<?xml version="1.0" encoding="utf-8"?><?xml-stylesheet href="http://www.habaritanzania.com/templates/Default/RssDisplay.xslt" type="text/xsl"?>
		<rss version="2.0">
		  <channel>
				<title>Habari Tanzania - Articles</title>
				<link>http://www.habaritanzania.com</link>
				<description />
				<language>en-us</language>
				<copyright>http://www.habaritanzania.com</copyright>
				<generator>N/A</generator>
				<webMaster>info@habaritanzania.com</webMaster>
				<lastBuildDate>Sat, 22 Nov 2008 04:44:45 +0300</lastBuildDate>
				<ttl>20</ttl>

					<item>
					  <title>Obama atishiwa maisha</title>
					  <link>http://www.habaritanzania.com/articles/4292/1/Obama-atishiwa-maisha</link>
					  <description>KAMPENI za kuwania kiti cha urais wa Marekani katika uchaguzi unaotarajiwa kufanyika Novemba mwaka huu, zimepata sura mpya, baada ya mmoja wa wagombea wa nafasi hiyo kutishiwa kuuawa. </description>
					  <author>washawashaupupu@yahoo.com (Marshy Abdu)</author>
					  <pubDate>Sun, 10 Aug 2008 00:00:00 +0300</pubDate>
					 
					</item>

				

					<item>
					  <title>Kama Zanzibar si nchi, Tanganyika ilijiunga na wilaya?</title>
					  <link>http://www.habaritanzania.com/articles/4291/1/Kama-Zanzibar-si-nchi%2C-Tanganyika-ilijiunga-na-wilaya%3F</link>
					  <description>BABA wa Taifa, Mwalimu Julius Nyerere, alikuwa mtu mwenye kanuni ya kujikosoa. Nadhani ni kanuni hiyo iliyomfanya afe akiwa kipenzi cha wote wakiwamo hata wale ambao kwa namna moja au nyingine walibanwa na wadhifa wake.</description>
					  <author>washawashaupupu@yahoo.com (Marshy Abdu)</author>
					  <pubDate>Sun, 10 Aug 2008 00:00:00 +0300</pubDate>
					 
					</item>

				

					<item>
					  <title>Kiteto kumekucha</title>
					  <link>http://www.habaritanzania.com/articles/4286/1/Kiteto-kumekucha</link>
					  <description>MCHUANO wa kisiasa katika kampeni za uchaguzi mdogo wa Jimbo la Kiteto, mkoani Manyara kati ya vyama viwili vinavyoshindana vikali, Chama Cha Mapinduzi (CCM) na Chama cha Demokrasia na Maendeleo (CHADEMA) umezidi kuwa mkali. </description>
					  <author>washawashaupupu@yahoo.com (Marshy Abdu)</author>
					  <pubDate>Fri, 22 Feb 2008 00:00:00 +0300</pubDate>
					 
					</item>

				

					<item>
					  <title>Richmond yaivua nguo serikali</title>
					  <link>http://www.habaritanzania.com/articles/4285/1/Richmond-yaivua-nguo-serikali</link>
					  <description>KAMATI Teule ya Bunge iliyochunguza mchakato wa upatikanaji wa zabuni ya uzalishaji umeme wa dharura, iliyopewa Kampuni ya Richmond Development LLC, ya Hauston Marekani, imemtaja Waziri Mkuu, Edward Lowassa, kuwa alihusika kuibeba kampuni hiyo kupata zabuni hiyo.</description>
					  <author>washawashaupupu@yahoo.com (Marshy Abdu)</author>
					  <pubDate>Thu, 07 Feb 2008 00:00:00 +0300</pubDate>
					 
					</item>

				

					<item>
					  <title> Eti Bongo mteja sio mfalme?</title>
					  <link>http://www.habaritanzania.com/articles/4284/1/-Eti-Bongo-mteja-sio-mfalme%3F</link>
					  <description>                 MWANANGU mtabisha nikiwaambia kastama kea kwenu ni ziro?&#160;Mbona siku zote tulifunzwa kwamba mteja ni mfalme wajameni? Kumbe kauli hii ya mteja ni mfalme haiwahusu Wabongo sio? Kama sivyo mbona hatuoni ubora wa huduma kwa wateja katika nyanja zote? Nawaapia tangu siasa, michezo, jamiii na&#160;eneo lolote utakalo, hakuna&#160;kabisa hicho kinachoitwa kwa kimombo customer care! Huko simo mwanakwetu.</description>
					  <author>info@habaritanzania.com (Habari Tanzania)</author>
					  <pubDate>Sat, 12 Jan 2008 00:00:00 +0300</pubDate>
					 
