					  <description>Miongoni mwa mambo ambayo ninayaogopa  	sana hapa nchini ni pamoja na kumdharau au kumuona kiongozi wa nchi hususani  	Rais kama mtu asiye na maana au asiyeona mbali au asiye na utaratibu wowote  	katika kuratibu masula ya uongozi na maendeleo, kabisa hili naliogopa. </description>
					  <author>pkwigize@yahoo.com (Prosper Kwigize)</author>
					  <pubDate>Wed, 10 Jan 2007 00:00:00 -0600</pubDate>
					 
					</item>

				

					<item>
					  <title>Waziri ataka Sheria ya Bima ya Afya ibadilishwe</title>
					  <link>http://www.habaritanzania.com/articles/2529/1/Waziri-ataka-Sheria-ya-Bima-ya-Afya-ibadilishwe</link>
					  <description>WAZIRI wa Afya na Ustawi wa Jamii, Profesa David Mwakyusa amesema sheria iliyounda Mfuko wa Taifa wa Bima ya Afya inatakiwa kufanyiwa mapendekezo ya marekebisho ya haraka ili makundi zaidi katika jamii yaweze kunufaika.</description>
					  <author>info@habaritanzania.com (Habari Tanzania)</author>
					  <pubDate>Tue, 09 Jan 2007 00:00:00 -0600</pubDate>
					 
					</item>

				

					<item>
					  <title>Mbunge wa upinzani ahojiwa kamati ya maadili</title>
					  <link>http://www.habaritanzania.com/articles/2528/1/Mbunge-wa-upinzani-ahojiwa-kamati-ya-maadili</link>
					  <description>MBUNGE wa Kigoma Kaskazini-Chadema, Zitto Kabwe, jana alihojiwa na Kamati ya Haki, Maadili na Madaraka ya Bunge kuhusiana na madai kuwa alitoroka vikao vya Bunge na kwenda sarafini Ujerumani na kutoa matamshi ya kumdharau Spika wa Bunge.</description>
					  <author>info@habaritanzania.com (Habari Tanzania)</author>
					  <pubDate>Tue, 09 Jan 2007 00:00:00 -0600</pubDate>
					 
					</item>

				

					<item>
					  <title>Kasi ya Shirikisho Afrika Mashariki yapingwa</title>
					  <link>http://www.habaritanzania.com/articles/2527/1/Kasi-ya-Shirikisho-Afrika-Mashariki-yapingwa</link>
					  <description>BAADHI ya wakazi wa Dar es Salaam, wamepinga mchakato wa kuharakisha uundwaji wa Shirikisho la Afrika Mashariki (EAC) na wengine kutoa mapendekezo ambayo ni magumu kutekelezeka.</description>
					  <author>info@habaritanzania.com (Habari Tanzania)</author>
					  <pubDate>Tue, 09 Jan 2007 00:00:00 -0600</pubDate>
					 
					</item>

				

					<item>
					  <title>Migiro tayari kwa changamoto mpya UN</title>
					  <link>http://www.habaritanzania.com/articles/2526/1/Migiro-tayari-kwa-changamoto-mpya-UN</link>
					  <description>WAKATI Watanzania wakishangilia kuteuliwa kwa Waziri wa Mambo ya Nje na Ushirikiano wa Kimataifa, Asha-Rose Migiro, kuwa Naibu Katibu Mkuu wa Umoja wa Mataifa (UN), bosi wake mpya amewataka maafisa wa juu wa mashirika ya umoja huo kuandika barua za kujiuzulu.</description>
					  <author>info@habaritanzania.com (Habari Tanzania)</author>
					  <pubDate>Tue, 09 Jan 2007 00:00:00 -0600</pubDate>
					 
					</item>

				

					<item>
					  <title>Makocha weusi wanabaguliwa-Paul Ince</title>
					  <link>http://www.habaritanzania.com/articles/2522/1/Makocha-weusi-wanabaguliwa-Paul-Ince</link>
					  <description>NAHODHA wa zamani wa England, Paul Ince amelaumu kutokuwepo kwa makocha weusi kwenye klabu kubwa na kusema matatizo ni wenyeviti wa klabu hizo.</description>
					  <author>info@habaritanzania.com (Habari Tanzania)</author>
					  <pubDate>Mon, 08 Jan 2007 00:00:00 -0600</pubDate>
					 
					</item>

				

