|
 |
KVurugu
za nchini Kenya zendelea kutokana na maandamano ya kupinga kwa matokeo ya Urais
yaliyofanyika karibuni na kutangazwa Rais Kibaki kupingwa na watu wengi.
|
 |
|
 |
»
Wasomi wamtaka JK kukaza buti kwa mafisadi
|
|
WASOMI wamemtaka Rais Jakaya Kikwete kusimamia kwa ukali na umakini mkubwa ili kuhakikisha watu walioshiriki katika ufisadi uliokithiri katika Benki Kuu ya Tanzania (BoT), wanarudisha fedha zote zilizoibwa na wahusika kuchukuliwa hatua.
|
»
Dk. Slaa: Nina siri nyingine nzito
|
|
WAKATI Watanzania wakitafakari hatua ya Rais Jakaya Kikwete kutengua uteuzi wa aliyekuwa Gavana wa Benki Kuu (BoT), Dk. Daudi Balali kutokana na kashfa ya akaunti ya malipo ya madeni ya nje (EPA), muasisi wa tuhuma zilizosababisha uchunguzi wa akaunti hiyo, Dk. Willibrod Slaa, ameibuka na siri nyingine kuhusu tuhuma za ufisadi wa viongozi walio serikalini.
|
|
|
|
|
|
Makala |
Mzee Mwanakijiji |
Salehe Mmoro |
|
|
|
Habari za Kitaifa |
Michezo |
Siasa |
|
|
|
|
|
»
Kiteto kumekucha
|
|
MCHUANO wa kisiasa katika kampeni za uchaguzi mdogo wa Jimbo la Kiteto, mkoani Manyara kati ya vyama viwili vinavyoshindana vikali, Chama Cha Mapinduzi (CCM) na Chama cha Demokrasia na Maendeleo (CHADEMA) umezidi kuwa mkali.
|
»
Richmond yaivua nguo serikali
|
|
KAMATI Teule ya Bunge iliyochunguza mchakato wa upatikanaji wa zabuni ya uzalishaji umeme wa dharura, iliyopewa Kampuni ya Richmond Development LLC, ya Hauston Marekani, imemtaja Waziri Mkuu, Edward Lowassa, kuwa alihusika kuibeba kampuni hiyo kupata zabuni hiyo.
|
No articles found.
|
|
|
|