					</item>

				

					<item>
					  <title> Muafaka waja - JK</title>
					  <link>http://www.habaritanzania.com/articles/4282/1/-Muafaka-waja---JK</link>
					  <description>MAZUNGUMZO ya kusaka muafaka wa kisiasa visiwani Zanzibar, baina ya Chama Cha Mapinzuzi (CCM) na Chama cha Wananchi (CUF) yanakaribia kufikia mwisho, Rais Jakaya Kikwete amesema.</description>
					  <author>info@habaritanzania.com (Habari Tanzania)</author>
					  <pubDate>Sat, 12 Jan 2008 00:00:00 +0300</pubDate>
					 
					</item>

				

					<item>
					  <title> Wasomi wamtaka JK kukaza buti kwa mafisadi</title>
					  <link>http://www.habaritanzania.com/articles/4281/1/-Wasomi-wamtaka-JK-kukaza-buti-kwa-mafisadi</link>
					  <description>WASOMI wamemtaka Rais Jakaya Kikwete kusimamia kwa ukali na umakini mkubwa ili kuhakikisha watu walioshiriki katika ufisadi uliokithiri katika Benki Kuu ya Tanzania (BoT), wanarudisha fedha zote zilizoibwa na wahusika kuchukuliwa hatua.</description>
					  <author>info@habaritanzania.com (Habari Tanzania)</author>
					  <pubDate>Sat, 12 Jan 2008 00:00:00 +0300</pubDate>
					 
					</item>

				

					<item>
					  <title> Dk. Slaa: Nina siri nyingine nzito</title>
					  <link>http://www.habaritanzania.com/articles/4280/1/-Dk.-Slaa%3A-Nina-siri-nyingine-nzito</link>
					  <description>WAKATI Watanzania wakitafakari hatua ya Rais Jakaya Kikwete kutengua uteuzi wa aliyekuwa Gavana wa Benki Kuu (BoT), Dk. Daudi Balali kutokana na kashfa ya akaunti ya malipo ya madeni ya nje (EPA), muasisi wa tuhuma zilizosababisha uchunguzi wa akaunti hiyo, Dk. Willibrod Slaa, ameibuka na siri nyingine kuhusu tuhuma za ufisadi wa viongozi walio serikalini.</description>
					  <author>info@habaritanzania.com (Habari Tanzania)</author>
					  <pubDate>Sat, 12 Jan 2008 00:00:00 +0300</pubDate>
					 
					</item>

				

					<item>
					  <title> ODM watua Dar</title>
					  <link>http://www.habaritanzania.com/articles/4279/1/-ODM-watua-Dar</link>
					  <description>UJUMBE wa Chama cha Orange Democratic Movement (ODM) cha Kenya, jana ulinguruma jijini Dar es Salaam na kusema kuwa wanaodhani kuwa wanaweza kushiriki kwenye serikali ya umoja wa kitaifa iliyopendekezwa na Rais Mwai Kibaki wanajidanganya.</description>
					  <author>info@habaritanzania.com (Habari Tanzania)</author>
					  <pubDate>Tue, 08 Jan 2008 00:00:00 +0300</pubDate>
					 
					</item>

				

					<item>
					  <title> JK: Msitishike na shambulio dhidi ya wanahabari</title>
					  <link>http://www.habaritanzania.com/articles/4278/1/-JK%3A-Msitishike-na-shambulio-dhidi-ya-wanahabari</link>
					  <description>RAIS Jakaya Kikwete, amewataka waandishi wa habari kote nchini, kutokatishwa tamaa au kuogopa vitisho vinavyoelekezwa dhidi yao na badala yake waendelee kutimiza wajibu wao wa kazi kwa kuchukua tahadhari za kutosha.</description>
					  <author>info@habaritanzania.com (Habari Tanzania)</author>
					  <pubDate>Tue, 08 Jan 2008 00:00:00 +0300</pubDate>
					 
					</item>

				
				  </channel>
				</rss>
			