					<item>
					  <title>RC aagiza msako wa dawa za kulevya duka kwa duka</title>
					  <link>http://www.habaritanzania.com/articles/2510/1/RC-aagiza-msako-wa-dawa-za-kulevya-duka-kwa-duka</link>
					  <description>JESHI la Polisi Mkoani hapa limeagizwa kuendesha msako wa duka hadi duka hatimaye kukamata dawa za kulevya aina ya kuber ambazo zimekuwa zikiuzwa kana kwamba bidhaa hiyo ni halali.</description>
					  <author>info@habaritanzania.com (Habari Tanzania)</author>
					  <pubDate>Mon, 08 Jan 2007 00:00:00 -0600</pubDate>
					 
					</item>

				

					<item>
					  <title>Akukweti apumzishwa Tunduru</title>
					  <link>http://www.habaritanzania.com/articles/2508/1/Akukweti-apumzishwa-Tunduru</link>
					  <description>SAFARI ya mwisho ya marehemu Juma Jamaldini Akukweti ilihitimishwa jana baada ya mwili wake kuzikwa jana mchana nyumbani kwao Tunduru mkoani Ruvuma.</description>
					  <author>info@habaritanzania.com (Habari Tanzania)</author>
					  <pubDate>Mon, 08 Jan 2007 00:00:00 -0600</pubDate>
					 
					</item>

				

					<item>
					  <title>Dk Migiro ageuka shujaa Tanzania</title>
					  <link>http://www.habaritanzania.com/articles/2507/1/Dk-Migiro-ageuka-shujaa-Tanzania</link>
					  <description>CHAMA Cha Mapinduzi (CCM) Mkoa wa Dar es Salaam, kimeandaa mapokezi makubwa ya aina yake kwa ajili Naibu Katibu Mkuu wa Umoja wa Mataifa (UN), Dk Asha-Rose Migiro, yatakayoambatana na sherehe za kumpongeza kwa kuteuliwa kwake kushika wadhifa huo.</description>
					  <author>info@habaritanzania.com (Habari Tanzania)</author>
					  <pubDate>Mon, 08 Jan 2007 00:00:00 -0600</pubDate>
					 
					</item>

				

					<item>
					  <title>Dk Migiro ageuka shujaa Tanzania</title>
					  <link>http://www.habaritanzania.com/articles/2506/1/Dk-Migiro-ageuka-shujaa-Tanzania</link>
					  <description>CHAMA Cha Mapinduzi (CCM) Mkoa wa Dar es Salaam, kimeandaa mapokezi makubwa ya aina yake kwa ajili Naibu Katibu Mkuu wa Umoja wa Mataifa (UN), Dk Asha-Rose Migiro, yatakayoambatana na sherehe za kumpongeza kwa kuteuliwa kwake kushika wadhifa huo.</description>
					  <author>info@habaritanzania.com (Habari Tanzania)</author>
					  <pubDate>Mon, 08 Jan 2007 00:00:00 -0600</pubDate>
					 
					</item>

				

					<item>
					  <title>TABORA YAFUNGWA SETI 3-0</title>
					  <link>http://www.habaritanzania.com/articles/2505/1/TABORA-YAFUNGWA-SETI-3-0</link>
					  <description>Timu ya mpira wa wavu ya mkoa wa Tabora ilishindwa kabisa kuonesha makucha yake kwa timu ya wilaya ya Kibondo mkoani Kigoma baada ya kufungwa jumla ya seti tatu kwa sifuri katika mpambano wa kirafiki kati ya mkoa wa Kigoma na Tabora.</description>
					  <author>pkwigize@yahoo.com (Prosper Kwigize)</author>
					  <pubDate>Mon, 08 Jan 2007 00:00:00 -0600</pubDate>
					 
					</item>

				

					<item>
					  <title>Serikali Tanzania yaomboleza kifo cha Waziri Akukweti</title>
					  <link>http://www.habaritanzania.com/articles/2503/1/Serikali-Tanzania-yaomboleza-kifo-cha-Waziri-Akukweti</link>
					  <description>USIKU saa 1:25 jana, ndege iliyokuwa imebeba mwili wa Waziri wa Nchi, Ofisi ya Waziri Mkuu, Juma Akukweti, iligusa ardhi ya Uwanja wa Ndege wa Kimataifa wa Julius Nyerere na kuamsha kilio kikuu uwanjani hapo.</description>
					  <author>info@habaritanzania.com (Habari Tanzania)</author>
					  <pubDate>Sat, 06 Jan 2007 00:00:00 -0600</pubDate>
					 
					</item>

				

					<item>
					  <title>Mahakama yaamuru watoto wamzike mama yao</title>
					  <link>http://www.habaritanzania.com/articles/2498/1/Mahakama-yaamuru-watoto-wamzike-mama-yao</link>
					  <description>MAHAKAMA ya Hakimu Mkazi Mkoa wa Mwanza, imetupilia mbali madai ya Robert Ngelemela ya kutaka mwili wa Marehemu Eutharazia Masanja (43) aliyefariki wiki iliyopita jijini hapa ukazikwe mkoani Kagera.</description>
					  <author>info@habaritanzania.com (Habari Tanzania)</author>
					  <pubDate>Fri, 05 Jan 2007 00:00:00 -0600</pubDate>
					 
					</item>

				

					<item>
					  <title>Faini kwa wamachinga sasa zaidi ya maradufu</title>
					  <link>http://www.habaritanzania.com/articles/2497/1/Faini-kwa-wamachinga-sasa-zaidi-ya-maradufu</link>
					  <description>HALMASHAURI ya Jiji la Dar es Salaam imeongeza adhabu kwa wafanyabiashara ndogondogo watakaoendelea kufanya biashara kwenye maeneo yasiyo rasmi, kutoka kati ya Sh2,000 na Sh5,000 na kuwa Sh15,000 na kifungo si chini ya miezi 3.</description>
					  <author>info@habaritanzania.com (Habari Tanzania)</author>
					  <pubDate>Fri, 05 Jan 2007 00:00:00 -0600</pubDate>
					 
					</item>

				

					<item>
					  <title>Magari yaanza kupita Lugoba</title>
					  <link>http://www.habaritanzania.com/articles/2496/1/Magari-yaanza-kupita-Lugoba</link>
					  <description>MAWASILIANO kati ya Dar es Salaam na mikoa ya Kaskazini na nchi jirani yaliyokatika katika daraja la Lugoba yamerejea katika hali ya kawaida baada ya kujazwa kifusi katika sehemu ya juu ya daraja jipya. </description>
					  <author>info@habaritanzania.com (Habari Tanzania)</author>
					  <pubDate>Fri, 05 Jan 2007 00:00:00 -0600</pubDate>
					 
					</item>

				

					<item>
					  <title>Polisi wakamata bunduki 15, risasi 11 Kagera</title>
					  <link>http://www.habaritanzania.com/articles/2495/1/Polisi-wakamata-bunduki-15%2C-risasi-11-Kagera</link>
					  <description>JESHI la polisi mkoani Kagera limefanikiwa kukamata bunduki 15, risasi 11 na radio ya upepo moja katika msako mkali unaoendelea katika maeneo mbalimbali mkoani hapa.</description>
					  <author>info@habaritanzania.com (Habari Tanzania)</author>
					  <pubDate>Fri, 05 Jan 2007 00:00:00 -0600</pubDate>
					 
					</item>

				

					<item>
					  <title>Igp Mwema asema Mabomu Dar yanatoka nchi jirani</title>
					  <link>http://www.habaritanzania.com/articles/2494/1/Igp-Mwema-asema-Mabomu-Dar-yanatoka-nchi-jirani</link>
					  <description>JESHI la Polisi nchini limeandaa utaratibu wa kukagua shehena zote za vyuma chakavu katika maeneo ya mipakani vitakavyoingizwa kutoka nje ya nchi.</description>
					  <author>info@habaritanzania.com (Habari Tanzania)</author>
					  <pubDate>Fri, 05 Jan 2007 00:00:00 -0600</pubDate>
					 
					</item>

				

					<item>
					  <title>Kikwete kupokea mwili wa Waziri Akukweti leo</title>
					  <link>http://www.habaritanzania.com/articles/2493/1/Kikwete-kupokea-mwili-wa-Waziri-Akukweti-leo</link>
					  <description>RAIS Jakaya Kikwete leo mchana ataongoza waombolezaji kuupokea mwili wa Waziri wa Nchi, Ofisi ya Waziri Mkuu (Bunge), Juma Akukweti, aliyefariki dunia akiwa nchini Afrika Kusini.</description>
					  <author>info@habaritanzania.com (Habari Tanzania)</author>
					  <pubDate>Fri, 05 Jan 2007 00:00:00 -0600</pubDate>
					 
					</item>

				

					<item>
					  <title>Chuo kikuu Dar huenda kikakopesha wanafunzi wake</title>
					  <link>http://www.habaritanzania.com/articles/2782/1/Chuo-kikuu-Dar-huenda-kikakopesha-wanafunzi-wake</link>
					  <description>UONGOZI wa Chuo Kikuu cha Dar es Salaam (UDSM), unadaiwa kuwa unaangalia uwezekano wa kukopesha wanafunzi wake asilimia 40 ya gharama zote za masomo wanazotakiwa kulipa kwa ajili ya masomo.</description>
					  <author>info@habaritanzania.com (Habari Tanzania)</author>
					  <pubDate>Mon, 01 Jan 2007 00:00:00 -0600</pubDate>
					 
					</item>

				

					<item>
					  <title>Wabunge wa Uingereza walia na rada ya Tanzania</title>
					  <link>http://www.habaritanzania.com/articles/2780/1/Wabunge-wa-Uingereza-walia-na-rada-ya-Tanzania</link>
					  <description>BUNGE la Uingereza limeambiwa kuwa mkataba wa uuzaji wa rada wa nchi hiyo kwa Tanzania mwaka 2001, ulitawaliwa na kashfa.</description>
					  <author>info@habaritanzania.com (Habari Tanzania)</author>
					  <pubDate>Mon, 01 Jan 2007 00:00:00 -0600</pubDate>
					 
					</item>

				

					<item>
					  <title>Vigogo wanaouza unga waipiga chenga serikali</title>
					  <link>http://www.habaritanzania.com/articles/2476/1/Vigogo-wanaouza-unga-waipiga-chenga-serikali</link>
					  <description>BAADA ya Jeshi la Polisi kuanza kupambana kwa nguvu na biashara ya dawa za kulevya, vigogo wa biashara hiyo wamelazimika kubuni mbinu mpya, ikiwa ni pamoja na kubadili maeneo ya kufanyia biashara hiyo, Uchunguzi wa Tanzania Daima umebaini. </description>
					  <author>info@habaritanzania.com (Habari Tanzania)</author>
					  <pubDate>Thu, 28 Dec 2006 00:00:00 -0600</pubDate>
					 
					</item>

				

					<item>
					  <title>'Viongozi Sinza wameshindwa kudhibiti uchafu'</title>
					  <link>http://www.habaritanzania.com/articles/2470/1/%91Viongozi-Sinza-wameshindwa-kudhibiti-uchafu%92</link>
					  <description>WAKAZI wa vitongoji vya Sinza, Dar es Salaam, wamelalamika kuwa viongozi wa serikali za mitaa katika eneo hilo wameshindwa kusimamia uchafu.</description>
					  <author>info@habaritanzania.com (Habari Tanzania)</author>
					  <pubDate>Wed, 27 Dec 2006 00:00:00 -0600</pubDate>
					 
					</item>

				

					<item>
					  <title>Juma Duni akiri wanaCUF wengi wamevunjika moyo baada ya uchaguzi.</title>
					  <link>http://www.habaritanzania.com/articles/2467/1/Juma-Duni-akiri-wanaCUF-wengi-wamevunjika-moyo-baada-ya-uchaguzi.</link>
					  <description>Naibu Katibu wa chama cha CUF, amekiri kwamba baada ya uchaguzi wamekuwa  na kazi ngumu ya kuendelea kuhamasisha wafuasi wa chama hicho ambao wengi  wameonekana kuvunjika moyo.</description>
					  <author>yakubuchumbageni@yahoo.com (Saidi Yakubu)</author>
					  <pubDate>Wed, 27 Dec 2006 00:00:00 -0600</pubDate>
					 
					</item>

				

					<item>
					  <title>AU yabariki Ethiopia kuivamia Somalia</title>
					  <link>http://www.habaritanzania.com/articles/2466/1/AU-yabariki-Ethiopia-kuivamia-Somalia</link>
					  <description>UMOJA wa Afrika (AU), umesema kwamba Ethiopia ina haki ya kuivamia Somalia kijeshi kwa kuwa inahisi usalama wake unahatarishwa na wapiganaji wa Kiislamu wa nchi hiyo. </description>
					  <author>info@habaritanzania.com (Habari Tanzania)</author>
					  <pubDate>Wed, 27 Dec 2006 00:00:00 -0600</pubDate>
					 
					</item>

				

					<item>
					  <title>Balozi wa Tanzania Msumbiji afariki</title>
					  <link>http://www.habaritanzania.com/articles/2463/1/Balozi-wa-Tanzania-Msumbiji-afariki</link>
					  <description>BALOZI wa Tanzania nchini Msumbiji, Issa Muhammed Issa, amefariki dunia.</description>
					  <author>info@habaritanzania.com (Habari Tanzania)</author>
					  <pubDate>Wed, 27 Dec 2006 00:00:00 -0600</pubDate>
					 
					</item>

				

					<item>
					  <title>Mwanamke ajiua kwa madeni ya upatu Dar</title>
					  <link>http://www.habaritanzania.com/articles/2462/1/Mwanamke-ajiua-kwa-madeni-ya-upatu-Dar</link>
					  <description>MKAZI wa Buguruni Kisiwani, jijini Dar es Salaam, Teddy Alfred (43), amejiua kwa kunywa sumu inayodhaniwa kuwa ni ya panya, baada ya kushindwa kulipa madeni ya mchezo wa kubadilishana fedha, maarufu kwa jina la upatu.</description>
					  <author>info@habaritanzania.com (Habari Tanzania)</author>
					  <pubDate>Wed, 27 Dec 2006 00:00:00 -0600</pubDate>
					 
					</item>

				

					<item>
					  <title>Aliyegharimia maiti yenye cocaine tumboni anaswa</title>
					  <link>http://www.habaritanzania.com/articles/2461/1/Aliyegharimia-maiti-yenye-cocaine-tumboni-anaswa</link>
					  <description>SAKATA la dawa za kulevya zilizofumuliwa kwenye tumbo la mwili wa marehemu, Abdallah Siriri (32), limeibua siri ya mtandao wa biashara hiyo baada ya polisi kumnasa mfanyabiashara wa Tunduma, Hamza Lema (34), kuwa ndiye aliyefadhili kuusafirisha mwili huo.</description>
					  <author>info@habaritanzania.com (Habari Tanzania)</author>
					  <pubDate>Wed, 27 Dec 2006 00:00:00 -0600</pubDate>
					 
					</item>

				

					<item>
					  <title>SERIKALI YA KIDEMOKRASIA vs UHURU WA HABARI</title>
					  <link>http://www.habaritanzania.com/articles/2460/1/SERIKALI-YA-KIDEMOKRASIA-vs-UHURU-WA-HABARI</link>
					  <description>Ibara ya kumi na nane (18) ya katiba ya Jamhuri ya Muungano wa Tanzania ya mwaka  1977 inaeleza waziwazi kwamba: </description>
					  <author>edward@bongotz.com (Edward Chacha)</author>
					  <pubDate>Wed, 27 Dec 2006 00:00:00 -0600</pubDate>
					 
					</item>

				

					<item>
					  <title>Matumizi ya bidhaa za ndani yahimizwe</title>
					  <link>http://www.habaritanzania.com/articles/2453/1/Matumizi-ya-bidhaa-za-ndani-yahimizwe</link>
					  <description>SERIKALI imesema ipo haja ya kutoa elimu zaidi kuanzia shuleni, kuwahimiza wananchi kutambua umuhimu wa kutumia bidhaa zinazozalishwa ndani ya nchi ili kukuza soko lake.</description>
					  <author>info@habaritanzania.com (Habari Tanzania)</author>
					  <pubDate>Mon, 25 Dec 2006 00:00:00 -0600</pubDate>
					 
					</item>

				

					<item>
					  <title>Waziri Mramba, Maregesi waigombea Shauritanga</title>
					  <link>http://www.habaritanzania.com/articles/2451/1/Waziri-Mramba%2C-Maregesi-waigombea-Shauritanga</link>
					  <description>MWENYEKITI wa Jumuiya ya Wazazi ya Chama Cha Mapinduzi, Taifa, Abiud Maregesi amepinga kampeni zinazoendeshwa na Mbunge wa Jimbo la Rombo, Basil Mramba (CCM) za kutaka kuipokonya jumuiya hiyo umiliki wa Shule ya Sekondari Shauritanga.</description>
					  <author>info@habaritanzania.com (Habari Tanzania)</author>
					  <pubDate>Mon, 25 Dec 2006 00:00:00 -0600</pubDate>
					 
					</item>

				

					<item>
					  <title>Maiti yakutwa na mihadarati Mbeya</title>
					  <link>http://www.habaritanzania.com/articles/2450/1/Maiti-yakutwa-na-mihadarati-Mbeya</link>
					  <description>MWILI wa Mtanzania aliyefia nchini Zambia, Abdallah Siriri (32), ambao ulirudishwa nchini katika mazingira ya kutatanisha, umekutwa ukiwa na shehena ya dawa za kulevya aina ya cocaine zenye uzito wa gramu 1,003, zinazokadiriwa kuwa na thamani ya sh milioni 26.7 ndani ya tumbo lake. </description>
